Author: Raha Special

LOO DADA MARTHA.. Sehemu Ya 01 Utangulizi… “Wewe una hoja Martha, kumbe unajua chakula kizuri… nikuambie kitu mke wangu.” Martha alipoisoma meseji hiyo, akaguna kwanza, akamjibu” “Mh! Nimekuwa mkea mara hii jamani?” “Kwani umeboreka kukuita hivyo?” JIACHIE MWENYEWE SASA… Martha hakujibu haraka, Roi akawa na presha kubwa ya kutaka kuiona meseji iliyofuatia kutoka kwa msichana huyo kuwa angejibu nini… “Si vibaya ila….” “Ila nini tena?” “Basi tuyaache kwanza.” “Sawa, nahitaji nikuone leo jamani,” aliandika Roi. “Leo?” “Ndiyo! Mbona umeshtuka hivyo mke wangu?” “Kwa leo hapana.” “Mpaka lini?” “Labda siku nyingine.” “Ndiyo nataka kuijua hiyo siku nyingine,. “Ila si nimekwambia nitakwambia…

Read More

DOCTA SIUMWI HUKOO Sehemu Ya 26 TULIPOISHIA Hakika ningekupoteza Adams kijinga sana ivi kina endelea nini kati yako na Janeth, Adams?” “kwa nini wauliza”,,. ENDELEA SULEE” “kwakuwa Janeth ana kuwa mkaidi sana kwangu mimi natena pale tu ninapo kuongelea” “kivipi sulee” “Jambo lolote tu sijuwi kwa nini mpaka ikafikia hatua akaniambia” “akakwambia nini” “Adams nijibu kwanza swali langu wewe na janeth mkoje, pia una mpenzi au huna” “sina mpenzi pia jane, nikwamba ana nitaka tuwe wapenzi ila mimi sitaki kabisa” “hapana Adams unanidanganya wewe na jane, ni wapenzi ndo maana akanitishia eti kwamba wewe una ukimwi ili niachane na wewe…

Read More

DOCTA SIUMWI HUKOO Sehemu Ya 21 TULIPOISHIA Nilimjibu hivyo kwakuwa nilikuwa nina hasira sana safari yakwenda Tegeta ilianza nilikodisha tax njiani nilikuwa nina mawazo mengi sana hata kufikiria wito wakwenda kwa Adams nilikuwa sina kabisa” ENDELEA Ehee nini kilicho kutuma umwambie Sulee kuwa hana ukimwi na kuwa mimi ndiye niliye fanya mpango huo” “shangazi sijamwambia mimi” “amejuwaje” “alikuwa akilalamika kichwa kinauma alienda kupima kaniambia alipima kama kinga zime shuka au zipo juu alipopima aliambiwa kuwa hana H.I.V. Nihapo alipo juwa, pia akaenda kwa dokta tuliko endakupima sikuile alimpeleka mahakamani ndiyo alikutaja kuwa wewe unahusika shangazi” “unajifanya mjanja eeeh subiri” dk45,…

Read More

DOCTA SIUMWI HUKOO Sehemu Ya 16 TULIPOISHIA “Sawa Sulee mimi narudia kijijini nikaanze maisha mapya” alisema Monica huku akitokwa na Machozi sana” “sikiliza Monica baki nasi hapa hapa mjini sawa utakaa na sisi” “kweli shangazi oooh Asante Mungu wangu” ENDELEA BAADA YA MIEZI MIWILI Dokta kisarawe alihama Dar na kuamia Morogoro huko alikutana na kijana mmoja aliye itwa Adams j maryo jr. Aliye kuwa mfanya biashara hapo Morogoro Dokta kisarawe aliacha kazi ya udokta na kuanza kufanya biashara anazo fanya Adams za Magari kutoka japani Maisha yalisonga sana kisarawe alikuwa mwembamba sana lakini alikuwa kanenepa vibaya ndani ya miezi mi3…

Read More

DOCTA SIUMWI HUKOO Sehemu Ya 11 ILIPOISHIA “Je, nikigundua umetembea naye?” “Nifanye lolote lile.” “Sawa.” ENDELEA Mume wa Monica alifika nyumbani akiwa amechoka sana. Mkewe alipomwona alitoka mbio kumlaki… “Pole na kazi mume wangu.” “Asante sana.” “Sasa ikawaje, mbona hujajibu meseji yangu wala hujapokea simu?” “Niache Monica.” Monica alishtuka sana kwani si kawaida mume wake kumwita kwa jina la Monica, alizoea darling au mke wangu, wakati mwingine alimwita mama. Akajua pana jambo zito limetokea… “Kwani kuna nini?” “Umenitumia meseji kwamba una limimba?” “Ha! Baby, nina limimba au nina mimba?” “Una limimba, mimba kwani kitu cha kufurahia wakati unajua kila kitu?”…

Read More

DOCTA SIUMWI HUKOO.. Sehemu Ya 06 Tulipoishia: Baada ya utambulisho, Dokta Kisarawe alimuomba Sulee awaache na Monica ili aweze kumsikiliza kwa umakini mkubwa,. “Sasa ENDELEA.. Sulee alitoka nje na kukaa kwenye benchi, lakini moyo na akili yote vikabakia chumbani kwa Dokta Kisarawe na Monica. Kilipita kimya kidogo bila kusikia sauti yoyote achilia mbali minong’ono… Akaendelea kukaa huku akijiuliza maswali. “Sasa mbona sisikii wakiongea…?” “Au…mh!…,” Sulee hakumalizi sentensi yake na kuishia kuguna. Kimya kikazidi kupita. Giza nalo likazidi kutanda, lakini hakuwa na jinsi zaidi ya kuendelea kumsubiri Monica aliyekuwa akipata tiba maalum. Kuna wakati alitamani avamie ndani ili kuona kilichokuwa kinaendelea…

Read More

DOCTA SIUMWI HUKOO.. Sehemu ya 01 Ulikwenda hospitali mke wangu?” Masofa alimuuliza mke wake Sulee. “Nilikwenda, lakini daktari kasema mimba nitapata tu ndani ya mwezi mmoja.” “Ndani ya mwezi mmoja utapata mimba? Inawezekana kweli? Hujamwambia kwamba tumehangaika kutafuta mtoto kwa miaka nane, sasa ndani ya mwezi mmoja mimba itapatikana vipi?” “Mimi sijui Masofa.” “Mh! Haya, kwa sababu tumeambiwa na mtu tunayemwamini tuangalie, labda kweli daktari yule atatusaidia. Hakusema uende na mimi?” “Hakusema Masofa, ila alisema kama naweza kesho na keshokutwa niende usiku saa moja ili anipime vizuri.” “Alikupa dawa?” “Dawa atanipa kesho.” Masofa alichukua simu akampigia rafiki yake Miraji… “Ee…

Read More

MWANAUME ANAWEZA KUPOTEZA HISIA ZA MAPENZI KWA SABABU ZIFUATAZO 1. Upungufu wa homoni za testosterone kadiri umri unavyozidi kuongezeka. 2. Matibabu ya magonjwa mbalimbali kama vile shinikizo la damu, ugonjwa wa moyo, kisukari,uvimbe,ulevi kupindukia, uvutaji wa sigara kupitiliza na matumizi ya dawa za kulevya. Vilevile kutumia dawa kali kama antidepressants na baadhi ya dawa za fungus. 3. Ugonjwa sugu kama vile saratani,unene kupitiliza, kufeli figo,mapafu,na ini huathiri sana hamu ya tendo la kujamiana. 4. Kuathirika kwa kujichua (Masterbation) – mwanaume ambaye ameathirika kwa kujichua kwa muda mrefu husababisha kupoteza hisia za mapenzi, 5. Kujihisi kuwa na Uume mdogo. Baadhi ya…

Read More

SABABU ZA MWANAMKE KUPOTEZA HISIA ZA MAPENZI Mwanamke anaweza kupoteza hisia za mapenzi kwa sababu zifuatazo: 1. MAUMBILE Mwanamke anaweza kupoteza hisia za mapenzi kwa sababu ya kupata maumivu makali sana wakati wa kujamiana ambapo vyanzo vinaweza kuwa kusumbuliwa na magonjwa mbalimbali kama saratani, arthritis, kisukari, shinikizo la damu,ugonjwa wa moyo,na magonjwa ya neurology vilevile vyanzo vingine ni matumizi ya dawa kali kama vile baadhi ya antidepressants hushusha chini hamu ya tendo la kujamiana. -Mitindo ya maisha inaweza pia kuathiri hisia za mapenzi kama vile unywaji wa pombe kupindukia, matumizi ya dawa za kulevya,uvutaji sigara kupitiliza husababisha kushuka kwa kasi…

Read More

LIMERENCE: TATIZO LA KUWAPENDA SANA WATU AMBAO HAWAKUTAKI NA KUWACHUKIA SANA WATU AMBAO WANAKUPENDA SANA LIMERENCE ni neno la kiingereza lenye maana ya hali isiyoweza kuzuilika ya kiakili na kihisia ambayo husababishwa na hisia za mapenzi kwa mtu mwingine ambapo mtu hujikuta anatumia muda mrefu sana kumfikiria sana mwanaume au mwanamke huku akitamani mtu huyo aonyeshe kiwango kilekile cha upendo ambacho yeye anakuwa nacho kwa mtu huyo. Kwa maana kwamba unamuona mwanaume au mwanamke popote pale kisha unakuwa na hisia kali sana za mapenzi juu yake mpaka unaanza kujenga taswira ukiwa na mtu huyo kitandani au ukiwa umemuoa au umeolewa…

Read More

SINGLE MOTHER Changamoto ni kupata Mwanaume atakayekupenda wewe na Mtoto wako! Unapokuwa na mtoto, changamoto kubwa katika kuingia kwenye mahusiano siyo kupata mwanaume wa kukupenda — hao wapo tu. Utatongozwa kwa sababu si kwamba unatoka na bango usoni linalosema “Mimi ni single mother.” Lakini changamoto kubwa ni kumpata mwanaume ambaye atakupenda wewe na mtoto wako. Yaani, kukukubali wewe kama wewe na pia kukubali kuwa mtoto wako ni sehemu ya maisha yako. Changamoto Kubwa Zinazowakumba Wanawake Wenye Watoto 1. Kumuambia Mwanaume Kuwa Una Mtoto Shida ya kwanza ni hali ya kujiuliza: “Ni wakati gani muafaka wa kumuambia mwanaume kuwa nina mtoto?”…

Read More

MKE WAKO ATAKUPENDA SANAAAA IWAPO TU! 1. Unaleta pesa ya matumizi nyumbani. Moyo wa mwanamke utachoka kukupenda iwapo utaacha kuleta hela ya matumizi kwa ajili yake na watoto nyumbani.(Women are materialist in nature!), wao ni watu wa kupenda vitu sanaa kutoka kwa mwanaume na ndiyo upendo wao na heshima kwa mwanaume wanavyoutafsiri. Usipompatia pesa kwa ajili ya matumizi yake na watoto, ndivyo atakavyozidi kukudharau siku hadi siku atafika hatua atakukinai vibaya sana, kiasi kwamba anaweza kutamani kukupa nguo zake za ndani umfulie.KWANINI? ATAKUSHUSHA HADHI YA UANAUME, MWANAUME LAZIMA AKUBALI KUBEBA MAJUKUMU YA KUHUDUMIA FAMILIA. Upate, ukose wao hawajui! Wanachotaka wewe…

Read More

Mwanaume Asiejiamini Hawezi Kupata Mwanamke Mwenye Kujiheshimu Kwa asili mwanaume tangu enzi na enzi alikuwa na sifa ya kupambana na hatari misituni kukabiliana na wanyama wakali,alikuwa na tabia ya kulinda familia, kuihudumia familia kwa kuwinda wanyama porini hivyo basi kwa Mwanamke alikuwa na tabia ya kulea watoto nyumbani huku mwanaume anakwenda kupambana kwa ajili ya kuleta chakula nyumbani. Asili hiyo ipo kwa miaka na miaka na itaendelea kuwa hivyo haijalishi mabadiliko ya sayansi na teknolojia. kwa asili Mwanamke huwa anaongozwa sio kumuongoza mwanaume,hata ukiangalia vitabu vya dini utakuta mitume wote na manabii walikuwa wanaume kwa sababu ya uwezo wa kukabiliana…

Read More

Sifa 8 Za Mwanamke Ambaye Hapendeki Haijalishi Atapata Mwanaume Wa Aina Gani Bado Migogoro Ipo Palepale Kwa sababu baba ndiyo kichwa cha familia basi leo tuangalie namna ambavyo mwanaume ambaye ni muadilifu, mwaminifu,anatenda haki,hataki migogoro ndani ya familia,anataka kujenga familia imara namna ambavyo anaweza kuepukana na hawa wanawake wasumbufu ambao haijalishi utakuwa muaminifu,unajali sana,unampa kipaumbele muda wote lakini bado utaona kuna mfululizo wa matukio yenye kuibua ugomvi na migogoro. ujumbe huu umegawanyika sehemu zifuatazo I.Sifa 8 za Mwanamke ambaye hapendeki ii.Vyanzo vya Mwanamke kuwa hapendeki iii.Njia za kukabiliana na Mwanamke ambaye hapendeki SIFA 8 ZA MWANAMKE AMBAYE HAPENDEKI Sifa ya…

Read More

MANENO YA USHAURI KWA WANAWAKE!!! • Hakuna mwanaume anayetaka mke ‘kichaa’! Ni wal ambao hawajakua wanaitwa wavulana ndiyo wanaotaka wapenzi vichaa’, kwa hivyo usidanganywe na Mvulana anayekutaka ili afanye party na wewe kwa bidii kila weekend, anataka tu afichue kifua chako, atataka uvae nguo za kubana upake, flashy, makeups na ushuke na chupa 11 za bia wakati yeye katumia chupa 15, jua kuwa mwanaume wa namna hii HATAKUOA KAMWE! • Mvulana ambaye anaongea maneno machafu na anataka ngono na wewe kila mahali wakati bado hajakuoa atakuona kama mashine ya kitanda wakati wa ndoa. • Umewahi kujiuliza kwa nini baadhi ya…

Read More

KWANINI UNA MATATIZO YA NDOA 1. KUJARIBU UPENDO WAKO Mara tu unapokiri kumpenda mtu, changamoto zitakuja kujaribiwa ikiwa nyote wawili mko serious kuhusu hilo. Upendo lazima ujaribiwe kuona kama utastahimili. Upendo wako unaweza kustahimili mtihani wa wakati? 2. MAHUSIANO YANVYOKUACHA UCHI Hakuna kinachokuvua nguo kama ndoa. Katika ndoa, mtagundua mambo ambayo tayari yamekuwepo au ambayo mnayapata mnapoendelea kuwa pamoja. e, nyinyi wawili mnaweza kuwa uchi bila kuoneana haya? Je, unaweza kupendwa kwa jinsi umbo lako lilivyo kweli? 3. EGO Ego itasababisha ugomvi na mabishano. Ego ndiyo inayowazuia wanandoa wengi kutatua masuala yao haraka, kutafuta msaada kupitia tiba, kukiri makosa, kusikiliza…

Read More

MWANAUME ELEWA HILI   Mke wako si malaika; kuna wakati atafanya makosa mbele ya ndugu zako. Kama mume, wajibu wako wa kwanza ni kumlinda mke wako dhidi ya ndugu zako. Ikiwa amekosea au ukiona wanamvamia kwa maneno, kumuongelea vibaya, badala ya kuingia na kuchangia, kumponda, au kuongeza maneno mabaya, mlinde. Simama upande wake, na wakati mwingine jifanye kana kwamba wewe ndiye unayependa hali hiyo. Kwa mfano, labda anavaa nguo ambazo kwenu hazikubaliki. Badala ya kuanza kumporomoshea maneno kama, “Huyu mwanamke kiburi sana, nishamuambia asitukalie uchi!” ongea nao kwa utulivu. Waambie, “Mimi ndiye nampenda, ni mke wangu, na ninafurahia jinsi alivyo.”…

Read More

NJIA 7 AMBAZO MWANAUME RIJALI ANAWEZA KUYASHINDA MAUDHI, MAJARIBU NA VITIMBI VYA MWANAMKE KATIKA MAHUSIANO Tafiti za kisaikolojia zinaeleza kwamba wanawake hawajui wanataka nini kutoka kwa mwanaume hivyo basi ikiwa wewe ni mwanaume acha kupoteza muda wa kutaka kujua mwanamke anataka nini bali weka sheria na muongozo wako mwenyewe kisha mwanamke wako ataufuata. ZIFUATAZO NI NJIA 7 AMBAZO MWANAUME RIJALI ANAWEZA KUYASHINDA MAUDHI, MAJARIBU NA VITIMBI VYA MWANAMKE KATIKA MAHUSIANO Njia hizi 7 zipo kama ifuatavyo 1. KUPIMA UANAUME WA MWANAUME (DOMINANCE TEST) Mwanamke yeyote ambaye nyumbani kwao mkuu wa familia ni mama,au amekuwa bila baba ndani ya familia,au baba…

Read More

Mambo 5 Ambayo Utajifunza Baada Ya Mahusiano Kuvunjika Kila mtu huwa anajifunza kitu tofauti katika mazingira tofauti.Ikitokea mahusiano kuvunjika wapo hujifunza kuacha kuamini jinsia tofauti maisha yao yote , vilevile wapo huamua kujifunza kujichukia wao wenyewe, vilevile wapo hujifunza kwenye makosa yao lakini vilevile wapo ambao hawaamini kama wanakosea popote. Kwa vyovyote itakavyokuwa mahusiano kuvunjika huacha athari hasi au chanya, mahusiano kuvunjika yanaweza kukusaidia au kukuharibia. tuangalie mambo 5 ambayo unaweza kujifunza baada ya mahusiano kuvunjika MAMBO 5 AMBAYO UTAJIFUNZA BAADA YA MAHUSIANO KUVUNJIKA Mambo hayo 5 kwanzia namba moja mpaka namba tano. 1. MAUMIVU YA MAPENZI NA AIBU YA…

Read More

JINSI YA KUJUA YA KUJUA KUWA HAKUPENDI 1. Yeye atakuwa na shughuli kila wakati unapomuhitaji uwepoi wake. 2. Hakuheshimu. 3. Hakupigii simu au kukutumia meseji, wewe ndiye utakayetuma ujumbe na kupiga simu bila kujibiwa. 4. Hajisikii vizuri kutembea na wewe na kukuonyesha kwa marafiki zake, anatoka na wewe usiku tu, uatadhani wewe ni vampire. 5. Anakufokea, anakutukana na kutumia maneno ya kashfa. 6. Kila unalomfanyia kwake huwa kosa liwe jambo dogo au kubwa kwake yeye ni kosa. 7.Hajali furaha yako,hawekezi kwako wala hafanyi chochote cha maana kwenye mahusiano yenu. 8. Anakulipizia kila kosa unalofanya anakosa kabisa huruma 9. Hakupi haki…

Read More

Tabia Ya Kutaka Kumdhibiti Mwenza Husababisha Migogoro Ya Kimapenzi Fahamu viashiria vya tabia hiyo,vyanzo vya tabia hiyo na ufumbuzi wake migogoro ya kimapenzi yenye kujirudia rudia huwa inajitokeza pale ambapo mwanaume au mwanamke anachukua jukumu la mzazi wa mwenza.Kwa maana inaitwa parenting your partner kwa maana ya tabia ya kumchukulia mwenza wako kama vile ni mtoto mdogo hivyo muda wote unakuwa unamrekebisha tabia na kumuelekeza nini cha kufanya. badala ya mahusiano kuhusisha watu wawili wenye akili timamu inakuwa kinyume chake inakuwa mama-mtoto au baba-mtoto . Mwanamke anachukua tabia ya mama mzazi au mwanaume anachukua tabia ya baba mzazi mahusiano yanakuwa…

Read More

Mwanaume – Fahamu Haya Ili Uwe Bora Katika Mahusiano   Mwanamume anayeweza kudhibiti hamu ya tendo ni mtu anayeweza kuishi miaka mingi duniani. Wanaume hawajui kwamba baadhi ya kushindwa kudhibiti hamu husababishwa na kuwa na wanawake wengi japo Sio wanaume wote. Wanawake wengine wanakuja kwako kwa lengo la uharibifu. kuwa Makini sana: 1. Mwanaume wa kweli ana mwanamke mmoja tu maishani mwake. 2. Usiruhusu kupandisha hisia wakati wote. Mishipa mingi huchoka kudhibiti uume wako ikiwa hutaki kudhibiti hali hiyo. 3. Usimchumbie mwanamke kwa sababu ana umbo zuri, matiti na umbo la kuvutia. Haya mambo ni ya kupotosha. 4. Sio kila…

Read More

Kuwa Na Busara Epuka Kumuuliza Mtu Maswali Haya 1. Hujaolewa tu? 2. Kwanini Huna Watoto? 3. Utazaa lini, umri unaenda! 4. Unafanya kazi wapi? 5. Kwanini Umenenepa/Umekonda? Watu wanapitia mambo mengi magumu ambayo huna taarifa nayo wala hujawahi kuyasikia, jitahidi kuwa mwenye ufikirio unapozungumza na wengine. Ikiwa wewe umefanikiwa kupata vyote jitahidi kutoropoka maneno unayodhani yako sawa kwa upande wako. Kuna watu wanapitia changamoto za mahusiano, uzazi, uchumi na mambo mengine ya kifamilia, try to be kind! Nakumbuka kuna siku sikuwa najua lolote lile nikapata mawasiliano kwenye group na school mate mmoja hivi, maana miaka mingi ilipita bila mawasiliano, mule…

Read More

Mambo Ambayo Huwezi Kuyanunua Kwa Pesa Kwenye Uhusiano Hapa kuna mambo ambayo pesa haiwezi kununua katika uhusiano: 1. Kuaminiana: Kuaminiana hujengwa kupitia matendo, mawasiliano, na kujitolea, si kwa mali. 2. Upendo: Upendo wa kweli na mapenzi hayawezi kununuliwa au kubadilishwa na zawadi. 3. Heshima: Heshima hupatikana kwa kuelewana, kuhurumiana, na fadhila. 4. Mawasiliano: Mawasiliano yenye nguvu yanahitaji jitihada, usikivu wa makini, na akili ya kihisia. 5. Muunganisho wa Kihisia: Muunganisho wa kina wa kihisia hujengwa kupitia uzoefu ulioshikiriwa, kuongozwa na huruma. 6. Ukaribu: Urafiki wa kweli unapita zaidi ya uhusiano wa kimwili; inahitaji ukaribu wa kihisia na kushinda mazingira magumu.…

Read More

Sheria 15 rahisi za mwanaume ambazo kila mtu anapaswa kuzijua: 1. Hasira ni adui yako namba moja kwenye maisha, iruhusu ije na pia iruhusu iondoke lakini usiiruhusu ikutawale. 2. Huhitaji watu au vitu vya kimwili ili kuwa na furaha. Wapo watu watakaokuzidishia hasira zaid na kukuharibia furaha ndogo uliyo nayo. 3. Wanaokuchukia ndio watu wako wa karibu, ukiwa na watu wanaokupenda watumie ipasavyo. 4. Maana halisi ya Familia haimaanishi mchangie damu tu hata watu baki ni familia yako. 5. Ndugu msipigane wala kugombana kwa zaidi ya masaa 24. tabia hizo hufanywa na Wanawake, sio wanaume. 6. Kujifunza jinsi ya kupigana…

Read More

SIRI 9 KUBWA KATIKA NDOA! Siri ya 1: Kila unayemuoa ana udhaifu. Hakuna mtu aliye mkamilifu, anayekuja katika vivuli vyote vya ukamilifu ndiye aliye hai ndani ya mwenzi wako, na huyo ni Mungu tu. Kwa hiyo ukizingatia udhaifu wa mwenzi wako huwezi kupata kilicho bora kutokana na nguvu zake. Tazama, wanandoa wanaodumu ni wale wanaokuza nguvu za kila mmoja, badala ya udhaifu wao. Siri ya 2: Kila mtu ana historia mbaya kwenye mzunguko wa maisha yake. Hakuna mwenye umalaika. Unapooa au kuolewa acha kuchumbia zama za mtu. Cha muhimu kwenye maisha ya ndoa ni kujari maisha ya sasa ya mpenzi…

Read More

MWANAMKE – WAFAHAMU VIZURI WANAUME, EPUKA KUUMIA KIMAPENZI Wanaume huwahitaji wanawake kwa sababu kuu mbili, tendo na upendo wa kweli, lakini mara nyingi wanaume huwa hawatambui wanawahitaji wanawake kwaajili ya tendo au kwa ajili ya upendo, hali hii hupelekea wanaume kuoa mtu asiye sahihi kwenye maisha yake. Mwanaume anaweza kukupenda kwa kiasi kikubwa na asikuoe. Mwanaume anaweza kufanya mapenzi na wewe kwa miaka mingi bila kukuoa. Lakini kama atapata mtu ambaye ataleta utulivu katika maisha yake, basi atamuoa. Wanaume ni watu wenye maono ya ajabu sana hasa wanapofikiria kuhusu ndoa, huwa hawafikirii kuhusu wao wanafikiria kuishi tu na mtu yeyote…

Read More

MAMBO 4 YA KUZINGATIA UKITAKA KUWA MWANAUME IMARA AU RIJALI 1. UHURU Mwanaume Rijali anathamini uhuru wake kuliko kitu chochote,mwanaume Rijali hawezi kuishi kwa kumtegemea Mwanamke wake kwenye fedha,salio,kula,kuvaa, nyumba ya kuishi, gharama za matibabu, usafiri,zawadi n.k mwanaume Rijali anajua ni wajibu wake kuhakikisha maisha ya mwenza wake yanakuwa salama. mwanaume Rijali haishi kwa kutegemea sapoti ya Mwanamke bali Mwanamke akitoa sapoti inakuwa bonus ili kuepuka kumlaumu Mwanamke pale ambapo haonyeshi ushirikiano. Mwanamke yeyote akiona unamhitaji sana ili mambo yako yaende huanza kuonyesha dharau waziwazi,atakuwa na kiburi, majivuno,ataanza kuonyesha jeuri kwa sababu anajua hauwezi kumuacha wala hauwezi kuishi bila yeye.Lakini…

Read More

Sifa Za Mwanaume Ambaye Atasumbuliwa Na Mwanamke Maisha Yake Yote   Na jinsi ya Kuwa Mwanaume Imara – Anakuwa hajiamini mbele ya Mwanamke,akiona mwanamke mwenye muonekano mzuri tu anapagawa,anatetema sana,anahisi Mwanamke huyo ni malaika na mkamilifu,kisha anajiona yeye yupo na dosari nyingi sana na mapungufu mengi sana ambayo yatamkwaza Mwanamke huyo,hivyo ataanza kuonyesha kumnyenyekea sana, kumbembeleza sana, kujitutumua sana, kujieleza sana, kumuahidi mambo mengi sana,kutumia fedha nyingi sana ili kumfurahisha akiamini atapendwa sana kuliko wanaume wote lakini huambulia kuchunwa fedha zako zote na kuachwa mifuko mitupu,hujibiwa kwa maneno makali sana yenye udhalilishaji,hufokewa,hutukanwahuambiwa wewe sio wa HADHI yangu kisha mwanaume anaanza…

Read More

Mwanamke anaweza kukwambia tuachane isiyomaanisha, akiwa kwenye mwonekano unaoitwa seriously. Kisha akabadilika kuwa kwenye huzuni ya kweli, kama utaamua kukubaliana na yeye. Kwasababu alihitaji umbembeleze, sio utembelee kauli yake. Ngoja nikwambie kitu mwanaume mwenzangu. Siku mojamoja kuwa Kaisal kimaandishi, halafu msomee kwa sauti ya Khan Mbarouk. Mwambie licha ya udhaifu wako wa kutamani wengi, lakini unampenda peke yake. Msimulie hadithi za kina Sharifa na Sarah, walioahidi kukupa hadi Mungu alivyovikataza. Mwambie amestahili kuwa na wewe, sio bahati kama mitaa inavyozungumza. Mkumbushe sifa ulizomwongopea, kipindi cha harakati zako za kumtongoza. Mwambie unamwona malaika aliyetoroka peponi, kila unapomtazama Eva wako wa Vikindu.…

Read More

Sababu kadhaa Kwanini Mwanamke aliye na Wapenzi wengi wa zamani ni Chaguo Hatari kwenye Ndoa Waungwana, tuseme ukweli. Historia ya mwanamke ni muhimu kuifahamu kabla hujamuoa. Ikiwa atakuwa na wapenzi wengi kwaajili ya kujiridhisha kwa nafsi yake kwene ngono, basi huyo hatafaa kuwa mkeo halali unayemhitaji kujenga nae mustakabali salama wa maisha. Ukweli ni mchungu sana lakini lazima niuseme na endapo utaupuuza ukweli utakupeleka kwenye njia ya hatari zaidi, ikiwa ni pamoja na kuvunjika kwa ndoa, na hata uharibifu wa kifedha. Acha nikuchambulie, moja kwa moja kwa uhakika. Hapa kuna sababu kadhaa kwa nini wanawake walio na viwango vya juu…

Read More

Jinsi Ya Kudumu Muda Mrefu Kitandani Wakati Wa Tendo 1. Jua jinsi ya kumuandaa mwanamke hasa kumtia nyege, usiwe na haraka ya kuingiza mashine kabla mwanamke harowa 2. Badilisha mtindo hasa unapokaribia kufika kileleni 3. Epuka sana kujichua au punyeto. Hii itakufanya ushiriki vizuri zaidi katika kutengeneza mapenzi na mwenzi wako. punyeto hufanya uongeze kasi ya kufika kileleni 4. Jua jinsi ya kuiingoza akili yako. Akili yako ndiyo inayodhibiti viungo vyako wakati wa tendo. Unaweza kuiongoza akili yako kuvumilia wakati wa kumwaga au kutoa maji 5. Jaribu Kuwa na wakati wa kumbusu wakati wa kufanya mapenzi 6. Tulia. Usichangamke sana.…

Read More

UKWELI KUHUSU WANAWAKE KUPENDA MVUA NA KULOWANA 1. Baadhi ya wanawake hupenda mvua wakati wa masika na vipindi vya mvua. Mume mwerevu hapo anajifunza na kutambua kuwa ni wakati ambao mke wake anapopandisha joto hii ni fursa ya kufanya mapenzi zaidi. 2. Madhumuni ya kulowa kwa mwanamke ni kufanya tendo la ndoa ambalo linahusisha msuguano kati ya uume na uke, wakati kuna kama kabaridi kaliko changanywa na joto penzi huwa la kufurahisha. 3. Wakati wa mvua au baridi kiasi fahamu kuwa mwanamke uke wake huongezeka ute na uke wake huwa wazi mara nyingi mwanaume wakati wa mvua hakikisha unakuwa karibu…

Read More

UKIMHESHIMU MKE WAKO NA WATU WATAKUHESHIMU PIA   Kanuni ya kwanza ya maisha: Ili kuheshimiwa kama mwanaume, ni lazima watu wamheshimu mwanamke wako! Najua inaweza kuonekana kama jambo dogo, lakini ndiyo ukweli. Kama watu hawamheshimu mwanamke wako, basi jua hata wewe wanakudharau. Iwe ni mama yako mzazi, dada yako, au marafiki zako, ni lazima wamheshimu mwanamke wako. Hapo ndipo utajua kwamba wanakuheshimu wewe. Labda nikupatie mfano: Umeoa, kama mama yako anamtukana mke wako, kama dada yako anamtukana mke wako, au kama jirani au rafiki wanamzungumzia vibaya mke wako mbele yako, si kwamba hawamheshimu mke wako tu, bali wanakudharau wewe. Wanakuona…

Read More

KUFANYA MAPENZI KIPINDI CHA UJAUZITO Kiu yetu baadhi ni kujibiwa maswali kama, ni ruksa kujamiina na mjamzito… Jibu ni NDIYO Kama jibu ni ndiyo je style zote zinaruhusiwa…! Jibu ni HAPANA Staili ambazo mwanamke mjamzito anaweza kutumia na mwenza wake wakiwa katika huba na kumfanya afurahie tendo la ndoa…. 1. KUINAMA Hapa mwanamke anapaswa kuinama na kushikilia kiti, kitanda au kitu chochote kitakachomfanya asichoke miguu yake wakati mwanaume atakapokuwa akimwingilia kimwili. Hii ni staili nzuri kwa mwanamke mjamzito kwani mwanaume hataweza kulisukuma matumbo lake. Hata hivyo, staili hii ina tatizo moja, uume wa mwanaume hauwezi kukisugua kinena na ikumbukwe kuwa…

Read More

Mambo Ya Kuzingatia Unapokua Na Mtoko Na Mwanaume Kwa Mara Ya Kwanza. 1. CHAGUA ENEO ULILOZOEA. Kama umepata nafasi ya kuchagua,basi chagua eneo ambalo umelizoea.Kwenda sehemu iliyozoea kunakuongezea utulivu na kujiamini.lakini hata ukialikwa sehemu flani basi pendekeza eneo lenye hadhi sawa na hilo lakini ambalo umelizoea. zingatia eneo hilo lisiwe nyumbani kwako ama kwake. 2. KULA /KUNYWA ULICHOZOEA. Kama mtoko huo utajumuisha kula ama kunywa basi zingatia vile ambavyo umevizoea. 3. KUWA NA PESA YA KUTOSHA MATUMIZI YAKO. Zingatia sana hilo,uwe na hela ya kwenda na kukurudisha utokapo lakini pia zingatia sana utachokula na kunywa kiendane na mfuko wako,habari za…

Read More

Dalili Kwamba Mahusiano yenu Yanakwenda Kufa – Chukua Hatua Mapema   1: MIGOGORO Ya Mara kwa Mara. Ni Jambo la kawaida Kupishana Mwanaume na Mwanamke wakiwa kwenye MAHUSIANO. Kwa sababu Ya “Gender Difference”……! Lakini Kuna Kiwango Cha Migogoro ikianza unajua kabisa hapa Hamuendi MBALI. Migogoro isiyoisha ( Endless Conflict)…! Migogoro inayokuja kwa kujirudia rudia ( Repeating Conflict). Kuna kitu kinaitwa “CONFLICT SPINNING” “Ni Hali ya kuwa kwenye Mzunguko wa Migogoro”. MGOGORO huu ukiisha unaibuka Mwingine. Hii ni Kusema……..! “Mnatumia Muda Mwingi katika KUTATUA Migogoro Zaidi Ya Muda wa Kufurahia PENZI lenu”. 2: MANENO Mnayotamkiana Mkiwa kwenye MGOGORO. Umewahi kusikia USEMI…

Read More

KULALA NA WANAWAKE WENGI HAKUKUFANYI KUWA MWANAUME BORA Kulala na wanawake wengi tofauti hakufafanyi uanaume wa mtu au kuwafanya kuwa wanaume bora.” Hapa kuna baadhi ya sababu kwa nini: Uanaume wa Kweli_ 1. Heshima na wajibu: Uanaume wa kweli ni kuheshimu wengine, kuwajibika kwa majukumu yako, na kuwajibika kwa tabia yako kila wakati. 2. Akili timamu kwenye hisia: Mwanaume halisi anagusa hisia zake, anaweza kuzieleza kwa njia yenye afya, na anatakiwa kuwa na huruma kwa wengine. 3. Uadilifu na tabia: Mtu mwenye tabia njema ni mtu anayesimamia maadili, na kanuni, na ahadi zake Hatari za Kuwawekea Malengo Wanawake 1. Lengo_:…

Read More

MAMBO 16 YANAWEZA KUUA NDOA 1. Uvivu wa kijinga usio na msingi unaua ndoa 2. Kuwa na Mashaka na mwenzio kunaua ndoa 3. Kutokuaminiana kunaua ndoa 4. Kutoheshimiana kunaua ndoa 5. Kutosamehe kunaua ndoa 6. Mabishano yanaua ndoa 7. Kutunza siri kutoka kwa mwenzi wako kunaua ndoa 8. Kila aina ya ukafiri unaua ndoa 9. Mawasiliano duni yanaua ndoa 10. Uongo unaua ndoa kirahisi 11. Kuhusiana zaidi na wazazi wako kuliko mwenzi wako kunaua ndoa 12. Kukosekana au kutofanya tendo kwa kutofurahishana kunaua ndoa 13. Kuhangaika kunaua ndoa 14. Maongezi mengi ya hovyo yanaua ndoa 15. Kutomwamini Mungu kunaua ndoa…

Read More

Makosa Ambayo Watu Wanafanya Kwa Sababu Ya Mapenzi:   Upendo unaweza kusababisha watu kufanya makosa, ambayo mengine yanaweza kuwa na matokeo ya kudumu. MAKOSA YA KAWAIDA: 1. Kupuuza kumuonya mwenzio kwa tahadhari kama ishara za onyo 2. Kuzingatia masuala ya utengamano 3. Kupuuza maadili na mipaka ya kibinafsi 4. Kutoa zawadi zinazoathiri kujithamini 5. Kuwezesha au kuvumilia tabia ya kuwa na matusi 6. Kuchanganya mapenzi na kutamani au kupendezwa na hali hiyo 7. Kukimbilia kwenye ndoa kisa ahadi ya ndoa 8. Kupuuza mawasiliano na utatuzi wa migogoro 9. Kutanguliza upendo kuliko kujijali 10. Kukaa katika mahusiano yenye sumu au yasiyo…

Read More