Author: Raha Special

SITANIWI Wiki sasa ilikua imepita toka nilipofanya mapenzi na bosi wangu, kila nikifikiria niliona kama vile ilikua ni ndoto, kwani sikuwahi kutegemea kama itatokea siku nikapata fursa adimu kama hiyo, alikua ni mpole na mstaarabu mno, kila msichana pale ofisini kwa wakati wake alijipendekeza lakini hakuna aliyewahi hata kutamba kwamba alilamba bingo. Alikua mgeni pale ofisini, baada ya kurudi nchini toka Japan alikokua kaajiriwa na umoja wa mataifa, mkataba wake ulipomalizika ndio akaajiriwa kama mtendaji mkuu ofisini kwetu. Ni kaka wa miaka 42 hadi 46 hivi…mweupe kutokana na kukaa sana nje na ana mustachi anao utunza vizuri. Hakua na kitambi…

Read More

Nilizaa Na Wewe Kwa kua Unaweza Kuhudumia Mtoto! Wote tuliingia kazini siku moja, mimi niliajiriwa kama afisa mikopo wakati yeye aliajiriwa kama mhasibu lakini wote tulianzia kama mateila mpaka baada ya kama miezi sita hivi ndiyo tulitoka na kila mtu akawa ameenda katika kitengo chake. Kuna dada mwingine ambaye walikua kitengo komoja na wote tulikua marafiki. Mimi ni msiri sana hivyo hata nilipoanzisha mahusiano yangu na Kelvin (Sio jina lake halisi) sikumuambia mtu yoyote zaidi ya Edna ambaye ingawa tulikutana kazini lakini alishaanza kuwa kama Dada yangu. Edna alikua ni rafiki yangu mkubwa, anakuja nyumbani kwangu tunaongea na nilimsaidia katika…

Read More

HADITHI YENYE FUNZO KWA WANANDOA Siku moja niliingia nyumbani nikamkuta mke wangu akiniandalia chakula cha usiku. Nilimshika mkono na kumwambia: “Nina jambo ninalotaka kukueleza.” Alikaa na kunisikiliza kwa makini. Dalili za wasiwasi nilikuwa nikizishuhudia machoni mwake. Ghafla nilijikuta katika hali ya kushindwa kukifungua kinywa changu. Lakini ilikuwa ni lazima ajue ninachokifikiria, hivyo nilipiga moyo konde, nikamwambia kwa upole: “Ninataka tuachane.” Hakuonekana kuudhika kwa hoja niliyokuwa nimeiwasilisha mbele yake, bali aliniuliza kwa sauti ya upole kabisa: “Kwa nini?” Nilijaribu kulikwepa hilo swali, hivyoalighadhibika sana na kuniambia kwa sauti ya juu: “Wewe si mwanaume!” Usiku ule hatukusemeshana, na muda wote alikuwa akilia.…

Read More

NANI MUHIMU? Siku moja katika darasa la jioni la watu wazima, mwalimu wa saikolojia aliingia darasani na kuwaambia wanafunzi; “Nataka tucheze mchezo, mtu yeyote yule naomba ajitolee aje hapa mbele” Mwanamke aitwae Cathy akatoka mbele. Mwalimu akamwambia aandike majina 30 ubaoni ya watu ambao anadhani ni wa muhimu katika maisha yake. Cathy akaandika majina ya wanafamilia yake yaani mumewe na mwanae, ndugu, majirani na marafiki zake. Mwalimu akamwambia Cathy afute majina matatu ambayo anadhani kwake sio ya muhimu sana kuzidi mengine. Cathy akafuta majina ya marafiki zake watatu. Mwalimu akamwambia Cathy afute tena majina matano zaidi, Cathy akafuta majina ya…

Read More

BINADAMU HAWANA SHUKRANI Usiku Mmoja Kabla Muuza Duka Hajafunga Duka Lake Aliingia Mbwa Dukani Akiwa Na Kibegi Mdomoni Ndani Ya Kibegi Kulikuwa Na Pesa Kiasi Na Orodha Ya Vitu Vilivyotakiwa Kununuliwa. Muuza Duka Alichukua Pesa Ile Kisha Akaweka Vitu Vilivyoorodheshwa Ktk Kibegi Hicho Mara Hii Mbwa Bila Kuchelewa Alichukua Kibegi Chake Na Kuanza Safari. Muuza Duka Alishangazwa Sana Na Tukio Lile Na Akaamua Kumfuatilia Mbwa Yule Kwa Nyuma Ili Kujua Ni Nani Hasa Miliki Wake. Baada Ya Kufika Kituo Cha Mabasi Mbwa Alisimama Kwa Dakika Chache Na Ndipo Lilipotokeza Bus Na Kusimama Mbwa Akaingia Ndani Ya Bus Na Safari Ikaanza…

Read More

MTOTO WA MAMA LISHE Alipozaliwa alipewa jina la Agness lakini taratibu lilibadilika na kuwa Laviollete La Chapelle wengne wakimwita kwa kifup Lavio na wengne wakimwita LALACHA Mwili wake uliojaa vizuri sio kwa afya bali shughuli pevu ya kusonga sufuria ya ugali katika mgahawa mdogo wa mama yake,sura yake ilipambwa na mikunjo ya hasira kwenye paji la uso hyo ikimaanisha hataki mchezo awapo kazini,ilikuwa si jambo la kushangaza kumkuta akiwa amekabana mashati na wateja wakorofi bila kuogopa jinsia zao na wakati mwingne ilifikia hatua ya kupigana kabisa. Licha ya yote hayo Lavio alikuwa mchapa kazi hasa hakuwa legelege hata kidogo hicho…

Read More

MREMBO MAWENGE “hahahahahah Makubwa shoga madogo yana nafuu huhuhuhuhuhuhuhuhuhuhu huyo nae ni bwana kati ya mabwana ‘’ lilikua ni cheko la nguvu kutoka kwa bi husna alikua akimcheka rafiki yake mpendwa shoga ake wa dhati Anifa,,,, sasa shoga mbona sikuelewi jamani Hassan anashida gani shoga angu na kama anatatizo mbona toka mwanzo huku niambia shoga ,wewe siunanipenda shoga toka uchumba urafiki ulikua unatuangalia tu kwanini huku sema leo hii unaishia kunicheka mimi daaah sawa shoga angu unayumba sana ngoja niondoke zangu,…… Anifa aliondoka kwa hasira kuelekea nyumbani kwake huku akiwa na mawazo chungu nzima , Anifa ni msichana mrembo sana…

Read More

MAMA USILIE Alisimama mbele ya kioo chenye urefu sawa na urefu wake. Urefu wa futi tano na pointi nane, akijitazama kwa tabasamu dhoofu. “Ondoka kwangu malaya mkubwa wewe” Ikawa ni sauti iliyomjia kichwani mwake kama mawimbi, ghafla. Aliubandua uso wake kwenye kioo alichokuwa akikitazama, akaupeleka kwenye tumbo lake lililoumuka,. Bado urembo haukupotea,. Upande wa kushoto ukatuna ghafla kuonesha mtoto anacheza. Kidogo akaonesha tabasamu, sauti ile mbaya ikajirudia tena kichwani mwake, lakini kwa maneno mengine mabaya zaidi, “Toka bwana na kitambi chako. Mpelekee hawara uliyelala naye wakati mimi sipo nyumbani”, ‘Hawara gani? Ina maana mimi nimekuwa mpumbavu kulala njaa nikimsubiri alipokuwa…

Read More

MAISHA YA JOHN John ni kijana mwenye umri wa miaka 30. Ana shahada ya uzamili (Masters) ktk masuala ya Usimamizi wa biashara, na kwa sasa anafanya kazi kama Mkurugenzi wa fedha kwenye shirika moja la kimataifa hapa nchini,. Hajaoa bado, lakini ana nyumba mbili nzuri za kuishi hapa jijini. Moja Mbezi Beach na nyingine Kimara.. Ana gari 2 za kutembelea na 3 za biashara.. Anamiliki duka moja la nguo Kariakoo na jingine la simu Mlimani city.. Ni mcha Mungu, mpole na mtanashati.. Ni miongoni mwa vijana waliofanikiwa kimaisha. John ana rafiki yake aitwae Michael.. Huyu ni Afisa Mtendaji mkuu (CEO)…

Read More

JASMINE Jasmine akiwa anatembea kwa madaha kuelekea nyumbani, kwa mbali alimwona kijana akija nyuma yake mbio sana ,jasmine hakuelewa ni nini kinaendelea aliendelea kujitembeza kwa madaha na mikogo kama yote,jasmine akiwa anaendelea kutembea alisikia sauti ikiita “jasmineeeeeeeeeeeeee subiri ‘’ Kwa dharau jasmine aligeuza shingo lake nyuma kumtizama ni nani anayemwita ,kijana Yule aliendelea kusogea karibu kabisa na jasmine kisha akapiga magoti chini na kuanza kusema “jasmine mambo ,,uko salama sijui kama unanikumbuka mimi’’ “mhhh wewe ni nani na unataka nini’’ “jasmine umenisahau siku moja nilikufuata nikakuomba tuwe wapenzi ‘’ “ee kwahiyo umesahau nilikwambiaje ,,,siwezi kuwa na wanaume kama wewe ,mwanaume…

Read More

JAMANI MSINILAUMU KWA HILI NILILOMFANYIA MUME WANGU Mimi nimeolewa miaka 15 sasa na tumejaaliwa watoto 4. Ndoa yetu ilipofikisha miaka 4-5 mume wangu alicheat, nikamkamata through sms akapinga sana lakini baadae alikubali akakiri kosa na kuomba msamaha nikamsamehe Tumeendelea kuishi na nilipopata mtoto wa tatu akanicheat tena, safari hii alikuwa nje ya nchi kimasomo, napo alikiri na kuomba msamaha, nikamsamehe Wakati niko mjamzito mimba ya mtoto wa nne alinicheat tena, kibaya zaidi alinicheat na house girl wanga akampa ujauzito. kwa hivyo wakati mimi nina mimba na House girl naye mjamzito (japo sikujua kama house girl alikuwa mjamzito kwani aliondoka nyumbani)…

Read More

HATA AKILA MKE WANGU, ATAKULA NA MWANANGU Wakati naoa nilikua sina kitu kabisa, ndiyo nilikua nimemaliza chuo na nina ajira lakini mshahaara ulikua mdogo sana, nilioa kwakua umri umeenda na niliona nitachelewa. Mke wangu alikua na vibiasHara vidogo vidogo lakini tulisaidiana, ni kama ndoa iliniletea baraka kwani baada ya miezi mwaka mmoja tu niliitwa kazini kwenye usahili ambao niliufanya miezi sita kabla, nilishakata tamaa ya kupata kazi. Ni taasisi ya kimataifa, mshahara wa kuanzia ulikua milioni tano, nilikua kama kichaa, yaani kutoka mshahara wa laki mbili mpaka milioni tano sikuamini. Nilianza kujenga nyumba yangu, nikawajengea na wazazi wangu na miaka…

Read More

NILIMKIMBIA KISA DUDE KUBWA Makubwa……… AKANIULIZA nitakunywa nini? nikajibu kwa mapoozi “soooda” huku narembua macho kwa utaratibu akauliza tena soda gani, nami kwa mapozi zaidi “soooda fanta PENSHENI” Nilimjibu kwa mapozi…. Kistaarabu akaitikia, “ok fanta PASSION? poa,. Nikatoa simu yangu na kuanza kuminya minya. waliponiletea soda kwa ubishoo nikauliza “mbona MLIJA hamjaniwekea?, Nilimuuliza yule mudumu huku nambenulia midomo…., Dada mhudumu akaniletea, nikaanza kufyonza “pryuuuuuuuuuuu” Yule kaka akatazama kama majirani wamesikia, Akawa kama anaona aibu. Nikaendelea na yangu. Baadae akanaiuliza “ naomba sasa tuongee vizuri, nikitaka kulala na wewe usiku mzima nikupe shilingi ngapi?”, Aliongea huku akiwa kama ana aibu…., Nikajua…

Read More

AAH…SHEMEJI…AACHA Sehemu Ya 05 AISHA alimpigia simu shemejiye akamweleza kisha kumtaka aende akamchukue. Bw. Abdul aliingiwa na woga aliwaza kuwa pengine watu wote walishagundua uhusiano wake na Aisha hivyo alimtaka Aisha achukue teksi na kuelekea mahali ambapo yeye atakuwepo. Aisha baada kupaki mizigo yake yote alifanya kama alivyoagizwa. Muda mchache Aisha alifika pale na kukuta Bw. Abdul amepaki gari lake. Bw. Abdul alitoka ndani ya gari, wakasalimiana na Aisha kisha akamlipa yule dereva pesa alizokuwa akidai, walipakiza mizigo kisha nao wakaingia ndani ya gari. Aisha alikuwa akibubujikwa na machozi aliwaza jinsi atakavyomkabili dada yake. Bw.Abdul alimsihi Aisha aache kulia kisha…

Read More

AAH..SHEMEJI…AACHA… Sehemu Ya 04 TULIPOISHIA BAADA ya mwaka mmoja kupita. Ilikuwa imebaki takriban miezi mitatu ili Aisha aweze kuhitimu masomo yake lakini haikuwa rahisi kumaliza. “Haloo!” Ilisikika sauti ya Aisha ikitoka kwa unyonge akimpigia simu shemejiye. “Haloo!Mpenzi mzima wewe?” “Mimi ni mzima wa afya lakini mwingi wa mawazo.” “Mwingi wa mawazo ?Mawazo gani tena dear mbona unanishtua?Hebu nieleze.” “Mimi sizioni siku zangu, hivyo inanipa wasiwasi.” “Sasa wewe unafikiri ni nini?” “Ninajihisi kuwa ni mjamzito.” “Mjamzito, nani kakupa?” “Heee!Shemeji umeshaanza kunikana mapema yote hii?” “Hapana dear ila sikutegemea kutokea kitu kama hicho. Basi itabidi Jumapili nikija twende hospitali ili tupate uhakika…

Read More

AAH..SHEMEJI AACHA Sehemu ya 3 “AENDE zake huko kama haupo wenzio wala,nami ntazoea taratibu ye amewezaje mpaka mi nishindwe. Waswahili wanasema hakuna cha peke yako hususan hapa mjini. “Ukitaka kuhakikisha kama umeshaanza kuzoea turudie tena utagundua kuwa makelele uliyokuwa ukipiga mwanzo hayatakuwapo tena.” “Hee!Shida ya kunigeuza kizazi, hapa nilipo miguu haina ushirikiano.” “Nakutania tu dear.” Bw. Abdul aliingiza mkono ndani ya suruali yake aliyoivaa na kutoa kitita cha laki mbili kisha akamkabidhi Aisha. “Asante sana mpenzi.” Aisha alisema kwa furaha baada ya kukabidhiwa fedha. Walikumbatiana na kukubaliana kukutana siku nyingine. ****** Ilikuwa ni siku ya Jumatatu tulivu majira ya saa…

Read More

AAH…SHEMEJI..AACHA… Sehemu Ya 02 NAYE Aisha hakuwa mbumbumbu, akaupenyeza mkono wake hadi sehemu fulani mwilini mwa Abdul na kushika kile alichotaka kukishika. Akamtomasa kwa mapozi, kiganja chake laini kikizidi kumchanganya Abdul na kumwongezea mhemuko. Hakika Bw. Abdul alipagawa sana hadi kufikia hatua ya kutaka kuvunja amri ya sita ndani ya gari. “Aisha uvumilivu umenishinda mpenzi, tufanye basi hata kidogo,” Abdul alisema kwa tabu, akizidi kumvuta Aisha na kumkumbatia. Aisha hakuona kuwa ni ustaarabu kufanya mapenzi ndani ya gari hivyo alimshauri shemejiye kuwa wapange siku nyingine ya kufanya maangamizi kunako sita kwa sita. Kwa kuwa muda ulikuwa umeenda sana hivyo wote…

Read More

AAA…SHEMEJI..AACHA.. Sehemu Ya 01 AISHA alijiona kama mtu mwenye bahati kwa kutongozwa na shemejiye. Aliwaza endapo akimkubalia au asimkubalie kwa kuona kuwa ni shemeji yake. Alifikiria sana juu ya utajiri wa shemeji yake na hali aliyonayo yeye . “Endapo nikikubali dada akigundua itakuwaje?” aah!! Lakini si amenitongoza mwenyewe,siwezi kupiga teke fuko la pesa… Potelea mbali.” Siku iliyofuata Aisha alikutana na rafiki yake aliyeitwa Anita. Aisha alimsimulia Anita kuhusu shemejiye. “Shoga basi ngoja nikupe mkanda”. “Hapo ndipo ninapokupendea tukikutana baraza huchangamka kwa stori, haya shoga hebu nipe huo mkanda”. “Jana usiku wakati tunakula,dada aliwahi kushiba akaenda zake kulala, sebuleni tukabaki mimi…

Read More

DADA VUA BANAH.. Sehemu Ya 16 ……….ilipoishia Wakati baba na mama walikuwa wakiagana kwa kupeana mautamu vitu urojo urojo. Huku sule huku sule mambo yalikuwa magumu balaa. Lakini alipomuona Shangazi yake na helena alishtuka sana kwani alitokea ghafla tuu.Hali hiyo ilimpa mashaka sana Sule. Wakati anaduwaa alishangaa kuona shangazi anawazuia wale wanyama ambao ni kina Helena. Shangazi aliongea kwa sauti ya kutisha”Tabia yako ndio imekusababisha uko hukuuuu!!! na ulivyo na tamaa ulitaka kuzini na dada zako mbwa wewe…… Shangazi aliwakamata kina Helena kwa kitambaa cheupe na kuwazuia wasimdhuru Kijana sule. Sule hakuamini kama mpaka dakika hiyo yuko mzima kwani alishaamini…

Read More

DADA VUA BWANAH Sehemu Ya 13 ……….ilipoishia Huku kwa kina Helena tayari Lucy alisharejea katika hali yake ya kibinadamu na wakati huohuo Sule alionekana anaondoka. Kwa kuwa helena alikuwa amepewa kazi ya kumzuia sule asiondoke bila kunywa kinywaji kile alichopewa na Shangazi,Basi alimfuata sule akiwa na kile kinywaji kujaribu kama hilo litawezekana….. Endelea…… NAOMBA LIKE YAKO MTU WANGU ILI TUENDELEE CHAP …. Basi Helena aliutumia tena usichana wake kumshawishi Sule anywe kinywaji kile. Basi helena alimfuata sule mpaka alipo kisha akamwambia” sule naomba unisamehe mimi pamoja na shangazi yangu, Na pia shangazi kasema haina haja ya wewe kuondoka kwani umeshakuwa…

Read More

DADA VUA BANAH Sehemu Ya 10/11 ……..ilipoishia Tukirudi huku walipokuwa Lucy na Sule mambo yalikuwa tete. Lucy alimuingiza Sule kwenye chumba wanacholala na Shangazi yao. Sule alijikuta anamsikiliza Lucy kile anachokiongea na hapingi hata kidogo. Sule alipoingia pale alimwambia Lucy”Lakini Lucy mi naona sio vyema mimi na wewe kuwa humu ndani tufanye utaratibu mwingine lakini sio humu ndani. Lucy alifikiria sana akagundua anachokisema Sule ni kweli kabisa,Basi Lucy alimwambia”Sawa ni vizuri pia ila huku hakuna sehem nyingine zaidi ya kuingia vichakani”…… Sule alimjibu haraka haraka”Hakuna shida hata huko huko poa tuu”. Wakati huo giza lilizidi kutanda ilikuwa ni mishale ya…

Read More

DADA VUA BANAH.. Sehemu Ya 07 TOLEO LILILOPITA,. Ulikuwa utani mara utani ukazaliana kupelekea watu kushindwa kuzuia hisia zao,Sule alijisemea kimoyo moyo “Yaani kitu namfanyia huyu hatokaa anisahau” Sule alifungua zipu ya Helena wakati huo Helena alimpa Sule uhuru afanye anachotaka,Basi zipu ilifunguka huku taaratibu Sule aliuzamisha mkono mule ndani. Aiupitisha mkono wake pale juu ya chitumbua huku akimeza mate kwani kitumbua kilikuwa kimepikika haswaa. Basi Helena naye aliamua kujipimia ili ajue kama ni kibamia au laa!!,Basi kwa utaratiiibu Helena alianza kupapasa pale juu ya suruali kisha akaanza kuufungua mkanda wa Sule. Songa nayo…. DONDOSHA LIKE SASA ACHA UCHOYO… SHARE…

Read More

DADA VUA BWANAH Sehemu Ya 04 ENDELEA,. Lakini wakati wanatoka Shangazi alionekana akiendelea na shughuli zake za kuhudumia mifugo,Macho ya shangazi yaliashiria kuwa kuna kitu ndani ya nafsi yake eidha hajapenda ujio wa kijana huyu au anamjua kwa namna moja au nyingine. Je kuna uhusiano gani baina ya huyu kijana na Bibi huyu???…. Sule alimwambia Helena”Madam Hellen nimeacha kibegi changu pale kwani kuna shida??”…….. “Bright usiwe na shaka hakuna shida”. Huku nyuma shangazi alimfuata Lucy na kumwambia “Hivi nyie watoto mnataka kunipanda kichwani si ndio!!?, Kwa nini mnapokea watu msiowajua mnajuahuyu ni nani?? Siku moja mtapokea mashetani ndio mkome maumbwa…

Read More

DADA VUA BWANAH.. Sehemu Ya 01 Simulizi yetu inaanzia katika jumba moja la familia ya mzee maarufu sana hapa mjini KWETU ARUSHA, Kama unavyojua katika familia nyingi wazazi hufikia mahali kuwagawia watoto wao baadhi ya mali ili waanze kujitegemea katika maisha yao. Basi leo katika familia ya Mzee Nassor ilikuwa ni siku rasmi kwa ajili ya mgao wa baadhi ya mali kwa watoto wao. Kiukweli mzee Nassor alikuwa na mali nyingi sana. Basi siku ya leo Mzee aliwaita wanae woote kisha akawaketisha chini na kuwaambia “WANANGU LEO NIMEWAITA HAPA ILI NIWEZE KUONGEA NANYI MANENO MACHACHE KABLA YA KUFANYA TUKIO KUBWA…

Read More

LOOH DADA MARTHA – FULL STORY (1 – 27) Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: LOOH DADA MARTHA 1 – 5 LOOH DADA MARTHA 6 – 10 LOOH DADA MARTHA 11 – 15 LOOH DADA MARTHA 16 – 20 LOOH DADA MARTHA 21 – 25 LOOH DADA MARTHA 26 – 27

Read More

LOOH DADA MARTHA Sehemu Ya 26 ILIPOISHIA :“Mimi na Martha wajina wangu, nani unampenda zaidi?” “Martha wewe.” “Basi mtumie meseji kwamba umeamua kuwa na mimi, hivyo jioni utakwenda kuchukua nguo zako tu.” “Mh! Atakuibulia ugomvi wewe.” “Mimi nipo tayari.” Wakati wakizungumza hayo, mara Martha akaingia… SASA TAMBAA NAYO MWENYEWE… “Anhaaa! Mungu kweli mkubwa. Leo nimeamini. Kumbe hii ndiyo biashara yenu siyo?” aliuliza Martha kwa sauti yenye kujiamini… “Hebu kaa kwanza hapo,” alisema Roi huku akitetemeka. Mama Anna alitetemeka lakini si sana. Martha alivuta kiti, akakaa na kusema… “Unasemaje wewe mwanaume mwenye majina mengi. Maana nimesikia una majina kama matatu hivi…

Read More

LOOH DADA MARTHA Sehemu Ya 21 ILIPOISHIA “Dogo hujambo?” alimsalimia muuzaji. “Sijambo.” “Eti, huyu kaka anayekaa hapa huwa anafika muda gani?” SASA ENDELEA… “Mh! We ni nani kwani?” “Mgeni wake.” “Kutoka wapi?” “Tanga.” Muuza duka huyo alimkodolea macho Martha akiwa anaonekana haamini kama alitokea Tanga. Tanga bila hata kibegi cha nguo!! “Kwani namba yake ya simu huna?” aliuliza muuza duka huyo. “Nampigia hapokei. Nikasema nije hadi hapa ili kama anakuja muda huu nimsubiri kama si muda wake nikatafute gesti ya kulala. Muuza duka huyo alijua kuna kitu kilimfanya Roi asipokee simu. Na kitu hicho si kingine ni jamaa huyo kuzama…

Read More

LOOH DADA MARTHA Sehemu Ya 16 ILIPOISHIA: Ilipita kama dakika tatu hakuna aliyekuwa akizungumza zaidi ya kuendelea kushikana kiaina. Kilichosikika ni kuhema kwa mama Anna ambaye sasa alionekana kama tayari amechaji. Roi alimsimamisha, akamshika mkono na kuondoka naye… “Tunakwenda wapi sasa?” aliuliza mama Anna. “Wewe twende tu, wala usiogope,” alisema Roi, tayari akili yake ilikwishahama kabisa, kwa kumwangalia tu, ingekufanya ujue tayari penzi lilimchukua. JIACHIE MWENYEWE SASA… Safari yao ilikwenda mpaka kwenye gari la Roi, mama Anna akapanda upande wa abiria, Roi akakalia usukani na kuanza mwendo mpaka nyumbani kwa Roi. “Karibu sana, hapa ndiyo nyumbani kwangu,” alisema Roi na…

Read More

LOOH DADA MARTHA Sehemu Ya 11 ILIPOISHIA: Walikaa kitandani, safari hii walikaa sanjari wote wakiangalia mlangoni, miguu yao ikining’inia kwenda chini. “Kwa hiyo we huwezi kukaa na mimi kama hivi huku tunazungumza?” aliuliza Martha huku akimwangalia Roi, Roi naye akamwangalia Martha kwa macho ya kiume, Martha akalegea, lakini akajikaza… “Mimi nitaweza bro,” alisema Martha huku akimwangukia mapajani Roi… “Ka…ka ja…ma…ni…” ENDELEA SASA… Roi alijikuta akitetemeka, mwili ulimwishia nguvu huku akihisi kizunguzungu cha mahaba mwilini mwake… “Sis…taaa…” aliita kwa sauti ya kiume, iliyotoka kwa mtetemeko. “A…be…ee,” Martha naye aliitika sauti iliyojaa maumivu na kusubiri tiba ya dhati kutoka kwa mwanaume huyo…

Read More

LOOH DADA MARTHA.. Sehemu Ya 06 ILIPOISHIA: Alikazana sana mpaka Liz akabadili mawazo… “Bro…oooo…” “Sist…aaa…” “Una..unaonaje tukiachana na undugu? Mbona kama huku ni kuzuri zaidi…Broooo…oooo…” JIACHIE MWENYEWE… “Noo…tuendelee sista…lakini tusirudie tena baada ya leo, tena tujikanye kabisa na tukome kama tulivyokoma kwenye nido za mama zetu, si ndiyo… eee?” alijibu Roi kwa sauti ya kubabaika… “Bwana…aaa! Mimi sitaki undugu tena kuanzia leo na ufe, kwanza una faida gani kwetu?” alihoji Liz lakini kikubwa kilichoonekana ni tamaa ya mwili iliyombamba kwa wakati huo pale kwenye kitanda… “Mimi nataka mbona,” aliendelea kusisitiza Roi. “Ba.n..aaa…si tumalize kwanza…tu…t ajadili.” Wawili hao, waliendelea kuchekecha mpaka…

Read More

LOO DADA MARTHA.. Sehemu Ya 01 Utangulizi… “Wewe una hoja Martha, kumbe unajua chakula kizuri… nikuambie kitu mke wangu.” Martha alipoisoma meseji hiyo, akaguna kwanza, akamjibu” “Mh! Nimekuwa mkea mara hii jamani?” “Kwani umeboreka kukuita hivyo?” JIACHIE MWENYEWE SASA… Martha hakujibu haraka, Roi akawa na presha kubwa ya kutaka kuiona meseji iliyofuatia kutoka kwa msichana huyo kuwa angejibu nini… “Si vibaya ila….” “Ila nini tena?” “Basi tuyaache kwanza.” “Sawa, nahitaji nikuone leo jamani,” aliandika Roi. “Leo?” “Ndiyo! Mbona umeshtuka hivyo mke wangu?” “Kwa leo hapana.” “Mpaka lini?” “Labda siku nyingine.” “Ndiyo nataka kuijua hiyo siku nyingine,. “Ila si nimekwambia nitakwambia…

Read More

DOCTA SIUMWI HUKOO Sehemu Ya 26 TULIPOISHIA Hakika ningekupoteza Adams kijinga sana ivi kina endelea nini kati yako na Janeth, Adams?” “kwa nini wauliza”,,. ENDELEA SULEE” “kwakuwa Janeth ana kuwa mkaidi sana kwangu mimi natena pale tu ninapo kuongelea” “kivipi sulee” “Jambo lolote tu sijuwi kwa nini mpaka ikafikia hatua akaniambia” “akakwambia nini” “Adams nijibu kwanza swali langu wewe na janeth mkoje, pia una mpenzi au huna” “sina mpenzi pia jane, nikwamba ana nitaka tuwe wapenzi ila mimi sitaki kabisa” “hapana Adams unanidanganya wewe na jane, ni wapenzi ndo maana akanitishia eti kwamba wewe una ukimwi ili niachane na wewe…

Read More

DOCTA SIUMWI HUKOO Sehemu Ya 21 TULIPOISHIA Nilimjibu hivyo kwakuwa nilikuwa nina hasira sana safari yakwenda Tegeta ilianza nilikodisha tax njiani nilikuwa nina mawazo mengi sana hata kufikiria wito wakwenda kwa Adams nilikuwa sina kabisa” ENDELEA Ehee nini kilicho kutuma umwambie Sulee kuwa hana ukimwi na kuwa mimi ndiye niliye fanya mpango huo” “shangazi sijamwambia mimi” “amejuwaje” “alikuwa akilalamika kichwa kinauma alienda kupima kaniambia alipima kama kinga zime shuka au zipo juu alipopima aliambiwa kuwa hana H.I.V. Nihapo alipo juwa, pia akaenda kwa dokta tuliko endakupima sikuile alimpeleka mahakamani ndiyo alikutaja kuwa wewe unahusika shangazi” “unajifanya mjanja eeeh subiri” dk45,…

Read More

DOCTA SIUMWI HUKOO Sehemu Ya 16 TULIPOISHIA “Sawa Sulee mimi narudia kijijini nikaanze maisha mapya” alisema Monica huku akitokwa na Machozi sana” “sikiliza Monica baki nasi hapa hapa mjini sawa utakaa na sisi” “kweli shangazi oooh Asante Mungu wangu” ENDELEA BAADA YA MIEZI MIWILI Dokta kisarawe alihama Dar na kuamia Morogoro huko alikutana na kijana mmoja aliye itwa Adams j maryo jr. Aliye kuwa mfanya biashara hapo Morogoro Dokta kisarawe aliacha kazi ya udokta na kuanza kufanya biashara anazo fanya Adams za Magari kutoka japani Maisha yalisonga sana kisarawe alikuwa mwembamba sana lakini alikuwa kanenepa vibaya ndani ya miezi mi3…

Read More

DOCTA SIUMWI HUKOO Sehemu Ya 11 ILIPOISHIA “Je, nikigundua umetembea naye?” “Nifanye lolote lile.” “Sawa.” ENDELEA Mume wa Monica alifika nyumbani akiwa amechoka sana. Mkewe alipomwona alitoka mbio kumlaki… “Pole na kazi mume wangu.” “Asante sana.” “Sasa ikawaje, mbona hujajibu meseji yangu wala hujapokea simu?” “Niache Monica.” Monica alishtuka sana kwani si kawaida mume wake kumwita kwa jina la Monica, alizoea darling au mke wangu, wakati mwingine alimwita mama. Akajua pana jambo zito limetokea… “Kwani kuna nini?” “Umenitumia meseji kwamba una limimba?” “Ha! Baby, nina limimba au nina mimba?” “Una limimba, mimba kwani kitu cha kufurahia wakati unajua kila kitu?”…

Read More

DOCTA SIUMWI HUKOO.. Sehemu Ya 06 Tulipoishia: Baada ya utambulisho, Dokta Kisarawe alimuomba Sulee awaache na Monica ili aweze kumsikiliza kwa umakini mkubwa,. “Sasa ENDELEA.. Sulee alitoka nje na kukaa kwenye benchi, lakini moyo na akili yote vikabakia chumbani kwa Dokta Kisarawe na Monica. Kilipita kimya kidogo bila kusikia sauti yoyote achilia mbali minong’ono… Akaendelea kukaa huku akijiuliza maswali. “Sasa mbona sisikii wakiongea…?” “Au…mh!…,” Sulee hakumalizi sentensi yake na kuishia kuguna. Kimya kikazidi kupita. Giza nalo likazidi kutanda, lakini hakuwa na jinsi zaidi ya kuendelea kumsubiri Monica aliyekuwa akipata tiba maalum. Kuna wakati alitamani avamie ndani ili kuona kilichokuwa kinaendelea…

Read More

DOCTA SIUMWI HUKOO.. Sehemu ya 01 Ulikwenda hospitali mke wangu?” Masofa alimuuliza mke wake Sulee. “Nilikwenda, lakini daktari kasema mimba nitapata tu ndani ya mwezi mmoja.” “Ndani ya mwezi mmoja utapata mimba? Inawezekana kweli? Hujamwambia kwamba tumehangaika kutafuta mtoto kwa miaka nane, sasa ndani ya mwezi mmoja mimba itapatikana vipi?” “Mimi sijui Masofa.” “Mh! Haya, kwa sababu tumeambiwa na mtu tunayemwamini tuangalie, labda kweli daktari yule atatusaidia. Hakusema uende na mimi?” “Hakusema Masofa, ila alisema kama naweza kesho na keshokutwa niende usiku saa moja ili anipime vizuri.” “Alikupa dawa?” “Dawa atanipa kesho.” Masofa alichukua simu akampigia rafiki yake Miraji… “Ee…

Read More

MWANAUME ANAWEZA KUPOTEZA HISIA ZA MAPENZI KWA SABABU ZIFUATAZO 1. Upungufu wa homoni za testosterone kadiri umri unavyozidi kuongezeka. 2. Matibabu ya magonjwa mbalimbali kama vile shinikizo la damu, ugonjwa wa moyo, kisukari,uvimbe,ulevi kupindukia, uvutaji wa sigara kupitiliza na matumizi ya dawa za kulevya. Vilevile kutumia dawa kali kama antidepressants na baadhi ya dawa za fungus. 3. Ugonjwa sugu kama vile saratani,unene kupitiliza, kufeli figo,mapafu,na ini huathiri sana hamu ya tendo la kujamiana. 4. Kuathirika kwa kujichua (Masterbation) – mwanaume ambaye ameathirika kwa kujichua kwa muda mrefu husababisha kupoteza hisia za mapenzi, 5. Kujihisi kuwa na Uume mdogo. Baadhi ya…

Read More

SABABU ZA MWANAMKE KUPOTEZA HISIA ZA MAPENZI Mwanamke anaweza kupoteza hisia za mapenzi kwa sababu zifuatazo: 1. MAUMBILE Mwanamke anaweza kupoteza hisia za mapenzi kwa sababu ya kupata maumivu makali sana wakati wa kujamiana ambapo vyanzo vinaweza kuwa kusumbuliwa na magonjwa mbalimbali kama saratani, arthritis, kisukari, shinikizo la damu,ugonjwa wa moyo,na magonjwa ya neurology vilevile vyanzo vingine ni matumizi ya dawa kali kama vile baadhi ya antidepressants hushusha chini hamu ya tendo la kujamiana. -Mitindo ya maisha inaweza pia kuathiri hisia za mapenzi kama vile unywaji wa pombe kupindukia, matumizi ya dawa za kulevya,uvutaji sigara kupitiliza husababisha kushuka kwa kasi…

Read More

LIMERENCE: TATIZO LA KUWAPENDA SANA WATU AMBAO HAWAKUTAKI NA KUWACHUKIA SANA WATU AMBAO WANAKUPENDA SANA LIMERENCE ni neno la kiingereza lenye maana ya hali isiyoweza kuzuilika ya kiakili na kihisia ambayo husababishwa na hisia za mapenzi kwa mtu mwingine ambapo mtu hujikuta anatumia muda mrefu sana kumfikiria sana mwanaume au mwanamke huku akitamani mtu huyo aonyeshe kiwango kilekile cha upendo ambacho yeye anakuwa nacho kwa mtu huyo. Kwa maana kwamba unamuona mwanaume au mwanamke popote pale kisha unakuwa na hisia kali sana za mapenzi juu yake mpaka unaanza kujenga taswira ukiwa na mtu huyo kitandani au ukiwa umemuoa au umeolewa…

Read More