KAKA KAKA KUMBUKA MIMI NI DADA YAKO
PART 6
👉 dah yani..👇
Kaka aliniambia zakia unaona uyu ichi kifaa kibaya sana kinakatisha ndoto za watu.
Ichi kina mambo mengi mabaya ususani maji maji yake ndio mbegu za mtoto ila ukikipenda tu dada yangu mimi na wewe unashangaa atupendani tena.
Dada kiangalie usikiogope ukione maana si kitu kizuri ndio kinasababisha majanga kwa mwanamke.
” Jamani mimi nikasema kimoyoni kaka ayupo sawa kutakuwa na nguvu sio yake inamsukuma mbona anafanya vitu sio vizuri yani anaishika sehemu yake ya siri na anafanya kama anaichua ananiambia ayo maneno.
” Kaka anaendelea kusema.
Zakia hii ndio imebeba jina langu na ndio inasababisha uniite kaka ningekuwa kama na hii.
” Sasa kaka analeta mkono sehemu yangu ya siri.
Nikaona hapa kinachofata kubakwa.
Nikajiongeza akili hili niepuke na nia ya kaka.
nikamwambia kaka naisi tumbo linaniuma naomba niende chooni.
” Kaka akaniambia nenda dada yangu.
” Nilinyanyuka nikaenda chooni uku nawaza ivi kaka amepatwa na nini mbona simwelewi mimi.
” Kaka akala chakula akaenda kulala.
” Mimi nimerudi chooni nikaingia chumbani nikafunga mlango kwa kumuogopa kaka naisi akishakunywa anakuwa na mambo ya ajabu.
” Basi siku ya pili kaka akaniambia kesho nakuja na kuku unaotaka kufuga mimi saizi naenda kwenye biashara.
” Sasa nafikiria kaka mbona kama ajalewa ananipa heshima zote sasa akilewa ndio anafanya mambo ya ajabu.
Nikamwitika sawa.
Akaondoka nikasema akiludi jioni namwambia kaka aoe araka yani bila uyu kaka kuoa atakuja kunibaka mimi.
” Basi nachungulia nje namuona yule chizi kapewa pesa atoe msemo.
Mimi nikawa namsikiliza yule chizi misemo anayotoa alisema msemo huu…👇
NIKUKUMBUSHE.
“Kuongea sana kutakufanya ukose kujifunza mengi kutoka kwa wanao jua zaidi, penda kuzungumza ili ujifunze usivyovijua kutoka kwenye mazungumzo na siyo maongezi. Maana maongezi, hubeba vingi ambavyo siyo msaada kwako maana mara nyingi huambatana na utani, wenye kukonga nafsi ya waongeaji”.
” Sasa chizi akaondoka akisema pesa ndogo aliyopewa awezi toa misemo mingi.
Mimi moyoni nikasema kuna siku nitamwita ndani yule chizi nimpe ata elfu moja anipe misemo na mimi niwe naifanyia kazi kuichambua maana misemo yake ni mafumbo ambayo naisi yana maana kubwa.
Basi niliingia ndani nikawasha TV yani yote nafanya ivyo kupoteza muda jioni ifike sina pakwenda.
Sasa kwenye TV namuona yule kijana anatoa somo kubwa yupo kwenye umati wa watu na watu wametulia wanamsikiliza na mimi ikabidi nitulie nimsikilize.
Somo lenyewe ni hili…👇
NJIA 7 ZA KUJITOFAUTISHA NA WATU WENGINE, ILI UWE MTU WA KIPEKEE.
Kuna matatizo mawili makubwa kwenye zama tunazoishi sasa.Tatizo la kwanza ni watu kuishi kwa mazoea na kufuata mkumbo. Kufanya kile ambacho wengine wanafanya na wamezoea kufanya na kusahau upekee ambao upo ndani yao.
Tatizo la pili ni watu kutokujali kile wanachofanya, iwe ni kazi au biashara watu wanafanya tu kwa mazoea. Hawajitumi na wala hawakazani kutoa thamani ya tofauti.
Matatizo hayo mawili yamezalisha kundi kubwa la watu ambao wanahangaika sana lakini hawapati mafanikio makubwa katika maisha yao..
Kama unataka kujitenga na kundi hilo ili ufanikiwe, basi kuna mambo saba muhimu unayopaswa kuyafanya kwenye kila siku ya maisha yako.
1. Jambo la kwanza ni kuwahi mapema.
Popote unapopaswa kufika, fika kabla ya muda ambao unapaswa kufika. Kufika ndani ya muda ni kuchelewa, wewe fika mapema kabisa kabla ya muda unaopaswa kufika.Hilo litakutofautisha mno na wengi ambao hawawezi kufika mapema.Pia litakupa muda wa kuwa na maandalizi mazuri na utulivu wa kutosha kabla ya jambo husika kuanza.Iwe ni kazini, kwenye biashara yako au miadi yoyote ambayo umewekeana na mtu, fika mapema kabla ya muda.Haitachukua muda watu wataanza kukutegemea kwenye mambo muhimu kwa sababu tu ya kuwahi kwako.
2. Jambo la pili ni ondoa usumbufu.
Usiruhusu usumbufu wowote ukusonge au kuingilia wakati unafanya majukumu muhimu.Hiyo ni kuanzia kwenye simu mpaka watu.Na kingine muhimu zaidi ni kuepuka kupangia majukumu mengi kwenye siku yako, badala yake kuweka yale machache muhimu tu.Kadiri unavyohangaika na mambo mengi, ndivyo ufanisi na uzalishaji wako unavyokuwa dhaifu na kuwa kikwazo kwako kufanikiwa.
Pambana na machache muhimu na ondoa usumbufu wakati unayafanya hayo muhimu.
3. Jambo la tatu ni toa thamani mara 10.
Kwa chochote unachofanya, toa thamani mara kumi zaidi ya unavyotegemewa kutoa.Nenda hatua ya ziada na mshangaze kila mtu kwa namna unavyompa thamani kubwa kuliko anavyostahili.Toa huduma bora kabisa kwa kila unayejihusisha naye kiasi kwamba hatakusahau na ataendelea kuwaeleza wengine jinsi amenufaika kupitia wewe.Kwa kufanya hivi, taarifa zako zitasambaa na wengi zaidi watakuja kwako wakitaka nao kupata thamani mara kumi ya ambavyo wamekuwa wanapata kwingine.
4. Jambo la nne ni kuwa na viwango vya juu.
Kwenye maisha hupati kile unachostahili, bali unapata kile unachokubali.Jiwekee viwango vya juu kabisa na usikubali chochote chini ya viwango vyako.Anza kwa kile unachofanya, jiwekee viwango vyako vya ufanyaji na hakikisha unajisikuma kila wakati kuvifikia viwango hivyo.Usikubali kwa namna yoyote ile kwenda chini ya viwango vyako.Halafu jiwekee viwango vya vitu gani utakubali kupokea na usikubali chochote chini ya viwango hivyo ulivyojiwekea.Viwango ulivyojiwekea na kuviheshimu mara zote ndiyo vitapima mafanikio yako.
5. Jambo la tano ni kuzama ndani.
Watu wengi wanafanya vitu kwa juu juu na hawana muda wa kuzama ndani.
Wewe usiwe hivyo, zama ndani kwenye kile unachofanya. Kielewe kitu hicho kwa kina na jali zaidi.Elewa kwa uhakika kile unachofanya na kifanye kwa undani wake kiasi ambacho watu wananufaika kweli kweli.Jitume zaidi, jifunze zaidi na bobea kwenye kile unachofanya, hiyo ndiyo njia bora ya kutoa thamani kubwa.
6. Jambo la sita ni kuweka umakini.
Watu wengi wanafanya vitu bila ya umakini, mwili wao upo kwenye kile wanachofanya wakati akili zao zipo mbali kabisa. Kinachotokea ni huduma mbovu na ufanisi wa chini kabisa.
Wewe kuwa tofauti, weka umakini wako wote kwenye kile unachofanya, akili yako na umakini wako wote uwe hapo.
Usijiruhusu kuzurura kwa mawazo yako na umakini wako utoke kwenye kile unachofanya.Unapomhudumia mtu, mwangalie yeye, msikilize kwa makini na yeye pekee ndiyo awe dunia yako wakati yuko mbele yako.Kwa kuweka umakini wa aina hii kwenye hizi zama ambazo watu wamevurugwa, utajitofautisha sana na utaonekana kuwa mtu wa pekee.
7. Jambo la saba ni ingia kwenye mchezo (showtime).
Chochote unachofanya, kichukulie kama mchezo kwako na unapoingia kufanya, ona ndiyo muda wako wa kucheza au kufanya onyesho (showtime) umefika.Kama umewahi kuhudhuria au kuangalia mchezo au onyesho lolote lile, unajua jinsi wachezaji wanavyoingia wakiwa na hamasa kubwa na utayari wa kutoa burudani ya aina yake.Huwa hawaingii kwenye mchezo au onyesho wakifikiria matatizo yao, bali wanaenda pale kwa kazi moja, kutoa burudani.
Sasa kwa nini wewe uichukulie kazi au biashara yako kwa namna nyingine? Huo ndiyo mchezo wako na unapokuwa hapo, kazi yako kubwa ni kutoa burudani kwa wateja wako.Wape burudani kweli kupitia thamani unayotoa na kila wakati watataka kuja kwako kupata burudani.
Kila siku unapoingia kwenye kazi au biashara yako jiambie kwa sauti kubwa IT’S SHOWTIME, halafu nenda katoe show ya kweli kwa wateja wako.
MWISHO…
Fanya mambo hayo saba kila siku na utaona jinsi utakavyokuwa tofauti kabisa na wengine na kupata fursa kubwa na nzuri ambazo wengine hawazipati.
KUNA NGUVU KUBWA YA USHINDI ILIYOWEKWA NA MWENYEZI-MUNGU NDANI YAKO. IKIWA UTAAMINI NA KUIISHI UTAFANYA MAKUBWA ZAIDI, HAKUNA LISILOWEZEKANA KATIKA YEYE ATUTIAYE NGUVU”
” Jamani nilipenda Leo somo lake nikasema kumbe ukitulia unajua anachomaanisha ila ukiwa aujatulia auwezi kujua anachoomanisha.
” Sasa nikapika nikawa nimetoka jasho nikaenda chumbani kwangu kupunguza nguo hili nikaoge.
” Jamani nishavua nguo zote nachukua tenge tu nivae.
Kumbe kaka ameingia ndani yeye si anayo funguo awezi kugonga mlango mkubwa anaingia tu.
Sasa akaja chumbani kwangu bila hodi.
” Mimi nastuka nafunga tenge vizuri.
Akaninyang’anya tenge lenyewe nikabaki kama nilivyozaliwa.
Kaka akanibeba akaniweka kitandani.
” Jamani nasema Leo pombe zishamshauri anibake mimi.
Kaka ananitanua miguu mimi jamani.
Moyoni nasema kaka nini anataka kufanya mbona anataka kunifanyia mimi kitu kibaya jamani.
” Kaka akanitanua miguu akakaa juu ya kifua changu naona kabisa kwenye suluali yake kumetuna.
Jamani SIAMINI macho yangu kaka anatoa saidi kichwa wazi kwenye suluali yake.
” Jamani jamani namwita kaka kaka unajisaulisha mimi ni dada yako.
” Kaka aongei ananiweka miguu begani kwake jamani dah yani….
PART 7
👉 Kaka aongei ananiweka miguu begani kwake jamani dah yani..👇
Nikaona hapa kaka kashazamiria kunifanyia mchezo mbaya.
Namsikia anasema dada unaona hii style ndio wanatumia wanaume wengi sana kwenye mapenzi na ukiwatenda ukumbuka hii style na wanaamua kukumaliza.
Dada usije ukawekwa style hii na mwanaume maana ufanya mambo ya ajabu sana yani wanachukua hii…
” Jamani hapo sikutaka tena kusubiri maelezo maana atachukua kweli iyo saidi kichwa wazi aniweke nayo uku anaongea.
Yani itakuwa tayari nishafanya mchezo mbaya na kaka.
Nikamwambia kaka kaka naomba kwanza nishushe miguu naisi naumia sana kaka yangu.
” Jamani kweli kaka akanishusha miguu yangu kutoka kwenye mabega yake.
Mimi nikatoka zangu nikaenda chooni kukaa kwanza.
” Kaka akatoka chumbani Kwangu uyo na yeye akaenda chumbani kwake.
” Sasa nasema kimoyoni kaka kila akirudi amelewa je nitamwambia vipi swala la kuoa mimi naona suruhisho la hili tatizo kaka aoe.
” Basi nilipoludi kulala.
Usiku niliota ndoto mama anasoma dua.
Nilistuka kwenye ndoto sikujua ina maana gani ile ndoto na je nitamuuliza nani juu ya ile ndoto maana yake.
” Asubui kaka kaamka akaniambia kuna mtu ataleta kuku hapa kwaiyo utamfungulia mlango ndoto yako ya ufugaji itimie dada sawa baadae.
” Yani kaka akaondoka mimi nilitaka kumwambia swala lake la kuoa.
Kwa sababu akiludi kalewa anakuja kunifanyia Visa vya ajabu.
Sasa kashaondoka naomba asilewe Leo hili akija nimwambie swala lake la kuoa aoe tu mjini.
” Basi kweli kuku waliletwa na mkaka mdogo mdogo ivi akaondoka.
” Jamani nasikia mlango unagongwa naenda kufungua kumbe ni chizi.
Jamani chizi anaomba maji ya kunywa.
” Nilimpa maji najishangaa namwambia kaka samahani ivi ukiota marehemu anasoma dua inamaanisha nini?.
” Chizi akacheka sana akaniambia inamaanisha mmesaau labra kumuombea dua au inawezekana mmesaau kufanya ibada ni ayo tu fanya ibada.
” Mmm niliona kweli mimi sifanyi ibada na kweli mama yangu sijawai kumuombea dua.
Nikasema nitafanya ivyo.
” Basi chizi aliondoka nasikia nje amepewa shilingi Mia mbili anaambiwa Leo tupe usemi na somo hapa kamanda wetu pesa ndefu iyo.
” Chizi akasema ongezeni Mia tatu niwape somo zuri.
” Jamani wale waliomwita walikuwa awana iyo pesa.
Mimi nilitoka nikampa chizi elfu moja.
” Sasa chizi akasema maneno aya….👇
1. Usipande mti wa sumu kwenye shamba la jirani lako, ipo siku matunda yake yatadondoka na watoto wako wataenda okota wale ..
” Sasa nikazani ndio pesa imeisha kumbe sasa ndio nimempa pesa ndefu sasa akatoa somo refu.
Jamani lilikuwa ni hili…👇
AINA 10 ZA WANAWAKE NA TABIA ZAO.
1. Mommy Types.
Ni Aina ya wasichana au wanawake ambao huonyesha tabia ya umama. Hupenda kujali kupita kiasi.
Mfano katika mahusiano usipomtumia ujumbe wa kufika sehemu uliyomwambia unaenda tarajia kupokea simu zisizopungua 10.
2. The Listener.
Ni Aina ya wasichana au wanawake inayopendwa na wanaume wengi zaidi Duniani. wapole wenye nidhamu, wanyenyekevu na huonekana kujali Sana. Huwa niwasililizaji bila kuhukumu au kuwa na usumbufu wowote katika mazungumzo yao.
Katika mahusiano huonekana niwa kimya sana ikiwa hawatapewa nafasi ya kuzungumza, na niwatunzaji wa matukio. siku ukitokea ugomvi na akapata nafasi ya kuongea atapanga mtiririko wa matukio yote na ikiwa ugomvi ni mkubwa, wako tayari kuvunja mahusiano au kufanya Jambo lolote baya
3.Superwomen.
Ni Aina ya wasichana au wanawake ambayo huwa ni wagumu kwa asili yao. Vipaumbele vyao wakati wote huwa ni malengo yao. Wanafanya kazi kwa bidii. Na huwa ni wagumu Sana kukueleza kile wanachopitia. Hupenda Sana kuungwa mkono maamuzi yao. Hawapendi kuhukumiwa au kutiliwa mashaka. Wanapenda kujitegemea Zaidi.
Huwa na mihemko Sana katika ufanyaji wa mambo yao kwahiyo hukoswa utulivu. Huficha hisia zao.
Ikiwa umepata mtu wa aina hii katika mahusiano inahitajika kuwa mwangalifu Sana juu ya matendo yao kwa Sababu Haijalishi ana nguvu kiasi gani, wao wanahitaji mtu wa kuwaangalia Sana.
4. Ms. Perfectionist
Ni aina ya wasichana au wanawake wanaopenda kufanya mambo yao kwa uzuri na umakini mkubwa. Wanapenda kutii kanuni na taratibu kulingana na mazingira waliyopo. Niwenye nidhamu, hupenda usafi na kupangilia vitu vyao katika ubora. Hawapendi kukosolewa, hupenda kusapotiwa na kusifiwa katika kila kitu wanachokifanya.
Katika mahusiano huwa ni wazuri ikiwa utaendana nao, lakini huwa niwasumbufu ikiwa utakuwa kinyume nao.
5. Panda girl’s
Ni aina ya wasichana au wanawake ambao huwa wavivu sana. Hupenda maisha ya starehe yasiyochosha miili yao. Hupenda kufanyiwa kila kitu. Ni ving’ang’anizi Sana ikiwa watataka kitu wanapenda wakipate kwa huohuo mda.
Katika mahusiano hupenda maisha ya bata sana, na niwasumbufu hupenda kila mda waoonekane usoni mwa mwanaume waliyenaye katika mahusiano. Ikiwa huna tv Basi wao ndoo huoonekana Kama video mbele yako.
Ni aina ya wanawake ambao wanauwezo wa kumtengenezea mwanaume Ratiba ya maisha yake kutokana na mihemko yao.
6. Boss lady
Nia Aina ya wanawake hodari, huru na wasioogopa kusema Mawazo yao. Wana ndoto Kubwa ni waongeaji na hupenda kutetea haki zao. Ni wanawake wenye ujuzi na huonekana jasiri kupitia mafanikio yao. waaminifu, hupenda mamlaka, na hupenda kujitegemea.
Katika mahusiano Hupenda kumiliki na kuongoza kila kitu. Wanapenda kuongoza kwani hujiona ni wenye mamlaka.Huwa hawana hofu huamini wanaume na wanawake Wana uwezo sawa wa kuongoza na kunyakua kila fursa.
Hawapendi Kushughulikiwa kama watu wa kawaida ( wabinafsi Sana)
Huwa wanajua nafasi zao ziko juu hivyo watakupiga vita ikiwa utaingilia malengo yao.
7.Drama Queen.
Ni Aina ya wasichana au wanawake ambao hupenda kuzidisha hali walizopewa iwe ni katika maumbile yao au katika maisha yao ya kila siku. Hupenda kucopy sana kila kitu katika kila watakachokiona, huwa sio wabunifu. Wanapenda kujaliwa sana na hupenda kuwa tegemezi hata kama wanaweza kujitegemea wao wenyewe.
Katika mahusiano huwa ni kinyume Cha panda girls, wanapenda mda wao mwingi wawe chini ya uangalizi wa mwanaume. Huwa hawapendi waume zao waonekana na wanawake wengine hata Kama awe ni rafiki wa kawaida. Wana wivu mkubwa Sana katika mahusiano.
8.The Nerd.
Ni aina ya wanawake wenye akili, wenye ufahamua na wanaojifunza mambo mbalimbali. Hupenda maisha yao binafsi hawapendi maisha ya kuigiza. Huwa ni wenye malengo wanayoyatamani kuyafikia, katika mahusiano utapata wakati wao ikiwa watamaliza masomo yao au kufikia malengo yao. Ni wenye ushawishi mkubwa ni wenye marafiki wengi.
Hawapendi kusifiwa na kuonekana Tofauti na wanawake Wengine, hupenda kuonekana wenye ukawaida.
9. The guy’s girls.
Ni aina ya wasichana au wanawake ambao hupenda zaidi ushirika na wanaume. Hupendelea kufanya mambo ya kiume na wakati mwingine kuonekana katika mwonekano wa uanaume. Huwa Ni wenye malengo na mipango mikubwa Sana. Huwa niwenye nguvu ya Ushawishi ikiwa atakuwa na Jambo lake lazima atahakikisha linafanyika. Huonekana kuwa niwenye ndoto Kubwa kupitia Mawazo yao. Katika mahusiano ni marachache kutazama urafiki wake na wanaume katika mambo ya kimapenzi. Anaweza kuwa na mpenzi ambaye wanashiriki nae Mara moja na kwa wakati…wanajulikana pia kama Tom-boy.
10.The Fashionista.
Ni aina ya wanawake ambao niwabunifu sana na wanamitindo.
Huonekana vizuri wakati wote, Kama sio kumpenda basi lazima utamtamani tuu wakati utakapokutana nae.
Wanajua bidhaa gani ni toleo jipya.
Mavazi yake yaweza kuwa niya bei rahisi lakini ni wanawake wanaojua kupangilia Sana.Ni wanawake wenye mizunguko sana, wanapenda kusafiri na hupendelea kuonekana katika kila sherehe.
Tuzidi kujifunza, Tusichoke kujifunza.
” Jamani nilisema uyu sio chizi mbona anachambua vitu vizuri kabisa yani akuna mtu anaweza akachambua ivi vitu kiundani ivi.
Jamani sikutaka ata kuwasha tv kumsikiliza yule kijana nikapika chakula fasta namsubiri kaka aje ale nimwambie swala la yeye kuoa.
” Jamani kaka alikuja na asira kama zote nashangaa nini kimemuuzi kaka yangu.
” Namuuliza kaka mbona upo ivyo?.
” Kaka ananiambia zakia nakufa mimi nimekunywa dawa sijui ya nini kumbe ya nguvu za kiume zakia nakufa kaka yako.
” Jamani alivua nguo akalala chari na yule saidi kichwa wazi amesimama kisawa sawa.
Ananiambia zakia usalama wangu upo mikononi mwako naomba unikalie mimi.
” Jamani tumezaliwa wawili tu na ndio tuliobaki sina kaka mwengine je nimuache afe au nimkalie?.
Wakati nawaza kaka akanivuta kwa nguvu akaniambia vua nguo ya ndani unikalie sasa.
” Dah nafanyaje mimi yani…
PART 8
👉 Dah nafanyaje mimi yani..👇
Nikawaza hapa naweza kujikuta nafanya kitendo kibaya na kaka yangu.
Nilimwambia kaka kaka kumbuka mimi ni dada yako.
” Kaka akasema ndio maana nimekuomba dada unisaidie nikimfata mtu mwengine anaweza akasema nambaka dada ikalie nakuomba.
” Jamani jamani nilishangaa naita mama mamaaa.
” Kaka akastuka akasema dada umenikumbusha Jana nilimuota mama mimi dah.
” Yani nashangaa kaka anaanza kulia sasa wakati analia ndio saidi kichwa wazi wake.
Ananywea na anavaa suluali yake.
” Mimi nikakimbilia chumbani kwangu nikawaza kuna kitu hapa kinachoendelea yule chizi kasema tusome dua na inawezekana kweli Sisi tunapaswa kusoma dua.
” Sasa kumbe kule kijijini baba mdogo na mjomba wameungana na wanatuchezea michezo michafu ya kishilikina kwa sababu tu kaka amevuruga mipango yao.
Sasa kuna mama mmoja aliguswa na vituko wanavyofanya mjomba na baba mdogo.
Alijuwa kwa sababu baba mdogo na mjomba wanaenda kwenye watu wanaofanya vitendo ivyo na wanajisifia ndani ya kijiji kile.
” Sasa yule mama akapanda basi kuja kututafuta Sisi na kujua tunaishi vipi ndani ya huu mji.
” Sasa upande wetu siku iliisha na mimi nikawa nawaudumia kuku wangu kwenye banda na kaka alienda kwenye biashara zake.
” Sasa mimi natamani nimuone yule chizi nimpe pesa hili aongee yale maneno.
” Jamani nasikia nje kuna dada mmoja analia kashatendwa na mwanaume aliyemzalisha na akambwaga.
” Sasa nasikia mama mmoja anamwambia yule dada.
Nyamaza hao ndio wanaume wanaume wabaya sana yani usilie wewe si kakuacha na mtoto lea mwanao mungu atakusimamia.
” Mara nasikia wanasema chizi yule anakuja ngoja tumuombe ushauri.
” Sasa mimi nikasema kimoyoni na mimi nitamwita chizi niongee nae kirefu kesho itakuwa ndio msaada wangu kwa sababu mpaka mama mtu mzima anasema anataka kuomba ushauri kwa chizi uyu chizi itakuwa anazo akili nyingi sana.
” Basi wale walimwambia chizi kuwa dada yule kazalishwa nyumbani na kaachwa na mwanaume wake.
” Sasa chizi akasema naomba musikilize somo hili na uniambie umejifunza nini kupitia somo hili nitalo toa sasa somo ni hili…👇
USIKATE tamaa eti kwamba hutoolewa tena eti kwasababu kuna mpuuzi mmoja tu amekuzalisha mtoto kisha kakuacha.
Katika maisha yangu nimewahi kukutana na historia ya mwanamke mmoja ambae alizalishwa watoto takribani watatu wa baba tofauti,aliniambia kwamba kuna kipindi alikata tamaa ya kuolewa tena na akaamua tu aanzishe maisha ya kuwalea watoto wake.
Leo anamshukuru Mungu na anamtoto wa nne kutoka kwa mwanaume mmoja na wakweli alieamua kumchukua na kufunga nae ndoa,anasema kuna muda ni kama ndoto kwake na kuna muda anamuona mwanaume huyo ni kama malaika alietumwa na Mungu kwasababu hakutegemea kuolewa tena au kupata mwanaume ambae angeweza kukaa nae na kulea watoto ambao sio wake.
JAMBO la ajabu ambalo linamshangaza mpaka leo ni kwamba wale wanaume wote waliomlaghai na kumzalisha kisha kumuacha mpaka leo hawajaoa,umri unazidi kuwaenda na tabia yao ni kubadilisha wanawake kila wakati.
Hakika siku zote huwezi ukaharibu maisha ya mwenzio huku ukitegemea kwamba Mungu aje akupangie maisha yako mazuri baadae,kumbuka kwamba kadri unavyozidi kuharibu kwa wenzako ndivyo unavyozidi kuharibu na kwako pia.
Neno langu ni kwamba USIKATE TAMAA,kazi ya Mungu ni kuwanyanyua waliopondeka mioyo kutoka chini mavumbini mpaka juu ya vilima.
HATA HILO LITAPITA TU.
” Jamani maneno ya chizi yalinifanya nifungue mlango nikamwite na mimi nimuombe ushauri kwa kirefu zaidi naona ni mtu mwenye masomo mazuri sasa nimetoka nje namsikia chizi anawapa neno ambalo yeye amesema hili neno la mwisho kwenu.
Yani aliwaambia ivi…👇
ULIYE UMIZWA USICHUKIE MAPENZI
Alie kuumiza ni mtu
Lakini sio mapenzi
Mana mapenzi hayaumizi
Ila watu wasio na upendo na kuelewa ni nini dhana ya mapenzi
Ndio huumiza watu.
” Chizi anataka kuondoka nikamwita kaka kaka kaka.
” Aligeuka na tabasamu kubwa sana akaniambia nakuja dada yangu wewe ulinipa maji nakukumbuka.
” Basi niliingia nae ndani nikamwambia kaka mimi nataka nikupe istoliya ya maisha yangu unaweza ukanisaidia.
” Chizi akasema sawa ila saizi nawai sehemu moja ivi nitakuja baadae au kesho nitakusikiliza sawa.
” Basi aliondoka.
” Sasa mimi nikachukua fagio nafagia fagia ndani ya fensi ya nyumba yetu.
Ili vumbi lisiwapate kuku wangu mwenyewe nawapenda kuku wangu.
Nikamaliza kufagia nikaingia ndani nikawa napiga deki.
” Sasa jamani wanawake wenzangu mnajua ukipiga deki lazima uiname kwa Sisi tunaopigia deki tambala.
” Sasa nimeinama napiga deki kumbe kaka kasharudi jamani akanikamata vile vile nimeinama.
Akanyanyua sketi juu akaivuta nguo yangu ya ndani.
Jamani kaka amechukua said kichwa wazi wake anataka anichomeke nao mimi.
” Jamani nabana miguu uku nataka kunyanyuka kaka ananizidi nguvu mimi.
Naona saidi kichwa wazi wa kaka kashagusa kwenye mashavu yangu ya siri.
Dah jamani natakwa Leo mimi yani..
PART 9
👉 Dah jamani nabakwa Leo mimi yani…👇
Kaka mkono mmoja ndio kanishindilia vizuri kwenye mgongo hili nisiinuke.
Ananiambia dada tanua miguu utaumia nataka niingize.
” Jamani moyoni nasema Leo ndio imefikia mwisho yani nabakwa na kaka yangu.
” Sasa upande wa yule mama aliyekuwa anakuja kutoka kijijini alifika stendi bahati mzuri alikuwa na picha yangu nilipiga na mwanawe ambaye na yeye ni marehemu.
Sasa picha ilikuwa kwao ndio mama yake anatembea nayo kuja kututafutia mjini.
Bahati mzuri alikuwa anamuonyesha mtu picha yangu na kuniulizia.
Na hapo chizi alikuwa anapita akaiyona picha yangu chizi akasema.
” Mama twende nikupeleke mpaka anapoishi uyu dada wa kwenye picha hii.
” Bahati mzuri watu wa kijijini atuna dharau ya kuwadharau machizi kama watu wa hapa mjini.
Wanachukulia machizi si watu kabisa.
Yule mama akaongozana na chizi wakawa wanakuja sasa nyumbani.
” Upande wangu nyumbani kaka kashazamiria kunibaka sasa akatoa mkono ule alionikandamiza nao mgongoni akauweka kwenye mdomo wake yani anatema mate kwenye kiganja.
Ili anipake sehemu yangu ya siri iwe wepesi kwake yeye kufanikisha zoezi lake.
” Sasa mimi alipotoa mkono mgongoni nilinyanyuka na kupiga atua tatu mbele.
” Tunasikia getini hodi arafu sauti ya mama tunayemfahamu anatokea kijijini.
” Kaka alistuka kama vile alikuwa anaota ananiambia zakia uyo si mama mage.
Mama wa marehemu rafiki yako mage kamfungulie mlango.
” Jamani nilienda kumfungulia mlango ni yeye yule yule aliyemtaja kaka.
” Chizi akaniangalia akatabasamu arafu akaondoka.
” Sasa yule mama akasema yaliyojili yote kijijini.
Arafu ananiuliza amna tatizo nyinyi kwenye maisha mnayoishi?.
” Sasa moyoni nasema Jamani tatizo lipo ila sasa limekaa vibaya kuongea nikamwambia mama mage tatizo kaka yangu..
” Kabla sijamalizia mama mage akasema subiri kwanza utaniambia tumbo la kuara limenikamata naomba niende chooni.
” Basi mama mage akaenda chooni na kaka akaenda sijui wapi.
” Mimi nikasema hapa inabidi niseme ukweli tu ili nipate ukombozi kwa maelezo ya mama mage kaka atakuwa amerogwa na ndio maana anataka kunibaka mimi sio akili yake yani ndugu si watu wema kabisa.
Sasa nikasema acha nimpikie chakula mama mage arafu akimaliza kula nimwambie ukweli wote.
Basi mimi kama kawaida yangu nikipika lazima niwashe TV niangalie kipindi cha yule mkaka anayetoa masomo kwenye maisha ya watu tofauti tofauti.
Basi kweli nilimuona anatoa somo hili…👇
ITUMIE VIZURI NAFASI YAKO YA PILI.
Kuna wakati huwa tunapata fursa nzuri za kufanya vitu fulani katika maisha yetu.Na Moyo unatusukuma kabisa kwamba ni kitu sahihi kufanya, lakini fikra zetu hasi kuhusu sisi wenyewe zinakuwa kikwazo.
Hofu hutuingia na zinatuonyesha kwamba tutashindwa au tutakosea.
Kinachotokea ni kushindwa kuchukua hatua mpaka fursa inaondoka mbele yetu.
Lakini, wakati wote asili huwa inatujali, haileti fursa kwetu mara moja pekee yake. Bali huwa inaleta tena fursa hiyo hiyo kwa mara ya pili. Na hapo ndipo tunapopaswa kuzuia makosa ya mwanzo yasijirudie tena tukaikosa kama ilivyotokea fursa ya awali kuikosa.
Kwa kila fursa nzuri unayoikosa katika maisha yako kwa kushindwa kufanya maamuzi ya haraka na kuchukua hatua, jiambie mwenyewe wazi kabisa kwamba wakati mwingine fursa hiyo itakapokuja kwako utachukua hatua mara moja kwa wakati huohuo. Hutasitasita tena kwa kuchelewa kufanya maamuzi na kuisikiliza hofu yako mpaka upoteze fursa hiyo tena.
Mtu mmoja alikutana na mwigizaji anayempenda sana, akatamani kuongea naye lakini hofu yake ikamzuia. Akafikiria na akaamua kwamba ikitokea amekutana naye tena huyo mwigizaji, ataitumia nafasi yake ya pili vizuri kwa kutoisikiliza tena hofu yake, bali ataongea naye kwa ujasiri huyo mwigizaji.Miaka michache baadaye alikutana naye huyo mwigizaji, akamsalimia na akaitikiwa vizuri tu na huyo mwigizaji, wakawa na maongezi mazuri na wakapiga picha pamoja.
Kuna wakati katika maisha yako utapoteza fursa ya kwanza kwa kushindwa katika jambo fulani kwa kuzidiwa na hofu yako ya kushindwa. Lakini ukishajua hilo, usikubali nafasi ya pili ya fursa hiyo ikupite tena.
Ikiwa umeshindwa katika jambo fulani kwa mara ya kwanza, haimanishi hauwezi Kabisa kwa mara ya pili, huwenda kwa mara ya kwanza hofu yako ya kushindwa ili kubwa zaidi.
Jiwekee azimio kabisa kwamba pale fursa ya pili itakapokuja tena, utachukua hatua mara moja kwa kufanya kwa ujasiri mkubwa tena bila ya kujichelewesha.
” Mimi nikasema hapa ni kweli mimi hili somo linanihusu acha nitoe hofu niliokuwa nayo mwanzo niseme ukweli wangu wote pasipo kuzunguka maneno hili nipate msaada wa kweli kutoka kwa mama mage.
” Basi mama mage akaja jikoni akaniambia acha na mimi nipikie kwenye jiko la Gess arafu kaka yako akija uniambie kuna tatizo gani hapa ila uyu mkaka wa kwenye TV maneno yake mazuri hebu pandisha sauti ya TV.
” Na mimi sikuwa na iyana juu ya ilo nikapandisha sauti sasa nashangaa somo analotoa yule mkaka mama mage analia.
Somo lenyewe lilikuwa ni hili..👇
Anzisha mahusiano mapya wajati moyo wako Hauna DOA lolote”
Si lazima uwe kwenye mahusiano mda wote,ukiona mambo hayajakaa sawa usiyalazimishe!!
Kabla haujaanza uhusiano mwingne,ebu jiulize ni kitu gani umejifunza katka uhusiano wako uliopitia.
Kuna msemo usema KUJUA chanzo cha tatizo ni nusu ya KUTAFUTA tatizo..,je!umefahamu tatizo lako lililofanya uhusiano wako wa 1,2 na 3 kuvunjika ?
Ulishawahi kukaa chini kujiuliza?ulipata majibu gani?
Usiingie kwenye uhusiano mpya kabla haujapona MAJERAHA ya uhusiano uliopita ,kujipa mda kuwa pekee yko ni TIBA tosha.
Usiingie kwenye uhusiano mpya ili kumkomoa x wako ,isije ukajikomoa mwenyewe.
Usiingie kwenye uhusiano mpya ili kupoza moyo wako.isije ikawa unazidisha kidonda,
Usiingie kwenye uhusiano mpya ili kuondoa upweke,isije ikawa unazidisha huo upweke.
Usiingie kwenye uhusiano mpya ukitegemea kumpata mtu bora KULKO x wako,isije ukawa unaruka mkojo,unakanyaga……?
Usiwe kama ndege kuruka ruka kwenye miti,mara tawi hili mara tawi lile.lkn pamoja na uhodari wote wa ndege wa kuruka ruka kwenye miti lkn kama siku ya mwisho imefika ,miti yote HUTELEZA.
SI LAZMA MUDA WOTE UWE KWENYE UHUSIANO.
JIPE MUDA KUWA PEKE YAKO ,CHUKUA LIKIZO YA MAPENZI.
“MOYO ULIOJERUHIWA ,HUJERUHI MOYO,ULIOPENDWA HUPENDA”
Kamwe mapenzi yasikupangie maisha unaweza ukampenda mtu na ukaamua usiwe nae maishani mwako na bado maisha yakaendelea vzuri tu!!
” Sasa kinamchomliza mama mage juu ya somo hili sijajua ila amelia kwa uchungu sana.
Sasa tulikula chakula lakini yeye ana furaha kabisa juu ya lile somo.
Akaniambia zakia nionyeshe pakulala kesho tuonge yote yenu kesho iyo iyo mimi narudi zangu kijijini.
” basi nilimpeleka kwenye chumba nacholala mimi akaenda kulala.
Mimi nikaenda kuoga nikakumbuka sijawafungia kuku wangu mlango.
Sasa nimetoka kuoga na tenge tu na nyumba inayo fensi nikazunguka kwenye banda langu la kuku kule kufunga.
Jamani jamani yani nafunga mlango uku nashikwa matuta na kaka yangu sijui katokea wapi japo anayo funguo ila mawazo yangu yakawa yashasahua.
” Jamani nataka nifurukute nitoke mikononi kwake.
Na ndio nimejisababishia mwenyewe tenge kuanguka.
” Sasa jamani nikiinama kuokota tenge ndio nimemsusia ivyo hapo nitakuwa nimempa njia rahisi kutimiza dhamila yake.
Jamani kaka alitumia nguvu kuniinamisha na akachukua saidi kichwa wazi akaniwekea kwenye mfeleji wangu wa matuta.
Jamani dah yani…
PART 10
👉 Jamani yani..👇
Naona kaka amedhamiria jambo kweli anataka anikandamize nao.
” Bahati mzuri yule mgeni ndani ambaye mama mage alikuwa anaota anamuota mama sijui alikuwa anamuota kwenye mazingira gani.
Aliita mama zakia.
” Sasa sauti ikatufikia Sisi kaka aliniachia Muda huo huo akainama chini akaingia ndani kwake.
” Mimi naokota tenge langu naingia chumbani kule alipokuwepo mama mage.
” Basi asubui kufika mimi nilimwambia ukweli wote mama mage kuusu mambo anayonifanyia kaka.
” Mama mage akasema sio akili yake sasa acha nimwite mchungaji awaombee.
” Mimi nikamwambia kaka ni muislam na mimi muislam kwanini usimwite shehe aje atusomee dua.
” Mama mage akasema kikubwa ni kumuomba Mungu tu.
” Basi dua na maombi yalifanyika kwetu na kweli kaka alikuwa si akili yake.
Yule mama mage akaondoka njiani ndio akaniambia lile somo lilimgusa kwa sababu ni maisha ya kweli aliyopitia maana ni kweli watu wengi wanapitia maisha ya kuachwa na kuingia kwenye mapenzi mengine pasipo kujiuliza mapenzi ya mwanzo yalikuwaje.
Mwishoni unakuta wewe ni mtu wa kuteseka tu.
Jamani nyinyi siku izi mnapata masomo mazuri mapema ila ndio amtaki kuyafanyia kazi tu zakia kuwa makini kwenye maisha yako unakua penda kusikiliza kile kipindi kitakusaidia.
” Basi nilimwambia sawa mama mage mimi nitakuwa makini sana juu ya masomo ya yule kaka.
Sasa tunafika stendi tunamuona chizi kazingirwa na watu na yeye anatoa somo.
Mimi nikamwambia mama mage acha nimsikilize uyu kaka.
” Mama mage akasema acha tumsikilize wote maana magari yetu ya mkoani yapo mengi Sana pale sio kama mikoa mengine.
” Basi chizi akawa anatoa somo hili…👇
Kila uonacho bora machoni pako hakikukamilika siku moja na kuwa na ubora huwo.
Ndege ya kwanza kutengenezwa hapa duniani ndege hiyo haikua na ubora kama ubora zilio nao ndege za sasa.
Na hizi ni bora kwasababu kadiri ndege zilivyo kuwa zinadondoka zinavyo endelea kupata ajali watengenezaji walikuwa hawakati tamaa ila walikua wanafanya uchunguzi mzuri wa ajali ili kupata kisababishi na KWENDA KUBORESHA ZAIDI
KWAHIYO MEMA YOTE TUYAONAYO NI UFUMBUZI WA MATATIZO.
Usichoke wala usikate tamaa katika kukamilisha malengo yako hata kama kuna changamoto zitumie changamoto hizo kukamilisha zaidi.
Baba usikate tamaa.
Mama usikubali na usikate tamaa.
Dada usiamini na wala usikate tamaa.
Kaka usiache kufanya na usikate tamaa kwasababu furani.
Kumbuka kila kizuri kilikamilika kwasababu ya watu walio kuwa wakibadilisha changamoto kuwa darasa na kujalibu tena tena na tena.
” Jamani watu walimuongeza pesa chizi na akasema somo lengine ni hili…👇
Njia 5 za kuwa na furaha maishani mwako
1.Usiwe na hofu na chochote
2.Usimchukie yeyote
3.Toa bila kutegemea malipo kutoka kwao
4.Kubali mapungufu yako
5.Usipende kufanya maamuzi ya kudumu kwenye jambo la kupita
” Basi alimaliza na mimi nikamsindikiza mama mage.
” Jamani kumbe ndio namuaga mama mage kabisa yani gali alilopanda lilipata ajari na akafa mama mage.
” Mimi na kaka tulienda kwenye msiba wa mama mage ndio tulijuwa roho mbaya za mjomba na baba mdogo kuwa kweli walikuwa wachawi kwetu.
Yani waliona kusudio Lao alikuweza kufanikiwa walituchukia mazima.
Yani kinaga ubaga wanaonyesha dhahiri awatupendi.
” Mimi na kaka tulifagiria kabisa makabuli ya wazazi wetu tukaludi mjini.
” Sasa kaka akasema naoa dada yangu.
” Mimi nilifurai kaka kuoa kumbe ni moto unakuja kwenye maisha yangu.
” Yani kaka alipooa yule wifi alikaa mwezi mmoja akaanza kukunjua makucha yake.
” Alimwambia kaka ivi.
” Mume wangu uyu dada yako akae kwenye icho chumba chenye kuku wake maana umu ndani mimi nashindwa kutoa miguno kwa sababu yake.
” Jamani kaka aliingia mazima bira kufikiria kuwa kile chumba anachoambiwa nikae mimi ni banda la kuku.
Yeye kaka ananiambia zakia utakaa uku na kuku wako umu ndani kuanzia Leo marufuku.
Nilimuuliza kaka unasemaje?.
” Yani jamani wifi alinikata kibao cha usoni cha nguvu.
” Uku anasema wewe umekosa adabu unawezaje kumpandishia sauti kaka yako ivyo mshenzi wewe.
” Dah kibao kiliniuma kwakweli jamani.
Niliamua kumrudishia na mimi kibao maana yeye ajui ile nyumba ni yetu si ya kaka peke yake.
” Jamani hapo ndio nikawa nimemtibua kaka kumpiga mkewe.
Alinikata mtama huo dah yani…
INAENDELEA