MTOTO WA BOSS WANGU
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 12
ILIPOISHIA
Mama Rose alianza kumuonea huruma mtoto wake na kujisemea kuwa hasira hasira lakini na yeye aliniabisha sana hayo yalikuwa ni mawazo ya mama Rose pale hospital
Aliamua kuingia wodini kumuona mwanae alipofika tu Rose alimwambia mama yake kwamba najua nimekosea na mmenipiga sana kiasi cha kutaka kuniua ila kaa ukija kuwa mapenzi ni hisia na hisia zangu ziko kwa Wangesi japo mmenipiga sitoweza kumuacha Wangesi kamwe Niko tayari nikipona nikamtafute sehemu yoyote ile bora niache shule
Unasemaje eee eee e,???? Mama aliuliza kwa mshangao mkubwa sana akiwa haamini masikio yake lakini Rose aliitikia na kusema ndio mama unadhani hiki kiumbe tumboni baba yake ni nani kama sio Wangesi?..
Yesuuuuuuuu unamanisha unaujauzito?.
Ndio mama aliitikia Rose .
Mmmmmmmh!! Kazi ipo unadhani baba yako akijua itakuaje?
Mama nakwambia hunielewi fanyeni harakati zenu zote namtaka Wangesi maana bila yeye sitofanya chochote kuanzia sasa sili namtka Wangesi!
Baada ya mama kusikia maneno ya Rose aliinama na kusema kumbe mwanangu hakuanza leo na huyu wangesi wanamuda mrefu hivi mpaka anapata ujauzito sas mimi nitaiweka wapi sura yang maana hii ni aibu kwa familia yangu Rose nae aliendelea kukazia kuwa wangesI atafutwe saehemu yoyote ile maana bila yeye maisha atayaona magumu sana mama aliinuka na kuiondoka kwenda kukaa kwenye bench nje
Baada ya dakika kadhaa aliondoka kuelekea nyumbani lakini aliwaza sana kuhusu ujauzito wa mwanae na lengo lake la kumtaka wangesi arudi kwake sas mimi nitampatia wapi jamani huu nimtihani maana sijui kwao
Baba nae alikuja kwa ajili ya kumuona mwanae maana mama alikuwa ameshaondoka kuelekea nyumbani baada ya baba kufungua mlango Rose aliita wangesi kitu ambacho kilimfanya ashangae kwanza maana aliwaza wangesi amekujaje pale waakati tulimuuwa na kumtupa kwenye korongo alimfuata na kumuuliza Rose mwanangu mbona unamtaja wangesi kulikoni tena,
Rose alisema kwani mama hajakuambia
mzee alishangaa na kusema mimi sijaongea na mama yako tangu tugombane hajanisemesha sasa ataniambia nini mwanangu niambie kuna nini
Basi nend umuombe mama msamaha na mmalize tofauti zenu maana mimi nategemea ushauri kutoka kwenu na pia nikwambie baba mimi nampend wangesi wangu hivy fanya njia yoyote niweze kumuona wangesi hapa
Unasemajeeeeee wewe maana sijaelewa ulichosema nielekeze vizuri hivi wewe umewaza nini mpaka kuniambia ivo mimi baba yako maana sio rahisi kwa mtoto wa kike kutamka maneno kama hayo kwa baba yake tena kwa jiamini bila woga.Labda nikwambie kitu Rose kwa wangesi unayemtaka hapa hata kuja maana sitaki kumuona kwangu sitaki kabisa labba nikwambie ukweli
Rose alisema baba usipofanya hivo mwanao utanipoteza hutoniona nyumbani tena nakwambia ukweli ndio huo nampenda sana wangesi na isitoshe nina mtoto wake tumboni anahitaji kulelewa na baba yake na sio mama yake tu kama wew ulivyonilea na mama na mimi nataka nimlee na baba yake
mzee aliinua mkono na kutaka kumpiga Rose lakin bahati nzuri mama yake alikuja akitokea nyumbani akiwa ameshikiraia chakula kwenye kikapu mama Rose alisema baba Rose kuwa na moyo wa huruma maana mwanao anaumwa japo nilimpiga mimi na wew unataka umpige tena
Hapana mke wangun mwanao anakiburi sana hawezi kuniambia kuwa anaujauzito na kunikomalia kuwa nimtafute wangesi nimlete sas nasema wangesi simleti na nyumbani mwanao atahama
Mama rose alikaa kitandani huku Rose akiwa analia kwa uchungu mklubwa sana akisema nawaambieni wote bila wangesi hapa siwaelewi aiseee baba alitojka nje kwa hasira sana huku akiwaza maneno ya mwanae na kusema mwanangu nampenda san na anachokitaka ni wangesi huu ni mtihani mkubwa sana nitampatia wapi wakati wangesi tumeshamuua na kumtupa ndani ya korongo
Alitaa kwemye benchi gafla kaka yake na Monica alitokea alikuwa amemletea chakula wangesi ambaye alikuwa ameshapata fahamu huku wangesi alilia sana alipokumbuka alivyotaka kufanywa kinyume na kundi la watu machungu yaliongezeka zaidi baada ya kumuona kaka yake na monica alilia sana mwisho alijikaza na kusema kwa kuwa bado natibiwa ngoja nitulie tu
pale nje baba Rose alishangaa sana kuonana na France pale hospitalini ambae ndie kaka yake na Monica alimuuliza kwa nini yuko pale. Kaka yake na Monica alijibu alimleta mtoto wa mjomba wake aliogopa kuongea ukweli maana angezua mjadala pale hospital
Baba Rose alisema nimemleta mwanangu Rose ukitaka ingia wodi namba nane umuone maana amenichanganya sana na maneno yake ya kijinga eti anamtaka wangesi sas mimi nitamtoa wapi mimi maana tulimuwa na kumtupa korongoni sas kule nani ataenda na mimi nimechanganyikiwa mwenzio nimekosa cha kufanya.
Baba Rose akiwa bado na kaka yake na Monica pale hospital alijaribu kumuuliza kuwa Wangesi watampata wapi maana Rose hahitaji kula na ukizingatia na hali yake aliyonayo ndio inayoniumiz!
Kaka yak na Monica alimtazama na kusema sehemu ya kumpata hio shuhuri nyingine maana tulivyompiga tumliuua nadhani ameshakufa hivyo kumpata Wangesi akiwa hai nivigumu hapo ni kumuuelez ukweli tu kuwa tulimpiga na kumuua maan hakuna njia nyingine .
Mzee alisema unataka tufungwe wew huoni kuwa tutakuwa tumejichimbia shimo wenyewe embu sikia yule nimwanangu ndio lakini nitajua jinsi ya kuongea nae atnielewa tu.
OK sawa aliitikia kaka yake na Monica muda huo aliingia wodini na kumkuta wangesi amekaa alimwangali alitabasam na kusema samahani ndugu yangu kwa yaliyotokea wala sikuwez kufahamu kama ni wew nisamehe siunajua kazi za kutumwa ndugu yangu
Wangesi alimuangalia kaka yake Monica na kusema nashukuru mmeweza kunionesha dunia jinsi ilivyo maan duniani tuko watu wengi lakini binadamu wachache sana hivyo niseme tu natambua kuwa ulikuwa ni ujinga wangu kufanya yale kwa Rose lakini aliyesababisha haya ni mtoto wake mwenyewe
Rose maana alinitega sana muda mwingi nilijifanya mjinga lakini yeye alilazimisha kulala na yeye nami sikuwa na hiana nikafanya hicho ndicho chanzo cha Mimi kuingia kwenye mahusiano na yule binti sasa nyie hamkutaka kusikilizia pande zote mbili yaani upande Wangu na upande wa Rose na nina uhakika Rose hwwez kunisaliti wala kunikana
Maana ananipenda sana hata kama ungelikuwa wew ungemfyatua bro maana alikuwa ananivalia kanga na kichupi tu ndani nililazimika kufanya jukumu langu kama mwanaume lakini nimejifunza sana sitoweza kufanya hivyo tena namuomba Mungu nipone nitafute cha kufanya na sitaki kukaa kwa mtu tena bora niwe nalala mtaroni na asubuhi naamka nafanya kazi zangu
Kaka yake na Monica alisema kwa mfano Rose akisema anataka kuishi na wew utakubali?.
Brother kwa mtoto Rose nakubali nampenda sana nitaishi nae mazingira yoyote yale na kamwe sitokubali furaha na tabasam lake vipotee usoni kwake nampenda sana kaka
Sawa nimekuelewa
Baada ya mazungumzo Wangesi alitoka nje kwenda kujisaidia maana alitumia choo cha nje aliingia chooni alijisaidia na kumaliza alivyotoka tu gafla alikutana na mama Rose macho kwa macho
Wangesi alitaka kukimbia maana alihisi amefuatwa pale hospitalini alitetemeka mama Rose nae alimkazia macho na kusema umefikaje hapa?
Mama nililetwa tu Mimi bila kujitambua maana nilipigwa na kutupwa kwenye korongo nilichukuliwa tu na wasamalia wema na kuletwa hospital hivyo walionileta siwafahamu
Nisamehe mama niachie basi uhai wangu sitorudia tena maisha ni mwangu kote nimejifunza sana ulimwengu unavyoenda.
Kule wodini kwa wangesi kaka yake na Monica alistuka na kujisemea huyu dogo ameangukia chooni au maana amekawia alitoka nje gafla alistuka kumuona mke wake na baba rose ambae ndiye boss wake kwa mambo ya uharifu
Wangesiii unafanya nini hapo njoo huku ilikuwa ni sauti ya kaka yake na Monica Wangesi alitaka kuondoka lakini mama rose alimshika na kusema umeshamuharibu mwanangu yaani nyie vijana wa kizazi cha bongo fleva mnasumbua sana mnajifanya mnajua sasa njoo uangalie hali ya rose alivyokonda kwa ajili yako muda wote anakulilia na kunisumbua huno ndani hali wala hasinzii.
Wangesi alishangaa sana kuambiwa maneno Yale alihisi ni uongo tu mama Rose alimpeleka Wangesi Wodini kwa Rose aliufungua mlango tu na Rose ile kumuona Wangesi alikurupuka kitandani na kusimama gafla na chupa ya maji aliyowekewa hakuijali
Alimkumbatia wangesi mbele ya mama yake na kusema nakupenda wangesi wangu ulikuwa wapi jamani Rose alitoa machozi ya furaha ya kumuona kipenzi chake pale pale rose alihisi kupona alikaa kitandani na kufungua chakula alichokuwa amekataa kula
Sehemu Ya 13
Alipakua mwenyewe alianza kumlisha kwanza wangesi mama yake Rose na kaka yake Monica hawakuamini wanachokiona walibaki kushangaa tu bila kujua wafanye nini.
Muda huo ilikuwa ni furaha kwa Rose lakini Wangesi alikuwa na wasiwasi alimugopa sana mama Rose na alikuwa unaogopa zaidi endapo baba yakr na Rose atakuja mazingira Yale ingekuwa kesi kubwa sana
Mama Rose alianza kuondoa hasira zaje polepole juu ya Wangesi na kujisemea hawa wanapendana sana kubwa jikuwaacha wawe mke na Mme na shule Roe itabidi aache tu nitamtengenezea mradi wake
Wakati anawaza vile kaka yake na Monica alijisemea pia hawa dam zimekutana San wote walikuwa na mawazo sawa
Muda huo mlango uligongwa mama Rose alizipiga hatua kwenda kuufungua kumbe alikuwa ni Mme wake amekuja kumuona Rose.
Mzee alishangaa sana baada ya kuingia ndani alivyomuona Wangesi amekaa wodini tena kitandani akiwa anamlisha Rose alimuangalia kwa jicho la kutaka kumpiga Wangesi nae alivyomuona aalitaka kuinuka ili atoke nje lakini Rose alimkonyeza na kumtka asiondoke Wangesi alijikaza japo alikuwa anakaribia kujikojolea.
Baba yake Rose alimfuata na kutaka kutoa nje wangesi alimshika mkono na kusema kijana hupaswi kuwepo hapa kwanza umetokea wapi maana nilijua nimeua kumbe ulipona mshukuru Mungu na mizimu ya kwenu baba Rose alilopoka mwenyew bila kutegemea maana alikuwa hataki kusema tukio lile
Mke wake alishangaa sana maana alikuwa hajui kuwa Wangesi alipelekwa kupigwa kwa sababu ya Rose hapo alianza kumuonea huruma japo mwanzo alikuwa hataki kumuona Wangesi
Lakini alianza kuwa na imani nae alisema Mme wangu najua unaumia sana kwa tukio hili la mtoto wetu rose na wangesi siwezi kusema moja kwa moja umusamehe ila tufukilie jinsi ya kuwasaidia hawa watoto japo wanevunja sheria za nchi
Hasa Wangesi maan ndio mwenye makosa tukimpeleka kwenye sheria atafungwa huyu kijana sasa kwa nini tumfunge na huyo mtoto aliyeko tumboni atalelewa na nani?
Wangesi alistuka alivyosikia mimba alimuangalia Rose na kusema Rose una mimba? Uwiiiiiiii alijutia kuwepo pale maana alijua kuwa lazima apelekwe jera kwa kuwa Rose ni mwanafunzi
Rose baada ya kumuona Wangesi amekosa amani gafla alisimama kwa ushujaa mbele ya baba yake ,mama yake na kaka yake na Rose alisema hivi
Wazazi wangu najua mtaumia kwa haya machache nitakayoongea na muda mwingine mtahisi Mimi nimechanganyikiwa lakini niacheni mnione kuwa nimechanganyikiwa hii yote nikwa sababu nampenda sana baba wa kiumbe hiki kilichopo tumboni mwangu
Huyu ndiye baba yake sahihi na hakuna mwingine atakae kuja na kusema kuwa huu ndio ujauzito wake Mimi Nina uhakika wangesi ndio baba wa mtoto huyu sasa nawaombeni mimi ni mtoto wenu mkinikana au msinikane nitaendelea kuwa mtoto wenu sitoweza kubadilisha ubini wa mama
Najua nyie niwatu wazima na matatizo mnayajua hivyo nawaombeni niseme kuw Wangesi msimfunge mimi ndio mwenye makosa hakuweza kuniambia chochote juu ya kunitaka nijilaumu Mimi na siwezi kumlaumu wangesi naombeni mnisamehe Mimi au mtusamehe wote
Ombi langu kwenu wazi nikuturuhusu sisi tuweze kuishi pamoja japo najua masomo yangu yameishia hapa na sitoweza kurudi shule tena nataka nilee mtoto wangu na kuangalia familia yangu hivyo naombeni tu Wangesi aweze kupewa ruhusa ya kutunza ujauzito huu maana hakuna mwingine zaidi yake yeye.
Muda wote huo mama yake alikuwa analia maana alikuwa anawaza ujasiri alionao mtoto wao kusimama mbele yao na kuanza kuongea maneno mazito kiasi kile na kwa nini anaongea kwa kusisitiza
Alilia sana Mama yake na kusema mwanangu umeongea mengi na sikutegemea kama itatokea siku nitaumia au utaniumiza kwa maneno makali ambayo yamenifanya kulia mwangu kwa upande wangu sina kinyongo na wew kwa kuwa umeamua kuwa na familia japo imekuwa gafla lakini mungu atakusaidia
Baba alimuangalia mke wake alisimama na kumshika bega mke wake na kusema umri umetuacha mke wangu hivyo kwa maneno uliyoongea ni dhahiri kabisa kuwa umeonesha ukomavu hivyo ulivyonena wew siwez kukubishia na sina cha kuongea zaidi ya kusema nami sina kinyongo nao na Mungu awasadie tu wafanikiwe .
Muda huo Wangesi alifurahia kusamehewa lakin aliwaza ataishije na familia yake mpya maana alikuwa hana sehemu ya kwenda akitoka hospitalini alijikaza alimsogelea Rose na kumkumbatia
Huku baba na mama yake Rose walitoka nje kwa ajili ya kuliongelea hili na kaka yake na Monica nae aliitwa hivyo kikao cha gafla kilikaa muda huo kujadili hatima ya watoto pale pale hospitalini.
Sehemu Ya 14
Kikao cha dharura cha watu watatu kiliendelea pale nje ya hospital baba Rose, mam yake pamoja na kaka yake na Monica lengo kubwa ni kutaka kujua hatima ya mtoto wao Rose aliyeonesha msimamo imara wa kumtetea Wangesi akitaka kuishi nae Baba yake alichanganyikiwa kwa sababu alianza kufukiria gharama za shule hakutaka kukubaliana na matokeo alisistiza ahiwezekani tena kwa ukali sana
Mke wake alianz kuwa na hofu maana msimamo wa mme wake alihisi utamuondoa Rose duniani machozi yalianza kutirirka huku akimkumbatia mme wake na kusema mme wangu kumbuka yule ni damu yetu kwa nini unakubali tuipoteze nakuomba tuweze kuwaruhusu tu waishi wote huenda wakaw katika msimamo mzuri wa maisha
Maana wanapendana sana mme wangu sipendi kumzika mwanangu nampenda sana embu usifikirie gharama za kusomesha japo na mimi inaniuma ila maisha yake kwnaza ona alikuwa na furaha baada ya kumona kijana yule nakuomba niko chini ya miguu yako mme wangu,
Muda huo machozi yalianza kumtoka Baba Rose macho yalianza kuwa mekundu aliumia san maana hakutaka mtoto wake aolewe na masikini na kwa umri ule alisema mke wangu siwezi kumruhusu mwanangu kuolewa angalia umri wake ule ni wa shule kabisa tena yuko kidato cha sita hapana sikubaliani na wazo hilo kabisa nampenda mwanangu.
Kaka yake na Monica alimshika mkono Baba yake na Rose na kusema Wangesi namfahamu japo sikutaka kufunguka mapema sna kuhofia usalma wangu na wa kwake na mimi niko tayari kumkabidhi nyumba ya kuanzia maisha naomba uwe na moyo wa kuachia tusitake yafike mbali maana huenda siku moja ukaanza kulilia maiti ya mwanao.
Endapo atasikia habari hii ya yeye kukataliwa kumbuka mapenzi yana nguvu sana yatapelekea mwanao kupoteza uhai kama huna imani na wangesi nakuomba umpe shart moja endapo mke wake atajifungua asimuache tu nyumbani itabidi amrudishe shule please mzee okoa maisha ya kijana wako Rose.
Hapo kidogo mzee aliinua shingo na kumfuata mke wake ambaye alikuwa amejikunja kama mtu anayehis baridi mzee alimsogelea mke wake na kusema mke wangu watoto hawa wamependana haina haja ya kuendelea kuumiza kichwa
Nadhani wataishi vizuri Mungu atawasaidi na sis inatubidi tufanye kitu kuokoa maisha ya mama na mtoto nadhan tuna nyumba mbili moja wataenda kuishi huko huku wakijipanga kutengeneza mazingira yao na gari lile aina ya NOAH tuwakabidhi kwa ajili ya kuendesha maisha yao
Hapo mke wake aliotabasam na kusema nashukuru mme wangu kwa kuweza kuingiwa na moyo wa ujasiri kiasi hicho Rose ndio furaha yangu na ndio mwanangu wa kwanza aliyesababisha mimi kuingia leba kwa mara ya kwanza
Hivyo sikutaka nimpoteze mapema; Hapo walikumbatia wote wawili huku Kaka yake na Monica alitabasm na kusema hapo saw kwa Wangesi naamini wataishi vizuri tena watejenga maana ni mtu mwenye juhudi ya kutafuta,
Walirudi wodini wote watatu na kuwakuta Wangesi na Rose wakiwa wanaongea huku Wangesi akiwa hana amani na maisha yake alistuka baada ya kuwaona wakirudi tena; Mama alitabasam na alienda kumkumbatia Rose na kusema nikutakie maisha mema wew na mmeo Mungu awe nanyi Rose alifurahi alimkubatia Mama yake kwa furaha na kusema asanteni Baba na Mama.
Mzee nae alizungumza kwa huzuni kubwa san kitu ambacho kilimfanya Rose atoe machozi maana hakuwahi kuona baba yake akilia alianza kujihis mwenye hatia sana mbele ya baba yake lakini alipiga magoti na alimuoamba msamaha baba yake na mzee nae alimuinua na kusema
Nimeshakusamehe na nyumba yangu ile mpya nimewakabidhi kwa muda mpaka pale mtakapo simama imara nadhani ina kila litu ndani nendeni mkayaanze maisha mapya na harusin yenu tutaiandaa baada ya wew kujifungua hivyo niawatakie maisha mema,
Baba alichukua funguo za gari alimkabidhi wangesi na funguo za nyumba pia hapohapo aliondoka hakutaka kuongea tena,
Mma naye aliondoka na kaka yake na Monica alienda kulipia matibabu yote aliwachukua na kuwapeleka kule walikoambiwa kwenda kuyaanza maisha mapya walifika na wlifungua nyumba ile ilikuwa kubwa san yenye kila kitu ndani Wangesi alifurahia san
Lakin alianza kuwaza kujenga ya kwake endapo tu atapata hela zake na gari lao wangesi alianza kufanya biashara ya kubeba watu kuwapeleka sehemu tofautitofaut pale mjini’
Waliishi kwa furaha san kusema ukweli hakuna mapenzi mazuri endapo mmekutana wote mnapendana na kusikilizan wangesi maisha yalianza kubalida baada ya miezi kadhaa mwili wake ulianza kunawili na mke wake nae kila jioni wangesi alimtembeza sehemu mbalimbali kwa miguu akimfanyisha mazoezi maana ujauzito ulikuwa mkubwa alikuwa amekaribia kujifungua.
Maisha mapya yalianza kati ya Wangesi na Rose huku ujauzito ulikuwa sana na muda wa kikaribia kujifungua ulikaribia hivyo Wangesi alikuwa na jukumu la kufanya mazoez ya kutembea yeye na mke wake hakika Wangesi alimpenda sana mke wake maana hakutaka kumkosea mke wake kulingana mazingira walitoka.
Wangesi nae aliendelea kufanya kazi zake za kubeba abiria alifanya kwa upendo wote na hakutaka kuitunza vibaya gari walilepewa na baba yao aliitunza sana na watu wlimpenda sana kutoka na ukarimu wake
Hivyo biashara yake ilikuwa rahisi sana kuifanya alifanya juhudi sana kwenye kazi zake na Rose nae hakutaka kumsumbua Mme wake kulingana na anavyompenda alitamani muda wote akae karibu na Mme wake na wangesi nae kila alipokuwa akitoka kazini alimletea zawadi hata kama ilikuwa ndogo alihakukisha anamletea mke wake hivyo upendo wao uliendelea vizuri.
Muda ulienda Wangesi nae hakuwa anakula tu ovyo aliweka akiba kila alipokuwa anatoka kazini kibubu chake liliqnza kuwa na hela nyingi Sana baada ya kuona zimekuwa nyingi alijadili na mke wake kununua uwanja wao wa kujenga nyumba na walitafuta uwqnja na kununua mbali na pale walipokuwa wakiishi baba yake na Rose alifurahi sana alijisemea kumbe mwanangu amepata mwanaume mwenye akili sana ona Muda mchache tu wamenunua uwanja wao nimefurahi mke wangu
Mama Rose nae alisema kweli Mme wangu huyo ni mwanaume mwenye malengo sana ananipa faraja sana baadae huenda wakawa kwenye mazingira mazuri sana maana kwa kasi hii ni nzuri..
Rose nae alifurahia sana muda huo wakati Rose anaendelea kufurahi kununuliwa kwa uwanja alishikwa na uchungu wa kujufungua wangesi nae hakukawia almuweka Rose ambaye ndiye mke wake ndani ya gari na kumpeleka hospital alimuwahishq hospital na baada yq kufika alichukuliwa moja kwa moja hafi wodi ya kina mama .
Wangesi alibakia nje huku akiomba Mungu amsaidie mke wake ajifungue salama baada ya nusu saa wangesi aliitwa na doctor alipewq hongera sana mke wako amejifungua salama umepata mtoto wa kiume.
Wangesi alifurahi sana alipiga magoti alomshukuru Mungu kwanza maana safari ya maisha yake ilikuwa ya vikwazo sana hapo aliinuka simu na kumpiga baba yake na Rose na kumpa taarifa hii
Baba Rose pamoja na mke wake walifurahia sana muda huo huo mama Rose aliingia ndan yq gari kwenda hospital kwenda kumuona Mtoto wake nq mjukuu alipitiq sokoni kwanza kununua nguo na vitu vingine vya Mtoto.
Muda huo Wangesi alichukua jukumu la kukimbia nyumbani kwa ajili yq kutengeneza chakula kwa ajili ya mke wake alifurahia sana kupata mtoto na kuongeza familia yake.
Baada ya masaa kadhaa Rose aliruhusiwa kurudi nyumbani yeye na mtoto wake huku mama yake Rose akiwa dereva wake hapo maisha ya familia ile yalizidi kuwa ya upendo na furaha muda wote.
Muda ulienda huku Wangesi aliipenda familia yake mtoto wake aitwae Jackson aliendelea kukua baada ya mwaka wanfesi alojenga nyumba yake huku baba Riwr alimfunguliq garage yake huvyo Wangesi nae aliendelea kuwa na maisha mazuri muda huo Rose alirudi shule Kwa ajili ya kumalizia Elimu yake ya kidato cha sita na hatimae kuingia chuo kikuu
Monica nae shuleni kwake alifukuzwa kwa ajili ya umalaya wake hakuweza kumaliza baada ya kugundulika ana ujauzito na ukimwi juu alioambukuzwa na mwalimu wake aitwae Nyambole
Wangesi maisha yalienda vizuri baafa ya kuwa msimamizi mzuri wa Mali zile hakika baba Rose alijidai sana kumpata Wangesi alijisemea mwenyeji Mungu nisamehe kwa kile nilichotenda juu ya kijana Wangesi ni mwanaume mwenye akili sana.
Maisha ya Wangesi yalibadirika sana na alibadilisha familia nzima ya kwake na familia ya baba Rose wote waliishi Kwa upendo wa hali yq juu dharau zote ziliisha na heshima ilitawala.
MWISHO

