SHERIA YA NDOA CHUPI KWENYE KAMBA MIUNO MPAKA ASUBUHI
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Episode 1
Mimi na Rose tulikuwa marafiki wa muda mrefu tu. Urafiki wetu ulianza baada ya Mimi kupata kazi kwenye kampuni yao. Kiukweli Rose ananipenda na mara nyingi tunachukuliana kama mtu na rafiki yake.😍
Sasa, pale kazini kuna huyo mvulana anaitwa Timo Ambaye pia ni boss wetu japo boss mkubwa yupo ila timo pia hushulikia kila kitu cha ofisi labda jambo likiwa kubwaaa sana ndio linaenda kwa boss mkubwa . Timo ni mzuri sana acheni tu. Mi nilikuwa nampenda na timo alishatongoza mara kadhaa ila mie nikaleta yale maringo ya kike haikupita muda mrefu Rose akajiweka japo alijua mie shoga ake nilikuwa sijiwezi kwa timo lakini Rose akafanya ujanja wake, Timo akaenda kwake😭 Nikajikuta nampoteza Timo pamoja na Rose mwenyewe😰
Sikutaka kuongea na Rose💔 Nilimuona ni mnafiki sababu alikuwa anajua kila kitu kuhusu Mimi kumpenda Timo na mara nyingi nilikuwa namuambia jinsi gani nampenda yule mwanaume. Ko, nikawa niko mwenyewe napambana na mambo yangu timo nae nikamuona kama mshenzi tu kumbe hakuwa na mapenzi na mm yaan mie kumkataa kidogo tu ndio aende kwa rafiki yangu 🥲 asa si angenifosi kidogo aone kama ntaendekea kukaza 😢 mwisho wa siku nikasema kazi ndio muhimu
Muda mwingi akili yangu ilikuwa juu ya kutimiza malengo yangu lakini siku moja Timo aliniita na kuniambia Diana, nimeachana na Rose. Nimegundua kuwa alikuwa hanipendi bali alikuzunguka katika namna ambayo hata siielew maana kila nikiwaza jinsi nilivyoanza mahusiano nae nashidwa kuekewa ilikuwaje kuwaje 😪 Mie kimoyo kikaniripuka sana. Nikawa na wasiwasi huenda ananipanga. Ko, nikamuuliza anataka nini?😔 Timo aliniambia “Diana nataka kuwa na wewe. Nakuhitaji” Hapo akanijaza maneno mengi sana kiasi kwamba hadi nilianza kumuelewa.
Kumbe, kwa kipindi ambacho nilikuwa nazungumza na Timo, aliambiwa na Rose kuwa anataka kusafiri kwenda Kijijini kwao. Ko akawa anatafuta mbadala wake. Mi nikawa sijui, hadi Rose anaondoka pale ofisini nikawa najua kwamba wameachana😭.
Baada ya Rose kuondoka, Timo akawa ananitafuta kila siku. Ananiambia tutoke out nikawa namkatalia. Kama nilivyowaambia kuwa nilikuwa busy na mambo yangu. Basi, ushawishi wa Timo ukawa mkubwa. Alikuwa akija nyumbani na vizawadi🎁 Nilikuwa namfukuza hadi nikachoka. Taratibu nilianza kumkubalia😔Nilikuwa napenda sana Chocolate 🍫Basi alikuwa ananiletea.
Tukawa tunaenda out na gari yake halafu tunarudi usiku. Basi ilikuwa hivyo. Maisha yakasonga pale ofisini ikawa kama tumeanza kujulikana hivi kwamba sisi ni wapenzi😍 Loveness ambaye ni kama rafiki yangu. Aliniambia kwamba nataka kuingia sehemu mbaya. Lakini nilimwambia ukweli naujua kwahiyo akae pembeni. Mie tena kwa kujiamini.
Timo naye akawa ananionjesha mambo mengi mno. Kiukweli alikuwa ni romantic. Alijua kuniteka kihisia. Siku ambazo nilikuwa sionani naye nikahisi kama ni mwaka hivi. Jioni ningempigia simu na kutaka kuonana naye? Kuna siku aliniambia nataka kuonana na wewe kama unaweza njoo nyumbani🙏 Niliogopa maana sikuwahi kwenda kwake. Basi nikamwambia nitakuja.
Jioni ilipofika nilinyoa vuzi maana nilijua huku nakoenda siwezi kuachwa salama ingawa tulikubaliana kwamba naenda kupajua anakoishi ila niliamua kujiongeza😂 Nyie nikafika kwake bwana. Timo alikuwa anaishi kwenye nyumba nzuri sana🙈🙈 Chumba chake sasa ndio usiseme kilivutia mno hadi nikatamani kulala.
Episode 2
Akaniletea juice 🍹🍹tukaanza kunywa wote kwa pamoja huku akinitazama usoni. Macho yake yalikuwa mazuri hadi nilijikuta nashindwa kumtazama. Nikakwepesha macho yangu. Timo akanisogelea na kunishika vidole. Akaniambia nina kucha nzuri.😍 Hamkuwepo bwana😂Nilivimba kichwa mno. Basi akaanza kunishikaa na kunicheza huku na huko. Nikaanza kujifanya sitaki nataka. Tomi akajua kwamba nilikuwa naogopa mwanga wa taa. Akaenda kuzima. Moyoni nikajiambia tayari nimeshaliwa leo. Basi, kachupi kangu kalivuliwa saa ngap asizame mgodini nyieee nililabwa kama katoto ka mbwa 😂😂 🙈🙈🙈🙈
mizuka iliponizidia nikajisemea mbona nimelazwa kama nabakwa ngoja na mm nimuoneshe kuwa siyo kinyonge 😝 nilimpindua nikaanza kushughulika
nilikamata 🍆nikaanza kutuma salam nilituma salam hadi kwa majiran zake 😝nilimuona anaanza kukoroma kama ganerata 😂😂😂 nikajisema sasa je
tulioneshana umwamba kwenye maandalizi hadi wote tukawa hoiiii
baada ya hapo mpira uliwekwa kati nyieee tulikinukisha mwanzo nilikaza
ila mwanaume ni mwanaume tu kuna sehem alinigusa nikaishiwa nguvu nikabaki nakatika kama feni bovu
hatukuchukua muda mwingi tulifika kilelen wote tukiwa hoiiiii
😋😋😋
Timo alisema Diana naomba unisamehe sana nilistuka nikataka kunyanyuka maana nilikuwa nimelala kifuani kwake
alinizuia akasema tulia nikwambie kitu mpenzi wangu
nahisi kuna vitu Rose alinifanyia maana nimekutana na ww nimeona tofauti kubwa
nikamwambia timo mpenzi wangu mbona sikuelewi
funguka nikuelewa . aliniambia nataka kuanza maisha na ww mpenzi wangu najua unanipenda mnooo hata mm nakupenda na nikwambie kitu mwenzio nikiwa na ww nainjoy mnooo kwanza unanijulia
wakati huo nasifiwa basi mie bichwa hilooo😜😜😜😜
mniache kwan nani asiyependa kusifiwa na mwanaume wake
kwa njins alivyokuwa anaongea nilijikuta nanywea tu na kumsikiliza
aliniambia mambo mengi sana mengine yaliniuma na akakiri kuwa alinikosea
mi nilimua kumkatisha na kumwambia kuwa yaliyopita tuyaache maana tukiyaongelea sana yananitonesha tu vidonda Timo ukumbuke mie nilikupenda sana na hata ww najua unanipenda ila nadhan wakati wetu sahihi ulikuwa haujafika na pengine ilikuwa ni lazima tupitie changamoto ili tukiwa wote tuwa imara zaidi
hili liwe funzo kwetu huwezi jua mungu ametupangia nn mbeleni
tusiruhusu vikwazo vituyumbishe tena
mpenzi wangu alinikumbatia akasema ndio maana nakupenda wewe ni mwelewa mnoooo😘😘😘
mie tena na kusifiwa bichwa likawa kubwa kama ungo 🤣🤣🤣🤣🫣
Episode 3
Tulirudia round nyingine si mnajua mkitoka kutoa madukuduku yenu mnavyokamiana 😜 tulinyanduana hadi miguu ikawa inatetemeka 🤣 utadhan tukikuwa tunapambania kombe nyieeee🤣🤣 ukinyanduana na mwanaume unayempenda raha sana
siku hiyo nililala pale pale na asubuhi alinipitisha kwangu nikabadili nguo akasema chukua nguo mbili tatu ukitoka kazin nakufata sitaki ukae mbali na mm sasa hivi
khaaa nikamwambia mbona gafla chibaba akasema ndio nishasema hivyo au una kijanaume chako hadi ukiiage khee yamekywa hayo tena
nilimwambia yaishe mpenzi wangu neno lako kwangu sheria 😍😍
nilichukua nguo kadhaa kwenye mkoba wangu wa kusafiria niliuweka cty ya nyuma mie nikapanda mbele sie haoooo hadi kazini ?
tulivyofika kazini watu mijicho yote kwetu khaaa na wambea wake Rose niliona wanajibonyeza nikasema mnaloooooo kwanza mie ndio niliyeibiwa bwana hivyo karudiii kwa ampandae 😛
nilikuwa nabusy na kazi muda wa kula ulinipita baby akaniagizia chakula maana nikibanwa mnooo nikiwa nakula nilipigiwa cm na no ngen ila nilivyotaka kupokea moyooo wangu ukalipuka yaan unajua ile moyo kulipuka ndio wangu ulivyofanya
Niliiacha iite hadi ikate ikaita tena nikasema liwalo na liwe mie napokea
ile napokea na kuweka sikioni weeeeh nilikoma
nilikutana na mitusi ya mwendo kasi na kwa vile sikuwa nimejiandaa nilibaki nimeduwaa tu 😕😟😟
alikuwa ni Rose alisema hii vita huiwezi diana si unataka tuoneshane asa subiri uzuri unanijua vizuri muone sura lake lilivyopooza kama mchicha bwasi khaaa mie huyo nimepooza kama mchicha bwasiii 😢😢
basi my wenu nilisuuzwa sikubakishwa hataaa ila mimi desturi yangu huwa sibwatizani hivyo alivyomaliza nilimpigia timo na kumwambia kila kitu akasema nakuja ofsini kwako mke wangu
nikianza kupokea mvua ya sms za matusi
khaaa yule dada domo lake limeoza siyo kwa matusi yale mungu wangu🙆🏻🙆🏻🙆🏻🙆🏻 nilimkadhi cm timo akampigia alivyosikia sauti ya timo eti akanigeuzia kibao
eti baby diana amenipigia cm na kunitukana sanaaa alijiliza pale ila timo alimkatisha na kumwambia kaa mbali na mke wangu yaani ukitaka kunijua kiundan endelea kumchokoza mke wangu nakwambia ntakufurahisha
nyie muda huo anavyoniita mke wangu bichwa lilikuwa linataka kupasuka 🫣
Episode 4
Rose alimuapia toma kwa kumwambia ukidumu na diana labda sijatokea singida khaaa niliingiwa na kaubaridi ila nikajikaza baby asinione muoga ila kiuhalisia nilikuwa naogopa balaa 😟😟😟
nilimwambia baby sijisikii vzr kichwa kinaniuma mnooo naomba niende kwangu nikapumzike
akasema nakupeleka mwenyewe
basi niliweka kazi zangu vzr nikaenda ofsin kwa boss wetu mwingine anayetusimamia baadhi yetu alikuwa mdada yuko normal kishenzi kiufupi ukiwa na shida na ukamuweka wazi ni mwepesi sana kukusaidia
nikimwambia nasikia homa boss naomba niende hospital alinipa pole akavuta droo na kunipa elfu 40 nilitaka kuikataa lakiniii nikasema weeeeeh hela haikataliwi😂🤣
toma alinifikisha kwake akasema pumzika mi narudi kazin na kesho week end nataka unipe taratibu za kwenu sitaki kukaa na wewe kihuni
khaaaa nyieee niliona mambo yanaenda haraka sana toma alivyoondoka nilianza kujifinya kwa kukuhisi labda nipo usingizini naota 😂😂😂kumbe ni kweli huba lilikuwa limekolea balaa😋
basi nilipumzika hadi saa 9 alasiri nikaamka na kuoga nikavaa tishert kubwa kubwa la baby wangu lilinifika juu ya magoti basi nilielekea jikoni nikaangalia kitu cha kupika nikaona nimpikie ndizi nyama baby wangu 😋😋😋😋
kufika saa 12 mpenzi wangu alirudi akanikuta nipo chumban nacheza game
nliisadia kumpunguza nguo tukaelekea bafuni na kilichotokea huko kuta za bafu Ndio shahidi 🫣
nani alikwmbia ukiwa na kipenda roho unachoka nani alikuongopea ukiwa na lazizi wako nyonga mkalia ini unachokaaaa ni mwendo wa kupeana mavituzi 😜?tulirudi chumban akavaa pens na mie nikafunga kimtandio chepesiiiii tukaelekea seblen toma alinipa kwenye wowowo akasema mtoto utanipa kesi sitaki na raia 🤣
nilitenga chakula tukala
nyieee siyo kwa kusifiwa kule na kweli ndizi zilikuwa traaam balaaa tulivyomaliza hatukutaka mambo mengi seblen 😍😍
sie haoooo hadi chamban ?tom mpenzi wangu aliniulizia proses za kwetu ili amtume m2
nikimwambia kila kitu ila nikamshauri tukipata muda tuende sisi wenyewe
nikimwambia nataman sana kwenda kukutambulisha mimi mwenyewe kwa familia yangu nyieeeeee😋
tukiwa tunajadili mambo yetu tulisikia get kubwa kinagongwa kwa fujo toma alitoka na mie na kiherehe changu nikamfata nyuma
kabla hajafungua tulisikia sauti ya Rose nje nakwambia toma fungua kabla sijakujazia watu ulijua sijarudi si ndio asa fungua unikatae uso kwa macho
khaaa nikajisemea kivumbiiiii leo kumbe kunakukataana uso mwa macho 🙆🏻🙆🏻🙆🏻🙆🏻
toma alifungua mget kwa hasira nilimuona Rose akiwa mwekunduuu kwa kulia khaaa huyu vipiiii
Episode 5
Toma alimvutia ndani ya geti akamuuliza unapata wapi ujasiri wa kuja kupiga kelele kwangu
Rose alitoa mimacho toma alimuwasha kibao kitakatifu
akamwambia nilikuambiaje mchana kaa mbali na mke wangu
sikuhitaji nimeshajua ujinga wako wote au hadi nikwambie wazi ujue asa kwa taarifa yako najua hukusafiri kwenda kijijini bali ulikuwa na lizee lako hotel uongoooooo nyieee rose alibaki mdg kama piliton🤣🤣
mie nilibaki mpenzi mtazamaji tu maana lile lilikuwa bonge la movie 🤣
alimwambia kuna kitu chako humu ukichosahau niambie nukupe maaba baada ya leo sitaki kuuona uso wako tenaaa
rose akipiga magoti na kuanza kuomba msamaha timo alimwamabia wa kumuomba musamaha ni mke wangu maana yeye Ndio ukiyemkosea zaidi
rose akiniangalia kwa hasira mie tena moyo wangu baridiiiii maana mungu amejua kuninyooshea mnafiki wangu 😛
baada ya kusuuzwa vizuriii alinyanyuka kivivu akatoka na kuondoka nilimkumbatia mpenzi wangu na kumwambia asante
akasema hapa uko mikono salama mke wangu mie tena bichwaaa hilo hadi linakata kona tazara 🤣🫣
tulirudi ndan na nikaona hapa nimpe vitu adimu nikimwmabia twende tukaoge baby tukienda na kule bafuni hatukuwa na mambo mengi tukirudi kwenye uwanja wa kujidai ndio nikafanya yako uzuri toma nae hakuwa nyuma tukienda sambamba na kama kawaida yake kuna sehem huwa ananichezeaga rafu nabaki natweta kama nimemeza tonge la moto 😋😋😋
nilimbidua nikakaa kwa juu nikaanza kuongoza mchezo alitaka kufunga goli nikachomoa niliitia mdomoa weeeeh
mtoto wa mama mkwe alikuwa anaunguruma kama simba mie tena nikazidisha sifa hadi akalibwada mdomoni 😋😋😋
aliniwahi akanipa denda weeeeh nilijikuta mzuka unaoanda upyaaaa tukalianzisha tena nyieee asikwambie m2 kunjunjana na mwanaume wako au mwanamke wako unayempenda ni raha sanaa hamchoki😝
tulikuja kupumzika muda ushaenda ile tunastuka ni saa 12 kasoro asubuhi 🙆🏻🙆🏻🙆🏻 tulikimbilia bafuni kama wehu 🤣
tulifika kazini kila m2 akazama ofsin kwake na kuendelea na kazi zake hadi muda wa mchana ndio tukaonana kwenye chakula
ofsin maneno yalianza kuwa mie nina tabia mbaya najitongizesha kwa wanaume wa watu maneno yalipozidi nilienda kwa boss wetu mwanamke nikaenda kuriport wakaitwa wote kuanzia Rose na kundi lake
boss akasema imekuwaje mnageuza ofisi kama sehemu ya kijiwe wote kimya boss akasema hamna midomo si ndio nitawapa maburua za mapumziko wote nadhan kila m2 alisoma mkataba wake vzr na anajua lipi hatakiwi kufanya akiwa ofsini
Rose alianza kuongea kwa kunichongea huku shoga zake wakimsaport nilimsikiliza weeeh mwisho uzalendo ukanishinda.
INAENDELEA