DHAMBI
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
SEHEMU YA 5
“Hembu simamisheni gari”
Rama D alizungumza na kumfanya Selemani D kusimamisha gari hilo.
“Kuna nini kaka?”
“Roho yangu nina iona imekuwa nzito gafla”
“Kwa nini?”
“Sijui kuna nini, alafu mshakiji hadi sasa hajatokea na nikimcheki hewani hapatikani”
“Kuna ishu imempata nini?”
“Sijajua, hembu turudini kambini tukachukue kila kilicho chetu na tuondoke”
“Poa poa”
Selemani D akawasha gari hilo na kuondoka kwa kasi huku wakiwahi kurudi porini. Wakafika katika kambi yao, wakaanza kukusanya kila kilicho chao ili kutokomea wanapo pajua wao wenyewe. Walipo hakikisha kwamba wamebeba kila kilicho chao wakaigia kwenye magari yao manne huku kila mmoja akiendesha gari lake moja na kuondoka msituni hapo na kuianza safari ya kuelekea mkoani Kilimanjaro.
Hadi polisi wanafika katika msitu huo na kuanza kuifanya oparesheni ya kuwasaka majambazi hao, taayari walisha chelewa. Wakakuta nyumba zilizo tengenezwa kwa mbao zikiwa tupu kabisa na ndani ya nyumba hizo kukiwa hakuna mtu wa aina yoyote.
“Wewe ni wapi walipo kwenda wezako?”
Askari mmoja alizungumza huku akiwa amemuekea bastola ya kichwa Tomas anaye endelea kutetemeka kwa woga.
“Ni hapa hapa tu”
“Wapo wapi sasa, au umewapa taarifa ya kuondoka?”
“Hapana, sikuweza kuwapa taarifa yoyote ile”
“Mkuu kuna aina nne za alama za matairi ya magari zimeondoka eneo hili”
Askari mmoja mwenye taaluma kubwa ya upelelei alizungumza huku akimuliaka kwa toshi alama za matairi za magari yalioyo ondoka hapo.
“Wanaonekana hawapo mbali”
“Ndio”
“Sasa tuanzeni kufwatilia alama hizo za magari. Hakikisheni kwamba muna wasiliana na askari wa Kabuku, Chalinze, Segera. Kote hakikisheni kwamba kuna pigwa patroo ya maana.”
Mkuu wa kikosi hicho alizungumza na askari wote wakarudi ndani ya magari yao na kuianza safari ya kufwatilia alama hizo za magari. Ubaya ni ni kwamba barabara aliyo pita Rama D na wadogo zake ni barabara ya yenye tope kiasi na ndio maana askari wameweza kufahamu kirahisi juu ya muelekeo wao.
Katika barabara nzima ya kutoka Chalinze hadi Segera, askari wame weka road block katika vituo zaidi ya mia moja. Hali ambayo imepelekea msongamano mkubwa sana wa magari makubwa yanayo fanya safari zake za usiku.
“Ni nini kinacho endelea?”
Rama D alizungumza huku akipungumza mwendo kasi wa gari lake na kuwafanya wadogo zake wanao mfwata kwa nyuma nao kupunguza mieondo ya magari yao. Rama D akatoa simu ya upepo(Redio call) na kuwapigia wadogo zake.
“Kuna ukaguzi wa magari unao endelea”
“Tuna fanyaje kaka?”
“Tupangeni foleni na tuwe makini ila hakikisheni kwamba silaha zenu muna ziweka tayari na endapo ikitokea kuna mjinga yoyote atazingua. Hakuna kufanya makosa”
“Poa”
Wakapanga foleni Yuma ya lori kubwa la mizigo. Jinsi foleni hiyo inavyo sogea ndivyo jinsi nao wanavyo kisogelea kituo cha kukaguliwa.
Taarifa ya ni aina gani za magari ambazo alama za matairi zake zilikutwa msituni zikaanza kusambazwa kwa njia ya whatsapp kwa kila polisi aliyopo katika vizuizi vya barabarani. Gari ya kwanza ni Ford Ranger, gari ya pili ni Range Rover,gari ya tatu ni Benz Compresa na gari ya nne ni Toyota Harrier. Umakini wa askari ukazidi kupamba moto na kuachana kabisa na malori makubwa na kuanza kutilia umakini kwenye gari ndogo.
“Tumeziona gari za majambazi zipo kwenye foleni hapa kwenye road block D20 Over.”
Askari alizungumza kwa kupitia simu yake ya upepo na kuwapata taarifa wezake wote waliomo kwenye hiyo oparesheni ya kuhakikisha kwamba wana wakamata majambazi walio mteka nabii Sanga.
“Hakikisheni kamba muna wazuia muwezavyo sisi tupo njiani tuna kuja”
Mkuu wa kikosi cha polisi kilicho toka makao makuu ya askari Dar es Salaam alizungumza kwa simu yake hiyo ya upepo na kuwafanya madereva wa gari hizo nne kuaongeza mwendo ili kuwahi eneo la tukio.
“Sawa mkuu”
Askari walipo katika road block D20 wakaendelea kuwahoji maswali madereva wa malori yaliyopo katika eneo hilo ili kuwaweka majambazi walipo nyuma ya malori hayo kuzidi kuchelewa, ili msaada uzidi kuwepo.
“Mbona wana tuchelewesha hawa?”
Selemani alizungumza huku gari lake likiwa ndio la mwisho kabisa kutoka nyuma.
“Tuweni wapole”
Rama D aliwasisitiza wadogo zake huku bastola yake ikiwa mkononi mwake.
“Au tuvunje vizuizi vyao?”
“Acheni ujinga. Mukivunja munahisi nini kitatokea?”
“Tunaliamsha dude na tunasepa”
“Nimesema tulieni. Mimi ndio mtoa amri wa mwisho sawa”
Rama D alizungumza kwa ukali kidogo mara ya kuona wadogo zake wana leta upinzani wa kubishana katika swala hilo. Selemani D, kwa kupitia site mirrow akaanza kuona gari zaidi ya nne zinazo fanana zikishuka kwenye kilima kilichopo nyuma yao kwa kasi sana zikija eneo walipo wapo.
“Waskaji huu nimtego. Tuondokeni”
Selemeni alizungumza huku akiwasha gari lake. Hakujali kama kuna kizuizi mbele yao, akaanza kuondoka kwa kasi sana huku ndugu zake wakimfwata kwa nyuma na kusababisha kuanza kwa mapambano makali sana kati yao na askari walipo kwenye kizuizi hicho.
***
“Niandalie maji nikaoge”
Nabii Sanga alizungumza huku akimtazama Magreth usoni mwake.
“Sawa ila vyoo vyetu ni vya passport”
“Una manisha nini?”
“Ni vile vyoo ambavyo havijazibwa kwa juu”
“Duu sasa kama hakijazibwa kwa juu si nitaonekana?”
“Ndio utaonekana, ila kwa sasa ni usiku hakuna mtu ambaye atakuona”
“Hapana, sinto oga”
Nabii Sanga alizungumza huku akinawa mkono wake wa kulia mara tu baada ya kumaliza kula chipsi hizo.
“Ila nimepata wazo”
“Wazo gani?”
“Mimi nikienda kuoga. Nawe uoge humu ndani kuna dishi kubwa ambalo una weza kuingia na kuoga bila ya tatizo”
Nabii Sanga akamtazama Magreth kwa sekunde kadha kisha akatabasamu.
“Hembu nilione hilo dishi”
Magreth akainama na akalitoa dishi hilo chini ya kitanda chake. Nabii Sanga akalitazama kwa sekunde dishi hilo na kurishika kwamba ana weza kabisa kutosha ndani ya dishi hilo.
“Leo inabidi nirudi utotoni”
“Hahaa ndio hivyo”
“Haya niwekee maji nijimwagie”
Magreth akandaa kila kitu kwa ajili ya nabii Sanga kuoga, kisha yeye akachukua tenge lake na kindoo cha cha bafuni chenye maji na kuelekea katika choo cha nje ili aoge. Nabii Sanga akavua taulo hilo pamoja na boksa kisha akaingia ndani ya dishi hilo na kuanza kuchota maji katika ndoo ya pembeni na kujimwagia mwili wake. Dakika saba zikamtosha nabii Sanga kuoga. Akatoka ndani ya dishi hili, akajifuta maji mwili mzima na kujifunga taulo hilo. Magreth mara ya kutoka bafuni, akagonga mlango wa chumba chake na babii Sanga akafungua.
“Tayari”
“Ndio una weza ingia”
Magreth akaingia huku akiwa amejifunga tenge hilo, lililo mfanya nabii Sanga kupagawa. Magreth akabeba dishi hilo na kutoka nalo nje. Akamwaga maji na kurudi ndani na kuliingiza mvunguni. Nabii Sanga uvumilivu ukamshinda kabisa, akatamani amshike Magreth japo kalio ila woga na wasiwasi vika mjaa.
“Baba wewe utalala kitandani mimi nitalala hapa chini”
Magreth alizungumza huku akitandika tenge jengine chini ya sakafu hiyo.
“Ahaa…tuna weza kusali”
“Ndio baba, tena nilikuwa nime jisahau kabisa.”
“Sawa njoo ukae hapa kitandani”
Magreth bila ya wasiwasi akakaa kitandani. Hakuwa na wazo kabisa kwamba uumbaji wa mwili wake umesha vuruga kichwa cha nabii Sanga. Hata hayo maombi anayo kwenda kuyaomba hakuna hata moja ambalo litamfikia Mungu, kwani shetani wa ngono tayari amesha tawala mwili wake.
‘Hapana leo siwezi kumuacha’
Nabii Sanga alizungumza huku akimtazama Magreth usoni mwake.
“Lete mikono yako, tusali”
Nabii Sanga alizungumza huku akiishika mikono ya Magreth. Ukaribu walio sogeleana ukazidi kumuweka nabii Sanga kwenye wakati mgumu sana. Jogoo wake tayari alisha simama kiasi cha kulifanya taulo alilo jifunga kiunoni kumchoresha jogoo huyo kisawa sawa.
Mageth mapigo ya moyo yakaanza kumuenda kasi mara baada ya kuona eneo la mbele la nabii Sanga likiwa limetuna kisawa sawa. Akatamani kuiachanisha mikono yake na mikono ya nabii Sanga ila akashindwa kwani tayari nabii huyo alisha anza kusali kwa suati ya chini chini.
‘Hawezi kunifanya jambo baya’
Magreth alijipa moyo huku naye akiyafumba macho hayo kuungana na nabii Sanga katika maombi hayo.
***
“Wanakimbia, ongeza mwendo ongeaza mwendo”
Mkuu wa kikosi cha askari wanao toka makao makuu, alimuimiza dereva wa gari lake na akazidi kuongeza mwendo. Askari walipo katika road block D20 hawakuwea kuwazuia Rama D na wadogo zake kwani tayari wamesha gonga kizuizi chao na kuzidi kutokomea. Gari hizo za polisi nazo zikapita kwa kasi katika kizuizi hicho na kuwafanya askari wa kizuizi hicho nao kuingia kwenye Defender zao na kuanza kujumuika katika kufukuziana huko.
Makimbizano hayo ya magari kwa haraka haraka unaweza kuyafananisha na mafukuzano ya magari yanayo patikana katika filamu za Fast and Furios. Seleman D ambaye ndio anaendesha Range Rover akazidi kuwaacha wezake kwani gari lake hilo lina uwezo mkubwa sana katika kukimbia. Rama D naye ni wa pili kwani mwendo kasi wa Ford Ranger sio wa mchezo mchezo. Mkuu wa askari askashusha kioo cha upande wake na akajitokeza kwenye dirisha huku mkononi mwake akiwa ameishika bunduki aina ya AK47. Akaanza kulishambulia gari Toyota Harrier iliyo mbele yao. Mashambulizi ya risasi zake hayakwenda bure kwani risasi kadhaa zilipiga katika tairi za nyuma za gari hili lililopo kwenye mwendo wa kasi sana. Gari hilo linalo endeshwa na Rashid D, likapasuka tairi za nyuma na kupelekea kupaa hewani huku likipoteza muelekeo wake, likaanguka chini na kuanza kubingirika na kuelekea pembezoni mwa barabara.
“Rashid amepata ajali”
Abdalah D anaye endesha Benz Compresa alizungumza hukua kishuhudia gari la kaka yake huyo likibingirita pembezoni mwa barabara.
“Hakuna kurudi nyuma”
Rama D alizungumza huku akizidisha mwendo wa gari lake. Askari wa gari mbili za mbele wakalipita gari hilo la majambazi lililo pata ajali. Gari mbili za askari wa nyuma zikazimama na askari wakashuka na bunduki zao. Wakaanza kulisogelea gari hilo huku wakiwa makini sana. Askari wenye Defender zao mbili nao wakafika eneo hilo.
“Piteni piteni”
Askari moja aliwapa amri askari hao mbao hawakushuka kwenye gari zao na wakaendelea kuzifukuzia gari za majambazi. Rashid D, mwenye hali mbaya sana ya majeraha aliyo yapata kutokana na ajali hiyo, taratibu akafungua mkanda wa gari hilo huku akijikaza sana. Kitendo cha kutoka kwenye gari hilo lililo pinduka na matairi yapo juu, akakutana na askari wanne walio shika bunduki wakimsubiri kwa hamu atoke ndani ya gari hilo.
“Hana haja ya kuishi”
Mmoja wa askari alizungumza huku akiikoki bunduki yake. Akaachia risasi nne zilizo tua kifuani mwa Rashid D na akapoteza uhai hapo hapo. Askari wawili wakaingia kwenye gari lao na kuondoka huku askari wawili wakibaki kwenye eneo hilo kuhakikisha wana tafuta vitu ambavyo vita wasaidia kwenye upelelezi woa.
Milio ya risasi iliyo sikika kupitia simu zao za upepe, zikawafanya Rashid na wadogo zake kuumia sana mioyoni mwao. Kwani wamesha mpoteza ndugu yao mmoja.
“Hei nisikilizeni”
Rama D alizungumza huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake.
“Rashida hatupo naye tena duniani. Ila tunatakiwa kufanya kitu juu ya hawa washenzi walio muua ndugu yetu. Hatuwezi kuwa kunguru na kukimbia zaidi. Tunatakiwa kupambana nao na kama ni kufa basi tufe kishujaa zaidi”
Rama D alizungumza huku mwili mzima ukimtetemeka kwa hasira.
“Tunafanya nini kaka?”
Selemani D aliuliza.
“Tufunge barabara”
“Poa”
Wakaanza kupunguza mwendo. Selemani aliyopo mbele na gari lake aina ya Range Rover akaligeuza kwa utaalamu mkubwa na kuifunga barabara. Rama D naye akampisha mdogo wake Abdalah D kumpita kisha naye akalisimamisha gari lake na kuifunga barabara na kuwafanya askari wanao wafwata nao kupunguza mwendo wa magari yao kwani hawajui ni kitu gani kilicho pelekea majambazi hao kujiamini sana na kufunga barabara hiyo.
***
“Amen”
Nabii Sanga alimaliza Sala yake na kufumbua macho. Macho yake yakakutana na macho ya Magreth. Wakatazamana kwa sekunde kadhaa kisha Magreth akaiachanisha mikono yake na mikono ya nabii Sanga.
“Nikutakie usiku mwema baba”
“Nawe pia mwanangu, ila ni vibaya kwa mtoto wa kike kulala chini huku mimi mwanaume niliye komaa nikilala kitandani. Huo utakuwa ni unyanyasaji mkubwa sana na nina weza nisipate usingizi kabisa mwanangu. Ninacho kuomba ni wewe uweze kulala kitandani na mimi uniache nilalale chini”
“Hapana baba wewe ni mgeni haina shinda. Wewe lala tu kitandani”
Magreth alizungumza huku akisimama, ila kwa bahati mbaya kitando cha nabii Sanga kumzuia katika kusimama kwake, kukapelekea tenge lake kulegea kishikizo alicho kuwa amekichomeka kifuani mwake na kupelekea tenge hilo kuanguka chini na kumfanya Magreth abaki kama alivyo zaliwa na kumfanya nabii Sanga ashuhudie uumbaji wa Mungu alio kuwa akiutamani kuuona siku zote mubashara.
Magreth akahisi kama amepigwa shoti ya umeme, hakutamani hata siku moja maungo yake yaweza kuonakana mbele ya mwanaume ambaye hajawahi hata kumfikiria akilini mwake. Akainama kwa haraka na kulikota tenge hilo na kuanza kujifunga. Nabii Sanga akatakamani kuupeleka mkono wake wa kulia huku akiendelea kumeza mate ya uchu, ila akajikuta akishindwa kwani tayari Magreth amesha sogea mita kadhaa.
“Ahaa….nalala hapa chini”
Magreth alizungumza huku akijilaza chini. Ni asilimia chache sana ya wanaume ambao wana weza kuvumilia pale wanapo yaona maungo ya ndani ya mwanamke ambaye wana mtamani kwa kipindi kirefu. Nabii Sanga, akajikuta akisimama na kuvua tauolo lake na kumfanya Magreth apigwe na butwaa, huku akimtazama jogoo wa nabii Sanga, jinsi alivyo simama kisawa sawa. Magreth kwa haraka akakurupuka chini hapo, kwani kwa kuendelea kujilaza kuna weza kumrahisishia nabii Sanga kukamilisha ushetani wake ambao tayari amesha anza kuudhihirisha mbele yake.
“Baba una fanya nini?”
Magreth alizungumza huku akiwa amerudi nyuma hadi ukutani.
“Mage natambua kwamba…..kwamba mimi pia ni binadamu. Nina hisia za kibinadamu. Tafadhali nina kuomba japo kidogo tu”
“Hapana baba, mimi ni mwanao tena mwanao wa kiroho, jifunge basi taulo lako.”
“Mage siwezi kuvumilia zaidi ya hapa, hembu tazama jinsi mbo** yangu ilivyo simama. Mishipa yake ina kwenda kupasuka kwa maumivu. Tafadhali Magre nionee huruma”
Nabii Sanga alizungumza mithili ya mtu aliye changanyikiwa. Wadhifa, heshima yake ambavyo watu wengi wana mpatia vyote amevitupa pembeni. Magreth akazidi kushangaa mara baada ya kumuona nabii Sanga akipiga magoti chini huku machozi yakimwagika usoni mwake.
“Magreth usiku wa leo ukipita hivi hivi nina weza kufa. Ninaweza kufa Mage”
Nabii Sanga alilalama huku akiendelea kupiga magoti mbele ya Magreth ambaye ukifananisha hadhi zao ni sawa na mbingu na ardhi. Hapa ndipo ule usemi wa mapenzi hayanaga komando ndipo unapo chukua nafasi. Magreth kwa haraka akachanganua akili yake na kuikumbuka video ya ngono kati ya Mrs Sanga na Tomas. Akaichukua simu yake kwa haraka na kumfanya nabii Sanga kutokwa na macho.
“Mage una taka kunipiga picha hivi!!?”
“Hapana”
Magreth alijibu huku vidole vyake vikiwa na kazi ya kuchambua ni faili lipi lina video hiyo. Mara baada ya kuliona, akanyoosha mkono wake ulio shika simu na kumfanya nabii Sanga ashangae kidogo.
“Nini?”
“Tazama”
Nabii Sanga akaichukua simu ya Magreth, akaanza kuitazama video hiyo. Hamu ya kumtamani Magreth yote ikakata. Akasijikuta akikaa chini sakafuni huku akiwa uchi kabisa. Hasira na uchungu wa kuibiwa mke na mtu wake wa pembeni vikazidi kuutawala moyo na mwili wake.
‘Samahani nabii Sanga, sikupanga kukuonyesha video hiyo kwa wakati huo. Nimefanya hivi ili kuokoa usichana wangu’
Magreth alizungumza huku akiendelea kumshuhudia nabii Sanga jinsi anavyo tetemeka kwa hasira huku jogoo wake aliye kuwa ame simama akilala tuli.
***
“Kila mtu avae bulletproof yake”
Rama D alitoa agizo hilo kabla ya kushuka kwenye gari lake. Wadogo zake wakafanya hivyo, kila mtu akashuka kwenye gari lake huku bunduki yake akiwa ameikoki kisawa sawa.
“Shukeni kwenye magri”
Mkuu wa kikosi cha polisi, aliwaamuru askari wake na wakatii. Wakashuka huku gari hizo mbili za askari zikiwa zime kaa sawa. Wakafungua milango ya gari hizo kwa ajili ya kuzuia risasi ambazo zimesha anza kungurumishwa kutoka kwa majambazi hao. Umbali wa mita hamsini walizopo, ziliweza kuwapa nafasi ya mapambano hayo kudumu kwa muda mrefu huku wote wakishambulia kwa kusubiriana.
“Mkuu wa namna hii hatuto weza kuwadhuru, tuna maliza tu risasi zetu”
“Inabidi wawekwe kati”
“Ndio mkuu, nimewasiliana na askari wengine, wapo njiani wana kuja wakitokea nyuma yao. Tukiwaweka kati nina imani tuna washinda”
“Kazi nzuri, hakikisheni muna tunza risasi zenu”
“Poa poa’
Askari wote wakaacha kushambulia na kuwafanya Rama D na wadogo zake kushangaa.
“Wana mpango gani mbona wameacha kutushambulia?”
Selemani aliuliza huku akichungulia jinsi askari walivyo jificha kwenye magari hayo.
“Sijajua kwa kweli”
Rama D alijibu huku jasho likimwagika usoni mwake. Siku zote Rama D na wadogo zake wamekuwa wakitekeleza kazi za utekaji wao kwa urahisi sana kwa maana hao wateja wao huwavamia kwa kustukiza. Ila leo wamekutana na kikosi cha askari ambao nao wana mafunzo ya hali ya juu.
“Fuc** wametuweka kati”
Selemani alizunugmza mara ya kuona gari nne zikija nyuma yao.
“Sisi tudili na hawa wa nyuma na wewe Abdalah dili na hawa wa mbele’
Rama D aligawa majukumu hayo kwa wadogo zake hao wawili walio salia. Wakaanza mashambulizi upya na kuwafanya askari wanao kuja kwa nyuma yao kusimamisha magari yao umbali kidogo na kuanza kujibu mapigano hayo. Askari hawakuwa wajinga wa kupoteza risasi zao kirahisi, jinsi Rama D na wadogo zake wanavyo mimina risasi pasipo mpangilio, kukawapa askari uvumilivu ambao wana imani kwamba ukifikia hatua fulani, basi wata imaliza vita hiyo kirahisi sana.
“Risasi zimekwisha”
Selemeni alizungumza huku akitazama bunduki yake inayo toa moshi mbele, kwani ameachia risasi nyingi sana na magazine nne alizo kuwa ana zibadilisha kila baada ya magazine moja kuisha, nazo zote zimekwisha.
“Kwenye gari lako kwani huna magazine?”
Abdalah D alimuuliza Selemani huku akimgeukia.
“Zimekwisha”
“Ohooo hata mimi hapa magazine yangu ina kwenda kuisha”
Abadlah alizungumza huku akisitisha kuwashambulia askari.
“Hata mimi nimeishiwa na risasi”
Kauli hizi zikaanza kuwaogopesha Rama D na wadogo zake. Kila mmoja matumaini yake ya kuishi tena yameanza kupotea taratibu. Abdalah akatoa magazine iliyopo kwenye bunduki yake na kukuta zikiwa zimebaki risasi tatu.
“Zimebaki risasi tatu na sina za ziada kaka”
Abdalah alizungumza kwa unyonge sana huku akikaa chini.
“Siwezi kukamatwa kijinga, tupigeni dua kisha tujiue. Mungu atatupokea vizuri”
Rama D alizungumza, wakashikana mikono wote watatu, wakaanza kusali dua hiyo huku wote wakiwa wamekaa chini. Dua hiyo haikuchukua dakika hata tatu tayari wakawa wamesha imaliza.
“Nitakuwa wa kwanza”
Rama D alizungumza huku akiichukua bunduki hiyo aina ya AK47 kutoka mikononi mwa Abdalah. Akajiwekea mdomo wa bunduki chini ya kidevu chake. Bila ya majadiliano, akaachia risasi moja ambayo haikufanya kosa zaidi ya kukifumua kichwa chake kwa juu.
Selemani D akamtazama mdogo wake Abdalah D anaye tokwa na machozi ya uchungu sana juu ya kushuhudia kaka yake akifa mbele ya macho yake. Woga wa Abadlah ukaanza kujidhihirisha usoni mwake na kumfanya Selemeni D kumtazama kwa sekunde kadhaa.
“Samahani Abdalah”
Selemeni D alizungumza na akampiga mdogo wake risasi ya kichwa na akapoteza maisha hapo hapo. Selemani D, akatoa kiberiti na pakti ya sigara mfukoni mwa suruli yake. Akatoa sigara moja na kuibana na lipsi zake, akaiwasha na akaanza kupiga mafumba mazito mazito, huku akishuhudia damu za ndugu zake jinsi zinavyo tapakaa kwenye barabara hiyo ya lami.
Selemani D akaivua bulletproof yake kisha akasimama huku bunduki hiyo akiwa ameishika mkononi mwake, akajitokea kwa askari na akaachia risasi moja iliyo salia kwenye bunduki hiyo, huku akitambua nini kinakwenda kumpata.
Askari wenye hasira kali sana na wenye uchu wa kuua wakaanza kuvurumisha risasi zisizo na idadi, kuelekea eneo alilo simama Selemani D. Hapakuwa na askari aliye piga risasi yake pembeni na risasi zote zikampata Selemeni D na kumuangusha chini huku mwili wake ukiwa umechakaa kwa kupigwa risasi hizo na huo ndio ukawa mwisho wa maisha yake.
Ukimya kutokea katika eneo zilipo gari za majambazi, zikawafanya askari kuanza kujitokeza kwenye magari yao huku wakianza kuzifwata gari hizo za majambazi kwa umakini sana. Wakamfikia Selemeani D na mmoja wa askari akaipiga teke bunduki iliyopo karibu na mwili wa Selemani D na kuifanya bunduki hiyo iserereke hadi pembezoni mwa barabara.
“Majambazi wote wame kufa”
Askari walianza kupeana ripoti huku wakikagua magari ya majambazi hao. Wakajikuta wakistushwa sana kwa kuto kumuona nabii Sanga katika eneo hilo.
“Nabii Sanga hayupo”
“Hayupo…………!!!?”
Mkuu wa kikosi hicho alizungumza huku akiwa amejawa na mshangao mkubwa sana, kwani lengo la oparesheni hiyo ni kumuokoa nabii Sanga na kuwaangamiza majambazi hao.
***
“Yaani hawakuona sehemu ya kufanyia uchafu wao hadi kanisani kwangu tena ndani ya ofisi yangu?”
Nabii Sanga alizungumza huku akiwa ame fura kwa hasira.
“Ndio baba na hapo wamezungumzia juu ya kuniuua mimi”
Magreth alizungumza huku machozi yakimlenga lenga.
“Una MB humu ndani?”
“Ndio”
Nabii Sanga akajitumia video hiyo kwenye email yake, kisha akamrudisha Magreth simu yake. Akasimama na kujifunga taulo ambalo alilifungua kimakusudi.
“Baba naomba usitishe ule mpango wa kunifungulia mgahawa na kunipangishia nyumba. Wataniua kirahisi, nitaendelea kuishi maisha yangu ya kawaida na nitaendelea kuifanya biashara yangu ya kuuza maandazi baba. Kama Mungu hakunibariki kwa kupitia wewe basi ata nibariki kwa njiani nyingine.”
Magreth alizungumza huku machozi yakimwagika.
“Mage una ongea nini? Nitafanya kila kitu kwa ajili yako na kama yule mwana haramu Tomas wale jamaa zake watakuwa hawaja mfanya nilicho waagiza nita hakikisha kwamba nina muua kwa mkono wangu mimi mwenyewe”
Nabii Sanga alizungumza huku mwili mzima ukimtemeka kwa hasira. Leo hii amejua ubaya wa mke wake, si kuisaliti ndoa yao, bali amekwenda mbali sana hadi kupanga kumteka.
“Mke wako naye?”
“Nitadili naye ninavyo jua mimi. Ili kukuhakikishia kwamba sijabadilisha mawazo yangu ya kukusaidia, kesho kuki pambazuka, nitampigia simu muhasibu wangu aje hapa, mutaenda benki na utafungua akaunti yako na atakuingizia pesa nitakayo ihitaji mimi”
“Lakini baba, mke wako ata niua?”
“Achana na wasiwasi wa mke wangu. Niamini mimi, hembu njoo hapa”
Nabii Sanga alizungumza kwa kujiamini sana. Magreth akaka kitandani hapo huku wote wakibubujikwa na machozi.
“Hivi mwanamke kama huyu, katili, jambazi na ana analiwa hadi mkund** kweli ana stahili kuwa mke wangu. Ana stahili kuendelea kuitwa mama mchungaji? Hapana siwezi kuishi na adui nyumba moja na sijapewa upako wa kumvumilia mtu wa namna hii Mage”
Nabii Sanga alilalama kwa uchungu sana hadi Magreth akajikuta akiingiwa na roho ya huruma.
“Mimi najichunga siku zote. Yeye kweli ni wa kunisaliti mimi. Ona jinsi kanisa linavyo muheshimu. Ona kila siku ninavyo simama madhabahuni mwa bwana na kukanya watu wasitende mabaya, wasitumie miili yao vibaya katika swala la mapenzi. Kumbe makatazo yangu ndio anayo yafanya mke wangu, ehehee?”
Nabii Sanga alizidi kulia kama mtoto mdogo. Taratibu Magreth akakilaza kichwa cha nabii Sanga katika bega lake la mkono wa kulia na kuanza kumbembeleza.
“Pole sana baba”
Nabii Sanga akayatupia macho yake kwenye kifua cha Magreth na akayaona maziwa ya mwanamke huyu anaye zidi kumchanganya na kumpagawisha. Taratibu nabii Sanga akaupeleka mkono wake wa kulia kifuani mwa Magreth na kushika ziwa lake moja, huku akijifanya ana endelea kulia. Kitendo hicho kikausisimua sana mwili wa Magreth, ikiwa ndio mara yake ya kwanza maishani mwake kukumbwa na hali hiyo. Magreth akajikuta akikaa kimya na kumfanya nabii Sanga azidi kulitomasa ziwa hio la Magreth ambalo limenona kisawa sawa.
Taratibu nabii Sanga akamlaza Magreth kitandani. Joto kali analo lihisi Magreth mwilini mwake, likamfanya azidi kuwa mpole huku akitamani joto hilo liweze kushushwa haraka. Nabii Sanga, akalifungua tenge la Magreth na akabaki kama alivyo zaliwa.
Nabii Sanga akaanza kuyanyonya maziwa ya Magreth aliye jikuta akizidi kulegea huku akitoa miguno ya raha. Nabii Sanga akazidi kuonyesha uzoefu wake katika sekta ya kumuandaa mwanamke. Akaushusha chini ulimi wake hadi katika kitumbua kizuri cha Magreth. Akaanza kukinyonya taratibu na hapo ndipo alipo zidi kumuahamisha ulimwengu Magreth. Ulimwengu huo Magreth hakuwahi kuufika toka kuja kwake duniani, kila anavyo geuzwa na nabii Sanga ndivyo jinsi anavyo jiweka.
Nabii Sanga alivyo hakikisha kwamba amesha mlegeza Magreth, taratibu akampaka jogoo wake mate. Akamsugua sugua jogoo wake katika kitumbua cha Magreth kisha taratibu akaanza kumzamisha na kuifanya sura ya Magreth kutawaliwa na mikunjo itokanayo na maumivu.
“Pole baby”
Nabii Sanga alizungumza huku akiendelea kuvunja ungo wa Magreth. Taratibu nabii Sanga akaanzisha safari ya mapenzi kwa Magreth. Baada ya dakika kumi na tano za mwendo wa taratibu, nabii Sanga akajikuta akifika tamati huku jasho likimwagika mwili mzima. Ukimya ukatawala kati yao huku kila mmoja akitamani kumuanza mwenzake.
“Mage”
“Bee”
“Nina kupenda sana. Nina kuamini sana na nipo tayari kukufanyia kila kitu. Nitahakikisha kwamba una kuwa tajiri na umasikini una usahau. Umenielewa mama?”
“Ndio”
Magreth alijibu kwa sauti ya upole na iliyo jaa aibu kubwa sana. Hakutarajia siku hata moja kama atakuja kumkabidhi nabii Sanga mwili wake tena na bikra yake ambayo alikuwa akiitunza kwa ajili ya mwanaume atakaye muoa.
“Ila nina ombi moja. Endapo atatokea mwanaume akakuchukua mara ya mimi kukubadilisha kimaisha. Haki ya Mungu, nitamuua mbele yako na utashuhudia jinsi nitakavyo ufanya ukatili huo. Kwani sinto kuwa na huruma kabisa na yeye”
Maneno ya nabii SANGA yakamstua sana Magreth, kwani moyo wake haupo kabisa kwa nabii Sanga kwani mwanaume anaye mpenda kuliko kitu chochote ni Evans ambaye yupo hospitalini akipatiwa matibabu kwa pesa za nabii Sanga.
“Mage tume elewana?”
“Nimekuelewa baba”
“Usiniite baba, kunzi hivi sasa mimi ni mume wako”
Mage akakosa cha kupinga kwani kama ni usichana wake tayari umesha tolewa na nabii Sanga. Taratibu nabii Sanga akamkumbatia Magreth kwa nyuma na kulala, kumalizia masaa hayo machache yaliyo salia kabla ya kupambazuka. Mlio mkubwa wa redio, inayo imba wimbo wa taarabu, ukawastua nabii Sanga na Magreth.
“Nani huyo?”
Nabii Sanga alizungumza huku akiwa amekerwa na makelele hayo.
“Ni mama mwenye nyumba”
“Ndio ana washa mziki mkubwa kiasi hicho?”
“Ahaa sisi tumesha zoea”
“Hapana kwa kweli. Leo hii hii nahitaji uhame kama ni kutafuta nyumba basi katafute sehemu ambayo ni nzuri na tuhame. Ume nielewa?”
“Ndio mpenzi”
Magreth akajikaza sana moyoni mwake kuita jina hilo, lililo mfanya nabii Sanga kuachia tabasamu pana akionekana dhairi kwamba amefurahi kuitwa jina hilo. Tartaibu nabii Sanga akaanza kunyonya lipsi za Magreth ambaye hakuwa na kipingamizi cha aina yoyote katika kukataa kitendo hicho.
“Unaweza kunywa chai na mihogo mpenzi?”
“Mihogo ya aina gani?”
“Kukaanga?”
“Ndio nina weza. Tena nina hamu nayo”
“Basi leo acha nika kununulie. Nabandika chai haraka haraka tunywe kisha tuendelee na ratiba nyingine”
“Sawa baby”
Magreth akashuka kitandani, akajifunga tenge lake na kutoka nje. Akakutana na mama mwenye nyumba uwani akifagia.
“Shikamoo mama”
“Marahaba, jana nimesikia miguno ambayo sikuwa nina ielewa elewa ndani kwako. Vipi kwema?”
Maneno ya mama mwenye nyumba yakamstua sana Magreth aliye shika kindoo cha chooni chenye maji kiasi.
“Kwema”
Magreth alizungumza huku akielelea bafuni.
“Naona hata kamwendo kame badilika, ni nani huyo aliye pata bahati ya kuzibua mgodi huo wa dhahabu?”
Magreth hakuyajali maneno hayo ya karaha zaidi ya kuingia chooni. Akamaliza huduma ya haja ndogo na kuoga haraka haraka kisha akarudi chumbani kwake.
“Huyo mama anaye washa mziki mkubwa hivyo, ana mume?”
“Hana”
“Ndio maana. Ametufanya tuamke kwa makelele yake. Ila usijali haya yote yatakwisha sawa mpenzi wangu”
“Sawa baby”
Meneno ya Magreth yakazidi kumpagawisha nabii Sanga. Magreth akajiandaa na kuelekea mtaa wa pili ambao una wafanya biashara wengi wanao pika mihogo ya kukaanga pamoja na chapati. Akanunua mihogo ya kukaanga na kurejea nyumbani kwake. Akaandaa chai na kwa pamoja wakaanza kunywa na Magreth huku furaha ikiwa ime tawala kati yao.
“Muhasibu wako una muamini?”
“Yaa nina muamini sana”
“Yasije kuwa mambo ya Tomas”
“Ila ni kweli yasije kuwa mambo ya Tomas. Nitajitahidi kumuamini”
Mabara baada ya kupata chai hiyo ya nguvu. Nabii Sanga akatumia simu ya Magreth kuwasiliana na muhasibu wake aitwaye Judithi Kiria. Akamuelekeza Judithi ni wapi alipo na akamuomba asiweze kuja na gari lake, bali atumie usafiri wa bajaji ili isiwe rahisi kwa watu wana mfahamu muhasibu huyo kumfwatilia. Ndani ya dakika ishirini Judithi Kiria akafika katika nyumba hiyo kwa msaada wa maelekezo aliyo patiwa na Magreth. Akapokelewa kwa furaha na Magreth, kwani ni watu wanao fahamiana.
“Shikamoo baba”
“Marahaba Judithi mwanangu”
“Pole sana kwa matatizo baba”
“Nashukuru mwanangu. Laiti ingekuwa si Magreth kujitoa sadaka maisha yake basi nisinge weza kuwa hapa hadi muda huu.”
“Ehee ilikuwaje kuwaje?”
Nabii Sanga akamueleza Judithi Kiria kila jambo lililo tokea hadi kufika usiku katika nyumba hiyo.
“Ohoo MUNGU ashukuriwe hawakuweza kukudhuru”
“Amen. Sasa nenda na Mage benki ya CRDB. Msaidie kufungua akaunti na ufanye uhamisho wa milioni mia mbili”
Magreth bado kidogo moyo wake umlipuke kwa shangwe, ila akajikaza kuizuia furaha hiyo.
“Kwa maana maisha yangu yeye ndio alikuwa muamuzi wa mwisho. Laiti kama angekataa kuja kule msituni basi nisinge kuwa hai sasa hivi”
Nabii alitoa sababu ya kusaidiwa, ila ukweli ni kwamba moyo wake wote upo kwa Magreth.
“Sawa baba, nitafanya hivyo”
“Jambo jengine, wewe si una ishi kule Kigamboni?”
“Ndio baba”
“Kuna nyumba nzuri nzuri za kununua au kupanga?”
“Zipo nyingi sana”
“Basi nitafutie nyumba ya kupanga. Hembu tazama maisha ya huyu binti jinsi yalipo. Sikia hayo makelele ya taarabu, japo nimelala hapa, ila sijajisikia vizuri kwa makelele hayo”
“Sawa baba ila kwa nini tusimtumie Tomas katika kutafuta nyumba nzuri kwa maana yeye ana fahamiana na watu wengi”
“Achana na Tomas”
“Naweza kujua kwa nini baba?”
Swali la Judithi Kiria likamfanya Magreth kumtazama nabii Sanga, anaye onekana kutafakari juu ya kulijibu swali hilo.
“Tomas yeye ndio alipanga mpango wa kuniteka”
“Nini?”
“Yaa alifanya hivyo kwa maslahi yake binafsi. Ila nina shukuru Mungu nilifanikiwa kutoka katika mikono ya watekaji hao mara baada ya kuwapa kiasi hicho cha pesa alicho kileta Magreth kule porini”
“Ohoo Mungu wangu!!”
“Mbona ume stuka sana?”
“Ahaa…hapana baba. Sikutarajia kama Tomas yule ninaye mjua mimi ana weza kuwa na akili za kijinga kama hizo”
“Ndio hivyo amefanya kwa ajili ya maslahi yake binafsi. Sina jinsi zaidi ya kujitenga mbali naye”
“Sawa baba nimekuelewa, acha sisi tuondoke”
Judith na Magreth wakaondoka, huku wakipita katika ofisi ya mtendaji wa eneo hilo kwa ajili ya kuandikiwa barua ambayo wataitumia benki. Wakapita eneo la kupiga picha ndogo(passport size). Walipo hakikisha wana kila kitu ambacho benki ina hitaji. Wakelekea katika benki hiyo. Kufahamika kwa Judithi Kiria, kuka rahisisha zoezi la Magreth kufungua akaunti ya benki kwenda haraka haraka.
“Una bahati sana kwenye maisha yako Magreth”
“Kwa nini?”
“Huyu mzee ni mchumi sana. Sijui imekuwaje hadi amekupatia kiasi hichi kikubwa cha pesa”
“Sijajua kwa kweli. Hivi una muda gani ume fanya kazi na baba?”
“Huu ni mwaka wa saba. Nilipo toka tu chuoni aliweza kuniajiri, nimekuwa muaminifu sana kwake, nina mshukuru Mungu hadi sasa hivi nina maisha yangu mazuri sana ambayo yana nifanya nisaidie ndugu zangu na jamaa zangu pia.”
“Hivi ana penda nini baba?”
“Hapendi mtu ambaye si muaminifu. Yaani hapa namuwazia Tomas sijui ata mfanya nini? Hapendi mtu muongo, kama una matatizo au tatizo, hakikisha una mueleza mapema kabla ya yeye kufahamu tatizo lako. Hapendi mtu asiye jibidiisha, ana chukia sana uvivu na upuuzi”
“Ahaa”
“Yaa”
“Judithi akaunti yenu ipo tayari”
Muhudumu wa benki hiyo limueleza Judithi na Magreth walio kaa kwenye eneo la kusubiria. Wakanyanyuka na kumfwata muhudumu huyo. Judithi akafwata hatua zote za kuhamisha pesa kutoka akaunti ya biashara ya kanisa la nabii Sanga kwenda akaunti ya Magreth. Magreth akaonyeshwa salio lililopo kwenye akauti yake, akatamani kuzimia kwa furaha.
“Mama umesha kuwa milionea”
Meneja wa benki hiyo alizungumza huku akijawa na tabasamu pana usoni mwake.
“Ohoo asante Mungu”
Magreth alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Akakabidhiwa kadi yakae ya kutolea pesa, akafundishwa jinsi ya kutoa pesa. Ili kudhibitisha kwamba ana pesa kwenye akaunti yake, Magreth akatoa milioni moja na ujumbe mfupi wa meseji ukaingia kwenye simu yake.
“Kwa hiyo nikitoa pesa huku muna nitumia ujumbe kwenye simu yangu?”
“Ndio dada, huduma ya ATM ime unganishwa na simu yako ya mkononi.”
Muhudumu huyo aliye mfundisha jinsi ya kutumia ATM mashine alimjibu kiufahasa.
“Pia kwa kupitia simu yako una weza kutoa na kuweka pesa kwenye akaunti yako. Hauna haja sasa ya kuja hapa benki na kupanga foleni”
Magreth akamaliza kupewa maelezo hayo. Wakaondoka benki hapo na kueleka hadi eneo Magreth alipo acha gari lake. Wakaelekea Kigamboni na kumtafuta dalali ambaye ni maarufu sana katika mji huo. Wakafanikiwa kumpata dalali, wakampa jukumu la kumtafutia Magreth nyumba nzuri ya kupangisha. Haikuwa kazi kubwa kwa maana kwa dunia ya sasa kila kitu kinapatikana kwenye mtandao. Wakaonyeshwa nyumba ambazo zipo wazi kupitia mtandao.
“Hii ina vyumba vitu ni nzuri sana”
Magreth alizungumza huku akitazama picha za nyumba hiyo.
“Basi kodi ya mwezi ni laki tano”
“Twende tukaione”
Judithi Kiria alizungu. Wakaelekea katika eneo ilipo nyumba hiyo. Katika mtaa huo kuna majumba makubwa ya kifahari na mazuri. Magreth na Judith wakatembezwa kwenye nyumba hiyo. Walipo ridika, Magreth akalipa kodi ya mwaka mzima, akaandikishana mkataba na mwenye nyumba kisha akakabidhiwa funguo. Wakarudi nyumbani kwa Magreth, wakamueleza nabii Sanga kila jambo walilo lifanya.
“Nashukuru Judithi, kaendelee na kazi na usimueleze mtu aliye yoyote juu ya hii siku wala uwepo wangu hapa”
“Sawa baba, naamimi una nifahamu na sinto weza kufanya hivyo”
“Nashukuru”
Judithi Kiria akaondoka na kumuacha nabii Sanga na Magreth. Magreth akafunga mlango wa chumba chake kisha taratibu akaanza kuvua nguo moja baada ya nyingine jambo lililo mfanya nabii Sanga naye aanze kuvua nguo zake kujiandaa kwa mtanange anao kwenda kushiriki na Magreth.
***
“Tuna waambia nini familia yake na wana nchi?”
Mkuu wa polisi aliwauliza vijana wake walio kuwa wamekwenda kuifanya oparesheni ya kumuokoa nabii Sanga, katika kikao hicho cha dharura, katika makao makuu ya polisi jijini Dar es Salaam.
“Inabidi tusitoe ripoti yoyote mkuu zaidi ya kuendelea na upelelezi, nina imani kwamba hawaja muua nabii Sanga kwa maana kila eneo la msitu hakuna sehemu ambayo tumekuta damu wala shimo alilo fukiwa mtu.
“Maiti za majambazi zipo wapi kwa sasa?”
“Muhimbili”
“Yule mshenzi yupo wapi?”
“Yupo mahabusu ya kwake peke yake”
“Sawa, pesa na silaha na magari walio kuwa wakitumia majambazi. Viandaeni ili niweze kuzungumza na waandishi wa habari. Hilo swala la nabii Sanga, tutaendelea kulifanyia uchunguzi wa kujua ni wapi alipo”
“Sawa mkuu”
“Tawanyikeni”
RPC alizungumza na vijana wake wakatawanyika. Mkutano wa RPC na waandishi wa habari ukaanza. Vibunda vya pesa za kigeni na pesa za Tanzania walizo kamatwa nazo majambazi, zikawekwa mezani. Silaza zao nazo zikaweka mezani na waandishi wa habari wakaanza kuvipiga picha.
“Mapambano ya jana usiku na majambazi walio mshikilia nabii Sanga yalikuwa ni makali sana. Vijana wangu waliweza kuifanya kazi ya kuhakikisha wana kabiliana na majambazi hao na walifanikiwa kuwaua majambazi wanne. Hizi ni pesa ambazo tuliwakuta nazo, magari yao walio kuwa wana yatumia yapo hapo nje, tutawaonyesha mara baada ya kikao hichi. Nikaribishe maswali wawili tu”
RPC alizungumza kwa kifupi na kumchagua mmoja wa waandishi habari aulize swali lake.
“Je mumefanikiwa kumpata nabii Sanga? Kama mume mpata je yupo wapi kwa sasa?”
“Kutokana na sababu za kiusalama sinto weza kukujibu maswali yako. Nakaribisha swali la pili”
“Maiti za majambazi hao kwa sasa zipo wapi?”
“Muhimbili, ila tuna endelea kuzifanyia uchunguzi ili kuweza kubainisha wao ni kina nani na tutahakikisha tuna pata muunganiko wa wao na watu walio kuwa wana wauzia silaha za kivita kama hizo AK47 munazo ziona hapo mezani. Karibuni mukayaone magari yao”
RPC akatoka ukumbini humo na waandishi wa habari wakimfwata nyuma. Akawaonyesha magari walio kuwa wana yatumia Rama D na wadogo zake. Kila aliye yaona alishangaa, kwani yamejaa matundu mengi sana yatokanayo na risasi huku moja likiwa lime bondeka bondeka vibaya sana.
***
Mrs Sanga hakuweza hata kutia kitu chochote mdomoni mwake, hii yote ni kutokana na woga ulio mjaa. Hakutarajia kumuona Tomas akiingia katika kipindi hicho kigumu. Kila aina ya maombi, ameomba kwa ajili ya Tomas, wala hakuwa na shaka na mume wake ambaye hana hata chembe ya upendo juu yake. Taarifa ya askari anayo iona kwenye luninga yake kuhusiana na majambazi walio mteka mume wake, ikazidi kumpa wakati mgumu mrs Sanga. Habari ya kuuwawa kwa majambazi hao, ikamfanya ahisi Tomas ni miongoni mwao.
“Gari lake pale halipo”
Mrs Sanga alijifariji kwa hilo.
“Mama”
Julieth aligonga mlangoni mwa mama yake, mara baada ya kuto muona akishuka sebleni toka asubuhi.
“Mmmmm”
“Fungua basi mlango”
Mrs Sanga akajifunga tenge na kumfungulia mwanaye huyo wa mwisho mlango.
“Shikamoo”
“Marahaba. Vipi mbona haujaenda chuo?”
“Nitaendaje, ikiwa maaskari wamenizuia kwenda. Vipi na wewe mbona huja toka chumbani hadi sasa hivi ina kwenda saa saba mchana?”
“Nipo kwenye mfungo wa maombi. Nina muombea baba yako huko alipo asiweze kukubwa na jambo lolote baya”
Mrs Sanga alimuongopea mwanaye.
“Sawa, ila Mungu ata simama nasi, ata kuwa salama”
“Amen”
“Ngoja nikuache uendele na maombi yako mama”
“Sawa mwanangu”
Julieth akatoka ndani humo na kumuacha mama yake akiangua kilio huku akizidi kumuomba Mungu afanye muujiza kwa Tomas ili aweze kutoka mikononi mwa askari.
***
RPC mara baada ya kumaliza mkutano na waandishi wa habari. Akaagiza Tomas kuingizwa kwenye gari lake, askari wake wakatii amri hiyo.
“Niacheni naye huyu kijana. Nina elekea naye Muhimbili”
“Mkuu ina bidi niongozane nawe”
Bodygard wake alizungumza kwani ni jukumu la kuongozana na bosi wake kila sehemu anayo kwenda.
“Wewe leo baki hapa. Niacheni kuna jambo nahitaji kwenda kumuonyesha”
RPC akaingia kwenye gari lake hilo aina ya Toyota VX V8 na kuondoka. Wakafika hospitali ya taifa Muhimbili. Moja kwa moja akaeleka katika jengo la kuhifadhia maiti. Akamshusha Tomas ndani ya gari huku akiwa amefungwa pingu za mikononi na miguuni akiwa na nyororo ndefu iliyo muwezesha kupiga hatua fupi fupi. Akamshika mkono huku akiichomoa bastola yake kiunoni.
“Nahitaji kuziona zile maiti zilizo letwa na vijana wangu”
RPC alimuambia muhudumu wa jengo hilo. Wakaongozana na muhudumu huyo hadi kwenye mafriji makubwa ya kuhifadhia maiti. Tomas japo ni mjanja sana, ila katika maisha yake yote hakuwahi kuingia katika jengo la kuhifadhia maiti(Mochwari). RPC akaagiza maiti hizo kutolewa nje ya mafriji hayo huku zikiwa zimefunikwa. Muhudumu huyo ambaye macho yake ni mekundu sana kutokana na uvutaji wa bangi ili kutoa woga wa kuhudumia maiti hizo akasimama pembeni yao huku akiwatazama. RPC akaifunua maiti moja na akamuonyesha Tomas maiti ya Selemani D iliyo chakaa kwa kupigwa risasi.
“Hawa jana tu walikuwa hai, wakisherekea pesa nyingi walizo zivuna kwa kumteka nabii Sanga. Ila sasa hivi wapo hapa hawajitambui. Wewe upo hai ila hii bastola yangu ina weza kukulaza na wewe hapa na ukajumuika na hawa wezako. Niambie ni wapi wezako walipo mpeleka nabii Sanga la sivyo, utaungana nao na wewe utaingizwa kwenye jokofu lile pale ukiwa maiti”
RPC alizungumza huku akimuwekea Tomas bastola ya kichwani na kumfanya Tomas kuanza kutetemeka mwili mzima huku akiona mwisho wa maisha yake sasa umefika, tena ana fia ndani ya chumba cha kuhifadhia maiti.
SEHEMU YA 6
Kwa woga ulio mtawala Tomas akashindwa kuizuia haja ndogo na kujikuta akijikojolea. RPC hakulijali hizo zaidi ya kuendelea kuzungumza kwa ukali huku akiwa ameishikilia bastola hiyo.
“Kwa nini ulimteka nabii Sanga, nini alikufanyia ikiwa wewe ni mtu wake wa karibu?”
“Ehee…..!!”
“Nini alikufanyia?”
RPC alizungumza kwa ukali na kumfanya Tomas kuanza kukumbuka jinsi alivyo anza mahusiano na mke wa nabii Sanga. Kukolea kwa mapenzi yao kuliwafanya washiriki katika dhambi ya kumteka nabii Sanga ili wazuie mpango wake wa kumfungulia mgahawa na kumnunulia nyumba Magreth.
“Oya andaa hilo jokofu la hapo kwa ajili ya huyu mjinga, nina muua na siri itabaki kati yako mimi na wewe?”
RPC alizungumza huku akimtazama muhudumu wa Mochwari. RPC akaikoki bastola hiyo na kumfanya Tomas kuzidi kuweweseka. Japo ame fanya makosa, ila hatamani kabisa kufa.
“Nitasema ukweli”
Tomas alijikuta akiropoka na kumfanya RPC atoe simu yake mfukoni. Akaweka upande wa kurekodi sauti na kusubiria ukweli ambao Tomas ata ukiri.
“Zungumza nina subiria.”
“Ahaa miezi kadhaa iliyo pita nabii Sanga na mke wake walinipa jukumu la kuwatafutia eneo kubwa la kujenga mji, kule kigamboni. Jukumu la kusimamia mpango huo, alimkabidhi mke wake. Hivyo nilipata muda mwingi sana wa kuongozana na mke wake kwenda kutembelea maeneo mbali mbali ambayo nilikuwa nimeyapata.”
Tomas alizungumza huku akiendelea kutetemeka. RPC hakuishusha bastola yake, hii ni kuhakikisha kwamba Tomas ana zungumza kila kitu.
“Tulijikuta tukianza mahusiano ya kimapenzi na mwana mama huyo”
RPC akastuka sana ila hakuhitaji kuonyesha mstuko huo kwani ana hitaji kufahamu mambo mengi sana kutoka kwa Tomas.
“Tulifanya kwa siri sana. Kadri siku zilivyo zidi kwenda ndivyo jinsi penzi letu lilivyo zidi kuchanua. Kuna siku nabii Sanga alinipigia simu na kuniambia kwamba ana hitaji nimtafutie sehemu ya kufungua Mgahawa na nyumba ya kupanga maeneo ya Mikocheni. Alikuwa na mpango wa kumpangishia binti mmoja ambaye ni muumini pale kanisani kwake”
“Binti huyo ana itwa nani?”
“Magreth. Swala hilo nabii Sanga aliniomba nisimuambie mke wake kabisa. Ila kwa upande mmoja roho iliniuma kuona binti mdogo ana nunuliwa nyumba ya milioni mia tano. Nilimueleza mke wake na mkewe aka toa wazo la kumteka mume wake, hadi wiki ijayo ndio aachiliwe na watekaji ili aende nchini Nigeria kwenye kikao cha wachungaji na manabii”
RPC akajikuta akishusha pumzi taratibu. Katika miaka yote ya kuifahamu familia ya nabii Sanga, hakutarajia kwamba mke wa nabii huyo ipo siku ata fanya kosa kubwa kama hilo.
“Niliwatafuta vijana na nikawapa kazi hiyo na waliweza kuikamilisha kikamilifu”
Tomas alizungumza huku akiendelea kutetemeka kwa woga.
“Kwa hiyo mzizi wa tukio zima ni mke wa nabii SANGA?”
“Ndio”
Taratibu nabii RPC akashusha bastola yake na kuirudisha kiunoni mwake. Aka yahifadhi mazungumzo hayo ya Tomas kwenye simu yake na kuiweka mfukoni.
“Zirudishe hizo maiti”
Nabii Sanga alimueleza mtu huyo anaye hudumia Mochwari kisha wakatoka katika chumba hicho. Akamuingiza Tomas kwenye gari lake, kabla ya yeye kuingia, akatafuta namba ya kijana wake mmoja na kumpigia.
“Ndio mkuu”
“Upo wapi?”
“Bado nipo nyumbani kwa nabii Sanga.”
“Hakikisha huyo mke wake hatoki kwenda eneo lolote”
“Kwa nini mkuu?”
“Hupaswi kunihoji kwa nini, fwata amri yangu”
“Samahani sana mkuu.”
RPC akakata simu na kuingia ndani ya gari.
“Huyo Magreth ana ishi wapi?”
“Ahaa sifahamu, ila wale vijana mulio waua ndio walimfwatilia msichana huyo na kufahamu ni wapi ana fikishwa na nabii Sanga. Ila kwa mimi sijui”
RPC akamtazama Tomas machoni mwake kwa sekunde kadhaa na kuamini kwamba anacho kizungumza ni kitu cha ukweli. Nabii Sanga akawasha gari hilo na kurudi makao makuu ya polisi. Akakabidhi Tomas kwa vijana wake na akarudishwa mahabusu. RPC moja kwa moja akapitiliza hadi ofisini kwake, akajifungia na kuisikiliza sauti ya Tomas jinsi inavyo toa maelezo hayo.
“Haki ya Mungu hawa wanawake hawaaminiki”
RPC alifikiria huku akitafakari ni jinsi gani anavyo weza kuvumbua mbele ya jamii kesi hiyo ambayo kwa namna moja ama nyingine ina weza kwenda kuligawanya kanisa la nabii Sanga huku naye akiwa ni miongoni mwa waumini wa kanisa hilo.
***
Magreth akabaki kama alivyo zaliwa huku akimtazama nabii Sanga anaye malizia kuivua suruali yake. Akatembea taratibu hadi kitandani. Akamlaza nabii Sanga chali, kisha aka mkalia kiunoni mwake, huku taratibu akimzamisha jogoo wa nabii Sanga katika kitumbua chake. Aibu aliyo kuwa nayo awali, yote ime muondoka. Magreth kwa jinsi alivyo pagawishwa na kiasi cha pesa alicho pewa na nabii Sanga, hakuona haja kumbania mzee huyo, huku moyoni mwake akiamini kwamba swala zima la kumpenda Evans litakuja hapo baade akiwa amesha weka kila kitu sawa. Mtanange wa wakati huu hakuwa wa kinyonge, Magreth alijitahidi kardi ya uwezo wake kufanya vitu ambavyo hapo awali alikuwa akivisikia kwa marafiki zake wa mtaani wakivisimulia tu. Nabii Sanga alizidi kuchanganyikiwa na kupagawa na penzi bichi kabisa la Magreth.
“Nitakupa kila utakacho kitaka Mage”
Nabii Sanga alizungumza huku akiendelea kukatikiwa kiuno na Magreth ambaye ameamua kujitoa ili mradi mambo yake yamuende sawa.
“Kweli?”
“Haki ya Mungu vile, sijawahi kupata penzi tamu kama lako.”
“Uta nilinda dhidi ya mke wako?”
“Ndio baby, hawezi kukugusu”
“Niahidi”
“Nakuahidi, haki ya Mungu vile”
Magreth alifanya mahojiano hayo huku akikizungusha kiuno chake kama feni. Kuokoka kwake hakukumfanya ashindwe kumpagawisha nabii Sanga. Hadi mzunguko huo una kwisha kila mmoja akajikuta akiwa ameridhika na kiu ya mapenzi ikipungua kwa kiasi kikubwa.
“Wewe ni mtamu sana Mage”
“Asante mpenzi wangu”
“Niambie nini una hitaji nikufanyie?”
“Aahaa…kuna yule mgonjwa wangu kule hospitalini. Nilikuwa nina ombi moja”
“Ombi gani baby”
“Nimezungumza naye na amenieleza shida alizo pitia. Siku ile aliyo niokoa aliweza kuibiwa vyeti vyake vya kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu na siku ile aliondoka kwa rafiki yake na hakuwa na pakuishi. Nina omba nitakaopo hamia kwenye ile nyumba kigamboni, niweze kuishi naye”
Magreth alizungumza huku akiwa amejilaza kifuani mwa nabii Sanga na kuchezea chezea guarden love zake.
“Ahaha. Una muamini?”
“Kama aliweza kuyatoa maisha yake kwa ajili yangu. Nina muamini kwa maana wale Panya road siku zile wange nibaka na sijui ningekuwa kwenye maisha gani. Inawezekana ningekuwa nimesha kufa sasa”
“Nimekuelewa mke wangu. Basi akitoka hospitalini, utaishi naye. Ila hakikisha kwamba huni saliti”
“Kwa nini nikusaliti mpenzi wangu, ikiwa usichana wangu wewe ndio ume bahatika kuutoa. Au huniamini?
“Nakuamini tena sana kwa maana nime jionea jinsi gani ulivyo mtamu”
“Nashukuru mume wangu”
“Leo usiku nitarudi kwangu, ila hakikisha kesho una kwenda kununua asset zote za ndani kisha zinapelekwa kwenye hiyo nyumba mpya.”
“Sawa mpenzi”
“Kuna rafiki yangu mmoja ana kampuni ya magari. Nitamuambia kesho akutafutie gari zuri na lenye hadthi na wewe”
“Asante sana mpenzi wangu, ila mimi siwezi kuendesha gari?”
“Ohoo usijali katika siku hizi ambazo nita kuwa hapa Tanzania, nitakufundisha gari, hadi nina ondoka nina imani utakuwa umesha mudu kuendesha”
“Sawa sawa mume wangu”
Miili yao ilipo pata nguvu wakarudi tena kwenye mzunguko wa pili huku, kila mmoja akiwa amesha mzoea mwenzake.
***
‘Kama porini hakuweza kuonekana na majambazi tumewakuta wao wenyewe, je watakuwa wamemuaa? Hapana hajauwawa au wamemuachia?’
RPC aliwaza kichwani mwake huku akijaribu kujiongeza kutokana na mazungumzo ya Tomas.
‘Kama wamemuachia ata kuwa amekwenda wapi? Au ame fahamu kwamba mke wake ndio msaliti?’
‘Ila kama aliamua kumnunulia mwanamke nyumba ya milioni mia tano na kuhitaji kumfungulia mgahawa, nina imani kwamba atakuwa ana muamini sana huyo mwanamke na kumpenda’
‘Magreth…..Yaa Magreth anaweza kufahamu ni wapi alipo nabii Sanga. Ni lazima tumpate huyu msichna’
RPC baada ya kupata mwanga katika swala la kuto kumpata nabii Sanga, akanyanyuka kwa haraka na kuelekea mahabusu alipo fungiwa Tomas.
“Nileteeni mtu wa kuchora”
RPC alimuagiza bodyguard wake huku akimtazama Tomas ambaye amejikunyata kwenye kona ya chumba hicho.
“Nahitaji utuelezee sifa za Magreth. Si una mkumbuka kwa sura?”
“Ndio nina mkumbuka”
Polisi mwenye taaluma ya kuchora akafika eneo hilo. Tomas akaanza kuelezea muonekano wa Magreth.
“Ana sura nyembaba kiasi iliyo chongoka kwenye kidevu chake. Ana macho yaliyo kaa muundo kama wa yai, ila si makubwa. Ana pua ndogo ndogo kiasi na lipsi zake pia ni ndogo kiasi. Ni mrefu kama futi sita kasoro kidogo. Ana rangi ya chocolate fulani hivi.”
Kila alicho kieleza Tomas ndicho anacho kifanya mchoraji. Baada ya muda mfupi sura halisi ya Magreth ikapatikana kwenye karatasi ya mchoraji.
“Imekamilika?”
“Ndio mkuu”
RPC akaitazama picha hiyo ya Magreth, kweli ni mwanamke mzuri sana na anaye vutia. RPC akamgeuzia Tomas picha hiyo.
“Ndio huyu?”
“Ndio ndio huyo huyo wala hujakosea”
Tomas alizungumza wa kubabaika.
“Vijana wako hawakukuambia ni wapi walipeleleza hadi wakatambua anapo ishi?”
“Hapana hawakunijulisha kwani lengo lao kubwa ilikuwa ni nabii Sanga na waliweza kumfwatilia nabii Sanga alipo kuwa ana rudi kwake ndio waka mvamia na kumteka.”
RPC akaikunja vizuri karatasi hiyo yenye picha ya Magreth. Akaeleka kwenye kitengo cha askari wanao dili namitandano.
“Scan hii picha na unitafutie huyu binti”
“Sawa mkuu”
Kijana huyo aka iscan picha hiyo na kuiingiza kwenye computer yake na kuanza kutafuta picha hiyo ya Magreth kwenye mtandao. Haikuchukua muda maelezo yote kuhusiana na Magreth yakatokea katika computer hiyo. Imekuwa ni rahisi sana kwa askari hao kuipata kwani Magreth ni miongoni mwa Watanzania walio jisajili kwenye kitambulisho cha taifa hivyo taarifa zote zinazo muhusu yeye zipo hapo.
“Magreth Jonas Asenga”
RPC alisoma maelezo yanayo onekana kuhusiana na Magreth.
“Hembu tuma maelezo hayo kwenye mitando ya simu watupatie information za binti huyo. Nina imani mtandoa mmoja wapo utakuwa na information zake za mawasiliano.”
“Sawa mkuu”
Kijana huyo akaandika email kwa mitandoa mikubwa mmine ya mawasiliano hapa Tanzania, huku email hiyo ikwia huku ikiwa na wito wa kuomba data za mteja Magreth Jonas Asenga, ikiwemo namba yake ya simu. Baada ya dakika tano kijana hiyo akajibiwa email yake na mtandao wa simu ambao Magreth ana utumia.
“Waombe simu zote zilizo pigwa jana na leo watutumie”
Maombi hayo hayakuweza kukataliwa kwa maana yana tokea makao makuu ya polisi. Wakaanza kuorozesha audio za mazungumzo yote aliyo yafanya Magreth kwa siku ya jana na leo. Wakaanza kusikiliza mazungumzo hayo ambayo yanamuhusisha Magreth na nabii Sanga ambaye alimpa maelekezo ya kwenda kuchukua pesa ofisini kwake. Wakazidi kuendelea kusikiliza mazungumzo hayo hadi jinsi MagreLth aivyo wasiliana na majambazi hao na kuwajulisha amefika Mkinga.
Mazungumzo ya siku ya leo kati ya nabii Sanga na muhasibu wake akimuomba amfwate sehemu alipo, ikampa picha RPC ya kuweza kufahamu kwamba nabii Sanga yupo sehemu gani na yupo sehemu salama. Ila kutokana ni ahadi ambayo alitoa kwa wananchi kwamba jeshi la polisi lita hakikisha kwamba lina mrudisha nabii Sanga salama salmini mikononi mwa familia yake. Ikamlazimu RPC kuandaa kikosi cha vijana wake wanne na kuianza safari ya kuelekea nyumbani kwa Magreth, huku zoezi hilo likifanyika kwa siri sana pasipo askari wengine kuweza kufahamu ni kipi RPC wao ame kigundua.
“Huu ndio mtaa anao ishia huyo binti?”
RPC aliwaambia vijana wake huku wakitazama mtaa huu wa uswahilini wenye mchanaganyiko wa watu wa kila aina.
“Msichana mwenyewe anafanania hivi?”
RPC alizungumza huku akiwaonyesha picha ya Magreth iliyo chorwa kwenye karatasi hiyo.
“Huyu ame fanya kosa gani mkuu?”
“Ina sadikika huyu ndio yupo na babii Sanga?”
“Mkuu unataka kuniambia kwamba huyu binti ndio alite mteka nabii Sanga?”
“Hapana, hapa inaonekana nabii Sanga alisha achiwa na watekaji, ila akaamua kuelekea kwa kimada wake kujificha”
“Mmm!! Sasa kwa nini asiende kwake au kutoa taarifa kwenye kituo cha polisi?”
“Hilo ni swali ambalo tutalipata mara baada ya kuwapata wote wawili. Hembu waulize hao watoto juu ya picha hiyo”
“Sawa”
Askari mmoja aliye valia nguo za kirai. Akashuka kwenye gari hilo na kuwasogelea watoto wanao cheza pembezoni mwa barabara hiyo ya vumbi.
“Mambo”
“Poa shikamoo”
“Marahaba. Nina swali nahitaji kuwaliza”
“Uliza tu?
“Muma mfahamu dada huyu?”
Askari huyo aliwaonyesha watoto hao picha ya Magreth, wenye miaka kati ya sita hadi kumi.
“Ndio tuna mfahamu ana itwa dada Mage”
“Ana ishi wapi?”
Watoto hawa wakatazamana, kisha mmoja wao akaonyesha ishara ya kuhitaji kupewa pesa. Askari huyu akatoa noti ya shilingi elfu tano mfukoni mwake na kuwakabidhi. Mtoto huyo mwenye kimo kirefu kuliko wezake wote, akaipokea pesa hiyo.
“Ana kaa pale kwa bi Ngedere. Ile nyumba yenye kibaraza mbele na ngazi?”
“Ile nyumba yenye matairi mbele na wale wamama walio kaa??”
“Ndio”
“Sawa asanteni”
Askari huyo akarudi kwenye gari.
“Daa kweli vyuma vimekaza bosi, yaani hadi watoto wameanichomoa pesa ya kuelekezwa tu”
“Hahaahaa, ni wapi alipo sema?”
Askari huyo akawaonyesha wezake nyumba hiyo. Taratibu wakaegesha gari hilo kwenye hiyo nyumba na wakashuka askari wawili ambao wote wamevalia nguo za kiraia. Gari hilo iana ya Toyota VX V8 likawastua sana wapangaji wa nyumba hiyo walio kuwa wamekaa kibarazani.
“Habari zenu?”
“Salama”
“Tume mkuta Magreth?”
Wapangaji hawa wkatazamana, katika siku mbili tatu hizi Magreth amekuwa akiletwa na magari ya kifahari jambo ambalo lime zua maswali mengi kwa wamama hao wanne.
“Ndio yupo”
“Ahaa muna weza kutusaidia kutuonyesha chumba chake?”
“Mmm shosti yetu amekuja kufumaniwa nini?”
Mama Boka aliwanong’oneza kwa sauti ndogo wezake hao kwa maana wana sikia sauti ya mwanaume katika chumba cha Magreth ila hawajamuona mwanaume ambaye yupo ndani humo.
“Ahaa ingieni humo ndani, chumba cha pili, mkono wa kulia ndio chumba chake”
“Tuna shukuru”
“Ila nyinyi ni kina nani?”
“Ni watu wema kabisa musiwe na mashaka”
“Mmmm haya”
Askari hao wakaingia ndani humo, wakasimama kwenye mlango wa Magreth na kusikilizia miguno ya kimahaba inayo tokea ndani humo.
“Gonga mbona una shangaa?”
“Wapo kwenye starehe zao bwana”
“Sisi tupo kazini. Ngoja nigonge”
Askari huyo akaanza kugonga kwa nguvu hadi Magreth na nabii Sanga ambao wapo katikati ya mapenzi mazito wakastuka.
“Nani huyo?”
Nabii Sanga aliuliza huku macho yakiwa yamemtoka.
“Atakuwa ni mama mwenye nyumba. Kwani sauti yangu ina sikika hadi huko nje?”
“Sijajua, ila mbona naona ina sikika hapa hapa”
“Ngoja”
Magreth akajichomo jogoo wa nabii Sanga aliye kuwa ame mkalia. Akashuka kitandani, akajifunga tenge na kufungua mlango huo huku akiwa na jazba kubwa, na amepania kama ni mama mwenye nyumba basi ata mpatia jibu litakalo mtingisha mwana mama huyo mwenye maneno mengi. Magreth akastuka sana mara baada ya kukutana na sura za wanaume ambao haja wahi kuwaona hata siku moja.
“Wewe ndio Magreth?”
“Ndio ni mimi. Ny….i….nyi ni kina nani?”
Magreth aliuliza huku woga ukiwa umemtawala. Mahojiano hayo yakamfanya nabii Sanga kutafuta suruali yake nakuivaa kwa haraka huku kichwani mwake akihisi kwamba watu hao ni majambazi.
“Tume mkuta nabii Sanga?”
Swali hilo lika wachanganya kabisa, nabii Sanga na Magreth kwani watu hao hawajajitambulisha hadi sasa hivi.
“Ahaa nyingi ni kina nani?”
Ikamlazimu Magreth kuuliza swali hilo kabla ya kujibu swali alilo ulizwa.
“Sisi ni maofisa wa polisi kutoka kituo cha kati”
“Waache waingie”
Nabii Sanga alimuambia Magreth na kumfanya ageuke na wakatazamaana huku Magreth akiwa na mshangao mkubwa sana.
“Waache wapite”
“Karibuni”
Askari hao wakaingia na kumkuta nabii Sanga akiwa ana vaa shati lake
“Habari yako mzee”
“Salama. Tumekuja kukuchukua na kukuweka mikono salama”
“Hapa pia ni mikono salama. Ila nina elewa nini munataka kufanya. Sasa hivi ni saa kumi na mbili, acheni kigiza kiweze kuingia nami nitatoka ndani humu”
“Ila muheshimiwa, tupo hapa na mkuu wetu na ametoa agizo la sisi kukuchukua na kukupeleka kwenye gari lake lipo hapo nje”
“Nendeni mukamuite mkuu wenu”
“Ahaa kwa nini?”
“Nyinyi nendeni mukamuite yeye, ndio nahitaji kuzungumza naye”
Askari mmoja akatoka ndani humo na kurudi kwenye gari. Akamueleza RPC nini anacho hitaji nabii Sanga.
“Waondoeni hao wamama hapo barazani, sihitaji wafahamu juu ya uwepo wangu mtaani hapa?”
“Sasa tuta fanya nini mkuu”
“Fanyeni chochote. Nyinyi ni askari hakikisheni kwambwa wana ondoka eneo hilo”
Askari hao watatu wakajishauri na kushuka kwenye gari hilo. Wakawasogelea wana mama hao wanao endelea kutazama kila kinacho endelea na kila mmoja ana hamu ya kufahamu ni nini kinacho endelea kwa mpangaji mwenzao.
“Sisi ni maofisa polisi. Muna ishi humu ndani?”
Wamama hao wakastuka kidogo huku wakiwatazama askari hao.
“Ndio”
“Basi kila mmoja aingie chumbani kwake na asidhubutu mtu kuchungulia”
“Kwani kuna nini?”
“Mama hatuna muda wa kutangaza au kukueleza kuna nini. Ingieni ndani”
Askari mmojaa alizungumza kwa ukali sana na kuwafanya mama Boka na wezake wanyanyuke huku wakikunja mkeka walio kuwa wameukalia. Wakaingia ndani huku wakiwa na hofu kubwa. Askari walipo hakikisha kwamba hali imekuwa shwari, bodyguard wake akamfungulia mlango na akashuka kwenye gari hilo na kuingia ndani. Nabi Sanga aka simama na kuepeana mkono na RPC kwani ni watu wanao fahamiana kwa muda mrefu na pia wana heshimiana.
“Naomba mutupishe”
RPC alizungumza na vijana wake wakatoka na kusimama kwenye kordo hiyo kuimarisha ulinzi.
“Huyu ni Mage, binti ambaye aliweza kujitolea kunipa msaada wa kipesa kipindi nilipo kuwa nimewekwa kizuizini na majambazi”
“Ahaa sawa mzee. Nina litambua hilo kwa maana tume fwatilia mazungumzo ya simu ya binti. Hayo mazungumzo ndio yameweza kutusaidia sisi kuweza kufika hapa”
“Sawa sawa”
“Tumekuja kwa jambo moja tu. Tunahitaji tukupeleke nyumbani kwako kwa maana sehemu hii sio salama kabisa.”
“Sawa hilo halina shaka. Ila nahitaji huyu msichana asi sumbuliwe kwa chochote na wala asiweze kuitwa kituoni kwa mahojiano”
“Sawa sawa”
“Mage kuwa na amani na kesho hakikisha kwamba una fanya ule utaratibu nilio kuagiza uweze kuufanya”
“Sawa baba”
“Kwa heri”
Nabii Sanga na RPC pamoja na vijana wake wakatoka ndani hapo na moja kwa moja wakaeleka katika gari na kuondoka. Magreth akashusha pumzi na kujitupa kitandani, kwani uwepo wa maaskari hao umemfanya awe katika wakati wa mashaka. Ila alipo kumbuka kwamba ana kiasi kikubwa cha pesa benki, basi mawazo na matatizo hayo ya polisi yakamuondoka kabisa kichwani mwake.
“Sasa mimi ni tajiri”
Magreth alizungumza kwa furaha. Mlango wake ukagongwa na akasikia sauti ya mama Boka ikimuita.
“Nakuja”
Magreth alizungumza huku akishuka kitandani. Akajifunga tenge lake vizuri na kufungua mlango.
“Ehee upo salama wewe?”
“Ndio kwa nini?”
“Hawa polisi wamekuja kufanya nini hapa?”
“Hahaa mbona muna mashaka hivyo au mume hisi nime tekwa na watu wasio julikana?”
“Weee!! Mwanazo tulihisi kwamba ume kuja kufumaniwa. Ila walipo tuambia tuingia ndani na kujifungia, hapo ndipo matumbo yalipo tupata moto”
“Kweli shosti yetu tulijawa na wasiwasi mwingi sana. Haya tuambie ni nini kinacho endelea?”
Mama Amina naye aliuliza.
“Ngoja kwanza niwashukuru majirani zangu kwa kuishi nami kwa amani japo tulikwaruzana katika maswala ya zamu za usafi na ununuzi wa luku, ila yote katika yote. Mungu yeye pekee ndio anaye fahamu nini tunacho pitia kwenye haya maisha”
“Mbona una ongea hivyo?”
Mama mwenye nyumba aliuliza huku akitokea mlango wa uwani na kuwafanya wapangaji hao walio simama kwenye mlango wa Magreth kumshangaa.
“Kesho nina hamia Kigamboni. Kuna nyumba yangu nimenunua kule”
Magreth aliwadanganya wezake hao katika swala zimala kununua nyumba.
“Mage ume nunua nyumba!!?”
“Ndio mbona muna shangaa au sina hadhi ya kununua nyumba?”
“Mmmm kwa kazi gani ulio kuwa nayo? Hembu acha kuwaongopea wezako na wewe”
Mama mwenye nyumba alizungumza kwa kejeli.
“Hahaa, wewe baki hapo hapo kwenye hili banda lako la kuku”
“Hahaaa!! Banda la kuku, ulitumwa kujakukaa hapa kupanga?”
Bi Ngedere alizungumza kwa hasira kwani hakupenda nyumba yake iweze kudharauliwa namna hiyo.
“Mage hembu achana naye. Tupe siri ya mafanikio yako kwa maana siku mbili hizi tumekuona una shushwa kwenye magari ya kifahari na wala hatukuoni jikoni ukijumuika nasi katika swala zima la kuchoma maandazi”
“Ni kweli jamani, kesho mimi nina hama. Haya yaliyo tokea humu ndani kwangu sinto weza kuwaambia. Leo mumesha pika?”
Magreth alibadili mada kwa kuwaliza maswali.
“Mimi nimepika toka mchana”
“Mimi nasubiri saa mbili mbili nisonge ugali nile na wanangu”
“Mimi nita nunua maandazi tu ninywe na chai.”
“Mimi bado sijapika”
“Bi Ngedere na wewe?”
“Na mimi nini, una pesa ya kunipa nikanunue chakula?”
“Ahaa…maneno yote ya nini mama angu. Hivi wewe mama una shindwa kuwa na kinywa kizuri cha kuzungumza?”
“Babuu weweee nikiwa na kinywa kizuri nita faidika na nini?”
“Haya nisamehe mimi. Jamani nisubirini”
Magreth akaingia ndani na kuchukua laki moja na nusu na kutoka nayo nje. Akawapa wapangaji wezake wanne kila mmoja elfu thelethini.
“Jamani hizo mutanunua mukipendacho usiku huu”
Wapangaji hao wakajawa na furaha sana, huku wengine wakimuona Magreth ndio mkombozi wao kwani baadhi yao tayari wamesha anaza kuwakimbia vijumbe wa michezo yao wanayo cheza kila siku kwa kukosa pesa za kutoa.
“Wewe mama utakula jeuri yako. Hata mia sikupi na kesho nitakagwa vitu vyangu vyote vya ndani na hata kijiko sikupi. Muangalie ndio maana Mungu alikunyima kimo kirefu ndio maana akili zako zipo kama kimo chako”
Maneno ya Magreth yakawafanya wapangaji wezake hao kucheka kwa dharau huku wakigongeana mikono na kumfanya mama mwenye nyumba ajisikie vibaya sana.
***
“Kile mulicho kiona pale nyumbani kwa yule binti musi mueleze mtu yoyote”
Nabii Sanga alizungumza huku gari hilo la RPC likizidi kuchanja bunga kueleka nyumbani kwake.
“Hatuto mueleza mtu”
RPC alijibu huku akiwa amekaa siti ya mbele, pembeni kabisa ya dereva.
“Nashukuru kusikia hivyo.”
“Upo salama lakini?”
“Ndio nipo salama”
Wakafika nyumbani kwa nabii Sanga. Wakaelekea moja kwa moja sebleni na kumfanya mtoto wa nabii Sanga kumkimbilia baba yake na kumkumbatia kwa nguvu. Mfanyakazi wake wa ndani naye akafanya hivyo alivyo fanya binti huyo. Kelele za furaha zinazo sikika sebleni zikamfaya mrs Sanga kukurupuka ndani kwake na kukimbilia sebeeni. Mapigo ya moyo yakamstuka mara baada ya kukutanisha macho yake uso kwa uso na mume wake ambaye hajaonyesha sura yoyote ya kumchangamkia. RCP akaingiza mkono wake mfukoni na kutoa pingu huku akimtazama mrs Sanga anaye shuka kwenye ngazi huku akilazimisha tabasamu la kinafki kwani shida zote zilizo tokea katika siku mbili hizi yeye ndio chanzo.
“Ohooo pole sana mume wangu”
Mrs Sanga alizungumza huku akimkumbatia mume wake. Nabii Sanga hakuonyesha kitu chochote kibaya kwa mke wake.
“Nashukuru mke wangu. Pole sana kwa kukuweka katika kipindi kigumu sana wewe na watoto”
Maneno hayo ya nabii Sanga yakamfanya RPC kurudisha pingu zake mfukoni huku akiwatazama.
“Pole sana na wewe mume wangu. Vipi hawajakuumiza?”
Mrs Sanga alizungumza kwa mahaba mazito ambayo kwa namna moja ama nyingine ni uigizaji.
“Nipo salama kabi.”
“Mzee nina weza kupata muda wa kuzungumza na wewe kwa dakika chache?”
RPC alizungumza na kumfanya nabii Sanga kumuachia mke wake. Wakatoka nje na kuingia kwenye gari la RPC.
“Ahaa natambua kwamba hili jambo nitakalo kwenda kukueleza kidogo linaweza kukustua mzee wangu. Ila sina namna zaidi ya kukuambia, ili kama nitaamua kwenda mbele zaidi ya hapa basi uwe umesha jiandaa kisaikolojia.”
“Niambie tu usiwe na hofu”
“Ili kukupata wewe, tulifanikiwa kumkamata kijana mmoja anaitwa Tomas, ni dalali na pia niligundua ni kijana wako wa karibu sana?”
“Yaa Tomas ni kijana wangu nina muamini sana. Kwa nini mume mkamata?”
Nabii Sanga aliuliza kana kwamba hajui ni kitu gani kinacho endelea.
“Ahaa…ngoja kwanza”
RPC alizungumza huku akitoa simu yake mfukoni. Akaweka sauti ya mahojiano yake na Tomas. Nabii Sanga akajifanya akistushwa sana na kukiri kwa Tomas, ila ukweli ni kwamba ana fahamu kila kitu kinacho endelea kati ya Tomas na mke wake.
“Ohoo Mungu wangu nimpe nini huyu mwanamke?”
“Ndio hivyo, sasa yule kijana yupo mahabusu. Ila mke wako yupo uraiani, endapo tukimpeleka mahakamani kijana huyo na aka zungumza jambo juu ya mke wako, basi tambua mke wako ata tiwa nguvuni na atastakiwa kutokana na makosa yake na pia atatumikia kifungo jela na akitumikia kifungo jela, huduma yako ina mambo mawili, ina weaza kuyumba au kutoweka kabisa. Kwani itakuwani kashfa kubwa sana kwako na familia yako kwa ujumla na unavyo tambua Watanzania kwakukuza mambo, basi utapotea kinamna hiyo.”
Nabii Sanga akaka kimya huku akitafakari juu ya adhabu gani ambayo ana weza kumpatia Tomas kwani kazi aliyo wapo Rama D na wezake hawato weza kuifanya kutokana na Tomas kukamatwa na polisi na hadi sasa nabii Sanga hatambui kwamba Rama D na ndugu zake wamesha uwawa na askari.
“Una weza kunisaidia kazi moja RPC?”
“Kazi gani?”
“Nahitaji kijana huyo afe kabla ya kupelekewa mahakamani, je itawezekana”
“Kuwezekana ina wezekana mzee. Ila sikuzote vitu kama hivi vina kwenda kwa pesa maalumu ambayo itatufanya kujilinda hata pale likitokea la kutokea, ikiwemo kusimamishwa kazi au kushushwa vyeo”
“Una hitaji kiasi gani?”
“Acha nikajitafakari kisha nitakuambia kabla ya saa mbili asubuhi”
“Sawa, ila hakikisha kwamba mke wangu haguswi kabisa na tuhuma hizi. Pia nitumie audio hiyo kwenye email yangu”
Nabii Sanga akamtajia RPC email yake na akatumiwa sauti hiyo.
“Nashukuru sana”
“Ila ushauri ni mmoja sasa kuwa makini sana na mke wako. Hakikisha kwamba mke wako una muweka mikononi mwako vizuri la sivyo ata kuja kukudhuru ukiwa humo ndani kwako. Kama alifanikiwa nje, basi ndani ni rahisi zaidi ya nje.”
“Nimekuelewa RPC”
“Nashukuru kwa kunielewa mzee”
Nabii Sanga na RPC wakashuka kwenye gari na kuingia ndani. RPC akamuaga mrs Sanga na wanaye, kisha akaondoka huku nyumbani hapo wakiwaacha askari wawili, watakao linda hadi asubuhi kisha kuanzia hapo nabii Sanga ata endelea na maisha yake na familia yake kama kawaida na swala la ulinzi litakuwa juu yake mwenyewe.
“Vipi mume wangu ume kula?”
“Ndio nipo vizuri. Naombeni niende kupumzika”
“Sawa baba”
Nabii Sanga akapandisha gorofani huku mke wake akimfwata kwa nyuma.
“Simu yako ina salio?”
“Ndio”
“Wasiliana na sekretari. Muambie kesho saa nne asubuhi nahitaji kuzungumza na waandishi wa habari. Nahitaji kuwafahamisha waumini wangu kote duniani kwamba nipo salama”
“Kwa nini usisubiri subiri siku ya kesho ipite, ili urudi katika hali yako ya kawaida”
“Hali ipi ya kawaida?”
“Uzoee mazingira ya nyumbani na ujipange tena upya kisaikolojia kisha ndio uzungumze na waandishi wa habari”
“Sikiliza mama Juliethi. Kuna watu wamefunga na wana sali kwa ajili ya kuhakikisha kwamba nina kuwa salama. Watu hao kitu cha pekee cha kuwalipa na waamini kwamba Mungu amejibu maombi ya vile wanavyo viomba ni mimi kesho kusimama mbele ya waandishi wa habari na kuwaleza nini kilinikumba ni nani aliniteka huku huyo aliye niteka akisaidiana na nani kwenye kuniteka. Na aliye toa wazo la mimi kutekwa pia nita muanika hadharani ili dunia nzima ijue adui yangu ni nani hata siku ikitokea siku nime pata madhara basi adui yangu ana kuwa wakwanza kukamatwa”
Fumbo la nabii Sanga likamfanya mrs Sanga kustuka sana. Mwili ukaanza kumtemeka kwa maana yeye ndio mtu aliye toa wazo la mume wake kutekwa. Tomas yeye ndio aliye tekeleza wazo hilo.
“Mpigie una nitolea nini macho?”
Mrs Sanga akachukua simu yake na kupigia sekretari wa kanisa lao.
“Ehee zungumza naye”
Mrs Sanga alizungumza hukua akimkabidhi mume wake simu hiyo na akaiweka sikioni mwake.
“Baba mchungaji”
“Naam”
“Ohoo asante Mungu upo hai. Hapa mama alipo niambia kwamba niandae kikao kesho, nilikuwa na kigugumizi huku nikijiuliza naandaa kikao na waandishi wa habari je usipo tokea nini nitajibu nini. Ila nina furahi sana kusikia sauti yako baba”
“Usijali kijana wangu. Watesi wangu walijiinua ila Mungu ambaye hashindwi na jambo aliweza kusimama kwangu na kunipigania na kama sikufa katika kutekwa huku. Basi siku ni kifa nitakufa kwa amani tena baada ya kupitisha ule umri wa miaka themanini ambao Mungu aliupanga juu ya wana damu wake”
“Amen amen”
“Basi fanya hivyo na kesho tatu asubuhi njoo nyumbani kwangu”
“Sawa baba”
Nabii Sanga akakata simu na kumrudishia mke wake.
“Kuna wakati wa kuliaaaaa…..wakati wa kuombolezaaaaa, ila adui yako ni mtu wa karibu….”
Nabii Sanga aliimba wimbo huo huku akivua nguo zake na kuelekea bafuni huku akimuacha mrs Sanga akiwa katika wakati mgumu sana wa kujitafakari kama hicho anacho kizungumza mume wake kipo kweli kichwani mwake au ana hisi tu.
***
Magreth akaamka asubuhi na mapema. Akapanga nguo zake zote ambazo ana hisi zina umuhimu kuingia kwenye ulimwengu wa maisha yake mapya ya utajiri. Alipo hakikisha kwamba ame chukua vitu vyake muhimu, akwaamsha mama Boka na wezake. Wakingia chumbani kwake huku kila mmoja akiwa na shahuku ya kujua ame itiwa nini.
“Jamani mimi nina hama. Kuna kitanda godoro, jiko hii meza na sofa hapo, muna weza kugawan kwa kuchukua au mukaviuza vitu hivyo na mukapata pesa mutakayo gawana”
“Ehee shosti bora kuviuza, itakuwa ni jambo zuri”
Mama Boka aliwahi kuzungumza na kuwafanya wezake wamtazame.
“Basi ngoja nitoe wazo. Viuzeni, kisha pesa itakayo patikana nyinyi mugawane sawa kwa sawa. Asitokee hata mmoja kuwazidi wezake”
“Hapo Mage umesema. Ila shosti kweli una taka kutuambia kwamba leo hii una hama na kutuacha huku uswahilini?”
“Ndio mbona hamuamini?”
“Yaani nina ona kama ni ndoto vile”
“Kwa nini?”
“Yaani una tuacha hivi hivi, sisi tuna zidi kufubaa tu hapa na huyu bibi Ngedere”
“Wala musijali. Nikiweka mambo safi nita waalika muje kupaona kwangu. Tena niandikieni namba zenu”
Magreth alizungumza na kumpatia mama Boka simu yake. Wakaanza kuandika namba zao za simu.
“Yaani kweli Mage mambo yamekubadilikia. Sijawahi kukuona ukimiliki smart phone. Nilisha kizoea kile kisumu chako cha nokia ya tochi”
“Hahaa kiobama?”
“Ndio, mwenyewe kile hata ukikiacha huko uwani hakuna ambaye alikuwa ana shuhulika nacho kukaiba”
“Hahaa ndio hivyo Mungu ninaye muomba sio wa mchezo mchezo. Siku akiamua kukufungulia manoti ya pesa, hakuna ambaye ana weza kuyazuia”
“Ila rafiki yetu tuambie siri ya kufanikiwa”
“Kuokoka tu, ndio siri ya kufanikiwa. Sasa nyinyi kaeni hapa kwa huyu mama mukichambana na kuzungumza mambo mabaya mwishowe. Mutaishia hapa hapa”
“Jamani kweli anacho kizungumza Mage. Tuache kukaa vibarazani na kuwachamba watu”
Magreth akampigia Sheby na kumuomba afike nyumbani kwake. Hazikupita hata dakika tano Sheby akafika nyumbani hapo. Mama Boka, akamsaidia Magreth kubeba begi hilo la nguo huku moyoni mwake akiwa ametawaliwa na wivu mkubwa sana. Magreth akagonga kwa nguvu mlango wa bi Ngedere.
“Nani huyo mja lanaaaa?”
Bi Ngedere alizungumza kwa kufoka na kuwafanya Magreth na wezake kucheka kichini chini. Magreth akagonga kwa nguvu hadi bi Ngedere akafungua huku akiwa amevimba kwa hasira. Bi Ngedere akatoa msunyo mzito huku akimpandisha na kumshusha Magreth.
“Nini na wewe?”
“Chukua funguo za chumba chako. Funguo nyingine utaichukua kwa mama Bakari pale, kuna vitu ndani ya chumba wakitoa basi watakupatia”
“Kisa funguo ndio una nigongea kama nime vamiwa?”
“Aha…jamani mbona hivyo. Una chukua au huchukui? Nakuachia banda lako la kuku nakwenda kuishi wanapo ishi watu sio hapa kwenye banda lako hili”
Magreth alizungumza kwa kejeli huku akimtazama mwana mama huyo.
“Koma wewe nyumba yangu si banda la kuku?”
“Basi kama si la kuku, ni banda la njiwa. Hahaaa ulininyanyasa sana wewe mama, ukihisi kwamba sinto fanikiwa. Ila Mungu amenifanikisha. Pumbavu, sasa uwe na kinywa kizuri kwa hawa wapangaji wengine, siku ukiwakejeli haki ya Mungu, Tanroad watakuja kupitisha bararaba ya lami hapa mtaani na hili banda lako litavunjwa na hapo ndipo utakapo rudi kwenye maisha ya chini kabisa. Utajua shida ambazo tunapitia sisi wapangaji”
Magreth mara baada ya kuzungumza hivyo, akafungu pochi yake na kutoa noti tano za shilingi elfu kumi na kumpiga nazo bi Ngedere usoni.
“Tutaonana huko barabarani kwa maana sitaki siku nikiwa na gari langu nishindwe kukupa lifti”
Magreth akawafwata nje wapangaji wezake. Akaagana nao na kuingia kwenye gari.
“Sheby”
“Naam boss”
“Leo tuna mizunguko mingi. Nipeleke kwenye duka lenye hadhi ya kuuza furniture za ndani”
“Sawa hapa kwa haraka haraka ni Danube pale Mlimani City”
“Haya twende ila kabla ya hapo twende hospitali nikamuone mgonjwa wangu”
Magreth akafika hospitali ya Mwananyamala. Akaelekea kwenye chumba alicho lazwa Evans Shika. Wakasalimiana kwa furaha.
“Samahani juzi nilipata dharura na siku ya jana sikuweza kuonekana, kuna mambo kidogo yalitokea. Vipi una endeleaje?”
“Nina endelea vizuri sana. Dokta leo ameniambia kwamba wiki inayo fwata, nitapewa ruhusa”
“Habari nzuri sana Evans. Vipi wana kushuhulikia vizuri swala la chakula?”
“Yaa wameniletea chakula kizuri na nina kula kwa wakati kabisa”
“Nafurahi kusikia hivyo. Leo ratiba yangu ni ngumu kuna sehemu nina zunguka zunguka baadae nitapita kukuona”
“Sawa Mage. Leo ume pendeza sana”
“Kweli?”
“Ndio”
Magreth akajiona mwanamke mwenye bahati sana mara baada ya kusifiwa na Evans. Akatamani kumbusu ila akajikuta akishindwa kwani hakuna kitu chochote walicho weza kukubaliana kwenye mapenzi.
“Evans nina swali moja”
“Swali gani?”
“Una mchumba?”
“Hapana sina kwa kweli”
“SAWA”
Magreth alijibu huku akiwa na furaha sana. Akamuaga Evans na kurudi kwenye gari. Wakaelekea katika duka kubwa linalo uza vifaa vya ndani. Magreth aka nunu kila kitu anacho kihitaji katika duka hilo, kisha akapatiwa lori la usafiri la kubebea vitu hivyo kwani ni vingi sana. Akaongozana na watu wa lori hilo huku yeye na Sheby wakiwa mbele. Wakafika nyumbani kwake maeneo ya Kigamboni. Akawasimamia watu wa kampuni hiyo ya Danube, kumpangia kila kitu alicho kinunu dukani kwao. Ndani ya muda mfupi nyumba hiyo tayari ikawa imebadilika, huku kila mmoja akisifia kwamba imepangwa vizuri.
“Sheby hapa ni kwangu”
“Aisee ina maana huto uza tena maandazi?”
“Ndio, nitakuwa nina rudi kitaani kuwasalimia kama kawaida”
“Aisee kweli nina haki ya kukuita boss”
Kabla Mage hajazungumza kitu chochote simu yake ikaanza kuita. Akaitazama namba hiyo ngeni, akaipokea na kupewa maelekezo na mwanaume aliye jitambulisha kwa jina la Clayton ni ofisi zipi aende akachague gari, huku akidai ni agizo kutoka kwa nabii Sanga.
***
Mrs Sanga hadi kuna pambazuka hakuweza kupata usingizi kabisa. Mapigo yake ya moyo yamebadilisha muelekeo wake kabisa na amekuwa ni mtu aliye tawaliwa na mawazo kiasi kwamba ana tamani ardhi ipasuke ili immeze. Saa kumi na mbili asubuhi akaamka kitandani na kuelekea jikoni, akaandaa kifungua kinywa kizuri, kisha akarudi chumbani na kumuandalia mume wake suti anayo ipenda.
“Baba Julieth sasa hivi ni saa tatu kasoro amka ujiandae”
Nabii Sanga akamtazama mke wake kwa macho yaliyo jaa maswali. Akanyanyuka na kuingia bafuni, akaoga na kusafisha kinywa chake. Akafungua kabati la nguo na kutazama ni suti gani ambayo ata ivaa kwa siku hiyo.
“Baba Julieth nimesha kuandalia nguo hizo hapo”
Mrs Sanga alizugumza huku akujitahidi kutengeneza tabasamu la bandia. Nabii Sanga akazitazama nguo hizo alizo andaliwana mke wake, ila hakudhubutu kuzigusa. Akachukua suti nyingine na kutoka nazo hadi sebleni. Akambidhi mfanyakazi wake na kumuomba ampigie pasi. Akaingia jikoni, aka kaanga mayai mawili na soseji mbili.
“Dady leo ume amua kuingia jikoni?”
“Yaa mwanangu vipi chuo umekwenda siku mbili hizi?”
“Hapana sija enda. Askari walinizuia kwenda wakihofia usalama wangu”
“Ahaa..basi hakikisha leo una kwenda. Ulinzi wa malaika kutoka mbinguni utasimama juu yako”
“Sawa baba, ila mbona mama amesha andaa brakefast?”
“Ahaa nimependa leo nile chakula nitakacho pika kwa mkono wangu”
“Sawa dady I love you”
“I love you too daughter”
Julieth akambusu baba yake shavuni na kuelekea mezani. Mrs Sanga mambo yote yanayo endelea jikoni aliweza kuyashuhudia. Hali aliyo kuwa nayo mume wake hakika ikazidi kumuweka katika wakati mgumu sana. Wakati ambao hajui ni wapi ana anza kumuuliza mume wake, ikiwa ana tambua hali halisi iliyo mpata Tomas. Nabii Sanga akapata kifungua kinywa hicho. Akakabidhiwa suti yake na mfanyakazi wake na kuelekea chumbani, akavaa haraka haraka na kujiweka sawa.
“Baba Julitethi tuna weza kuzungumza”
“Kuhusiana na nini?”
“Mbona umerudi ila una onekana kuwa tofauti sana na awali?”
“Mkuu wa majambazi walio niteka aliniambia kwamba bosi wao ana hitaji nishikiliwe hadi wiki ijayo ndio wataniachia ili niende zangu Nigeria kwenye kikao cha wa wachungaji.”
Maneno hayo ya nabii Sanga yakamnyong’onyeza mrs Sanga. Hadi hapo akatambua kwamba mume wake ana tambua ni nini kinacho endelea na siri aliyo ihisi kwamba Tomas hato izungumza basi ipo wazi kwa mume wake.
“Ila sijui kwa nini aliye wapa kazi hakuhitaji kunia kwa kutumia watekaji wake. Ila nina hisi ana hitaji siku moja aje kuitoa roho yangu kwa mikono yake mwenyewe. Ila kabla ya yeye kufanya hivyo basi nita hakikisha kwamba nina itoa roho ya kibaraka wake aliye mpatia pesa za kwenda kuwalipa majambazi kisha nitaitoa roho yake. Au una semaje mke wangu hilo si wazo zuri eheee?”
Nabii Sanga alizungumza huku akimkazia macho mke wake. Taratibu mrs Sanga akakaa kitandani huku mwili mzima ukimtetemeka kwa woga kwani kila kitu kinacho zungumwa na mume wake kina muhusu yeye.
Mrs Sanga aka mtazama mume wake kisha akamjibu kwa kutingisha kichwa akimaanisha kwamba hajakubaliana na jambo hilo.
“Kwa nini sasa una kataa ikiwa mtu ameamua kunifanyia ubaya? Ameamua kuniteka na kuhitaji kunia, je ile risasi walio piga kwenye kioo cha mbele kama ingenipata ningekuwa wapi leo hii?”
“Ila mume wangu sisi ni watumishi wa Mungu. Samehe saba mara sabini”
“Sio katika hili, ndio maana hata Mungu mwenyewe ali mpa ujasiri Daudi kwenye kumpiga Goliath na kumuua. Laiti kama wangesamehe saba mara sabani, ingekuwa ni hali tete kwa Daudi na watu wake. Hivyo na mimi nitafanya hivyo nina imani kwamba Mungu atakuwa pamoja nami kwani sikuanza mimi. Ila yeye aliye ianzisha hii vita basi atanifanya mimi niweze kuimaliza”
Mrs Sanga akaka kimya huku moyo wake ukiwa umepoteza amani kabisa.
“Hivi una habari kwamba Tomas ame kamatwa na askari?”
Nabii Sanga alizungumza huku akimtazama mke wake usoni kwa macho ya udadisi.
“Weeee!!”
Mrs Sanga alijifanya ana shangaa, ila kukamatwa kwa Tomas ana tambua na anacho kiomba kwa Mungu ni Tomas kuto mtaja katika sekeseke hilo la utekaji.
“Amekamatwa, sijui ame fanya kosa gani. Ila nikitoka kwenye kikao na waandishi wa habari nitapita kituoa cha polisi kumuona na ikiwezekana nimuwekee dhamana”
“Kweli mume wangu?”
Mrs Sanga alizungumza huku akiwa amejawa na tabasamu pana sana usoni mwake.
“Ndio mbona ume furahi sana?”
“Hamna, kitu mume wangu”
“Ila kama atakuwa amefanya kosa kubwa lisilo hitajika dhamana. Nitamuacha akafie huko jela”
“Mmmm”
“Ndio na ikiwezekana alipe kwa matendo yake aliyo yafanya.”
Nabii Sanga mara baada ya kuzungumza maneno hayo akatoka chumbani humu na kumuacha mke wake akizidi kupoteza amani.
Majira ya saa tatu sekretari wa mchungaji Sanga akafika nyumbani hapo. Akamkuta nabii Sanga akiwa tayari amesha jiandaa kwa ajili ya kuelekea kwenye kikao na waandishi wa habari.
“Tupitie kwenye ofisi za tigo nahitaji kurudisha laini yangu iliyo potea”
“Sawa baba mchungaji”
Nabii Sanga akaondoka na sekretari wake huyo huku akimuacha mke wake akiwa katika hali tete. Wakafika katika ofisi za Tigo, kila aliye muona nabii Sanga alijawa na furaha kubwa sana. Watu wengi waliguswa sana na tukio la kutekwa kwake. Laini yake ika rudishwa kwa haraka na wala hakuchajiwa kiasi chochote cha pesa. Akasali na baadhi ya wafanyakazi pamoja na wataje alio wakuta eneo hilo kisha akaondoka na kuelekea eneo la kanisani kwake ambapo ndipo alipo andaa mkutano na waandishi wa habari. Akiwa ndani ya gari nabii Sanga akampigia Clayton, rafiki yake wa karibu anaye uza magari ya kifahari ndani na nje ya Tanzania.
“Pole sana kwa matatizo ndugu yangu”
“Nashukuru sana. Niambie hapo ofisini kwako kuna gari gani nzuri?”
“Ahaa kuna land cruser new model. Harriel new model. Benzi, BMW X5 na X6. Kuna Audi Q7. Kwa ufupi zipo gari za kifahari. Gari ya bei ya chini ni milioni tisini”
“Sawa sawa. Sasa nakutumia namba ya binti mmoja atafika hapo ofisini kwako na achague gari yoyote ya bei yoyote kisha uta niambia ni kiasi gani na nitakupitishia cheki hapo”
“Sawa ndugu yangu. Nitumie niweze kumpigia”
“Sawa, ila maswala ya usajili yote mkamilishie. Pia mtafutie dereva wa kumrudisha na hiyo gari hadi nyumbani kwa maana hafahamu kuendesha. Jina lake ana itwa Magreth”
“Sawa sawa ndugu yangu nita fanya hivyo”
“Nashukuru”
Nabii Sanga akakata simu yake na kumtumia Clayton namba ya Magreth. Wakafika kanisani, waandishi wa habari wakaanza kuwashambulia kwa kuwapiga picha toka wakiwa wana ingia getini hapo. Nabii Sanga akashuka kwenye gari na kuwapungia mkono waumini wake wengi ambao wamekusanyika kanisani hapo kuhakikisha wana mpa mapokezi mazuri nabii wao.
“Karibu sana nabii”
Mchungaji msaidizi wa kanisa hilo alizungumza. Nabii Sanga akaelekea ofisini kwake, akaitazama ofisi hii na kujikuta akizidi kupandwa na hasira ya kumchukia mke wake. Kwani ameigeuza ofisi yake kuwa ndio eneo la kufanyia ngono.
‘Mungu nipe moyo wa uvumlivu na hekima katika hili.’
Nabii Sanga alizungumza huku akianza kuomba. Ikamchukua dakika ishirini za kusali, akiwa peke yake ofisini hapo, kisha akamruhusu sekretari wake kuingia.
“Tayari wamesha jiandaa?”
“Ndio wana kusubiria wewe tu”
“Sawa”
Nabii Sanga akajiweka sawa koti la suti na kuingia katika ukumbi wa mikutano midogo midogo katika kanisa lao. Mkutano na waandishi wa habari ukaanza. Nabii Sanga akaanza kuelezea jinsi alivyo tekwa na majambazi hao huku akiongopea kwamba siku hiyo alikuwa ana toka kanisani na kuelekea nyumbani kwake pasipo kupita mahala popote. Akaelezea ni jinsi majambazi hao walivyo kuwa wana pokea amri kutoa kwa mtu ambate aliwapa kazi hiyo.
“Nabii Sanga akajipa maujiko ya kuongopea jinsi alivyo toroka katika ngome ya majambazi hao na kurudi jijini Dar es Salaam. Akaenda mbali zaidi ya kusema kwamba aliwasiliana na RPC na kumuomba aweze kumletea vijana wake sehemu alipo kuwepo na vijana hao wakafanya kazi hiyo ya kumchukua huku wakiwa na bosi wao huyo kisha wakamrudisha nyumbani kwake.”
“Mara baada ya kumsikia baba yetu hapa wa kiroho nina karibisha maswali machache kisha ata ingia kanisani kuwasalimia waumini wake wana msubiri kwa hamu sana.”
Sekretari alizungumza na kuwafanya waandhishi wa habari washindane kwa kunyoosha mikono.
“Ehee pale dada”
“Kwanza nitangulize pole sana nabii Sanga. Je katika kusikia sikia mazungumzo ya watekaji hao. Uliweza kuhisi au kusikia nani ni muhusika wa kukuteka wewe?”
Nabii Sanga akatazama mtangazaji huyo huku akilini mwake akimtafakari mke wake. Mwanamke ambaye alipata naye tambu kwenye shida na raha na leo hii ndio amekuwa adui yake.
SEHEMU YA 7
Mrs Sanga sanga kila wazo analo jaribu kulitafakari kichwani mwake ili kujinasua kwenye tatizo linalo mkabili ana jikuta anashindwa kabisa kupata suluhisho. Akawasha tv ya chumbani kwake na kukuta mume wake akiwa mubashara kwenye kituo cha televisheni. Swali la muandishi wa habari kuhusiana na nani aliye mteka likamfanya mrs Sanga kuzidi kutetemeka kwani ana tambua tayari mume wake amesha fahamu ukweli.
“Ehee Mungu asinitaje huyu mwanume. Nitaiweka wapi sura yangu. Sitaki kwenda jela na umri huu”
Mrs Sanga alizungumza huku akiwa ameifumbata kwa pamoja mikono yake.
“Simfahamu kwa kweli”
Jibu la nabii Sanga likamfanya mrs Sanga kushusha pumzi zinto huku matumaini ya kuto ingia kwenye mikono ya sheria ikimtawala kichwani mwake.
“Nabii je walikupatia mateso?”
“Hapana nina imani mtu aliye toa agizo la mimi kukamatwa alihitaji nisipatiwe mateso.”
Mrs Sanga akaendelea kutazama mahojiano hayo ya mume wake na waandishi wa habari. Yalipo karibia kuisha, akaingia bafuni, akaoga kwa haraka kisha akarudi na kuvaa nguo zake.
“Nabii mbona huja ongozana na mke wako katika siku muhimu kama hii ya leo?”
Mrs Sanga akastuka na kusitisha zoezi la kujipaka mafuta mwilini mwake. Akamtazama mume wake anaye malizia mahojiano na waandishi hao wa habari.
“Kuna kazi ya kifamilia kidogo ana ishuhulikia. Nawashukuru na Mungu awabariki sana nyote mulio funga na kuomba kwa ajili yangu.”
Nabii Sanga mara baada ya kumaliza kuzungumza maneno hayo. Mahojiano yakaishia hapo na akaondoka ukumbini hapo. Mrs Sanga akazima tv hiyo kisha akamalizia zoezi lake la kujiandaa. Alipo hakikisha kwamba yupo vizuri, akaingiza baibui lake la siri katika pochi yake kubwa kishaa katoka ndani humo.
“Mama leo tupike nini?”
Mfanyakazi wa ndani alimuuliza Mrs Sanga.
“Chochote ambacho baba yenu ata jisikia kula. Mimi natoka”
Mrs Sanga akamuacha dada huyo wa kazi njia panda. Mrs Sanga akaingia kwenye gari lake na kuondoka eneo hilo huku kichwani mwake akifikiria ni wapi ambapo ata kwenda kukaa japo kwa siku kadhaa pasipo kupata usumbufu wa mtu yoyote anaye mfahamu.
“Lazima Tomas akikutana na mume wangu ata muambia ukweli”
Mrs Sanga alizungumza mwenyewe huku akizidi kusonga mbele. Akafika benki ya crdb, akatoa kiasi cha milioni kumi na kurudi nacho kwenye gari.
“Pesa hii itanitosha”
Mrs Sanga alizungumza huku akiondoka eneo hilo la benki huku akilini mwake akiwaza sehemu sahihi ya yeye kutuliza kichwa chake ni Bagamoyo kwenye hoteli yoyote ya kitalii ambayo ata ona ina mpendeza kwa yeye kuishi.
***
Magreth na Sheby wakafika katika ofisi ya magari waliyo elekezwa na Clayton. Kila mmoja aka shangaa uwepo wa magari ya kifahari ambayo yapo kwenye car show room hiyo.
“Mmmm!! Magreth hapa ndipo ulipo elekezwa kweli?”
“Ndio Sheby kwani vipi?”
“Mmm mbona magari yote ni ya garama sana?”
“Wewe twende kwa wahusika bwana”
Wakaingia kwenye ofisi hiyo, wakasalimiana na sekretari waliye mkuta eneo la mapokezi. Akauliza ni wapi alipo bwana Clyaton.
“Wewe ndio Magreth”
“Ndio mimi”
“Basi ingia ofisi hiyo hapo”
“Sawa”
Magreth akaingia kwenye ofisi ya mmiliki wa kampuni hiyo ya magari. Akamkuta mzee mmoja mwenye umri una karibiana na nabii Sanga, akasalimiana naye kisha hawakuona haja ya kupoteza muda zaidi. Wakaelekea kwenye eneo yalipo wekwa magari hayo.
“Ameniambia uchague gari lolote utakalo”
“Lolote?”
“Ndio kuwa huru.”
“Sheby njoo unisaidie kuchagua gari ndugu yangu”
Wote watatu wakaanza kuzunguka kwenye magari hayo huku kila gari ambalo Magreth ana liona ana tamani kulichagua hilo.
“Jamani yote mbona ni mazuri?”
“Yaa yote ni mazuri. Wewe chagua kitu ambacho roho yako itapenda kwa kweli”
“Ila Audi ni nzuri kwa mtoto wa kike”
Sheby alishauri huku akimuonyesha Magreth gari hiyo yenye rangi nyeupe na inayo ng’ara vizuri.
“Kweli hili ni gari zuri, ni bei ngapi?”
“Audi Q7 ni dola laki moja na ishirini, hii ni model mpya ya mwaka huu.”
“Mmm parefu hapo”
Sheby alizungumza huku akitazama gari hilo.
“Nimelipenda hili”
Magreth akachagua gari hilo la kifahari aina ya Audi Q7
“Sawa, basi taratibu zote za usajili za hili gari nita shuhulikia, pia tuta kukabidhi kwa dereva atakaye kusaidia kuliendesha gari hili hadi nyumbani kwako”
“Sawa nashukuru sana”
“Tuelekee ofisini kwa ajili ya kuandikishana”
Magreth na Clayton wakaingia katika ofisini. Magreth akajaza fomu zote na kukabidhiwa funguo zake.
“Hilo gari ni jipya kabisa yaani ni zero kilomita.”
“Yaani nina hamu ya kuingia ndani ya gari hilo, hembu ngoja nikafungue”
Magreth akatoka ofisini humo na kukimbilia kwenye gari lake akafungua mlango na kuingia ndani. Furaha ambayo imemtawala hakika hajawahi kuipata toka kuja kwake duniani.
***
Nabii Sanga akaingia kanisani kwake. Waumini wake walio jitokeza kumuona kwa siku hiyo waka simama na kuanza kumshangilia huku wote wakiwa wamejawa na furaha sana. Nabii Sanga akawashukuru waumini wake hao, kisha baada ya hapo, akaongoza sala fupi ya kumshukuru Mungu. Kutokana siku hiyo sio siku ya ibada kanisani hapo, nabii Sanga akaagana na waumini wake kisha akaondoka na kuianza safari ya kuelekea polisi huku akiongozana na dereva wa kanisa hilo.
“Ndio RPC nina kuja ofisi kwako”
“Sawa tena nilikuwa nina fwatilia mazungumzo yako kwenye televishion na nikawa nina subiria umalize kuzungumza ili tuwasiliane”
“Sawa baada ya dakika kadhaa nitakuwa hapo”
Nabii Sanga akakata simu. Wakafika kituo kikuu cha polisi Dar es Salaam. Nabii Sanga akapokelewa na RPC na wakaeleka ofisini kwake.
“Karibu sana mzee”
“Nashukuru. Ehee niambie ume fikia wapi katika kutafakari kwako”
“Ahaa…kumpoteza ina wezekana na nimesha andaa mpango mzima wa kuhakikisha kwamba ana kufa kifo ambacho hakuna mtu yoyote atakaye tilia mashaka na hata kama ikitokea wakatilia mashaka basi uchunguzi ukifanyika hakuna mtu ambaye ata weza kugundua lolote”
“Je ni kiasi gani cha pesa uta hitaji kwa shuhuli hiyo?”
“Kutokana wewe ni mzee wangu na tuna fahamiana kwa kipindi kirefu na ume toka kwenye matatizo. Nipatie milioni ishirini tu zita nitosha”
“Sawa sawa nitakupatia. Nina omba jambo moja unisaidie”
“Jambo gani?”
“Nina hitaji kuonana na kijana huyo kabla ya kufa kwake”
“Sawa hilo halina shaka mzee”
RPC akampigia askari mmoja na kumuagiza amuingize Tomas katika chumba cha mahojiano. Baada ya zoezi hilo kukamilika, nabii Sanga na RPC wakelekea katika chumba hicho.
“Kamera na sound record katika chumba hicho zote zime zimwa kwa hiyo utakacho kizungumza hapo kitaishia ndani humo. Mimi nipo hapa mlangoni nina kusubiria”
RPC alizungumza huku akimtazama nabii Sanga usoni mwake.
“Sawa”
Nabii Sanga akaingia ndani ya chumba hicho na kumfanya Tomas ashtuke sana kwani hakutarajia kumuona nabii Sanga kwa wakati kama huu kwa namna moja ama nyingine alihisi kwamba Rama D na wadogo zake watakuwa wamemuua, kwani aliwashuhudia rafiki zake hao wakifa peke yao pasipo uwepo wa nabii Sanga.
Nabii Sanga wala hakujali kustuka kwa Tomas, akavuta kiti huku akitazama kamerza nne zilizo fungwa kwenye kila kona ya chumba humo ndani.
“Habari yako Tomas”
Nabii Sanga alianza kuzungumza huku akimtazama Tomas anaye kwepesha macho yake kutazamana na nabii Sanga, kwani ubaya wote alio utenda kwa mtu huyo umemrudia yeye mwenyewe.
“Niambie ni wapi nilikukosea?”
“Aha…ahaa baba ni…ni…sa…s…amehe”
Tomas alizungumza kwa kubabaika huku akimtazama nabii Sanga usoni mwake. Nabii Sanga akatoa simu yake, na kuingia kwenye email yake na kuitazama video ya Tomas na mke wake wakifanya mapenzi ofisini kwake. Akamgeuzia Tomas video hiyo na kuzidi kumfanya Tomas awe katika wakati mgumu.
“Huyu ni mke wangu, tena mwanamke uliye kuwa una muheshimu kama mama yako wa kiroho. Leo hii una muingilia kinyume cha maumbile na yeye ana furahia sana. Niambie nikufanye nini?”
Tomas akashindwa kujibu swali hilo zaidi ya kuanza kaungua kilio, huku akitamani ardhi ipasuke na immeze.
“Nilikupa kazi zangu nyingi, nilikuamini sana Tomas, kwa nini umekuwa msaliti kwangu. Kwa nini umeamua kuharibu hatima ya familia yangu kwa nini?”
Nabii Sanga alizungumza kwa sauti ya upoe ila iliyo jaa msisitizo wa mtu ambaye amekasirishwa sana kwa kitendo hicho.
“Nashukuru kwa kila jambo Tomas.”
Nabii Sanga mara baada ya kumaliza kuzungumza maneno hayo, akasimama na kutoka ndani humo
“Umemaliza mzee?”
RPC alimuuliza nabii Sanga huku akimtazama usoni mwake.
“Ndio, hakikisha hii siku ya leo haimalizi”
“Sawa nitafanya hivyo”
Wakarudi kwa pamoja ofisini kwa RPC huku nyuma wakimuacha Tomas akizidi kuugulia maumivu ya moyo wake. Akajikuta akijilamu ni kwa nini alikubali ushawishi wa mrs Sanga na kuingia naye kwenye mahusiano yake. Akazidi kujilamu ni kwa nini alikubwali kupanga mpango wa kumteka nabii Sanga. Nabii Sanga akahamisha kiasi cha pesa walicho kubaliana na RPC kutoka kwenye akaunti yake na kuingia kwenye akaunti ya siri ya RPC.
“Nitahitaji kuiona maiti yake mukisha muua”
“Sawa muheshimiwa”
“Na jambo jengine, hakikisha hii ina kuwa siri. Mke wangu sihitaji aweze kuguswa na hili jambo”
“Sawa mzee. Ila nina weza kukuuliza swali”
“Uliza”
“Je ikitokea mke wako akafanya jambo jengine kubwa zaidi ya hili la kukuteka itakuwaje?”
“Nitajua jinsi ya kudili naye. Ila yeye asikuumize kichwa juu ya usalama wangu”
“Sawa sawa, nimekuelewa”
Nabii Sanga na RPC wakaagana kisha nabii Sanga akaondoka eneo hilo la polisi. Akawasiliana na Clyaton na akamfahamisha kwamba Magreth yupo bado ofisini kwake, ana furahia juu ya kupata gari hilo.
“Nina kuja sasa hivi”
“Sawa”
Nabii Sanga akakata simu na kumueleza dereva wake ni wapi ampeleke. Wakafika dukani kwa Clayton na moja kwa moja wakaingia ofisini pasipo Magreth kumuona.
“Yule kina kule kwenye gari na Magreth ni nani?”
Nabii Sanga aliuliza huku akiwa amesimama kwenye dirisha la ofisi hiyo huku akiwatazama Magreth na Sheby wakizungumza.
“Ahaa amekuja naye”
“Yeye ndio amekuja naye?”
“Ndio vipi mbona una shangaa?”
“Ahaa…hakuna. Ehee nipatie garama za gari alilo chagua”
Clayton akampatia nabii Sanga bei ya gari hilo. Nabii Sanga mara baada ya kumaliza kulipana na Clayton kwa kupitia njia ya kuhamisha pesa kutoka benki moja kwenye benki nyingine, akaelekea eneo alipo Magreth na Sheby. Magreth kwa furaha iliyo mtawala akashindwa kujizuia na kujikuta akimkumbatia nabii Sanga kwa furaha sana.
“Asante sana baba”
Magreth alizungumza kauli hiyo ili kuficha siri ya mahusiano yao.
“Usijali mwanangu. Huyu ni nani?”
“Ni Sheby, dereva taksi aliye nileta hapa kutoka kule mtaani kwetu na kunizungusha mji mzima”
“Ahaa..kijana una mdai kiasi gani Mage?”
“Alaa laki na nusu”
Nabii Sanga akaingiza mkono mfukoni mwa suruali yake. Akatoa laki mbili na kumpatia Sheby.
“Sasa kazi yako ime kwisha. Unaweza kwenda”
Sheby akazipokea pesa hizo kwa furaha, akamuaga Magreth kisha akaondoka zake.
“Siku nyingine sihitaji uwe karibu karibu na hawa vijana sawa”
Nabii Sanga alizungumza kwa ukali kidogo.
“Sawa mume wangu”
“Nashukuru kusikia hivyo. Vipi ume lipenda hili gari?”
“Ndio nimelipenda”
“Sawa wana malizia vibali vyote kisha tuta ondoka nalo leo kuelekea huko unapo ishi”
“Haya”
Vijana wa Clayton mara baada ya kumaliza kufwatilia maswala ya usajili wa gari hilo. Wakamkabidhi detail zote bosi wao kisha Claytona akamkabidhi Magreth nyaraka zake na wakaondoka eneo hilo na nabii Sanga.
“Hili gari zuri sana”
Nabii Sanga alizungumza huku akiendesha gari hilo.
“Kweli?”
“Ndio, kikubwa ulitunze sana”
“Usijali, nitakuwa nina liendesha kwa umakini wa hali ya juu”
Wakafika nyumbani kwa Magrerth. Nabii Sanga akalisimisha gari hilo kwenye maegesho yaliyomo katika nyumba hiyo ambayo ipo sehemu iliyo tulia sana.
“Hapa ni pazuri sana, nime papenda”
“Kweli mume wangu?”
“Ndio, tena leo nitalala na wewe hapa kuzindua nyumba”
“Haaaa”
“Ndio. Ehee una lipa kiasi gani hapa?”
“Laki tano”
“Umeipenda hii nyumba?”
“Sana”
“Basi kesho wasiliana na mwenye hii nyumba na tumshawishi juu ya kuinunua”
“Kweli?”
“Ndio mke wangu”
Nabii Sanga na Magreth wakazidi kuzama kwenye penzi ambalo kwa upande wa Magreth amempendea pesa mzee huyo huku upando wake wa dhati ukiwa kwa Evans ambaye bado ana endelea kuuguza jeraha la kisu alicho chomwa. Upande wa nabii Sanga, moyo wake ume mpenda sana Magreth na yupo tayari kufanya jambo lolote kwa ajili ya mwanamke huyo.
***
Mrs Sanga akafika Bagamoyo, akaelekea kwenye hoteli moja iliyopo pembezoni mwa bahari. Akachukua chumba kimoja na kulipia kwa siku mbili.
“Mawazo yangu yatapungua hapa”
Mrs Sanga alizungumza huku akijilaza kitandani. Akachukua simu yake na kuangalia picha za jogoo ambazo walikuwa wakitumiana na Tomas, kisiri siri kupitia mtandao wa whatsapp. Picha za jogoo wa Tomas, zikaanza kumsisimua mrs Sanga. Taratibu akaanza kujishika makaja yake, huku akiipandisha juu sketi yake ndefu aliyo ivaa. Alipo ona sketi hiyo ina mgasi gasi, akavua kasbisa nguo zake zote na kubaki kama alivyo zaliwa.
Mrs Sanga akaanza kuchezea kittumbua chake huku akikifikicha taratibu.
‘Ohooo aisiiisiiii”
Mrs Sanga alitoa miguno hiyo ya kimahaba, huku akiingiza vidole vyake viwili vya katika katika kitumbua hicho, huku katika hisia zake, akihisi vidole hivyo ndio jogoo wa Tomas.
‘Fuc**’
Mrs Sanga aliendelea kulalama huku akizidisha kasi ya vidole vyake. Alipo ona ameridhika kwa kufanya hivyo, akahamia nyuma. Akajizamisha kidole cha katiki huku akisikilizia jinsi anavyo pata burudani hiyo.
“Ohoo Tomas upo wapi, mkund** wangu una niswasha”
Mrs Sanga alilalama huku akiendelea kujichezea. Zoezi hilo likamchukua dakika hamsini hadi kuridhika. Akaiweka simu yake pembeni huku akihema sana, na jasho likimwagika mwili mzima, kwani shuhuli ya kujishuhulikia yeye mwenyewe haikuwa ndogo.
Akashuka kitandani hupo na kuingia bafuni, akaoga kisha akarudi chumbani. Saa ya ukutani katika chumba hicho ina muonyesha ni saa mbili usiku. Akavaa baibui lake kisha akatoka chumbani humo na kuelekea eneo la mgahawa mkubwa katika hoteli hiyo ya kitalii. Akatafuta sehemu yenye mwanga hafifu na kukaa. Akaagiza chakula anacho kihitaji pamoja na mzinga wa wyne ya dompo.
Chakula kikaletwa na muhudumu na kuana kula taratibu na kunywa huku akitazama tazama watu waliomo ndani ya mgahawa huu.
‘Ila huyu mwanaume hawezi kunifanya jambo lolote, la sivyo siri zake zote nitazitoa hadharani’
Mrs Sanga alizungumza huku akiendelea kula.
‘Au nimtishe kutoa siri zake kama ata mdhuru Tomas?’
Mrs Sanga aliendelea kuwaza kichwani mwake huku akizidi kutafuna nyama choma aliyo nunua.
‘Ndio, kwa maana hata yeye ameshwa nisaliti na nikamsamehe’
Mrs Sanga alizungumza huku akianza kuwaza matukio ya nyuma ambayo mume wake alisha wahi kuyafanya. Siku moja nabii Sanga alipo rudi kutoka nchini Nigeria, alirudi akiwa ameongozana na kijana wa kiume mwenye miaka kumi. Mrs Sanga alimuuliza mume wake juu ya kijana huyo, akamueleza kijana huyo alikuja kukaa kwa muda nchini Tanzania, kisha baada ya hapo ata rudi nchini Nigeria.
Toka alipo kuja kijana huyo nyumbani kwao, mtindo wa nabii Sanga kuamka usiku wa manene ukaanza. Kwa siku za hapo awali mrs Sanga alihisi kwamba mume wake ana kwenda kasali katika chumba maalumu cha maombi kilichopo chini ya ardhi katija jumba lao hilo.
‘Mume wangu nahitaji haki yangu bwana’
Mrs Sanga alilalama huku akimshika shika nabii Sanga usiku huo.
‘Mke wangu muda wa mauombi una karibia. Acha nikasali kwanza kisha nitarudi’
‘Jamani mume wangu toka utoke huko nchini Nigeria, hujawahi kunipa haki yangu. Sasa ni wiki ya pili, una hisi kwamba mimi sina hamu na wewe’
‘Natambua mke wangu ila nina kuomba univumilie hadi nikamalize kuomba’
‘Sawa mume wangu’
Mrs Sanga alikubali kishingo upande. Saa nane kamili usiku, nabii Sanga kama kawaida yake akanyanyuka kitandani huku akiwa na biblia yake na kuelekea katika chumba hicho. Mrs Sanga siku hiyo hakukubali kumuacha mume wake akasali yeye mwenyewe. Akasubiri kama dakika kumi na tano zipite kisha na yeye akashuka kitandani. Akatembea kwa mwendo wa kunyata hadi eneo la chini, kilicho chumba hicho ambacho ni wana famili tu ndio wana tambua juu ya uwepo wa chumba hicho. Mrs Sanga akastuka mara baada ya kufika mlangoni mwa chumba hicho na kusikia sauti za kimahaba.
‘Kuna nini?’
Mrs Sanga alijiuliza huku akitafakari kufungua mlango wa chumba hicho. Akausukuma taratibu mlango wa chumba hicho. Mapigo ya moyo yakamstuka sana mara baada ya kuona mishumaa mingi iliyo wazunguka nabii Sanga na kijana kutoka Nigeria ikiwa inawaka. Mbaya zaidi wote wawili wapo uchi kabisa huku nabii Sanga akimuingilia kinyume na maadilia kijana huyo. Mrs Sanga akajikaza na kuingia ndani humo, ila kutokana na mstuko alio upata kutokana na kuona tukio hilo ukamfanya aanguke na kupoteza fahamu. Jambo ambalo lilimfanya nabii Sanga na kijana huyo kustuka sana na kusitisha kila walicho kuwa wana kifanya.
“Hei samahani mama. Simu yako ina ita”
Sauti ya muhudumu aliye simama mbele ya mrs Sanga ika mstua sana na kumtoa kwenye dibwi zima la mawazo ya maisha ya nyuma aliyo ishi na nabii Sanga.
“Ohoo Mungu wangu hata akili yangu sijui ipo wapi”
Mrs Sanga alizungumza hukua kichukua simu hiyo. Akatazama na kukuta ni namba ya mtoto wake wa mwisho ndio anaye mpigia. Akaipokea simu hiyo na kuiweka simu hiyo sikioni mwake.
“Mama mbona napiga simu zaidi ya mara sita hupokei”
Juliethi alilalama.
“Ohoo samahani mwanangu, nilikuwa kwenye maombi na simu nime iweka sinlece. Ehee niambie”
“Upo wapi?”
“Kuna mama mmoja yupo huku Pangani, nime kuja kumfanyia huduma ana umwa sana. Vipi umesha rudi kutoka chuo mwanangu?”
“Ndio mama. Kama upo Pangani kweli utaweza kurudi usiku huu peke yako?”
“Hapana mwanangu, labda kesho au kesho kutwa ndio nitarudi. Vipi baba yako yupo nyumbani?”
“Hapana hayupo nyumbani naye nimempigia simu amedai kwamba hato rudi nyumbani.”
“Yupo wapi?”
“Hajaniambia yupo wapi, ila amenieleza kuna mambo ana yashuhulikia”
“Hembu kata simu nimtafute”
“Sawa mama”
Mrs Sanga akaitafuta namba ya mume wake huku akipiga fumba la wyne hiyo aliyo iagiza. Simu ya mume wake ikaita kisha ikakatwa. Akapiga tena, ikaita kisha ikakatwa. Akapiga tena mara ya tatu, ikaita kisha ikakatwa.
“Pumbavu”
Mrs Sanga alizungumza huku akihamia upande wa meseji.
“Naona unanikatia simu, upon a huyo malaya wako si ndio. Sasa ni hivi endapo Tomas atakwenda jela au kuudhurika na jambo lolote. Nitatoa siri zako zote hadharani, sasa tuone kama hao waumini wako unao wafanya mandondocha wata kusujudia. BYE”
Meseji hiyo haikuchukua hata sekunde thelathini, ikarudisha majibu kwamba imemfikia nabii Sanga na ameisoma.
***
Majira ya saa nne usiku, RPC akamchukua Tomas na kupitisha njia za siri zilizopo chini ya kituo hicho, pasipo askari wa aina yoyote kuweza kufahamu. Akafika eneo la mbali, njia nizi zilipo tokea, akamuingiza Tomas kwenye gari lake binafsi na si gari ya ofisi anayo tembelea nayo, huku Tomas akiwa amemfunga kitambaa cheusi ili aisweze kuona ni nani aliye mtoa wala kujua ni wapi anapo pelekwa. RPC katika kuikamilisha kazi hiyo aliyo pewa na nabii Sanga, hakuihitaji kuwa hewani ili wakuu wake wa kazi au wafanyakazi walipo chini yakue, wampate hewani. Akazima simu yake na kuzidi kuendesha gari lake hilo huku akielekea katika mjini wa Kibiti lilipo shamba lake,kiamini eneo hilo ana weza kutekeleza agizo la kumua Tomas pasipo mtu wa aina yoyote kuweza kugundua.
“Muna nipeleka wapi?”
Tomas aliuliza huku akitawaliwa na wasiwasi mwingi sana. Ila ukimya ulimo ndani ya gari hilo na kuto kuona kwake kutokana na kufungwa macho kwa kitambaa cheusi huku miguu na mikono yake ikiwa imefungwa, ikamuashiria Tomas kwamba hali aliyo nayo hivi sasa sio salama kwa maisha yake.
***
Meseji kutoka kwa mke wake, kukamfanya nabii Sanga kuchomoa jogoo wake kutoka katika kitumbua cha Magreth huku akiwa na wasiwasi.
“Baby vipi?”
Magreth aliuliza huku akimsangaa nabii Sanga akishuka kitandani. Nabii Sanga siku zote ana mfahamu mke wake, ni mtu ambaye ana simamia misimamo yake pale anapo amua jambo fulani kulifanya, tena awe ameliamua kihasira. Woga wa siri zake kuwa hadharani ukamfanya, ajikute akitengua mamauzi ya kuuwawa kwa Tomasa. Akaitafuta namba ya RPC na kumpigia, ili kumpa agizo la kusitisha zoezi hilo. Mapigo ya moyo yakazidi kumdunda nabii Sanga huku jasho likimwagika, mara baada ya kukuta namba ya RPC haipatikani hewani huku akitambua kwamba muda huu ndio wakati wa Tomasa kuuwawa kisiri.
“Ohoo Mungu wangu”
Nabii Sanga alihaha, huku akijaribu kuipiga tena simu ya RPC ila majibu aliyo kutana nayo hapo awali ndio hayo hayo anayo kutana nayo kwa muda huu.
“Baby niambie ni kuna tatizo gani?”
Magreth alizungumza huku akishuka kitandani na kumdadisi nabii Sanga.
“Kuna mambo ya kifamilia tafadhali naomba uniache kidogo”
Nabii Sanga alizungumza huku jasho likiendelea kumtiririka mwili mzima. Japo kuna air condition, ila haikuzuia jasho kuto mwagika kwa kiasi hicho.
“Nani nani nani?”
Nabii Sanga alizungumza huku akijaribu kutafakari ni nani ambaye ana weza kuzungumza naye kwa haraka ili kumfikia RPC. Nabii Sanga akamkumbuka mke wa RPC ambaye pia ni miongoni mwa viongozi wa kanisa lake. Akampigia na kwa bahati nzuri simu hiyo ikapokelewa.
“Habari za muda huu mama Karata”
“Salama tu baba mchungaji habari ya muda huu?”
“Salama, samahani sana kwa kukusumbua usiku”
“Hakuna taba baba yangu. Kwanza pole kwa kilicho tokea, yaani nilishindwa kufika kanisani leo kwa maana nipo safarini kwa sasa”
“Ahaa upo wapi kwa sasa?”
“Nipo Mwanza huku, nimekuja kumuuguza uguza mama mkwe, kidogo magonjwa ya uzeeni yana msumbua”
“Ahaa poleni sana”
“Tunashukuru kwa kweli, nina imani bwana Mungu ata kwenda kunyoosha mkono wake juu yetu”
“Hakika yeye ni mwema. Sasa nilikuwa nina hitaji kupata namba ya Mr Karata kwa maana nina mpigia kwenye ile namba yake iliyo ishia mwisho nane nane, ila simpati hewani kabisa”
“Ahaaa niliongea naye kama lisaa lililo pita. Akaniambia kwamba yupo njiani ana elekea poroni kwenye oparesheni ya kusaka majambazi hivyo akanitaarifu kwamba ata zima simu yake. Ila kuna namba yake nyingine ambayo ni private ya familia labdao nikupatie hiyo baba”
“Nitashukuru sana mama Karata”
“Sawa, kata simu nikutumie.”
Nabii Sanga akakata simu huku jasho likimvuja sana mwilini mwake. Hakuna kitu anacho kiogopa kwa mke wake kama kutoboa siri zake za ndani, ndio maana hata mke wake afanye kosa la aina gani basi yupo radhi kumsamehe na kuto muhukumu kwa chochote. Ujumbe mfupi wa meseji ukaingia, kwa haraka akaufungua na kukuta namba hiyo ya simu. Hakuhitaji hata kujibu ujumbe huo, akaipiga namba hiyo na kwa bahati nzuri ikaanza kuita.
***
RPC akapunguza mwendo wa gari lake huku akiwaza ni nani anaye mpigia kwenye simu yake ya siri sana ambayo ni yeye na wana familia wake ndio wana fahamu namba hiyo. Taratibu akaitoa simu hiyo ndogo aina ya Bontel na kuitazama namba hiyo vizuri na kuifahamu kwa haraka.
‘Ameitoa wapi namba yangu?’
RPC alizungumza kimoyo moyo huku akiitzama namba hiyo ya nabii Sanga inayo mpigia. Akasimamisha gari pambezoni mwa barabra, kisha akafungua mlango na kutoka nje ili Tomas asiweze kufahamu ni mtu gani ambaye amemteka kwa maana kama ni sauti ya RPC ni maarufu sana karibu kwa Watanzania wote kwani mara kwa mara huonekana kwenye vyombo vya habari akizungumza na waandishi wa habari.
“Ndio mzee”
RPC Karata alizungumza huku akitazama usalama wa eneo hilo.
“Upo wapi asiee?”
“Naelekea Kibiti. Namba hii sikumbuki kama nilisha wahi kukupatia mzee”
“Ni kweli, amenipatia mama muda huu. Nilikuwa naomba uweze kusitisha zoezi tulilo panga ulifanye”
“Kwa nini!!?”
RPC Karata alizungumza huku akiwa ameshikwa na mshangao mkubwa.
“Kuna mambo ambayo hayato kwenda sawa. Ninacho kuomba ni kumuachia huru na pesa niliyo kupatia wewe iwe ni zawadi yako”
RPC Karata akaka kimya huku akitafakari ni nini cha kufanya. Kama ni kumuachia huru Tomas ni lazima polisi wata mtafuta wakiamini kwamba ata kuwa ametoroka gerezani. Pia akimua askari vile vile wata mtafuta kwa kigezo hicho hicho cha kutoroka gerezani.
“Kipi bora sasa?”
RPC Karata alijikuta akijiuliza huku simu ikiwa sikioni mwake.
“Bora kivipi?”
“Ahaa samahani sio swali lako. Okay nimekuelewa, ila kwa sharti moja”
“Sharti gani?”
“Ufunge kinywa chako, usimuambie hata mke wako juu ya hili swala letu. Nina familia ina nitegemea nyuma yangu hivyo sihitaji matatizo yasiyo ya lazima kwenye maisha yangu.”
“Hilo sinto weza kulizungumza”
“Na jambo jengine ina bidi aondoke nchini Tanzania na akatafute nchi ya kwenda la sivyo. Mkono wa sheria ni mkubwa sana na utamsaka ndani ya nchii hii na endapo ata kamatwa, aisee hapo mimi sinto ingilia kati kwani jambo hilo litakuwa nje ya uwezo wangu”
“Nimekuelewa”
“Sawa mzee nashukuru kwa kunielewa”
RPC Karata akakata simu huku akiachia msunyo mzito, kwani kwenye maisha yake huwa hapendi kuianza kazi na kuiachia njiani. Akamtazama Tomas aliye muweka siti ya nyuma, akafungua mlango huo na kumtoa Tomas. Akamfungua mnyororo wa miguuni pamoja na pingu za mikononi. Akamuwekea bastola ya kichwa na kumfanya Tomas kujawa na woga.
“Leo hii Mungu wako amekusaidia na umepona kuhusiana na swala kutembea na mke wa mtu. Kesho rudia tena roho yako ita kwenda ahera madukani bila ya wewe kupenda. Potea ndani ya nchi hii kabla jeshi la polisi halijakukamata”
RPC Karata alizungumza kwa sauti nzito ambayo sio rahisi kujulikana. Akampiga Tomas kichwani kwa kutumia kitako cha bastola hiyo na kumpelekea kupoteza fahamu. Akamsukumia pembezoni mwa mtaro huku macho yake yakiwa yame fungwa na kitambaa cheusi. Kisha akarudi ndani ya gari lake na kuondoka eneo hilo na kurudi zake jijini Dar es Salaam huku akimtumia meseji nabii Sanga kwamba ame muachia huru Tomas.
***
‘TAYARI TOMAS AMEACHIWA HURU MKE WANGU. USIFUNGUE KINYWA CHAKO’
Mrs Sanga mara baada ya kuisoma meseji hiyo kutoka kwa mume wake, akatabasamu huku akiwa amejawa na furaha sana, kwani mpango wake umekwenda sawia kama vile alivyo kuwa ame panga.
‘Hawezi kukurupuka kwangu huyu fala’
Mrs Sanga alizungumza huku akishushia kipande cha nyama anacho kitafununa kwa fumba zito la wyne. Ujumebe mfupi ukaingia whatsapp, akaufungua na kukuta video kutoka kwa mume wake. Akaifungua video hiyo. Macho yakamtoka, mapigo ya moyo yakaanza kumuenda kasi sana. Pombe iliyo kuwa imesha anza kukitawala kichwa chake, yote ikakata. Video ya ngono, inayo muonyesha yeye na Tomas wakifanya mapenzi ofisini kwa mume wake, ndio hiyo aliyo tumiwa na mume wake. Ukaingia ujumbe mwengine wa meseji kutoka kwa mume wake kupitia whatsapp.
‘ENDAPO UTARUDI KUTEMBEA NA HUYO PAKA WAKO. NITAISAMBAZA HII VIDEO NA TUONE MIMI NA WEWE NANI NI ZAIDI YAKO.’
Mrs Sanga mikono yote ikazidi kumtetemeka kwa woga. Hakuna kitu kibaya kwa watu wanao jiheshimu na kujulikana kama matendo yao ya ajabu ambayo watu wa kawaida hawawezi kuyajua, pale yanapo kuwa wazi hadharani na kujulikana na kila mtu.
Mume wangu’
Mrs Sanga akatuma ujumbe huo wa meseji huku akijifuta jasho. Tiki mbili za blue zikamdhibitishia kwamba huo ujumbe umesha somwa na mume wake. Nabii Sanga akajibu ujumbe huo kwa vikatuni viwili vilivyo tumbua macho.
‘Kumbuka wewe ni Mume wangu. Nime pata wivu mara baada ya kusikia una tembea na Magreth na tena umemunulia nyumba na kumfungulia mgahawa. Shetani alinipitia na nikapanga kukuteka ili usimnunulie nyumba binti huyo. Kumbuka ni wapi tulipo toka mume wangu. Pesa hizi ambazo leo tuna zichezea, kumbuka ni mambo mangapi ambayo tumeyafanya ili kuzipata. Hembu acha kuzitawanya ki hivyo.’
Mrs Sanga aliandika ujumbe huo huku machozi yakimlenge lenga usoni mwake. Ujanja wake wote wa kutunisha msuli mbele ya mume wake ume kwisha.
‘Kumbuka tuna watoto. JONSON, JACKSON na JULIETHI. Wote hao wanatarajia urithi bora kutoka kwa sisi wazazi wao. Tusigawe mali zetu mume wangu’
Mrs Sanga alizidi kutuma ujumbe wa meseji kwa mume wake huku akiwa mpole ili kuzuia maamuzi ya mume wake juu ya kuisambaza video hiyo. Kwani video hiyo ina muonyesha jinsi anavyo liwa mkund** na Tomas.
‘Leo ndio una kumbuka una watoto wanao kutegemea eheee?’
‘Hapana nina wakumbuka kila siku mume wangu.’
‘Sasa mimi nimekuambia. Wewe fungua bakuli lako uone kama hizi video kama hazito wafikia hadi wanao. Siku zote kumbe una toa mkund** kwa wanaume wa nje, mimi mumeo hata kidole sijawahi kukuingiza khaaaa!! Inatia kinyaa kwa kweli’
Meseji hiyo ya nabii Sanga ikamfanya Mrs Sanga kushusha pumzi huku akitafakari nini cha kumjibu mume wake huyo.
‘Ila baba Jonson kumbuka hata wewe uli mfir** yule kijana wa Nigeria. Mbona nilikusamehe na kukuahidi kukutunzia siri?’
‘Nimefanya yote yale ili kudumisha huduma yangu. Unahisii bila kufanya hivyo leo tungekuwa na makanisa Tanzania nzima?’
‘Sawa mume wangu. Niambie upo wapi nije tuyazungumze haya?’
Mrs Sanga alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake. Kiburi na jeuri yote ime potea.
‘Rudisha kwato zako nyumbani uta nikuta’
‘Sawa mume wangu nakuja’
Mrs Sanga, akafungua pochi yake na kuweka kiasi cha pesa anacho daiwa kwa huduma ya chakula na vinywaji aliyo patiwa. Akanayanyuka kwa haraka na kurudi chumbani kwake. Akabadilisha nguo na kuvua baibui hilo kisha, akakushanya kila kilicho cha kwake na kuianza safari ya kurudi jijini Dar salaam huku akiwazia endapo video hiyo aliyo nayo mume wake, ikisambaa duniani kote, sura yake ata iweka wapi kama mke wa nabii Mkubwa sana kutoka nchini Tanzania.
***
“Baby mbona nakuuliza swali, hunijibu mume wangu. Niambie ni nini kinacho endelea?”
Magreth alizungumza kwa sauti ya upole huku akimtazama nabii Sanga aliye kaa kwenye sofa ndani ya chumba hicho.
“Simu yako ipo wapi?”
“Ahaa ipo pale”
“Naiomba”
Magreth akaichukua simu yake na kumkabidhi nabii Sanga.
“Ile video umeiweka wapi?”
“Eneo la kamera”
Nabii Sanga akatafuta video hiyo kisha akaifuta na kumrudishia Magreth simu yake.
“Sihitaji hiyo video iendelee kudumu kwenye simu yako”
“Sawa mume wangu, nimekuelewa”
“Niandalie suruali yangu nahitaji kwenda nyumbani sasa”
“Kwenda nyumbani!!? Kwa nini ikiwa uliniahidi kwamba tuta lala pamoja hadi asubuhi”
“Magreth fanya nilivyo kuambia nahitaji kwenda nyumba sasa hivi. Akili yangu haipo sawa”
Magreth hakuwa na ujanja zaidi ya kukubaliana na nabii Sanga. Akamuandalia nguo zake huku nabii Sanga akimpigia dereva wa kanisa lake na kumuhitaji amfwate eneo hilo la Kigamboni. Nabii Sanga akaingia bafuni na kuanza kuoga na kumuacha Magreth akiwa na maswali mengi sana. Magreth akaitazama simu ya nabii Sanga kwa sekunde kadhaa. Wivu wa mapenzi, ukamfanya aichukue simu hiyo na kuanza kupitia meseji moja baada ya nyingine ambazo amekuta akichati na mke wake. Meseji hizo zikamugopesha sana Magreth mara baada ya kusoma meseji ya mrs Sanga, anayo lalama kuhusiana na siri ya nabii Sanga ya kumfir** kijana wa Nigeria huku nabii Sanga akisisitiza kwamba amefanya hivyo ili kuisimamisha huduma yao.
‘Huduma gani? Au kanisa?”
Magreth alizungumza huku akiirudisha simu hiyo sehemu alipo itoa huku mapigo yake moyo yakimdunda kwa woga.
‘Kumbe huyu ana tumia njia ambazo si za Mungu kuvuta waumini eheeee? Hapana bwana ana upako haya mambo yatakuwa ni ya kwao wenyewe”
Magreth alizungumza mwenyewe huku akijitahidi kuyazuia mapigo yake ya mbio yasiende spidi kwa kuhisi vitu ambavyo hana uhakika navyo. Nabii Sanga akatoka chumbani, akajifuta maji mwili mzima kisha akavaa nguo zake huku akimpigia tena dereva na kumuomba aharakishe kuja kumchukua, pasipo kujua kwamba Magreth amesoma meseji zote katika simu yake.
***
Baada ya dakika arobaini na tano. Tomas akazinduka, kutoka kwenye hali ya kupoteza fahamu. Hii yote ni kutokana na hali ya mvua iliyo anza kunyesha maeneo hayo kwa kasi sana. Akajifungua kitambaa usoni mwake na kutazama eneo hilo. Kutokana na giza na mvua inayo endelea kunyesha hakuweza kuligundua eneo hili kwa haraka sana. Akatoka kwenye mtaro huo huku akiendelea kuvuta kumbukumbu zake ni wapi alipo. Mwanga mkali wa gari linalo kuja kwa kasi barabarani, likamfanya Tomas, apunge mkono ili kuomba msaada hata wa kuuliza kwama hapo alipo achwa ni wapi. Ila gari hiyo ndogo ikapita kwa spidi na kutokomea kwenye upeo wa macho wa Tomasa. Tomas akaanza kuifwata barabara hiyo ya lami huku akikisia kwamba anapo elekea itakuwa ni jijini Dar es Salaam. Akasikia mlio wa gari unao kuja nyuma yake. Akageuka na kupunga mkono na gari hilo likaanza kupungumza mwendo na kadri jinsi linavyo zidi kumsogelea ndivyo jinsi aliyo fahamu kwani namba za usajili za gari hilo ni mali ya Mrs Sanga, mwana mama aliye muharibia maisha yake matamu ya uhuru na kumfanya sasa aanze kuishi kwenye maisha mabaya ya kupoteza uhuru ndani ya nchi yake. Huku onyo na agizo la kuondoka nchini Tanzania kabla ya kukamatwa na polisi likijirudia kichwani mwake.
SEHEMU YA 8
Gari hilo likasimama mbele yake kidogo na kumfanya Tomas kusimama huku akiwa na mashaka kiasi moyoni mwake, kwani hisia za kumuona nabii Sanga akiwa na mke wake zime mtawala kichwani mwake. Mlango wa gari hilo ukafunguliwa, Tomas hakuamini alipo muona Mrs Sanga akaishuka kwenye gari hilo. Hakujali mvua inayo nyesha ila Mrs Sanga akamkimbilia Tomas na kumkumbatia kwa nguvu huku akimpiga mabusu mfululizo ya usoni mwake.
“Jamani pole mpenzi wangu, mbona ume chafuka hivi?”
Mrs Sanga alizungumza huku akiwa ameshau kwamba hadi hapo alipo, yupo kwenye kikaangio cha mume wake na ameahidiwa na mume wake akianzisha tena mahusiano na Tomas basi video yake ya ngono ina kwenda kuwekwa mtandaoni.
“Upo na nani kwenye gari?”
“Peke yangu hembu tuondoke eneo hili mume wangu”
“Una taka twende wapi?”
“Nikupeleke sehemu yoyote ambayo uta ihitaji”
“Nahitaji kuondoka nchini Tanzania usiku huu huu. Nataka kwenda Aftika kusini kwa mke wangu”
Tomas alizungumza kwa msisitizo huku akimtazama Mrs Sanga usoni mwake.
“Afrika kusini kwa mke wako.Tomas mbona hukuwahi kuniambia kwamba una mke Afrika kusini”
“Vitu vingine sio muhimu kwa wewe kuweza kufahamu. Ila kumbuka kwamba nina omdoka kwa ajili ya wewe. Nimepewa nafasi moja ya kuishi hapa duniani ni kuondoka. Sitaki tena mahusiano na wewe. Kama utaweza kunisaidia basi nisaidie ila kama huto weza kunisaidia sawa usinisaidie, ila nitajua nini cha kufanya”
Tomas alizungumza kwa msisitizo na kumfanya Mrs Sanga kukaa kimya huku akiitafakari hali hiyo ya Tomas.
“Sawa ingia kwenye gari”
Mrs Sanga alizungumza na Tomas akafungua mlango wa siti za nyuma na kuingia.
“Kaa huku mbele”
“Mama sihitaji mapenzi na wewe. Nina mtoto mdogo na mke wangu wana nitegemea. Siwezi kufa kwa ajili yako. Kama una weza nisaidie kuondoka nchini ila kama huwezi, usinisaidie”
“Ila Tomas kukuambia kwamba ukae mbele si kwamba nina lengo baya”
“Lengo liwe zuri au baya ila nakuomba tafadhali tuondoke. Nipelekea nyumbani kwangu, nikachukue vilivyo muhimu niondoke”
“Sawa”
Mrs Sanga akwasha gari na kuianza safari ya kwenda nyumbani kwa Tomas. Ukimya wa dakika kadhaa ukatawala ndani ya gari huku Tomas maombi yake yote kwa Mungu ni kufanikiwa kuondoka Tnazania kabla ya kukamatwa tena na polisi.
“Tomas”
“Naam”
“Kwa hiyo ndio mimi na wewe basi?”
“Tena sio basi ya herufi ndogo ni BASI ya herufi kubwa mama. Sihitaji kabisa kufa. Leo bado nusu nife na keshi keshi nilizo pitia…..Ahahh hapana kwa kweli, siwezi kuwa mjinga tena”
“Ila Tomas hiyo uliyo pitia ni mikwara tu”
“Nyooo acha using** wewe mama. Nimepigwa shoti za umeme, nimewekewa bastola kichwani mwangu mara kadhaa. Nimeshuhudia rafiki zangu wakiuwawa kwa kupigwa risasi tena kikatili, sasa hivi una niambia mikwara. Acha ujinga bwana”
Tomas alizungumza kwa hasira huku machozi yakimlenga lenga usoni mwake. Mrs Sanga akakosa cha kuzungumza zaidi ya kuendelea kuvumilia maumivu ya kuachwa na mwanaume anaye mpenda. Wakafika nyumbani kwa Tomas.
“Baki hapa”
Tomas alizungumza huku akifungua mlango wa gari hilo.
“Kwa nini jamani. Au uniruhusu kuingia ndani?”
“Kama vipi wewe ondoka”
“Tomas, acha kuwa na hasira. Kumbuka kwamba haya tuliyo yafanya yote ni kutokana na upendo wetu”
“Nisikilize wewe mwanamke mpnede mume wako. Nakama hujui, mumeo ana video ya ngono niliyo kuwa nina kufir** mule ofisini kwake. Sasa wewe shangaa shangaa macho tu. Atakuua na wewe. Kwanza washa gari lako usepe una niwekea kiwingu”
Tomas akashuka na kuubamiza mlango wa gari la Mrs Sanga. Mrs Sanga hakuridhila kuachwa kwa namna hiyo na Tomas, akaingia kwenye geti la nyuma anayo ishi Tomas na kuanza kumuita. Tomas akatoa fungua kwenye maua yaliyo katika chungu maalumu, kilichopo hapo mlangoni mwake. Akafungua mlango wake huku akiwa hamsikilizi chochote mrs Sanga.
“Tomas kumbuka kwamba nina kupenda. Kumbuka kwamba nina kuhitaji sana kwneye maisha yangu. Sihitaji kukuacha, wewe ndio kila kitu kwenye maisha yangu. Una nikuna kila sehemu ya mwili wangu, una nikata kiu yangu ya mapenzi. Kwanini nikuache’
Mrs Sanga alizungumza huku akiwa ana angua kilio kizito sana.
“Hivi wewe mwanamke ume rogwa ehee?”
“Ndio Tomas, umeniroga na penzi lako. Umeniroga baba, sisikii wala sisemi chochote. Ume niroga baba”
Mrs Sanga alizungumza huku akiishika miguu ya Tomas aliye simama huku akimtazama kwa macho ya hasira. Tomas ana tamani hata achukue kiti kizito na kumponda mwanamke huyo kichwani mwake.
“Tomas, nipe, nipe vya mwisho mwisho. Nitakupa chochote utakacho taka. Tafadhali Tomas”
Tomas akashusha pumzi nzito, kwani hakuwahi kutegemea kwamba ipo siku mwana mama huyo ata kuwa ni king’ang’anizi namna hiyo.
***
“Baby ni lini uta kuja tena?”
Magreth alimuuliza nabii Sanga kwa sauti ya upole huku akimtazama usoni mwake. Nabii Sanga hakujibu chochote zaidi ya kuendelea kuminya minya simu yake.
“Sanga si nimekuuliza jamani”
“Mage sijui lini nitakuja. Kichwa changu hakipo sawa. Tafadhali nina kuomba uniache kwa muda”
“Nikuache kwa muda, au kwa sababu una kwenda kukutana na mke wako si ndio. Umeniacha na nyege kitandani kisa mke wako si ndio. Nini maana ya upendo wako ulio kuwa una niahidi au ulitaka kunivunja tu usichana wangu ili unichezee si ndio?”
Magreth alizungumza kwa hasira iliyo chananyikana na wivu.
“Usifike huko Magreth tambua kwamba nakupenda ndio maana nimefanya kila kitu kwa ajili yako”
“Kila kitu kwa ajili yangu. Okay rudi kitandani uendelee kuni tomb**”
“Mage kuna maswala yametoke ya kifamilia nina takiwa kuyaweka sawa. Ninakuomba unielewe basi mke wangu”
“Ahaa….una hofia mke wako kukutolea siri za kumfir** sijui huyo kijana wa kinigeria?”
Nabii Sanga moyo ukamstuka sana. Hakuamini kama Magreth ana weza kugundua swala hilo. Kabla nabii Sanga hajazungumza kitu chochote, simu yake ikaita, akaitazama na kukuta ni dereva wake. Akaipokea na kuiweka sikioni mwake.
“Ndio”
“Nimefika hapa nje”
Nabii Sanga akakata simu na kuuzungusha mkono wake mmoja akiunoni mwa Magreth.
“Nisikilize Mage. Haya aaliyo yazungumza huyu mwanamke hayana ukweli wowote ndani yake. Usimsikilize kwa maana ame changanyikiwa”
“Kwa hiyo una niachaje mimi?”
“Kivipi?”
“Mimi nina nyeg** bado”
“Mage nakuahidi kesho asubuhi nitakuja kabla hata sijafanya jambo lolote”
“Una nidanyanya”
“Kweli nina kuja”
“Poa”
Magreth alijibu kishingo upande, taratibu nabii Sanga akambusu Magreth mdomoni kisha akatoka ndani humo. Akatoka kabisa getini na kuingia kwenye gari la kanisa.
“Shikamo mzee”
“Marahaba. Ngoja kwanza”
Nabii Sanga alizungumza huku akiendelea kuitafuta simu ya mke wake kwa kutumia GPRS. Haikuchukua muda mrefu sana akafanikiwa kuiona ni sehemu gani simu ya mke wake inapo patikana. Jambo lililo mstusha sana ni kwamba eneo hilo alipo mke wake kwa sasa ndio maeneo ya mtaa anao ishi Tomas. Nabii Sanga hakuhitaji kupoteza muda zaidi ya kumueleza dereva wake waelekee nyumbani kwa Tomas.
Magreth mara baada ya kumshuhudia nabii Sanga akiondoka, akaingia bafuni na kuoga kwa haraka huku saa yake ya ukutani ikionyesha majira hayo ni saa sita usiku.
‘Wata kubali tu’
Magreth alizungumza huku akimalizia kuoga. Akarudi chumbani kwake na kuvaa nguo aliyo iona ina mpendeza. Akampigia Sheby simu na kumuomba aweze kufika nyumbani kwake hapo haraka iwezekanavyo.
‘Pesa itasaidia kufanikisha ninalo kwenda kulifanya’
Magreth alizungumza huku akichukua kiasi cha pesa na kuingiza kwenye wallet yake ya kike. Sheby akafika nyumbani hapo na Magreth akaingia kwenye gari na kuondoka eneo hilo.
“Usiku huu kweli pale Mwanyamala wana weza kuturuhusu kuingia?”
“Ndio”
“Kwani kuna madokta ambao una fahamiana naye?”
“Hapana ila twende”
Baada ya nusu saa sakafika katika hospitali ya Mwanayamala. Kitu alicho kifanya Magreth ni kutoa kiasi cha pesa kila sehemu ambayo walipewa kizuizi cha kuingia.
“Sheby nisubiri hapa ndani ya gari.”
“Sawa”
Magreth akashuka ndani ya gari hilo na moja kwa moja akaelekea katika chumba alicho lazwa Evans Shika. Kwabahati nzuri akamkuta akiwa bado hajalala.
“Mage mbona usiku sana vipi?”
“Nimekuja kukuona, nimeshindwa kulala Evans”
Magreth alizungumza huku akiufunga mlango wa chumba hicho kwa ndani. Kwa jinsi nyeg** zilivyo utawala mwili wake, Magreth alishindwa kabisa kujizuia. Akamsogelea Evans kitandani alipo lala.
“Evans nina kupenda. Nimeshindwa kuvumilia, nimeshindwa kabisa kulala kwa ajili yako. Nakupenda sana”
Magreth alizungumza huku akivua gauni lake hilo alilo livaa. Akabakiwa na chupi pekee huku kifuani mwake, maziwa yake yaliyo kaa vizuri yakimtamanisha Evans ambaye kwenye kipindi chote cha maisha yake hakuwahi kukutana na mwanamke kimwili. Magreth akauingiza mkono wake wa kulia katika suruali hiyo ya Evans ambayo amekabidhiwa na madaktari kwa maana haimbani mwili wake. Akamtoa jogoo wa Evans ambaye ana urefu wa inch nane huku akiwa na unene uliyo jitosheleza. Magreth macho ya uchu wa ngono ukamjaa, akamshika vizuri joo huyo na kuanza kumnyonya taratibu pasipo kujali kama Evans ni mgojwa anaye karibia kupona haraka.
***
“Toms tafadhali mume wangu, naomba tafadhali”
Mrs Sanga alizungumza huku akimshika Tomas eneo la jogoo wake. Hisia kali alizo nazo Tomas kwa mrs Sanga, zikaifanya hasira yake kuanza kumyayuka tartaibu. Mrs Sanga akafungua zipu ya suruali ya Tomas na kumtoa jogoo wa Tomas aliye simama dede. Akaanza kumnyonya taratibu huku akisahau kabisa safari ya kuelekea nyumbani kwake.
“Ohoo…a.iiisii….iiiaa…..”
Tomas alitoa minguno ya kimapenzi huku akimshika mrs Sanga kichwani mwake. Akaanza kumsokomeza kwa nguvu jogoo wake huyo mdomoni mwa mrs Sanga hadi akamfanya mwana mama huyo kutoa sauti iliyo jaa mikwaruzo huku mate mengi yakimwagika mdomoni mwake.
“Ahaa…”
Mrs Sanga alitoa mguno wa furaha, huku akirudia zoezi hilo tena la kumsokomeza jogoo wa Tomas hadi akakaribia kuingia kooni mwake.
“Khaaa…..arghh……”
Mrs Sanga alilalama, taratibu akasimama na wakaanza kunyonyana midomo yao huku wakizama kwenye dimbwi kubwa la mapenzi. Tomas akamsukumia Mrs Sanga kwenye sofa huku akizivua nguo zake haraka haraka. Mwanga wa mbalamwezi unao ingia kupitia dirisha kubwa la hapo sebeleni, ukawawezesha Mrs Sanga na Tomas kuonana vizuri sana pasipo wao kuwasha taa chumbani humo.
Mrs Sanga akavua nguo zake huku Tomas akikamilisha kumvua Mrs Sanga chupi yake, akaipanua miguu ya mwana mama huyo na kuanza kumpa penzi zito mwana mama huyo kiasi cha kumfanya mwana mama huyo kushindwa kabisa kujizuia sauti yake na kuanza kutoa vilio vya burudani.
“Hembu simama hapa”
Nabii Sanga alimuambia dereva wake mara baada ya kuona gari la mke wake nje ya geti la nyumba ya Tomas. Hasira ikaanza kumtafuna nabii Sanga, huku mapigo ya moyo yakimuenda kasi sana.
“Usishuke kwenye gari na zima taa za gari”
“Sawa mzee”
Nabii Sanga akashuka kwenye gari huku akianza kutembea kwa hatua za tahadhari hadi sehemu lilipo gari la mke wake. Akachungulia katka kioo cha nyuma na hakuweza kumuona mtu yoyote. Akajaribu kufungua mlango wa dereva na akaukuta wazi. Akafungua na kutazama ndani na kukuta funguo ya gari ikiwa ina ning’inia eneo hilo. Nabii Sanga akaachia msunyo mzito huku akichomoa funguo hiyo, akafunga mlango wa gari hilo huku akiwa amejawa na wasiwasi mwingi sana.
Akalitazama geti dogo la nyumba ya Tomas, kisha akaanza kutembea kuelekea kwenye geti hilo. Akajaribu kulisukuma kwa ndani na kwa bahati nzuri likafanikiwa kufunguka. Akatazama nyumba hiyo na kukuta taa zote zikiwa zime zimwa. Akaanza kutembea kwa hatua za kunyata kuelekea katika mlango wa kuingilia ndani kabisa ya nyumba hiyo. Vilio na miguno ya kimahaba, vikamafanya nabii Sanga kujawa na hasira kwani ana vitambua vilio vya mke wake. Amlango wa kuingilia sebleni hapo, upo wazi kidogo, hivyo ikamuwia uraisi kwa nabii Sanga kuingia pasipo Tomas na mrs Sanga kuweza kujua chochote. Nabii Sanga akahisi moyo wake ukilipuka kwa mapigo ya moyo yatokanayo na hasira. Hakuamini kabisa kumuona mke wake akiwa amekunjwa vibaya kwenye sofa moja la sebleni hapo, huku Tomas akizungusha kiuno chake kwa kasi sana. Nabii Sanga akaupeleka mkono wake ukutani na kuminya swichi ya taa za sebleni hapo na zote zikawaka na kuwafanya Tomas na Mrs Sanga kustuka sana huku wakitazamana na nabii Sanga aliye simama mlangoni hapo huku akiwa amefura kwa hasira kiasi cha kushindwa hata ajue awafanye nini wasaliti wake hao.
Mrs Sanga na Tomas wakajikuta wakikaa kwenye sofa hilo miili yao ikizidi kutetemeka kwa woga. Nabii Sanga, akaangaza macho yake sebleni hapo, ili aweze kupata kitu cha kuwaadhibu Tomas na mke wake ila akakosa kitu cha maana. Nabii Sanga akafunga mlango wa kutokea ndani humo huku akikunja mikono ya shati lake ambayo ni mirefu. Hapakuwa na hata mmoja wao aliye weza kusimama ili kukimbia.
“Endeleeni”
Nabii Sanga alizungumza huku akiwakazia macho. Akaitazama meza ya chakula iliyopo karibu na sebleni hapo, kwa bahati nzuri akaona kisu. Akakifwata na kukichukua huku macho yake yakiwa makini sana kwa Tomas na mke wake.
“Endeleeni”
Nabii Sanga alizungumza huku akikaa akiwasogelea karibu. Tomas hakika hakuweza hata kusimamisha jogoo wake, kwani hali ya hofu ime mtawala sana mwilini mwake.
“Nimesema endeleeni muna nitumbuliaa nini macho”
Nabii Sanga alifoka, huku akimpiga Tomas mgongoni mwake kwa kutumia ubapa wa kisu hicho kikubwa kiasi. Nabii Sanga akatoa simu yake mfukoni na kuweka sehemu ya video na kuanza kurekodi kitu kinacho endelea eneo hilo.
“Mnyonyo denda huyo”
Nabii Sanga alizungumza huku akikisukumiza kichwa cha Tomas karibu na kichwa cha mke wake.
“Mu…m….mmu…m….”
Mrs Sanga alitamani kuzungumza jambo, ila maneno yakashindwa kumtoka kabisa kinywani mwake. Nabii Sanga akamtandika Tomas kofi zito la mgongo na kumfanya Tomas aweweseke na kuanza kumnyonya mrs Sanga lipsi zeke huku wote wawili wakiendelea kutetemeka kwa woga.
“Mnyonye vizuri, una tetemeka nini?”
Nabii Sanga alifoka huku akimpiga tena Tomas ngumi ya mgongo.
“Na wewe malaya mzee changamka”
Nabii Sanga alimuambia mke wake ambaye amelegea kabisa kwa woga.
“Yaani usipo simamisha mbo** yako itasimama yangu na nita kufir** leo”
Nabii Sanga alizungumza huku jasho likimvuja mwili mzima. Tomas, kila alivyo jaribu kuvuta hisia zake ili jogoo wake aweze kusimama ila ina shindikana jambo lililo zidi kumpa hofu na woga wa kuingiliwa kinyume na maumbile.
“Wewe malaya mnyonye mseng** mwenzako”
Mrs Sanga taratibu akamshika jogoo wa Tomas na kuanza kumnyona huku naye akitamani dunia ipasuke na immeze. Nabii Sanga hakika hakuwa na masiraha hata kidogo. Mrs toka aolewe hakuwahi kumuona mume wake akiwa ame kasirika kwa kiasi hicho, kwani hadi mcho yake ambayo siku zote yametawalia na weupe, ila leo yamekuwa mekundu mithili ya mvuta bangi aliye bobea katika kilevi hicho.
Mrs Sanga akajitahidi kadri ya uwezo wake kuhakikisha kwamba ana mnyonya jogoo wa Tomas ili asimame ila anashindwa kabisa.
“Yaani asipo simama ndani ya dakika tano nina kufir** na wewe”
Maneno hayo ya nabii Sanga yakazidi kumuogopesha Tomas na mrs Sanga ambao miili yao ina vujwa na jasho la woga. Kila kinacho endelea nabii Sanga ana kirekodi vizuri sana. Hadi dakika tano zina malizika hapakuwa na majibu mazuri kwa Tomas.
Nabii Sanga alipo ona hakuna chochote kinacho endelea kwa Tomas, akaihifadhi video hiyo anayo irekodi katika simu yake, kisha akairudisha simu yake mfukoni. Akachukua shati la Tomas na kumfunga kikono yake kwa nyuma, huku mrs Sanga muda wote huo amejibanza kwenye sofa huku akilia kwa woga sana.
“Nyinyi huwa muna wafanya watu wanao mtumikia Mungu ni malaika wasio na hasira. Hata mimi nina unyama ndani yangu. Sasa acha leo nikuonyeshe mbwa wewe”
Nabii Sanga alizungumza huku akimtandika mangumi ya mbavu Tomas ambaye muda wote anatetemeka. Tomas ubavu wa kujinasua mikononi mwa nabii Sanga kama mwanaume, wote umemuishia. Nabii Sanga akamuinamisha kinguvu Tomas anaye jaribu kukurupuka, ila ana shindwa. Nguvu alizio jaliwa nabii Sanga hakika zikawa ni kigezo kikubwa cha kumshinda Tomas aliye jikuta akibong’oleshwa. Nabii Sanga akafungua suruali yake na kumtoa jogoo wake aliye simama tayari.
“Sasa leo nina mfir** huyu mbwa wako ili ujue kwamba mimi ni shetani”
Nabii Sanga alizungumza huku akimpaka paka mate jogoo wake. Alicho kizamiria nabii Sanga ndicho alicho kifanya, japo Tomas alitoa ukelele wa maumivu makali sana, ila nabii Sanga hakulijali hilo zaidi ya kuzidi kumgandamiza jogoo wake katika mkund** wa Tomas.
“Si una ona raha kufir** wake za watu leo ni zamu yako”
Nabii Sanga alizunugmza huku akizidi kuongeza kasi ya kumshuhulikia Tomas anaye lia kwa uchugu sana hadi akamfanya mrs Sanga kujisikia ni mwenye hatia ya kuyaharibu maisha ya kijana huyo. Nabii Sanga akatumia dakika ishirini kufika kileleni na kumchomoa jogoo wake huyo aliye mshuhulikia kisawa sawa Tomas.
“Nilikupa onyo la kuondoka nchini Tanzania, ila hujalitii sasa, ikifika alfajiri na nikakuona hapa Tanzania nina kuua”
Nabii Sanga alizungumza huku akijifuta jogoo wake kwa kutumia suruali ya Tomas kisha akamrushia usoni mwake.
“Wewe malaya vaa nguo tuondoke. Utakwenda kunijubu vizuri nyumbani”
Mrs Sanga akakosa hata nguvu za kusimama. Nabii Sanga akamsogelea mke wake, akamzaba makofi mawili ya mashavuni na kumfanya mwana mama huyo kusimama huku akitetemeka. Mrs Sanga akaanza kuvaa nguo zake taratibu. Alipo maliza, kwa ishara nabii Sanga akamuamrisha mke wake kumfungua Tomas shati hilo alilo mfunga mikono kwa nyuma.
“Ni onyo la mwisho. Endapo nitakuona hapa Tanzania kwa mara nyingie nitakuua”
Nabii Sanga alizungumza huku akimnyooshea Tomas alicho kishika mkononi mwake. Mara baada ya kuzungumza hivyo akamshika mkono mke wake. Akafungua mlango na kutoka nje. Dereva alipo muona nabii Sanga na mke wake wanatoka getini akawasha geri na kuwafwata walipo.
“July wewe nenda nyumbani. Nitaondoka na gari la mama hapa”
Nabii Sanga alizungumza huku uso wake ukiwa umejaa tabasamu pana sana ili kumfanya dereva wake asielewe ni nini kinacho endelea.
“Sawa baba nikutakie usiku mwema”
“Na wewe pia”
July akawasha gari na kuondoka eneo hilo. Nabii Sanga akamfungulia mke wake mlango na kumuingiza ndani, kisha na yeye akazunguka upande wa dereva na kuingia. Akawasha gari na kuondoka eneo hilo kwa mwendo wa kasi sana.
Tomas kwa unyonge akanyanyuka kwenye sofa hilo huku maeneo aliyo ingiliwa yakiwa yamejawa na maumivu makali sana. Akaelekea moja kwa moja bafuni kwake, akaanza kujisafisha huku akiwa katika hali ya wasiwasi na maumivu ya moyo. Chuki dhidi ya Mrs Sanga na nabii Sanga ikaanza kuutawala moyo wake, akatamani kujiua ila moyoni mwake, kila anapo kumbuka familia yake akajikuta aki hairisha mawazo hayo mabaya.
‘Lazima nilipe kwa hili. Nitahakikisha nina lipa’
Tomas aliapa kimoyo moyo huku akiweka nguo zake katika begi la mgongoni kwa ajili ya safari ya kuelekea Afrika kusini.
***
“Ohoo…iaa…aiiia…..Mage……”
Evans alitoa miguno ya kimahaba, huku akisikilizia ulimi wa Magreth jinsi unavyo cheza katika jogoo wake aliye simama dede. Magreth taratibu akapanda kitandani hapo. Akamshika jogoo wa Evans na kumkalia taratibu huku akisikilizia utamu anao upata kwa mwanaume huyo anaye mpenda toka siku alipo weza muona.
“Taratibu utani…tonesh….a kidonda”
Evans alizungumza huku akimtazama Magreth aliye pagawa na jogoo huyo.
“Haya”
Magreth alizungumza huku akikizungusha kiuno chake huku makalio yake makubwa yakigonga gonga katika mapaja ya Tomas. Kukaa kwa muda mrefu bila ya kuto kufanya mapenzi, kumafanya Evans asichukue muda mrefu sana na kujikuta akiwafyatua waarabu weupe ndani ya kitumbua cha Magreth.
“Umekojoa!!?”
Magreth alizungumza huku akihema kwani utamu ndio kwanza kwake ume kolea.
“Eheee”
“Ngoja kidogo”
Magreth akaongeza spidi ya kukizungusha kiuno na ndani ya muda mfupi na yeye akajikuta akifika kileleni na kumfanya mwili mzima kumtetemeka kwa utamu anao uhisi.
“Ohoo asante sana Evans. Wewe ndio mwanaume wa maisha yangu”
Magreth alizungumza huku akiendelea kusikilizia jinsi waarabu weupe wa Tomas wanavyo mshambulia ndani ya kitumbua chake. Taratibu Magreth akashuka kitandani hapo, akamsafisha vizuri jogoo wa Evans kisha na yeye akajisafisha vizuri kwa tenge aliko kuwa amejifunga kiunoni mwake. Magreth akaipandisha suruali ya Evans kisha na yeye akivaa nguo zake huku kila mmoja akiwa na aibu kwani hapakuwa na hata mmoja wao aliye wahi kuzungumzia juu ya hisia zake kwa mwenzake.
“Kwa nini ime kuwa hivi?”
Evans aliuliza huku akimtazama Magreth usoni mwake.
“Eehee!!”
“Kwa nini umeamua kunipa kitu ambacho sijawahi kupewa na mwanamke wa aina yoyote katika maisha yangu?”
“Kweli hujawahi kupewa penzi na mwanamke yoyote?”
“Ndio, wewe ndio mwanamke wa kwanza kunipa penzi. Miaka yote nimekuwa nikiishi kwa kujichua tu ili kuipunguza hamu yangu”
“Jamani, usijali nitakuwa nina kupa kila mara utakapo hitaji”
“Mage”
“Bee”
“Una nipenda?”
“Ndio, nina kupenda sana Evans. Kwenye maisha yangu sijawhai kumpenda mwanaume wa ina yoyote zaidi yako wewe”
“Kweli?”
“Ndio, nina kupenda. Natambua ni jambo gumu sana kwa mwanamke kumuambia mwanaume kwamba ana mpenda ikiwa ndio mara yao ya kwanza. Ila nimejizuia nimeshindwa Evans nakuomba uweze kunielewa katika hio”
“Magreth nimekuelewa na hata mimi nina kupenda. Nitahakikisha kwamba nina kulinda maisha yangu yote na nitakutunza. Hii elimu ya biashara niliyo isomea, hakika ita tusaidia kukuza biashara ya maandazi uliyo nayo”
Magreth akajikuta akimkumbatia kwa nguvu Evans hadi kwa bahati mbaya aka muumiza eneo la jera.
“Ohoo pole mpenzi wangu”
“Nimepoa nakupenda sana Magreth”
“Nina kupenda pia Evans wangu”
Magreth taratibu akazisogeza lipsi zake hadi katika lipsi za Evans na wakaanza kunyonyana ndimi zao huku wakiwa katika hisia kali sana na mapenzi.
***
Nabii Sanga na mke wake wakafika nyumbani kwao. Mara baada ya nabii Sanga kusimamisha gari hilo, akashuka na kumfungulia mke wake mlango.
“Shuka”
Nabii Sanga alizungumza kwa sauti nzito iliyo jaa hasira na uchungu mkali sana. Mrs Sanga kwa woga akashuka huku akiuatazama macho hayo ya mumewe yanayo dhihirisha kwamba leo hali sio nzuri. Nabii Sanga kwa upendo wa kuwadanganya walinzi wake. Akamshika mkono mke wake na wakaingia ndani na hapakuwa na mlinzi wa aina yoyote ambaye aliweza kutambua kwamba watu hao wapo katika uhasama mkali sana. Nabii Sanga na mke wake wakaingia chumbani, kitendo cha nabii Sanga kufunga mlango wa chumba hicho, akachomoa mkanda wa suruali yake na kuanza kumcharaza mke wake mikanda mfululizo huku kwa mara kadhaa akimziba mdomo wake ili asitoe kelele yoyote ya kuomba msaada.
“Nina kupa kila kitu, ila una kwenda kufanya ujinga kwa yule kijana sasa leo utanitambua”
Nabi Sanga alizungumza huku akiendelea kupiga mke wake, kipigo ambacho toka waowane hakuwahi kumpiga mke wake. Nabii Sanga ili kelele zisitoke, chumbani humo, akamburuta mke wake hadi katika bafu lililopo chumbani kwao. Akaziba eneo linalo tolea maji katika sinki lao la kuogea. Akafungulia bomba na maji yakaanza kujaa katika sinki hilo.
“Leo utanijua mimi ni nani. Malaya mkubwa wewe”
“Mume wangu nakuomba unisamehee….Sinto rudia tena mimi”
Mrs Sanga alilia kwa uchungu sana, hakuwahi kupigwa hata kofi na mume wake huyo toka walipo fahamiana, ila leo ana chezea kipigo kikali sana. Nabii Sanga, akamshika mke wake kichwa chake na kumvuta karibu na sinki hilo lililo jaa maji. Akakidumbukiza kichwa cha mke wake na kumfanya aanze kutapatapa kwa kukosa pumzi.
“Leo nina kubatiza kwa jina la SANGA malaya wewe”
Nabii Sanga alizungumza huku akimchomoa mke wake na kumfanya akohoe sana kwa kupaliwa na maji.
“Utanisaliti eheee?”
“Hapana mume wangu, sinto rudia tena. Sinto kusaliti tena”
Nabii Sanga akaona maelezo hayo ya mke wake hayamtoshelezi. Akakidumbukiza tena kichwa hicho na kumfanya mrs Sanga azidi kutapatapa. Akakitoa kichwa cha mke wake na kumtazama tena.
“Uta nisaliti?”
Nabii Sanga aliuliza huku meno yake akiwa ameyang’ata kwa hasira hadi yakaanza kutoa mlio wa kusagana.
“Haki ya Mungu vile mume wangu. Sinto kusaliti. Nitakupenda hadi kufa kwangu, nisamehee, nisamehe mume wangu”
“Yaani ungekuwa si mama wawanangu leo hii ninge kuuaa mbwa wewe”
Nabii Sanga alizungumza huku akiiachia shingo ya mke wake kwani kwa kupigo hicho na kitendo alicho mfanyia Tomas, sidhani kama mrs Sanga ana weza kurudia usaliti wa ndoa yake iliyo unganishwa kanisani miaka mingi sana ya nyuma.
***
Askari anaye pitia kukagua waalifu katika mahabusu za kituo hicho cha polisi, akagundua kutoweka kwa Tomas katika sero aliyo kuwa amefungiwa peke yake. Kwa haraka akaanza kutoa taarifa kwa wezake walipo kituoni hapo na wao wakafika eneo hilo na kweli wakashuhudia kwamba Tomas hayupo.
“Eeeheee Mungu watu, hii imekula kwetu”
Askari mmoja alizungumza huku akijawa na wasiwasi kwani, kupotea kwa kijana huyo itakuwa ni shida kwa askari wote waliopo zamu. Wakawasiliana na RPC pamoja na IGP na kutoa taarifa hiyo ya kupotea kwa Tomas. Agizo la IGP kwa vijana wake walipo chini yake akiwemo RPC Karata ni kuhakikisha kwamba wana toa taarifa kwenye vituo vya usafiri vyote Tanzania ikiwemo Bandari zote, Airport zote, Vituo vyote vya mabasi, dalalada na mipaka yote ya jiji la Dar es Salaam inayo ruhusu mtu kutoka nje ya Dar es Salaam kufungwa. Huku mipaka yote ya Tanzania kufungwa na ulinzi mkali sana ukazidi kuimarishwa katika maeneo hayo. Picha ya Tomas, ikaanza kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii pamoja na vituo vya televishion huku vituo vya redio vikipewa sifa za Tomas na kuzitangaza usiku huo huo, ili hata ikitokea mtu kumuona jambazi huyo aweze kutoa taarifa kwa askari. Zawadi ya milioni kumi ikatengwa na jeshi la polisi na kwa yoyote atakaye fanikisha kukamatwa kwake basi ata pewa zawadi hiyo.
Defenders za Polisi, zikazidi kusambaa mitaani huku msako wa kumtafuta Tomas ukizidi kupamba moto. Hakuna aibu kubwa wanayo jisikia askari ni kumpoteza muhalifu tena katika makao makuu yao. Kwani kitendo hicho kitalitia dosari kubwa snaa jeshi la polisi mbele ya jamii wanayo ilinda.
Tomas baada ya kumaliza kuweka kila kitu chake ndani ya begi na kujianda. Akatoka sebleni, akazima taa za ndani humo huku akiwaza ni wapi aelekee. Mvua inayo endelea kunyesha nje na giza kidogo kuna mpa wasiwasi wa kutembeaa mtaani peke yake, kwani kwa sasa hana gari. Tomas akwasha tv yake, kitu kilicho mstua ni kukutana na picha yake inayo onyesha kwamba ana tafutwa na zawadi ya milioni kumi imetolewa kwa wananchi watakao fanikisha kukamatwa kwake.
“Ohoo Mungu wangu”
Tomas alihamaki huku akihaha. Akarudi chumbani kwake kwa haraka na kuchukua bagi lake la nguo na kulivaa mgongoni. Kiasi cha pesa pamoja na hati zote za kusafiria alizo nazo zipo ndani ya mfuko wa suruali yake ya jinzi aliyo ivaa. Akachukua simu yake ambayo kwa mara nyingi huwa haitumii na amesajilia laini hiyo kwa jina la rafiki yake. Tomas akarudi sebeli na kuzima tv. Akatoka nyumbani kwake hapo na kufunga geti, akaanza kutembea kwenye viwambaza vya giza giza huku akiwa makini sana kuhakikisha kwamba askari hawamkamati. Akafika karibu na eneo la nyumba ya rafiki yake aitwaye Steve. Akampigia na kwa bahati nzuri Steve akaipokea simu hiyo.
“Ni mimi”
Tomas alizungumza huku akiwa makini kuendelea kuanganza angaza eneo hilo alilo simama.
“Vipi hii ni namba yako Tom”
“Ndio kaka. Nipo karibu na kwako hapa nina hitaji msaada wako”
“Vipi kwema kaka?”
“Sio kwema sana. Naomba unisaidie kunifungulia”
“Poa acha niamke”
Tomas akakata simu na kutembea kwa ahraka hadi katika nyumba ya rafiki yake. Steve aka mfungulia rafiki yake huyo mlango na akaingia ndani.
“Vipi mbona na mabegi kaka usiku usiku huu, kuna tatizo gani?”
“Kaka kwana nashukuru kwa kunisaidia. Hapa nilipo mwenzako nina matatizo makubwa sana”
Steve akamtazama Tomas aliye lowana mwili mzima, kisha aka tazama saa yake ya ukutani na ina muonyesha ni saa tisa usiku.
“Ngoja nikuletee taulo, ujikaushe kaushe maji kaka”
Steve alizungumza huku akiingia chumbani kwake, akarudi sebeleni akiwa na taulo. Akampatia Tomas na akaanza kujifuta mwili mzima.
“Ehee kaka saa tisa hii na namba mpya kanisa ume tumia. Hembu niambie ni nini kinacho endelea?”
“Kaka yule mama amenisababishia matatizo makubwa sana”
“Mrs Sanga?”
“Ndio mwanangu?”
“Matatizo gani ndugu yangu”
Tomas akaanza kumuadithia rafiki yake jambo moja baada ya jengine. Ila jambo la kuingiliwa kinyume na maumbile alilo fanyiwa na nabii Sanga alilificha na kuifanya iwe siri yake.
“Daa kaka pole sana. Sasa una ondokaje Dar na Tanzania kwa ujumla?”
“Yaani ndugu yangu hapa hata sieweli. Nahisi kuchanganyikiwa”
“Wewe ni ndugu yangu na tumesaidia kwenye mambo mengi sana. Kaa hapa kwangu kwa usiku huu hadi kuki pambazuka basi tuta kuwa tume pata njia ya kukutoa nje ya Dar na pia utatoka nje ya nchi hii”
“Sawa ndugu yangu nina shukuru sana kwa msaada wako”
“Usijali kaka. Chumba cha wageni kipo wazi una weza kukaribia”
Steve alizungumza huku akimuonyesha Tomas chumba hicho na akaingia ndani humo huku Steve naye akiingia chumbani kwake na kuendelea kulala.
***
Hadi kuna pambazuka alfajiri, mrs Sanga bado yupo bafuni na an alia kwa uchugu sana. Kipigo alicho kipata kime mvimbisha baadhi ya maeneo katika mwili wake. Taratibu akanyanyuka huku akichechemea, akarudi chumbani kwake na kumkuta mume wake akiwa ame lala usingizi fofofo kitandani. Mrs Sanga taratibu akavua nguo zake na kubaki kama alivyo zaliwa. Akasimama mbele ya kioo kikubwa kilichopo ndani humo na kutazama majeraha aliyo yapata kisha taratibu akapanda kitandani huku akiendelea kutafakari ukatili alio ufanya mume wake usiku.
“Baba Julieth”
Mrs Sanga aliita kwa sauti ya upole huku akimgusa begani mume wake.
“Nini?”
“Tuna weza kuzungumza?”
Nabii Sanga akageuka kwa haraka na kumtazama mke wake. Akakutana na sura ya mke wake iliyo vimba vimba kutokana na makofi aliyo kuwa akimtandika.
“Mume wangu nakuomba unisamehe, nakuahidi kwamba nitakuwa nawe bega kwa bega katika kila jambo”
“Ni hivyo au kuna kingine unacho kihitaji kukizungumza?”
“Jambo jengine nina kuomba usinisaliti ukifanya hivyo nami nita kuadhibu kwa namna ambayo nina itambua mimi mwenyewe na kitu kingine sihitaji kumuona yule Magreth kanisani kwetu”
“Una zungumza hivyo wewe kama nani?”
“Kama mke wako. Umeniadhibu kihaki kwa maana nime fanya makosa. Sikulaumu kwa kunifanya hivi ila na wewe nakuomba uachane na yule mwanamke”
“Una ushahidi kwamba mimi na yeye tuna mahusiano?”
“Tomas aliniambia kila jambo”
“Yaani ukitaka nikuvunje vunje tena. Tamka hilo jina la Tomas mbele yangu. Umenielewa wewe”
“Sinto litamka tena ila nilicho kizungumza ni ukweli, simtaki Magreth kanisani kwangu”
Mrs Sanga alizungumza huku machozi yakimwagika usoni mwake.
“Poa acha nilale nime choka”
“Nashukuru kwa kunielewa”
Nabii Sanga akanifunika shuka huku akigeuka na kumpa mke wake mngo. Mrs Sanga kwa jinsi alivyo jeruhiwa hakuweza hata kujilaza mwili zakwa zaidi ya kukaa kitako kitandani kwa maana kipigo alicho kipata ni kizito sana
‘Ehee Mungu nitengeneze niwe mpya kwenye haya maisha’
Mrs Sanga alizungumza huku machozi yakiendelea kumbubujika usoni mwake.
***
“Hei”
Evans alimuita Magreth aliye lala pembeni yake kwa sauti ya chini.
“Beee”
“Amka kume pambazuka”
“Kume kucha?”
Magreth aliuliza huku akiwa amejawa na mstuko. Akasimama na kuchugulia dirishani, mwanga wa jua ulio tawala eneo hilo ukamfanya amkumbuke Sheby aliye kuja naye jana usiku.
“Evans nina kuja”
Magreth alizungumza huku akichukua wallet yake na kutoka ndani humo. Akaelekea eneo la maegesho ya magari na kumkuta Sheby akiwa amelala ndani ya gari lake. Taratibu aka gonga kioo cha gari hilo na kumfanya Sheby kukurupuka, taratibu Sheby akashusha kioo.
“Mbona ume kurupuka, ulikuwa una ota ndoto ya kukimbizwa na simba nini?”
“Yaani wee acha bora hata ningeota hivyo. Ila nilicho kiota si kizuri kabisa”
“Pole mwaya kwa kukuacha hapa usiku wote peke yako”
“Usijali, nilifwata agizo lako la kuhakikisha kwamba nina kusubiria”
“Sasa ngoja nimalize kumuangalia mgonjwa wangu kisha nitatoka tuondoke”
“Sawa”
Magreth kwa haraka akarudi katuka chumba alicho lazwa Evans. Akamkuta daktari akifungua jeraha la Evans kwa ajili ya kulisafisha.
“Ahaa samahani dada una weza kusubiria nje nimalize hii kazi”
“Sawa dokta je kidonda cha mgonjwa kine endeleaje?”
“Samahani dada yangu. Sinto weza kukujibu hadi niimalizie hii kazi.”
“Sawa. Evans tuta onana baadae nina rudi nyumbani kubadili nguo”
“Sawa Mage”
Magreth akatoka ndani humo na moja kwa moja akaelekea alipo muacha Sheby na akaingia ndani ya gari na safari ya kurudi nyumbani kwake Kigamboni ikaanza.
“Mbona ume tumia muda mwingi sana hospitali, mgonjwa alikuwa katika hali mbaya sana au?”
“Ndio ila nashukuru Mungu asubuhi hii madaktari wameweza kumaliza upasuaji”
“Ahaaa pole sana”
“Vipi mke wako ana hali gani na ujauzito wake?”
“Ana endelea vizuri”
“Hivi ana shuhulika na nini?”
“Yeye?”
“Ndio yeye”
“Yupo nyumbani tu.”
“Basi akifanikiwa kujifungua basi nita muomba katika biashara yangu ambayo nitakwenda kuianzisha. Unajua kwa sasa wana wake tuna takiwa tupambane ili tuweze kuwasaidia waume zetu. Ikitokea kwa bahati mbaya japo hatuombei, wewe ume tokewa duniani, una hisi uta muacheje hapa duniani na mtoto mdogo?”
“Mmm hilo ulilo lizungumza ni kweli”
“Ndio kama ulikuwa na imani potofu ya kuto mruhusu kufanya kazi, basi ifute hiyo imani yako”
“Nimekuelewa sister”
Wakafika nyumbani kwa Magreth. Magreth akamlipoa Sheby laki na nusu.
“Sheby jumamosi njoo unifundishe kuendesha gari langu”
“Kweli dada?”
“Ndio jitahidi una tenga hata masaa mawili, nita kulipa”
“Sawa dada yangu”
“Ila Sheby hakikisha kwamba humleti au kumuambia mtu yoyote wa mtaani kwetu kuhusiana na hapa nina ishi”
“Usijali sister sinto muambia mtu yoyote”
“Haya asubuhi njema”
“Nawe pia dada”
Sheby akaondoka na Magreth akafunga geti lake na moja kwa moja akaingia ndani kwake. Akapitiliza hadi bafuni, akaoga na kupanda kitandani kwa ajili ya kuumalizia usingizi na uchovu wa mitanange aliyo pitia jana usiku.
INAENDELEA

