MAMA ALIPOSHIKWA TAKO MBELE YANGU
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 41
ILIPOISHIA…
Taratibu aliuzamisha wote kisha ‘shhhh…..haaaaa’ Yule dada wa watu akatoa sauti za mahaba.
Kazi iliyofanywa ndani ya nusu saa tu ilimuacha kila mtu hoi,
“Mpezni wangu Gwakisa nenda kaoge alafu uende ukampe mkeo dozi aliyoikosa”
Gwakisa alitoka akaenda kuoga kisha akarudi na kuvaa nguo zake, akiwa anaondoka alivutwa mkono na kuambiwa…
“Jua kuwa maisha yako tumeyashikiliana unapaswa kuishi kwa kuheshimu kile tunachokwambia…sio wewe tu hata RPC ambaye ni mkwe wako pia ni mtu wetu na tumemkamata kuliko hata wewe…”
…………………………………….
Sam alijikuta akijjihisi mwenye moyo dhaifu sana baada ya kumuona mwalim Josephine Karia, Mwalimu ambaye alimbadilishia taswira yake ya maisha na kumvika taswira nyingine amabyo ndio anaitumia mpaka leo.
Alimkimbilia na kumkumbatia kwa nguvu huku wote wakibubujikwa na machozi, Sam alijikuta akijisikia vibaya sana kwani toka aondoke hakuwahi kupata kumtafuta Yule Mwalimu ikiwa alikuwa ni mtu muhimu sana kwake.
“Sam nimefurahi sana kukuona”
“Nimefurahi sana kukutana na wewe kwa mara nyingine mwalim”
“Pole sana na msiba wa mama Sam, pole sana”
“Asante mwalimu, lakini naomba unisamehe sana Mwalimu wangu, sijakutafuta toka niondoke”
“Shhhhh…nyamaza wala usiseme hivyo, hata mimi sikukutafuta lakini najua mambo yalikuwa yanaenda vizuri, tumalize msiba mengine tutaongea”
Waliachiana na Sam akaendelea kusalimiana na wageni wengine kama Bibi yake ambaye ndie alikuwa anakaa kwake wakati anasoma, Babu yake yaani mme wa Bibi yake na kisha akakutana na mdogo wake pekee wakike ambaye alikuwa amechoka kwa kumuuguza mama yake na kulia.
Walipoonana kilitawala kilio tu kati yao huku wakiwa wamekumbatiana…
“Nimebaki mwenyewe kaka…mama ameniacha” aliongea mdogo wake Sam aliyeitwa ‘Glory’
“Hata mimi nimebaki mwenyewe, mama ameniacha lakini niko na wewe sasa bega kwa bega”
“Niko na wewe kaka bega kwa bega…tuko wote ” aliongea Sam
Waliendelea kufarijiana kwa namna nyingine mpaka walipoachiana na kisha Glory akampeleka Sam sehemu ulipowekwa mwili wa mama yao.
Sam alifunguliwa mwili ule akauangalia na kuona jinsi mama yake alivyoisha kwa Maradhi na kuwa mweusi tii.
Alilia huku akiwa kakumbatia jeneza la mama yake huku akiongea maneno ya kuomboleza na kuwaliza watu wengine hadi alipotolewa pale na kupelekwa sehemu akapumzike.
Kule alikaa yeye, mkewe na mdogo wake wakiongea mambo mengi huku mdogo wake akimueleza jinsi mambo yalivyoenenda hadi mama yake alipokutwa na umauti.
Taratibu zote za msiba zilifwatwa huku kwaya mbakimbali zikiwa zinaimba kuwafariji wafiwa na waombolezaji wote.
Walilala siku ile na hatimaye kesho yake ikawa ndio siku ya maziko ambayo mama yake sam alipumzishwa kwenye makazi yake ya kudumu.
Hapo vilio vilikuwa vingi mno kiasi kwamba Glory ambaye ni mdogo wake Sam alizimia kabisa na kuwa anapepewa, Sam alijikaza kiume na kiaskari na kuweza kumwaga mchanga kwa niaba ya watoto wa marehem.
Kila kitu kilipokamilika watu waliweka mashada na kumalizia ibada na hatimaye kurudi nyumbani na historia ya mama wa Sam na Glory ikawa imeishia pale kuwa alikufa akiwa na miaka arobaini na sita, akaacha watoto wawili wakike na wa kiume huku akiwa amekufa kwa ugonjwa wa UKIMWI japo kwenye historia ugonjwa haukusemwa.
Siku ile ile baadhi ya wageni waliondoka na hatimaye wakabaki wana familia pekee na majirani wachache.
Baada ya siku moja hata majirani waliondoka wakabaki familia ikiwa ni pamoja na RPC na familia yake.
Hatimaye siku ya kurudi kazini iliwadia wiki moja baadae na hivyo ikawa ni maandalizi ya safari, lakini kabla ya Kuondoka Sam alipita kwa marafiki zake wote na ndugu zake wa karibu na kuwatambulisha mkewe huku wakipeana habari za siku nyingi.
Sehemu ya mwisho kufika ni kwa Mwalimu wake aliyemtia moyo na kuwa nae bega kwa bega alipofikia hatua ya kutaka kuacha shule… huyu ni Mwalimu Josephine Karia.
Hapa sam alileta zawadi za Vitenge pamoja na mashuka kadhaa ya bei mbaya ambayo alimkabidhi Mwalimu wake.
Mwalimu alifurahi mno huku akimshukuru sana…
“Sam katika maono yangu kwako najua hayajatimia yote, ndio kwanza yameanza tu…amini kuwa Mungu ana mpango mkubwa sana kwako”
Sam alikuwa anamsikiliza kwa umakini sana Mwalimu wake huyu ambaye kwake alikuwa ni kama nabii.
“Nakuomba usije ukabweteka kwa hapo ulipofikia, endelea kwani najua utakuwa mtu mkubwa zaidi ya hapo”
Waliongea mengi kisha wakaagana baadae huku mwalim akidondosha chozi wakati wanaagana kitendo kilichomfanya Sam nae ashindwe kujizuia na kutoa chozi mbele ya mkewe ambaye alibaini mapenzi mazito kati ya Sam na huyu Mwalimu wake.
Waliachana wakaondoka zao ambapo Glory nae alikuwa anaenda kuishi na kaka yake kwani mama yao hakuwepo tena na isingewezekana kubaki pale.
Safari ilianza kesho yake ambapo kwenye gari ya RPC safari hii aliongezeka Glory…
Hatimaye waliingia Mbeya ikiwa ni usiku kisha wakaachana kwani Sam, Rafiki na Glory walienda kwao huku RPC na mkewe wakienda kwao.
Walipofika walioga wakalala huku Glory akilala chumba ambacho kilikuwa maalum kwa wageni.
Hatimaye Sam alianza maisha mapya ambayo alitaka ayabadilishe kwani alitaka aishi ndoto zake na za watu wanaomwamini kama Mwalimu wake.
Vile vile alimtazama mdogo wake pale nyumbani ambaye sasa anamtegemea na kujikuta akiamini kuwa anapaswa sasa kuwa makini kwani kuna watu nyuma yake.
Sam sasa alibadilika sana, ilikuwa akitoka kazini anaelekea nyumbani kwake huku kabeba zawadi kama matunda, na vitu vidogovidogo ambavyo alikuwa anawaletea mdogo wake na mkewe.
Maisha ndani ya nyumba yalikuwa mazuri kwani nyumba ilijaa vicheko vilivyoongezwa na Glory ambaye alikuwa ni msichana mrembo na mzuri na mchangamfu.
Alimsaidia sana wifi yake kazi ambazo alikuwa hasubiri kutumwa, ilikuwa kila wifi yake alipoamka alimkuta Glory keshaamka, akienda kazini akirudi alikuta kazi zote zimefanywa, hapo ndipo aliamini kuwa Glory na Sam walikuwa wanafanana sana uchapaji kazi.
……………………………
Ikiwa imepita wiki moja baada ya kutoka msibani Sam walipata wageni pale nyumbani, wageni hawa hawakuwa wengine bali ni Gwakisa na Mkewe Verity ambao walikuja kwa ajili ya kutoa Pole ya msiba ambao wao hawakwenda.
Walikaribishwa kwa upendo ikiwa ni majira ya Jioni ambapo Sam bado alikuwa hajafika kutokea kazini.
Baada ya dakika chache Sam aliingia na kumuona Gwakisa na Verity wakiwa pale ndani… akili ya Sam ilipomuona Verity ilihama kabisa na kumkumbuka PRINCESS ambaye anaamini alikuwa mtoto wake.
Kwa Verity ilikuwa ni tofauti kabisa kwani baada ya kumuona Sam alijikuta akiwakwa na mapenzi moyoni, alikumbuka alivyokuwa anainjoi akifanya mapenzi na sam hadi kufikia kutaka kumpindua dada yake ili aolewe yeye lakini ikashindikana…
Aliendelea kukumbuka jinsi alivyompenda Sam na kufikia hatua ya kuzaa nae mtoto ambaye hata hivyo ametoweka, hapohapo moyo wake ulianza kwenda mbio…alijiona kabisa akitamani warudie kama mwanzo na hata ujasiri ulimuisha kabisa…
Sam aligongana macho na Verity kuna kitu wakasomana kwenye akili zao na jinsi walivyoangaliana, lakini wakati huo huo Rafiki alikuwa makini kuwaangalia jinsi watakavyosalimiana na Gwakisa nae pia hakukaa mbali alikuwa anatazama kwa kuibia huku wivu ukiwa dhahiri!
Akili ya Sam ilicheza haraka na kuamua kujizuia asije akaleta matatizo,
“Karibuni jamani, mmefika muda eenh?” aliuliza Sam baada ya kusalimiana na wageni.
“Sio sana ila ni muda kidogo” alijibu Gwakisa kwa sauti ya upole lakini hapo hapo akadakia Verity.
“Tumepika mpaka vimeiva tumekula wewe sijui ulikuwa na wake wenzetu huko” Aliongea Verity.
Baada ya kutoa kauli hiyo Sam aliguna tu lakini Gwakisa na Rafiki walionekana kukerwa na uchangamfu wa maneno ya Verity na wakawa wamenuna kweli.
Sam aliamua kuingia chumbani kwao akabadilisha nguo na kisha akaungana na wenzake hapo sebuleni.
Gwakisa na Verity walieleza haja yao kuja pale kuwa ni pamoja na kuwatembelea lakini kubwa likiwa kuwapa pole na kuomba msamaha kwa kushindwa kuungana nao kwenda msibani.
Kila kitu kilienda Vizuri kisha Verity na Gwakisa wakakabidhi zawadi kidogo walizokuja nazo kwa ajili ya Pole kisha wakaaga kuondoka lakini Gwakisa akaomba kuwa usiku ule watoke pamoja wakapate chakula cha jioni kwa pamoja.
Hakukuwa na kipingamizi chochote, kilichobaki ni Rafiki na Sam kujiandaa pamoja na Glory kisha wakatoka wakaenda kwenye Bar moja nzuri wakaa hapo.
Hakuna kilichoendelea zaidi ya kunywa na kula, Sam, Gwakisa, Verity na Rafiki walikuwa wanadondosha Heinken kama mvua.
Baada ya muda walianza kulewa na kuongea kwa sauti ya juu kuliko awali, aliyekuwa anaongea sana ni Gwakisa ambaye alikuwa anajisifia kuwa ana hela sana.
“Mimi nina pesa, nina pesa hadi naumwa … kunyweniiiii pombeeeee”
Hata kabla bia hazijaisha Gwakisa alikuwa anaagiza nyingine “Leta biaaaaaa…nawewe meneja bia zikichelewa nakufukuza kazi”
Katika vitu ambavyo vilikuwa ni mshangao kwa kila mmoja isipokuwa Verity na Gwakisa ni kuwa hawakujua kuwa ile Bar ni ya Gwakisa.
Ilikua ni ghorofa Ndefu yenye rosheni kadhaa ambazo zilikuwa ni hoteli huku floor ya chini ilikuwa ikitumika kama Bar,
Ni moja tu kati ya mali za Gwakisa zilizokuwa pale Mbeya mjini lakini pia alikuwa na nyumba nyinginezo na fedha nyingi sana kwenye akaunti yake.
“Yani mimi nina pesa nyingiii, nina pesa ila sina mtotooo” aliendelea kuropoka Gwakisa.
Wakati huo Verity pombe zake zilikuwa zinamtia ham ya kufanya mapenzi na Sam, kila akimwangalia Sam anajihisi kama kuna vitu vinatembea mwilini.
Rafiki alikuwa bega kwa bega na Sam kiasi ambacho kilimkera Verity na kutamani hata amuondoe Rafiki apate nafasi ya hata dakika moja abaki na Sam.
Maombi yake yalisikika kwani Rafiki alibanwa na mkojo na kutaka kwenda kujisaidia..
“Baby nisindikize toilet”
“Bwana nenda tu mwenyewe”
“Nisindikize bhana mme wangu” Rafiki alikuwa anaomba apelekwe toilet
“We Glory mpeleke Wifi yako” sam alimwambia mdogo wake na wao wakanyanyuka kwenda huko toilet.
Kwa Verity ilikuwa kama kuokota mamilioni kwani Rafiki na Glory waliondoka kwa pamoja huku Gwakisa akipiga story za kilevi na watu wengine.
Haraka sana Verity aliamka na kumfwata SAM mdomoni na kumnyonya mdomo kwa nguvu, Sam alijitahidi kumuondoa lakini hakikuwezekana, alibanwa sawasawa na ukichanganya na kilevi nae akajikuta anauoenda mchezo
Kwakuwa sam alikuwa amekaa kwenye kiti na Verity amemuinamia, Sam alipitisha mikono yake kwa nyuma na kumshika Verity kiunoni huku wananyonyana midomo, alikamatia kiuno cha Verity na Hapohapo akawa anayapapasa makalio ya Verity yaliokuwa yamebinuka kiasi nah ii ndio ilikuwa tofauti kati ya Verity na dada yake Rafiki.
Mambo yaliwanogea na hapo Sam alishusha mkono wake mpaka mwisho wa Sketi ya Verity na kupandisha kwa ndani akiyashika mapaja ya Verity ndani ya nguo.
Alipandisha mkono wake mpaka akafikia kufuli akalisogeza pembeni kisha akazamisha kidole chake cha katikati kikazama kitendo kilichomfanya verity agugumie ‘mhhuuu sshshshshhh’.
Ghafla wakiwa wamezama Sam alimuona Gwakisa anatokea kw mbali huku mkewe nae akiwa anarejea kutoka Toilet. Alimsokomeza Verity pembeni nay eye akajiweka Sawa kisha akamwambia Verity ….
“Tulia wenye mali zao wanarudi”
Lilikuwa ni tendo la dakika kadhaa lakini lilimfanya kila mmoja ajisikie hali Fulani nzuri japokuwa haja zao hazikutimia.
Verity alitamani nafasi hiyo ingeendelea lakini ilibidi watulie tu…
Ili kuepusha matatizo Sam alishurutisha waondoke warudi nyumbani na hakukuwa na kipingamizi ikabidi waondoke.
Walipofika nyumbani kila mmoja alikuwa yuko hot sana na hakuna kilichoendelea kati ya Sam na Rafiki isipokuwa kugegedana tu.
Hali kadhalika kwa Verity na Gwakisa mambo yalikuwa yale yale, waligegedana kweli kweli ukizingatia kuwa Gwakisa amepona.wakati Verity anakaribia kileleni alijikuta akitaja jina la Sam…
“Hivyo hivyo usitoeee, jamani tamuuuu, yeah Sam unajua kunitom..ba jamani, nakojoaaaaa, Sam nakojoaaaa”
Pamoja na Pombe alizokuwa nazo lakini swala hili lilimuingia Gwakisa mpaka ndani ya moyo, alikaa kimya wamalize lakini akili yake ilikuwa imeshavurugwa vilivyo.
………………………………..
Gwakisa aliamka na hasira kwa kauli alizosikia kwa mkewe jana yake, hakuwa na jinsi kwani anajua mkewe ametembea na Sam na huenda bado amemuweka moyoni.
Dawa aliyoona inafaa ni kumkomoa Verity hivyo alipofika tu kazini alifanya kazi kwa dakika chache kisha akamtafuta Yule dada Askari ili watoke wakagegedane.
Kwa upande wa Sam ilipotimu saa Kumi na moja alfajiri walianza kujadiliana na mkewe kuhusu ishu ya kupata watoto.
“Lakini zile dawa zako si ulizimaliza?” aliuliza Rafiki.
“Ziliisha nadhani sasa ninachotakiwa ni kufanyiwa tu hiyo operation”
“Sawa itabidi tukamuone dokta”
Kulipambazuka kisha Sam akaelekea kazini na Rafiki nae akaelekea kazini kwake, wakati wanaondoka nyumbani walimuacha Glory ambaye kwa wakati huu yeye ndie alikuwa anabaki pale nyumbani.
Kila wifi yake alipotaka kuleta housegirl Glory alikataa na kudai kuwa hakuna haja ya kupoteza Pesa kwani yeye zile kazi anaziweza.
Kaka yake alikuwa amemtafutia chuo ilia asome na tayari kwa matokeo yake ya kidato cha nne alikuwa amepata nafasi ya kusomea maswala ya uhasibu kwa ngazi ya cheti. Hivyo kuwa pale nyumbani alikuwa anasubiria siku zikiwadia akaripoti chuoni.
Kazini kwa Sam mambo yalikuwa mazuri sana kwani alikabidhiwa barua iliyosainiwa na mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) Ya kuwa amepandishwa cheo na kuwa kaimu mkuu wa kitengo cha FFU mkoa wa Mbeya.
Wakati huo huo RPC Mndeme ambaye alikuwa ndio Baba mkwe wa Sam alikuwa amepandishwa cheo na kuwa Kamishna wa Polisi kanda maalum ya Dar es salaam.
Kwa Sam ilikuwa ni furaha kubwa na moja kwa moja alielekea ofisini kwa RPC alipofika pale alipiga saluti na kisha kusalimiana na Baba mkwe wake na kisha kumwambia ni kwa jinsi gani amefurahia hatua hiyo aliyofikia.
“Hongera sana Sam, kikubwa ni nidhamu…tuombe Mungu ila nakuhakikishia kuwa mpaka mimi naondoka kwenye Jeshi la Polisi utakuwa umepata vyeo vikubwa sana, mimi nina watu wakubwa ndio maana nasisitiza kuwa uwe na nidhamu”
Sam alimuhakikishia RPC kuwa atarajie kutokuangushwa nae.
Waliagana pale kisha Sam akaamua kwenda kukaa sehemu kisha ampigie mkewe na Mdogo wake waje ili awape habari hizo njema.
Alienda akatafuta sehemu iliyotulia kisha akachukua kiti akakaa, wakati anachukua simu yake ili ampigie mkewe alitupa jicho kwa mbali na kukutana na sura ya mrembo mmoja ambaye alionekana kama vile anamfahamu.
Sehemu Ya 42
Sam alitafakari kwa haraka kisha akaamua kuamka kumfwata ili amjue vizuri, alitembea mwendo wa madaha uliochanganyika na jeuri ya cheo kisha akaenda mpaka karibu na Yule mdada kisha akashtuka baada ya Yule dada naye kumuangalia.
“Nishaaaaa”
“Sam”
“Waooooo jamani upo?”
Ilikuwa ni kama ndoto, Sam alikuwa amekutana na Nisha ambaye alikuwa ni msichana wake kwa kipindi kirefu na kupotezana ila sasa walikuwa wameonana.
Nisha alikuwa ni msichana mrembo sana ambaye Sam anakiri kuwa hakuwahi kuonana na msichana kama huyo.
Wakiwa wanasalimiana kwa furaha ya kuonana baada ya siku nyingi alitokea Gwakisa ambaye ndio alikuwa anaingia Pale.
Alishuhudia wanavyochangamkiana akashangaa kuona kuwa Sam anafahamiana vipi na mchepuko wake.
“Hey mnafahamiana?” aliuliza Gwakisa
Sam alishangaa kidogo lakini fasta akadakia Nisha.
“Hey Gwakisa huyu ni Sam, ni rafiki yangu na amewahi kuwa mpenzi wangu”
“Sam, huyu ni Gwakisa na ni rafiki yangu nafanya nae biashara”
Utambulisho huu ulimuacha kila mtu njia panda, ukweli ndani ya moyo wa Nisha alikuwa anajua kuwa Sam na Gwakisa wanajuana na ni waume wenza kwani wote wameona kwenye nyumba moja.
Si hivyo tu Nisha alikuwa anawajua wote in and out na alitambulisha vile kwani hakutaka Sam ajue kuwa yeye anamahusiano na Gwakisa kwani anampenda sana Sam na anataka waendeleze penzi!
Gwakisa alijiona ana mikosi kwani kila anapoingia Sam nae yupo na mbaya zaidi pale kwenye utambulisho hajatajwa kuwa yeye ni mpenzi wa Nisha isipokuwa Sam yeye katambulishwa kama Ex wa Nisha hivyo akaona bado Sam amepewa kipaumbele kuliko yeye.
Gwakisa aliamua moja … kupambana na Sam.
“Hii ni vita, huyu dogo lazima nimuondoe” alijisemea Gwakisa
Sam alipoona ile hali aliamua kuwaaga na kwenda kukaa kwenye kiti chake akachukua simu na kumpigia mkewe na kumuelekeza aje pale alipo.
Pamoja na Sam kuondoka bado amani haikuwepo hata kidogo kati ya Gwakisa na Nisha, Gwakisa alikuwa tayari na donge moyoni na kila alipotaka kuuliza swali alijibiwa kifupifupi sana.
Kiufupi Gwakisa mudi ilimuishia kabisa, kila akimuangalia Nisha alikuwa anajikuta ana maswali kibao ya kujiuliza lakini aanze na lipi hapo ndio palikuwa pagumu.
Nisha aliligundua hilo akamuuliza Gwakisa…
“Kwani una tatizo gani?”
“Sina tatizo kwani umenionaje”
“Nakuona umejikalia tu na mawazo sijui unawaza nini, kama huna la kuongea uniambie tu niondoke zangu mpaka siku utakapokuwa sawa”
Maneno haya ni kama yalizidi kumchefua Gwakisa kwani alidhani angepewa majibu ya kumridhisha lakini ndio kwanza Nisha hajali hisia zake.
“Lakini kwanini hujataka kumwambia Sam kuwa mimi ni mpenzi wako?” aliuloza Gwakisa?
“Haaa wewe una akili kweli, hivi yamekuwa matangazo?”
“Mbona yeye uliniambia wazi kuwa aliwahi kuwa mpenzi wako?”
“Hahahaaaa Gwakisa bwana, hivi wewe unajilinganisha na Sam kweli? Acha masihara kabisa, Sam ni mtu mwingine kabisa”
“Unasemaje Nisha?”
“Bwana wewe kama huna maneno mengine naomba ukanseli mpaka siku utakapokuwa na mambo ya maana ndio tuonane, sawa wewe mwanaume?” aliongea Nisha huku akiamka aondoke.
“Hebu subiri kwanza Nisha” aliongea Gwakisa alipomuona Nisha anaondoka zake.
Pamoja na Gwakisa kumwambia Nisha abaki lakini hakubaki, aliondoka zake akafika nje akawasha gari na kuondoka eneo lile huku akimuacha Gwakisa na kovu linaloota upya ndani ya moyo wake juu yake.
Kwa hasira Gwakisa alipiga ngumi kwenye meza na kusababisha glass zilizokuwa pale zikadondoka chini kitendo kilichowafanya wahudumu wasogee pale.
“Boss vipi kuna tatizo” aliuliza mhudumu mmoja aliyekuwa anaitwa Recho.
“Kum…a wewe, toka hapa!”
Aliongea Gwakisa kwa hasira akimuondoa mhudumu wake.
Yule mhudumu badala ya kuondoka aliinama akakusanya vipande vya Glass vilivyokuwa vimetapakaa pale chini ili akavitupe.
Alipokuwa ameinama alishtuka anashikwa makalio, aligeuka haraka na kukutana na sura ya Gwakisa akimuangalia huku bado kashikilia yale makalio hadi Yule muhudumu akajisikia aibu.
“Alafu wewe mzuri sana ujue, haya nipelekee whisky moja kule VIP nakuja” aliagiza Gwakisa.
Katika ile baa ya Gwakisa kulikuwa na sehemu ya VIP ambayo ipo kwa ndani nah ii hutumiwa na wageni wenye hadhi ambayo haiwaruhusu kukaa changanyikeni, sehemu hii hata vinywaji vyake huuzwa bei kubwa nah ii ndio hata Gwakisa akija na marafiki zake hupenda kukaa.
………………………………
Rafiki alikuwa kazini kwake ofisi ya hazina mkoa anafanya majukumu yake ya kila siku akasikia mlio wa simu yake na kuiendea.
“Haloo mambo baby”
“Mh makubwa leo…poa niambie”
“Makubwa gani sasa, ”
“Leo napigiwa simu na Kuitwa baby juu”
“Sasa hapo jipya lipi na nyie wanawake hamjui kupendwa nyie”
“Haya babu niambie mpenzi”
“Poa tu vipi uko kazini bado?”
“Ndio ntakuwa wapi na hii ni mida ya kazi jamnani”
“Haya aga basi uje hapa tulikokuwa siku ile nina ishu, chukua hata tax ntalipa”
Rafiki alipatwa na kiwewe baada yam me wake kumuita mida kama ile, alijiuliza sana lakini mwisho akaamua kumuaga rafiki yake kuwa anatoka hivyo amsaidie majukumu yake itakapobidi.
“Mh shoga mbona mbio mbio hivyo, umepata mchepuko wenye hela nini” aliuliza rafiki yake Rafiki mke wa Sam
“Weee, ishia hapo hapo, hivi unaweza kuwa na mume kama Sam alafu ukamtafutia mchepuko kweli?”
“Haya shoga nenda, Sam sam kitu gani amekuwa wa dhahabu nini, omba Mungu asiingie kwenye anga zangu atakusahau” alitania shoga yake Rafiki.
Rafiki hakulijali hilo, alitoka nje akachukua bodaboda mpaka alipoagizwa.
Alipofika pale alimuona Gwakisa akielekea ndani ya ile baa na hapo hapo akamuona mme wake akiwa ameketi pembeni kwenye kona anakunywa Red Bull.
Rafiki alimuendea alipomkuta akamuinamia na kumpiga busu shavuni lakini Sam yeye alimvutia mpaka mdomoni kwake na kuanza kumnyonya mdomo palepale bila kujali wateja wawili watatu waliokuwepo pale mida ile.
“Karibu mpenzi”
Aliongea Sam wakati anamuwekea Rafiki kiti aketi, ile Rafiki anaketi tu hapohapo aliingia na Glory ambaye ni mdogo wake SAM.
Glory aliungana nao pale kisha wakaambiwa waagize wanachojisikia kulak wa wakati huo na kwakuwa ilikuwa bado ni mapema hata saa saba bado waliagiza michemsho ya kuku mzima kila mmoja na kuanza kujiachia.
“Haya tuambie mwenzetu ndio nini kutuita mida hii?” aliuliza Rafiki.
“Malizeni kwanza kula haa” alijibu sam
Mwisho wote wakawa wamemaliza kula na kunawa mikono.
Sam aliingiza mkono wake mfukoni akatoa bahasha yenye barua ndani na kumkabidhi mkewe ambaye aliifungua haraka haraka na kuisoma.
Alipomaliza alijikuta ameshika mdomo kwa hamaki, “Wifi naomba namimi nisome” alisema Glory na kupewa barua hiyo
Wakati huo huo Rafiki alikuwa bado kamkata jicho Sam la mshangao, alipoona haitoshi alinyanyuka na kumuendea mme wake pale alipokaa na kumkalia kisha akapitisha mikono yake kwa nyuma na kumkumbatia.
“Jamani mme wangu ….yani siamini hongera jamani” aliongea Rafiki huku akiwa anampiga mabusu mme wake
Sam nae hakuwa nyuma alipitisha mikono yake kiunoni pa mkewe na kuwa amemshikilia vizuri pale alipomkalia,
Kitendo cha mikono ya Sam kupita kiunoni kwa Rafiki kilimfanya ashtuke kwa mahaba kwani alipokuwa anashikwa na mmewe kiunoni basi mashetani yake huamka.
Sam aliligundua hilo ikabidi amkonyeze mkewe kwani mdogo wake alikuwepo Pale,
Kwa shida Rafiki alimuachia Sam na kukaa pembeni, Glory nae alimaliza kusoma ile barua na kujikuta machozi ya furaha yakimtoka kisha akaamka na kwenda kumpa kaka yake mkono akimpongeza.
“Asanteni sana jamani, nimeona niwashirikishe furaha hii kwani nyinyi ndio watu wangu wa karibu, ninyi ndio familia yangu, niko nanyi kwenye raha na tabu…nawapenda sana” aliongea Sam kwa hisia kali sana zilizomfanya alengwe na machozi.
Sikia Mme wangu, kunywa bia utakavyo ntalipa, nataka leo uwe na furaha hadi mwisho jamani…
“Mh mke wangu mida hii hata nikikutwa hapa si aibu kweli”
“Twende VIP” Sam hakuwa na kipingamizi, hakutaka kumkera mkewe aliamua kunyanyuka na kuelekea VIP lakini Glory yeye alisema anawasubiri pale kisha wakamwambie ale na kunywa chochote atakacho.
Sam na Rafiki waliingia kule VIP wakiwa wamekumbatiana kwa bashasha, walipofika walipulizwa na kiyoyozi kwa mbali kisha wakatafuta kochi lililokuwa sehemu nzuri na kukaa.
Alipokaa Sam Rafiki alikuja juu yake na kumkalia.
Haraka haraka mhudumu aliwafwata na kuwataka waagize kisha wakaagiza wote Heineken na kuanza kunywa.
Ndani ya dakika kadhaa Rafiki alitupa jicho lake mbele na kuona kitu kilichomshitua kidogo apaliwe na bia.
“Sam hebu angalia Yule sio shem Gwakisa”
Sam aliangalia kule alipoelekezwa na kumuona kweli Gwakisa akiwa amekaliwa na mwanamke mwenye makalio makubwa wanashikana shikana.
Akili ya Rafiki ilibadilika ghafla na kuona kama vile yeye ndie anafanyiwa usaliti ule na kujikuta roho inamuuma sana.
Sam alilijua hilo na kumvutia mkewe kwake na kuanza kumnyonya mate, alimnyonya midomo kwa lengo la kumpoteza kwa kile anachokiona.
“Achana nao na nakuomba usimwambie Verity chochote, utawavuruga”
Rafiki aliitikia kwa ishara ya kunyanyua uso juu na kuushusha, waliendelea kunywa pombe huku Gwakisa na Yule mwanamke wakipelekana juu ghorofani
………………………..
Gwakisa alikuwa na stress nyingi sana, aliumia sana moyoni kuachana na Nisha katika mazingira kama yele.
Hakutaka kurudi nyumbani akiwa hajatembea na mwanamke mwingine na ndio maana alivyomuona Yule mwanamke mhudumu wa kwenye bar yake hakusita kumtamani haraka haraka.
Walikunywa wisky ya kwanza ikaisha wakaagiza na nyingine na yenyewe ikawa inaisha.
“Hey meneja njoo mara moja” Gwakisa alimuita meneja wake ambaye alikuja haraka haraka.
“Huyu yuko zamu, sindio?” Gwakisa aliuliza akimaanisha Yule msichana aliyeko pale kama yuko zamu.
“Ndio bosi”
“Basi leo mpe off, mtoe kwenye zamu ana kazi maalum, nae leo kawa bosi”
Gwakisa aliongea hayo huku Yule mhudumu akimkunakuna kidevuni.
……………………
Verity alikuwa amefura kwa hasira amesimama nje ya ofisini kwao anasubiria Boda boda, alikuwa anatamani hata akimbie kwa miguu kwani hasira alizokuwa nazo alitamani hata kuua mtu.
“Leo watanitambua, nitaua leo” alijiongelesha Verity akiwa amekabwa na donge la wivu na hapohapoo Boda boda ikaja na kupanda kisha akamuelekeza Dereva…
“Endesha fasta nipeleke Rungwe Hotel and Executive” hili ndio lilikuwa jina la hoteli na Bar ya Gwakisa na hapo hapo Bodaboda ilitimua Vumbi!
Gwakisa alikuwa chumbani na mhudumu wake wanahondomola, kwa pombe walizokuwa wamekunywa ziliwafanya wafanye mapenzi ya kufuru.
Walikiuka mpaka miiko kwani mitandao yote ilikuwa inatumika, yaani kuanzia voda mpaka tigo, walipochoka waliendelea kunywa pombe na kurejea tena mchezoni.
Safari hii Gwakisa alikuwa kamlaza Yule mhudumu kwa kuangalia chini na kuwa makalio yako kwa juu huku kaishikilia miguu yote miwili nayeye akiwa kasimama pembeni ya kitanda kitendo kilichomfanya Yule mhudumu awe kama vile kalalia kifua tu.
Kazi aliyokuwa anaifanya Gwakisa ilichanganywa na hasira na ulevi aliokuwa nao kichwani,
Huku wakiwa wanajiachia vilivyo walisikia mlango unagongwa kwa fujo, hapo ilibidi washtuke na kusitisha walichokuwa wanafanya.
Gwakisa alinyanyuka na kuvaa nguo yake huku mlango ukiendelea kugongwa kwa nguvu, walijiuliza ni nani anayefanya kitendo hicho lakini hawakuwa na uhakika.
Gwakisa hakuwaza kama anaweza akawa ni mkewe kwani aliamini mkewe yupo kazini na hawezi kuwa na taarifa za uwepo wake hapo.
Akili yake haraka haraka ikadhani huenda ni Nisha kwani ndie ambaye alikuwa hapo muda sio mrefu
Alimshauri Yule mhudumu ajifiche bafuni na kisha alipofanya hivyo akafungua Mlango kwa tahadhari.
Ghafla kama mshale alizama Verity ndani huku akiwa amefura kwa hasira anahema juu juu,
“We mwanaume Malaya kama wewe sijawahi kuona…niambie Malaya mwenzako yuko wapi?”
Gwakisa alikuwa kapigwa na butwaa akawa anashangaa tu, wakati huo Verity yeye akawa anaangalia kila sehemu ya chumba.
Kwa ujasiri Mkubwa Verity alizama bafuni na kutoka na mtu anamburuza,
Ki uhalisia endapo Yule msichana kwa jina la recho angeamua kufanya mbaya kwa Verity angeweza kabisa kwani alikuwa na umbo kubwa kuliko la Verity lakini pia yeye alikuwa mzoefu wa mambo kama yale sio kama Verity mtoto wa Mboga saba.
Gwakisa bado hakuelewa afanye nini wakati Verity anaendelea kufanya yake… Verity alikuwa anatukana matusi kwa sauti kubwa kiasi hata watu wengine kwenye vyumba vingine walikuwa wanasikia.
“We mwanaume mse..nge sana, umekosa nini kwangu hadi utembee na ma baamedi”
“Umekosa nini nakuuliza, na wewe hujaona wengine zaidi ya waume za watu?”
Sio Recho wala Gwakisa Gwakisa ambao walijibu chochote, wote walikaa kimya tu, akili na hasira za Verity zilicheza haraka aakaona chupa ya Whisky pembeni akaiokota
Gwakisa alipoona Verity anaokota chupa ya Whisky akajua tayari linakuwa tatizo, alimfwata Verity ampokonye lakini kilisikika kishindo tu kwani chupa ile ilitua nyuma ya kichwa cha Recho na kufanya damu zimwagike kama bomba.
Kitendo kile hata Verity mwenyewe aliogopa maana si kwa damu zile, alianza kutetemeka mikono wakati Yule dada akitapatapa pale chini.
“Mungu wangu, Verity umeua mke wangu”
Sehemu Ya 43
Wakati huo tayari watu walikuwa wameshasogea pale mlangoni, hakukuwa na jinsi Gwakisa ilibidi amtoe Recho nje na haraka haraka akakimbizwa hospitali.
Huku nyuma hasira zilimpanda Gwakisa akaanza kumshushia kipigo Verity, ndani ya dakika chache Verity alikuwa hoi taaban na kama isingekuwa watu kuingilia kati ikiwa ni pamoja na Sam na Rafiki basi yangekuwa mengine.
Gwakisa alichukizwa sana baada ya kuona kama vile Verity anampanda kichwani wakati yeye mwenyewe ana mambo ambayo yanatiliwa shaka na ndio sababu iliyomfanya Gwakisa achepuke.
Ilibidi Verity nae akimbizwe hospitali kwani nae alikuwa anachuruzikwa damu na kapasuliwa uso.
Huku nyuma Sam alikuwa anajiuliza imekuwaaje Verity akajua kinachoendelea pale bar kuhusu Gwakisa.
Machale yalimcheza haraka akakagua simu ya mkewe, hapo ndipo alipokutana an chat za Rafiki na Mdogo wake Verity.
Hasira zilimshika akikumbuka kuwa walikubaliana na Rafiki kuwa Verity asiambiwe chochote….
“We Rafiki nilikwambiaje kuhusu kutomwambia Verity?”
“Nisamehe mme wangu, sikujua itakuwa hivi”
“Hukujua kwani mimi sikukwambia?”
“Mimi sikujua kuwa yatafikia huku?”
“Tatizo lenu wanawake mnadhani mna akili kuliko sisi, haya sasa haya yote yametokea kwasababu yako”
Hakukuwa na jingine ilibidi sasa warudi nyumbani na walipofika ikawabidi kwenda hospitali kumangalia Verity.
Wakati Sam na Rfiki wanafika hospitali ndio Verity alikuwa anashonwa maneneo kadhaa kichwani baada ya kudondoshewa makonde mazito na aliyekuwa anamshona ni Dr Kelvin.
Rafiki kuonana na Dr Kelvin alihisi kuwa kakutana na Mzimu kwani hakutaka kabisa kumtia huyo Dr machoni ila leo imetokea tena.
Dr Kelvin nae kumuona Rafiki aligundua kuwa wale watu ni ndugu kwani walikuwa wanafanana sana na hapo akamuuliza Rafiki
“huyu Ni mdogo wako?”
“Ndio..”
“Duh mzuri kweli yani, hapa ndipo nitajipoozea baada ya kukukosa”
Waliyaongea hayo kwa siri na hawakusikika na mtu yeyote, hakuna alichofanya RAFIKI zaidi ya kusonya “Mchyuuuu”
………………..
Hatimaye Verity na Recho walikuwa wametoka hospitali huku swala lao likimalizwa kimya kimya bila kufika polisi.
Kingine kilichoibuka baada ya hapo ni mawasiliano kati ya Verity na Dkt Kelvin, dr kelvin alizamiria kumpata Verity kwelikweli na dalili zilikuwa zinaenda vizuri.
Kitendo cha nisha kumuona Sam kilichochea penzi lake alilokuwa nalo awali ikabidi amfwate Gwakisa na kumwambia.
“Siku zote napenda kuwa na mwanaume anayejiheshimu, sio Yule anayetembea mpaka na ma Bar Maid, kuanzia sasa mimi nawewe tutakuwa kwa ajili ya kazi tu”
Hapo hapo Nisha alianza harakati zake za kumrudisha Sam kwenye himaya yake na alijipanga haswa!
Hatimaye Verity na Recho walikuwa wametoka hospitali huku swala lao likimalizwa kimya kimya bila kufika polisi.
Kingine kilichoibuka baada ya hapo ni mawasiliano kati ya Verity na Dkt Kelvin, dr kelvin alizamiria kumpata Verity kwelikweli na dalili zilikuwa zinaenda vizuri.
Kitendo cha nisha kumuona Sam kilichochea penzi lake alilokuwa nalo awali ikabidi amfwate Gwakisa na kumwambia.
“Siku zote napenda kuwa na mwanaume anayejiheshimu, sio Yule anayetembea mpaka na ma Bar Maid, kuanzia sasa mimi nawewe tutakuwa kwa ajili ya kazi tu”
Hapo hapo Nisha alianza harakati zake za kumrudisha Sam kwenye himaya yake na alijipanga haswa!
…………………..
Ndoa ya Gwakisa na Verity ilikuwa kwenye uzi mwembamba, wakati wowote ingekatika na kuwa vipande lakini waliendelea kuishi japo kwa chuki.
Isingekuwa kazi kubwa iliyofanywa na RPC Mndeme kumkalisha binti yake na kumshauri basi VERITY angeshaondoka kwenye nyumba ya Gwakisa lakini baba yake alishajifunza kwa kile kilichotokea kwa Sam na Rafiki, hakutaka tena kuingilia ndoa za watoto wake.
“Nisikilize mwanangu, nikweli mumeo amekosea kukusaliti lakini hupaswi kumfumania, sio busara kufumania mume wako na kujaza watu ni aibu kwa mumeo, ni aibu kwa ndoa yako na ni aibu kwako pia”
“Ona saivi mmerudi mnaishi wote huku tayari umeshautangazia uma kuwa mumeo ni msaliti, swala lile ungelishughulikia kimya kimya hata kushitaki kwa wazee na watu wa busara lakini sio kufanya fujo”
“Hebu fikiria kama ungeua siku ile, si ungeozea jele? Eti mwanangu si ungefungwa?”
“Lakini baba…”
“Lakini nini..nisikilize binti yangu, mimi mwenyewe nimesaliti mara nyingi tu na wakati mwingine mama yako alijua lakini alikuwa ananifokea nyumbani ananisema mpaka nikaacha na hajawahi kuniundia fumanizi,”
“Yani sasa wewe mumeo anakuona umemkosea na wewe unamuona amekukosea…kosa halitengenezi kosa mwanangu”
Kazi ya ushauri iliisha kwa Verity kuamua kurudi kwake japo alikuwa bado ana kinyongo, lakini wakati huo huo Gwakisa nae alikuwa bado ana chuki na Verity.
Katika hali ambayo sio nzuri ni kwamba walikuwa hawagusani, walalala huku kila mtu anageukia upande wake.
Wiki ya kwanza ilipita ikaja na nyingine hali ikawa ni hiyo hiyo, na wakati huo Gwakisa alikuwa anapambana kumrudisha Nisha mikononi mwake lakini zaidi ya kukutana kwenye kazi zao Nisha hakutaka mambo ya mapenzi, hivyo kila siku Gwakisa alikuwa anarudi nyumbani hana raha na ndio maana alikuwa hana hata hamu na mkewe… yaani wakati mwingine mchepuko unasumbua mpaka unatamani kumuomba mkeo ushauri nadhani hili Rusule Aidano Shumbusho analijua vizuri.
“Hi..mambo”
“Poa mambo?”
“Poa umepona vizuri sasa eenh?”
“Niko Poa, nani wewe?”
“Dr wako”
“Dr gani?”
“Kevi…”
“Anhaaa kumbe wewe, niambie”
“Poa ila kwanini unafuta namba yangu”
“Achana na hilo la namba nipe story”
Yalikuwa ni mazungumzo kati ya Verity na Dr Kelvin, waliwasiliana na mwishowe wakakubaliana kuonana.
Walikubali kuonana nje ya mji na siku hiyo Verity alifunga safari mpaka kule walikopanga kuonana na Dr Kelvin.
Verity alishuka ndani ya Tax na kukuta tayari Dr Kelvin ameshafika kwani gari yake aliiona pale nje, moja kwa moja Verity aliingia kule kwenye chumba alichoambiwa na Dr Kelvin kuwa yupo na kumkuta kweli kakaa kwenye kochi anachezea simu yake.
“Oh karibu mrembo”
“asante”
“Yani siamini kama umekuja?”
“Ndio uamini sasa”
Walikaa pale chumbani lakini mapigo ya moyo ya verity yalikuwa yanaenda mbio sana, kuna wakati alitamani aondoke lakini akawa anashindwa kuanza kupiga hatua.
Japo amewahi kusaliti na SAM lakini hii iliyokuwa inataka kutokea leo moyo wake ulikuwa unasita sana, kila alipokuwa anamuangalia Dr Kelvin alikuwa hatamani kufanya kile ambacho kilionekana kinataka kutokea.
Alitamani arudi akaweke mambo yake sawa na mme wake ili asije akasaliti lakini hata yeye hakuelewa kwanini haondoki.
Dr kelvin kwa uzoefu wake aliiona hofu iliyokuwa kwa Verity na hakutaka kuipoteza nafasi kwa mara nyingine,
Alimsogelea Verity na kumshika mabegani lakini Verity akautoa mkono wake kwa nguvu na kusimama.
“Dr Kevi sitaki, niache niondoke”
Verity alianza kupiga hatua atoke lakini Dr Kelvin hakutaka hilo litokee, aliamka haraka na kumkumbatia Verity kwa nyuma kisha akamnong’oneza sikioni na kumpumulia ndani ya sikio…. “Unaenda wapi mrembo”
Verity hapo hapo alijisikia kama amepigwa shoti na kukosa nguvu, wakati huo huo Dr Kelvin mikono yake ilikuwa kiunoni mwa Verity inatambaa.
Kazi ilikuwa imeanza sasa kwa Dr Kelvin kutumia utaalam na uzoefu wake, alikuwa anatembeza mikono yake kwenye mwili wa Verity akigusa maeneo yote ambayo alijua ni hatarishi kwa Mwanamke yeyote.
Taratibu Verity alikuwa anasogezwa kilipo kitanda lakini kabla hajafikishwa huko Dr kelvin Alikuwa ananyonya na kuingiza ulimi kwenye masikio ya Verity.
Hatimaye alimgeuza Verity uso na kuwa wanaonana na kumfwata mdomoni kisha kunyonyana ndimi, tendo hili lilimfanya Dr Kelvin aamini sasa ndege ni wake.
Alimpeleka taratibu mpaka kitandani na kumlaza kisha nae kuja kwa juu, alimnyonya midomo huku taratibu akipapasa mapaja ya Verity yaliyokuwa yamefichwa kwenye gauni laini la rangi ya bluu.
Taratibu alikuwa analisogeza gauni hilo juu na hatimaye kuacha mapaja kwa sehemu kubwa yakiwa wazi.
Mkono mwingine ulikuwa uko kifuani unacheza na nyinyo za Verity, Dr Kelvin alikuwa ni mtaalam sana wa haya mambo na hivyo kila kitu alichokuwa anakifanya kilikuwa ni hatarishi kwa Verity.
Hatimaye gauni la Verity lilikuwa pembeni, zoezi liliendelea hatimaye Verity akabaki na nguo ya ndani tu.
Dr kelvin aliendelea na wakati huu alikuwa ameipanua miguu ya Verity na kuingiza mguu wake mmoja kati kati, hapo aliendeleza mautundu yake na sasa mkono wake ulikuwa unapapasa juu ya kufuli la Verity na kusugua maeneo hayo kitendo kilichofanya nguo hiyo ya ndani izidi kuloa.
Dr Kelvin aliisogeza pembeni kidogo kufuli la Verity na kuzamisha kidole chake ndani kikapokelewa na joto na mguno kutoka kwa Verity.
Alipekecha kidole chake mgodini kitendo kilichozidisha majimaji kwenye ikulu ya Verity….
Hatimaye Kufuli la Verity lili
Hatimaye Kufuli la Verity lilikuwa linamalizikia miguuni huku Verity mwenyewe akilisukumiza na mguu kisha likadondoka chini.
Dr Kelvin alichojoa nguo zake zote na kumuendea Verity pale kitandani akaipanua miguu vizuri kisha akapeleka tango lake mgodini likaanza kugusa maeneo yale ya mgodi huku likipokelewa na ulaini wa ile sehemu na joto tamu.
Dr Kelvin alikuwa anazamisha tango lake ndani lakini ghafla Verity alinyanyuka na kukaa kitandani huku akisema …. No, No stop it…..
……………….
Mapenzi kati ya Sam na Rafiki yalikuwa dhahiri kwani walikuwa wanafurahia kila hatua waliyo nayo, wakati huo Nisha alikuwa anahangaika kumnasa Sam lakini kazi ilikuwa ngumu kwani kila Sam alipotoka out alikuwa na Rafiki.
Hatimaye RPC Mndeme alikuwa anafanyiwa sherehe ya kuagwa, Sam nae alikuwepo anavishwa nishani ya kupandishwa cheo.
Sherehe iliambatana na wageni wengi lakini ndugu pia walikuwepo, Rafiki na Glory walikuwa upande wa Sam bega kwa bega.
Wakati wa zawadi na kuvishwa maua ulipofika watu mbalimbali walitoa zawadi, wakapiga picha na kuvalisha maua.
Mwisho kabisa Nisha alikuja na shada lake akaelekea pale alipo Sam huku akiachia Tabasamu pana, Kitendo cha Sam kumuona Nisha kilimfanya ashtuke kwani Nisha alikuwa mrembo na alivalia akapendeza haswa,
Nisha alisogea akamvisha sam Shada kisha akambusu shavuni na kumpa zawadi lakini alimwambia…
“Uifungue ukiwa peke yako”
SAM alikuwa kapigwa na butwaa kwa kumuona Nisha kwa mara nyingine tena akiwa kapendeza sana,
Alibaki ameduwaa hadi mwenyewe akajishtukia, akili za kawaida zilimrudia na kuachana na mawao juu ya Nisha kisha mambo mengine yakaendelea.
Kwakuwa ile ilikuwa siku yao ya kuagwa walikuwa wameandaliwa sherehe kubwa kwenye ukumbi wa POLISI Mbeya.
Watu mbalimbali walikuwa wamealikwa kuja kushuhudia shughuli hii ambapo watu walikunywa na kula mpaka kusaza.
Sam alikuwa na furaha sana ikiwa ni pamoja na familia yake pia, Glory na Rafiki hawakuwa nyuma katika kumpongeza mpendwa wao.
Wakati Sam akiwa pale ukumbini huku zawadi zikiwa ziko ndani ya Gari lao alikumbuka kuhusu zawadi aliyopewa na NISHA na kuambiwa aifungue akiwa peke yake.
Aliwaza kidogo kisha akaamua kwenda kuiangalia ile zawadi palepale kwenye gari kabla hawajarudi nyumbani.
Aliamka kwenye kiti katika meza ambayo walikuwa wamekaa na marafiki ndugu pamoja na jamaa kisha taratibu akaanza kupiga hatua kuelekea nje sehemu walipopaki gari lao.
Alipofika pale aliminya remote gari likatoa mlio kisha akaenda akalifungua na kuzama ndani kisha akaanza kupangua zile zawadi akiitafuta ile aliyopewa na NISHA.
Bahati mbaya kwake ni kuwa yale maboksi yakawa yana fanana fanana, hii ilimpa kazi ya kujua boksi husika kwa haraka ukizingatia kuwa alikuwa anawahi kuendelea kuburudika na wenzake kule ukumbini.
Akiwa ameinama anatafuta alisikia kama kishindo cha mtu nyuma yake akageuka haraka, alishtuka na kupigwa na butwaa baada ya kukutana na NISHA.
“Hongera sana SAM wewe kwasasa ni Boss, mbona uko nje?”
“NISHA unafanya nini hapa”
“Kwani mimi si askari nah ii ni sherehe ya maaskari”
“Namaanisha hapa nilipo, unataka nini, unadhani mke wangu au hata watu wengine wakituona hapa watatufikiriaje?”
“Acha utoto SAM, wewe ni askari kweli?”
“Tafadhali NISHA acha utani, naomba uende”
“Unasema niende?”
“Nenda Nisha naomba kama kuna chochote tutaonana wakati mwingine tuongee lakini sio hapa”
“Anhaa hapo sasa ndio umeongea ila naomba nikusaidie kupata unachokitafuta”
Hapo hapo Nisha aliingia vizuri ndani ya gari na kumuonyesha boksi la zawadi alilompa SAM kama zawadi yake
“Hii hapa”
“Asante, unaweza ukaondoka sasa”
Nisha alishuka kwenye gari lakini kabla hajafika alimshika Sam shingoni na kumuendea mdomoni.
Sam alijitahidi kujiondoa lakini alivyoangaliana na Nisha usoni akajikuta akiishiwa ujasiri, kumbukumbu zilimrudia na kukumbuka jinsi alivyokuwa anainjoi maisha na NISHA wakifanya mapenzi.
Sehemu Ya 44
NISHA alifanikiwa kuunasa vyema mdomo wa SAM na kutumbukiza ulimi wake ndani kisha wakaanza kubadilishana mate.
Hisia ziliwazidia wakajikuta wanashikana shikana ambapo SAM alikuwa anapapasa na kuminya makalio ya NISHA aliyekuwa anatoa miguno ya mahaba.
“Nisha stop…”
“SAM ….”
“Sio sawa NISHA, mimi nina familia sasa,”
“Kwahiyo kama una familia”
“Siwezi kufanya hivi, mke wangu namheshimu na haitakuwa vyema akijua nina mahusiano nawewe”
“Naondoka lakini ntakupigia simu kesho tuonana”
Hapo hapo NISHA wala hakusubiri jibu akaondoka zake na kumuacha Sam akifungua ile zawadi aliyopewa na NISHA.
Alichokiona ndani ya kile kiboksi kilimfanya ashike mdomo kwa hamaki.
Alifunua siti ya gari akakificha kwa chini kisha akairudishia vizuri na kutoka kuelekea kule ndani ukumbini
“Vipi mbona umepotelea huko nje,”
“Nilienda toilet”
“Unaendesha nini, tulitaka tukufwate.”
Sam alikuwa pale ukumbini lakini mawazo yake yote yalikuwa kwa Nisha, alikuwa anafikiria kilichotokea pamoja na ile zawadi aliyopewa.
Alifikiria urembo wa NISHA na kutamani kurejea koloni lake la zamani japo roho nyingine ilikuwa inamwambia aache.
………………………………..
“Vaa mpira Dr Kelvin”
Akili yote ya DR kelvin ilijua Verity amemgomea kumpa mzigo kumbe ni kuvaa tu Kondom, hapo hapo DR KELVIN hakuchelewa alichomoa wallet yake iliyokuwa kwenye mfuko wa suruali akatoa mipira ya kiume na kuvaa kisha akamuendea VERITY pale kitandani na kuanza zoezi
Alipoona mambo yamekaa vyema alikamata mhogo wake akauweka taratibu hadi ukazama wote na kilichoendelea hapo shetani mwenyewe anajua.
Mchezo aliochezeshwa Verity alipagawa moja kwa moja maana alifanyiwa mambo ambayo hajawahi kuyaona kokote.
DR KELVIN hakuwa daktari wa magonjwa tu, alikuwa ni daktari wa mapenzi pia, aliamua kuweka heshima kwa VERITY ili kesho yake arudi tena.
Style zote zilikuwa zimeisha na sasa walikuwa wanarudia zingine, mipira ya kondom aliyokuwa nayo DR kelvin iliisha lakini si veriy tena aliyeidai.
Mchezo sasa ulikuwa unachezwa nyama kwa nyama kitendo kilichowafanya wainjoi zaidi na zaidi, alijikuta wakifanya mapenzi kwa muda mrefu hatimaye wakamaliza wakiwa hoi na kila mtu akaondoka kivyake.
Verity alirudi nyumbani kwake na wala hakumkuta Gwakisa, aliingia ndani kwake akabadilisha mavazi na kulala kitandani.
Alikuwa amechoka mno, ndani ya akili yake alikuwa anamuwaza Dr Kelvin tu, alishindwa kuvumilia na kuchukua simu yake na kumtumia sms.
‘hivi wewe ni Dr wa mapanzi au Dr wa magonjwa’
Alikaa kidogo akisubiri ajibiwe na kweli baadae kidogo akajibiwa…
‘hiyo cha mtoto kesho tukutane tena, niko theatre nitafute Kesho’
Ukweli ni kwamba DR KELVIN hakuwa theatre bali alikuwa anahudumia mwanamke mwingine na wote ni wagonjwa wake aliowahi kuwatibu na sasa alikuwa anamhudumia kingono na ndio maana alimwambia VERITY yuko theatre.
Baadae GWAKISA alirudi akitokea kwenye kazi zake na kuingia ndani akamkuta mkewe kajilaza kitandani.
Kama kawaida hakumsemesha akaingia bafuni akaoga na kujitupa kitandani, kitendo cha Gwakisa kulala pale kitandani alipo Verity kilimtia Verity kinyaa na kuamua kuamka aondoke.
Alipoamka kanga yake ilidondoka na kubaki na nguo ya ndani tu, Gwakisa aliona kile kitu na kujikuta anamtamani mkewe.
“Unaenda wapi Verity?”
“Verity aligeuka tu na kumuangalia Gwakisa ila hakumjibu chochote”
Gwakisa aliamua kuamka na kumshika ili amvutie kwake wafanye ngono kwani alimtamani…
Kwa hasira Verity alimsukumiza Gwakisa akaanguka na kujigonga mguu wake kwenye mbao ya kitanda.
“Niache bwana nimechoka mimi”
Verity alishtuka baada ya kumuona Gwakisa akiugulia maumivu baada ya kugonga mguu kwenye mbao ya kitanda. Alijua kabisa kuwa lazima atakuwa ameumia lakini hakudiriki hata kutoa neno la pole kwa mme wake zaidi zaidi alitoka tu na kuelekea bafuni
Gwakisa ilibidi ajizoe tu na kupanda kitandani alale zake, hakujua ile jeuri verity ameitolea wapi kwani hajawahi kumuona akiwa vile.
Mara zote hata wagombane lakini haijawahi kutokea eti anyimwe unyumba tena kwa dharau kiasi kile.
Gwakisa aliwaza mengi, alihisi huenda Verity nae ameanza kumsaliti, mawazo yake yote alikuwa anadhani huenda Verity ameanza tena kutoka na Sam.
Chuki dhidi ya Sam ilizidi kujikusanya tena na tena, akiwa kwenye mawazo yake Verity alirudi tena ndani akiwa amejifunga kanga yake.
Gwakisa alizidi kumtolea macho, alimuona kama kawa mpya na uzuri umeongezeka. Verity alikuwa na umbo zuri sana na lilivyokuwa kwenye kanga ndio kabisa.
Akili ya Gwakisa haikukubali eti siku hiyo anyimwe kabisa penzi, Verity alivyojilaza tu Gwakisa akamuendea na kuanza kumshika shika.
“Kwani wewe una nini, si nimekwambia nimechoka bwana”
“Bwana mimi nina ham sana, “
“Kesho mimi nimechoka”
Gwakisa hakukubali alikomaa na hapa akawa ameitoa kanga ya verity na kumuacha uchi kabisa.
Hatimaye Verity akawa hana uwezo tena wa kumzuia Gwakisa, Gwakisa aliendelea na mambo yake mwishowe akafanikiwa kuingiza uume wake kwenye uke wa Verity.
Aliendelea kujihudumia pasipo kupewa ushirikiano wowote kutoka kwa mkewe.
Yani alijipakulia na kujilia mwenyewe, kwakuwa alikuwa na uchu hakujali sana , aliendeleza mambo mpaka pale alipofika mwisho akashusha mzigo na kutulia pembeni.
“Unajiona umefanyaaaa nawe mwanaume eti, si umenchafua tu”
Aliongea maneno hayo Verity huku akienda kuoga tena, Gwakisa aliyasikia hayo maneno yakamuuma, alishindwa kuelewa kiburi hiki kwa Verity kimetoka wapi. Katika majibu yake akapitisha kuwa Sam ndie sababu.
……………………….
Ni siku nyingine Verity yuko kwenye gari ya Dr Kelvin ndani wanafanya mapenzi, kiti cha siti kilikunjuliwa kikawa kama kitanda Verity akalazwa humo.
Dr Kelvina alikuwa kwa juu anasugua ikulu ya Verity ipasavyo huku wanapuliziwa na AC, michezo iliendelea kw style tofauti tofauti na wakati huu Verity alikuwa kamkalia juu Dr Kelvin anajihudumia.
Dr Kelvin alikuwa amepitisha mikono yake na kukishika vyema kiuno cha Verity na midomo yao imekutana wananyonyana mate huku viungo vyao vya chini vinaendelea kusuguana.
Verity akiwa kamkalia Dr Kelvin huku Dr nae kakalia siti ya gari na kukizungisha kiuno taratibu akihakikisha uume wake unagusa kona zote za uke wa Verity kitendo kilichomfanya Verity apagawe kabisa na kumuita Dr Kelvin majina yote mazuri.
Walimalizana baadae sana huku Verity akiwa kapandishwa kileleni mara kibao na Dr Kelvin nae akiwa kafika mara moja lakini ya nguvu.
Walikaa sasa kwenye siti zao huku wanaongea mambo mbalimbali…
“Hivi una mpango gani kuhusu watoto”
Aliulizwa Verity….
“Yani wewe acha tu, tangu mwanangu apotee sijashika mimba tena”
“Na ukimtegemea yule mumeo ndio hutapata maisha yako yote”
“Kwanini unasema hivyoo?”
“Kwani hujui kuwa mumeo hazai”
“Unasemaje?” Verity alishtuka mno kusikia vile
“Unashtuka nini sasa, kuwa mkweli kama hata mtoto wako wa kwanza ulizaa nae yeye?”
Hapo Verity alitulia huku akiyameza maneno ya Dr Kelvin akilini mwake.
“Wewe umejuaje kuwa hazai?”
“Mimi nilishawahi kumpima baada ya yeye mwenyewe na mwanamke wake wa mwanzo kuja kwangu wakidai hawapati mto t o nikawapima lakini nikagundua shida iko kwa Gwakisa.”
“Sasa ukawasaidiaje”
“Niliwapa dawa wanywe lakini sikusema kuwa tatizo lipo kwa Gwakisa kwani yule hakuwa mkewe wa ndoa, ila ukweli mumeo ana tatizo na lile halitibiki”
“Kwahiyo mume wangu ni tasa?” Aliuliza Verity.
“Hayo ndio majibu”
Verity aliwaza sana lakini aliondolewa kwenye mawazo yake baada ya Dr Kelvin kuanza tena manjonjo yake wakajikuta wanafanya tena.
Tabia hii iliota mizizi na hatimaye ikawa karibia kila siku Verity anaingia kwenye ngono na Dr humo humo kwenye gari.
Gwakisa alikuwa anapewa mara moja moja kama dawa tena anapewa huku anasimangwa.
……………
Sam akiwa ofisini alipokea simu ya Nisha na kumuomba wakutane, Sam alitaka akatae lakini alipokumbuka ile zawadi aliyopewa akawa hana jinsi.
Alielekea kule alipoitwa na hakukuwa kwingine isipokuwa nyumbani kwa Nisha.
Alipofika alikaribishwa ndani na kumkuta Nisha kavaa kanga nyepesi huku kufuli likiwa linaonekana mubashara.
Alikaa kivivu kisha akapewa soda ya baridi na kuanza kunywa taratibu japo moyoni hakuwa na amani hata kidogo.
“Niambie Mume wangu, zawadi umeionaje”
“Zawadi gani sasa ile, kwanini umeamua kufanya vile”
“Ni mapenzi tu Sam, nakupenda sana na nadhani isingekuwa kulazimishwa na RPC wala usingemuoa mwanae bali mimi”
“Una uhakika gani”
“Najua ulinipenda mimi, na mimi nilikupenda wewe nabado nakupenda”
“Kwahiyo kama nikikaidi ombi lako utafanyaje?”
“Sikutanii ila kweli nitaisambaza ile picha tena na video kabisa”
Sam alishtuka kwani hakujua kuwa kumbe zaidi ya picha aliyotumiwa kama zawadi akiwa uchi wa mnyama anafanya mapenzi na mwanamke ambaye ni Nisha kumbe alikuwa na video pia.
Ishu hii ikawa ni mafanikio kwa Nisha kwani alifanikiwa kumuingiza kwenye mtego na hatimaye akawa mpenzi wake kwa mara nyingine.
Kanga ya Nisha ilikuwa chini huku umbo refu, lenye mwili mweupe wa kichotara ukionekana kwa Nisha.
Hisia za Sam hazikuweza kuuvumilia ule urembo na taratibu zikamruhusu jogoo wake kuwika barabara.
Midomo yao ilikuwa ina kazi ya kunyonyana huku mikono yao ikitembelea kwenye miili ya kila mmoja wao.
Miguno ya mahaba ilisikika zaidi huku wakiangushana kwenye kitanda kikubwa chenye shuka jeupe na hatimaye Sam juu Nisha chini viungo vyao vimeingiliana.
Ngono na Nisha ilikuwa tam sana, na hatimaye wakawa wanakutana kila walipotaka kukutana, haikuwa kwa lazima tena bali Sam mwenyewe alikuwa anafurahia mchezo.
Katika makubaliano yao ni kwamba Sam amheshimu mkewe na iwe siri ili Ndoa na heshima yake viendelee kuwepo.
…………
Gwakisa hakukata tamaa kwa Nisha, siku moja aliamua kumfwata kwake ajaribu tena kumshawishi.
Alipofika aliingia ndani bila hata hodi, kitu alichokiona alibaki ameshika mdomo kwani Nisha alikuwa ameshika kochi kainama huku Sam akichochea kwa nyuma, yaani wanafanya ngono kwa style ya Mbwa.
Sio sam wala Nisha waliojua kuwa Gwakisa ameingia pale, wao hawakujua lolote wakawa wanaendelea tu kufanya yao.
Walipochoka staili ile wakabadili nyingine na safari hii Nisha alilala kwenye kochi sam akamnyanyua miguu na kuiweka begani kwake kisha akaendelea na zoezi.
Gwakisa safari hii aliamua kujibanza pembeni ya mlango huku anaangalia kila kitu, Roho ilikuwa inamuuma sana kuona kuwa msichana aliyekuwa anampenda leo anatembea na Sam.
Moyoni mwake alimchukia sana Sam, alitamani hata kumuua kwani alikuwa anamuingilia kwenye maeneo yake mengi kuanzia kwa mkewe na hapa kwa mchepuko pia.
Aliendelea kujibanza pale akishuhudia kila hatua ambayo Sam na Nisha walikuwa wanapitia katika zoezi lao la kufanya mapenzi.
“ashhhh, sam unaniua mimi…rahaaa jamani”
“nakojoa…, nakojoaaaa”
Yalikuwa ni makelele ya Nisha baada ya kunogewa na mchezo aliokuwa anafanyiwa na Sam.
Gwakisa alikuwa anazidi kuumia kwa kile ambacho alikuwa anazidi kukisikia na kukiona kwa wztu hawa walioko mbele yake.
“Nakupenda sana Sam, wewe ndio mwanaume haswa unayejua kukidhi haja zangu, wewe ni mzuri wa muonekano mpaka kitandani”
Gwakisa aliposikia hizi kauli alijisikia vibaya sana…
“Kwani kuna wanaume wengine hawawezi kufanya kama hivi?” Sam aliuliza wakiwa wamelaliana baada ya kukamilisha zoezi lao.
“Sasa unafikiri ni wote wanaoweza kama wewe?”
“Kama nani mfano ambaye hawezi hivi?”
“Wengine unawajua sitaki tu kuwataja”
“Nitajie tu mmoja”
“Huyo Gwakisa ndio anajua tu kuingiza na kukojoa basi”
Gwakisa kusikia jina lake linatajwa alihisi kama msumari wa moto unapita katikati ya moyo wake, aliumia sana kuachwa alafu anatangaziwa mambo ya aibu.
INAENDELEA

