MAMA ALIPOSHIKWA TAKO MBELE YANGU
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 51
ILIPOISHIA…
Ndani ya moyo wake alikuwa anampenda sana mke wake, kitendo cha kuambiwa amefariki alijikuta ameumia sana, ni afadhali hata angefariki kwa hali ya kawaida tu lakini alijiona kuwa ana hatia mbele zake na mbele za Mungu.
Kila alipokuwa anaingia kwenye masomo yao ilibidi kuwa anazima simu na kuiwasha anapokuwa anatoka.
Kwakuwa mafunzo yalikuwa kwenye hatua za mwishomwisho walikuwa wanapewa muda wa kupumzika mapema na hata kufanya mambo mengine kama vile kutembea mtaani.
Siku moja akiwa amejilaza chumbani kwake akitafakari maisha jinsi yatakavyokuwa bila ya mkewe wenzake walimfwata chumbani wakimtaka wakatembee mtaani kwa ajili ya kupata mbili tatu lakini Sam aligoma akidai kuwa anapumzika.
Akiwa amejilaza kitandani aliona simu inaingia, kilichomshtua ni ile namba iliyopiga… ilikuwa namba ya Rafiki (mke wake).
Mapigo ya moyo yalimwenda kasi kuliko kawaida kiasi kwamba hata akawa anatetemeka akiamini kuwa huenda ni mzimu.
Kwakuwa alikuwa amewahi kutazama sinema zinazoonyesha watu waliouawa wanavyowarudia waliowaua kimiujiza nayeye akajua ndio kinachotokea na hivyo akaogopa kupokea simu.
Alitamani akimbie pale chumbani lakini akajikaza, kabla hajakaa vizuri simu yake ikaita tena kwa namba ileile ya mke wake.
Alijishtukia mkojo ukimtoka bila kujua, alisubiri ikaita mpaka ikakatika, ilivyokatika tu akaiwahi ili aizime kabisa asipatikane.
Kabla hajaizima iliita tena lakini alipoangalia vizuri jina halikuwa la mkewe isipokuwa lilikuwa la Glory mdogo wake.
Hapo roho ikatulia kidogo na kuamua kupokea,
“Haloo Glory”
“Sio Glory mimi ni mke wako Rafiki”
Hapo sasa ndipo Sam alichoka kabisa na kuitupa simu chini.
…………………………
Hakuna kitu kilimuuma Rafiki kama kumpigia Sam alafu asipokee mpaka akaamua kumpigia kwa Simu ya wifi yake ndio akapokea lakini aliposikia kuwa mpigaji ni yeye akakata simu.
Akili yake ilimwambia bila wasiwasi kuwa Sam ana chuki bado nayeye na ndio maana hataki kumsikia.
Taratibu machozi yalianza kumbubujika mashavuni mwake akijua kuwa kwa SAM hana lake tena, alijutia kuolewa nae na kutamani siku zirudi nyuma awe sio mke wa Sam.
“Wifi mbona unalia?”
“Kaka yako ananichanganya sana wifi”
“Kwani imekuwaje tena?”
Ilibidi rafiki amuelezee Glory kila kitu jinsi ambavyo alimpigia bila kupokea hadi akaamua kuchukua simu yake ambayo ilikuwa kwenye chaji na kupiga ikapokelewa lakini baada ya kujua kuwa mpigaji n yeye akamkatia simu.
Glory alishusha pumzi ndani akitafakari jambo, hakutaka kuamini kuwa kaka yake hataki kumsikia wifi yake wakati mara ya mwisho walipoongea alionekana kujutia sana hadi kumuomba amuombee msamaha kwa wifi yake ila akamdanganya kuwa amefariki.
Glory aliamini kuwa kaka yake anaogopa kupigiwa simu na mtu aliyeambiwa amefariki na wala sio kwamba hampendi.
“Wifi nimegundua kitu”
“Kitu gani?”
“Kaka anaogopa kuongea nawewe kwasababu nimemwambia umefariki, anahofia kuongea na mtu ambaye ameambiwa kafa”
……………………………………..
Nisha alikuwa amejilaza kitandani ameshikilia tumbo lake anawaza jinsi Sam alivyomtenda, hasira ilikuwa imemkaba kooni kiasi cha kumfanya awe anatetemeka.
Hapo hapo alichukua simu yake na kutafuta baadhi ya namba na kuzipiga…
“Haloo”
“sema bosi”
“Kuna kazi nataka muifanye”
“Lete kazi bosi maana njaa kali sana saivi umetutupa kweli siku hizi hutoi kazi kabisa”
“Ndio nawapa kazi sasa”
Waliongea mengi sana na hao watu wake lakini mwisho NISHA alimalizia kwa kuwaambia kuwa …
“Baada ya wiki mbili watamaliza mafunzo hivyo muwe makini akishuka tu hapo airport mmalizeni kabisa”
“Usijali Bosi kazi ndogo sana hiyo”
Wale watu wa NISHA kwa shida ya pesa walizokuwa nazo walijipanga vizuri ili kumkabili mtu ambaye waliambiwa atatua Dar es Salaam baada ya wiki mbili,
Walikuwa na silaha za kutosha kwakuwa walishaambiwa mtu mwenyewe ni mtu wa mazoezi na ana mafunzo, walijua jinsi ya kuwakabili watu wa aina tofauti kwani ni kazi waliyoizoea hivyo walijipanga vyema kwa kila kitu.
Wakati NISHA ametoa maagizo kuhusu mtu wake anayetaka amalizwe simu yake iliita tena akaichukua na kuiangalia, hasira zilimkaba baada ya kugundua mpigaji ni SAM, pamoja na hasira alizokuwa nazo lakini aliamua kuipokea tu.
“wewe Mbwa unataka nini kwangu?”
“Mimi Mbwa Nisha?”
“Wewe ni zaidi hata ya huyo Mbwa”
“Kwahiyo na mwanangu utakayemzaa pia ni Mbwa?”
Hapo NISHA alishtuka kidogo, hakutegemea jibu hilo kutoka kwa SAM,
“Mtoto yupi unayemsemea wewe ambaye nitamzaa”
“Tafadhali NISHA hata kama nimekukosea kiasi gani naomba usitoe Mimba yangu, natamani sana kumuona mtoto wangu atakayetoka kwenye tumbo lako”
Nisha hakujibu kitu ikabidi SAM aendelee…
“Najua nimekukosea lakini msamaha upo kwa ajili ya wanaokosea, nisamehe NISHA, mwenzio nilikuwa na matatizo ambayo nikija nitakueleza vizuri, nakupenda na nampenda mtoto wetu atakayezaliwa”
“Its too late SAM (Umechelewa SAM)”
Baada ya NISHA kusema hivyo akakata simu huku akabaki analia tu kwa hasira…
Moyoni mwake alimpenda sana SAM ila hasira za mtu unayempenda huwa ni kali kuliko kwa mtu usiyempenda.
Nisha alikuwa na hasira zilizochanganyika na mapenzi, alimpenda sana SAM na ndio maana alijikuta akikasirishwa nae sana.
“Lazima nitimize nilichopanga” alijisemea NISHA!
……………………..
Glory aliamua kutumia simu nyingine na kumpigia kaka yake ambaye aliona alipokewa japo alikuwa na hofu kwani alishajua ni namba ya Tanzania.
“Haloo”
“Habari yako ”
“Nzuri kaka, Mimi Glory mdogo wako”
“Ah Glory ,mwenzio naogopa sana, leo nimepigiwa simu na mzimu”
“Mzimu gani kaka?”
“Sasa mtu aliyekufa akikipigia simu utasema ni nani?”
“Nani huyo aliyekufa amekupigia simu?”
“Wifi yako Rafiki”
“Mh kaka nisamehe kwa kukudanganya, wifi hajafa ni mzima kabisa, nilikudanganya tu ila nawewe ukakurupuka hukutaka kunisikiliza zaidi”
“Glory unasema kweli?”
“Ndio kaka, wifi yuko hapa”
“Mungu wangu…jamani mke wangu, naomba niongee nae”
Hapo hapo Sam aliunganishwa na mke wake ambapo hakuna alichosema zaidi ya kusisitiza msamaha na kuapa viapo vya kutorudia huku akidai Kuwa anampenda sana mke wake na hatakuja kumuacha mpaka kifo…
“Mke wangu nisamehe sana, nisamehe mke wangu…nimeishi maisha mabaya sana yaliyokosa matumaini, wewe ni kila kitu kwangu…nakuhakikishia nikija nitaokoka ili Mungu aniondolee pepo la hasira za kukurupuka”
“Wewe mwenyewe unajua mke wangu, unajua tatizo nililokuwa nalo alafu ukaniambia ni mjamzito…wivu ulizidi kipimo mke wangu kwasababu nakupenda sana”
Rafiki alikuwa hajibu chochote anasikiliza tu…
“Mke wangu naomba usije ukafa kabla yangu, naomba Kama ni kufa nianze mimi, nimegundua siwezi kuishi bila wewe, nakupenda sana”!
Wakati Rafiki anaongea na Sam simu iliwekwa Loud speaker hivyo Glory alikuwa anasikia kila kitu, kila alipokuwa anamsikia SAM anaomba msamaha ilibidi awe amepiga magoti mbele ya wifi yake akisisitiza kwa ishara huku mikono ikiwa kifuani akiomba kaka yake asamehewe.
Rafiki alikuwa amewekwa mtu kati, hakuwa na ujanja ikabidi atoe msamaha…
“OOOOH mke wangu, siamini mimi kama tutakuwa wote tena, ”
“Ndio uamini sasa”
“Yani nikija Dar siku hiyohiyo nitakodi hata Helikopta nije Mbeya nikuone mke wangu”
“Baba usiharakishe hivyo ukapata matatizo wewe njoo kawaida tu”
“Hapana mke wangu siwezi, natamani nije hata saivi, nitakuletea zawadi nzuri sana…vipi kitumbo kikubwa eeenh”
“Bwana weee utakiona ukija”
Waliongea mengi na hatimaye wakaridhika na kuagana.
……………………….
Siku ya siku ilifika Sam akawa ndani ya ndege anakaribia Tanzania, aliposhuka tu kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa JK NYERERE aliburuza mizigo yake akaketi sehemu ili ampigie mkewe kumjulisha kuwa anaunganisha ndege nyingine mpaka Mbeya siku hiyo hiyo…
Kabla simu haijapokelewa alishtuka mwanamke Mrembo amesimama mbele yake anamuita kwenye gari ambayo ilikuwa milango wazi…
Sam alibaki ametoa macho akimtazama Yule dada anayemuita ndani ya gari, alijiuliza amewahi kumuona wapi kwani alijionyesha Kama anamfahamu.
Taratibu sam alianza kumsogelea huku akiendelea kutafakari kama anamfahamu ila kila alipokuwa anamkaribia ndio sura yake ilionekana kuwa ngeni kabisa. Yule dada alizidisha tabasam lililozidi kumvutia sam ambaye alikuwa anautazama urembo wa Yule dada.
Sehemu Ya 52
Alikuwa ni msichana mrefu mweupe mwenye uso kama wasichana wa Rwanda, alikuwa amevaa gauni jeusi lenye mpasuo uliosababisha sehemu ya paja lake la kuvutia liwe wazi na kumtoa Sam udenda.
Ndani ya lile gari kulikuwa na wanaume wanne waliolala kwenye siti wakisubiri Sam akaribie hata kwenye mlango tu wamvutie ndani waondoke nae kama maagizo ya bosi wao yanavyosema. Ni kama mate yalikuwa yanawatoka walivyokuwa wanamuona Sam anakaribia kufikia kwenye lengo lao.
Akili ya Sam ilikuwa inafikiria mambo zaidi ya mia ikiwemo kuwa Yule dada amewahi kumuona wapi, kwanini anamuita kwenye gari na lililomchanganya zaidi ni urembo wa Yule dada uliomtoa ufahamu.
Wakati anamkaribia alianza kukumbuka baadhi ya mafunzo ya upelelezi aliyoyapata na jinsi mbinu ya kutumia wanawake warembo inavyotumika kunasa watu. Hapo akili yake ikawa inaanza kufanya kazi kama kawaida, hali ya uso wa Sam ilivyobadilika ilianza kumshtua Yule mdada aliyekuwa ameegemea mlango wa gari na kutoa signal kwa wenzake.
Kwakuwa Sam alikuwa ameshasogelea Sana lile gari wale jamaa kule ndani wakawa wanapanga namna ya kufanya ili wasije wakapoteza lengo.
“Wewe ni nani?” sam alimuuliza Yule dada.
“Sam yani umenisahau? Mimi ni PC eveline tumetumwa tukuchukue tukupeleke makao”
Yule dada alijua kabisa ile hoja haitamkamatisha Sam lakini lengo lake lilikuwa ni kumzubaisha Sam ili watumie mbinu nyingine.
Wale vijana ndani ya gari walichukua kitambaa chenye dawa za kulevya kisha mmoja akashuka kwa kutumia mlango wa upande mwingine kisha akazunguka na kuwa anakuja nyuma nyuma huku Sam akiwa hamuoni.
Kwa mwendo wa haraka lakini wa kunyata Yule kijana alimwendea Sam ili amfunike na kile kitambaa usoni, Sam alikuwa anamtazama Yule dada ambaye ni kama aliacha kuongea na kuhamishia mawazo na macho yake nyuma ya Sam kitendo kilichomfanya Sam ahisi huenda kuna kitu nyuma yake…
……………………………………
Maisha ya Gwakisa na Verity hayakuwa na mvuto tena, wasingeweza kushiriki tendo la ndoa kama mwanzo kwani Gwakisa hakutaka kuambukizwa. Hata hivyo mvuto kwa mkewe hakuuona tena.
Hili lilimsumbua sana Verity, alijiona ananyanyapaliwa hata kwa haki zake za msingi, alijiona thamani yake haionekani na mbaya zaidi Mimba aliyonayo ilimfanya atamani ngono kuliko wakati wowote kwenye maisha yake.
Kila alipojaribu kuonesha hisia zake kwa Gwakisa ndio kwanza alimkuta na stress zisizopimika, kila Gwakisa aliporudi nyumbani alikuwa hana hata muda wa kuongea na mke wake. Hata kula alikuwa anakula huko mtaani akirudi ni kulala tu.
“Mme wangu” verity alimuita Gwakisa
“Unasemaje” Gwakisa badala ya kuitika alirusha swali.
“Hivi ninafaa kweli kuwa mkeo tena?”
Gwakisa alishindwa kujibu hili swali kwani hakulitarajia na lilikuwa gumu kwake.
“Mme wangu naomba unijibu”
“Unamaanisha nini?”
“Namaanisha hivi, kwa hali yangu na mabaya yote niliyokufanyia nastahili kuwa mkeo tena na kulala nawewe chumba kimoja?”
Gwakisa usingizi ulikatika na kujigeuza.
“Kwani mbona maswali yako siyaelewi, unataka kuamua nini?”
“Nakuomba mme wangu, nakuomba mimi uniache tu ili upate mwanamke mnayeweza kuishi kama mme na mke, mimi sifai tena”
Nikweli Gwakisa alikuwa na hasira juu ya Verity lakini sio kwa kuanzwa yeye eti aombwe kumuacha mkewe, tena anayeomba ni mke mwenyewe.
“Alafu utaenda kuishi wapi?”
“Mimi nina kazi yangu sitaweza kuishi na kujitegemea, kama pia utataka kunipa chochote kama mgao kwenye mali zetu unaweza ila sikulazimishi mme wangu”
“Tutaongea basi vizuri kesho, kwa sasa lala kwanza”
Sio GWAKISA wala verity ambaye alipata usingizi wa maana kwa usiku ule, kila mmoja alikuwa anawaza namna mambo yatakavyokuwa ikiwa kila kitu kikiwa kulingana na ombi lilivyotolewa.
Gwakisa alikuwa hayuko tayari kumuacha Verity, alimpenda sana na uwepo wake ulikuwa una maana kwake hata kama walikuwa hawashirikiani kwa chochote.
Verity nae alikuwa anawaza huenda ametoa ombi ambalo endapo litakubaliwa atakuwa hana uwezo wa kulihimili, alikuwa anawaza sana huku akitamani Gwakisa aseme amemkatalia ombi lake nayeye angekuwa tayari kukubali kuishi nae hata kwa kuuhadaa ulimwengu.
……………………………
Asubuhi na mapema Gwakisa aliamka akamuona Verity bado yupo usingizini, hakutaka kumuamsha ila yeye alijiandaa haraka haraka na kuondoka zake akielekea kazini.
Alipofika huko alijifungia ofisini kwake huku akiwaza mambo mengi sana, aliwaza jinsi ambavyo ataishi bila ye mkewe aliyemzoea, aliwaza jinsi ambavyo jamii itamchukulia na kugundua kuwa maisha hayatakuwa kama awali.
Pamoja na yote lakini aliona huenda Verity hana mapenzi nae tena hivyo kumng’ang’aniza abaki wakati alikuwa ameomba yeye mwenyewe kuachwa itakuwa ni kuendleza uzoba. Alijiuliza ni kipi mkewe alikikosa kwake mpaka akaamua kumsaliti na kuishia kuambukizwa ukimwi na leo anaomba kuachwa… hii ilimpa picha kamili kuwa Verity hampendi.
“Hakuna shida, naenda kuridhia ombi la kuachana nae” alijisemea Gwakisa.
Alichokifanya ni kupanga ninini amuache nacho Verity, yaani ampe nini kwenye mali zao, aliandika mali zao zote pamoja na zile alizochuma katika ushirika wake na Nisha kisha akaamua cha kumpa ili waachane.
Kwa upande wa Verity aliamka akiwa mchovu sana, aliangalia pembeni na kugundua kuwa mme wake ameshaondoka kwani hakuwepo pale.
Machozi yalimtoka usoni kwa jinsi ambavyo maisha yamemgeukia vibaya, aliiwaza aibu inayomuwinda mbele ya jamii. Alikuwa anasubiria jibu kutoka Kwa Gwakisa lakini alitamani ampigie simu amuambie kama vipi apuuzie ombi alilompa.
Baada ya kuona anakosa jibu jawabu la mawazo yake alitamani kupata mtu wa kumshirikisha kuhusu lile jambo na hakuona mwingine isipokuwa dada yake.
Alijiandaa haraka haraka na kwenda hadi kwa dada yake Rafiki ili amwambie kinachomsibu.
Alipanda gari lake hadi nyumbani kwa Rafiki na kupiga honi ambayo ilisababisha geti lifunguliwe na kuingiza gari ndani. Alipofika ndani alipaki na kushuka kisha akaelekea moja kwa moja mpaka chumbani alikolala dada yake.
“Kumbe wewe aaah”
“Haaa Dada ina maana sina maana”
“Una maana gani sasa” alijibu Rafiki bila kijua kuwa jibu lile lilikuwa na pande mbili kwa Verity ambaye alikuwa na mawazo ya kunyanyapaliwa.
Kilichomshtua rafiki ni kilio cha mdogo wake VERITY. Rafiki alibaki anamtolea macho tu asielewe ninini kinamsumbua.
Vipi tena jamani mbona unalia” aliuliza rafiki lakini Verity hakumjibu isipokuwa alifungua mlango na kutoka, Rafiki hakuvumilia akanyanyuka bila kujali hali yake na kumfwata.
“Mdogo wangu unalia nini?” rafiki alijitahidi kumrudisha mdogo wake na hatimaye akakubali kurudi ndani na kuketi japo bado aliendelea kulia.
“Mbona unantisha mwenzangu na hali yangu hii, nyamaza basi uniambie kinachokutatiza mdogo wangu”
Hatimaye Verity alinyamaza na kumwambia dada yake jinsi alivyojisikia kwa kumwambia kuwa ana maana gani…
“Maskini mdogo wangu, mimi sina maana hiyo, ungejua kuwa namsubiria mme wangu anakuja leo hivyo kila gari inayoingia nahisi niyeye”
“Haa shemeji anakuja leo?” aliuliza kwa hamaki Verity.
“Ndio yani hapa moja haisimami wala mbili haikai, natamani aje nimemmisi sana”
“Linda sana ndoa yako dada, kabla hujafika muda wa kujutia, Mimi mwenzio najuta saivi”
“Unajuta nini tena mdogo wangu, mbona mambo ya mitihani kwenye ndoa ni kawaida tu”
“Hujui tu lakini mimi mwenzio hapa saivi sina thamani tena, nimeathirika dada, mbaya zaidi Gwakisa yeye ni mzima wa afya”
“Unasemaje Verity?”
“Usipaniki dada, kilichonileta hapa nataka unisaidie mawazo kwani naona bila msaada kwasasa naweza kufa kabisa japokuwa mimi ni mfu ninayeishi tayari”
Verity alimsimulia dada yake kila kitu na hakubakisha wala hakuongeza, alimwambia tangu mwanzo alipoanza kutembea na Sam na kuzaa nae kisha akamuomba sana kwa machozi amsamehe.
Alimsimulia jinsi alivyoisaliti ndoa yake na kutembea na Dr Kelvin na kuishia kupewa mimba na UKIMWI juu, alimsimulia pia jinsi ambavyo ameomba kuachana na mme wake japo ombi hilo linamtesa kwani anaona halikuwa ombi sahihi.
Rafiki alimsikiliza mdogo wake kwa umakini mkubwa huku akishangazwa na kila alilosikia kutoka kwa Verity. Aliumia sana lakini hakutaka kuonyesha, alionyesha sura ya kutoshtuka ili mdogo wake asijione ana majanga makubwa sana.
“Usijali mdogo wangu, maisha bado yanaendelea na nivyema kwa ulichoomba kwa mmeo ili msije mkakaa huko ndani huku mnasimangana, atakuua mapema”
“Lakini dada mbona kama nampenda bado mme wangu?”
“Sio kweli, ungekuwa unampenda usingekuwa unamsaliti, na ndio maana inabidi kuolewa na mwanamme unayempenda na ikitokea tofauti inabidi ujitahidi sana kumpenda hata kwa kujilazimisha kitu ambacho wewe kimekushinda mpaka ukafikia huko”
“Sidhani dada, naona sitaweza kuishi bila Gwakisa”
“Si umekuja kwangu kuomba ushauri?”
“Ndio dada”
“Basi nisikilize”
Kabla RAFIKI hajaanza kuongea walisikia kengele ya getini ikilia ikabidi wanyamaze kwanza, walichungulia getini wakaona gari inaingia baada ya geti kufunguliwa, wote walitoa macho huku RAFIKI akifikiri ni mmewe amerudi lakini VERITY yeye alishaitambua ile gari kuwa ni ya Gwakisa
Verity alianza kuhisi hofu ndani ya nafsi yake akijiuliza kwanini Gwakisa ameamua kumfwata pale kwa dada yake ilihali wangeweza tu kuzungumza hata jioni yake.
Rafiki alikuwa anahaha akidhani huenda atakayeshuka ni Sam lakini Verity yeye alishajua kuwa ujio ule ni wa GWAKISA.
Gwakisa alishuka kwenye gari na kuelekea moja kwa moja mpaka sebuleni alikokaribishwa na kukaa huku akiwaulizia wenyeji na kuambiwa wako ndani kisha wakaenda kuitwa.
Rafiki alikuwa na mfadhaiko baada ya kujua kuwa ujio ule pia haukuwa wa mme wake lakini aliungana na Verity kukaa pale sebuleni wakiwa na Gwakisa.
“Vipi mme wangu mbona umeamua kunifwata huku?”
“Nimekuja pia kumtembelea sshemeji yangu”
“Sawa karibu, niliamua kuja kumtembelea dada baada ya kuona sijisikiii vizuri pia nahitaji walau mtu wa kunichangamsha kwa maongezi”
“Ni vizuri tu haina shida”
Gwakisa alikaribishwa kifungua kinywa lakini alisema ameshakula hivyo asingerudia tena, uso wa Gwakisa ulionekana kabisa kutokuwa na furaha, hili Rafiki alilitambua na kwakuwa mdogo wake alishamsimulia kila kitu alishajua chanzo cha ile hali.
Gwakisa alitulia kwa muda kisha akafungua kibegi chake kidogo na kutoa baadhi ya karatasi chache na kumpa Verity azisome.
Huku Verity akiwa anatetemeka mikono alizichukua zile karatasi na kuzipitia kisha akamalizia kwa kilio kilichomshtua kila mtu pale walipokaa.
“Yani kwli Gwakisa umeamua kuniacha kwasababu ya UKIMWI wangu”
Verity alitamka maneno haya huku akiwa analia kwa kwikwi, kitendo kile kilimshangaza Gwakisa kwani aliyeomba kuachwa ni Verity Mwenyewe, iweje sasa analalamika kiasi kile.
“Mme wangu kweli? Unaniacha mimi nilikuwa natania tu mme wangu ”
Hali ile ilimfanya Gwakisa anyanyue mdomo na kumwambia VERITY…
“Nani aliyesema kuwa una UKIMWI?” Mbona unapenda kujichulia wewe” gwakisa alisema vile akidhani kuwa Rafiki hajui chochote.
“Usijali chochote shemeji, Verity amenieleza kila kitu na hakuna haja ya kuficha chochote”
“Lakini yeye mwenyewe ndie aliyeomba hili litokee yaani tuachane”
“Najua ila nadhani anaiogopa hali ya upweke na hiyo hali ya ujauzito aliyo nayo”
Kibarua cha kumbembeleza Verity kilianza na hatimaye akanyamaza na kuruhusu maongezi kuendelea.
Waliongea mengi na hatimaye Verity akakubali kuachana na Gwakisa kwa kuachiwa Nyumba moja na viwanja viwili pamoja na milioni sitini ambazo aliwekewa kwenye akaunti yake.
Makubaliano pia yalionyesha kwamba watashirikiana kulea mimba ya Verity mpaka mtoto azaliwe na kuwa Gwakisa atamlea mwanae kwa kushirikiana na Verity, baada ya kila kitu kukamilika kila mtu alienda kivyake huku wakiyaanza maisha mapya.
…………………………….
Kwa mbinu kali alizokuwa nazo Sam alijigeuza kama roboti na kuachia shuti kali lililotua kifuani mwa mtu na kumtupa mpaka kwenye seng’enge zilizozunguka uwanja huu.
Hapo aligeuka vizuri na kumtazama Yule mtu na kumfwata kabla hajaamka, alimnyanyua na kumsindilia na ngumi mfululizo zilizomfanya ateme damu nzito mdomoni.
Wale wenzake waliokuwa kwenye gari waliamua kuondoka ili kukwepa msala lakini wakasita baada ya kuuona Sam akimburuza mwenzao isijulikane anampeleka wapi.
Waliogopa endapo mwenzao akikamatwa atataja mtandao wao kitendo ambacho kingemaanisha bosi wao atawapoteza nao pia.
Hapo ilibidi washuke wakapambane kuondoka na mwenzao au ikibidi wamuue ili kupoteza ushahidi wa mtandao wao.
Walikuwa ni vijana watatu huku kati yao akiwemo Yule dada mrembo wakiwa wanamfwata Sam wakimtaka amuachie mwenzao ama wammalize.
Wakati hayo yanaendelea tayari watu walikuwa wanashuhudia sinema ile huku wengine wakirekoodi na kuchukua picha.
Katika hatua iliyowashangaza watu ni jinsi Yule dada alivyoruka sambasoti na kumrushia Sam mateke mazito japo alikuwa anavukwa na gauni kiasi cha kuifanya kufuli yake nyeupe iwe nje nje lakini hakujali.
Hapo sasa Sam alijua ana wakati mgumu kwani aliyekuwa anapambana nae sio Yule dada pekee bali hata wale jamaa nao walikuwa wanamjia wakimtaka amuachie mwenzao waondoke nae. Sam nae hakutaka kukubali kirahisi. Hapo hapo alimpiga Yule jamaa ngumi ya kichwa chini ya kisogo na kumfanya alegee na kuzimia kabisa kisha akamuachia na kupambana.
Katika mateke zaidi ya nane aliyorusha Yule dada ni moja tu ndilo lilimpata. Baadhi ya mashuhuda walidhani huenda ni maigizo ya filamu haswa baada ya kuona watu wameshikilia simu wanarekodi bila wasiwasi.
Mapigo aliyokuwa anayatoa Sam yalimtisha kila mtu na kuwafanya watu waliokuwa pembeni kumshangilia mno ngumi zilipigwa kwa zaidi ya dakika ishirini na kumuacha Sam akiwa amewaziidi wale jamaa kitendo kilichowafanya wakimbie na kumuacha mwenzao.
Hapo sasa polisi walikuja na kumkamata Sam huku watu wakimzonga mpaka kituo cha polisi pale uwanja wa ndege na wengi wao wakimpiga picha kwa jinsi alivyoonyesha uwezo wa ajabu wa kupambana.
Sehemu Ya 53
Baadhi ya watu walichelewa hata safari zao wakitazama yale mapigano huku kivutio kikubwa akiwa ni Sam. Walipofika pale kituoni na watu kuwa wameondolewa Sam alitoa vitambulisho vyake na kuwaonyesha wale polisi ambao walianza kupiga saluti.
“Huyu mtu mhifadhini na nitataka kujua walitumwa na nani kunifanyia hili tukio” Sam aliacha maagizo na kuondoka zake kwenda kupanda ndege ambayo ilikua inakaribia kuondoka.
Alipofika aliingia kukaguliwa na kisha akazama ndani ambapo baada ya masaa kadhaa ndege ikapaa hadi Songwe –Mbeya ambapo alishuka na kuchukua tax kuelekea nyumbani kwake.
“Ilikuwa ni furaha isiyo kifani kwa Sam kuonana na mke wake, walikumbatiana na kupigana mabusu kama wenda wazimu”
Jambo moja tu lilishindikana kufanyika “Ngono” na hii ni kwasababu Rafiki alikuwa na Bed Rest kutokana na mimba yake iliyokuwa na hatari ya kutoka. Lakini hii haikutosha wao kutoridhishana bila kuingiliana.
Walifanya walivyoweza ili mradi kila mtu akawa ameridhika na kufikia mshindo, raha na vicheko vilitawala nyumba yao kwa siku mbili nzima ambazo Sam alilala na kuamka bila kutoka huku akiwa na mkewe mda wote.
Glory nae baada ya kusikia kaka yake amerudi alienda haraka sana na kuonana nae huku kaka mtu akishangaa jinsi ambavyo mdogo wake amebadilika, amekuwa mrembo na kukua mno. Ukweli kaka mtu alijua kabisa kuwa maisha ya Glory yamepatana sana na hali ya Mbeya na chuo kimempenda pia.
“Mdogo wangu kumbe wewe ni mzuri kiasi hiki?”
“Sasa je? Ulitaka uwe mzuri peke yako tu eenh..hata mimi nawatingisha eti”
Walicheka kwa pamoja baada ya utani huo kati yaa mutu na mdogo wake.
………………………………….
Hakuna kitu kilichomkera NISHA kama kuona Sam ameshindikana kukamatwa, alikasirika hadi machozi yakamtoka.
Wakati akiwa na hasira zake simu yake ilitoa mlio wa meseji ndipo akaifungua na kugundua kuwa ni ya WhattsApp. Aliona video ikiwa imetumwa kwenye group lao la marafiki akaifungua.
Hapo alishika mdomo baada ya kumuona Sam akishusha kichapo kitakatifu kwa watu wake na kugundua kuwa Sam amekuwa mkali kama moto wa kifuu.
Hasira zaidi zilimkamata na kuchukua bastola yake… “najua amesharudi, nitamuua mbele ya mkewe”
Nisha hakutaka kupanda gari, aliamua kuchukua bodaboda ikiwa tayari ni saa mbili usiku, aliweka bastola yake vizuri huku tumbo lake likiwa linamuelemea kiasi kwani mimba ilikuwa na takribani miezi mitano.
Alijipanga kuwa lazima amuue Sam, alishuka mbali kidogo na nyumba Ya sam na kumwomba dereva amsubiri hapo hapo hata kama atachelewa kwani atapata malipo makubwa.
Akiwa anelekea kwenye nyumba ya Sam huku akiwa na tahadhari kubwa alisikia mtetemo wa simu yake ambayo hakuna anayeijua namba hiyo isipokuwa watu wake muhimu tu hivyo hakusita kuipokea akijiweka kando ya barabara kidogo.
“Nisha umeniudhi sana binti yangu…”
“Kwanini baba?”
“Haiwezekani ufanye mambo ya kipuuzi kiasi kile, sasa unatumia kikosi kazi kwa ajili ya kazi ambazo hazieleweki, ona sasa amekamatwa na ukitajwa kabla hawajakukamata ili ututaje na sisi nitakuua kabla kwa mkono wangu mwenyewe, sitajali kama wewe ni mwanangu”
Mkwala huu wa baba Nisha ulitikisa ubongo wa binti huyu na kumfanya aanze kutetemeka maana Alimjua vyema baba yake. Mzee huyu huwa haongei mara mbili, wanaweza wakae miaka hata miwili bila kuonana wala kuwasiliana isipokuwa siku akikutafuta ina maana ana jambo la msingi sana.
Akiwa anawaza simu iliita tena na mpigaji alikuwa ni Yule Yule baba yake…
“Narudia tena, endapo utaendelea kuingiza hisia za mapenzi kwenye matendo yako muda wako wa kuwa nasi unahesabika, nadhani unanijua”
Baada ya Nisha kuambiwa hivyo alianza kutetemeka kiasi ambacho ilibidi achuchumae chini, hapo hapo akabadili maamuzi na kurudi iliko bodaboda ili aende nyumbani.
Alimkuta bodaboda wake akiwa palepale alipomuacha, alipanda pikipiki na kuelekea kwake ambapo alijifungia huku akipiga simu na kulia kwa baba yake asamehewe na kuapa kutorudia.
Alichomjibu Baba yake ni kuwa atulie kwani amemsamehe…
“Nimekusamehe ila kwasasa kutokana na hali yako wewe pumzika tu, lea mimba yako mpaka utakapojifungua wala usijihusishe na mambo mengine”
“Sawa Dady asante sana”
“Usijali binti yangu nakupenda sana”
“Nakupenda sana Baba”
“Okey na nakwambia tu kuwa hicho unachotaka kuifanya kwa huyo mtu mda wake bado, muda ukifika nitakuonyesha namna ya kufanya”
“Sawa baba”
…………………………………
Sam akiwa amesharejea kazini alitamani sana kuonana na NISHA kwani alijua ana mimba yake, alipotafuta faili lake akagundua kuwa NISHA ana likizo hivyo akaamua kumfwata kwake kimya kimya.
Nisha akiwa ndani kapumzika alisikia mlio wa honi nje, Kwakuwa tayari alikuwa ana msichana wa kazi alimtuma akaangalie ni nani yuko nje.
Wakati Yule msichana anatoka alikuta tayari Sam ameshashuka kwenye gari anaelekea uliko mlango.
“NISHA yupo?”
Msichana alisita kujibu ila Sam yeye hakujali akaelekea ndani. Alipofika sebuleni hakumuona NISHA akajua lazima yuko chumbani.
Alifungua mlango wa chumba kwani alikifahamu na kuzama ndani, NISHA alijua ni Yule dada wa kazi anaingia na kujikuta akiropoka…
“Huyo mgeni ni nani?”
“Ni mimi” sam alisema hivyo akiwa amemkumbatia Nisha kwa nyuma ambaye alikuwa yuko kwenye vazi la chupi pekee.
Mapigo ya moyo wa Nisha yalipiga kwa kasi isiyo ya kawaida, sauti aliyoisikia aliifahamu vizuri kuwa ni ya Sam.
Kila alichotaka kufanya alijikuta anakikosoa, vitu kama visu vilikuwa vinapita ndani ya tumbo lake kila alipokuwa anafikiria kuwa aliye nyuma yake ni Sam, sam Yule mwenye ile mimba aliyobeba, Sam aliyemtoroka, Sam ambaye siku kadhaa nyuma alikuwa anatamani kumuua.
Hasira zilikuwa zinamkaba kooni lakini kitendo cha kuona Sam yuko nae pale kilikuwa kinauletea utata wa maamuzi ubongo wake. Kwakuwa Sam aliijua hasira ya Nisha aliamua kuimaliza kwa mbinu za kishujaa.
Mdomo wake ulikuwa unapumua kwenye sikio la Nisha ambaye alikuwa anatetemeka kama mgonjwa wa Degedege, mikono ya SAM ilikuwa inatembea kwenye tumbo la Nisha lililobeba Mimba yake na kumfanya motto aliye tumboni kuanza kucheza.
“Sam please ni..a..che” Nisha alikuwa anaongea kwa kukatakata maneno.
“Nafurahi leo kumshika mtoto wangu, Siwezi kuacha Nisha”
Wakati huo Mikono ya Sam ilikuwa inatembea bila kikomo kwenye mwili wa Nisha na ulimi tayari ulikuwa ndani ya sikio unazunguka. MWILI wa Nisha ni kama uliokuwa unapigwa na shoti ya umeme kwani ulikuwa unavibrate kama Motorola za zamani.
Sam alipoona mambo mukide alimgeuza Nisha upande wake akajaribu kuupeleka mdomo ugusane na ule wa NISHA lakini Nisha alikwepesha wakwake, SAM hakuwa na haraka aliendeleza zoezi lake akitumia mikono na ulimi Wake mpaka ilipofika wasaa ambao Nisha aliutafuta mwenyewe mdomo wa Sam.
Sam aliupokea na kuunyonya vizuri huku akifanya kazi zingine kwa ustadi mkubwa tu, Nisha alielekea kibla kwani hadi jasho lilikuwa linamtoka, alikuwa na mda mrefu hajagusana na mwanaume alafu leo hii alikuwa mbele ya mwanaume ambaye anampenda mpaka inakuwa mzigo.
Hakuwa na namna, pamoja na tumbo lake alijikuta mwenyewe analala kitandani akizuga amechoka kusimama, Sam hakuchelewa alimfwata huko huko na kumlaza vizuri kisha akaitoa kufuli aliyokuwa kavaa Nisha na kuiweka kando. Alikutana na kichaka kizito kuashiria kuwa shamba lile lilikuwa halijapaliliwa muda mrefu kwakuwa huenda Nisha hakuwa na mwanaume na wala hakutarajia kuvua nguo mbele ya mwanaume ama kwasababu ya tumbo lake basi alishindwa kujinyoa.
Kwa Sam haikuwa shida kwani hata hivyo kwa uchotara wa Nisha ule msitu ulikuwa ni msitu wenye nyasi zenye afya na sio kipilipili kama cha wakina naniliu…
Mkono wa Sam ulicheza na ikulu ya Nisha ambayo hata hivyo ilikuwa imeloana vya kutosha kabisa, NISHA kwa starehe alizokuwa anasikia ilibidi tu nae ajitahidi kumpapasa Sam na kumpa ushirikiano huku akifungua suruali ya Sam na kuiweka pembeni kisha akakamata tango ambalo lilikuwa limetuna na kuwa la moto kama limetoka jikoni kisha akawa analichua.
Ndani ya dakika kadhaa Sam aliushika mguu mmoja wa NISHA na kuuinua kisha akakamata tango lake na kulipitisha kwa chini huku wakiwa wamelalia ubavu Nisha mbele Sam nyuma, asingeweza kumlalia kwa tumbo alilo nalo.
Tango la Sam lilipenya vizuri mpaka ndani na kukutana na joto mujarabu kisha Nisha akaachia ukulele wa raha wakati tango la moto lilipokuwa linapemya taratibu kuzama ndani“ooooh shhhhhh” .
Taratibu bila haraka Sam alikuwa anachochea ikulu ya Nisha ambayo kila baada ya muda kidoogo majimaji yalikuwa yanaongezeka huku ikizidi kuwa ya moto, vilio vya chinichini vilikuwa vinamfikia Msichana wa kazi kule sebbuleni ambaye aliamua kusogea karibu na mlango kabisa huku akijisikia kufakufa kwa hamu alizokuwa anapata.
Alipoona mambo yanamzidia alipitisha mkono wake kwenye sketi na kujichua taratibu huku akijitahidi kwenda na biti ya kule ndani kwa bosi wake.
Nisha alijisahau kabisa kuwa pale nyumbani hakai peke yake kwani kelele za mahaba alizokuwa anapiga zilikuwa kubwa kiasi ambacho ziliweza kumsaidia msichana wa kazi kukaribia kilele cha mlima Kilimanjaro huku akiwaacha wenzake kule ndani wakiendelea.
Alipomaliza alijikuta majimaji yakiwa yanachuruzika miguuni kutokana na goli kali alilofunga, kabla hajaondoka pale sebuleni alichungulia kwenye upenyo wa mlango akamuona dada yake akiwa amekalia farasi anamuendesha kwa spidi huku anaweweseka.
Aliamua kuachana nao na kutoka zake nje akiendelea na kazi zake.
Kule ndani baada ya mtanange wa muda mrefu hatimaye walimaliza na kila mtu kulala pembeni. Sam aliamka badae na kufungua dressing table ya NISHA na kukuta kimashine kidogo cha kunyolea.
Alikikagua akakuta kina chaji ya kutosha kisha akamuendea Nisha na kumpanua miguu kisha
“Ngoja nikunyoe mke wangu, japo nywele zako nzuri ila najua saivi hupafikii huku, niko kwa ajili yako”
Huku akiwa anaona aibu Nisha aliachia miguu na kumruhusu Sam anyoe vizuri mpaka akamaliza na kumfuta ili kuondoa nywele zote, huku Nisha akiwa anaangalia pembeni kwa aibu alishtuka kuhisi kitu cha moto kinazama ndani ya ikulu yake alipogeuka akakuta ni Sam ndiye anatumbukiza tango lake.
Kwa raha kabisa alilipokea huku akiwa ananyonga kiuno taratibu kufurahia tendo alililikosa kwa muda mrefu.
“Sam kwanini ulinikimbia”Ni swali alilouliza NISHA huku akiwa kaegemea kifuani mwa SAM akimsugua na kucha zake kidevuni.
“Hata kama nilikukimbia lakini sikustahili uniue” Alijibu Sam huku akimuacha Nisha kwenye mshtuko kwani hakujua kuwa Sam alitambua jaribio lake.
“Nisamehe Sam, mapenzi yanaumiza sana, nadhani hata hii mimba ilinipa hasira zisizo zangu,”
“Nimekusamehe ila siku nyingine fikiri kabla ya kutenda”
“ili kukuonyesha kuwa naomba msamaha wa kweli, nikijifungua tu nitakupa zawadi ambayo hujawahi kuitarajia katika maisha yako Sam”
“Zawadi gani hiyo?”
“Ni zaidi ya Zawadi ya ushindi aliyopewa SIKAMONA Kwenye Riwaya iliyoandikwa na F.M Topan”
“Mh haya bwana”
……………………………………
Miezi ilikatika kwelikweli ambapo wanawake watatu walikuwa wamejifungua watoto wazuri na wenye afya.
Nisha alikuwa amejifungua motto wa Kiume, Rafiki alikuwa na mototo wa kike, huku Verity akiwa na motto wa Kiume.
Kwa maana hiyo Sam alikuwa na watoto wawili waliopishana wiki mbili, motto wa Nisha na motto wa Rafiki mkewe wa ndoa.
Ilikuwa ni furaha iliyoje na wakati huo huo alikuwa amepandishwa vyeo na kuwa SAPC ambapo ilisemekana anaandaliwa kuwa RPC kwenye mkoa mmoja wa Tanzania.
Japo kwa siri sana lakini alijitahidi kuwa karibu na NISHA huku akijitahidi sana kutunza motto wake huku Rafiki akiwa hagundui lolote kwani hata NISHA hakuwa tayari kuvujisha siri.
Verity nae alikuwa ameshazoea maisha ya kuishi bila mume hivyo alijikuta akiwa karibu sana na mtoto wake ambaye aliibuka kuwa faraja kubwa sana kwake.
Kwakuwa aliikuwa amefanana sana na mwanae japo alikuwa wa kiume ilikuwa Rahisi sana kumwambia Gwakisa kuwa ni mwanae na Gwakisa hakukataa kwani hata hivyo alikuwa na hamu sana ya kuitwa baba baada ya kusingiziwa mtoto wa kwanza.
Sehemu Ya 54
Verity aliamua kumpa Gwakisa Yule mtoto kwani alijua bila hivyo Gwakisa atazeeka bila kuitwa baba lakini pia Dr Kelvin alishafariki hivyo mtoto wake angeyakosa mapenzi ya baba.
Gwakisa pamoja na kutengana na Verity lakini alikuwa anamtembelea na kumpa mahitaji yote kwani kulingana na Verity kujifungua kwa Operation ilibidi akae bila kazi kwa muda mrefu. Hatimaye mpaka Verity anatoka ndani baada ya kumaliza maternity alikuwa amenona na kupendeza sana.
Urembo wake ulirudi mara dufu zaidi ya awali, stress za kuwa muathirika alishazizoea na kuona ni ugonjwa wa kawaida tu, semina alizokuwa anapewa alijikuta akiamini kuwa ukiwa na UKIMWI unakufa tu kama binadamu wengine na unafurahia maisha kama watu wengine.
Alijiona akiwa na amani huku akiendesha shughuli zake na miradi kwa kujua kuwa anatakiwa amuachie mwanae urithi hapo baadae.
………………………………………..
“Unakumbuka ahadi yangu”?
“Ipi?”
“Ile niliyokuwahidi kwamba itakuwa zaidi ya ZAWADI YA USHINDI kwenye riwaya za F.M. Topan?”
“Oooh nimekumbuka”
“Ennh kwahiyo uko tayari kuipokea?”
“Niko tayari hata saivi tena naitaka sana”
“Basi jiandae twende sehemu ukapate zawadi yako”
Sam japo alikuwa na hofu lakini alikubali kuingia kwenye gari moja na NISHA kisha wakawa wanaenda sehemu ambayo alikuwa haijui. Mapigo ya moyo wake yalikuwa kasi sana kwani NISHA alishafanya jaribio la kumuua hivyo hata kwa wakati huu akawa hamuamini kwa asilimia zote.
“NISHA”
“Niambie baba”
“unanipenda?”
“Kuliko kitu chochote”
“Basi usije ukaruhusu mtoto wako aishi bila baba”
“Acha uoga we si mwanamume….!”
Nisha alisema vile kwani alijua hofu iliyokuwa ndani ya moyo wa Sam…
“Nimekuahidi Zawadi kwhiyo jiandae kwa zawadi na sio kitu kingine”
“Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!” Sam alishtuka baada ya kuiona zawadi iliyokuwa mbele yake, hakuamini na machozi yalianza kumwagika usoni mwake.
“NISHA WHY?” (KWANINI?)!
“Nisamehe Sam!”
Verity alikuwa mwanamke mrembo sana, dawa alizokuwa anameza, tumaini la maisha aliyokuwa nayo vilimfanya aishi maisha ya amani sana, hali yake kimwili ilikuwa ya kuvutia, rangi na umbo lake vilimvutia mtu yeyote aliyekutana naye.
Pamoja na huduma kuhusu mtoto ambazo zilikuwa zinamfanya Gwakisa awe anaonana na Nisha mara kwa mara lakini pia urembo aliokuwa nao Verity ulimfanya Gwakisa awe anavutiwa kuwa nae wakati wote.
Kuna wakati alitamani kumwambia warudiane lakini alishindwa, alikosa jinsi ya kumuanza kwani talaka aliziandika yeye mwenyewe.
“Haloo habari Dada Verity”
“Salama tu habari za kazi Kaka”
“Nzuri tu, uko wapi?”
“Niko Nyumbani ”
“Nakuja ili tumalize ile kazi”
“Sawa karibu sana”
Ni Verity alikuwa anaongea na mtu kwenye simu wakiahidiana kuonana hapo nyumbani, Gwakisa alikuwa ametegesha masikio akitaka kujua ni nani anayeongea na Verity.
Alitamani amuulize lakini akasita, wakati huo Nisha alimuacha akaingia bafuni akaoga na kuvaa vizuri kisha akasogea pale sebuleni alipokaa Gwakisa.
“Vipi unatoka?”
“Hapana kuna mgeni wangu anakuja”
“Ndio maana umependeza hivyo”
“Mbona kawaida tu, siwezi kuwa vile mbele ya mgeni ninayemheshimu”
Kauli ile ilimuuma Gwakisa akijiuliza ina maana yeye haheshimiki! Ndani ya muda mfupi Gari ilikuwa inapiga honi getini ambapo VERITY aliamuru iruhusiwe kuingia ndani.
Baada ya kuingia ndani alishuka kijana mmoja mweupe mrefu aliyevaa nadhifu huku mkononi akiwa kashika notebook ndogo.
“Karibu sana kaka”
“Asante sana”
Baada ya utambulisho mfupi Verity na Yule kaka walitoka mpaka nje kwenye veranda ndogo iliyokuwa na makochi na meza ndogo kisha wakakaa na kujadili mambo yao.
Kule ndani alipokuwa Gwakisa moyo wake ulikuwa unafukuta kwa wivu. Alikuwa anajiuliza inakuwaje mwanamke aliyemuacha kwa maradhi leo hii wengine wanampenda!
“Nilikosea sana kumuacha” alijisemea Gwakisa
Wakati akisema hivyo wazo lingine lilimjia kuwa huenda Verity hakumpenda, lakini kwanini? Hapo alizidi kujiuliza na kujisikia vibaya.
Kwa hasira aliamua kufungua mlango mwingine na kuondoka zake bila hata kuaga, aliwasha gari lake na kuondoka kimya kimya akaelekea Bar kwake na kuanza kunywa poombe kwa fujo.
Huku nyuma verity alimaliza maongezi na mgeni wake ambae walikuwa wanasainiana mkataba wa kusuply Kuku wa Nyama kwenye hoteli maaraufu pale Mbeya alirudi ndani ila hakumuona Gwakisa.
Akiwa anajiuliza kwanini ameondoka bila kumuaga iliingia sms kwenye simu yake,
‘yani ndio unaleta mabwana zako hadi nikiwepo, poa bwana’
Verity alishtuka sana asiamini kuwa Gwakisa anaweza kumtumia sms ya vile, alijiuliza kwani hata ingekuwa ni kweli yeye inamuuma nini!
“Huyu mwanaume ana matatizo huyu” alijisemea Verity
……………………………………………………………………………………………..
Ndani ya Jumba lililokuwa chini ardhini mbele kulikuwa na darasa lenye watoto wengi zaidi ya aarobaini waliovalia nguo nadhifu na wenye afya njema.
Kati ya wale alikuwepo mtoto Nice ambaye alikuwa amekua na kupendeza sana. Sam alikuwa ameshika mdomo asiamini kile anachokiona.
Alikuwa anamwangalia Nisha usoni ambaye nae hakukwepesha macho yake akawa anamuangalia sam Vilevile.
“Mwanao huyo Sam”
“Hii ndio zawadi yenyewe?”
“Ndio hiyo Sam”
“Why Nisha”
“Don’t ask why” (usiulize kwanini)
Sam alikuwa na furaha mooyoni lakini pia alikuwa na hasira na alipaanga kufanya jambo baya juu ya wale watu endapo atatoka pale salama na mwanae.
“twende Sam”
“Wapi Nisha wakati sijamsalimia hata mtoto”
“Twende atakufwata”
Walitembea hadi sehemu kulikokuwa na mandhari nzuri kisha wakakaa hapo na baada ya muda akaletwa Nice.
“Nice huyu ni baba yako”
Nice baada ya kuambiwa vile akawa anamuangalia Sam kwa kumkagua kisha akatikisa kichwa kuashiria kukataa.
“Not my dady” sio baba yangu
“Who is your dady?” baba yako ni yupi.
“That one over there” Yule pale.
Nice alimuonyeshea kidole Baba mmoja aliyekuwa ameketi kwenye kiti kizuri chenye muonekano wa kimamlaka.
“Ndio mimi ndie baba wa hawa watoto wote” Yule baba alidakia
Gwakisa alipigwa na butwaa kwa kauli zile alizozisikia.
“Haya tuondoke mtoto amekukataa”
“Usiniambie kitu hicho hata kidogo, nitavuruga watu wote hapa na hamtaamini”
“Usijitafutie matatizo kijana”
“Unasemaje? Unajua mimi ni nani?” Sam alichimba mkwala kwa hasira.
“Tuondoke Sam”
“Nitaondoka endapo nitakuwa na Mwanangu”
“Huwezi kuondoka nae Sam”
Kwa hasira Sam alimshika Nice kwa nguvu na kuanza kutembea akitafuta sehemu ya kutokea. Katika hali ambayo hakuitegemea alikuja kijana mdogo mwembamba akaanza kumshiniiza asimame na amuache mtoto lakini Sam alizidi kusonga mbele.
Yule kijana alisimama mbele yake na kuzuia njia. Kwa hasira Sam alimshusha mtoto na kumwendea Yule kijana ili ampige.
Alipomfikia alirusha ngumi ya nguvu akiwa ameilenga usoni lakini ilipita kama upepo, alirusha nyingine nayo ikapita kama upepo.
Aliamua kutumia mateke alirusha zaidi ya mateke manne lakini la nne liliishia kupiga ukutani.
Sam alipoona vile alichomoa bastola ili aifyatue lakini kabla hajavuta triga alishtukia ile Bastola ikiangukia mbali baada ya kupigwa teke kali lililokuja kwa kasi ya ajabu.
Sam ilibidi amuangalie vizuri Yule kijana kwa kumkagua. Bado hakuamini kuwa Yule kijana ndie wa kumsumbua kiasi kile kwa mwonekano ule alio nao.
Sam aliamua kumfwata ili amkamate kwa nguvu. Alipeleka mikono yake shingoni mwa Yule kijana lakini miikono yake ilishikwa kwa nguvu hadi akasikia mifupa kama inasagana.
Aliugumia kwa maumivu makali hadi machozi yakawa yanamlenga. Huku akiwa anaugua kwa maumivu alijikuta anapigwa kidogo tu eneo la shingoni kisha akaanza kuishiwa nguvu na macho yakapoteza nuru yake mwisho akawa anaona giza tupu.
………………………………………..
Alizinduka baadae sana akajikuta amekaa mbele ya wanaume wanne waliovalia mavazi kama wa Nigeria huku Nisha akiwa amekaa pembeni akiwa na NICE.
“Karibu bwana Sam”
Sam alikuwa anaangaza angaza macho kama mtu aliyetoka usingizini huku akirudisha kumbukumbu taratibu.
Walipohakikisha kuwa kumbukumbu zake zimekaa sawa wakamletea Karatasi zenye mkataba ambao Sam alitakiwa kusaini.
“Mheshimiwa tunaomba usaini hapo”
Sam alibaki amekodoa macho tu,
“Soma vizuri alafu usaini”
Sam alianza kusoma ule mkataba wote kisha akashusha pumzi nzito, alichukua zile karatasi kwa lengo la kuzirudisha lakini alivyommwangalia mwanae Nice akachukua kalamu na kusaini ule mkataba.
Alipomaliza kusaini tu akasikia makofi yakipigwa kuashiria kumpongeza.
“Hongera sana Mr Sam Mda sio mrefu utakuwa RPC kwenye mkoa tunaokuhitaji”
Sam alishtuka baada ya kusikia vile akijiuliza hawa watu wana uwezo gani wa kuamua mambo yanayohusu jeshi la Polisi.
“Unajua Bwana Sam ulikuwa unapaswa kujiuliza siku nyingi kuhusu ofa ulizokuwa unapata za kwenda kufanya mafunzo nje ya nchi huku ukipanda vyeo haraka haraka”
“Enheee” sam alijibu
“Hiyo ni kazi yetu”
…………………………………………………….
Sam, Nisha na NICE walikuwa wako kwenye gari wanarudi nyumbani. Ndani ya akili ya Sam alikuwa anawaza ni jinsi gani atamwambia Verity kuhusu Yule mtoto.
Aligeuza macho yake akamuangalia NICE ambaye alikuwa amelala usingizi fofofo kisha akaendelea kuendesha Gari.
Walifikia Nyumbani kwa Nisha akamuacha NICE pale kisha akarudi nyumbani kwake huku kichwa chake kikiwa na mawazo mengi sana.
Akiwa kwenye mawazo simu yake iliita.
“Habari ndugu Sam”
“Salama habari yako”
“Nzuri tu naomba kuonana na wewe hapa ofisi za NBC mjini kati”
Sam aliwasha gari haraka haraka na kuelekea kule alikoitwa na kukutana na Yule aliyempigia simu ambaye alikuwa ndie meneja wa ile benki.
“Tunaomba usaini kuingiziwa kiasi cha hii fedha kwenye akaunti yako”
Sam alishangaa kwani kiasi kile kilikuwa kikubwa sana na hakujua ni kwa ajili ya nini……
Katika akili ya Verity hakutaka kuwaza tena kuhusu mapenzi, alichotaka yeye ni kumlea mwanae pamoja na kuendeleza miradi yake. Kwake suala la mapenzi hakulifikiria kwani aliamini mapenzi ndiyo yaliyomfikisha hapo alipo, maradhi aliyo nayo pamoja na kuvunjika kwa ndoa yake aliamini yote ni kwasababu ya kuendekeza mapenzi. Hakutaka tena mapenzi yawe sehemu katika maisha yake yaliyobaki.
Sehemu Ya 55
Katika kulisimamia hili aliamua kujiweka bize sana na kazi zake za ofisini pamoja na miradi mbali mbali, swala la starehe aliliweka kando akawa ni mtu wa sala kila wakati.
Pamoja na hayo maamuzi yake lakini kupendeza kwake na muonekano alioupata akiwa kama binti ambaye hajawahi hata kuzaa mbele ya macho ya watu ikawa ni mtihani. Wanaume wengi walimtaka sana kimapenzi.
Kuna wakati aliona kero na kutamani hata kutotoka nje ili asikutane na wanaume wasumbufu lakini isingewezekana, kazi na miradi yake ilikuwa ni lazima atoke nje akaisimamie.
Kwakuwa alikuwa na oda ya kupeleka kuku wa Nyama kwenye mahoteli mengi akawa anakutana na aina tofauti ya watu wakiwemo wanaume wakwere.
Siku moja akiwa kwenye kazi zake akiwa anatoka kuonana na mteja wake ambaye alikuwa anamdai fedha hapo hapo akakutana na mteja mwingine.
“Samahani dada yangu”
“Bila samahani”
“Nadhai wewe unasambaza kuku wa Nyama kwa Oda?”
“Ndio Kaka, vipi unataka unipe tenda?” Verity aliuliza hivyo huku akiondoa kunyanzi zilizokuwa usoni kwani alipokuwa anaitwa na wanaume huwa anajiuliza mara mbili mbili kuwa kuna kati ya kutongozwa ama biashara.
“Sasa naomba tuonane Kesho ili tuongee vizuri”
“Oooh Kaka yangu mambo mazuri kama hayo yasisubiri kesho, kama ni kazi naomba tuongee leoleo nikikuacha hapa unaweza ukaghairi, ”
Yule mwanaume alipomuona Verity anavyoongea kwa unyenyekevu ukichanganya na muonekano wake akajikuta ameduwaa huku akikubaliana nae kufanya maongezi siku hiyo hiyo.
“Basi tutafute sehemu nzuri tukakae”
“Sawa haina shida”
Kwakuwa Yule Bwana alikuja na Gari ilibidi amwambie Verity waingie kwenye gari yake alafu yeye Verity apaki pale ataichukua akirudi baada ya maongezi. Safari ilianza huku Yule bwana akiwa ndie mwendeshaji kisha kimya kidogo kikatawala ndani ya gari.
“Ila sijakufahamu jina, by the way mimi naitwa Verity”
“Oh mimi naitwa Mr Sanga”
Hatimaye walishuka kwenye hoteli moja ambayo Verity aliijua fika kuwa inamilikiwa na aliyekuwa mume wake yaani Gwakisa.
Walitafuta sehemu nzuri ya kukaa kisha maongezi yao yakaanza.
“Unajua dada yangu mimi nina tenda ya kusambaza KUKU wa nyama kwenye Kambi ya Jeshi JKT hapa mjini Ila nimepata nyingine Kule chuo cha askari magereza ”
“Oh honngera sana, tenda kubwa sana hizo”
“Nikweli ila kwasasa nimezidiwa mwenyewe sitaweza na ninaogopa kuwaangusha watu walioniamini lakini pia sittaki waone sina uwezo wa kuhudumia”
“Enhee”
“Naomba kama una uwezo tuunganishe nguvu”
Kwa Verity hii ikawa habari nzuri sana, japo idadi ya kuku waliokuwa wanahitajika ni kubwa mno kwani ilikuwa kwa wiki mara tatu wanachuo wa magereza wanakula Kuku hivyo kuku zaidi ya elfu moja wanatakiwa mara tatu kwa wiki.
Yaani hapo kila mmoja anatakiwa apeleke idadi ya kuku wasiopungua 1500 kwa wiki. Verity aliifurahia tenda hii lakini ilimuumiza kichwa kwani alitakiwa kupanua sana mradi wake angalau awe na kuku wa kufuga wasiopungua elfu kumi.
Hapo hapo wazo la kufungua mabanda zaidi likachipuka huku akifikiri kuajiri watu wengi zaidi. Waliandikishana mkataba pale kila mmoja akabaki na nakala kisha wakakumbatiana ishara ya kufurahia makubaliano.
Wakati wakiwa wanakumbatiana Gwakisa nae alikuwa anaingia pale hotelini, kabla hajaketi alipigwa na butwaa kuona mwanadada aliyevaa gauni fupi jeusi anakumbatina na mwanaume huku kigauni kikipanda kidogo na kuacha sehemu za nyuma ya miguu kuwa wazi kidogo na za kuvutia sababu ya kunyanyua mikono.
Gwakisa alibaki ametumbua macho akisubiri mwanamke huyo ageuke ili amjue ni nani kwani alikuwa amemchanganya akili.
Alijikuta mdomo wake ukiwa wazi baada ya kuonana uso kwa uso na Verity, Verity nae alishangaa lakini hakutaka kuendeleza mshangao akampungia Gwakisa mkono na kuondoka zake huku Gwakisa akizidi kuwakodolea macho tu!
………………………………………
Milioni mia mbili na hamsini zilikuwa zimeingia kwenye akaunti ya Sam, alishangaa sana lakini hakuna mtu hapendi pesa, Sam nae alizifurahia.
Alipomaliza kila kitu aliondoka zake, alipoingia kwenye gari alipigiwa simu, aliichukua simu na kuangalia ile namba hakuijua ila akapokea.
“Mheshimiwa kiasi cha fedha umekiona?”
“Ndio nimekiona”
“Sawa, sasa hiyo ni nje ya mkataba tumeamua upate ya kutumia kidogo”
“Anhaa…!”
“Ndio hivyo, alafu siku sio nyingi ile nafasi ya cheo chako kupanda itatangazwa”
“Sawa”
“Kumbuka kuzingatia mkataba na nakutakia kazi njema”
Kila sam alipokuwa anakumbuka mkataba akili yake ilikuwa inaumia mno… shauku yake ilikuwa ni kulitumikia jeshi la polisi kwa uaminifu mkubwa sasa leo anatakiwa awe sehemu ya uhalifu! Hii ilikuwa inamuumiza sana kichwa.
Katika kipindi ambacho alikuwa anapanda vyeo mfululizo alikuwa anajikuta kuwa na uzalendo wa kuitumikia nchi kwa moyo mmoja kama shukrani kwa upendeleo alio kuwa anaupata lakini kumbe hata waliokuwa wanaratibu mipango yote ya Kozi mbalimbali na vyeo vyake ni hao watu ili wamtumie!
Kwa upande mmoja alikosa amani lakini kwa upande mwingine kila alipokuwa anazifikiria fedha moyo wake ulikuwa unapata nafuu flani japo sio ya kudumu.
…………………………..
Kila siku zilipokuwa zinasogea watoto wake walikuwa wanakua na kuchangamka huku wakizidi kuonekana kufanana nae sana.
Mtoto aliyezaa na Nisha japo alikuwa wa kiume lakini alionekana kuwa mzuri wa sura mno, labda kwa sababu mama yake ni chotara.
Sam alitamani awaunganishe watoto wake wafahamiane ila kimbembe kilikuwa kwa mkewe, imani yake ni kwamba angevuruga ndoa yake na Rafiki kitu ambacho hakutaka kitokee kamwe.
Alichoamua ni kuendelea kutunza ile siri tu,
Akiwa njiani kuelekea kwa Nisha mawazo mengine ya jinsi ya kumwambia Verity kuhusu mtoto wake yaliendelea kukiumiza kichwa chake.
Alijiuliza atamuingia Nisha kwa njia gani, je? Atamuamini kuwa hakuhusika kwenye kumteka mtoto wake? Hapo aliumia sana,
Hata hivyo tayari alikuwa ameshafika nyumbani kwa Nisha na kupokelewa na Msichana wa kazi ambaye alikuwa na Nice wamekaa sebuleni.
“Dadiiiiiii” Sam aliitwa na mwanae.
Alimdaka na kumkumbatia na hapo hapo Nisha akatokea na kumkaribisha ndani chumbani. Huko waliongea mengi kuhusu namna ya kumwambia Verity kuhusu kupatikana kwa mtoto.
Walipokubaliana mwishowe wakaamua kumpigia Verity Simu ili waonane sehemu, Verity nae japokuwa alikuwa na mambo yake mengi lakini alimheshimu sana Sam na kukubali kuonana nae.
Safari ya kwenda kuonana na Verity ilikamilika huku kwenye gari wakiwa wamekaa Sam, nisha na Nice.
Walipofika walitafuta sehemu nzuri wakakaa nje ikiwa ni nje kidogo ya mji kisha wakamjulisha Verity ni sehemu gani wamekaa.
Verity nae alimaliza mambo yake haraka haraka kisha akavaa vizuri na kujiangalia kioo akajiona amependeza kisha akabeba poci yake ili aondoke.
Mara zote Verity alipokuwa anaitwa na mtu yeyote hususani wa Kiume hali inakuwa tofauti mtu huyo anapokuwa ni Sam. Haelewi hata siku moja kwamba kwanini inakuwa hivyo, sio kwamba ana tama ya kingono na Shemeji yake huyo kwa mara nyingine lakini hamchukulii kama wanaume wengine.
Katika maisha yake yote aliwahi kupenda mara moja tu na mwanaume aliyempenda sio mwingine bali ni Sam. Mpaka wakati huo hakupenda awe na hadhi mbovu mbele ya sam na ndio maana alikuwa akijua kuwa anaenda kuonana na Sam alikuwa anajitahidi kupendeza.
Alitoka nje ukumbini akachukua gari yake na safari ya kuelekea kule aliko Sam ikaanza, ndani ya akili yake alikuwa anawaza sana kuwa ni jambo gani hilo ambalo sam amemuitia. Shauku ilikuwa kubwa sana na ndio maana aliamua kuacha vyote aende.
Muda wote Sam nae kiroho kilikuwa kinamdunda akimfikiria Verity na hali ambayo atajisikia baada ya hapo.
Kila wakati alikuwa anamuangalia Nice ambaye alikuwa yuko sawa tu wala hana presha yeyote kwani alikuwa hajui anaenda kukutanishwa na nani.
Ghafla mlangoni Sam alipigwa na butwaa alipotupa macho yake kule, alimuona mwanamke mrembo sana ambaye amependeza kweli kweli. Hakuwa mwingine bali ni Verity. Urembo wake ulikuwa umeongezeka mno hadi Sam akakosa namna na kubaki amesahau ishu ya mtoto na kuganda anauchunguza urembo wa shemeji yake.
Taratibu Verity alikuwa ansogea pale Sam na Nisha walipokaa ila macho yake yakawa yanamkagua mmoja mmoja kati ya NISHA ,SAM na Mtoto aliyekuwa anamuona pale.
Verity hakuweza kukaa, mapigo ya moyo wake yalikuwa yanaenda mbio sana akabaki anamuangalia mtoto aliye mbele yake. Siku zote damu ni nzito kuliko maji, Japokuwa Nice alikuwa amebadilika sana lakini kuna kitu kilikuwa kinakita kwenye moyo wa Verity.
“Karibu ukae Shemeji”
Sam alimkaribisha Verity huku akiwa amesimama na kumshika mabegani, Verity alikaa lakini macho yake hayakubanduka kwa Nice na wakati huo huo akwa anawaangalia Sam na Nisha kama vile kuna kitu anafananisha au anasubiri kuambiwa huku akitamani kuuliza lakini mdomo unakwama……………..
Akili ya Verity haikukaa sawa pamoja na kukaribishwa aketi lakini alikuwa kama mtu maruweruwe, alikaa huku bado anaendelea kumtazama Sam Nisha pamoja na mtoto aliyekuwa kakaa mbele yake.
Mhudumu aliyekuwa amekaa kando alimuona Mgeni aliyekuja na kukaa pamoja na Akina Sam hivyo akaenda ili kumsikiliza.
“Samahani dada nikuhudumie nini”
“Nice” Verity alimjibu Yule muhudumu kwa kutaja jina la Nice, hii yote ni kwasababu mtoto aliyekuwa mbele yake alimkumbusha sana kuhusu binti yake aliyepotea siku nyingi na hivyo akili yake yote ilikuwa imemjaa Nice.
“Umesemaje dada?” Yule muhudumu ilibidi aulize.
Verity hakuweza tena kuagiza kwani baada ya kutamka jina Nice Yule mtoto aliyekuwa mbele yake aliitikia.
Taratibu Verity alikuwa anashusha pumzi na kuzipandisha kwa kasi, mapigo yake ya moyo yalikuwa juu sana.
Nisha na Sam walilijua hili kiasi kwamba hata wenyewe walianza kuogopa.
Wakati huo NICE nae baada ya kusikia jina lake akawa anaendelea kumuangalia Yule mama asijue kuwa ni mama yake.
“Mletee maji makubwa” ou akijitahidi sana kutunza mot ilibidi Sam aagize kinywaji kwa niaba ya Verity.
Mhudumu alienda kuleta yale maji na kumpa Verity ambaye aliyafakamia kwani alihisi roho yake inatangatanga.
Baada ya kunywa kama glasi mbili hivi alimtazama Sam na kumwabia…
“Shemeji nimekuja kama ulivyonitaka nije, naomba uniambie ulichoniitia”
“mbona una haraka sana shemeji, kwanza hongera sana naona unazidi kupendeza tu”
“Asante wala usijali, ila nina haraka kidogo kuna mambo nayafwatilia”
“Sawa shemeji utaondoka tu ila nilidhani kwakuwa huu ni wito wangu basi uupokee kwa mikono miwili wala usiwe na haraka sana”
“Sawa nimekubali lakini ni vizuri sasa tukija kwenye mada yenyewe.”
Sam alivuta pumzi ndefu kisha akaamua kuweka mambo wazi…
“Shemeji kwanza nimeamini kuwa damu ni nzito kuliko maji kwa hiki nilichokiona hapa”
“Unamaanisha nini?”
“Shemeji huyu mtoto ulivyomuangalia nimeona kabisa umebadilika moja kwa moja”
“Enhee nakusikiliza”
“Kwahiyo nimeamini kuwa kweli damu ni nzito kuliko maji”
“Shemeji unajua sikuelewi kabisa”
“Nice”
“Yes Dady”
“Huyu ni mama yako”
“Sam umesemaje?” Verity aliuliza huku kasimama wima
“Mungu wangu!” Verity alitokwa na machozi yaliyomwagika kama mvua, bila kuchelewa alimnynyua Nice na kumuweka kifuani kwake huku anamlowanisha na machozi.
“Oooh Sam kwanini umenifanyia yote haya, kwanini ulimficha mwanangu siku zote hizo, kwanini umenitenga na furaha yangu kwa muda wote huo Sam”
Verity aliongea maneno mengi huku analia machozi yanamwagika kama chemchem!
Sam alikuwa ameinamisha kichwa chini nae machozi yanamtoka, Nisha alikuwa anatazama kwa hisia kwani kama mama nae aliujua uchungu wa mtoto.
“Sam kwanini umenitesa kwa siku nyingi hivyo?”
INAENDELEA

