JOIN US WHATSAPP
CLICK HERE
JOIN US TELEGRAM
CLICK HERE
Alipa Bilioni 140 Tsh, Kumuoa Binti wa Rais Ruto – Tazama Vitu Inavyodaiwa Kijana Mtanzania Aligharamia Kukamilisha Mahari
Chanzo: VOICE OF JUBA
Mwanamume wa Kitanzania alipa Shilingi bilioni 7 za Kenya (Bilioni 140 Tsh), helikopta mbili na basi ili kumuoa binti wa Rais
Mfanyabiashara wa Kitanzania, Isaya Yunge, aliyemuoa Charlene Ruto—binti wa Rais wa Kenya William Ruto—anasema alilipa mahari ya Shilingi bilioni 7, ikiwemo helikopta mbili na basi la abiria (nganya).
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Kenya, Yunge pia alidai kuwa alimnunulia Charlene pete ya dhahabu yenye thamani ya dola za Marekani 433,000.



