Clickable WP Image
RahaSpecial
RahaSpecial.com
RahaSpecial Banner
HADITHI TAMU
za Mapenzi, Maisha na Uchawi Mautundu Kitandani
Bonyeza Hapa
JOIN US WHATSAPP CLICK HERE
JOIN US TELEGRAM CLICK HERE

NILILALA NA KUZAA NA MAMA MKWE BAHATI MBAYA

PART: 01

Kwa majina naitwa Mawazo, naomba twende wote mwanzo hadi mwisho..

Baada ya mihangaiko ya miezi 9 hatimaye mke wangu aitwaye Jesca mwenye umri wa miaka 20, alifanikiwa kujifungua mtoto wa kiume ambaye nilimpatia jina la John.

Nilifurahi sana lakini kichwa changu kilianza kuwaza na kuwazua mara baada ya mke wangu kuniambi hajisikii vizuri kabisa hivyo anataka mama yake mzazi aje amusaidie mpaka hapo atakapopata nguvu.

“Mme wangu, sijisikii vizuri, mwili mzima hauna nguvu. Nimeongea na mama kasema kesho anakuja” Jesca mke wangu alitamka huku akiwa amejilaza kitandani.

“Mke wangu!, sasa atakuwa analala wapi?, kama unavyoona tumepanga chumba na sebule!” Nilitamka kwa mshutuko huku mapigo ya moyo yakinienda kasi.

“Hee!, kwani shida iko wapi?, mama atalala sebuleni au mimi na mama tutakuwa tunalala sebuleni. Daktari kaniambia ninahitaji msaada walau wiki 2 au mwezi ndo nitarejea kwenye hali yangu, au hutaki mama aje?” aliniuliza.

“Wala haina shida…ngoja nikafate godoro …” Nilitamka kisha nikapanda bajaji kutoka Ubungo Makoka mpaka Ubungo Riverside sehemu maarufu kwa dada poa kisha nikanunua kigodogo cha inchi nne….

Mda si mrefu, nilirejea nyumbani ndipo mke wangu aliponiambia,

“Samahani unaweza kunisaidia kunikanda?, maana daktari ndo alivyoniagiza”

“Nisiwe muongo mke wangu!, sijui chochote ..kesho mama mkwe atakusaidia” Nilitamka huku kwa mbali nikimuonea huruma.

“Mhh..sawa….niandalie uji sasa” alitamka

Niliandaa uji kisha nikampelekea na akaanza kunywa ndipo kwa mbali alipoonekana mwenye kupata nguvu kidogo.

Kesho yake mnano mida ya saa 6 za mchana, mamamkwe alimpigia Jesca simu kisha akamwambia,

“Nimeshafika , basi limetushusha hapa Shekilango”

“Sawa mama ngoja mme wangu anakufata akulete nyumbani…” Jesca alitamka kisha akakata simu

Malipigo ya moyo yaliendelea kunienda mbiyo huku nikiwa sijui tutaishije wote ndani ya chumba na sebule.

Nilipanda bajaji kutoka makoka mpaka Riverside kisha nikapanda boda moja kwa moja mpaka shekilango ambapo nilimkuta mamamkwe akiwa ameketi kwenye benchi.

Kwa aibu nilimsogelea kisha nikamsalimia lakini hakuitikia salamu yangu. Japo ni mama mkwe lakini mwonekano wake ni kama alikuwa na umri wa miaka 37 huku ngoja yake ikiea laini kuliko hata mabinti wa miaka 15.

” Karibu…” Nilitamka kwa sauti ya upole.

“Asante na hongera kwa kupata mtoto…” alinijibu huku akitabasamu.

“Asante pia kwa kutuombea”  nilimjibu kisha nikaenda kuongea na mwenye bajaji kuona kama anaweza kutubeba mpaka nyumbani.

Niliongea naye akawa anakataa kumpa elfu 7 na mwishowe alikubali kwa elfu 12 ndipo tulipopanda tukaanza kuelekea nyumbani.

Wakati tukiwa kwenye bajaji, sketi ya mamamkwe ilipanda kwa juu kidogo hali iliyofanya mapaja yake meupe yaliyokuwa yamenona kweli yakabaki nje.

Niligeuza shingo langu na kujifanya sijaona chochote lakini uvumilivu ulinishinda mpaka nikajikuta nachungulia maramoja moja.

Baada ya dakika kama 15 hivi, tulifika nyumbani kisha nikamkaribisha..

“Karibu hapa ndo nyumbani” nilitamka huku nikiona aibu kwani mama mkwe anajiweza kidogo kifedha.

“Asante..” aliitikia kisha akaingia ndani. na kuketi kwenye sofa.

Bila kuchelewa, nilifungua mlango wa chumba kisha nikamuamusha mke wangu ambaye alikuwa amelala.

“Amka mamamkwe ashafika…”

“Jamani mama..mama..” Jesca aliitikia kwa sauti ya tabasamu kisha akanyanyuka kitandani huku akiwa anaonekana dhoofu na mwenye kuchechemea.

“Waooo…  karibu mama” Jesca alimkumbatia mamamkwe  kisha mimi nikaingia chumbani ili niwaache waongee maongezi yao.

Baada ya dakika kama 10 hivi, mke wangu alinitumia meseji,

“Utoke chumbani mama anataka kunisafisha pamoja na kumuona mtoto”

“Sawa” nilimjibu kwa meseji kisha nikatoka .

Nilipitiliza moja kwa moja mpaka kwa mangi nikamchukulia soda mamamkwe lakini bado alikuwa chumbani ndipo nilipoziweka mezani.

“Mke wangu kaniambia siruhusiwi kulala naye mpaka siku 40,!, hivi nitawezaje?, ” Nilijiuliza huku nikiwa nimeinamisha kichwa chini.

Baada ya mda , mama mkwe pamoja na mke wangu, walitoka chumbani ndipo nilipomuona mamamkwe akiwa amejifunga kanga ndefu na Tshirt ya mke wangu.

Alianza kupika nami nikaondoka kwa aibu…

Baada ya mida, nilikuta chakula tayari, nilipata chakula kisha tukandelea na maongezi ya hapa na pale.

Kiukweli nilijikuta nanogewa na umbile la mamamkwe mpaka nikawa natamani kumwambia lakini niliogopa sana kwani sikuwa nimemzoea hata kidogo,

” Nitampataje?, kwa kipindi hiki ambacho mke wangu hajapata nguvu anaweza kunisaidia, lakini vipi nikimwambia afu akamwambia mwanaye itakuwaje?, ngoja niwe mvumilivu kwanza…” Nilijiuliza maswali mengi kwa mda mfupi.

Ilipofika mda wa kulala, nilienda chumbani ili kutoa mwanya wa mama mkwe kulala sebuleni.

Nikiwa nimelala, mawazo mazito yalinijia kichwani mwangu huku nikikumbuka mapaja ya mamamkwe wakati tupo kwenye bajaji…

Nilimuangalia mke wangu ambaye alikuwa amesinzia kisha nikavaa pensi naku…..

PART: 02

ILIPOISHIA,

Nikiwa nimelala, mawazo mazito yalinijia kichwani mwangu huku nikikumbuka mapaja ya mamamkwe wakati tupo kwenye bajaji…

Nilimuangalia mke wangu ambaye alikuwa amesinzia kisha nikavaa pensi naku…..

SONGA NAYO…

Wakati navaa kipensi changu kilichokuwa na rangi ya yanga na chenye matundu mapana mithili ya nyanyapuzo, gafla mke wangu niliona anajitingisha ndipo nilipijibanza ukutani huku 

“,Hee!  kumbe hajasinzia” nilijisemea moyoni kisha nikamsogelea karibu ndipo nilipomsikia akikoroma .

“Huyu amesinzia usingizi wa pono labda alikuwa anaota.” nilijisemea mwenyewe kisha nikaanza kufungua mlango wa chumba taratibu.

Wakati nafungua mlango, sauti ilisikika moyoni mwangu,

“Usifanye hivyo kwani utavunja ndoa yako…”

Nilisita kidogo badaye mawazo hayo yakanitoka huku mshipa wangu ambao ulikuwa umetuna mithili ya punda ukawa unaniwasha sana.

Kwa ujasiri mkubwa sana, nilitoka chumbani mwangu kwa uangalifu mkubwa sana ndipo nilipomuona mamamkwe akiwa amejilaza huku akiwa amejifunika nusu kwa sababu ya joto la Daresalaam.

“Daah!..hoooo!… ,sasa nitaanzaje kumwambia?” nilijiuliza huku nikimchungulia mamamkwe ambaye alikuwa amejaliwa shape kwelikweli.

Baada ya dakika kama 5 hivi, nilibanwa na kikohozi ndipo nilipojitahidi kubana mdomo lakini mwishowe nilishindwa.

“Khoo…khoo!..khoo!…” nilikohoa mara 3 kwa nguvu .

Kwa mshutuko mkubwa!, mamamkwe alizinduka usingizini .

“Usiogope ni mimi …” Nilitamka kwa sauti ya chini sana.

“Wewe nani…?! alinijibu kwa mshutuko huku akionekana mwenye usingizi..

“,Ni mimi mawazo…”,nilitamka kwa sauti ya kusitasita huku nikiwa natetemeka.

“Ee!, Yesu na Maria!…” Mamamkwe alijifunika mwili mzima mpaka kichwani ndipo nilipomsogelea kisha nikamwambia,

“Samahani kuna jambo nataka nikwambie mda huu….”

PART: 03

ILIPOISHIA

Ee!, Yesu na Maria!…” Mamamkwe alijifunika mwili mzima mpaka kichwani ndipo nilipomsogelea kisha nikamwambia,

“Samahani kuna jambo nataka nikwambie mda huu….”

SONGA NAYO…

“Jambo gani!”  Mamamkwe alitamka kwa mshangao mkubwa sana ndipo mapigo ya moyo wangu yaliponienda kasi sana mithili ya binti wa mchungaji aliyekosa kuona siku zake mara baada ya kufanya mapenzi kwa siri.

“Samahani najua nimekuharibia usingizi wako, nilikuwa nakatiza kwenda nje kuangalia usalama wa kuku wangu….”Nilitamka huku nikiwa natetemeka.

“Huitaji hata kuniomba msamaha… hakuna shida yoyote. Asee ulinishutua kumbe ni hilo tu…” Mamamkwe alitamka kwa sauti ya tabasamu.

“Ni hilo tu, asante pia..” nilimjibu kisha nikafungua mlango na kutok nje.

Nikiwa nje niliwaza na kuwazua,

” Nifanye nini ili niweze kumpata maana inaonekana ananielewa. Kama angekuwa ananionea aibu asingeonesha mapaja yake mbele yangu” nilijisemea huku nikiwa nimeshika tama mithili ya mtoto yatima.

Upwiru ulizidi kuongezeka usiku huo ndipo niliporudi ndani moja kwa moja mpaka chumbani kwangu.

“Unatoka wapi?” Mke wangu Jesca aliniuliza kwa mshangao.

“Nilikuwa nje…”‘Nilimjibu huku nikiwa najibangusa miguu ili nilale.

“Hee!, wewe mwanaume!, ulienda kufanya nini kama ni choo mbona kipo ndani humu?”

“Nilisikia kuku kama wanapiga kelele ‘ ndo maana nikaamua kwenda kuwaona”

“Kuwa na heshima!, kwanini hukuvaa suruali?, umemkosea heshima mama yangu na sitaki ijirudie tena” alitamka huku akiwa amekunja uso mithili ya mwanamke aliyenyimwa hela ya kusuka na mpenzi wake.

“Nisamehe lakini hajaniona kwani alikuwa amelala na kusinzia…” nilimjibu..

“Mimi nimemaliza, sitaki maelezo mengine!, hii nguo uvae mwisho chumbani humu”

“Sawa mke wangu nimekuelewa…” nilimjibu huku hisia kali zikizidi kupanda mwilini mwangu.

Nilipanda kitandani kisha nikalala huku mkono mmoja nikimpapasa mke wangu taratibu kwenye tumbo lake na kifuani.

“Niache nipumzike…unataka nini?” Mke wangu alitamka kwa sauti..

“Mbona hivyo tena!, wewe ni mke wangu…” nilimjibu kwa sauti laini

“Kwahiyo?”

“Nikuombe kitu…?” nilimuuliza.

“Kitu gani?”

“Nina hamu unanisaidiaje?”

“Hee!, hivi wewe mwanaume ukoje?, huoni hali yangu?” alitamka kwa sauti.

“Polepole basi mamamkwe asisikie siri zetu…, “

“Hata kama ….: ” alitamka kwa kukatisha maneno.

“Sitokuumiza naomba nielewe mke wangu, najua bado hujakaa sawa lakini nisaidie ..” Nilimwambia huku mshipa wangu ukizidi kujaa damu.

“Usinifanye nikujibu vibaya , kwani huwezi kujizuia bado nina maumivu…”

“Sehemu zote zinamaumivu jamani mke wangu?, ” nilimuuliza.

“Nitolee ujinga wako!, unataka kuni…” alikatisha maneno.

Nilikaa kimya kwa kisha akili yangu ikanituma tena kwa mama mkwe.

Baada ya lisaa limoja, nilichukua simu yangu kimyakimya kisha nikaweka laini mpya usiku huohuo na kumpigia mamamkwe.

“Duuhh…duuuh…duuuh…” Simu iliita kisha akapokea ndipo nilipokata simu.

Mda huohuo, mamamkwe alinipigia simu ndipo…

PART: 04

ILIPOISHIA,

Duuhh…duuuh…duuuh…” Simu iliita kisha akapokea ndipo nilipokata simu.

Mda huohuo, mamamkwe alinipigia simu ndipo…

SONGA NAYO…

Baada ya mamamkwe kunipigia simu’, niliipunguza sauti gafla ili mke wangu asisikie lakini nilishindwa kuipokea kwani angeweza kunisikia ndani humo.

Nilimgeuzia mgongo mke wangu, nikaikata simu ya mamamkwe kisha nikamtumia meseji,

“Samahani nilitaka kujua kama upo macho au la”

“Kwani we nani?” aliniuliza kwa meseji.

“Ni mimi mpenzi wako…”

“‘Mpenzi wangu?”, mpenzi wangu yupi?”

“Kwahiyo umenisahau?”

“Mimi sikujui labda umekosea namba”

“Wala sijakosea wewe si mama Jesca tena mda huu upo Dar?” nilimuuliza kwa meseji.

“Jamani niambie wewe nani?”

“Utaniona tu ila unanifahamu…”

“‘Basi kama hutaki kuniambia jina usinitafute…”

“Jamani baby, mi Omari…..”

“Omari simjui….”

“Ebu tuachane na jina kwanza, nini siri ya kupendeza kwako siku hizi?” nilimuuliza.

“‘Mhh nakunywa maji mengi na kuzingatia chakula..”

“Daah kiukweli nilivyokuona nilihisi kuchanganyikiwa!, “

“Hahaha…kuchanganyikiwa kwa lipi?”

“Shape lako linatisha au baba Jesca anafanya yake nini?”

“We sitaki hata kumsikia mbwa yule, ni mda sasa tumetengana kila mtu anàishi maisha yake…”

“Mhh kwa mda gani?:

“Ni kama miaka 5 sasa imepita…” alinijibu

“Sasa huwa unaishije hasa ukipatwa na upwiru?”

“‘Kwana upwiru ndo nini?”

“Yaani ukipatwa na hamu ya mapenzi…”

“Mhh ebu niache kwanza…”

“Hahaha, sema itapendeza kama nitaweza kupata asali yako…”

“Haiwezekani mda huu nipo kwa Mwanangu…”

“Mhh…umelala?”

“Ndiyo nimelala”

“Umevaa nini maana Dar joto kweli…”

“Nimevaa ( Pi…chu) tu )

“Umenitamanisha natamani kukuona …”

“Kuna giza …”

“Piga hivyohivyo unitumie wasap”

nilimjibu kisha nikaondoa picha yangu whasap ili asinione.

“Haiwezekani mda huu maana ni giza tupu afu huwa sipendi kutuma picha zangu nikiwa utupu..”

“Nitumie hata mapaja yako hata ukiondoa sura…”

“Sawa ngoja nijaribu lakini sijui kama itaonekana vizuri…”

“‘Itapendeza kama utanitumia ambayo haujavaa chochote…”

“Mhh…”

“Usigune fanya hivyo….”

“Hapana nakutumia lakini siwezi kuvua nguo zote maana kuna mkwe na mda wa kuamka unakaribia ..”

“Sawa nitumie…hivyohivyo…” nilimtumia meseji huku nikimchungulia mke wangu jicho la chongo ili asione kinachoendelea.

Wakati nikisubiri anitumie picha huku mwili mzima ukiwa umenisisimka, gafla mke wangu….

PART: 05

ILIPOISHIA

Wakati nikisubiri anitumie picha huku mwili mzima ukiwa umenisisimka, gafla mke wangu….

SONGA NAYO…

Mke gafla aligeuza shingo lake huku kisha akanitazama ndipo nilipodondosha simu chini huku nikijifanya najikuna,

“Humu ndani kuna mbu kweli…” Nilitamka kwa haraka…

“Mbu wapi hao wakati tupo ndani ya chandarua,” aliniuliza.

“Hata mimi nashangaa sijui ameingiaje ndani…” nilimjibu.

“Mhh…” aliguna

“Mbona waguna?” nilimuuliza.

“Basi tu…” alinijibu.

Baada ya dakika kadhaa huku nikiwa na shauku kuona picha za mapaja ya mama mkwe, nilichukua simu yangu kwa ustadi mkubwa kisha nikaingia nayo chooni kwani tulikuwa na choo cha ndani watoto wa mjini wanakiita ( Self) .

Nikiwa chooni, nilifunga mlango kisha nikafungua whasap yangu ndipo nilipopigwa  na bumbuwazi wa nilichokiona.

Bila  hiyana yoyote, Mamamkwe alikuwa amenitumia picha ambazo zilionesha mapaja yake yaliyokuwa yamenona huku katikati pakiwa pametuna japo palifunikwa na ( PICHU) iliyokuwa na rangi nyekundu.

“Hee!, mbona mamamkwe anaonekana mtamu kuliko mke wangu?, nilijiuliza huku nikizoom picha zile hali iliyopelekea mshipa wangu ukainuka gafla .

Bila kuchelewa, nilimjibu mamamkwe,

“‘Kiukweli umeumbika, ndiyo maana nakupenda maisha yangu yote…”

“Mmh..mbona nipo kawaida ?” alijibu

“Daah mpaka mda huu mshipa wangu umesimama kwa ajili yako..”

“Jamani pole…”

“Sorry unaweza kunitumia picha ukiwa hujavaa hiyo ( PICHU)?”

“Jamani nishakwambia nipo ukweni mbona hunielewi?, hapa nimejitahidi kupiga picha japo nilikuwa na waisiwasi..”

“Najua upo ukweni lakini nioneshe hata kidogo roho yangu itatulia…”

“Nisamehe kwa hilo….”

“Please nakuomba sana maana niko vibaya sana”

“Mimi nipo kwanini ulazimishe…mida ya mchana wakiondoka nami nikabakia peke yagu nitakutumia…”

“Nataka mida ya mchana tukutane Hotel moja ipo maeneo ya Riverside Ubungo…”

“Sipajui mimi…”

“Nitakutumia usafiri wa boda akulete moja kwa moja…”

“Nitaangalia kama nitapata nafasi lakini kwanini hutaki kuniambia wewe nani?:

“Jamani unanifahamu vizuri sana…wala usiwaze nataka iwe sapraize”

“Mhh…”

“Kwahiyo ndo hunitumii picha hiyo?”

“Jamani mbona msumbufu hivyo…., “

“Nisamehe baby wangu, nikuulize kitu?

“Niambie…:”

“Ni sehemu ipi ya mwili wako huwa unajisikia raha ukitomaswa?”

“Mhhh…” Aliguna

“Niambie basi…nataka tukikutana nikupe furaha, nikupe utamu ambao hujawahi pata tangu umezaliwa katika dunia hii…”

“Hahaha…yaani wewe, wanaume mnakuwaga waongo…”

“‘Sikuongopei hata kidogo!, nataka nikufurahishe haswa , ndo maana nikataka kujua hisia zako ziko wapi?”

“Hiyo siyo kazi yangu, mchimba madini huwa hajui madini yapo kona gani, atachimba mpaka hapo atakapoyapata…”

“Hahaha..umeniweza…,” nilimjibu

(Tayari ashaingia king…hachomoki…daaha!” nilijisemea mwenyewe huku nikirukaruka chooni humo.

Wakati narukaruka kwa furaha, gafla mlango wa chooni uligongwa….

INAENDELEA…

Share.
Leave A Reply

error: Content is protected !!