Mke Alimuua Mume Arithi Mali, Tazama Kilichotokea
Simulizi Ya Kweli
Mali zinaweza kubadilisha kila kitu, mbaya kuwa mzuri na hata mzuri kuwa mbaya, ndivyo inavyokuwa.
Baada ya kuona tayari mumewe ana utajiri wa dola milioni 3.6 ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 10 za Kitanzania, mama wa watotowatatu Kouri Richins mwenye umri wa miaka 33 akaamua kumuua mume wake ili arithi mali.
Mume alifariki dunia, akawa na uhuru wa mali zote na mpaka kuamua kuandika kitabu cha watoto iizungumzia maumivu makubwa aliyokuwanayo moyoni mwake.
Sio poa.
Ila baada ya wiki kadhaa akafuatwa na polisi na kukamatwa kwa tuhuma za kumuua mumewe kwa kumuwekea sumu iitwayo fentanyl iliyotengenezwa nchini Urusi, waliongeza kwamba aliitumia sumu hiyo mara tatu kwenye kinywaji cha mumewe.
Stori haikuishia hapo ila kabla ya mumewe kufariki, mwanaume huyo aliwaambia ndugu zake hakuwa na amani na mkewe, inawezekana kabisa mwanamke huyo atamuua kutokana na pesa alizokuwanazo, hivyo kwa siri akahamisha umiliki wa pesa hizo na kumuweka dada yake kwamba ndiye atakayekuwa msimamizi wa kila kitu.
Japokuwa Kouri alimuua mumewe lakini bado hakupata kitu, mali na pesa zote za mumewe zilikwenda kwa dada yake.


12 Comments
Hey, you used to write great, but the last few posts have been kinda boring… I miss your tremendous writings. Past few posts are just a little bit out of track! come on!
Great wordpress blog here.. It’s hard to find quality writing like yours these days. I really appreciate people like you! take care
I love it when people come together and share opinions, great blog, keep it up.
Thanks for the sensible critique. Me & my neighbor were just preparing to do a little research on this. We got a grab a book from our area library but I think I learned more from this post. I’m very glad to see such magnificent info being shared freely out there.
What’s Happening i am new to this, I stumbled upon this I’ve found It positively helpful and it has aided me out loads. I hope to contribute & assist other users like its helped me. Great job.
What’s Happening i am new to this, I stumbled upon this I have found It positively helpful and it has helped me out loads. I hope to contribute & aid other users like its helped me. Good job.
Aw, this was a very nice post. In thought I want to put in writing like this additionally – taking time and precise effort to make an excellent article… but what can I say… I procrastinate alot and on no account appear to get one thing done.
I am always thought about this, regards for putting up.
Whats up very nice web site!! Guy .. Excellent .. Superb .. I will bookmark your web site and take the feeds also…I’m happy to seek out numerous helpful information here in the put up, we need work out more strategies on this regard, thank you for sharing. . . . . .
I¦ve recently started a web site, the information you offer on this web site has helped me tremendously. Thank you for all of your time & work.
It is really a nice and useful piece of information. I’m glad that you shared this helpful information with us. Please keep us up to date like this. Thanks for sharing.
Hmm is anyone else experiencing problems with the pictures on this blog loading? I’m trying to determine if its a problem on my end or if it’s the blog. Any feedback would be greatly appreciated.