Clickable WP Image
JOIN US WHATSAPP CLICK HERE
JOIN US TELEGRAM CLICK HERE

NIGHT CLUB

Sehemu ya 6

Ilipoishia………Erick kakutana na jirani yake kwenye chipsi,wanarudi nyumbani ila jirani anaonekana kuutaka zaidi ujirani,unahisi jirani anataka ujirani gani??

Songa nayo……….

Nilibaki nimeganda mlangoni,kichwani nilihisi kengele kubwa ya hatari!

Kitendo cha jirani kuniita bafuni eti koki ngumu kilinipa tafsiri nyingine ya ujirani!!

“Jirani njoo basi koki haifunguki jamaniiii!!”

Jirani aliongea kwa sauti ya puani hadi nikasisimka!!

Msisimko ule ndiyo ulionifanya nishike kitasa cha mlango wa bafuni bila kuuliza nikaingia mzima mzima!!

Lahaula!!Sikuamini macho yangu jirani alikuwa mtupu kama alivyozaliwa,nilitaka kutoka lakini akaniwahi akanishika mkono akanikumbatia!!

Unadhani mi ningefanyaje jamani,msiwe mnanilaumu tu Sasa nimekumbatiwa halafu chuchu zinanichoma kifuani kengele ilishamfikia mzee kipala huko mtaa wa ndani ya boksa kasimama dede kama mtoto kaona pipi!!

“Jirani unafanya nini??”,nilijikakamua kumuuliza jirani ambaye hakunijibu kitu ndiyo kwanza akutoa ulimi wake akauingiza sikioni huku anahemea kwa kasi na kuzifanya hisia zangu zipande mpaka juu ya mlima Kilimanjaro!!

“Nataka hii!!”,alisema jirani muda huo kapitisha mkono wake ndani ya boksa yangu na kuishika bakora yangu iliyosimama!

“Wow!so big aah!!”,aliongea jirani huku anaishika bakora yangu,kama mwanaume rijali unadhani ningefanyaje lazima nikubali nilishikwa!

“Naomba niinyonye babaaaa!!”,aliongea jirani kwa sauti ya puani na kabla sijamruhusu akapiga goti na kuitoa ndani ya boksa akaitupia mdomoni!!!

“Mmmhhh!mmmhh!wifi anafaidiiiii!!!”

Alisema jirani huku anainyonya taratibu huku anaitoa anajipiga nayo mashavuni!!!

Jirani alidhamiria kunionyesha ufundi maana alishuka akazibugia korodani zangu hapo ndipo Erick nikaanza kuimba kikwetu kwetu!!!

“Oohhh!jiraniiii!basiiiiii!basiiiiii!”

Ilibidi nimzuie jirani maana nilikuwa nimekaribia kupiga yowe!!!

Jirani aliinuka bila kuuliza akainama akashika sinki akaishika bakora akaiweka tunduni!!

Alionekana kuwa na hamu sana maana kitumbua kilikuwa kimejikaanga kinameremeta na mafuta kibao!!

Bakora ilipenya taratibu mpaka alipoona inatosha saizi yake!

Akaanza kuzungusha kiuno chake taratibu huku anatoa milio ya mahaba!!

“Mmmhhh!!nishike kiunooo jiraniiiii aaasshiiiiii!!”

Nilimshika kiuno huku nampapasa nami nikaanza kuzungusha kiuno,yani akikatia kulia nakatia kushoto mwisho,akienda kusini mi nasimamia kaskazini!

“Jiraniiii ongeza nakojoaaaaa aaaaahhhhhh!!”

Ni kama nilisubiri ruhusa yake tu,nilianza kumpa miuno ya kikongo kama nimezaliwa zaire au nina undugu na Nyoshi na Christian Bella,tukaanza kucheza ekotite na papa mobimba!!

“Jiraniiiii nakujaaaaa hapoooohapoooo aamammmmmhh….mamaaaaaaaaa aaaahhh”

Jirani alipiga yowe mpaka nikahisi nje wamemsikia!

Alipomaliza akachomoa akaniangalia kwa macho yaliyolegea!!

“Jirani kumbe we mtamu hivi!!”,aliniuliza kwa sauti ya puani!!!

“Kwanini jirani!!”

“Umenifikisha mapema sana hii bakora tamuuuu!!!

“Okay basi nenda jirani!!”

“Mmmh!bado ndiyo kwanza tunaanza hapa mechi inahamia kitandani,maana nakutamani siku nyingi leo nimepata nafasi naitumia vizuri!!”

Aliongea jirani Kisha akanishika mkono mpaka chumbani alipofika tu akanilaza kitandani kisha akanikalia akaanza kunikatia miuno ya singeli  anachanganya na segere!!

Ilikuwa ni mechi ya dharura lakini yenye upinzani mkubwa afe kipa afe beki!!

Mpaka tunamaliza jirani kaenda kilimani mara sita huku nikiwa nimezama nyavuni kwa goli mbili tu za kibabe!!

“Jirani umeniweza!”,aliongea jirani yangu huku anapapasa kifua changu!!

“Kwanini jirani yangu!!”

“Mmh!!yani hapa naenda kukila kichipsi changu nina njaa balaa siyo kwa mechi hii!!”

“Hahahahaaa!!

“Usicheke jirani yani mi nakuambia ukweli yani wanaume kama wewe siku hizi ni wachache sana!!”

“Umeanza kunipaka rangi nyumba ya matope Sasa!

“Kweli jirani yani mi bao sita Ila zako mbili tu kama nane khaaa!!”

“Hahahahaha aya bhana!!”

“Halafu mbona unapenda kucheka cheka sana au una undugu na Shebby??”

“Shebby ndiyo nani!?”

“Yule wa kwenye hadithi ya BEACH BOY ya Jack Mambo?”

“Heeeh!na wewe unafuatilia story zake!!”

“Ndiyo sijawahi kujuta kulike page yake ya story za mambo yani anajua kunikosha!!”

“Hahahahaaa!mi naipenda ya Kidawa na shanga zake!!”

“Mmh!unapenda shanga jirani eeh!!ninazo siku nyingine ntakuvalia mpenzi!!”

“Halafu naskia na ile story ya Chausiku Nilifanya mapenzi na mbwa ni yake!

“Yule kaka anaandika acha tu waibe stori zake nzuri bhana!”

Tulipiga stori mwisho akaaga kuwa anaondoka zake muda huo ilikuwa imefika saa saba usiku!!!

“Jirani hujaniambia jina lako!!”

“Niite jirani tu maana ukinijua walimwengu wataleta maneno!!

Alinijibu jirani akaondoka huku nyuma anatikisa wowowo lake hadi bakora yangu ikasimama nikatamani kumzuia ila akawa ameshatoka!!

**************

Siku zilikimbia hatimaye wikiendi ikaingia!

Siku hiyo tulikuwa kazini tunamalizia kufunga ndipo Abobo akaja muda huo kashafunga Banda lake!

“Oyaaaah!msijifanye hamjui leo wikiendi tunazama wapi leo!!”

“Hahahahaha!Abobo mwanangu hukomi tu umepona gono eeh!!”

“We Erick nini wewe ile ajali kazini!!”

“Utakufa mbwa wewe!!”,alidakia Kessy.

“Yani usife wewe unayenunua kabisa bora mimi naopoa kwa kutongoza wewe domo zege!!”

“Acheni zenu bhana!semeni leo tunaenda wapi!”

“Mzee leo hii Giraffe Temekeeeeee!!”,alidakia Abobo!!

“Hahahahaaa!!pale ni nouma mzee siyo poa!!”

“Tunatimba hapo hapo kudadeki nina mawe leo natoka na mzungu!!”,alidakia Kessy wote tukacheka!!

HAYA KARATA IMEANGUKIA GIRAFFE TEMEKE!

UNAHISI NINI KITATOKEA???

Sehemu ya 7

Ilipoishia……. wikiendi imefika na kama kawaida wazee wa Club wamejipanga na wamepanga kwenda Club moja maarufu sana Temeke inayoitwa Giraffe!!

Songa nayo…………

Tuliondoka kila mtu akaenda kwake kujiandaa, kama kawaida yangu huwa sikamii sana kwenye suala la mavazi!!

Kawaida ya mavazi ukikamia sana upendezi unaharibu!

Nilifika nikaandaa mavazi yangu simple nikakaa kusubiri muda ufike!!

Niliwasha televisheni nikawa nacheki movie mpaka ilipofika saa tano usiku ndipo simu ya Abobo iliingia!!

“We fala uko wapi?””

“Niko home bwege nambie!!”

“Tunakupitia hapo nipo na domo zege hapa Kessy mwenye kesi zake!!”

“Hahahaha!mnakuja na usafiri gani?”

“Bajaji unauliza na unajua tunatumiaga usafiri gani,au una uwanja wa ndege hapo tuje na dreamliner ya Magu!!”

“Ila Abobo we ni chizi njooni na ungo mbwa nyie!!”

“Tunakuja na fisi!!”

“Hahahahahahaaa!!”

Nilikata simu nikaingia bafuni nikaoga kisha nikapiga pamba zangu nikapulizia marashi yangu nayoyapenda nikatulia, baada ya nusu saa Abobo na Kessy walifika tukaunga na kibajaji chetu mpaka Temeke!!!

Tulifika muda huo tayari kumeshachangamaka,niliingia chooni kule kuna kioo nikawacheki wadada wanakuja na madela wanachenji nguo zao na kuvaa za kisistaduh tayari kwa makamuzi ya wikiendi!!

Kama kawaida ya Club hii watu walikuwa wengi Sana,maana inakusanya watu kutoka sehemu mbalimbali hadi mbagala wote chimbo lao ndiyo hili!!!

Niliingia nikamkuta mwanangu Abobo kashajiweka kaunta kaagiza mizinga kama yote ameshaanza kulewa!!

“Mwanangu uko fasta ushaanza kulewa!!”

“Leo nataka nicheze sana muziki sitaki demu,leo nataka nicheze tu!!”

“Hahahahaaa!Ila nimeliona jimama lako!!”

“Acha zako usininyime amani sitaki hata kumuona yule jambazi!!

“Hahahahaaa!!!”

“Kessy yuko wapi??”

“Nikuulize wewe Abobo maana mimi nimekuacha naye!!”

“Kashanitoroka kaenda kutafuta manzi yule jamaa ni bwege sana mapema yote hii!!”

Nilikaa na Abobo tukaanza kulewa kwa jinsi tulivyochafua meza mademu walikuwa wanatuzungukia wakijaribu bahati yao!!

Baada ya nusu saa alikuja Kessy akiwa anafunga zipu!

“We jamaa ushaanza tayari mapema yote hii!!”,aliuliza Abobo!!

“Leo nataka nipige watano na wa sita wa kwenda kulala naye hela ipo!!”

“Jifunze kutongoza mwanangu utaoaga kweli wewe?”,nilikazia.

“Nyie niacheni kila mtu na kipaji chake yaani mi nianze kumdanganya mtoto wa watu nakupenda na huku nimemuona leo tu siwezi!!!”

“Kwa hiyo unamuambiaje??”

“Namtolea noti tu therathini au hamsini kama mzuri nampa hata laki hela natafuta nitumie bhana!!”

Mimi na Abobo tuliinama kumsikitikia mshikaji wetu,maana kati ya watu wanaopiga hela kati yetu Kessy anaongoza maana anatuma mizigo mpaka mikoani ila tatizo ni jinsi anavyozitumia pesa zake!!

Wiki ya kwanza mi kuja Club alichukua demu kwa laki tatu akalala naye usiku mmoja tu wakaachana mpaka leo!!!

“Mnainama nini nyie wazee wa kutongoza,au mmeishiwa oyaaaahh weita shusha henken kumi na tano bili yote kwangu,kunyweni nyie mbwa maisha mafupi hayaaaaaaa!!!”

Tulikunywa pombe mpaka tukaanza kuchangamka Abobo akaanza kucheza mziki!

Mi nikabaki mezani napiga tungi ila ghafla akatokea mrembo aliyekuwa amevalia suruali nyeupe iliyotobolewa mapajani na kitop cheupe kilichoacha tumbo lake wazi na kukiacha kitovu chake wazi!!

Kichwani alijipamba na Brazilian hair yani alikuwa wamoto balaa!!

“Naomba savanna!!”

Sauti yake nayo mmmh nilianza kujitafakari ghafla,nikajikuta napata Yale mawazo ya kihindi eti tayari niko na yule mtoto chumbani tunafanya yetu!!

Alipewa Savanna yake moja akarudishiwa chenji ila kabla hajaondoka nikamshika mkono jamani pombe hizi🙆🙆

“We Kaka vipi?”

“Weita mpe Savanna kumi huyu dada kwa bili yangu!!”

“Ebhu acha dharau unaona wote ni walevi kama wewe?”

“Sasa hutaki ofa jamani!!”

“Kaka naweza nikainunua hata hii Club nikitaka,hizo pesa kamsaidie mama yako si ajabu ana maisha magumu we unalewa humu!!”

“Dada unanitusi Sasa!!”

“Usimchukulie kila aliyehumu ni Malaya wengine tumekuja na stress zetu niachie unaniletea uzuri hapa utaolewa msiiiiyuuuuuu!!!”

Nilifadhaika sana maneno ya yule dada yalinifedhehesha nikainama kwa aibu!!

Nikapiga pombe kwa hasira nikaagiza mzinga wa K vant nikaanza kuunywa kwa fujo!

Abobo alikuwa anacheza zake mziki na Kessy kama kawaida yake analewa kidogo Kisha anapotea akirudi anafunga zipu kumaanisha tayari kashaharibu!!!

Hakuna siku nililewa kama siku hiyo,hamu yote ya mwanamke ilipotezwa na maneno ya shombo ya yule dada!!

Nilikuwa na hasira nyingi sana hadi natetemeka,nilikunywa pombe mpaka nikaishiwa nguvu usingizi ukanichukua nikalala palepale kaunta!!!

Abobo hakulewa sana kama mimi aliponikuta nimelewa akaniamsha lakini bado sikuamka!!

Yaani kiufupi nililewa hadi nikazima kabisa!!

Kessy alikuwa ameshaondoka zake na mwanamke nikabaki na Abobo ambaye ndiye alinibeba akishirikiana na walinzi wa mle Club!!

Haikuwa rahisi maana ni ghorofani sasa mpaka kunitoa nje ilikuwa kipengele!

Aliponitoa nje akaita taksi akanipandisha simu yangu ikaita muda huo ilikuwa saa kumi alfajiri!!

Abobo aliipokea akaanza kuongea na mpigaji hakuwa mwingine zaidi ya Amanda!

“Halloo Erick uko wapi nipo kwako hapa!!”

“Nakuja saivi nisubiri!!!”

Alijibu Abobo moyoni akiamini itakuwa rahisi akaniache na Amanda!!!

HAYA SASA ITAKUWAJE AMANDA KAFIKA NA YEYE ANATOKEA WAPI MUDA HUO????

Sehemu ya 9

Ilipoishia……..Kessy kaingizwa mjini na Erick kadhalilishwa kalewa mpaka kazimia……

Songa nayo…….

Siku hiyo Erick alikuwa anatamba balaa,yaani kitendo cha yeye kuonekana ametusaidia basi hatukupumua!!

“Nambie chapombe dah!yani mwanangu hadi unazima hahahahahahaaa!!”

“Acha zako bhana kawaida tu hiyo!!”

“Nishukuru mimi na wewe ungeibiwa jana wangekubaka hahahahaaa!!”

Utani wake ulinizidia uchungu nikazidi kupata hasira nikiyakumbuka maneno ya yule binti alivyonidhalilisha!!

“Oyah!Abobo nichekie mwanangu nakuja saivi!!”

“Unaenda kulewa nini angalia usizime huko!!”

Yani Abobo haukuwa utani tena bali kero!!!

Nilitoka mpaka benki nikaingia kuangalia nina shingapi?

Nilikuta Nina kama milioni kumi na tano nikatoka nikampigia simu mama yangu!!

“Mama shikamoo!!”

“Marhaba mwanangu afadhali umenipigia nilikuwa natafuta salio nikupigie mwanangu bati linanivujia mwanangu!!”

“Mama usijali nimekupigia nikuambie umwambie Emma amtafute fundi hapo wakujengee nyumba!!”

“Mwanangu nashukuru sana ngoja nimtafute atakupigia leo leo!!”

Nilikata simu nikarudi zangu ofisini nikaendelea kuvumilia maneno ya Abobo!

Bora mimi kuliko Kessy yeye ndiyo hakuongea kabisa alikaa kimya kama bubu akimuacha Abobo atambe awezavyo!!!

Jioni nilipigiwa simu nikaongea na fundi ambaye alisema nyumba ya vyumba vitatu itakamilika kwa milioni ishirini yani hadi bati na kila kitu!!!

Nilimkopa Kessy milioni tano Kessy nikamtumia pesa yote ujenzi ukaanza nikaanza kupambana upya tena kulipa deni na kushibisha akaunti yangu!!!

Haikuwa kazi rahisi lakini nilipambana huku nikipunguza bata hata nikienda Club sikutumia zaidi ya elfu hamsini na sikuwa nikiondoka na mwanamke yoyote!!!

Abobo na Kessy walinishangaa sana mabadiliko yangu ila kiukweli nilishindwa hata kutongoza ujasiri ulinipotea kila nikikumbuka maneno ya yule dada!!

Mara nyingi nilienda Giraffe ili tu nimuone yule dada nimuulize kiburi cha kusema anaweza kuinunua Giraffe kinatoka wapi?

Bahati mbaya ilikuwa kwangu maana tangu siku ile sikumuona tena japo nilipolewa niliwavamia kwa kuwafananisha naye lakini bado hakuwa yeye!!

Ndani ya mwezi mmoja tu mama alikuwa kwenye jumba lake anaenjoi hapo kidogo nikapumua,ile kauli ya kwamba mama yangu anaishi vibaya nikawa nimeitoa kichwani kwangu!!

Nilimfungulia na kiduka pale pale kwaajili ya matumizi yake ya kawaida na pesa ndogo ndogo!!

Niliendelea kukomaa na kupambana kwa nguvu nikalipa deni kwa Kessy na akaunti yangu taratibu ikaanza kuvimba upya!!!

Na mimi nilianza kupata dili za kusafirisha mizigo ya marobota mikoani kipato kikakuwa siku hadi siku!!!

Ndani ya mwaka mmoja nikajikuta nimetengeneza kama milioni thelathini,kapu langu likavimba haswa!!

************

Sikuwa na sababu ya kumuwaza tena yule binti wa club!

Nilishamsahau sababu Sasa hawezi nisema tena!

Nakumbuka siku moja ilikuwa wikiendi tukajikusanya kama kawaida yetu!!

Kipindi hicho Amanda ameondoka kaenda kwao kamaliza chuo akanikaushia kabisa,na mimi nikampotezea!!!

Siku hiyo tulienda Maisha Club kula bata!

Kama kawaida yetu meza yetu ilipambwa na vinywaji vya gharama,ukiviona huwezi amini kama ni machinga ndiyo wanatumia vile ungejua ni maofisa fulani!!!

Warembo walijipitisha japo wapate ofa japo ya bia!!!

Kessy hajawahi kuacha tabia yake aliondoka akirudi anafunga zipu japo Sasa alijirekebisha akiondoka na mwanamke anaenda kwenye hotel ya maana yenye ulinzi wa kutosha siyo vichochoroni!!!

Siku hiyo macho yangu yalitua kwa mrembo mwenye urefu wa twiga shepu la tembo uzuri wa pundamlia!

Haikuwa kazi ngumu nilimuona kakaa peke yake anakunywa zake Castle light!

Nilijisogeza muda huo unapigwa wimbo wa Maua sama na hanstone (iokote)

“Mambo Sugar!!”

“Mmhh!mi siitwi sugar!!”

“Namaanisha mtamu yani?”

“Hahahahaaa!sa umenionja unasema mi mtamu?”

“Hahahahaaa!kuiva kwa embe tunaangalia ganda mummy!!”

“Hahahaha una maneno!!”

“Naomba tusaidiane basi tuiokote!!”

“Jamani tuokote nini?”

“Sijui hata mimi tumuulize maua sama labda!!”

“Hahahahaaa!!!”

“Naomba tucheze mrembo!!”

“Bila shaka handsome!!”

Alishuka kwenye kiti kirefu akaanza kunikatia viuno vya tanga segera!!!

Muda huo linapigwa goma la nikagongee mmmhhh!!

Usiombe ucheze na baharia Club huwa wanahakikisha unaomba mechi bila kupenda tena akiwa hana hela 😝😝😝!!

Maana siyo kucheza tu utashikwa shikwa kama mko chumbani,usipolowa ushukuru!!!

Kuanzia hapo bili zote zilianguka kwangu,ndiyo lazima ugharamie sasa jidai mzembe yakutokee ya BOB HAISA kanyang’anywa tonge mdomoni!!!

Mrembo yule ambaye alinambia anaitwa Aisha alilegea kwa pombe na miguso yangu ya kibaharia akajikuta amelegeza macho balaa!

Mara anikumbatie mara anibusu mwisho akakimbilia polisi!!!

“BABY NATAKA KULALA!!!”

JE NINI KITAENDELEA?

AISHA ATANUSURIKA NA RUNGU LA KIPEPE???

Sehemu ya 10

Ilipoishia…………Erick kapata mrembo wa kibantu,mrefu kama twiga shepu la tembo na urembo wa pundamlia,nini kitatokea…….

Songa nayo…….

Hakuna kingine zaidi,niliangaza macho yangu kuwaangalia wenzangu!

Kessy sikumuona nikajua atakuwa alishaondoka zake!

Nilipotupa macho pembeni nilimuona Abobo akiwa amekumbatia jimama lingine kalibananisha kwenye kona wanapapasana!!!

“Hivi huyu jamaa akilewa anataka majimama tu yani dahhh!!”

Niliskitika moyoni kisha nikaondoka na mrembo wangu nikachukua Uber mpaka ubungo External!!!

Tulifika tukaingia ndani yule mrembo alipoiona tu friji akasimama akaifungua akachomoka na dompo akachukua glasi akajimiminia akaanza kunywa upya!!!

Mi niliingia zangu chumbani nikavua nguo zangu nilipotoka sikuamini nilikutana na moshi wa bangi sebuleni Aisha anavuta hata haelewi!!

Nilisimama nikajishika kiuno moyoni nikajisemea!!

“NIMEPATIKANA!!!”🙆🙆🙆

“Njoo handsome vuta upate stimuuu unitie mpaka nikuite babaaaa hahahahaha!”

Aliongea muda huo siamini kama yule mrembo anavuta bangi wala hana wasiwasi!!!

“Unasikia handsome nataka unit*mb* Sana leo yani usiponiridhisa nakudunda kum*m*ke!”

Alipomaliza kuvuta bangi yake akapiga glasi moja ya dompo Kisha akaanza kuvua nguo zake moja baada ya nyingine!!!

Kusema ukweli Aisha alikuwa mrembo sana jamani,kiuno chake kidogo na mat*ko makubwa vilinifanya bakora isimame bila kupenda nikacheki juu ya friji kulikuwa na konyagi ndogo nikaifungua nikainywa yote ili twende sawa!!!

Aisha alipomaliza kuvua nguo zake Hadi chupi alinisogelea!!

“Una kondomu!!”

“Hapana!”

“Usijali nalinda afya yangu!!”

Alichukua mkoba wake akachukua pakti ya kondomu akakata kondomu moja akainama akaingiza mkono kwenye boksa yangu!!!

“Mmmh!handsome hii yako au mko wawili!!”

“Yangu hiyo mrembo kazi kwako!!”

“Wow handsome ilivyo inanitamanisha niile bila maganda lakini sikuamini wewe ni Malaya!!”

Alisema kilevi Aisha  alipomaliza kunivalisha akasimama akauleta ulimi wake nikaukwepa!!!

“Handsome usiponipa mate sikupi kitumbua changu!!”

Aisha hakunipa nafasi alinibania ukutani mkono wake akaanza kunishika bakora yangu anazipapasa na korodani zangu na hapo ndipo mizuka yangu ilipo!!

Nilifumba macho nikaja kushtukia ulimi wa Aisha umepenya mdomoni kwangu unanipa mate yenye radha ya bangi bangi na pombe!!!

“Handsome nataka unitie mpaka nikukumbuke milele!!!”

Maneno yake ya kikahaba yalinipa mzuka bakora ikakaza misuli hadi ikawa inauma!!

Nilimshika kiuno chake nikaanza kumpapasa!!

Ulimi wangu ukaimeza chuchu yake moja!!

“Handsome unafanya nini nimeshalegea mwenzio haaaaaa!!!!!”

Sikumsiliza nikaendelea kumnyonya chuchu take huku mkono nimeupitisha katikati ya mapaja yake napima oil!!

“Ooshhhiiiii handsomeeeeee ooohhh ooohhhh!!”

Kitumbua kilikuwa tayari kwa chai,nguvu zilimuishia Aisha akajilaza chini kwenye kapeti akajitanua mguu bara mguu pwani!!!

**************

Abobo kama kawaida yake pombe zake zinampelekaga kwa majimama!!

Siku hii alizamia kwa jimama moja lililokuwa linakunywa pombe zake pembeni!!

Kama kawaida mzee wa maneno mengi akatupa ndoano yake mpaka akakaribishwa mezani!!!

“Karibu ukae kijana  unaitwa nani?”

“Naitwa Abobo mtafutia tumbo mzee wa mipango sinaga ushemeji mdogo wake manifongo!!”

“Hahahahahahaaaaa!we kijana una vituko sanaaaa!!!”

“Kidogo siyo sanaa mummy!!”

“Unakunywa nini Abobo?”

“Nina pombe yangu pale ngoja nikaichukue!!”

“Haaaaa!!tulia dogo janja wasi wako nini???weita mpe anachotaka!!”

….story hii imeandikwa na Jack Mambo……

Abobo alitulia akaagiza kinywaji akalipiwa!

“Unajua nimependa ulivyo mjanja mjanja na chumbani huko ivyo!!!”

“Mimi ndiyo yule niliyevumbua kitanda duniani,nikaamua kiitwe kitanda na hii iitwe chaga!!”

“Hahahahahahaaa!muongooooo!!”

“Subiri mi ndiyo Abobo utaona!!”

“Nataka ukanionyeshe ujanja wako nyumbani kwangu!!!”

“Haaaa!hujaolewa????”

“Ndiyo ukinifurahisha utanioa yani ntakupa kila unachotaka ukiniridhisha!!”

“Hilo limeshaisha mbona labda lingine kuhusu kuridhika ni jambo dogo kama uamini ngoja nikuonyeshe!!!”

Alisema Abobo akaitoa bakora yake kwenye suruali pombe mbaya🙆🙆

“Wow!nzuri itanifaa!!”

Alisema yule jimama akiishika shika kama anaichua!!

“Taratibu mama!!”

“Niite Anti Suzy!!”

Walikaa pale mwisho wakaondoka kuelekea masaki ambapo ndipo nyumbani kwa yule jimama au Anti Suzi!

Walifika kwake Abobo akabaki kushangaa ukubwa wa jumba lile la kifahari!!!

“Hii nyumba yako?”

“Nakuambia ukinifurahisha unakuwa mume wangu kabisa leo!!”

Waliingia ndani sebuleni ila jimama lile lilionekana kuwa na hamu sana Maana lilianza kuvua pale pale sebuleni!!!

Abobo naye alizitupilia mbali nguo zake wote wakawa sare sare maua!!!!

“Haya Abobo kazi kwako nioneshe umwamba wako sasa!!!

Abobo bila kuchelewa akamrukia Anti Suzy wakaanza kudendeka!!!

JE ABOBO ATAFANIKIWA KUMFURAHISHA ANTI SUZY AU NDIYO ATAPIGA BAO LA JOGOO!!!

Jaman story bado mbichiiiii🔥🔥🔥🔥

Share.
Leave A Reply

error: Content is protected !!