Author: Raha Special

ROHO YAKE INADAI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 4 Binti huyo mdogo alikuwa anatazama hapo dirishani. Ni kama vile alikuwa anamwona Brian na pia anamfanyia mazingatio. Brian akamtazama vema binti huyo. Akili yake ikamwambia ndiye mtu aliyemwona kwenye ndoto siku ile. Akili yake ikamwambia kuwa binti yule ni Kecie! . . Brian akafikicha macho yake kama mtu asiyesadiki. Alipotazama tena, bado akamwona binti yule! Alikuwa amesimama kama mstimu akimtazama, ila wanafunzi wengine walikuwa wanampita kana kwamba hamna kitu. Ina maana walikuwa hawamwoni! . . “Kecie!” Brian akasema kwa kunong’ona. Ajabu binti yule akatikisa…

Read More

ROHO YAKE INADAI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 1 Massachusetts, Boston, 1975. Mwanaume mmoja mrefu aliyevalia suti na koti refu jeusi alisogelea mstimu wa umeme na kusimama hapo. Mwanaume huyo alikuwa ni mzee wa makamo ya hamsini na, na mkononi mwake alikuwa amebebelea makaratasi kadhaa rangi nyeupe ielekeayo kuwa kahawia. Alikuwa ameupinda mdomo, na macho yake yalionyesha kuchoka. Hata mwendo wake uliunga mkono hilo. Alichomoa karatasi mojawapo kati ya zile alizozibeba, akaibandika hapo mstimuni na kabla hajatazama kama karatasi hiyo imekaa vema, akaendelea na safari yake. Bila shaka alikuwa na kazi kubwa mbele…

Read More

NYETO NYETONI – FULL STORY ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi EPISODE 1 – 25 Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: NYETO NYETONI 1 – 5 NYETO NYETONI 6 – 10 NYETO NYETONI 11 – 15 NYETO NYETONI 16 – 20 NYETO NYETONI 21 – 25

Read More

PENZI NI HAKI YANGU – FULL STORY ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi EPISODE 1 – 10 Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: PENZI NI HAKI YANGU 1 – 3 PENZI NI HAKI YANGU 4 – 6 PENZI NI HAKI YANGU 7 – 10

Read More

NYUMBA YA MAAJABU ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 4 Walikaa pale sebleni kwa muda kidogo na hata mchana iliwakutia pale pale, muda kidogo Neema akamwambia Sophia kuwa chakula cha mchana kilikuwa tayari mezani, Sophia alimuangalia na kumuuliza kuwa amekipika muda gani kwani kwa kumbukumbu zake walikuiwa wote hapo sebleni kwa muda wote pamoja. Neema akatabasamu na kumwambia Sophia, “Tulikuwa wote ndio ila wewe muda mwingi ulikuwa unasinzia, mimi nimeenda kupika nimekula hata hujajua. Pole dada, ila ni hali yako hiyo ndio imekufanya hivyo” “Kheee kwani unajua kama mimi nina mimba! Nani kakwambia?” “Si…

Read More

NYUMBA YA MAAJABU ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 1 Ilikuwa ni siku ya furaha sana walipohamia kwenye hii nyumba nzuri na ya kupendeza, tena iliyovutia katika macho ya watu wengi sana. Mke alisikika akimuuliza mume wake, “Ibra, uliwezaje kuwekeza pesa nyingi za kununua nyumba nzuri kama hii?” “Mke wangu Sophia, kwakweli mambo ya Mungu ni mengi sana, hata mimi sikutegemea kupata nyumba kama hii kwa ile pesa ambayo nilikuwa nayo. Kwakweli tushukuru tu kwa kupata mwanga wa maisha” “Nadhani sasa mipango yetu itatimia mpenzi” “Ndio mke wangu kwa hapa lazima mipango itimie” “Hivi…

Read More

SHANGA ZA BIBI ZILIVYONIPA UMAARUFU ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 10 Suma hakuamini alipoambiwa na Kidawa kuwa akitoka kazini apite kwa Kidawa! Simu ilikata aliruka kutoka kwenye kiti chake akasimama akaanza kushangilia kama kaokota almasi mchangani! “Yes!!!” Alijipanga ili kuhakikisha anampa dozi nzuri na tamu sana mpenzi wake huyo alimmiss sana! Sabrat alifika home akaingia bafuni akaoga kisha akajifunga kanga moja akakaa sebuleni! Mawazo yake yote yalikuwa kwa Suma, mwanaume huyo alimchanganya sana binti huyu wa kijini! Akajikuta anatamani muda ukimbie ili jioni ifike mapema Suma atoke kazini apitie kwake kumpa penzi! Muda…

Read More

SHANGA ZA BIBI ZILIVYONIPA UMAARUFU ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 7 Moyoni nilihisi kufarijika maana ile aibu n dharau sasa vitapungua nilisema nikirudi lazima nifanye kitu!!!! “Haya lala mwanangu ngoja mi nikalale,tutaonana kesho hakujakucha nilikuja kukushtua usiharibu dawa!” “Sawa mama!” Niliinuka nikijihisi mwepesi sana nikakojoa nikarudi kulala! ********* Asubuhi kulikucha nikaamka na furaha sana,nilitoka nje nikamkuta Bi Mwana kashaamka anaota zake jua! Nilimsalimia akaitikia kwa uchangamfu mkubwa,Ila tofauti na siku zingine nilimuona alikuwa akiangalia sana jua,ikabidi nimuulize. “Mama,mbona unaangalia sana jua?” “Mmmhh!acha tu mwanangu!” “Kuna tatizo mama!” “Hapana naliangalia sababu kuna siku zinakuja…

Read More

SHANGA ZA BIBI ZILIVYONIPA UMAARUFU ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 4 Tulipoishia…. John tayari kachomoa betri,kamtoa Kidawa bikra yake kamuingiza duniani,dunia ya mapenzi Ila hofu ya Kidawa ni kuwa anahisi John kamwagia ndani…. Songa nayo…. Nilimsukuma John pembeni,nikainuka nikapitisha mkono wangu kwenye kitumbua changu,nguvu ziliniishia kidole kilitoka na mbegu za John!! “Aaaahhhh!!John mbona umemwagia ndani sasaa!!” Nilimuuliza John ambaye hakuonyesha wasiwasi wowote,ndiyo Kwanza alijigeuza akaangalia pembeni nilikaa chini hapo naskia maumivu makali huku chini na mawazo ya mimba tena,nilijuta kumfahamu John! “Ndiyo huku uliniahidi ntapata furaha John??” Nilimuuliza John ambaye alisimama akaniangalia Kisha…

Read More

SHANGA ZA BIBI ZILIVYONIPA UMAARUFU ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 1 Kidawa Said Kidaluso,ndiyo majina yalioandikwa kwenye kitambulisho changu cha Taifa(NIDA).Nilitabasamu nikikumbuka vile nilivyokipata siku mbili nyuma! Sikuhangaika sana kukipata kama wenzangu na mimi,sikupanga foleni nikachomwa na jua la utosi kama wenzangu. Nilishasikia serikali ikitangaza sana kuhusu kusajili laini kwa alama za vidole,kama unavyojua watanzania hatuamini mpaka tuone,Ila nilipoona Mambo yamekuwa magumu kila kona naskia NIDA!NIDA!NIDA! Nikiwasha redio NIDA,nikiwasha TV NIDA na popote ninapokwenda ni NIDA. Maji yalipofika shingoni nikaona isiwe tabu nikachukua simu yangu,nikaitafuta namba ya buzi langu linalofanya kazi kwenye idara…

Read More

TAREHE 9 SEPTEMBER ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 3 Asubuhi palipokucha Zack alidamka mapema,, akaenda kufungua maduka yake.. kisha akawaacha wafanyakazi wakiendelea na kazi,, yeye akaingia ndani ya gari lake akaelekea kwa lafiki yake kipenzi,, ili ampeleke kwa mganga! alipofika akamkuta rafiki yake anamsubiri! bila kupoteza muda wakaongozana mpaka ndani ya gari la Zack na safari ya kuelekea kwa mganga ikaanza! walitumia lisaa limoja njiani, hatimae wakafika kwa mganga aitwae MANYENYE,,Nyumba ya Manyenye ilionekana kujengwa kwa miti na kuzungushiwa nyasi kavu,, na nje ya nyumba hiyo,, kulikuwa na mawe mawili makubwa kiasi yakiwa…

Read More

TAREHE 9 SEPTEMBER ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 1 Mnamo mwaka 2007,,alionekana binti mrembo kupita kiasi akitokea bafuni,, akazipiga hatua kuufuata mlango wa chumba chake,,,binti huyo anaitwa shamy! akaufungua mlango wa chumba chake akaingia ndani,, Shamy alikuwa ni mwanafunzi wa chuo kikuu,,maarufu ka MLIMANI/UDSM….huu ulikuwa mwaka wake wa mwisho chuoni,,, akichukua shahada ya udaktari… Shamy akajifuta matone ya maji yaliyokuwa mwilini mwake kisha akavaa gauni lililoshikilia mwili wake na kuonekana vyema uhalisia wa umbile lake lililokuwa linamvuto wa aina yake! wanaume wengi walimtaka Shamy kimapenzi,, lakini Shamy alikuwa na msimamo mmoja tu,,,,, akili…

Read More

KIBAMIA – FULL STORY ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi EPISODE 1 – 14 Kusoma hadithi, bonyeza hizi link hapa chini: KIBAMIA 1 – 3 KIBAMIA 4 – 6 KIBAMIA 7 – 10 KIBAMIA 11 – 14

Read More

AZIZA WA FACEBOOK ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu ya 5 Japokuwa Eduado alikuwa amenipa ishu ya kumfuatilia Aziza kama mchezo fulani lakini kadri siku zilivyokuwa zikizidi kwenda mbele na ndivyo ambavyo nami nikazidi kufall inlove. Nilikuwa nikipenda sana Aziza, kila nilipokuwa nikiingia facebook na kumkosa, sikuwa nikijisikia raha kabisa. Kuna nyakati za shida zikaingia, nyakati ambazo sikuweza kumuona Aziza hewani. Katika nyakati hizo maisha yalikuwa ya tabu sana, nilikuwa nikikosa furaha hata katika maisha ya kawaida. Nilimzoea sana Aziza, nilimpenda sana Aziza kwa hiyo kutokuuona uwepo wake machoni mwangu kilikuwa ni kitu ambacho kiliniumiza…

Read More

AZIZA WA FACEBOOK ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu ya 1 Najisikia nimechoka sana, nimechoka sana kwa sababu nilikuwa nimetoka kucheza mpira uwanjani huku nikiwa nimechafuka kupita kawaida. Ninapofika nyumbani, ninaoga na kisha kuchukua simu yangu kwa ajili ya kuangalia updates za facebook, sikukuta hata meseji moja zaidi ya notification tu, tena wala hazikuwa nyingi. Nilichokifanya ni kuanza kuzugazuga hapa na pale na kisha kutulia. Mara ghafla nikaona namba moja nyekundu kwenye sehemu ya meseji, kulikuwa na meseji imeingia, nilichokifanya, nikaifungua na kuanza kuchati na mtu huyo huyo. EDUADO: Mambo vipi Shahruk Khan. MIMI: Hahahha!…

Read More

NYETO NYETONI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 21 Cynthia akawa yupo hoi lakini alionekana kuwa mbishi Ndipo Chinoge alipoiamuru Nyundo imalize kazi Nyundo ikakita tumboni mwa bibie alitapika damu na nyongo Nyundo Ikazunguka na kwenda kukita magotini Mabonge ya damu yalizidi kumtoka bibie akawa amelala chini Licha ya purukushani na kelele zote zilizokuwa zikitokea hapo Sebreni Lucy hakuweza kusikia chochote hata waliokuwa nnje hawakuskia Nyundo ikarudi mkononi mwa Chinoge iliporudi tu! Akatoweka Songa nayo Sasa Mda wote Lucy alikuwa amekaa kitandani akiendelea kuperuzi kwenye mtandao wa Facebook pasipo kufahamu kuwa Dada yake kuna…

Read More

NYETO NYETONI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 16 Kaka yake Athumani alianza kurusha ngumi za dabo dabo huku akijampu huku nakule kumbuka yeye ni mwana Boxing mzuri tu! Chinoge akawa anapanchi pasipo kurudisha mashambulizi ”Mwalimu piga za chembe huyo” Ducha japokuwa aliambiwa aondoke wala hakufanya hivyo alibaki pale kuangalia jinsi mtu atakavyokuwa anafumuliwa “bila shaka umeshacheza vya kutosha kijana Sasa subiri nikuonyeshe show” Chinoge alizungumza hivyo akakaa staili yake Upepo ulivuma kuvuma kwa upepo ule kulimfanya Ducha ashtuke Sana Songa nayo Sasa ”Duchaa si nimekwambia uwondoke wewe? Nenda sasa” Kule kushtuka kwake ndipo…

Read More

NYETO NYETONI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 11 “mwalimu unamaanisha nini kumtaja Chinogae inamaana wewe ndiyo Chinoge yule shujaa niliyewahi kumsoma kwenye kitabu cha Mashujaa” ”hapana sio mimi” “kama sio wewe je wewe unaitwa nani!” “naitwa Hadar” ”opsii nilidhani wewe ndiyo Chinoge maana nilivyomsoma kwenye kitabu hakika anatisha mno” Basi Hadar akuzungumza kitu mpaka wanawasili nnje ya geti la nyumba kubwa ya Bibie Fetty akaagana na Ducha “whaoo baba huyo hatimae karudi kutoka kutafuta” Fetty alimkaribisha Ducha kwa furaha akatanua mikono na kumkumbatia kitendo ambacho kilimuuzi na kumkasirisha Sana yule binti aitwae Samiya…

Read More

NYETO NYETONI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 6 “je umeridhika’’ Ducha aliuliza hivyo baada kuona dada yake haendelei kumpiga ni swali ambalo lilimfanya Mwanaidi aangue kilio kama vile yeye ndiyo aliyepigwa yani alilia sana Ducha akaingia chumbani kwake kilichomponza Amiri ni yule Jini kujivika sura yake Ducha si aliweza kumuona ndiyo maana akamfata mpaka gereji Fetty aliweza kukaa na mama yake Ducha akaelezea dhamira yake ya kumuhitaji Ducha basi akakubaliwa kumchukuwa ila muamuzi wa mwisho ni Ducha mwenyewe Kesho yake majira ya saa tatu asubuhi maafande wapatao watatu waliweza kuwasili nyumbani kwa kina…

Read More

NYETO NYETONI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 1 Sasa ”wee Mwanaidi mbona hivyo?” ”ehee afadhali nimekuona Bibi wewe” ”umeniona au ulikuwa unanipita hivi hiyo tabiya yako ya kutembea macho juu juu kama vile muhesabu nyota utaiacha lini?” ”naanzaje kuiacha wakati unafahamu fika kuwa siku niliyozaliwa ndiyo siku ambayo Bibi yangu alikuwa anarusha Ungo” ”hahahaha warereeee haya nambie shogaangu wapi hiyo na furushi kubwa mkononi?” ”mmh furushi wapi mwenzangu nilikuwa napeleka vijora kulee kwa Mama Kimboka” ”khee inamaana siku hizi unauza vijora?” ”hapana siuzi wala nini” “kumbe vya nini sasa?” “hivi ni vya Sherehe…

Read More

PENZI NI HAKI YANGU ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 7 “khaa unataka kusema yule demu alikuwa na ukimwi Sasa waliombaka je?” “walivaa Condom kabisa” “ha!ha!ha!ha! Basi majamaa nyoko yani Wanatembea na zana mifukoni. Watakuwa wabakaji wa mwendo kasi,” Kilikuwa ni kikundi cha vijana fulani wakiongelea swala la kuuliwa yule Dada ghafla wakashtuka baada kuona vipeperushi Vikianguka kutokea juu, kila mmoja akaokota cha kwake na kukisoma kiliandikwa hivi (JE MSIBANI UTAENDA KUZIKA AU TUKUZIKE WEWE? UKIMWITA MALAYA JE MAMA YAKO NI MALAYA? HUWEZI KUMFAHAMU MCHAWI KAMA WEWE MWENYEWE SI MCHAWI NISHATOROKA JELA BY HAFIDHI…

Read More

PENZI NI HAKI YANGU ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 4 “ohoooo,,,,,,’’ ehee ngoja niushike mtalimbo kwanza alizungumza maneno hayo dada huyo huku akiupeleka mkono wake mpaka kwenye mashine ya Hafidhi kwakuwa alikuwa bado hajafunga zipu ya suruwali yake. Bibiye akaanza kukishikashika kichwa ili kuongeza uimara wa mashine aliichukua na kuiingiza mdomoni mwake, alianza kuinyonya kiufundi huku akichezea na kichwa aliuzamisha ulimi kwenye kitobo cha mashine na kushuka na ule mstari mpaka kwenye viazi mautamu “aaaah,,,aaaah,,,aaaaahhhh,,ooooh,,alila­lamika Hafidhi kwa sauti ya chini, mashine ilikakamaa na kusimama haswa ambapo dada huyo aliridhika na kupanua mapaja yake…

Read More

PENZI NI HAKI YANGU ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 1 kijana Yasri akiwa ndani ya gari la shule akimpungia mkono rafiki yake kipenzi Jerry na kumwambia msalimie bibiye Rahma, nini kiliendelea tunatoka kwenye nafsi ya kwanza na kuja nafsi ya tatu, “wee Yasri embu acha ushamba,’’ mmoja kati ya wanafunzi akamshika Yasri na kumwambia hivyo akimtaka atulie kwani kila muda alikuwa ni mtu wa kutoatoa kichwa chake kupitia dirishani “embu niache huko wee bwege nini’’ Yasri akamsukumiza Yule mwanafunzi kwa sauti ya ukali akazungumza hivyo, ndipo mwanamama ambaye alikuwa kama ndio msimamizi wa…

Read More

Mwanaume Ashitakiwa kwa Kumchinja Mwanamke, Kisha Kumchemsha Chanzo: Radio Jambo NAIROBI, KENYA, Alhamisi, Desemba 4, 2025 – Mahakama ya Nairobi Jumatano ilimsikiliza Hashim Dagane Muhumed, almaarufu Hashim Mohamed Khalif, anayekabiliwa na mashtaka mazito ya mauaji ya kikatili. Inadaiwa kwamba Hashim alimchinja kisha kuchemsha sehemu za mwili wa Deka Abdi Noor Gorane usiku wa tarehe 29–30 Oktoba 2024 katika Valley Heights Apartments, mtaa wa Lavington. Upande wa mashtaka unasema alifanya hivyo ili kuficha ushahidi wa mauaji mengine matatu aliyodaiwa kuyatenda wiki iliyotangulia. Mashtaka ya Mauaji Yafikishwa Mahakamani Mwendesha mashtaka mwandamizi, Bi. Gikui Gichui, aliieleza mahakama kwamba Hashim alimuua Deka kwa ukatili…

Read More

KIPAPATIO CHA NANII ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 5 Sara aliuliza huku akimsogelea Erick aliyekuwa anavaa ”usijari nitakutafuta Mpenzi kwasasa wacha niondoke Akatoka hadi Sebuleni aliwakuta wenzake wamebeba baadhi ya vitu akawapa ishara Tayari waondoke wakatoka Nnje kabisa ya Nyumba wakaruka ukuta wa Nyumba nyingine hao wakatokomea Gizani Siku hiyo bwana mkubwa Madebe alikuwa yupo nyumbani kwao amejilaza chumbani kwake Akiwa amelala akaota ndoto yani alijiona yupo katikati ya uwanja mkuubwa akiangalia huku nakule kulikuwa na miili ya watu iliyotapakaa hovyo haraiki ya watu wengi walionekana kupoteza maisha Akapaza sauti kumwita Dada yake…

Read More

KIPAPATIO CHA NANII ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 1 “Eee Mungu baba utaniacha hivi mpaka lini mimi mja wako, sitaki sitaki nije kukufukuru embu angalia kwajinsi ninavyochekwa nanyaliwa na kudharauliwa Hakika ndoa yangu naiona chungu zaidi ya shubiri yote sababu ya kutopata Mtoto ndiyo nafahamu kupata au kukosa yote ni majaaliwa yako wewe muweza wa mbingu na aridhi. Lakini kwanini watu hawataki kuelewa hilo Ee Mungu baba leo hii siitwi tena jina nililopewa na wazazi wangu Milfat heti naitwa Mgumba Tasa na mengineyo Naishi kwa wasiwasi Mume uliyenibariki ndiyo kawa sumu kali ya…

Read More

KIBAMIA ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 11 Jibu ni walikuwepo sasa unaweza ukaniambia kwanini hikuwa maarufu kama sasahivi? Kilichokosekana kwenye jamii ni staha hususani kwa wakinadada ndio wa kwanza kutangaza ovyo kuwa mwanaume fulani ana kibamia. Kwenye geto ambalo Cheche alikuwa analala,ni la jamaa yake.Sasa kama ujuavyo tabia za mageto,mwenye geto akiwa anataka kumsugua mpenzi wake lazima umpishe na hiyo ndiyo kanuni ya megeto yote wanaoishi vijana wenye mwingiliano mwingi wa mambo.Saa saba za usiku,Cheche akiwa amelala,alishangaa akishtuliwa kwa hodi iliyobishwa mlangoni,aliamka na kwenda kufungua,e bwana alikuwa ni mshikaji wake amelewa hasa,hizo nguo…

Read More

KIBAMIA ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 7 Walipokuwa wamegeukiana hapo ndipo Cheche alipogundua kuwa sura ya huyo si rafiki sana na umbo lake,halafu alikuwa amependeza tayari kichwani.Basi alichokifanya Cheche alimvuta yule dada mpaka kwenye giza fulani, “unataka nini?” kwa sauti ya kichovu alihoji huyo dada “kukutomba” Cheche alilitoa jibu hilo kavukavu mbele ya huyo dada… Dada wa watu alikaa kimya tu,sijui ni pombe au naye alipenda huo mchezo maana sio kawaida mtu uchukuliwe kama embe.Alichokifanya Cheche alimwinamisha dada huyo na kumpandisha Dera juu,chupi akaishusha chini.Akalishika dudu lake na kuanza kulipigapiga kwenye kidude mautamu…

Read More

KIBAMIA ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 4 “Cheche bwana,acha ujinga wako,” ni kwa sauti fulani ya chini yenye ukali wa wastani aliitoa Jamsin akizungumza hivyo huku akijitahidi kurusha mikono kujinasua kwa Cheche.Mtoto wa kike mpaka kwenye kona ya chumba alifikishwa,Cheche alikuwa akihema kweli maana haikuwa kazi nyepesi ni nguvu tu ndio zilitumika.Hapo kwenye kona Cheche alifanikiwa kuidhibiti mikono ya Jasmin kwa mkono wake mmoja kwahiyo mkono mwingine ulikuwa huru,mguu wake mmoja uliiingia katikati ya mapaja ya Jamsin na kumsababisha Jasmin kushindwa kukibana sawasawa kitumbua chake. Basi taratibu mkono wa Cheche ulianza kutambaa tumboni…

Read More

KIBAMIA ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 1 Bahati ya kupendwa alikuwa nayo,alijikubali na alikuwa kweli ni mwanaume anayevutia(handsome). Wanawake wengi hawakuweza kumjibu ovyo wala kumwambia wako na wapenzi hata kama wapo nao.Jina lake maarufu alijulikana kama Nego,misemo miwili ya wahenga ilimhusu kijana huyu, “kizuri hakikosi kasoro.” “Usipagawe na rangi ya chai,utamu wa chai ni sukari.” Hakuna kitu kibaya hapa duniani kama kuishi huku ukisumbuliwa na jambo ambalo ni aibu kumweleza mwenzako pia kujiwekea mazingira kwamba ni tatizo lako milele,hutesa sana nafsi ya mtu.Hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa kijana Nego,kijana mtanashati ambaye kila aliyemwona alijua…

Read More

PISI KALI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 4 “ Nimekumiss jamani uko wapi sa hivi niwatoe breakfast” “Nipo nyumbani Mercy hayupo yupo chuo” “ Oho vizuri basi fanya hivi,nakuja hapo muda si mrefu nawaletea breakfast”Alise ma yule mzee na kuongeza utani mwingine uliomfanya Brenda acheke, kisha mzee akakata simu. Dakika ishirini baadaye renge yam zee ilipiga honi nje ya geti.Brenda akatoka na kwenda kufungua.Mzee akaingiza gari na kushuka.”OMG! you look sexy! There is something different about you” “ Kitu gani mbon kawaida”Alijibu Brenda wakati huo mze akiliangalia tako lilivyokuwa likicheza ndani ya kibukta…

Read More

PISI KALI ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 1 “Kaka nimeshafika sa hivi tupo hosteli nimepumzika maana nahisi uchovu balaa.Mwambie mama aondoe hofu bana mi najielewa”. “Sawa dogo langu ila kuwa serias na masomo si unajua umepata bahati ya mkopo si huku hatuna kitu ukifeli shauri yako, sisi hatutataka kujua kitu” Yalikuwa maongezi kati ya msichana Brenda aliyekuwa ndio amefika tu jijini Dar es salaam kwa ajili ya kuanza masomo ya elimu stashahada. Alifika kwa ajili ya kuchukua digrii yake katika chuo kimoja maarufu sana jijini Dar es salaam UD.Alikuwa msichana mrembo aliyekamilika kila…

Read More

INATOSHA ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 4 Ilipoishia.. Nilipokuja kuzinduka tayari nilikuwa narudishwa gerezani,kitu kilichonifanya nishtuke ni tumbo la uchungu ambalo lilikuwa likiniuma na kunivuta sana haswa kwa maeneo ya kitovuni ndipo palikuwa pakiniuma sana. “Uuhh…! Uhh….! Hapa ni wapi…? Nauliza hapa ni wapi….?” “…yani kuua uue sasa hivi unazinduka nakujifanya hujui ulichofanya…? Si ndio…?” “…nisameheni jamani aiyaaa…! iyaaaa…! iyaaaa….! Levina mimi naozea jela uwii…!” Songa nayo sasa… Nakumbuka ilikuwa mida ya saa tatu za asubuh huku nikipandishwa kizimbani tena kwa mara ya pili nakusomewa mashtaka yangu juu ya mauaji niliyofanya,yule mama niliokuwa…

Read More

INATOSHA ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 1 Nililia sana bila kupata hata lepe la usingizi pale hospitali ya ‘LIGULA’ huku nikizungukwa na mapolisi wakisaidiana na manesi, pingu nilizofungwa mikononi na miguuni huku zikishikana na kitanda zilitosha kunithibiti kutokufanya vurugu ya aina yeyote, “Mungu wangu…! Mungu wangu…! mbona umeniacha…? Kwanini wajitenga mbali nami…! Kwanini wanikimbia nyakati za shida na matatizo…?” Ni kati ya maswali niliokuwa nikijiuliza sana akilini mwangu huku nikimlaumu sana sana mwenyezi Mungu aliyeniumba nakujiona ni mkosaji hapa duniani tena yule aliyetengwa kuanzia na jamii mpaka mbinguni. ~ BAADA YA SIKU 3…

Read More

UNA NINI LAKINI MELISSA ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi Sehemu Ya 4 Akamwambia kuna mengi anataka kuteta naye ila yote hayo yapasa yawe ya siri baina wao. Hategemei kumwona mtu yeyote anapata kuyafahamu, na basi kwa kufanya hivyo atakuwa amejiweka shidani. Maneno hayo yakamfanya Darren awe mtulivu na msikivu sana maana yalimaanisha ni jambo kubwa lenye uzito. Baba yake, Mr Gerald, akanywa kwanza fundo la glasi ya whisky kisha akamtazama mwanaye machoni. “Sikia, Darren,” akasema kabla hajasafisha koo lake na kujipangusa kwa mgongo wa kiganja. “Kuna mambo ya ajabu ajabu hapa katikati. Najua hauyafahamu na…

Read More