LOVE AND SEX
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 6
“Hello dear natumaini uko pouwa sasa basi kesho nataka tukale raha Palm beach hotel nataka uje tupeane utamu siku nzima mpaka jioni Onyo kama hautokuja pablo kama hautokuja pablo narudia?? utajua jeuri ya pesa ya baba yangu itavyokuja kiutafuna familia yenu”Nikasoma messeji hiyo nakujikuta nikiishiwa nguvu kabisa hasa aliponambia kuwa nitajua jeuri ya pesa ya baba yangu.Nakilichozidi kuniacha katika ndimbwi zito la mshangaoo ni kuwa sehemu aliyoitaja zureiya anayotaka tuonane ndio hiyohiyo anataka rukaiya tuonane hapohapo na kuzidi kubaki njia panda…..
↓
Hakika siku hiyo ilikuwa mbaya sana hasa kwangu kwa sababu masaa yalikuwa yanakwenda kwa kasi kuliko siku zote huku kila nikijaribu kupanga mikakati kwanza itakuaje ilikuwa haiji huku kichwa changu kikataa kabisa kunipa maamuzi ya ushauri wa kufikiri na kujikuta nikibaki nikijikuna tu kichwa changu na kutojua kabisa cha kufanya.mida ikazidi kuyoyoma na kufikia mpaka saa tisa usiku usingizi uligoma kabisa kuja akili yangu ndio ilikuwa imechoka kabisa kudadavua na kujikuta nikikubali matokeo na kuamua kwa kukubali chochote kitakachotokea.
“Daa hakika ujanja sina na inabidi tu niiende lakini sina budi kumtimizia kwanza rukaiya kwa sababu naogopa Asije kusema bure kwa baba yao yakaniweka katika matatatizo” kichwa changu kikakata shauri ya kuamua kwenda kuonana kwanza na dada yake zureiya rukaiya nikiwa na lengo moja la kuzuia yeye kutosema kwa baba yao kama mimi natembea na mdogo wake zureiya.Baada ya kukata shauri ya kufikiri ndipo nikapatwa na usingizi mfupi sana kwa sababu mida ya saa mbili asubuhi juu ya Alama tena ikiwa ndio jumamosi siku ya miadi kufikia Simu yangu ikaita na kunishtua na kujikuta mara moja nikiamka jambo ambalo lilikuwa si kawaida yangu kutokana na mimi kuwa mvivu sana kuamka kwa mara moja.Baada ya kuamka nikajizoazoa mdogomdogo na kuikaribia simu lakini kabla hata sijaichukua roho yangu ikaanza kwenda kasi na kuzidi kuchanganyika katika akili yangu.
“Duu mapenzi hayo yataniuwaa daa nilikuwa nilalamikaga ooo sipendwi mimi sina mvuto sasa nakuwa mtumwa wa mapenzi daa hakika mapenzi upofu.”Nikajisemea kimoyomoyo na kuichukua simu hiyo na kuangalia katika kioo na kuona ni namba ya zureiya ndio iliyojiandika katika kioo changu na kuashiria kuwa ilikuwa ndio zureiya anapiga bila ya kusita nikabonyeza kitufe cha kuipokea na kuipeleka sikioni.
“Nambie mpenzi wangu pablo mzima??”
“Yaaah nipo pouwa”
“Nakuomba baby uje basi pale palm beach hotel tuonane tuongee laazizi wangu tusuluishe yaishe honey wangu najua nimekukosea lakini kukutana kwetu itasababisha tumalize kabisa tofauti zetu pleaseee baby utakuja??”
“Aa…m…h…mmm..e..eee..nani..zu..reiya leo nimepatwa na safari kidogo yani tumepatwa na msiba wa rafiki yake mama amefiwa na mama yake mzazi kwa hiyo sitaweza kufika leo labda kesho”Nikajikuta nikiumauma meno na kujitutumua kumwambia na kusababisha ukimya kidogo utawale hakika kusema ukweli hata katika moyo wangu nilikuwa na kidonda cha maumivu sana kwa sababu ili nibidi nifanye vitu anavyosema dada yake na mdogo wangu uliendelea kuwa mzito kumwambia zureiya kuhusu dada yake kwa kuogopa matatizo yatakayokuja kunikumba mimi mwenyewe.
“Daa baby sawa bana najua ni uongo kwa sababu unaonekana kabisa una uma uma maneno ila pouwa tu ila kumbuka nimekupa uchi wangu kwa lengo la kukubakisha katika imaya yangu na mimi sitaki kukupoteza poa nitakucheki baadae Mpe pole mama kwa kufiwa kwa heri”.Ukweli wa maneno mazito ya zureiya yaliuchoma moyo wangu sana na hata alipokata simu machozi yakaanza kunilenga lenga lakini ndio sikuwa na jinsi tena ya kufanya.nikanyanyuka na kwenda kuoga na kusalimiana na mama ambaye nilimuaga kabisa kuwa nakwenda shule kujisomea na yeye akanipa nauli kabisa kutokana na yeye ndio alikuwa anatoka kwenda kazini kisha nikarudi na kwenda ndani na kujiandaa kwa kuvaa lakini kabla hata sijamaliza kuvaa simu yangu tena ikaitaa na nilipoichukua kwa lengo la kuipokea nikakaribishwa na jina la rukaiya dada yake halali kabisa wa zureiya.
“hellouw darling yani hapo niliponawashwa hatari aaa yani Mimi hapa nishajiandaa unajua inakaribia saa tatu na nusu ujue hebu fanya basi uje nakutumia pesa uchukue bajaj ili uwai haraka sana nataka tutumie siku nzima leo”
“Poua nakuja ndio natoka si umesema Palm beach hotel??”
“Yes darling ndio hapohapo njoo honey”
“Kwani hapo upo na nani??”
“Mmmh kwanini umeniuliza hivyo pablo??”
“Nimeuliza tu kipenzi”
“Eee nipo peke yangu wewe ukifika kituoni shuka then nifahamishe nije nikuchukue hatuingii hapo palm beach kwa sababu familia nzima ipo hapo tunaendaa mbali kidogo na hapo honey”
“Pouwa” Baada ya simu kukatika nikajikuya nikitoa pumzi ndefu sana kama mtu aliyekuwa amekimbizwa mbio ndefu kisha nikamalizia kufaa vizuri na kuchukua begi langu nililolibeba mgongoni na kutoka nje na kufunga nyumba nzima milango.Nikajikokota kwa mwendo wa hatua ndefundefu mpaka kituoni Nikiwa na lengo la kupanda gari lakini kabla hata sijapanda gari lenyewe mlio wa messeji ukasikika katika simu yangu na nilipoiangalia ilikuwa ni ya Tigopesa ikiashiria salio lilikuwa limeingia.Kwa furaha nikajikuta nikifungua haraka haraka nikiwa na lengo la kujua ilikuwa bei gani nikakaribishwa kwa kutoa amini macho yangu huku roho ikiendaa mbio kuliko kawaida baada ya kuona ilikuwa ni laki moja na hamsini na huku jina likiandikwa rukaiya rukaiya.furaha kubwa na dukuduku likaongezeka kutokana na mimi kuona ni pesa ndefu iliyonifanya nisogelee kibanda cha wakala wa tigopesa na kutoa elfu tano kisha nikachukua bodaboda(pikipiki)Nikiwa na lengo la kuwahi kufika haraka kuliko kuchukua bajaj ambayo isingeweza kunifikisha mapema kama kutakuwa na foleni.kama ujuavyo mwendo wa kasi wa waendeshaji wa pikipiki kwa muda wa lisaa limoja tu nikafika kituoni palm beach na kushuka kisha nikamlipa dereva wa pikipiki ambaye baada ya kumlipa akaondoka.kugeuka geuka ndipo kulifuata nikiwa na lengo la kumtafuta rukaiya yupo wapi jambo lililonilazimu niingie mfukoni na kuchukua simu yangu ili nimpigie lakini kabla hata sijampigia harufu nzuri ikapita puani kwangu harufu nzuri ya perfurm za bei mbaya zilizonifanya nitulie kidogo na kuanza kufatisha harufu ile nzuri inayonukia inatoka wapi ndipo nikakubwa na neno waoo kutoka kwa rukaiya aliyekuwa ndiye ananukia ambaye bila ya kuogopa bila ya aibu kama kawaida yake akajitupa katika mwili wangu na kunikombatia palepale mbele za watu na kuanza kuninyonya ndimi zangu kwa ufundi wa hali ya juu huku akiuchezesha ulimi wake barabara katika lipsi zangu na kunifanya niaanze kusisimuka katika kiungo changu cha kazi.
“Jamani nishike basi huku nyuma mbona unaogopa mpenzi unaogopa nini wangu”
“A..aaa..hamna rukaiya tuondoke sio mahala pake hapa.” Nikamwambia rukaiya aliyekuwa amependeza sana wakati huo huku akiwa ndani ya hijab yake nyeusi iliyomkaa vizuri na kuzidi kupendeza huku akiwa kajiremba remba kidogo tu katika uso wake na kuzidi kuonekana mrembo na hakika hakuna mwanaume aliyekwepesha macho pale tu walipokuwa wanamuangalia.Rukaiya akanishika mkono na kuelekea katika taxi zilizokuwepo palepale kituoni kisha nakuingia katika miongoni mwa taxi tuliyoifikia karibu.
“Enhee niwapelekee wapi wakubwa”
“Serena hoteli hapo mbele tu”
“Ooouk elfu sita tu pale”
“Weee twende”.Dereva hakuwa na budi kuling’oa gari pale kituoni kwa mwendo mdogomdogo na kuingia barabarani kwa mwedo kasi na kuanza kuelekea serena hotel hoteli ambayo kusema kweli niliishia kuiona inatagazwa tu katika luninga kutokana na ubora wake kuwa na hadhi kubwa.
“Yani baby tunachuka chumba chenye choo cha kuoga na jacuzzi yani nataka tucheze na kukuonyesha mchezo ambao hajawai na hutokuja kuonyeshwa na mtu mwingine yoyote.” Rukaiya aliniambia hivyo huku akinisogelea karibu na kuanza kunisogelea kwa kuleta mdomo wake kwangu ambapo mimi sikuwa na budi kuupokea huku mkono wake akiupeleka taratibu katika ikulu yangu ilikuwa inaongeza kasi ya kukua kwa kila hatua inayofuatia na kujikuta nikiianza kuutamani mchezo kabla hata hatujafika hotelini……………
Breki za gari zilizokanyagwa na dereva wa taxi zilizosababisha mlio wa gari kama kukwama zilitosha kabisa kuashiria tulikuwa tushafika tuendako na hali iliyomfanya dereva ageuke nyuma na kushindwa kuongea kutokana mimi na rukaiya tuliokuwa tumekaa nyuma ya taxi hiyo tulikuwa ndani ya mahaba mazito ya kunyonyana denda ambalo kutokana na uchu aliokuwa nao rukaiya alikuwa kaning’ang’ania sawasawa huku akiwa kashikilia barabara koki yangu iliyokuwa inazidi kufura kwa hasira kutokana kwa kushikwa kule.
“Mmm…h..mmm…hhh” Miguno ya dereva ndio iliyotushtua na kutujulisha ya kwamba tulikuwa tushafika katika safari yetu.rukaiya akaniachia huku akiwa ananiangalia kwa macho ya mahaba huku akihema na kutoa pochi yake kisha akatoa noti ya elfu ishirini na kumkabidhi dereva ambaye baada ya kuzipokea akaanza kulalamika kuwa hakuwa na chenji lakini rukaiya akapotezea na kuniamrisha mimi tutoke ndani ya gari.tulipotoka ndani ya taxi ile macho yetu yalikaribishwa na Ghorofa lefu lililoandikwa Serena Hotel huku kukiwa na bendera mbalimbali za nchi kama uganda,kenya,canada hii ilikuwa ikionyesha kwamba hoteli hiyo ilikuwa hoteli ambayo sio ya kitoto.kwa kupiga hatua fupifupi tukaanza kutembea taratibu na kuingia katika hoteli hiyo iliyokuwa na ulinzi mkali sana na magari mengi ya kifahari yaliokuwa yamebaki katika sehemu ya kupaki magari mbeleni kabisa ukivuka geti hilo kwa ndani.rukaiya alikuwa akanishika bega na mimi sikuwa na hiyana nikamshika kiuno chake kipana ambacho sio siri kilizidi kunipa hamasa tosha kabisa ya mchezo ambao kwa mara ya kwanza nilikuwa sina hamu nao lakini kadri muda ulivyokuwa ukiendelea ndio hamu ilikuwa ikija na kunipa hamasa.Macho yangu na shingo vilikuwa vikigeuka geuka kila wakati na kuangalia mandhari nzuri ya hoteli hiyo ambayo mara nyingi nilikuwa nikiona ikitangazwa tu katika maluninga hoteli ambayo kulisheheni raia wa kigeni hasahasa wazungu na waarabu walikuwa wengi mno.tukaingia ndani ya hoteli hiyo huku jambo lililokuwa linanifurahisha zaidi ni kuwa hakuna mtu aliyekuwa anamfuatilia mwenzake kila mtu alikuwa yupo na harakati zake na kuzidi kunipa Amani ndani ya moyo wangu.Rukaiya akaenda mpaka katika kibango kilichoandikwa reception(Mapokezi) na kuanza kuongea na Mdada aliyekuwa katika sehemu hiyo na kuelewana naye kisha akatoka yule dada wa reception na kumuita mmoja katika mfanyakazi mwengine wa kike ambaye baada ya kuniona aliachia tabasamu nililolipotezea kisha akakabidhiwa funguo na dada yule wa reception kisha akatuamrisha tumfuate yeye na bila hiyana tukaanza kumfuata na kuanza kutupeleka na kutuingiza mpaka katika lift ambayo ilikuwa ni kwa mara ya kwanza naipanda na wala sikutegemea kupanda kwa wakati huo mara nyingi nilikuwa naonaga kwenye luninga tu jinsi mtu anavyopanda kwenye lift.Ushamba ukanitafuna na kusababisha rukaiya na yule dada wacheke baada ya mimi kuingia kwenye lift ile iliyoanza kwenda kwa kasi na kusababisha mimi kuanza kuyumba yumba na kumshikilia rukaiya ambaye Alikuwa hana mbavu.hakika yataka moyo haswa kupanda lift na hakika hata mtu akipanda kwa mara ya kwanza lazima itamsumbua kutokana na jinsi inavyokwenda.Lift ile iligota baada ya kutembea kwa muda wa kama dakika moja kisha mlango ukajifungua na kisha yule dada tuliyekuwa tunamfatisha akatoka na kufuatiwa na sisi tulikuwa tupo nyuma yake.tulitembea kidogo na kufika katika chumba kilichoandikwa Number456special room juu ya mlango wake ambako baada ya kufika pale tukakabidhiwa funguo na yule mdada ambaye kwa mara nyingine akaniangalia na kutabasamu na kuniacha nikiwa na maswali mengi.kwa kutumia funguo ile tuliyopewa rukaiya akafungua mlango kisha tukaingia ndani ya chumba hicho ambacho Nilijikuta nikipigwa na butwaa ya mshangao kutoka na uzuri wa chumba hicho kilichokuwa na kila kitu hasa kama tv flatscreen iliyounganishwa na dekoda ya dstv,kitanda kikubwa cha sita kwa sita huku kikipambwa vizuri na makochi kisha kilikuwa na choo umoumo hivyo vote kiliambata na kiyoyozi kilichokuwa kikileta hali ya ubaridi ubaridi mzuri ilionisisimua kidogo.ghafla nikiwa katika umakini wa butwaa nikiendelea kuangalia angalia uzuri wa chumba hicho mlio wa simu ya messeji ukalia katika simu yangu iliyokuwa mfukoni na kusababisha nizame mfukoni na kuitoa simu yangu na kuangalia messeji hiyo ambayo kabla hata sijaisoma moyo wangu ukaanza kudunda baada ya kuona jina zureiya likijionyesha katika kioo cha simu yangu.
“Vp mpenzi wangu mnazika saa ngapi??honey basi ukitulia nataka tuchat”Niliisoma mara mbili mbili messeji ya zureiya kisha nikazima simu yangu na kuirudisha mfukoni na kuanza kumsubiria rukaiya aliyekuwa chooni.Nikiwa katika hali ya kusibiri Mlango wa chooni ukafunguliwa kisha rukaiya akatoka akiwa na staili tofauti iliyonifanya nitoe macho baada ya kumuona yupo kama alivyozaliwa huku mkononi akiwa ameshika kichupa cha mafuta na kuanza kunisogelea pale nilipo nilipokuwa nimesimama.Sikuwa na haja ya kuuliza na mimi nikamsogelea haraka na kupeleka mdomo wangu na kuanza kumnyonya denda huku naye akinipa ushirikiano huku mikono yangu miwili safari hii ikawasilia katika makalio yake makubwa na kuanza kuyabinyabinya na kuyapiga makofi na kumfanya rukaiya aanze kucheka kwa Nguvu sana.
“Kwanza ya yote pablo Nataka unifanyie massage kidogo baby” rukaiya aliniambia zile huku akinipa mafuta aliyoyashika baada ya kujichomoa katika mikono yangu kisha akanishika mikono na kunipeleka mpaka katika meza kubwa iliyosheheni maua maua ambayo baada ya rukaiya kufika akatoa maua yote kisha akalala katika meza ile na kujilaza chali huku akiniangalia kwa macho yenye uchu huku akianza kuangaika angaika kwa kuinua kiuono chake baada ya kupeleka kidole chake katika ikulu yake iliyokuwa imetuna sana wakati huo.karoti yangu ilikuwa imeshakakama sana katika suruali yangu niliyovaa jambo lililofanya nipate maumivu na kusababisha nifungue zipu na kutoa nje karoti yangu kisha nikavua suruali na shati langu na kubakia na boxer na vest niliyovaa na kisha nikafungua mafuta niliyopewa na rukaiya aliyekuwa anaugulia ugulia kwa raha kutokana bado alikuwa anachezea ikulu yake na vidole vyake.nikapaka mafuta yale katika mikono yangu kisha nikaanza kupeleka mkono wangu mmoja katika nido lake la kulia na kuanza kumpaka mafuta yale kwa mtindo wa kuchua chua huku nikibinya binya na kuvuta chuchu iliyokuwa imeshimama vizuri na kuanza kuvuta vuta na kubinya hali iliyoanza kumpa wakati mgumu rukaiya aliyeanza kuanza kutaka kunyanyuka huku mikono yake akiipeleka katika kifua changu na kunipapasa.baada ya kupapasa huku nikibinya nikaamia nido la kushoto na kufanya kama nilivyofanya awali huku nikizidisha ufundi wa hali ya juu uliofanya rukaiya azidishe kelele zilizonifanya uzalendo unishinde na kujikuta nikiyaachia mafuta yale kisha mwenyewe nikainama na kuanza kunyonya nido lake la kulia kisha nakung’ata ng’ata kwa staili fulani nido lake kisha nakuamia upande wa nido lake lingine na kuzidi kupata raha iliyonifanya hata mimi nianze kutoa miguno.Hakika rukaiya alikuwa tofauti kabisa na zureiya umbo la rukaiya hasa akiwa mtupu linavutia zaidi kuliko la zureiya.Nilienda kumpa utundu wangu na baada ya kumnyonya matiti yake sikuishia hapo tararibu kwa kutumia ulimi wangu ulikuwa ukiramba kuanza kwenye shingo kisha kwenye chuchu zake na kuendelea kwenye kitovu safari yake ikagota katika ikulu yake iliyokuwa imetuna kiasi kwamba ilikuwa ikionyesha shepu nzuri ambayo nikajikuta ikinilazimu mimi kuanza kulamba lamba kwa kutumia ulimi kwa muda kisha nikaanza kunyonya kabisa na kuzidi kumpagawisha zaidi rukaiya ambaye mihangaiko yake haikuwa na mipaka maalumu mara atake kuinuka mara akae mara anishike kichwa changu mara akatike mara atake kunitoa hii yote ilikuwa ni raha alizokuwa anapata baada ya mimi kufanya vile..
“As.sssss…h ooo…ooooo….Ma…a……ooooo…
aaaaa…….b…b…yeah….ny..oya uuuuu….uuuu.m…yea…s…fu…….me……si..kuachi” Miguno ya zureiya ilizidi kunipa hamasa na kujikuta nikimuachia kumnyonya na kutoa karoti yangu iliyokuwa sasa haina jinsi kuingia katika ikulu ya rukaiya Lakini kabla hata sijataka kuingiza rukaiya akanyanyuka haraka na kunipeleka mimi kwa kunishika mikono haraka haraka na kunisukumizia kwenye kochi kisha kwa pupa na ufundi wake wenye ufanisi akaanza kuninyonya karoti yangu kwa mfumo wa kuuchezesha ulimi wake katika kichwa cha karoti yangu iliyokuwa nene kiasi kisha anaingiza yote mdomo na kuanza kuniweka mimi katika hali ngumu na kujikuta mtoto wa kiume nikiaanza kuhema kwa pupa na kutoa miguno ya kiume kutokana na ufundi aliokuwa anaufanya rukaiya.
“Aa…aaaaa..aaaa Karoti yako kubwa baby wallah sikuachi.”rukaiya aliendelea kuninyonya na safari hii alikuwa anazamisha karoti yangu yote katika mdomo wake na kunifanya nianze kupalikapalika kama kuku anayetaka kuchinjwa….
Hakika niliendelea kumshika kichwa chake kilichokuwa kimebanwa vizuri nywele za kiarabu zilizokuwa zinameremeta sana na mimi kumshika kule kichwa chake ndipo kulizidi kumpa hamasa ya kuinyonya karoti yangu ambayo sasa iliendelea kumshinda kutokana na ukubwa uliokuwa unaongezeka kila alivyokuwa ananyonya.Sikusita kumwagia pongezi rukaiya kwa kazi aliyokuwa anafanya huku malipo akiwa anatoa yeye mwenyewe
“Ooos aaaaaa yeaaah baby oooo aaaa”kwa sauti ya chini chini niliendelea kulalamika utamu ulikuwa umenifika hapaa kwenye koo hakika zureiya alinifundisha mafunzo ambayo nahisi alikuwa amefunzwa na dada yake hasa katika maswala ya mapenzi.Alininyonya kama dakika kumi au nane hizi baada ya kumaliza kwa nguvu ambazo sijui nilizotolea wapi nikamnyanyua kwa nguvu na kumbeba kisha na kwenda naye mpaka kitandani ambapo kabla hata sijaingiza mwanajeshi wangu katika ikulu yake nikaanza kusafisha ikulu yake kidogo kwa kumnyonya kama nakula embe la kuiva tena lile la kunyonya.
“Assssss ba….by bana ingiza bana unani…nnn..uaaaaaaaaaaaaaa”kelele za Mtoto ndio zikanifanya nimuache kumnyonya na kupeleka karoti yangu katika ikulu yake iliyokuwa imetuna kwa nguvu na kusababisha lijengeke umbo zuri ambalo lingemshawishi mtu yoyote kunyonya kutokana na lilivyokaa Nikapatemea mate kwanza ikulu yake kisha taratibu nikaanza kupeleka karoti yangu katika ikulu yangu na kuingiza taratibu na kutokana ikulu yake ilikuwa isharainika ikawa karoti yangu inateleza taratibu na Mimi nikaamua kumtesa kwa kuzamisha mpaka nusu kisha naitoa mtindo ambao niliufanya kidogo kwa kuogopa kumuua mtoto wa watu aliyekuwa akihema kama kapanda mlima kilimanjaro kwa mwendo wa kukimbia bila kumpuzika.kwa kuogopa vile nikazamisha yote na ikaingia barabara na kusababisha rukaiya atoe kiguno cha hamu iliyonipa hamasa kali ya mimi kuanza kusakata rumba taratibu na nilipoona Mtoto naye alikuwa anakazungusha nyonga kwa kasi na Mimi ndipo nilipooanza kukimbiza gurudumu kwa kasi ya Ajabu bila ya kuchoka na bila ya kupumzika na kasi hiyo iliendelea kuchochewa na rukaiya ambaye aliendeleaa kuguna kwa kutoa miguno ya nguvu na kunimwagia sifa tele lililosababisha bichwa langu kuwa hilo na Mimi kuanza kuzidishwa kugawa dozi ambayo nahisi ilikuwa ni dozi kubwa kwa rukaiya tangia aanze kufanya mapenzi na wanaume wengine.Mchakamchaka uliendeleea na kuvuka kiwango staili za hapa na pale ziliendelea hakuna aliyetaka kulala baada ya kila mmoja kufika mshindo wake wa kwanza kila mtu alikuwa stable si mimi wala rukaiya.tulionekana kama wafungwa ambao walikuwa wanaukame sana na hawajafanya mapenzi hata siku moja kujituma kwa rukaiya ndiko kulinipagawisha rukaiya hakushindwa hata style moja kila nilipokuwa namgeuza huku mara chuma mchicha alikuwa yupo tu kifo cha mende yeye alikuwa ndio kwanza umemchokoza.Nilianza kumwangia sifa za hali ya juu Baada ya mtoto kukalia karoti yangu na kuanza kukatika kwa speed ambayo kusema ukweli mwanaume bali ndio nilikamatwa kabisa na staili ile ambayo nikajikuta nataka kutafuta maji lakini sikuyaona Niliishia kupiga Mzigo wake makofi ambayo kama ndio yaliashiria aongeze spidi na kila nilivyokuwa nampiga makofi yeye ni kasi ya kama ronaldo ilivyozidi kuongezeka sikuwa nyuma mikono yangu ilikuwa mara nimshike kiuno chake mara niingize kidole sehemu kule mara nimsogeze na kuanza kumnyonya denda mara nimnyonye nido zake lakini yeye kasi ile ndio haikuisha kama ndio niliununua ugomvi.tulisogesha gurudumu lile mpaka kipindi cha pili kilipoisha ambapo mimi nikaangusha gari ikimaanisha nililala na hata rukaiya naye alialala wote tukiwa kama tulivyozaliwa tena tukikombatiana kama mke na mume.nilikuja kuamka baada ya kuamsha na kamchezo cha uchokozi kutoka kwa rukaiya kwa kunyonya karoti yangu iliyokuwa imetulia na kuamsha tena na kujikuta nikiamka na kukuta kitandani chakula kizuri kishaandaliwa na rukaiya ambaye sikujua kwa wakati gani alienda kuagiza chakula kwa sababu nilikuwa nimelala.
“Baby….kula basi ushibe tumalizie mbili za mwisho..”rukaiya aliniambia huku akishika shika karoti yangu iliyoamsha hisia nyingine tena na kujikuta nikimuangalia rukaiya huku nikiwa na kula.Nilimuona tofauti kuliko mwanzo ni mzuri haswa tena sana anachuana na zureiya mdogo wake hakuwa mwanamke ambaye hana ujuzi katika mambo ya chumbani alikuwa kaimarika hasa tena sana kaimarika kweli kweli.Nilikula chakula haraka haraka na niliposhiba nilikibakisha bila ya kukimaliza na kurudi katika mchezo ambao kwa safari hii hatukuuchezea kitanda tukaenda chooni kilichokuwa na jacuzzi nakuanza kuogeshana na kumwagia maji kama watoto huku mimi nikiendelea kumshika shika sehemu muhimu kama kawaida na kujikuta nikiuanza mchezo tena yeye alikuwa kashika sinki moja ya maji mimi nilikuwa nyuma nakuanza kukimbiza gurudumu na safari hii nilianza kukimbiza ilikuwa inashaangaza tulikuwa tumesimama huku tukipeana mautamu kama vile hakukua na kitanda tulipelekana kule chooni kwa muda wa kama nusu saa kisha nikamtoaa na kuendelea katika kochi ambapo kama kawaida mimi nilianza kulala yeye alinifatia nyuma na kulala pia nikamyanyua mguu wake mmoja juu na kupeleka karoti yangu katika ikulu yake na kuanza kuchekecha cheketua kwa kasi ya ajabu.safari hii Nilikuwa na hasira ya Ajabu ya kuutawala mchezo kutokana na yeye kutawala raundi zile mbili nilitaka kumuonyesha kwamba naweza hata kumzimisha nikaanza kupeleka puta puta kama mwizi na yeye bila hiyana akakubaliana na hali hiyo huku muda mwingine akilalamika lalamika kwa rafu zilizozidi kumpa raha.
“Oooo baby…..aaaaaa..ssssssss….mmmmm..h…po…le..pole…uwiiiii Ma…amaaaaa.utaniu…..aaaaaaaaa ooooooooo” kelele zake zakutaka kupunguza muda mwingine nilizisikiliza lakini muda mwingine nilisahau na kuanza tena kukimbiza gurudumu tena kwa kasi ile ile niliporidhika mkao ule nikamnyanyua na kumbeba kwa kumpitisha miguu yake katika kiuoni changu kwenda huku mimi nikiwa nimesimama nikaanza tena kumrusha rusha tena kwa kasi nyingine huku nikiwa nimeshikilia barabara mzigo wake na nilikuwa na pump kama sina akili nzuri yeye aliishia kunishika shingo tu huku akiendeleaa kulalamika na mkao ule haukudumu sana nikamteremsha na kumpeleka mpaka kitandani na kumkalisha kifo cha mende mpaka alipofika mshindo wake wa tatu na Mimi pia nilipofika wote tukalala tena kwa muda kidogo kisha nikaamka na kwenda kuchukua simu yangu ambapo kuamka mimi kulimuamsha na rukaiya Ambaye alinifuata na kunikombatia kwa nyuma huku akinibusu busu katika shingo yangu na mara nyingine akipitisha ulimu wake katika masikio yangu kwa lengo la kunirudisha katika mchezo kumalizia raundi nyingine aliyokuwa akiitaka.Baada ya simu yangu kuwaka ikanishtua sana kwanza nilikuwa sijui muda ilikuwa inakaribia saa mbili kamili usiku Mapigo yangu ya moyo yakaanza kwenda kasi baada ya messeji kama saba za Mama kuingia na kunifanya nianze kupatwa na wasiwasi roho ikaanza kudunda kama nakimbizwa na simba wa nyika katika msitu mnene.
“Heee kumbe saa mbili kasoro” Nikajikuta nikiitamka tena kwa nguvu na kusababisha hata rukaiya Ashangae kwa jinsi nilivyoitamka.
“vp kwani baby”
“Nooo naondoka tumalizia siku nyingine nimeitwa na mama”
“But…ha..tu”
“Nooooo” nilimwambia rukaiya ambaye hakuendelea tena kutia neno bila ya kuzifungua messeji zile kabla tukaoga haraka haraka kwa muda wa dakika tano tu na wote tukatoka na kuvaa nguo zetu na kutoka huku mimi nikiwa katika kasi ya ajabu iliyomfanya rukaiya apate tabu kunifata kwa nyuma na kujikuta mpaka muda mwingine aanze kukimbia ili kuwa na mimi karibu.
“Wee mtoto upo wapi???,rafiki yako kaja nyumbani kasema leo haujafika twisheni je umekwenda wapi si kawaida yako kwenda sehemu bila ya kuniaga!!” weee mtoto na kupigia simu haupatikana umepatwa na maatatizo gani au ushaanza umalaya??.. heee leo utanitambua sikuogopi huo ukubwa wako unaokudanganya nitakupiga kama una nguvu tupigane na utaniambia ukweli leo umetoka wapi” zilikuwa ni baadhi ya messeji za mama zilizonichanganya kabisa na kujikuta nikiropoka kwa nguvu mpaka rukaiya akasikia.
“Leo kazi ipo”………………….
“Kwani kuna nini unavyoendelea kunificha unamaanisha nini unajua nishaanza kuogopa pablo baby??” rukaiya akaniuliza swali ambalo lilizidi kunichanganya na kunitia hasira nakujikuta nikimkata jicho kali lililomfanya aniangalia kwa uoga huku akiendelea kutembea kwa haraka haraka kama nilivyokuwa nafanya mimi kutokana na kuogopa kuweza kumuacha.Kama kawaida niliendelea kushangaa jengo hilo ambalo lilinifanya nijiulize maswali mengi kutokana na Madhari yake kuwa kama tulivyoingia halikuwa likionyesha kama usiku ulikuwa unaingia hakika kulikuwa hakuwezi kutabirika kwa kubashiri muda mpaka uangalie muda katika kifaa cha kuangalia muda kutokana na Mataa yalikuwa yanawaka muda wote.kwa mwendo wa speed nilikuwa nakwenda nao ulifanikisha kupanda lift na kushuka chini huku safari hiyo lift hiyo haikunipa shida nikajikuta nimetulia na lift hiyo ikashuka chini kwa kasi na tukiwa humo ndani ya chumba cha lift hiyo rukaiya alikuwa ananiangalia kwa macho ya huruma kama mtu aliyekuwa anataka kuongea kitu lakini kutokana na hali yangu ilimfanya aogope kabisa kuzungumza na mimi ambaye kwa wakati huo mawazo yote yakiwa nyumbani itakuaje mapigo yangu ya moyo yaliongezeka sana kuliko awali presha ya kwenda kukwaruzana na mama ndio ilikuwa imetawala katika kichwa changu jambo ambalo kwa hakika sikuhitaji kabisa litokee.Nikiwa bado katika dimbwi zito la mawazo ndani ya chumba kile cha lift nikajikuta nikishtuka badala ya mlio wa lift kulia ikiashiria kuwa muda wa kufika sehemu tulipokuwa tunapataka umewadia na mlango wa lift huo wenyewe ukajifungua na kusababisha watu wengine waliokuwa wanasubiria lift hiyo katika mlango huo ili nao waingie.Mimi bila ya kupoteza muda kwa mwendo wangu ule ule wa haraka haraka kama niko jeshini nikaanza kutembea kwa speed na kuzidi kutesa Rukaiya ambaye wakati huo alikuwa kimya licha ya kuwa alikuwa anatamani kuniongelesha lakini Alikuwa anashindwa kutokana na hali ilivyokuwa inaendelea.Ghafla nikiwa katika mwendo wangu ule nikajikuta nikimvamia mwanamke aliyeonekana ni mfanyakazi wa mule kutokana na Nguo zake za sare ya hoteli ile alizovaa na kusababisha yeye pamoja na vitu alivyokuwa amebeba vidondoke na kilichonipa angalau hafueni ni kuwa vile vitu vilivyodondoka havikuwa vyombo vya udongo bali vilikuwa ni vitabu vingi vinene ambavyo kama ustarabu huku nikiwa namuomba msamaha kwa kuto muangalia usoni nikaanza kuviokota haraka haraka kutokana muda ulikuwa unakwenda kasi sana.Baada ya kumaliza kuviokota vile vitabu nikageuka kwa kasi huku bado nikiwa nimechuchumaa kwa lengo la kumpa vile vitu vyake na kumsaidia kumuinua kutokana mpaka muda niliomaliza kuokota vile vitabu bado yeye alikuwa amekaa nakuniangalia.mshangao wa haja ukanikumba baada ya kukutanisha macho na msichana huyo ambaye yeye baada ya mimi kumuangalia naye alishtuka kidogo na kuniangalia kwa muda na kuachia tabasamu la nguvu lilionifanya nianze kumtathimini mwanamke yule ambaye baada ya kuvuta kumbukumbu kwa kasi nikamtambua na kumkumbuka kuwa alikuwa ni mwanamke ambaye alitusindikiza katika chumba alicholipia rukaiya na kutupa funguo baada ya kufika katika chumba kile na kuniacha katika mshangao kwa sababu tangia alivyoniona alikuwa anatabasamu na kudiriki hadi kunikonyeza tulipofika katika chumba alichotupeleka.Nilimuangalia kwa muda nakujilazimisha kuunyanyua mdomo wangu kwa lengo la kumwambia pole lakini nikajikuta nikishindwa baada ya mwanamke yule tena kunikonyeza na kupelekea mimi kutabasamu pia huku macho yangu yakienda mbali mpaka katika kifua chake kilichosimamisha nido zilizosimama vizuri na kuzidi kumfanya mwanamke yule kuwa na mvuto zaidi kama ukimuangalia.yote yale yalifanyika bila ya rukaiya kujua jambo ambalo lilinifurahisha kisha nikanyanyuka na kumuangalia mwanamke yule ambaye nilimuona akiingiza mkono mfukoni katika sketi yake nzuri nyeusi aliyovaa na kuninyooshea mimi mkono wake aliouingiza mfukoni na kuutoa huku akiwa na lengo la kutaka mimi nimsaidie kunyanyuka Jambo ambalo liliniacha na maswali mengi lakini nikapotezea na kujitutuma kumpelekea mkono wangu uliomuwezesha kumuinua na bila ya uoga yule mwanamke akanifinya mkono wangu na kuniachia karatasi katika ule mkono niliomnyanyua na kuzidi kunichanganya lakini nikajitahidi kuonyesha kama nimemuelewa na kukipokea kikaratasi hicho ambacho sikujia kimeandikwa nini na kukiweka haraka mfukoni.
“Hiyo namba nipigie.” kwa sauti ya chini yule mwanamke akaniambia bila ya rukaiya aliyeanza kunisogelea taratibu kusikia na mimi nikaua soo kwa kumuitikia kwa kichwa na kumuangalia kwa muda baada ya kunigeuzia mgongo na kuanza kuondoka na mimi bila ya kuchelewa nikakumbuka kuwa nilikuwa na msala mzito nikageuka na kuanza kutembea kama kawaida na kumuacha rukaiya aliyekuwa ananifata akiwa amesimama pale na kuzidi kumnyong’onyesha kabisa.Baada ya kufanikiwa kutoka nje ya hoteli ile ya serena hoteli ambayo ndio ilikuwa mara ya kwanza mimi kuingia katika hoteli ile bila ya kupoteza muda nikaanza kutafuta bodaboda kwa lengo la kuwai huku kila nikifikiria nyumbani presha ilizidi kupanda na Kushuka huku hofu ikichukua nafasi yake.
“Sasa pablo unataka kuniacha subiri tuchukue taxi.”
“Hamna rukaiya wewe chukua taxi mimi nachukua bodaboda nataka niwai kufika nyumbani mapema kuna matatizo kidogo”
“Mmmh matatizo gani mpenzi”
“weee jua kuna mtatizo mbona maswali mengi rukai..” kama bahati kabla hata ya kumalizia sentensi nikaiona pikipiki ikiwa inakuja upande wangu huku ikiwa haina hata abiria jambo lililopelekea mwanaume kuishimamisha pikipiki hiyo na dereva wa pikipiki ile akitii na kuishimamisha na kuanza kuongea naye bei kwa lengo la kunipeleka nyumbani kabisa na kufanikiwa kuelewana naye na mimi nikapanda pikipiki hiyo
“Aaaa wee….pablo sasa unaondoka hata uniagi unajifanya Mjanja??”
“Aaa…dereva endesha basi hiyo pikipiki unasubiri nini??”hakika kwa muda huo sikutaka kabisa kumsikiliza rukaiya ambaye alionekana kukasirishwa na jeuri niliyomfanyia na kutokana dereva wa bodaboda au pikipiki kunisikiliza mimi mteja wake akaanza kuiendesha kwa kasi ya ajabu iliyoanza kunipa matumaini na Kama ningepanda gari ingenigharimu kutokana na foleni kubwa iliyozuka baada ya kufikia mbele kidogo.hakika usemi wa siku ya kufa nyani miti yote uteleza ni msemi ambao ni wa kweli kabisa kwa sababu kabla hata hatujafika Mbali sana pikipiki yetu ama bodaboda kwa jina maarufu ikasimamisha na traffic ambaye baada ya kuomba leseni kwa muhusika na mmiliki wa bodaboda ile akaanza Kuumauma meno na kukaa kimya akiashiria Kwamba akuwa na leseni…………………….
Sehemu Ya 7
Nikajikuta nikipandwa na hasira za ghafla baada ya hali kutokea na kumuangalia dereva yule kwa jicho baya ambalo kutokana na kuwa usiku sidhani kama aliniona.
“Nyie ndio wavunjaji wakubwa wa sheria yani unatembea na pikipiki barabarani bila ya kuwa na leseni haya twende kituoni haraka” yalikuwa ni maneno yaliotoka kinywani kabisa kwa traffic yule aliyetukamata na kutokana na dereva yule kutokuwa na Pesa mfukoni hata pale traffic alipomwambia Ampoze kidogo.Alikubali kupeleka pikipiki hiyo kituoni na Alionyesha kabisa hakuwa na ujanja Mimi nikakuta shauri ya kunyanyua mguu kwa lengo la kuondoka lakini traffic yule hakuniruhusu kuondoka na kuzidi kunipa presha kubwa hasahasa nilipoangalia saa na kugundua kuwa ilikuwa ikielekea saa tatu usiku na
Ndio kwanza sikuwa na dalili yoyote ya kufika nyumbani.
“Na wewe twende kituoni kwa kosa la kukubali kuendeshwa huku ukiwa haujavaa element je ungepata Ajali?? hilo ndio kosa lako na Lazima uende ukatoe ripoti kwanza kituoni la sivyo kama hautaki presha ya kwenda kituoni toa Elfu thelathini na tano hapo” hakika maneno ya traffic yule yalinichanganya na kunitoa machozi kabisa kwa sababu nilipojisachi mfukoni nilikuwa na elfu sita tu na hata nilipodiriki kumwambia nina elfu tano alikataa kabisa na hata tena nilipojaribu kumuambia pesa zangu zipo katika simu yangu niliyoizima kutokana na kuogopa labda Mama atanipigia simu pia alikataa na kushikilia msimamo wake wa kunipeleka kituoni duu ilikuwa mushkheri kweli kweli na hata nilipojaribu kugoma na kusimamia msimamo wangu na kujitetea kuwa mimi nilikuwa ni mwanafunzi Bado traffic aligoma na kupelekea kunitisha kabisa kama nikiendelea kugoma na kuniambia atanipeleka pabaya zaidi ya pale.Sikuwa na jinsi nikakubali kwenda kituoni huku machozi yakinitoka sana na kutetemeka pia hii ilitokana na kama nikipelekwa kituoni lazima nitaambiwa nimpigie Mama yangu kuhusu sakata hilo na kupelekea hata kutozwa na pesa pia Maneno yalikuwa yanasemwa na miongoni mwa watu kuwa kituoni kuingia bure kutokana na hela ndio ilinikabili kwa hela gani nilizokuwa nazo daa ulikuwa ni mtihani ambao hata kama mama atakuja kutoa na kuniwezesha mimi kutoka bado maswali mengi yangezuka kwa mama kwamba nimefikaje kule na nimetoka wapi kwa sababu niliaga na kwenda tuition.Safari ikaanza tena Mimi na traffic yule tukapanda pikipiki ya yule dereva asiyekuwa na Leseni na kuanza kuelekea kituoni.Moyo ulizidisha kunienda Mbio hali iliyosababisha nianze kutetemeka sana huku majasho yakinitoka hali ambayo ilionekana kumuogopesha kidogo traffic.
“Wee dereeva hebu simamisha pikipiki yako”Ghafla tukiwa bado hatujafika kabisa kituoni yule traffic akaomba pikipiki isimamishe jambo ambalo sikulitegemea na kujikuta nikibaki tu nikiangalia je mchezo utakuwaje.
“Haya wee dogo unaonekana Muoga Sana haya nipe hiyo Elfu tano fasta uondoke Kwenu Usiku mnene huu”Bila ya hata kutegemea traffic akasema vile na kufanya hata nisitegemee na kubaki nikiwa siamini amini hali ile kwa haraka haraka nikatoa ile hela huku nikitetemeka na kumkabidhi yule traffic ambaye baada tu kumkabidhi huku nikiwa tayari nishashuka nikamuona akirudi kupanda pikipiki ile tena kwa sababu alishuka na kuamuru dereva aendeshe jambo ambalo haraka dereva aliitia na kwa haraka wakaondoka na kuniacha mimi palepale huku nikiwa hali siamini amini kabisa kuwa nimeponea katika tundu kubwa la sindano na kujikuta nikishusha pumzi zito la furaha huku kukiwa na hali ya uoga yenye hofu iliyokuwa inazidi kuongezeka kila sekunde iliyokuwa inaongezeka.bila ya kulaza damu nikaanza kukimbia mbele kwa lengo la kupanda gari lolote ambalo litakalopita mbele yangu jambo ambalo kama Mungu tu haikuchukua hata dakika gari la kuelekea kwetu likapita na nilipolisimamisha likasimama na mimi nikapanda haraka haraka gari ambalo hakika sikuamini kama lingesimama kutokana lilikuwa tayari limejaa abiria na kusababisha baadhi ya watu kusimama tena kwa kubanana.Kutokuwa na foleni kulisaidia kwa kiasi kikubwa safari yetu kusonga licha ya kuwa gari letu lilikuwa likisimama simama kila lilipokuwa linafika katika vituo tofauti jambo ambalo lilikuwa linanikera sana.Simu yangu niliona sumu sana kama kituo cha polisi kwa sababu kama ningeendelea kuangalia ingenipelekea kuangalia saa na hata kupigiwa na Mama ambaye mpaka muda sikujua nitamdanganya vipi ili aweze kunielewa kama nilikuwa nimetoka wapi na kilichoharibu zaidi ni yule rafiki yangu aliyekuja kuniulizia nyumbani kama messeji ya mama ilivyosema.
“Eee Mungu Ahsante” Nikajikuta nikimshukuru Mungu baada ya kufika kituo cha karibu ambacho Vilibaki vituo viwili tu nifike nyumbani na kuanza kujipa matumaini Huku mara kwa mara nikiwa najuzia kuangalia saa iliyokuwepo mbele katika kioo cha dereva ambacho kilikuwa kinaonyesha ilishaingia saa nne usiku kwa wakati huo.Nikiwa katika hali ya Matumaini zaidi Baada ya gari yetu kubakisha kituo kimoja tu cha mimi kufika nyumbani huku gari ikiwa inaenda kwa mwendo wa kawaida Ghafla Tukasikia Mlio mkali wa speeda ya gari kusikika karibia kabisa na gari yetu hali iliyosababisha kila mtu angalie nyuma na hata watu walikuwa wamekaa wakasimama kuangalia je nini kinaendelea kwa gari inayokuja nyuma yetu Bila hata ya kutegemea hali ambayo ilinifanya nitumbue macho makali sana Hii ni baada ya gari lile moja kwa moja likavamia gari letu na Kutugonga kwa Nguvu hali iliyozua mtafaruku mkubwa ndani ya gari letu
“maaaaaaaaaaaaaaaaaaaamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa”
ilisikika sauti ya mama mmoja ambaye alipata mshtuko mkubwa na kujikuta akipiga kelele kubwa na kuzimia papo hapo baada ya ajali ile iliyosababisha kioo cha nyuma ya gari letu lile kupasuka chote na Kuwamwagia abiria waliokuwa nyuma ya siti ambao wao ndio waliokuwa wameathiriwa kwa kiasi kikubwa na ajali ile ambayo haikutegemewa kabisa na watu.Baada ya kugongwa na gari lile lililokuwa speed ambalo baada ya kutugonga lilibaki palepale na gari letu pia likabaki palepale pia baada ya dereva kufunga breki kali iliyosababisha pia abiria waliokuwa wamesimama nikiwemo na mimi kuyumbayumba kisha tukadondoka.hakika mshtuko ule tuliopata ulifanya watu karibia wote wafe ganzi hata mimi pia nilikuwa nipo chini baada ya kudondoshwa na breki kali aliyofunga dereva kwa lengo la kuzuia ajali nyingine na Abiria waliokuwa nyuma wote wakazimia si dereva wala kondokta hakuna aliyeshuka kimya gafla kikatanda na kufanya kama hakukuwa na watu ndani ya gari lile.haikuchukua dakika nyingi gari la kutoa huduma ya kwanza likawasili likiambatana na gari la Mapolisi ambao nahisi waliitwa na watu waliokuwa wameshajaa pale wakiwa wanatuangalia kwa mshangao ambao hakuna hata mmoja aliyediriki kuja kutuangalia.Nguvu ya mapolisi na wale wa hudumu wa kutoa huduma ya kwanza hakika walifanya nguvu ya ziada kutoa huduma nzuri haraka haraka na kusababisha miongoni mwa watu kuwa sawa na kuwachukua baadhi waliokuwa taabani zaidi.hata mimi baada ya Nguvu kurudi sikupoteza muda kwa sababu nilikuwa sijaumia sehemu yoyote bali ulikuwa ni mshtuko tu ndio ulisababisha niishiwe nguvu Kwa mwendo wa kukimbia haraka haraka nikaanza kuitafuta nyumbani muda huo huku hofu iliyoipotea na kuongezeka hofu ya ajali ikanirudia tena moyo uliongezeka kama kawaida kunidunda zaidi kila hatua niliyokuwa nikipiga kwa mwendo wa kukimbia.Nikajikuta nikishusha pumzi ndefu za kuhema baada ya kufika nje ya nyumba yetu ambayo Nilikaribishwa na mataa ya ndani kwetu yaliyokuwa yanawaka.Kitete kilizidi kupanda majasho yalizidi kuongezeka yakisaidia na yale ya kukimbia Kwa hali ya uoga niliyokuwa nayo nikaanza kuomba Mungu aweze kuniokoa kwa hali ile ambayo sio siri kulikuwa na Asilimia ndogo kabisa ya kutopigwa na Mama ambaye nilihisi atakuwa na hasira kali sana dhidi yangu.Nilinyonga kitasa cha mlango wa geti kwa staili ya aina yake na kufunguka bila ya kupiga kelele nakuingia ndani kwa mwendo mdogomdogo na kuelekea katika mlango wa kuingilia ndani kabisa na nilipofika pale pia bila ya kusita na kwa hali ya kujiamini nikaifungua mlango ule na kuingia.
“Eee..Mungu baba nisaidie”Nilisema maneno yale huku nikipiga hatua ya kuelekea sebureni kwa mwendo ule ule wa taratibu lakini kilichonisangaza kwa wakati ule ni ile hali ya kujiamini ambayo sikujua ilitokea wapi.
“Weee Mwanaizaya Njoo hapa umetoka…wapi nambie umetoka wa…….”Paaaaa!!!”yalikuwa ni maneno ya mama ambaye kabla hata ajamalizia alinisogelea kwa kasi ya ajabu na aliponifikia akanitandika kibao kikali cha uso kilichosababisha nianze kuona nyota huku shavu langu kulihisi kabisa lilikuwa ni zito kabisa.mama hakuishia pale alikamata shati yangu na kunikunja shingoni na kuniongeza kibao kingine kilichopelekea sasa machozi yakianza kunilenga na kujikuta nikiangalia chini baada ya kuona mama akiwa ananiangalia kwa macho makali na ya kuogopesha.
“Wee leo lazima nikufumue kama vipi unajiona una nguvu tupigane umetoka wapii mshenzi wee au ushaanza umalaya eee si nakwambia nijibu basi ushaanza umalaya??saa tano hii usiku huu umetoka wapi Maana tuition haujaenda maana rafiki yako kaja hapa nyumbani kausema haukufika Wakati hapa nimekupa pesa ya shule na umeniaga unakwenda tuition nambie umetoka wapii??”
“sasa Mama sawa ni haki yako na ni lazima kuniadhibu ninapokosea lakini kabla hata ya kuniadhibu mama yangu ulitakiwa kuniuliza nimetoka wapi usiku huu na utakapo ona makosa yangu ndio uniadhibu nishakuwa sasa Mama ningekuambia bila ya kukuficha unajua kabisa mimi mwanao sina tabia hizo ona sasa ulivyokasirika unavyo hema mama umesahau kama wewe una presha na inakusumbua.” hakika sikujua kabisa kwamba ningeweza kusema maneno yale ambayo yalionekana kabisa kumuingia mama ambaye aliacha kunikunja na kuniangalia kwa umakini kidogo na kuonyesha sura ya huruma ambayo katika nafsi yangu niliona ule ndio ushindi wa kwanza wa kumueleza mama kwa lengo la kujitetea ili asifike pabaya.Baada ya kusema maneno yale mama akageuka nyuma na kunishika mkono na Moja kwa moja tukaenda mpaka katika makochi na kukaa sofa moja ambalo mama aligeuka na kuanza
kuniangalia na kuonyesha kabisa shauku ya kutaka kujua ilikuaje mimi kurudi Nyumbani muda ule.Nilipiga funda la mate mdomoni kama mtu aliyekuwa anakunywa kinywaji na kumuangalia mama ambaye alikua ananiangalia kwa umakini wa hali ya juu sana.
“Ni kweli kwamba leo sikuenda tuition kama nilivyoaga kwa sababu wakati naelekea huko nilipofika stendi hapo nikakutana na Rafiki yangu steven ambaye alinishawishi tukafanye mtihani shuleni kwao hakika maa sikuweza kukataa kwa sababu niliona ni moja kati ya kujipima hasahasa ili kujua uwezo wangu upo wapi ndipo nikaongozana naye mguu kwa mguu mpaka shuleni kwao Pale kinondoni Mwebe jini lakini tukiwa tupo barabarani maana tulikuwa tunatembea kwa miguu kwa sababu sio mbali tukapita njia moja Ambayo kulikuwa na mateja wanaovuta unga kabla hata hatujamaliza kuingia defender ya mapolisi ikaja na kutukamata pale wote na kuwachuka mateja wale wanaohusika wasiohusika wotee tukakamatwa na kupakizwa kwenye defender tulijaribu kujitetea wee ikashindikana mwezangu akatoka mapema baada ya kuwapa Pesa na mimi nikawapa yangu ya tuition ndio wamekuja kunitoa Saa mbili usiku mama”
“Mmmh Aisee poleni sasa mbona hakunipigia simu??”
“Hamna mama simu yangu niliificha maana wale waliokuwa na simu wote walinyang’anywa”
“Sasa mmetolewa saa mbili usiku mbona umerudi saa tano mwanangu??”
“Aaa…mama nilisahau kuna ajali imetokea hapo kati nahisi taarifa ya habari itaonyeshwa na Mimi nilikuwepo lakini hakuna aliyeumia sasa ile ilisababisha tuzuiliwe na mapolisi halafu foleni ikawa kubwa sana ndipo nilipoamua kutembea kwa mguu mpaka hapa”
“daa jamani mwanangu pole haya ngojea nikakuwekee maji ya kuoga uoge kisha ule halafu Kesho baba tunaenda kwa rafiki yangu Mama rebecca tabata”hakika sikuamini kwamba mama angeweza kupoa bila hata ya kuniuliza sana Nikamshukuru sana Mungu kwa kunisaidia kutokumbwa na balaa la kupigwa na Mama ambaye alikuwa na hasira kali.Nikaoga baada ya kumaliza kuoga kama kawaida nikakuta mama kashanitayarishia chakula ambacho nilikifakamia kwa hasira kutokana na njaa kali niliyokuwa Nayo kisha nikaenda kulala nikiwa na Mawazo juu ya safari ya kesho yake aliyoniambia mama.Hakika sikutaka hata kugusa simu yangu niliiacha vilevile imezimika kutokana na kuogopa labda rukaiya anaweza akanipigia au zureiya ambao wote sikujisikia hata mmoja kuongea naye.Hakika siku ile ilienda haraka sana kuliko hata nilivyotegemea kuwa nilipopatwa na usingizi tu nilikuja kushtuka baada ya Mama kunigongea Mlango ikiashiria kuwa ilishafika Asubuhi.Kama kawaida yangu nilijitayarisha na nilipomaliza nilikuta Mama tayari kashajitayarisha na ananisubiri.Safari yetu ilikuwa njema kabisa ndani ya Masaa mawili tu tulifika kwa Mama rebecca tabata mama ambaye alitukaribisha vizuri katika jumba lake ambalo sio siri lilikuwa jumba zuri na la kisasa lililosababisha mpaka mimi kushangaa shangaa jinsi lilivyokuwa limependeza
“Shoga umejitahidi kujenga wewe na mumeo daa”
“Hamna mama pablo mbona kawaida vp lakini Biashara zako maana muda Enhe na wewe Pablo haujambo”
“Ndio Mama rebecca” ghafla tukiwa katika mazungumzo mimi na Mama rebecca nikasikia sauti tamu na nzuri ya msichana akiimbia huku akija pale sebuleni tulipokaa na kusababisha mimi nikae kwa umakini kumuangalia ni nani aliyekuwa anaimba.Nikiwa katika hali ya sintofahamu Msichana Mmoja mrembo Akatokea pale sebuleni akiwa kaachia tabasamu pana lililothibitisha kuwa alikuwa ni mzuri kweli kweli Ngozi yake nyeupe ilitosha kabisa kumfanya aonekane mrembo hasahasa na umbo lake ambalo kama mwanaume lijali akimuangalia Basi atatamani kufanya naye Mapenzi kutokana na umbo lake la Namba nane huku akisaidiwa na Mzigo mkubwa nyuma ambao uliniacha hoi na kufanya ukorofi katika sehemu yangu ya Mashambulizi.
Sehemu Ya 8
“Shikamooo Mama pablo” Alikuwa si Mwingine bali ni rebecca mwenyewe wa Mama rebecca Ambaye kwa hali ya kutabasamu akawa ananiangalia kwa Macho ya kurembua na kunishtua Ghafla baada ya…………
Kunikonyeza jambo ambalo liliniweka katika maswali mengi “kanikubali nini”Nilijikuta nikijiuliza baada ya hali ile ambayo nikajikuta nikimuangalia huku nikiwa na tabasamu pana tabasamu ambalo hata yeye aliliongeza na kunionyesha uzuri wake ambao sio siri ulikuwa ukiniacha hoi.
“Marhaba rebecca haujambo Mwanangu??”Mama aliitikia salamu ile aliyesalimiwa na rebecca ambaye alienda Moja kwa moja katika kochi ambalo baada ya kukaa tukawa tunaangaliana mimi na yeye.
“Mimi sijambo Mama za huko??”
“Aaa za kwetu salama enhe vipi masomo muda umeisha huo unajua sasa hivi utaingia katika mtihani wenu wa mwisho wa kidato cha nne”
“Masomo yanaenda Mama namshukuru Mungu tushajianda na tunaendelea kujiandaa vya kutosha kujiweka sawa zaidi ili mtihani utakapofika tuwe na hali ya kujiamini Mama”
“Daa Nashukuru kusikia hivyo wee pablo mbona kimya hebu msalimie dada yako rebecca”
“Dadaa!!!”Nikajikuta nikijisemea kimoyomoyo huku nikikerekwa na kauli ya Mama kuniambia nimsalimie dada yangu rebecca ambaye wakati huo nilikuwa namtamani Nikajitutumua kumuangalia rebecca Ambaye alionekana kufurahia sana kauli ile ya Mama na yeye akabaki na shauku kuisikia sauti yangu.
“Mambo vipi d..a.da rebecca??”Kwa kuangaika nikamsalimia rebecca Ambaye alicheka sana na kusababisha wote pale wacheke isipokuwa mimi baada ya kuangaika kulitamka neno la dada ambalo lilimfurahisha sana rebecca.
“Mambo poa niamkie basi jamani”
“Nani akuamkie Mimi kaka yako ujue”Nikamjibu rebecca Kwa hali ya kumkazia macho hali iliyosababisha Acheke tena huku safari hii akaniangalia sana na kunikonyeza Mara mbili tena hali iliyosababisha mimi nishie kutabasamu tu.Mazungumzo ya mimi na rebecca yaliishia hapo muda huo na wote tukaa kimya tukiwaachia Mama na mama rebecca Waendelea na stori zao ambazo zilisimama kidogo kutokana na sisi tuliokuwa tunaongea Huku tukicheka cheka.Tulikaa Pale sebuleni kwa muda kidogo Mpaka alipokuja mfanyakazi wao wa kazi za ndani ambaye naye sio siri alikuwa kaumbika sana jambo ambalo lilinishangaza sana yani msichana mzuri kiasi kile kufanya kazi za ndani.Mfanyakazi ambaye alituita wote na kutukaribisha chai nzito ya maziwa na vitafunwa mbalimbali ambavyo Alivisifia sana Mama na kumpa hongera yule mfanyakazi ambaye Kwa hali ya mshangao alikuwa ananiangalia sana pindi mimi nikigeukia pembeni na Nilipokuwa namuangalia ili kukutanisha sura yake yeye alikuwa anakwepesha Macho na kuangalia chini Jambo ambalo liliniacha katika Maswali mengi yasiokuwa na Majibu.
“Enhe Mwanangu Pablo Hivi wewe somo la Mathematics unaielewa vizuri??”Mama rebecca akanipachika swali baada ya kumaliza chai na kurudi palepale sebuleni yeye mimi na Mama huku rebecca Akiwa hayupo pale na sikujua alikuwa kaelekewa wapi
“Ndio Mama najua jua kidogo sio sana lakini Hazinipigi chenga kabisa somo hilo.”
“Ooo Basi rebecca kuna topics zingine zinamchanganya kidogo Basi Leo natumaini wewe upo utamuelekeza kidogo” mama rebecca aliniambia vile na kumuita rebecca kwa nguvu ambaye aliitikia na hakuchukua hata dakika moja rebecca akawa amewasili pale.
“Sasa rebe sisi tunatoka Mimi na mama pablo tunaenda hapo mbele kwenye biashara fulani hizi natumaini hatutokawia kurudi Sasa mwanangu wewe na Pablo Nendeni mkajisomee Kuna hesabu ilisema zinakuchanganya Sasa pablo anazijua nendani kwenye chumba kile cha kujisomea msome mkichoka mnaweza hata mkaangalia movie hata umtembeze tembeze mwenzio ili asijisikie mpweke Sawa mwanangu??”
“Poa Mama”
“Yani sisi wala hatukawii tutarudi muda si mrefu”Hakika nilijikuta nikicheka kimoyomoyo kwa nafasi ile iliyojitokeza nafasi ambayo hata sikuwa na mawazo ya kujitokeza katika nafasi ile ambayo niliiona kama ni golden chance(Nafasi ya dhahabu) ya kuachwa mimi na rebecca na Mfanyakazi tu.Uchu wa kufanya mapenzi na rebecca alionekana naye kama kafurahi licha ya kujifanya kuhuzinika ukanijia ghafla licha ya kwamba sikuwa na mategemeo kabisa ya kufanya vile.Mama naye akaniaga na bila ya kuchelewa yeye na Mama rebecca wakaondoka na Kuniacha Mimi na rebecca Ambaye Alinipa wakati mgumu wakati huo baada ya kunibadilikia ghafla na kuniangalia huku akiwa amenuna jambo ambalo lilinifanya ninywee bila ya kupenda na kujikuta nikitulia tu.Nikiwa katika Mawazo mapya sasa ya kumuwaza rebecca ghafla nikasikia nikiitwa na rebecca Na kwa haraka haraka nikaenda.
“Sasa sikia pablo chumba kile pale cha kujisomea basi nisubiri mule nitakuja na kitabu cha mathe vipi lakini topic ya Account na ile ya Probability si unazielewa vizuri??”
“Ndio nazielewa”Nikamjibu rebecca kwa na kuelekea katika chumba alichonielekeza huku nikimuacha yeye akielekea katika chumba kingine ambacho kwa namna moja ama nyingine nilihisi kilikuwa cha kwake.Nilifika katika chumba hicho cha kujisomea nakuminya kitasa cha mlango huo na kufunga mlango ambao ulikuwa haujafungwa na funguo na kuingia ndani.Sio siri chumba kile cha kujisomea kilikuwa ni kizuri kama cha Maktaba vile chumba ambacho kilikuwa na makabati kama mawili yaliojaa vitabu vingi na Meza kubwa nzuri ya kisasa ya kujisomea na viti kama sita vya chuma vikiambatana na Kochi kubwa nzuri lenye kuchukua watu kama watatu na kitanda ambacho kilikuwa hakijatandikwa kitu.
Bila ya kusita nikasogelea kabati moja la vitabu na kuanza kuangalia angalia vitabu mbalimbali kutokana na kuwa vingi.Nikiwa katika kuangalia vitabu hivyo Ghafla Mlango ukafunguliwa na kuingia rebecca Ambaye alikua kabadilika kimavazi kutokana na kubadilisha nguo.Hakika nguo aliyovaa ilinitega vya kutosha na kusababisha halmashauri ya kiungo changu muhimu kusisimuka hii ilitokana na nguo ile aliyovaa ilikuwa ikionyesha Mapaja yake meupe yaliokaa vizuri.baada ya kufungua ule mlango Rebecca akawa ananiangalia na wote tukajikuta tukiangaliana kwa Muda mpaka mimi nilipogeuza shingo yangu na kujifanya naangalia angalia vitabu huku macho yangu yakiendelea kuangalia Mapaja yale kwa macho ya kuibia ibia bila ya kushtukiwa.Rebecca akaanza kutembea kwa maringo na kuelekea katika meza ile huku mikono akiwa kashika madaftari yake na Alipofika pale akayabwaga kwa nguvu na kukaa kwenye kitu.
“Pabloo njoo basi tuanze kusoma”rebecca akavunja ukimya uliokuwepo na Aliponiambia vile mimi sikuwa na hiyana na Nikaacha vitabu nilivyokuwa naviangalia na moja kwa moja nikaelekea mpaka katika ile meza kisha nikachukua kiti na kukaa.Tukaangalia kwa muda mimi na rebecca kisha nikachukua daftari lake moja ambalo baada ya kulifungua lilikuwa ni jipya kisha nikachukua peni kisha nikamuangalia Rebecca ambaye muda wote huo alikuwa ananiangalia tu bila ya kusema chochote.
“Haya rebecca nianze mwanzo kabisa wa topic ya Account si ndio??”
“Wewe Anza tu”
“Haya Account is……..”
“Bana pablo hapa mimi hata nitakuwa sielewi kama vipi tukakae pale kwenye kochi” nikiwa katika hali ya kuanza kumueleleza ghafla akaniambia tuhamie kwenye kochi jambo ambalo lilinishangaza kidogo lakini katika nafsi nyingine nilianza kufurahi huku nikisubiri litakaloendelea.Sikuwa na hiyana kwa kuwa ndiye yeye alikuwa anataka vile bila ya kupoteza muda wote kwa pamoja tukakaa kwenye kochi huku tukiangaliana lakini kilichozidi kunisisimua na kuniamsha hisia zangu ni mkao ule aliokaa rebecca na kwa sababu ya nguo yake ile fupi aliyovaa upaja mweupe ulikuwa wazi sana.Mwanaume nilijikuta nikimezea mate na kujifanya kama sijaona na kulifungua tena lile daftari nililoliandika kidogo na kuendelea tena.
“Haya sasa kama nilivyotaka kusema Account is……” kabla hata sijamaliza kusema tena Ghafla mkono wa rebecca ukatua katika uso wangu na rebecca akaanza kunipapasa usoni na kuzidi kuniamsha hisia zangu kabisa.
“Aiii jamani pablo wewe ni handsome boy” Maneno yale yalimtoka rebecca kwa sauti ya puani huku akirembua macho yake makubwa kiasi yenye kuvutia na bila ya kuogopa akanisogelea karibu kabisa mkono wake ukaanza kupapasa uso na kushuka katika kifua changu kipana ambacho kilitanuka chenyewe bila hata ya kunyanyua vyuma.Nilijaribu kujichekesha lakini nikashindwa na bila hata ya kutegemea Rebecca akaanza kufungua kifungo kimoja kimoja cha shati langu jeupe nililovaa………….
“R…e..eee….bee..c”
“Shshhhhhhhhh”Hakika nilijaribu kumzuia lakini pumzi zake alizokuwa anahema karibu yangu vilinisisimua sana na kunifanya nishindwe kabisa kumzuia na kumuacha kabisa amalize kufungua vifungo vya shati langu ambapo baada ya kumaliza kunifungua vifungo moja kwa moja akanisogelea karibu kabisa na kuniangalia kwa macho malegevu sana yalionifanya nitulie kumuangalia huku sehemu kuu ya kiungo changu kikubwa cha kufanyia kazi ya ulimwengu wa maraha kunyanyuka kwa kasi nzito na ya Ajabu.katika hali ya kushangaza rebecca akaanza kuninyonya vichuchu vidogo katika kifua changu na kuanza kunipa presha nzito na kunisisimua sana na kujikuta mwanaume nikianza kuhangaika na mikono yangu kuanza kutalii katika kiuno kipana kizuri cha mrembo rebecca ambaye licha ya kuona hatosheki kuninyonya vichuchu vyangu akapeleka mkono wake katika karoti yangu iliyosimama sana na kuanza kuipapasa kwa muda kisha akafungua zipu na kuitoa yote nzima karoti yangu ambayo ilikua imesimama vilivyo ikiwa ipo tayari kabisa kufanya kazi.Rebecca kwa kasi ya Ajabu akaanza kunichua karoti yangu na kunifanya nianze kutoa miguno ya msisimko wa raha na alinichua kwa muda kidogo kisha akanyanyuka na kupiga magoti na kuniambia nikae vizuri kisha rebecca taratibu akapeleka mdomo wake mpaka katika karoti yangu na kuibusu huku mkono wake wa kulia akiwa ameshika kifua changu kilichoanza kushusha michirizi ya jasho na mkono wake wa kushoto ukiwa umeshika karoti yangu iliyokuwa kubwa kwa wakati huo.na bila ya aibu rebecca akaanza kuninyonya
karoti yangu taratibu taratibu kama mtu anayenyonya pipi tamu ya kijiti.
“Ooosssaahhh ye..aaa…ss….oo…y..eaaah” Mwanaume nilijikuta mzuka ukinipanda ghafla baada ya rebecca kuzidi kasi ya kuninyonya karoti yangu iliyozidi kufura kwa hasira kali nakusababisha nivuke mpaka na kuanza kuingiza na kutoa karoti yangu mdomoni mwa rebecca kama vile nipo katika ikulu yake.Nilifanya vile kidogo tu kisha bila ya kupoteza muda nikamvamia rebecca nakuanza kumfungua vifungo vya gauni lake lile fupi alilovaa kisha bila hata kumvua nikaishusha gauni lake kidogo katika sehemu ya kifua na kukuta na matiti ya makubwa kiasi yaliosimama vizuri na kupamba kifua chake kilichokaa vizuri na Mimi bila ya kupoteza muda nikaanza kuyanyonya haraka haraka kama mtoto mchanga huku mikono yangu ikibinyabinya makalio yake makubwa yalionipagawisha kupita kiasi.Mtoto rebecca akaanza kuishiwa nguvu taratibu na alipoona uzalengo unamshinda akanishika kichwa changu na kunitoa katika sehemu ya matiti yake niliyokuwa nayanyonya na kisha akapeleka mdomo wake katika mdomo wangu nakuanza kunyonyana denda haraka haraka huku mimi nikiwa nabinyabinya makalio yake na kuanza kufanya mchezo wangu wa ajabu kwa kumpiga makofi katika makalio yake jambo ambalo lilionekana kuzidisha msisimko mzito wa rebecca ambaye alionekana kusisimka flani huku akitoa miguno
ya raha huku tukiwa tunanyonyana denda.hakika mzuka ulizidi kuchukua nafasi yake na kujikuta nikimrudisha katika lile kochi na kumpanua miguu yake na kutokana na urahisi wa lile gauni lake alilovaa bila hata ya kumvua gauni lile nilivyompanua tu miguu yake ikulu yake iliyokuwa imetuna tena ndani ya chupi ilionekana na mimi kwa haraka haraka bila hata ya kupoteza muda nikamfunua chupi ile aliyovaa na Moja kwa moja nikapeleka kidole changu katika Ikulu yake na kukizamisha nakuanza kupekecha pekecha kidole changu kama mfumo wa kama kusafisha glass jambo lililosababisha mtoto rebecca kuanza kuhema kwa nguvu huku akitoa miguno mikubwa ya kelele za raha zilizonipelekea muda huo kumziba mdomo wake huku nikiongeza vidole viwili katika ikulu yake na kuzidisha kupekecha kwa kasi ya ajabu nakusababisha rebecca kuanza kuzungusha kiuno chake huku akiwa anahaha kama mshambuliaji wa mpira aliyenyang’anya mpira na kuanza kuzungushwa na wachezaji wa timu pinzani.nilimpekecha pekecha vile kwa muda na kutoa vidole vyangu kisha bila ya kuwa na haya nikavipeleka mpaka katika mdomo wake ambapo yeye hakuwa na hiyana akaanza kuvinyonya kisha mwanaume nikapatemea mate ikulu ya Rebecca kwa ustadi wa hali ya juu na kuzama chumvini na kuanza kumnyonya ikulu yake na kuzidisha ugomvi kwa rebecca ambaye alizidisha kelele na safari hiyo nilishinda kumzuia kwa sababu mkono wangu mmoja ulikuwa umeshika paja lake na Mwingine ulikuwa umeshikilia titi lake la kulia kwa staili ya kubonyeza bonyeza chuchu katika titi hilo.
“Ooooohhhh Aa…aaaa…ssssss…….p….aaa..blo…o..ngezaaaaaaaa tena ongezaaaa kuni..nyonya ongeza spi….diiii…..” Maneno na miguno ya raha aliyokuwa anayatoa rebecca yalizidi kunipa msisimko nakujikuta mwanaume nikizidisha kumnyonya ikulu yake kama Mtu mwenye njaa na kupata embe la kunyonya.Nilimnyonya sana rebecca ikulu yake mpaka nikahisi rebecca anaweza kuzimia kutokana na hali yake ilivyokuwa inaanza kubadilika uso wake ulikuwa mwekundu hasa ukizingatia na weupe wake aliokuwa nao na bila hata ya kuzingua nikapeleka karoti yangu katika ikulu yake nakuingiza yote kisha kwa mapigo ya taratibu nikaanza kumsugua rebecca na kusababisha hali irudi kawaida na rebecca akaanza kuzungusha kiuno chake kwa kasi na kuzidisha mizuka yangu nakuanza kuongeza spidi kubwa na ya kasi kumsuguaa kwa ustadi na utundu wa hali ya juu….
“o…oooo…Aa..aa..aaah..uw..iiiiiiiiii…yeee…..sssssss u…uuuuuuuu….ooooo…aaaa…ooooo..pole..pole…” Mchakamchaka ulizidi kuongeza hakika kwa kasi ya ajabu niliendelea kumtesa mrembo rebecca ambaye kwa uzuri wake aliokuwa nao sikutegemea kabisa kwa siku ile ile nitafanya naye mapenzi ukilinganisha na jinsi alivyo.kasi yangu ya ajabu iliendelea kumpa raha rebecca Ambaye juhudi zangu za kumnyamazisha kutopiga kelele kugonga Mwamba kutokana na utamu kuzidi na kutukumba wote wawili nakujikuta tukienjoy na kusahau kabisa kuwa tulikuwa sehemu ya kujisomea na tulikuwa pale kwa lengo la kusoma.Mzuka ulizidi kupanda na kujikuta nikimalizia kabisa kuvua suruali yangu niliyovaa na shati na kubaki mtupu ambapo na rebecca naye alifanya hivyo na wote tukawa watupu na kujisahau kabisa kutokana na raha tamu katika ulimwengu mpya kabisa wa malavidavi.Niliendeleaa kumpagawisha rebecca kwa kubadilisha badilisha mikao tofauti tofauti iliyozidi kumpa raha na kusababisha rebecca azidi kupagawa na kuzidi kujiachia kwa kutoa miguno mikali na yenye nguvu ya kelele nzito.tulimaliza mzunguko wa kwanza wote kwa pamoja na bila ya kupumzika tukaanza mwingine na kutoka na hamu kubwa aliyokuwa nayo rebecca kwa kutofanya mapenzi kwa muda mrefu kulimfanya asichoke na Alikuwa imara na kujishughulisha vizuri na kuzidi kunipagawisha mimi niliyekuwa nampagawisha kwa mapigo yangu ya kasi.Nikiwa juu ya kifua kizuri cha rebecca kilichobeba matiti mazuri ya kuvutia huku yeye akiwa chini tukiendelea kupeana vitu adimu ghafla sauti ya kufungulia mlango wa chumba hicho kikapenya kabisa katika tundu zangu za Masikio nakunifanya nitumbue Macho kama panya aliyebanwa na Mlango.
“Rebecca cha…ku……la..ti..!!!!!” ilikuwa ni sauti ya Mfanyakazi wa ndani wa nyumba ya kina rebecca ambaye alifungua Mlango na bila ya kuangalia akaanza kuongea lakini akijikuta akishindwa kuendelea baada ya macho yake kutuona mimi na rebecca tukiwa watupu kabisa jambo ambalo lilimfanya apigwe na butwaa huku akiwa ameziba mdomo wake kwa mshangaoo wa hali ya juu akiwa haamini kabisa kinachoendelea.Purukushani mimi na rebecca zikaanza kuchukua nafasi yake kila mtu akawa anatafuta nguo zake kimya kimya bila kumsemesha mwenzake baada ya dada yule wa kazi kutokomea.hakika aibu ilizidi kuchukua nafasi yake Moyo wangu ukaanza kudunda kwa kasi uoga wa kusemewa na dada wa kazi ndio ulinifanya mpaka machozi kuanza kunilenga lenga Macho yangu na kichwa changu hakikutaka kuamini kabisa hali iliyotokea.
“Umeonaa sasa pablo”tukiwa katika purukushani ya kila mmoja kuhangaika kuvaa Ghafla rebecca akaanza kunilaumu jambo ambalo lilinifanya nishangae na kumuangalia rebecca aliyekuwa anatokwa na Machozi huku akimalizia kuvaa nguo zake.
“Aaakhaa sasa rebecca mi nimefanyaje”
Sehemu Ya 9
“haujui ulichofanya sasa dada wa kazi akisema sijui itakuwaje”rebecca aliniambia vile huku akinisukumiza baada ya mimi kutaka kumzuia na kusababisha nianze kumfuata nyuma huku nikijaribu kumuita na kutaka kumshika mkono lakini sikubahatika kupata nafasi hiyo baada ya rebecca kunizidi speed na kufanikiwa kuingia katika chumba chake na kujifungia.Sikuwa tena nalakufanya nilitamani kumuita lakini nikajikuta nikisita na mdogomdogo nikaanza kuelekea sebuleni.Nilifika sebuleni na kumkuta dada wa kazi aliyetufumania akiwa kaka kwenye kochi akiwa ameinamisha kichwa chake akionyesha Masikitiko makubwa kwa kile alichokiona.
“Daa..daa”Nilijitutumua kumuita dada yule wa kazi aliyeinamisha kichwa chake chini na alipoinuka kuniangalia alikuwa amekasirika na aliponiona tu akaniunuka na kwa haraka ya ajabu aliponikaribia alinisukumiza kwa nguvu na kusababisha nidondoke na kukaa kwenye kochi huku akiachia msonyo mkali.Mwanaume nikajikokota na kuamka na kumfuata kwa haraka dada wa kazi alipoelekea na safari iligota baada ya kufika jikoni ambapo kulikuwa kuna Mlango mwingine uliofungwa.Nilipofika tu jikoni nikafunga ule mlango nakumuangali dada wa kazi aliyekuwa aniangalia kwa umakini wa hali ya juu huku akiwa amekunja uso na kuzidi kuniogopesha na kunipa hofu
“Unajua nini dada yani ile ni bahati mba..”
“Nyamaza mbakaji wewe bahati mbaya mpo uchi?? hivi papo sijui palo sijui papilo haujui kama yule mwanafunzi na Anasoma ukimtia Mimba je??”
“Sawa najua nimefanya makosa dada naomba unisamehe kwasababu rebecca mwenyewe ametaka naomba usimwambie Mama”
“Hee halooow nisi nini labda mimi sio tuse lazima nimwambie papilo lazima hakia Mungu” Hakika hali ilizidi kuwa mbaya kwangu dada wa kazi yule alinigomea kabisa na kunitishia kusema.nikajikuta nikipata ujasiri wa nguvu na kuanza kumsogelea taratibu dada yule na nilipomfikia haraka haraka nikamkombatia kwa Nguvu na kusababisha Dada wa kazi tuse kupigwa na butwaa na kushindwa kabisa kunizuia na bila ya kupoteza nikapeleka mdomo wangu katika mdomo wake na bila ya kutegemea dada wa kazi akaupokea vyema na bila ya kutegemea tukaanza kunyonyana denda.Mikono yangu kama kawaida akaanza kupapasa mapaja yake huku tukiwa tumesimama na sikuchukua hata muda mwingi nikaanza kumramba ramba shingoni nakusababisha Dada wa kazi aanze papara na kuhangaika na kujikuta nikimtuliza kwa kumshikiria vyema kisha nikaanza kushika shika matiti yake na kuzidisha usumbufu kwa tuse ambaye hakuwa na la kusema zaidi ya kutoa miguno ya chinichini.Bila ya kupoteza muda nikapandisha t-shirt yake nyeupe na kuipachua kifungo cha sidiria aliyovaa na kwa haraka nikaanza kuzipikicha chuchu zake kwa ustadi wa hali ya juu nakusababisha tuse aanze kuhema juu juu nakubaki akiniangalia tu akiwa katumbua macho.
“Nakuomba usisemee Dada tuse nakuombaaa”
“Aa…aaaa….oooo….u.w..ssssssisemiiiiiii p..
aaa..pllooo”
“Yeees sawa sawa usiseme sawa”
“n…d..io.b..abby end..eleeeaaa” Ndani ya mida mfupi nikafanikiwa kumlainisha dada yule wa kazi ambaye nia ya kutaka kumpa mautamu ilianza kunijia sikuwa na muda wa kupoteza kidume taratibu nikaanza kunyonya chuchu zake kwa sifa na kusababisha hasa dada wa kazi tuse aanze kutoa miguno ya raha kwa kupaza sauti ambayo niliipotezea.sikujali chochote kidume nikaingiza mkono wangu ndani ya sketi yake nakukutana na ikulu yake iliyokuwa imeshaanza kututumka na mimi nikaanza kumpapasa na kumnyamazisha kelele kwa kuanza kumnyonya denda.Ghafla mlio wa kuvunjika glassi ukasikika na kusababisha haraka haraka kumuachia dada wa kazi tuse ambaye akaanza kuvaa haraka haraka na mimi bila ya kuchelewa nikapiga hatua kurudi nyuma huku nikiwa bado sijajua mlio wa kuvunjika kwa glasi ulikuwa umesikika wapi.tukiwa katika sintofahamu ghafla Mlango wa jikoni ukafungulia na Kuingia rebecca aliyekuwa kakunja sura huku akiwa analia na Alipotukuta mimi na Dada wa kazi tuse aka………………….
Mimi na dada wa kazi tuse akashangaa sana na kubaki akiduwaa na kutuangalia kwa muda huku akiwa bado anadondosha matone ya machozi na kusababisha niendelee kupata hofu na kuanza kujiuliza maswali ambayo hayakuwa na majibu.tuse naye aliganda aibu ilimshika nakujikuta naye akitulia na kuangalia chini na kukwepesha macho pale alipoangaliwa na rebecca ambaye alikuwa akihema kwa kasi tena juu juu kama mtu aliyekuwa anakimbizwa.Alituangalia kwa muda kisha akageuka na kuondoka haraka na mimi sikuwa na haja ya kubaki tena nikamuacha tuse nakumkimbiza rebecca ambaye baada ya kumuita alikuwa akizidisha mwendo wa kutembea.Nilimkimbiza na kufanikiwa kumkamata kabla hata ajaingia katika chumba chake na kuanza purukushani huku mimi nikitumia nguvu asiingie ndani na yeye akitumia nguvu kuingia ndani.
“Nakuambiaa sitakii!!,Niaache pabloo nakuambia sitaki” katika hali ya kutotegemea wote tukajikuta tukingia katika chumba cha rebecca na mimi kwa kutumia mguu wangu nikausimiza mlango wa kile chumba cha rebecca na kujifunga.Nikamsogelea rebecca aliyekuwa ameshatoka mikononi mwangu na kurudi nyuma huku akiniangalia kwa macho makali ya hasira ambayo safari hii wala hayanitisha na mimi kwa kujiamini nikaanza kumsogelea rebecca ambaye baada ya kuniona namsogelea akaninyooshea kidole.
“Ishiiiaaa hapo hapo pabloo kwanza nakuombaa utoke katika chumba changu kabla sijapiga kelele unanibaka” maneno yale ya rebecca hakika hayakunitisha mwanaume taratibu nikamsogelea rebecca na nilipotaka kumkaribia rebecca akaanza kunirushia makonde mazito ambayo mengine niliyakinga kwa mikono yangu huku mingine yakinipata katika kifua changu lakini yote hayo wala hayakuniingia.Kwa kutumia uanaume nikajikuta nikifanikiwa kumtuliza rebecca ambaye baada ya kumtuliza akaakimya na kuangalia chini.kwa kutumia mkono wangu nikamshika kidevu chake na kumuinua.
“Pabloo jamani sitaki naomba uniache na utoke chumbani kwangu” kwa sauti ya chini chini mrembo rebecca akaniambia sauti ambayo ghafla ikanitetemesha na kupita kimsisimko flani uliosababisha taratibu niaanze kupeleka mdomo wangu katika mdomo wa rebecca nikiwa na lengo la kupata shurubati la mdomo lakini nilipokaribia rebecca akanishika kifua akiwa na lengo la kunizuia lakini nilijikuta nikitumia nguvu na moja kwa moja nikaanza peleka mdomo wangu kwake na yeye rebecca bila hiyana akaupokea na kujikuta tukianza kunyonyana denda taratibu.Tulinyonyana denda kwa muda kidogo na nilipoona rebecca anaanza kuishiwa nguvu taratibu nikamtoa na kumsukumiza kidogo kwa nyuma na kusababisha rebecca alalamike baada ya mimi kumtoa.
“Rebecca una matatizo gani unajua mimi sipendi unavyofanya”
“Hamna pablo ni hasira kwa sababu dada wa kazi kashatufumania na lazima amwambie Mama”
“usijali nitamlazimisha nifanikiwe kumshawishi Asimwambie na hata wewe jaribu hivyo wala usimuogope Rebecca”
“Mmmh haya jamani lakini nikuambie kitu”
“Nambie wangu rebecca”
“Mimi nakupenda sana Pablo nakuomba uwe wangu na usinisaliti”
“Yaah sitakusaliti na nakupenda” nilifanikiwa kumtuliza rebecca na nikijikuta nikimpa ahadi ambazo hazikuwa za kweli ahadi ambayo ilikuwa ni ya uongo kutokana na kutoweza kuwa naye kwa sababu nilishakuwa na wasichana wawili ambao ni mtu na dada yake na dada mtu alikuwa ananilazimisha kilazima.Tuliongeaa mengi kisha tukatoka na kwenda sebuleni na kuanza kuangalia television na kilichonishangaza ni kwamba kwa muda huo rebecca alikuwa akiniangalia kwa wizi wizi na nilipokuwa najitahidi mimi kumuangalia yeye alikuwa akikwepesha Macho yake kwa aibu.Hakuchukua Hata masaa mawili Mama na Mama rebecca wakarudi na kuibua tena hofu ambayo mimi nilijitahidi kujipa imani kwamba dada wa kazi tuse hatosema na wala hatukakaa sana Mama akaanza kuomba ruhusa ya kutaka kuondoka na mimi bila ya kuchelewa nikajifanya naaga na kwenda chooni kumbe nilikuwa na lengo la kwenda jikoni kwa mfanyakazi ambaye kwa muda huo alikuwa anapika na kuwaacha rebecca,Mama rebecca na Mama yangu wakiwa wapo sebuleni.Nilifika jikoni haraka kutokana na mwendo kasi wangu wa kutembea nakumkuta dada wa kazi tuse akiwa anaosha vyombo katika sinki na mimi nikaingia bila ya kumshtua tuse ambaye alikuwa yupo bize na kazi yake.Nilimsogelea taratibu na kumshika kiuno chake hali iliyosababisha ajibinue kidogo na kutoa mguno wa raha na mimi kwa kutaka sifa nikapeleka mdomo wangu nakuanza kumnyonya shingoni na kusababisha kuleta usumbufu mkubwa kwa dada tuse.
“Tusee”
“Abeeee paplo”
“Hahaha sio paplo ni pablo”
“Aiii jamani jina lako gumu mmh niambie”
“Pouwa nakuomba usiseme kwa Mama rebecca kwa kile kitendo kilichotokea leo kwa sababu ni bahati mbaya naomba unielewe.”
“Mmmmh sawaa lakini sitosema kwa masharti ambayo naomba uyatekeleze”
“Duuu masharti gani tena tuse”
“Naomba Siku nikipata nafasi tukutane unipe utamu uliotaka kunipa”
“Hahahahhhaaa usijali Basi nipe simu yako nikuandikie namba yangu halafu Nitakutafuta” Kwa mapozi dada tuse akanikabidhi simu yake ya mchina na mimi nikumuandikia namba yangu kisha kabla hata sijasave akaniambia nijisevu kwa jina la mpenzi wangu na mimi bila ya kusita huku nikiwa nacheka nikasave vile vile anavyotaka.Baada ya kumaliza huku nikiwa nimeshusha pumzi zito nikatoka kule jikoni haraka na kujumuika sebuleni na akina mama ambapo mama yangu kwa kutumia busara akaaga na Hatakuwa na budi ya kutoka nje na kusindikizwa na Mama rebecca na rebecca mwenyewe mpaka stedi ya Mabasi na kutuacha baada ya sisi kupata gari ambalo baada ya kuingia sisi tukapata siti na kukaa.Mawazo ndani ya gari ndio yalichukua nafasi yake huku nikiwa najilaumu kwa umalaya ambao nilikuwa nimeuanza ghafla na hata sikuwai kutegemea kama ningekuwa hivyo.
“Heeeeeeeeeeeeee weeee mkakaaaaa Mambo hata siamini” Nikiwa katika hali ya mawazo ghafla nikaja kushtuliwa na Maneno ambayo yalimshtua na Mama pia niliyekaa naye kwenye siti moja maneno ya msichana mrembo ambaye nilipomuangalia usoni sikujua mara ya kwanza alikuwa ni nani.kwa hali ya kupenya penya kutokana kulikuwa na watu wengi kwenye gari na wengine waliokuwa wamesimama huku wameshika machuma yakisimamia katika gari yule mwanamke akasogelea karibu kabisa katika siti yetu tuliyokaa mimi na Mama.
“Emheee mambo jamani”yule mwanamke tena akanisalimia na kusababisha mama anigeukie na kuniangalia kwa Macho makali macho kutokana na yeye kunisihi na kutopenda mimi nijihusishe na Mambo ya kimapenzi wakati bado nasoma hali iliyosababisha moyo wangu uanze kudunda kwa uoga
“Ee…maa…ambo poa tu na..n..i mwenzangu”
“jamani wewe kweli msahaulifu mimi yule tuliyegongana pale selena hoteli na nikakupa na Namba yangu” hakika macho yangu hayakutaka kuamini ni kweli alikuwa ni yeye kabisa ni yule mdada aliyetupeleka katika chumba tulioipiwa mimi na rukaiya kwenda kufanya mapenzi.hakika nikiduwaa kabisa huku macho yakinitoka kama panya aliyebanwa na Mlango hali iliyomshangaza sana Mama aliyebaki naye anaishangaa hali ile…………
Pia ilishangazwa na Abiria wengine ambao walikuwa wamesimama wengine waliokuwa wamekaa wote wakageuka na kutuangalia jambo ambalo lilizidi kunichanganya na kunigawisha.
“Mimi sikujui dada mbona uelewi??”
“Mmmhhh jamani wewe jana umesahau ulikuja pale selena hoteli ukiwa na yule msichana wa kiarabu mkaagiza chumba na Mimi ndiye niliyewapeleka ukatoka Saa mbili pale usiku tukagongana ukanisaidia kuokota Vitu nilivyodondosha nikakupa na Namba yangu simu jana tu leo hii ushasahau” Hakika yule mwanamke alizidi kupasua jipu ambalo kwa hakika sikulitegemea kwa wakati kama ule ambao mama alikuwa kwanza hasira zimeshampanda pili alikuwa tayari kashaanza kuhema juujuu huku akinitizama kwa Macho makali ambayo yalinitisha hata kutothubutu kumuangalia.Kurudi kwangu usiku na kumdanganya Mama uongo na yale Maneno aliyokuwa Ameyasema yule dada kama yalionekana kama kumuingia Mama na kuamini kama yule dada anasema ukweli na kuzidi kunitia wasiwasi ambao Mwanaume nilijikakamua kujitetea.
“Weee dada Naona una matatizo ya Akili wewe mimi jana selena hoteli kwanza hoteli yenyewe sijuii na Kama umeniona Pale reception nilikuwa nimeandika jina gani eee”
“Yule mwenzako yule mwanamke anaitwa rukaiya” hali yangu ikaanza kubadilika ghafla baada ya kutaja jina la rukaiya Nikajikuta nikisema Mungu wangu kimoyomoyo nikiwa siamini kabisa kwamba siri yangu ilikuwa ikienda kuvurugika na kujulikana.
“wewe vipi huyo rukaiya ndio nani halafu nyamaza huoni Aibu unaongea wewe tu kwenye gar………”
“Nyamaazaaaaaaaa wewe Dada endeleeaa”katika hali ya kushangaza na Mama akaingilia kumtetea yule dada aendelee kuongea kidume nikanywea kwa utulivu na kunyamaza huku nikimuangalia yule dada kwa ishara ya kumkazia Macho kisha nikamkonyeza na kusababisha yeye pia kunisoma Aina flani hivi.
“Aaaaaaa ila kweli kama nimekufananisha vile maana hapa nakuangalia vizuri ndio nakuja kugundua” Maneno mapya aliyoyaongea yule dada ndani ya mulemule kwenye gari yalisababisha watu wengi waanze kucheka sasa huku mama naye akisikitika flani kutokana na jinsi alivyokuwa anaongea huku akiwa na umakini.Hawakujua kuwa Mwanaume nilikuwa nishampa Alama ya kumkonyeza iliyosababisha Anyamaze.Mwendo kasi wa gari lile likatufikisha Mahala usiku ambapo tulitakiwa tushuke ili tupande lingine lakini tukiwa katika purukushani za kushuka shuka na kutokana na Msangamano wa watu nikafanikiwa kukutani na yule dada naye akigombania kushuka na Aliponiona mimi pia nashuka huku Nikimtanguliza Mama mbele haraka haraka akiingiza mkono wake kwenye pochi na kutoa kikaratasi na kunipa bila ya watu wengine ndani ya gari kuona na Mwanaume nikakipokea na nilipoangalia ilikuwa ni Namba yake ya simu.
“Usijali nitakupiga” Nilimwambia nitampigia kabla hata yeye ajaniambia chochote na Nikapotezana naye baada ya Mimi kushuka na Mama kwenye gari na kupanda gari lingine haraka la kuelekea nyumbani.Hatukaa sana kwenye gari kutokana na kutokuwa na umbali mrefu tukafika nyumbani Jioni jioni na nilipoingia tu Mwanaume moja kwa moja nikakimbilia chumbani kwangu na kwenda Mpaka katika simu yangu niliyoizimia na kuiacha chaji na kwenda kuichukua kisha nikajibwaga kitandani na kuiwasha simu hiyo.Baada ta kuiwasha tu Nilikaribishwa na Messeji kibao ambazo kwa taratibu nikaanza kuzisoma kwa utulivu.Messeji zilikuwa nyingi zilizotumwa na rukaiya na zureiya huku kila mtu akiwa analalamika yake na pia ilitumwa nyingine ya yule dada wa akina rebecca tuse ambayo pia ilikuwa ni ya kimapenzi niliyoipotezea.Niliangalia salio langu na kukuta lipo na bila ya kuremba nikachukua namba ya yule dada wa selena hoteli na kumpigia.
“Haloow nani mwenzangu”
“Pablo hapa nambie”
“Mmmh pablo yupi”
“Uliyegongana naye selena hoteli na kukusaidia kuokota vitu vyako ulivyodondosha na uliyekutana naye kwenye gari ukataka kutoboa siri mbele ya mama yake”
“Ooooh jamani am sorry baby wangu sikujua my love mahabuba wangu”
“Hahahaha nishakuwa my love tena??”
“Aiaaa jamani tangia siku ya kwanza nilipokuona sio siri nilivutiwa sana na wewe moyo wangu ukikuona ulikuwa una dunda wee uoni kirahisi tu mtoto wa kike nishatoa Namba yangu”
“Hahaha naelewa ni kweli lakini acha me nilale tutaongea vizuri usiku mwema nimechoka.”
“Haya usiku mwema i love you” Nilikata simu huku nikiwa nastaajabu kubwa kutokana bado nilikuwa siamini Amini kwa jinsi nyota yangu kwa wasichana ilikuwa inang’aaa hakika pepo la umalaya lilikuwa lishanivaa.Nikiwa tena katika mawazo mazito simu yangu ikaita na nilipoangalia tena jina Alikuwa ni msichana ambaye ndiye niliyekuwa nampenda sana zureiya msichana ambaye siku kadhaa za nyuma niligombana naye.
“Hivi kwanini unanifanyia hivi pablo,Nakupigia simu simu haipatikani,Nakutumia sms haujibu jamani au bado haujanisamehe mpenzi wangu naomba unisamehe unaniweka roho juujuu mpaka chakula nakiona kichungu kigumu hata sikitamani,honey nambie basi pablo wangu” Yalikuwa ni maneno ya zureiya akinilalamikia mimi na kuanza kunichoma moyo wangu na kujikuta nikianza kumuonea huruma zureiya msichana ambaye sio siri alikuwa yupo moyoni mwangu.
“Haina haja mtoto mzuri kama wewe kunung’unika kwa sababu yangu wewe ni mrembo mzuri kuwahi kutokea mimi mbona Nilishakusemehe Sema hapa siku mbili hizi nilikuwa busy tu so kama nimekukwanza hapo nisamehe”
“Usijali Mpenzi wangu nimekumiss sana,na nilikuwa nakuomba najua mitihani yako inakaribia lakini nilikuwa naomba tuonane”
“Sawa honey sasa tutaonana wapi zureiya”
“Kama kawaida wee njoo nyumbani jumamosi ya wiki hii inayoanza jumatatu kesho baby jumamosi baba mama na makaka zetu wanaenda zanzibar nitakuwepo mimi na Dada rukaiya”
“Mhhh haya mpenzi usiku mwema nitakuja usijali”
“Haya love you” nilishusha pumzi ndefu sana kutokana na mtihani mgumu unaofuata wa kwenda nyumbani kwa akina zureiya huku dada yake nilifanya naye mapenzi pia akiwepo huku onyo lake la kutaka niachane kabisa na Mdogo wake na kuwa na yeye kunirudia rudia katika kichwa changu.Nikiwa bado nafikiria nini tena cha kufanya mlio wa kuingia messeji ukasikika
na Nilipoangalia messeji ile ilionesha jina la rukaiya nikajikuta nikishtuka na Moyo kuanza kunienda mbio na Haraka haraka nikaifungua.
“Nakusikia sana unavyoongea na Mdogo wangu wakati nilishakukataza Sasa basi hiyo jumamosi nataka uwe ujikaze kulekule serena hoteli na usije huku nyumbani umenisikia Hilo sio Ombi hiyo ni Amri na leo iwe mwanzo na Mwisho kuongea na mdogo wangu la sivyo utaangukia Pabaya”……..
Sehemu Ya 10
Siku zilianza kuyoyoma kidogo kidogo na Mwanaume kama kawaida nikaendelea na shule ambayo muda ulikuwa ushaisha na mtihani wa mwisho wa kidato cha nne ndio ulikuwa unakaribia kulindima na wiki hiyo ndio ilikuwa ya mwisho kujisomea huku jumamosi nikiwa na miadi na zureiya ambaye dada yake aliingilia kati na Jumanne itakayofuatia ndio mtihani kutokana na jumatatu kuwa na sikukuu.Mawazo yaliendelea kuniandama hasahasa na muda mwingine kutamani kabisa kughairi kwenda kukutana hata na mmoja wapo kati ya rukaiya na zureiya lakini nilijikuta nikijishangaa mwenyewe na kushindana na nguvu mbili tofauti ambayo moja ilinishauri nisiende ili nibaki nyumbani kujisome kujiandaa na Mtihani lakini nguvu nyingine iliniambia niende kutimiza wajibu wangu wa kwenda kuwashughulikia mmoja kati ya wale wasichana Ambao sio siri walinisababishia niwe na Pepo kubwa la Kufanya umalaya ambao ulikuwa ukinipotezea tu muda bila ya kuniingizia kitu chenye faida.Hakika hata simu yangu niliona chungu Kuanzia jumatatu nilikuja kushika simu jumatano na kukutana na Messeji nyingine za vitisho kutoka kwa dada wa kazi wa akina rebecca tuse ambaye alikuwa
akinilalamikia nimedanganya na kwanini nilikuwa nakaa kimya na akipiga simu yangu ilikuwa haipatikani huku akinisisitizia na Kuniambia kwamba atavunja ahadi yetu kwa kunisemea kwa Mama yake rebecca kitendo tulichokifanya mimi na rebecca jambo ambalo sikujua ujasiri niliutolea wapi niliipotezea bila ya kuwa na uoga wowote na kuizima tena simu yangu na kupotezea messeji zingine za Rukaiya,zureiya na yule mdada anayefanya kazi selena hoteli aitwaye Angel.Mungu si Athumani Ijumaa ikafika na ilikuwa ni siku ya mwisho kujisomea shuleni kutokana na wiki iliyofuatia ni ilikuwa ya Mitihani nakumbuka siku hiyo ilikuwa ni siku ambayo Ndio tulibandikia namba zetu za mitihani katika vyumba vyetu vya mitihani na ilikuwa ni siku ambayo watu wengi walikuwa wakibadilishana Namba za simu kwa lengo la kuwasiliana na kupeana habari kama labda kutakuwa na Mitihani iliyovuja wapeana taharifa kutokana na shule yetu kuwa ya ghorofa mbili walimu walitupa vyumba vya kujisomea siku hiyo ya mwisho vyumba vya ghorofa ya juu ambavyo vilikuwa havitumiki kwa mitihani.Mimi siku hiyo nilikuwa na rafiki yangu samson huko huko juu ya ghorofa katika moja ya vyumba ambapo tulikuwa wawili tu mimi na yeye tukijisomea.Ghafla halima msichana ambaye alikuwa rafiki yangu kipenzi ambaye pia ndio alinitengenezea Mazingira mazuri ya kumpata zureiya na mimi kufanikiwa kuwa demu wangu akaingia ndani ya Darasa letu lile akiwa na shauku kubwa.
“Pablo eeee nakuomba mara moja” yalikuwa maneno ya Halima ambaye uzuri wake ulimsumbua sana rafiki yangu niliyekuwepo naye pale samson ambaye nilijaribu kumtengenezea nafasi lakini nilishindwa.
“Poaa”
“Njoo huku nje basi”Halima aliongezea nakutoka tena nje nakuniacha mimi nikijiandaa kwenda kumsikiliza jambo ambalo lilionekana Kumpa shauku kubwa rafiki yangu samson.
“Oya pablo basi mgusie tena Au ushatengeza ile inshu imetiki niambie basi”samson aliniambia vile huku akiwa na shauku nakusababisha niachie tabasamu na kucheka kidogo kisha haraka haraka nikatoka nje kwenda kumsikiliza Halima ambaye baada ya kuniona hakuniambia chochote zaidi ya kuniambia nimfuate sikuwa na sababu yoyoye ya kukataa kwa sababu halima ni mshikaji wangu na Moja kwa moja tukaanza kuongozana huku nikiwa sielewi tunaenda wapi.Safari yetu ikagota katika vyoo ambavyo vilikuwa havijamaliziwa kujengwa na katika hali ya mshangao halima akaingia na Niliposita kuingia bila ya kutegemea Halima akanivuta mkono wote tukazama wote ndani na Halima akafunga Mlango.
“Mmmh halima vep…..” kabla hata sijamaliza kuongea halima akanivamia na kunishika kichwa changu kwa nguvu na moja kwa moja akapeleka mdomo wake katika papi za mdomo wangu nakuanza kuninyonya denda ambalo licha ya kutaka kujitahidi kujizuia utamu ukazidi nguvu nakujikuta na Mimi nampa ushirikiano wa nguvu wa kunyonyana denda na kujikuta nikivuka mpaka kwa kumshika kiuno chake na kumbinua na kusababisha halima atoe miguno ya mahaba iliyonichanganya.Tulinyonyana denda kwa muda na bila ya aibu halima akaanza kunipapasa kifuani kwangu na kuthubutu kabisa kuanza kunifungua vifungo vya shati yangu ya shule niliyovaa kisha akashuka mpaka katika koki yangu nakuanza kunipapasa papasa na kuibua misisimko mikali sana hapo ndipo alipopandisha mizuka yangu nakujikuta haraka haraka nikimfungua vifungo vya shati yake nakukutana sidiria iliyobeba manido mazuri makubwa makubwa ambayo yalinitamanisha na kunipa hamasa ambayo ilinipelekea nishushe sidiria ile nakuanza kuyanyonya taratibu huku nikibinya binya chuchu zake kubwa kubwa zilizomfanya halima aanze kujinyonga nyonga na yeye halima akafungua zipu ya suruali yangu nakutoa karoti yangu bila kutegemea nakuanza kuichua chua na kujikuta na Mimi nikianza kutoa miguno hafifu ya kupata mzuka wa raha.
“Weeeeeee Acha utafumwaaa utafumwa acha acha!!”Nikiwa katika hali ya kutaka kuingia katika sayari nyingine ghafla nikasikia sauti ambayo niliisikia kwa mbali ikipita katika masikio yangu nakujikuta nikipata nguvu za ghafla nakumsikimiza halima ambaye alishaanza kulegea huku akiwa anarembua rembua Macho kama mtu mwenye usingizi mzito.
“Aiii jamani pablo vipi”
“Hapana sitaki”Nilimjibu halima huku nikifunga vifungo vya shati yangu na kumalizia na kuirudisha koki yangu na kufunga vipu huku nikimuangalia halima kwa kumkazia macho.
“Pablo jamani tufanye kidogo me nakupenda”
“Heee halima vipi umechanganyikiwa wewe zureiya si rafiki yako na si ndio wewe umenionganishia sasa iweje uwe tena unanipenda”
“Hamna zureiya Ni malaya sasa nimekuonea huruma halafu ukizingatia mimi nakupenda jamani pablo” nilichoka kabisa baada ya kuyasikia maneno ya Malalamiko kutoka kwa Mwanafunzi mwenzangu halima ambaye kwa muda wa miaka mitatu na kuingia minne alikuwa ni rafiki yangu ambaye kwa kipindi chote hakuonyesha hali yoyote ya Mapenzi kwangu.Niliendelea kumuangalia kwa makini huku nikiwa siamini amini kwamba ndio yeye ndiye aliyefanya vile tena chooni na bila ya kutegemea nikamuona anaanza kudondosha michirizi ya machozi katika mashavu yake jambo ambalo sikupendelea kutokea Hasa kwake msichana ambaye hapo awali aliniambia kuwa yeye apendi masuala ya mapenzi.Nilimsogelea na kumkombatia kisha nikamsika mabega yake na kumfuta na machozi yake yaliyokuwa yanatiririka.
“Sikia halima Mimi siwezi kuwa na wewe mimi na wewe ni marafiki na wewe ndio ulinionganishia kwa Rafiki yako rukaiya jamani Mwanaume anayekufaa ni Samson mimi Malaya tu”
“haaa mi sitaki nakupenda jamani naomba unikubalie pablo”
“Haya Usijali hata mimi nakupenda sana Muda umekwisha tuondoke tutaongea vizuri kwenye simu wangu” Nilimjibu halima huku nikiwa nimemdanganya kuwa nampenda kumbe nilikuwa simuhitaji nilimjibu ili tusikae sana chooni tusije tukafumwa tena chooni na Kuwa na Msala mkubwa na pia ili Nisimpe mawazo kwa sababu atakuja kufanya mitihani yake vibaya kwa sababu yangu.Baada ya kumaliza kuvaa na yeye nikamshika mkono na kutoka naye nje.Haaaamadi ile natoka tu nikakutana uso kwa uso na Rafiki yangu samson ambaye alikuwa katika sura ya hasira kali akiwa ananiangalia mimi kwa shauku nakujikuta nikisita kunyanyua mguu na kubaki nikiganda bado tena nikiwa nimemshika mkono halima ambaye naye kumuona samson kwake kulimfanya naye ashtuke flani na hata kusita kutembea naye akaganda kumuangalia samson.Nilitaka kumtoa mkono alionishika lakini halima akakaza mkono na mimi nikashindwa kumtoa.
“Mmmmhhh s…aaa..mson vipi broo”…….
Nilijitutumua kumuuliza Samson swali ambalo wala hakulijibu aliniangalia kwa Macho ya hasira sana yenye dalili ya machozi jambo ambalo lilinitia wasiwasi na moyo wangu kuanza kuchukua nafasi yake na kuanza kudunda kama saa dalili ya ugomvi kutokea ilionekana dhahiri kutokana na samson jinsi Alivyo.
“Pablo jumatatu basi si ndio Mtihani tutawasiliana vizuri Leo usiku love you mwaaah”Halima akaniambia na yale Maneno yakazidi kunishtua na Bila ya aibu palepale halima akaniachia busu zito la mdomo mbele ya samson ambaye aliishia kuangalia kisha kwa mwendo wa Maringo halima akaanza kuondoka na Alipomfikia karibu samson akaachia msonyo wa nguvu kisha akaendelea na safari yake kwa mwendo wa haraka haraka bila ya kugeuka nyuma.Samson akabaki ananiangalia mimi macho yakiwa yamemtoka na Machozi yakaanza kumtoka na kutiririka katika Mashavu yake na mimi aibu ikanishika na kujikuta Mwanaume nainamia Chini kutokana na Aibu ambayo kwa kiasi kikubwa nilitaka kujaribu kuificha lakini nikajikuta nikigonga mwamba.
“Sasa Mwanangu huu ndio ushikaji au usnitch si ungesema kama huyu demu unamtaka na sio kunidanganya kama Unakaribia kumaliza kila kitu??” samson akafungua mazungumzo na kusababisha mimi niinue kichwa kimtizama kwa Macho ya huruma kutokana na kumuonea huruma kwa sababu alikuwa analia sio kwa sauti lakini machozi yalikuwa yanamtiririka.
“Hamna Mshikaji samson mimi mbona natengeneza na mule aliniita tuongee kuhusu we…”
“Nyamaza mwanangu pablo nitakuzingua sasa hivi yani mwanangu mimi nilikuwa nakutumiaga vocha ili ongee naye unionganishie kumbe demu unamtaka wewe kwa hiyo unanichukulia mimi boya sio??”Ghafla hali ikabadilika samson taratibu akaanza kunisogelea mikono yake ikiwa imekunja ngumi tayari kabisa kupigana jambo lililosababisha mwanaume nianze kurudi nyuma taratibu kutokana nilikuwa sipendi ugomvi kabisa hasa kupigana na mtu ambaye alikuwa ni rafiki yangu.
“si nakuuliza unanichukulia poa sio mwanangu pablo yani mimi nilikuwa nakuamini kumbe daah hivi unajua jinsi gani ninavyompenda halima hivi unajua jinsi ninavyotesekaa aaa sikubali” Bila ya kutegemea samson akanisogelea na kunikunja shingoni kwa hasira huku ngumi akiwa kaikunja na kuninyooshea tayari kabisa kutaka kunitandika nayo.
“Oyaa jamaa kausha bwana mwanangu sio fair ngumu za nini sasa subiri nikueleweshi ilivyokuwa sasa ngumi za nini mwanangu d…..” kabla hata sijamaliza kuongea ngumi ikamtoka samson na kunipiga mdomoni na kuniachia nikidondoka huku nikitoa miguno ya maumivu.haraka haraka nikashika mdomoni kwa mikono yangu vitu kama mate yaliokuwa mdomoni mwangu na kuleta ladha ya chumvi nikayasikia na nilipotema yalikuwa ni damu zilizokuwa nyingi mdomoni mwangu kutokana na ngumi ile kunichana.
“Daa Mwanangu ndio umenipiga kweli??” Nikamuuliza samson aliyekuwa akiniangalia kwa hasira kali huku mimi nikiwa bado naendelea kutema damu zilizokuwa zinatoka mdomoni.
“Ndio una hamua nini sasa fala wewe au nije Nikuongeze” Maneno ya samson yakanitia hasira na kujikuta nikinyanyuka na kuanza kumsogelea na nilipomfikia karibu nikamrushia kibao cha nguvu kilichompata vyema katika shavu lake la kulia na kusababisha agune kidogo na kuinama chini na alipoinuka aliinuka na ngumi kali niliyoikwepa.Nikamrukia na kumkaba shingoni kwa hasira lakini roba yangu ikatolewa na samson na kwa hasira akafanikiwa kunitia mtama ulionipeleka chini kisha akanikalia juu nakuanza kunitandika ngumi za pua kama mbili zilizonitoa damu lakini nikatumia nguvu zangu na kufanikiwa na mimi kumbidua na kumkalia juu na kuanza kumshindilia ngumi lakini pia samson akafanikiwa kunitoa na wote tukasimama huku tukiwa tumekunja ngumi.Damu zilikuwa zinanitoka nyingi mdomoni na puani huku samson akiwa naye anatokwa na damu nyingi mdomoni na kichwani zilizokuwa zikichafua Shati lake la shule.Shule nzima tulikuwa wawili tu hakukuwa na mwanafunzi mwingine yoyote hata walinzi wa shule sijui walikuwa wapi na sisi ndio tulikuwa tupo juu kabisa la jengo la ghorofa katika madarasa ya floor ya juu tukizichapa mimi na rafiki yangu kipenzi samson ambaye wala sikuwai kutegemea kwamba kuna siku itakuja kutokea.tukiwa tumesimama huku bado kila mtu akiwa amekunja ngumi kwa hasira na kumuangalia mwenzake samson kwa kasi akanivamia mpaka katika ukuta na nikukandamiza na kuanza kunitandika ngumi mfululizo za tumbo ambazo ziliingia barabara na kuleta maumivu makali lakini nguvu za ghafla zikanijia na kujikuta nikimtandika kichwa kikali cha pua samson kilichomrudisha nyuma kisha nikakunjuka teke kali likakwepwa vizuri na samson aliyebonyea chini kisha akanidondosha chini kwa kunipaga tena mtama mkali ambalo ulisababisha nifikie kiuno na kuniletea maumivu mengine makali ya kiuno kwa kujishika na bila ya huruma samson akanikalia tena juu nakuanza kunipiga tena ngumi kadhaa.
“Weee mtoto lazima nikuue leo lazima nikupasue ukome”samson aliniambia kwa hasira huku akinipiga ngumi mfululizo zingine za masikio kwa Lengo la kutaka niachie ili anipige usoni ambapo nilikuwa nimeziba kwa mikono yangu miwili ili ngumi zake zisinipige usoni.Samson baada ya kuniona naanza kuishiwa nguvu haraka haraka akaninyanyua na kunigeuza nyuma kisha akanipiga robo kali na kunipeleka tena chini huku akiwa amenikaba shingoni kwa kutumia mkono wake ukisaidiwa na mwingine ambayo ilitosha kabisa kuninyong’onyesha kwa maumivu.Ukali wa roba ile ulipelekea nianze kukohoa huku macho yakinianza kunitoka hata nilipotaka kujaribu kumng’ata sikufikia mkono wake uliokuwa shingoni mwangu.
INAENDELEA

