Author: Raha Special

KIJANA AFUNGWA JELA MIAKA 28, KWA KUTAZAMA MSICHANA AKIBAKWA Wanaume wawili wamehukumiwa kifungo cha miaka 28 jela na mahakama ya Kilifi baada ya kupatikana na hatia ya unajisi. Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (ODPP) ilitoa taarifa kuthibitisha uamuzi wa mahakama.Wafungwa hao wawili vijana, wenye umri wa miaka 21 na 19, walihusika katika unyanyasaji wa kingono wa msichana wa miaka 16 huko Kilifi. Kijana mkubwa alitekeleza unajisi huo moja kwa moja, lakini kijana mdogo hakushiriki kimwili kufanya huo ubakaji. Hata hivyo, mahakama ilimchukulia jukumu la kutazama uhalifu huo ukiendelea bila kuingilia kati, ikibaini kuwa alikuwa na nafasi ya kuuzuia…

Read More

MUME WANGU HANIRIDHISHI KITANDANI, MPAKA INABIDI NITOKE NJE, KUTAFUTA MWANAUME MWINGINE Sikuwahi kufikiria kwamba siku moja ningesimulia hadithi yangu hadharani, lakini ukimya unakaribia kuharibu ndoa yangu. Mimi ni mwanamke aliyeolewa, mama, na mtu ambaye hapo awali aliamini kwamba upendo peke yake unaweza kutatua kila kitu. Nilipoolewa, nilijawa na matumaini. Mume wangu alikuwa mwenye fadhili, mwenye bidii, na mwenye kuheshimika katika jumuiya yetu. Kwa nje, tulionekana kama wanandoa wazuri. Watu walitupenda na mara nyingi walisema wanataka kuwa na ndoa kama yetu. Lakini nyuma ya milango iliyofungwa, kulikuwa na pambano chungu nzima ambalo nilibeba peke yangu kwa miaka mingi. Tangu siku za…

Read More

SIKU NILIPOMFUNIA MUME WANGU AKIFANYA MAPENZI NA MWANAKWAYA WA KANISA ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 2 Niliachwa kulea watoto watatu peke yangu katika nyumba yenye baridi, nikikabiliana na dhihaka za majirani ambao walisema sikuwa “mwanamke wa kutosha” kubaki na mwanamume. Kumbe mume wangu alikuwa ametorokea kwa Mwanakwaya aitwaye Grace na kwenda kuishi huko, na bahati kwa bahati huyu mwanakwaya alikuwa akiishi mbali sana na Kanisa, ni hadi upande gari moja. Lakini Mungu aliamua kunifunilia hiyo dhambi kupitia mmoja wa marafiki zake huyo mwanakwaya. Ndipo niliamua kwenda huko kimya kimya mida ya jioni, niligonga mlango…

Read More

SIKU NILIPOMFUNIA MUME WANGU AKIFANYA MAPENZI NA MWANAKWAYA WA KANISA ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 1 Usaliti au kudanganya katika ndoa ni wazo baya sana na aliyetoa wazo hilo hakika alikusudia kuharibu roho za wanandoa wasio na hatia. Jina langu ni Mama Shiko, na kwa miaka mitano yenye uchungu, niliishi kama mjane wakati mume wangu, Peter, alipokuwa angali hai. Mume wangu alikuwa ni mtu wa Kanisani sana, na hata pale Kanisani kwetu alikuwa na vyeo vya Uongozi kama vyote, Na watu walimpenda kweli kutokana na kujituma sana kwenye mambo ya kiroho. Aliamka Jumatatu moja…

Read More

NILIMFUMANIA MKE WANGU AKIGONGWA NA MCHUNGAJI NYUMBANI KWANGU ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 2 Siku kadhaa baadaye, nilirudi nyumbani mapema kuliko kawaida. Nilipokaribia ile nyumba, nilisikia vicheko kutoka ndani. Nikatulia mlangoni. Nilichosikia baadaye kilinivunja moyo. Sauti ya mke wangu, nyororo na ya upendo, ilisema, “Aki baby! Hii yote ni yako,” ikimsihi mtu ale kuku na ugali niliokuwa nimenunua asubuhi hiyohiyo. Nilifungua mlango na kumkuta akiwa anampa chakula mchungaji niliyemfahamu sana. Mshtuko ule ulinipooza. Aliganda. Mchungaji hakuweza hata kunitazama. Machozi yalinitoka bila kujizuia. Nilihisi mpumbavu, kusalitiwa, na kufedheheshwa sana. Mwanaume niliyemwamini kiroho alikuwa ameketi kwa…

Read More

NILIMFUMANIA MKE WANGU AKIGONGWA NA MCHUNGAJI NYUMBANI KWANGU ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 1 Jina langu ni John kutoka Embu, na kusimulia hadithi hii bado inaumiza. Kwa miezi kadhaa, nilikuwa na hisia zisizo za kawaida kwamba kulikuwa na kitu katika ndoa yangu. Mke wangu alikuwa amebadilika. Alikuwa msiri, asiyependa hisia, na alijitetea isivyo kawaida kila nilipouliza maswali rahisi. Hata hivyo, mimi ndiye niliyelipa kodi, nikinunua vitu, na kuhakikisha kuwa kila kitu ndani ya nyumba kinakwenda sawa. Kilichonichanganya zaidi ni kuhangaikia sana shughuli za kanisa. Usiku kucha, alianza kuhudhuria maombi ya siku za juma, vipindi…

Read More

TANGA RAHA ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 31 “Utanielewa,Kumbuka nilikupa kifimbo ambacho kingekutambulisha kwa kila ambaye unazun-guumza naye kama ni mbaya kwako au si mbaya kwako,ila umekiweka na kutumia hiyo fimbo kubwa japo ina uwezo ila si wautambuzi kama ilivyo kile kifimbo changu kidogo” Nikashusha pumnzi nyingi.Gafla nikamuona Rahma akitoka ndani kasi huku akipiga ke-lele.Ikanibidi kukimbia na kwenda kumshika “Nini wewe?” “Nenda kajionee jitoto lako” Nikakimbilia ndani na kwenda moja kwa moja nikaingia chumba alipo mtoto,Sikuyaamini ma-cho yangu kwani nilimkuta amekuwa mkubwa na kufikia ukubwa babu mtu mzima mwenye mandevu mengi na anatisha…

Read More

TANGA RAHA ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 26 Nikafanya kama mzee ngoda alivyo niagiza na kwa tahadhari kubwa na mimi nikazipandisha ngazi hadi chumbani kwa Rahma na kumkuta akiwa amelala pamoja na Hilda.Nikaigeuza kwa nyuma kofia yangu ya jeshi niliyo ivaa na nikamshika shavuni Rahma na akaanza kupepesa macho akihisi kama mdudu ndio anamtambalia “Rahma” Nikaita na akafumbua macho yake na kunitazama kwa muda na akastuka kidogo kuniona ila kabla hajazungumza kitu nikamziba mdomo “Ni mimi Eddy nimekuja kukuchukua mpenzi wangu wa maisha” “Kweli Eddy” “Ndio ninakuomba twende pamoja mbali na hapa mpenzi…

Read More

MAMA MWENYE NYUMBA ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 41 ILIPOISHIA….. aliongea Rose na kuondoka zake akifwatiwa na yule polisi wakiume, akimwacha Edgar akishangaa, hasiamini macho yake, akabaki ame simama na kushikilia nondo, “wakina dada nyie nendeni, kesho saa nne mtajulishwa kinacho endelea” Edgar alisikia sauti ya Rose ikiongea bila chembe ya utani, “tafadhari dada yangu naomba utusaidie” alisikika Suzane akiongea kwa bebembeleza, atuwezi kumwachia huyu, sijuwi ndo mchumba wako sijuwi.. sababu amepiga.. mtu bwana ..Kazole… nasasa yupo hospital” alisema Rose akionekana kusoma maelezo ya kosa la Edgar, “hisitoshe anakiburi sana huyu kijana wacha…

Read More

MAMA MWENYE NYUMBA ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 36 ILIPOISHIA….. wakielekea Kibamba kwenda kupakiza mzigo wakwenda Songea, ilikuwa saa saba nanusu ndipo Suzan alipo sikia simu yake ikiita, alipo tazama aliona mpigaji ni baba mkwe, yani baba yake Edgar …… mapigo ya moyo ya Suzan yalienda mbio kidogo, akaitazama ile simu mala mbili mbili akishindwa kupokea, maana alijuwa ile simu inge mletea taarifa nzuri ya kuwasili kwa Edgar Songea au inge mvunja moyo kama ange ambiwa kuwa Edgar hajaafika Songea, hapo Suzan akaipuuzia mpaka alipo fika nyumbani , kwanza kabisa alisimamisha gari lake…

Read More

BIBI AKAMATWA AKIWEKA MAYAI CHINI YA KITANDA CHA MGONJWA Sitasahau asubuhi hiyo katika Hospitali ya Kabete Level 3. Nilikuwa nimempeleka dada yangu kwa matibabu baada ya wiki za ugonjwa usioeleweka. Madaktari walimfanyia vipimo, wakabadilisha dawa, na kututia moyo, lakini hali yake ilizidi kuwa mbaya. Alilalamika juu ya ndoto za ajabu, udhaifu wa ghafla, na hofu kubwa ambayo hakuweza kueleza. Tulikuwa tumechoka na kuchanganyikiwa. Mambo yalibadilika sana wakati wa saa za kutembeleana. Nilipotoka nje kwa muda mfupi ili kupiga simu, jamaa ya mgonjwa mwenzangu alinikimbilia, akipiga kelele kwamba kuna kitu cha ajabu kinachotokea katika wodi. Niliporudi, niliwakuta wauguzi wakiwa wamemzunguka mama…

Read More

USIINGIZE HILO DUDE JAMANI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 1 kwa minyanduano na Natalia.“Hapana usiwashe runinga…” Natalia alimkataza Toni kwa sauti ya juu“Kuna nini?”“Kuna chaneli moja tu na inaonyesha mambo ambayo hayana maadili,”“Mambo gani?”“Pilau…”Toni alipoambiwa hivyo alitulia, dude lake halikudinda kama mwanzoni, lilikuwa katika hali ya katikati ya kudinda na kulegea ila liliangalia chini.Ni kama kulikuwa na kitu kinachomuingia mwilini mwake Natalia kila macho yake yalipoangalia dude la Toni. Alikuwa akipingana na hiyo hali tangu alipomuona Toni, alikuwa na kiraruraru cha hatari.“Mikono haichoki kuziba kifua chako?” Toni alimuuliza, wote walikuwa wameketi kwenye kochi“Unataka unisaidie?”“Ukiniruhusu,…

Read More

USIINGIZE HILO DUDE JAMANI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 1 Alichukua na kuiangalia vizuri. Ilikuwa ni picha ya msichana aliyejaaliwa umbo lenye ushawishi wa kimapenzi. Msichana huyo ndani ya picha alipigwa kwa upande wa nyuma, alivalia mtandio pekee hivyo ulionekana mgongo wake, kiuno chake jinsi kilivyojitenga, ule weupe kama rangi ya mtume kutoka dubai. Makalio yake yalionekana dhahiri yana msamba maana ule mtandio ni kama ulitaka kuzama katikati ya makalio hayo. Lakini kwa pembeni alikuwa ameshika gitaa.Toni akiwa bado anaitazama hiyo picha, dude lake lilidinda na kunyooka mbele kama tochi itumikayo kwenye mbio za…

Read More

IMEINGIA MPAKA RAHA ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 2 Alipinduliwa Gloria aliyekuwa kama karatasi mbele ya Dashu. Akainamishwa huku akipigwa makofi ya makalio, alinyonywa kwa mpalange na kuzidi kumsisimua. Gloria aliteoeta, kei ilikiwa ikichuruzisha kabisa utelezi ulioangukia kwenye shuka la hapo kitandani.Akiwa ameinama vilevile, Dashu alimchomeka dudu lake lililokuwa limesimama barabara, dudu likaenea vyema kwenye kei ya Gkoria. Akaanza kupelekewa moto hata haraka, ule msisimko wa kuhisi unamwaga baada ya sekunde mbili ulimfanya Gloria kulia kabisa machozi, alipiga kelele kama anataka kufa.Dashu alimpindua Gloria bila kuchomoa dudu. Akaendelea kumpelekea moto huku akowa amemkimbatia, Gloria…

Read More

IMEINGIA MPAKA RAHA ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 1 “Dada wewe! Dunia ina siri nyingi sana, sasa hivi ujanja ni kishilingi,””Kishilingi?””Ndiyo, sio wanaume, sio wanawake, kishilingi ndio mpango mzima,””Lakini sikuelewi shosti, mimi nakuambia habari za mume wangu kupoteza hisia na mimi hata haniridhishi, unaleta habari za kishilingi, mambo ya pesa yamefikaje hapa?””Shosti hili jumba linakupofusha, tembea uone mambo, unaona hii?””Hela ya wapi hii, haina maandishi?””Hiyo sio hela, inanunuliwa,””Ndio kishilingi hiki?””Ewaa! Stosti, hivi unajua kwanini mvutaji wa sigara, mnywaji wa pombe ni vigumu kuacha hivyo vitu? Ndio ilivyo kishilingi, huwezi ukaacha kukitumia ukishaanzisha,””Nilishasahau utamu wa…

Read More

TOTO LA KAMBO ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 2 “Sawa mama, wala Usijali ila ni haki yangu kumdekea, sijawahi kuwa na baba hivyo najisikia vizuri na najivunia,”“Kudeka kuwe na mipaka.” Rahma alimsisitiza mwanaye ili aelewe mipaka yake, baada ya hapo Rahma aliondoka na kumwacha Kareni.Wakati Makengere akiwa hapo sebuleni, Rahma na Kareni walikuwa jikoni wakikorofisha,“Mwanangu najua umechoka na safari, nenda ukapumzike,”“Hata sijachoka, ‘nimekumisi’ sana,”“Najua, ila nikuombe kitu mwanangu,”“Nakusikiliza,”“Nenda sebuleni ukaongee na baba yako, atahisi tumemtenga.”Wakati Rahma akiwa anamshauri hivyo mwanaye, Makengere alikuja jikoni hapo na kuanza kumgombeza mkewe kimahaba,“Unajua mtoto amechoka, Kwanini anapika huku!…

Read More

TOTO LA KAMBO ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 1 Baada ya miaka kumi kupita tangu mkewe Juliana aondoke nyumbani, bwana Makengere aliamua kuuvuta jiko lingine, jiko lililompa joto nyakati za usiku na kumfariji kwa mambo mbalimbali. Umri wake bwana makengere ulikuwa tayari umeshakwenda, pesa ilichangia kwa kiasi kikubwa kuendelea kumlinda.Jumla ya miaka yake ilikuwa ni hamsini na tano, alijaaliwa watoto wawili wa kiume waliokuwa wakifanya kazi, na mmoja wa kike aliyekuwa akimalizia masomo yake ya chuo kikuu.Hilo jiko lingine lililovutwa lilikuwa ni la kitanga, bibie Rahma, aliyeitendea haki hiyo nafasi, ama kweli mzee alirudishwa…

Read More

TARATIBU MPENZI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 2 Ikafika muda Suzan akawa amekilaza kichwa chake kwenye kifua kipana kilichojengeka kimazoezi cha Nelson,basi hakufanya ajizi Nelson ambaye alimwinua kichwa Suzan na kushuhudia macho yake yakiwa yamebadilika na kuwa mekundu kwa mbali,alijiamini na kuomba denda ambapo Suzan alitulia kimya bila kuonyesha kama amekubali au la!,basi Nelson akajitosa na kuanza kuupeleka mdomo wake ambapo alipokuwa anaukaribia alimwona Suzan akifumba macho na kuzipanua lipsi zake nene zilizoupamba mdomo wake tayari kwa kuupokea ulimi wa Nelson,basi wakakutanisha midomo yao na kuanza kubadilishana ndimi zao,mmmmmnmywa,,,,,mmmmmnywaaaa,,ilisikika milio hiyo wakati ndimi zao…

Read More

TARATIBU MPENZI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 1 Ilikuwa ni tafrija ya Suzan mtoto pekee wa Bwana George Suleman aliyehitimu masomo yake ya shashada ya Sheria,hivyo wakiwa kama familia yeye na mkewe waliamua kumfanyia tafrija ndogo hapo nyumbani kwao,ili kupendezesha Tafrija hiyo Bwana George Suleman aliwaalika ndugu na jamaa zake wa karibu ambao kwa heshima na taadhima walihudhuria wote bila kukosaKama unavyojua Tafrija za matajiri,vinywaji vilikuwa vya kutosha na vyakula vya kusaza vilivyokuwa mara mbili ya idadi ya watu waliohudhuria,kati kati ya Tafrija Bwana George alisimama na kuongea maneno machache ya heshima akiwashukuru wote…

Read More

STYLE NANE, BAO MOJA ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 2 Ndugu zangu, wapendwa wangu, sina ya kuwaogopesha juu ya wanawake. Ninaweza nikawa ni mmoja tu mpumbavu, naam mpumbavu ndio.Naitwa Rozi, nina mwaka wa nne sasa katika ndoa yangu. Sijui nikikwambia kuwa nilimpenda mume wangu kupita maelezo utaniamini? Natumaini huwezi kuniamini kwasababu akilini mwa wengi huamini kuwa usipochepuka ndio unampenda mwenzio. Kweli niliwahi kuchepuka lakini sikuwahi kujutia, sikujutia na siwezi kusahau japo sitoweza kurudia tena kuchepuka.Kujuta kwenye kuchepuka kunatokana na huko ulikochepukia, ukipelekewa moto wa maana huwezi kujutia. Pia unaweza kujutia kama mume wako ataendelea…

Read More

STYLE NANE, BAO MOJA ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 1 Ndugu zangu, wapendwa wangu, sina ya kuwaogopesha juu ya wanawake. Ninaweza nikawa ni mmoja tu mpumbavu, naam mpumbavu ndio.Naitwa Rozi, nina mwaka wa nne sasa katika ndoa yangu. Sijui nikikwambia kuwa nilimpenda mume wangu kupita maelezo utaniamini? Natumaini huwezi kuniamini kwasababu akilini mwa wengi huamini kuwa usipochepuka ndio unampenda mwenzio. Kweli niliwahi kuchepuka lakini sikuwahi kujutia, sikujutia na siwezi kusahau japo sitoweza kurudia tena kuchepuka.Kujuta kwenye kuchepuka kunatokana na huko ulikochepukia, ukipelekewa moto wa maana huwezi kujutia. Pia unaweza kujutia kama mume wako ataendelea…

Read More

UKINIPA SISEMI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 31 Upande wa Matonya yeye alikuwa kimya ametulia wala hakuongea kitu chochote. Baada tu ya Hukumu kutolewa tulifungwa Pingu tena tukabakiwa kwenye Defender safari ya kupelekwa Magerezani Uyui kuwa wafungwa Rasmi ilianza Ndani ya Gari kipindi tunapelekwa Gerezani tulikuwa tumekalishwa chini huku ukimia ukiwa umetawala. Kila mmoja alikuwa kimya akifikilia kitu cha kufanya. Moyo kwa kweli ulikuwa unauma sana. Kijana ambaye nilikuwa na maono ya kuishi vizuri na bado nilikuwa na mchango mkubwa kwenye taifa nimejikuta nafungwa kifungo cha Maisha jela kisa kuwa na Uhusiano wa…

Read More

UKINIPA SISEMI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 26 Huduma bado tuliendelea kupata kwa hali ya juu na watu ambae walikuwa wapo kwenye kile chumba walionekana kutujali sana. Ile hali ya wale watu kutujali sana na walikuwa wanaongea kwa Heshima ya Hali ya Juu mimi ilinishitua na kuamua kuongea na mtu mwingine. Ingawa walikuwa wamejazia miili yao sikuona tabu kumuuliza maana heshima ambayo alikuwa ananionyesha ilikuwa inaonyesha wanatuheshimu sana. Yule mtu nilipomfuata na kumuuliza kwa nini Wanatuheshimu na kutuhudumia vizuri hivi wakati sisi ni Maaduni wa boss kwanza alininishangaa sana. “Hapana wewe siyo adui…

Read More

SHUSHA NYEGEZI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 2 Dorini alipelekwa mpaka kwa Renatusi ambapo palikuwa ni umbali wa dakika tano tu. Kwa bahati nzuri walipata uwazi dirishani wakachungulia, Dorini alipoona kwa macho yake ndio akaamini, alilia kwa sauti kubwa mpaka Renatusi na mpenzi wake walishtuka.”Nani analia usiku huu?” Renatusi alihoji”Sijui, sauti inatokea hapo dirishani.”Aliamka huyo mwanamke na kuchungulia dirishani, akamuona Kiboro,”Ni yule bodaboda aliyenileta,””Ah! Sasa mbona sauti ni ya kike?””Hapo sijajua. Namuona yeye tu.”Renatusi aliamka na kutoka nje akijiamini maana alimjua Kiboro.”Dogo vipi?””Ni kubaya aisee,””Nini tatizo usiku huu?””Dorini amekuja na amejua kila kitu, yupo…

Read More

SHUSHA NYEGEZI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 1 “Ahsante Mungu umepokea Simu,””Nani?””Mimi Dorini, sijui utakuwa umenisahau! Ni shemeji yako kwa Renatusi,””Ooh! Mbona usiku sana sasahivi, kwema?””Kwema, nipo hapa barabarani nakuomba uje unifuate jamani, nitakulipa hata mara kumi ya nauli,””Uko barabarani peke yako?””Ndiyo, nimeshuka muda si mrefu, naogopa sana,””Sawa nakuja,””Ahsante sana,””Dakika tano tu nitakuwa hapo,””Mungu akubariki, nashukuru sana.”Dorini alikata simu. Alikuwa akiongea na dereva bodaboda aliyekuwa akiitwa Kiboro.Kabla Kiboro hajaenda kumfuata Dorini, alimtafuta Renatusi maana mchana wake alikuwa na mwanamke mwingine. Simu haikupokelewa, alimtumia jumbe fupi nyingi lakini pia hazikujibiwa, yalikuwa ni majira ya saa…

Read More

NYUMA NA MBELE ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 2 Kimu alikwenda bafuni ambapo Mili naye alifuata baada yake kwenda kujisafisha uji aliomwagiwa na Kimu.Kimu alikwenda shuleni ambapo siku hiyo kwake ilikuwa nzuri sana. Hakuweza kuficha kilichotokea usiku wa jana yake.”Acha masihara! Kirahisi tu?” alishangaa Mdayo, rafiki wa Kimu”Ndio hivyo, nimekula kaka, ila mkubwa!””Haina ukubwa, atakuwa amekupenda huyo alishindwa tu kukwambia, sasa?””Sasa nini?””Unaelewa mwenyewe,””Kolabo?””Nibariki na mimi mwanao, si unajua njia yangu ni tofauti na yako,””Kwahiyo unataka kumpitia kwa mpalange?””Ndiyo, wewe mbele mimi nyuma,””Nyuma na mbele?””Ndiyo,””Hivi ndugu yangu wewe! Ni raha gani unaipata huko kwa mpalange?””Kila…

Read More

NYUMA NA MBELE ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 1 Hii hadithi itakufurahisha, itakusisimua, na kubwa zaidi itakufunza mengi sana hasa jinsi itakavyoisha, mtihani mzito atakaokutana nao Swedi Kipaga, utaamini duniani kuna mambo mengi sana.”Umeshasema ni mzembe, atakaa vipi na watoto?””Sio mzembe sana ila anajielewa,””Sikuelewi mke wangu, atakaa muda gani?””Mpaka majibu ya kujiunga na chuo yatakapotoka, maana maka wa tatu sasa yupo nyumbani baada ya kumaliza kidato cha sita,””Mh! Sawa,””Jamani mume wangu, ukimuona utampenda, ana wowowo!””Unaanza kuleta utani wako!””Kweli tena, atatuusaidia kazi ndogondogo humu ndani,””Sawa, ila mzembe mpaka kusaidia kazi, tutaona.”Maongezi hayo yalikuwa kati ya…

Read More

NDEFU NENE ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 2 Kwa Mungu na binadamu wengi kilihesabika kama kiungo cha kawaida cha mwili lakini kwake binafsi alikihesabu kama mzigo. Kweli wanawadamu tuna kelele nyingi kwa Mungu, jua likiwaka, wapo watakaolipenda na wengine watamuomba Mungu awape mvua.Wakati watanzania wengi wakiwa wanapambana kutafuta dawa za asili za kuongeza maumbile ya dude zao, kwa bwana Chinga ilikuwa ni tofauti, yeye alitokea upande ambao watu walielekea na kwenda upande watu walikotoka.Chinga alijaaliwa dude nene refu, umri wake ulikuwa ni miaka ishirini na sita, dude lake mwenyewe aliona kama ni mzigo, laiti…

Read More

NDEFU NENE ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Chapter 1 Kwa Mungu na binadamu wengi kilihesabika kama kiungo cha kawaida cha mwili lakini kwake binafsi alikihesabu kama mzigo. Kweli wanawadamu tuna kelele nyingi kwa Mungu, jua likiwaka, wapo watakaolipenda na wengine watamuomba Mungu awape mvua.Wakati watanzania wengi wakiwa wanapambana kutafuta dawa za asili za kuongeza maumbile ya dude zao, kwa bwana Chinga ilikuwa ni tofauti, yeye alitokea upande ambao watu walielekea na kwenda upande watu walikotoka.Chinga alijaaliwa dude nene refu, umri wake ulikuwa ni miaka ishirini na sita, dude lake mwenyewe aliona kama ni mzigo, laiti…

Read More