TANGA RAHA ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 11 “Eddy ndio unaondoka?” “Halda ni bora niondoke kuliko kumsaliti mpenzi wangu” “Eddy nakuomba usimwambie Rahma kuwa nilikufanyia hivi” “Snto mwambia endapo wewe huto endelea kunisumbua” “Sawa Eddy mimi sinto kusumbua ila nakuomba unifikirie japo kwa siku moja na mimi niweze kupata kile unacho mpa Rahma” “Sawa” “Basi ngoja nivae nguo zangu nikurudishe nyumbani kwako” Halda akavaa nguo zake kisha tukaondoka na safari ya kuelekea kwangu ikaanza,njia nzima ha-kuana aliye msemesha mwenzake zaidi ya ukimya kutawala ndani ya gari “Ingia barabara ya mtaa huo” Nilimuelekeza Halda…
Author: Raha Special
UKINIPA SISEMI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 11 Kwa kweli yale Maneno ya Sister Magreth mimi yalinishitua sana. Kusema kuwa hana jinsi na Mimi ndio Target sasa hivi ya kufukuzwa shule yalifanya Mapigo yangu ya moyo kuanza kwenda mbio sana. Upande mwingine wa moyo nilikuwa naumia mbaya huku nikihisi huenda haya mapenzi ambayo nimefanya na Sister Magreth ni Mtego na ndio ambae utaniumiza mimi nini?. Nilishindwa hata kuondoka nilibaki nikiwa nimesimama huku nikitamani Sister aongee kwa mara nyingine nimsikie tena maana kile ambacho alikuwa amekiongea bado kilikuwa hakija nikaa akili kabsa. Mtu nilijitoa…
LUCIFER ALINIITA KUZIMU ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 16 Hivyo ndivyo ilivyotokea kwangu, wale wachungaji waliponizidi nguvu nilibaki pale hotelini ambapo walinichukua na kunipeleka kunifanyia maombi kanisani kwao. Sasa nilipogundua nilikuwa nimepelekwa kanisani, niliondoka nikiwa na nafsi ya kimapepo kuufuata mwili wangu. Nilipofika kanisani, mapepo yangu yalifanikiwa kuingia kwenye mwili wangu lakini kabla sijafanikiwa kutoka nilisikia nimepigwa na kitu kizito kichwani. Baada ya kupigwa na kitu hicho, kichwa kikawa kizito, nikaanza kuona maghorofa yote yaliyopo Posta yanazunguka kisha mwili wote ukaanza kuwaka moto. Baada ya kupigwa na kitu hicho, kichwa kikawa kizito, nikaanza…
LUCIFER ALINIITA KUZIMU ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 11 Kabla hajafanya chochote alinieleza kwamba ni lazima apige lamri ili kujua ukubwa wa vita niliyokuwanayo na zindiko atakalonifanyia. Baada ya kufanya hivyo, alijongea kilingeni palipokuwa na ngozi na matunguri ya uganga, alifanya mambo yake kisha aliniambia nisogee karibu yake. “Kijana nimeangalia, mbele yako kuna hatari kubwa kwani usingepata ufahamu wa kuja hapa, jua la kesho usingeliona kwani wenzako wamechukia sana kwa kitendo ulichokifanya,” yule bibi aliniambia na kuongeza: “Ili kuwashinda na wewe uwe salama lazima nikufanyie zindiko la damu… yaani lazima achinjwe mbuzi au…
LUCIFER ALINIITA KUZIMU ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 6 Baada ya kufanya uchawi huo, nilitoka na kuendelea kufanya mambo yangu huku nikiwa na hasira kufuatia baba mdogo kunipiga bila sababu. Hata hivyo, nilipanga kumhamisha pale nyumbani baada ya kupita siku sita, kwa upande wa yule kijana ni kweli hakurudi nyumbani na tulipokutana njiani alinichangamkia kwa furaha kuliko zamani. Nilipomwuliza kwa nini hakupenda kurudi nyumbani, akaishia kucheka na kunieleza kwamba aliamua tu mwenyewe. Kumtega nilimwuliza kuhusu kuja kuchukua nguo zake, akaniambia alikuwa na zingine, nikajua uchawi wangu ulifanya kazi. Niliishi na baba mdogo kwa…
LUCIFER ALINIITA KUZIMU ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 1 NAITWA Kaloli Daws nilizaliwa mwaka 1991 katika Kijiji cha Lamadi kilichopo Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, kwenye familia yetu tulizaliwa watoto saba lakini kwa bahati mbaya tumebaki watano baada ya wenzetu wawili kutangulia mbele za haki. Wazazi wetu waliotulea kwa misingi ya dini ya Kikrito wanaishi kwa kutegemea kilimo cha jembe la mkono na bado wapo hai. Katika uzao wetu nimefuatiwa na ndugu yangu aitwaye Madirisha ambaye tulipishana mwaka mmoja, hivyo kuonekana kama mapacha kwani tunafanana sana. Kama ilivyo kawaida ya watoto kuanza shule…
NILIJIUNGA NA DINI YA SHETANI – FULL STORY ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi EPISODE 1 – 16 Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: NILIJIUNGA NA DINI YA SHETANI 1 – 4 NILIJIUNGA NA DINI YA SHETANI 5 – 8 NILIJIUNGA NA DINI YA SHETANI 9 – 12 NILIJIUNGA NA DINI YA SHETANI 13 – 16
KENGELE YA KIFO – FULL STORY ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi EPISODE 1 – 6 Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: KENGELE YA KIFO 1 – 3 KENGELE YA KIFO 4 – 6
MAMA MWENYE NYUMBA ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 21 ILIPOISHIA….. , ***** pale full dose pub mzee Mshaka na binti Subira walisha nza kuchangamka, baada ya vinywaji kupanda kichwani, “vipi shem mbo na kimya? au una mkubuka mtu wako?” alichokoza Subira “hapana.. kwani ume sema ameenda wapi?” aliuliza mzee Mashaka akijifanya kujiweka sawa, “ameenda kwa shangazi yake Tabata, ila husi jari shem mimi nipo, au nime punguwa nini?” aliongea Subira akiinua kiti chake na kuki songeza karibu na mzee Mashaka, kisha akaweka mkono kwenye paja moja la mzee Mashaka, “ nakuaminia shemeji, umeniondoa…
MAMA ALIPOSHIKWA TAKO MBELE YANGU ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 46 ILIPOISHIA… “Nakupenda sana Sam, wewe ndio mwanaume haswa unayejua kukidhi haja zangu, wewe ni mzuri wa muonekano mpaka kitandani” Gwakisa aliposikia hizi kauli alijisikia vibaya sana… “Kwani kuna wanaume wengine hawawezi kufanya kama hivi?” Sam aliuliza wakiwa wamelaliana baada ya kukamilisha zoezi lao. “Sasa unafikiri ni wote wanaoweza kama wewe?” “Kama nani mfano ambaye hawezi hivi?” “Wengine unawajua sitaki tu kuwataja” “Nitajie tu mmoja” “Huyo Gwakisa ndio anajua tu kuingiza na kukojoa basi” Gwakisa kusikia jina lake linatajwa alihisi kama msumari wa…
TANGA RAHA ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 6 “Samahani kaka yangu sijui ninaweza kuipata nambaya yako ya simu?” “Powa” Nikamtajia namba yangu ya simu kisha akanibip na akaondoka kwa furaha akijumuika na wahudumu wengine waliokuwa wakishuhudia yule msichana aliye taka kuzama kayika swimming pool.Nikamuona Rahma akija kwa hatua za haraka eneo nililokaa huku akionekana kuwa na wasiwasi “Baby upo salama?” “Ndio mbona umekuja haraka haraka kiasi hicho?” “Wee acha tu kuna rafiki yangu yupo hapa amenipigia simu na kuniambia umezama kwenye swimming pool yaani amenifanya mpaka hapa mapigo yangu ya moyo hayapo sawa”…
TANGA RAHA ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 1 Ni siku ya utambulisho mbele ya wanafunzi wa shule ya sekondari moja jijini Tanga nikiwa mimi na mwalimu mwenzangu ambaye wa kike ambaye ndio tumetoka chuo cha ualimu na kupangia shuleni hapo Akaanza mwenzangu kujitambulisha ambaye akapigiwa makofi na wanafunzi kisha nikafwatia mimi “Mimi ni Sir Eddy nitafundisha Biology na Chemisty” Wanafunzi wote wakapiga makofi ma vigelegele hukt wakionekana kupendezwa na utambulisho wangu mfupi na wakueleweka Muda wa masomo nikakabithiwa kuanza na kidato cha nne katika somo la Biology ambao ndio nao wanaanza mwezi wa…
UKINIPA SISEMI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 6 ILIPOISHIA… “Sam nilitee huku biblia maana nimelala na nimevua Nguo hivyo siwezi kuamka Njoo uweke hapa mezani “Aliongea Sister Magreth maneno ambayo yalifanya Hadi moyo wangu kuruka paa. Nilishindwa haya Maneno ya kihuni sister alianza kuyatolea wapi. Namletea Biblia alafu ananimbia nipeleke Chumbani kwake kalala kavua Nguo Sikutaka kubisha inshu si ilikuwa kupeleka biblia. Nilisogelea Mlango wake wa chumbani na Kufungua niliingia na kuanza kusogelea meza ambayo nilihisi ndio ameniambia niweke bible. Ile Meza ilikuwa Karibu kabsa na kitanda chake lakini mimi macho yangu yalilenga…
UKINIPA SISEMI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 1 “Hapana Klinika mimi Siwezi kufanya Hivyo hata siku Moja naomba Basi Muogope Mungu. Utafanyaje Vitu kama Hivyo wakati Unajua kabsa malengo yangu ni yapi ambayo nataka kuyafikia. Kwanza kitu kama hiki hukupaswa kuniambia kabsa maana siyo mahara pake na nilishaapa sitaweza kufanya kitu kama hiki hata siku moja maana ni kinyume na maadili ambayo nasomemea” Nilimwambia Klinika huku nikiwa natetemeka maana kitu ambacho alikuwa anakitaka kutoka kwangu ilikuwa hakiwezekani kabsa. Kwanza Mimi Mwenyewe sikuwa tayari Kufanya kitu kama kile hata siku Moja pili kitu ambacho…
MJEDA MBONA KUBWA SANA – FULL STORY ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi EPISODE 1 – 18 Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: MJEDA MBONA KUBWA SANA 1 – 5 MJEDA MBONA KUBWA SANA 6 – 10 MJEDA MBONA KUBWA SANA 11 – 15 MJEDA MBONA KUBWA SANA 16 – 18
DOCTOR NIKUNE NA HUKU KUNAWASHA – FULL STORY ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi EPISODE 1 – 19 Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: DOCTOR NIKUNE NA HUKU KUNAWASHA 1 – 5 DOCTOR NIKUNE NA HUKU KUNAWASHA 6 – 11 DOCTOR NIKUNE NA HUKU KUNAWASHA 12 – 15 DOCTOR NIKUNE NA HUKU KUNAWASHA 16 – 19
NILIJIUNGA NA DINI YA SHETANI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 13 ILIPOISHIA: “Ili mtu akamilike kuitwa mjenzi huru, lazima asome madaraja 33 ambayo ndiyo huitwa digrii za wajenzi huru,” Firyaal alinijibu huku akikaa vizuri nyuma ya usukani. Mazungumzo yetu yalikolea kiasi cha kufanya nisielewe tumefika wapi, nilikuja kushtuka baada ya gari kusimama nyuma ya taa za kuongozea magari, nikamuuliza Firyaal ambapo aliniambia kuwa tayari tumefika Ubungo. SASA ENDELEA… Kuna mfanyabiashara ndogondogo alipita pembeni ya gari akiwa anauza matufaa (apples), Firyaal akateremsha kioo na kumuita, akanunua mawili, moja akachukua yeye na lingine akanipa. “Tumetumia…
NILIJIUNGA NA DINI YA SHETANI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 9 ILIPOISHIA: Niliposikia kuna meditation ya mshumaa, shauku ndani ya moyo wangu iliongezeka maradufu, nikawa nasubiri nione inavyofanywa. Baada ya dakika chache, tulielekezwa wote kuutazama ule mshumaa uliokuwa unawaka katikati yetu, tukaambiwa tusipepese macho na kuelekeza akili zote kuutazama mshumaa ule. Aliyekuwa anatoa maelekezo alisisitiza kuwa tutazame ile sehemu ya juu iliyokuwa inawaka, akasema tukishautazama kwa dakika kadhaa, atatoa ishara maalum ambapo wote tutatakiwa kufumba macho. Tulianza kuutazama mshumaa ule huku kila mmoja akipumua kwa uhuru, ukimya wa ajabu ukatanda mle ndani. Nilikuwa…
NILIJIUNGA NA DINI YA SHETANI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 5 “Wewe ni nini? Ni mwili wako, akili zako, uzuri wako, mali au elimu yako? Kwa nini mtu akifa tunasema tunaenda kuuzika mwili wa fulani, huyo anayeumiliki mwili ni nani?” hayo yalikuwa baadhi ya maswali magumu ambayo ama kwa hakika yalinifanya nijikune kichwa. Uelewa wangu ukaanza kufunguka. Niliendelea kusoma juu ya umuhimu wa kila mtu kujitambua na kufahamu thamani yake na malengo yaliyomleta duniani. Nikasoma kuhusu nguvu zinazozalishwa na watu bila ya wao wenyewe kujua kuanzia kwenye kauli, mawazo na matendo. Mwandishi akafafanua…
NILIJIUNGA NA DINI YA SHETANI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 1 Jina langu naitwa Mkanwa Sebastian au Saba kama wengi walivyozoea kuniita, mkazi wa Itete, Tukuyu wilayani Rungwe, Mbeya. Baba yangu mzazi, Sebastian Mwambenja alikuwa ni mchungaji wa Kanisa la Wokovu lililokuwa kwenye kijiji nilichozaliwa huku mama yangu akiwa ni muuguzi katika Zahanati ya Lufingo iliyokuwa kijiji cha pili kutoka pale tulipokuwa tunaishi. Mimi nilikuwa ni mtoto wa mwisho kuzaliwa katika familia yetu iliyokuwa na watoto saba. Baba yangu alikuwa akitokea kwenye ukoo wa kichifu wa Mzee Mwambenja ingawa baada ya babu yetu…
KENGELE YA KIFO ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 4 alipomaliza alichukua toroli dogo akaliingiza kwenye mlango wa njia ya chini kwa chini…akachukua nyama na kuiweka kwenue toroli,,akaianza safari ya kuelekea kwenye mgahawa wake kwa kupitia njia hiyo ya siri.. upande mwingine alionekana mtu mmoja akiwa mstuni…….ndani ya gari lake..mtu huyo alifahamika kwa jina la MUKI…anajishuggurisha na fundi seremala.. siku ya lei alikwenda kwenye msitu huo kwa lengo la kukata miti iliyokomaa kwa ajili ya kuchana mbao..ili zimsaidie katika kazi zake za useremala. akashuka kutoka ndani ya gari akachukua(CheanSaw) msumeno wa kutumia umeme..ndani yake…
KENGELE YA KIFO ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 1 Ilisikika taarifa ya habari katika kituo cha habari hapa nchi. taarifa hiyo ilielezea kuhusu binti mmoja aliyezikwa miaka 50 hiliyopita…binti huyo alifufuka na kuanza kuonekana sehemu mbalimbali huku macho yake yakionekana kuwa na machozi ya damu iliyoganda…inasemekana kuwa binti huyo anajitokeza kila unaposikika mlio wa kengere yoyote ile…..anabadilika sura na kufuata mlio wa kengere ulipotokea,,na akifika eneo hilo anafanya mauwaji ya kikatiri kwa kunyonga shongo kwa kutumia kamba aliyokuwa anatembeanayo muda wote.kila anapobadilika….hakuna aliyekuwa akifahamu kuwa binti huyo alifufuka na anaishi katika maisha ya…
UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI – FULL STORY ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi EPISODE 1 – 20 Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI 1 – 5 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI 6 – 10 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI 11 – 15 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI 16 – 20
MWALIMU MKUU, TARATIBU JAMANI – FULL STORY ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi EPISODE 1 – 19 Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: MWALIMU MKUU, TARATIBU JAMANI 1 – 6 MWALIMU MKUU, TARATIBU JAMANI 7 – 12 MWALIMU MKUU, TARATIBU JAMANI 13 – 15 MWALIMU MKUU, TARATIBU JAMANI 16 – 19
MAMA MWENYE NYUMBA ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 16 ILIPOISHIA…. ******* hapo Nancy alishuhudia Edgar akistuka, na kusimama nusu amsukume yule mdada, akawaona wana tabasamu, kisha yule mdada anamkubatia Edgar ambae anaonyesha kushangazwa na tukio lilile, kisha anamwona Edgar akiweka kiti vizuri, na yule mdada anakikalia, kisha akaona yule idada anatowa box kwenye mkoba wake na kumpatia Edgar, nisimu tena yakisasa, “hoya nawa twende basi, siunaenda kuji andaa, uende chuo?” Nancy alistuliwa na Elisha, naye akainuka huku akificha uso wake, hasiuone Elisha, maana tayali machozi yalisha anza kumlenga, akiwa ananawa akatupia macho kwenye…
MAMA ALIPOSHIKWA TAKO MBELE YANGU ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 41 ILIPOISHIA… Taratibu aliuzamisha wote kisha ‘shhhh…..haaaaa’ Yule dada wa watu akatoa sauti za mahaba. Kazi iliyofanywa ndani ya nusu saa tu ilimuacha kila mtu hoi, “Mpezni wangu Gwakisa nenda kaoge alafu uende ukampe mkeo dozi aliyoikosa” Gwakisa alitoka akaenda kuoga kisha akarudi na kuvaa nguo zake, akiwa anaondoka alivutwa mkono na kuambiwa… “Jua kuwa maisha yako tumeyashikiliana unapaswa kuishi kwa kuheshimu kile tunachokwambia…sio wewe tu hata RPC ambaye ni mkwe wako pia ni mtu wetu na tumemkamata kuliko hata wewe…” ……………………………………. Sam…
MJEDA MBONA KUBWA SANA? ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Episode 16 Siku zilipita nyingi kidogoo jamani na ile wiki ya wakwe kua ilifika maana walikuwa wanatokeaa hukoo Dodoma ni watu wenye pesa ila ni wanamasharti hapo sikuwaga nimemwambia mama kuhusuu mim kuolewa nilikuwa nataka kumsuprise kwa baruaa , waliniita hyoo siku jamani niliendaa mpaka pale, kwenye jumba la my man Ridhwan , lile ni kasri sio nyumba huku mdogo wangu yeye alikuwa anaendeleaa na habaari za kazi hii siku pia niliomba ruhusa dukani piaa kuwa kuna kitu maalunu piaa , nilifika ni wachangamfu Mungu kawajalia…
MJEDA MBONA KUBWA SANA? ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Episode 11 Kwangu sioo pazuri sana kusema kwamba nawaingiza washua hapana ni pakawaida tu nina kitanda changu nilikitoa kule kwa Mama carpet langu nimetandika pale chini , kwasababu ni kuna cement na dressing table yangu ambayo pia niliitoa nyumbani ambayo hyo hyo ndio kabati na kapu langu la nguo chafu ila sasa ukipaona humoo ndani uatacheka wewe mwenyew maan mhh ni shida tupu hapo mimi ni vitu vichache vilivyopo kwangu ila sasa mhh palipovurugika sasa mhhh , kwanza nilikuwa sina ratiba ya wageni ni wamenishtukiza mimi…
MJEDA MBONA KUBWA SANA? ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Episode 06 Nilikuwa sina jinsi moyoni nilikuwa natetemeka sana yaani , sijuii kwanini nilijihisi huu mtetemo.moyoni mwangu mhh nilikuwa najiona nakufa live live kabisaa jamani , ila aliendeleea na kazi yake ya kunipa juice kuna muda akawaa ameacha akawa ananitizama mimi.sikuwa nimelegeaa kwa juice nilikiwa namshangaa ila yeye alikuwa anaelekeaa kabisaa kupagawa maan usoni alikuwa kafanania na chali yangu mmoja wa Chuga anapuliza bangi balaaa hhhh 😉😁, nimemmisi jamani hhhh Niliweza kumsukumaa jamani , nikajitoaa kwake nilimtizama sana sikupata hata chance tena ya kuongeaa nae chocchote…
MJEDA MBONA KUBWA SANA? ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Episode 01 “Am I tried to express that to you , I don’t take place like this , why do you not understand, me ?” Alikuwa akiongeaa mdada wa kizungu akimwambia yule mkaka aliokuwa nae kwenye gari , alikuwa anaongeaa kwa sauti hadi walikuwa wakinikera mimi sasa huku dukani kwangu sasa , kama wajinga yaani sikupendaa kabisa hii tabiaa ya mtu kuja kufanya fujoo mbele ya duka lanagu la vipodozi Nisijiproud sana sio la kwangu ni duka la mama mmoja mkarimu aliniajiri hapa na sio kwamba…
KIJIJI AMBACHO HAKINA WANAUME, WAMEPIGWA MARUFUKU KUINGIA Chanzo: TUKO Kijiji hicho kinaitwa Umoja kinachopatikana katika kaskazini mashariki mwa eneo la Samburu. Historia ya kijiji hicho ni kinatokana na wanawake 15 waathiriwa wa unyanyasaji wa kingono waliodhulumiwa na wanajeshi wa Uingereza. Lengo kuu la kujengwa kwa kijiji hicho lilikuwa kutoa usalama kwa wasichana waliokuwa wakikimbia ukeketaji (FGM) ambao ni suala kuu la linalozua wasiwasi nchini licha ya kuharamishwa. Nyumba za kijiji hicho zimezingirwa na miiba na kupakwa samadi sawia na zingine eneo la Samburu ila wanaume hawaruhusiwi kijijini humo. Tangu kuanzishwa kwake, kijiji hicho ni hifadhi kwa wanawake, kutoka kwa jamii…
MCHUNGAJI AFUMANIWA NA MKE WA MTU, WALIPANGA KUFANYA MAOMBI Chanzo: UNTOLD KE Kashfa hiyo ilianza Jumanne jioni tulivu katika Mji wa Bondo, Kaunti ya Siaya. Sarah, mama aliyeolewa wa watoto wawili, alikuwa mgonjwa kwa wiki kadhaa. Alilalamika kwa maumivu ya kichwa mara kwa mara, hofu usiku, na ndoto za ajabu. Mumewe, Joseph, alifanya kazi za usiku kama msimamizi wa usalama Kisumu, hivyo Sarah mara nyingi alibaki peke yake na watoto. Alipoomba maombi, washiriki wa kanisa walimshauri ampigie simu mchungaji wao. Mchungaji Elijah wa Living Word Chapel alijulikana kama shujaa wa maombi mwenye nguvu. Aliwatembelea washiriki wagonjwa mara kwa mara na…
DOCTOR NIKUNE NA HUKU KUNAWASHA ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 16 Shemu alinambia hayo maneno nami nikayaandika ,, zilipita sec kumi tu ujumbe ukaingia (safii kumbe huwa unaakili sana,, upo wapi) shemu akausoma akajibu (naelekea kwangu) (Upo na nani??) (Peke yangu kwani vipi) haikujibiwa hiyo sms ila simu iliita shemu akanambia nipokee nami nikapokea sauti ilikuwa ile ile ya kila siku “Sikia Nasra, sihitaji chochote kutoka kwako zaidi ya penzi tu , najua jamaa yako sa hivi yupo kazini kama utawasiliana nae chochote kile nitajua afu ndio utajiharibia zaidi nina hadi ushahidi kuwa hiyo…
DOCTOR NIKUNE NA HUKU KUNAWASHA ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 12 Nililia mpaka nilihisi kuumwa kichwa ,ilipita zaidi ya dakika 30 nimekaa huko nyuma , simu yangu ndo ikaanza kuita alikuwa anapiga abbas niliitazama basi hasira ndio zikazidi nikaanza upya kulia kidogo nilikuwa nimeanza kupunguza speed , alipiga sikupokea mpaka ikakata,ikaanza tena kuita nilikuwa naitazama tu wala sijapokea akatuma sms (sorry maam simu niliweka mbali kidogo nilikuwa nakazi kipenzi what happen?? Please pokea simu niambie mke wangu) niliisoma ile sms nikaaachana nayo ,simu ikaanza tena kuita, ikaita akapiga zaidi ya mara kumi na sms…
DOCTOR NIKUNE NA HUKU KUNAWASHA ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 06 Nilikuwa zangu kwenye biashara akaja shoga angu yule jana nilienda kwakee “Weee yaan jana sijalala kila nikipiga simu yako inatumika utafikiri ulikuwa unaongea na kijiji” kabla hata hajakaa alianza kunipashaa “Heheh mwenzangu ilinibidi jana niongee na kijiji we kuwezaa” “Basss ,,waenda harusini jana walipo rudi mwenzangu namuuliza mele huko kwemaaa nikajua umepigana labda na bi harusii akanambia bora hata wangepiganaaa kuliko hilii bibi harusi kaowa😆😆mana watu wanajiandaa kusindikiza harusi kumbe baba harusi ndo kafikaa nikasema ngoja nikupigie simu mie nichekee we nae unatumika…
DOCTOR NIKUNE NA HUKU KUNAWASHA ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 01 kwa majina naitwa Nasra.naishi zangu hukuu Vingugwe mbagala ndani ndani hukoo kwetu mabondeni ,nimejipangia zangu chumba nafanya vibiashara vyangu,miaka yangu now ni 27 sina mtoto wala sijawahi kuolewa🤦♂️ hao wanaume kutwa kuniacha yaan mimi naachika kwa mwezi hata mara mbili aisee mwanaume nikifunga miezi mitatu naoga maziwa🙌😄 sio kama napenda hapana mwenyewe kuna muda nahisi kama nisharogwa hivi na wananzengo Okay kuna muda niliwaza au niachane tu na mapenzi sijaumbiwa mimi ?? Au basi nipate hata wa kuzaa nae tu umri unaenda…
MAMA MWENYE NYUMBA ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 11 ILIPOISHIA…. *******kesho yake ambapo angeipata kesho kutwa jioni, au siku itakayo fwata hivyo waka weka mikakati ya kuwasiliana ili aweze kuupata mzigo wake, walipo maliza maogezi kila mmoja akaendelea na safari zake, *** Mida hiyo Nancy alikuwa ameongozana wenzake, wanaelekea chuoni, nasasa walikuwa wanapita maeneo ya bar ambayo wanafunzi wengi utumia kwaajili ya kupata chakula na wale wanywaji upata vinywa hapo, pale bar palikuwa na watu wachache ambao walionekana wakiwa wanafakamia supu, au chai, “yule kaka wajanayuleee” aliongea mschana mmoja kati ya wale alioongozana…
MAMA ALIPOSHIKWA TAKO MBELE YANGU ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 36 ILIPOISHIA… Alikuwa amefichwa kwenye kachumba kakwake peke yake tena kenye giza nene ambapo alikuwa haonani na mtu yeyote isipokuwa wakati wa chakula kidirisha kidogo kilikuwa kinafunguliwa na kisha chakula kinaingizwa bila kusemeshana na kisha dirisha linafungwa na kubaki giza hivyohivyo. Hizi zilikuwa ni adhabu za kipolisi ambazo walikuwa wanapeana polisi wenyewe ikiwa hakuna haja ya mambo ambayo yamekosewa kwenda mahakamani. Adhabu hizi zilikuwa zinaambatana na kushushwa cheo endapo anaehusika ana cheo katika jeshi la polisi. Kwa hasira alizokuwa nazo RPC juu ya…
UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Episode 16 👉 nakupenda pia…👇 (Nilikata simu nikiwa na falaja tosha Shemeji ameshapata kazi…basi upande wa mume wangu alipigiwa simu na mganga akaenda uko kwa mganga….mimi tena uku sina raha natukanwa mtaani sina kwetu ndio maana navumilia kuzalilishwa yani…pili komwe anavaa mpaka tshirt za mume wangu anapita nazo nyumbani pale mimi kimya…upande wa Shemeji alikuwa anapiga kazi sana bahati yake nzuri boss alimpenda kutokana na jitihada zake alimpandisha cheo na akamwambia) ” Tafuta nyumba karibu ukae hapa karibu na kazini. ( Shemeji aliona furaha sana…
UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Episode 11 👉 Kwaiyo unataka kunipa kuma?. ” Ndio…👇 ” Binamu ivi nikuulize swali. ” Niulize. ” Ingekuwa wewe ndio umeamua kukaa kama mimi tu alafu mimi nimekuja kukutomba bila lidhaa yako icho kitendo ungekiitaje? ” Umenibaka. ” Je ungefurai kubakwa? ” Hapana. ” Kitu usichopenda upo tayari kumfanyia mwenzio. ” Sipo tayari. ” Naomba unyanyuke uwende kwa mama ukalale mimi sipo tayari kukutomba wewe. ” Lakini kaka mimi nimetumwa na mama yako. ” Sio kila unachoambiwa unakubali je na mimi nikikwambia utakubali. ” Niambie.…
