Author: Raha Special

MASOMO MUHIMU KATIKA MAHUSIANO YA KIMAPENZI   Raha Special tunakukeletea haya masomo ili uweze kufurahia mapenzi, na uepukane na mateso ya mapenzi.   Mapenzi ni raha, lakini pia huwa karaha kama usipojua vizuri kucheza na kanuni zake.   Bonyeza haya masomo hapo chini ujipatie maarifa katika mahusiano ya kimapenzi:   1. Tabia za Mwanamke asiyekupenda akifika GETO kwako – Inakera sana   2. Kwanini Watu wanateseka kwenye Mapenzi – Sababu na Ufumbuzi   3. Mwanamke Asiyekupenda Anavyoathiri Nguvu zako za Kiume   4. Anayekutesa wewe Kimapenzi, Anateswa na Mtu mwingine – Kataa Kunyanyasika   5. Kwanini Mpenzi wako Hakupendi sana? Sababu…

Read More

 MASOMO MUHIMU WAKATI WA KUTONGOZANA   Raha Special tunakukeletea haya masomo ili uweze uweze kuwa mjanja katika ulimwengu wa Kutongozana   Kutongozana ni sanaa ambayo pia ina elimu yake, kwahiyo usichukulie poa ndugu yangu.   Bonyeza haya masomo hapo chini ujipatie maarifa katika mahusiano ya kimapenzi:   1. Usitongoze kwa kusema NAKUPENDA katika haya Mazingira – Tumia hizi Mbinu kumpata Mwanamke   2. Kwa nini Hutongozwi na Wanaume? Sababu na Ufumbuzi   3. Kwa nini Unakataliwa sana na Wanawake wakati Unawatongoza? Sababu na Ufumbuzi   4. Kumtambua Mwanamke Aliyekupenda Kirafiki, na sio Kimapenzi – Epuka Kutongoza ovyo ovyo … BONYEZA…

Read More

BINTI NGUVA EPISODE 13 Tunaanzia nyuma kidogo baada ya Goodluck kuvaa taswira ya bibi mzee alielekea kwenye kikao cha kijiji kuhusu mauaji yanayoendelea katika kijiji hicho , kutokana na vifo viwili vilivyotokea na vilikuwa vya kutatanisha sana ambapo kila mtu alikuwa akijiuliza ni nini chanzo mwenyekiti akawa anazungumzia vifo hivyo …… Mwenyekiti”Wanakijiji cha kasongo mauaji haya yamezidi sana watu wanauawa vibaya yaani kila siku mtu anakufa daaaah inasikisha sana mpaka najiuliza maisha haya yanaendaje pasina amani” Lakini Alice kutazama vizuri alimuona yule bibi kizee ambaye ni Goodluck amechukua taswira yake baada ya kumaliza maisha yake ………..” Alichukua kitambaa na kuanza…

Read More

BINTI NGUVA EPISODE 10 Tunaendelea palepale tulipoishia baada ya sauti ya mwanamke iliposikika baada ya kelvin kusema “nimekumis Alice ” Sauti ya mwanamke ilisikika kwa nyuma kweli umenimis????kelvin aligeuka hakuweza kuamini yulr mwanamke alikuwa ni Alice Kelvin aliita kwa sauti iliyojaa hisia na mahaba mazito “Alice ni wewe jamani ” aliacha mtumbwi wake pembeni wake na kumkimbilia na kumkumbatia kwa nguvu. Alice naye aliweka mikono kwa nyuma akiwa na maana amelipokea kumbatio hilo ….. Alice nimekutafuta kote lakini sijaweza kukuona ,ulienda wapi jaman ujue umenipa mawazo ?????? Kabla kelvin hajaendelea Alice alimziba mdomo na kutikisa kichwa akiwa na maana kelvin…

Read More

BINTI NGUVA EPISODE 7 Alice hakuwa na namna bali kufuata wito wa baba yake. Mwisho wa siku, hakuwa tayari kusababisha vita kati ya dunia ya bahari na dunia ya binadamu. kwa sababu aliijuwa tabia ya baba yake hajawahi pindisha neno au kitu alichokisema ……..aliona mambo yasiwe mengi kabisa bora arudi ili akomboe maisha ya wengi sababu yeye pekee hawezi kufanya maisha ya watu yakaharibika ……… Akiwa ameingia ndani ya kasri la kifahari lililoko chini ya bahari, Alice macho yake yalikutana na ya baba yake , mzee mwenye uso wa hasira na nguvu zisizokuwa na kifani. Baba Alice: (kwa hasira) “Wewe…

Read More

BINTI NGUVA EPISODE 4 Tunaendelea pale pale tulipoishia sehemu ya tatu baada ya yule binti aliyepewa jukumu la kumfuatilia kelvin kuwapoteza kipindi anaongea na Goodluck ambaye ndiye aliyempa kazi ya kumfuatilia kelvin. Basi yule mzee alimuonyesha nyumba na alikuwa kamuandalia kila kitu ndani kuanzia Godoro na vitu vingine vidogo vidogo kama mahitaji hakika kelvin alifurahi sana na kuona kuanza kwake upya kumekuwa ni rahisi sana .Lakini shukrani nyingi ziende kwa mzee Ismaili kwa moyo wake wa upendo kwa kijana kelvin . TURUDI TENA KWA KINA ALICE (BAHARINI) Bahari huko Alice alimwomba dada yake anaenda kwa binadamu kukutana na kelvin dada…

Read More

BINTI NGUVA Ni hadithi ya kutisha inayohusu safari ya binti kwa jina la Alice katika kupigani maisha ya mpenzi wake Kelvin dhidi ya v majini na viumbe vya kutisha ,katika safari hiyo ianakutana na mambo mengi ya ajavu ikiwa kutenganishwa na familia yake na kuishi katika dunia ambayo siyo yake ….usikose kufuatilia kisa hiki UTANGULIZI Katikati ya bahari moja iliyojulikana kwa jina la BAHARI YA HOPE iliyokuwa karibu na kijiji kimoja kilichojulikana kama KIJIJI CHA KASONGO , palikuwepo siri kubwa iliyokuwa imefichwa, siri ya ulimwengu wa majini, ambao binadamu walikuwa hawawezi kuufikia. Katika ulimwengu huo wa ajabu , alikuwapo ,…

Read More

BABA MKWE YAKE NDEFU TAMU KULIKO YA MWANAWE Sehemu Ya 21 ONYO: Hii ni Story ya Watu Wazima 🔞 👉 Jamani nasikia kabisa watu wanapokezana majembe wanamfukia marehemu baba mkwe, Nilianguka mimi kwa presha.. Dah yani…👇 Yani nimeanguka na kuzimia nusu saa naamka mwenyewe najiuliza ni kweli baba mkwe amefariki, Yani nawasha simu kumbe data zilikuwa wazi nabonyeza fb naona sauda amepost picha ya baba mkwe na kusema, ” Pumzika kwa amani baba mpendwa tulikupenda sana ila Mungu amekupenda zaidi. ” Dah hapo nikajua baba kweli baba mkwe amefariki ilibidi niuze vitu na nirudi kijijini kwa mama nikiwa na mimba…

Read More

BABA MKWE YAKE NDEFU TAMU KULIKO YA MWANAWE Sehemu Ya 16 ONYO: Hii ni Story ya Watu Wazima 🔞 👉 Uku Mrango unafunguriwa na…👇 Upepo yani walistuka wote na baba mkwewe akatoa mkono fasta, Ila baada kuona upepo, Baba yake mkwe akamwambia, ” Naomba twende mbari kidogo na hapa nyumbani tuwe na amani usiwe na wasiwasi. ” Dada anajifanya kama mwanafunzi yani ameng’ata kidole cha mwisho uku anatikisa Bega yani anamaanisha ataki, Ila ile kataa yake baba yake mkwe akaona uyu anataka kinachotakiwa hapa ni kukaza tu, Kweli alimshika mkono akamtoa nje ya nyumba mwenyewe dada anasema, ” Usinishike mkono…

Read More

BABA MKWE YAKE NDEFU TAMU KULIKO YA MWANAWE Sehemu Ya 11 ONYO: Hii ni Story ya Watu Wazima 🔞 👉 Baba mkwe alinifanyia ivi…👇 Alinitanua kwapa akawa analipitisha ulimi uku ananipamp, Ulimi wa kwapani unachetua mwiri kweli kweli nikawa napata utamu usiolezeka yani nafika kileleni mara tatu, Ndio baba mkwe anashusha mara moja tukawa hoi tukalala. ” Upande wa mkewe sasa akawa amevurugwa anarudi nyumbani kwake anamgongea mwanawe chumbani kwake, Wakati huo mwanawe anamshindua mkewe sauda lipende japo anacho kibamia ila ndio anachokoa chokoa nacho ivyo, Sauda alikasirika pale anakaribia kufika kileleni mumewe anachomoa mpini anaenda kumsikiliza mama yake, Na…

Read More

BABA MKWE YAKE NDEFU TAMU KULIKO YA MWANAWE Sehemu Ya Sita ONYO: Hii ni Story ya Watu Wazima 🔞 👉 Jamani baba mkwe alinifanyia jambo jipya kabisa sijawai kufanyiwa kwenye mapenzi mimi, Alinifanyia…👇 Alinivuta kifuani kwake arafu ziwa langu moja akaingiza mdomoni kwake akawa anaing’ata chuchu ya ziwa langu kwa lips zake za mdomo, Uku kaniwekea mikono kwenye matuta yangu anayaminya minya, Wewe utamu huo simu tukazipotezea tunaendelea kupeana raha, Baba mkwe anao mpini mgumu mrefu wa moto unakuna kuta zote za kibompoli nikawa nampa uno nasikia utamu kweli kweli, Jamani kukatikia mpini uliosimama vizuri sio mlegevu una raha yake,…

Read More

BABA MKWE YAKE NDEFU TAMU KULIKO YA MWANAWE Sehemu Ya Kwanza ONYO: Hii ni Story ya Watu Wazima 🔞 Wewe suzz umelala mpaka saizi ivi mimi nani ataniwekea maji ya kuoga. ” Dah ni sauti ya mama mkwe akiwa ananiita mimi saa 12 kamiri ya asubui yani mwanawe katoka kunipinda pinda muda si mrefu kaenda kazini najipumzisha kidogo yeye ndio ananiita kwa ukari huu, Nilinyanyuka kitandani na kwenda kumuwekea maji yeye ya kuoga uku moyoni nasema, Akirudi mume wangu nitamwambia akatafute chumba ahame hapa kwao aya sasa mateso yani mimi nimuweke maji ya kuoga mama yake sasa hii ni ndoa…

Read More

HANDSOME WA SHULE 17 john yeye alikuwa anafikilia jinsi ya kuwaangalia wale mbwa mwitu maana yeye alikuwa mkuu msaidizi lakini mkuu wao amefariki inabidi yeye achukue mikoba yake ya kuwaangalia siku zote. Baada ya kuwaza sana alipitiwa na usingizi mzito sana Asubuhi nyingine tena ikiwa ni ijumaa john alichelewa kuamka kutokana na mawazo aliyokuwa nayo akaamua kutokwenda shule mama yake alimuuliza john kwanini haujaenda shule alijibu tu ajisikii vizuri mama yake alimwacha john na kwenda ofisini kwake Huku pale nyumbani wakabaki Anitha na John John hakuwa sawa kabisa alikuwa mtu wa mawazo siku hiyo na kukaa sebuleni basi,. Anitha akaanza…

Read More

HANDSOME WA SHULE 13 Songa nayo… John alimpotezea kabisa marry hata kuongea naye hakutaka kabisa. John aliwachukia wasichana wa pale shuleni aliwaona kama hawajielewi wana act kama watoto wadogo. John aliendelea kufocus katika elimu kuliko kujiingiza katika mapenzi. ********** Muda ulienda mpaka muda wa kutoka shuleni uliwadia,. John aliingia katika gari lake na kuondoka,wanafunzi wenzake walibaki wanashangaa tu John kumiliki gari la pesa ndefu vile. ****** Marry yeye alibaki tu akijisikitikia kwa kupiga begi la pesa kwa mguu wake. Ila mapenzi yaliendelea kati ya joely Zubery na Marry Oswald **** John aliwasili nyumbani kwao akapaki gari lake akaelekea zake ndani…

Read More

HANDSOME WA SHULE 9 Songa nayo Anitha hakujali hali ya John kutoonekana pale nyumbani ila aliendelea na kazi zake za kila siku. Mama John alipatwa na wasiwasi sana alianzaa kulia utafikili kuna msiba pale nyumbani. (Uchungu wa mwana haujuaye mzazi) ********** John huku yeye akiwa pangoni hajui sehemu ya kutoka wala kuingia. John alizinduka usiku sana huku mbwa mwitu akiwa amelala na kunyata ili akimbie. Ghafla alisikia sauti ikisema “Huwezi kukimbia wala kutoka katika hili pango mpaka utakapo kuwa fit” John alisimama hakuendelea kukimbia Bali alijipa moyo na kugeuka kuifuata sauti ilipotokea. John alitembea mpaka pale alipokuwepo mbwamwitu na kumkuta…

Read More

HANDSOME WA SHULE 5 Songa nayo John alimpa namba marry iliasije akafanya maamuzi Magumu. Baada ya kumpa namba John aliendelea na safari yake ya dukani. Marry alifurahi kupewa namba akaona itakuwa kazi nyepesi kumpata John. John alinunua vocha na kurudi kwako. Anitha alikuwa anamsubiri John afike amuulize kwanini Leo yupo vile. John alifika akaenda moja kwa moja hadi chumbani akutaka kumwongelesha anitha. John akiwa chumbani kwake simu ilipigwa ilikuwa namba ngeni akaipokea tu. Ilikuwa ni sauti ya kike ikiwa inasikika vizuri Mwnamke:hallow John. John: Nani mwenzangu?. Mwanamke:Ni Mimi Marry John: aaanha,Marry kumbe ni wewe Marry: eeeh,ni Mimi unafanya nini sahizi.…

Read More

HANDSOME WA SHULE 1 John, john,John, John.. …john’ naaam” Amka uwende shule utachelewa sawa naenda subiri kidogo ntaamka” Fanya upes uamke sitaki shali na mama yako akiaamka, Sawa Dada naamka” yalikuwa maongezi kati ya Dada na John John alimkaa akaenda kuoga akavaa uniform za shule akaenda kunywa chai”: Alipomaliza akachukua begi lake akaliweka mgongoni akisubiri school bus ije kumchukua nje: Muda si mrefu lilifika huku limewabeba wanafunzi wengine …….. Katika lile basi alikuwapo msichana ambae anampenda John lakini John akufahamu kwasababu yeye John nimtu wa kimya sana. John alipanda ndani ya basi ya shule. Vipindi viliendelea mpaka SAA Tisa wakarudishwa…

Read More

UTAMU WA KISAMVU 🔞 SEHEMU YA 21 ONYO: Hii Story ni kwa ajili ya Watu Wazima tu “Pole taratibu taratibu usiogope, ni mimi hapa kaka yake Levina, nilikuwa nakuja chooni tu” nilimwambia nikimtuliza, kukiwa giza totoro ndani na nje hakuna hata mbalamwezi, umeme ulipokatika, tochi aliyokuwa anajimulikia wakati anaoga ikianguka na kuzimika baada ya kuutikisa mlango wakati akitaka kuuwahi kuufunga nisimuone kama yuko uchi, “Tochi sijui imeanguka wapi” aliongea kwa wasiwasi huku akipapasa papasa na kujikuta akinishika mimi kifuani nikiwa nimevaa bukta tu ya kulalia sina nguo yoyote juu nipo kifua wazi “Itakuwa labda imeanguka, uko wapi, njoo kwa huku”…

Read More

UTAMU WA KISAMVU 🔞 SEHEMU YA 16 ONYO: Hii Story ni kwa ajili ya Watu Wazima tu Niliingiza dudu taratibu kwenye mkund** wake na kuanza kulisukuma tena tukiwa bafuni, akiwa ameushika ukuta wa marumaru ameinama amenibong’olea akanyoosha mikono akinishika vizuri mapaja yangu akinikandamizia kwenye matako yake nisije kuchomoa dudu🍆na kuanza kutembea kwa mwendo wa taratibu “Wapi tena?” “Twende chumbani Peter” alinijibu nikagundua amechoka kusimama tangu kule ufukweni (beach) anataka mchezo huo ukaendelee kitandani chumbani, nami nikamshika vyema tukafika mpaka chumbani tukiwa tumelowa maji badala ya kitandani nikamwelekezea kwenye sofa kubwa la kujikunja la watu watatu akapanda huku mimi nikiwa nimebaki…

Read More

UTAMU WA KISAMVU 🔞 SEHEMU YA 11 ONYO: Hii Story ni kwa ajili ya Watu Wazima tu Ilibidi nigeuke kiroboti roboti na kurudi chumbani kwangu nikiwaacha akina mama hao wananishangaa na minong’ono ikiendelea kati yao baada ya kuniona suruali imevimba na imetuna kwa kitu kilichomo ndani ambacho si cha kawaida kabisa, mama Eliza ndiye aliyenishtua nijitazame, mwenyewe nilikuwa sina habari kabisa, nilipishana na mama njiani haraka haraka nikainama nikijifanya najikuna kwenye kidole cha mguu “We Peter ndo unaamka saa hizi?” “Eeh shikamoo mama” “Marahaba, wageni umewasalimia?” “Ndo nimetokea sebuleni” “Wakimaliza ukanunue maziwa kule kwa Mpare” “Sawa” “Kwani una shughuli gani…

Read More

UTAMU WA KISAMVU 🔞 SEHEMU YA 06 ONYO: Hii Story ni kwa ajili ya Watu Wazima tu “Mbona kimya, enhe nasubiri jibu, nielezwe wakati mimi naingia huyo mama Eliza ametoka wapi tena jamani na kumbe ndiyo maana muda ule nikaona viatu vyake nje nikashangaa, ukanidanganya danganya kumbe alikuwepo ndani bado, alikuwa anafanya nini?” “Aaamh alikuwa anaoga mama, wakati we umeingia alikuwa bafuni aliomba ajimwagie maji sasa ndo ulipoingia akaniomba nisikwambie kama yupo anaoga kwa sababu ungemshangaa na kuhisi labda kuna jambo baya, ulipoingia chumbani tu alitoka akiwa ameshavaa huko huko bafuni ndipo akaondoka” “Unaniona mimi mtoto Peter?” “Hapana mama” ilibidi…

Read More

UTAMU WA KISAMVU SEHEMU YA 01 ONYO‼❌ Stori hii ni kwa ajili ya ‘Watu Wachache tu’ ina maudhui ya ndani ya kimapenzi hasa ya ‘Kwa Mparange’ kama siyo mpenzi achana na hii story. ****** Kunakucha mapema asubuhi kama kawaida leo nililala sana kutokana na uchovu wa usiku wa jana niliporudi kutoka kwenye sherehe ya harusi ya dada wa rafiki yangu ambayo nilichangia na kupewa kadi, nilirudi saa nane za usiku na nililala fofofo mpaka niliposikia mlango ukigongwa sebuleni, nikainuka kiuvivu na kushuka kitandani huku nikiwa bado nina wenge la usingizi, nikatembea kiuchovu na kuushika mlango wa chumbani kwangu na kuufungua…

Read More

PENZI LA KIKOMANDO EPISODE 13 TULIISHIA “Babaaaaaa” “Mwanangu hawajakuumiza? . …” ENDELEA…. “nipo salama baba …”alijibu wonder akiwa ameshikiliwa na Aboku. “Haya naombeni mnipe binti yangu haraka lasivyo nitamchukua kinguvu…” General aliongea kwa kujiamini akiwa bado yupo chini ya ulinzi yeye na Askari wake . “Rafiki yangu kipenzi, ukweli nilikuita huku ili ushuhudie kifo cha binti yako uone ni jinsi gani inauma kumpoteza mtu umpendaye …” Aliongea Ram akiwa anatoa bastora yake ndogo kiunoni . “Acha ujinga gaidi wewe…” Aliongea Ramos kwa ukali alipoiona bastora lakini Ram taratibu alikuwa akisogea alipo wonder. Ramos aliona ni wakati sahihi wa kuwaamuru wale…

Read More

PENZI LA KIKOMANDO EPISODE YA 10 TULIPOISHIA….. Ramos alirejea nyumbani kwake akiwa na askari kadhaa waliomlinda. Janeth mke wa Ramos alimkimbilia mmewe kwa furaha lakini Ramos alimkwepa mkewe na kuelekea ndani. Janeth alimfuata Ramos chumbani amuulize kwa nini amebadilika lakini Ramos anatoa kauli inayomfanya Janeth akose nguvu “Chukua mabegi yako ondoka nyumbani kwangu…..” Aliongea Ramos baada ya kufika chumbani. ENDELEA….. “Ramos umesemaje…” “Chukua mabegi yako uende….” Alirudia kwa hasira sana janeth taratibu akiwa anaanza kudondosha machozi. “ Nimekukosea nini mpaka unifukuze Ramos….” Aliongea janeth kwa uchungu. “Hakuna ulichonikosea ila kwa kweli sijawahi kukupenda hata siku moja….” “Sasa ni kwa nini…

Read More

PENZI LA KIKOMANDO EPISODE YA 07 KUMBUKA NI MIAKA 20 NYUMA TULIPOISHIA…….. “Jamani Kuna taarifa mbaya tumezipata, Ni kwamba nchi yetu inaelekea kuvamiwa na kundi la SK ambalo lipo milimani linakuja bila kupoteza mda inatakiwa twende tukawadhibiti kabla hawajaingia kwenye makazi ya raia, tumeelewana makomando?……” Aliongea general kwa sauti akiwa kizimbani. “Maisha yetu kwa ajiri ya nchi yetu….” Waliitikia wanajeshi kwa sauti yenye kishindo. ENDELEA…. “Jiandaeni kesho tunaanza safari kuelekea milimani na kaptain wenu atakuwa Ram. Na hakuna anayeruhusiwa kutoka nje ya kambi..” Aliongea general akiwa anashuka pale kizimbani. “Hongera sana Ram general anakuamini sana …” Askari walikuwa wakimpa pongezi…

Read More

PENZI LA KIKOMANDO EPISODE 04 ILIPOISHIA…. Mke wa General Ramos anamfuata mmewe akiwa ameshika barua mkononi na kumwambia mtoto wao atakuwa amefariki INAENDELEA….. NDANI YA MSITU “Wonder nashukuru kwa msaada wako, lakini sikuhitaji tena wewe endelea na safari yako na mimi niende na njia yangu sawa……?” Aliongea James kwa msisitizo sana akiwa anachukua siraha yake iliyokuwa chini na kuanza kuondoka. “Wewe mwanajeshi kijana mbona ni mgumu sana kuelewa, nimesema mimi naongozana na wewe kuelekea huko unakoenda …” Aliongea wonder akiwa anamfuata james kwa nyuma. James anajitahidi kumzuia wonder asimfuate lakini wonder anazidi kuwa king’ang’anizi inamfanya James akubali kuongozana na wonder…

Read More

PENZI LA KIKOMANDO EPISODE 1 Mwanzo…. Ni katika vita kali vinavyopigana majira ya usiku kati ya wanajeshi na waasi . Wanajeshi wengi wanapoteza maisha katika vita hiyo, James ambaye ni captain wa jeshi anawaambia wenzake sita walio salia wakimbie sababu tayari walikuwa wamezidiwa nguvu na waasi . “ Kiongozi tukimbie wote, hatuwezi kukuacha hapa pekeyako ….” Wanajeshi walikuwa wakimwita James kwa sauti ya juu lakini james anaamua kubaki kupambana peke yake . “Hii ni amri kutokakwa mimi captain wenu kimbieni , kumbukeni familia zenu zinawahitaji msihofu kuhusu mimi “ aliongea James kwa sauti ya juu akiwa anaendelea kufyatua risasi .…

Read More

PATRICK UMEKUJA BAFUNI TENA Sehemu ya 15 👉 Wewe jando umelivisha shanga Choma moto kama wewe mwanaume kweli tumemtunza Sisi kwenye harusi yake wewe uchome moto…👇 Subutuu. ( Joji alitulia tulii…akujibu kitu…anjel alichukua kila kilicho chake aliondoka na shangazi yake kwake na shangazi mtu akasema) ” Taraka utaleta mwenyewe uyu si mkeo kuanzia sasa. ( Joji kimya…walivyoondoka joji anasema) ” Bora walivyoondoka kulikuwa na harufu Kari sana hapa. ( Yule mwanamke wake akasema) ” Ndio maana ukufungua mdomo my. ” Ndio. ” Twende ndani nikakunyoshe my. ” Twende. ( Sasa ikawa kero kwenye nyumba yule mwanamke akifanya mapenzi na joji…

Read More

PATRICK UMEKUJA BAFUNI TENA Sehemu ya 11 👉 ANJEL ANAENDA KUPANDA GALI ANAMPELEKEA PATRICK…👇 Dk 45 walikutana tandika…pale pale alipomla amina ndio kaenda kumla anjel…waliingia ndani PATRICK akalipi gest show time..anjel anasema) ” PATRICK umenijali sana acha nikujali na wewe. ” Sawa. ( PATRICK akiwaza maneno ya joji basi hamu zaidi inampanda ya kumkaza anjel…akamkumbatia akampa mate…anjel akapokea wananyonyana ndimi…uku feni inawapepea…PATRICK anaanza kumtomasa sehemu ya mgongoni anjel na anjel anampapasa PATRICK yani kiufupi wanapapasana.. mwisho kila mmoja kamvua mwenzie nguo…anjel akapiga magoti akashika mpini wa PATRICK akaanza kuunyonya…PATRICK anasikia raha anamkuna kuna anjel kichwani na anjel fundi ananyonya taratibu…

Read More

PATRICK UMEKUJA BAFUNI TENA Sehemu ya Saba 👉 Walipanda kitandani sasa…👇 Amina yupo chini PATRICK juu…uku PATRICK kichwani kukamjia maneno ya kumkumbusha) ” MAPENZI YANA KACHUMBARI Kachumbari ya tendo Mara nyingi inaaandaliwa na mwanaume ndio huwa wa kwanza nayo inanoogaa zaidi mwanaume akianzisha vinjo kabla ya tendo. Kachumbari hiyo iwenamchanganyiko wa vitu vifuatavyo ndio itakua tamu zaidi. Mazungumzo ya mahaba Mwanamke anapenda Sana mwanaume mwenye kubebeleza nakushawi ,hisia za Mwanamke zikiamshwa kutoka kwenye ubongo wake humfanya kuwa active zaidi . Romance mpapaso wa Aina yake Mwanamke anapendelea Sana mguso zaidi saana apate mguso wenye uendana na hisia zake usitumie pupa…

Read More

PATRICK UMEKUJA BAFUNI TENA Sehemu ya Nne 👉 Karibu PATRICK niambie mbona usiku unagonga kwangu kulikoni?…👇 ” Samahani mke wa joji anaumwa sana nimetoka nae hospital sasa kapewa dawa ameze ila ndani akuna ata unga wa uji anywe apate nguvu ya kunywa dawa.. ( Bahati nzuri kwa PATRICK joji anatoka anaita) ” PATRICK PATRICK. ” Niambie. ” Bwana mwambie amina aje kulala na shoga yake mimi siwezi kulala na mgonjwa anapiga kelele. ” Joji hapa naomba unga wa uji tu akorogewe uji ila kulala utalala nae mwenyewe mkeo. ( Anjel analia…amina akaamka akawaacha wanaume wanaongea pale kaenda kumsaidia mwenzie…mume wa…

Read More

PATRICK UMEKUJA BAFUNI TENA Sehemu ya kwanza. Angel sio vizuri unavyofanya umemkatalia kaka wa watu kuongeza unga umpe ugali. ” Amina wewe ujui tu mume wangu alivyo mkari ivi ningepokea alafu wakati napakua mume wangu karudi anaona Sahani mbili zina ugali akiniuliza namjibu nini? ” Mumeo na PATRICK ni marafiki wakubwa sana wewe Ushangai kwanini PATRICK kaja kukuomba wewe ajaniomba mimi tokea nihamie hapa namuona Patrick na mumeo wapo karibu sana. ” Mimi mume wangu ajaniambia mengi juu ya PATRICK kama akitaka ugali nimpe. ” Basi nakushauri hili mshirikishe mumeo hili Kesho ikitokea upokee unga wa PATRICK. ” Sawa. (…

Read More

Usiwe Mbishi Bila Sababu Nikachukua muda na kusoma kwa kweli lazima niseme kisa hiki kimenigusa sana na nikaona kwamba msomaji huyu hajawa mchoyo kwangu kwanini mimi niwe mchoyo nimeona niweke hapa kibarazani ili wengi tujifunze maisha yalilivyo. KARIBUNI MUUNGANE ……………………………………………………………………… Ni siku nyingi kidogo, mwaka 1979, lakini ni tukio ambalo liliniuma sana. Ilikuwa vigumu sana kulisahau na lilinifanya nijiulize, inakuwaje Mungu anakuwa mkatili kiasi kile. Lakini bila shaka ilikuwa ni wakati ule wa ufahamu mdogo. Hivi sasa ninafahamu mengi na hasa baada ya kujifunza maarifa haya ya utambuzi. Ilikuwa ni mwaka 1979 nikiwa nasafiri kutokea Dar es salaam kwenda Arusha.…

Read More

USISAHAU ULIPOTOKA Pamoja na maisha mazuri lakini binti aliwasahau kijijini kwao, alikua akituma pesa kidogo lakini hakutaka kwenda. Alitaka kuyasahau maisha yake yote ya mateso ya kijijini. Hata kwa marafiki zake alijitambulisha kama kazaliwa Dar huku akidanganya kuwa wazazi wake wamefariki nayeye alikua ndiyo mtoto pekee, hii ni kwasababu marafiki zake wote walikua wakitoka katika familia za kitajiri. Baada ya kukaa muda mrefu bila kufika kijijini kwao wazazi wake walipata wasiwasi, huku wakiwa na wasiwasi kuwa kuna kitu kimempata, walichangisha nauli na Mama yake ambaye alikua mzee sana alipanda gari na kwenda kumuona mjini. Alipelekwa na jirani yao mmoja ambaye…

Read More

USIMDHARAU USIYEMJUA UNDANI WAKE Msichana mmoja alikuwa amempenda kijana mmoja mtanashati na mcha Mungu.. Malengo yao ilikua waje kuoana baada ya muda. Kijana huyu alijitoa sana kwa binti huyu hadi wenzie wakamuona mjinga, lakini ukweli ni kuwa alimpenda msichana yule kwa dhati. Alimtafutia kazi alipomaliza chuo, alimshauri kuhusu mipango ya maisha na alikua akimuombea kila alipopata nafasiya kuomba. Siku moja binti alikua anasherehekea siku yake ya kuzaliwa…hivyo akaalika marafiki zake, na watu wengine muhimu akiwemo mpenzi wake. Wageni wote walifika kwa wakati isipokua yule kijana alichelewa kidogo… Hivyo msichana akatumia muda ule ambao mpenzi wake hajafika kuwaeleza wageni namna yule…

Read More

Tabia Niliyokuwa Nayo Wakati Nakua Niende moja kwa moja kwenye Kusimulia. Bila shaka kila mtu amepitia utoto na katika utoto huo pengine alikuwa na tabia fulani mbaya mbaya. Kwa upande wangu moja ya tabia mbaya niliyokuwa nayo niliianza nikiwa darasa la sita katika shule ya msingi hapa Arusha, inayoitwa KAMBI YA MAZIWA niliyosoma nao wanaijua,. Tabia hii ilikuwa ni kupenda kuwashika shika mapaja wasichana niliokuwa nasoma nao darasani hasa wale mabonge bonge. Nakumbuka mmoja alishawahi kwenda kunisemea nikala bakora za kutosha tu lakini sikukoma. Katika umri huu nilikuwa nimeshaanza kuwa na matamanio kwa wasichana tabia hii mbaya nilikuwa nayo hata…

Read More

SIWEMA Siwema ni msichana wa pekee katika familia ya mzee Kibonye toka kuzaliwa kwake siwema hajaijua shida alilelewa maisha ya kifahari sana ,Akiwa katika shule ya sekondari Nzenga kila mwanafunzi aliogopa kumsogelea kutokana na jinsi alivyojiweka ,Umbo na sura ya siwema ilikua ni kivutio kikubwa sana kwa wanaume ,kila alipokuwa akipita wanaume waligeuza macho kumuangalia jambo hili siwema alilijua fika na kwakutambua kuwa anasifika kwa uzuri ndipo alipoongeza mikogo na majivuno “Hellow my lovely daughter mbona umenung`unika kuna tatizo kipenzi’’ilikua ni sauti ya mzee kibonye akizungumza na binti yake siwema ,,,Siwema alijibu kwa sauti ya kudeka ndio baba “tell me…

Read More