Author: Raha Special

Wanaume Hunitongoza Wakijificha Mwanamke wa Kikenya anayejiamini anayeitwa Alice amewaacha Wakenya wengi wakiwa wameshangaa baada ya kufunguka kuhusu maisha yake kama mwanamke wa umbo fupi – haswa linapokuja suala la mapenzi, kujiamini, na umakini wa umma. Akiwa na urefu wa sentimita 85 tu, Alice anakiri kwamba amezoea kugeuza vichwa popote anapoenda. Lakini badala ya kujificha kutokana na kuangaziwa, amejifunza kukumbatia – kutumia mwonekano wake kuongeza ufahamu kuhusu watu wadogo na kupinga dhana potofu. Katika mahojiano ya wazi na Oga Obinna, Alice alishiriki kwamba mara nyingi anafikiwa na wanaume – wengine wanavutiwa naye, wakati wengine wanatamani kujua. “Watu wengi walinipiga,” alifichua.…

Read More

Ilivyoripotiwa na Law & Crime, mwanajeshi wa zamani amewashangaza wengi baada ya kudaiwa kujichukulia sheria mkononi kwa kumvamia na kumuua mwanamume ambaye alimdhalilisha bintiye kingono. Tukio hilo limezua mjadala wa kitaifa kuhusu haki, ulinzi wa familia na kushindwa kwa mfumo wa sheria. Mtu anayetuhumiwa kwa mauaji hayo ni Aaron Spencer, mwanajeshi wa zamani wa Marekani na baba. Mtu aliyemuua alikuwa Michael Fosler, 67, ambaye hapo awali alikabiliwa na mashtaka mengi ya unyanyasaji wa kijinsia yaliyohusisha watoto. Mke wa Spencer, Heather Spencer, amesimama karibu naye, akimwita mumewe shujaa kwa kumtetea binti yao. Ripoti zinasema kuwa Aaron Spencer anadaiwa kumfuatilia na kumpiga…

Read More

Baba Askofu na Binti Yake, Wakamatwa Wakiwa Gesti Majengo, Kaunti ya Vihiga – Drama ilizuka Majengo Jumatatu jioni baada ya mwanamume mwenye umri wa miaka 52, anayeaminika kuwa askofu, kunaswa kwenye nyumba ya kulala wageni na bintiye. Kulingana na ripoti, mke wa askofu huyo aliarifiwa kwamba mumewe na bintiye walikuwa wameonekana wakiingia kwenye chumba cha wageni. Alikimbilia kwenye nyumba ya kulala wageni pamoja na maafisa wawili wa polisi kutoka Kituo cha Polisi cha Hamisi. Walipofika, tayari umati wa watu ulikuwa umekusanyika nje. Binti huyo, 23, alishutumu vikali umati wa watu na mamake, akihoji ni kwa nini walivamia jumba hilo kwa…

Read More

Nilikuwa Msichana Mrembo Sana, Kansa Inanimaliza Polepole, Nitaishinda siku Moja Simulizi Ya Kweli Chanzo: muranganewspaper Ugonjwa unaweza kutokea wakati maisha yanaonekana kuwa yenye matumaini zaidi – na kwa Annet Msanabera mwenye umri wa miaka 23, saratani imegeuza maisha yake ya baadaye kuwa vita chungu vya kuishi. Annet alijulikana kama msichana mrembo na mwenye tamaa ya mafanikio, aliyejaa maisha na ndoto. Alikuwa akifanya vyema shuleni na akijiandaa kujiunga na chuo kikuu ili kufuata kozi yake ya ndoto. Lakini kila kitu kilibadilika wakati afya yake ilipoanza kuzorota ghafla. Kwa miezi kadhaa, Annet alitembelea hospitali ya Nyagatare nchini Rwanda mara kwa mara huku…

Read More

MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI – FULL STORY ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi EPISODE 1 – 20 Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI 1 – 5 MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI 6 – 10 MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI 11 – 15 MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI 16 – 20

Read More

MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 16 Ghaflaa Hali Ya Saraah Inaonekana Kubadilika kabisaa, Mda huo huo Jay nae anaonekana akiingiaa ofisini mulee anaingiaa na kushtukaa kumuona Madam Lindaa, Narshaa, Dr Abdul Na wotee hawaa wanaonekama kumtazama Saraaah Huku Jordan Akiwa Amekaa Na Mr Poul Akiwa Pembeni mwake. “Mmmh kunaa nn tenaa hapaa duuuh yaaan hiii ofisinii ni shidaa tu ase “Jay anasemaa yote hayo uku akisogeaa karibu sanaa ili kuelewa ni jambo gani linaloendeleaa hapo.. Mdaaa huo Boss Jordan hanaa Hataa Haraka yyt kbsaaa. Saraah anazidii kujisikiaa vibayaa na anaamuaa…

Read More

MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 11 Mask man Akiwaa anataka kutoka ghaflaa Anahisi kamaa kuna mtuu katika kilee chumbaa anachukuaa kisuu chakee huku akisogeaa mahali ambapo alikuwa Jay anazidii kusogeaa na kupakalibiaa zaidi Jay moyoo juu juu akiwazaa afanyee nn ghaflaa Mask Man Anasikia kamaa kunaa mtu anakujaa karibuu na mlango Mask Man anaamuaa kufunguaa dirishaa na kurukaa hiyoo inakuwaa bahatii ya Jay tuu. “Huuuuh Asante sanaa Allah maanaa hapaa ningepoteza maishaaa kbsaaa”Jay Anasema na kutuliaa mulee ndani kwa mda wa dakikaa kama 10 anaposikiaa utulivu Jay anaamuaa kuondokaa na…

Read More

MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 6 Wakiwa Ofisini Saraah Na Jordan, Saraah Anaamuaa kutoka kwenda kuchukua kahawaa. Akiwa anavuka barabara Gari lililo kuwa speed aina ya cruzer linampitia na kumgongaa Jordan Anashuhudiaa tukio zima kwa mbali. Hali ya Saraah inaonekana kuwaa mbaya sana maana anavuja damu nyingi sana upande wa kichwa chake. Jordan anakimbia na kumuinuaa saraah huku akiwa ameshika kichwa cha Saraah kwa machozi mengi akilia na kutetemeka. Jordan: Saraah Mamaangu Amkaa kipenz Amkaaa Saraa Wangu, Jamn msaadaa. Kwa bahati nzur wafanyaa kazi wanatokaa njee na kupiga simu kwaajir…

Read More

MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 1 “Siwezi kaa ndani kila siku itabidi nitoroke nikatafute marafiki nje” alisema Saraah Alianza kunyatia nyatia huku akichungulia huku na kule bila kuona mtu Na kufanikiwa kutoroka ndani ya nyumba yao kubwa yakifahari. baada ya Saraah kutoka njee ya fensi yao alikimbia kwa watoto wa mtaani ili kucheza nao lakini watoto wale walimshangaa sana na kutamaani mdoli wake mdogo aliokuwa nao mkononi Sarah aligundua kwamba watoto wale wangecheza nae kwasababu aliona wakivutiwa na mdoli wake lakini haikuwa hivo wale watoto walimsukuma Sarah chini na kukimbia…

Read More

MTOTO WA KISHUA USIINGIZE WEWE NI ADUI YANGU ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 16 Graziella alienda chumbani kwake na kuanza kulia akampigia simu mpenzi David na kumuelezea mambo yote yalitokea “David hakuna nilichofanikiwa mimi, nashindwa hii vita ni ngumu etty” alisema Grazzy “hapana maamaa usilie kuwa huru ndio kwanza vita imeanza sas unaogopa nini saasa wakati mimi nipo na wewe?, kwa lolote litakalotokea nipo na wewe sawa usilie kila kitu kitakaa sawa, mimi nishamwambia mama tunakuja kwenu kesho kutwa itakuja kujulikana huko huk sawa mrembo wangu?” alisema David “sawa mpenzi ila sijui kama naweza…

Read More

MTOTO WA KISHUA USIINGIZE WEWE NI ADUI YANGU ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 11 Grady alifika chumbani kwa Grazzy kabisha hodi akaona aitikiwi akaingia tu ndani mwenye bila kukaribishwa, “Graziella nina maongezi na wewe” alisema Graddy, wee Graziella alishtuka baada kusikia Graddy kamuita kwa jina lake halisi “nani kakwambia mimi naitwa Graziellla?”, alishout Grazzy “yeah naelewa now kila kitu usijali alisema Gradyness “kwahyo kaka yake kashamueleza kila mtu kuhusu mimi? kilichobaki ikiwa mshajua ukweli ni nini sasa ?, niueni sasa kama mlivyofanya kwa dada yangu alisema Grazzy kwa hasira na uchungu wa hali ya…

Read More

MTOTO WA KISHUA USIINGIZE WEWE NI ADUI YANGU ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 6 “Graziella aliita David wee Grazzy alishtuka akatoa macho sio poa “Graziella Roman mdada mwenye kisasi chake moyoni juu ya familia ya Mr. Thomas au sio wewe?”, aliuliza David akimtizama machoni Grazzy “hapana sio mimi nani kakwambia ni mimi?” “mh fanya kwanza kazi yako afu utajua nani kaniambia hili sawa Graziella?” alisema David “mh sawa ila mimi sio Grazziela naitwa Agness Daniel” alisema Grazzy kwa kujiamini haswa, “mh sawa nina ushahidi wa kila kitu juu ya hili ninalosema upo sawa binti?…

Read More

MTOTO WA KISHUA USIINGIZE WEWE NI ADUI YANGU ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 1 “Jitahidi ukafanye kazi yako sawa mwanangu?”, alisema baba yake Graziella na mama yake pia akasisistiza “sitaki yatokee makosa, wale ndio sababau ya dada yako Lovenness kupotezaa maisha kumbuka hilo mwanangu”, “sawa mama sitakaa niwaangushe kabisa katika hili wazazi wangu mnayopitia yote nayaelewa hivyo naomba mniamini nahakikisha kwamba sitawangusha kwangu nyie ni wa thamani aliongea Graziella kwa muonekano ilionekana kama vile ni kiapo, kwa wazazi wake hivyo “sawa tunakuamini hakuna mwingine wa kufanya hivi bali ni wewe mama yake alisema huku…

Read More

Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kenya, Raila Odinga amefariki dunia, Akiwa na Miaka 80 Kiongozi huyo wa chama cha Orange Democratic Movement (ODM) amefariki leo Asubuhi siku ya Jumatano katika mji wa Kochi nchini India, ambako alikuwa akipokea matibabu. Magazeti ya India Mathrubhumi na The Hindu yameripoti habari hiyo kwa mara ya kwanza Jumatano asubuhi, yakisema Odinga alipatwa na mshtuko wa moyo wakati wa matembezi ya asubuhi katika Hospitali ya Macho ya Sreedhareeyam Ayurvedic na Kituo cha Utafiti, ambako amekuwa akitibiwa kwa siku tano zilizopita. Msemaji wa kituo hicho aliiambia AFP kwamba Odinga alipata matatizo ya kupumua na kuzimia mwendo wa…

Read More

Kampuni ya kamari 1xBet huwa inawashangaza na kuwasisimua wateja wake. Walizindua ofa mpya inayoitwa X2Wednesday, ambayo tayari imevutia watu wengi wanaocheza. Wazo ni kupata bonasi ya hadi 100% ya amana iliyowekwa Jumatano, mradi tu ufuate hatua rahisi za ushiriki. X2 Jumatano ni ofa maalum inayotolewa ili kuwazawadia watumiaji waaminifu. Inalenga wale wanaojiunga kikamilifu na matangazo mengine ya chapa, kama vile Ijumaa ya Bahati, na kuendelea kucheza kwa uthabiti na kwa kuwajibika. Ili kupata bonasi, mchezaji lazima sio tu kuweka amana ya awali katika ofa nyingine bali pia aonyeshe shughuli za kawaida kwa siku kadhaa mfululizo. Mbinu hii inahimiza uchezaji thabiti,…

Read More

NILIWEKWA KIMADA NIKIWA NA MIAKA 12 Simulizi Ya Kweli Chanzo: BBC Hivi karibuni nilipita sehemu nikakutana na binti, ambaye hajafika umri wangu, anakunywa vinywaji vikali na sigara akiwa na mtoto mdogo hata mwaka mmoja hajatimiza. Nilipomuita, akaniuliza kwa ukali ‘‘Wewe mbona unaniita hivyo wewe askari’’?, nilimwambia hapana mimi nimekupenda tu. Nilimuuliza yeye amezaliwa mwaka gani akajibu mwaka 2001 Nilimjibu, ‘Ila haya unayopitia na mimi pia nilipitia ila haya si maisha’ Aliamua kunisikiliza na mara akaniambia ninakuja sasa hivi, nisiondoke ila ndiyo alikuwa amenikimbia. Ninatamani sana maisha niliyopitia mimi, binti mwingine asipitie…niliumia sana lakini sikuwa na jinsi na katika mitaa yetu…

Read More

KUTOKA UKAHABA HADI KUWA MCHUNGAJI Simulizi Ya Kweli Chanzo: BBC Anajulikana na wengi hasa katika kitongoji chake cha mtaa wa mabanda wa huruma jijini Nairobi nchini Kenya kama Mchungaji Jane Watere. Lakini anapokusimulia maisha yake ya awali unabakia kinywa wazi na kujiuliza ni kwa jinsi gani ameweza kubadilika na kuwa alivyo sasa – Mchungaji wa Kanisa.. Nilipozungumza naye Mchungaji Jane Watere aliniambia kuwa alikuwa Kahaba na mtumiaji sugu wa madawa ya kulevya tangu alipokuwa na umri wa miaka 13 hadi alipofikia umri wa utu uzima. Jane ana umri wa miaka 42 katika mtaa wa mabanda eneo la Huruma nchini Kenya.…

Read More

MWANAUME ALIYEMRUHUSU MKEWE KUCHEPUKA, NA KUPATA MIMBA Simulizi Ya Kweli Kisa cha kustaajabisha kutoka Kiambu kimewaacha Wakenya wengi wakizungumza baada ya mwanamume kufichua ni kwa nini alimruhusu mkewe kuchepuka na hata kupata mtoto na mwanamume mwingine. Pancras Kagoni, ambaye amekuwa kwenye ndoa kwa miaka 14, alikiri wazi kuwa ana hali ya kiafya inayomzuia kuzaa watoto. Kwa kukata tamaa, alimpa mke wake, Margaret, uhuru wa kutafuta mwanamume mwingine ili waweze kulea mtoto pamoja. Akizungumzia mapambano yake, Kagoni alikumbuka jinsi ndoa yake ya kwanza iliisha kwa uchungu. Alieleza kuwa mke wake wa zamani alifichua utasa wake kwa marafiki, familia na majirani, jambo…

Read More

Wakaazi wa mji wa Migori walisalia katika sintofahamu baada ya mwanamume mmoja anayedaiwa kuvunja duka la simu kukamatwa na kundi la nyuki wanaosemekana kutumwa na mganga wa kiroho. Kulingana na walioshuhudia tukio hilo, mshukiwa alionekana akikimbia sokoni akipiga kelele za kuomba msaada huku akiwa amefunikwa na nyuki wenye hasira ambao walimvamia usoni, shingoni na mikononi mwake. Mwanamume huyo aliripotiwa kukiri kwamba alikuwa ameiba simu kadhaa za rununu kutoka kwa duka la mahali hapo mapema asubuhi hiyo. Walioshuhudia wanadai nyuki hao walianza kumzunguka mshukiwa huyo muda mfupi baada ya wizi huo, na kumlazimu kuacha vitu vilivyoibiwa na kupiga magoti chini kwa…

Read More

Muuguzi anayehudumu katika kituo cha matibabu cha kibinafsi huko Bungoma amekamatwa baada ya kupatikana akimnyanyasa kingono mgonjwa aliyelazwa kwa ajili ya kumfunga majeraha na matibabu ya malaria. Mshukiwa huyo aliyetambulika kwa jina la Martin Wekesa mwenye umri wa miaka 30, aliripotiwa kugunduliwa katika kitendo hicho na mwenzake ambaye alikuwa akiendesha duru za kawaida za wodi Ijumaa usiku. Taarifa zinaeleza kuwa mwathirika ni mwanafunzi wa kidato cha tatu ambaye alikuwa akipatiwa matibabu hospitalini wakati tukio hilo likitokea. Kesi hiyo iliripotiwa mara moja kwa polisi, ambao walithibitisha kukamatwa kwa mtuhumiwa. Mamlaka ilifichua kuwa muuguzi huyo alikiri kisa hicho mapema kabla ya usimamizi…

Read More

Wakaazi wa Kangundo, Kaunti ya Machakos, waliachwa na mshangao baada ya mwanamume aliyedaiwa kuiba na kuuza mbuzi wa jirani yake kulazimishwa kula nyasi kama adhabu. Kulingana na walioshuhudia, mwanamume huyo alinaswa na wenyeji waliokuwa na hasira baada ya mmiliki wa mbuzi huyo kupiga kelele mnyama wake alipopotea. Baada ya kupekuliwa kwa muda mfupi, mtuhumiwa alibanwa kwenye soko la eneo hilo ambapo tayari alikuwa amemuuzia mchinjaji mbuzi huyo. Wakazi hao wenye hasira waliamua kumfundisha somo ambalo hatasahau kamwe. Walimfunga kamba, wakampeleka kwenye eneo la wizi, na kumwamuru ale nyasi – sawa na mbuzi aliyeiba. Video za tukio hilo la kutisha zimesambaa…

Read More

Jana huko Vihiga, wanandoa walijikuta katika matatizo ya kisheria walipokuwa wakikamatwa kwa kuripotiwa kusababisha usumbufu kwa amani ya majirani zao wakati wakifanya mapenzi usiku. Kulingana na majirani, shughuli za wanandoa hao hazikuwa za kukengeusha tu bali nyakati nyingine zilionekana kuwa za jeuri.‎“Nyakati nyingine, tunasikia misemo kama vile ‘Niue,’ ‘Nimalizie,’ ‘Nimalize kabisa,’ ‘Chiring’ana umwana.’ Hutulazimisha kuondoka nyumbani kwetu ili tu kuhakikisha kwamba hakuna mtu anayedhurika,” akaeleza jirani mmoja aliyejali..Kama matokeo ya matendo yao, wanandoa hao wachanga walifedheheshwa hadharani kwa kufungwa pamoja kwenye mti. Chanzo: Muranganewspaper

Read More

BOSS NAONA AIBU – FULL STORY ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi EPISODE 1 – 20 Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: BOSS NAONA AIBU 1 – 5 BOSS NAONA AIBU 6 – 10 BOSS NAONA AIBU 11 – 15 BOSS NAONA AIBU 16 – 20

Read More

MWALIMU AFARIKI GHAFLA, BAADA YA KULIPIWA MAHARI Familia moja katika Kaunti ya Kitui ingali inaomboleza kifo cha ghafla cha mpendwa wao ambaye mipango ya harusi iligeuka kuwa mipango ya mazishi ndani ya saa chache. Jackline Kasau, mwalimu wa umri wa miaka 42 katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya St. Mary’s Kinyambu, alifariki katika ajali ya barabarani katika Kaunti ya Makueni, wiki moja tu kabla ya harusi yake. Alikuwa akirejea nyumbani kutoka kwa hafla ya mahari huko Kitui msiba ulipotokea. Ajali hiyo ilitokea mwendo wa saa 11 jioni. kando ya Barabara ya Kibwezi-Kitui. Jackline alikuwa akisafiri na binti yake mwenye…

Read More

HATIMAYE NIMEOLEWA, NGUVU ZA GIZA SIO MCHEZO Kulikuwa na mwanamke mmoja aliyenipigia simu na kujitambulisha kwa heshima. Aliniambia kwamba alikuwa ameona ushuhuda wa dada Agatha ambaye nilimwombea na baadaye akapata mume na kuolewa nchini Marekani.Lakini hali yake ilikuwa tofauti kidogo. Yeye ni binti ambaye kwa muda mrefu amekuwa akivutwa na wanaume, lakini wengi wao wamekuwa ni waume za watu. Mara nyingi wamekuwa wakimwomba awazalie watoto kisha wamuahidi kumtunza pamoja na mtoto huyo. Lakini yeye, akiwa na msimamo, amekuwa akikataa kwa kuwa hiyo siyo ndoto wala njia aliyoitamani katika maisha yake.Pia, vijana wa rika lake wakijitokeza, huwa wanamweleza kuwa wanataka kuwa…

Read More

NDOA YA SITA, SINA MTOTO, MGANGA AMENIAMBIA….. Habari Raha Special, naomba unipostie nipate ushauri, mimi ni mwanamke wa miaka 44, lakini sijawahi kushika ujauzito wala kuwa na mtoto naumia sana, kwani sjawahi kuwa na furaha kabisa nimekaa kwenye ndoa hii sasa ni ya sita wanaume tofauti wote wananiacha kisa sizai. Mwezi wa kwanza nilienda kumtemberea mdogo wangu huko kijinini, akanishauri kuna mganga anatibu shida kama hizo nikakubari nikaenda turipofika mganga akanipima na kioo akasema mayai ninayo ila yako mbari akaniambia kama ninania nimperekee laki sita nitapona kabisa. Wakati huo mm sikuwa nahela nikarudi kusubiri hera yangu ya mchezo nikapokea nmepata…

Read More

SHERIA YA NDOA CHUPI KWENYE KAMBA MIUNO MPAKA ASUBUHI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Episode 18 Kwanza alinimwagia asali mwili mzima kasoro kichwan tu basi nilianza kulabwa kama katoto ka paka weeeh huo utamu wake sasa 😋😋😋😋😋nilikuwa naunguruma kama disiem nikikiri kuwa tangu nizaliwe sikuwahi kufanya mapenzi alivyofika kwa bibi nyieee akiweka kambi alipiga deki hadi nikawa najifungia magoli tu nilegea hadi nikawa hoiiii nilimwambja Malik mume wangu naomba unipe mwenzio nimezidiwa nipeee mume wangu hapo nalilia kirungu maana alicheza na sehem zangu zote hatari nikawa niko taaban niliona hapa nakufa kibudu weeeh nani kasema…

Read More

SHERIA YA NDOA CHUPI KWENYE KAMBA MIUNO MPAKA ASUBUHI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Episode 11 Nilisema kuanzia leo nafuta kumbukumbuku zote kuhusu toma na ninaanza maisha yangu upya nikimaliza uzazi nitarudi dar maan nilipokuwa nakaa sikurudisha nyumba nilitaka niivunje laini yangu ila nikasema hii ni laini ambayo marafiki zangu wanaijua itakuwa rahisi hata nikirudi dar kutafutia connection ya kazi nilimblock toma kila sehem na kuanzia hapo nilijikabidhi kwa mungu nikasema mungu wewe unayajua hata ya sirini naomba nipe moyo wa kukinai nilee mimba yangu kwa amani mama yangu pa1 na shangazi hawakuchoka kunipa maneno…

Read More

SHERIA YA NDOA CHUPI KWENYE KAMBA MIUNO MPAKA ASUBUHI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Episode 6 Nilimwambia boss kila kitu hadi alivyojitongozesha kwa timo hadi alivyonizushia habari za uongo nilisema yote wale mashoga zake walishangaa maana rose yeye alikuwa ananichafua wakati ukweli anaujua walianza kumzodoa pale mwisho boss akasema rose nimekusimamisha kazi kachukue barua yako kwa secretary nyieee aliachia kilio siyo cha kawaida mie nikamwambia usije kurudia kumfanyia ubaya m2 ambaye hakuwazii mabaya 😏😏😏 tulirudi na kuendelea na kazi timo alinioigia cm akasema kuna habar gab mbona niliwaona mnapandisha juu kwa madam nikamwambia kimenuka 🤣🤣🤣…

Read More

SHERIA YA NDOA CHUPI KWENYE KAMBA MIUNO MPAKA ASUBUHI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Episode 1 Mimi na Rose tulikuwa marafiki wa muda mrefu tu. Urafiki wetu ulianza baada ya Mimi kupata kazi kwenye kampuni yao. Kiukweli Rose ananipenda na mara nyingi tunachukuliana kama mtu na rafiki yake.😍 Sasa, pale kazini kuna huyo mvulana anaitwa Timo Ambaye pia ni boss wetu japo boss mkubwa yupo ila timo pia hushulikia kila kitu cha ofisi labda jambo likiwa kubwaaa sana ndio linaenda kwa boss mkubwa . Timo ni mzuri sana acheni tu. Mi nilikuwa nampenda na timo…

Read More

BOSS NAONA AIBU ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 16 Mimi nilikua mzima na mwenye kuona kila kitu kilichokua kinaendelea, Sam alinikumbatia kwa nguvu sana huku akimshukuru bibi mganga kwa kunisaidia kupona. Vick alikua anasumbua walimfunga kamba nilizokua nazo mimi, walimfunga kwa nguvu mpaka nikamwonea huruma. Mara walifika mama Vick, mwenyekiti wa kijiji na wagambo wawili, walisema kwamba wamekuja kumkamata kaka kwa kumpiga mama Vick na kumteka Vick. Mama Vick alipoona hali ya mtoto wake alianza kulia kwa sauti ha juu huku akimwomba yule bibi mganga aweze kumponyesha mwanae. Mganga alimwambia anyamaze kama anataka uchizi…

Read More

BOSS NAONA AIBU ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 11 “Nilipomaliza kidato cha sita kabla ya kuingia chuoni, baba alioa mwanamke mwingine, huyo aliharibu furaha ya mama na kutibua kila kitu kwenye familia yetu, familia yenye furaha na amani iligeuka familia yenye migogoro mingi sana, baba akawa analala nyumbani siku chache na siku nyingi anakwenda kulala kwa huyo mwanamke mdogo, aliyafanya hayo kwakua alipata pesa zake nyingi za mafao ya uafisa kilimo, kazi ambayo aliifanya kwa miaka mingi. Baba angu alibadilika sana hata mimi nilipoingia chuo, kuzipata pesa zake zilikua kwa manati sana, mama alianza…

Read More

BOSS NAONA AIBU ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 6 “Sam unafanya nini eti, kwanini hivi lakini?” Saraphina aliongea huku akianza kulia, hakuwepo wakati sisi tunacheza, aliporudi alitukuta tumekumbatiana kwwa mahaba mazito, alitaka kunipiga lakini Sam alinikwepesha na kuniweka upande mwingine. Watazamaji walizidi kushangazwa na jambo hilo, bado Sam alitaka kulazimisha kuendelea kunikumbatia, Saraphina alikua anazuia huku akilia kwa kilio kikubwa sana. Watu wawili wafanyakazi pale ofisini walimwomba Sam aachane na swala la kunikumbatia, kila kitu kiliharibika hapo hapo ikabidi turudi hotelini hatukulala tena kwenye mahema kama tulivyotarajia “Naomba unisamehe Tedy kwa kilichotokea, kama itawezekana…

Read More

BOSS NAONA AIBU ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 1 “Dada naona unaumia shingo unaweza lala kwenye bega langu ili upate kupunguza maumivu ya shingo yako kaka alieksa pembeni yangu ndani ya gari, aliniambia kwa utaratibu na sauti yenye kujiamini, nilitabasamu kidogo na kumshukuru nikweli nilikua naumia shingo, taratibu nilijilaza kwenye bega lake, bega lilikua na nyama nyingi hivyo sikulalia mifupa, nyimbo ya taratibu iliyokua inapiga ndani ya gari Ilinifanya nipate usingizi mwanana. Huo ulikua msaada wa pili kutoka kwa kaka huyo kwani, msaada wa kwanza ulikua wa kuniachia siti ya dirishani, safari ya kuelekea…

Read More

Mbunge Afariki Baada ya Kumgonga Tembo Mbunge wa upinzani nchini Zimbabwe Desire Moyo amefariki dunia baada ya gari alilokuwa akisafiria kumgonga tembo, vyombo vya habari vya nchini humo vimeripoti. Ajali hiyo ilitokea alfajiri ya Ijumaa, Oktoba 10, 2025, asubuhi wakati Moyo na wabunge wengine wanne walipokuwa wakisafiri kwenye barabara kuu ya Bulawayo-Gweru, kulingana na shirika la utangazaji la serikali ZBC. Alifariki papo hapo huku wabunge wenzake wakiachwa wakiwa wamejeruhiwa, chombo cha habari kiliongeza. Pongezi nyingi zinazidi kumiminika kwa mshairi huyo maarufu, anayesifiwa kwa mchango wake katika sanaa, ambaye alifariki siku moja kabla ya kutimiza miaka 46. Alikuwa mwanachama wa chama…

Read More

Mwanamke Aanguka na Kufa, Akiwa Kwenye Mtoko wa Kimapenzi Kijana mmoja kutoka Kimilili, Kaunti ya Bungoma, anatatizika kukubaliana na kifo cha ghafla cha mpenziwe, Edith Nanjala Ajuma, aliyeaga dunia katika hali ya kuhuzunisha baada ya kutoka kimapenzi. Kulingana na mpenzi wake, Emmanuel Makokha, wawili hao walikuwa wameenda matembezini mkasa ulipotokea. Alisema walipokuwa wakitembea, Nanjala aliteleza na kuanguka. Alipojaribu kuinuka, alianguka tena, akaumia mkono na kutengua mguu wake. Makokha alisema walikimbilia katika zahanati ya jirani kwa ajili ya kupata huduma ya kwanza, ambapo Nanjala alitibiwa na kupewa dawa. Baadaye alirejelewa katika hospitali ya kaunti ndogo baada ya hali yake kuwa mbaya.…

Read More

HATUA ANAZOPITIA BINTI WA KISASA KUTOKA USICHANA HADI UTU UZIMA Chanzo: Jamii Forums Zifuatazo ni hatua ambazo mabinti wa kisasa a.k.a watoto wa 2000 wana possibility kubwa kupitia kwasababu hata dada zao watoto wa 1980’s na wa 1990’s wamepitia tayari na sasa wanalipia hesabu yao ya kukengeuka kama wendawazimu. UMRI KUANZIA MIAKA 16 HADI MIAKA 26.Hii ndio stage nyeti na takatifu sana kwenye maisha ya mtoto wa kike popote ulimwenguni ambayo kama ataienda kwa namna MUNGU ameelekeza basi mafanikio yake huwa ni ya uhakika huko mbeleni ila akikengeuka then matokeo yake ni kama ifuatavyo: Kuanzia miaka 16 hadi miaka 20…

Read More

BINTI, JIANDAE KUWA SINGLE MOTHER, UKIWA NA HIZI DALILI Chanzo: Jamii Forums Huu ujumbe nawalenga mabinti kati ya umri wa miaka 15 hadi 26 kwasababu ndio ujumbe unaweza kuwasaidia maishani mwao wasije kuingia mkenge wa kuingia mkosi na laana ya kuwa single mother. Sote hadi sasa tunakiri kuwa usingle mother madhara yake ni makubwa sana kwa wanawake wenyewe especially eneo la afya ya akili na mwili lakini pia kwa jamii kwa ujumla, hakuna faida wanayoipata kwa ongezeko la wanawake wanaoishi wenyewe bila wanaume. Zifuatazo ni dalili ambazo wewe kama binti ukiziona then jua shetani yupo kazini kukuandaa uje kuwa single…

Read More