NISUGUE HADI NIJIKOJOLEE
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
NAMBA 01
“aaaaah…………………….aaaah………ah” miguno ya kimahaba ilisikika katika chumba cha Vailet
“Bado tu?” aliuliza kijana aliyekuwa akimsugua taratiiibu chumbani
“Mmmmh…..bado honey…..aaah…..ah” alizidi kulalamika Vaileth akiwa anasuguliwa kwa mwendo wa taratiiibu na kijana Chid t katika uchi wake uliokuwa umebanwa ndani ili iweze kupita katika kuta zote zilizojaliwa kuwa na utelezi mtamu wenye kukojolesha kwa haraka
Chid aliongeza speed na kupiga kwa haraka haraka, ndipo Vaileth akanyanyua mikono yake na kumzuia tumboni…halafu akamtazama kwa ukaribu Chid “Taratiibu honey….nataka nichelewe kukojoa…mwenzako nasikia raha unavyonisugua….” aliongea huku akiitoa mikono yake tumboni mwa Chid halafu akamshika kiuno Chid akashuka taratiiibu ikaingia huku ikipekenyua vipele vidogo vidogo vilivyokuwa vimeota ndani ya uchi wa binti yule “Aaaaaa shiit….una fimbo inayojua kuchapa vizuri Chid…. I love you” alisema huku akimpapasa kiunoni na kubinua miguu yake juu halafu akapelekea mkono mmoja kwa chini ya wowowo yake akazishika korodani za Chid akaanza kuzipapasa na macho kafumba huku akiisikilizia mashine ilivyokuwa ikimpa raha mathubuti.
Chid alipiga taratiiibu halafu akatoa ulimi wake ukawa unatekenya sikio la Vai taratiiibu.
Vailet alifumba macho na kutoa tabasamu la hisia, alikuwa anasikia raha ambazo sio za kawaida. Alizidiwa na kujikuta anakata kiuno taratiibu, huku akimshukuru kaka yake ambaye miaka 11 iliyopita alimuua ngariba aliyekuja kwa ajili ya kumkeketa binti huyo kipindi alipokuwa ameanza kuvunja ungo.
Huku akikata kiuno taratibu kabisa kwa ajili ya kupata msuguo, binti alijiuliza kichwani “Hivi wangenikata kisimi changu hizi raha ningezisikia wapi jamani….asante sana kaka Robby” alisema na kumvuta Chid kwa karibu akawa anampa busu lililoenda shule.
“Vaileth napenda sana jinsi ulivyo na K inayobana, hakika nainjoi kut…mbana na wewe…” Chid aliongea kwa hisia na kuzishika nywele za binti halafu akachomoa mashine iliyolowa.
Vailet haraka alimuachia halafu akainuka na kuketi akaiweka mashine usawa wa mdomo wake na kuanza kuimung’unya taratibu. Chid alijikuta anapiga kelele naye, huwezi amini ni mtoto wa kimasai lakini anajua sana mapenz. Alijikuta anampa ahadi kubwa “Hakika lazima nitakuoa Vai” alisema lakini Vai hakujibu maana alikuwa anahangaika kunyonya mjegeje wa kijana huyo.
Ilikuwa ni burudani tosha. Vaileth alimnyoosha Chid kwa mahaba aliyompatia. Chid alipagawa na mtoto wa kimasai, mtoto Vaileth Laizer, fundi wa kuidekea mashine na kuimung’unya
“Ulijifunzia wapi?” Chid alimuuliza Vai lakini wapi alikuwa hajibu kabisa alikuwa anahangaika na korodani akizifinya finya.
Baada ya Vai kuridhika katika kunyonya, alishuka na kubong’oa kando ya kitanda halafu akamtazama Chid ambaye aligara gara kitandanii. Vailet alitabasamu na kumuita Rashid “Njoo….nikojoleshe mume wangu” alisema kwa hisia kali.
Chid alikuwa hajakojoa hata cha kwanza lakini kwa mahaba ya Vai alijikuta ameshachoka kabisa. Alijikokota akashuka kitandani na kukaa nyuma ya binti halafu akalipiga kalio kofi “Aaaah….mbona kama tamu hiyo?” aliuliza Vai ndipo Chid akalipaka mate gwandumba lake na kusogea akabinua tako la Vai akakiona kipompoli kile pale.
Rashidi mzee wa kazi alimchapa kofi lingine kalioni halafu akaupeleka mjeledi, Vai akanyanyua kiuno juu zaidi ili iingizwe tena.
Rashid aliupeleka wembe, ukaanza kuingia kwa kusua sua, baadaye ukakaa katika mstari ukazama na kuacha pumbu tu, juu kwenye kitumbua cha mtotot wa kike. Rashid alipaka dole gumba mate halafu akalipelekea juu ya kishimo cha tako la binti akakitekenya, acha Vai apige kelele “Assssh….usiushike mku….nd wangu uwiiii” aliongea kimahaba na kuanza kukatika kwa fujo ikapelekea kulilenga tumbo la Chid na kutoa sauti pah pah pah na utamu ukazidi kukolea.
Nje dirishani na mlangoni majirani walijaa huku wakisikiliza jinsi Vai alivyokuwa akipelekewa moto “Hakika, huyu binti anapenda mb…” alisema Mama Tausi ambaye alikuwa ni mpangaji jirani, halafu akapiga makofi na kurudi ndani huku akiwashwa tayari.
“Mbona kelele sana, anafi…wa nini?” aliuliza Musa msimamizi wa gereji iliyokuwa nyumba ya dirisha la chumba hicho Vai alichokuwa amepanga.
Msuguo uliendelea, kelele kama zote, Vai alibinua tako juu na kumuacha Chid hoi anakojoa huku miguu inalegea, kijana wa watu masikini kutoka Lindi, Ungindoni alijikuta anapiga magoti chini kwenye kapeti pwaa huku uume wake ukirusha shahawa uvunguni.
Vaileti licha ya kummaliza jamaa bado aliendelea kukatika, tako lake la washani liliruka ruka na kudondosha ute ute.. alipomtazama Chidi akiwa chini, binti alitabasamu na kumgeukia akamnyanyua na kumlaza kitandani wakiwa wamekumbatiana.
Chid alikuwa akihema kama vile ametoka kwenye ndoto mbaya, jasho lilimtoka huku mashine akifumba macho na kutamani kulala kabisa.
Vailet alimpandisha vizuri kitandani halafu akalala kando yake na kumuita “Mpenzi wangu”
Chid aliitika kiuvivu “Nmmh”
“Pole honey” alisema mtoto wa kike huku akibana pua mithili ya Wema Sepetu
“Daah” Chid aliguna kwanza na kusema “Asante mke wangu….hakika umeniweza”
“Umeridhika Rashid?” aliuliza mtoto wa kike
“Sana tu, na natamani nihamie huku maana nimekupenda sana, umejua kunifurahisha, hiki ni kimoja tu umenipa ila nimeridhika utafikiri ni vitano. Nina uhakika, sitotamani kwa siku tano kuanzia sasa”
“mmmh” Vai aliongea kwa tabasamu maana alikuwa amejua kwamba ameshamchanganya Chid “Ni ya kweli hayo au unasema hivyo kwa sababu ndo mara ya kwanza mimi kukupa?” aliuliza Vailet
“Hapana kweli ninakupenda”
“Ukisikia hamu utakuja kunisugua tena Chid?”
“Sana tu, nitakusugua popote unapotaka mke wangu?”
“Hata, mk…nduni utakubali kunisugua nikikuomba?” alisema Vai bila aibu ndipo binti Chid akmtazama kwa mshangao kidogo
“Hata nyuma pia huwa unapenda?” aliuliza
“Mh, hapana bana sijawahi, but nasikia kutamu Chid…..” aliongea kwa hisia
“Sifahamu sijawahi”
“Haya sawa mume wangu”
Vailet na Rashid walikuwa ni wapenzi wapya walikutana siku tatu zilizopita, na walipokutana Rashid aliomba namba, na hata bila kutongozana alishangaa binti anamkaribisha kwake na alipofika wakaanza kut….mbana bila hata kumuomba
Walisinzia wakati ule na mida ya saa nne na nusu, usiku Rashid alishtuka usingizini akashangaa kumkuta Vai akiinyonya mashine yake taratiibu huku akijipiga vidole mwenyewe
“Vai bado hujaridhika tu?”
“Bado kidogo mpenzi naomba niikalie nikojoe tena, halafu nitakuambia kitu mume wangu” alisema kwa hisia na kujichapa na mashine kwenye mashavu.
Rashid alibaki akimshangaa Vai kwa jinsi alivyokuwa amebobea kufanya ngono. Alishangaa hasa, na hata kujikuta anashindwa kuongea chochote. Vai alimpanda na kuikalia akaanza kusonga ugali/ngalawa taratiiibu huku kelele zikimtoka kama mbwa waliokuwa kwenye mkutano
“Uwiiii……asssssh….Nsugue mpaka Nijikojoleee……aaaaaagh” majirani wote walibaki macho maana walisikia jinsi kitumbua kilivyokuwa kikilia kila ilipozama na kuchomoka……….
NAMBA 02
Baada ya kusuguana kwa muda mrefu sana, mida ya saa saba, Chid alimuaga Vaileth na kuenda zake nyumbani. Alikuwa amejenga mtaa wa Gelege, uliokuwa katikati ya mji mkubwa uitwao Farisayo. Rashid alikuwa ni dereva bodaboda katika mtaa huo. Pikipiki yake alikuwa ameipaki katika sheli moja iitwayo LakePetro muda aliokuja kumsugua Vailet.
Akiwa anatembea taratibu kuelekea katikati ya mji wa Farisayo, kijana Rashid aliwaza mengi, alijiuliza “hivi Vailet ni mtu ama ni mashine” maana alikuwa amepewa vitu adimu. Yaani kwa kifupi ni kwamba Vaileth alikuwa ameshamuachia mawazo mengi sana Rashid kwani alikuwa hajaamini kwamba atakutana na mafundi wa aina hiyo.
Alipokuwa anakatiza kwenye mitaa ya Farisayo aliona wanawake wazuri wakijiuza, wanamuita “Njoo kaka ya kwangu mi haina maji….ni kavu….ona tako” lakini akili yake haikuwepo, hamu zote alishazimalizia kwa Vaileth.
Alitembea mpaka LakePetro kwenye kile kituo cha mafuta, akaingia sehemu ambapo alikuwa ameweka pikipiki yake, ndo akagundua kuna mwanamke ameshalazwa juu ya pikipiki anatandikwa pale pale huku akipiga kelele za raha kwa utaratibu kabisa.
Rashid hakuona wivu, ila mwili ulikuwa umemchoka na alihitaji kwenda kulala maana alishafanya jambo lililompa uchovu
“Ah kudadeki wanaitia gundu katika baiki yangu?” alisema kwa sauti ndogo na kurudi nyuma awasikilizie wamalize uchafu wao.
Watu wale walipeana raha kwenye pikipiki ya Chid hadi wakaridhika, binti aliondoka zake na baada ya dakika moja yule mwanaume aliyekuwa akimpakua naye alichomoka taratibu ameshafaidi.
Rashid alichukua pikipiki yake akaondoka mpaka nyumbani. Alipofia nyumbani alijilaza kama pono, yaani alikuja kushtuka saa 3 asubuhi baada kupigiwa simu za mfululizo na Vaileth.
Rashid alipokea simu akaongea kiuchovu “Hallo”
Vaileth akamdekea “Rashid mwenzako mi sitaki”
Rashid akasema “Nimekosa nini mpenzi wangu lakini?”
Vai akasema “Nimekupigia mara tatu hujapokea, ulikuwa na nani lakini?” binti alionekana mwenye wivu mkubwa sana kwa kijana Chid
Rashid akasema “Sijasikia chochote, nimelala kinoma”
“Heh yaani jana tu umechoka hivyo jamani akati tumefanya kidogo tu?”
“Weee…kidogo? acha mambo yako, mwezi mzima sidhani kama nitapata hamu tena…ila Vai wewe ni fundi sana, na nakuhakikishia sijawahi kufanya mapenzi nikaridhika kam nilivyoridhika kwako”
“Hahahaaa…asante”
“sawa, nakushukuru sana”
“Haya endelea kupumzika ila saa tano uamke ukatafute hela, sawa?”
“Sawa mama yangu”
“ok”
Vaileth alibobea katika kufanikisha penzi lake liende mbele. Alishawahi kufanya biashara ya mwili, lakini alipofika mbeleni aliacha na kuona kama vile anajiumiza kisaikolojia.
Vaileth alishuka kitandani mida ya saa kumi na mbili jioni akaingia bafuni kwani chumba chake kilikuwa ni masta, yaani kikiwa na choo ndani ambayo pia ni bafu humo humo.
Binti huyu alioga na kuswak halafu akavaa nguo fupi kisha akatoka na kufunga mlango. Vaileth alienda mpaka katika bar moja iliyofahamika kwa jina la L&S Bar akazama ndani na kuketi kwenye meza huku akitazama kule na huku.
Kwa bahati nzuri kuna kijana mmoja shombe shombe alikuja na kuketi karibu yake kisha akamsalimia “Hello mrembo” alisema kijana huyo
Vaileth alitoa tabasamu pana kisha akajibu “Mambo”
“Powa mzima wewe?” shombeshombe yule alimuuliza
“Mi mzima hofu juu yako” alisema binti
“Niko powa sana mrembo, mbona umekaa bila kinywaji?” aliuliza kijana yule
“Aaah nimekuja kumsalimia rafiki yangu anauza hapa ila naona yuko bize sana, sikuwa na ratiba ya kunywa leo” Vaileth alijielezea
“Mh, haukuwa na ratiba ya kunywa leo…lakini kwa kuwa rafiki yako hayuko free, kwanini usinywe tu ukimsubiri awe sawa?” aliuliza kijana huyo, halafu ghafla muhudmu alimletea bia aina ya Desperado
“Ah…mh hamna” alisema binti huku akijichekesha chekesha…..
“Unakunywa bia gani?” aliuliza yule kijana
“No bia sinywi, may be Wine ya Imagi” alisema mtoto huyo aliyekuwa na uzuri wa peke yake
“Ok…” yule shombeshombe alimtazama muhudumu halafu akamuambia “Msikilize huyu dada”
Vaileth alikuwa akifahamiana na yule muhudumu lakini alimkonyeza ili asumuharibie maana alishaona dili tayari.
“Naomba Imagi dada”
“Usijali”
Muhudumu aliondoka na kwenda kumletea kinywaji, lakini wakati wanakunywa shombeshombe akasema “Mimi naitwa Alhakeem…vipi wewe unaitwa nani?”
“Mi naitwa Vai” alijibu mtoto wa kike
“Oh Vai jina zuri sana….unaishi mitaa hii hii?” aliuliza mtaalam
“Niko mtaa wa tatu kutoka hapa…but napenda kuja huku kupoteza muda tu wakati niko free”
“Sawa sawa”
“wewe unaishi huku au?” aliuliza mtoto wa kike
“Hapana nimekuja kikazi nitakaa kama wiki hivi”
“Kazi gani?”
“Mimi ni director wa video na movies, nimekuja kushoot maeneo haya”
“Mh haya umetokea wapi?”
“Natokea Mkoa wa Pwani”
“Sawa…karibu Farisayo”
“Asante”
Wakati wakiongea ongea pale, kijana aliletewa chips, kwani alikuwa ameshaagiza muda mrefu uliopita. Aliwekewa pale mezani kisha akamtazama Vaileth na kumuambia “Utakula chips?”
Vai alitizama zile chips kisha akasema “Hiyo si umeagiza ya kwako tu?”
“Tule hii halafu tuagize nyingine” alisema huku akimuita kwa ishara mtengeneza kiepe. Mkaanga kiepe alipokuja alimuambia “Niwekee nyingine na mishkaki minne”
“sawa mkuu”
Yule kijana aliondoka na kuwaacha Vai na Alhakeem wakiwa wanapiga story mbili tatu huku wakitafuna kiepe.
Mazoea yao yalikuwa kama walishawahi kuonana kabla, walikunywa sana usiku ule na kupelekea binti kulewa kwa kunywa wine nyingi sana.
Alhakeem alimshika binti begani na kumuambia “Vipi twende tukapumzike” alisema mwamba na kuinuka anataka waende zao mahali wakakulane
“Mh….bhana” alisema Vai, Jicho lilikuwa limemlegea haswaa kwa sababu ya ulevi. “Utanisaidia elfu arobaini?” aliuliza Vaileth
“Usijali wewe twenzetu”
Hakuwa na kipingamizi Vaileth aliinuka na kuongozana na kijana yule mpaka kwenye gari, wakiwa kwenye gari walianza kupigana mate taratiibu mpaka ilipofika mida mibaya wakaamua kwenda kwenye chumba ambacho kijana huyo alikuwa amelipia kwa wiki nzima.
Vaileth alipelekwa chumbani akalazwa kwa mbwembwe, alivulia nguo zote akabaki uchi wa mnyama, Shombeshombe Alhakeem alijikuta ni mtaalam sana, aliamua kumuonyesha miujiza ya pwani hata akamnyonya kila mahali mpaka kule.
Vaileth alisikia raha za ajabu wakati akinyonywa maeneo, alinyanyua na kumvuta Alhakeem ambaye alikuwa na boxer tu, akaito na kutoa kijiboo kidogo sana kwa watanzania wanaita kibamia.
“Mh” alisema binti lakini alhakeem alimvamia na kutaka kuichomeka kabla hakijaingia jamaa akamwaga pale pale nje tena akipiga kelele za mbwa mwitu “Uuuu aaaaah…..fgggggggggh”
“Ndo tayariii?” aliuliza Vaileth
“Ndio baby….ni tamu”
“Khaa” Vaileth aliongea kwa hasira maana alikuwa ameshandwa na genye za kutosha, mwili mzima ulimsisimka alikuwa hoi bin taabani.
Kila alipotizama kimashine cha mwamba Alhakeem kilikuwa kinanywea na kuzidi kuwa kadooogo kabisa. Alhakeem alijilaza pembeni na kuanza kukoroma Vaileth akamtikisa kwa hasira “Wee nipe hela niondoke” alisema
“Si ulisema unalala?”
“Nalala ka mb** ipi? Embu nipe hela bwana mi nitaleta vurugu hapa” alisema mtoto wa kike
Alhakeem alimvuta na kumuuliza “Umeinjoy?” ilibaki nusu tu Vai amtandike kibao………..
NAMBA 03
“Niaaaacheeee” Vaileth alisema kwa hasira na kumsukuma Alhakeem kule, yaani kwa kifupi huyu shombeshombe alikuja kuudhalilisha ukanda wa pwani katika kambi ya Farisayo
“Mmmmh….basi sikupi hela” alisema Alhakeem, ila ghafla binti akaikwapua simu ya mwamba na kushuka kitandani akachukua nguo zake na kutoka uchi bila kujali.
Walinzi waliokuwa getini walishangaa mtoto yule yuko uchi wa mnyama halafu akakimbilia kwenye kijumba cha walinzi akaomba avae nguo zake
“Kwani imekuwaje?” aliuliza mlinzi
“hataki kunipa hela yangu”
“Ndo ukimbie?”
Wakiwa wanamuuliza maswali pale, mara Alhakeem naye alitokea akiwa amevaa suruali na vest tayari
“Samahani mmemuona binti katoka akiwa anakimbia?” aliuliza maana binti alikuwa ndani ya kibanda cha walinzi anamalizia kuvaa
“aaah…mh…ametoka kwani vipi?”
“Ameondoka na simu yangu”
“Kwanini achukue simu yako?” aliuliza mlinzi
“Sijui, nahisi ni mwizi” alisema Alhakeem
Mara sauti ikatoka kibandani “Mi mwizi? Mimi mwizi?” alisema Vai huku akitoka, ameshavaa nguo na sura ya shari
“Kumbe nani? Nipe simu yangu. Kumbe uko hapa?”
“Usiniite hivyo mimi. Nipe hela nikupe simu yako”
“Ah…aaaah hatutaki ugomvi hapa” mlinzi alisema “Kwani wewe binti unamdai huyu kijana shilingi ngapi?”
“Tulikubaliana elfu arobaini”
“Haya kijana mpe pesa yake…la sivyo tutamruhusu atoke”
“Daaah”
Alhakeem hakuwa na la kufanya, alirudi kule ndani akachukua wallet na kutoka akamuhesabia shilingi elfu arobaini binti akamrudishia simu halafu akaondoka zake.
Kilichomuuma Alhakeem ni kwamba hakufanikiwa kuingiza kitu chake, yaani ile pesa aliitoa bure bure tu.
Naye Vaileth alipanda pikipiki akarudi zake katika nyumba aliyokuwa amepanga. Alipofika alifungua mlango akaingia na kuoga kisha akajilaza akiwa amevaa chupi pekee.
Mwili wake ulikuwa umebaki na hamu, kwa kifupi yule mwamba alikuwa amemuachia hamu maana hakumfikisha pale binti alipokuwa anapataka, Vaileth alizoea mashine hasa.
Akiwa amelala chali alianza kujishika shika maziwa pekewa yake ili ajipe raha, alijipapasa taratiiibu kwa hisia halafu akatelezesha mikono yake mpaka kitovuni, akaushika mpira wa chupi akaunyanyua na kuzamisha mkono ndani akajitekenya
“Aaaaaagh……ssssssshit” alisema kwa hisia Vailet halafu akakibinya kinembe chake kwa hisia akaanza kuloa taratiibu.
Vaileth alijitega vizuri akajiingiza vidole vyak viwili halafu akajisugua, ambapo alijisahau na kupiga kelele “Aaaagh aaaagh” aliongea kwa nguvu, ukijumlisha ulevi ambao ulikuwa kichwani mwake, aliona ni bora awashe redio kwa nguvu ili majirani wasisikie akipiga makelele.
Aliweka sauti kubwa sana ya redio wakati ilikuwa ni usiku sana na majirani wamelala. Jirani mmoja ambaye alikuwa akiishi chumba jirani kabisa na cha Vai alipatwa na hasira, sabufa inadundia hadi moyoni, ndipo akashuka kitandani na kufungu mlango akatoka na kwenda kumgongea Vaileth
“Ngo ngo ngo ngo ngo ngo ngo ngo ngo” aligonga kwa nguvu sana “Hodiiii….wewewe Vaiiiiiiiii” alisema kwa hasira sana “Ngo ngo ngo ngo ngo” alizidi kugonga kwa hasira zaidi “Punguza sauti ya redio bwana usiku huu tumepumzika sisis”
Kwa mbali Vaileth alisikia sauti ya kiume, akashuka kitandani, chupi imeshamloa tayari imelowa maana hakuitoa wakati anajipa raha
Alisogea mlangoni akafungua na kuchungulia kwa kuonyesha uso tu nje “Maambo” alisema kwa mideko iliyoenda shule
“Fresh…Mbona unaweka sauti ya juu hivyo usiku huu? Wenzako tunataka tulale bwana” alisema kwa hasira
“Sorry” alisema binti huku akimtazama yule kijana aliyefahamika kwa jina la Elimo alikuwa amevaa bukta halafu kifua wazi, saa ngapi Vai asimtamani.
“Upunguze basi” alisema Elimo
Vaileth alifungua mlango wote na kusimama mlangoni, na alikuwa na chupi tu, chuchu ziko waziwazi kabisa “Njoo basi unisaidie kupunguza?”
Mdomo ulimbaki wazi Elimo akawa anamshangaa binti huyo aliyuwa ameamua kumuonyesha asilimia 95 ya uchi wake
“Mh…” elimo aliguna
“Mbona unaguna? Ingia bhassi” alisema binti kiukweli alikuwa anahitaji sana dozi lakini Elimo alikimbia na kwenda chumbani kwake akajifungia.
Vaileth alipunguza sauti halafu akajilaza kitandani bado alikuwa na genye za hatari. Alifumba macho akaendelea kujipapasa kwa hisia maana alikuwa anautaka haswa mchi umkune kwenye kinu chake.
Upande wa Elimo naye alibaki na mawazo tele akiwa chumbani, alilala na kuwaza inakuwaje mbona mtoto anamtaka yeye mwenyewe halafu anakataa fursa. Mwamba mashine ilimdinda akajikuta naye anatamani angalau akamuonje mtoto huyo wa kike.
Alivua bukta yake halafu akaanza kujipigisha nyeto, huku akimvuta yule binti kwenye mawazo yake. Alipopiga akaona kitu hakitaki kutoka, alishuka kitandani na kusema “Liwalo na liwe naende kumt**ba manina” alisema na kuipandisha bukta yake halafu akafungua mlango na kutoka nje.
Alipofika nje aliufunga mlango wake kisha akapiga hatua chache kuufikia mlango wa chumba cha Vaileth. Alipofika aliwaza kwa sekunde kadhaa kisha akagonga mara moja ngo
Vaileth kule ndani alishtuka na kuketi kitandani na kuuliza “Nani wewe?”
“Elimo hapa” alisema Elimo
Vai alishuka haraka akasogelea mlango na kufungua akamtazama na kumuuliza “Umerudi?”
“Ndio, nimepatwa na…” kabla hajamaliza sentensi, Vai alimvuta kwa nguvu jamaa akazama chumbani bila kutarajia. Vai alifunga mlango halafu akamsukuma Elimo kitandani akalala chali, halafu akapiga magoti na kuishusha bukta.
Vai alikuwa na hamu sio ya nchi hii. Aliushika mlunda wa Elimo akautia mdomoni halafu akaufyonza kwa hisia na kuuachia akalia “aaaaaa….nimemiss uboo” alisema binti huyo halafu akaurudisha tena mdomoni na kuunyonya kama pipi kijiti
NAMBA 04
Vai aliunyonya mtarimbo wa Elimo taratibu, ulikuwa mrefu ila mwembamba alihangaika nao mdomoni, huku akijipenyezea kidole mwenyewe kwa chini akawa anajitekenya.
Miguno ya burudani za nye** zilimtoka puani binti Vaileth na kujikuta anataka kukojoa kabla mashine haijatumbukizwa. Elimo alijikuta anahema kwa hisia kwani kila binti alivyopandisha na kuushusha mdomo wake, alimtekenya kwenye kichwa cha mjeledi.
Alimuita kwa furaha na kulia aaaass akasema “Vaileth”
Vai nayea akaitika kupitia puani “Mmmmh”
“Unanipa raha ambayo sikuwahi kuipata, hakika ninasikia raha sana” alisema Elimo huku akikipapasa kichwa cha mwanamke huyo kilichokuw kimesheheni nywele za gharama kubwa huku zikimdondokea tumboni wakati binti akiwa anaimung’unya pipi.
Vai akiwa ananyonya, Elimo alipeleka mkono katika kiuno cha binti akaanza kushika chupi na kuishusha taratibuu….. Vai hakuwa na kipingamizi juu ya hilo, alimuacha kijana amvue maana mwenyewe alikuwa anatamani asuguliwe hadi ajikojolee.
Chupi ilishuka hadi magotini, Elimo akaiacha kwanza na kuanza kuchezea msambwanda wa Vai kwa kuupapasa na kuubinyabinya kama vile anapima kuiva kwa parachichi.
Vailet aliutoa uboo mdomoni akawa analia kwa hisia na kunyanyuka akajiketisha kitandani halafu akaivua ile chupi na kubaki kama alivyozaliwa. Vivyo hivyo Elimo naye alivua bukta na kubaki kama alivyozaliwa. Vaileth alimlaza Elimo chali halafu akampanda kwa juu na kuukalia mtarimbo akaanza kuhangaika nao
“Aaaagh……sssssssh……” alilia kwa utamu uliokuwa umemkolea huku akipapasa kichwa cha Elimo na maziwa kamtilia usoni mtaalam akawa anayanyonya taratiibu ziwa moja moja.
“Taaam. Honey leo nising….eeeweza kulala bila kutombw……aaaash nitekenye” alisema huku akikizungusha kiuno chake taratiiibu kwa hisia, mtoto huyu wa kike alikuwa anapenda mnooo kunyanduliwa.
Baada ya Elimo kuona anakaribia kukojoa alimdondosha binti pembeni halafu akamzungusha na kumlaza kifudi fudi. Vaileth alinyanyua kiuno na kupiga magoti kitandani halafu akamtengea kwa nyuma kijana ajipimie raha ya raha zote.
Taratiibu Elimo aliupaka mkambau wake mate akaupelekea kunako kitumbua safi kilichonyolewa vyema kisha akaulengesha. Alipoulengesha binti alipiga kelele “Aaaaaagh……” ikaingia yote zikabaki korodani tu juu.
Elimo alishika kiuno cha mtoto wa kike halafu akaanza kuchochea kwa speed isiyo ya kawaida. “Auuwiii….auuuuwiiiiiii” alipiga kelele mtoto wa kike na kujibinua vizuri akazidi kumtengea ikiwezekena alitamani hata pumb* ziingie kunako ili tu akojoe.
Elimo alichochea akachochea akachochea. Kelele za mahaba zilitawala nyumba ile nzima, kila mwenye ndoa aliyesikia ile sauti alimvuta mwenza naye akapewa utamu
“Paah paaah paaah paaah” ilikuwa sauti iliyotoka kila mara pale Elimo alipoingiza na na tumbo lake likagusa tako la binti Vaileth.
“Uwiiii….mwanaume mtamuu wewee…..aaaagh” alisema kwa hisia Vaileth na kubinuka juu zaidi.
Kadri alivyobinuka ndivyo uchi wake ulivyozidi kuibana mashine ya Elimo na hata kupelekea wote kujisikia kukojoa “Asssh aaash ooooh nako….” wakati anasema hivyo, Elisha alichomoa na kumchapa nayo makalioni, Vaileth alikojoa mkojo wa kweli huku akilalamika “Irudishe nikojoe Elimo please baby” alisema binti, na Elimo aliipeleka akaizamisha yote.
Vaileth alipoisikia alianguka kitandani huku akiishiwa pumzi na kumuacha mtaalam akihangaika. Vai alilegea baada ya kutekenywa mara mbili tu alikojoa na kuwa mpole.
Elimo alipoona hivyo alimshika kiuno halafu akamtandika fasta fasta na kuhakikisha amemkojolea ndani bila kujali.
“Ooooooopsssh” walivuta pumzi iliyo ndefu sana, Kila mmoja alijichokea wakajifuta na kujilaza huku bongo zao zikihitaji kupumzika tayari.
*
Saa 9 usiku Elimo alishtuka usingizini akatazama na kugundua sio chumbani kwake, kwa kuwa hakuwa na hamu alishuka taratibu na kufungua mlango akaenda chumbani kwake kuuendeleza usingizi. Alilala masaa mawili tu ndipo akaamka na kujiandaa akaenda zake kwenye mishe mishe.
Saa tatu asubuhi ilipofika, Vaileth aliamka kichwa kikiwa kinamuuma hasa, alipoona kichwa kinauma alishuka kitandani akaenda bafuni kuoga, alipomaliza kuoga na kuswaki alirudi akavaa nguo zake na kuweka chumba safi kisha akaichomeka simu yake kwenye chaji, akatoka na kufunga mlango na kuelekea mtaani.
Watu wote mtaani walijua huyu binti hana kazi yoyote pale mjini, walijua anafanya kazi ya kujiuza, lakini binti mwenyewe kwenye saikolojia yake alikuwa ameshaacha kazi ya kujiuza. Vaileth alinunua Fanta Orange, halafu akainywa haraka ili imuondoe katika hang-over halafu akaelekea mtaa mmoja kulikuwa na kanisa fulani.
Vaileth aliingia ndani ya lile kanisa akaenda pale mbele kabisa akapiga magoti na kuomba kimoyo moyo, ghafla machozi yalianza kumtiririka yule binti huku akianza kumuita Mungu “MUNGU……MUNGU WANGU…….MUNGUU……..MUNGU BABA” alisema binti kwa uchungu machozi yakawa yanamtiririka mashavuni
“AAAAIIIIIIGH………AAAAGGGGGGGGGH” alilia kwa sauti sana mtoto yule wa kike, alikuwa akiumia sana kila alipokuwa akikumbuka maisha yake yalivyokuwa yakienda “KWANINI MIMI MUNGU?? KWANINI???” alisema kwa uchungu mwanamke yule na kuinuka akaanza kumuomba Mungu wake kwa nguvu sana “EEE YESU…….YESU WANGU NIMEKUOMBA NIACHE BIASHARA YA MWILI….MBONA UNANIACHA NATESEKA KIASI HIKI BABA YANGU LAKINI? KWANINI EH MWENYEZI MUNGU WANGU KWANINI VAILETH? AU NIBADILISHE JINA TU MUNGU…….AGH NIMECHOKA….NIMECHOKA MUNGU WANGU” alisema kwa uchungu uliokuwa umemkithiri tayari
Huyu Vaileth alishajaribu sana kuacha biashara ya mwili wake lakini mara nyingi huyu msichana anajikutana anaangukia katika vitu vinavyompelekea yeye kujiuza.
“NISAIDIE EE MUNGU WANGU…NISAIDIE NIPATE MUME….MBONA NAKUTANA NA MATAPELI…..SADAKA NAKUTOLEA, NAKUOMBA KILA SIKU LAKINI MBONA SIBADILIKI? KWANINI UMENITELEKEZA MIMI MWANAO MUNGU WANGU? MIMI NILISOMA KWA BIDII LAKINI MUNGU KAZI IKO WAPI EE BABA? NAOMBA…..NAOMBA EE YESU…NIONDOLEE HILI LIROHO LA UMALAYA…NISAIDIE NIPATE AJIRA NINAJUA NDIO ITAKUWA UKOMBOZI WANGU….AU MUNGU NIPE BASI HATA MUME ANAYEELEWEKA ILI NITENGENEZE FAMILIA YANGU? KWANINI NATESEKA HIVI?…….AAAAH AAAAGH MUNGUUUU”
Siku ile Vaileth aliomba kwa muda mrefu sana. Alipomaliza maombi yake ya muda mrefu alisogea nyumba na kuketi kwenye kiti cha lile kanisa, akawa anajifuta machozi.
Kumbe wakati wote alipokuwa akimuomba Mungu, mchungaji mpya wa kanisa lile alikuwa amesimama katika dirisha la kanisa akawa anamchungulia binti alivyokuwa akiweweseka kule ndani. Alikuwa mchungaji mdogo, mwenye takribani miaka 29 tu na alivaa miwani akaivua na kufuta machozi kisha akatazama juu angani na kusema “Ee Mungu tazama jinsi watoto wako wanavyoteseka, embu wakombowe bwana” alipomaliza hivyo alivaa miwani kisha akaondoka zake kurudi katika ofisi yaka kama mchungaji.
Vaileth alikaa pale akiwa anatafakari mengi sana, hadi njaa ilipomuuma ndipo aliondoka na kwenda nje akatafuta chakula, akala na kurudi nyumbani kwake huku akiwaza mambo mengi.
Aliikuta simu yake ikiwa chaji imeshajaa, akaitazama kuna simu fifi (Missed calls) mbili ambazo alikuwa amepigiwa na Rashid….binti aliitoa chaji na kumpigia Rashid huku akijitia moyo kwa kusema ‘huenda ikawa Rashid ndiye mume sahihi ambaye Mungu amenichagulia’
JE ITAKUWAJE?
NAMBA 05
“Hallow…” alisema Rashid baada ya kupokea simu
“Mambo” alisema Vaileth
“Safi mbona hukupokea simu yangu?”
“Ah..nilikuwa bize kidogo, niambie Chid”
“Nilipita hapo kwenu nikakukosa, nilitaka nikusalimie”
“Oh jamani, sorry nilitoka” alisema mtoto wa kike
“Ok, umesharudi?”
“Ndio….”
“Sawa baadaye nitakuja kukuona mtoto mzuri”
“Sawa”
Vaileth alikata simu, lakini kwa siku ile alikuwa katika msongo wa mawazo, kiasi kwamba hakutaka hata aonane na Rashid ila hakuwa na namna kwani ni mpenzi wake japo walikuwa wameonana siku chache tu walikuwa wameshaahidiana vitu vingi, na hata kuonjeshana penzi pia.
Vaileth kwa uchovu uliokithiri sana, alijilaza kitandani akawa anachezea simu yake taratiibu. Alipokuwa akihangaika katika mtandao wa Instagram, alikuta mwandishi mkubwa wa Habari akiwa amepost taarifa ya kwamba Serikali imetangaza ajira za ualimu.
“HEEH?” alisema kwa mshangao maana hakutarajia taarifaka kama hiyo “Wametangaza?”alijiuliza huku akifuatilia maoni ya watu waliokuwa wamesoma post zile.
Aligundua ni kweli na hata kuingia katika mtandao wa google akaitafuta website ya serikali akawa anaangalia utaratibu wa kuomba kazi. Vaileth alion, ni siku ishirini zilisalia za kuruhusu vijana waliosomea ualimu kuomba kazi serikalini.
Vaileth alifurahi aliwatafuta marafiki zake na kuwapa taarifa. Akajisemea “Kesho nitaenda kuomba kazi”
Akiwa anawaza mambo mbalimbali Vaileth aliishia usingizini moja kwa moja na hata kuja kushtuka saa moja usiku akiwa anapigiwa simu na Rashid.
Aliipokea kwa uchovu “Uko wapi?” alisema Rashidi
“Niko nyumbani”
“Okay nakuja hapo sasa hivi, si umepika?”
“Hapana nilikuwa nimesinzia eti, simu yako ndo imeniamsha”
“Okay sawa basi nakuja sasa hivi tu” alisisitiza Chid
“Hayaa”
Vaileth aliendelea kuchezea simu kitandani, siku ile alikuwa hana hata chembe ya hamu ya kulala na mwanaume, hata hivyo alijua Chid akija watapiga tu story za kawaida.
Baada ya dakika 30 ndiyo Chid alimgongea mlango mtoto wa kike “Ingia tu sijafunga wala”
Rashid aliusukuma mlango kisha akazama ndani, “Ah sasa mbona kizani?” aliuliza kijana huyo ndipo Vai akawasha tochi ya simu
“Washa taa switch hiyo hapo” alisema mtoto wa kike
Chidi aliwasha taa, na mkononi alikuwa ameshika mfuko uliokuwa umejaa matunda pamoja na chips.
“Haya kumbe hujapika kweli?”
“Mh sijapika, mbona kama nasikia harufu ya kiepe mweee” alisema kwa furaha mtoto wa kie
“Hahahaa….pua zako ziko fasta. Haya chukua ule basi” Rashid aliongea na kumnyooshea mfuko. Vai aliinuka na kuushika akachungulia ndani kuna vitu vitamu vitamu tu.
“Weee…umejua napenda mananasi wewe” alisema huku akitoa vitu vilivyokuwa ndani ya mfuko akaanza na kiepe kina mishkaki miwili halafu kinanukia balaa.
“Najua vitu mnavyopenda nyie wanawake..”
“Mh una mke nini”
“Hahaha…ndiyo ninaye” alisema Rashid huku akicheka, Juliet aliposikia kuwa jamaa ana mke alimtazama kwa mshangao kidogo halafu akasema “Halafu wewe….usijekuta kweli una mke”
‘Ndio ninaye kwani wewe hujui?”
“Yuko wapi?”
“Si yuko hapa hapa Lalimbu au?” alitaja jina la mtaa ule aliokuwa akiishi Vai
“Anaitwa nani?”
“Vaileth Laizeeer”
“Aahahaha” alicheka kwa hisia binti halafu akasogeza stuli na kuanza kwa kula mshikaki
Rashid alikuwa akimtazama sana Vaileth, alionekana mwanamke mzuri sana, alionekana anafaa kabisa kuwekwa ndani, alikuwa ni fundi wa mapenzi, alikuwa msomi, mwenye maisha mazuri kabisa lakini hakujua tabia aliyokuwa nayo mtoto wa kike.
Rashid na Vaileth waliongea mambo mengi sana siku ile, na hata hivyo Rashid muda wa saa tatu usiku aliondoka pale, tena bila hata ya kushika bega la binti yule.
Vai alimtumia ujumbe “Yaani asante sana,….ila umeondoka bila hata busu mume wangu?” aliuliza
“Hahaha….mapenzi sio lazima vitu kama hivyo, hata kuongea na kufurahi ni moja ya mapenzi. Nimefurahi nilivyokaa karibu yako Vai. Hakika unavutia sana na una kila sifa ya kuitwa mwanamke mzuri”
“Mh. Asante sana babe” Vai alijibu kwa furaha.
Baadaye saa tano usiku Vaileth alikuwa akisikiliza muziki huku akiendelea kuchezea simu yake taratibu. Ndipo akakumbuka maneno ambayo alishawahi kuambiwa na mama yake enzi akiwa mdogo sana
“Usilale bila kumueleza Mungu matatizo yako yote”
Vai aliyatafakari kisha akaweka simu pembeni na kuamua kumshukia Mungu halafu akamuomba Mungu wake kwa machozi. Alipomaliza alijifunika kitandani kuutafuta usingizi hautaki kuja mpaka saa sita na nusu halafu mbaya zaidi bando limemuishia labda angeingia online kidogo.
Vaileth alifikiria apate wapi vocha usiku ule, ndipo akaamua kumpigia simu yule muhudumu wa L&S Bar, akapokea
Penina: Angalu umenipigia shoga angu
Vai: Kwani vipi shoga?
Penina: Kuna mibaba imejilengesha hapa miwili, usiku mmoja wanatoa laki mbili na nusu? Shoga njoo haraka ninawapanga hapa
Vai: Laki mbili na nusu usiku moja?
Penina: Ndio
Vai: Wote wawili laki mbili na nusu
Penina: Hamna, mmoja anakupa laki mbili na nusu na mimi napewa na mwingine laki mbili na nusu tunalala mpaka asubuhi
Vai: Daaaah (Vaileth alikata simu kwa mshangao, akawa anawaza laki mbili na nusu na msimamo wake ule, kwamba anamuomba Mungu amuepushi na biashara ya kujiuza apate kazi nzuri inayompendeza Mungu, au hata mume basi)
Akiwa anawaza yale yote, binti uliingia ujumbe kutoka kwa Penina ukisema hivi “NJOO HARAKA NIMESHAWAPANGA”
JE VAILETH ATACHUKUA MAAMUZI GANI?
NAMBA 06
Penina: Hamna, mmoja anakupa laki mbili na nusu na mimi napewa na mwingine laki mbili na nusu tunalala mpaka asubuhi
Vai: Daaaah (Vaileth alikata simu kwa mshangao, akawa anawaza laki mbili na nusu na msimamo wake ule, kwamba anamuomba Mungu amuepushi na biashara ya kujiuza apate kazi nzuri inayompendeza Mungu, au hata mume basi)
Akiwa anawaza yale yote, binti uliingia ujumbe kutoka kwa Penina ukisema hivi “NJOO HARAKA NIMESHAWAPANGA”
Vaileth aliitazama ile message kwa muda mrefu huku akiwaza mambo mengi ambayo alitamani kuyafanya kwa muda mfupi tu, alisikia roho ikimuambia “Kafanye leo tu, usirudie tena” akaisikiliza kwa makini kisha akafumba macho na kuvuta pumzi ndefu huku machoni mwake akiziona noti za pesa zikipita pita.
Ulikuwa ni mtihani sana kwa binti yule kujizuia kutokwenda kujiuza maana alikuwa hana kazi mjini, alifikiria mambo kibao akakumbuka maisha ya familia yake sio duni kuna ng’ombe kibao lakini hawezi kupata hata mmoja, akajikuta moyo unamuambia, aende akafanye miujiza kwa usiku ule kisha hatorudia tena kazi ile ya kujizalilisha.
“Oh Mungu wangu” alijisemea Vai huku akifumbua macho na kuitazama simu yake iliyokuwa ikiita na ni Penina anampigia. Hakuipokea, aliitazama kwa muda mrefu kisha akasimama na kutazama juu kwenye dari akasema “Nisamehe Mungu, sitaweza kuiacha laki mbili inipite hivi hivi” alipomaliza sentensi hiyo, alitupa simu kwenye kochi kisha akapekua begi lake haraka na kutoa nguo yenye kushawishi katika biashara ya kuuza mwili wake.
Vaileth alivaa nguo fupi akabeba simu na pochi na kutoka haraka haraka kuelekea barabarani, mara akapigiwa tena simu na Penina, akapokea
“Hallo shoga hamna pikipiki usiku huu” alisema Vai
“Ngoja” alisema Penina na kumuita bodaboda mmoja “We Joff….njoo nkuagize” alisema binti kwa nguvu, wakati Joff anamfuata aliendelea kuongea na Vai “Nakutumia pikipik hapo sasa hivi”
“Poa shoo”
Penina alikata simu kisha akaongea na Joff ili amfuate binti katika mtaa wa Lalimbu, atamkuta Vai akiwa barabarani.
Joff aliidandia Toyo chap na kuikamata barabara na kuutafuta huo mtaa. Kulikuwa sio mbali sana, na alipofika alimkuta Vai akuwa anatembea mdogo mdogo bila kuliogopa giza la saa saba ile.
Joff alimpakia kwenye pikipiki kisha akampeleka mpaka kwenye ile bar, na alipokutana na Penina walikumbatiana na kupigana mabusu
“Wako wapi?” Vai aliuliza
“Wameelekea 5GB Lodge” alisema Penina
“Nipe info niende, nilivyo na shida ya hela hivi” alisema Vai wote wakacheka na kugonga”
“Alinitumia ujumbe, ROOM NO 38’
“Natangulia”
“Ok ngoja mi nifunge hapa”
“Poa”
Vai alitembea kwa mguu mpaka katika ile nyumba ya wageni, kulikuwa sio mbali na pale bar, alipofika alipanda ghorofa moja na kukitembelea chumba kile halafu akapandisha sketi juu akiwa mlangoni ili kumtamanisha mteja wake
“ngo ngo ngo ngo” aligonga mtoto wa kike
Kwa jinsi yule mwanaume alivyokuwa na ugwadu, alisema moja kwa moja “INGIA NDANI” Vaileth akafungua mlango na kuzama ndani. Alipofika ndani alimkuta mbaba mwa makamo ya umri wa baba yake akiwa amejilaza kitandani chali, amejifunga tulo jeupe halafu yuko kifua wazi.
“Mambo” alisema baba yule
“Poa……” Binti alisema na kuweka mkoba juu ya kiti kisha akasogea na kuketi kitandani huku akijisurumbua kwa hisia na kujiuma uma midomo ili kumpandisha ny**g mzee yule
“Ohh….”Baba yule alisema na kumvuta Vai ambaye alishaishusha nguo kifuani maana iliku ya mpira, akaacha matunda matamu, manyonyo makubwa wazi halafu akaanza kujing’ata kidole
“Nimekuja tut*mbn” alisema Vai na kumlalia yule mzee, akampokea kwa denda na mkono ukitua juu ya ziwa lake.
Vai alipanda na kumpa mate kwa hisia kali halafu akaifungua ile taulo, mzee akabaki uchi wa mnyama, alikuwa na mzigo wa kimasai haswaa, halafu alianza kuupapasa huku wakizidi kunyonyana ndimi taratiiibu.
“Mwaaah…..mwaaah” zilikuwa sauti za ndimi zao zilizokuwa zikinasana kwa kupeana mate na kupeana utamu uliokithiri.
Mzee yule alishika gauni la binti na kulipandisha juu akamuacha tako wazi, halafu akazamisha mkono ndani ya chupi akawa anapapapasa kwa hisia huku akihema.
Vai aliuachia ulimi wa mzee kisha akageuka na kuvusha miguu yake akawa amemuweka shingo katikati mzee yule analitazama kalio, halafu yeye akaushika mjeledi na kuaanza kufanya kama mwanamuziki anavyopambana na maiki jukwaani.
“Oh shit….watoto wabichi mnajua sana haki ya nani” alisema jibaba lile na kumpiga kofi takoni paaa Vai akalia kwa hisia “Aaaaaah” halafu akurudisha mjegeje mdomoni akaendelea kuutafuna taratiiibu.
Aliunyonya ukaloa tepetepe, akawa anajichapa nao mashavuni. Huku nyuma amembinulia mzee tako na chupi tu
Taratiiibu mzee yule aliishusha ile chupi mpaka magotini halafu akawa anamchezea kwenye mk*nd taratiiibu kwa hisia na kuchomeka dole lake kubwa.
“Asssssh….mbona unanipiga dole mku**ni jamani” aliuliza Vai japo alinogewa, alishwahigi kufanyiwa huko ila alijitahidi kujizuia maana alikuwa na ndoto za kuwa na familia
“Usijali nauchezea tu, sitoingiza” lilisema jizee lile na kumgeuza likampa mate halafu likamlaza chali na kumuambia kwa tabasamu na mahaba “Hakika wewe ni mzuri, nimekuangalia hata huko ni kuzuri kama sura yako” alisema baba yule huku akimuingia mapajani na kuutegesha mtarimbo kunako kitumbua cha binti
“Nooo….mbona hujavaa kondom” alisema binti huku akiusikia ukiingia tarat……. akajisahau na kufumbs macho mpaka ukaingia robo tatu ndipo akamkumbatia na kumuuliza tena kistaarabu “Mbona hujavaa kondo…..” kabala hajamaliza sentensi alisikia kama mzee yule anataka kuuchomoa utamu akambana na kulia “Aaaaah….usiiiichomoee saas….aaaash” alisema kwa hisia mara ikaingia yote akachanganyikiwa kwa utamu wa mzee yule
“Aaaah……ah……ah” alipiga kelele za hisia kila alipokuwa akiipata mashine kutoka kwa mzee yule
“Uwiiiiiiiii………aaaaash baby…….usikojoe kwanza nitie mwenzako napenda sana mb**” alilia kwa utamu huku akikipandisha juu kiuno na kuikatikia kwa utamu uliokithiri.
Mzee alimvuta na kumpa denda taratiibu huku wakizidi kukatiana viuno moja na mbili. Mara mzee akaichomoa na kupiga kelele huku akimkojolea binti juu ya kitovu
“Pole baby…..Aaah Pole hone……” alisema binti huku akimpapasa mzee tumboni na kutazama shahawa zinavyorukia juu ya tumbo lake “Aaah pole mume wangu” alisema binti halafu akamtazama usoni mzee anahema kwa hisia, amenogewa na kitumbua cha mtoto huyo mbichi kabisa.
Vai aliinuka haraka akaenda bafuni na kujisafisha halafu mzee naye akamfuata.
Baada ya kujisafisha walirudi na kujilaza huku wakitaniana “Mmmh ilikuwa ya moto” alisema mzee
“Mmmmh….sasa kwanini ukojoe nje si ungenikojolea?”
“Mmmh nimeogopa maana hampendi nyie kukojolewa”
“Napenda sana, hasa na wababa handsome kama wewe ndo napenda zaidi kwani, hata ukizaa naye unazaa mtoto mzuri”
“Haya, bwana, ila ujaua kuililia”
“Mmh kawaida, tulale au unataka tena?”
“Subiri kidogo zinipande nikuonyeshe”
“Sawa mpenzi” Vai alisema na kumkumbatia kama vile anampenda lakini kumbuka pale alikuwa kwa sababu ya biashara tu. Alifumba macho halafu akaanza kuwaza mambo mengi, kisha akamkumbuka Mungu wake na kutubu kimoyo moyo “Eh Mungu nisamehe, sipendi mimi kuwa hvi, nisaidie basi” aliwaza na huruma ikimjaa usoni……..
Akiwa amejilaza kifuani kwa mzee anawaza yale yote, mzee naye alikuwa akimpapasa matakoni taratiibu kutafuta steam ya kumpanda, kadri binti alivyopapaswa ndio uchungu ulimjaa na kujikuta analia kabisa
“Vipi mbona unalia?” aliuliza mzee
Vai alijifuta machozi na kujaribu kuvumilia lakini kwikwi ya kilio haikumuacha
“Unalia mrembo?”
“Ndio, nimemiss mb** naitaka tena” alisema na kumvamia mzee akaishika dudu na kuizamisha mdomoni akawa anainyonya taratiibu. Kiukweli mzee alikuwa akisikia raha lakini kumbe binti yeye alikuwa na maumivu moyoni mwake.
Baada ya kuhakikisha imesimama haswa, binti alipiga magoti na kumtegea mzee ajipimie kwa raha zake, iliingizwa kwa madoido mzee akala raha
JE ITAKUWAJE?
2 Comments
So, unfortunately, even switching to another brand will do you
little good if you want to keep looking around until
you find a penis enlargement pill for sale without
the unwanted additives. New York: Seven Stories Press.
But apparently, low doses of the erectile dysfunction drug will help kids stricken by a uncommon lung disorder.
Better mental function and weight loss in the identical bottle.