Author: Raha Special

KAHABA MLOKOLE Sehemu ya 16 “ nitaoa mama kuna mwanamke ninae so tukiwa tayar tutafunga ndoa, akawa anajibu Julius nikamuomba mlinzi akaniitie Julius, kweli aliingia ndani na baada ya dakika chache Julius alitoka nje, na kumbe mama yake nae alitoka nae kutka kujua ni nani alimuita, ndio akaniona ni mimi… Aliponiona akanikaribisha ndani kwa bashasha, kisha akaniletea kinywaji kisha akasema “ naomba unambie kwanini haufungi ndoa na mwnangu mpaka sasa, naomba unambie ni jambo gani ambalo linawazuia nyie kuoana? Akauliza mama yake Julius , nikabaki nimetoa macho ila Julius akanionesha ishara kuwa natakiwa kukubaliana na mama yake, ikabidi nijichekeshe kisha…

Read More

KAHABA MLOKOLE Sehemu ya 11 Nilishtuka sana kwanini Julius na japhet wapo ninapoishi, yaan Julius aliponiona akaja na kunikumbatia, nikajua kila kitu kimeshaharibika, na japhet alikuwa kimya anaangalia mambo yanavyoenda , “ ulikuwa wapi mamaa, na kwanini ulihama bila kunambia, haujui umeniweka kwenye wakat mgumu kiasi gani wewe mwanamke, kwanini hata haukunambia, haya nipe hata hio namba ya dada yako ili usije ukanikimbia tena, akasema Julius Nilishindwa kujitetea kwa maana nilikuwa sielewi kwanini japhet kafanya vule, na wakat wote ambao japhet alikuwa pale, alikuwa kimya na alionekana kama hanifahamu kabisa, akawa anaasema kuwa “ umefanana sana na rafiki yangu, hata…

Read More

KAHABA MLOKOLE Sehemu ya 6 Sasa usingizi ukawa unagoma kabisa kuja akatoka kwa kunyata kutoka katika chumba ambacho alikuwa amelala na kuanza kutafuta nilipo…. Siku hio nilikuwa kwenye siku zangu, hivyo sikuweza kumkubali mwanaume yoyote Yule kwaajili ya kulala nae, sasa kuna muda nikawa nimetoka naenda zangu uani, sasa wakat natoka uwani nikashangaa nashikwa mkono, nilipogeuza macho alikuwa ni Julius, “ unataka nini wewe muda huu? Ikabidi niulize “ nataka huduma, akajibu Julius kwa sauti ya kujiamin… “ huduma gani wewe mwanaume, embu achana na mimi, na kwanza leo nipo kwenye siku zangu, nikawa kama najitetea… “ ndio nina hamu…

Read More

KAHABA MLOKOLE Sehemu ya 1 Siku moja nilikuja kustuka nimeamka na pemben yangu kulikuwa na mwanaume ambae sikuwa namfahamu, mwanaume huyo alikuwa amelala, na nilipo jiangalia nikaja kugundua kuwa alikuwa amelala na mimi, kiukweli haikuwa mara yangu ya kwanza kulala na wanaume ila kikawaida huwa kila mwanaume ambae huwa nalala nae huwa namkumbuka, ila siku hio ilikuwa tofaut kwani hata nilipokuwa navuta kumbukumbu zangu sikuwa nakumbuka kama huyo mwanaume ndio ambae alinichukua pale baa…. Naitwa aneth, ni bint wa miaka 23, ni bint wa kawaida ambae ninaishi maisha ya aina mbili, kwa maana kuna sehemu ukinikuta unaweza ukadhan mm ndio…

Read More

MWALIMU MALAYA Sehemu 8 – 15 Wazazi wangu wananipenda wamenilinda wamenitunza kwa juhudi zote wewe leo hii unataka kuniondolea usichana wangu bila ridhaaa kweli mwl kuwa na huruma ,nyumbani yupo dada angu ni mzuri kuliko hata mimi nitamleta kwako mwalimu nisamehe’’’ Farouk alicheka kwa furaha hahahah umesema hujawahi kulala na mwanaume haha nyie ndi ninawatakaga usijali monica hakuna litakaloharibika sawa upo mikono salama ya mwalimu wako’’ Monica alianza tena kwa upya kupiga makelele uwiiiiiiiiiiiii nakufaaaaa mie nakufaaaaa’’’wakati monica anapiga kelele farouk ndio kabisa alikua hana habari alikua akiendelea kumnang’ania monica na kumganda kama kupe aliyejishikiza kwa ngozi ya ng’ombe, monica…

Read More

MWALIMU MALAYA Sehemu 1 – 7 Kengele ya dharura iligonga na wanafunzi wote walielekea parade (uwanja wa kukusanyikia) kusikiliza kilichokuwa kinaendelea, Mkuu wa shule alisogea mbele kabisa akiongozana na timu ya waalimu wote, wanafunzi walisalimia kwa nidhamu zote, mkuu wa shule alizipokea salamu na kwa haraka ili kuokoa muda alitangaza tangazo lililowakusanya mahali pale “wanafunzi napenda kuwatangazia kuwa tumepata mwalimu mpya kutoka Tanga ajulikanaye kama mwalimu Farouk atafundisha kidato cha nne na cha tatu naomba ushirikiano wenu kwake. BONYEZA HAPA kuendelea kusoma hii Story vizuri katika mfumo wa Pdf, au soma kama kama inavyoonekana hapo chini:

Read More

KITUMBUA CHA MWALIMU Sehemu 6 – 10 Nikafungua vifungo vitatu vilivyo kuwa kwenye gauni lake, kisha nikaingiza mikono yangu kwenye bra nakuzichomoa dodo nje. Nikaanza kuzikiss huku nikiziminya kwa kasi. Hapo nikamsikia Jackline akitoa miguno laini… Miguno iliyo nifanya niendelee kuwa bize na kazi yangu, nikaongeza mautundu, nikawa nayasikia mapigo ya moyo wake. Na baada ya dakika chache kupita Jackline akawa anapumua kwa kasi sana. BONYEZA HAPA kuendelea kusoma hii Story vizuri katika mfumo wa Pdf, au soma kama kama inavyoonekana hapo chini:

Read More

KITUMBUA CHA MWALIMU Sehemu 1 – 5 Siku Ziliendelea kukatika kwa kasi sana si unajua tena siku hazigandi..Hatimaye, Graduu ilikaribia na baadaye ikawa imepita kabisa, hakika nitawamiss sana rafiki zangu, nitakimiss kila kitu nilichokwisha kizoea bila kusahau mazingira yale tulivu niliyo kuwa ninaishi daah ……?? Mawazo mengi yaliendelea kukatiza kichwani mwangu wakati nikiwa bado napakia mizigo yangu tayari kurudi nyumbani, nikawa najiuliza,….. BONYEZA HAPA kuendelea kusoma hii Story vizuri katika mfumo wa Pdf, au soma kama kama inavyoonekana hapo chini:

Read More

KATOTO KA MADRASA Episode 5 – 10 Baada ya Husna kuchomoka nyumbani kwenda kumfuata yule mkaka akiwa njiani anajisemea yani kwanini baba anarudi kesho si lingekaa tu hukohuko yani ataniaribia raha zangu zote yani shida nyingine hizi za kuzaliwa kwenye familia za watu wanaojifanya wanapenda sana dini. Alifika ile sehemu waliokubaliana wakutane na kweli akamkuta yule kaka. Husna alifurahi sana na akamkumbatia kwa furaha na kumchumu mdomoni chapchap bila kupoteza mda wakazama getto ilikua majira ya sanne na nusu. BONYEZA HAPA kuendelea kusoma hii Story vizuri katika mfumo wa Pdf, au soma kama kama inavyoonekana hapo chini:

Read More

KATOTO KA MADRASA EPISODE 1 – 4 Ilikua majira ya saa saba mchana Husna alikua akirudi kutoka msikitini. Kwa sheria za nyumbani kwao kina husna ni lazima watu waswali tena swala zote kwani baba yake ni Amiri mkuu wa msikiti kwaiyo familia yake ameiwekea katika misingi ya kidini. Husna aliporudi tu aliingia chumbani kwake moja kwa moja na kuvua baibui alilokua amevaa huku akijisemea ” hili linguo linanikera yani navaa kwa kumwogopa baba tu” Akiwa chumbani alihakikisha kama mlango wake kafunga kisha akaelekea kabatini na kuingiza mkono chinj ya uvungu wa kabati na kutoa simu. Duuuuh alijisemea haya maisha ya…

Read More

NILIVYOBEBA MIMBA YA KAKA YANGU WA DAMU Sehemu 12 – 13  Ilipoishia…… Daktari akanipeleka maabara na kuanza vipimo vyake, baada ya kumaliza akawa ameniambia nitoke nje amalizie, nikatoka nje nikiwa nimemuacha anafanya uchunguzi wake… Nikawa nje kwa muda mrefu sana, baada ya muda akaniita nikaingia ndani huku nikiwa na shauku kubwa ya kujua kilichoendelea… Songa nayo…Nilipofika nikaketi kwenye kiti kisha kumtazama kungoja majibu ya uchunguzi wake, “Binti unamme?” Nikajiuliza kwanini ameniuliza hivyo ila sikuelewa kabisa, nikawaza nilimwambia sina ataniona Malaya kama nikiwa na mimba.. “Ndio ninae ila leo asubuhi amesafiri kwenda mkoani kikazi” “Ohoooooo!! Hongera sana, maana jana usiku aliacha…

Read More

NILIVYOBEBA MIMBA YA KAKA YANGU WA DAMU Sehemu 8 – 9 Ilipoishia…… “Kwahiyo kaka yako anahitaji akuoe, au si kaka wa damu” Sauti hiyo ikapenya mpaka kwenye ngoma za masikio yangu nikaanza kujiuliza nani huyo aliyejua siri hiyo… Taratibu nikaanza kuinua uso wangu kutazama ninani ambaye amezungumza maneno hayo… Songa nayo… Nikatazama viatu vya mtu huyo vilikuwa ni viatu vyeusi vya kiume, nikazidi kupanda na kukutana na sulual ya kiume.. Nilipomtazama usoni nikakutana na sura ya kijana muhuni pale chuo.. Mara nyingi amekuwa akinihitaji ila mimi sijawahi kumkubalia hata siku moja, ninamjua vizuri ana makundi mawili, moja la wadada lingine…

Read More

NILIVYOBEBA MIMBA YA KAKA YANGU WA DAMU Sehemu 6 na 7 Ilipoishia…… “Hivi hupendeki we mwanamke, mtu afanye nini ujue kwamba anakupenda” Nikashtuka nikajua hapa sasa anakuja aanze kuropoka kila kitu mbele ya mpenzi wangu.. Watu wanajua huyu ni kaka yangu, sasa kaka anakuwaje na wivu kwa wapenzi wa mdogo wake… Ati “upedwe kiasi gani,” kama huna D mbili hapo huwezi kuelewa, nawaza sijui mpenzi wangu ana D mbili maana kama anazo basi leo kinaumana…. Songa nayo… Baada ya kuona kwamba kaka anaweza kuropoka kila kitu, nikaamua kuingia ndani ya gari nikiwa na hasira sana, hapo kaka akamuacha mpenzi wangu…

Read More

NILIVYOBEBA MIMBA YA KAKA YANGU WA DAMU Sehemu ya 01  Kila lililotokea kwenye maisha yangu limebaki kama historia ya maumivu sana ndani ya moyo wangu, kila nikumbukapo miaka kadhaa nyuma najiuliza kama ni kweli mimi ndie nilifanya yale ila sipati majibu. Nahisi laana ile bado inaniandama kama ilivyowaandama Tamati na Amnoni wana wa mfalme Daudi. Tazama walikuwa ndugu damu moja ila walifanya mapenzi na kuridhishana wao kwa wao, ingawaje dada hakutaka ila bado goma lilikuwa kwa wote.. Story hii itafute kwenye kitabu kimoja wapo katika biblia kitabu cha 2Wafalme 13;1-22, ndipo utakutana na kisa cha ndugu walioshiriki tendo la kukutanisha…

Read More

MKE WA MGANGA 🔞 Sehemu ya 16 Tulipoishia “we mwanamke” nilimuita kwa mshangao nikaona amecheka “Nini sasa……vitu nilivyokuambia ulete viko wapi?” aliniuliza nikabaki ninamshangaa huku mdomo wangu ukiwa wazi Endelea Nilimtazama kwa muda mrefu sana nikawa nawaza imekuwaje mpaka ile hali ikanitokea maana haiwezekani hata kidogo, “Wee Zuhura…. Ni nini hiki jamani?” nilimuuliza huku nafsi ikiniambia kwamba yeye ndo yuko sahihi “Kipi?” “Mimi sielewi elewi” nilimuambia, Zuhura alinifuata na kunirushia maji, kimahaba “Kwenda huko, yaani wewe mahaba kidogo tu yashakuchanganya, nenda bhana ukalete hivyo vitu ukirudi tupike nikupe na kimoja, sawa mtoto handsome” alisema akinishika ndevu na kuingia ndani na…

Read More

MKE WA MGANGA 🔞 Sehemu ya 11 Asubuhi na mapema niliamka nikiwa najisikia hovyo hovyo, na niliamka mapema kwa sababu nilikuwa nimepigiwa simu na Ba Fetina kuna sehemu alitaka niende nikapige kazi fulani, Ba Fetina alinifaa sana. Tena siku ile ilikuwa ni siku ya jumamosi, hivyo nilikuwa naenda kupata pesa za kula wikiendi kabisa. Nilpiga mswaki wangu vizuri, nikanyesha mboga halafu nikatoka na kwenda kwa Ba Fetina. Nilipofika kwa Ba Fetina, nilimkuta ndo anakunywa chai yeye na mkewe pale sebuleni, Fetina alikuwa nje anapiga mswaki “Za asubuhi jamani” niliwatakia hali “Salama kabisa, vipi huko kwenu?” mama Fetina alisema na kuinuka…

Read More

MKE WA MGANGA Sehemu ya 06 Tulipoishia Nilipofika ndani, upepo wa nguvu uliingia ukifuatiwa na kelele za kutosha halafu kama zimwi niliona mganga ametokea mbele yangu akiwa amefura hasira usoni “Haaha….unataka kwenda wapi kijana” Mganga aliniambia mimi sikuweza kujibu chochote nikabaki namtazama huku nikitetemeka na kurudi nyumba mpaka wenye kitanda nikaketi bila taarifa ENDELEA “Nimekuja kwako leo, nimeshaona mmekolea sana katika mapenzi, samahani sana, mapenzi yanauma kuliko kitu chochote, hivyo unapoendelea kutembea na mke wangu roho inaniuma hivyo nimekuja kwako kukupa onyo kwamba uachane na Zuhura yule ni mke wangu….. na ejapo ukiendelea naye magumu yatakukuta kijana…” alisema mganga na…

Read More

MKE WA MGANGA 🔞 Sehemu ya 01 Niliteswa sana na maisha baada ya kufiwa na wazazi wangu wote waliokuwa wamefariki katika ajali ile ya MV Spice miaka saba iliyopita, nilichanganyikiwa maana nilibaki nyumbani peke yangu kwa sababu nilikuwa mtoto pekee wa kiume na dada zangu wanne walikuwa wote wameshaolewa na wanaziendesha familia zao Nilijaribu kumpigia simu dada yangu mmoja ambaye kidogo alikuwa anajiweza nikamuomba mtaji wa shilingi laki mbili nikaanzisha biashara ya kuuza mitumba katika mji wetu mdogo wa Igunga kwa majina naitwa Festo Hamisi. Baada yaa kuingia katika biashara ya mitumba niliweza kuifanya ndani ya miezi mitatu ikafa ile…

Read More

VUA CHUPI NIKUPE AJIRA Episode 31 – 36 Jonas alimtazama usoni mlinzi akapata mawazo makubwa sana. Ghafla waliingia mabinti wawili pale ofisini Esta pamoja na Sada walikuwa wamekuja kama walivyoagizwa walimtazama wote wakatabasamu, hawajui yaliyomkuta “Boss….good morning” kila mmoja alisema “Morning” “ndo tumefika” alisema Esta kwa uchangamfu “Okay, nisubirini pale mapokezi” alisema “Sawaa” alijibu Esta na walienda hadi mapokezi. Wote walikuwa tayari ila walikuwa hawajui kama wameshatafunwa wote. Kila mmoja alijiona special. Jonas alipoona wameishia, alimpa ufunguo mlinzi halafu akatoka nje ya geti, alipofika nje alitazama kushoto kulia akaona pikipiki na bajaj zikipita. Alipotazama hivi kuna mabinti wengine watatu walikuwa…

Read More

VUA CHUPI NIKUPE AJIRA Episode 21 – 30 “SASA BOSS WEWE NDO UNIAMBIE MUDA WAKO MAANA MI NAJUA WEWE” Esta alituma Ilichukua takribani dakika 5 Jonas akiutafakari ule ujumbe, mwenyewe alijihurumia maana kila siku wanawake wanataka kujigonga kwake. “Alihamis nimegonga, Jumamosi nikagonga, J pili tena halafu jumatatu pia, hapana siendekezi ntakufa” alizungumza peke yake mwamba huyo “NITAKUTAFUTA” alimjibu Esta Esta alikasirika maana lengo lake lote ni kuweza kumchuna yule kijana wa watu “LINI SASA? BASI MI NAKUJA LEO LEO” alisema “UJE WAPI? NA UJE KUFANYA NINI?” aliuliza kwa jazba Esta alikuwa muhuni, aliishika simu akamtumia ujumbe wa sauti huku akiibana…

Read More

VUA CHUPI NIKUPE AJIRA Episode 11 – 20 “Aaah………beeeeib…..y aah” Alitoa sauti za mahaba mtoto wa kike akazidi kumpagawisha. Kadri ilivyokuwa ikiteleza ndo palizidi kulainika “Baby mku** ni mtam” “aaah….” alisema Erica na kumbinulia “Mb** yako ni taaam” alisema kinahaba akaendelea kuikatikia huku akimuacha Jonas anacheza na vishanga kiunoni taratiiibu “Baby si utanipa kazi?” aliuliza mtoto wa kike “Yes baby, lazima uajiriwe, siwezi kataa kuuona huu mk*** ukipita pale ofisini” “Nashukuru baby” alisema Erica na kukatika haraka haraka. Jonas hakufika mbali alianza kupiga kelele “Nakojoa nakojoooa, nichomoe?” “Hapana mume wangu kojoa huko hukoooo aaaah” alisema huku akikatika ba kuibania kwa…

Read More

VUA CHUPI NIKUPE AJIRA Episode 1 – 10 Ilikuwa asubuhi muda wa saa mbili na nusu. Baridi kali ilikuwa imetanda katika mikoa mingi ya Tanzania na kanda ya Afrika Mashariki kwa ujumla. Maeneo ya Mbauda Jijini Arusha ndipo kulikuwa na tatizo kubwa la baridi kali sana, mabinti zaidi ya 80 waliovaa kwa nidhamu walikuwa wamejikunyata katika viti vya mapokezi katika ofisi ndogo ya kampuni ya Terejo Co Ltd huku wakionekana kujawa na wasiwawasi kana kwamba kuna shughuli waliokuwa wakaifanye ndani ya ofisi hiyo. Ghafla gari nyeusi kuanzia vioo, rangi hadi tairi iliingia katika ofisi ile alishushwa mtu mmoja aliyeonekana mwenye…

Read More

MIMBA YA MWALIMU EPISODE 9 Kesho yake, nilifika shuleni mapema kama kawaida. Nilipokuwa nikipanga vitabu vyangu kwenye droo ya ofisi, ghafla Lisah alinifuata kwa tabasamu lenye maana, akionekana kama mtu aliyekuwa na jambo kubwa moyoni. Alisimama mbele yangu na kusema kwa sauti ya upole: “Mwalimu, nimekuwekea barua kwenye koti lako. Tafadhali, naomba uisome.” Nilimtazama kwa macho ya mshangao na kicheko kidogo. “Wewe Lisah, acha ujinga. Barua gani tena unaniandikia?” Nilimuuliza huku nikitikisa kichwa. Akanijibu kwa utulivu lakini kwa msisitizo: “Wewe nenda tu ukaisome. Hapo ndipo utajua maana ya nilichokuambia jana.” Nilibaki nikiwaza kwa muda mfupi, lakini nilijua sitakuwa na amani…

Read More

MIMBA YA MWALIMU EPISODE 7 lakini kabla hajaiangalia vizuri maana lengo lake ni kutaka kuitazama yote mara kukawa kuna mwanafunzi wa kidigo aliingia chooni Lissah alificha simu na baada yabkuona sasa watu wengi wanakuja basi aliamua kutoka nakuja kunirudishia simu mwalimu wake .. lakini nilipomtazama niligundua labda kuna jambo analo kichwani mwake “eeenhe lissah kuna shida mbona macho yako yanaonyesha kama una jambo moyoni mwake ??? Alisita “hapana mwalimu sio hivyo bwana ni labda pozi au mood yangu “nikamwambia saqa mwambie time keeper agonge kengele lisah naye kwa sifa alikuwa akitembea huku akilitikisa “singida to dodoma” alizidisha . sio nilijiuliza…

Read More

MIMBA YA MWALIMU EPISODE 5 Baada ya kusikia sauti ile ya mkuu wa shule na Sir albet . niliwaza sana na kweli lisah ndo kweli anaingia geto kwangu lakini alivovaa iloashiri kama vile nilipanga kuwa aje getooooo…ili nimpelekeee moto kumbe hata mi nimefanya kwa wema tu. Lakini binadamu wakiamua lao na kielelezo tayari kipo haiwezekani majira ya usiku mwanafunzi tena wa kike anaingia chumbani kwa mwanaume na tayari nina tuhuma kuwa ni mwalimu kijana penda totoziiiii mkuu wa shule akasema “askari kamata huyo anatuharibia wanafunzi ” nilisema kwa sauti kubwa “hapaanaaaa” Ghafla Nilishtuka kutoka usingizini oooho kumbe ndoto , nilitokwa…

Read More

MIMBA YA MWALIMU EPISODE 3 Nilikuwa bado nimeshika kalamu, macho yangu yakimtazama Lisah, nikisubiri kwa hamu na hofu maneno yatakayotoka kinywani mwake. Sauti yake ilianza taratibu, kama mtu anayesita kusema siri nzito. Alisema kwa sauti ya chini, “Unajua mwalimu…” Nikajibu, “Enhe, Lisah, endelea kusema, niko hapa nakuona kama mtoto wangu. Usijali, sema chochote.” Lisah akaendelea huku macho yake yakiwa chini, “Mimi nime…” Lakini kabla hajamalizia, mlango ulifunguliwa kwa pupa! Mwalimu mwenzangu, Sir Albert, aliingia ofisini haraka sana huku akiwa na uso wa dharura. “Samahani kwa kuvuruga mazungumzo yenu, lakini kuna jambo la dharura! Mwalimu mkuu anakuhitaji sasa hivi ofisini mwake, ni…

Read More

MIMBA YA MWALIMU UTANGULIZI “Kabla ya leo hii mimi kuwa hapa Nilikuwa mwalimu wa Kiswahili katika Shule ya Sekondari ya Mkwakwani, Tanga. Maisha yangu yalibadilika kabisa pale nilipojikuta nikiingia jela kwa kifungo cha miaka 30 baada ya kumpa mimba mwanafunzi wangu, alifahamika kama Lisah. Nilijua ni kosa kubwa, lakini mapenzi yasiyo na mipaka yalinifanya kupotea njia. Lisah alikuwa tofauti na wanafunzi wengine—hakuwa muoga, na hakuogopa kuonyesha hisia zake. Mwanzoni, nilijaribu kumpuuza, lakini uvumilivu wangu ulinishinda. Hatimaye, nilijikuta nimeingia kwenye uhusiano wa siri naye, uhusiano uliogeuka kuwa jinamizi lililonitesa na kuharibu maisha yangu.. Unataka kujua nini kilitokea kabla ya yote Jiunge na mimi episode…

Read More

CHUMBA CHA MASAJI (MASSAGE ROOM) FULL STORY (1 – 30) Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: CHUMBA CHA MASAJI 1 – 5 CHUMBA CHA MASAJI 6 – 10 CHUMBA CHA MASAJI 11 – 16 CHUMBA CHA MASAJI 17 – 20 CHUMBA CHA MASAJI 21 – 24 CHUMBA CHA MASAJI 25 – 30

Read More

CHUMBA CHA MASSAGE Sehemu ya 25 na 26 Basi nikaanza kufanya kazi pale kama msimamizi mkuu wa ule mgahawa, lakin kitendo cha kuwa simsikii wala simuoni jmo nikajikuta nakosa raha, bila kujua kuwa nakosa raha kwa sababu gani, sikuwa na amani, sikuwa sawa kabisa yaan, kila siku nikawa najikuta kama nammiss sana… Nilifanya kazi pale kwa karibu miezi mitano, mpaka lile eneo nikawa nimezoeleka sana, kila mtu akawa ananijua, mpaka wakawa wananipa oda za kupika kwenye maharusi yanayotokea pale kijijini, mpaka wakawa wananiita dada mpishi, jina langu likawa maarufu sana pale kijijini, hakuna mtru ambae alikula chakula kwenye ule mgahawa…

Read More

CHUMBA CHA MASAJI Sehemu ya 21 na 22 Niliendelea na majukum yangu mpaka mida ya jioni kabisa, sasa kumbe jmo hakuwa ameondoka kabisa pale, sasa mimi huwa nalalaga pale pale, kwa maana bado sikuwa najua nafanya je, ingawa pesa kidogo nilikuwa nayo, nay ale maeneo hakukuwa na nyumba za kupanga karibu, kwa maana wateja wetu wengi ni wale wanaotoka mashambani tu, na wakishakula wanaenda makwao, nan i mbali na pale ambapo mgahawa upo.. Nikiwa najiandaa kulala mara tukaitwa na boss, na alikuwa n jmo, akasema ‘ kuanzia sasa hivi haturuhusub mtu yoyotwb Yule kulala hapa, kwa maana hii sehemu sio…

Read More

CHUMBA CHA MASSAGE Sehemu ya 17 na 18 Ingawa ichwa change hakikuwa sawa, ila Nikatoka pale na kwenda kulala hotelin, pesa si ninayo bana, ya Yule mzre alionipa mara ya kwanza na pesa ndogo ndogo anazoniachaaga jmo, sikupata usingizi, ila angalau nilihisi pale hotelin ndio sehemu salama zaidi kwangu, sasa asubuh nikawa nawaza pa kwenda, mara nikapigiwa simu na neema, akaanza kunambia tabia Yule baba ambae nilienda kumfayia massage kuna mauwaji yametokea nyumban kwake, kwa maana kuna dada alimnunua na amemfanyia ukatili amemtoa maziwa na sehemu za siri, vipi wewe uko salama, akauliza neema, nikaanza kuogopa kwa maana ni kama…

Read More

CHUMBA CHA MASSAGE Sehemu ya 11 na 12 Basi maisha yangu na jmo yakaanza, nikawa nafanya kazi na kama mfanyakazi wa ndani, ila jmo alikuwa ananitreat tofaut kwa maana, alikuwa anataka kila siku asubuh kabla hajaenda kazin, ni lazima atake ninywe nae chai, na usiku alikuwa anataka niwe nae nakula nae chakula cha usiku, maisha yetu yakawa hivyo na alikuwa ni mtu anaeniheshimu mno, na kuna muda akawa mpaka ananisaidia kazi za nyumban kama haendi kazin… Nikaanza kumzoea taratibu na kumuona kama hana shida, maana namna ambavyo nilikuwa namfikiria ni tofauti kabisa na namna alivyo, namna ambavyo nilikuwa nategemea jmo…

Read More