BOSS WANGU WA SAUDI ARABIA ALINIFUNGIA KWENYE FRIJI KWA SIKU MBILI BILA CHAKULA WALA MAJI Simulizi Ya Kweli Katika ufunuo wa kuhuzunisha na wa kijasiri, Susan Njoki ameshiriki masaibu yake ya kuhuzunisha nchini Saudi Arabia, akifichua ukweli wa kusikitisha unaowakabili wafanyakazi wengi wahamiaji wanaotafuta fursa bora nje ya nchi. Jinamizi la Njoki lilianza alipojaribu kutoroka kutoka kwa mwajiri wake baada ya kuvumilia kuteswa kila mara, kucheleweshewa mishahara, na kunyanyaswa. Jioni moja, aliagizwa atoe takataka – kazi iliyoonekana kuwa ya kawaida ambayo alitarajia kuigeuza kuwa njia ya kutoroka. Akiwa amevalia nguo za ziada chini ya sare yake, Njoki alijaribu kutoroka, bila…
Author: Raha Special
CHUKI YA MAMA Part 3 Mama hakutaka hata kuwasiliana na mimi zaidi ya kuninenea maneno machafu kwa ndugu zake, bahati nzuri mume wangu alipata kazi kwenye hospital kubwa ya rufaa bugando, nikabahatika kubeba mimba nikalea hadi nikajifungua salama mtoto wa kiume, bila mama kufika japo taarifa alikuwa nazo ila nikapanga nikikaa sawa ntaenda nyumbani. Mtoto alifikisha mwaka nikapata ajira lakini nikaendelea na ushonaji wangu.Tulienda nyumbani wakanipokea nikamuomba msamaha yakaisha wakamuita mwanaume akajitambilisha akatoa ng’ombe 10, bibi hakupewa hata 1 wala wajomba hata sufuria na vitenge hawakupewa hata kina mamdogo waliokuwa wakinibeba mgongoni.Baada ya mahari mama alikuwa akinihitaji akiwa tu na…
CHUKI YA MAMA Part 2 Nilisoma chuo miaka miwili nikarudi mtaani kusaka ajira, kipindi nasubiri ajira nilifungua office ya ushonaji huku nikimsaidia bibi, baada ya mwaka nilijitegemea nikapanga karbu na bibi maana ilifika mda wajomba wakaoa pale nyumbani familia ikawa kubwa na makazi yakawa hayatoshi.Hivyo nikaomba nipange nikaruhusiwa nikapanga, nilikuwa na mchumba ila alikuwa masomoni bado. Mwaka 2018 mchumba wangu akahitimu mafunzo ya udaktari akarudi nyumbani aliponikuta nimepanga alinishauri tuishi pamoja ili akipata kibarua aende nyumbani kujitambulisha, niliishirikisha familia wakaniambia tu niwe makini siku hizi watu wanabadilikaga.Tulianza lasmi kuishi pamoja na mchumba wangu, miaka miwili hakuwahi kupata kazi ila kwa…
CHUKI YA MAMA Part 1 Naitwa Clara nina miaka 29 ni mtoto wa kwanza kuzaliwa kati ya watoto 8, mama yangu alizaa kabla ya kuolewa hivyo alizalia nyumbani kwao na aliyempa mimba hakuweza kumoa maana alikuwa mme wa mtu, baada ya mimi kufikisha miezi minane mama yangu aliolewa na mwanaume mwingine na kuanza maisha mapya mimi aliniacha nyumbani kwao yaani ujombani.Niliishi na wajomba na mama wadogo ndio walikuwa wakinilea huku bibi akijitahidi kunihudumia maana alikuwa mtumishi wa serikali.Niliishi mda mrefu sana bila kuona mama hadi nikaamini bibi ndo mama. Baada ya kutimiza miaka kumi ndo mama alikuja kiniona nikiwa darasa…
KWA MAPENZI HAYA LAZIMA TU NIMSALITI – FULL STORY ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi EPISODE 1 – 46 .. Hadithi ina Season Mbili Season 1 na Season 2 .. SEASON ONE Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: KWA MAPENZI HAYA, LAZIMA TU NIMSALITI 1 – 5 KWA MAPENZI HAYA, LAZIMA TU NIMSALITI 6 – 10 KWA MAPENZI HAYA, LAZIMA TU NIMSALITI 11 – 15 KWA MAPENZI HAYA, LAZIMA TU NIMSALITI 16 – 20 .. SEASON TWO Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: KWA MAPENZI HAYA, LAZIMA TU NIMSALITI 21 – 25 KWA MAPENZI…
Alinibaka Akiamini, Atapata Kinga Ya Maradhi Simulizi Ya Kweli Chanzo: BBC Regina Mary Nlodvu anasema alikuwa akicheza katika bustani yake, mbele ya nyumba wakati aliponyanyaswa kingono kwa mara ya kwanza na mwanamume ambaye aliyekuwa anamuamini. “Alinipa pipi na kuniomba niketi kwenye paja lake,” anakumbuka. “Na nilipofanya hivyo, alinyoosha mkono wake na kunyenyua nguo zangu na kuninyanyasa.” Regina anasema hii ilikuwa mara ya kwanza kunyanyaswa kingono – akiwa na umri wa miaka minane – lakini haikuwa mara ya mwisho. Anasema mwanamume huyo huyo alirudi nyumbani kwake Ennerdale, Afrika Kusini, kwa kisingizio cha kuwatembelea wazazi wake na kumnyanyasa kingono na kumbaka mara…
“Nilipewa Dawa ili Nirefuke” Msichana mfupi zaidi Kenya Simulizi Ya Kweli Chanzo: BBC Alice Mbere mwenye umri wa miaka 27 kutoka nchini Kenya ni mtoto wa tano kati ya watoto 9 katika familia yake. Alizaliwa na kilo za kawaida lakini alipofika umri wa miaka mitano ndipo wazazi wake waligundua kuwa hana urefu wa kawaida, hapo ndipo wakaanza kutafuta ushauri kupitia madaktari tofauti. “Nakumbuka daktari mmoja alinipa dawa ya kunywa asubuhi na jioni akisema nitarefuka, lakini dawa ziliisha na kimo changu bado kilisalia pale pale,” alisema Alice. Alice aliendelea kutusimulia kwamba kila daktari alikua na maoni tofauti. Wengine walisema ana matatizo…
KWA MAPENZI HAYA LAZIMA TU NIMSALITI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi SEHEMU YA 41 Muda huo nilikuwa nipo kazini kwangu, kutokana na kuvurugwa nilisimama kisha nilianza kujizungusha huku na huko; vijana wangu wa kazi walibaki wananikodolea macho tu, wengine walinionea huruma kwa sababu waliniona nimevurugwa. Licha ya kuchanwa makavu lakini nilihisi Docra ananitania tu, nilimpigia nikitaka anikatae kwa maneno ya mdomo wake; kwa bahati mbaya nilikuta namba yake haipatikani, sikujua kama ameniblock au amenizimia simu. Kwa jinsi ambavyo niliwehuka hata kichaa alikuwa ana afadhali. Licha ya kuoa lakini niliupenda mchepuko wangu kuliko hata mke wangu,…
KWA MAPENZI HAYA LAZIMA TU NIMSALITI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi SEHEMU YA 37 Sala yangu ilitumia dakika 15, hatimaye zilibaki dakika 15 Docra aondoke, nilitoka nje nilizama kwenye gari yangu kisha niliondoka kwa kası ya ajabu. Si unajua tena mambo ya dar foleni, bası nikiwa nakaribia hotelini njiani nilikutana na bonge la foleni ya magari, nilisubiri nikidhani foleni itapungua lakini wapi, nilitazama saa zilibaki dakika 7 Docra aondoke. Weuwee! Unajua kuvurugwa? Nilipagawa hadi nilijionea huruma. Nilisogeza gari kwenye parking ya benki flani kisha nilishuka, nilianza kukimbia kuelekea hotelini, nilichapa mwendo hadi mjengoni, hatimaye zilibaki…
KWA MAPENZI HAYA LAZIMA TU NIMSALITI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi SEHEMU YA 31 “Mke wangu nahisi kuvurugwa, Joshua hajanitumia pesa ya mzigo uliopita pia nimemtumia mzigo mwingine, mbaya zaidi hapatikani” “Labda ni changamoto tu za mawasiliano, Joshua mbona hana shida yoyote” “Lakini ni zaidi ya mwezi unakatika ananizungusha tu, hapatikani wasap wala facebook, amepotea kabisa” “Usijali, tusubiri kwanza” Siku zilikatika Joshua hakupatikana. Nilikumbuka siku moja Docra aliniambia niwe makini na Joshua, kwa mbali nilianza kuhisi kutapeliwa. Mke wangu aliniambia nikatoe taarifa polisi, nilielekea kituoni waliniambia watawasiliana na polisi wa marekani lakini siku zilikatika na…
KWA MAPENZI HAYA LAZIMA TU NIMSALITI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi SEHEMU YA 26 Licha ya Docra kunisubiri kitandani lakini mi sikwenda; nilimuogopa Israeli. Mara simu yangu iliita nilipigiwa na mke wangu, nilitamani kukata simu ila niliiacha, simu iliita hadi ilikata. Alinitumia meseji aliniambia nipokee haraka kuna kitu anataka kuniuliza. Alinipigia nilipokea, nilijifanya kama nimetoka kulala vile kumbe sikuwa na lolote, aliniuliza kama nimefika Dar nilimwambia ndiyo, ila mke wangu naye ana mambo ya kitoto kweli; eti kwanza alinipiga mabusu ya kwenye simu kisha aliniambia na mimi nimpige busu la kumtakia usiku mwema. Nilishindwa kufanya…
KWA MAPENZI HAYA LAZIMA TU NIMSALITI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi SEASON TWO Sehemu ya 21 “Wewe nini jamani” Niliongea nikiwa na furaha, nilijidai kama sijui vile, kumbe nilijua kuwa Docra kapagawa kwa ujumbe wangu “Derick, ni wewe ndiye umenitungia ule ujumbe au umeniforwadia?’ “Nimekutungia mimi mwenyewe, na ndio maana uliona nachelewa kujibu meseji yako” “Mi nilidhani hutaki kunijibu, kumbe ulikuwa unaniandalia meseji nzuri kiasi hiki? Asante Derick, umefanya asubuhi yangu iwe nzuri..Naomba kila siku asubuhi uwe unanitumia meseji nzuri kama hizi” “Sawa usijali nitakutumia” Docra alinitazama usoni kwa muda mrefu kisha alinikumbatia kwa nguvu,…
MWANAFUNZI AKUTWA NA NYOKA BWENINI “Aliniambia Nitoke Nje”: Mwanafunzi wa Kike Ajawa na Hofu Baada ya Kugundua mwenzake (Room Mate) Ameweka Nyoka Kwenye Begi. Habari inayoendelea kwenye Mitandao imewaacha watu wengi vinywa wazi baada ya mwanafunzi wa chuo kikuu nchini Kenya, kuzua tukio la kuogofya na mwenzake. Kulingana na Mwanafunzi huyo, siku ambayo ilianza kama kawaida katika hosteli yao iligeuka kuwa eneo la kutisha baada ya kugundua kuwa mwanafunzi mwenzake alikuwa akihifadhi nyoka katika bweni lao. Mwanafunzi huyo alisema alikuwa akipanga nguo zake alipogundua kitu kikitembea ndani ya kabati la nguo la mwenzake. Kwa udadisi, aliamua kuangalia, na kuona nyoka…
HOUSE BOY DUDU NDANI YA CHUPI – FULL STORY ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi EPISODE 1 – 10 Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: HOUSE BOY, DUDU NDANI YA CHUPI 1 – 3 HOUSE BOY, DUDU NDANI YA CHUPI 4 – 6 HOUSE BOY, DUDU NDANI YA CHUPI 7 – 10
Mwalimu Mrembo Afariki Kwa Ajali Ya Pikipiki Wingu jeusi limetanda katika kaunti ya Nandi kufuatia kifo cha ghafla cha mwalimu kijana aliyepoteza maisha katika ajali mbaya ya barabarani alipokuwa akielekea nyumbani. Mwalimu huyo aliyetambulika kwa jina la Naomy Jelimo anayefahamika kwa jina la Nikita, alifundisha katika Shule ya Msingi ya Nandi Hills na pia alikuwa akiendeleza masomo zaidi katika Chuo Kikuu cha Mount Kenya. Alielezewa kama mwalimu mwenye shauku ambaye uchangamfu na kujitolea kwa wanafunzi wake kulimfanya kuwa chanzo cha msukumo ndani na nje ya darasa. Kulingana na ripoti kutoka eneo la tukio, Naomy alikuwa akiendesha pikipiki mjini Eldoret alipogongwa…
HOUSE BOY DUDU NDANI YA CHUPI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi SEHEMU YA 7 “”””Mzee Kimola aliona awapige picha kwanza Mama Amina na Lauson bila wao kujua, kisha akawa amempigia Mzee James simu iliita kwa mda ikawa imepokelewa,sauti ilisikika upande wa pili,Mzee James Hallo! Mzee Kimola Habari yako? Mzee Kimola alijibu salama bana, uko wapi ndugu yangu Mzee Kimola aliuliza. “””‘”Mzee James alimjibu niko nyumbani saivi nimesha toka kazini,niambie ndugu yangu upo njiani unakuja kuniona au? Mzee Kimola alitabasamu kidogo akasema hapana ndugu yangu ila kuna mtu nimemuona hapa katika gesti ya” Kibalo” kafanana sana…
HOUSE BOY DUDU NDANI YA CHUPI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi SEHEMU YA 4 “”””Lauson alikubali kwenda kuonana na Catherine kwani asingeweza kukata kwenda ukizingatia Lauson alikuwa na hamu sana na Catherine,kutokana na mda kupita bila kuhonja kitumbua cha Mwanamke yeyote. “””” Lauson alipiga maji kwa haraka zaidi ili apate kwenda kuonana na Catherine,alipomaliza kuoga alitupia pamba kali na ukizingatia mwili wake uliokuwa, ukifiti kila nguo aliyokuwa akivaa alitupia jinzi, t-shirt na na laba kali yenye rangi nyeupe. ”””Lauson aliwaaga Martha na Amina kwani ndio walikuwa nyumbani hapo ,aliwaaga akiwaambia kuwa kuna rafiki yake wa…
HOUSE BOY DUDU NDANI YA CHUPI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi SEHEMU YA 1 Ni majira ya Asubuhi na mapema Mama Amina aliiaga familia yake wakiwemo watoto wake wakike watatu na mme wake ,alikuwa na safari ya kwenda Morogoro kumtembelea Shangazi yake aliyeitwa Theresia,Asubuhi hiyo aliweza sindikizwa na mme wake ambaye aliitwa James Esau. James Esau alimsindikiza mke wake hadi stendi ya magari kwa ajiri ya safari hiyo,alipo mfikisha stendi ya mabasi ya Ubungo waliagana Mama Amina akawa amepanda gari ya kwenda Morogoro ,saa kumi na mbili asubuhi basi hilo lilianza safari yake. “”””Mama Amina…
KWA MAPENZI HAYA LAZIMA TU NIMSALITI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi SEHEMU YA 16 “Sio kitu, nipo kawaida tu…hivi ule mzigo hawawezi kuiba kweli?” Niliamua kubadili mada “Hawawezi, ile ni kampuni ambayo inaaminiwa na watu wengi, yaani hata ukikaa mwaka mmoja lazima mzigo wako utaukuta. Hata hivyo bado haujafika, si unajua tena meli ina bandari nyingi? Tutegemee baada ya siku 28 au 30 mzigo utafika” Tuliendelea kupiga stori, jioni ya siku hiyo niliruhusiwa nitoke nje kwaajili ya kufanya mzoezi madogo madogo kama kutembea, kunyosha mikono juu na kadhalika. Joshua ndiye alikuwa akinisaidia kufanya mazoezi hayo,…
KWA MAPENZI HAYA LAZIMA TU NIMSALITI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi SEHEMU YA 11 “Ningekuwa nataka ufe si ningekuacha uliwe na mamba” Aliniambia mara baada ya kuona naogopa kunywa maji. “Sasa kwanini umetia mizizi na majani? Hayatonidhuru kweli?” “We kunywa, hii ni dawa. Babu yangu anaishi Arusha, yeye anajishughulisha na mambo ya tiba asili. Kuna siku ikitokea mama kanihudhi huwa naenda Arusha kwa babu, huko ndiko ambako huwa ananionyesha hizi dawa. Huu mzizi na majani yanaondoa sumu ya mamba, tena kunywa haraka kabla haijasambaa” Baada ya kuambiwa hivyo sikutaka kuchelewesha, nilivuta kopo kisha nilijimiminia maji…
KWA MAPENZI HAYA LAZIMA TU NIMSALITI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi SEHEMU YA 06 “Kufa wewe ambaye huna faida, mbwa koko wewe, wa matopeni, kenge mmoja, chitokonya husiyependwa, sijui hata kwanini nilipanda hii ndege ambayo wewe upo, natamani hata huko marekani nisiende kwa sababu sitaki kukaa nchi moja na katili kama wewe, hata hii sayari ya dunia ni bora nihame niende nikaishi Pluto huko!” Mdada aliendelea kunishushia maneno mazito akiwa ananitemea mate. Mwanzoni mlinzi alitumia ustaarabu kututuliza lakini baadae aliamua kutumia nguvu, alichomoa pingu kisha alimfunga yule dada; alimpa ishara atulie hasipige kelele. Hata hivyo…
KWA MAPENZI HAYA LAZIMA TU NIMSALITI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi SEASON ONE Sehemu ya 01 Kwa majina naitwa Derick Mwakasungura, mimi ni mkazi wa kyela jijini Mbeya. Nina mke na mtoto mmoja wa kike aitwaye Monica, hiyo imenifanya mtaani nifahamike kwa jina la baba Monica. Kazi yangu kubwa ni kilimo, huwa nalima mpunga, nakoboa kisha nauza mchele kwa wanunuzi mbalimbali. Maisha yangu sio mabaya sana wala sio mazuri sana, ila namshukuru Mwenyezi Mungu kwa sababu nina uwezo wa kumudu gharama nyingi, nalea vizuri familia yangu, mwanangu anasoma sekondari bila shida, m ke wangu anapendeza…
TAJIRI AMBAYE KWA SASA ANAOKOTA MAKOPO Leo nataka nakupe kisa cha kweli cha rafiki yangu wa O-level. Mwamba huyu aliyetoka familia ya kawaida kabisa, lakini alikuwa na kiu ya mafanikio isiyo na mfano. Tukiwa shule hakuwa mwanafunzi wa kushika namba za juu, lakini kila mara alikuwa akisema, “Siku moja nitakuwa tajiri mkubwa kuliko walimu wetu wote.” Alikuwa mtu wa maono makubwa, jasiri, na mpenda starehe hata kabla ya kuanza kupata pesa. Lakini huwezi kumtazama leo bila kuona athari za maamuzi aliyofanya alipokuwa na tamaa ya mafanikio ya haraka.Baada ya kuhitimu sekondari, tulipoteana kwa muda. Miaka mitatu baadaye nikaambiwa yupo mkoa…
PANUA POCHI NIPANUE MATAKO – FULL STORY ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi EPISODE 1 – 10 Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: PANUA POCHI, NIPANUE MATAKO 1 – 5 PANUA POCHI, NIPANUE MATAKO 6 – 10
KHA WEWE KAKA WENZAKO HAWAGONGI HIVYO – FULL STORY ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi EPISODE 1 – 19 Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: KHA.. WEWE KAKA, WENZAKO HAWAGONGI HIVYO 1 – 5 KHA.. WEWE KAKA, WENZAKO HAWAGONGI HIVYO 6 – 10 KHA.. WEWE KAKA, WENZAKO HAWAGONGI HIVYO 11 – 15 KHA.. WEWE KAKA, WENZAKO HAWAGONGI HIVYO 16 – 19
SHEMEJI NIMETEGEKA ASANTE – FULL STORY ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi EPISODE 1 – 23 Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: SHEMEJI NIMETEGEKA ASANTE 1 – 5 SHEMEJI NIMETEGEKA ASANTE 6 – 10 SHEMEJI NIMETEGEKA ASANTE 11 – 15 SHEMEJI NIMETEGEKA ASANTE 16 – 20 SHEMEJI NIMETEGEKA ASANTE 21 – 23
PANUA POCHI NIPANUE MATAKO! ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Episode 06 Basi baada ya dakika kama kumi, waliwasili vijana hao, walikuwa wakinukia marashi mazuri mno, walikuwa wasafi na wazuri kuwatazama. Mmoja alikuwa na nywele ndefu mweupe, mwingine alikuwa mweusi, “Huyu mweupe simtaki, bora aje mweusi, mimi na weupe hapana!” nilijisemea hivyo motoni kisha Mungu akajibu maombi yangu, akanifuata yule mweusi. Kabla hata ya shoo walinyanyuka na kutoa kitita cha pesa kisha kuanza kuzimwaga, yule mweusi alitoka nje na kwenda kuchukua kitita kingine kwenye gari, aliporudi alianza kugombana na mwenzake, “Imekuwaje? Utanirudishia hela zangu!” yule mweupe…
PANUA POCHI NIPANUE MATAKO! ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Episode 01 Hivi kwenye maisha kipi muhimu zaidi? Pesa, kufuata sheria za Mungu, mapenzi, au umaarufu? Jibu baki nalo mwenyewe, ila la kwangu ni pesa, tena bila kupepesa macho. Maisha magumu, hakuna chanzo cha kipato cha kueleweka, leo kushiba kesho kushinda na hisia iliyoitwa njaa, hayo ndiyo yalikuwa maisha yetu. Wazazi wangu walinipa jina la Tuli ila binafsi nilijiita Tuu, jina lililokubalika zaidi. Kusema kweli nilikuwa mzuri na sikuringa, nilikuwa kidato cha tatu wakati huo. Nilishaanza kutombwa muda mrefu tu tangu nikiwa kidato cha kwanza. Hukuweza…
KHA WEWE KAKA WENZAKO HAWAGONGI HIVYO ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Namba 16 👉 Niliamua kufanya ivi…👇 Nilimtia dole la kwenye kuma Fatma. ” Fatma akasema mkunyembe unanitia dole kavu kavu utanichuna mwenzio. ” Kwa sababu awa wanapenda kufanya mapenzi bira kufumbua macho ndio maana anaisi dole la mkunyembe. Yani yeye kalala arafu kafumba macho. ” Nikasema Leo namuweka dole la mkunduni uyu yeye si anatombwa kizamani. Kufumba macho unaona aibu wakati wote mnakuwa uchi unamuonea aibu nani?. ” Nilimfunika na mto usoni. Ili asione vizuri. ” Nikampa ishara mkunyembe akae nyuma yangu anifire mimi…
KHA WEWE KAKA WENZAKO HAWAGONGI HIVYO ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Namba 11 👉 dah yani…👇 Dulla akawa kama amenistukia nataka nijifire mwenyewe yani nichukue mboo niweke mkunduni. ” Naona ananiambia vee umelewa sana mpaka unakosea uko sio utaumia vee wangu. ” Moyoni nasema wewe ujui tu kama mimi nimedhamiria ila nikaenda na akili yake nikamwambia sawa. ” Dulla akaingiza kwenye kuma na mimi nikaikalia yote mpaka mwisho. Jamani nilianza kukata uno la kukusanya pumbu za dulla uku namfinyia kwa ndani. ” Dulla akaanza kuchezea maziwa yangu uku mimi nachezea kifua chake. Jamani ananitomba kwa…
KHA WEWE KAKA WENZAKO HAWAGONGI HIVYO ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Namba 6 👉 Naona Fatma ana…👇 Shanga za njano na kijani. Arafu yeye ni SHABIKI wa simba ndio akanishangaza sasa. ” Jamani helman alipoziona shanga tu akamwambia Fatma geuka. ” Aliniuzi yani mimi sijakagua kuma ya Fatma yeye kashamgeuza ageuke arafu abong’oe. FATMA kwa nyuma yupo vizuri matako yake ayajapata misuko suko sana ya sindano ayana vishimo shimo. ” Jamani sasa helman kutomba ajui. Yani kampaka mate Fatma kwenye kuma. Yani kizamani kweli mwanamke apakwi mate mwanamke anachezewa mpaka kuma yenyewe inatoa utelezi inakuwa…
KHA WEWE KAKA WENZAKO HAWAGONGI HIVYO ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Namba 1 unaniita vee mimi au masikio yangu. ” Yule mkaka akasema vee wewe kwani kuna vee wangapi kiwalani hii. ” Nikamjibu tupo wengi aya niambie unasemaje?. ” Samahani vee naitwa juma ila kwa jina lengine unaweza ukaniita Abdallah. ” Nikamwambia mimi sina muda wa kukujua ulikuwa unasemaje majina mengi utadhani wewe pesa pesa ndio ina majina mengi peke yake aya niambie ulikuwa unasemaje?. ” Vee mbona umekuwa mkari mimi kosa langu nini kujitamburisha au?. ” Nikamwambia samahani dulla nataka niwai mimi zangu bar…
NILIKULA NAULI YAKE MARA TATU KUMBE NI MJEDA – FULL STORY Hadithi Ya Kweli EPISODE 1 – 21 Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: NILIKULA NAULI YAKE MARA TATU KUMBE NI MJEDA 1 – 5 NILIKULA NAULI YAKE MARA TATU KUMBE NI MJEDA 6 – 10 NILIKULA NAULI YAKE MARA TATU KUMBE NI MJEDA 11 – 15 NILIKULA NAULI YAKE MARA TATU KUMBE NI MJEDA 16 – 21
JINSI UKIMYA ULIVYONIPA NDOA – FULL STORY Simulizi Ya Kweli EPISODE 1 – 16 Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: JINSI UKIMYA ULIVYONIPA NDOA 1 – 5 JINSI UKIMYA ULIVYONIPA NDOA 6 – 10 JINSI UKIMYA ULIVYONIPA NDOA 11 – 16
SHEMEJI NIMETEGEKA ASANTE ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu ya 21 👉 wakachukua pesa na kuondoka kwenye jiji, Dah yani…👇 Kaka anajua pesa hipo wapo hotelini sasa na pesa kidogo wanafanya mahaba yao, Yani sauda lipende anamwigizia kaka kama anampenda kweli, Uku kichwani mwake anawaza kupanda ndege kwenda uharabuni, Na kaka anawaza kutafuta biashara ya kufanya na pesa kidogo atafute japo kibanda cha vyumba vitatu maisha yahendelee, Sasa wote wapo na mawazo yasiokamirika, Sauda anampa penzi kaka moyoni anasema ndio la mwisho mwisho hili utaisoma namba. Kaka yeye anashindua tu kwa raha zake anajua pesa…
SHEMEJI NIMETEGEKA ASANTE ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu ya 16 👉 Sasa hapo kidume nikasema acha nianze kumpamp uyu, Dah yani…👇 Fatma kumbe alikuwa na hamu ya kunyanduliwa, Maana anakata uno arafu utelezi kama wote na mimi nikampa uno mchimbuko, Yani kama kwenye ndondi Basi ngumi ya ndoige ya mandonga ukienda kushoto unayo ukienda Kulia unayo ngumi inakata kona, Ndio mimi nilikuwa nampa uno ilo uku mpini unafanya mambo ya ndoige yani akikata kiuno anayo akiacha kukata anayo, Inachimbua tu akawa anatoa miguno kama ana akili mzuri mto aliouweka usoni kautupa uko, Mimi nikampelekea…
SHEMEJI NIMETEGEKA ASANTE ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu ya 11 👉 Kaka anaona namba ya sauda lipende na sms ametumiwa za mapenzi kijasho chembamba kikamtoka sasa anajiuliza atamwambiaje mkewe hili aelewe somo, Ni mtihani mzito upo kwa kaka dah yani….👇 Kaka akatumia akili ya kiume yani akaunda story ya uongo pale pale akamwambia shemeji, ” Samahani hii sms sio yangu itakuwa ya rafiki yangu Jana unajua usiku atukuweza kuruhusiwa kuingia na simu kazini sasa nilimuachia simu rafiki yangu mmoja ambaye yupo karibu na kazini, Na aliniambia simu yake imeisha chaji anaomba achati na mwanamke…
SHEMEJI NIMETEGEKA ASANTE ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu ya Sita 👉 Jamani nilichokiona sikuamini macho yangu, Kaka anafany….👇 Kaka anafanywa bwege nazi macho matatu kuona aoni, Yani shemeji anamwambia kaka, ” Samahani nipo kwenye siku zangu lala uko. ” Kaka akasema poa. ” Arafu akageukia pembeni ya ukuta kama fundi rangi, Mimi nikacheka arafu moyoni nikasema kweli mwanamke ni mwanamke yani tunajiisi Sisi ni wajanja sana kumbe wao wana ujanja kimya kimya akuna anayejua, Sasa kaka si kapigwa changa la macho, Basi nikaenda kulala kwa raha zangu kaka anyandui mkewe. Basi asubui shemeji akaamka…
SHEMEJI NIMETEGEKA ASANTE ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu ya kwanza Aroo kaka.. ” Niambie mdogo wangu juma. ” Kaka unajua mama sasa Ali yake sio mzuri sana imefikia atua anapelekwa chooni na majirani na mimi najua majirani watamsaidia mwanzo huu mwishoni awataweza, Na ukiangaria Sisi atuna dada kaka wewe umeoa fanya jambo. ” Mdogo wangu juma mimi naona shemeji yako ndio abebe hili swala la kuja kumsaidia mama kwa sababu atuna dada na tukisema kweli tutegemee jirani ndio awe anamsafisha mama sio kweli, Acha nionge na shemeji yako kesho aje uko kijijini ila zingatia…
NILIKULA NAULI YAKE MARA TATU KUMBE NI MJEDA Episode 16 Sikutaka kubweteka kama bwana ndio kaanza kunielewa namna hii ni muda wa mie pia kuonesha manjonjo yangu ✋ Kwenye friji lake kulikuwa na nyama, kwenye kapu dogo lililokuwa jikoni lilijaa maungo mbalimbali. Sijui ni sifa au ni nini nilijikuta nikiweka maungo mengi utadhani ni sifa hivi 😁 sikuwa hata nikisoma maelekezo nilichotaka Mimi ni nyama kunukia. Navyo penda ubwabwa mie, niliukalia ipasavyo mpaka nilipo hakikisha umeiva. “Chakula kimeiva karibu 🤗” Nilimtumia ujumbe “Ahsante, kaoge pia na wewe baada ya kumaliza chakula nitaishambulia K yako 😋” Khalid alinitumia ujumbe ulionishtua moyo…
