Clickable WP Image
JOIN US WHATSAPP CLICK HERE
JOIN US TELEGRAM CLICK HERE

NIGHT CLUB

Sehemu ya 11

Ilipoishia……..Erick na Abobo wote wako kwenye uwanja wa seremala tofauti ni kuwa huyu yupo Azam Complex mwingine yupo Taifa nani atatoka kidedea?…….

Songa nayo……

Aisha alikuwa mrembo mwenye rangi ya chungwa,macho yake makubwa yaliyolegea ukichanganya na pombe na bangi alizovuta ni balaa!!!

Umbo lake namba nane na makalio yake makubwa malaini yakinipa mzuka na hisia Kali za mapenzi!!!

Nilianza kumnyonya chuchu yake taratibu huku mkono mmoja nikiupeleka ikulu unapima mafuta kama yanatosha!!

“Oooshhiiii! handsome acha mi tayari nishalowaaaa!!”

Alijitetea Aisha lakini maskio yangu ni kama niliziba pamba!

Utamu wa kidole ulimfanya Aisha aanze kukata kiuno chake taratibu…

“Ooooshhiiiiii!aaahhhh!oooohhh!ohhhh!hendisamuuuu aaahhh aaahhh!!”

Alilalamika Aisha muda huo nipo kitovuni nikiwa nachezesha ncha ya ulimi wangu!!

Sikuwa na papara maana nilijua Aisha kavuta bangi na kanywa pombe kali,ivyo nikikurupuka ntaaibika maana vile vitu vinaleta mizuka balaa!!

Nilimchezea na kumgusa na ulimi wangu kila sehemu ya mwili wake!!

Mwisho nikapitisha kidole nikaitafuta g spot nikaanza kuichezea taratibu!!

Nilianza taratibu huku naongeza kasi kidogo kidogo!

Moto ulivyokolea Aisha alianza kupiga yowe!!

“Aaaahhhh…aaahhggghhh….nakujaaaa….nakujaaaaaaaaaa oohhhh!”

Aliposema anakuja na Mimi nikampokea kwa maneno matamu ya mahaba!

“Njoo baby,kojoa mpenzi,Karibu kipenzi yes! yeah baby!”

Aisha alifika kileleni akalegeza macho yake akapiga kelele Kisha mwili ukalegea akataka kuanguka chini nikamdaka kisha nikamnong’oneza sikioni!

“Pole mrembo!”

“A..a.ahsante hendisamuuu!”

Alisema mida huo akauleta ulimi wake tukaanza kudendeka upya!!

Niligundua kwanini Aisha anapenda Sana denda,nilijua kumbe ndipo hisia zake zilipo!

Maana tukinyonyana ndimi analegea anatoa miguno mikali ya mahaba!!

Akili yangu ilikuwa inawaza ngono tu muda huo!

Nilimshika Aisha nikamgeuza nikamuinamisha akashika sofa kisha nikaitafuta ikulu ilipo nikapiga hodi walinzi wakanifungulia!!!

“Taraaaaatiiiiibuuuuu baaabaaaa kubwaaaaa mmmmnoooooo!!”

Alilalamika Aisha wakati mgeni anaingia ikulu bila mualiko wa Raisi!

“Fuckkkk me hard handsome!!”

Utamu ulimkolea Aisha akajikuta anaiomba yote!!

Nami siyo mchoyo nilikikamata kiuno chake kilaini nikaanza kumpa miuno ya ekotite!!

Aisha alilicheza rhumba,singeli nikamchanganyia na segere akajikuta machozi yanamtoka kwa utamu!!

Kama kawaida ya mabaharia huwa tunaacha alama ya akumbuke baharia!!

Nilikaa kwenye sofa kisha Aisha akasimama akiwa amenipa mgongo akaikalia bakora yangu ambayo ilikuwa na hasira balaa!!

“Ooohh!tamuu babaaa aaahh aaah”

Alilia Aisha huku kaikalia bakora yangu analia kwa raha!!

Hakuwa wa mchezo mchezo staili ile na miuno yake ya kimakonde ilinifanya nitoe miguno ya utamu pia!!

Muda huo nilihisi wazungu wanakuja kwa kasi ikabidi nitoe taarifa!!

“Ongeza baby namalizaaa!!”

“Yes baby tunamaliza woteeee!!”

Kumbe na Aisha alikuwa karibu basi ikawa balaa,nikaongeza viuno na yeye akaongeza!!!

“Ooohhhhh!!nakojoaaaaa!!aaaahhh tamuuuu jamaniiiii uuuuuuuhhhhh!”

Alilalamika Aisha na Mimi wazungu wamefika Airport muda huo balaa tupu!!

“Aaahhh!aaaah!aaaahhh!!”

Alitangulia Aisha nami sekunde chache nikafuatia!

Aisha akatulia muda huo bakora iko pangoni!

Kisha akajichomoa akanigeukia bila kunisemesha akanivua kondomu akanifuta Kisha akaanza kuninyonya tena huku anachezea korodani zangu iliposimama akachukua kondomu akanivalisha mechi ikahamia chumbani!!

…. hadithi hii inamilikiwa na Jack Mambo……..

Asubuhi nilikuwa wa kwanza kuamka,pembeni yangu alikuwa amejilaza Aisha akiwa hajielewi!!

Nilishtuka muda huo kichwa kinauma kwa mbali nadhani ni pombe nilizokunywa jana!

Nilishuka chini sikuamini kulikuwa kuna kondomu kama kumi zilizotumika!!

“Hizi zote nimetumia mimi?au tulikuwa wangapi?”

Nilijiuliza nikashika kichwa nikatoka sebuleni huko nikakutana na nguo zetu zikiwa zimetapakaa si mezani si kwenye sofa!!

Nilitingisha kichwa nikafungua friji nikachukua maji baridi nikanywa glasi mbili!!

Muda huo ulikuwa saa mbili asubuhi nikarudi chumbani nikamuamsha Aisha!

“Mrembo!mrembo!

“Mmmh!”

“Kumekucha!!”

“Eeh kumbe aiseeh nimechelewa kazini!!”

“Kazini?”

“Ndiyo!”

“Unafanya kazi wapi?”

“Nafanya kazi benki!”

“Benki!!!!????”

Nilishtuka sikuamini kama Aisha anaweza kuwa anafanya kazi benki,nikikumbuka jana alivyokuwa anavuta bangi duh kweli usimuhukumu mtu bila kumjua!

Aisha aliamka akanishika mkono tukaingia bafuni!!

Tukaanza kuoga ila baada ya kumuona tu bakora ikasimama dede!!

“Weeee!koma baba Kwanza kondomu zimeisha hapa we nengeneka tu hunitii bila kondomu!”

Alisema Aisha akionekana ni mtu mwenye msimamo sana si mtu wa kumuamini mtu haraka!

“Naenda kununua!!”

Aisha aliniangalia kisha akanisogelea akaishika bakora yangu huku kalegeza macho yake!

UNAHISI NINI KITAENDELEA?

AISHA ATAKUBALI KUFANYA MAPENZI BILA KONDOM??

Sehemu ya 12

Ilipoishia………..Erick kaamka na mrembo Aisha wanaenda kuoga lakini Erick uvumilivu unamshinda anajikuta anaomba mechi,Aisha ambaye hawezi kufanya mapenzi bila kondomu anamsogelea……

Songa nayo….

Aisha alinisogelea akanikumbatia huku anaishika bakora yangu Kisha akaninong’oneza!!

“Utanichelewesha we shoo zako nzito baba nimezikubali mmhh!!”

“Kidogo tu mrembo!!”

“Siku nyingine handsome!”

Sikuwa na jinsi Aisha alikataa tulioga kisha akachukua mkoba wake sikuamini akatoka na baibui!!

Akavaa kisha akakaa akawasha bangi yake akaanza kuvuta!!

“Unanishangaa sana kuvuta bangi eeh!!”

Aliniuliza baada ya kuona namshangaa!

“Ndiyo naona ajabu!!”

“Hahahahaaa!ni maisha tu handsome tunapitia vingi binadamu huyu ndiyo mpenzi wangu na pombe mchepuko wangu nikiwachanganya hawa naenjooooii!!”

“Unamaanisha nini?”

“Sitaki mapenzi na usiwaze kunipenda sitaki kupenda,japo kwa penzi lako nikikumiss ntarudi!!”

“Usiponimiss je!???”

“Acha presha ntarudi tu umenikosha Sana kwa penzi lako,na sitaki kukuzoea naona dalili ya kukupenda sababu umenikuna sehemu ambazo sijawahi kukunwa!!”

“Kwanini unatembea na kondomu!!”

“Hahahahaaa!ulinzi mambo ya pombe hayajulikani si unaona kama leo ningekuwa sina kondomu na pombe zimekimbilia chini ningefanyaje?”

Nilijiandaa nikatoka na Aisha ambaye ukimuona na hijabu yake na miwani yake huwezi jua kama anavuta bangi na kunywa kila aina ya pombe kali duniani!!

Koridoni nilikutana na jirani ambaye alinikata jicho kali haswa,maana tangu siku ile namchenga mpaka leo sijafanya naye chochote!!!

“Msiieeeeewwww!”

Alisonya lakini sikumjali,sikutaka mazoea Sana na jirani sababu ataninyima uhuru wa kufanya mambo yangu!!!

Nashukuru Aisha hakugeuka tulitembea kwa vile muda ulikuwa umeenda tulipanda boda boda mi nikashukia karume Aisha akapelekwa ofisini masaki muda huo kachukua namba zangu zake hakunipa akasema atanitafuta yeye!!!

Nilifika nikamkuta Kessy alishafungua banda lake!

“Oi inakuwaje!!”

“Fresh tu vipi Abobo yuko wapi?”,aliniuliza Kessy!

“Sijui alipo maana nilimuacha Club yuko na jimama fulani ivi!!”

“Hahahahaaa!huyo mshikaji sijui anaipendea nini mijimama!!”

“Tulia wewe,kwani we unapendea nini wanaojiuza?”

“Hawana usumbufu yani pesa yako tu!!”

“Unapenda kitonga fala kweli wewe!!”

Nilifungua banda langu nikaanza kupanga panga nguo na sindiria!

Nilipomaliza nikaagiza supu nzito maana nilikuwa najiskia uchovu Nikikumbuka na zile kondomu kumi nilizoona zimetumika ndiyo mpaka kichwa kinauma!!

Bado sikuamini kama ni mimi nimetumia kondomu zile!!

Nilipomaliza kupiga supu na chapati zangu mbili nikaanza kupiga stori na Kessy ndipo Abobo akatokea!!!

Mwendo wake tu ulionyesha hakukuwa kwema alikotoka!!

“Vipi ndugu kwema!!??”

Nilimuuliza Abobo ambaye hakujibu alikaa kwenye benchi akatuangalia kwa huruma!!

“We vipi funguka umefumaniwa??”.

Aliuliza Kessy huku kamkazia macho Abobo!!

“Ndugu zangu nimekosa bahati kudadeki kifala kweli??”

“Kwanini?”,nilimuuliza!

“Jana siuliniona na lile jimama mzee!!”

“Ndiyo nilikuona mnapapasana kwenye Kona vipi kwani ilikuwaje?”

“Lilinipeleka kwake mzee,sikuamini ana mjengo kama ikulu nyumba yake Ina walinzi wanne magari kama kumi Hummer,bmw na range zipo zimebaki mzee!!”

“Sasa umefeli wapi we bwege???”

“Dah!tulivyofika akaniambia yani yeye anachotaka ni shoo kali tu yani nimpe penzi tamu,nikiweza nakuwa mume wake na ntaishi kifalme!”

“Daahh!kitonga hicho mzee ikawaje!!”,nikamuuliza!!

“Dah,yani tumefika tu sebuleni likavua nguo zote na mimi nikavua likanirukia tukaanza kudendeka!!”

“Mmmhh!!!”,tuliguna mi na Kessy!!

“Basi bhana mzee kama kawaida yangu Abobo mzee wa chenga nyingi nikaanza pilika zangu nikamlegeza akalegea,nikapitisha ulimi wangu kila Kona kila kichochoro nimuonyeshe kuwa mi ndo Abobo fundi wa hizi kazi!!!”

“Mmmh,ikawaje??”

“Ndani ya nusu saa akawa hoi akanishika mkono mpaka chumbani akafika akajibwaga kitandani,ndiyo nikaingia katikati ya mapaja na maandalizi ya mwisho ya Vita ya kumi ya dunia!!

Nikamchanua miguu yake minene nikaiona ikulu ilivyoshiba nene inavutia hatari!!

Nikazamia chumvini,nikaanza kumnyonya kisimi chake akaanza kujinyonga kama nyoka!

Nikawa nafanya kama nampangusa na ulimi wangu basi jimama likawa hoi!!

Nikapitisha mkono nikaanza kuikuna g spot huku namnyonya kisimi, hapo akaniita baba maskini nikamuonea huruma!!

Akakojoa kojo zito hilo likaruka juu kama mhaya!

Ndipo nikaishika bakora yangu ilivyovimba!!

Nikaanza kazi yangu,si mnajua mi na phd ya hivi vitu mbona alikubali yani hata nusu saa haijafika akaanza kuniita!!

“Ooohhshhh!mume wangu! Aaaaah we ndo mume wanguuu kuanzia leooo!!”

Moyoni nikasema safi nimeula zile Hummer na ma range yale mngenikoma mjini kudadek!!

Nikavuta picha vile videmu vya masaki vitanishobokea vikiniona kidume naendesha hummer na ma BMW!!”

“Sasa ulikosea nini mbona ulienda vizuri mbwa wewe!!”,alisema Kessy!!

JE UNAHISI ABOBO ALIFELI WAPI?ANGUSHA KOMENTI UKIPATIA KUNA ZAWADI YAKO!!!

Sehemu ya 13

Ilipoishia……..Abobo anasimulia alivyokutana na jimama na kujikosea bahati ya maisha unahisi alikosea wapi?

Songa nayo…….

“Sema Sasa tujue ulifeli wapi sasa mbwa wewe!!”

“Tulia sasa!tulia nikupe mchongo mwanangu!!”

“Leta mchongo tuone umefeli wapi!!?”

“Shoo iliendelea mzee nikawa nambinua kama chapati namkalisha namsimamisha namlaza Mara anaikalia kwa juu mwisho sasa nikamalizia na kifo cha mende hapo ikatokea bonge la ajali!!!”

“AJALIIIIIII!!!”,tuliropoka mimi na Kessy!!

“Ndiyo mzee sijui ilikiwaje mzee wakati tunakwichikwichi sasa jimama likafika kileleni na mimi mzuka ukapanda nikaanza kupiga fasta wazungu wanakuja!

Mzee sijui nini eti kumbe bakora iliteleza ikaingia kwenye tigo pesa mi sijui jimama likaanza kulalamika unaniumiza likapiga yowe mi nikajua mizuka nikendelea nikalibana mpaka nikakojoa!!

Nakuja kuangalia ivi bakora iko kwenye tigopesa mzee nikashika kichwa jimama likanisukuma nikaangukia pembeni huku linafoka!!

“We malaya umenitoa marinda yangu yani umenif*r*!!!!??”

Nikaanza kujitetea mzee nikasukumwa mpaka sebuleni nikavaa nguo zangu wakaitwa walinzi nikafukuzwa kama mbwa!!!”

“HAHAHAHAHAAHAAHA!!”,alicheka Kessy!!

“We bwege unacheka nini?? huoni ningetusua na nyie mngetusua!!”

“Ila mi nina wasiwasi we Abobo ulikosea makusudi ukaiweka huko!!”

“Hamna mwanangu bahati mbaya!!”

“We Abobo unakumbuka lile jimama la siku ile ndiyo lilikufundisha hiyo michezo?utakuwa umenogewa wewe!!”

Nilimwambia Abobo kumkumbusha tukio lililopita!!!

“Hamna mwanangu mi hata sielewi iliingiaje wanangu yani shetani msenge sana,leo ningetua na range hapa kubabake ningevimba hadi mkome!!!

“Ndiyo ushaikosa iyo!”

“Halafu na wewe Erick useme nilikuona unatoka na yule mrembo wa kibantu,halafu kuna time nilimuona chemba anakula fegi!!!”

“Daahhhh!!umenikumbusha mwanangu acha tu yaliyonikuta!!”

“Tupe stori Sasa!!”

“Mwanangu yule demu anavuta bangi halafu sasa cha kushangaza ni mfanyakazi wa benki tena ana cheo kikubwa tu!!”

“BANGIIIIIII!!!”,wote walishtuka!!!

“Sa hamjasikia au!!??”

Niliwapa stori wahuni wakanicheka huku wakisema uongo sijatumia kondom kumi!!

Siku iliisha nikarudi zangu nyumbani,nilifika nikiwa na uchovu na siku hiyo ilikuwa wikiendi pia Ila hatukuambiana kama tunatoka japo najua akilianzisha mmoja tu basi lazima tuingie Club!!

Nilifika nikafanya usafi nikasafisha kuondoa kondom na vipisi vya bangi…

Simu yangu iliita nilipoangalia ilikuwa namba ngeni nikapokea…

“Halloo Erick!!”,ilikuwa sauti ya kike ambayo haikuwa ngeni japo sikujua ni nani!

“Halloo nani mwenzangu!!”

“Mmmh! yani umenisahau?”

“Nani Amanda au nimekosea!!”

“Ndiyo yeye Erick I miss you!!”

“Nimekumiss pia vipi uko wapi?”

“Niko Zanzibar!!”

“Nikajua usharudi Amanda!!”

“Erick mi nimeolewa!!”

“Nini!!!!!???”

“I’m sorry Erick nililazi……!”

“Nilikata simu nikaitupia pembeni Amanda akapiga tena nikaiweka silent nikaiacha nikachukua pombe kali nikaweka kwenye glasi nikanywa huku najisemea!!

“Sasa kama umeolewa mimi unanitafuta wa nini si ukae na uliemchagua!!”

Nikaa kwenye kochi usingizi ukanipitia mpaka nilipohisi kuna mtu anagonga mlango!!

Niliinuka kichovu nikafungua bila kuuliza nikakutana na jirani ambaye bila kuuliza alinisukumia ndani akafunga mlango akaitupia mbali kanga yake!!

“Usinitanie jirani uliona wapi asali ikaonjwa mara moja?”

Alisema jirani muda huo huo akanirukia tukaangukia kwenye sofa mkono wake ulikuwa mwepesi tayari ulishazama kwenye boksa na kuitoa bakora yangu nje!!!

“Jirani nini!!???”

“Shiiiiiiiii!!”,

Nilitaka kuongea jirani akaweka kidole mdomoni nikae kimya!!!

“Unadhani nafurahi unawapa wengine tu unanipotezea kama hunioni!!”

Jirani alianza kuinyonya bakora yangu ambayo ilinisaliti ikasimama dede bila ruhusa yangu!!!

Bila hata kunivua nguo akaikalia juu akaanza kunyonga kibaskeli!!

Hakuna mkate mgumu mbele ya chai,jirani aliniwahi kama ni vita basi kanipiga risasi ya kichwa!

“Ji..ji..jiraniiiiii ni…ni lakiniiiiii?”

Niliuliza ila jirani hakunijibu kitu zaidi aliendelea kukata kiuno chake taratibu!!

“Aaassiiiiiihhh!!jiraniiiiiii!!siweeeziiiiii kukubaliiiiiiii aaaaahsiiiiii tamuuuuuuu!!”

Alilalamika jirani ambaye sauti yake iliyaamsha maruhani yangu!

Taratibu nikajikuta naanza kutoa ushirikiano!

Mikono yangu ikatua kiunoni mwake nami nikaanza kujibu mapigo,alipoona nimeanza kunyonga kiuno changu jirani akanisogezea na chuchu yake niinyonye nikaiweka mdomoni nikaanza kumnyonya!!

Kiuno changu sasa kilianza kuondoka kwa kasi ya cherehani!!!

Kitendo cha kuilamba chuchu huku nampapasa kiunoni na kijiko kipo bakulini kiliongeza radha ya mapenzi jirani akajikuta anatangaza kufika mwisho mapema tu!!

“Jiraniiiiiii!!!nakojoaaaaa!!jiraniiiiiii Aaaaassiiiiiiiiiiiihhhh!!”

“Karibu jirani mlango uko waziiiii!!”

Nilimjibu jirani ambaye alianza kunivuta tisheti yangu huku anauma meno anajikaza kama ana kifafa!!

Aliposhuka tu akajilaza kifuani huku anahema kwa kasi!!!

Alinishtua maana alihema kama anakata roho ikabidi nimuite!!

“Jirani!!jiraniii!!”

Nilimuita hakuitika nikahisi kuchanganyikiwa nikijiuliza jirani amepatwa na nini??

UNAHISI JIRANI KAPATWA NA NINI??

AU NDIYO KESI TENA???

Sehemu ya 14

Ilipoishia…….Jirani kamvamia Erick chumbani kwake,Ila wamefanya mapenzi cha ajabu jirani anamaliza akawa anahema kwa kasi…..

Songa nayo……..

“Jirani!!jiraniiii!!”,nilimuita jirani lakini hakuitika ikabidi nimtikise nimuulize!!

“Mmh!!”

Aliitika kwa sauti ya chini nikataka nimuinue nichomoe!!

“Usichomoeeeeeee!!”,alisema kwa sauti ya chini!!

“Kwanini!!!??”

“Naskia raha iacheeeee humo humo!!”

Kauli yake ndiyo ilinipa nguvu nikanyanyuka nikiinuka naye nikamlaza kwenye kochi jirani akatanua miguu huku anasema!!!

“Chukua yote babaaaa!!!”

Shoo ilikuwa kali japo haikuwa rasmi kwangu!!

Mpaka tunaachiana jirani alikuwa tepe tepe nami nimelowa jasho chepechepe!!

“Jiraniii!!”,aliniita jirani huku anampapasa kifua changu na makucha yake marefu!!!

“Nambie jirani!!”

“Kwani mimi siyo mzuri eti jirani!!”

Swali lake lilinishtua nikamuangalia machoni nikashtuka zaidi jirani alikuwa analia!!!

“Mbona unalia?”

“Hapana nijibu jirani!!”

“Hapana wewe ni mzuri sana jamani!!”

“Sa mbona unaleta wanawake wengine!?”

“Lakini jirani mi na wewe ilikuwa bahati mbaya!!”

“Bahati mbaya gani? Imeshatokea jirani na nakupenda saivi!!”

“Tatizo siyo kunipenda jirani,tatizo ni kuwa tunapendana!!?”

“Kwa hiyo hunipendi!!?”

“Jirani tuache hiyo mada mi nahisi njaa hapa balaa nikatafute msosi!!”

“Nimepika ngoja nikakuletee chakula!!”

Alisema jirani akasimama akaokota kanga yake akajifunga akaondoka huku nyuma anatingisha haswa wowowo lake moyoni nilikiri jirani ni mzuri Ila tatizo ni kuwa sikuwa na moyo wa kutulia na mwanamke mmoja kabisa!!

Anasa ziliniteka pombe na wanawake vilitawala maisha yangu sikuona tabu kubadili wanawake kila wiki!!

Jirani alirudi akiwa na hotpot mbili akaliweka mezani akachukua sahani akafungua la kwanza akapakua ilikuwa pilau huku pot la pili likiwa na maini rosti nilikula nikashiba kabisa!!

Tulipiga stori huku jirani akiwa ananibembeleza nimuoe Ila nilimwambia ukweli bado sijawaza kufanya hivyo!!!

Muda wa kulala ulifika siku hiyo jirani alilala kwangu mpaka asubuhi akaamka akaenda kwake!!

Ilikuwa jumatatu niliamka nikajiandaa nikaenda zangu kazini!!

Nikawakuta Kessy na Abobo walishafika zamani!!

“Oi inakuwaje nyie wakuda!!”

“Kama kawa vipi?”,alinijibu Kessy

“We fala nini yaani sisi wakuda!”,alitania Abobo!

“Sasa unakataa vipi jimama hajakupigia simu?”

“Dah!halafu umenikumbusha Jana nimeangusha waleti yangu kwake naogopa kuifuata Ina kitambulisho changu cha NIDA na cha mpiga kura!!”

Alisema Abobo huku anasikitika.

“Nenda ukapigwe risasi ya tako shauri yako!!”

Nilifungua Banda langu nikapanga vitu vyangu nikaanza kuuza!

Mida nayo ilikimbia mpaka inafika saa kumi jioni ndipo ikatokea Kessy akamuona mwizi wake!!

Unamkumbuka nadhani yule dada aliyemuibia akamuacha gesti temeke😅😅

“Oyaa!oyaaa wanangu nimemuona yule demu aliyeniibia!”

“Yupi??”,aliuliza Abobo!

“Si yule aliyeniacha gesti!!”

“Kudadekiiiiii yuko wapiiiii?”

“Yuko pale kwenye banda la Musa ananunua viatu!!”

“Twende tukampasue!!”

“Nyie vipi acheni wenge mkimzingua anawakana tumieni akili!!”

Niliwaambia baada ya kuona wanataka kukurupuka!

“Ila kweli!!!”,alijibu Kessy!!!

“Sasa sikia Kessy nionyeshe huyo demu nimlete hadi kwenye banda lako!!”

Niliondoka na Kessy akanionyesha kwa mbali nikamuona aiseeh alikuwa mzuri balaa!!

Nikarudi bandani kwangu nikachukua sindiria kali tatu nazoziuza elfu tano tano nikaenda mpaka alipo!!

Nikamkuta anamalizia kulipia viatu!!

“Mambo sista buku jero tu hizi hapa kaliiii grade A!!”

“Aaahhh!nzuriiii!mbona bei rahisi hivi jamani!!”

“Bei ya jioni dadaangu banda langu lile pale Karibu zipo kali ntakuuzia hata buku tu!!”

“Aiseeh twende tukaone?!”

Bila kupepesa macho yule dada alianza kupiga hatua kuelekea kwenye banda langu!!

Alikuwa mzuri kiasi ukiambiwa kama ni yeye alimuibia Kessy mpaka nguo utakataa!!

“Karibu sista!”

“Ahsante aiseeh una bei nzuri naomba nizijaribu hizi jamani!!”

“Usijali njoo kwenye hili banda hapa!!”

Nilimuelekeza akaingia kwenye banda la Kessy!!

… hadithi hii imeandikwa na Jack Mambo…..

Alipoingia tu Kessy naye akaingia na Abobo na Mimi pia nikaingia!!

“Samahani dada unanikumbuka?”

Alisema Kessy huku anamsogelea!

“Hapana kwani unanijua!!?”

“Unikumbuki kabisa kule temeke gesti ulivyoniacha na boksa??”

Yule dada alishtuka akaachia sindiria zikaanguka chini na mkoba wake akashika kichwa!!!

“Tulia ivyo ivyo!!”,alisema Kessy kwa sauti ya kibabe!!

MUOSHA HUOSHWA!!

UNAHISI KESSY ATAMFANYA NINI HUYU DADA?

Sehemu ya 15

Ilipoishia…………Kessy kampata yule mrembo aliyemuibia na kumuacha gesti maeneo ya temeke!!!

Songa nayo……..

Yule mrembo alikosa cha kuongea akabaki anatetemeka haswa!!

“Ukizingua tunakuzingua so tulia ivyo ivyo kabisa kaa pale kwenye kiti!!”

Yule dada alitii akakaa kwenye kiti,mi na Abobo tulitoka tukamuacha Kessy anaongea naye!!

“Ulijua hatutakutana??”

“Hapana Kaka nisamehe!!”

“Kirahisi tu nikusamehe unajua ulivyoniaibisha siku hiyo??”

“Ni..ni..sa…me..he!!”

“Yani pesa zangu,simu yangu ukaona haitoshi mpaka nguo zangu na viatu ukabeba!!!”

Yule binti machozi yalianza kumtoka akijua kaingia cha kiume!!

“Sasa sikia kaa hapa hapa mguu wako mguu wangu nakupeleka kwangu ukaniibie na huko!!”

“Jamani kaka niache niende tu!!”

“Ivi unaumwa wewe eti!!???kirahisi ivyo tulia tunaondoka wote au kama hutaki niwashtue Wana hapa wakuvue nguo saivi utembee uchi!!”

“Jamani usifanye ivyo kakaaangu!!”

“Sasa unaondoka na mimi au unatembea uchi??”

“Kaka tunaenda wote jamani!!!”

Mimi na Abobo tulikuwa nje tukiwaza kwa domo zege la Kessy hakutatokea kitu!!

Kessy alikuja huku anatabasamu!

“Oyah!vipi umwambiaje!”,aliuliza Abobo

“Naondoka naye nyumbani!”

“Haiiiiiiiiii!!ivi unataka akahamishe vitu vyako vya ndani eti!!!???”,niliuliza kwa mshangao!!

“Ivi we Kessy unababaika na uzuri mwambie akulipe achana naye!!”

“Ebhu tulieni mi naondoka naye nyumbani huyu atanilipa huko!!”

Tuliangaliana na Abobo Kisha tukacheka kusema kweli hatukuamini kama Kessy angechukua uamuzi kama ule!!

Siku hiyo tulishinda hatuna mbavu kwa kucheka!

Kessy alimjali yule demu kwa kila kitu msosi akamnunulia chipsi kuku yaani kimoyo nikasema ningekuwa mimi ningeshampiga makofi hadi kalegea!!

**********

“Jiandae tuondoke zetu muda ushafika!”,Kessy alimwambia yule dada ambaye licha ya Kessy kumjali bado alikuwa na wasiwasi mwingi!

“Kaka samahani,naomba twende gesti naogopa!”

“Unanipangia?yani umeniibia halafu unanipangia au nikupeleke polisi?au niwaite wadau hapa wakufanyie unyama?”

“Hamna Kaka jamani nimesema tu!”

“Unakumbuka na siku ile ulinambia twende gesti,ukanipeleka ukaniibia??”

“Nisamehe kakaangu!”

“Okay,mi nilijua tushamaliza kumbe bado unaenda nyumbani au niwaite wajuba!!”

“Kaka tu..tu..tunaendaaaa!”

“Okay twende zetu!!”

Alitoka Kessy na yule demu hata bila kutuaga akaondoka zake!!

Walichukua taksi mpaka kwa Kessy.

“Karibu mrembo!!”

“Ahsante!!”

“Karibu uketi jiskie huru!!”

“Ahsante pazuri!”,alisema mrembo huku anazungusha macho huku na kule akiikagua sebule nzuri ya Kessy!

Kati yetu Kessy ndiyo mtu anayeingiza pesa zaidi,hivyo yeye alishajenga zake Kigamboni sisi bado tulikuwa tumepanga!

“Hujaniambia unaitwa nani mrembo naitwa Saida!”

“Ooh!jina zuri sana!”

“Ungependa kunywa kidogo!”

“Nina hofu kidogo nipe pombe kali nikate hii hofu kwanza!”

Kessy alienda kwenye kabati lake la pombe akachukua chupa ya Jack Daniel akammininia wakaanza kunywa ambapo si muda yule mdada alianza kuchangamka!!

“Hujaniambia unaitwa nani ila niliskia wanakuita Kessy sijui ulizaliwa na kesi gani?”,alisema kwa uchangamfu Saida!

“Hahahahaa! Ilo jina tu nilipewa na mama na baba sijui walifkria nini,maana tangu nimezaliwa mpaka leo sijawahi kupata kesi!”

“Hahahahaaa!”

Waliendelea kunywa mpaka wakachangamka zaidi!

“Samahani bafuni wapi nikajisafishe kidogo siunajua nimetoka juani,nataka nikupe kitu roho inapenda!!”

“Mmh!maneno yako yanaamsha maruhani yangu!!”

“Usijali Kessy Leo nahakikisha nakupa kesi yaache yapande tu uone ntakavyoyachomea udi!!”

“Twende ukaogee chumbani mrembo kule ndiyo kuna bafu la hadhi yako!”

Kessy alimshika mkono akampeleka mpaka chumbani!

Walipofika tu Saida akaanza kuvua nguo mbele ya Kessy!!

“Ooohh! mmmhh!aaahhh!!”

Alijimumunya Kessy baada ya kuona shepu la Saida akiwa hana nguo hata moja!!

“Unalitamani eeh?ngoja nilioshe baba Leo huyu mbuzi wako chagua wewe unamchoma au unamnywa supu!!

Alisema Saida Kisha akaingia zake bafuni akaanza kuoga kwenye bomba la mvua!!

Imeandikwa na Jack Mambo

Kessy alikuwa mshamba mshamba maana ameshazoea vya kununua ,angekuwa mjanja angezamia uko uko bafuni,vya kununua vina masharti Kwanza ukichelewa tu kumaliza utaskia …

“We Kaka ebhu kojoa kwani umeikodi?au unadhani hii ya dadaako fanya haraka bhana!”

Ukizingua kama bao liko mbali utaambiwa uongeze hela la sivyo unabaniwa miguu,ukileta ubabe wanakuja wababe utatulia tu!!!😆😆😆

Saida alitoka akamkuta Kessy kakaa kitandani!

“Mbona hujaja tuoge wote baby!”

Alisema Saida huku anamkalia Kessy mapajani!

“Mmmh…mmhh…una..semaa?”

Alibabaika Kessy ila Saida akampa ulimi wakaanza kudendeka!

“Hapana Kessy kaoge baba nataka nikunyonye hadi p*mb* zako nizimumunye kama karanga mbichiii!”

Saida alimzuia Kessy ambaye hajui hata kama mapenzi usafi,hajazoea hayo mambo,kazoea kuchomeka na kuchomoa!

Aliingia bafuni akaoga akajisafisha vizuri Ila aliporudi chumbani hakumkuta Saida!

Akashika kichwa Kisha akapaza sauti akasema!

“HAYAAAAA! KANITOROKAAAAA!!”

UNAHISI SAIDA KATOROKA?

NA JE LEO KAONDOKA NA NINI?

Share.
Leave A Reply

error: Content is protected !!