Jamaa Aliua, Akafungwa Jela, Akatoka Kwa Msamaha, Tazama Alichofanya
Simulizi Ya Kweli
Julai mwaka 1991 jamaa aliyeitwa kwa jina la Gregory Green alimuua mke wake, Tonya Green ambaye alikuwa mjauzito wa miezi sita huko Michigan nchini Marekani.
Alimuua kwa kumchoma kisu mara kadhaa usoni na kifuani na baada ya hapo akapiga namba 911 na kuwaambia polisi kuhusu mauaji hayo.
Akahukumiwa kifungo kirefu tu gerezani na baada ya miaka 16 akaonekana kubadilika, alikuwa na utii, hakuwa na fujo hivyo watu mbalimbali wakaanza kumuombea kibali ili atolewe gerezani.
Marafiki, familia yake na hata mchungaji wake wote hao walimuombea mwamba atoke gerezani. Waliandika barua mbalimbali na mwaka 2008 hatimaye hilo likafanikiwa na kutolewa.
Lakini mwaka 2016 tukio jingine likatokea. Green akawamaliza watoto wake waliokuwa na miaka 4 na 5 kwa kuwawekea sumu ya hewa kwenye gari lake walipokuwa wamelala.
Hakuishia hapo, akawachukua watoto wa mke aliyekuwa amemuoa na kuwapiga risasi. Yaani baada ya mchungaji kumwamini Green, akamruhusu amuoe binti yake, sasa akaanza kuwafanyia unyama. Alipowamaliza, akammaliza na mkewe ambaye ni mtoto wa mchungaji.
Alifanya kama ilivyotokea mwaka 1991, alipomaliza kuwaua, akapiga simu polisi na kuwasubiri ili waje kumkamata.


12 Comments
This design is wicked! You certainly know how to keep a reader entertained. Between your wit and your videos, I was almost moved to start my own blog (well, almost…HaHa!) Great job. I really loved what you had to say, and more than that, how you presented it. Too cool!
I believe this site has got very superb indited content material articles.
I’m impressed, I need to say. Really hardly ever do I encounter a weblog that’s both educative and entertaining, and let me inform you, you’ve got hit the nail on the head. Your idea is outstanding; the problem is something that not enough persons are speaking intelligently about. I’m very joyful that I stumbled across this in my seek for something referring to this.
Hello very cool blog!! Man .. Beautiful .. Wonderful .. I’ll bookmark your site and take the feeds also?KI am satisfied to seek out numerous useful information here within the publish, we want develop extra strategies in this regard, thanks for sharing. . . . . .
I have been browsing online greater than three hours nowadays, but I never discovered any fascinating article like yours. It’s lovely value sufficient for me. Personally, if all site owners and bloggers made good content material as you did, the internet will be much more helpful than ever before. “Learn to see in another’s calamity the ills which you should avoid.” by Publilius Syrus.
Thanks for sharing. I read many of your blog posts, cool, your blog is very good.
I like this site so much, saved to fav. “To hold a pen is to be at war.” by Francois Marie Arouet Voltaire.
I like what you guys are up also. Such clever work and reporting! Carry on the excellent works guys I have incorporated you guys to my blogroll. I think it will improve the value of my website 🙂
Hi there! Someone in my Facebook group shared this site with us so I came to look it over. I’m definitely enjoying the information. I’m bookmarking and will be tweeting this to my followers! Superb blog and amazing style and design.
I like this web site very much so much great information.
You are my inspiration , I own few web logs and infrequently run out from to post .
Loving the information on this internet site, you have done outstanding job on the posts.