DHAMBI
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
SEHEMU YA 9
Hadi kuna pambazuka Tomas hakuweza kupata usingizi. Habari ya kutafutwa kwake hakika ina mpa mashaka na wasiwasi mkubwa sana. Tomas akaamka kitandani kwake na kuelekea sebleni, akawasha luninga na kuanza kufwatilia kila kinacho endelea juu ya kutafutwa kwake.
Steve aka kurupuka kitandani kwake huku akiwa amejawa na mawazo ya uwepo wa rafiki yake ndani kwake. Akaingia kwenye mtandao wa Instergram na kuona ofa ya milioni kumi iliyo tolewa na askari. Akakaa kitako kitandani huku akiwa ana waza ni kitu gani ambacho ana weza kukifanya.
‘Milioni kumi ni nyingi sana kwa hali ya sasa lazima niipate.’
Steve alizungumza huku akiitafuta namba ya simu ya afande Mweta. Akamtumia meseji afande huyo na kumueleza kwamba mtuhumiwa wanaye mtafuta yupo nyumbani kwake. Steve alipo hakikisha kwamba meseji hiyo imemfikia mlengwa, akatoka chumbani kwake na kumkuta Tomas akiwa amekaa sebleni.
“Kaka umesha amka?”
Steve alimuuliza Tomas aliye kaa kimashaka sebleni hapo.
“Yaa kaka”
Steve akatupia macho yake kwenye luninga na kuona picha ya Tomas pamoja na dau la pesa lililo tangazwa na jeshi la polisi.
“Kaka hivi ni kosa gani kubwa ulilo lifanya hadi kutafutwa hadi kwa kuwekewa dau la milioni kumi?”
“Yaani kosa ni kama lile nililo kuaambia la kumteka nabii Sanga na mbaya zaidi wazo alilitoa mume wake”
“Sawa kaka, hapa hakuna muda wa kujutia. Nina mpango ambao nina imani kwamba uta kusaidia kutoka nje ya jiji la Dar es Salaama na Tanzanai kwa ujumla.”
Steve alizungumza kwa lengo la kuzidi kumpotezea Tomas muda huku akisubiria majibu kutoka kwa afande Mweta aliye mtumia ujumbe mfupi wa meseji.
“Mpango gani?”
“Hatuwezi kutumia airport. Inabidi tutumie usafiri wa malaori ambayo yana kwenda nchini Afrika kusini”
“Ndugu yangu kwa kutumia malori si itakuwa ni rahisi sana kukamatwa?”
“Hapana hapa tuta taufuta lori la mizigo ambalo moja kwa moja uta ingia ndani ya mizigo husika na nina imani una weza kufika salama nje ya Tanzania na huko mbeleni uta endelea na safari yako kama kawaida ndugu yangu”
Mlio wa simu ya Steve uka wafanya watazamane. Steve akaitazama namba hiyo ya afande Mweta ambaye ali mtaarifu juu ya uwepo wa Tomas hapo yumbani kwake. Kitita cha milioni kumi hakika kime mtamanisha sana Steve na kujikuta akivunja uaminifu wa urafiki wake na Tomas. Steve akaingia chumbani kwake na kuipokea simu hiyo.
“Ndio”
“Una uhakika huyo mtu yupo nyumbani kwako?”
“Ndio yupo hakikisheni kwamba muna wahi na muta…….”
Steve akajikuta akihamaki mara baada ya kumuona Tomas akiwa ameingia ndani humo pasipo hata kubisha hodi. Sura ya Tomas imejaa mikunjo itokanayo na hasira kwani kauli zote za Steve zina ashiria kwamba Steve ana wasiliana na askari.
“Jamaa una zungumza na nani?”
Tomas aliuliza huku akiwa amefura kwa hasira. Steve kwa kubabaika, akajikuta akiponyokwa na simu hiyo na ikaanguka chini na kumfanya Tomas aweze kuona namba iliyo andikwa jina la Afande Mweta na bado ipo hewani.
“Ndugu yangu huu ndio mpango ulio kuwa una nishirikisha pale sebleni eheee…..?”
Tomas alizungumza huku akiendelea kumsogelea Steve aliye anza kurudi nyuma kwa kuogopa. Tomas kwa hasira akamvamia Steve na kumuangusha chini. Akaanza kumshindilia mangumi huku akiendelea kumlaumu ni kwa nini ana wasiliana na askari na ana vunja uaminifu wake. Katika kurupushani hizo za kupigana kwa bahati mbaya kichwa cha Steve kika gonga kwenye pembe ya kitanda ambayo ime chongoka na kusababisha eneo la nyuma la kichwa chake kutoboka na damu nyingi zikaanza kutoka.
“Tomas mwanangu una…..nii….u….a”
Steve alizungumza kwa shida huku akimuona malaika mtoa roho akija kwa kasi sana. Tomas akajikuta akisimama huku mikono yake ikiwa imejaa damu nyingi mikononi mwake. Woga ukaanza kumtawala, mwili mzima ukaanza kumtetemeka mithili ya mtoto anaye fokewa na mama wa kambo. Damu inayo endelea kusambaa hapo nchini, ikazidi kumuogopesha.
‘Ehee Mungu nimeua’
Tomas alizungumza huku asijue ni nini ana fanya. Akakurupuka na kutoka ndani humo. Moja kwa moja akaelekea chumbani kwake na kuchukua begi lake la nguo. Akalivaa na kurudi sebleni, mikono yake yenye damu, ikamfanya aanze kuangaza angaza kila sehemu. Akachukua kitambaa kilicho tandikia moja ya sofa, akaanza kujifuta mikono yake hiyo, ila kitambaa hicho hakikuweza kumaliza damu hizo. Akaingia kwa haraka bafuni na kunawa mikono yake kisha akatoka nje kabisa ya nyumba hiyo. Akatazama mtaa huo ambao tayari umesha anza pirika pirika za watu. Akaanza kutembea katika mtaa huo huku akitoa kofia yake kwenye begi lake la mgoni. Akaivaa kofia hiyo aliyo ishusha kidogo nusu ya uso wake na kuifanya sura yake isiweze kuonekana vizuri na watu.
Afande Mweta, kwa haraka akatoa taarifa kwa RPC Karata na kumueleza kuna simu ime pigwa na msamaria mwema akitoa taarifa juu ya kumuona Tomas. RPC Karata kwa haraka akagiza vijana wake kwenda katika mtaa ambao afande Mweta aliutaja. Wakafika nyumbani kwa Steve na kukuta mlango ukiwa umerudishiwa.
“Afande Mweta ndio hapa?”
RCO aliye ambatana nao aliuliza mara baada ya kushuka kwenye gari lao.
“Ndio hapa kabisa na huyu aliye piga simu ni rafiki yangu”
“Zungukeni nyumba na hakikisheni kwamba jambazi hatoki ndani humo. Askari kadhaa wakaizunguka nyumba ya Steve huku wengine wakiingia ndani. Wakakutana na kitambaa chenye damu kikiwa kime tupwa chini, kila askari aliye kiona kitambaa hicho, akaishika bunduki yake vizuri kuhakikisha kwamba ana kuwa makini kwa kila kitu kitakacho tokea ndani humo. Askari wawili wakaingia katika chumba cha Steve, wakastushwa sana mara baada ya kumuona Steve akiwa amelala chini na tayari amaesha fariki dunia.
“Mkuu kuna maiti huku chumbani”
Askari mmoja alitoa taarifa na kumfanya RCO na askari wengine kuingia ndani ya chumba hicho. Afande Mweta akajikuta akifumba macho mara baada ya kumshuhudia rafiki yake aliye toka kuzungumza naye muda mcheche ulio pita akiwa amefariki.
“Mkuu tumetafuta nyumba nzima na hatujaona mtu yoyote”
Mmmoja wa askari alimuambia RCO.
“Atakuwa hajafika mbali hakikisheni kwamba muna mtafuta kila kila sehemu na huyu mshenzi lazima ata patikana.”
RCO alizungumza kwa uchungu sana. Kwa kutumia simu yake ya upepeo akawasiliana na RPC pamoja na IGP na kuwaeleza juu ya mauaji aliyo yafanya Tomas jambo ambalo lilizidi kuwaongezea hasira askari hao na amri moja iliyo tolewa na IGP ni yasizidi masaa kumi na mbili tayari Tomas awe amsha patikana kwa maana jiji la Dar es Salaam ni dogo sana na muhalifu hawezi kutoweka kwa dakika chache hizo toka afanye mauaji.
***
Mlio wa simu inayo ita kwa wimbo wa taartibu ukamfanya Magreth kufumbua macho yake huku akiangaza angaza ni sehemu gani ambayo ame iweka simu yake. Akaichukua na kuitazama na kukuta ni nabii Sanga. Akajigeuza vizuri na kuiweka sikioni mwake.
“Halooo”
Magreth alizungumza kwa sauti ya usingizi iliyo jaa mahaba ndani yake.
“Mmmm…bado ume lala mpenzi wangu?”
“Ndio baby, vipi wewe?”
“Ahaa…Mimi nimesha amka muda mrefu sana. Hapa nina elekea kanisani, si unatambua leo ni siku ya maombezi”
“Yaa ni kweli”
“Vipi una kuja?”
“Mmmm bado sijashuka hata kitandani hivyo hata sijajua ratiba yangu itakuwaje leo?”
“Ahaa, fanya upate kifungua kinywa basi kisha uje kanisani”
“Mmmm kwa kweli leo sina hata upako wa kuja kwanisani. Isitoshe mke wako je akiniona ita kuwaje?”
“Hawezi kukuzuia wala kukufanya kitu chochote kwa maana hapo nilipo muacha nyumbani ni mgonjwa”
“Ana umwa na nini?”
“Vidonda vya tumbo vina msumbua tu”
Nabii Sanga aliongopea, ila ukweli ni kwamba kipigo alicho mpatia mke wake jana usiku ndio ugonjwa unao msumbua mwana mama huyo.
“Mpe pole yake. Kama utapata nafasi wewe njoo huku kwangu ukitoka kanisani”
“Sawa nitaangalia. Baadae mpenzi wangu kwa maana nimesha fika hapa kanisani”
“Haya nina kupenda”
“Ninakupenda pia Mage”
Nabii Sanga akakata simu. Magreth akajishauri kwa sekunde kadhaa kama ana weza kuendelea na usingizi wake au laa. Akaitazama saa katika simu yake na ina onyesha muda huo ni saa saba mchana.
“Eheee saa saba!!”
Magreth alihamaki huku akishuka kitandani mwake. Akaingia bafuni na kuoga haraka haraka na kurudi chumbani kwake.
‘Leo ina bidi nimpikie huyu mwanaume chakula kiruzi sana’
Magreth aliwaza huku akimfikiria Evans aliye muacha hospitalini. Akaandika vitu anavyo vihitaji kwenye kikaratasi, kisha akampigia simu Sheby na kumuagiza amnunulie vitu hivyo.
“Angalia nyama wasikuwekee nyenye mifupa fupa mingi”
“Sawa boss wangu”
“Usiniite boss bwana. Wewe niite sister Mage ina tosha”
“Poa poa sister”
“Nakuingizia pesa kwenye simu yako”
“Poa”
“Jina la usajili kwenye laini yako ni nani?”
“Shabani Shabani Madanga”
“Ehee haya”
“Mbona una guna”
“Nimelipenda hilo jinala Madanga”
“Yaaa ni bonge moja la chata”
“Hahaa haya bwana. Usichelewe kuvileta si unajua kwamba nina mgonjwa hospitalini hivyo nina paswa kuwahi kumpelekea chakula mchana huu.”
“Usijali sisteriiiiii”
Magreth mara baada ya kumaliza kuzungumza na Sheby akamtumia kiasi cha pesa kinacho tosha kununulia vitu hivyo pamoja na nauli yake. Akajifunga matenge mawili na kuelekea sebleni. Akawasta tv, habari ya kwanza kukutana nayo ni kuhusiana na kutafutwa kwa Tomas.
“Mmmmm kwani hakushikiliwa?”
Magreth alijiuliza huku akiongeza sauti ya luninga ili aweze kusikia vizuri habari hiyo ya mchana.
“Ohoo ametoroka!!”
Magreth alizidi kushangaa kwani mtu anaye zungumziwa hapo ana mfahamu na kujua maovu yake yote aliyo yafanya ikiwemo la mpango wa kuhitaji kumuua yeye mwenyewe.
***
“Mkuu kuna wageni wako”
Sekretari wa RPC karata alizungumza mara baada ya kuingia ofisini kwa mkuu wake huyo wa kazi.
“Wageni kutoka wapi?”
“Ikulu”
“Ikulu?”
RPC karata alizungumza huku akiwa amejawa na mshangao mkubwa sana.
“Ndio”
“Waruhusu kuingia”
Askari huyo wa kike akapiga saluti kisha akatoka ndani humo. Baada ya dakika chache wakaingia wanaume wawili walio valia suti nyeusi pamoja na miwani nyeusi huku kwenye mifuko ya makoti yao ya suti wakiwa wamening’iniza vitambulisho vinavyo waonyesha wao ni walinzi wa raisi.
“Karibuni sana”
RPC Karata alizungumza huku akinyanyuka kwenye kiti chake.
“Tuna shukuru. Raisi yupo nje ana hitaji kuzungumza na wewe”
“Raisi yupo nje!!?”
RPC Karata alishangaa juu ya ujio wa gafla wa raisi.
“Ndio, ongozana nasi”
RPC Karata akajiweka sawa yunifomu zake hizo za uaskari kisha akaongozana na walinzi hao na kuwafanya askari wake kubaki wakiwa wameduwaa, wasijue ni wapi bosi wao anapo elekea. Wakatoka nje na kumfungulia mlango wa gari RPC Karata na kuingia ndani ya gari hilo aina ya Range rover lenye namba za usajili wa kawaida na si plate namba za ikulu. RPC karata akastuka sana kumkuta raisi Chinas Mtenzi akiwa katika gari hilo.
“Habari yako mkuu”
RPC Karata alisalimia huku akimpa mkono raisi. Raisi Mtenzi akamtazama RPC karata kwa sekunde kadhaa kisha akaupokea mkono huo.
“Ume choka kazi yako?”
Swali la raisi likaustua sana moyo wa RPC Karata.
“Aha…hapana mkuu”
“Sasa ni nini unacho kifanya?”
“Aha….mkuu bado ume niacha njia panda. Tafadhali naomba kidogo uni fafanulie nini una maanisha”
“Jukumu na lengo la mimi kukuweka kuwa RPC katika jiji hili la Dar es Salaam, nina maanishakwamba una weza kumuda heka heka zote za usalama wa jiji hili. Ila sivyo nilivyo tegemea, kweli dalali ana weze kutoroka kituo cha polisi na wala hamustuki na muna kazi yakutoa tu matangazo kwa atakaye fanikisha kukamatwa kwake basi atapewa milioni kumi. Ana kitu gani huyo mtu hadi jeshi la polisi litoe hizo milioni kumi?”
Raisi alizungumza kwa kufoka huku dereva na walinzi wake alio ambatana nao wakiwa wamesimama nje ya gari hilo huku milango ikiwa imefungwa.
“Aha…mkuu una jua….unajua kwamba…….”
“Ona unavyo babaika. Karata kumbuka mimi nilikupokea depo wewe, heshima na adamu yako nina ijua nikikuwa mkufunzi wako wa chuoa. Pia nafahamu hichi kituo kwa maana nilisha kuwa RPC hapa kabla ya kuingia kwenye siasa na sasa nimekuwa raisi. Au umelisahau hilo?”
“Sijalisahau mkuu”
“Sasa nini? Hawa askari wa chini hawawezi kufahamu underground way(njia za chini) katika kituo hichi, RPC pekee ndio anaye fahamu kwamba chini ya kituo hichi kuna njia za kupita. Je imekuwaje mahabusu akatoroka, ikiwa nje kuna ulinzi wa askari wasio pungua ishirini?”
RPC Karata akahisi haja ndogo kama ina kwenda kumtoka kwa woga.
“Ahaa mkuu ni kweli, ila sijajua kama siku hiyo mtuhumiwa alipo toroka ilikuwaje kuwaje kwa maana sikuwepo kazini”
“Ulikuwa wapi?”
“Nyumbani mkuu”
Raisi Mtenzi akamatazama RPC Karata usoni mwake kwa sekunde kadhaa na kutambua macho ya mfanyakazi wake huyo yana danganya na isitoshe ana mfahamu vizuri sana toka alipo kuwa chuoni CCP Moshi.
“Una nidanganya. Sasa kama ulimtoa kwa maslahi yako binafsi basi nahitaji umrudishe ndani ya masaa kumi na mbili awe ndani ya sero za jengo hilo. Lasivyo nitakufukuza kazi na utahukumiwa kijeshi jela na nina imani una tambua ni sheria gani ina muhukumu askari anaye saidiana na majambazi? Nilikuambia kweye utawala wangu sitaki jeshi la polisi lilege lega, ikiwa mimi nami nimepitia huko. Umenielewa?”
“Ndio muheshimiwa nime kuelewa”
“Na hizo milioni kumi munazo watangazia watu. Zitatoka mfukoni mwako na si katika jeshi la polisi, hatuwezi kupoteza pesa kizembe namna hiyo.”
“Sawa mkuu”
“Shuka kwenye gari langu”
RPC Karata akashuka kwenye gari raisi huku akiwa amechoka sana kwa woga na mkwara alio pigwa na raisi. Walinzi wa raisi pamoja na dereva wakingia kwenye gari hilo na kuondoka. Hakuna hata askari mwengine aliye weza kugundua kwamba raisi amefika katika ofisi zao. RPC Karata akalisindikiza kwa macho gari hilo jinsi linavyo toka getini hapo na kutokomea.
“Ehee Mungu wangu nafanya nini sasa?”
RPC karata alizungumza huku akianza kutembea kwa mwendo wa haraka kuelekea ofisini kwake. Akafungua droo yake na kutoa simu ndogo yenye namba inayo julikana na familia yake pamoja na nabii SANGA. Akampigia na simu ya nabii Sanga ikaanza kuita.
***
Nabii Sanga mara baada ya kumaliza kuzungumza na Magreth akashuka kwenye gari lake na moja kwa moja akaelekea ofisini kwake. Akajifungia kwa ndani na kuanza kusali huku akijiandaa kwa ajaili ya maombezi ya siku hiyo. Alipo maliza kusali, akaandaa mahubiri ya siku hiyo huku akilini mwake akiwazia penzi la Magreth ambalo lina zidi kumchanganya siku hadi siku. Simu yake ikaanza kuita, akaitazama kwa sekunde na kukuta ni namba ya RPC Karata. Akaiweka sikioni mwake na kuanza kuisikiliza.
“Habari yako kijana”
“Pumbavu wewe, habari yangu ya nini. Yaani nina juta sijui ni kwa nini nilifwata mawazo yako ya kipumbavu”
Sauti ya ukali ya RPC Karata ikamstua sana nabii Sanga na kujikuta akiitazama simu yake ili kuhakikisha kwamba huyo anaye mpigia ni RPC Karata au mtu mwengine kwa maana wana heshimiana sana na hajawahi hata siku moja kusikia neno la kejeli wala tusi kutoka kinywani mwa kijana huyo.
“Ahaa….Karata ni kitu gani ambacho kina endelea?”
“Wewe hujui. Umeniweka kwenye matatizo mazito sana, nina oder ya raisi hapa kumpata Tomas ndani ya masaa kumi na mbili. Aisee mzee sinto kubali kufa mwenyewe kwenye hili, ni lazima mke wako nitahakikisha naye ana ingia jela na mimi. Wema wangu sasa una zaa dhambi kwangu”
“Karata hembu kuwa mpole kwanza. Niambie nikusaidie wapi kwa maana hili jambo sisi tume lifanya pamoja”
“Nisikilize wewe mzee. Namuhitaji Tomas, ni heri angekuwa maiti hivi sasa kuliko akiwa yupo hai na ana tembea. Nina kupa masaa mawili uweze kuniambia Tomasa yupo wapi la sivyo mimi na wewe tuta elewani vibaya”
Baada ya kauli hiyo simu ikakatwa na kumfanya nabii Sanga kushusha pumzi taratibu huku akitafakari nini cha kufanya. Hamu ya kwenda kwenye ibaya yote ikakatika. Akanyanyua mkonga wa simu iliyopo karibu yake, akampigia mchungaji msaidizi na kumuomba aweze kufika ofisini kwake haraka. Hazikupita dakika tano mchangaji msaidizi akaingia ndani humo.
“Ndio nabii”
“Nahitaji leo ukaongoze ibada, Nimepatwa na dharura ya kifamilia hivyo sinto weza kuwepo ofisini”
“Sawa nabii. Naweza kufahamu ni dharura gani hiyo ya kifamilia?”
“Ahaa nitakuambia baadae wee acha nika ishuhulikie”
“Sawa”
Nabii Sanga akatoka ofisini humo na kuingia ndani ya gari lake na kuianza safari ya kurudi nyumbani kwake huku kichwani mwake akiwa amejawa na wasiwasi mwingi sana. Akafika nyumbani kwake na kuingia ndani.
“Mama yako yupo wapi?”
Nabii Sanga alizungumza huku akimtazama dada wa kazi.
“Hajatoka toka asubuhi”
Nabii Sanga akapandisha gorofani na kuingia chumbani kwake. Akamkuta mke wake akiwa amekaa kwenye kiti kilichopo mbele ya kioo huku akiwa uchi kabisa.
“Mbona ume rudi?”
Mrs Sanga alizungumza huku akiwa amejawa na mstuko mwingi sana.
“Kuna tatizo”
“Tatizo gani mume wangu?”
“RPC amepewa masaa kumi na mbili na raisi aweze kumpata Tomas la sivyo ana fungwa na ameniambia kwamba akiingia matatizoni ni lazima ahakikishe kwamba ana zungumza kila kitu juu yako na Tomas”
“Ohooo Mungu wangu. Tuta fanya nini mume wangu?”
“Ndio hapo sifahamu, na sijui kama Tomas ata kuwepo nyumbani kwake”
“Hawezi kuwepo kwa kile ulicho mfanyia jana sidhani kama ata kuwepo”
“Sasa ina kuwaje mke wangu”
Nabii Sanga na mke wake wakabaki wakiwa wana tazamana huku kila mmoja akiwaza ni nini aweze kufanya ili Tomas apatikane.
“Na amenipa masaa mawiili kuhakikisha kwamba nina mpata Tomas”
“Ohoo Mungu wangu, kwa hiyo mume wangu nina kwenda jela?”
“Nipo kwa ajili yako huto kwenda jela mke wangu”
“Kweli?”
“Niamini mimi, nita hakikisha kwamba kila jambo lina kwenda sawa. Hembu jaribu kufikiria ni wapi na wapi Tomas ana weza kwenda”
“Aliniambia kwamba ana taka kwenda Afrika kusini”
“Afrika kusini!!?”
“Ndio sasa sijajua kama jana usiku alifanikiwa kufika uwanja wa ndege au laa”
“Hapana hajaenda uwanja wa ndege. Ahaa huwezi kujua ni namba gani ambayo Tomas ana weza kuitumia kwa siri?”
“Mmmmmm ngoja”
Mrs Sanga akanyanyuka kwenye kiti chake na kufungua pochi yake. Akatoa line yake ya siri na kuingiza kwenye simu.
“Hii ndio line ambayo nilikuwa nina tumia kuwasiliana na Tomas”
“Sawa, hembu angalia ni namba yake ipi ipo hewani”
“Ana namba tatu ngoja nijaribu kuzipigia”
Mrs Sanga akaanza kupiga namba ya kwanza na bahati mbaya haipo hewani, namba ya pili nayo pia haipo hewani.
“Hii ndio ya mwisho”
“Jaribu kuipigia”
Mrs Sanga akapiga tena namba hiyo na kwa bahati nzuri ikaanza kuita.
“Ina ita”
Mrs Sanga alizungumza huku akimtazama mume wake usoni. Upendo wake kwa Tomas kwa sasa ume pungua na yupo tayari kuhakikisha ana mkamatisha Tomas mikononi mwa askari ili aepukane na kuingia jela.
***
Kitendo cha kumuua rafiki yake, hakika kina zidi kuutesa ubongo wa Tomas. Ila kila ajapo jaribu kukumbuka kwamba ana tafutwa na askari basi akili yake ina hamisha mawazo yake katika tendo la mauaji na kufikiria ni jinsi gani ambavyo ana weza kupambana hadi atoke jiji la Dar es Salaa. Taarifa ya kutafutwa kwake, ina mpa ramani ni wapi hapaswi kukanyaga na wapi anapaswa kwenda. Katika kupambanua ni nani ana weza kumsaidia kwa wakati huo, akili yake ikaangukia kwa Levina mwana mke wambaye alikuwa na mahusiano naye miezi kadhaa nyuma kabla ya kuwa na Mrs Sanga. Akaitafuta namba ya Levina na kumpigia, simu ya Levina ikaita na baada ya sekunde kadhaa ikapokelewa.
“Levina ni mimi”
“Tom”
“Ndio”
“Ume fanya nini wewe mbona kila mahala habari ni zako”
“Ni habari ndefu sana. Ila nahitaji unisaidie”
“Upo wapi?”
“Wewe niambie upo wapi alafu mimi nita kufwata”
“Ahaa nipo ofisini kwangu kwa sasa. Ila ngoja nitoke kisha nita kuambia ni wapi tukutane”
“Ila tafadhali Levina usije ukanisaliti”
“Siwezi kufanya hivyo Tom wewe una nijua na ndio maana ume amua kuwasiliana na mimi. Ungekuwa huniamini wala usinge nipigia simu”
“Sawa nasubiri simu yako”
Tomas akakata simu na kusimama katika moja ya duka. Akaagiza soda ya baridi na muuza duka aka muhudumia pasipo kumfahamu. Simu ya Tomas ikaita kwa haraka akaitazama na kukuta ni namba ya siri ya mrs Sanga. Tomas, akajikuta akiachia msunyo mzito na kukata simu hiyo. Simu ikapigwa tena, akaitazama namba ya mrs Sanga kisha akapokea.
“Una hitaji nini wewe malaya”
Tomas alizungumza kwa hasira sana.
“Jamani Tomas nimepiga ili kukuomba msamaha”
“Msamahana eheee. Sasa sikia fikisha ujumbe kwa mume wako. Kwakile alicho nifanyia jana usiku, hakika nita kilipita tena kwake. Sinto kufa na nita ishi, wewe muambie ajiandae siku yoyote mambo yata mgeukia.”
Tomas mara baada ya kukata simu hiyo simu ya Levina ikaingia.
“Ndio mama”
“Nimesha toka niambie upo wapi?”
“Sinza madukani hapa”
“Sawa nipo karibu nina kuja”
Tomas akakata simu na kwa habati nzuri eneo la duka alilo kaa basi ana weza kuyaona magari yote barabarani. Hazikupita hata dakika tisa gari aina ya Toyota Brevis yenye rangi nyeusi ika simama kwenye maeneo ya maduka hayo. Tomas aliweza kufahamu gari hilo la Levina kwa maana alisha wahi kulitumia kipindi wakiwa na mahusiano. Simu ya Tomas ikaanza kuita, akaipokea.
“Nimefika”
“Nimekuona nina kuja”
Tomas akakata simu, akamlipa muuza duka na kumfwata Levina sehemu alipo simama. Akafungua mlango wa gari, akavua begi hilo na kuliweka siti ya nyuma.
“Vipi baba?”
“Wee acha tu”
“Hembu zima simu yako”
“Kwa nini?”
“Una weza kutafutwa kwa GPRS, kwani namba hiyo kuna mtu mwengine ambaye ana ifahamu?”
“Ndio”
“Basi ina weza kuwa hatari ikiwezekana toa laini na uitupe kabisa”
Tomas akafwata ushauri wa Levina ambaye ana miliki kampuni inayo husiana na maswala ya I.T. Wakaondoka eneo hilo huku Tomas, akiitupa laini hiyo njiani.
“Tuna kwenda wapi?”
“Nyumbani kwangu”
“Mdogo wako akiniona ita kuwaje?”
“Tupo Nairobi, nimempeleka kusoma”
“Toka lini?”
“Na mwezi wa pili sasa”
“Ahaaa”
“Niambie nini kime kukuta hadi kutangazwa kwamba wewe ni jambazi. Ikiwa mimi nakufahamu wewe sio jambazi”
“Kuna mtu amenisingizia”
“Amekusingizia nini?”
“Kama mimi ni jambazi na ametumia pesa zake kunifanya niwe katika hali hii”
“Nani huyo?”
“Nabii Sanga”
“Nabii Sanga huyu tunaye abudu kwenye kanisa lake au yupi?”
“Huyo huyo”
“Si mtu wako wa karibu na ana kutuma kwenye kazi zako nyingi. Ime kuwaje ana kufanyia hivyo?”
“Kuna kimada wake wa nje alinipa kazi ya kumtafutia nyumba na sehemu ya kufungua mgahawa. Sasa mke wake aliweza kunibana siku nikamueleza ukweli kuhusiana na mpango wa mume wake. Basi mzee ame chukia, amenibambikia kesi hiyo, ndio maana polisi wana nitafuta”
Tomas alidanganya kwa maana hawezi kumueleza ukweli Levina kwa maana bado ana tambua kwamba Levina ana mpenda.
“Pole sana, kumbe yule mzee ni mshenzi ehee?”
“Tena sana”
“Sasa ita kuwaje?”
“Ina bidi niweze kuondoka nchini Tanzania haraka iwezekanavyo”
“Basi ngoja tufike nyumbani tuta jua ni nini cha kufanya”
Levina alizungumza huku akimuamini Tomas kwa asilimia mia moja pasipo kufahamu kwamba Tomas huyo kwa sasa amekuwa ni muuaji na yupo tayari kufanya mauaji kwa mtu yoyote ambaye ata onyesha dalili ya kumsaliti kwa polisi.
***
“Amekata”
Mrs Sanga alizungumza mara baada ya kuzungumza na Tomas.
“Amesemaje?”
“Anasema kwamba ni lazima atalipiza kisasi kwako na ata hakikisha ana lipa kile ulicho mfanyia jana usiku”
“Pumbavu hato weza kufanya hivyo. Nitatakikisha nina mkamata. Hembu nitumie namba yake”
Mrs Sanga akamtajia mume wake namba ya Tomas. Nabii Sanga akaipiga namba hiyo ila kwa bahati mbaya akakuta haipo hewani.
“Hapatikani. Sasa hii nita mtumia RPC na nina imani wata jua ni namna gani wana weza kuitafuta.”
“Fanya hivyo mume wangu. Nina ogopa kwenda jela nikiwa katika umri huu”
“Usijali. Vipi maumivu?”
“Bado yapo mume wangu”
“Tumia dawa za kupunguza maumivu”
Nabii Sanga alizungumza huku akiituma namba hiyo ya Tomas kwa RPC Karata. Alipo hakikisha meseji hiyo ime kwenda, akampigia RPC.
“Ndio”
“Nimekutumia namba ya Tomas, ina patikana hewani na nina imani kwamba bado ata kuwapo ndani ya Tanzania, hakikisheni muna mpata”
“Sawa”
Simu ikakatwa. Mrs Sanga akasimama na kusogelea mume wake sehemu alipo. Akamkumbatia kwa hisia kali za mapenzi.
“Mama Julieth nina ibada nime iacha kanisani”
“Tafadhali mume wangu, nikune japo kidogo nina hamu na ubo** wako”
“Baby”
“Please naomba”
Mrs Sanga alizungumza huku akianza kumnyonya lipsi mume wake huku mkono wa kulia ukifungua zipu ya mume wake na kumtoa jogoo wa nabii Sanga aliye simama dede.
***
Sheby akafika nyumbani kwa Magreth na kufunguliwa geti. Wakasaidiana na Magreth kushusha mifuko ya mizigo ya fvitu alivyo kuwa ame muagiza kijana huyo.
“Vimekamilika?”
“Ndio sister”
“Basi nisubirie nipike fasta kisha tuelekee hospitalini”
“Sawa mimi nipo kwenye gari”
“Kaa tu sebleni hakuna tabu”
Sheby akakaa kwenye sofa nzuri na za garama zilizomo ndani ya seble hiyo ya Magreth. Magreth akaanza kuandaa chakula hicho haraka haraka. Alipo hakikisha chakula kime iva, akampatia Sheby sahani moja kisha yeye akaelekea chumbani kwake kuoga na kujiandaa na safari ya kuelekea alipo Evans. Magreth hakumaliza dakika nyingi katika maandalizi yake. Akarudi sebleni na kumkuta Sheby akimalizia malizia kula chakula hicho.
“Aisee sister chakula kizuri sana. Yaani una mkono mzuri sana wa kupika”
“Nashukuru sana. Maliza twende”
Ikamlazimu Sheby kula haraka haraka kisha wakatoka chumbani humo. Wakaianza safari ya hospitalini na ikawachukua lisaa moja kuweza kufika, hiyo yote ni kutokana na foleni za hapa na pale. Magreth moja kwa moja akaelekea katika chumba cha Evans. Akafungua mlango na kuingia ndani, ila kitu kilicho mshangaza ni kuto muona Evans ndani humo. Akatoka chumbani humo huku akiwa ameshika mfuko wenye hotpot lenye chakula.
“Samahani nesi, huyu mgonjwa wa hichi chumba ame kwenda wapi?”
“Huyo kaka?”
“Ndio”
“Yupo ICU ana fanyiwa upasuaji, kwani kidonda chake kwa ndani kime pata itilafu inavyo onyesha aliweza kufanya kazi iliyo sababisha kumpa maumivu ya ndani na hatujajua ni kazi gani hivyo iliyo mfanya kuwa katika wakati huo.”
Kauli ya nesi huyo ikamstua sana Magreth na moja kwa moja aka tambua kwamba. Kitendo cha wao kufanya mapenzi jana usiku ili hali Evans yupo katika hali ya kuumwa ndio ime pelekea kidonda alicho chomwa kisu kupata matatizo.
“Ohoo Mungu wangu”
Magreth alihamaki huku nguvu za mwili akihisi zina kwenda kumuishia.
“Msubirie ata tolewa muda si mrefu kwa maana aliingizwa muda mrefu kidogo”
Nesi alizungumza huku akimtazama Magreth usoni mwake. Habari hizo zikamfanya Magreth atafute benchi na kukaa huku akianza kumuomba Mungu atende japo muujiza katika maisha ya Evans.
Madaktari wakafianikiwa kukisafisha kidonda cha Evans ambacho kwa nama moja ama nyingine wamegundua kilikuwa na matatizo ya kufumuka kwa nyuzi walizo kuwa wamemshona hapo awali. Baada ya matibabu hayo wakamtoa Evans katika chumba cha upasuaji huku akiwa katika hali ya uzingizi utokanao na kuchomwa kwa sindano ya usingizi. Magreth akanyanyuka kwenye bechi hilo na kuanza kufwata kitanda alicho lazwa Evans, huku kikisukumwa na manesi wane.
“Dada tunaomba uweze kusubiri nje”
Nesi mmoja alizungumza huku akimzuia Magreth kuingia katika chumba hicho.
“Hali yake vipi lakini dokta?”
“Tuta kuambia akiwa sawa”
Magreth akamshuhudia Evans akiingizwa kwenye chumba hicho huku mlango ukifungwa taratibu.
SEHEMU YA 10
Levina na Tomas wakafika nyumbani na moja kwa moja wakapitiliza hadi sebleni. Levina akaingia chumbani kwake na alipo rudi akarudi akiwa na laptop yake anayo itumia kwa hapo nyumbani.
“Una fanya nini?”
“Nataka kufuta mazungumzo yote ambayo mimi na wewe tumewasiliana. Itasaidia askari wasiweze kutrack kitu chochote”
“Aahaha kwa hiyo una taka kuniambia kwamba hata kwa kutupa laini polisi wana weza kufahamu kwamba mimi na wewe tulizungumza?”
“Ndio, kwa maana mazungumzo si yanabaki kwa wanao miliki mtandao wa simu”
Uwezo wake mkubwa katika mambo ya teknolojia, haikumpa shida Levina kuingia katika database za kampuni waliyo tumia kuwasiliana. Akatafuta mazungumzo yao waliyo zugumza dakika kumi na tano zilizo pita na kufanikiwa kuyapata. Akafuta kila kitu na hata kama polisi wata jaribu kumtafuta basi hawato kuta kitu chochote.
“Kazi namba moja sasa ime kwisha. Kazi namba mbili ni kutengeneza hati ya kusafiria ya bandia pamoja na kukutengenezea sura ya bandia”
“Sura ya bandia uta nitengenezea vipi?”
“Subiri mtoto wa kiume, ulihisi kwamba nilikwenda Urusi kusoma miaka sita kimchezo mchecho nini”
Levina alizungumza huku akimtazama Tomas usoni mwake.
“Mbona hukuniambia kwamba ulikwenda kusoma Urusi?”
“Sasa nikuambie ikiwa mtu mwenyewe akili zako ni za kidalali. Ninakufanyia haya yote kwa kukusaidia endapo uta nitangaza kwamba nina fanya kazi hizi. Haki ya Mungu Tomas nitakufanya kitu ambacho hoto tarajia kwamba nina weza kukufanya”
“Nitakuwa mjinga endapo nita kutangaza”
“Wewe sema hivyo. Ila nitakapo kufanyia kitu kibaya usije kusema kwamba hooo hukuniambia”
“Nimekuelewa”
“Simama hapo ukutani”
Levina alizungumza huku akiiweka laptop yake juu ya meza. Akasimama na Tomas akasimama kwenye ukutu wa sebleni hapo ambao una rangi ya blue nzuri kwa nyuma. Kwakutimia simu yake Levina akampiga picha Tomas, kisha akarudi kwenye sofa.
“Hapa nina tengeneza red passport, sasa wewe ukaitumie vibaya huko uendapo”
Levina alizungumza huku vidole vyake vikiwa na kazi ya kuminya kwa kasi batani za laptop hiyo. Kwakutumia usb waya akaingiza picha hiyo kutoka kwenye simu yake na kuingia kwenye laptop. Akaanza kuunda sura ya bandia kutokana na jinsi uso wa Tomas ulivyo kaa. Kazi hiyo haikumchukua muda mrefu akafanikiwa kuimaliza kazi hiyo.
“Ona hivi ndivyo utakavyo kuwa una onekana”
“Waoo hapo mtu si hato nijua kabisa?”
“Ndio hato kujua kabisa. Yaani hapo hata ukikutana na huyo nabii Sanga wala hato weza kukufahamu”
“Kazi nzuri sana Levina, ndio maana nina kupenda”
“Ungekuwa una nipenda ungeniacha. Tena usizungumze mambo yako ya ajabu”
Ikambidi Tomas kukaa kimya kwani ni kweli alimuacha msichana huyo na yote ni kutokana na kukolea kwa penzi lake na mrs Sanga ambaye kwa sasa ndio amemsababishia matatizo yote hayo. Levina baada ya kumaliza kazi hiyo wakaingia katika chumba cha kulala cha Levina.
Levina akatoa picha yake kubwa iliyopo ukutani na hapo ndipo Tomas akaona batani nyingi.
“Kumbe hapa kuna batani?”
“Siku zote si ulikuwa una kuja na ujacho jua ni kutomb** tu ila mambo mengine wala huna haja ya kuchunguza”
“Ila hiyo picha hapo ukutani haionyeshi kabisa kama kuna batani nyuma yake”
“Waswahili kani muna akili basi. Yaani hampendi kujiongeza kabisa”
Levina alizungumza huku akiminya batani hizo na mlango wa siri ulipo sakafuni pembeni ya kititanda chake ukafunguka.
“Kuna mlango hapo!!?”
“Wewe una ona nini”
Levina alizungumza huku wakianza kushuka chini kwa kutumia ngazi kadhaa zilizopo katika mlango huo ambao kwa juu ukiutazama una ona ni tailizi zinazo fanana na tailizi zilizo jengewa sakafuni hapo. Wakaingia katika ukumbi mkubwa ulipo chini ya ardhi katika chumba hicho. Mitambo mbali mbali iliyomo chini hapo ikamshangaza sana Tomas.
“Hapa kila aina ya kazi haramu ambayo nina hitaji kuifanya inayo husiana na kuhgushi vitu basi ipo hapa chini”
“Kwa hiyo unataka kuniambia huwa una fanya kazi haramu ama?”
“Ndio, unahisi kuna mafanikio yoyote yanayo kuja pasipo kufanya kazi haramu. Hakuna tajiri hata mmoja duniani ambaye amepata mafaniko yake kwa uhalali. Wote wamepata kwa njia haramu”
“Hapana bwana kuna watu wanao pata utajiri wao wa kumuomba Mungu?”
“Hakuna kitu kama hicho. Hapa Tanzania nina listi ya matajiri wengi sana wana tumia njia ambazo si halali kujipatia kipato kikubwa zaidi. Wapo hata wengine ambao wapo tayari kwa kutumia karatasi kuhakikisha wana iba sehemu ili tu akaunti zao zisome”
“Ahaa hapo nimekuelewa”
“Ndio”
Levina akafunua tambara moja kwabwa katika moja ya mashine.
“Hiyo kazi yake ni nini?”
“Kutengenezea sura bandia”
“Duu”
“Ndio”
Levina akaanza kuifanya kazi ya kutengeneza sura hiyo bandia, huku kila hatua anayo ifanya ana muelekeza Tomsa. Lisaa moja likamfanikisha kumaliza kutengeneza sura hiyo ya bandia.
“Lala hapo”
Levina alizungumza huku akimuonyesha Tomas kitanda cha kulala. Levina akavaa gloves mikononi mwake na akachukua gundi ngumu sana ambayo sio rahisi kuachanisha na sura hiyo ya bandia pale inapo bandikwa kwenye gozi halisi. Akaanza kuifanya kazi hiyo ya kuiweka sura hiyo bandia katika uso wa Tomas. Alipo hakikisha kwamba kazi hiyo ime kamilika, akamfukizia Tomas joto kali usoni mwake kwa kutumia kifaa maalumu ili kuhakikisha ngozi hiyo bandia ina fanana kabisa na ngozi za kawaida na hata akishikwa na mtu asiweze kutambua kwamba hiyo ni ngozi ya bandia.
“Unataka kwend nchi gani?”
“Afrika kusini”
“Ngoja nikutengenezee vitambulisho viwili”
“Vya wapi na wapi?”
“Afrika kusini na hapa Tanzania.”
“Sasa hii sura nita dumu nayo hadi kufa au?”
“Una weza kuichomoa muda wowote ila maumivu yake ni zaidi ya maumivu ya tombo la mwanamke anapo kuwa kwneye hedhi”
“Mmmm!!”
“Ndio maana yake, jiangalie kwenye kioo”
Levina alizungumza huku akimkabishi Tomas kioo. Tomas akajikuta akitabasamu kwani amebadilika kwa kiasi kikubwa. Tomas akashuka kitandani kwa furaha, akamkumbatia Levina kwa kazi hiyo aliyo ifanya.
“Hembu acha mambo ya mapenzi bwana. Tambua umenitoa ofisini na siku bado haijaisha hii”
Levina alizungumza huku akiukwepesha mdomo wake usipigwe busu na Tomas. Levina akaendelea na kazi ya kutengeneza hati ya kusafiria pamoja na vitambulisho vya mataifa hayo mawili. Afika kusini na Tanzania na vina sura halisi ya Tomas.
“Simama hapo kwenye tambaa la blue”
Levina aliuzungumza Tomas akasimam. Levina akampiga Tomas nusu picha(passport size) kisha akaendelea na kazi hiyo. Uzuri katika ofisi yake hiyo ya siri ana kila kifaa ambacho kina tengenezea vitambulisho na hati za kusafiria.
“Unapenda kutumia jina gani?”
“Mmmm Brina”
“Brian nani?”
“Sanga”
Levina akamtazama Tomas aliye taja jina la Sanga.
“Una mpenda sana huyo mzee ehee?”
“Nimefanya hivyo kwa ajili ya kuhakikisha simsahau kwa kile alicho nifanyia”
“Haya”
Levina akaingiza taarifa zote za Brian Sanga katika taasisi husika pasipo taasisi hizo kufahamu. Baada ya vitambulisho na hati ya kusafiria kukamilika Levina akamkabidhi Tomas ili aweze kuvikagua.
“Aisee wewe ni noma Levina”
“Kazi hiyo huwa nina ifanya kwa dola laki moja na nusu. Wewe una kiasi gani uni patie”
“Heee kumbe ulikuwa una nifayia kwa pesa?”
“Kukusaidia sio kwamba ni buru. Wewe nipe kiasi chochote ambacho una hisi kitanifaa la sivyo naua detail zako hata ukienda pale Airport passport yako itaonyesha kwamba haupo”
“Daaa!! Ila Levina si unajua mwenzako nipo kwenye matatizo makubwa. Hembu nakuomba uweze kunisaidia katika hili”
Tomas alizungumza kwa upole huku machozi yakimlenga lenga. Levina akamsogelea Tomas na kumshika jogoo wake na kuanza kumminya.
“Nilipe kwa kunitomb** hadi nipagawe kama unavyo nipagawisha siku zote”
Levina alizungumza huku akianza kumnyonya Tomas denda kwa fujo na kumfanya Tomas naye aendeleze fujo hizo huku moyoni mwake furaha ikiwa mmemtawala kwani sasa ana uhakika wa asilimia mia moja ya kuondoka Tanzania pasipo kukamatwa tena ata pitia uwanja wa ndege ulio wekwa vizuizi vya kusakwa wake.
***
RPC Karata kwa haraka akaituma namba aliyo pewa na nabii Sanga kwa wataalamu wake wanao shuhulika na mambo ya IT. Kazi ya kuitafuta namba hiyo ikaanza mara moja huku kila mmoja akiwa makini sana katika kuhakikisha kwamba wana tambua namba hiyo kwa sasa ipo wapi. Kadri jinsi wanavyo zidi kutafuta ndivyo jinsi wanavyo kutana na ugumu kwani haionyeshi namba hiyo ina patikana wapi.
“Mkuu hatuipati hewani”
“Hembu wasilianeni na mtando wa simu walio tumia”
RPC alizungumza huku akiitafuta namba ya nabii Sanga na kumpigia. Simu ya nabii Sanga ikaaita hadi ikakata.
“Mseng** huyu mbona hapokei simu”
RPC Karata alitukana kwa hasira hadi vijana wake aliomo kwenye hicho chumba wakashangaa kwani wamemzoea kumuona boss wao ni mtu wa dini sana. Akapiga tena simu hiyo, ikaita na baada ya muda ikapokelewa.
“Wewe mjinga una acha acha nini kupokewa. Ehee mulizungumza na huyo mualifu?”
“Ndio mke wangu alizungumza naye”
“Mpe simu”
“Haloo”
“Wewe mpuuzi, ulipo zungumza na Tomas alikuambia nini?”
“Ahaa…aliniambia kwamba hataki kuzungumza na mimi”
“Mkuu tumewasiliana na meneja wa mawasiliano ila ana sema kwamba namba hiyo haipo na haionyeshi mmiliki ni nani”
Kijana mmoja alizungumza na kumfanya RPC Karata kutokwa na macho ya mshangao. Hakika katika kipindi chote cha kulitumikia jeshi la polisi leo ndio ana kutana na wakati mgumu kupita nyakati zote alizo wahi kulitumikia jeshi hilo.
“Ina wezekajane ikawa haipo?”
“Nini?”
Mrs Sanga aliuliza.
“Siongei na wewe na funga bakuli loko. Mbwa koko wewe”
RPC Karata alizidi kuwaporomoshea matusi nabii Sanga na mke wake.
“Kwa nini wana sema haipo. Hembu niunganishe na meneja wao.”
“Sawa mkuu”
Kijana huyo akafanya kazi aliyo agizwa na RPC Karata.
“Simu ipo hewani mkuu”
Kijana huyo alizungumza na kumfanya RPC Karata kuchukua mkonga wa simu hiyo ya mezani na kuiweka sikioni mwake.
“Inawezekanaje namba ambayo ilikuwa ina tumia wakati mfupi, sasa hivi museme kwamba haipo?”
“Hata sisi hatufahamu kwa nini haipo, vijana wangu ana jaribu kila liwezekanalo kuitafuta ila hadi sasa hakuna matumaini ya aina yoyote”
“Hakikisheni muna endelea kutafuta”
“Sawa”
RPC Karata akarudisha mkonga huo wa simu sehemu alipo utoa. Uso wake wote umejaa mikunjo itokanayo na hasira kali. Hofu na mashaka ya kufukuzwa kazi na kustakiwa kijeshi, ikazidi kumtawala kwani kwenye maisha yake yote amekuwa ni muaminifu katika jeshi hilo la polisi ndio maana katika umri mdogo tu wa miaka thelathini na tano amejikuta akikabiwa cheo kikubwa sana cha RPC katika mkoa wa Dar es Salaam. Gafla RPC Karata mapigo yake ya moyo yakamstuka sana na kuzidi kumuenda kasi, hazikuisha hata sekunde tano simu yake kubwa ya mkononi ikaanza kuita. Akaitoa mfukoni huko akiwa amejawa na wasiwasi mwingi sana. RPC Karata akajikuta akikaa kwenye kiti cha pembeni huku miguu ikimuishia nguvu kwani simu hiyo ina toka kwa muheshimiwa raisi ambaye asubuhi ya leo tu ametoka kumchimba biti juu ya makosa aliyo yafanya ya kumtorosha Tomas maabusu
RPC Karata akanyanyuka katika sehemu aliyo kuwa amekaa, akasogea pembeni kabisa katika chumba hicho ili vijana wake wasiweze kusikia mazungumzo yake na raisi. Akaipokea simu hiyo na kuiweka sikioni mwake.
“Ndio muheshimiwa raisi”
“Umefikia wapi kwa maana ni masaa sita yamepita?”
“Bado tuna endelea kumsaka muheshimiwa”
“Una kumbuka nimekupa masaa mangapi?”
“Ndio muheshimiwa nina tambua”
“Haya masaa hayo yana kwenda kuisha. Hakikisha una nipatia ripoti kila baada ya masaa sita. Umenielewa?”
Raisi Chinas Mtenzi alizungumza kwa msisitizo.
“Sawa muheshimiwa raisi”
Simu ikakatwa na kumfanya RPC Karata kushusha pumzi huku akiwatazama vijana wake jinsi wanavyo endelea kushuhulika na kazi hiyo ya kumtafuta Tomas kwenye mtandao.
***
Furaha ya penzi lao ambalo hawakupeana kwa kipindi kirefu sasa, ikatawala. Mrs Sanga hakuona haibu ya kumpa kila kitu mume wake kwani mumewe huyo tayari amesha tambua kwamba mke wake ana fanya mapenzi kinyume na maadali.
“Pumbavu yule mshenzi alikuwa ana faidi sasa mama Julieth”
Nabii Sanga alizungumza huku akisikilizia utamu wa mkund** wa mke wake.
“Kweli baby?”
“Yeeah asiee uta kuwa una nipa huku kila siku. Khaa”
“Usijali mume wangu, kote huko ni mali yako”
Nabii Sanga na mke wake wakaendelea kupeana utamu hadi wakafika tamati huku kila mmoja akivujwa na jasho jingi sana usoni mwake.
“Mume wangu siku hizi mbo** yako ime kuwa tamu”
“Kweli?”
“Haki ya Mungu vile. Yaani ume nikuna kisawa sawa”
“Usijali mke wangu, uta zidi kuifaidi”
“Sawa baby. Eheee nimekumbuka jambo”
“Jambo gani?”
“Kuna biashara moja ita tuingizia pesa nyingi sana. Nina imani tukiifanya tuta zidi kuvuna pesa ukiachana na pesa za sadaka za waumini wako”
Nabii Sanga ni mtu mmoja sana ambaye ana penda maswala ya biashara na siku zote ame kuwa ni tajiri kwa kupewa mawazo ya kibiasara na mke wake huyo ndio maana hata ikitokea matatizo hadhubutu kumkandamiza mke wake.
“Niambie ni biashara gani?”
“Biashara ya watu”
“Watu!!?”
Nabii Sanga aliuuliza huku macho yakiwa yamemtoka kwani hakutarajia kusikia biashara kama hiyo.
“Ndio mume wangu. Biashara ya watu. Hii biashara ita tuingizia pesa nyingi sana.”
“Mke wangu biashara kama hiyo ume isikia wapi na ume tambuaje kama ita tusaidia”
“Ipo hivi. Kuna wasichana wengi sana warembo nchini Tanzania. Kitu ambacho tuna takiwa kukifanya kwa sasa ni kuhakikisha kwamba tuna wateka wasichana hao na kwenda kuwauza kwenye makasino makubwa nchini Tailand na China. Mtu mmoja mume wangu ana weza kutuingizia hadi dila elfu sabini”
“Duu kurefu hapo”
“Ndio hivyo, hii biashara kuna yule rafiki yangu ambaye yupo Nigeria. Aliwahi kuniambia kipindi cha nyuma ila sikuweza kuitilia maanani sana. Ila hapa ulipo kuwa una nipa vitu ndio nika kumbuka. Kwa nini wasichana wawe wana jitandaza sinza kule usiku wakijiuza. Tunacho wafanya ni kuwateka, tuna waweka kwenye makontena na moja kwa moja tuna wasafirisha kuelekea China na Tailand. Tena wasichana wa kitandania walivyo jaliwa matako makubwa. Hakika tuna weza kumuuza hata mmoja dola laki moja. Piga picha tuka uza wasichana mia moja kwa dola laki moja moja tuta kuwa wapi?”
“Mmm ni ten million dolar hiyo mke wangu”
“Ndio hivyo mume wangu tuchangamkie fursa na kupitia biashara hiyo tuna rudi kwenye biashara yetu ya madawa ya kulevya”
“Ila mke wangu si tuliaacha hiyo biashara ya madawa”
“Baba Julieth, hatujaicha na nina kumbuka uliniambia kwamba tuna mpa muda huyu raisi mpya, tuangalie mto wake. Akilegeza tuna endelea kuvuna pesa kama kawaida. Mume wangu tuna fanya haya yote kwa ajili ya watoto wetu. Sitaki tukifa watoto wetu wanyanyasike. Wewe mwenyewe unavyo ona, hakuna hata mmoja mwenye hata chembe ya kuja kuwa mchungaji wala muhubisi kwa hiyo ukifa wewe basi hilo kanisa lako wata shikilia watu wengine. Je una penda iwe hivyo”
“Nime kuelewa mke wangu. Ina bidi twendwe wote Afrika Nigeria kesho kutuwa ilia tuweze kuzungumza na huyo rafiki yako. Ili tuanze kupata na sisi conection za huko”
“That is ma men. Always huogopi kuingia kwenye sehemu yenye pesa”
“Una nijua, mission yetu kubwa ni kupata pesa hapa duniani. Unabii na kanisa ni muamvuli wa mambo mengina na hakuna hata mmoja ambaye anaweza kuhisi kwamba nina weza kuifanya biashara hiyo”
“Ni kweli mume wangu. Nakupenda sana”
“Nakupenda pia mke wangu”
Mrs Sanga akamnyona mume wake lispi kisha akashuka na kuanza kutembea kuelelea bafuni huku makalio yake malaini yakitingishika.
“Yaani makalio yako tu ndio yana niuaga mimi”
Nabii Sanga alizungumza huku akizilamba lipsi zake na kumfanya mke wake kuyatungisha kimakusudi kisha akajipiga vibao viwili vya makalio kisha akaingia bafuni humo. Nabii Sanga aka shuka kitandani na kuitazama simu yake kama kuta kuwa na meseji yoyote kutoka kwa Magreth ila hakukuta chochote.
‘Nita mpigia badae’
Nabii Sanga alizungumza huku akiirudisha mezani simu yake na kuingia bafuni. Akamkuta mke wake akijitazama tazama kwenye kioo.
“Wasiliana na daktari aje kukupatia dawa ya hayo majeraha”
“Hapana mume wangu. Nita yauguza taratibu ili yapone, sitaki mtu mwengine aweze kufahamu siri za ndani kwetu”
“Ila si haujaumia sana?”
“Nimeumia mume wangu. Yaani jana hichi chumba nilikiona kidogo kama boksi la kiberiti na jinsi ulivyo kuwa una kididimiza kichwa changu kwenye hili sinki yaani sina hata hamu”
“Mke wangu tulisha yamaliza jana tuachane nayo bwana”
“Sawa mume wangu”
Nabii Sanga akamkumbatia mke wake kwa nyuma huku akiyatomasa tomasa maziwa hayo yaliyo jazia. Pesa wanayo imiliki ina mfanya mke wake kila siku kuzidi kuonekana mrembo japo nabii Sanga kichwa kimesha tawaliwa na mvi.
“Kama biashara hiyo ita kwenda vizuri. Nina nunu private jet yetu”
“Weeee!!”
“Ndio. Tena tuki toka hivi Nigeria tuta agizia boti moja kubwa sana ambayo siku kama za weekend tuna kwenda huko katikati ya bahati kula maisha”
“Hapo ume nena mume wangu”
Mrs Sanga alizugumza huku akigeuka taratibu, waziwa hayo yakagusa kifua cha nabii Sanga na kuziamsha upya hisia za mapenzi. Mrs Sanga taratibu akachuchumaa na kuanza kumnyonya jogoo wa mume wake huku mkono mmoja ukiwa ume mshika jogoo huyo huku mkono wake mwengine ukichezea kisim** chake.
***
Tomas siku zote huwa hafanyi kosa pale anapo kishika kiuno cha mwanamke yoyote. Binua binua wanazo zifanya yeye na Levina katika kitanda kilichopo katika chumba hicho cha siri hakika si za nchi hii. Kila mmoja ana onyesha ufundi wake na kwa kipindi kirefu kidogo hawaja kutana kimwili.
“Tom”
“Yeee”
“Fuc** hard ma pus**”
Levina alizungumza huku jasho likimwagika mwili mzima. Tomas, akazidisha kasi ya kiuno chake na kumfanya binti huyu kulia kilio ambacho hakuna mwanaume anaye weza kumliza zaidi ya Tomas peke yake. Mzunguko wa kwanza uka isha huku kila mmoja akiwa amechoka.
“Tomas haki ya Mungu uondoki leo wala kesho”
“Kwa nini?”
“Acha kwanza nijilie utamu wangu. Hata ukiondoka basi huku kisima changu kita kuwa kime kauka maji.”
“Kutokana nina sura ya bandia na ume nihakikishia kwamba hakuna askari ambaye ana weza kunikamata. Basi nitakuondoka siku upendanyo”
“Kweli Tomas”
“Ndio”
Levina akamkumbatia Tomas kwa furaha na kuanza kunyonyana naye denda. Wakatoka chumbani humona kurudi juu. Levina akaandaa chakula cha mchana huku Tomas akiutumia muda wake mwingi sana kujitazama kwenye kioo.
‘Huyu mwanamke ni genius’
Tomas alizungumza huku akijifinya finya shavuni mwake na maumivu anatapata kama kawaida.
“Baby chakula tayari”
Levina alizungumza mara baada ya kuinga chumbani hapo.
“Sawa mke wangu”
Levina akamkabishi Tomas taulo, akajifunga kiunoni mwakena wakaelekea eneola kulia chakula. Wakaanza kula huku kila mmoja aki onekana kutafakari mambo yake kichwani.
“Levina”
“Naam”
“Kwa mfano niki hitaji kujiunga kwenye kitengo cha usalama ina wezekana?”
“Kwahapa Tanzania ni ngumu sana labda kwa hiyo nchi unayo iendea. Kwa nini una hitaji kujiunga kwenye kazi za hatari kama hizo?”
“Yote nahittaji kulipiza kisasi kwa nabii Sanga na familia yake. Alicho nifanyia mzee huyu hakika ame vuruga maisha yangu yote”
“Mmmm kisasi……!!?? Ila kama hupendi kazi hiyo ni heri usijiunge kwa maana wapelelezi siku zote maisha yao yana kuwa ni mafupi. Endapo ata bahatika kuishi sana, ujue huyo ni kijukuu cha mtume. Wewe una hitaji kulipiza kisasi ni jambo rahisi sana. Tumia akili sana katika hili na usitumie nguvu. Labda nikuulize kisasi chako unacho hitaji kukilipiza ni cha namna gani?”
“Chochote ambacho kita kuwa na uwezo wa kumfanya mzee yule kupitia mateso na maumivu makali sana”
“Basi hapo nime kuelewa. Wewe nenda kasomee kazi hii niliyo isomea mimi , tena kwa Afrika kusini kuna wataalamu wazuri sana. Ukifanikiwa kuwa hackers mzuri, rudi Tanzania alafu nikuambie nini cha kufanya”
“Huwezi kuniambia sasa hivi?”
“Siwezi kwa maana huto elewa nini nina kuambia. Kwani lugha nitakayo izungumza ni lugha ya code, sasa wewe nikikuambia Code una elewa chochote zaidi ya kunitumbulia mimacho”
“Mmmm sawa mama”
“Tena lifanyie kazi kwa maana kisasi hicho uta uta kilipita taratibu na maumivu makali sana kwa familia hiyo. Ngoja nikuambie siri moja tu. Tanzanai watu wenye wazo wangu tupo watatu tu, wawili wapo usalama wa taifa na mimi nime fungua kampuni yangu. Hao wawili wenyewe nime wapiti uwezo kwa asilimia chache sana ndio maana kuna kipindi kitengo hicho kina leta kazi ufisini kwangu na nina wafanyia”
“Nitalifanyia kazi wazo lako”
“Nashukuru kwa kunielewa”
***
Magreth akaka hospitalini hapo hadi saa mbili usiku na manesi wakamuomba aweze kuelekea nyumbani tu kwani kwa siku hiyo hato weza kuonana na mgonjwa. Haikuwa habari nzuri sana kwa Magreth ila hakuwa na jinsi, kwa majonzi akawasiliana na Sheby, akamchukua hospitalini hapo na kumrudisha nyuumbani kwake.
“Nashukuru Sheby”
Magreth alizungumza kwa suati ya upole na unyonge hadi Sheby mwenyewe aka jawa na mshangaa.
“Sister hali ya mgonjwa vipi?”
Sheby aliuliza huku naye akishaka kwenye gari.
“Sio nzuri. Yupo kwenye chumba cha wagonjwa mahututi”
“Ahaa daaa!! Pole sana dada”
“Nashukuru. Kesho Sheby”
“Sawa”
Magreth akabeba mfuko wake wenye hotpot za chakula. Akafungua geti lake na kuingia ndani. Akaupelekea mfuko huo wa chakula jikoni na kuweka hotpot hizo kwenye friji kisha akarudi sebleni. Akajitupa kwenye sofa huku akiwa amejawa na uchovu mwingi sana. Akatoa simu yake kwenye pochi na kutazama kama kuna missed call yoyote, ila hakuweza kukuta chochote.
‘Ina maana huyu mzee leo haja nitafuta?’
Magreth alizungumza hukua akitazama saa ya ukutana nina kukuta ni saa nne kasoro
‘Bado ata kuwa haja lala’
Magreth alijifariji huku akiipiga namba ya nabii Sanga. Uwepo wa mzee huyo kwa siku hizi za karibuni, kuna mfanya ashindwe kabisa kuzoea hali ya upweke ukitegemea Evans leo yupo mahututi. Simu ya nabii Sanga ikaanza kuita kisha ikapokelewa. Magreth hakuzungumza chochote kwani ana tambua fika kwamba nabii Sanga yupo nyumbani kwake.
“Nile baba ohoooo nile babaaaaa aiiisiiiii….”
Magreth akastushwa sana na miguo hiyo ya kimapenzi. Hasira itokanayo na wivu wa mapenzi vikaanza kumtawala.
“Ohoooo mkund** wako mtamu mke wangu. Ongeza kasi ya kuzungusha kiuno”
Sauti hiyo ya nabii Sanga, ikamfanya Magreth kuishia nguvu na kujikuta akiiachia simu na ikaangukia kwenye sofa. Mwili ukaanza kumtetemeka na machozi yakaanza kububujika usoni mwake taratibu na baada ya muda kidogo akazama kwenye dimbwi kubwa la kilio cha maumivu ya kutendwa katika mapenzi.
Siku hiyo haikuwa nzuri kabisa kwa Magreth.
‘Kwa nini amenifanyia hivi’
Magreth aliziungumza huku akizidi kulia. Hadi kuna pambazuka Magreth hakuweza kupata usingizi kabisa. Simu yake ikaanza kuita, akaitazama na kuona ni namba ya nabii Sanga, kwa hasira aliyo nayo hakutamani hata kuipokea na alicho kifanya ni kuikata na kuzima kabisa kwani haitaji usumbufu kabisa na mzee huyo.
***
Nabii Sanga akazidi kuchanganyikiwa mara baada ya Magreth kukata simu yake. Hata chai aliyo andaliwa na mke wake asubuhi hiyo hakika haifurahii kabisa kwani kwa asilimia mia moja ana kumbuka kwamba jana usiku wakiwa katika uwanja wa nane kwa nane yeye na mke wake, Magreth alipiga simu na kwa bahatu mbaya mke wake hakuhitaji aipokee simu hiyo na katika kuminyana minyana siku hiyo ilijipokea pasipo wao kufahamu.
‘Amesikia kila kitu’
Nabii Sanga alizungumza huku akiitazama namba ya Magreth ambayo ameiandika kwa jina la Mtumishi, ili mke wake asiweze kufahamu jambo lolote kwani sasa hivi amani katika ndoa yake tayari imesha rudi kwenye mstari.
“Mume wangu mbona una onekana huna furaha?”
Mrs Sanga alizungumza huku akimtazama mume wake usoni.
“Kuna mambo kidogo naya fikiria yana nikosesha raha”
“Mambo gani?”
“Ngoja nikayafwatilie kisha nikirudi nita kuambia ni mambo gani”
“Sawa mume wangu”
Nabii Sanga akamaliza kunywa chai, akajiandaa na kuianza safari ya kuelekea nyumbani kwa Magreth. Njia nzima kila anapo jaribu kupiga namba ya Magreth, haipatikani hewani.
‘Ehee Mungu nimesha haribu’
Nabii Sanga alizungumza huku akikatiza katika daraja la Mwalimu Jk Nyerere. Akafika nyumbani kwa Magreth, akajaribu kupiga honi ili afunguliwe geti ila hakuweza kufunguliwa. Alipo ona kuna ukimya, akashuka kwenye gari na kuanza kuminya batani ya kengele iliyopo getini hapo.
Honi za gari la nabii Sanga, Magreth aliweza kuzisikia ila hakuhitaji kujisumbua kunyanyuka ili kuelekea getini. Ila mlio wa kengele, ukaanza kumkera na kujikuta akisimama na kutoka nje, akafungua geti pasipo kumsemesha chochote nabii Sanga na kaunza kutembea kuelekea ndani. Nabii Sanga akafungua geti kubwa, akaingiza gari lake kisha akalifunga. Akaingia ndani na kumkuta Magreth akiwa amekaa kwenye sofa la mtu mmoja huku akimtazama jinsi anavyo ingia sebleni hapo.
“Habari yako Mage”
”Kimekuleta nini nyumbani kwangu?”
“Mage nimekuja tuyazungumze. Nina imani kwamba uta kuwa ume kasirika”
“Hahahaaa….kukasirika. Hivi unahisi mimi sina moyo au?”
Magreth alizungumza kwa hasira iliyo changanyika na hasira.
“Nalifahamu hilo ila Mage nakuomba uni samehe mpenzi wangu”
“Yaani sijamini mtumishi wa Mungu una mfir** mke wako. So umenitoa bikra ya mbele unataka kunitoa na mimi bikra ya nyuma ehee?”
Maneno ya Magreth yakamstua sana nabii Sanga na kujikuta akikaa kimywa huku akishindwa kujua ni jambo gani ana paswa kumjibu Magreth.
“Huwa nikiwa na hasira nahitaji kukaa peke yangu hivyo nakuomba uweze kuondoka”
“Mage”
“Tafadhali una weza kuondoka. Kama ni pesa zako ulizo nipatia uka hisi ni kifungo changu, nina weza kukurudishia kila kitu na nikarudi kwenye maisha yagu ya kuuza maandazi kwani sikuzaliwa tajiri na nimezaliwa masikini mimi na nitapambana kwa jasho langu”
Magreth alizungumza huku machozi yakimbubujika usoni mwake.
“Hapana Magreth usifike huko. Kama ni pesa nilizo kupa sio kifungo. Kesho nina ondoka na kuelekea nchini Nigeria hivyo nitakuwa huko kwa mwenzi mmoja. Tafadhali nina kuomba uweze kunivumila kwa kipindi hicho chote na nina omba uweze kunisamehe”
“Poa safari njema”
“Hapana Mage usiwe hivyo, tambua kwamba nina kupenda mpenzi wangu”
“Mzee tafadhali nenda basi”
Magreth alizungumza kwa hasira huku akisimama na kumkazia macho nabii Sanga. Taratibu Nabii Sanga naye akasimama na kuanza kumsogelea Magreth.
“Usinisogeleee”
Nabii Sanga akaupitisha mkono wake kiunoni mwa Magreth na kumvutia karibu.
“Siwezi kuondoka bila kupata haki yangu”
“Haki yako umeipata kwa mke wako, mgawa mkund**”
Magreth alizungumza huku akijitahidi kujitoa mikononi mwa nabii Sanga ila akajikuta akishindwa. Nabii Sanga akamnuanyua kwa nguvu Magreth na kuingia naye chumbani. Akambwaga kitandani huku akianza kuvua nguo moja baada ya nyingine.
“Unataka kunitomb** ehee?”
“Nahitaji haki yangu”
“Poa usihangaike kutumia nguvu. Fanya umalize”
Magreth alizungumza huku akivua nguo zake kwa hasira. Magreth akaitanua miguu yake huku akimtazama nabii Sanga anaye hangaika katika kumnyonya maziwa yake. Mbwembwe zote za nabii Sanga hazikuweza kuhamsha hisia hata moja jambo lililo mfanya nabii Sanga kujawa na mshangao, kwani hakuwahi kumnyonya Magreth kitumbua na akakaa kimya pasipo kutoa mguno wa aina yoyote.
“Fanya umalize”
Magreth alizidi kumsisitiza nabii Sanga huku machozi yakiendelea kumwagika usoni mwake. Nabii Sanga akanza kutafuna kitumbua cha Magreth ila Magreth akawa kama mtu aliye shikwa na ganzi, kwani haisi chochote. Kadri nabii Sanga anavyo jitahidi kula kitumbua hicho huku jasho likimwagika ndivyo jinsi alivyo zidi kuujaza moyo wa Magreth chuki. Nabii Sanga akafika tamati huku akitoa miguno ya kuona raha, taratibu Magreth akashuka kitandani na kujifuta waarabu weupe wa nabii Sanga wanao tiririka mapajani mwake.
“Mage kwa nini ume kuwa hivyo mpenzi wangu?”
“Nimekuwaje, si nimekupa ulicho kihitaji au?”
“Hapana sizungumzii hivyo. Kwa nini hata hujatoa mguno mmoja?”
“So ulihitaji nilie kama mtoto mdogo au?”
“Hapana Mage, nimesha zoea huwa una vilio fulani hivi vya utamu utamu ila leo sijasikia hata chochote”
“Ngoja nikuambie ukweli. Huniridhishi na huna uwezo wa kuniridhisha hivyo juhudi zako zote hizo zimekuwa ni sifuri kwangu”
Maneno ya Magreth yakapenya moja kwa moja katika moyo wa nabii Sanga na kuumiza sana. Katika misha yake hayajawahi kutana na dharahu kama hiyo. Akatamani japo amtandike Magreth kofi ila akashindwa kwani kwa namna moja ama nyingine yeye ndio mwenye makosa.
“Usiombe siku nikapata mwanaume atakaye jua kunikuna vizuri. Haki ya Mungu hata maisha ya kwenda kunywa uji nitaishi naye kuliko kuishi kwenye jumba kubwa ila mwanaume hakuridhishi kabisa”
Maneno ya Magreth yakazidi kumchanganya nabii Sanga na kujikuta akipandwa na hasira.
“Kaa kimya Mage”
“Nina kuambia ukweli, huniridhishi. Muda wako umesha kwenda mzee”
Nabii Sanga akamtandika Magreth kofi lililo myumbisha na bado kidogo aanguke chini.
“Pumbavu wewe, sihitaji dharau za kipumbavu. Kumbuka ni wapi nimekutoa wewe na nina mamlaka juu yako na huna uwezo wa kunizungumzia maneno ya dharua mbele yangu”
Nabii Sanga alizungumza kwa hasira huku akimkazia macho Magreth aliye anza kuangua kilio cha woga, kwani hakutarajia kwamba maneno yake yana weza kumfanya mzee huyo kukasirika namna hiyo.
“Sasa nina funga kamera nyumba nzima na gari lako sasa ole wako humu ndani aingie kunguru uta nijua mimi ni mtu wa aina gani. Nikipenda nina penda na yule ni mke wangu wa ndoa, nina miaka naye zaidi ya ishirini na nane kwenye ndoa hivyo usije kuleta dharau juu yake kama ni kumtomb** na kumfir** nafanya kwa mke wangu muda wowote na wakati wowote ninao jisikia wewe ila si wewe kuniletea dharua na kukasirika kijinga jinga kwa ajili ya mke wangu. Umenielewa”
Nabii Sanga alifoka huku jasho likizidi kumwagika.
“Nimekuelewa”
Magreth alijibu kwa upole ulio changanyikana na woga mwingi sana.
“Sasa ole wako uni saliti, haki ya Mungu nita kuua kwa mikono yangu mimi mwenyewe na huyo kinyago ambaye uta nisaliti naye, nita mchinja”
Nabii Sanga alizidi kuzungumzz kwa hasira na kuzidi kumuogopesha Magreth ambaye maneno hayo aliyazungumza kwa ajili ya kujiridhisha moyo wake ila siku zote amekuwa akiridhishwa kimapenzi na mzee huyo. Nabii Sanga akachukua simu yake na kupiga katika shirika linalo toa huduma ya kufunga kamera za ulinzi majumbani.
“Sasa nyumba nzima ita fungwa kamera na nina kwenda Nigeria, sasa nirudi nikukute ukiwa na kiji mwanaume nitakuuaa Magreth”
Nabii Sanga alizungumza kwa hasira huku akimshika shingo Magreth na kumvuta karibu yake.
“Nimeelewa nimeelewa mume wangu”
Magreth alizungumza kwa woga huku mwili mzima ukimtetemeka.
“UMENIELEWA?”
“Nd..i…i…o”
“Pumbavu na siku nyingine urudie ujinga wa kuzungumza ujinga huo, nitakuonyesha mimi ni nani na nina roho ya aina gani”
Nabii Sanga akamsukumia Magreth kitandani na kumfanya aendelee kulia kwa woga.
***
RPC Karata hakuweza kukumbuka chochote kuhusiana na nyumbani kwake. Siku hiyo hakuweza kuondoka kabisa kituoni huku vijana wake wakiendelea kufanya kazi ambayo kadri muda unavyo zidi kwenda ndivyo jinsi matumaini ya kumpata Tomas, yanavyo potea. Mlango wa ofisi yake ukafunguliwa kwa nguvu na wakaingia wanaume sita walio valia suti zao huku wote wakiwa na miwani nyeusi. Mapigo ya moyo ya moyo ya RPC Karata yakaanza kumuenda mbio kwani watu hao ameweza kuwafahamu wame tumwa na raisi Chinas Mtenzi.
“Kuanzia hivi sasa upo chini ya ulinzi na nafasi yako ata kaimu mtu mwengine hadi pale raisi atakapo amua jambo jengine. Nyoosha mikono yako”
Mwanaume mmoja alizungumza huku akimtazama RPC Karata ambaye hakuleta ubishi wowote, akanyoosha mikono yake na akafungwa pingu na kuanza kutolewa ofisini kwake jambo lililo wafanya askari wake alipo kituoni hapo muda huo wa asubuhi kubaki wakiwa na mshangao mkubwa kumuona mkuu wao akiwa amekamatwa na mbaya zaidi hawana uwezo wa kufanya jambo lolote kwa walinzi hao wa raisi kwani majeshi yote yapo chini ya amri ya raisi Chinas Mtenzi.
RPC Karata akaingizwa kwenye moja ya Ranger Rover nyeusi, kisha gari hizo mbili zinazo fananana zikaanza kuondoka kituoni hapo kwa mwendo wa kasi sana. Wakafika ikulu na RPC Karata akaingizwa katika chumba cha maalumu cha mahojiano ambacho kina tumiwa kitengo cha walinzi hao wa raisi. Haukupita muda mrefu sana raisi Chinas Mtenzi akaingia katika chumba hicho.
“Muna weza kutuacha”
Raisi Mtenzi alizungumza na kuwafanya walinzi wake kutoka katika chumba hicho.
“Shikamoo muheshimiwa raisi”
“Shikamoo yako haina haja ya mimi kuipokea. Nilikupa masaa ishirini na nne ila hakuna hata chochote ulicho kifanya na hujanipa ripoti yoyote ikiwa nilikuambia uweze kunipatia ripoti kila baada ya masaa sita.
“Ni kweli muheshimiwa nina makosa, ila tafadhali nina kuomba unipatie muda niweze kuimaliza hii kazi niliyo ianza”
“Karata una nifahamu vizuri, nilikuwa mkuu wako wa chuo na una kumbuka taratibu zangu na sheria zangu kipindi nina endesha chuo cha askari?”
“Ndio nina kumbuka muheshimiwa raisi”
“Una nielewa?”
“Ndio nina kuelewa”
“Mimi ni mtu wa kusimamia kauli zangu. Sina haja ya kuendelea kuwa RPC wa mkoa huu wa Dar es Salaam. Nina imani kwamba muda wako wa kuingia gerezani ume wadia.”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa msisitizo. Siku zote mzee huyo amekuwa ni mtu wa kuogopewa yote ni kutokana na misimamo yake anayo jiwekea na maamuzi magumu anayo yafanya hata kwa watu wake wa karibu wanao mfahamu, endapo mtu huyo akienenda kinyume basi hanaga msamaha.
“Mkuu nina kuomba unipe nafasi nyingine. Kumbuka ni mambo mangapi mazuri ambayo nimeyafanya katika nchi hii na jeshi la Polisi. Hili ni kosa la kwanza kufanya nina kuomba uni samehe”
“Karata funga kinywa chako. Kumbuka kipindi ukiwa askari wa kawaida, nilikupa oder ya kumuua mwanangu aliye kuwa akimiliki genge la majambazi kule Kagera au umesahau?”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa ukali sana.
“Ninakumbuka mzee”
“Na ulitekeleza japo ilikuwa ni ngumu sana kwako kufanya hivyo. Nina misimamo na maneno yangu, kama niliweza kumuua mwanangu aliye kuwa jambazi nitashindwaje wewe kukusweka ndani. Au unachukulia kujuana kwetu ndio kukupe nafasi ya kusaliti kiapo ulicho kula hapa ikulu kuwa utakuwa ni RPC mwenye maadili?”
“Muheshimiwa ina kuomba kabisa uni samehe. Haikuwa nia yangu wala lengo langu kufanya hivi. Kumbuka nime kuwa mtumwa wako kwa kipindi chote hicho na sikuwahi kuenenda kinyume na amri zako.”
RPC Karata alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake.
“Ume sema haikuwa nia yako kufanya ulicho kifanya? Ni nani aliyopo nyuma ya hili jambo?”
Swali la raisi Chinas Mtenzi likazidi kumfanya RPC Karata kuwa katika kipindi kigumu.
“Zungumza ili huyo aliye kushawishi wewe kufanya ulicho kifanya, abebe adhabu ambayo nilipanga kukupatia. Nitajie ni nani huyo”
RPC Karata akashusha pumzi huku akimfikiria nabii Sanga. Japo ni mzee anye muheshimu kwenye swala zima la kiimani, ila hana jinsi zaidi ya yeye kutetea kibarua chake.
“Ni nabii SANGA”
SEHEMU YA 11
Raisi Chinas Mtenzi akatokawa na macho ya mshangao kwani naye siku zote amekuwa ni shabiki namba moja wa nabii huyo anaye ponya watu mbali mbali kwa maombi yake.
“Sanga huyu wa kanisha la Heaven light ministry au Sanga yupi?”
Raisi Chinas Mtenzi aliuliza huku akiwa amejawa na mshangao mkubwa sana.
“Ndio muheshimiwa”
“Yeye amehusika vipi katika swala la kumtoa muhalifu mikononi mwa polisi?”
“Kijana ambaye tulikuwa tume mshikilia, alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na mke wa nabii Sanga”
“Ohoo Mungu wangu!! Ehee ikawaje?”
“Sasa mke wake kutokana na kukolea kwenye penzi la kijana huyo wakapanga mpango wa kumteka nabii Sanga.”
Raisi Chinas Mtenzi akajikuta akifumba macho kwani haya anayo yasikia na familia hiyo anayo ifahamu ni mambo mawili tofauti kabisa.
“Walifanikiwa katika kumteka nabii Sanga ndio maana nabii Sanga alitekwa. Baada ya upelelezi tukafanikiwa kumfahamu muhisika ambaye ni Tomas, ila Tomas baada ya mimi kumbana kwa kuda mrefu alikiri kwamba mke wa nabii Sanga ndio aliye toa wazo la kutekwa kwa mume wake. Ili kulinda heshima ya familia hiyo ilibidi kumueleza nabii Sanga kila jambo kuhusiana na mke wake ili niwee kufahamu ni maamuzi gani ambayo ata amua, kama ni kumjumlisha mke wake katika hilo jambo au laa.”
RPC Karata alizungumza huku akiwa amejawa na wasiwasi kwani hatima yake bado haifahamu kwa mzee huyo.
“Nabii Sanga aliomba mke wake asihusishwe kwenye hilo na baada ya hapo aliomba kukutana na Tomas na kweli nilifanikisha hilo. Baada ya hapo akaniomba niweze kumuaa.”
“Ni kweli niliweza kumtorosha Tomas kutoka pale kituoni kwa kutumia njia za chini ya ardhi. Nilipo kuwa nipo njiani kwenda kumuua, nabii Sanga akanipigia simu na kuniomba niweze kusitisha na ikiwezekana niweze kumuachia huru kijana huyo ila nimsisitize aweze kutoka nje ya nchi hii kabla ya kumuua”
“Ohoo Mungu wangu. Kwahiyo sasa hivi wewe una pokea oda kutoka kwa nabii Sanga na wala si kwa IGP au kwanagu?”
“Hapana mkuu, nimefanya makosa, ila tafadhali nina kuomba sana uweze kunisamehe katika hili”
Raisi Mtenzi akafumba macho yake kwa sekunde kadhaa huku akijaribu kuizuia hasira yake anayo hisi ita kipasua kifua chake kwa maumivu. Siku zote hapendi kuwa na wafanyakazi wazembe.
“Alikulipa kiasi gani?”
“Milioni ishirini mkuu”
“Unazo hizo pesa?”
“Ndio mkuu”
Raisi Mtenzi akatoa simu yake kwenye mfuko wa koti la suti na kumpigia mlinzi mkuu wa ikulu.
“Ndio muheshimiwa raisi”
“Nileteeni nabii Sanga, popote alipo hakikisheni kwamba muna mleta hapa”
“Sawa muheshimiwa”
“Muna lisaa moja la kukamilisha hilo”
Raisi Mtenzi akakata simu na kumtazama RPC Karata anaye mwagikwa na jasho japo katika chumba hicho kuna air condition.
“Nahitaji kumjua vizuri huyu nabii Sanga. Sijawahi kukutana naye uso kwa uso zaidi ya kumuona kwenye tv”
“Aha…ni mtu mwema?”
“Mtu mwema anaye toa rushwa na ili kulinda heshima ya familia yake na mke wake ambaye amefanya makosa ya kijinga. Unalitia hasara jeshi la polisi na bado una sema kwamba ni mtu mwema.”
Raisi Mtenzi alifoka sana huku akimkazia macho RPC Karata.
“Vijana wangu wataanza kumfwatilia nyendo zake. Endapo nita mkuta na kosa la tofauti na hili alilo fanya. Sinto muacha na hapa ndipo nitakapo kuwa nina shuhulika na watu wote walio fungua fungua makanisa yao wakijiita manabii wengine sijui kina nani sitaki ujinga mimi”
Raisi Mtenzi alizungumza kwa ukali sana. Haikuwa kazi ngumu kumtafuta nabii Sanga kwa kutumia GPRS, wakafanikiwa kugundua kwamba yupo kigamboni. Vikaondoka vikosi vya walinzi kumi wa raisi huku wakiwa katika gari mbili na kuanaza kuelekea eneo la Kigamboni.
***
“Mume wangu nakuomba unisamehe, moyo wangu ulijawa na uchungu sana nilipo kuwa nina sikia jinsi mukiana mapenzi wewe na mke wako”
Magreth alizungumza kwa sauti laini huku akimshika shika nabii Sanga shingoni mwake.
“Hata kama nimefanya makosa ila si kuniambia maneno makali kiasi hicho”
“Nisamehe mpenzi wangu, ni kweli yule ni mke wako na mimi ni mwanamke wa nje na yule ana haki ya kila jambo”
“Hata wewe una haki ndio maana upo hapa. Nitaondoka kwenda huko Nigeria, nakuandikia cheki ya milioni hamsini, hakikisha una fungua biashara unayo ihitaji na nikirudi ndani ya mwenzi huo mmoja nahitaji kuikuta biashara ikiwa ime kuwa”
“Sawa mume wangu”
Nabii Sanga akatoa kitabu cha cheki katika mfuko wa koti lake la suti na kuandika kiasi hicho cha pesa na kumkabishi Magreth ikiwa ni moja ya msamaha wake kwa mwanamke huyo anaye mdatisha kimahaba.
“Una taka kuniambia kwamba sikuridhishi mpenzi wangu?”
“Hapana mume wangu, una nirishisha sana na unanikojolesha hadi kiu yangu ina katika”
“Hahaa nakupenda sana Magreth”
Nabii Sanga alizungumza huku akimbusu Magreth mdomoni mwake. Kengele ya getini ikawafanya waachiane.
“Nahisi watu wa kampuni ya kufunga kamera watakuwa wamesha fika. Vaa nguo ukawapokee”
Nabii Sanga alizungumza hukua akimtazama Magreth kwa macho yaliyo jaa mahaba. Magreth akashuka kitandani, akachukua matenge yake mawili na kujifunga.
“Mage”
“Eheee”
“Hivi una jua kwamba wewe ni mzuri sana”
“Kweli?”
“Haki ya Mungu vile, hembu njoo”
Magreth akamfwata nabii Sanga kitandani alipo kaa. Nabii akayatomasa makalio ya Magreth na kuyapiga vibao kidogo.
“Haya nenda kawafungulie mimi ngoja nijimwagie maji”
“Sawa mume wangu”
Magreth akatoka chumbani humo na moja kwa moja akaelekea getini kwake. Akafungua geti dogo, akastuka kidogo mara baada ya kuwaona wanaume wanne walio valia suti nyeusi wakiwa wamesimama nje ya geti hilo huku kukiwa na gari mbili nyeusi.
“Aha….karibuni”
“Tumemkuta nabii Sanga?”
“Ndio nyinyi ndio kampuni aliyo wapigia muje kufunga kamera?”
Magreth aliuliza kwa mashaka kwa maana wanaume hao wamevalia nguo ambazo si za ufundi kabisa.
“Tunahitaji kumuona”
“Karibuni”
Wanaume hao wanne wakaingia ndani huku wengine sita wakishuka kwenye magari hayo na kuimarisha ulinzi nje.
“Ngoja niwaitie”
Magreth alizungumza huku akielekea chumbani kwake na walinzi hao wa raisi wakatawanyika sebleni hapo ili kuhakikisha kwamab wana mpata nabii Sanga haraka iwezekanavyo.
“Baby baby”
Magreth alizungumza huku akiingia bafuni.
“Kuna nini?”
“Wamekuja wanaume wamevalia suti nyeusi. Hao ndio mafundi?”
“Wamevalia suti nyeusi?”
“Ndio”
“Mmmm mbona wale kampuni yao mavazi yao yana rangi za blue”
“Hembu maliza ukawaone na watu wenyewe wanaonekana wapo serious kwa maana hata salamu hawajanipa”
“Mmmm”
“Ndio hivyo mume wangu”
Nabii Sanga akaoga haraka haraka kisha akatoka bafuni hapo. Akavaa nguo zake na kutoka sebleni, akamkuta mwanaume mmoja tu aliye valia suti.
“Ninaitwa agent John kutoka secrety service. Tumekuja kukuchukua uelekee ikulu”
“Ikulu!!?”
“Ndio, tuna weza kuondoka pamoja”
“Kuna nini Ikulu?”
“Mzee hii ni oda ya raisi. Tume kuja kukusindikiza kukupeleka ikulu tu”
Nabii Sanga akamtazama Magreth aliye jawa na wasiwasi.
“Sikia watakapo kuja watu wa kufunga kamera hakikisha una wasimamia na hawafanyi tofauti na nilivyo waelekeza”
“Ume waelekezaje?”
“Wafunge kamera thelathini, wao wenyewe watajua ni wapi watafunga na malipo yote nitayafanya kwa njia ya simu”
“Sawa”
Nabii Sanga mara baada ya kumuachia Magreth maelekezo akatoka na wanaume hao wanne ambao watatu walikuw awamejificha sebleni hapo na kumuacha mwenzao mmoja. Nabii Sanga akashangaa wingi wa walinzi hawa wa raisi nyumbani kwa Magreth, akatamani kuwauliza wamejuaje kama yupo hapo, ila akakosa nafasi hiyo kwani watu wote wana onekana wapo serious na kazi yao iliyo waleta hapo.
***
Levina akakamilisha kumkatia Tomas tiketi katika shirika la ndege la South Africa Air ways. Ndege atakayo itumia Tomas, itaondoka nchini Tanzania saa mbili na nusu usiku. Levina akarudi nyumbani na kumkuta Tomas, akiwa sebeleni akitazama tv.
“Baby huwezi amini jamaa bado wana endelea kunitafuta”
“Na watakutafuta sana, hawato kupata ng’oo. Sasa nime fanikiwa kupata ndege ya saa mbili usiku. Muda wa kuripoti ni saa mbili kasoro”
“Sawa mke mpenzi wangu asante”
“Tomas nina hitaji kuzungumza na wewe kabla hujaondoka”
“Sawa mpenzi wangu, tuzungumze”
Levina akaka kwenye sofa linalo tazamana na sofa alilo kalia Tomas.
“Tomas una nipenda au una mihemko ya kutokana nilikusaidia?”
“Nina kupenda mpenzi wangu”
“Una niahidi nini kwenye maisha yako ya kwenda huko”
“Kipivipi?”
“Utakuwa na mwanamke mwengine au?”
“Siwezi kuwa na mwanmke mwengine”
“Tomas, sitaki niumie kama ulivyo niumiza pale awali, kumbuka maisha yako na usalama wako sasa hivi yapo mikononi mwangu. Ukienenda kinyume na mimi hata kama una ishi Afrika kusini, lazima askari watakukamata”
“Levina nisikilize mpenzi wangu”
Tomas alizungumza huku akimfwata Levina sehemu alipo kaa.
“Levina una tambua kwamba nina kupenda na sinto kwenda kinyume na penzi lako”
“Tomas, nyinyi wanaume ni waongo. Wewe nieleze tu ukweli kama uta nisaliti niweze kujiandaa kisaikolojia kuliko kuweka ahadi ambayo una jua uta ivunja”
“Sinto kusaliti mpenzi wangu. Haki ya Mungu wewe niamini”
“Sawa ni hayo tu ndio nilikuwa nina kuuliza kwa maana nchi hiyo ina maradhi mengi sana hasa ukimwi. Sasa usije ukaniletea magonjwa bure”
“Siwezi kufanya hivyo mpenzi wangu mimi nina kupenda sana”
Levina taratibu akaanza kuchokozi wa kimapenzi ambao taratibu ukamfanya Tomas kujibu uchokozi huo kimahaba na toka wakutane jana tayari wamesha kwenda mizunguko zaidi ya kumi katika nyakati tofauti tofauti.
***
Nabii Sanga akashuhudia geti kubwa la ikulu likifunguliwa. Gari hizo walizo panda zikaingia Ikulu na kusimamisha kwenye maegesho. Wakashuka kwenye gari hizo na nabii Sanga moja kwa moja akapelekwa hadi katika chumba cha kupumzikia.
“Muheshimiwa nabii Sanga yupo hapa”
Mlinzi aliye ingia katika chumba cha mahojiano alimuambia raisi Chinas Mtenzi mara baada ya kupokea ujumbe huo kutoka kwa kiongozi wa walinzi aliye kuwa amekabidhi kazi hiyo na raisi Chinas Mtenzi.
“Yupo wapi?”
“Wamemuweka katika chumba cha mapumziko”
“Chumba cha mapumziko!! Amekuwa nani yeye, hembu mleteni huko ajumuike na huyu mjinga mwenzake”
Mlinzi huyo akatoa agizo hilo kwa walinzi wengine na baada ya muda mfupi nabii Sanga akaletwa eneo hilo na kuingizwa katika chumba hicho. Nabii Sanga akastuka mara baada ya kumkuta RPC Karata akiwa amekaa kinyonge huku mikononi mwake akiwa amefungwa pingu na yunifomu zake zime jaa jasho.
“Karibu”
Raisi Chinas Mtenzi alizungumza huku akisimama. Raisi Mtenzi akavua koti la suti yake na kumkabidhi mlinzi wake aliye muingiza nabii Sanga.
“Mzee kaa hapo una nitumbulia nini macho”
Raisi Mtenzi alizungumza huku akikunja mikono ya shati lake. Nabii Sanga kwa woga akaka kwenye kiti ambacho hakikuwa na mtu. Raisi Mtenzi akaviweka sawa viungo vyake huku akimkazia macho nabii Sanga.
“Nabii wewe ume tumwa na Mungu kweli kuja kueneza neno lake hapa duniani?”
Swali la raisi Mtenzi likamstua sana nabii Sanga, akahisi haja ndogo ina kwenda kumtoka.
“Ndi….io muheshimiwa raisi”
“Una uhakika?”
“Ndio muheshimiwa”
“Kama kweli Mungu ana kutumia wewe, imekuwaje ukamashawishi kijana wangu mtiifu kumuachia mtuhumiwa aliye shirikiana na mke wako katika kukuteka kwako na pia mtuhumiwa huyo amekuibia mke wako. Eheeee?”
Nabii Sanga akashindwa kabisa kuuzuia mkono wake, ambao taratibu umeeanza kulowanisha boksa yake huku ukilowanisha suruali yake na ukaanza kuchuruzika kwenye miguu yake na kumwagika chini na kuanza kusambaa taratibu kwenye sakafu ya chumba hicho.
kwa maombi yake.
Mlinzi wa raisi aliyomo ndani ya chumba hicho aliweza kuhushudia mkojo wa nabii Sanga jinsi unavyo sambaa katika chumba hicho.
“Ha….a…a….apaa…..ana”
Nabii Sanga aliendelea kubabaika kwa woga.
“Unataka kuniambia kwamba mke wako hajahusika katika kukuteka wewe?”
Nabii Sanga akazidi kuchanganyikiwa hakutarajia kwamba ujio wake wa Ikulu una weza kumuweka katika wakati mgumu kama huo.
“Mzee zungumza, huwa mimi sina utani na wakosaji na haijalishi nina kujua au sikufahamu. Una cheo gani au huna, na pia mimi nikikosea huwa nina baba makosa yangu, ndio maana mwanangu wa kwanza aliuwawa na Karata kutokana alikuwa ni jambazi na mimi ndio niliye toa amri ya kuuwawa kwake. Haya niambie mke wako ame husika au hajahusika?”
“Amehusika”
Nabii Sanga alizungumza huku mwili mzima ukiwa una mtetemeka.
“Ana takiwa kulipa kutokana na makosa yake aliyo yafanya. Inakuwaje penzi la kijana tu limpagawishe hadi kuamua kuku saliti. Ila kabla sijatuma watu wa kwenda kumkamata, ni kwa nini uliamua kumsamehe mke wako ikiwa ni muhalifu na ukazidi kwenda mbali sana na ukaamua kumsamehe mtuhumiwa wako?”
“Mungu baba ametuambia tusamehe saba mara sabani. Ni kweli kama binadamu mwenye nyongo na hasira, nilitamani kumuona yule kijana ana uwawa kikatili sana. Ila nilitafakari sana kuhusiana na maamuzi yangu, nikahisi kwamba damu ya kijana yule ita nililia mikononi mwangu. Kutokana mimi ndio mtendewa sikuona haja ya kuidhulumu roho ya yule kijana, nikaona ni heri akaondoka nchini Tanzania ili nisimuone”
Nabii Sanga alizungumza kwa kujikaza sana. Raisi Chinas akaka kwenye kiti alicho toka kunyanyuka muda mfupi ulio pita. Akachungulia chini ya meza hiyo na kuona mkojo ukiwa umesambaa chini na akagundua kwamba ume toka kwa nabii Sanga. Kitendo hicho kina muashiria kwamba mtumishi huyo ni muoga. Akamtazama nabii Sanga kwa sekunde kadhaa kisha akatabasamu.
“Mzee una moyo wa ajabu, sijawahi kukutana na binadamu mwenye moyo kama wako. So unataka kuniambia kwamba mtuhumiwa uli mtorosha?”
“Hapan sijamtorosha, ila niliomba aweze kuachiwa huru na kijana hapa. Natambua aliyo yafanya ni nje ya taratibu ya kazi yake, ila nina kuomba uweze kumsamehe na msalaba wake nipo tayari kuubeba mimi”
“Una uhakika?”
“Asilimia mia moja muheshimiwa”
“Mfungue pingu Karata. Msako wako wa kumtangaza Tomas kwenye vyombo vya habari ukatishe mara moja na atafutwe kimya kimya”
“Nashukuru sana muheshimiwa. Nashukuru sana”
RPC Karata alizungunmza huku akiwa amejawa na furaha kubwa sana. RPC Karata akafunguliwa pingu na mlinzi wa raisi na kutoka chumbani humo.
“Nipe siri ya kuwa na moyo kama huo wako”
“Ni kumjua MUNGU tu muheshimiwa raisi”
“Mimi mbona nina soma biblia, nina sali sana ila sijawahi kusamehe kwa namna uliyo fanya wewe”
Raisi Chinas Mtenzi alizungumza kwa upole huku akimtazama nabii Sanga
“Unajua nilipo sikia kwamba ulitoa hadi amri mwanao auwawe kutokana ni jambazi, kidogo nime stuka sana. Ina bidi tufanye maombi kwa ajili ya hiyo hali. Kwa kiongozi mkubwa kama wewe wa nchi, ukishindwa kuzuia hasira yako na ukawa ni mtu wa kukasirika sana, ipo siku uta iingiza nchi katika matatizo makubwa”
Nabii Sanga alizungumza kwa kujiamini sana kwani tayari amesha upata udhaifu wa raisi Chinas Mtenzi.
“Ni kweli, una jua kuna kupindi nina jikuta nina hasira hadi nina tamani kuachia madaraka, ila washauri wangu huwa wana pambana sana na hasira yangu hadi nina badilisha maamuzi yangu”
“Ohooo pole sana muheshimiwa raisi. Kama unaweza kuniruhusu kufanya mauombi kwa ajili yako niambie nifanye”
“Ahaa nipo tayari pia, nahitaji tutoke kwenye chumba hichi, ukabadilishe nguo kisha tufanye maombi. Mpeleke nabii Sanga kwa fundi wa suti, muambie ashoneshe suti ndani ya lisaa awe amesha maliza”
“Sawa muheshimiwa raisi”
Nabii Sanga akaongozana na mlinzi huyo hadi katika ofisi ya mshonaji mkuu wa suti za raisi na wasaidizi wake katika ikulu hiyo. Nabii Sanga akachagua kitambaa anacho hitaji kushonewa na staili ya suti anayo ihitaji kisha ikaanza kushonwa huku akiisibiria hapo. Mshonaji huyooo mwenye kipaji kikubwa na kasi ya ajabu katika kazi yake ya ushanaji, ndani ya muda mchache akamaliza kushona suti hiyo na nabii Sanga akakabidhiwa ikiwa tayari imesha kamilika.
“Unaweza kuivaa tu mzee, hakuna haja ya kijaribu”
“Kila kitu kipo sawa”
“Ndio mzee”
“Aisee una kasi kubwa sana”
“Nashukuru sana mzee”
Nabii Sanga akaonyeshwa chumba cha kubadilishia nguo, ndani ya chuma hicho akakuta bafu. Akaoga kwa haraka kisha akaivaa suti hiyo. Hakika hapakuwa na sehemu ambayo ime kosewa au kuubana mwili wake. Vipimo vyote alivyo vifanya fundi huyo vime kaa vizuri sana kwenye suti yake. Nabii Sanga akatoka chumbani hapo na mmoja kwa kwa moja akaepelekwa eneo analo ishi raisi Chinas na familia yake ndani ya ikulu hiyo hiyo. Akamkuta mke wa raisi Chinas, wakasalimiana kwa furaha na bahati nzuri wana fahamiana.
“Karibu sana mtumishi, ni muda mrefu sana hatujaonana”
“Ni kweli, ila muna endeleaje na familia?”
“Ahaa Mungu ana saidia, majukumu ndio hayo yameongezeka. Kipindi kile nilikuwa huru kwenda sehemu yoyote mwenyewe, ila kwa sasa hadi uongozane na ving’ora”
“Ahahaa ila ndio hivyo Mungu ame kupandisha kutoka chini kwenda juu”
“Ni kweli”
Raisi Chinas akaingia sebleni hapo.
“Samahani mtumishi nimechelewa kufika”
Samahani hiyo ikamfanya mke wa raisi kushangaa kwani katika kipindi cha maisha yake hajawahi kumsikia mume wake akimuomba mtu wa kawaida sahamani zaidi ya mama yake mzazi tu.
“Hakuna shaka mzee”
“Mama Lily nabii hapa amekuja kuongoza maombi. Hivyo kama kuna wengine humo waite waje kujumuika nasi”
“Wametoka”
“Sawa, nabii Sanga unaweza kuanza maombi, kidogo nime kimbia ofisini”
Nabii Sanga akaanzisha ibada hiyo fupi kwa nyimbo za kuabudu kisha akaanzisha mauombi. Ndani ya muda mfupi raisi Chinas akaanza kuanguka chini huku akigaraga gara kana kwamba mtu mwenye ugonjwa wa kifafa. Nabii Sanga hakuiogopa hiyo hali zaidi ya kuendelea kusali na kuyakemea mapepo mengi sana yaliyomo ndani ya mwili wa raisi Chinas.
“Tokaaaaa kwa jina la Yesu”
Nabii Sanga alizidisha kukuemeea na ndani ya robo saa mapepo hayo yote yakatoka mwili mwa raisi Chinas. Wakasaidiana na mke wake na kumnyanyua huku raisi Chinas akionekana mwili wake kumuishia nguvu.
“Muheshimiwa una jisikiaje?”
“Ehee?”
“Una jisikiaje?”
“Nahijhisi mwili ni mwepesi sana”
“Kweli?”
“Ndio na huwa nina sumbuliwa na maumivu ya mgonga na hata asubuhi ya leo nilichoma sindano ya kupunguza maumivu, ila maumivu hayo yote yametoweka”
“Hakika Mungu amefanya muujiza wake. Una jua hatua uliyo kuw aumefikia, ilibaki kidogo sana uiingize nchi kwenye vita. Sasa ni wakati wa kwenda kusawazisha tofauti na baadhi ya viongozi ambao ume pishana nao kutokana na kauli zako ambazo ziliwaumiza na wengine kuanza kukuwazia mambo mabaya”
“Nimekuelewa nabii. Hakika nilikuwa sipendi kushauriwana wala nilikuwa simsikilizi mtu wa aina yoyote, ila hali ya chuki ndani yangu naona ime toweka pia”
“Mungu ni mwema”
“Hakika Mungu alikuwa na makusudi yake ya kukutanisha. Nabii uta rudishwa nyumbani na endapo utakuwa na haja yoyote ya msaada wangu basi nina kuomba uweze kuwasiliana nami”
“Sawa muheshimiwa raisi”
Raisi Chinas akampatia nabii Sanga namba yake ya simu kisha naye akachukua namba ya nabii Sanga. Wakapiga picha kadhaa kwa pamoja, kisha wakatoka nje, nabii Sanga akapewa walinzi wa kumrudisha nyumbani kwake huku raisi Chinas akielekea kwenye mkutano na balozi kutoka nchini Ujerumani, huku moyoni mwake akijiona ni mtu mpya na mwenye furaha kubwa sana tofauti na siku za nyuma.
***
Magreth akawakaribisha mafundi wa kufunga kamera katika nyumba yake. Akawapa maelezo ambayo nabii Sanga aliyatoa na kazi ikaanza mara moja. Simu yake ikaanza kuita na kukuta ni nabii Sanga.
“Vipi mafundi wamefika”
“Ndio mpenzi upo wapi?”
“Nipo njiani nina kuja hapa”
“Sawa, nikuandalie chakula kwa maana sasa ni mchana”
“Kama huto jali fanya hivyo”
“Sawa mpenzi wangu”
Magreth akakata simu na kuanza kupiga chakula aina ya biriani. Akapika chakula kingi ili mafundi hao nao waweze kupata chakula. Nabii Sanga akafika nyumbani hapo na kuanza kumuadisia Magreth safari yake hiyo ya Ikulu.
“Hongere sana”
“Nashukuru, yaani hapa nina furaha nime kuwa mtu wa karibu sasa na raisi. Yaani ni kama muujiza sikutegemea”
“Kweli Mungu ni mwema”
“Mafundi wana endeleaje na kazi?”
“Kama unavyo ona wana zidi kufanya kazi”
Nabii Sanga akamfwata fundi mkuu na kuendelea kumumpa maelekezo anayo yahitaji yaweze kufanyika. Hadi inafika majira ya jioni mafundi hao wakawa wame maliza kazi ya kufunga kamera hizo na kuanza kuwapa mafunzo nabii Sanga na Magreth jinsi ya kuzitumia kwa kupitia simu zao za mkoni. Maelekezo hayo yalipo isha kwa pamoja wakajumuika na kupata chakula cha usiku. Kisha nabii Sanga akafanya maliopo ya kazi hiyo kwa njia ya mtandao. Mafundi hao wakaondoka na kuwaacha nabii Sanga na Magreth ambao hawakuwa na jambo jengine la kufanya zaidi ya kupeana burudani ya penzi moto moto.
“Kwa hiyo utaondoka na kuanicha peke yangu mwenzi mzima?
Magreth alimuuliza nabii Sanga kwa sauti ya upole mara baada ya kumaliza mtanange huo.
“Yaa hakuna jinsi, ila hakikisha hicho kiasi cha pesa nilicho kuachia una fungua biashara”
“Sawa nitafungua mgahawa nina imani hadi una rudi basi nitakuwa mbali sana kibiashara”
“Kweli, acha nirudi nyumbani nijiandae kwa safari kwa maana inanibidi kuondoka asubuhi”
“Sawa mpenzi wangu”
Nabii Sanga akaagana na Magreth na kuondoka eneo hilo. Nabii Sanga akafika nyumbani kwake na kupokelewa kwa mabaha mazito na mke wake.
“Mbona ume chelewa mume wangu”
“Nisamehe kwa kweli. Yanai leo nina habari njema”
“Habari gani tena mume wangu”
“Nimetoka ikulu kumfanyia maombi muheshimiwa raisi”
“Weeee!!! Acha kunitania mume wangu”
“Haki ya Mungu na ushahidi wa picha huu hapa”
Nabii Sanga akaanza kumuonyesha mke wake picha alizo piga ikulu na raisi.
“Yaani yule mzee alikuwa na mapepo, huwezi amini ameanguka”
“Sema kweli?”
“Hoo yaani, tena unajua jambo lililo nipeleka pale ni lakowako”
“Lipi?”
“La kuniteka, RPC alibanwa kwa kutishiwa kufukuzwa kazi, hakuwa na jinsi kijana wa watu akaamua kufunguka kila kitu, yaani nilikuwa nipo sehemu, sijui hata walijuaje nipo sehemu hiyo. Walinzi kama kumi hivi walikuja kunichukua mzoga mzoga hadi nikahisi kuchanganyikiwa, ila namshukuru Mungu kile nilicho kuwa nimekifikiria hakikuwa hicho”
“Ohoo Mungu. Kwahiyo raisi ametambua kwmaba mimi ndio nime kuteka?”
“Ndio ila kwa jinsi nilivyo muombea basi amekuwa mtu wangu wa karibu sana. Sasa nina imani ile biashara ambayo uliniambia jana tuna kwenda kuifanya”
“Sasa mume wnagu hembu niambie. ALihitaji kufanya nini?”
“Alitaka kutuma walinzi wake waje kukukamata ila kwa bahati mbaya au nzuri niliweza kumshawishi kwa neno la Mungu, akalainika basi nikaliua soo lako juu kwa juu”
“Waacha weee, na hii suti?”
“Nimeshonewa huko huko ikulu yaani mke wangu hapa nina bonge moja la furaha.”
“Sawa mume wangu, nimekata tiketi za saa moja asubuhi, hivyo saa kumi na mbili ina bidi tuwe uwanja wa ndege”
“Sawa mke wangu hilo haina shida”
Nabii Sanga alizungumza kwa furaha sana kwani ukaribu wake na raisi hakika utaanza kumsaidia kupitisha biashara zake haramu ambazo zina endelea kumuingizia kipato kikubwa sana cha pesa.
***
Levina na Tomas wakafika uwanaja wa ndege majira ya saa moja usiku. Kwabahati mbaya wakakutana na tangazo katika shirika la ndege walilo likata, kwamba ndege ime pata itilafu hivyo wana ombwa waweze kusubiria hadi pale ndege itakapo tengemaa ndipo safari ianze.
“Yaani haya mashirika ya nchi yana kera sana”
Tomas alizungumza huku akikaa kwenye moja ya kiti kilichopo kwenye eneo la abiria wanao subiria kuondoka nchini Tanzania.
“Maswala ya itilafu ni kawaida katika kila kitu, ndio maana hata wewe kuna kipindi una umwa. Hivyo acha kulalamika”
“Hata kama, sasa kwa nini wasilete ndege nyingine”
“Una hisi ndege ni mabasi mpenzi wangu, kwamba likiharibika basi hili lina letwa jengine na kufualisha abiria. Hembu kuwa mpole, au hupendi kukaa na mimi hapa na una naka uwahi kuondoka”
“Napenda”
“Sasa mbona una kuwa hivyo. Wewe tulia, ndege ikifaa, mutanangaziwa na muta ondoka”
Levina aliendelea kumtuliza Tomas mwenye uchu wa kuondoka nchini Tanzania. Masaa yakazidi kuyoyoma hadi saa kumi na mbili alfajiri ndipo walipo anza kutangaziwa kwamba ndege yao ipo tayari kwa ajili ya safari.
“Waseng** sana hawa”
Tomas alizungumza huku akiwa amekasiraka sana. Levina akatabasamu tu, kwani Tomas amekereka sana. Wakanyanyuka kwenye viti hivyo na wakakumbatiana kwa muda kidogo huku kila mmoja akiwa na hiasi kali za mapenzi.
“Jichunge na ujilinde Tomas”
“Usijali mpenzi wangu. Tambua kwamba nina kupenda sana”
“Hata mimi nina kupend……..Tom ona kule”
Levina alizungumza huku akimuachia Tomas, wakageuka nyuma na kumuona nabii Sanga na mke wake wakiwa miongoni mwa abiria walipo hapo uwanja wa ndege huku wakionekana kusoma soma baadhi ya matangazo yaliyopo uwanjani hapo jambo lililo mfanya Tomas kuanza kujawa na chuki dhidi yao kwani wao ndio wana mfanya sasa hivi kuishi katika sura ambayo sio yake.
Tomas akataka kuwafwata ila Levina akawahi kumshika mkono.
“Unataka kufanya nini sasa?”
“Nataka kuwafwata”
“Acha ujinga wewe, hujui upo kwenye wakati gani? Sauti yako ni lazima wataitambua. Angalia hapa uwanjani kuna askari wangapi ambao wakipewa taarifa kwamba wewe ni Tomas, wata kukosa?”
Levina alizungumza kwa msitizo na kumfanyaTomas kushusha pumzi huku akiwatazama nabii Sanga na mke wake wakipanga mstari katika eneo la kukaguliwa.
“Nahitaji uwe hai na ufanye kama vile nilivyo kuambia ufanye. Sawa?”
“Sawa”
Levina akazinyonya lipsi za Tomas, taratibu kisha akamsindikiza hadi kwenye mstari wa abiria. Tomas akapanga mstari na akakaguliwa hati yake ya kusafiria na kwa bahati nzuri haikuwa na tatizo lolote.
“Safari njema bwana Brian Sanga”
Muhudumu huyo wa kike alizungumza huku akimkabidhi Tomas hati yake ya kusafiria.
“Nashukuru”
Tomas akageuka na kumtazama Levina aliye achia tabasamu pana. Akampungia mkono kisha akaelekea eneo ambalo ndege yao ipo. Akaingia kwenye ndege anayo ondoka nayo, akatafuta siti yake na kuketi huku moyoni mwake akiwa na furaha kwani ana ondoka nchini Tanzania kirahisi sana. Kutona ndege yao ikaruhusiwa kuanza kuondoka kabla ya ndege aliyo panda nabii Sanga pamoja na mke wake.
“Mungu tutangulie”
Nabii Sanga alizungumza huku akimshika mkono mke wake.
“Yaa Mungu atakuwa pamoja nami”
“Hivi Julieth umemuachia pesa ya kutosha?”
“Ndio, nimewapa pesa ya matumizi ya kutosha. Nahisi kwa wao wawili hawawezi kuimaliza kwa mwenzi mmoja”
“Sawa”
Mara baada ya ndege aliyo panda Tomas kuacha ardhi, ndege waliyo panda nabii Sanga ikaruhusiwa, taratibu ikaanza kuondoka eneo hilo na kuanza kushika kasi katika run way yake. Baada ya dakika chache taratibu ikaanza kupaa na kuacha ardhi ya nchini Tanzania. Baada ya ndege kukaa sawa hewani, nabii Sanga akafungua mkanda wa siti yake huku akitazama saa yake ya mkononi.
“Saa mbili kasoro”
“Wana kwenda na muda”
“Ni kweli japo walichelewa dakika kumi nyuma”
“Ndio, si kutokana na ile ndege ya Afrika kusini walio tutangazia kwamba ili haribika, ilipaswa ile ihawi kuondoka”
“Haya mke wangu”
Nabii Sanga alizungumza huku akimfikiria Magreth ambaye ameondoka pasipo hata kumpigia simu asubihi hiyo. Hii yote ni kutokana na kubanwa na mke wake.
***
Asubuhi na mapema Magreth akaamka, akajiandaa haraka haraka na kumpigia simu Sheby na kumuomba aweze kufika nyumbani kwake. Haukupita muda mrefu Sheby akafika katika eneo hilo.
“Hivi sister kwa nini usijifunze kuendesha?”
“Yaani weee acha, ila si tulipanga weekend hii ndio utanifundisha”
“Ndio”
“Basi, ufanye hiyo. Kwa sasa twende hospitalini”
“Poa, tena mke wangu jana usiku nimempeleka hapo hapo Mwana nyamala”
“Ana sumbuliwa na nini?”
“Uchugu, siku zake nahisi zimesha karibia”
“Mungu amsaidie kwa kweli”
“Utamuona tukifika”
Wakaondoka na haikuwachukua muda mrefu sana wakafika hospitalini, wakaelekea katika wodi za wazazi. Sheby akamsalimia mama yeka mkwe ambaye yupo hospitalini hapo kwa ajili ya kuangalia maendeleo ya binti yake.
“Mama huyu ni Magreth, ni bosi wangu”
“Ohoo habari yako binti”
“Salama shikamoo mama”
“Marahaba”
“Vipi hali ya mgonjwa ina endeleaje?”
“Bado ana ugulia uchungu, manesi wanaendelea kujitahidi kuhakikisha kwamba wana muweka katika hali nzuri”
“Poleni sana”
“Tunashukuru”
“Mama mimi ngoja niwakimbie kwa maana kuna mgonjwa wangu, alichomwa kisu. Sasa nahitaji kwenda kumuoa”
“Ohoo pole sana mwanangu”
“Nashukuru sana mama”
“Tomas, tuta wasiliana”
“Sawa sawa sister”
SEASON 2 inakuja

