SHERIA YA NDOA CHUPI KWENYE KAMBA MIUNO MPAKA ASUBUHI
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Episode 11
Nilisema kuanzia leo nafuta kumbukumbuku zote kuhusu toma na ninaanza maisha yangu upya nikimaliza uzazi nitarudi dar maan nilipokuwa nakaa sikurudisha nyumba
nilitaka niivunje laini yangu ila nikasema hii ni laini ambayo marafiki zangu wanaijua itakuwa rahisi hata nikirudi dar kutafutia connection ya kazi
nilimblock toma kila sehem na kuanzia hapo nilijikabidhi kwa mungu nikasema mungu wewe unayajua hata ya sirini naomba nipe moyo wa kukinai nilee mimba yangu kwa amani
mama yangu pa1 na shangazi hawakuchoka kunipa maneno ya faraja wakasema tulia kila kitu kitakuwa sawa rose
hatimae siku hiyo usiku nilianza kuumwa nyieee uchungu unaumaaaa sijui mnanielewa nikisema uchungu unaumaaaπ₯²π₯²
hakuna nyimbo ambayo niliacha kuiimba niliimba hadi mapambio mama akasema weeeh rose nyimbo gan hizoπ€£
alfajri mama aliita gari nikapelekwa hosptal ya general dodoma ?ile kufika tu sikuwa na mambo mengu niijifungua muda ule ule katoto ka kike πππ
nyieee mtoto alikuwa mkubwa kilo 4 na gram mia 9 nilichanika nikashonwa
nyuzi 4 π’π’π’
kwakuwa mtoto alikuwa hajambo na mm sikuwa na tatizo lolote tukiruhusiwa saa 6 machana tukarudi nyumbn
shangazi yangu ni wale wamama ambao wako shapu sana basi nilipikiwa supu likaletwa bakul nikaambiwa unatakiwa ulimalize khaaaa shangazi
akasema mtoto anatakiwa kunyonya huyo yaan kuhusu suala la kula tutagombana hutaamini π nikamwambia basi shangazi yangu nakula
nilikuywa ile supu yote hadi jasho likawa linanitoka π
baada ya hapo nikaenda kuogeshwa maji ya moto weeeeh siyo poaaa
shangazi yangu utadhan anakomoa nikipigwa maji hadi nikajiona mwepesi
baadae tukivyotulia mama akasema cyo busara tukikaa kimya rose mpigie simu mama yako mkwe umpe taarifa kuwa umejifungua salama
niliona ni sawa maana mama yake hakunikosea chochote mwenye shida ni mwanae
basi nikipiga cm nikamsalimia vizuriiii mama baada ya hapo nikampa habari njema weeeeh alifurahi mnooo akasema tumpe jina la miriam sikuwa pingamizi nikikubali
nilivyomaliza kuongea na mama nikaomba kuongea na wifi zangu na wifi amabaye ni pacha wake timo alisema atakuja siku 2 hz kumuona miriam
basi tuliagana pale nikakata cm
usiku nikiwa namnyonyesha mwanangu ndio nikaanza kumchunguza nyieeee mwanangu alimfanana baba yake hadi vidole mie sikuambulia chochote
nikaanza kujisemea timo mume wangu saa hz tumgekuwa wote tunamfurahia mwanetu nn kinekupata baba mbona umetuweka mbali wapendwa wako π₯²π₯²π₯²
aiseee usikie tuuuu inauma kama pasiii ni ngumu sana kumsahau mwananume unayempendaπ₯²π₯²π₯² na siyo kumpenda ni ngumu mnoo kumsahau mwanaume uliyekuwa na malengo yenu
usiku mwanangu alianza kulia nyieee katoto kalilia hadi mama na shangazi wakaja chumban kwangu wakanisaidia kumshika lakin wapiiiiii
Episode 12
Wote tulipigwa na butwaa maana ni kitengo cha gafla sana bint yangu aliendelea kulia sana mama alisema
Rose mwanangu mpigie mkweo wako umwambie labda kuna mila zao
sikusita hata nilimpigia mama akasema muwekee simu sikioni
nilishangaa sana akasema fanya kama navyokwambia muwekee mtoto simh sikioni
nilimuwekea akaanza kusema naye kilugha alisema naye zaidi ya dk tano miriam akaanza kupunguza kulia mwishoe akaacha kabisa khaaa tukishangaaa sana
mama mkwe akasema tuliaa hakuna kibaya kitakachompa nishaongea nae
daaaah nikasema dunia ina mambo sana sie na kina mama tumebembeleza kwa kupokezana ila wapiiii ila yeye kaimba mara 1 tu katulia ππ»ππ»ππ»
Miriam aliendelea vzr hakuwahi kutusumbua tenaaa
hatimae wifi yangu akikuja tulimuelekeza hadi kwetu akaja na tax weeh alifungasha mizawadi kibao ππ ya mtoto nyieee nilifurahi mnooo kumuona
muda wote alikuwa benet na mtoto na miriam nae kama alijua hakuwa msumbufu hataaaaa
alikaa dom kwa wek moja siku hiyo tupo chumban kwangu mimi na wifi tu
akasema wifi kwani nn kilitokea wewe na kaka mama huwa analia tu
niambie ukweli wifi yangu . familia bado tunakuhitaji unaona kama hivi umetuletea mrembo wetu
nilimwambia wifi mimi pia sielewi kilichomapata toma wangu kuna muda nikikumbuka matukio aliyonipiga huwa na nakaa nahisi kama naota tu ndoto mbaya ambayo nikiamka ntakupa siyo kweli π₯²π₯²
wifi alinikumbatia akasema tulia wifi yataisha mama kaenda dar nabhata mm navyotoka hapa kituo kinachofata ni dar lazima tukajua ni kipi hasa kikichomkuta pacha wangu
nikamwambia ila mm kurudi siwezi maneno aliyoniambia mara ya mwisho nilimchukia sana hiyo haitoshi hadi mwanamke wake naye alinitumia sms chafuuuu π₯²
niacheni tu wifi madhli nyie mpo upande wangu basi nitapambana
kuhusu mtoto na nitakapokwama nitawashirikisha wewe na mama mnipe kampan
akasema wifi tulia kabla hajamaliza kauli mama yake alipiga cm kwa widi akasema toma siyo mwanangu na simtambui kuanzia leo
mungu wanguππ»ππ» nikistuka mnooo maana simu iliwekwa loaud spika
wifi alipigwa na butwaa akataka kuidondosha cm mie niliiwahi nikaanza kuongea na mama
nilimuomba mama usitamke neno lingine lolote juu ya mwanao shusha pumzi mama nakuomba najua siyo rahisi mama yangu ila nakuombaaa
neno lolote ukilitamka mama toma atapata shida maisha yake yote niamini mm toma hayuko sawa simama imara umuhangaikie yule mwanamke kuna vitu anafanya vibaya siyo bure
nyie nilijikuta mama ushauri gafla nilijua kwa kauli ile mama aliyotoa ni kwamba kuna kitu kibaya kimetokea na kimemuuma sana kama mzazi kashidwa kustaimili π₯²π₯²π₯²π₯²
nilimpa cm wifi nae akaongea nae japo alikuwa analia tu
wakati huo ilikuwa saa 5 asubuhi wifi akasema naweza kupata bus la dar nilimwambia yapo tele
akasema naomba niitie mama na shangazi nimuage
shangazi alipeleka hadi stand na alifanikiwa kupata bus akaanza safari huku tukichart kila wakati akiniambia alipofika
usiku tukiwa tunakula shangazi alisema kuwa makini hata ukija kuamua kurudi kwako
shangazi yangu namjua hivyo sikutaka mambo yawe mengi nikitikisa kichwa tu kumuitikia π€£π€£π€£
wifi alinipigia asubuhi sana akasema toma anaishi na yule mwanamke kibaya zaidi yule dada ni mjamzito mimba kubwaa tu
maumivu niliyohisi ni
kama nakatwa na kiwembe tumboni π₯²π₯²π₯²π₯²ila nikasema ni sawa wifi
wifi akasema sie tunarudi tanga na mama amechukia mnooo ila toma ni kama hajali hata kauki za mama
nilimwambia mkapambane kumrudisha toma awe sawa mi kuna nafsi inaniambia siyo bure
akasema sana mama miriam
walirudi tanga na mimi nilikaaa likizo ya uzazi ilivyoisha nikarudi dar na mtoto wa shangazi ili anisadie kukaa na mtoto
siku 2 mbele nikiripoti kazin wafanyakaz wenzangu alinipa hongera ya kujifungua salama pia walifurahi sana kuniona . niliweka vitu vyangu vizuri ofsn kwangu na moja moja nikaenda kuongea na boss wetuu wa kike ofsin kwake juu
Episode 13
Kiukweli boss wetu ni m2 poa sanaa hasa ukiwa na changamoto huwa anasimama kama mzazi
na vile mie ananijua sina makuu ndio kabisaa
alinikaribisha ofsin kwake tukapiga story 2 3 akanipa hongera mwishoe nikaamua kwenda kwenye point
nilimwambia naomba sana kama inawezekana unibadilishe ofisi bosss wangu
kwanza alistuka sana nikamwambia nina changamoto kadhaa ngumu sana nikisema niendelee kubaki hapa sitafanya kazi kwa ufanisi uliyouzoea
akasema muda chakula cha mchana tutaongea vzr . nilimwitikia nikatoka na niliendelea na kazi zangu gadi machana
boss alinipigia cm na kuniambia alipo
nilipigwa na butwaa kumkuta yuko pamoja na boss wetu mkubwa ilibidi niwe mpole tu nilisalimia nikavuta kitu nikakaa kwa adabu zoteee π€£
niliagiza chakula maana wenzangu chakwao ndio kilikuwa kinaletwa na baada ya muda tuliendelea na mazungumzo huku tunakula
boss wetu wakike aliniona kabisa nimepoteza uchangamfu π€£
akaamua aanzishe yeye mada juu ya nilichomuomba mchana
boss mkubwa akasema ni sawa ila naomba kujua sababu za kufanya hivyo hapo tena sikuwa na jinsi niliona niwe muwazi tu niliwaambia kila kitu mwanzo hadi mwisho
nyieee walinionea huruma sana boss mkubwa akasema nitakupa jibu siku mbili hizi ila pole sana
tulimaliza kula pale kila m2 akarudi afsin kwake
jioni nikiwa nasubiri bolt nilimuona toma anaingia pale ofsin akiwa ameiva uso mwekunduuuu yeye hakuniona na wala mie sikutaka anione nilichofanya nilijibanza nyuma ya gari ya boss wangu mkubwa
dk 5 bolt ilifika na wakati huo boss nae ndio akawa anatoka nikijikausha kama siyo mm π€£ ila akaniwahi akiniita rose nikajifanya kushtuka kumbe sina lolote π€£
aniita akanipa no akasema hii ni no yangu binafsi nibeep niipate yako alafu mi badae nitakupigia . niliitikia kwa kichwa maana boss wetu yule ni mbaba wa makamo kama miaka 45 hadi 50 hivi ila kutokana na maisha alikuwa yuko fiti
nilianza safari ya nyumban kumuwahi mwanangu
namshukuru mungu miriam alishinda vizuri hakulia nikajisemea kimoyo moyo afadhali malaika wangu endelea kuwa mtoto mzuri mama ako natafita kwa ajili yako .
nilifanya shughuli zangu hadi saa 1 na nusu jioni nikawa nimemaliza tukawa tunaangalia taatifa ya habari chanel ten basi cm yangu iliita kuangalia ni boss kubwa khaaaaaaaππ
niliiacha iite hadi ikakata ikaita tena ndio nikapokea nilijifanya nahema kama vile nilikuwa mbali na cm ππ
kumbe ni bwinu tu π€£
Episode 14
Basi niliipokea ile cma akasema
Rose habari nilimwitikia salama boss akasema usifanye hivyo boss ni ofsib ila huku niite tu MALIK
kimoyo moyo nikasema tobaaa naanzaje kumuita boss jina lake kavu kavu na sijawahi hata kulijua ndio kwanza leo kaniambia ππ»ππ»
nilibaki kimya hadi akanistuka tena aliita Rose nikarudia tena Abee boss
nyieeee hadi alicheka baba wa watuπ€£π€£π€£ akasema basi sawa nipo nje kwako hapa usiniambie tu kama ulishahama
nilikurupuka nikamuuliza uko nje kwangu akasema ndio rose
utatoka au niendelee kukulinda π€£π€£ nilijikuta nacheka akasema uje basi maana zikipita dk 5 zingine utakuta nimeitiwa mwizi ππ
nilimbilia ndan nikaenda kuvaa deralangu chapu ikatoka nje na kweli boss alikuwa nje sikutegemea ila ndio hivyo
nilijifuta upande wa dereva akafungua kioo nilimsalimia akasema weeh rose si tumetoka wote ofsin muda siyo mrefu ila basi ngoja tu niitie π€£π€£
daah nilijisikia ganzi balaa
nilimwambia boss karibu ndan akasema siyo kwa leo ila naomba unipe muda wako tuongee japo kwa dk 5 tu
nikamwambia boss siwezi kukuweka hapa nje tafadhali ingia ndan utie baraka nilimng’ng’aniza hadi akaingia π€£π€£
mtoto alikuwa ameshalala na mtoto wa shangaz alivyoniona nipo na mgeni alimsalimia kwa heshima kisha akaenda chumban kwake
nilichofanyan nilienda jikon nikapakua chakula sahan 2 nikaja nazo hadi seblen nikamkaribisha boss MALIK
Alitaka kukataa nikamwambia ili nikusikilize lazima ule akasema sawa.tulianza kula taratibu huku tunaongea
akasema kwanza pole sana mchana hatukuweza kuongea vzr ila kiukweli jambo lako kimeninyima kabisa aman
nikamwambia asante boss malik hizi changamoto huwa zipo ila tu niwe mkweli sikuwa nimejiandaa nazo
akasema hakuna m2 anayejiandaa na changamoto Rose ila ngoja
nikwambia kitu ambacho ww hukijui
hujajiuliza kwann nimekuja kwakuja kwako bima maelezo yako
nikitisa kichwa akasema mm nilishakuna sana kwako hata kabla hujaanzisha mahusiano na Timo ila baada ta kugundua uko na mfanyakaz wangu niliona nife na tai shingon
ukweli ni kwamba mie nakupenda sana yaan anakupenda kwa kumaanisha na sitaman baya lokote likukute .
nilimgeukia malik ili nimuone uson na ni kweli alikuwa anamanisha akasema kama unataka uthibitisho mwingine nitakupa rose
nilibaki nimeganda akasema subir dk 1 akitoka nje akarud boss akaanza kutoa kadi nyie lile box lilikuwa na kadi si chini ya mia khaaaaaππ»ππ»π₯²
Akasema hizi kadi ni zako na ukiangalia kila moja ina tarehe yake
niliendelea kutoa macho tu maana ni kitu ambacho sikuwa nimekitegemea kabisa nikajisemea boss huyu huyu ambaye nilikuwa namuogopa kumbe alikuwa ananipenda maskinπ’
akasema nilivyoona uko na timo nikasema nitakusubiri hata uzeen
tulijikuta tunacheka kwa nguvu π€£π€£π€£
nilimwambia boss mi nimkusikia na nimekuelewa naombaa nipe muda alafu nitakujbu
akasema sikupi muda wala dakika leo leo nataka jibu sitaki kupoteza muda mana nilishakusubiria sana ukiwa na yule mpuuziπ€£π€£π€£
nyieee basi msinicheke kwa kumkubali boss wangu siku hiyo hiyo maana si kwa ahadi zie wallah πππ
akasema chagua biashara gan ufanye nataka nikupe uhuru utafute biashara yako mwenyewe
nikamwambia nitakujulisha boss
akasema kesho mjiandae kuna gar itakuja kuwahamisha hapa nilimuukiza mbona gafla akasema nimeanza majukumu yangu π€£π€£
nyieeee acheni tu basi tulivyomaliza nilimtoka hadi nje ya get tukaangana kwa kunikumbatia weeeeeh ππ kahisia nilikokapata acheni tu π€£π€£π€£
nilirudi ndan huku najichekesha kama chizi mpya π
alivyifika alinipigia cm akasema kesho usije kazin mnahama hapo chukua baadhi ya vitu vya muhimu tu kama nguo zenu na vyombo basiii nilimuitikia akasema ulale sasa na utambue kitu kimoja tu mi nakupenda sana yaan nakupenda pamoja na mtoto wetu
Alivyokuwa anaongea hisia nilihisi hadi ubarid nikamwambia asante malik nyieeeee penzi jipya lilikuwa la motroooπ₯π₯ balaaaa
kesho yake tulihama mida ya mchana sehem nilipopelejwa sikuwahi hata kuwaza kama nitakuja kuishi weeeeh ilikuwa ni nyumba ya vyumba vu3 na seble kiufupi palikuwa pazuri balaa nilikuta na mmama wa makamo hivi alikuwa ananinyenyekea hadi nikawa nakisikia vibaya
akasema karibu sana mwanangu mimi naitwa farida au mama zai ni msaidizi wa kazi humu ?nilimwambia asante alianza kunitembeza kwenye vyumba ila kuna chumba kimoja tu ndio hakuingia akanikabidhi ufunguo
akasema humo ni chumban mwa boss huwa siingii hata usafi huwa anafanya mwenyewe khaaa nilistuka nikasema inamana nitaishi nae humu ???
mbona hakuniambia πππnilijikuta nanywea tu
Episode 15
Sikuwa na namna wakati nipo pale mlangon wakati huo mama wa kazi humu tumuite mama zai alikuwa amembeba miriam na miriam alikuwa ametulia tuli wakati siyo kawaida yake akibebwaga na m2 asiye mzoea huwa analia mnooo π€£
nilisikia Malik anasalimiana na na mama zai huku akiwa anakuja usawa wa chumbn nilipo niliweka funguo nikafungua nakuingia ndan bila kufikiria π€£π€£ sijui hata nikiwaza nn ila sikutaka anikute pale mlangon nimeganda
alikuja akiwa na miriam mkononi akabisha hodi mie tena nahema hadi jasho linanitoka kwenye viganja vya mikono nikasema leyooooooooππ»ππ»
aliingia akasema vipi mama angu nie tena nikawa domo zege ghafla π€£
alikuja hadi usawa wa nilipokaa nae akakaa hapo ndio alizidi kunipa pressure maana nilihisi tundu za pua hazitoshi kuhemea ππ
nyieeeee nilijikakamua nikamuuliza kwan boss tutaishi wote humu ?
aliniambia ndio mke wangu au haitaki kuishi na mm mumeo?
nilibaki kimyaa akasema kuwa huru tu maana mie siwezi kukufosi kitu ambacho hukitaki
nikasema nisimvunje moyo ngoja tu nipotezee .
nilimwambia nimeuliza 2 Malik akasema kuwa na uhuru hii nyumba ni kubwa naweza kwenda chumba kingine siku ukiwa sawa utaniambia mama
aliongea kwa hisia sana nikasema huyu kuna kitu ananificha inawezekana anapitia wakati mgumu sana
nilikakamua nikanyanyuka nikaenda kumkumbatia kwa nyuma nilimkumbatia kwa nguvu kabisa hadi nikawa nahisi mapigo yake ya moyo
alinigeukia akaniambia rose mi nakupenda tafadhali sema neno lolote tu ambalo litautuliza moyo wangu na kuupa uhakika kuwa ww ni wangu
khaaaa nyieeee asa mm nitasema nn au ndio majaribu yenyewe haya ππ
nikasema liwalo na liwe .nilimwambia Malik mwenzio nimetoka kuumizwa na siyo kwamba nimeumizwa na mpenzi tu hapana nimeumizwa na mume wangu wa ndoa tena baba wa mtoto wangu
unadhan ni rahisi mm kufungua moyo wangu na kuanzisha mahusiano mapya ? mwenzio vidonda vyangu bado vibichi kabisa π₯²π₯²
alinishika kidevu akanibidua uso wangu ukaangalia juu na mm kwake nilikuwa mfupi kidogo hivyo hapo alikuwa ananiangalia kwa chini
akasema nipo tayari kukusubiri hadi siku utakayofungua moyo wako na kujifunza kunipenda .sina haraka na ww rose wangu ?nyieee yaan malik alikuwa ananichukulia kama bint mdg ambaye sina hata mtoto kiufupi ni m2 ambaye alikuwa amenikubali mm na mwanangu
INAENDELEA