MZOEFU
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 16
“Aargh! Ni bi mdachi!” Niliongea huku nazima taa kisha nikarukia kitandani.
” Haya tulale mpenzi wangu tutasexy siku nyingine!” Niliongea kimzaha hali nikijua kuwa Malha hataweza vumilia na kweli ilikuwa hivyo kwani aliitafuta na kuikwinda pipe yangu iliyosimama baraabara kama vile anataka kuing’oa
” basi baby…basi baby!! nakupaa” niliongea huku nikitapatapa kitandani.
Aliponiachia nilivaa kinga yangu na kuanza kazi.
Sikuweza kutambua mara moja tulikuwa tunatumia nyenzo daraja la ngapi lakini Mzigo niliuzamisha ndani, jitahada ilikuwa kwa kiuno na egemeo ilikuwa juu ya kifua kizuri cha mtoto Malha, mchezo huo uliendelea kwa dakika kadhaa kabla ya kufikia mshindo, raha ya mechi bao bwana!,
Baada ya kupachika bao hilo la kwanza kwa mbwembwe na mitindo ( styles ) mingi sasa tulirudi kwenye maandalizi ya bao la pili, Nilikuwa nikitomasa kiuno laini cha mtoto huyu wa kitanga huku nikiminya minya wezere zake za mviringo sanjari na kupikicha mistari kazaa ya shanga zilizozunguka kiuno chake, hakika ilikuwa ni raha ya ajabu, haikuchukua dakika tatu, ule mnara ulioangushwa na shuti kali lililosababisha bao la kwanza sasa ulikuwa umeamka tena kwa fujo kuliko mara ya kwanza.
” mmmh leo kazi ipo” nilijiwazia mwenyewe baada ya kuusukuma mnara huo na ukapingana na mimi na kung’ang’ania kusimama kwa hasira.
Nilimpa Malha paketi ya condom anivalishe na apokuwa akifanya hivyo mnara uliendelea kuleta vurugu kama afanyavyo yule mjusi mwenye kichwa chekundu.(mjusi kabimba)
Baada ya zoezi hilo la kuvaa kinga kukamilika mimi nililala chali na kumuachia Malha chakula chote ajisevie anavyoweza, naye bila hiyana alikuja juu yangu na kufanya mtindo ambao wataalam wa mambo wanauita kuna nazi, Naam! Malha sasa alikuwa akikuna nazi, apeleke kushoto, akune kulia, akalia yote, acheze na kichwa tu yote hayo yalikuwa ni majukumu yake. Mchezo wa kwanza niliutawala mimi hata asipate chance ( nafasi) ya kuonyesha ujuzi wake, Sikutaka anione mbinafsi mzunguko huu wa pili nilimuachia yeye.
” mmmh….ooops….oh ….oh….mmmh ssssh” Malha aliendelea kulalama kwa utamu wa mchezo aliokuwa anafanya.
” baby….nakojoaa..amnnnh nakojioaaa….oooh ….mmm..yeah…aaash….ooh…ohh” Malha alilalamika kwa sauti kubwa huku akinifinya na kunishika kwa nguvu, bila shaka alikuwa akifikia mshindo hivyo mimi badala ya kumuachia nilimshika kwa nguvu na kuchanganya kiuno zaidi ili nimfikishe salama mlimbwende huyu, ghafla nikasikia moto mkali ukiichoma nanilii yangu iliyokuwa imezama ndani vilivyo, nilipojaribu kuichomoa ili kujua kulikoni, ni kama vile nilikuwa nimefungulia maji, Malha alinikojolea ( squirting ) waaaah!, japo ilikuwa ni giza lakini niliweza kubashiri mkojo huo ni mwingi sana, kwani ulitoka na kuacha mara tatu.
” Chezea Tom wewe!?” Niliongea kimoyo moyo kwa furaha kwani mambo hayo nilikuwa nikiyaona kwenye video za ngono tu, sikuwa naamini kabisa kwamba mwanamke anaweza kojoa namna hiyo hasa ukizingatia, wale wasichana wangu wawili hawakuwahi kufikia kiwango hicho ( level hizo).
Japo round hiyo ya pili mimi sikufikia kilele cha utamu, sikuwa na shiida juu ya hilo, kitendo cha Malha kusquirt ( kukojoa) kwangu ilikuwa ni kilele cha mafanikio.
” Haya tulale sasa mpenzi wangu!” Nilimwambia Malha aliyekuwa amelala juu yangu huku nikimkumbatia vizuri kukwepa eneo la mkojo.Sijui kesho wataanika godoro?..hiyo ni shauri yao!.
Japo nilijilazimisha kulala lakini usingizi ulinigomea kata kata. Masikini!..sikuwahi kulala na mtoto wa kike hata siku moja, hiyo ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza, sasa mtawezaje kupata usingizi hali mwili wangu umesharabu joto zuri la mtoto wa kike na kusababisha kiungo changu cha kati kudinda. Hakika usingizi usingekuja hata kwa manati, daima kiungo hiki kikisimama usingizi hupaa mbali ila kikilala bila shaka na mimi ntalala salama.
” Honey?….baby….baby!?” Taratibu nilimuita Malha lakini hakunisikia, pamoja na kumtikisa tikisa lakini wapi, Mchezo wa bao mbili ulitosha kabisa kumlaza usingizi wa pono. Malha amelalala ndio lakini kitumbua chake kipo macho, nikaanza kukitomasa tena taratibu huku nikiingiza kidole changu cha kati na kukitoa hadi kilipotota kwa utelezi, Huku akiwa katika usingizi fo fo fo! Nilimlaza mtindo ambao ningejibweda kwa raha zangu. Taratibu huku akiwa amelala niliivaa condom iliyosalia kwenye paketi na kuikita nanga yangu taratibu baharini, nanga hiyo ilipiga mbizi kwenye bahari ya utamu yenye maji moto.niliendelea kulila tunda langu taratibu huku nikihofia Malha asiamke ili asije niona mroho nnaye mlia vyake hali amelala. Baada ya kufikia kwenye kilele cha utamu nilienda kuoga maji ya baridi ili ya awali yasijirudie.nilipotoka bafuni niliujaribu usingizi nao ukakubali.
Majira ya saa kumi na moja alfajiri, Malha aliniamsha tuagane huku akiwa anaupapasa muhogo wa jang’ombe kana kwamba alitamani pakuche ili aule tena.Nasikitika kuwa condom ziliisha usiku hivyo mithali iliyotumika muda huo ni kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi.taratibu nilianza kukiparaza kichwa cha muhogo wangu uliosimama imara kwenye mashavu ya tunda la Malha.Malha
Aliendelea kulalamika kimahaba huku miguu yake ikielea juu kama tiara na huku akiwa amekaa mkao ambao kama angeongea basi angesema ” chukua yote baba!” Kwa raha ambayo aliipata asubuhi hiyo niliamini kuwa usiku nilivyotumia condom nilimnyima uhondo sana ( nilimbania) kwa nilimlalamisha sana asubuhi.
Baada ya kumaliza kuagana tulielekea bafuni kuoga huku tayari nikiwa nimeshapata majibu ya lile swali nililokuwa nikijiuliza siku nyingi kuwa cha asubuhi kina denda?.
” Leo utaweza kufundisha kweli mpenzi!?” Nilimuhoji Malha swali la kichokozi nilipokuwa najaribu kuokota shanga zilizotapakaa kitandani.
” Toka uko!?” Naye alinijibu kimzaha akimaanisha niache utani.
Baada ya kumaliza kuvaa nilimpatia kiasi kidogo cha pesa ambayo mimi niliita ya boda boda ili kudumisha dhana ya mimi ni mwanafunzi, la sivyo ningempa kiasi kikubwa sana hasa ukizingatia mchezo alionipa si wa kitoto. Hatimaye Malha akaondoka huku akiwa ameniacha na mahesabu ya kukimbia msala wa kulowesha godoro.
Majira ya saa nne za asuhi nikiwa ndani ya hoteli fulani nikipata supu ya kongoro kurudisha nguvu iliyopotea mda mchache uliopita,ghafla simu yangu iliita na nilipoiangalia, ni yule yule aliyenipigia usiku nikiwa na Malha ndiye alikuwa akinipigia tena,safari hii sikutaka kumkatili Nikarudisha kongoro langu kwenye bakuli ili niweze kuongea naye.
” Mie mzima hofu kwako!” Nilijibu salaam ya sauti nzuri iliyonisalimu kwenye simu.
” Za kunisusa!?” Sauti hiyo haikujibu swali langu ikaelekea kwenye lawama moja kwa moja.
” Me sio wa kukusa wewe Caro sema jana niliwahi kulala sana!” Nilijitetea naye akanielewa.
” Enhe vipi mambo mengine!?”
” Poa tu Mungu anasaidia!”
” unafanyaje saivi?”
” Nipo nakunywa chai hapa karibu!”
” Ahsantee…..poa basi kama mzima nilikuwa nakusalimia tu!”
” Asee Mungu akubariki sana!”
” Amina!…Haya have a nice day!”
” You too Caroline!”
* * * *
Ni Alhamisi asubuhi, siku ambayo huwa naiasi shule nakufanya kazi ni ndani ya siku hii asubuhi nilipopanda dala dala ya kwenda zilipo ofisi zetu za Numerator’s Entertainment ndipo nilipokutana na binti aliyejitambulisha kwa jina la Caroline.
Kama kawaida ili upate usafiri jijini Dar asubuhi ni lazima uwe na ubavu ( uweze kupigania gari). Dala dala lilipofika tu kituoni nilifanikiwa kucheza na akili za watu na kuingia wa kwanza, Alhamdulilah zilikuwa zimesalia seat mbili tu peke yake, hivyo sikuwania bure, nilipata zawadi ya seat, seat ya kwanza alikuwa kakaa mzee mmoja wa makamo na kubaki na mtu mmoja na nyingine alikaa binti mzuri kigoli naye alikaa peke yake. Nazani abiria waliotangulia kupanda waliogofya kukaa naye labda shauri ya ulimbwende wake. Sikujiuliza mara mbili nikae na nani kati ya yule mzee na yule binti, Penye maua ndipo nyuki anapoelekea.
” Hey mamboo!?” Nilisalimu mara baada ya kukaa na mrembo yule.
” poa!…”alijibu kifupi mrembo yule kisha akawa bize anatazama dirishani kana kwamba kuna kitu anaangalia. Sikujali nikakaa kimya.Abiria wengi waliokuwa wamesimama walinibana na kusababisha nisogee kwake zaidi.Ewaaaa!…sasa pua yangu ilikuwa ikifurahia harufu nzuri ya marashi aliyojipulizia binti huyu huku mwili wangu ukisanifu joto lake.Hali ya hewa ilikuwa ni ya kijiubaridi huku wingu zito likiwa limetanda anga kuashiria mvua kubwa ingeinyeshea nchi wakati wowote. Naam! Baada ya gari kutembea mwendo mfupi tu toka kituoni, kile kilichofikiriwa na wengi ndicho kilichotokea muda huo. Mvua kubwa ilianza kunyesha. Binti yule aliyekuwa bize kuangalia nnje akaanza kufukuzwa na matone machache ya mvua yaliyoanza kuingia dirishani.
” Samahani kaka naomba unisaidie ku……” kabla hajamalizia kauli yake nilishamuelewa, alitaka nimsaidie kufunga kioo kwani yeye kilishamshinda na nilimshuhudia akihangaika kukifunga.
” Unajua bhana daladala zetu hapa mjini ni punda afe mzigo wa bwana ufike!” Nilimchombeza kigoli huyo na nilifurahi kuwa sasa nimepata mada ya kujadili naye.
” Alafu kweli eti,…..ivi kwanini hawazitengenezagi daladala zao!” Aliniuliza binti huyo kanakwamba mie ndo kondakta wa daladala hilo na mimi kwa kuwa alishanivutia nilimchanganulia swali lake kana kwamba namiliki dala dala mia hapa mjini.
” Unajua mvua ikishanyesha asubuhi subuhi kama hivi siku inakuwa nzito kweli yani!” Nilimchomekea mada nyingine ghafla baada ya kuchomoa hiyo.
” Kweli!…hata kuamka mtu unakuwa mzito kama nini!” Mlimbwende huyo aliunga mada yangu mkono.
” Uamke uende wapi akati hiki ndio kipindi cha kutengeneza watoto!” Nilitania na binti huyo akacheka sana.
Baada ya muda kondakta alikuja kukusanya nauli.
” Wawili eenh!” Ingawa nilikuwa na hela ndogo ndogo mfukoni lakini nilitoa noti za elfu kumi na kumpa konda moja, Kwanini nilifanya hivyo?.. utaelewa badae!.
” Oh asante mi nilishalipa!” Aliniambia kigoli yule nilipokuwa nampa tiketi moja.
” khaa!… umelipa sa ngapi mbona sijakuona?” Niliuliza huku nikijitia kushangaa sana kama vile sijui kuwa abiria hao waligeuka na gari lakini nia yangu ya kufanya hivyo nilitaka Kigoli huyo aniambie mwenyewe ili nimuulize anaishi wapi.
” Haya konda chukua hii tiketi nimekulipia wewe!!” Nilimwambia konda huku nikimrudishia tiketi yake, abiria waliokuwa karibu na mlimbwende yule niyekaa naye wote wakaangua kicheko, hawakujua kuwa nilikuwa nadai nauli yangu kwa mtindo wa kisasa.
” Chukua ela yako bhana huyo keshalipa!” Alisema kondakta huku bado akiwa anacheka.
” Afu we unaonekana mpole kumbe mtundu hivyo!” Aliniambia binti yule huku akinitizama mara mbili mbili usoni.
Mvua iliendelea kunyesha na pamoja nakuwa kioo kilifungwa maji yalianza kuchuruzika ndani.
” ooooohooo!…naomba nikae upande wa huko wee usiloane!” Nilimwambia binti huyo huku nikionyesha sura ya majonzi.
” No thank you!…nitayazibiti tu!” Binti huyo alipingana na mimi huku akitoa mtandio kwenye mkoba wake kwa nia ya kuyazibiti maji.
“Ooh una akili wewe!” Nilimsifia baada ya kufanikiwa kuyazibiti maji kwa asilimia kadhaa.
” ha ha ha kama wewe!” Alinitania mrembo huyo.
” mimi naitwa Tom!” Nilijitambulisha ili niweze kujua na yeye jina lake
” Tomas!?” Alibashiri kirefu cha jina langu.
” Nop!.. only Tom!” Nilijibu kwa kingereza cha mikogo.
” Oh nafurah kukujua Tom!…. mi naitwa Caroline!”
” Nafurah kukufaham pia!, Caroline wee unasoma au unafanya kazi!?!
” Heeh!, me mfanyakazi wewe shule nilishamaliza siku nyingi sana!”
” Haa mbona bado mdogo ivyo ulikuwa unarushwa madarasa nini!” Nilimtania Caro naye akacheka sana kabla ya kunijibu.
” Hamna bhana!, vipi wewe!?”
” mimi ndo mfanyakazi wa halali sasa!” Niliuficha uanafunzi wangu pembeni kukwepa kujishusha hadhi.
” Ha ha ha! Wewe ndo ulirushwa madarasa sasa!…wapi unafanya kazi Tom!?”
” Kampuni moja ya kiburudani zaidi sijui utakuwa unaifahamu? Inaitwa Numerator’s Entertainment!”
” Yeah nimeshapajua nilipitaga siku moja!”
” Kwani nyie ofisi yenu ipo wapi!?”
” hata usijali tukishuka ntakuonyesha coz unapita kwanza kwetu ndo ufike kwenu!”
Tuliendelea na story za hapa na pale hadi gari likafika mwisho. Bado mvua ilikuwa ikinyesha japo sasa yalibaki manyunyu madogo madogo.
Nilishuka na mtoto mzuri Caroline na wote tukajisitiri chini ya kijimwamvuli chake kidogo kuikwepa mvua. Ilinibidi nimshike bega ili tutembee vizuri kwa kuwa mwamvuli ulikuwa ni mdogo.
” Caroline samahani kuna kitu nataka kukuomba japo hujanijua vizuri lakini naomba uniamini!” Nilimwambia Caro baada ya kufika nnje ya ofisi yao naye akavuta umakini kujua nataka kusema nini!
Baada ya kurizika na umakini wake nikaendelea.
” Naomba uniazime huu mwamvuli wako afu saa ya kutoka ntakuletea!” Niliongea kwa unyenyekevu ajabu.
” Ha ha ha! ….hicho tu umepata sema kingine” Aliniambia Caro akiwa ameachia tabasam pana, swali lake likawa zuri sana kwangu.
” Kitu kingine your phone number ( namba ya simu) ili nikiuleta nikupate!”
Ingawa kwenye mwamvuli Caro alikuwa mwepesi sana kutoa majibu lakini kwenye swala la namba za simu akawa mziti kidogo.
” ok nipe zako basi mie ntakucheki!” Baada ya kufikiri kwa muda alifikia maamuzi hayo.
” Nop me ndo nimekuomba please!” Niliongea kwa sauti ya ushawishi huku nikimpa simu yangu aziandike.
” Wee andika me ntakutajia tu!” Aliongea Caro huku akikwepa kushika simu yangu. Ukweli nikuwa nilimpa aniandikie yeye sababu nilihisi mikono yangu inatetemeka, ila kwa kuwa aligoma nikawa sina budi kuandika mwenyewe.
” zero…seven……!”” Nilirudia namba alizokuwa akinitajia huju nikiishika simu yangu kwa mikono miwili kupunguza mtetemo na hadi muda sikuelewa ni kwanini nilikuwa natetemeka.
” Poa basi any time ukitaka kusepa we nistue tu me ntakuletea!” Nilimwambia Caro hali nikijua sitaonana naye tena badae, kwani me si mtu wa kukaa ofisini na siku hiyo show (Onyesho ) lilikuwa linafanyika bwalo la Magereza, Ukonga.
Japo niliachana na Caroline lakini picha yake ilisalia kichwani, Ubongo wangu uliendelea kumtathimini mrembo huyo, maziwa yake yaliyosimama kifuani mwake mithili ya miiba ya mchongoma yalinivutia sana, Rangi yake nyeupe iliyotandikiwa zulia la vinyweleo vya brown vilivyolala sawia ndio ulikuwa haswaa ugonjwa wangu. Pia macho yake yenye boriti za rangi ya brown yalinipa hamu kila aliponitazama, si hayo tu umbo lake la kizungu lenye tumbo dogo na wezere la kiasi vilinishawishi kutaka kuongozana naye kila nnapokwenda hata mtindo wa nywele aliokuwa amesuka ulinifanya niamini huyo binti ni Africast. Kiufupi Caroline alikuwa ni mrembo aliyekamilika na alionekana anajitambua. kidume nikawa nimefanikiwa kuondoka na namba zake za simu huku kichwani nikiwa na mipango kebe kebe juu yake. Sijui nimualike chakula cha usiku kesho, sijui niende naye 21 century tukaangalie cinema, Sijui nimpeleke gym canner tukacheze golf, sijui nimwalike nyumbani mwisho wa wiki tucheki series, hayo yote niliwaza mimi.
Majira ya saa saba za mchana nilimpigia Caro simu.
” Hello!”
” hello!”
” unajua uko unaongea na nani!?!
” mmmh Tom!?” Caro alijibu kama anauliza lakini tayari alikuwa ashanijua.
” ha ha ha! How did you know that!” ( ulijuaje?) Nilicheka kizungu na kumuuliza king’eng’e!
” sauti yako me naiju tu!”
” Ok nakukaribisha lunch my dear!” Ingawa bado sikuwa nimeenda kula lakini nilikuwa nasumbuliwa na kisebu sebu cha kumpigia simu huyo mtoto ili mradi tu nisikie sauti yake.
” wow!… thanx….unakula nini!?”
” bado cjajua naomba unisaidie kuchagua basi!” Nilijitia kumdekea.
” mmmnh kula wali na samaki!” Alinichagulia caro.
” wow i like it!….sasa nishushie na nini!” Niliendelea kumsumbua mtoto wa watu kama namlipa vile.
” kunywa na juice ya embe!”
” duh!.. kweli we nouma umejuaje vitu nnavyopenda!” Nilimvika kilemba cha ukoka Caro kwani mimi ni mpenzi wa fanta orange, ila nilimfagilia tu kumvuta karibu zaidi.
” me nikimuona mtu tu naweza kujua anapenda nini!” Alijitapa Caro bila ya kujua kuwa maneno yangu ni punje za mahindi zinazompeleka kuku kwenye mtego.
Sehemu Ya 17
Ni Caroline pekee alikuwa akinipeleka puta siku hiyo kiasi cha kunifanya hata nimsahau Malha niliyekuwa na miadi naye badae.
Hata mara baada ya kwenda na kukutana na Malha siku hiyo bado akili yangu ilikuwa ikimuwaza Caro kwa kiasi kikubwa hadi nafsi yangu ikaanza kunisuta ‘ yaani upo na huyu lakini bado unamuwaza yule?’ Nafsi ilinishushua kwa sauti ya upole lakini sikujali sana.
* * * *
” Tom jamani mbona wanifanyia hivi mwana wa mwenzio au kwakuwa nimeshakupa mwili wangu uufanye unachotaka?? …..nambie basi kama hilo ndo tatizo nisirudie tena!”
“Hamna sio hivyo!!”
” Sasa tatizo nini Tom mbona mwanzo hukuwa hivyo!…wajua ni jinsi gani nakupenda….wajua nimeachana na my boy kwajili ako lakini sasa mbona wanifanya nijute Tom!?”‘ Sauti laini sana iliyokuwa na lafudhi ya pwani ilikuwa ikitoa lawama zilizopenya moyoni mwangu kama msumari wa moto kwa kidonda. Malalamiko yote aliyokuwa akitoa Malha ilikuwa ni ukweli mtupu kiasi cha kunifanya nishindwe hata la kujitetea na kubaki nikijibaraguza kwa haya. Siku tatu tu baada ya kulala na Malha na urafiki wangu na Caro kuanza kushika kasi kulionyesha wazi kuwa kuna kitu kimeingilia kati kwenye penzi letu changa mimi na Malha. Kilicholibainisha hilo ni zile simu zetu za usiku tulizokuwa tukipigiana na Malha. sasa tangu Caro alipoongezeka naye amekuwa akitaka tuongee usiku, tena ndani ya muda huo huo nnaoongea na Malha. Je ntajigawanya vipi? Huo ndio ukawa mwanzo wa hitilafu kati yangu na Malha. mara ya kwanza tulikuwa tukiongea hadi analala simu ipo hewani lakini hivi sasa haziishi dakika mbili nimeaga, mara simu iko bize, nikiulizwa nilikuwa naongea na nani, majibu ni rafiki yangu wa kiume, rafiki yangu gani wakiume naweza ongea naye nusu saa nzima usiku? Hilo halikumuungia akilini Malha, mara siku nyingine mtandao unasumbua.
Japo lipo neno linalosema huwezi kutumikia mabwana wawili lakini hata mabibi wawili huwezi kuthubutu, Mtaka vyote kwa pupa hukosa vyote na mshika mbili moja humponyoka. Methali hizo mbili zilikuwa zikiuogofya moyo wangu. Itakuwaje kama niking’ang’ana kuwa nao wote kisha nikawakosa wote, ama je ni nani uyo mmoja atakayeniponyoka, baada ya kufikiria hayo ndipo nilipoamua kuwapandisha Malha na Caroline kwenye mizani ili kujua nani atamzidi uzito mwenzake. Kwa mtazamo wa macho na akili Caro alikuwa kamzidi Malha vitu vingi japo Caro naye alifunikwa na Malha kwa kishuzi lakini hiyo kwangu haikuwa sababu kubwa sana. Moyo hauna unafki kama mdomo, kura zote zilimuangukia Caro lakini nilipokumbuka kale kamchezo alikonipa Malha nilisita kidogo kufanya maamuzi ya moja kwa moja juu ya kumchinjia baharini, Hakika Malha alifunzwa unyagoni!… uongo dhambi nilitamani nipate tena walau mechi hata moja tu ya marudiano. Lakini kwa mara nyingine tena nilisita. Kitanda usichokilalia huwezi kujua kunguni wake, nawezaje kumuhukumu Caro juu ya mchezo wa kitandani hali yakuwa sijawahi kupanda naye. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, ile kura ya ndio iliyopigwa na moyo juu ya Caro ikawa imempitisha na kumpatia hatamu ya kuniendesha kama ataweza.
Urafiki wa mimi na Caro ukazidi kunoga. Hakuna kati yetu aliyeweza kuamka bila ya kutaka kujua mwenzake kaamkaje, hakuna kati yetu aliyekula bila kumkaribisha mwenzake, hakuna kati yetu aliyeweza kulala bila kuongea na mwenzake na hakuna kati yetu ambaye hakuwa na shauku ya kutaka kuonana na mwenzake kila siku, yote hayo yalifanyika kwa mapenzi makubwa huku jina la kaka na dada likiwa limeitawala midomo yetu kila mtu alipotaka kumuita mwenzake. Ndani ya muda mfupi kutokana na maongezi mengi ya simu za usiku niliweza kufahamu vitu vingi dada ( Caro ) anavyovipenda na vichache anavyovichukia halikadhalika niliweza kujua yeye ni mtu wa aina gani na siku nikitaka kumshika nilielewa fika nimkamatie wapi na sijui kwa upande wake ila na yeye kama alikuwa ni mdadisi basi atakuwa ameshanijua vilivyo. Mahusiano yetu yaliendelea namna hiyo huku nikizidi kuyaimarisha kwa kwenda kumtembelea Caro mara kwa mara nyumbani kwao majira ya jioni na mara chache nikitoka naye kwenda kubaridhi ufukweni. Baada ya kumwamini Caro kwa kiasi kikubwa niliamua kumuingiza katika jaribio la kwanza ili kumpima ni jinsi gani ananipenda au kunithamini na majibu ya jaribio hilo ndiyo yangenipa jibu la kwenda ngazi inayofuata nnayoifikiria ama nibaki hapa kwenye ukaka na udada nilipo hivi sasa!
Ilikuwa ni kama sheria pindi niamkapo asubuhi nikiwa salama na kumshukuru muumba wangu kwa sala fupi basi kinachofwata ni kumjulia hali Caro iwe kwa kumpigia simu ama kwa kumtumia ujumbe mfupi, ali mradi nijue tu kuwa na yeye ni buheri wa afya na tangia sheria hii ipitishwe na nyoyo zetu haikuwahi kuvunjwa hata siku moja na kwa atakayeivunja basi atawajibishwa kwa kufanya kosa la jinai.
Siku hii niliamka nikiwa nimedhamiria kwa makusudi mazima kuivunja sheria hiyo. Nilipanga kumlia bati ( kumnyamazia) Caro kutwa nzima na jinsi atakavyoreact ndivyo atavyofaulu ama kufeli jaribio hilo. Haikuwa jambo la kawaida hata kidogo mimi kutojibu ujumbe mfupi wa Caro lakini siku hiyo si kutojibu ujumbe mfupi tu hata alipopiga sikupokea, Hadi kufikia majira ya saa nne za asubuhi, Caro alishatengeneza missed calls ( simu zisizopokelewa) kumi pia alinitumia meseji nne katika mida tofauti, ya kwanza ilikuwa ni ya good morning na ya pili na ya tatu alikuwa akijaribu kuuliza ni kwanini sipokei simu na ya nne ilikuwa ni ya lawama nayo ilisomeka hivi ‘ Tom hivi dada yako akikukosea si unamwambia tu anajirekebisha kuliko kumnyamazia kama hivi!!…Tom naomba unisamehe kama nimekukosea ila tafadhali usinifanyie hivi!” Kadrii Caro aliyoendelea kunitumia meseji na kuongeza missed call ndivyo aliendelea kujichumia marks (alama ) za juu katika jaribio langu na kwa upande mwingine nilihofu asije akapata A+ na kuuteka moyo wangu moja kwa moja. Majira ya saa tisa tena za alasiri nilipokea ujumbe mwingine toka kwa Caro ‘ Tom nimeshindwa kula toka asubuhi kwajili ako naomba upokee simu yangu niweze kunywa japo maji’ akati bado nasoma ujumbe huo Caro alipiga simu kwa mara nyingine, sikuweza kuipokea ingawa nilikuwa nalifanya jaribio hilo kama mzaha lakini sasa mambo yalikuwa yameanza kuwa serious, tayari nilishaanza kumuonea huruma dada yangu wa hiyari ( Caro ) Japo awali nilizifurahia meseji zake za kulalamika kwa kuamini ananipenda na kunijali lakini muda ulivyoenda meseji hizo zikaanza kunigusa ( kuni touch) ghafla uzalendo ukaanza kunishinda. Japo nilipanga nisiwasiliane nae kutwa nzima hadi siku inayofuata lakini nilijikuta me mwenyewe nimenyanyua simu na kumpigia, Simu ilipoanza kuita moyo ulinidunda sana, sikuwa nimejipanga niseme nini na sikujua niseme nini.
” Hallo!” Nikiwa katika tafakuri zangu za niseme nini, simu ikapokelewa na nikashtuliwa na sauti ya Caro .
” Hallo Caro!” Nilijibu huku nikiigiza sauti ya ugonjwa ambayo pia ilionekana kunishinda.
“Tom una nini kwanini unifanyie hivi lakini!” Caro aliongea kwa sauti iliyokwama kwama na niliamini alikuwa akilengwa lengwa na machozi muda huo.
” Caro yaliyonikuta leo si madogo naomba badae tuonane nkusimulie!” Mambo hayakuwa marahisi kama nilivyozani, sauti ya Caro iliyogubikwa na majonzi ilitosha kabisa kuikombereza furaha yangu na kujikuta nashindwa kuongea.
” Badae tutaonana wapi?” Caro alihoji kama vile hana imani na mimi.
” Jioni ntakuja mtaani kwenu!”
” ok fine!”
” take care my dada!”
” you too!!”
Baada ya kupatana naye nikakata simu huku nikiwaza jioni nitamkabili vipi.
‘ uhuuuh! walau nna nafuu kidogo!” Caro alinitumia ujumbe mfupi baada ya muda kidogo kupita.
‘ usijali dada nipo kwajili ako’ nilimpoza kwa ujumbe huo.
Majira ya saa moja unusu za usiku tayari nilishakanyaga kwenye viunga vya mtaa anaoishi Caro. Nia na madhumuni hasa yakiwa ni kutoa maelezo ya kina juu ya swala la kutotaka mawasiliano naye siku hiyo, Ingawa sikuwa nimeandaa neno lolote la kusema niliamini kuwa sitakosa jema la kumueleza Caro akanielewa.
” Hallo dada me nishafika hapa!.. njoo basi!” Niliongea kwa madaha baada ya Caro kupokea simu yangu.
” Poa …dakika sifuri basi ntakuwa shafika!!” Alinijibu kihuni Caro na mie nikatafuta sehemu nzuri ya kumsubiri.
Naifahamu fika njia ambayo atakuja nayo hivyo nikakaa pembeni kwenye kigiza kidogo ili niweze kumuona pindi atakapotokea. Baada ya muda mfupi kweli nilimuona Caro akija ingawa haikuwa dakika sifuri lakini hazikuzidi dakika nyingi. Nilipokuwa mimi niliweza kumuona vizuri japo yeye hakuniona hata kidogo, nilimshuhudia akitoa simu yake nakuibonya kabla ya kuiweka sikioni, bila shaka alikuwa akinipigia mimi. nikamnyatia taratibu kisha nikaikamata simu yake iliyokuwa sikioni kana kwamba nikibaka anayetaka kumpora, Caro alishtuka sana na kugeuka kwa hofu huku akiwa anajiandaa kupiga kelele za mwizi.
” Achia simu…achia simu….!!” Niliongea kwa kuiga besi naye baada ya kujua ni mimi akanipiga kikofi cha mzaha kama vile anaua mmbu mwilini mwangu.
“Ohhhuuuu!!……Tom umenishtua!” Aliongea kwa sauti ndogo Caro huku akishika mkono wangu wa kuume na kuweka kwenye titi lake la kushoto, nadhani ili nisikie mapigo ya moyo wake yanavyokwenda kasi.
“Aah jamani sikukusudia ushtuke ivyo!…pole eenh!” Niliongea huku nikiutoa mkono wangu kwenye titi lake haraka kwani tofauti na mapigo ya moyo kuna hisia zingine nilishaanza kuzipata.titi lake la mviringo lililosimama sawia sanjari nakijoto cha huba lililokuwa nalo tayari lilishaanza kuubusti mwili wangu.
” Naona leo umekusudia kuniua kabisaa!” Alilalama kiutani Caro.
“Ahh jamani nikikuuwa wewe nitampata wapi dada mwingine mzuri namna hii??….Sasa tukae wapi kuzungumza hapo au kule!” Nilimuhoji Caro huku nikimuonyesha Caro Restaurent moja iliyokuwa karibu nasi na nyingine ikiwa upande wa pili wa barabara.
” Sitaki kukaa sehemu yenye watu…twende tutembee ili nikuchambe vizuri!” Alichimba mkwara Caro.
” Ayaaa mtoto sijui una nini wewe yani kukuona tu nimesahau kama nilikubebea zawadi!” Niliongea huku nikijisachi mifukoni mwangu kwa kasi kuitafuta zawadi hiyo. Si kwamba nilikuwa nimesahau kama nna zawadi yake, la hasha! Nia na madhumuni ya kufanya hivyo kwa wakati huo ilikuwa ni kuipotezea mada yake ya kunichamba, ingawa sikuamini kama angefanya hivyo ila nilihofu kama atafanya hivyo.
” Hii huondoa hasira za haraka haraka, hali ya kutaka kuchamba wengine na ladha yake huufanya ubongo kusahau kero zote za mchana.” Niliongea huku nikimfungulia Caro Chocolate aina ya Franklyn na baada ya kumpatia niliyaanzisha mazungumzo yangu rasmi na muda wote Caro alikuwa akitabasam sijui ni kwajili ya maneno yangu matamu ama ladha nzuri ya chocolate aliyokuwa akiimumunya muda huo.
“Caroline tumekuwa friends ( marafiki ) kwa muda mrefu na ili ujue kuwa darasani somo linaeleweka ni lazima utoe mtihani. I am sorry ( samahani ) kwa kukutest ( kukujaribu ) lakini baada ya jaribio hili napenda kukwambia kuwa nimegundua kuwa wewe ni rafiki mzuri, mwenye real love ( penzi la dhati ) mwenye ku care ( kujali ) na unayetambua value ( thamani ) ya urafiki hivyo am proud of you ( najivunia kuwa nawe ) na nna amini kuwa urafiki wetu utadumu kwa miaka mingi sana, napenda kukupromise ( kukuahidi ) sitakufanyia jaribio lolote lingine na tafadhali sana, nakuomba usije kujaribu kufanya nilichokufanyia wewe kwasababu ukijaribu kufanya hivyo utaniua kabisa na utakuwa umepoteza kaka yako wa pekee anayekupenda sana” Nilimaliza kuongea maneno ambayo sikujua yametokea wapi na nilipomuangalia Caro machozi yalikuwa yakimlenga lenga na yeye baada ya kumuona akanikumbatia.
” Tom kwanini kila siku unakuwa mpya kwangu!?” Caro alinihoji kwa kunong’ona tulipokuwa tumekumbatiana na mimi sikuwa na jibu lingine zaidi ya kumuomba iwe hivyo milele.
Siku hiyo ikawa imeisha kinamna hiyo na bila shaka urafiki wetu baada ya siku hiyo ukawa umepanda ngazi kadhaa juu.
Nilimuahidi Caro kuwa sitampa jaribio lingine lakini pia niliuahidi moyo wangu kuwa iwapo angefaulu jaribio hilo basi ningeenda hatua inayofuata, ni kweli Caro alifaulu vizuri, sasa ilikuwa ni wakati wangu tena kufanya yangu.
Moja kati ya watu nnaoweza kuwaamini hapa duniani ni yule aliyesema mapenzi upofu.Ingawa moyo wangu tayari ulishaanguka juu ya huba la Caro lakini bado nilikuwa nikisita kumtongoza si kwakuwa nilikuwa na hofu ya kupigwa cha mbavu ( kutoswa ). Niliamini kuwa kama ningemwambia Caro nahitaji awe mpenzi wangu basi asingesita kuwa hata kidogo kwani mapenzi siku zote ni kikohozi na nilishaliona hilo.Sababu moja tu iliyonifanya nisite kutangaza nia ni juu ya umri wa Caro. Mimi nikiwa bado kidato cha sita mwenzangu alishafanya bachelor ( degree ya kwanza ) na kuanza kazi.Ingawa sikuwahi kumuhoji juu ya umri wake , sababu hiyo ilitosha kabisa kuamini kuwa Caro amenifunika ( kanipita ) katika sekta hiyo.Muonekano wake wa kama mtoto wa juzi ( mdogo ) ndio haswaa ulinifanya nitake kuwa nae. Hali ya kutojiamini ndio haswaa ilinifanya nitake kupata ushauri wa kimapenzi kwa mara ya kwanza. Sikuwahi kuomba ushauri wa kimapenzi na huwa siombi ushauri wa kimapenzi hata siku moja kwa kuamini kuwa Mapenzi hayana mjuzi hata proffesor (muhadhiri) mtu mwenye elimu kubwa kuliko mwingine kwenye Mapenzi anasanda ( Anachemka ) na analizwa kama kawaida.
Sababu ya kutojiamini kama ntakuwa sahihi au la! Kumtongoza Caro ndio ilinifanya nimshirikishe dada yangu kipenzi.
Sikutaka kumwambia dada jambo lolote kabla ya kumkutanisha na Caro na Sikutaka kumwambia Caro kuwa nitamkutanisha na dada angu nilifanya hivyo makusudi ili mmojawapo asije akapiga chenga pia nilitaka kuwasurprise ( kuwashangaza ). Baada ya kumpanga vizuri Caro kuwa nataka kumtoa weekend hii kwa upande wa dada haikuwa tabu nilifahamu fika kuwa dada angu ni mpenzi wa pizza na nikatumia Pizza kufanya mualiko naye.
Kama ilivyo desturi yangu nikilenga sikosi.Ni siku ya Jumamosi tulivu ndiyo niliamua kuifanya special ( maalum) kwajili ya kazi yangu hiyo.
Mimi na dada tukiwa tumetokelezea ( tumependeza ) tayari tulikuwa ndani ya mgahawa Maridadi wa Bongo Flava pande za Masaki, mgahawa unaosifika kwa kuuza harmbugger zenye ladha za kimataifa. Kama kawaida yake dada aliagiza Pizza na mimi niliagiza fanta Orange.Dada hakuweza kutambua mara moja kwanini sikutaka kula kwanza na kunywa tu fanta pekee lakini ukweli ni kwamba nilikuwa nikimsubiri Caro ambaye hadi muda huo alishakaribia sana kufika, Sikupenda mrembo wangu huyo akifika ale peke yake.
Baada ya dakika chache kupita Caro aliwasili tulipokuwa.Alipendeza hadi nikamsahau.Moyoni nikamsifu saana kwa kupendeza kwake.” Ulijuaje kama unakuja kukutana na wifi yako!?” Nilijisemea kimoyo moyo nilipokuwa namvutia kiti ili aketi.
“Mamboo!” Alimsalimu dada angu baada ya kuketi na baada ya Muhudumu kuchukua oda nilitumia nafasi hiyo kutoa utambulisho.
“Caroline she’s my sister jina lake atakwambia mwenyewe” Nilimwambia Caro huku nikimshika dada bega.
” Sister she’s my best friend jina lake atakwambia mwenyewe!” Pia nilitoa utambulisho kwa dada nikiwa nimemshika Caro bega.
” Iloooh!!… si ushamtaja tayari anaitwa Caroline!” Dada alinipeza bila kunichelewesha maana hata yeye kwa mzaha tu hajambo.
Baada ya utambulisho huo nilihisi Caro amekuwa mpole ghafla sijui ni kwajili ya kutambua uwepo wa wifi yake mahali hapo ama nini ila kwa upande wa dada nilishuhudia akimtazama Caro kwa jicho la udadisi mara kwa mara kama vile anamthaminisha.
Baada ya misosi kuletwa, tulikula huku tukiendelea na porojo za hapa na pale hadi tulipomaliza na kuondoka.
” Saa ya kuja tulikaa wote saivi nakaa na rafiki yangu!” Nilimnon’goneza kiutani dada tulipokuwa tunapanda daladala lakini kiukweli nilikuwa namaanisha nilichokisema kwani tulipopanda tu nilikaa na Caro huku dada akikaa upande wapili.
” Tom!?” Baada ya gari kutembea umbali mrefu huku tukiwa kimya Caro aliniita.
” Yes dear!” Niliitka na kumtazama Caro.
” Sorry kwa hichi ntakachokwambia!” Caro aliongea kwa sauti iliyopoa sana ingawa alinitisha, nilijikaza kisabuni.
” Don’t care Caro just tell me!” ( usijali Caro we niambie tu. Nilijibu kwa sauti ya kawaida huku hofu ikisalia moyoni, mara nyingi inapotangulizwa Sorry huwa kinachfwata si chema.
“Tom nilikudanganya jina me naitwa Sunshine sio Caro kama nilivyokwambia!” Aliongea Sunshine huku akiona haya kiasi.
” Ha ha ha!! unajua siku hiyo nilihisi kitu ka hiyo coz ( sababu ) ulifikiria sana kabla ya kuniambia unaitwa nani!” Niliongea kwa furaha baada ya kufahamu Sunshine ambaye nilimtambua awali kwa jina la Caroline alitaka kusema nini.
” So please forgive me (Kwaiyo tafadhali nisamehe) nilijuta sana badae” Sunshine alitaka kuhakiki kama nimemsamehe.
” Usijali my Sunshine! Sichukii sababu ulinidanganya jina ila nafurai kwa kuwa nimelijua jina lako..S.u.n.s.h.i.n.eeee …you got da cute name!” Niliongea kwa mikogo huku nikiwa nimeanza matumizi ya jina jipya la Sunshine.
” Vipi mbona unaniangalia hivyo!?” Nilimuhoji Sun baada ya kumuona ananiangalia sana.
” Your so awesome Tom sijawahi kukutana na mtu kama wewe!” Alinifagilia Sun huku akisafisha kucha zake ambazo hazikuwa chafu.
“Thanks Sun pia nafurahi kukutana na wewe!” Nilimjibu huku nikiona noma (aibu) kiasi kutokana na kufagiliwa.
“Afu umefanana na dadaako!” Aliendelea kuchombeza Sun.
” Wee unaona hii!?” Nilimwambia Sun huku nikimuonyesha ngumi niliyoikunja baraabara bila shaka alielewa ni utani.
” Nini kwani uongo!?” Alichombeza tena Sun kuonyesha kuwa hajaogopa mkwara mbuzi wangu.
” Mimi sifanani na dadaangu ila yeye ndo anafanana na mimi!”
” khaa! sasa tofauti ipo wapi hapo swala ni lile lile mmefanana!”
“Ukisema me nimefanana na yeye inamaana me nna sura ya kike lakini yeye ndio kafanana na mimi kwaiyo ana sura ya kiume!”
” mmmh! Mwanaume unajua kujitetea wewe!”
Tukiwa katika mabishano hayo kondakta alikuja kuchukua nauli na kutuanzishia mabishano mapya ya kulipa nauli, mara zote tukiwa pamoja, Mimi na Sunshine kila mtu hutaka kulipa yeye hali inayochukiwa na makondakta kwasababu inawachelewesha kwenda kudai kwa abiria wengine.
Baada ya safari kudumu kwa muda wa lisaa limoja na ushee hatimaye tulifika nyumbani huku tukimuacha Sun kituo cha kwao.
Baada ya kupata mlo wa usiku nilimfwata dada chumbani kwake kwa nia ya kujadiliana naye mawili matatu kuhusiana na siku hiyo.
” Vipi leo umeenjoy!?” Nilimuuliza dada nilipoingia chumbani kwake huku nikitafuta mwanya wa kuchomekea mada yangu.
” Yeah saana tu!…na yule ndo wifi nini maana wee naye!?” Aliongea dada kimikogo huku akinitangulia kwa kile nilichotaka kumwambia, nilifurahi kwa kuwa mwanzo ni mgumu na yeye alikwishanirahisishia.
” Aah ni rafiki tu kama nilivyokutambulisha mchana, ila wewe ni dadaangu sitokuficha kitu ukweli ni kwamba Sunshine ananipenda sana japo bado ni marafiki wa kawaida tu!” Nilimmegea dada kipande kidogo katika donge kubwa.
” Sunshine ama Caroline mbona sielewi!?”
” Aargh! Yote ni majina yake yani kama Pesa na hela!”
“Ok ngoja nikwambie kitu mdogo wangu! Uyo sijui ndo Caro sijui Sunshine hakufai hata kidogo amekomaa sura kama mbuzi wa shughuli so kama una mpango naye mie hata sikushauri.
!” Aliongea dada akiwa kabetua midomo yake.
” Lakini nimekwambia sisi ni marafiki tu sio wapenzi!” Nilijitetea.
” Aya ndo muendelee kuwa marafiki hivyo hivyo ila ukitaka dame mzuri hata mimi ntakutafutia!” Alimaliza dada na mie sikuongeza la kheri wala la shari zaidi ya kumtakia usiku mwema na kwenda kulala.
Tom ndo huyoo ushauri ameupata!, Je ataufanyia kazi ama atautupa kapuni???
Sehemu Ya 18
!” Aliongea dada akiwa kabetua midomo yake.
” Lakini nimekwambia sisi ni marafiki tu sio wapenzi!” Nilijitetea.
” Aya ndo muendelee kuwa marafiki hivyo hivyo ila ukitaka dame mzuri hata mimi ntakutafutia!” Alimaliza dada na mie sikuongeza la kheri wala la shari zaidi ya kumtakia usiku mwema na kwenda kulala.
Akili ya kuambiwa jumlisha na ya kwako unafanya maamuzi kamili. Ingawa nilitegemea ushauri wa namna hiyo toka kwa dada angu lakini sikutegemea kama angeuleta kwa namna hiyo.Aliyosema ni kweli ndio sababu hata mimi awali nilihisi hivyo na ndio sababu ya kuomba ushauri lakini mwanaume rijali kama mimi nawezaje kumuacha kirahisi rahisi namna hiyo mlimbwende kama Sun hasa ukizingatia nimeshamgeuzia kibra?. Usiku huo hadi usingizi kunipitia niliwaza mengi na mwisho nilikubaliana na kamati yangu ya ubongo kuwa sitamtongoza Sun lakini pia sitamuacha hivi hivi.
* * * *
Baada ya siku chungu tele kukatiza huku nikiwa sina mawasiliano yeyote na Malha.Ni siku nyingine tena majira ya usiku nikiwa sebuleni naangalia luninga, simu yangu iliita. Zilikuwa ni namba tu tena nisizozifahamu, mara nyingi huwa sipokei namba ngeni kwa kuhofia kuwa ni wrong number na tunaweza kusumbuana ama kuulizana wee nani!.Sababu hiyo ilinifanya kuipuuzia simu hiyo lakini niliipokea mara moja baada ya kukumbuka kuwa tangu nimeanza kazi Numerator’s Entertainment mara nyingi nimekuwa nikipata deal za kwenda kufanya u mc kwenye shughuli mbalimbali.
” Hello!?” Niliita baada ya kupokea simu kwa ki besi ( sauti ya nne)
” Hello Tom mamboo!” Ilikuwa ni sauti maridhawa ya kike.
” Poa tu!…sijui naongea na nani!” Niliongea huku nikinyanyuka kwenda nnje maana mzee ambaye nilikuwa naye alishanigeuza luninga.
” unaongea na shem wako!” Sauti hiyo ilijibu kwa uzuri ule ule.
” Sijui shem nani maana nna kaka wengi kweli yani!” Nilijibu kisiasa kumkwepa yeye kuwa shemeji yangu ila kumfanya mimi ndo niwe shemeji yake.
” Ok unaongea na Salha!”
” wow Salha! Mambo vipi!?” Nilifurahi baada ya kumjua
” Mabayaa..Umetususa!” Alilaumu Salha.
” Sijawasusa jamani mambo tu ndo mengi!” Tayari sauti yangu ilishalegea toka ile ya nne niliyopokelea simu hadi ya kwanza. Kweli wasichana nouma saana.
“Shem!?” Salha aliita kuonyesha kuwa ana jambo anataka kusema.
“Yap!” Niliitika kifupi
” Sijui hapo ulipo uko free ( huru ) kuongea coz ( sababu) nna mazungumzo marefu kidogo!” Kauli yake ilinitisha kiasi cha kutaka kukata simu lakini nikajikaza kiume.
” Yeah we sema tu niko poa!” Nilijibu huku nikimeza funda la mate lililopita kooni kwa tabu kwani bado nilikuwa na hofu juu ya mazungumzo yake marefu anayotaka kusema.
” But am sorry kama ntakukwaza shem!” Salha alizidi kunipa hofu.
” Usijali Salha wee niambie tu!” Nilijibu kishupavu.
” Hivi kwanini uliachana na dadaangu shem!?” Hatimaye Salha alifungua mazungumzo na swali ambalo kwangu ilikuwa ni kama ngumi ya kushtukiza, lazima inipepese!
“Kwani Malha yuko wapi!” Badala ya kujibu swali na mimi niliuliza swali ili kujiweka sawa.
” Yupo Tanga saivi!”
” Kwanini umeniuliza hilo swali Salha!?” Niliendea na maswali huku nikijipanga kujibu yake.
” Tom wee nijibu tu alafu utajua kwanini!” Salha alikwepa swali langu lakini tayari nilishajipanga kumlipua.
“Salha nikikwambia sababu ya kuachana na dadaako hutaniamini milele!” Taratibu nilianza kutega mabomu yangu.
” kwanini nisiamini!?” Salha aliuliza akiwa na walakini ndani yake.
” Sababu chanzo ni wewe Salha!” Hatimaye nilimpasulia jipu.
“Khaa!.. kivipi!” Salha alishikwa na butwaa na kuhoji kwa hamaki.
“Ndomana nilikwambia huwezi kuamini Salha ila ukweli ni kwamba tangu nilipokuona mara ya kwanza siku ile usiku ulitokea kuuteka sana moyo wangu, kiasi cha kunifanya hata nijute kwanini nilikutana dada yako kwanza.Hata dada yako alipokuwa anakupa simu usiku nikiongea naye unisalimie, hakika nililala usingizi mororo, nimekuwa nikijaribu kuzificha hisia zangu kwako ili nisije kukugombanisha na dadaako lakini kiukwei nilikuwa nashindwa hivyo njia pekee niliyoona inafaa ni kuachana na dada yako ili niwe mbali na wewe kwani isingeleta picha nzuri kukutongoza wewe akati nimeshakuwa na dada yako na wewe usingenielewa hata kidogo!” Nilitoa maelezo marefu bila kupumzika, niliongea taratibu lakini kwa uhakika na sumu niliyokuwa nikimtemea Salha ilionekana imeshaanza kumuathiri kisaikolojia kwani alibaki akijiuma uma asipate la kusema.
“Salha!?” Nilimuita baada ya kuona yupo kimya.
” bee!” Aliitika kwa sauti ya uvunguni akionyesha yupo kwenye fikara nzito.
“Nimejikuta nashindwa kubishana na moyo, Nakupenda sana Salha na wewe kama unanipenda kama nnavyokupenda mimi, tafadhali niambie lakini isiwe leo, nakupa muda wa kufikiri juu ya hilo pia kama hunipendi uwe huru kwani mapenzi ni hisia, mwisho kabisa napenda kukwambia kuwa haya yote niliyokwambia leo ni siri niliyoitunza kifuani kwangu muda mrefu sana, nakuomba uitunze pia!..usimwambie mtu yeyote yule sawaa enh!?”
” Sawa Tom nimekuelewa!” Alijibu kwa upole Salha huku akionyesha nguvu zimemuisha kabisa hata kubonyeza kitufe cha kukatia simu inaweza ikawa ni tabu.
” Aya uwe na usiku mwema!”
” Na wewe pia!”
Hivyo ndivyo nilivyomalizana na shemeji yangu Salha aliyenitafuta mwenyewe.
Kiukweli sikuwahi kumpenda Salha hata kumtamani, Na sikuwahi kufikiria kama itatokea siku moja hapa duniani nikaja kumtongoza ila siku hiyo nilithubutu kufanya hivyo kwa sababu kuu mbili.
Kwanza kabisa sikutaka kuamini hata kidogo kuwa Salha alitaka kunisuluhisha mie na dada yake kwa akili zake mwenyewe kile niliamini lilikuwa ni shinikizo toka kwa dada yake kwa asilimia mia, Kitu kingine sikuamini hata kwa mbali kuwa Malha kweli alienda Tanga ila kile akili yangu ilinituma ni kuwa wapo pamoja muda huo na si ajabu waliniweka loud speaker.Na mara nyingine Salha alipokuwa akikaa kimya nilipokuwa naongea naye sikutaka kuamini ni kwajili ya maneno yangu matamu hata kidogo ila nilichowaza ni kuwa alikuwa akitazamana na dada yake na huenda walijadiliana ajibu nini.
Kitendo cha mimi kumtongoza Salha ilikuwa ni sawa na kukata mzizi wa fitina kati yangu na dada yake Malha.Sikutaka Malha aendelee kuwa na hisia zozote za mapenzi juu yangu hivyo kitendo hicho cha kumtongozea mdogo wake kama kweli alikuwa naye muda huo kilitosha kabisa kulisambaratisha tumaini lake lililobakia.
Kwa upande mwingine nilichowaza kama Salha hakuwa na dada yake muda huo ni wazi kwamba asingenipigia simu tena maana kama kweli anampenda dada yake asingekubali kutumwa tena sehemu ambayo inaweza kumsababishia matatizo na kama angerogwa na kulikubali ombi langu la kutaka niwe mpenzi wake basi nilikuwa nimemuandalizia zawadi nzuriii ambayo kama ningemkabidhi angenichukia hadi kufa kwake, naam! Hivyo ndivyo ilivyokuwa. Salha hakurudi tena na mimi sikushughulika na yeye wala dada yake abadani.
* * * *
Baada ya juhudi zangu za majuma kadhaa, kuumwagilia mti wangu, kuutia mbolea na kuupalilia hatimaye ulizaa tunda murua, Tunda lilinawiri, kupendeza na kuvutia mno lakini ni jinsi gani ya kulichuma hapo ndipo palipohitaji hesabu za hali ya juu sana zaidi ya zile za Magazijuto. Lakini me ni mzoefu bhana ntashindwaje kulila tunda ambalo nimeshalichuma tayari japo ni hatari sana lakini ntakapofanikiwa itakuwa ni raha iliyotukuka.
Yote hayo nilijiwazia nikiwa njiani kuelekea maeneo ya Kinyerezi.Sehemu ambapo niliweka miadi ya kukutana na Sunshine siku hiyo, ingawa mimi nilikuwa najua nini kinakuja kutokea, Sunshine kwa upande wake sizani kama alifikiria japo kwa bahati mbaya tu nimepanga kitu kama hicho.Kabla ya mualiko huo wa tukutane Kinyerezi kwajili ya kula bata, nilishamualika Sunshine sehemu nyingi tu hivyo halikuwa jambo la kustaajabisha hata kidogo kumualika tena siku hiyo na yeye hakusita kuukubali mwaliko wangu.
” Uko wapi my sista jamani!” Nilimtext ( nilimtumua ujumbe mfupi) Sunshine mara baada ya kufika ndani ya Lodge matata iliyokuwa ndani ya mtaa huo huku kimoyo moyo nikimshukuru rafiki yangu Amani aliyenielekeza mahali hapo.
” Am sorry mdogo wangu ndo napanda gari saivi ila hakuna foleni ntafika sasa hivi!” Alijibu Sun ambaye mara zote amekuwa mwaminifu kwangu.
” Nambie basi utakula nini nikuwekee oda kabisa!” Nilimuhoji Sunshine ili akifika ratiba yangu isichelewe.
” yaani hadi leo hujajua dadaako anapenda nini!?” Alitania Sun hali iliyonifanya Nione haya kiasi.
” Samahani boss!” Namimi nilijibu kiutani huku nikimuwekea oda ya chips mayai, mishkaki ya samaki pamoja na soseji kwani ndio vitu anavyopenda huku upande wangu nisiweke oda ya kitu chochote kwani nilikuwa na hamu naye siku hiyo kiasi cha kunifanya hata nikose hamu ya kula.
” Nimeshafika tayari!” Alinitext Sun nilipokuwa nakikagua chumba kizuri cha suit ( chumba na sebule) nilichokikodi siku hiyo maalumu kabisa kwajili ya mimi na yeye.
” am coming!”(nakuja) nilimjibu huku nikimfwata aliposhukia chap chap.
“Wow your looking so mmwah!” Nilimsifia Sun huku nikimpa ki hug ( kumbatio) cha kizushi.
” thank you!” Alijibu kwa furaha Sun.
Taratibu mimi na yeye tukaanza kuelekea ilipo Lodge nilimokodi chumba na sikuwa na wasi hata kidogo kuwa angeshtukia kuwa ni Lodge, kwa hatua za awali kutokana na manthari yake kuwa kama hoteli yenye hadhi ya kula vigogo.
“Leo ndio tutakuwa hapa my dia!” Nilimwambia Sun nilipokuwa nachukua fungua mapokezi.
“Vyakula vyetu tuleteeni juu saivi enh!” Pia nilimuamuru muhudumu huyo na muda huo Sun hakuwa ameelewa bado nini kinaendelea.
” Letz go up!” ( twende juu) nilimwambia Sun huku nikimshika mkono kuelekea ghorofa ya pili kilipo chumba chetu.
“Whaaat!?……..Tom??…..unanipeleka wapi!?” Aling’aka kwa hasira Sunshine huku akiuchomoa mkono wake niliokuwa nimeushika.Yote hayo yalitokea baada ya kuona nafungua mlango wa chumba nilichokodi
Nilitegemea kitu kama hicho kutokea hivyo hali ya Sunshine haikunipa hofu hata kidogo japo ilinitisha.
Sehemu Ya 19
“Listen Sun…..!” (Sikiliza) nikiwa nimejipanga kuanza kumwaga sera zangu za kumshawishi Sun ghafla nilisita kutokana na watu wawili waliokuwa wanapita hapo kordoni tulipo, kwa kiasi kikubwa niliwashukuru sana watu hao kwani walimfanya Sun aingie ndani mwenyewe kwani hakutaka kutizamana nao.
” Tom hii ni nini umefanya lakini?” Sun aliendelea kubwata tulipoingia ndani.Nikiwa nataka tena kujitetea mlango uligongwa hivyo nikaelekea mlangoni.Alikuwa ni muhudumu kaleta vyakula, nikamruhusu aingie ndani kuviweka mezani.
“Karibu eenh!” Muhudumu huyo alimkarimu Sun alipokuwa anatenga vyakula hivyo mezani pia Sun aliitikia kwa kutikisa kichwa tu.
Baada ya muhudumu kutoka nilirudi Sun alipo huku nikiwa mpole sana.
“Karibu ule mamii!” Nilimwambia Sun huku nikimuwekea chakula sawa.
“Tom?….nimeingia humu kwaajili ya heshima yako tu, wahudumu wasije kukucheka lakini kiukweli sijapenda ulivyonileta hapa hata kidogo….kwani Tom unanionaje mimi!?” Duku duku la Sun lilikuwa bado halijaisha bado alikuwa na hamu na mimi.
” Basi mama naomba unisamehe tunakuwa kama tumeonana leo bhana!?” Niliongea nikiwa nimekereka na muda huo tayari kichwa kilishaanza kupata moto.
” Hamna sio hivyo ila ungeniambia mapema!”
” Aya basi naomba ulee alafu ndio tutaongea!” Nilimbembeleza Sun huku nikiweka chakula sawa.
“Wee mbona huli!?” Aliuliza Sun ambaye muda wote nilikuwa nikimuhangaikia yeye tu.
” Nna kazi ya kukulisha wewe tu ukishiba na mimi ntakula!” Nilimwambia Sun huku nikimpa soseji ang’ate.
“Me ntakula tu na wewe kula!” Mazungumzo ya hapa na pale yalianza kumrejesha Sun katika hali yake ya kawaida na jinsi yeye alivyoanza kuwa kawaida ndivyo na mimi nikaanza kubadilika japo sikujiona lakini niliamini hivyo.
“Tom vipi wewe!?” Sun aliuliza baada ya kuona sipo katika hali ya kawaida.
” kwani vipi!?” Badala ya kujibu na mimi niliuliza.
“Umenyong’onyea alafu macho yako yamekuwa mekundu!”
” sijisikii poa sana Sun ngoja niagize maji!” Niliongea huku nikiifwata simu ya mezani iliyokuwa chumbani hapo.Baada ya kuagiza maji sikurejea Sun alipo na badala yake nilijitupa kitandani na kulala kifudifudi huku nikipiga mahesabu jinsi ntakavyokula hasara siku hiyo.Chumba vyakula pamoja na zawadi niliyomletea Sun viligonga kwenye laki moja na ushee ukiachilia mbali gharama hizo siku hiyo ni ya Jumapili, siku ya kazi, na niliomba ruhusa kwajili ya shughuli hiyo maalumu ya siku hiyo.Hivyo ukijumlisha na hela ambayo ningepata kazini siku hiyo basi hasara ingefika kwenye laki mbili.Sababu hizo ndizo zilizinifanya kichwa kiniume kwa wakati huo niliwaza sana jinsi Sun akininyima tunda itakavyokuwa tafarani akilini mwangu.
” Tom!…Tom!?” Ama kweli nilikuwa kwenye fikara nzito hata Sun alipokuja kitandani hapo sikumuona kabisa.
” amka unywe maji yameshaletwa!” Aliniambia Sun baada ya kufungua macho huku akinifungulia maji hayo.
” thanx Sun!” Nilishukuru baada ya kuamka na kupiga funda moja kisha nikajilaza tena kama awali, Sun ambaye muda huo alikaa pembeni ya kitanda, alikipakata kichwa chake kw a viganja vya mikono yake, bila shaka kuna jambo zito alikuwa akilifikiria.Taratibu nilipeleka mkono wangu na kuanza kukishika kiuno chake.
” potelea mbali!…akizingua naita goma (msichana) lingine sasa hivi!” Nilijiwazia nilipokuwa nikiendelea kukitomasa kiuno cha Sun kujaribu bahati yangu.
“Tom!?” Sun aliita huku akiushika mkono wangu nisimtomase zaidi.Nilihisi anataka kusema nini hivyo sikuitika aliponiita na kwa kuwa nilishaona dalili zote za kunyimwa utamu siku hiyo ikanibidi nimtongoze Sunshine rasmi sasa.
Ni kama vile ndicho alichokuwa anakisubiria siku zote kwani licha ya mimi kumtongoza na yeye alinitongoza pia huku akinielezea jjnsi hisia zake zilivyokuwa deep kwangu toka awali.Maneno yake matamu yalisababisha kichwa changu kilichokuwa kikiwaka moto kwa wakati huo kupoa kama vile kimezamishwa kwenye unga wa barafu. Miongoni mwa mambo tuliyojadili wakati tunatongozana ni pamoja na fofauti yetu ya umri pia Sun hakusita kuonyesha hofu yake juu ya wifi yake lakini yote hayo niliyaweka sawa na kumtoa hofu.
Taratibu nilimvuta Sunshine kitandani na tulianza kutomasana taratibu huku tukinyonyana ndimi zetu na kutengeneza ladha ya ajabu.Baada ya kuhakikisha kuwa ameorojeka vilivyo nilianza kumsaula nguo yake moja baada ya nyingine kwa upande wa juu nilimtoa kiblauzi alichokuwa amevaa hivyo kuzifaidi chuchu saa sita zake zilizosimama na kujaa vilivyo huku ziking’arishwa na rangi nyeupe na kupambwa na chuchu za brown zilizosimama vizuri hakika nilijihisi niko Peponi nilipokuwa nikinyonya maziwa hayo.Nilipojaribu kushuka chini na kutaka kufungua kifungo cha suruali yake alinikamata mkono kwa nguvu kama si yule aliyekuwa amelegea ndembe ndembe.
“Unataka kufanyaje!?” Sun aliniuliza swali ambalo lilinikata nyege zote.
Nilihisi Sun ananiletea utani inamana hadi hatua hiyo niliyofikia hakujua nataka kufanya nini ama yalikuwa masihara hayo.Nikaondoka juu ya mwili wake na kujilaza chali pembeni.
“Tom!?” Sun aliita huku akionyesha shaka na hali yangu iliyobadilika tena ghafla.
“Yes my dia!” Niliitika bila kufumbua macho.
” Tumeshakuwa wapenzi sasa naomba tufanye siku nyingine…sawa baby wangu!” Sun alijaribu kunishawishi huku akionyesha kujua nilitaka kufanya nini.
“Sikiliza Sun…wasichana wengi huona haya kufanya mapenzi siku ya kwanza wanapokutana na mpenzi mpya lakini Sun sisi hatujajuana jana wala juzi, pia nilikupenda kitambo sana ila leo ndio nimeeleza hisia zangu kwako so mi sioni kama kuna tatizo lolote tukifanya leo….Sun nakupenda sana pia naomba ujiamini!” Katika vita vya maneno tu daima huibuka kidedea hasa ukizingatia mimi ni mzoefu wa viumbe hawa, najua nionge nini, niongee vipi na kwa wakati gani. Baada ya blaa blaa za hapa na pale nilifanikiwa kumshawishi Sun anivulie suruali iliyombana.
Baada ya kuvua suruali yake nakuona mapaja yake myeupe pee yaliyonakshiwa kwa vinyweleo mwanana vilivyolala juu yake hakika shetani wa tamaa alitaka kunitoa roho!. Taratibu nikaanza kuyatomasa huku sehemu zangu nyeti zikidinda na kukomaa maradufu, hakika Sunshine alikuwa mrembo wa haja na nyege zake zilikuwa ni hatari mara mia ya zangu kwani zilipompanda alinikamata kwa nguvu huku akininyonya sehemu mbalimbali za mwili wangu bila kubagua na alipofanikiwa kuupata ulimi aliunyonya kama vile anataka kuung’oa, kusema kweli sikuwahi kunyonywa hivyo kabla ya kukutana naye.Kadrii muda ulivyokwenda ndivyo hali yake ilivyozidi kuwa mbaya na kama nisingempatia huduma ya kwanza mapema huenda angepata ugonjwa wa uchizi.Sikuweza kubaini mara moja kuwa nguo zangu nilizivua mwenyewe ama nilivuliwa hata chupi ya Sun iliyokuwa imesalia mwilini mwake sikujua ilitoka vipi ila muda huo viungo vyetu vya siri vilikuwa vikisagana na kutupatia utamu wa ajabu uliotuhamisha sayari hii inayoitwa dunia na kutupeleka ulimwengu mpya wa burudani.Baada ya purukushani hizo za vuta nikuvute zilizodumu kwa takribani dakika kumi hatimaye nilifanikiwa kufungua champigne ( kufikia mshindo).
“Woooh oooh oooh!!” Nilidiha huku nikihema kwa kasi nilipokuwa naichomoa mashine yangu toka kwenye utamu wa Sun.
“Pole baby!” Nilimwambia Sun nakumbusu kwenye paji lake la uso.Shughuli haikuwa ndogo.
Baada ya kupumzika kidogo hatimaye nilikumbuka kama kuna kiyoyozi maana japo tuliweka nyuzi 16 za baridi lakini haikufurukuta kulizima joto lililozalishwa na miili yetu.Nazani joto hilo lingetumika Kuzalisha umeme basi zingetoka megawati nyingi sana.
” Twende tukaoge!” Baada ya kukaa kimya kwa muda hatimaye Sun aliongea huku akinyanyuka kitandani sikuwa na la kufanya zadi ya kumfwata nyuma huyu malkia wangu.Kitaulo alichojifunga kifuani mwake na kuacha eneo lake kubwa la mwili likiwa wazi kilinifanya niuone uzuri wake wa ndani ambao sikuwahi kuuona kwa mtu mwingine.Tulipokuwa bafuni hakuna kilichofanyika zaidi ya kumwagiana maji na michezo ya hapa na pale.
Baada ya kuoga tulirudi tena chumbani na hapo ndipo nilishuhudia maajabu ambayo yalinifanya nipikiche macho kwa kutoamini kile nilichokiona.Ilikuwa ni ajabu lakini ni dhahiri.
Nakumbuka vizuri kabisa nilipoingia chumbani hapo kitanda kilitandikwa kwa mashuka mazuri meupe.Lakini kilichonishangaza muda huo ni baada ya kuona mashuka hayo meupe pee! Yakiwa yamenakshiwa kwa madoa doa mekundu.Je ni nani aliyoifanya kazi hiyo mie na mpenzi wangu tukiwa bafuni.
” Baby ulikuwa bikra!?” Nilimuuliza Sun kwa furaha nikiwa siamini macho yangu lakini Sun alinitumbulia macho ya haya pasina kujibu kitu.Wahenga walisema kimya nacho ni jibu.Maumivu ya mashine yangu iliyopata tabu kupenya kwenye utamu wa Sun jumlisha maumivu ya mikwaruzo ya kucha iliyotapakaa mgongoni mwangu ilitosha kuthibisha kuwa nimemtoa Sun bikra.Sikuwahi kukutana na mechi tamu kama ya siku na niliona ufahari mkubwa sana kumtoa mlimbwende huyo bikra hasa ukizingatia kimekuwa kitu adimu kukipata kama nyoka mwenye miguu.Siku hizi binti wa miaka tisa tu ashaiuza siku nyingi.
” Sun nashindwa kueleza ni jinsi gani nakupenda!” Nilimwambia Sun nilipokuwa natoa shuka hilo lililochafuka na kutandika lingine lililokuwa limekunjwa vizuri nazani lilikuwa maalum kwaajili ya kujifunika.
” Nakupenda zaidi Tom wangu!” Alijibu Sun huku akinisaidia kutandika shuka.
Kadrii muda ulivyozidi kwenda ndivyo nilivyojikuta naanza kufall inlove (kuzama kwenye pendo) kwa Sun.Tukiwa tunacheza cheza kitandani nilimuangalia bila kummaliza, hakika niligundua uzuri wa ajabu kila nilipomtazama mrembo huyu. Na kwa kuwa nilishajua ni mgeni wa ngono sikutaka kuviapply (kuvitumia) vitu nilivyocopy toka kwa mtoto wa kitanga kigamboni.Nilitaka nimpeleke taraatibu aenjoy huba langu.Tukiwa bado tunacheza kitandani Sun alipenyeza mkono wake na kushika mmea wa asili ulioota katikati ya mwili wangu.kadrii alivyozidi kuichezea kwa vidole vyake ndivyo ilivyozidi kujaa na kuwa kubwa.waungwana tunasema mmea umestawi.
” hiiii! mbona inakuwa kubwa sasa!” Sun aliishangaa wazi wazi, hakika alionekana ni mgeni wa kitu hiyo.
” Utakoma nani kakwambia uichokoze!” Nilimtania.
“Unajua hata yako nikiichezea inakuwa kubwa!?” Nilimuuliza Sun kwa kumtega!
“Uwongoo!” Alijibu kama mtoto huku akiwa amebetua mdomo wake kimikogo.
” Can i prove it!?” ( nithibitishe) niliuliza kimombo kwa pozi naye akajibu ndiyo kwa kutikisa kichwa.
Taratibu kama vile nazamia chumvini nilishuka kati kati ya mapaja yake na kuanza kuyachezea mashavu ya utamu wake hali iliyomfanya ajimwaye mwaye na kujinyonga nyonga kitandani.Kama hiyo haitoshi niliukamata vizuri mpini wangu na kuanza kuupalaza kati kati ya utamu wake hali iliyofanya kisimi chake kusimama kama kidole cha mtoto mdogo.
” Unaona!?” Nilimwambia Sun ili akiangalie kisimi chake vile kimetuna lakini kwa bahati mbaya hakuweza hata kunyanyuka na akabaki akiguna tu.Urojo tayari ulishakilowesha kitumbua cha Sun na nilipojaribu kuupalaza tena mpini wangu juu juu uliteleza na kuzama ndani.
” mmmh mmmh mh!” Sun aligugumia kimya baada ya kumzamishia mpini huo, kama vile nachonga njia taratibu nilianza kusugua upande wa kulia kidogo, kushoto kidogo, juu na chini pia sikupasahau.Njia ilikuwa ni nyembamba na ilikuwa imenibana sana hivyo kitendo cha kufanya hivyo hakikunichukua dakika saba nikawa nimefungua champigne nyingine ( nimepiga bao)
” Oooh thanx my Sunshine and my moon light!” Nilimshukuru Sun nikiwa nimelala pembeni.Hakujua kwanini namshukuru lakini vitu alivyonipa siku hiyo ni kabambe.
Baada ya ungwe hiyo ya pili kumalizika tulikumbatiana na kulala pamoja.Toka saa kumi za jioni usingizi ulipotupitia tulikuja kushtuka saa mbili za usiku.
“Sun!?…Sun?” Niliimuita Sun huku nikijikwamua toka kwa mikono yake aliyokuwa amenikumbatia.
” niiiini!?” Aliniuliza akiwa amekunja sura kuonyesha nimemkatili usingizi wake mnono.
” Amka usiku umeingia!!” Nilimuhamasisha naye akajizoa zoa kuamka kisha tukaelekea tena bafuni kuoga kwa mara nyingine.
Baada ya kurudi kila mtu akaanza kuokota nguo zake zilipokuwa.
” Tafadhali naomba uvue mamii!’ Nilimuamuru Sun huku nikimsaidia kuvua chupi yake nyeupe iliyopambwa kwa makopa ya njano sanjari na neno I love you.Sun hakujua nataka kufanya nini ila hakunizuia kufanya nilichotaka.
” Wee vaa hii!” Nilimwambia huku nikimpa boxer yangu na mimi nikivaa chupi yake.Kitendo hicho hakikumshangaza sana Sun kwani tangu nimejuana naye sikuwahi kuacha vituko.Hatimaye tuliondoka kwenye Lodge hiyo huku nikivuta picha muhudumu atakavyotukana baada ya kukutana na shuka liliongezewa mapambo.
Siku hiyo niliporudi nyumbani nilikuwa na furaha isiyo kifani pia sikutaka kukaa karibu na mtu yeyote asije akahisi kitu.Nikaelekea chumbani kwangu moja kwa moja, niliivua ile chupi ya Sun na kuiandika tarehe na mwezi wa siku hiyo kisha pale kwenye maandishi ya ‘i love you’ chini yake nikachora jua linaloangaza nikiwa na maana ya Sunshine, Kisha nikaikunja vizuri nakuiweka kwenye droo langu la vitu nyeti kuifanya kuwa kumbu kumbu muhimu, nikavuta pumzi ndefu nakuiachia baada ya kuwaza kuwa nilipanga nimuonje Sunshine kisha nisepe.
Ivi inawezekana vipi mtu azindue nyumba kisha aishi ndani yake siku moja tu na atake kuhama?.Kama ningeishikia bango ahadi niliyoupa moyo wangu kuwa ntatembea na Sun mara moja tu kisha niachane naye basi ningekuwa mchoyo wa fadhila na kukosa ubinadamu hivyo kiapo kingine nilichoupa moyo wangu kwa wakati huo ni kwamba nitaachana na Sun mara baada ya kulala naye mara zingine tatu.Baada ya hapo hata nikiachana naye itakuwa sijamtendea vibaya. Kinyume na matarajio yangu na vile nilivyokuwa nimepanga mara ya mwisho kama nakumbuka vizuri nilichoka kuhesabu nnapokutana kimwili na Sun nikiwa nineshalala naye mara kumi na saba, kutupilia mbali zile tatu zangu nilizokuwa nimepatana na moyo wangu.Ama kweli mapenzi hayajaribiwi.Kadrii nilivyokuwa namtafutia Sun sababu nimbwage ndivyo alivyozidi kunipa sababu za kuwa naye.Wakati mwingine kosa nilifanya mimi na msamaha akaomba yeye ali mradi tu penzi letu lisifike kikomo, Tupilia mbali utamu wake tuwapo kitandani, Sun alikuwa ni msichana anayejitambua na kuelewa ni jinsi gani ya kuishi na mume, hata sijui alijifunzia wapi mambo hayo.Lakini nafikiri hii huja yenyewe( automatical) mtu anapokuwa na mapenzi ya dhati.Me nikiwa najitahidi kumfanyia visa na vimbwanga.Yeye alijitahidi kunijali na kunipenda mfano siku moja niliamka sijisikiii kuwasiliana naye kabisa, alituma meseji bila kujibiwa badala ya kutuma meseji ya malalamiko ama kutishia kuachana kama wafanyavyo wasichana wengine alichofanya yeye ni kuziunga line (sim card) zangu zote mbili na vifurushi vya mwezi.Haya sasa hapo nitasingizia nini tena! Sina vocha(credit) ama muda wa kumjibu meseji zake.Kiukweli penzi la Sun lilikuwa ni zito hata shetani asingemudu kulibeba.Jaribio pekee alilowahi kunifanyia Sun ili kujua kama kweli namjali, aliniomba kiasi cha pesa mchana na nilipompatia jioni aliniita na kunirudishia mara tatu ya kiasi nilichompa.Je ni mwanaume gani mwenye akili timamu anaweza kuachana na Sun?.Bila shaka hakuna na hicho ndicho kilichonifanya na mimi pia kubwaga manyanga yangu na kuamua kutulizana kwa kimwana huyu.Kutoka ile mara moja ya kulala naye kisha tuachane sasa tulikuwa tukihesabu miezi kwenye penzi letu lililokuwa likizidi kunawiri na kushamiri kila uchwao.Nani angeweza kulivunja pendo hili imara?. Pendo nililotaka kulikimbia mara chungu mzima lakini juhudi zangu zote zikagonga mwamba na kuangukia pua,Hivyo nikaamua kutulia ndani ya pendo hilo baada ya kung’amua kuna minyororo mizito ya upendo niliyofungwa.Minyororo ambayo isingekatika kirahisi hata kwa moto wa gesi.
“Sunshine umenishika nikakamatika mpenzi wangu!” Siku moja nilijikuta nikimnong’oneza hivyo Sun wangu tulipokwenda kwenye mkahawa mmoja kwajili ya chakula cha jioni.Sikumwambia hivyo ili kumfurahisha ila ni hali halisi niliyokuwa najisikia toka moyoni mwangu.Mapenzi ya dhati ndiyo yakawa maisha yangu na Sun toka nilipoamua kunyosha mikono juu na kutulia na yeye tu mpaka Siku moja Changamoto kubwa ilipokuja kulitikisa penzi letu.
Sehemu Ya 20
Ni takribani wiki moja imepita toka simu yangu ipokee ujumbe mfupi toka kwa Lisa.Ujumbe uliokuwa umeandikwa kwa maneno mengi ya kiingereza, Lisa akiwa anaomba radhi kwa yale yaliyotutenganisha na kuomba nafasi nyingine ya kulijenga penzi letu.Ingawa nilisoma mengi katika ujumbe huo, machache yaligoma kutoka kichwani na yalikuwa yakijirudia rudia kila mara.Japo maneno hayo yaliandikwa kwa kiingereza kilichofupishwa mno lakini yalikuwa na maana hii kwa kiswahili ‘ usinihukumu kwa jinsi nilivyokuwa jana kwasababu nimebadilika na siishi tena kama jana ila nihukumu kwa jinsi nilivyo saivi!’. Mengi yaliandikwa lakini kauli hiyo ilionekana kubeba maudhui mazima ya ujumbe huo.Sasa nimuhukumu sasa hivi Lisa kwa kosa gani haswaa wakati makosa yake yote yalikuwa ni ya nyuma na hataki yajirudie.Ujio wake Lisa kwa mara nyingine tena kwangu ilikuwa ni changamoto kubwa kwani nakiri sikuwahi kumpenda msichana mwingine yeyote kwa kiasi ambacho nimewahi kumpenda yeye, Mara zote nimekuwa kama mfupa kwa fisi mbele ya pendo la Lisa.Ningekuwa naamini uchawi hakika binti huyu angekuwa amenilisha limbwata. Tofauti na mara nyingine nilipoachana na Lisa kurudiana ilikuwa rahisi sana lakini kwa safari hii mambo yalikuwa tofauti kidogo.Palikuwa na kizingiti kikubwa na kigumu kung’oka kilichoitwa Sunshine.Sunshine ananipenda hadi naogopa! Nilishafanya visa chungu mzima lakini kuachana ilishindikana.Japo avumaye baharini ni papa lakini wengine nao wamo vivyo hivyo avumaye moyoni mwangu ni Lisa lakini Sunshine naye hakuwa wa kubeza hata kidogo.
Kiukweli walimbwende hawa wawili waliniweka njia panda nisijue pa kuelekea.
Meseji alizokuwa anatuma Lisa kila siku usiku na mchana tayari zilishaanza kuulemea moyo wangu, nikajihisi simtendei haki mpenzi wangu huyo wazamani kwa kuendelea kumzungusha nisimwambie nimemsamehe au la!
Kwa kawaida nnapokuwa njia panda katika kufanya maamuzi huwa napenda sana kujumuika na wenzangu katika ibada.Hata siku ya mapumziko ilipofika niliwahi kanisani nipate kutuliza yangu nafsi na siku hiyo ikawa kama vile nimeenda kujichoma mwenyewe kwani hubiri la siku hiyo lilihusu upendo.Wengi wanapenda lakini hawazijui kanuni za upendo.Siku hiyo nilipata kuzijua kanuni za upendo zilizoandikwa na Wakorintho.
Kwanza kabisa Upendo huvumilia, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni; haukosi kuwa na adabu; hautafuti mambo yake; hauoni uchungu; hauhesabu mabaya; haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli; huvumilia yote; huamini yote; hutumaini yote; hustahimili yote. Baada ya kuzijua kanuni hizi za upendo nilijiona kama mwenye hatia.
Nakumbuka siku kadhaa zilizopita Lisa alihoji kama bado nampenda na mie nikajibu bila shaka.
Sasa iweje bado nafikiria mambo mabaya aliyonitenda ili hali upendo hauhesabu mabaya?
Iweje nione Lisa aliniumiza hali yakuwa upendo hauoni uchungu??
Kama nikisema simpendi Lisa mdomo utakuwa umeudanganya moyo na si ajabu mdomo ukapewa ububu na mkono ukalithibitisha hilo kwa maandishi.
Maneno yote muhubiri aliyokuwa anasema siku hiyo ni kama vile alikuwa ananisema mimi, Muda mwingine nilitamani hata kutoka nnje nisisikie maana kile neno lililonenwa lilitangaza hatia juu yangu. Hadi mwisho wa somo ulipofika moyo wangu ulikuwa umepondeka vya kutosha na siku hiyo nikapanga kufanya maamuzi.
Sikutaka tena kusita sita kwenye njia mbili.Jioni ya siku hiyo nilimuomba Sunshine tuonane ili nimueleze vile nimeamua.
Kama kawaida jioni ya siku hiyo nilienda mtaani kwao Sunshine na tukakutana katika eneo ambalo tumekuwa tukifanyia vikao vyetu vya jioni toka tumejuana, isipokuwa tu siku hiyo ilifanywa tofauti na maongezi yake, siku zote tumekuwa tukijadili mipango na malengo ya maisha yetu huku tukifurahi na kucheka lakini kwa siku hiyo vinatawala vilio, masikitiko, majuto, hasira, simanzi pamoja na dukuduku, hiyo yote ni baada ya kumuweka bayana Sunshine juu ya kinachoendelea kati yangu na Lisa.Sunshine alionekana kutoamini chochote nnachomwambia hiyo ni kutokana na kuzoea baby wake ni mtu wa utani kila mara, lakini mara baada ya kumthibitishia kuwa nnachomwambia sitanii ndipo kilio kilipoibuka na maneno ya kunialaumu sana, nilimuonea huruma Sun lakini sikuwa na la kufanya, hakuna lugha yeyote nzuri unayoweza kumueleza mpenzi wako anayekupenda sana kuwa muachane naye akakuelewa. Kitendo bila kuchelewa nilimuona Sun chini akiwa kapiga magoti huku akiniomba aongee na Lisa amuachie mpenzi wake, bila Tom yeye hana maana ya kuishi tena kwenye hii Dunia.Kitendo hicho alichokifanya Sun kiliushambulia moyo wangu mithili ya kuku wa kuenyeji waliomwagiwa mchele.Sun hakuwa na kosa lolote hivyo ilikuwa ni haki ausulubu moyo wangu.Hakuna kazi ngumu kama kuachana na mpenzi ambaye hajawahi kukukosea kitu ila mithali niliyoitumia mahali hapo ni hii, ukitaka kumuua Nyani usimuangalie usoni.
” Tom naomba unisindikize kwetu, sina nguvu!” Hiyo ni kauli ya mwisho aliyoitoa Sun baada ya kushindwa kunisihi nisimuache.Taratibu nikamuinua Sun toka chini alipokuwa nikauweka mkono wake begani mwangu na kunza kumsindikiza kwao. Mapenzi yanaweza yakaua niliamini siku hiyo.
Baada ya kumfikisha Sun mahali ambapo aliniruhusu nimuache taratibu nilianza kurudi nyumbani huku njia nzima nikifiria maisha mazuri tuliyoishi na Sun na hatimaye historia hiyo nzuri inafungwa kwa mwisho mbaya.Sikuwa na la kufanya zaidi ya kufumba macho, moyoni nilimpenda sana Lisa pamoja na mifarakano yetu ya mara kwa mara pia Lisa alinipenda sana mimi.Barabara hata iwe ndefu vipi haikosi kuwa na kona. Japo Sun naye nilimpenda sana kutokana na mapenzi yake ya dhati kwangu lakini maisha tuliyoishi na Lisa toka utotoni yalinichanganya zaidi, ni kifo pekee ambacho kingenitenganisha na huyo mtoto kwani yeye alikuwa ananijua mimi nnje ndani lakini pia mimi nilimjua yeye hata pengine zaidi ya anavyojijua.
Hatimaye siku hiyo iliyoututenganisha mimi na kipenzi changu Sunshine ilipita salama salimini lakini siku mbili baada ya hiyo kupitai ikawa na walakini.
Ni majira ya saa kumi na moja za alasiri jua likiwa limechoka kuwachoma walala hoi na kuanza kutafuta machweo ili lipate kupumzika ndipo na mimi ambaye nilikuwa nimejipumzisha nyumbani muda mfupi baada ya kutoka shule kelele za simu yangu zinasitisha mapumziko ya akili na naamua kuipokea simu hiyo ambayo imepigwa na mtu nnayemfahamu sana. Naipokea kichovu lakini mara tu baada ya kusikia kilichozungumzwa nakurupuka na kuanza kujiandaa kuelekea mahali nilipoitwa.
” Hapa hadi Sinza bei gani!?” Nilimuhoji dereva wa boda boda kuona kama naweza kuelewana naye bei, kwa haraka niliyokuwa nayo nisingeweza kukaa kwenye foleni hata kidogo hasa ukizingatia kuwa muda huo ni jioni na wakazi wengi wa jiji hili wanatumia barabara chache kurudi makwao.
” Shachukua boda boda dakika sifuri tu ntakuwa hapo mwanangu!” Nilimpa tumaini rafiki yangu Amani mara baada ya kunipigia tena ili kujua nimefikia wapi katika safari hiyo.
Kiukweli Amani alikuwa ni rafiki yangu kipenzi tuliyeshibana sana.Kwa kiasi kikubwa shida zangu zilikuwa zake hali kadhalika zake zangu.Hata aliponipigia simu niende nyumbani kwake haraka, niliianza safari bila kufikiri mara mbili mbili.
” sasa atakuwa na nini huyu Amani asichotaka kuniambia kwa simu!?” Nilijiuliza mwenyewe kwa sauti ya chini iliyobebwa na kasi ya upepo uliopambana na boda boda.
Ki ukweli toka nimeachana na Sunshine, nimekuwa sina raha wala amani kabisa hasa ukizingatia hali niliyomuacha nayo, hata ningesikia amekunywa sumu nisingeshangaa sana kwa maana hali hiyo ilimruhusu kufanya hivyo. Japo aliyeeniita ni rafiki yangu Amani lakini akili yangu yote ilikuwa kwa Sunshine.Na sikujua hata kwanini niliposikia jina lake moyo wangu ulinipasuka.
Nikiwa katika hali hiyo ya sintofahamu hatimaye tulifika nilipokuwa nikienda, nilimlipa dereva ujira wake kisha kwa mwendo wa kasi nilianza kutembea huku nikiambatana na hofu kuelekea ilipo nyumba anayoishi Amani.Hatua chache kabla ya kufika nilimpigia simu, sikutaka kwenda moja kwa moja kichwa kichwa kuhofia kujilengesha.
” Oya njoo basi nipo hapa kwa Mangi tukutane!” Niliongea haraka haraka baada ya Amani kupokea simu yangu, kwa akili zangu za haraka haraka nilijua Amani angenilazimisha kufika kwake lakini nilishangaa utayari wake wa bila kusita sita kuja nilipo hivyo na mimi ambaye nilikuwa nikipima maji kwa wakati huo kujua kina chake nikafanya bidii ya kufika kwa Mangi ili tuonane!.
Punde si punde Amani naye akawasili,kwa Muonekano wake wa haraka hakuwa mtu mwenye utulivu kabisa na nywele zake zilikuwa zimevurugika sana. Rafiki yangu huyu anapokuwa na jambo linalomchanganya akili hupendelea kukuna kichwa nilifikiri hiyo ndo sababu ya nywele zake kuvurugika.
” oyaah! Vipi kaka!?” Nilimuhoji kwa shauku Amani aliyeketi na kushika tama kanakwamba anafikiria aanzie wapi.
” Dah! Mwanangu yaliyonikuta we acha tu!”Amani alianza kufunguka taratibu huku akiweka kiti chake vyema kunipasha habari.
“Mwanangu shem wako ndio ananiumiza kichwa………sijui kazinguliwa nini kwao kabeba kilicho chake nimemkuta gheto……sasa sijui inakuwaje hapo mwanangu!” Amani aliongea kwa kifupi huku akionyesha ana mengi ya kusema. Kesi yake nayo ilikuwa ni ile ile iliyonikuta mimi siku chache zilizopita’mapenzi’ isipokuwa tu kesi hizi zipo tofauti kidogo.
” Hahaha! Amani bhana…mimi hapo sioni tatizo kwani si mnapendana?……sasa tatizo liko wapi hapo,shem wangu amehamia kwako muishi pamoja!” Niliongea kiutani huku nikijifanya namaanisha nilichokisema hiyo yote ni katika kumchota akili Amani nijue yupo mlengo gani kabla sijampa ushauri kamili.
” Aaah! Tom mwanangu yaani unaongea kama vile huijui familia yao vile walivyo mabandidu! wee unafikiri kama watakuja kuniletea zogo maskani pale itakuwaje, hata hivyo pamoja na kumpenda sana shem wako hatukupanga kuishi pamoja kwa wakati huu!” Amani aliongea kama vile ananilalamikia.
” Kwaiyo ndugu yangu wee unataka nifanye nini!?” Nilimuhoji Amani ili nimpe ushauri anaoutaka.
“Tom nimeshakueleza kila kitu wee si mtu wa kuniuliza swali hilo!” Amani aling’aka.
” Je utaridhia nnachotaka kukifanya!?” Nilimuhoji tena naye akanijibu ndio kwa kutikisa kichwa baada ya kufikiri kwa muda.
” Si yupo nyumbani saivi?” Tena niliuliza naye Amani akanajibu ndio.Tukasimama pamoja na kuelekea kwake.Kuna usemi usemao ukitaka kuonekana mjinga basi ingilia mapenzi ya watu siku hii sikuujali usemi huo nnaouzingatia kila mara ili kumuokoa rafiki yangu Amani.
” Mambo vipi shem!?” Nilimsalimu mpenzi wake Amani aliyekuwa kajilaza kwenye sofa naye akaitikia poa bila kunitizama.
“Unaweza kutupisha dakika sifuri tafadhali!” Nilimuomba Amani kwa kumnong’oneza naye akatuacha sebuleni peke yetu.
“Japo umenijibu poa lakini naamini si poa unaeza kuniambia nini kimetokea mpenzi wangu!?” Nilianzisha mazungumzo na shem wangu ambaye tumezoeana kuitana majina yote ya kimapenzi na huenda yupo huru kwangu zaidi kunieleza mambo yake kuliko afanyavyo kwa Amani.
Baada ya kumuuliza swali hilo alikaa kitako na kunieleza yote yaliyotokea hadi yeye kuchukua maamuzi hayo ya kukimbia kwao na kuhamia hapo.Kesi yake haikuwa kubwa sana ila nadhani aliondoka kwa kuwa alikuwa na pakwenda.
“Hivi unampenda Amani kweli!?” Nilimuuliza shem naye akajibu ndio.
“Me nadhani humpendi! Na kama unampenda kweli basi usingemsababishia matatizo yasiyo na lazima.……hivi unadhani wazazi wako wakisikia umekuja kwake na umezinguana nao watampenda kweli? Si ndio wataona yeye anakupa kiburi na kukufanya uwadharau waho Ukiachana na hilo ili mfanikiwe kimaisha na kuwa na maisha bora ni lazima muwe na baraka za wazazi hebu nambie maisha yenu yatakuwaje iwapo kila siku wazazi wako wanawalaani juu ya mlichokifanya……unadhani maisha yenu yatakuwa vipi zaidi ya mifarakano isiyoisha kila kukicha na kuandamwa na mabalaa.Kitu pekee nnachokushauri mpenzi wangu rudi nyumbani, mtoto akinyea mkono haukatwi wazazi watakusamehe na watafurahi pia.Kinyume na hapo neno langu sio sheria lakini hamtakuwa na kesho nzuri.”
Tuliongea mengi na shemeji yangu huyo na mwisho wa siku alinielewa na akakubali kurudi nyumbani kwa roho moja.Hivyo nikawa hakimu mzuri kwenye kesi hiyo hakuna nilichokuwa nimebakiza zaidi ya kurudi nyumbani huku nikimuacha Amani amsindikize mpenzi wake kwao.
* * * *
Baada ya miezi kadhaa kupita kimya kizito kilitawala kati yangu na Sunshine.Kwa upande mwingine nilifurahishwa na kimya hicho kwani kilimaanisha Sunshine amekubaliana na matokeo.Nilifurahi kwa kuwa wakati mwingine mtu akikupenda sana ukimgeuka anaweza kufanya jambo baya, nashukuru kwa kuwa hali hiyo haikutokea.Kimya cha Sunshine kilimaanisha penzi langu na Lisa kupamba moto.Tulikuwa tukipendana sana kama vile hatukuwahi kuchukiana.
Siku moja tukiwa tumechati mno kwa njia ya meseji roho yangu ilinituma kumuuliza Lisa swali ambalo sikujua kwanini roho imenisukuma hivyo.
‘ Babe bado unanitunzia mali yangu?’ Niliuliza swali hilo kwa ujumbe mfupi huku nikiamini Lisa bado atakuwa na bikra yake niliyokuwa niki ilea lea kuitoa.
“Mali gani hny?” Lisa alijibu na kuonyesha kuwa hajanielewa.
” Bikra swtheart!” Nikaweka mambo hadharani.
“Bby m sorry bt tulivyoachana nilikuwa na hasira hivyo nikapata boy mwingine akaitoa then akanisaliti.Tom i luv u so much baby cz ur alwayz there 4 me!” Lisa alijibu maneno mengi lakini jibu likiwa ni moja tu! Ile bikra niliyomuacha nayo hakuwa nayo tena.Ghafla nakajikuta nakosa hata nguvu ya kushika simu na kuandika neno lingine la ziada.Meseji ya Lisa iliupa moyo wangu tabu zaidi ya mawimbi makali kwa mashua iliyopo katikati ya bahari.Nikashindwa kuamini na kufikiri Lisa ananitania kwa maana kwa kiasi kikubwa nilikuwa nimemrithisha tabia ya masihara.
‘ Come on baby stop joking!’ Baada ya kufikiri inaweza kuwa utani nilipata nguvu ya kumtumia Lisa ujumbe mwingine ili kuthibitisha kama ni kweli.
” Sure bby m nat lie!” Lisa akathibitisha kuwa ni kweli.
Maskini hali yangu ikawa mbaya ghafla nikavuta picha na kumuona kidume alivyokuwa akishughulika kuitoa bikra ya mpenzi wangu, hakika niliumia sana.Mapigo ya moyo yalienda kasi sana kwa wakati huo sikuweza kufahamu mara moja ni nini kimenisibu ila baada ya muda mchache kupita ndipo nilibaini kuwa toka ile asilimia mia niliyokuwa nikimpenda Lisa sasa ilisalia asilimia hamsini peke yake hiyo ilimaanisha kuwa penzi limegawanyika kati kwa kati.Bora usikutane na bikra kuliko ukutane naye akiwa bikra afu itolewe na mtu mwingine sidhani kama ningeweza kuvumilia tena aina yeyote ya maudhi toka kwa kimwana huyo niliyewahi kumpenda kwa moyo wote.Kama ningekuwa na uwezo basi ningelirudisha penzi langu kwa Lisa lau lifike japo asilimia tisini lakini shida moja ya moyo huwa haupangiwi. Japo Lisa alijiamini kunieleza ukweli kwa kuwa aliamini ningeendelea kumpenda sana lakini alijidanganya, kwa wakati huo ni bora hata angenidanganya ilitoka akiwa anaendesha baiskeli kama wadanganyavyo wasichana wengine lakini ndio hivyo tena maji yalishamwagika,Majira na nyakati vikaendelea kusogea huku bendera ya penzi letu ikipepea nusu mlingoti, tayari Nilishamshusha Lisa thamani na sasa sikuwa mwepesi tena kwake kama ilivyokuwa mwanzo hata kumuita sweetheart nilihisi naidhulumu nafsi yangu.”Lakini na mimi mbona nilimtoa bikra Sun!” Wakati mwingine nijikuta najiuliza hivyo ili kuushawishi moyo wangu uendelee kumpenda Lisa kama awali lakini moyo ulionekana kutodanganyika
Sehemu Ya 21
Sikuwahi kufikiri hata siku moja kuwa hata mapenzi ya dhati huwa yanafikia tamati lakini jambo hilo sasa lilikuwa dhahiri.Lisa ambaye alikuwa akiuchafya moyo wangu kiasi cha kuninyima hata usingizi leo hii alikuwa hanitishi kwa lolote, Ni ajabu lakini ni kweli kuwa sasa Lisa hakuwa na tofauti yeyote na wasichana wengine mbele ya mboni za moyo wangu.Kama ilivyo ada hakuna anayesalia ukumbini mara baada ya karamu kuisha vivyo ndivyo ingekuwa ngumu kwa mimi kubaki na Lisa hali yakuwa daraja la mapenzi lililokuwa likiziunganisha nyoyo zetu lilishavunjika. Ni rahisi sana kuvumilia kifungo cha miaka mia jela kwa kesi ya kusingiziwa lakini si rahisi hata kidogo kubaki na mtu moyo uliomtema.Hali hiyo ndiyo iliyonipelekea siku moja majira ya jioni kuandika waraka mfupi niliomtumia Lisa kumjuza kuwa nimejiuzulu katika penzi lake.Sikuweza kutambua mara moja ni kwajili ya mshtuko, kutoamini ama maumivu lakini Lisa alikaa kimya siku mbili kabla ya kuujibu waraka wangu.Hadi mara ya mwisho kabla ya kumtumia waraka huo tulikuwa bado tukiishi vizuri na sikuonyesha dalili yeyote ya kumpiga chini, kanuni moja iliyokuwa ndani yangu ni hii, naweza kuchukia jambo baya leo lakini nikalichukulia hatua baada ya wiki mbili hata Lisa niliachana naye wiki kadhaa nyuma lakini nilimjuza baadaye sana.
Katika kimya chake Lisa hakukaa hivi hivi ukiona kobe kainama jua anatunga sheria, alitumia muda huo vizuri kutengeneza meseji ndefu iliyokuwa na maana ya kutoridhika na maamuzi yangu ya kuachia ngazi lakini aliiandika kwa namna ya kukubali niondoke, mfumo huo mie nauita ‘ staki natataka’.Tofauti na meseji nyingine Lisa alizokuwa akiniomba turudiane tulipoachana mara kadhaa hapo nyuma, ujumbe huo wa siku hiyo haukuwa na uzito wowote mbele ya macho yangu na nilipokuwa nikiusoma ulinichekesha mithili ya katuni za Madenge.Baada ya moyo wangu kuridhia kuwa huo ni mwisho ambao hautakuwa na mwendelezo mwingine na Lisa niliamua kumjulisha Antie yangu kipenzi kuwa Lisa si mkwewe tena.Mara moja nilitafuta namba zake na kumpigia.
“Hello!” Baada ya simu kupasua anga na kukanyaga mawingu ya Tabora niliisikia sauti nzuri ya Shangazi yangu.
“Hello Antie za huko!?”
“Mtoto mbaya wewe au Dar umepata Antie mwingine!?” Shangazi badala ya kupokea salaam yangu alikimbilia kwenye lawama na ilikuwa haki yake kunilaumu kwani tangu nimeondoka Tabora tumekuwa tukiwasiliana kwa mbinde.
” Lakini hata wewe umenisusa sana Antie yangu vipi lakini Uncle yuko poa!?”
” Yupo poa vipi mkwe wangu yupo!?” Kwenye salaam tu Antie akawa amepagusa nilipopataka.
“Me mbona single boy kitambo tu hadi nimesahau yaani!”Nilimjibu kimzaha shangazi.
“Hahaha we Tom haukui tu!?” Shangazi alijua nafanya masihara yangu.
” Kweli Auntie! Lisa tushaachana!”
“Weeh! Usiniambie……tatizo nini lakini!”
“Lisa bado ana akili za kitoto Antie!…nasubiri akue kue kidogo tunaweza tukafanya maisha!” Nilimueleza shangazi katika sentensi moja iliyobeba mambo mia huku nikimpa tumaini ambalo halikuwepo kwani sikuwa na mpango tena wa kurudiana na Kimwana yule.
“Jamani nyie!… mmenisikitisha kweli yani jinsi mlivyokuwa mnapendana vile mmeaachana au Lisa kakuacha Tom niambie nikusaidie!” Shangazi alionyesha wazi masikitiko yake huku akizani huenda Lisa ndio kaniacha lakini nilipomueleza kuwa mimi ndo nimembwaga aliishiwa nguvu kabisa.Nadhani shangazi alikuwa akiufikiria uzuri wa sura,umbo na rangi nzuri ya Lisa lakini hakujua noti hata ipambwe vizuri vipi kama haina thamani hakuna atakayeijali.
* * * *
Tangu nimeyajua mpapenzi sikuwahi kuwa mpweke ( single) kwa muda mrefu.Baada ya kuachana na Lisa nilihisi bado nahitaji mapenzi.Ulimwengu huu umejaa walimbwende wa kila namna vipi kidume aliyekamilika kama mimi niishi peke yangu? Wakati Duniani penyewe naishi mara moja tu. Bila shaka haikuwa na haja ya kufanya hivyo.Ni muda mfupi baada ya kujiunga na chuo cha ardhi ili kupata stashahada katika uchoraji wa ramani na hii ni baada ya kuhitimu A level.Katika chuo hichi napata fursa ya kukutana na vimwana wenye uzuri na sifa za kila namna lakini nabaki kuwatizama kwa macho tu, hii ni baada ya moyo kushindwa kuchagua mmojawapo atakayenifaa.
” Khaah! Hata huyu jamani?” Nilijikuta naushangaa moyo wangu baada ya kujenga mazoea na kipusa mmoja ambaye moyo uligoma kumfungulia mlango aingie ndani.Ukigongwa na nyoka nyasi zikikugusa lazima ushtuke niligundua Lisa hakuondoka hivi hivi ila aliniacha nikiwa nimejifunza mengi.Naam! Sasa nilikuwa muoga wa kupenda hovyo, nilikuwa nikihitaji mtu ambaye atanifaa haswaa si kwajili ya sura yake nzuri wala umbo lake maridadi ila mtu huyo ni yule ambaye atanipenda kwa dhati, Je ni nani huyo!? Kila niliyekuwa nikifikiria huyu ndiye moyo uligoma,sasa ni nani basi! Hapo ndipo nafsi iliposhtuka baada kumkumbuka Sunshine.Naam! Huyu ni binti pekee aliyekubalika kumoyo,Katika kipindi chote nilichoishi na Sunshine alinifanya nijisikie mwanaume haswaa, lakini kukubalika pekee moyoni ilikuwa haitoshi kizungumkuti kilikuja jinsi ya kumpata tena mrembo huyo. ” Nilivyoondoka kwa mbwembwe namna ile naanzaje kurudi tena kwa Sun!?” Nilijikuta najiuliza swali ambalo majibu yake yalinifanya nione haya kwa kiasi flani. Nikiwa bado nawaza jinsi ya kumpata tena Sun nilihisi kiu, ila nilipojaribu tu kunyanyuka ili kufwata maji nikapata kizunguzungu cha ghafula, nuru ikapotea nikahisi kama vile nabebwa juu juu na kubwagwa chini baada ya hapo sikujua nini kiliendelea, nilikuja kushtuka dakika chache baadae, Kitu gani kimeniangusha? Swali hilo halikupata jibu la msingi zaidi ya labda hisia nzito nilizokuwa nazo kabla ya kuamka, nikajizoa zoa pale chini nilipokuwa na kukaa vyema kwenye sofa. Ni bahati nzuri tu hapakuwa na mtu karibu aliyeshuhudia kitendo hicho, sikutaka kupoteza hata dakika moja, nikaokota simu yangu mezani nakuanza kuandika namba za Lisa nilizozicopy kichwani na kuzipaste kwenye simu lakini baada ya kupiga ikawa holaaa! Namba hazipatikani masikinii nimepoteza dhahabu nikifuata kipande cha chupa kilichong’aa.Kutopatikana kwa namba ya Sun ilikuwa ni pigo kubwa kwangu.Akili ikachoka, nikaamua kwenda kulala ambapo napo sikupata usingizi bado nilikuwa nikiwaza namna ya kumpata Sun.Ni muda mrefu sasa toka tumeachana na kuifuta namba yake kwa simu, japo niliikariri vizuri kichwani lakini nikahisi huenda nimeisahau, nikainuka toka kitandani na kuelekea katika meza yangu ya kujisomea, Naam! Katika kipindi kile najaribu kuikariri namba ya Sun nakumbuka nilikuwa kwenye meza hiyo hiyo pia nilikuwa nikiichora chora kwenye daftari.Kitendo bila kuchelewa nikaanza kushakura huku na kule hadi nilipolipata daftari ambalo nilihisi litakuwa na namba hizo.”Asta la vista!” Nilifurahi mwenyewe baada ya kuziona namba hizo.Kosa lililosababisha namba hizo kutopatikana ni kuwa namba mbili za mwisho niliziweka mwanzo na zile za mwanzo nikaziweka mwisho.Nikaziandika tena kwenye simu kwa ufasaha kisha nikaziangalia mara mbili kuzihakiki kabla ya kupiga tena.
“Kaa mbali na mie nimeshapenda,kaa mbali na mie nimeshaozaa……” hiyo ni caller tone ya moto band iliyokuwa ikiitumbuiza baada ya kumpiga Sun.
“Hallo!” Nikiwa najaribu kuifikiria mistari ya wimbo huo simu ikapokelewa.
“Mambo vipi Sun!?” Nilimsalimu baada ya kuhakiki sauti yake.
“Poa mzima wewe!?” Alijibu Sun kuonyesha kuwa ameshajua anaongea na nani.
Baada ya kumaliza salaam moja kwa moja nilimpeleka Sun kwenye dhumuni langu la kumpigia simu, Sun alionekana kushangazwa sana na mimi ambaye hakutarajia kuwa siku moja ningerudi na alikuwa akijitahidi kuniuliza habari za Lisa ambaye kwa muda huo sikutaka hata kulisikia jina lake, baada ya kuongea kwa muda mrefu kidogo na maongezi kufikia mahali pazuri tuliagana kwa miadi ya kumpigia tena baadaye.
Tofauti kabisa na nilivyofikiria kuwa baadae itakuwa ni kumalizia tu kile nilichokianza mchana lakini sikuamini kile kilichotokea baada ya kumpigia simu majira ya saa nne za usiku.Sun aliniwia mkali mithili ya mzazi wa watoto watukutu na kila mara alikuwa akiyarejea maneno yangu makali niliyomwambia siku ile tunaachana, nikiwa bado najaribu kujitetea kwa sauti ya upole Sun alinitakia usiku mwema haraka haraka na kunikatia simu, ni wazi kwamba hakutaka kuzisikiliza porojo zangu zinazopendeza masikioni pekee, jinsi nilivyo jisikia ni Mola pekee anayejua ama msomaji wangu aliyewahi kufanyiwa mchezo huo.Sikufa moyo kila uchwao niliendelea kumuimbia Sun wimbo ule ule wa kutaka kuwa naye hadi alipoanza kunielewa.
“Kama nilivyokwambia Tom wangu kweli bado nakupenda lakini nimeshapata mwingine na ananipenda sana yaani mie ndio namsumbua na kilichonifanya nimpende anafanana na wewe!” Ni sauti laini ya Sun ikijaribu kunieleza jambo gumu nilipomtembelea mtaani kwao.
“Kama kweli bado unanipenda tatizo ni nini Sun, kwanini usimpige chini huyo jamaa.Niamini Sun kweli nimeshindwa kuishi bila wewe mpenzi wangu!”
” weeh!…weh huo unyama unaweza kuufanya wewe tu! Maumivu niliyoyapata kipindi kile siwezi kumfanyia mtoto wa watu ivyo!”
“Kwaiyo itakuwaje sasa Sipo tayari kukupoteza Sun…nakupenda!”
“Kitu pekee nnachoweza kukwambia Tom nakupa miezi mitano ya kusubiri kama utaweza, huyu jamaa akinizingua tu ntakuwa wako tena lakini akinitendea vizuri basi itakuwa imekula kwako!”
“Ok! Sun haya yote niliyataka mwenyewe na upo sahihi kunipa adhabu yeyote ile uipendayo ila kitu kimoja nnachokusihi naomba unihurumie sababu nateseka juu yako kwaheri naamini tutaonana tena!” Nilimuaga Sun nakuondoka roho yangu ikiwa nyeupe, siku zote nimekuwa mshindi wa michezo ya maneno lakini hakuna marefu yasiyokuwa na nncha leo hii nilizidiwa kete na mtoto wa kike. Niliondoka huku nikijipa moyo kuwa Sunshine atakuwa wangu tena miezi mitano aliyonipa sio mingi.
Baada ya miezi mitano kwisha nilirudi tena kwa Sun kumkumbusha kuwa muda umefika, japo mimi nilikuwa naziona siku hizo kuwa ni nyingi sana nilipomwambia Sun kuwa miezi hiyo imekatika alionekana kushangaa sana imeishaje upesi namna hiyo kwa maana nyingine kwa upande wake mambo yalikuwa ni mazuri bado hivyo hiyo ilimaanisha hakuna tumaini lingine kati yetu na hata kama lingekuwepo nisingeweza kusubiri tena.Nilichofanya nikumuaga Sun na kumuahidi sitomtafuta kamwe pia moyoni mwangu nilimfuta rasmi na kwa upande mwingine nilimuonea wivu bwana aliyempata kwani alipata mwanamke aliyekamilika haswa.
Sasa Tom mimi niliishi nusu mtu nusu mfu, raha ya maisha haikuwako tena nilipo mimi.Wakati mwingine nilifikiri ni bora kufa tu.Mapenzi hayakunitendea haki, Kweli mapenzi upofu anayependa hayamuoni.
Siku moja majira ya usiku nikiwa nimepumzika chumbani kwangu simu yangu iliita na nilipoangalia ni binamu yangu Dora ndiye aliyekuwa akipiga.Maisha yangu mapya yamenifanya kuwa mpweke kiasi cha kupiga stori na mtu yeyote hata aliye wrong namba.
Baada ya kupokea simu hiyo ya Dora tulipiga porojo nyingi sana hadi ikafikia mahali tukaishiwa vya kuongea na ndipo mada hii ilipozuka sasa.
“Ivi unajua kwanini nilikuwa namchukia sana Lisa?” Dora alianza kwa kuniuliza na nilipomuuliza kwanini alianza kufunguka.
” Nilikuwa simpendi kwasababu alikuwa anamnyima rafiki yangu haki yake ya msingi!’
“Rafiki gani tena!?”
“Tom usitake kujifanya haumjui rafiki yangu Zabibu wakati nilikuwa nakuja naye kwenu mara nyingi tu pindi bado mnakaa tabora”
“Sasa Lisa alikuwa anamkatili vipi!?”
“Tom sidhani kama Dunia hii kuna msichana aliyewahi kukupenda kama alivyokuwa akikupenda Zabibu,Alikuwa anakupenda hadi akikuona anatetemeka na huwezi amini mara zote tulivyokuwa tukija naye kwenu alikuwa anataka kukwambia lakini tukifika anaishia kukutazama tu.Basi tulikuwa hatupendi kweli tukikuona na Lisa!”
“Sasa kwanini ukamsaliti rafiki yako!?”
“Huwezi amini Zabibu alikuwa anakusifia hadi mie mwenyewe nikawa naona wivu na nilipopata fursa ikabidi niuonje huo utamu rafiki yangu aliokuwa anauona kwako!……kwani nilifanya vibaya!” Dora aliniuliza kwa kunitega hali nikijua tulifanya vibaya nilimjibu hatukufanya vibaya.
“Nikuulize kitu!?” Nilimwambia Dora naye alipojibu ndio nikaendea.
“Saivi Zabibu yupo wapi!?”
“Yupo huko huko Dar!”
“Naomba namba yake basi!”
“Sikupi!”Dora alijibu kikorofi.
“Kwanini sasa!?”
“Unafikiri mie sijui unataka kufanya nini, me mwenyewe nakupenda!”
“Lakini Dora sie si ndugu!”
“Aya bhana ulale salaama!” Kabla sijajibu neno akakata simu bila shaka nilimkera japo yeye alinifurahisha sana siku hiyo.
Uongo dhambi kuacha Lisa msichana mwingine aliyekuwa akiutesa moyo wangu alikuwa ni Zabibu na kama nisingekuwa na Lisa basi ningekuwa na mtoto huyo.Uzuri wake wa asili ulioundwa kwa ngozi yake rangi ya chocolate, nywele zake za singa singa, macho yake ya mviringo, umbo lake namba nane, tabia yake ya upole,akili yake iliyotulia vilimfanya mwanaume yeyote apende kuwa naye.Sikuwahi kufikiria kuwa Zabibu alikuwa akinipenda kiasi hicho na jinsi alivyokuwa akionekana kwa nadra kutokana na kusoma bording toka mdogo kulinifanya nimuone kama malkia pindi anaporudi likizo.
“Wooooh! Nakupenda Zabibu!” Nilijisemea kimoyo moyo Nilipokuwa nainuka toka kitandani ingawa nilikuwa nimechoka habari za Zabibu toka kwa Dora zilisababisha usingizi wote kunipaa.Ingawa Dora alininyima namba zake moyoni niliapa kumtafuta kwa udi na uvumba hadi nitakapompata. Usiku huo huo nikaanza kutype jina Zabibu kwenye mitandao yote ya kijamii,Twitter,Instagram,Facebook,Skype,Badoo na kwingine koote!,
Baada ya kuhangaika kila kona kwa siku kadhaa bila mafanikio ndipo wazo jipya liliponijia, ama kweli penye nia pana njia! Nilijisemea mwenyewe baada ya kumpata Zabibu kwa jina tofauti kabisa nilipokuwa nakagua majina ya rafiki wa Dora Facebook.Japo alikuwa katumia jina lingine tofauti kabisa lakini sura yake ya kitoto ( baby face) iliniwezesha kumtambua kirahisi.Baada ya kumpata binti huyo kigoli na kumuelezea jinsi nnavyomzimia kisha nayeye kunipokea kwa mikono miwili hatimaye maisha yangu ya kimapenzi yalirejea kwenye ramani tena.
“Baby kwanini unasema tutaishi pamoja hadi kufa!?” Zabibu aliniuliza swali hilo siku moja tulipokuwa tukipata chakula cha jioni kwenye mkahawa mmoja.
“Malkia Wangu nilikupa story ya Lisa na Sunshine nimepitia mengi na sasa nimekuwa MZOEFU!”
“MZOEFU!?” Zabibu aliuliza kwa herufi kubwa!.
“Yes baby mimi ni MZOEFU!”
**** MWISHO****

