SITAMANI TENA KUOA PART: 06 ILIPOISHIA, Rashid aliwekwa chini ya ulinzi huku akisubiriwa kumaliziwa nakutupwa kusiko julikana. SONGA NAYO… “Hee!, nimewakosea nini?, aliwauliza huku akiwa anatetemeka. Baada yakutoa kauli hiyo, Salum alinyanyua panga juu nakulishusha kwa nguvu huku likiwa limetegeshwa kwenye utosi wa kinywa cha Rashid. “Mama!..mama!” Alikwepa panga hilo huku akipiga kelele. “‘Nyoosha miguu na mikono hiyo…” walimuamrisha.. Rashid alifanya hivo . Kosa moja alilolifanya Salum, ni kuweka panga chini na kutaka kuanza kumfunga kamba ndipo aliponyanyuka na kutimua mbio na kuwaacha wakiwa hawaamini. Hakutaka hata kuangalia nyuma mpaka alipofika nyumbani. Alitamani kumwambia lakini aliogopa mara baada ya kukumbuka…
Author: Raha Special
SITAMANI TENA KUOA PART: 01 Ni siku ya jumatatu iliyokuwa imesubiriwa kwa hofu na matumaini makubwa na Ali Mapito aliyekuwa gerezani Segerea huku akisubira kupelekwa kisutu kwa ajili ya hukumu ya kesi yake ya ubakaji na mauaji ya mtoto wake Zuhura. Akiwa amejilaza kwenye sakafu la Segerea huku machozi ya damu yakiwa yanamtoka, gafla askari Magereza alifungua mlango na kutoa amri. “‘Ali Mapito!” Alimuita kwa mshutuko. “Ndiyo afande..!” “Toka nje haraka…” Bila kuchelewa huku akiwa anachuruzikwa na Machozi, alitoka kwenye chumba hicho kisha akasogea na kupigwa pingu na kurushwa kwenye defenda iliyokuwa imelindwa na maafande sita wote wakiwa wameshikilia mitutu…
NILIDHANI MGENI, KUMBE MKE MWENZA – FULL STORY (1 – 18) (PIGO LA MKE MWENZA) Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: NILIDHANI MGENI, KUMBE MKE MWENZA 1 – 6 NILIDHANI MGENI, KUMBE MKE MWENZA 7 – 12 NILIDHANI MGENI, KUMBE MKE MWENZA 13 – 18
NILIDHANI MGENI, KUMBE MKE MWENZA (PIGO LA MKE MWENZA) PART: 13 ILIPOISHIA Niliamka kisha nikaficha shati lake pamoja na suruali huku nikisubiria kama wamemkamata au kumuona ama la na nini atafanya baada ya kurudi nyumbani. SONGA NAYO… Mtima wangu ulianza kuweweseka huku nikiomba sana shoga angu Kapipa asigundue chochote. Maombi yangu yote, hayakupata majibu pasipo kupata uhakik kutoks kwa baba Furaha ambaye alimkimbiza Majura. Baada ya nusu lisaa hivi, niliwaza nini nifanye kwa wakati huo maana mwanadamu tunaishi mara moja. Niliinamisha kichwa changu chini mithili ya kobe anayetunga sheria kisha nikaamua kufanya maamuzi magumu sana. Nilijifungia chumbani kisha nikaanza kuufinya…
NILIDHANI MGENI, KUMBE MKE MWENZA (PIGO LA MKE MWENZA) PART: 07 ILIPOISHIA Ndani ya mda mfupi, walianza kunipapasa kila sehemuwa wakitafuta pesa mpaka wakanivua kaptula langu huku wakinong’onezana na kutabasamu. SONGA NAYO…. Waliendelea kunisachi lakini wapi hawakuweza kuona chochote. Kwa mbali nilipumua japo nilikuwa nimezibwa mdomo. Baada ya kuzikosa, nilishutuka kumuna mmoja wao akianza kunivua blauzi yangu kisha nikabaki na blauzia tu. Japo kulikuwa na kiza kinene lakini nilijiona kama nipo mtupu mbele ya umati wa watu. Nilitupatupa miguu lakini haikuzaa matunda yoyote. ” Tumekwambia kuwa mpole laasivyo utaumia” Nilianza kutetemeka kweli huku nikiww sijui kosa langu ni lipi. Wakati…
NILIDHANI MGENI, KUMBE MKE MWENZA (PIGO LA MKE MWENZA) PART: 01 Kwa majina naitwa Mama Furaha kutoka wilayani karagwe mkoani kagera. Karibu kupata story hii ikiletwa kwako na McLaurian. Ni mida ya saa 12 hivi na mkanda wake huku jua likiwa linaanza kuzama kwa mbali , ndipo nilipombeba Furaha kisha nikafungasha vipande vitatu vya kuni pamoja na vyombo ambavyo nilienda navyo shambani. Bila kuchelewa, nilianza safari ya kurudi nyumbani ili nimpikie mme wangu kipenzi ambaye aliniaga kwenda harimashauri kwa ajili ya kufuatilia pesa za TASAF. Mwendo wangu ulinifanya nichoke kweli japo sikuwa na namna yoyote mpaka hapo mida ya saa…
MUME WANGU ALIVYOMUOA MDOGO WANGU – FULL STORY (1 – 18) Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: MUME WANGU ALIVYOMUOA MDOGO WANGU 1 – 6 MUME WANGU ALIVYOMUOA MDOGO WANGU 7 – 12 MUME WANGU ALIVYOMUOA MDOGO WANGU 13 – 18
MUME WANGU ALIVYONIACHA NA KUMUOA MDOGO WANGU PART: 13 ILIPOISHIA Roho yangu ilianza kuvuja damu kwa ndani huku nikitamani kupasuka mara baada ya kuona picha ya Delila akiwa amevaa nguo ya ndani tu huku maziwa yake yakiwa nje yote. “Hivi kampa nini ambacho sina mpaka anakuwa kama kichaa?!, yaani kumbe kuomba kote msamaha ni uongo mtupu!, haya ila kitaeleweka..” nilitamka moyoni mwangu. Niliendelea kujifanya nimesinzia bila kumwambia chochote mpaka asubuhi yake. Tulifanya maandalizi ya mwisho kuelekea nyumbani huku nikiwa na hasira kali sana. Kesho yake mnamo mida ya 12 asubuhi, tulianza safari ya kuelekea nyumbani Tanga huku baba mkwe akiwa…
MUME WANGU ALIVYONIACHA NA KUMUOA MDOGO WANGU PART: 07 ILIPOISHIA, Mnamo mida ya saa 5 za asubuhi, tulishuka stendi ya Makumbusho huku tukiwa tumebebelea vizawadi hali iliyowafanya dereva bodabda waanze kutukimbilia. Tulisimama pembezoni kidogo mwa barabara kisha tukaanza kujipangusa vumbivumbi. Ndipo nilipopatwa na mshangao na mshutuko mkubwa sana huku nikiwa siamini nini macho yangu yanaona. Nilidondoka chini kwa mshutuko huo huku mama Suzi akibaki na mshangao .. SONGA NAYO…. Mapigo ya moyo yalinienda mbio sana mpaka nikaona kama roho yangu inataka kuchomoka. Ni.kama nilikuwa naota vile lakini nilichokiona hakukuwa ndoto. Nikiwa bado najitambua, niliwaona watu wakiwa wamenizunguka huku wakinipepea .…
MUME WANGU ALIVYONIACHA NA KUMUOA MDOGO WANGU PART: 01 Kwa Majina Naitwa, Groly, naomba twende wote mwanzo hadi mwisho wa kisa hiki. Mwaka mmoja baada ya kufunga ndoa takatifu na mme wangu Daudi, mambo yalianza kubadilika hasa kwa upendo alikuwa nao mwanzo mme wangu. Alipunguza kunipigia simu, maneno matamu niliyokuwa nimeyazoea yalipungua hali iliyonipa wasiwasi mkubwa lakini kiukweli Mme wangu Daudi nilimkabidhi moyo wangu wote hivyo sikumfikilia vibaya kihivyo. Siku moja tukiwa tumelala kitandani, aliniambia, “Mke wangu, sitaki nikuone mtandaoni. Wewe ni mke tayari na unatakiwa kuishi kama mke!” Kwakuwa nilikuwa namheshimu na kumpenda sana mme wangu sikutaka kubishana naye…
MUME WA MAMA – FULL STORY (1 – 34) Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: MUME WA MAMA 1 – 8 MUME WA MAMA 9 – 16 MUME WA MAMA 17 – 22 MUME WA MAMA 23 – 29 MUME WA MAMA 30 – 34
Mume Wa Mama Sehemu ya 30 *Wakati anasoma nikamuona amekunja sura kana kwamba ulikuwa sio ujumbe mzuri, ŠØŇĞÃ MBĔĹĹÉ “alipomaliza kusoma nikamuona akeirejesha mfukoni huku ananitazama usoni, * Mme wangu nani kakutumia meseji. nikakuuliza hivyo. * Aah kuna mtu amekosea namba achana nae. * Mh amekosea namba kivipi hebu nione alichokiandika. * ungeniomba tangu mwanzo sasa nimesha ifuta achana nae “Mme wangu akanijibu vile basi ikabidi nikaushe tu. maana nilikuwa sipendi kumuuzi naogopa asije akaniacha akarudi kwa Mama. Mda ulifika tukaingia kwenye ndege na ndege ikaanza safari. “Huku nyuma sasa mambo yalikuwa kama hivi. ” Mama mkwe wa mama alifika…
Mume wa Mama Sehemu ya 23 “Lakini Baba mwalimu wa sayansi kule india alituambia kwamba huku kutamu kuliko hata mbele leo nataka tujaribu” Nilimwambia hivo baba huku nasogelea tena nilimuona ameshindwa cha kuongea akabaki kunikodolea macho tu. Nilianza kufungua zipu ya siuluwali yake….§ŐŇĞÅ MBĚĽĚĚ….. Nilipofungua nikaingiza mkono ndani lakini sikuweza kuifikia mashine yake sababu alikuwa amevaa bukta na boksa. Nilipo onavile nikatoa mkono kisha nikaanza kumvua suluwali yake pamoja na hizo nguo za ndani. Nilifanikiwa sababu Baba alikuwa kimiya ananitazama ninacho fanya. ” Leo lazima baba aniingize nyuma namimi nione utamu wake. Nilijiambia kimoyo moyo huku nimeishika ndudu ya baba…
Mume wa Mama Sehemu ya 17 “Khaa mke wangu amenini. Baba nae alipatwa na mshangao mkubwa. Baada ya kusoma. Mda huo mimi nilikuwa siwezi hata kuongea…SONGA MBELEE…Hatukuweza kuendelea tena kufanya mapenzi Tuliacha ” baba akavaa nguo zake haraka. kisha akaniambia. * Tina wewe bakia hapa nyumbani ngoja mimi niende chochote kitakacho kitachoendelea nitakujulisha. * mh Hapana baba na mimi naenda. * basi twende. Baba aliniambia hivo. ” Nilienda chumbani kwangu nikavaa dela pekee, yani sikuvaa hata chupi mfano nikikaa dela likifunuka kunini yangu inaonekana Live bila chenga. Mimi na baba tuliingia kwenye gari kisha tukaondoka kuelekea hosipitali. Baada ya dakika…
Mume wa Mama Sehemu ya 9 “Mama alipofika kwenye mlango wa chumba chao mara Ghafla akaona Taulo lipo chini ya mlango wao..SONGA MBELLEE… “Mh mbona hili taulo lipo hapa. Mama alijiuliza hivo huku analiotoka chini.. Baada ya kuliokota akaanza kulitazama. Harafu akalinusa. Ngongongoo Mama akagonga mlango huku akiwa na wasiwasi. Kutokana harufu ya taulo. Baada ya kugongwa mlango, ” Mimi na Baba. Tukashuka kutoka usingizini. *Mh nani huyo anagonga mlango. Nikamuuliza baba kwa sauti ya chini chini. Kabla Baba hajanijibu akatazama saa ya ukutani ilikuwa saa 12 na dakika 45 . Asubuhi. * mungu wangu huyu ni mke wangu amerudi…
MME WA MAMA SEHEMU YA 1 Naitwa Tina” Naanza kusimulia mkasa” “Nilikuwa Nipo chumbani Nimekaa Najisomea ” Mara Ghafla Simu yangu ikaita Nilitazama nikakuta ni mama yangu ananipigia” Niaacha kusoma nikapokea simu, * Hallow Mama shikamoo. * Marahaba mwana mwanangu Tina, Unaendeleaje Namasoma . Mama akaniuliza” * Naendelea vizuri mama hapa nilikuwa najisomea somea umenikatisha, * Samahani Tina Lakini ninajambo mhimu nataka nikuambie, * jambo gani mama ongea nakusikiliza, * Tina Ni miaka mitano sasa tangu baba yako afariki Nilikuwa nampenda sana baba yako. Lakini kutokana ugumu wa maisha. nataka kuolewa tena nimechoka kuwa mjane. Nimepata mwanaume mwenye pesa ameniahidi…
NILIZAA NA BABA BAHATI MBAYA – FULL STORY (1 – 17) Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: NILIZAA NA BABA KWA BAHATI MBAYA 1 – 6 NILIZAA NA BABA KWA BAHATI MBAYA 7 – 12 NILIZAA NA BABA KWA BAHATI MBAYA 13 – 17
NILIZAA NA BABA BAHATI MBAYA PART: 13 ILIPOISHIA, Baada ya kumaliza kuvua, niliegesha mlango kisha nikaanza kuvaa shanga la kiunoni japo nilikuwa sijui linavaliwaje. Nilianza kujicheka mwenyewe kisha kwa jinsi nilivyooneka. Nilisimama nikajiangalia kisha nikavuta mfuko uliokuwa na nguo za ndani ili nijaribishe. Wakati nimeshikilia mfuko huo, nilishtuka kuona mlango unafunguliwa ndipo nilipopigwa na butwaa na kubaki nimeganda kama mtu aliyepigwa na shoti ya umeme. SONGA NAYO…. “Umependeza kwelikweli !, kumbe ndo ulivyo mzuri hivi!, marshalah hakika umeumbika” Baba alitamka huku akiwa amejofunga taulo akitokea kuoga Kwa jinsi nilivyokuwa mtuupu kama mtoto mchanga azaliwavyo , nilikosa hata nguvu ya kumjibu…
NILIZAA NA BABA BAHATI MBAYA PART: 07 ILIPOISHIA, ” Hivi jifanye ndo wewe umemfumania mke wako ungemfanyeje? ” walimuuliza. ” Wala msihangaike naye!, niachieni kitaeleweka leo mpaka amtaje malaya wake hakuna kulala leo…” Mama alitamka Kauli za mama zilinitisha sana mpaka nikatamani nijitokeze lakini nikafikiria nitaendaje nikiwa uchi?, je watanichukuliaje?, . … SONGA NAYO… Ama kweli kama halijatokea asubuhi basi laja jioni. Nikiwa nimejibana kwenye tawi la Muembe uliokuwa pembeni kidogo na nyumbani, nilianza kutokwa machozi na kulia kama mtoto mdogo aliyenyimwa nyonyo na mamaye. Ilinichukua kama dakika 20 hivi , ndipo nilipojipangusa machozi kwa viganja vya mikono yangu. Niliendelea…
NILIZAA NA BABA BAHATI MBAYA PART: 01 Kwa majina naitwa Mariatabu. Ilikuwa mida ya saa 1 za asubuhi ndipo niliposikia sauti kama ya mlango wa chumba changu unagongwa. Niliinua masikio juu mithili ya panya aliyehisi harufu ya paka lakini sikusikia tena sauti hiyo ndipo nilipoendelea kujikunja kwenye shuka lililokuwa na madoadoa meusi na meupe. Mda huohuo, mlango uligongwa tena ndipo niliposhtuka , ” Nani anagonga mlango?” niliongea kwa sauti ya juu huku uso wangu ukiwa umejikunja. Kwa akili ya mwanzo, niliijua ni mdogo wangu Rebecka ambaye alikuwa na tabia ya kunigongea mlango. Nilijifunga kanga ambayo iliishia kifuani kwa juu huku…
NILILALA NA KUZAA NA MAMA MKWE BAHATI MBAYA – FULL STORY (1 – 20) Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: NILIVYOZAA NA MAMA MKWE 1 – 5 NILIVYOZAA NA MAMA MKWE 6 – 10 NILIVYOZAA NA MAMA MKWE 11 – 15 NILIVYOZAA NA MAMA MKWE 16 – 20
NILILALA NA KUZAA NA MAMAMKWE BAHATI MBAYA PART: 16 ILIPOISHIA, Sawa mama nitakachokifanya msinilaumu” alitamka nikabaki njia panda huku nisijue nini anaenda kukifanya…. SONGA NAYO… Kauli hiyo ilinishutua sana huku nikiwa sijui nini anaenda kukifanya. Wakati nikiwa katika hali hiyo, gafla nilikumbuka kuwa niliingia na kitenge cha mamamkwe ndani ndipo roho iliponipanda juu. “Loo!..mke wangu atakuwa hajakiona kweli!” nilijisemea mwenyewe, nikanyanyua godoro na kukiweka chini. Wakati namalizia, mke wangu aliingia ndani akiwa kama analia hivi kisha akajilaza chini na mtoto wake. “Simu yangu iko wapi?” nilimuuliza . “Usinisumbue!, ulinikabidhi simu yako?” alinijibu. Sikuongeza neno ndipo nilipoanza kupekua hatimaye nikaikuta ndani…
NILILALA NA KUZAA NA MAMAMKWE BAHATI MBAYA PART: 11 ILIPOISHIA, “Mimi bado nipo, kesho itakuwa siku salama, kwanini uwe na haraka…?” alitamka ndipo… SONGA NAYO… “Niamini hautapata mimba, , bila wewe nahisi nitakufa siku ya leo” Nilitamka huku nikijaribu kufungua kifungo cha sketi yake. “Hapana naomba nielewe…kesho tutafanya…” Mamamkwe alitamka huku kifua changu na chake vikia vimegusana. Sikuwa na ujanja mwingine tena ndipo nilipokaa kimya huku tukiwa tunaviringishana. “Samahani, vua sketi yako itajikunja na inaweza kuleta maswali kwa watu..”nilimwambia kwa sauti ya upole. “Mhh..usiniangalie ngoja niivue…” alitamka huku nikiwa namchungulia kwa jicho la chongo mpaka akaivua. Wakati anafanya hivyo, moja…
NILILALA NA KUZAA NA MAMA MKWE BAHATI MBAYA PART: 06 ILIPOISHIA, Wakati narukaruka kwa furaha, gafla mlango wa chooni uligongwa…. SONGA NAYO… “Hee!, nani tena anagonga mlango!” nilitamka kwa sauti ya chini huku nikiwa nimetumbua macho. Mlango uligongwa kwa nguvu mara ya pili ndipo nilipoingiza simu yangu ndanu ya boxer kisha nikabana matako. Taratibu kama mwanaume aliyetahiriwa, nilijisogeza mpaka mlangoni kisha nikafugua ndipo nilipokutana na sura ya mke wangu Jesca. “‘Hee!, unafanya nini mda wote ule?” aliniuliza kwa mshangao. “‘Tumbo linanisumbua…” “Ndo limekufanya mpaka unarukaruka!, mpaka nimekosa usingizi…” “Samahani mke wangu, hata mimi sikupenda kuwa hivi. Nilikunywa Juice kwa mama…
NILILALA NA KUZAA NA MAMA MKWE BAHATI MBAYA PART: 01 Kwa majina naitwa Mawazo, naomba twende wote mwanzo hadi mwisho.. Baada ya mihangaiko ya miezi 9 hatimaye mke wangu aitwaye Jesca mwenye umri wa miaka 20, alifanikiwa kujifungua mtoto wa kiume ambaye nilimpatia jina la John. Nilifurahi sana lakini kichwa changu kilianza kuwaza na kuwazua mara baada ya mke wangu kuniambi hajisikii vizuri kabisa hivyo anataka mama yake mzazi aje amusaidie mpaka hapo atakapopata nguvu. “Mme wangu, sijisikii vizuri, mwili mzima hauna nguvu. Nimeongea na mama kasema kesho anakuja” Jesca mke wangu alitamka huku akiwa amejilaza kitandani. “Mke wangu!, sasa…
JAMANI BABA MKWE! PART: 11 Iliposhia, mwanangu kwa taarifa hii nzuri sana. Nikiuza mihogo yangu lazima nikupe zawadi” Getruda alimwambia Mwajuma. Baada ya kupata kizima, alitoka ndani kisha akaelekea kwa Rose huku akiwa anatokwa na machozi kama mtoto mdogo. SONGA NAYO. Baada ya kukaribia kwenye mlango wa mkanwana wake, alianza kupangusa machozi ili aweze kuongea naye vizuri japo sura ilijionesha hadharani kama mtu mwenye hasira kali. “Hodii…hodii..” Mama mkwe wa Rose alibisha “Nani..unayebisha hodi?” Rose aliuliza huku akiwa anawasiwasi “Ni mimi mama mkwe wako..” Bi Getruda alimjibu “Ohh..kumbe ni wewe mama..karibu sana” “Asante ila nakuomba kwa nje hapa tuongee mawili…
JAMANI BABA MKWE! PART: 06 Ilipoishia, “Heee…!!mme wangu unayapeleka wapi usiku huu?” Rose aliongea kwa mshangao…. SONGA NAYO.. Ama kweli siku ya kufa nyani miti yote huteleza na ukistaajabu ya Musa utayaona ya Filauni. Rose akiwa haamini kabisa anachikiona kwa macho yake, aliomba sana mme wame asiweze kuyakagua mashuka yote aliyokuwa ameyashikilia. Harakaharaka aliamka kwenye kitanda kisha akamfuata mme wake, ” Jamani baby si umechoka? nenda ukapumzike hii kazi niachie ” “Asante sana mke wangu sema nilitaka nikusaidie maana nimeona umechokq kweli” “Hahaha..jamani baby sio kweli” ” Ayaa ..mke wangu” Rose alinyanyuka kisha akamsaidia mashuka hayo na kisha akayaloweka kwenye…
JAMANI BABA MKWE! Part: 1 Ilikuwa mida ya saa nne usiku huku nyota na mbalamwezi zikiwa zinamulika angani huku kukiwa na nuru iliyokuwa inamulika kwa mwanga wa kipekee na ndipo Mzee Matofali alipokoswa na uvumilivu mara baada ya bomba lake kuamka kisawasawa huku mke wake akiwa amesafiri pamoja na mtoto wake Baraka. Alijishangaa kwa nini hali hiyo imemtokea kwani haikuwa kawaida kwa bomba lake kuamka kiasi hicho mara tu mke wake anapokuwepo labds mpaka abustiwe kwa kunyonywa taarayibu. Wahenga wasema ng’ombe hazeeki maini na ukubwa dawa. Alivua kaptula lake lilokuwa rangi nyekundu kisha akajifunga kanga ya mkewe kama taulo. Alibaki…
UDANGAJI ULINIPA MUME TAJIRI SEHEMU YA 16 ❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣ Mpaka kigiza lewis ndio ananiachia tukaenda kuoga sasa tukashuka kupata chakula chausiku.. Lulu jiandae week ijayo tunaenda kwenu.. Aliniambia lewis wangu tukiwa mezani tukipata chakula.. Nilifurahi kweli.. Natamani ata umuoe leo jamani kachangamsha nyumba. Be tabu alichangia nae.. “Ndio maan naitaji nimuoe haraka maan naona shetani ayupo mbali.. Ata sikuelewa alimaanisha nini kusema shetani ayupo mbali. Kumbe bhana da fau alikuja kwenda nyumbani kwetu kuniharibia kabla sijafika. “Ndio mama yani lulu kaja kunigeuka akaanza tabia mbaya nakutembea nawanaume zawatu tu uko mjini imetapakaa sifa mbaya sanaa kwake adi naona aibu mimi niliompeleka.…
UDANGAJI ULINIPA MUME TAJIRI SEHEMU YA KUMI Wale wakaka watatu walinisogelea mmoja wao alinivaa mwilini mwangu uku muda ule ule nilizimia kutokana nayale maji niliyatilia madawa ili anywe john Ili nimuibia… Nilikuja shutka kila mahali namaumivu alafu nipo nje yanyumba nimelazwa chini yule kaka john ata kipoch changu sikukiona wala cm yani iyo siku nilikomeshwa mimi wauni so watu et. Nilianza kujivuta uku nasikia maumivu atari sehemu za siri.. Nilijivuta adi barabarani mida kama yasanane usiku nilitembea kama mlevi yani..Sasa nguvu ziliniisha nakwambali niliona gari linakuja mbele yangu nikalipungia mkono ili kuomba msaada japo nipate lifti lakini ukweli sikua nanguvu…
UDANGAJI ULINIPA MUME TAJIRI SEHEMU YA SITA ❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣ Baada yakumaliza kuongea namama yangu niliondoka kwenye kile chumba nikaenda duka wanalo tuma pesa.. Nikamtumia mama yangu laki moja na 30.. Mimi nikabaki na20 tu ili inisadie matumizi madogo madogo, kula yenyewe yashida watu ujinunulia vyakula vyao nilivomaliza mtumia mama yangu ela nikaenda kwada fau Sikujali atakama da fau angeichukua mimi nishamtumia mama yangu inatosha. “Eeeh bora umekuja mdogo wangu apa nilipo sina ata ela yakula nanjaa kama nini naimani yule mkaka amekupa pesa kama siku ile! maan sijanywa ata chai.. Leta basi icho kipoch!.. Akakichukua tena kama kawaida yake nakutoa pesa…
UDANGAJI ULINIPA MUME TAJIRI SEHEMU YA KWANZA ❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣❣ Unaambiwa akuna aijue kesho ila leo tunaiyona kesho ndio pagumu mtu kujua maan ingekua rahisi kila mtu angejua kesho yake inakujaje ili aweze kabiliana nahali iyatayokuja kumtokea.. Mungu niwaajabu sana. Niliamka mapema tu nikawa natazama nje nikiwa Ndani Yajumba langu ila kulikua nijuu yaghorofa ya nyumba yangu ilikua nzuri tu nakubwa sanaa ata siwezi kuyelezea … Niliangalia nje hali ilivo Nakushika tumbo langu ambalo lilikua nakiumbe ndani yake.. Nikakumbuka maisha yangu yanyuma Sasa nikiwa namiaka 24.. Unajua kila mtu najua alichopitia kwenye maisha yake kiwe kizuri au kibaya pia.. Lakini ndio alichokipitia.. Nakila…
PENZI LA KILAZA NA MWALIMU WAKE – FULL STORY (1 – 12) Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: PENZI LA KILAZA NA MWALIMU WAKE 1 – 4 PENZI LA KILAZA NA MWALIMU WAKE 5 – 8 PENZI LA KILAZA NA MWALIMU WAKE 9 – 12
PENZI LA KILAZA NA MWALIMU WAKE PART: 09 ILIPOISHIA, “Liwalo na liwe, kama nitafukuzwa shule nifukuzwe lazima kieleweke kati ofisini humo Nilimuona kwa macho yangu akiwa na mpenzi wangu bila shaka yoyote, atakuwa anajua alipo. Hata kama hajui, nitamkomesha aache kabisa.” Sofia alitamka huku mwili mzima ukiwa unamuwasha kupigana. Alichomoka darasani, huku uso ukiwa umejikunja kwa hasira kisha.. SONGA NAYO. .. Wakati anaendelea kupiga hatua kuelekea ofisini kwa Madamu Eliza, gafla Sofia alimuona mama Kilaza akiwa anaelekea ofisini ndipo alipostuka. Alisimama na kuganda mithili ya chuma na sumaku huku usoni mwake akijihisi aibu kali sana kama baba aliyekamatwa akiiba kiporo…
PENZI LA KILAZA NA MWALIMU WAKE PART: 05 ILIPOISHIA, “We!, usipige kelele watasikia.. ” mkuu wa shule alitamka… “Mwalimu mimi sitaki…sitaki…”,Sofia alitamka huku akiwa anatetemeka. “Unasema?!…..” mkuu wa shule aliuliza kwa mshangao huku mkono wake mmoja ukiwa umeshikilia fimbo ya babu Juma. Wakati mambo yakiwa hivyo ofisini, huko kwa upande wa Madamu Eliza mambo yaliendelea kuwa magumu mara baada ya kuona Sofia kakaa mda mrefu ofisini mwa mkuu wa shule… SONGA NAYO…. Mkuu wa shule akiwa haamini kama kitumbua kinakaribia kudondoka kwenye mchanga, alijikuta anaanza kutumia nguvu kubwa lakini haikuwa rahisi kama alivyodhani. “Mwalimu niache mimi…niache…nitakupigia kelele mda huu.. “…
PENZI LA KILAZA NA MADAMU ELIZA PART 01 Ukishangaa ya Firauni basi utayaona ya Kilaza kama siyo kusimuliwa. Ilikuwa mida ya saa sita za mchana ndipo Madamu Eliza mwalimu wa shule ya sekondari Ulimwengu, alipojipumzisha ofini kwake kwa kuingia Fb na kukutana na simulizi kali kwelikweli ya love story ambayo ilimfanya mpaka vinyweleo vyake vikamsimama mithili ya nguruwe pori aliyeko kwenye joto lake. Siku hiyo ilikuwa siku mbaya kwake, ama furaha kwa wakati mwingine kwani alijihisi mwili mzima wenye joto mpaka akajikuta anatamani mjegeje kwa wakati huo kadri alivyoendelea kusoma story hiyo. Hakika ilizidi kunoga mpaka sehemu zake za siri…
ALINIACHA KWA SABABU SIZAI – FULL STORY (1 – 20) Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: ALINIACHA KWA SABABU SIZAI 1 – 5 ALINIACHA KWA SABABU SIZAI 6 – 10 ALINIACHA KWA SABABU SIZAI 11 – 16 ALINIACHA KWA SABABU SIZAI 17 – 20
ALINIACHA KWASABABU SIZAI Sehemu 17 na 18 💙🤎💙🤎💙🤎💙🤎 Kila mtu akabaki akimuangalia Abbas ambaye hakuonekana Kuwa Sawa kabisa. “Don’t mind him kwa sasa” Alizungumza kiongozi kisha akaendelea. Kila mtu siku hiyo alinipingeza, wa kunipa zawadi ananipa zawadi na wengi walikumbuka Kuwa ni siku yangu ya kuzaliwa hivyo zawadi zilikiwa Kama zote. Ila Mimi Sijui Nina moyo wangu, watu wote walikuwa bize na kuinjoy lakini Mimi nilianza kumtafuta Abbas maana nilijikuta nikipata wasiwasi mkubwa sana juu yake. “Mama unatafuta nini “ Mage aliniuliza baada ya kuona Kuwa nazunguka uku na uku. KWa utulivu nika Kaa pembeni ya mage na kumwambia. “Namtafuta…
ALINIACHA KWASABABU SIZAI Sehemu 11 – 12 💙🤎💙🤎💙🤎💙🤎 Kwanza sikuamini kumuona baba yangu yangu akiwa katika hali kama hiyo, baba yangu ni mtu wa serious sana sana Kwahiyo ili tendo la yeye kupiga sarakasi kaama hivi Lilinishangaza sana. “Aaaah Mungu Mwema sana na Mimi Nina mjukuu sasa, Mungu Mwema na Mimi naitwa babu “ Alizungumza baba Angu uku akijichezeza kWa furaha Sanaa kisha akanigeukia na kuniuliza. “Mjukuu wangu anaitwa Nani ?” Haraka nikajibu. “Anaitwa Daniel baba” “Aaaaah Kwahiyo Mimi naitwa babu Daniel kwa sasa, we mama Zayana Kuanzia Leo sitaki kukusuikia ukiniita Sijui mume wangu, Sijui laazizi niite babu Daniel…
ALINIACHA KWASABABU SIZAI Sehemu ya Sita 💙🤎💙🤎💙🤎💙🤎 Habari ni Kama zilikuwa njema kwangu hivi, kWa shauku nikamsogelea shemeji yangu na kumuuliza. “Weeeh unasoma kweli au ??” “Shemeji naweza je kukudanganga lakini, huyu msichana simjuagi lakini Mara yanngu ya kwanza kumuona ni Leo na Nimemuona kWa mshikaji wangu, aaaah Walahi Abbas amekurupuka kumuona huyu msichana Yaani hapa ni anapigwa tukio demu anaweza huyu kwanza anaonekana kabisa Kuwa ni Binti wa mjini huyu “ “Aaah ila shemeji ni habari njema sana kwangu lakini Abbas awezi kunielewa kabisa na sio tu kunielewa Yaani kunisikiliza atotaka, Naomba sana masada wako “ “İli limeisha shemeji…
