UTAFAHAMU TABIA HALISI ZA MWANAUME KUPITIA MAMBO YAFUATAYO!
Kupitia safari,utajua ni tabia gani mwanaume husika anazo kupitia ulaji wake(vitu anavyopendelea kula),kujiheshimu kwake kwa watu asiowajua, kuzungumza na watu asiowajua na namna ambavyo anastahimili mazingira mapya ya ugenini! Kuna wanaume hawawezi kuishi vizuri ugenini, watakuaibisha tu!
2. Uhusishe masuala ya Pesa.
Mwanaume utajua tabia yake halisi kama ni mchoyo au bahili, kama ana roho nzuri au mbaya, kama anajua kutunza pesa au kutumia vibaya pale tu ambapo utahusisha masuala ya pesa.
3. Utakapomuona akiwa mwenye Hasira.
Akiwa mwenye hasira,utajua kama anaweza kujiongoza mwenyewe na sio kuongozwa na hisia zake! Wanaume ambao wanaua,wanajeruhi wake, marafiki au ndugu zao ni wale ambao wanaongozwa na HISIA.
4. Utakapomuona akiwa amelewa.
POMBE inamfanya ashindwe kuficha Siri zake, atakwambia yote akiwa amelewa!
5. Uishi pamoja naye kwenye nyumba moja.
Ukiishi na mwanaume kwenye nyumba yake utajua tabia zake zote!
6. Utakapomwambia “HAPANA”.
Ukimwambia mwanaume hapana kwenye kitu anachokihitaji. Hapo ndipo utakapojua tabia zake halisia ambazo anakuficha!
7. Hawezi kulala na wewe(Mwanamke) wakati wowote ambao anataka yeye.
Kama ni mwanamke, ukimnyima mwanaume tendo la Ndoa, hapo ndipo atakuonyesha tabia zake halisia ambazo amekuficha!
8. Umshuhudie baada ya kupata “HASARA”.
Mwanaume akiwa amepata hasara( amefiwa na mtu anayempenda au kumtegemea kweye maisha yake, Biashara yake imefilisika yaani amepata hasara) utajua tabia zake halisia lazima zijidhihirishe wazi wazi!
9. Umshuhudie akiwa hana pesa au Amefilisika.
Tabia ambazo anazionyesha mwanaume akiwa hana pesa au mwenye pesa nyingi,mara nyingi hizo ndizo tabia zake halisia! Sio za kuigiza.
10. Umshuhudie namna ambavyo anaishi na Familia yake, marafiki zake au watu asiowafahamu(strangers)!
Je, unafikiri mambo hayo kumi hapo juu,yanatosha kuwafahamu WANAUME? NITAJIBU NA KUSOMA KOMENTI ZOTE.

14 Comments
I don’t usually comment but I gotta state regards for the post on this special one : D.
This really answered my problem, thank you!
Good write-up, I¦m normal visitor of one¦s website, maintain up the nice operate, and It is going to be a regular visitor for a long time.
I like what you guys are up too. Such smart work and reporting! Carry on the excellent works guys I’ve incorporated you guys to my blogroll. I think it will improve the value of my web site 🙂
Hello there, I found your blog via Google while searching for a related topic, your web site came up, it looks great. I’ve bookmarked it in my google bookmarks.
I have been absent for a while, but now I remember why I used to love this website. Thanks , I will try and check back more frequently. How frequently you update your website?
I am often to blogging and i really appreciate your content. The article has really peaks my interest. I am going to bookmark your site and keep checking for new information.
Utterly pent articles, thanks for information. “He who establishes his argument by noise and command shows that his reason is weak.” by Michel de Montaigne.
Hi my family member! I want to say that this post is amazing, great written and include almost all significant infos. I’d like to look extra posts like this .
Great blog here! Also your web site loads up fast! What web host are you using? Can I get your affiliate link to your host? I wish my website loaded up as fast as yours lol
Its like you read my mind! You appear to know a lot about this, like you wrote the book in it or something. I think that you could do with a few pics to drive the message home a little bit, but instead of that, this is magnificent blog. A fantastic read. I’ll certainly be back.
Great site! I am loving it!! Will come back again. I am taking your feeds also.
I am really impressed with your writing abilities as well as with the format to your weblog. Is that this a paid subject matter or did you customize it your self? Anyway stay up the excellent high quality writing, it is uncommon to look a nice weblog like this one today..
Very interesting details you have noted, appreciate it for putting up. “I never said most of the things I said.” by Lawrence Peter Berra.