UJI MZITO
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
SEHEMU YA 4
Baada ya chakula kidume kikaribishwa sahani ya matunda, wala hakuvunga, aliishindilia ipasavyo, kitendo kilichomfurahisha yule mama kupita maelezo mpaka mbosoni alishangaa, wakati akiwa anakula matunda, mama alimtaka radhi Mbosoni kwa muda ule alipokaa kimya pindi alipoulizwa anaitwa mama nani,
“Hilo halina shida mama,”…
SONGA NAYO
“Mimi sijabarikiwa kupata watoto,”
“Hilo sio tatizo, hata Sara mke wa Abrahamu alimpata isaka wake uzeeni sana,”
“Sara sio mimi, natamani sana mtoto lakini sina uwezo huo,”
“Mtoto utapata, tena mapacha, huu mwaka hautaisha,”
“Mbosoni niko siriazi,”
“Mama, ninawezaje kukutania?”
“Umejuaje?”
“Ninaamini hivyo, nakuomba uamini pia, kukata kwako tamaa kunaashiria mengi yanayoendelea nyuma ya pazia ambayo kwa majina mengine ningeweza kuyaita ni misumari inayochoma moyoni,”
“Ni kweli, umayajuaje yote hayo?”
“Kwa imani, watu wanaohisiwa kuwa na kasoro, wanahitaji upendo wa kweli kuliko kawaida, wakiukosa huwa wanaishi kwenye mateso sana.”
“Yaani kila neno unaliloongea ni kama ulikuwa moyoni mwangu,”
“Mama!”
“Abee,”
“Nikikuita mama haina shida sio?”
“Ndiyo, kwanini umeuliza hivyo,”
“Nilitaka kujua tu, “
“Au wewe ulihitaji uniite nani?”
“Mama Mbo.” Alipoambiwa hivyo alicheka sana,
“Labda hilo liwe la utani.” Mbosoni alipoambiwa hivyo aliwaza kwa muda mpaka mama huyo akamshtua kwa kumgusa mkono,
“Unawaza nini?”
“Jina la mwanao,”
“Mwanangu yupi?”
“Utakayempata mwaka huu,”
“Kwanini unaamini sana hivyo? Wewe ni malaika au?”
“Hapana, sio malaika, mmmh…nimepata jina!”
“Jina gani?”
“Josefu na Josefina,”
“Watoto wawili ina maana mapacha?”
“Ndio,”
“Wewe Mbo wewe!” mama huyo alikuwa akitilia shaka imani ya Mbosoni juu yake, ila moyoni maneno hayo yalimfariji sana. Moyoni mwake alitaka kukiri kuwa uwepo wa Mbosoni umemfanya kujisikia vizuri sana lakini alisita na kuona kama atakuwa amemvimbisha kichwa Mbosoni.
Kuna wakati kimya kilipita wakiwa wanaangaliana kwa kuibiana, yaani hakukuwa na aliyekuwa na neno kwa mwenzake. Mara mama huyo aliinuka akielekea chumbani kwake, macho ya Mbosoni hayakutua sehemu nyingine zaidi ya kwenye chura iliyokuwa imekaa kichokozi, kile kiuno chembamba ndicho kilichoongeza ushawishi mkubwa. Basi alipoachwa peke yake Mbosoni aliuweka vizuri msumari wake maana ulishajiandaa kugongelea. Akili ya kuondoka haikuwepo kabisa, mama huyo alirejea na albamu ya picha zake, picha zilizomfanya Mbosoni kuongea maneno mengi bila aibu kama alikuwa na mwanamke wa rika lake.
Picha zilikuwa za kichokozi na Mbosoni hakujua kwanini aliweza kuruhusiwa azingalie, kama kuna moja hiyo ilipigwa maeneo ya ufukweni, mtoto wa kike ndani ya kigauni chepesi kiasi kwamba nguo ya ndani iliyokuwa nyekundu ilijionyesha dhahiri,
“Hii hapana!” alitaka kumpokonya Mbosoni picha hiyo
“Sitaki,”
“Lete bwana hiyo usiiangalie,”
“Sikupi.” Mbosono alipokuwa akimjibu hivyo akaanza kumpokonya, kuhangaishana kukaanza, kwavile Mbosoni alikuwa amekaa kwenye kiti, yeye alikuja kwa nyuma na kuinama kidogo kisha mikono yake miwili kuipitisha shingoni mwa mbosoni akiitafuta mikono Mbosoni iliyokuwa katikati ya mapaja ili aichukue picha yake.
“Hiyo picha mbaya bwana,” alisema
“Yaani hata uniue! Hii picha lazima niondoke nayo,”
“Wewe Mbo lete bwana,” aliongea kwa sauti ya kubembeleza kweli,
“Sitaki mimi.” Mbosoni aliongea kwa kudeka, basi katika kurupushani, vidole havina macho, mara parakacha! Kaugusa msumari wa mbosoni uliokuwa wima, alishtuka kwa kuita kabisa “Yesu!” baada ya kushtuka hivyo, kimya kikatawala, zile vurugu za kuhitaji picha yake zikasitishwa kabisa, kwavile Mbosoni alielewa alichokigusa, alikosa cha kuongea,
“Vipi mbona kimya?” alihoji Mbosoni baada ya kumwona ametulia kama amefiwa kwenye kiti chake,
“Basi tu!”
“Na mbona umeshtuka hivyo?”
“Nani, mimi?”
“Ndiyo,”
“Mimi sijashtuka,”
“Ila umefanyaje?”…
SEHEMU YA 5
MTUNZI : GEOFREY MALWA
“Nimeshangaa tu,”
“Ulichoshangaa?”
“Hatuezeki bati lakini msumari umeshasimamishwa ili ugongelee,” aliongea kimafumbo,
“Tatizo msumari haujapata tu ruhusa, maana huyo mwenye mzumari mwenyewe anatamani kweli kugongelea,”
“Kwa msumari aliokuwa nao, sio haba, ila anaweza kuutumia? Maana kuezeka bati sio kazi ndogo,”
“Umbile la msumari halitabiri kazi nzuri, ila ufundi ndio kila kitu.”
Walijibizana kwa maneno Fulani walioelewana wao kwa wao. Mama huyo alianza kuwa macho ya kivivu, kufumbua tu jicho alitumia kama sekunde tatu. Mkao wake wa kihasara na jinsi midomo yake alivyokuwa akiifanya vilionyesha dhahiri alihitaji kushughulikiwa.
Ghafla simu yake iliita, mama huyo alisonya kabla hata hajajua aliyekuwa akimpigia, aliifuata kwa hasira kisha akaipokea na kuweka sura ya uchangamfu aliyojilazimishia,
“Kweli?”
“Saa ngapi?”
“Najua, juisi ya tikiti, utaikuta shoga yangu,”
“Shemeji yako hayupo, bado hajarudi kazini,”
“Huo ubuyu nausubiri shoga yangu,”
“Sawa usafiri salama.”
Hayo maneno yote aliongea mama huyo akimjibu aliyekuwa akiongea naye, Mbosoni aliyasikia. Basi huyo mama alimgeukia Mbosoni kisha akatabasamu,
“Kuna rafiki yangu Fulani anakuja,”
“Ooh! Sawa, basi acha mimi niondoke,”
“Samahani lakini, sikupenda uondoke kwa mtindo huu,”
“Usijali, najua,”
“Umenisamehe?”
“Hujanikosea mbona, tena mimi ndio natakiwa nikushukuru kwa msosi mzito,”
“Msosi gani bwana, ebu naomba simu yako,”
“Simu yangu?” Mbosoni alirudia alichoambiwa utadhani hakusikia, aliona aibu kutoa simu yake, ilikuwa ni ‘Smatifoni’ ila mwonekano wake ndio ulitisha. Ilikuwa imechakaa halafu nyufa kwenye kioo zilikuwa za kutosha.
Alipoitoa, yule mama aliichukua bila hata kuongea neno kisha akakaa nayo kama sekunde kumi hivi na kumrudishia. Kukawa hakuna jinsi, Mbosoni kwa unyonge alianza kupiga hatua za taratibu akiuelekea mlango akijua pengine ataitwa hata aagwe kwa busu, filamu za kibongo zilimuathiri, mama huyo alibaki akimwangalia mbosoni mpaka alipotoka nje, kuagana kwa kushikana mikono kulitosha kwa siku hiyo.
Basi baada ya kuondoka Mbosoni, hazikupita dakika kumi akaingia huyo aliyesababisha mbosoni kuondoka mapema nyumbani hapo, alikuwa ni mama wa makamo tu, huo mshindu aliobarikiwa huko nyuma ukichanganya na urefu, ungeweza kumwita mrembo wa miaka ishirini na tano hivi, pesa ilimtunza vyema na kumfanya aendelee kudai kimvuto.
“Mamaa Fei,”
“Mrs Lomo, mwanamke asiyezeeka duniani,”
“Ebu toka hapa!”
“Kweli shoga yangu uniambie tu unatumia kitu gani,”
“Hamna kitu shoga,”
“Juisi yangu ya tikiti!”
“Ipo, hata huvuti pumzi na wewe?”
“Ilete mama! Ilete mama! Nikupe ubuyu.” Basi Mrs lomo akamletea juisi hiyo ambayo ilishaanza kupata ubaridi Fulani.
Mama Fei ndilo lilikuwa jina la mgeni huyo mwenye ubuyu, akaanza kuumwaga huo ubuyu, Mrs lomo alikuwa makini kumsikiliza, alianza kwa kusema,
“Shoga yangu, kweli sikuwahi kuchepuka katika maisha yangu lakini juzi uzalendo ulinishinda mamaa, kijana wa kinyamwezi yule Jamani daah! Na kilanga changu chote komo!”
“Kwahiyo umechepuka?”
“Sikupanga ila ilikuja ghafla na sijui kama nitaacha,”
“Tena! Kwa kipi hasa?”
“Yule bwana anajua kugongelea sio masihara, Jamani, kweli alinirudisha enzi zangu za usichana,”
“Sasa ilikuwaje, nianzie mwanzo,”
“Unavyopenda udambu udambu sasa!”
“Sasaje! Udambu ndio kila kitu,”
“Yaani shoga yangu siku ukijaribu kuchepuka ndio siku utakayokuwa umeonja buyu la asali, hautaacha mpaka liishe lote,”
“Aah wapi!”
“Nilisema hivyo hivyo,”
“Kwani wewe umeng’atwa mara ngapi?”
“Mara moja,”
“Sasa, unaweza ukaamua kuacha sio?”
“Sio mimi ninayeamua, wewe hujang’atwa na yule ‘Broo’ ndio maana unasema hivyo,”
“Tuachane na hayo, nipe ubuyu kuanzia mwanzo,”…
SEHEMU YA 6
“Huyo kijana bwana, alitumwa na mume wangu kuleta mzigo nyumbani, lilikuwa ni boksi la tisheti. Alikuja na baiskeli, muda huo alitoka kufanya mazoezi. Alivalia suruali ya traki na vesti iliyomwonyesha kifua chake cha mazoezi. Basi bwana, muda huo nikiwa naoga niende kwenye biashara zangu, hodi ikabishwa, kwavile sikuwa na miadi na mtu yeyote, nilijua tu atakuwa ni mume wangu amesahau kitu, nilitoka nikiwa nimejipitisha taulo tu, si unajua tena na huu mzigo hapa nyuma taulo lenyewe halikunitosha vyema. Sasa nilipofungua tu mlango tena kwa kujiamini nikijua ni mume wangu, nilishtuka! Kumbe ni huyo kijana,
“Samahani mamii, nimeleta mzigo,” aliniambia hivyo kwa sauti Fulani kama anabembeleza hivi
“Sawa, mbona jasho hivyo?”
“Nilikuwa nafanya mazoezi,” alipoongea hivyo alinikata kijicho cha wizi kutazama mapaja yangu kisha akabana midomo yake,
“Uweke chini,”
“Sawa, wakubwa wanafaidi,” alianza kunichokoza, alipoweka huo mzigo chini, toba lailai! Kumbe msumari wake ulikuwa umeshaanza kututumka. Sijui nikwambie nini shoga yangu unielewe, nilisisimka mwili na kujikuta nikiutolea macho msumari wake, sio kwamba nilipanga kufanya hivyo ila hiyo hali ilinitokea tu. Kibaya zaidi alijua nilikuwa nikikodolea msumari wake,
“Vipi umeupenda msumari wangu?”
“Ebu toka hapa! Tayari umeshaufikisha mzigo ondoka,” nilimjibu lakini sikumaanisha, tena jibu langu lilikuwa na jeki kwenye msumari wake, uliinuka kama kushtuka Fulani hivi,”
“Ikawaje sasa?” Mrs lomo alihoji kwa shauku kweli
“Basi mwenzangu! Nilipotaka kufunga mlango, akaweka mkono kuuzuia, nilimshangaa lakini uso wangu ulishakubaliana na matokeo yeyote, jamaa akadinda hapo mlangoni, sasa zile kurupushani na taulo langu lisilonitosha kutokana na ukubwa wa wowowo likaanguka, kile kitendo cha kuliokota haraka, jamaa sijui alikuwa na kasi ya namna gani, kwasababu niliinama na kuacha huru kati kwangu kulikokuwa kunahitaji kupanguswa ule mchuzi usio na rangi, ile kuinuka ni kama nilifumba kitu kati kwangu,”
“Nini! Ina maana kitu gani ulikifumbia kati kwako?” Mrs Lomo alihoji
“Gumba mama! Dole gumba lake,”
“Yesuu! Na ukamwacha?”
“Ningefanyaje sasa na wakati alikuwa akinitakua nalo utadhani kuku alapo pumba zilizomwangwa chini,”
(Wote walicheka kwa sauti kubwa)
“Ukalegea mwenyewe! Na hilo jicho sasa!”
“Jicho tu! mpaka chura yote ililegea,”
“Enhee!” Mrs Lomo alihitaji mwendelezo wa matukio, mama Fei aliendelea,
“Yule jamaa hakunipumzisha hata sekunde moja, nilikuwa nikimzuia na dole gumba lake liling’ang’ania huku kati kwangu utadhani liligandishwa na ‘Supagluu’ sio kwamba nilikuwa napambana kwa nguvu zote kwasababu mimi mwenyewe nilitamani kamchezo hako. Sikuamini kama ndiyo nilikuwa naelekea kutoa kati kwangu, jamaa akachomoa msumari wake kutoka ndani ya ile suruali ya traki, hata haikuwa kazi ngumu, msumari ulikuwa umenyooka kuliko maelezo, moja kwa moja ukaingia kati kwangu,ila mimi naye nilikuwa kichaa, eti nilikuwa nikimzuia asinishambulie na dole gumba lake huku nikiwa nimemwinamia utadhani nafua vile. Alipoanza kunishambulia, ndio nikajua kuwa nilikuwa napenda nini katika kubanguana. Alinishambulia kwa haraka, nilitulia kama gogo huku kati kwangu pakiwa panasuguliwa utadhani ni mashindano, taratibu nilianza kupata msisimko Fulani ambao sikutaka uishe, nikaanza kushikilia kochi vizuri huku nikitoa sauti Fulani za kuitikia mapigo,”
“Msisimko huo ulikuwaje?” Mrs Lomo alimpachika swali
“Hauelezeki shoga yangu, yaani unahisi kila sehemu ya mwili wako inakunwa kwa wakati mmoja, sasa hiyo tisa, kumi pale alipoanza kuzungusha kiuno huku akishushia moto wa hatari, yaani alikuwa kama mashine, alinisugua kwa kasi, ule msisimko uliendelea mpaka nikawa sijielewi kabisa, ule msisimko ukazaa msisimko mwingine ambao nilihisi nakufa shoga yangu, nikamaliza haja zangu na yeye hapo hapo akamaliza zake, nilijiegemeza pembeni ya kochi, nikawa namshukuru huku tukiongea stori fulani ambazo hata sikuzielewa, mwenyewe akawa ananishika kichwa ananibembeleza, nikapitiwa na usingizi,”
“Khe! Ikawaje baada ya hapo?”
“Nilipokuja kushtuka sikumwona tena, masikini hata jina sikumjua, lakini huku kati kwangu nikahisi kama nimebandikwa kitu, ile kuangalia kilikuwa ni kikaratasi, nikakitoa na kukifungua, kiliandikwa namba za simu na jina Hassan. Nilibaki nikitabasamu tu mwenzangu, basi nikanyanyuka na kwenda kuoga tena…
INAENDELEA

