MAMA ALIPOSHIKWA TAKO MBELE YANGU
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 46
ILIPOISHIA…
“Nakupenda sana Sam, wewe ndio mwanaume haswa unayejua kukidhi haja zangu, wewe ni mzuri wa muonekano mpaka kitandani”
Gwakisa aliposikia hizi kauli alijisikia vibaya sana…
“Kwani kuna wanaume wengine hawawezi kufanya kama hivi?” Sam aliuliza wakiwa wamelaliana baada ya kukamilisha zoezi lao.
“Sasa unafikiri ni wote wanaoweza kama wewe?”
“Kama nani mfano ambaye hawezi hivi?”
“Wengine unawajua sitaki tu kuwataja”
“Nitajie tu mmoja”
“Huyo Gwakisa ndio anajua tu kuingiza na kukojoa basi”
Gwakisa kusikia jina lake linatajwa alihisi kama msumari wa moto unapita katikati ya moyo wake, aliumia sana kuachwa alafu anatangaziwa mambo ya aibu.
Alijutia sana kwanini hakutembea na bunduki yake kwani leo ilikuwa siku maalum ya kuua.
Alifikiria apigane ngumi lakini hofu yake anaweza asiweze kuwamudu kwani nao walikuwa wako vizuri kwenye ngumi.
Wakati anawaza afanye nini ndani ya akili yake aliwaona wabaya wake wakishikana shikana tena kuashiria kuwa wanataka waendelee.
Hapo aliamua kuwaacha waanze kufanya alafu yeye afanye mambo yake kwa urahisi.
Baada ya dakika kadhaa alimuona Nisha akimkalia Sam kwa juu na kuanza kunyonga kiuno chake.
Staili hii hakuipenda kwani adui aliyetaka amuangamize kwanza sio Nisha bali Sam.
Alisubiri wabadilishe style ili hatimaye Sam akiwa juu ndio afanye yake,
Kama vile maombi yake yalisikilizwa na shetani…Sam alikuwa sasa amemlalia Nisha kwa juu anafanya mautundu yake.
Alisubiria mpaka pale alipoona kuwa wameongeza kasi kuashiria kuwa wanafika mwisho ndipo akachukua kipande cha chuma kilichokuwa nyuma ya mlango na kunyanyuka akiwaendea kwa mwendo wa kunyata.
Safari hii Nisha alikuwa amelazwa style ya kuangalia chini yaani amelalia Tumbo na Sam nae akamlalia kwa nyuma hivyo hakuna aliyekuwa na uwezo wa kutambua anayekuja kwa nyuma.
Gwakisa kiwa amedhamiria kabisa kuua alikamata chuma chake vizuri, alikinyanyua vizuri juu na kukishusha kwa nguvu zake zote akiwa amemlenga Sam kichwani.
‘Paaaaaaa mlio wa chuma ulisikika kwa nguvu na kumfanya Nisha astuke kwa kumuona Gwakisa pale!’
…………………………….
Mapenzi kati ya Verity na Dr Kelvin yalikuwa yameshika kasi kwa kiasi aambacho ilikuwa ni kila siku wanaonana na kufanya ngono.
Hakuna sehemu nyingine walikuwa wanafanya ngono isipokuwa kwenye gari, mara kwa mara Gari la Dr Kelvin lilikuwa linapita njia ya maporini na kisha linapaki pembeni na wao wanabinuana ndani ya gari mpaka walipokuwa wameridhika wanaondoka zao.
Baadhi ya watu walishajua kuwa lile gari likipita tu basi wataliona linapaki pembeni ya barabara na baada ya hapo litakuwa linatikisika kuashiria kuna watu wanafanya mapenzi humo.
Watu walichukizwa sana na ile tabia kwani haikuwa nzuri kwa maadili hivyo wakaamua kuwa siku moja lazima wawafanyie kitu kibaya.
Vijana wa ule mtaa walishapanga kuwa waivizie ile gari kisha wakiwaona tu wawafundishe adabu.
Kama kawaida siku hiyo gari ile ikaja maeneo yale kisha vijana wakajipanga kwa ajili ya kufanya kazi yao.
Walisubiri zikapita kama dakika mbili hivi ndipo wakaenda lakini walipokaribia wakaona mlango unafunguliwa kisha akatoka mwanamke na kuondoka zake ikabidi wajifiche kwanza.
Ghafla ile gari nayo ikageuzwa na kuondoka lakini baada ya muda kidogo ikarudi tena.
Safari hii hazikupita dakika nyingi gari likaanza kutikisika wakajua sasa ndio muda muafaka.
Walishuka wakiwa wamebeba silaha za jadi kama mapanga, fimbo na mawe…
Walipofika jambo la kwanza ilikuwa ni kuvunja vioo vya gari na kuwatoa wahusika nje….
vijana wenye hasira kali walikuwa wamejazana nje ya gari la Dr Kelvin hakuna kingine wanachotaka zaidi ya kuwatoa nje.
Walishachoka kitendo cha wao kuachiwa kondom zikiwa zimetupwa kila mahali mara kwa mara.
Hawakupenda pia tabia mbaya iliyokuwa inaonekana mpaka kwa watoto wadogo kwa kila siku gari kuja hapo na kuzima taa kisha linanesa kuashiria kuna watu wanafanya mapenzi ndani.
“Kama wana nyege sana si waende gesti bwana, kwanini waje huku wasenge hawa” ni kauli mbalimbali zilizokuwa zinatolewa na wale vijana waliojazana pale.
Kule ndani Dr Kelvin alikuwa haoni la kufanya, haoni pa kukimbilia, walishakatishwa starehe yao na sasa walikuwa wako hatarini.
Walisikia kelele za kuwataka wafungue mlango ila hawakutii.
Hakukuwa na uwezekano wa kurudi nyuma kwani waliwekewa mawe na magogo kote mbele na nyuma.
Mke wa mtu aliye nae pale kwenye gari alikuwa analia mda wote na tayari vioo vilikuwa vimepasuliwa.
“Si mnaona yuko na demu humu ndani, yani wameona wasifanyie huko mjini kwao waje watuchafulie sisi huku”
Kwa fujo na nguvu Dr Kelvin na demu wake walivutwa nje ya gari kisha wakakalishwa chini na kuzungukwa.
“Oya mbona demu mkali hivi…tumle na sisi”
Sasa hapo ndipo mambo yaliharibika.
Mwanamke wa Dr Kelvin alianza kuvuliwa nguo kwa kuchanwa kisha akaanza kubakwa kwa zamu,
Vijana wale Zaidi ya ishirini walimuingilia kwa zamu huku wengine wakifanya kurudia rudia mpaka wakajiridhisha.
Mwanamke wa watu alikuwa hajitambui anavuja damu mbele na nyuma kwa kuingiliwa na wanaume wale, mbaya zaidi ile njia ilikuwa haipiti watu mida kama ile na ndio maana hata Dr Kelvin alipapenda kwenda kufanyia ushenzi wake.
“Sasa huyu nae tunamuachaje?” Waliulizana kuhusu Dr Kelvin.
“Nae afi…we”
Dr Kelvin kusikia vile akaanza kupiga makelele ya kuomba msamaha…
“Msinifi..e jamani, msinif…re mimi nina ukimwi”
Hakuna aliyeelewa kitu, Dr Kelvin alivuliwa nguo zote akainamishwa kisha kila aliyetaka akajisevia.
“Mnaniua jamani, mnaniua mimi”
Dr Kelvin alikuwa analalamika lakini hakuna aliyemuonea huruma.
Walipomalizana nae walimuacha akiwa hajitambui yeye na demu wake.
Walichofanya cha mwisho waliisukumiza gari mbali ikaserereka kwenye korongo ambalo kwa chini yake ni msitu kisha wakaondoka zao waliwaacha wametapakaa damu na kinyesi.
………….
Kwa kasi ya umeme Sam alimsogeza Nisha pembeni huku nayeye akisogea kando na kufanya chuma alichokishusha Gwakisa kigonge kwenye tendegu la kitanda ambacho kilikuwa cha chuma pia na kutoa mlio mkubwa.
Kumbe tangu mwanzo Sam alimuona Gwakisa ila akajikausha tu ili amuumize roho ila alikuwa anaona action zake zote na ndio maana hata alipotaka kuwapiga ilikuwa rahisi kumkwepa.
Huku wakiwa uchi wa mnyama waliamka kwa ajili ya kupambana na Gwakisa.
Gwakisa akiwa ameshika chuma lake alikuwa analirusha kwa watu wawili ambao kila mmoja alikuwa analikwepa.
Mbaya zaidi kwa Gwakisa ni kwamba Sam alikuwa na mazoezi makali mno ambayo amesomea ndani na nje ya nchi.
Nisha nae zaidi ya kupitia Polisi ila alikuwa ni mafia aliyesomea kwa ajili ya biashara yao haramu.
Kwa namna yeyotw Gwakisa asingewamudu na hatimaye alikuwa amewekwa chini anachezea kichapo.
“Hivi wewe ni mwanaume kweli wewe? Mwanaume gani unapigwa kirahisi hivi, ndio maana sikutaki Gwakisa”
Gwakisa alikuwa amelazwa chini ameshikiliwa bastola?
“Nikuue?”
“Msiniue jamani, msiniue”
“Nisha muache aende zake”
“Huyu tukimuacha atatusumbua tena bora tummalize mimi nitasema alikuja kuniibia ni jambazi”
“Hapana muache aende tu, usimuue”
Hatimaye Gwakisa aliachiwa kwa amri kuwa asiwafwatilie tena…
“Haya kimbiaaaaaa”
Gwakisa alikuwa anakimbia maskini huku anachechemea.
“Kimbia vizuri au nije tena”
Gwakisa ilibidi ajikaze zaidi kukimbia hatimaye akatokomea kabisa.
“Huyu mshenzi sana huyu, ametuharibia starehe yetu”
” usijali turudie baby”
“Ila nataka nirudi home, nimeondoka mda mrefu”
“Usijali, mara ya mwisho tu”
“Poa baby”
Mabusu moto moto yalianza huku wakitomasana na kutekenyana kila sehemu na baadae sana wakawa wako chumbani wanakula tunda la mti wa katikati kwa mara nyingine.
Safari hii walihakikisha wanafunga milango yote madirisha kisha, kwakuwa Mbeya kuna baridi hawakuwa na haja ya feni wala AC,
Mtanange wa nguvu uliendeshwa taratibu hadi kila mmoja akaridhika na kutulia wakiwa wamekumbatiana.
“Twende ukaoge baby”
Walinyanyuana kwenda kuoga pamoja hadi bafuni kisha wakawa wanasuguana migongo.
Wakiwa bafuni simu ya Sam iliita akatoka haraka kuipokea…
“Njoo ofisini haraka”
Verity akiwa kwenye gari wakijiandaa kufanya mapenzi na Dr Kelvin aliiona simu ya Dr Kelvin ikiita.
“pokea simu yako kwanza”
“Bwana wewe tuendelee kwanza”
Verity alipoona Dr Kelvin hataki kupekea simu akaiminya ili apokee yeye na kwa bahati mbaya au nzuri ilikuwa ni video call.
Verity alimuona mwanamke mmoja kwenye simu akiwa ameacha kifua wazi ila akashtuka na kujifunika baada ya kuona aliyepokea sio Dr Kelvin bali ni mwanamke.
“Wewe nani unaepigia wapenzi wa watu simu ukiwa uchi”
“Msen..ge nini, mimi nilijisitiri nikajua ni mkewe kumbe ni hawara kama mimi tu”
“Unasemaje wewe…”
Kabla Verity hajamalizana na huyo mwanamke mwingine Dr Kelvin aliinyakua simu na kuizima, kwa hasira kuliko Verity alishuka kwenye gari na kuondoka zake kwa miguu.
Wivu ulikuwa umemkamata vilivyo, kwa yale aliyokuwa anafanyiwa na Dr kelvin alikuwa anamuonea wivu kuliko hata mmewe Gwakisa.
Dr Kelvin aliamua kugeuza gari ili kumfwata taratibu ambembeleze lakini alipokuwa anamuomba asimame ndio kwanza Verity alikunja uchochoroni na kupotea kabisa.
Kwa hasira Dr Kelvin aliamua kupigia mwanamke mwingine kati ya wale wanawake zake alio nao kwenye list yake.
“Uko wapi baby wangu”
“Niko hapa hospitali”
“Kwani uko zamu leo?”
“Niko zamu lakini natoka saivi”
“Sasa sikia, wewe toka tu kama vip kesho nitajua cha kukusemea wala haitakuwa ishu”
“Poa njoo unichukue basi”
“Nakuja”
Wakati Dr Kelvin anamfwata mwanamke wake ambaye alikuwa nesi taratibu Yule nesi nae akawa anajiandaa kwani nae alipagwwishwa na penzi la Dr Kelvin na hakuwa tayari kulikosa.
Baada ya muda kidogo alisikia honi kwa mbali akaliendea gari akafunguliwa mlango na kuzama ndani.
Alipokaa tu kwenye gari huku kavaa sketi yake fupi ambayo ni jezi ya kazi Dr Kelvin alianza kupapasa mapaja yake.
“Bwana twende kwanza unaharaka gani?”
Dr Kelvin alikanyaga mafuta akaondosha gari mpaka sehemu yake ya siku zote,
Sehemu Ya 47
“Baby leo tunafanyia kwenye gari?”
“Ndio nataka uone utamu wa kwenye gari”
Mabusu motomoto yalianza na ndani ya muda sio mrefu wakawa wamevuana nguo wanafanya yao, kilichowashtua ni kioo cha gari kugongwa kwa nguvu na hatimaye wakatolewa nje.
Hakuna siku ambayo nesi huyu alilia kilio cha uchungu kama siku hii, aliingiliwa bila huruma na wanaume wengi tena mbele na nyuma.
Alilia sana akiomba msamaha lakini hakuna aliyemsikiliza, Dr Kelvin nae alifanyiwa ipasavyo na hatimaye wote walikuwa hoi hawajitambui.
Wale vijana waliondoka zao na kila mmoja kusambaratika kivyake, hakuna aliyejitambua kati ya Dr Kelvin na Yule Nesi.
Walilala hapo hapo mpaka kesho yake asubuhi kulivyopambazuka na watu kuanza kuwashangaa huku kila mmoja akiogopa kuwasogelea.
…………………………
Gwakisa alirudi kwake anachechemea huku amejaa hasira, alifika na kujitupa moja kwamoja kwenye kochi huku akiwa anawaza ninini awafanye akina Sam na Nisha.
Akiwa anawaza alimkumbuka mke wake na kuanza kumuita… “verity” aliita sana lakini hakuitikiwa akaamua kumfwata chumbani.
Alipofika alimkuta kalala kwa kulalia tumbo, alimuita tena lakini wala hakuitika, alimuendea pale kitandani na kumuinua kwa kumgeuzia juu.
“Niacheeee” verity aliongea kwa sauti ya juu kiasi ambacho hata Gwakisa aliogopa.
“Una nini wewe, mbona kama ulikuwa unalia?” gwakisa alizidi kumuuliza Verity.
“Nimeshasema niacheeee, mbona huelewi wewe mwanaume wewe?”
Gwakisa alistaajabu hali ya Verity kwani kweli alikuwa anaonekana kama alikuwa analia kwani hata macho yake yalikuwa mekundu kama nyanya.
Gwakisa alikuwa na hali mbaya kweli kweli, huko alipotoka matatizo na hapa nyumbani pia ni matatizo.
Hakujua kuwa Verity alikuwa na mawazo lukuki juu ya wivu kwa Dr Kelvin, zile raha alizokuwa anazipata kutoka kwa Dr Kelvin zilikuwa zimeingia shubiri, hakupenda kushea penzi na Mtu mwingine kwani aliona Dr kelvin ni wake peke yake.
Alishaapia kuwa hatokuwa na mwanaume mwingine zaidi ya Dr Kelvin na mme wake ambaye atakuwa anampa kwa geresha tu kwa kuwa ni mumewe,
Alijua fika kuwa Dr Kelvin alikuwa na mkewe kama yeye alivyo na mumewe, hilo hakulijali ila hakutaka kusikia eti ana mchepuko mwingine.
Walilala hivyo hivyo mpaka kukakucha ambapo Gwakisa alikuwa ana tabia ya kusikiliza taarifa ya habari ya asubuhi kupitia TBC, habari iliyokuwepi hewani inahusu watu wawili ambao wameokotwa wakiwa wamebakwa na gari lao kutumbukizwa korongoni.
Kilichomshitua Verity ni kusikia jina la Dr Kelvin likitajwa na hapo hapo akaamka kwa hamaki na Kukodoa macho yake kwenye TV.
……………………………………..
Sam alisindikizwa na busu la Nisha kisha akapanda kwenye gari na kuondoka zake, akiwa njiani alimpigia simu mkewe na kumtaarifu kuwa ameitwa ofisini,
“Mimi nilijua uko ofisini kumbe ndio umeitwa, sasa ulikuwa wapi mme wangu?”
“Mke wangu nawewe kwa wivu, nilikuwa doria bhana”
“Haya ila mwenzako nimetapika kama nini?”
“Pole nakuja usijali tutaenda kupima malaria”
Sam alinyoosha moja kwa moja mpaka ofisini ambapo baada ya kufika huko alikutana na bosi wake ambaye alimpa barua.
Sam hakuamini macho yake, ilikuwa ni barua ya kwenda Kozi nyingine nchini Uingereza….
Ambulance yenye ving’ora ilikuwa inakimbia ikipita katikati ya barabara huku inakwepa magari na vyombo vingine vya usafiri ikiwahi hospitali kwani watu waliokuwa wamebebwa walikuwa wanafahamika katika ile hospitali.
Walikuwa ni Dr Kelvin na nesi wake ambao walikuwa wamepigwa na kubakwa na watu wasiojulikana wanakimbizwa hospitali.
Kati yao hakuna hata mmoja ambaye alikuwa anajitambua, walikuwa hawana ufahamu kabisa.
Walipofikishwa hospitali haraka sana walipokelewa na kuwekewa “life suppotting machine” huku matibabu mengine yakiendelea.
Madaktari walikuwa wanahaha wakipishana kila mmoja anafanya analoliweza.
Ndugu wa Dr Kelvin pamoja na yule nesi walikuwa wameshafika pale hospitali wanafwatilia kwa ukaribu kinachoendelea juu ya jamaa zao.
Pembeni alikuwepo Mwalim Tupokigwe, huyu ni mwalimu mkuu wa shule ya msingi Uyole ‘A’ lakini huyu pia alikuwa ndie mke wa ndoa wa Dr Kelvin.
Alikuwa ameshikiliwa na walimu wenzie kwani alikuwa ameishiwa nguvu kwa kulia, macho yalikuwa mekundu kwa machozi.
“Kevi nilikwambia mme wangu, nilikwambia mme wangu achana na umalaya…ona sasa, ona kilichokupata mme wangu…”
Mwalimu huyu alikuwa analalamika huku analia machozi ya huruma, alionekana anampenda sana mme wake ila ndo hivyo mmewe alikuwa hajatulia, alikuwa mwingi wa mapenzi, alikuwa haruki sketi, awe mgonjwa , awe mke wa mtu, awe muuza bar, awe mwanafunzi wote walikuwa halali yake.
Kule wodini madaktari walikuwa na kazi ya kupandisha mapigo ya moyo wa Dr Kelvin lakini hali haikuwa nzuri.
Baada ya dakika kadhaa mashine ilikuwa inapiga alarm, msitari wake ulikuwa haupo zigzag tena, ulikuwa umenyooka kabisa kuashiria kuwa mapigo yake ya moyo yamesimama na amefariki.
Haikuwa uongo, Dr Kelvin alikuwa amefariki kweli na taratibu akafunikwa na shuka la kijani akapelekwa mochwari.
Kazi ilihamia kwa yule nesi sasa ambaye kidogo alikuwa anaonyesha matumaini kwani alianza kupumua kwa njia ya kawaida isipokuwa bado alikuwa hajajitambua.
Kazi ya kumshona ilikuwa inaendelea kwani alikuwa amechanika sehemu zake zote za mbele na nyuma kiasi cha kuungana.
Mchezo aliokuwa amefanyiwa ulikuwa ni wa kikatili kuliko, ilibidi asafishwe vilivyo kwani alikuwa amechafuliwa kila sehemu, kinyesi kilikuwa kinamwagika kila wakati.
Ama kwa hakika alikuwa na hali mbaya sana. Juhudi za madaktari zilionekana kuzaa matunda kwani hatimaye nesi huyu alianza kufumbua macho japo alikuwa hana uwezo wa kuongea.
Walichofanya madaktari ni kumchoma sindano ya usingizi ili waendelee na huduma zingine
………
Verity alikuwa anatetemeka kama mgonjwa wa homa kwa taarifa aliyokuwa anaiona kwenye Tv.
Gwakisa alikuwa ameganda akimshangaa mkewe jinsi anavvyostaabishwa na habari ya kwenye runinga kwani hakuelewa kwanini mkewe aguswe kiasi kile.
“Vipi mke wangu, kwani unawajua?”
Hapo ndipo Verity alikurupuka huku akijifanya hawajui lakini usoni alionyesha kabisa kuwa anachokisema sicho anachomaanisha.
Aliamka akakimbilia bafuni ambapo alijimwagia maji huku akitafakari kile alichokiona, akilini mwake kulipita mambo mengi sana ambayo mengi alikuwa hana majibu yake.
Kiu ya kujua zaidi ilikuwa kubwa sana na hakuweza kuivumilia, alichoamua ni kufunga safari ya hospitali ili akajionee kwa macho yake.
Hakusubiri, alijiandaa haraka haraka na kuelekea kule hospitali, alipofika alitafuta kaka mmoja ambaye alionekana ni mhudumu katika ile hospitali na kumhoji kuhusu kile kilichotokea lakini hakupewa majibu ya kuridhisha .
Kwakuwa alikuwa na hamu ya kujua ilibidi ajisogeze kwenye kikundi cha watu waliokuwa wanaongea kuhusu jambo lile.
Alipofika pale wale watu walinyamaza kwani walimuhofia kwakuwa walikuwa hawamjui. Hapa pia hakukaa sana ikabidi aondoke.
Kwambali aliona watu wanalia sana huku mwanamke mmoja akionekana kulia zaidi huku ameshikiliwa na wenzake ikabidi aamue kwenda pale…
“Mme wangu jamani, watoto wako ntaleaje mwenyewe mimi….mwe mwe mweeee, uwiiii jamani Kevi”
“Nilikwambia mimi acha umalaya hukunisikia, nilikunyima nini Kevi wewe, nilikupa mpaka vya aibu wewe lakini hukutulia ona sasa wamekuua Kevi’
Moja kwa moja Verity alijua fika kuwa huyo ndie mke wa Dr Kelvin, aliumia sana kwani aliona uchungu uliokuwa ndani ya mwanamke mwenzake.
Roho ilimuuma sana, alijutia kutembea na Dr Kelvin, tamaa zilimpeleka puta na sasa anajutia.
Taratibu mashavu yake nayo yalianza kuloa, yaliloa machozi kwa kile anachokishuhudia, Dr Kelvin alikuwa amefariki.
Akiwa pale Verity aliweza kusikia kila kitu kuhusu yale yaliyompata Dr Kelvin, aliamini moja kwa moja kuwa Mungu alikuwa upande wake kwani ile ilikuwa imkute yeye kama si kukerwa na Dr Kelvin na kuamua kumkimbia.
Akili yake ilitambua ni kwa jinsi gani Dr Kelvin alikuwa malaya kwani kwa muda mfupi baada ya yeye kuondoka kumbe alichukua mwanamke mwingine.
Moyo wake ulijutia sana, alilia mno na mwisho akaamua kurudi nyumbani, alipofika kwake alimkuta mmewe kakaa huku akionekana yuko mbali sana kimawazo.
Alijisikia fadhaa sana kwani ndoa yao ilikuwa imegubikwa na sarakasi nyingi, alitamani amuombe mme wake msamaha na wapange kuachana na ya nyuma wagange yajayo.
Moyoni mwake aliamini amani ya moyo kwa wanandoa inaanzia nyumbani na kuishia humo, kamwe haipatikani nje.
Kwa hatua za adabu alimwendea mme wake na kumuita…
” Mme wangu naomba tuongee”
Gwakisa aligeuka na kumuangalia mkewe ili asikie anataka kusema nini…wakati Verity anataka kuzungumza alijisikia hali ya tofauti iliyomfanya akimbilie bafuni.
Aliinama kwenye sinki na kuanza kutapika mfululizo kiasi kwamba ilibidi na Gwakisa aje kumuangalia.
………………………..
Sam akiwa Ofisini kwake alikutana na barua iliyoandikwa kwa juu “Confidential”
Mikono ilikuwa inamtetemeka kwani alihisi ile barua ina jambo kubwa, aliisoma haraka haraka na kujikuta akiwa ameganda kama barafu.
Wakati huo huo akapokea ujumbe mfupi kwenye simu yake kutoka kwa mkewe…
“Baby nina suprise yako, njoo home faster”
Gwakisa alikuwa anamuangalia tu Verity anavyotapika huku akijiuliza kuhusu swali lile bila ya majibu, alikuwa anamsubiri akae saw a ili amuulize ninini anajisikia.
Verity aliendelea kutapika mpaka akamaliza na kukaa sawa, “Naomba maji masafi”
Verity alimwambia Gwakisa ambaye bila kusita alienda kuleta maji masafi na kumpa mkewe akajisukutua na kujisafi vizuri kisha wakarudi sebuleni.
“Vipi unajisikiaje?”
“Yani hata sielewei nilikuwa vizuri tu lakini hii hali imenijia ghafla tu”
“una homa?”
“Hata sielewe”
Gwakisa aliamka akaenda mpaka pale alikokaa mkewe kisha akaweka viganja vyake kwenye mashavu ya mkewe, akahamishia kwenye kifua lakini hali ya joto aliyokuwa anaiona ilikuwa ya kawaida tu.
“Kwahiyo hujisikii hali nyingine yeyote?”
Gwakisa alimuuliza tena Verity.
“Najisikia tu kichefuchefu lakini kwasasa kimetulia”
“Inabidi uende hospiali ukapime”
“Nikweli nitaenda kesho”
Verity na Mmewe Gwakisa walikomea hapo.
Kwenye akili ya Verity swala la kuongea na Gwakisa kuhusu ndoa yao liliishia hapo kwani akili ilikuwa imetawaliwa na mawazo mengine kabisa.
Alikuwa anawaza kuhusu kile kilichotokea, mawazo kwamba huenda ana mimba aliyapa asilimia kubwa sana na yalimtisha.
Yalimtisha kwani alikuwa anawaza ile mimba ni ya nani haswa, ameshiriki ngono na watu wawili kwa wakati mmoja yaani Gwakisa na Dr Kelvin ambaye ni marehem kwa sasa.
Alichanganyikiwa na kujikuta anaumwa kichwa kwani huu ulikuwa ni mtihani mkubwa kwake, endapo ingekuwa mimba basi ingekuwa ni ya Gwakisa ama Dr Kelvin.
Kama ingekuwa ya Gwakisa kwake ingekuwa heri kabisa, lakini kama ni ya Dr Kelvin aliona ni mkosi juu ya mkosi, tayari alishamsingizia Gwakisa mimba ya kwanza ambayo ilikuwa ya Sam, Je? Kama hii ni ya Dr kelvin ina maana amsingizie mme wake mimba kwa mara ya Pili?
Hapa kichwa kilimuuma…
“Ee Mungu isitokee kama ninavyodhani”
Hatimaye alijilaza kitandani huku akiwa anaendelea kuwaza na kuwazua. Baada ya muda kidogo Gwakisa aliingia pale chumbani na kumkuta mkewe kalala huku akionekana hana raha.
Alisogea pale kitandani alipolala mke wake kisha nae akakaa na kumshika mkewe kiunoni,
“vipi unajisikia vibaya?”
“Ndio, saivi naona na kichwa kinauma sana”
“Ngoja nikuletee paracetamol”
“Naona uache tu kitatulia chenyewe”
Gwakisa aliendelea kukaa pale akimtazama mkewe kwa huruma huku Verity akiendelea kuwaza ninini kinaendelea kuyagusa maisha yake ya ndoa.
Mwisho aliona ajipe muda aende hospitali akajue moja ama mbili, aliamua kuyatupilia mbali mawazo mabaya.
Taratibu aliamka na kumfwata mmewe mdomoni akaomba denda akapewa, alianza kumpapasa mmewe kifuani na Gwakisa nae hakutulia akaanza kumpapasa mkewe maeneo mbali mbali ya mwili wake.
Sehemu Ya 48
Alijitahidi sana kufanya utundu wa kila namna ili yasitokee kama yale aliyosikia kwenye mdomo wa Nisha kuwa yeye anajua tu kuingiza.
Alijitahidi kwa kufanya kila alichoamini kitamfurahisha mkewe na kweli jitihada zake zilizaa matunda kwani Verity alikuwa anabwabwaja maneno mengi mno ya mahaba.
“Oh Hivyohivyo mme wangu, osshhh nasikia raha Gwaki wangu, nakupe..nd..a jamani”
Veirty alikuwa anaongea kama amewekewa kinubi mdomoni kwa raha alizokuwa anasikia nab ado Gwakisa wala alikuwa hajaweka mwiko kwenye sufuria.
“Na..ko..j…oaaaaaaaa” verity aliongea kwa sauti kiasi hata Gwakisa alishtuka kwani alikuwa hajawahi kuona kile kinachotokea kwa mke wake kwa siku ile.
Hapo kweli Gwakisa aliamini amekuwa anamnyima mkewe raha kwa mda mrefu, Verity alikuwa katulia kitandani baada ya kufika mwisho lakini Gwakisa hakumpa nafasi ya kupumzika, alichukua muhogo wake uliosimama wima kisha taratibu akaupeleka kule kwenyewe…
“Oshhhh, sssshhhh haaaa…mbona wamoto sana mume wangu” Verity alikuwa anongelea puani wakati muhogo wa Gwakisa unazama taratibu kwenye ikulu yake hadi ulipoingia wote na kuanza kuukatikia.
Mechi kali ilichezwa kwa dakika zaidi ya tisini, yaani dakika za nyongeza zilikuwepo kisha kila mmoja akafurahia sana na kupumzika pembeni.
……………………………..
Sam alikuwa ameshikilia barua yake mkononi asijue kwamba afurahi ama achukie, barua ilikuwa inavuruga baaadhi ya mipango yake.
Kiufupi alikuwa amechaguliwa kwenda kozi ya mambo ya utawala nchini Israel, kozi ambayo itachukua miezi mine.
Hii ilikuwa ni habari njema lakini wakati huu alitaka atulie na familia yake ili atafute mtoto na afanye matibabu.
Kwake kupata kozi nyingi ilikuw jambo la maana sana lakini swala la famila na watoto lilikuwa la muhimu zaidi.
“Asante afande, nimeipokea”
“Sawa hongera sana na unatakiwa uijibu kuwa umekubali na ujiandae”
“Sawa nitafanya hivyo”
“Sawa nikutakie maandalizi mema, lakini mbona kama hujafurahia?”
“No nimefurahi sana, nafasi kama hii ni nyeti sana”
Sama alikuwa anongea unafiki ambao ulionekana hata usoni kwake.
Hakukaa sana akaamua kuondoka kurudi kwake, wakati akiwa njiani alikumbuka kuwa mkewe alimwambia awahi kwani ana surprise yake.
Aliendesha gari kwa kasi ili awahi nyumbani.
“Ila huyu nae hata akikununulia boxer mpya tu anakwambia uwahi nyumbani ana surprise”
Alikuwa anajisemea Sam ndani ya moyo wake.
‘pii piiiii’
Sam alikuwa anapiga honi getini kwake ambapo haraka mlinzi alikuja akafungua kisha akaingiza gari na kuipaki.
Alipokelewa na mkewe kisha akaingia nae ndani huku ameshikiliwa kiunoni, Sam alitaka akae kwenye kochi lakini mkewe alimvutia chumbani.
Alipofika chumbani Rafiki alichukua pochi yake akaifungua kisha akamkabidhi Sam baadhi ya karatasi ambazo Sam alizisoma haraka haraka na kuhamaki.
“Heee una Mimba?”
Sam aliuliza kwa mshangao kwani alikuwa anajua kuwa yeye ana matatizo na hawezi kumpa mwana mke mimba…
Alimtolea macho Rafiki huku akimtafakari na mchezo anaotaka kumfanyia kisha akashusha pumzi na kukaa kitandani huku kainamisha kichwa anawaza amfanye nini mwanamke aliye mbele yake…
Sam alikuwa ameketi kitandani anawaza kitu ambacho kinatokea pale, alifikiria jinsi alivyompa Verity mimba na akamsingizia mme wake, hapa aliona nayeye analipiziwa.
Mawazo yake yote yalikuwa yanaenda haraka haraka anawaza ninani hasa atakuwa amempa Mimba mke wake, alianza kufikiria baadhi ya vijana wanaofanya kazi na mkewe, aliwaza kuhusu bosi wa mkewe kule ofisini, aliikumbuka kauli ya Gwakisa siku waliyokorofishana na kumtolea kauli ya kuwa akampime na mkewe….
Hapa aliamini kuwa ni lazima mimba sio yake na anasingiziwa, “iweje madaktari waniambie ninahitaji matibabu ya kina alafu leo kwa vile vijidonge niwe nimepona, haiwezekani huyu mwanamke anataka aniuzie mbuzi kwenye gunia.” Alikuwa anajisemea Gwakisa ndani ya moyo wake.
Kifua chake kilikuwa kinapanda na kushuka huku akijitahidi kuzuia hasira yake ambayo ilikuwa dhahiri iko mlangoni.
“Ee Mungu nizuie nisifanye mbovu” gwakisa aliomba kimya kimya.
Rafiki alikuwa anamshangaa mme wake kwani alitegemea atakuwa amefurahia zile habari lakini kinachoonekana ni tofauti kabisa.
Alikuwa anajiuliza kuhusu ukimya wa mme wake, je amefurahia, ama nivipi…. Lakini Rafiki alianza kuwaza kuwa huenda mme wake kwasababu ya matatizo aliyokuwa nayo ana wasiwasi na usahihi wa zile taarifa…
“Vipi mme wangu mbona kimya” aliuliza Rafiki lakini hakujibiwa akaamua kumshika mme wake kichwa ili auone uso wake.
“Vipi mme wangu, mbona husemi kitu?”
Ghafla Gwakisa aliinuka na kumkaba Rafiki koo….
“Mimi sio fala, nakwambia katika mafala woooote unaowajua mimi simo..” gwakisa alikuwa na jazba kubwa huku kamkaba mkewe kooni.
“U…nani…ua” Rafiki aliongea kwa tabu kwani koo lilikuwa limekabwa vilivyo.
Sam hakujali aliendelea kuzidisha nguvu za kumkaba mke wake kiasi kwamba Rafiki sasa akawa hana uwezo wa kusema chochote.
Kilichomshtua Sam ni kuona Dam zinachuruzika kupitia kwenye miguu ya Mke wake zikiwa zinatokea juu.
Hapa ndipo Sam alishtuka na kumuachia mke wake ambaye aliangukia kitandani huku kalegea hajiwezi.
……………………………………..
Verity alikuwa amefurahishwa sana na penzi la mme wake akawa anajutia kwa kukosa uvumilivu siku zote kumbe kwa mme wake kuna mambo matamu kiasi kile.
Alishindwa kuvumilia akainua kichwa chake akakilaza kwenye kifua cha Gwakisa na kumwambia …
“Asante sana mme wangu nakupenda sana”
Gwakisa hakujibu neon ila alipelaka mkono wake hadi kwenye kichwa cha mkewe akawa anamkuna nywele zake ishara ya huba na upendo.
Hazikuisha dakika nyingi joto lao likawa limepanda tena, hawakuwa na cha kuzuia kwani wao ni mke na mume ikabidi wapeane tena, walipeana haswa mpaka kila mmoja akajiona amechoka na kisha wakapumzika baada ya kuoga vizuri.
Baada ya muda kidogo walipitiwa na usingizi wakalala fofofo, walikuja kuamka baadae sana usiku ukiwa umeshaingia wakaamua kutoka waende kula mtaani.
Wakiwa mtaani wamekaa wanakula na kunywa ilipita taarifa kwenye Tv iliyoonyesha kuhusu mazishi ya Dr Kelvin baada ya uchunguzi wa kipolisi kukamilika.
Mke wa Dr Kelvin alionekana analia huku kakumbatia watoto wake ambao nao walikuwa wanalia sana,
Taarifa hii ilibadilisha hali ya Verity kabisa kwani alianza tena kukumbuka, furaha ilipotea moyoni na usoni na Gwakisa alilitambua hili japo hakujua kwavipi mke wake anahusiana na hizi taarifa hivyo akachukulia kawaida tu.
Walimaliza kula na kunywa kisha wakarudi nyumbani ambapo walilala mpaka kesho yake, Kulivyokucha Verity waliongozana na Gwakisa hadi hospitali ili kupima hali ya mkewe.
Walipokelewa vizuri na vipimo vikachukuliwa kisha baada ya muda kidogo wakaitwa ofisini kwa daktari ili wasomewe majibu ya vipimo.
…………………………………
Husna Ramadhani ni nesi ambaye aliponea chupuchupu kufa baada ya kubakwa na watu ambao walimbaka pia Dr Kelvin na kumfanya apoteze maisha. Alikuwa amesharuhusiwa kutoka hospitali na alikuwa nyumbani kwake anaendelea kumeza dawa ambazo alikuwa ameandikiwa.
Mawazo lukuki yalikuwa yameuganda moyo wake kwa kitendo ambacho alikuwa amefanyiwa, alijiona amezalilishwa sana, jamii yote ilikuwa imeshajua kuwa amefanywa vibaya.
Alijiona hana tena thamani kwenye uso wa dunia, kwakuwa alikuwa na likizo ya ugonjwa alibaki nyumbani akiwa anajiuguza.
Baada ya wiki mbili likizo yake iliisha hivyo akaenda kazini, hakuna kitu kilichomhuzunisha kama kufika kazini na kukuta watu wanamtenga na kumsema vibaya.
“Kumbe alikuwa anatembea na Kelvin, atakuwa nae ameathirika sio bure”
Neon hili lilimtisha sana Husna akaamua kupima afya yake, huku akiwa mwenye hofu nyingi alichukua vipimo vilivyokuwa vingi tu pale ofisini kwao na kukaa kando sehemu ambayo hakuna mtu angemuona.
Alijichoma kidoleni kisha akaminya kidole kuruhusu damu itoke ya kutosha kisha akaiweka kwenye kipimo chake akachanganya na maji maalumu ya kupimia kisha akatulia kwa muda akisubiri majibu.
Taratibu mstari mmoja ulianza kutokea, huu ni mstari ambao huashiria kuwa kipimo kinasoma, endapo ukibaki huu mmoja ina maana hujaathirika, ikiwa miwili basi umeathirika.
Zilipita dakika kama tatu hivi ule mstari ukawa umekolea vya kutosha ila kuna kitu kilianza kumtisha….kuna mstari mwingine ulianza kuonekana…
Mapigo ya moyo yalienda kasi kama treni ya umeme, kila alipoangalia vyema ndio ule mstari ulikuwa unajitokeza vizuri, baada ya kama robo saa hivi hakuna kilichokuwa kimejificha tena, mistari ilikuwa miwili kuashiria kuwa Husna Ramadhani nesi ambaye alibakwa akiwa na mpenzi wake marehemu Dr Kelvin alikuwa ameathirika na HIV.
“Nimekwisha!” alijisemea Husna kwa huzuni.
Akiwa kwenye dimbwi la mawazo simu yake ilitoa mlio wa sms akaufungua, alikutana na ujumbe kutoka kwa mpenzi wake ambaye waliahidiana kuoana.
“Nilikuwa nakwambia siku zote kuwa unani-cheat,
Umenkuwa ukinibishia kwa nguvu zote lakini malipo ni hapa hapa duniani”
“Nilikwambia utulie na mimi lakini uliniendesha na kunitesa bila kujali kuwa namimi nina moyo wa maumivu…ona sasa umeumbuka na dunia nzima imekuona…asante kwa mateso yako Husna, mimi na wewe kwasasa basi…”
Huu ujumbe toka kwa mpenzi wake ulitia chumvi kwenye kidonda cha Husna, nikweli alimnyanyasa sana mpenzi wake kwasababu ya Dr Kelvin, nikweli kwamba mpenzi wake alilia sana machozi akiomba ahurumiwe kwani mateso ya Penzi yanamuumiza lakini Husna hakujali.
Leo ameumbuka na dunia imemuona, alijutia sana na mbaya zaidi ameathirika na hapohapo kaachwa na mpenzi wake.
Husna alikuwa kama amechanganyikiwa, ghafla roho yake ilitamani kufa, alijiona hana sababu ya kuishi hapa duniani, alichoamua ni jambo moja tu…Kufa!
Alichukua boda boda akakimbilia kwake, alipofika aliingia ndani akachukua karatasi akaandika alichokusudia, alipomaliza alichukua chandarua akaitendenezea kamba.
Alipohakikisha kwamba imekuwa kamba nzuri akaitengenezea kitanzi kisha akaifunga kwenye mbao iliyopita juu ya banda la kuku.
Hakuchelewa akachukua stuli akapanda juu yake na kujivisha kile kitanzi, alipoona kimekaa vyema akasukumiza Kistuli na kubaki amening’inia.
Alisikia maumivu makali mno lakini hayakudumu, ndani ya dakika mbili alikuwa ametokwa na kinyesi kingi na mkojo huku uso ukianza kuvimba.
Dr aliyekuwa ameshikilia karatasi ya majibu ya Verity alikuwa na tabasamu usoni huku akiwaangalia Verity na Gwakisa kwa kupishana.
“Hongereni sana”
“Una maana gani Doctor?”
“mkeo ana mimba ya mwezi mmoja”
“Eeenh…” Hilo ndilo neon pekee alilotamka Verity kisha akawa mpole, hali ilikuwa tofauti kwa Gwakisa kwani alikuwa ni full kicheko, alifurahia sana kusikia kuwa mkewe ana mimba, alisubiria sana siku moja aitwe baba na leo ilikuwa imefika.
“Twendezetu mke wangu, twende tukasherekee”
Verity alinyanyuka kivivu kisha akapelekwa mpaka kwenye gari akafunguliwa mlango akakaa na Gwakisa nae akaingia sehemu ya dereva akafungulia mziki mkubwa kisha akawasha gari wakaelekea nyumbani.
Alipofika alishuka haraka akafunga mlango wa gari kisha akaelekea kwenye mlango wa Verity akaufungua na kumtoa mkewe kisha akambeba juu juu mpaka ndani na kumbwaga kwenye kochi.
“Unjisikia kula nini Love?” gwakisa ndie alikuwa anauliza akimaanisha kuwa yuko tayari kupika…
Verity kwenye akili yake kulikuwa kunazunguka vitu kibao tofauti na Gwakisa ambaye alikuwa ni shangwe tu.
“Bwana nakula chochote tu” alijibu VERITY.
“Sasa mbona kama huna raha jamani au hujafurahi mimi niitwe baba?” aliuliza Gwakisa japo hakujali sana.
Alichoamua kufanya ni kuandaa chakula alichojua kuwa mkewe anakipenda sana kisha akakiweka mezani na kumbeba tena juu juu
“Njoo ule mama K wangu”
Verity alikuwa anadekezwa kupita kiasi, wakati mwingine alikuwa anafurahi lakini kuna mda roho ilikuwa inamsuta…
“Hii mimba haiwezi kuwa ya Gwakisa, lazima ni ya Dr Kelvin” verity alikuwa anajisemea mwenyewe moyoni mwake.
Akili yake ilirudi ikakumbuka walivyokuwa wanafanya mapenzi na Dr Kelvin…alikumbuka kauli za Dr Kelvin kila walipokuwa wanamaliza mzunguko alipokuwa anamwambia…
“Kwa goli hili nililopiga lazima upate mimba tu”
“Unasemaje? Nipate Mimba? Nitamwambiaje mme wangu mimi”
“Hahahaaaa ni bora nikupe mimba mimi maana usipofanya hivyo hutazaa”
“Acha ujinga wewe”
“Niache ujinga kwani hujui kuwa mme wako hazai…mme wako ni tasa na mimi ndio nilimpima ila tu sikumwambia tatizo lake, na najua kuwa hata mtoto wako wa kwanza ulimchakachua…”
Verity alipokumbuka haya yote ndipo akaamini kuwa ile mimba haikuwa ya Gwakisa kwani kwa ngono aliyokuwa anafanya na Dr Kelvin na kwa yale maelezo yake inawezekana yana ukweli…
“Una mawazo gani mbona huli?” Ilibidi Gwakisa aulize maana hakumuelewa mkewe…
“Oh nipo sawa tu, ni mawazo tu yah ii hali mpya”
“Usijali mama nitakulea kama yai”
Walimaliza kula na kuelekea chumbani ambapo siku hiyo Gwakisa hakutaka kutoka kabisa, aliamua kubaki na mkewe ndani.
Masaa yalisogea na usiku ukaingia wakalala usingizi hadi kesho yake ambapo majukumu na shughuli zingine ziliendelea.
…………………………………..
Sam alishtuka kuona mkewe anatokwa zile damu, hofu ilimtanda na kuanza kurudi nyuma nyuma, alikumbuka kipindi kile ambapo alimpiga tena akajikuta anajutia ghafla.
Mkewe alikuwa anajinyonga tu huku kashikilia tumbo lake…
Sam alijitosa na kumbeba kwenye mikono yake mpaka nje akafungua mlango wa gari na kumuweka humo, alizunguka upande mwingine akafungua mlango wa dereva akakalia usukani na kutoka nduki mpaka hospitali.
Sehemu Ya 49
Alipofika hakusubiri alimchukua na kumbeba juu juu mpaka kwa nesi aliyekuwa zamu huku kamshikilia mikononi vile vile…
“Dr muangalie mke wangu…”
Yule mama nesi alishtuka maana aliona michirizi ya damu miguuni ikabidi aulize haraka haraka…
“Ana nini?”
“Ana mimba” alijibu Sam
“Mimba? Haya mlete huku”
Sam alimbeba vile vile mpaka wodini akaelekezwa amlaze kitandani, haraka haraka alitundikiwa dripu zikaingizwa kwenye mishipa na kisha akapimwa na kusafishwa wakati huo Sam akiwa ametolewa nje.
Alipokuwa pale nje simu yake iliita, kwakuwa alikuwa na stress nyingi alishindwa kuipokea akaichunia lakini iliita tena zaidi ya mara mbili ikabidi aitoe mfukoni.
Alipoangalia aligundua mpigaji ni NISHA,
“Hallow”
“Haloo vipi Sam”
“Safi niambie”
“Nakuomba uje hapa nyumbani mara moja ni ishu muhimu sana”
“Niko hospitali mke wangu anaumwa…”
“Tafadhali njoo haraka huchelewi kurudi ni muhimu sana.”
Sam alifikiria haraka haraka na kuamua haraka haraka kuwa aende kwa Nisha, aliwasha gari na kulikimbiza akafika kwa Nisha na kumkuta akiwa ndani kajilaza na Kanga yake.
“Wao baba kijacho karibu” Sam alishtuka kusikia lile jina akajiuliza ina maana Nisha amejua kuwa mkewe ana mimba ndio maana anamuita Baba kijacho… amejuaje sasa?
“Unamaanisha nini?”
Nisha aliokota karatasi zilizokuwa kwenye kochi na kumkabidhi Sam…
“Soma baby, nina mimba yako…”
“Una nini?”
“Nina Mimba yako Sam, wewe ni baba kwasasa”
Sam hakutaka kusikia neno lingine, alimsukumiza Nisha akaanguka na yeye akatoka haraka akazama kwenye gari lake na kuacha vumbi.
“Hivi hawa wanawake wa siku hizi mbona hawana akili? Wanadhani uongo ni mali au?” sam alikuwa anajisemea mwenyewe ndani ya Gari.
Hasira alizokuwa nazo zilikuwa hazielezeki kwani alijiona akitoneshwa kidonda kwa mara nyingine, yaani ametoka kudanganywa na Mkewe alafu Nisha nae anamdanganya.
Ndani ya akili yake Sam aliamua jambo moja ambalo hakutaka kulipinga, badala ya kwenda hospitali aliendesha moja kwa moja mpaka chuoni kwa mdogo wake alipokuwa anasoma.
Alipofika alienda moja kwa moja hosteli kwao kwani giza lilikuwa limeshaingia, alimpigia Simu na kumuomba atoke waonane.
“Vipi kaka mbona Kimya kimya leo, hata kuntaarifu kabla kwema kweli“
“Kwema tu, vipi masomo yanaendaje?”
“Yako poa, ”
“Ingia kwenye gari tukaongee kidogo”
Glory ambaye ni mdogo wake Sam aliingia kwenye gari kisha wakaondoka wakaelekea kwenye sehemu inayouzwa vyakula na vinywaji wakakaa humo.
“Nipe Whisky alafu msikilize na huyu” Sam aliagiza Pombe
“Naomba savannah ya Baridi” aliagiza Glory.
“Agiza chakula unachotaka ule”
Glory aliagiza Chipsi Kuku kisha wakaendelea kunywa na kuzungumza…
“Vipi Wifi hajambo?”
“Hajambo yupo”
“Mbona leo hujatoka nae?”
“Anasema amechoka”
Waliendelea kunywa hadi pale chakula kilipoletwa wakala na kuendelea kunywa, Sam alikuwa amemaliza ile Whisky na sasa alikuwa anakunywa nyingine.
“Mdogo wangu mimi naenda kozi huko Israel”
“Haaa hongera sana kaka”
Sam alimuachia mdogo wake kadi zake za benki na PASSWORD zote akamuelekeza kisha akamrudisha hostel na kuondoka zake.
Kesho yake alielekea kazini na kuchukua kila kilichotakiwa na kuanza safari yake ya Dar es Salaam ili apae kwenda Israel.
Safari yake ya Dar es Salaam ilieda vizuri na hatimaye akawa yuko ndani ya ndege ya shirika la ndege la Qatar anaelekea Israel.
Safari yake ilichukua siku nzima na nusu na hatimaye akashuka kwenye uwanja wa ndege wa Jerusalem na kupokelewa na wenyeji wake kwa ajili ya kozi kuanza.
Hakutaka kabisa kukumbuka mambo ya nyumbani maana yalikuwa yanampa kizungumkuti, aliyemkumbuka ni mdogo wake tu.
……………………………..
Kule hospitali Rafiki aliendelea kupatiwa huduma na hatimaye akawa amezinduka. Aliangaza huku na kule kisha akagundua kuwa yuko hospitali akaanza kurudisha kumbukumbu zake nyuma akawa amekumbuka kila kitu na machozi yakawa yanammwagika.
Nesi aliyekuwa zamu baada ya kumuona kaamka alienda kumuita Doctor ambaye alikuja moja kwa moja pale alipolazwa Rafiki.
“Pole dada, unajisikiaje?”
“Najisikia vizuri”
“sawa sasa pumzika, tumegundua kuwa mimba yako ilikuwa inatishia kutoka ila tumeidhibiti kwa hiyo unatakiwa upate mapumziko muda wote wa Mimba yako kwani inaonekana iko kwenye riski ya kutoka”
Baada ya Rafiki kusikia vile machozi yalizidi kummwagika…
“Usilie na usijipe mawazo kwani kwa mimba ya aina hii hutakiwi kuwa na stress, naomba umpigie mme wako simu aje”
Rafiki alivyosikia jina la Mme wake alizidi kuumia na machozi yakammwagika zaidi, hakuwa na jinsi aliomba simu ili ampigie mme wake lakini kila alipopiga ilikuwa haipatikani….
Hisia mbaya sana zilimjia kuhusu mme wake, alijua lazima mme wake ameamua maamuzi mabaya, hofu ilimjaa moyoni akajikuta anaemia sana…
Glory akiwa chuoni siku moja aliishiwa fedha ya stationary akaamua kwenda kuchukua fedha kwenye akaunti ya kaka yake.
Alipofika alitoa shilingi laki moja kwenye ATM kisha akachukua risiti na kutoka nje ili arudi chuoni, akiwa kwenye bodaboda alijiuliza jambo flani.
Iweje kaka yake amuachie kadi zake za benki ili hali mkewe yupo? Alipata wasiwasi na kwasababu hakutaka kuingia kwenye mgogoro na wifi yake aliamua kumtafuta kwenye simu ili amrudishie zile kadi na akitaka fedha basi atamuomba wifi yake.
Alichukua simu akatafuta namba ya wifi yake ambayo aliisevu “mke wangu” akaipiga lakini haikupatikana.
Aliipiga tena na tena lakini haikupatikana pia, hapo hapo alimwambia Yule bodaboda ageuze pikipiki ampeleke nyumbani kwa kaka yake.
“Utaniongeza buku lakini”
“usijali”
Pikipiki ilienda mpaka nyumbani kwa kaka yake akashuka nje ya geti akagonga na kuingia ndani, alimkuta mlinzi pale kwenye kibanda chake akasalimiana nae na kuingia ndani.
Kule ndani alimkuta msichana wa kazi ambaye alimuuliza alipo wifi yake akamjibu kuwa aliondoka na Kaka yake kwenda hospitali lakini hajarudi hadi muda ule.
Hapo hapo Glory wasiwasi ulimzidia, alijiuliza kwanini mambo yawe hivyo, siku aliyotajiwa kuwa kaka yake alimpeleka mkewe hospitali hadi kufikia siku ile ni kama wiki imepita.
“Ina maana wifi kalazwa siku zote hizi na mbona kaka hajaniambia?” alizidi kujiuliza maswali.
“alipelekwa hospitali gani?”
“Sijui”
“Ina maana hujawahi kwenda kumuangalia?”
“Sijawahi kuambiwa niende kumuangalia”
Glory baada ya kusikia hivyo hakutaka kusubiri zaidi, alienda moja kwa moja kwenye hospitali ambayo huwa wanaitumia sana mara kwa mara ili kujaribu bahati kama atamuona wifi yake.
Alipofika alipita moja kwa moja mapokezi na kuulizia kama kuna mgonjwa mwenye jina la Rafiki Mndeme…
“Ngoja niangalie”
Yule nesi wa mapokezi alipekua kwenye daftari lake kisha akauliza tena…
“Ameletwa lini hapa?”
“Ahhhh … kama wiki moja hivi imepita”
“Anhaaa kama ni huyo yuko wodi ya Sokoine nenda utamuona”
Haraka haraka Glory alipiga hatua kuelekea kwenye wodi aliyotajiwa, alipofika aliangaza macho yake kwenye baadhi ya vitanda huku akitoa pole kwa baadhi ya wagonjwa aliowaona wamelazwa pale.
Sehemu Ya 50
“Poleni jamani”
“asante”
Kila alipokuwa anapita alikuwa anatoa pole…
Hatimaye alifika kwenye kitanda ambacho alimuona Verity amekaa akajua hapo alipokaa lazima ndipo alipo Rafiki kwani hawa ni mtu na dada yake.
Aliwaendea akakuta wakiwa wanaongea taratibu kisha akawasalimu, walishtuka sana kumuona lakini kwa hali ya kushangaza Verity aliachia msonyo mkubwaaa ambao ulimshtua sana Glory…
“Mchyuuuuuuuuuu” baada ya kutoa huo Msonyo aligeuza shingo yake kando.
Rafiki yeye hakuweza kusema chochote isipokuwa alilengwa na machozi tu….
“Jamani mke wangu…yani unalazwa hospitali hata huniambii mmeo jamani…” aliongea Glory huku akikaa kitandani na kumshika wifi yake mkono…
Hapo hapo Verity aliamka na kuchukua pochi yake…. “Dada nitakuja badae madikteta wako wakiondoka”
Kauli hii ilimshtua Glory lakini hakujali….
“Wifi mbona sielewi, unaumwa nanini?”
Rafiki kwa mara nyingine hakuweza kujibu kitu akabaki anatokwa machozi tu, Glory alihisi jambo ambalo sio la kawaida akakaa vizuri akamshikilia wifi yake viganja na kuwa anavisugua sugua.
“Niambie wifi yangu, nyamaza usilie niko hapa kwa ajili yako…”
“Wifi Glory…!”
“Niambie Mke wangu”
“Kaka yako ana roho ngumu sana…!”
“Basi wifi, naomba usiniambie kwasasa, ugua kwanza upone tutaongea yote wifi, naomba unipe dakika moja narudi”
Glory alienda moja kwa moja mpaka kwa dokta wa zamu ili ajue ninini kinamsumbua wifi yake mpaka akalazwa pale…
“Umesema ni nani yako Yule…?”
“Ni wifi yangu…mke wa kaka yangu kabisa”
“Mlikuwa wapi siku zote mpaka anabaki hana wa kumhudumia?”
“Mimi sikujua kwasababu niko chuo nasoma, hata leo nimebahatisha tu baada ya kurudi nyumbani na kumkosa kwani mme wake ameenda masomoni nje ya nchi”
“Sawa…wifi yako ana Mimba ambayo inatishia kutoka, hivyo yuko Bed Rest hadi tutakapokuwa na uhakika wa hali yake, ama kama kuna mtu wa kumhudumia nyumbani bila yeye kufanya kazi yeyote tunaweza kumruhusu…”
“Sawa, ngoja mimi nikaongee nae…”
Glory akiwa anajisikia hatia sana kwenye moyo wake alirudi pale alipolazwa wifi yake na kukaa tena kitandani.
Alimsihi sana wifi yake kuwa akubali kurudi nyumbani kwani atahama hosteli na kukaa nyumbani ili amhudumie…
Ilikuwa ngumu sana kwa Rafiki kukubali lakini mwisho alikubali na hivyo taratibu za kuruhusiwa zilipokamilika waliondoka kurudi nyumbani.
Walipofika nyumbani Glory alihakikisha wifi yake anaoga na kula vizuri kisha akachukua nguo chafu za wifi yake akazifua, akasafisha chumba vizuri na kuhakikisha kila kitu kiko sawa ndipo akaenda kukaa na wifi yake ili waongee haswa nini kilichotokea.
Wifi mtu hakuacha neno, alisimulia kila kitu kilichotokea mpaka akajikuta amelazwa hospitali na kuachwa bila msaada. Sio siri maelezo yale yalimchoma sana Glory na kujikuta akilia.
Hakuamini kuwa kaka yake ndio anaweza kuwa na roho ngumu kiasi kile…
“Kaka Sam ndio ana roho ngumu ngumu kiasi hicho?”
“Basi wifi…usilie wewe tulia tu, mungu yupo upande wako na wala usilalamike. Nipo kwa ajili yako na hata kaka atajirudi tu”
“Yani wifi isingekuwa wewe nilishaamua niondoke zangu pindi tu nitakapokuwa buheri wa afya, hata hivyo sijui atarudi na lipi?”
“Usitie shaka wifi kwani hata hizi kadi zake za benki aliniambia nikupe” hapa Glory ilibidi adanganye.
………………………….
Sam alikuwa amemaliza miezi mitatu akiwa Israel, na alikuwa kwenye hatua za mwisho za kumaliza kozi yake na kwa wakati wote huo hakupiga simu nyumbani kuulizia hali za huko.
Moyoni mwake alikuwa na kinyongo kikubwa mno cha kuhisi amesalitiwa na mke wake na Hawara yake (NISHA) wote kwa pamoja.
Aliwalaani wanawake na kuwaona mashetani, iweje najijua kabisa kuwa nina matatizo alafu niembiwe nimewapa Mimba…?
Siku hiyo kwasababu walikuwa off aliamua kwenda kwenye hospitali bora ili aangalie afya yake ya Uzazi kwani aliamini kule kuna hospitali bora zaidi.
Kwakuwa alikuwa raia wa kigeni ambaye alikuwa anaishi kwa kibali maalumu alipewa kipaumbele na hata huduma yake ilikuwa bora kabisa.
Ndani ya dakika kadhaa aliitwa kwa ajili ya majibu ya vipimo ambayo yalimshtua sana, Dokta aliyempa majibu alishangaa kwa kuona Sam ameduwaa huku yeye alitegemea kuwa angemkuta akiwa mwenye furaha lakini ilikuwa tofauti.
“Ina maana nilishapona? Ina maana hata zile mimba inawezekana ni za kwangu?” alijiuliza maswali ndani yakichwa chake…
………………………….
Miezi mitatu ilikuwa imekatika kama utani ambapo ilikuwa ni wakati wa Verity kuhudhuria kliniki, kwakuwa inapaswa kwenda Kliniki na mme wake, Gwakisa hakusita kuambatana na mke wake ili wahudhurie wote kliniki hususani hii ya kwanza.
Ndani ya gari Gwakisa alikuwa amefungulia mziki wa taratibu akisikiliza wimbo ulioimbwa na Mark Antony…. ‘You Sang to me’
Ndani ya moyo wake alikuwa na furaha ya kutosha kwani aliamini kwa umri wa Mimba ya mkewe uliofiikia ni muelekeo mzuri wa ukuaji wa mimba.
Alijiona akiwa na dalili za kuitwa Baba ndani ya miezi kadhaa ijayo na hiyo ilitosha kabisa kumfanya ajione mwanamme kamili.
“Umekaa sawa sweetieee” aliuliza Gwakisa kabla ya kuondoa Gari…
“Mh twende bhana…” alijibu Verity
Safari ya kwenda hospitali ilianza ambapo Taratibu na kwa mwendo wa pole Gwakisa aliendesha gari akihofia kumuumiza mtoto wake aliye tumboni huku akijitahidi kukwepa mashimo.
Hatimaye walifika hospitali na kukaa kwenye foleni ambapo baada ya muda kidogo alikuja Nesi na kutoa tangazo…
“Walioambatana na waume zao wasogee mbele”
Verity na Gwakisa walinyanyuka na kusogea mbele na kujikuta wakiwa wa Kwanza kwenye foleni na kisha kuingia ndani…
“Hongera sana Baba kwa kuambatana na mkeo…”
“Asante sana, mimi ni mwanaume ninayetambua wajibu wangu…” alijibu Gwakisa kwa mbwembwe…
Haya kabla ya kila kitu itabidi mpime afya zenu wote kwa pamoja…
Sam alijiona mwenye hatia sana, aliumia moyoni kwa jinsi ambavyo amemtenda mkewe huku akiwa hana hatia,
“Hivi huyu mwanamke atanielewa kweli? Hii ni mara ya ngapi namfanyia ukatili wa kutisha kiasi hiki?”
Sam alijiuliza mwenyewe bila kupata majibu ya wapi anakoitoa roho mbaya kiasi hicho.
Alijiuliza ataingia na gia gani kwa mkewe mpaka amuelewe,
“Hivi ni mzima wa afya lakini, alikufa ama alipona” haya ni maswali ambayo Sam alikuwa anaendelea kujiuliza peke yake.
“Ngoja nimtafute Glory”
Alichukua simu yake akaitafuta namba ya Glory na kuipiga, alipiga zaidi ya mara tano lakini ilikuwa haipatikani.
Hofu ilikuwa kubwa kwani alitamani sasa ajue kuhusu hali ya nyumbani kwani ameshajua kuwa yeye ndie mkosaji.
Mawazo yalikuwa yanapita na kurudi kisha likaja la kumtafuta mkewe…
Huku mapigo ya moyo yakienda mbio alianza kuipiga namba ya mke wake lakini hali ilikuwa kama kule kwa Glory, nayo ilikuwa haiko hewani.
Alizidi kuumia kwa mara nyingine, hapo hapo akili yake ikamkumbuka “NISHA”
“Ah ngoja nimpigie na huyu nione”
Alitafuta namba ya Nisha akaipiga na kwa bahati nzuri ikawa inaita, ndani ya sekunde kadhaa ikapokelewa
“haloo”
“Nani Mwenzangu?”
“Samahani naongea na NISHA?”
“ndio wewe ni nani?”
“Oh Nisha, mimi SAM”
“Mchyuuu, ukome kunipigia!” hapa Sam alishtuka vilivyo.
“Unasemaje NISHA?”
“Nasema hivi ukome kunitafuta, na nakwambia utanijua mimi ni nani”
Baada ya NISHA kusema hivyo akakata simu na kuizima kabisa, Sam alijaribu kuipiga tena na tena lakini ilikuwa haipatikani akajua imezimwa.
Hofu ilianza kumjaa alijiuliza ikiwa NISHA tu ambaye sio mke wake lakini amekasirika kiasi hicho itakuwaje kwa Rafiki.
Aliamua tena kumtafuta Mdogo wake (Glory)
Furaha ililipuka ghafla baada ya kusikia simu ya mdogo wake ikiita…
“Glory mdogo wangu”
“Shkamoo kaka”
“Marahaba habari za huko?”
“Nzuri tu…”
“Mbona nimekupigia ulikuwa hupatikani?”
“NIlikuwa kwenye mtihani”
“Mbona unajibu shoti shoti kiasi hicho”
“Hapana niko sawa tu”
Sam aligundua kuwa hata mdogo wake alikuwa na hasira nae, hapo ilibidi ahoji vizuri.
“Glory niambie ukweli una tatizo gani?”
“Sina tatizo kaka ila nawaza tu kuwa kwa ukatili unaomfanyia wifi ipo siku utauhamishia hata kwangu”
Hapo sasa Sam alielewa anachomaanisha Mdogo wake…
Ilibidi Sam amuelezee Glory kinagaubaga chanzo chakile alichokifanya, alijieleza mno kuanzia matatizo yake na jinsi ambavyo alihisi kuwa anachakachuliwa,
Kwa mbali Glory alimuelewa lakini alimlaumu kwanini anachukua maamuzi bila kutafakari kwanza…
“Hivi kwa mfano kama ungemuua unahisi nani angekuelewa?”
“Nisamehe mdogo wangu, naomba unisamehe sitorudia tena”
“Sasa kaka naomba tu nikwambie ukweli … Wifi alifariki”
“Unasemaje Glory”
“Ndio kaka Wifi alifariki na ameshazikwa”
“Kaka, kaka ….” Glory aliita lakini ukimya ulitanda kaka yake hakujibu kitu na hatimaye simu ilikatika.
Alijaribu kuipiga tena lakini ilikuwa haipokelewi, Glory alianza kujuta kwanini kamdanganya lakini alipotaka amwambie ni uongo simu ilikuwa haipokelewi na badae ikawa haipatikani kabisa.
………………………..
Sam baada ya kusikia ile taarifa alisikia kama kitu kimemkaba kifuani akaanza kutetemeka…
Mikono iliishiwa nguvu na pumzi ikawa haitoki na hatimaye akadondoka chini na kupoteza fahamu.
……………………………..
Glory alipoona kaka yake hapatikani ilibidi aende nyumbani kwa wifi yake na kumkuta amekaa sebuleni anaangalia tv..
“mke mbona mbio mbio hivyo”
“Mke acha tu, nimeyatimba”
“Nini tena?”
“Kaka kakupigia simu?”
“MH hiyo simu nilivyoitupa hata chaji haina”
“amenipigia ananiomba nimuombee umsamehe si kwa hasira nikamdanganya kwamba ulifariki….”
“Haaaa wifi! Kwahiyo ikawaje?”
“Nilimsikia tu akitoa mshtuko na hakuongea tena hata sasa simu yake haipatikani”
………………………..
Vipimo vya damu vilichukuliwa kati ya Verity na Gwakisa kisha wakakaa kusubiri majibu.
Ndani ya muda mfupi majibu yao yalikuwa yamekamilika na hivyo kutakiwa kupatiwa majibu yao.
Kabla ya kupewa majibu ilibidi ushauri nasaha kwanza utolewe…
Wataalamu wale wa ushauri nasaha na kupima walitoa ushauri mrefu huku wakiwauliza maswali mengi lakini swali moja ndilo liliwashtua lakini likiwa limemshtua Verity zaidi…
“Ikitokea mmoja wenu ana Virusi vya UKIMWI alafu mwingine hana je ? mtachukua uamuzi gani? ”
Hapo ilibidi wote wamtolee macho muuliza swali bila kujua kila mmoja ajibu nini, lakini kabla hawajajibu Yule dokta alianza kuwashauri kuhusu ikitokea mmoja wao ana maambukizi alafu mwingine hana,
Aliwashauri namna ya kuishi na kuendelea kuwa wanandoa huku wakisaidiana na kuendeleza maisha yao bila mwingine kupata athari.
Kwa ushauri ule tayari walishahisi kuwa kuna mmoja wao ana maambukizi lakini sasa ni nani kati yao … hapo ndio ilikuwa kitendawili.
“Mjibu ya vipimo yanaonesha kuwa Mrs Gwakisa una maambukizi ya virusi vya Ukimwi ”
Baada ya kusema tu sentensi hiyo kabla haijamalizikia vizuri Verity alijishika kifuani na hatimaye almanusura kama asingeshikiliwa angeanguka chini.
Gwakisa alimshikilia mkewe na kumlaza kwenye miguu yake ambapo ilibidi ahudumiwe kwanza kwani alikuwa ameshalegea na hajitambui.
“je? Vipi kuhusu mimi Dokta?” gwakisa ilibidi aulize kwani yeye alikuwa hajapewa majibu yake.
“Majibu yako haya hapa, kama huelewi useme”
Gwakisa alichukua ile karatasi akaisoma na kugundua kuwa yeye ni mzima.
Hapo sasa mawazo yalianza kumuandama akilini, ina maana huyu VERITY amenisaliti mpaka akaambukizwa jamani? Alijiuliza Gwakisa.
“Inakuwaje mimi sijaambukizwa? Inakuwaje kuhusu hii mimba, ni yangu kweli?”
Hasira zilikaba koo la Gwakisa na hakutaka kusubiri zaidi. Taratibu alianza kuondoka zake.
Hatua ya kwanza ya pili yatatu akavutwa shati, alivyogeuka akakutana na sura ya Yule dokta…
“Unakwenda wapi? Njoo kwanza.”
“niache niondoke”
Watu waliokuwa pale mapokezi walistaajabu wakawa wamemtolea Gwakisa macho wakijiuliza ni kitu gani kimetokea.
Baada ya Gwakisa kurudi ilibidi akalishwe kitako na kushauriwa upya, alibembelezwa kwa namna nyingi mpaka akaelewa na kuridhia kuendelea kuishi na Verity.
………………………….
Sam aliokotwa na wenzake waliomuona akiwa anaanguka na kumchukua hadi kwa daktari ambaye almpa huduma na baadae akaamka.
“Naomba simu yangu” ndio kitu cha kwanza Sam aliongea baada ya kuamka tu.
“Msimpe simu” dokta ndie alitoa ushauri.
Ikawa hivyo kwamba Sam hakupewa simu hata baada ya kuomba sana, dokta aliamini kuwa simu ndio ilisababisha yote, hivyo basi ilibidi apatiwe dawa za usingizi ambapo alilala hadi kesho yake akawa ameamka akiwa mzima.
Ilibidi ahojiwe vizuri kuwa nini ni hasa kilimpata mpaka akafikia hatua ile lakini hakutaka kuweka wazi ninini hasa aliambiwa akiamini kuwa ataonekana mtu wa ajabu hivyo akatoa sababu za uongo kwamba ameambiwa nyumba yake imeungua.
Mambo yalipokaa sawa walirudi kwenye ratiba za kawaida na hapo ndipo alipopewa simu yake na kuiwasha.
Moyo wake ulijaa simanzi mno kiasi kwamba alijiona hana maana ya kuishi duniani kwani aliyoyafanya atayajutia maisha yake yote.
Ndani ya moyo wake alikuwa anampenda sana mke wake, kitendo cha kuambiwa amefariki alijikuta ameumia sana, ni afadhali hata angefariki kwa hali ya kawaida tu lakini alijiona kuwa ana hatia mbele zake na mbele za Mungu.
Kila alipokuwa anaingia kwenye masomo yao ilibidi kuwa anazima simu na kuiwasha anapokuwa anatoka.
Kwakuwa mafunzo yalikuwa kwenye hatua za mwishomwisho walikuwa wanapewa muda wa kupumzika mapema na hata kufanya mambo mengine kama vile kutembea mtaani.
Siku moja akiwa amejilaza chumbani kwake akitafakari maisha jinsi yatakavyokuwa bila ya mkewe wenzake walimfwata chumbani wakimtaka wakatembee mtaani kwa ajili ya kupata mbili tatu lakini Sam aligoma akidai kuwa anapumzika.
INAENDELEA

