MZOA TAKATAKA
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 4
imebuma baada kukaa kitambo kidogo tukaona kuna gari ikija kwa kasi pale maskani tukajuwa labda maafande kila mmoja akasepa kimtindo wake ila mimi na
Shaibu tukanyuti chemba kidogo ile gari aina ya benzi macho ya paka ikafunga break kwa kasi sana tukaweza kumuona msichana mmoja hivi akishuka huku
akipiga kelele “jamani!!! salumu nisaidieni!!! salumu jamani anakufaa!!!!
baada kusikia akitaja jina lako
Salumu na akisema unakufa tukaamua kujitokeza baada kutuona akaja mbio na kutuambia “twendeni mkamsaidie
Salumu watamuuwa jamani!!! tukapanda kwenye gari yake kwa kasi akaendesha mpaka kwenye hoteli ya ubungo plaza pale baada kupaki tukashuka kucheki eneo
la tukio hakuna kitu kwa hasira zangu nikamkunja yule msichana na kumuuliza ni nani kamfanyia kitendo hicho
Salumu?”
maana kengere ya hatari ilishanigonga kichwani na kuhisi utakuwa
Salumu ni wewe tu hakuna mwingine,
kwa uwoga akanitajia
“kusema kweli mi sijui ila nahisi atakuwa Tonny tu ndio kafanya hivi,”
“Tonny ndio nani na anahishi wapi?”
“ni mpenzi wangu anaishi ilala,
“haya tupeleke kwa huyo kibwengo nikawapigia cm wana wafanye mchongo tukutane ilala hakuna aliye uliza maana kila mtu alishajuwa kimenuka
tukafika ilala boma kabla hatujashuka kuna gari akaja kupaki na kushuka jamaa flani hivi kisharo kikiwa kinaongea na simu ndio mchinjeni kama vipi huyo boya
mshamba hawezi kuja pale na demu wangu chinja kabisa sikutaka kusubili kuambiwa ndio yeye au sio nikashuka kwenye gari na kwenda kumtia roba ya mbao
akajitahidi kukuruka wapi akaishia kujamba tu nikaenda kumtia kwenye buti ya gari yake nikapanda safari ya kumpeleka chimbo ikaanza tukapishana na wana
wakiwa ndani ya tipa tukawapa ishara warudi basi baada kumpa kibano cha maana akawapigia cm vijana wake na kumtajia wapi wamekutupa basi tukamuachia
kwa makubaliano ya kwamba iwapo tukakukuta umekufa na yeye ajichimbie kaburi mapema
tukaja pande za manzese baada kuulizia ulizia tukatonywa upo kituo cha police pole sana kaka,
wakati
Madebe ananisimulia ile story ndani ya daladala kuanzia abilia konda hadi dereva mchozi ukawatoka na wengine kusema “sijawai kuona marafiki wenye
kupendana na kusaidina kama nyinyi ni moja kati ya vijana wa kuigwa sana poreni sana
Aseee!!! dahaaa kila mmoja akatupa pore baba mmoja akajitolea kutulipia nauli daladala nzima maana dahaa
sikuweza tena kurudi kwenye ile nyumba ya mama
Mwanaidi nikawa naishi kwa
Madebe maana ni zaidi ya ndugu japo kuwa ni rafiki yangu tu baada kupita siku kama nne hivi nikaingia kitaa na mkokoteni wangu kusomba taka Madebe yeye
ana mishe mishe zake tu anazielewa mwenyewe nikiwa bado nazisomba taka na kuzipakiza kwenye mkokoteni nikasikia vicheko vya kimbea tu “ohoo jamanii
hahahaha mzoa takataka utazoa hadi mavi mwaka huu, japo sikutaka kuwatizama wale mabinti wanao sema vile ila sauti ya mmoja wao sio ngeni masikioni
mwangu hakuwa mwingi ni
Mwanaidi nikainua uso wangu na kumtizama tulipo tizamana tu akaibetua midomo yake na kutema mate chini huku akiachia zinga la msonyo “nyooo*** lione
sura mbayaa kaa tako la mzee,” leo hii Mwanaidi ananiambia mimi hivi dahaa nikashika mkokoteni wangu na kusonga nao mbele kufika sehemu hivi nikasikia
kama kelele za ugomvi hivi nikasimamisha mkokoteni wangu nikanyata kwenda kufahamu washkaji wanagombania nini hasa nikasikia
“oyaa acha uboya ujuwe unajuwa mpaka sasa nimepoteza shi ngapi broo?”
“hiyo pesa yako ya madafu tu unitishi lolote dogo kwanza yule
Mwanaidi nishamuendea kwa babu kashafanya yake kwa kumuweka kwenye kifuu yule boya mzoa vinyesi sijui nini kabwaga kama zigo la kuni
nikastuka kusikia vile!!!,
Kitendo cha kusikia ya kwamba yule akijitapa na kujisifu kuwa
Mwanaidi kasha muweka kiganjani kwa kumuendea kwa babu sijui huko tanga ndipo nikaweza kupata picha
Mwanaidi ninae mfahamu mimi sio huyu wa sasa ime kuwaje abadilike ghafla vile na kuniona mie ni kinyaa si lolote si chochote,
nikajiuliza maswali mengi sana pasipo kupata jibu hata moja nitawezaje kurudisha penzi langu kwa
Mwanaidi liwe kama zamani nikajiambia habari hizi nimfikishie ndugu yangu Madebe huwenda ata nishauri nini cha kufanya nikaufata mkokoteni wangu niweze
kusonga na njia kitendo cha kupiga hatua kazaa tu nikakutana na yule bibi akiwa ana okota chupa za maji uhai kwa kuzitia kwenye kiroba,
nae baada kuniona akaja kwa mwendo wa kujikongoja na kuniuliza “vipi mjukuu wangu hujambo?”
nikamjibu “sijambo bibi shikamoo, “marhabaa mjukuu wangu basi nakumbuka majuzi tu uli nipa msaada kwa kuni peleka kwa mama ntilie kule yani sina cha
kukulipa baba yangu ila shukrani sana akubaliki sana mjukuu wangu, baada kusema vile akakiinua kiroba chake cha makopo na kuanza kuondoka nikabaki
kumtizama tu huku niki tingisha kichwa
kwa masikitiko moyoni nikaingiwa na imani kwa kumuita “bibi!!! aka geuka kuni tizama nikaenda mbio kumfata binafsi nikaweza kuona kwenye paji lake la uso
mchozi ukimdondoka,
“bibi mbona unalia?” nili muuliza hivyo huku nikimfuta chozi kwa kiganja cha mkono wangu, kitendo cha kumuuliza ni kama nime fungulia bomba la vua
nikajisahau kabisa kama mkokoteni nime usimamisha balabalani
“bibi niambie kinacho kuliza ni kitu gani?”
nieleze bibi hakuwa tayari kuinua mdomo wake kuniambia kile ambacho kili mfanya alie
gafla nikasikia honi ikipigwa kwa fujo nikaja kutambua ni gari ikiomba njia nikaenda mbio kuutoa mkokoteni kabla sija ufikia zikashuka njemba mbili mmoja
wao mkononi kabeba chenzo,
kwanza nikastuka kwa kuya hofia maisha yangu nikarudi nyuma kwa hofu walicho kifanyia mkokoteni wangu dahaa nika baki kutumbua macho tu maana mmoja
wao kiunoni ana bastora,
nikajuwa bila shaka hawa si watu wazuri nika shuhudia jinsi chenzo ikikata mkokoteni wangu wa mbao si unaipata tair ta gari nazo wakazitoa upepo sijui nime
wakosea nini baada kuona mkokoteni uko nyang’anyang’a yule jamaa akatoa bastora kiunoni na kupiga risasi moja juu
kile kishindo cha mlio wa risasi kila mtu ali tawanyika eneo lile hata mimi nikakimbia na kukatiza vichochoro kazaa nikiwa nahema nikajikuta natokea njia sio
na kuingia uwani kwa watu,
kwanza nikashangaa uwani kukuta purukushani kati ya mwanamke na mwanaume sijui hata wanacho pigania siki fahamu zaidi ya kukuta timbwili tu
tmk kuna vituko usipime kwa watu wanao ishi pande hizo wana fahamu nini namaanisha maana
full ubabe kufumuana tu,
basi yule mwanamke akazidiwa nguvu kwa kukabwa roba yani mtoto wa kiume una suputu kumkaba mwanamke roba kama vile una pigana na kidume
mwenzako ikabidi yule binti aanze kupiga kelele za “jamani!!! nakufaa!!! nisaidieniii hapo kwa papo jamaa akachomoa kisu sijui ali kitoa wapi na kutaka
kumkita nacho yule binti tumboni ikabidi niutumie uwana mume wangu kwenda kuudaka ule mkono wa jamaa nikamsukutua ngumi ya shavu na kujikuta kisu
na yule binti aki viachia maana ali yumba vibaya sana kumbe nina ngumi nzito kidume basi zile kelele za yule binti zika wafanya watu wajazane eneo lile cha
ajabu sasa
amini usiamini kibao nikageuziwa mimi
na kuhisi labda mchezo tuna igiza tu kwakuwa mjumbe wa nyumba kumi alikuwa tayari kesha fika hata alipo uliza kuna nini?”
yule binti akadai mimi nilitaka kum baka ndio gafla akatokea mchumba wake na kumuokoa,
“khaa! wee binti una makengeza au kipofu wewe si ulikuwa una pigwa na huyu jamaa akakukaba roba na kutaka kukuuwa kwa kisu?”
nika jitolea kukusaidia afu eti unasema nili taka kukubaka nikataka kuondoka ila mwenyekiti akaamlisha vijana wani kamate sikuwa mmbishi nitabisha vipi
wakati ishatokea,
baazi ya kina mama wakasema “kijana ni handsome ila anaonekana hana kitu cha kumpa binti yeyote yule mpaka ana fikia hatua ya kutaka kubaka dahaa safari
ikawa moja kwa moja kupelekwa kituo cha police njia tuliyo pita yani kama bahati vile siku zote huwaga upande
wangu tukakutana na kina
Madebe wakiwa katika kukeshiana pesa baada kutoka kwenye mishe mishe zao baada kuniona nimefungwa kamba huku nikisukumizwa wakaja mbio eneo lile
“oyaa vipi mbona mme mfunga kamba dogo langu kama kuku mna mpeleka wapi?”
kuna jamaa akajibu kwa dharau
“una uliza hivyo wewe kama nani kwanza pisheni njia?”
kwa kitendo cha gafla bila kutegemea
Madebe akachomoa kisu na kumchana nacho yule jamaa kwenye mkono maana yeye ndie aliye nishika aka nikata kamba
na kumgeukia Mwenye kiti kwa kumwambia
“sasa sikia nikwambie wee mzee haya mambo yaishe hapa hapa hakuna cha mtu kabaka wala kakatwa oky,
kwa uwoga aliyo kuwa nao mwenye kiti akaitikia sawa!!!
akaniuliza “Salumu kaka wame kukamata kwa kosa lipi hasa?”
nikampa full story washikaji wakasikitika tu na kusema siku zote wanao kwenda jera sio wote wenye hatia,
Madebe akamwambia mwenyekiti hivi “sasa sikia wee mzee huyo binti si kasema ali taka kubakwa sasa leo ndio atabakwa Salumu upo tayari kubaka!!!
nika muitikia ndio niko tayari maana kale kabinti kamenitia hasira tu iwe kama Adhaakanoni tu pale amitha bachan alipo singiziwa kumuuwa amrish poor
akaenda jera
mpaka mkewe na mwanae wakafa siku ya siku anatoka jera katika pita pita zake akamkuta yupo kwenye mkutano sijui marehemu kafufuka au vipi si aka
Sehemu Ya 5
mkimbiza na kwenda kumuuwa mbele ya mahakama.
ndio mimi sasa huyu binti lazima nimbake
Embu niambie wewe kama ndio umetendewa kitendo kama hiki uta fanyaje maana kumsaidia umsaidie afu aseme eti uli taka kumbaka,
siku zote namfananisha ndugu yangu
Madebe na yule jamaa anae cheza muvi za kibabe akiwa kama teja hivi sijui nani nikimkumbuka nitamtaja
maana tabia za yule jamaa hazi tofautiani kabisa na
Madebe hata kitendo cha kumchana kisu huyu jamaa hakumtishia yeye aka mchana tu,
“sasa Salumu huyu si una mkumbuka kwa sura au?”
“sio sura tu hadi jina namfahamu,’
“anaitwa nani?”
“ni Rahma!!! “ahaa kumbe yule binti wa kipemba wa pale dukani au sio huyo?”
“ndio mwenyewe kaka,’
“oky kitoto white afu kina leta mambo sio sasa Salumu wewe uta mngojea ghetto mi nitamleta afu wewe mwenye kiti na hawa paka wako iwe kimya yeyote
atakaye jaribu kufungua mdomo
atabakwa yeye sawa, baada
Madebe kuchimba biti la maana tuka sepa “Salumu leo benzi yako umeipaki wapi?”
yani mkokoteni wangu washikaji hupenda kuuwita benzi nikamjibu Sheby maana yeye ndie aliye uliza swali lile kwa kumwambia
“mwanangu benzi ipo nyang’anyang’a leo,
“kivipi ipo hivyo nika wasimulia mwanzo mwisho kila mmoja akabaki kushika kichwa tu na kuniomba
niwa peleke eneo la tukio sikuwa na jinsi zaidi ya kwenda nao
temeke tuna ushilikiano basi kila mmoja aka beba kifaa cha mkokoteni tuki ziacha takataka pale
“nikwambie kitu
Salumu,’ “ndio niambie kaka Madebe,
“unajuwa wewe ni kama mdogo wangu wa damu kabisa sipendi uwonewe sipendi uumie ndio maana
mpaka time hii nahofia kuku jumuisha katika michongo yetu japo naishi na wewe huku niki fahamu nahatarisha maisha yako
nazunguka kila day kutafuta kazi kwa ajili yako nakosa kwa kifupi tu mimi ni jambazi muuza madawa ya kulevya nakaba nabaka yani kila aina ya unyama mimi
nisha ufanya, kwa yale maneno ya Madebe nikaogopa zaidi”…
Kauli ya madebe kuniambia kuwa yeye ni jambazi muuza madawa ya kulevya na ubakaji ili nifanya nishituke sana. Na kuanza kutetemeka kwa uwoga.
Akaniambia
“Salumu mdogo wangu huna haja ya kuniogopa, kumbuka mimi ndio mtetezi wako. Ngojea nikupe story moja hivi alafu wewe mwenyewe utanipa jibu kwa nini
nimekuwa hivi.
Kipindi natoka kule kijijini kuja town kusaka maisha nilipitia njia nyingi sana za hatari mpaka kufikia hatua ya kuhatarisha maisha yangu niliweza kufikia kwa
jamaa yangu anae kwenda kwa jina la Santos nikawa naishi nyumbani kwake kwa muda tu huku nikisaka michongo ya hapa na pale basi siku moja nikasikia kuna
kazi maeneo flani hivi kwa mchina kwakuwa sikuwa na ishu yeyote nikajihimu asubuhi na mapema. Kwenda kujalibu bahati yangu.nitapatapata hiyo kazi au
vipi”.nilipofika nikakuta vijana kwa wazee yani hadi wanawake wapo tukawa tukingojea geti lifunguliwe ili tuingie ndani
basi muda ulipo fika geti lika funguliwa kila mmoja akaingia kwa sie wageni ikabidi tuchaguliwe kuingia kwa bahati nzuri nikawa ni mmoja kati ya walio
chaguliwa kuingia kufanya kazi haikuwa kazi kama kazi zaidi ya kufungua vifuniko vya chupa za maji uhai na kutoa zile nembo zake na kujaza kwenye viroba
kisha kwenda kusagwa kwenye mashine iliyoko humo japo yule mchina alikuwa ana tutukana kwa kiswahili chake kibovu pindi anapo kuona unavuta pumzi au
kunyar
baada hapo tuka hamia kwenye madumu vidumu na ndoo yani takataka za kila aina yani mikojo mavi vyote tunakutana navyo alafu hakuna vitendea kazi kama
groups au viziba pua hakuna basi tukafanya kazi katika mazingira hatarishi ilipo fika time ya kula sikuweza kuamini huo msosi ulivyo pikwa na kuwekwa
kwenye beseni mboga si mboga ipo kwenye kopo binafsi nili shindwa kula
jioni ilipo fika kila mmoja akalipwa kiasi chake cha pesa yani shilling 4000 tu basi siku zikazidi kusonga huku manyanyaso yakiongezeka kule kazini yani huyu
mchina akajiona kama vile yuko nchini kwao anapo jisikia tamaa za kimwili basi atamwita binti yeyote yule kwenye mjumba wake na kumaliza haja zake siwezi
kusahau hii japo ilikuwa ajali kazini lakini ni unyama wa kiasi gani
tukiwa katika mashine ile ya kusaga yale makopo una yaingiza hivi kama kwenye pipa afu una yashindilia kwa kutumia madumu sasa kuna jamaa mmoja hivi ana
itwa Hamisi aka yashika yale madumu na kukandamizia basi ghafla, madumu yakavutwa na upepo wa mashine na kujikuta ana sagwa mikono yake ingekuwa sio
kumvuta sisi angeenda kusagwa mzima mzima akatoka akiwa kibubutu hana tena viganja vya mikono damu zika mwagika maeneo yale tukajitolea kumpa
huduma ya kwanza ili kuzuia damu kuvuja zaidi maana alijikuta anapoteza fahamu kabisa tukapaza sauti kumwita mchina kwa kumfahamisha kuna tatizo huku
dahaa hata hakujali ndio kwaanza yupo ndani ana jilia raha na binti aliye mwita siku hiyo. Ikabidi tujitolee kumuwaisha hospitali mwenzetu
ndugu zake wakafika sisi kurudi kazini tukamkuta mchina anafoka mbaya kwa kuichafua mashine yake kwa damu akaamrisha isa fishwe haraka sana
Salumu kusema kweli ndugu yangu nikaingiwa na hasira sana na kujiuliza huyu ni binaadamu au mnyama hata mnyama hawi na roho kama hii yani baada
kufikilia jinsi gani mfanyakazi wake kapatwa na tatizo yeye anachojali ni mashine yake tu basi ndugu zake Hamisi wakafika na kuja kuzungumza na yule mchina
akawatoa nduki na kuwatishia kuwapiga na bastora.
Mama yake Hamisi akaondoka akiwa analia waende kushitaki wapi wakati watu wenye ngozi nyeupe wana kumbatiwa hapa nchini kwetu hali yakuwa kwenye
nchi zao tunaonekana kama manyani ile hali ika ninyong’onyesha sana,
Nakumbuka siku moja tukiwa tuna piga kazi nikasikia naitwa na yule mchina yani gaidi sana huyu basi nikaenda akanishika mkono hadi chooni nikajiuliza
anaenda kunibaka au”…. baada kufika kule nikaweza kuona choo kimejaa mavi mpaka juu ya sinki si akaniambia toa hii nnya shimba simo paye fukiya japo
kiswahili chake kibovu nika muelewa basi nikaomba dhana cha ajabu akaninasa kofi na kusema “fanya hivyo hivyo, kama nataka kazi fanya kama taki kazi nnje
dahaa nikajishika shavuni kwa maumivu wa lile kofi siku zote katika maisha yangu hakuna kitu nisicho kipenda kama kuonewa nilicho kifanya ni kumvamia
tukajikuta tunaenda chini puhu nikawa nampa masumbwi pale chini huku aki jitahidi kujiondoa wapi kumbe sio kila mchina mcheza karate au shaollin huyu
alikuwa mdebwedo tu akaanza kupiga kelele kuomba msaada jameniiiiiiiiii
i,,,,,nisaidieeeeeee,,,,kama haitoshi nikaenda kumkandamiza kichwa chake kwenye sink hasira nilizo kuwa nazo siku hiyo ni kutamani kuuwa tu hasa
nikimkumbuka Hamisi japo Mungu ana samehe ila sio kwa mnyama kama huyu
kila aliye fika wakanisihi nimuache kumbe videmu vyake vishapiga cm police nikajikuta nakamatwa na kuvishwa pingu huku mchina akiwa hatamaniki usoni
basi nikapelekwa moja kwa moja ukonga.
Ni kitu ambacho kilinishangaza sana maana nijuavyo mimi mtu akikamatwa unapelekwa kituoni baadae mahakamani mwisho una hukumiwa kwenda jela au
kuachiwa huru ama kutozwa faini cha ajabu mimi moja kwa moja naenda kuswekwa gereza la ukonga nikawa mmoja kati ya wafungwa binafsi niliteswa usiku
na mchana kwa kupigwa na kufungiwa kwenye shoti ya umeme huku nikimwagiwa maji ya baridi nikaichukia dunia na binaadamu kwa ujumla nili nusulika
kubakwa zaidi ya mara tatu kidume nika pambana nikaanza kujifunza kuvuta bange kama ujuavyo uwapo jela hutakiwi kuwa lele mama ikabidi nifanye mpango
wa kusa vaivu ni kujiunga na wababe nikasota jela takriban miaka minne pesa ya mchina iliongea tu sikuweza kumuona jamaa yangu Santos akija kuniangalia
hata siku moja nikabaki kujiuliza maswali pasipo kupata majibu yeyote huku nikishuhudia baadhi ya wafungwa wenzangu wakija kuangaliwa na jamaa zao ila
nikapiga moyo konde mpaka siku niliyo achiwa miaka minne ni umri wa mtoto kusoma chekechea
basi nikarudi nyumbani kwa jamaa yangu,
cha ajabu nilipo fika maeneo yale nikamkuta binti mrembo hivi ana pika msosi basi nikamtolea salamu.
“za saa hizi dada yangu kabla ya kuitikia akanicheki juu chini alafu aka ninyari na kutema mate chini “pohoo ehee nikusaidie nini?” nikamjibu ya kwamba nina
shida na Santos,
“Santos huyu huyu mume wangu mimi au mwingine?”
“huyo huyo mumeo, basi akaita “wee!!! baba Michael kwanza nilitabasamu kusikia Santos anaitwa baba Michael kumbe jamaa yangu kashakuwa kidume cha
mbegu sio pazia ya mlango ika funuliwa na kutokeza pande la mtu nikaenda mbio kumkumbatia cha ajabu nilipo mfikia tu akanisukumiza na kujikuta nikienda
chini puhu na kuanza kumfokea yule binti
“yani wewe mwanamke ushaanza kuwa chizi sio yani kwa akili zako timamu kabisa unaniita nije kumuona huyu kichaa jizi muuwaji mkubwa huyu, kwanza
Sehemu Ya 6
nikashindwa kuamini haya maneno yana toka kinywani mwa Santos au ghafla yule binti akapaza sauti kwa kupiga kelele za mwizi huku akiwa ana nishambulia
kwa mwiko nikamuwasha ngumi nahisi hata Santos ana nifahamu mimi ni mziki mnene japo kuwa yeye mbavu ila namkalisha tu ndani ya dakika kama tano
nikawa nipo chini huku nikipigwa na zana ya kila aina eti mimi mwizi dahaa nikavishwa pira ili nitiwe moto damu zikinivuja kila mahali nikaweza shuhudia
Santos ndio kaleta dumu la mafuta lakini kabla hawaja fanya hivyo police wakafika vinginevyo ningekuwa leo hii nipo kwa Mungu baba,
nikapelekwa tena jera ila sio ukonga hii ilikuwa segerea nikasota huko miezi sita nikaja kutoka nikawa sina pa kwenda zaidi ya kusaka nauli niweze kurudi
nyumbani kwetu kijijini ili niwaambie vijana wenzangu mjini si kuzuri kabisa nikasota sana kitaa huku nikihishia kushinda vijiweni na washikaji mpaka siku
jamaa mmoja alipo nipeleka kwa mama mmoja hivi maeneo ya masaki yule mama aliweza kuniambia maneno haya
“karibu kijana unavyo onekana tu macho yako unaichukia dunia ila tambua dunia sio mbaya ila walimwengu ndio wabaya hawana utu yani tunaishi kama
wanyama hakuna roho za huruma kabisa sasa basi natokea kukuamini sana shika hii!!!
nika stuka baada kukabiziwa bastora maana katika maisha yangu sikuwai kuwaza wala kufikilia kuja kuishika hii huku mikono iki nitetemeka nikaipokea kumbe
nzito kidogo dahaa basi nikalishwa sumu yani chachu ya kutokuwa na huruma na yeyote yule huku nikipewa mafunzo ya kuitumia siraha ile na matumizi ya
jambia maana ndani ya mjengo ule kuna mayakuza siku ya siku nikawa fiti wa kwanza kumuuwa tena kwa mkono wangu ni yule mchina Salumu kuna mengi
yame tokea mengine yame kuwa siri tu”…..
baada Madebe kunipa history yake yenye kusikitisha na kuhuzunisha huku machozi yakitutoka nikajikuta nakumbatiana na kumwambia “pole sana kaka kwa
yaliyokukuta siwezi kukulaumu kwa chochote kile binafsi mi nipo pamoja nawe”…. mwisho
Madebe akainuka na kusema ni muda wa kwenda kumleta yule binti nikataka kumwambia hapana asifanye hivyo nikawa nishachelewa maana alishatoweka mule
ndani
nikapata jibu ya kwamba sio kila jambazi ana penda kufanya kazi hii wengine inawabidi utakuta mgambo anapiga piga masufulia ya mama ntilie au kunyang’anya
bidhaa za wamachinga unadhani nini kitatokea hapo kama sio kumfanya awe kibaka mwizi kuna siku kwa macho yangu nili shuhudia mgambo wakiziponda
ponda nyanya za kijana mmoja kisa tu kapanga sehemu sio wakampiga sana marungu ya ugoko leo hii kijana kawa omba omba tu pale ubungo why?”
mnakuwa na roho za kinyama namna hii fanyeni mfanyavyo ila mkumbuke wote tutakwenda kuhisabiwa siku ya siku nikiwa katika rindi la mawazo nikasikia
sauti ya binti akisema “niachee!!! bwana nitaenda mwenyewe mlango uka funguliwa akaingia Madebe akiwa kamshika mkono yule binti akaniuliza “vipi kaka
ndio huyu au nimekosea number?”
nikamjibu huku nikitikisa kichwa ndio huyo huyo,
“oky sasa sikia wee binti mpe mambo yawe mambo dogo langu vinginevyo tutaonana wabaya ujuwe”
baada kusema vile commando Madebe akatoka nikabaki mimi na Rahma tu
tukabaki kutizamana kwa mwendo wa kinyonga Rahma akawa anakuja pale nilipo kuwa nime kaa huku akiishusha sketi yake na brauzi yake jamanii
Tuliishia pale
Madebe alipo mleta binti yule wa kipemba ghetto kisha akamchimba biti
Madebe akasepa zake basi Rahma kwa mwendo wa kinyonga akanisogerea huku akiwa anaishusha sketi yake
nikabaki kuduwaa tu kwa kutoa macho kama mjusi aliye banwa na mlango maana toto ngozi nyeupee kama vile nimemuona kareena kapoor wakati huo ice
cream yangu isha tutumuka kwa hasira
Rahma baada kunifikia akanishika kichwa changu na kunipa
ishara ya kwamba nizinyonye
chuchu zake akakisogeza kifua chake karibu na uso wangu kusema kweli
nilikuwa kama mtoto ninae fundishwa mapenzi
Rahma alikuwa mtundu haswa unajuwa mpaka time hiyo nikawa
sitaki nataka”… mmmmm,,,,oooooohg,,, nikagugumia kwa raha baada
Rahma kuitoa ice cream yangu mafichoni na kuanza kuinyonya kiustadi jamanii kumbe wenye pesa mnafaidi mzoa takataka mie
leo napewa vitu adimu. Nikajikuta
nipo sayari nyingine kabisa
ikawa sio penzi la
kulazimisha tena zaidi ya kuliziana ahaaaaaaa,,,,mmmmmm,,,,salumuu
uuuu,,,,babiiiiiiiii,,,,ni sauti aliyo itoa Rahma baada kuingiza ice cream yangu kwenye friji lake lenye joto joto la wastani hivi nikawa nagusisha kwa
kuizungusha kila maeneo huku
nikikwangua vitu flani hivi,
ohoooo,,,,assssssss,,,,ahaaaaa
a,,,,nikuneeeeeee,,,mamaaaaaaa
a,,,,uwiiiiiiiiiiii,,,, yani nikawa nasugua kwa kasi mpaka friji likamwaga uteute flani hivi huku ice cream ikiendelea kuchochea moto kasi. Nikazidi kumbadilisha
mikao ya kila aina mpaka ice cream yangu ikamwaga ute na kunywea basi
Rahma akaniambia.
“thank you baby”
nikatabasamu yani mapenzi bwana
si aliniita mwizi mie sasa hivi ananiita baby
basi akaendelea kusema
“Salumu binafsi naomba unisamehe kwa kile nilicho kufanyia leo mchana!”
nikamwambia haina shida,
siku hiyo ikapita pasipo kumuona
Madebe akirudi nyumbani nikajuwa labda atakuwa kwa washikaji zake tu
nikastuka zaidi baada kutimia siku tatu
Madebe haonekani hata maskani.
Nikajiuliza maswali
mengi sana hivi atakuwa wapi huyu?
kila ninaye muuliza kuhusu kumuona
Madebe jibu likawa sijamtia machoni siku ya tatu leo
washkaji wakaingiwa na hofu labda kitu kibaya kime mpata jamaa yetu,
“Salumu baby mbona unaonekana huna raha vipi unaumwa au?” lilikuwa swali kutoka kwa mpenzi wangu
Rahma baada kunikuta nipo kibarazani nimekaa huku nimeshika tama
sikuweza kumjibu kitu
akanishika kidevuni na kuinua sura yangu nimtizame yeye
“baby si nakuuliza mbona upo kimya sana?”
nikamjibu ya kwamba “kusema kweli mpenzi wangu mwenzako sina raha kabisa!
“kwa nini hukose raha baby wakati
mie nipo?”
“unajuwa nini baby unakumbuka mara ya mwisho uliletwa mule chumbani na
Madebe kwa nia ya nikubake sasa tokea siku ile
Madebe hajarudi nyumbani
na haijulikani yuko wapi mpaka leo hii kwa kifupi nachanganyikiwa,
“najuwa kinacho kuchanganya baby ni
kuhusu swala la pesa ya matumizi
ila usijali baby kila kitu nitakupatia mpenzi wangu!!!
kwa kauli ile aliyo itoa
Rahma ikanifanya nimkumbatie kwa nguvu na kumnyonya denda
yani ni kweli nilikuwa na hofu ya kufa njaa maana
Madebe ndio tegemeo langu kuhusu kila kitu tokea mkokoteni wangu
ukatwe katwe na wale majambaika
mpaka sasa sina ishu ya kufanya
ukizingatia pesa ya akiba nishaimaliza yote
basi siku zikazidi kusonga hatimae
miezi miwili ikatimia pasipo
Madebe kujulikana yuko wapi?”
kama hospital zote tulizunguka hapa jijini vituo vya police tukaenda
pasipo kuuwona hata unyayo wake
nililia sana huku washikaji wakinifariji
“Salumu kaka huu si mda wa wewe kulia unaweza ukawa unamchulia tu
cha umuhimu tu kesho uingie mzigoni usake chapaa
na Benz lako, yalikuwa maneno kutoka kwa Sheby mmoja kati ya marafiki kipenzi wa
Madebe, nikamuuliza “benz gani unayo izungumzia wewe?”
“si ule mkokoteni wako ulio katwa katwa siku ilee ukiwa kama ndugu yetu tumeamua kujichanga na kununua vifaa na kumpa fundi autengeneze jana tu
umekamilika,
binafsi sikuamini ile kauli ya
Sheby nikamuuliza uko wapi?”
akatabasamu na kusema “twenzetu ukauone,
tukaongozana mpaka nyumbani kwao
dahaa nikatoka mbio kwendaa kuushika mkokoteni huku nisiamini kwa kile nikionacho basi
nikaukokota mpaka maskani na kuwapa shukrani zangu za dhati washikaji
ila cm ya Mudy ikawa inaita akaitoa na kunipa mie huku akisema “Salumu ongea na mtu wako huyu maana ananisumbua kishezi yani!!!
nikaiweka cm sikioni na kusema hallo!!!
sauti ya upande wa pili haikuwa ngeni masikioni mwangu japo alikuwa analia,
nikajikuta nauliza kwa jazba
“Mwanaidi nini kinakuliza?”
kabla ya kujibiwa chochote kile cm ikakatwa nikaishia kusema hallo!!!hallo!!!
Mudy akaniambia “labda kaishiwa salio kama vipi mpigie tu basi nikaipiga ile number majibu ninayo pata cm ya mteja unaye mpigia haipatikani sikuwa na jinsi
zaidi ya kutoka mbio kwenda nyumbani kwao
mmh! jamani nikamkuta kibibi sijui nani maana amekondeana vibaya sana
nikamuamkia huku nikimuulizia Mwanaidi kama nimemkuta
kiuvivu akanitizama huku mchozi ukimdondoka nikastuka baada kutambua kumbe yule ndio
Mwanaidi nikarudi nyuma
kutaka kukimbia maana sikuamini nikaenda kumshika huku nikianza kulia na kuita “Mwanaidi!!!
kwa sauti iliyo ambatana na kikohozi mpaka kutema damu akasema haya
“Salumu!!!…salumuuu,,,
“naamu kipenzi changu!
“binafsi mi nakufa naomba unisamehe kwa mabaya yote niliyo kutendea nakufa kifo cha mateso sana laiti kama ningesikiliza ushauli alio nipa
Madebe wa kuwa nawe daima kwenye shida na raha leo hii nisinge teseka na gonjwa hili hatali nakufa mie juu ya ukaidi wangu wa kuitaji vitu vizuri maisha ya
kifahali, “hapana usiseme hivyo baby haufi mi nipo nitakusaidia
Sehemu Ya 7
“Salumu usilie swala la kunisaidia mie ushachelewa nakufaa!!!
baada Mwanaidi kutamka vile akaanza kutapa tapa mwisho akatulia kimyaa
nikabaki kumtikisa huku nikimwita
kwa nguvu “Mwanaidiiiiiiiiiii….
mama yake huku nae akiwa analia akaja mbio akiwa na majilani vilio vikaongezeka basi tukaenda kumzika kipenzi changu aliye niingiza kwenye ulimwengu wa
mapenzi
yani kama bikra tulitoana wote tukamuombea alazwe mahala pema peponi katika makaburi ya keko mwanga
ndio tulipo mlaza baada kutimia kama wiki moja hivi kidume nipo mzigoni na Benz langu jipya nazoa takataka
nikiwa sina hili wala lile gafla bin vuu nikajikuta nalowana mwili mzima baada gari moja hivi kupita kwa kasi eneo lile kulikuwa na dimbwi la maji machafu ya
vua yaliyo chanyika na yachooni dereva hakuwa muungwana hata kidogo nilizani atasimamisha gari kuniomba samahani lakini hakufanya hivyo
baazi ya watu wakakilaani kitendo
kile nikatoka
na mkokoteni
wangu kwa ajili ya kusonga
mbele zaidi siku hiyo nilipiga
kazi yani najaza rumbesa nikienda
dampo nazimwaga kisha nakuja kujaza tena ilikuwa siku ya neema kwa sababu wazoa takataka manispaa ya temeke wameweka mgomo kisa mshahara mdogo
mie nalipwa na yule nitakaye beba takataka zake iwe mia tano au zaidi basi nashukuru tu nikajisemea waweke mgomo daima kwa hali hii sitokufa njaa kamwe
nikiwa bado katika kuchakalika si nikamuona yule boya
aliye kuwa anatembea na marehemu
Mwanaidi akiwa kaongozana na kisichana flani hivi kikiwa ndani ya sale za shule kwa jinsi walivyo shikana bila shaka ni wapenzi nikasikitika sana ila nikaitaji
kwenda kumuokoa
yule binti ila nikajiuliza inawezekana washafanya ngono si zaidi ya mara moja hata nikienda kumtonya nitakuwa nishachelewa
basi nikapiga moyo konde itakavyo kuwa wacha iwe “oyaa mangi babu,
“yeah niambie mzoa takataka,
“naomba uniangalizie mkokoteni wangu huu kuna sehemu naenda mara moja, “poa hamna shida,
basi nikatoka zangu kuwafatilia nyuma nyuma mpaka nikawaona kwenye kichochoro kimoja wapo hivi wamesimama yule binti akatoa kanga kwenye begi lake
na kujitanda yani aonekane kama mmama flani hivi ila nikawafata pale pale yule jamaa baada kuniona akastuka ila alijikaza tu nikamuuliza “hivi wewe ni zaidi
ya gaidi ehee!!! mpaka sasa ushauwa wangapi umeambukiza wangapi yani
mpaka kabinti haka kadogo unataka
kwenda kukauwa duhuu”……
“wee boya tu sema shida yako usepe kama takataka hapa hakuna, ndivyo alivyo nijibu yule jamaa si akanyanyua mkono wake kunipiga kofi kwa kitendo cha
haraka nikamdaka na kuubamiza ule mkono ukutani akapiga yowe la uchungu tu nikamgeukia yule binti na kumwambia “mapenzi….na….shule haviendaniiii
ukiwa shuleni!! tulia darasani…embu msikilize mwalimu anafundisha nini kuwa makini ukitoka shuleni usipite vichochoroni nenda moja kwa moja mpaka
nyumbaniii
wakati namwambia hivyo binti yule mchozi ukamtoka baada kugundua kumbe basha wake ni muasilika kwa sauti ya kilio akaniambia “sijui nikushukuru vipi
kaka yangu kwa kuniokoa na janga hili maana ndio nilikuwa naenda nae guest
ndio maana nilipo mwambia anunue condom alikataa kwa kisingizio utamu wa pipi ule bila ganda,
nikamwambia binti
“siku zote tamaa ni hatal!!! kwa kupenda vitu vizuliii ndio maana mnafer
sikutaka kuongea sana nikaseba kuwai Benz langu mie kama msaada
nishatoa,!
Binafsi nilijisikia faraja sana kwa kuweza kumuokoa yule binti katika mdomo wa mamba. Nikarudi moja kwa moja nilipoupaki mkokoteni wangu.
“oyaa mangi mi ndio nawasha mchuma huu!!! ni maneno niliyo mwambia mangi baada kufika pale
dukani kwake, nae akanijibu kwa kusema
“sawa kaka hamna shida!”
basi nikau sukumiza mkokoteni wangu mpaka ninapo ishi
lakini hofu ikanishika ghafla baada kumuona mzee mmoja hivi akifoka kwa maneno ya ajabu ajabu.
“habari za kusema kesho au mwakani sitaki ninacho taka ni pesa yangu tu pumbavu zenu hii nyumba sio ya baba zenu!!! hakuna cha bure hapa”….
Nikawa natetemeka huku nikijiuliza iwapo mkataba wa Madebe ukiwa umeisha itakuwaje na ndani
nina shillingi elfu kumi na tano tu!
basi nikampita bila kumpa salamu maana nilimuhofia nikiwa najiandaa kufungua mlango ghafla nikaguswa begani kwa kupigwa pigwa.
“wee kijana!!!
alikuwa yule mzee huku macho yakiwa mekundu akanikazia na kuniulia “hivi ulivyo pita pale uliona gogo au?”
nikashindwa cha kumjibu akaniuliza tena kwa sauti ya ukali zaidi
“nakuuliza wewe ulivyo pita pale uliniona gogo au jiwe!!!
huku nikibabaika nikamjibu.
“nisamehe mzee wangu unajuwa tena muda mwingine kazi zetu hizi zinatupa mawazo chungu nzima”
Akaniambia
“haya tuyaache hayo hiki chumba mpaka sasa kina miezi sita hakijalipiwa kodi kwa hiyo ninacho taka ni pesa yangu lasivyo uhame!!!
nikamjibu “kwa leo mzee wangu sina kitu nivumilie mpaka wiki ijayo nitakupatia pesa yako,
Akawaka kwa hasira
“wee!!! kijana yani nimetoka kijijini huko kibada kuja hapa kufata pesa yangu alafu nirudi mikono mitupu hapa nilipo sina hata sentano ya nauli. Nitarudi kwa
miguu au utanipakiza kwenye mkokoteni wako?”
nikamjibu “kuhusu nauli nitakupa baba!
“haya nipe hiyo nauli ukumbuke na ya soda njiani maana kibada nimbali basi nikaingia chumbani na kutoka na ile pesa shilling…elfu kumi na tano
nikampa ila nikashangaa alivyo zipokea haraka na kuondoka zake ila sikutaka kujali sana zaidi ya kuingia zangu ndani nifanye mambo mengine
zikiwa zimepita siku kama mbili hivi
siku hiyo nikiwa nafua nguo zangu mwenyewe nikastushwa na sauti ya makelele “yeyooo!!!
kucheki ni Madebe akiwa na mabegi yani kwa jinsi alivyo kuwa kama vile katoka America basi nikaenda mbio kumpokea tuka kumbatiana kwa furaha nikabeba
mabegi na
kuingia nayo ndani “vipi kaka mbona ulinikimbia?”
“hapana ndugu sijakukimbia ila kuna zali lilitokea ghafla. Yani hata muda wa kuja kukutonya haukuwepo basi nikakwea pipa na kwenda kwa madibaa!!!
“kwa madiba, ndio wapi kaka?”
“kumbe kwa madiba hupajui ndugu?”
“ndio sipajui ila nasikia sikia tu vijana wakipataja,
“ni South africa hiyo!
“ahaa kumbe South,
nafikaga ndotoni tu, “ha!ha!ha! unafikaga ndotoni tena ila usijali utafika live yani itakuwa sio ndoto tena vipi yule binti wa siku ilee ulitusua au akazingua?”
“mimi tena nilitusua mpaka mtoto akazimika mwenyewe kila day anakuja ning’ate kitumbua, “ha!ha!ha! wee noma kwa hiyo siku ile sikupata dhambi?”
“dhambi za nini tena
Madebe?”
“si nilivyo enda kumkamata kinguvu yule demu nikamtishia kukikata kitumbua chake nikinyofoe chote iwapo tu atakataa kulala na wewe,
“duhuu kumbe ulimtisha hivyo ila usikonde kaka wewe mwenyewe utamuona akija hapa na kutupikia msosi, basi
Madebe akacheeka na kusema
“basi kama hivyo itabidi hili ghetto nikuachie wewe afu mimi nichukuwe chumba cha pale karibu na chooni,
“ehee ume nikumbusha kitu kaka!!!
“kitu gani hiko tena?”
“juzi kati kuna mzee flani kaja hapa akaanza kufoka mbaya akitaka pesa ya kodi bila shaka atakuwa baba mwenye nyumba tu!
Madebe akaniuliza “yukoje huyo mzee?”
nikamuelezea jinsi alivyo akasema
“ahaa yule boya sio nyoko zake yani kitendo cha kumwambia niko South tu kaja hapa kudai kodi ya nyumba sio
vipi wewe hajakusumbua?”
“wee asinisumbue tena mchezo kaniwakia mbaya kama sina pesa nihame kwakuwa ndani nilikuwa nina pesa kidogo nikamtoa ndio akasepa,
“duhuu ulimpa pesa shilling ngapi?”
“nilimpa elfu kumi na tano tu baada kusema vile
Madebe akacheka sana na kusema
“kudadeki yule mzee mwanga sana ila
Salumu kaka nisamehe mie kwa kutokwambia mapema hata ningetokea kufa ghafla sijui ingekuwaje
binafsi hii nyumba ni yangu na washkaji wote kitaa wana fahamu hilo ila some time sipendi kujionyesha tu
kuhusu nilipo zipata pesa mpaka nikanunua nyumba hii ni hizi hizi kazi zetu namiliki hadi daladala kama tatu hivi maduka ya nguo ninayo mawili huko k/koo.
Kusema kweli napiga pesa sana”…..
INAENDELEA

