SITASAHAU JINSI MZUNGU ALIVYOTUTUMIKISHA KINGONO, MIMI NA MUME WANGU
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 3
Machozi yaliendelea kunitoka nikiwa nimepoteza kabisa tumaini la kupata msaada nikawa naondoka pale hotelini huku nimeinamisha kichwa chini lakini ghafla mtu akanigusa begani ikabidi nigeuke kumuangalia ni nani? Sikuamini macho yangu alikuwa ni mzungu aise nilishindwa kujizuia Kwa furaha niliyokuwa nayo nikajikuta nimemkumbatia mpaka mwenyewe akashangaa kwani nilihisi nikama zawadi imeshushwa kutoka mbinguni. “Ana Maria nilijua umeondoka” Nilijuta namuonyesha mzungu tabasamu pana huku yale machozi ya kumkosa mzungu yakiwa bado hayajafutika usoni hivyo kilio cha huzuni kikabadilika ghafla na kuwa kilio cha furaha. “Ooh baby, Sikutegemea kabisa kama tutaonana tena na utanipokea Kwa furaha namna hii” Mzungu aliongea Kwa furaha huku akinifuta machozi. Na ghafla tukabaki tunaangaliana mimi na Mzungu ,kama kawaida yake aliniangalia Kwa macho ya mahaba, hapo ndipo nilipoanza kujishtukia kwani nilikuwa nimemkumbatia mzungu. Nikaanza kujitoa kwenye lile kumbatio lakini Mzungu akatumia nguvu nyingi sana kunivuta kiunoni akanititi barabara alafu akanipiga mate Kwa nguvu mbele ya kadamnasi. Nilitaka nijizuie asiendelee kuninyonya mate mbele za watu lakini nikafikiria mara mbili hali ya mwanangu basi nikamuachia anipige mate vizuri bila pingamizi lolote.Watu wote wakatushangaa sisi pale hotelini nikamtoa mdomoni mwangu na kumwambia. “Ana Maria watu wanatuangalia sisi”. “Unaona aibu?” Aliniuliza huku akiwa bado kama anatamani kuendelea kunipiga mate. “Ndio”. “Basi usijali baby,twende hotelini nilipohamia”. Basi tulitoka nje mimi na mzungu tukachukua taksi kisha wote tukakaa siti ya nyuma. “Dereva tupeleke Albright hotel” Mzungu alimwambia dereva kisha akanigeukia mimi kwa tabasamu pana yahaani ni kama anawaza vile jinsi atakavyoniraruwararuwa tutakapofika hotelini.Mimi nikataka sasa nimwambie habari kuhusu mtoto ila nikawa natafuta nafasi ya kuanza kumwambia Mzungu maana kila nikimuangalia usoni huyu Mzungu naona amejawa tamaa za kingono isivyo kawaida.Ikabidi nianzishe mada maana Mzungu muda wote ananiangalia tu kwa matamanio hadi naona aibu. “Niliambiwa na muhudumu umehama hoteli imekuwaje tena ukarudi”. “Ulikuwa umesahau simu yako,nami nilishakukatia tamaa nikajua sitokupata tena hivyo niliamua kuja kwaajili ya kuirudisha simu yako Kwa muhudumu Ila bahati nzuri nikakukuta wewe,Na wewe Je ulikuja hotelini kunifata mimi au kuifata simu yako?” Mzungu aliongea hayo huku akiwa amenishika kidevu changu na mkono wake jicho lake likiwa nyanya kabisa (Limezingira na machozi) akisubiri jibu langu Kwa hamu kubwa na jibu langu halikumuangusha na fikra zake za kishenzi alizozifikiria kwani nilimjibu. “Nimekuja kukufata wewe” Hapo Mzungu akanirukia palepale na kutaka kunipa mate tena nami nikamzuia Kwa mikono miwili maana huyu Mzungu Kwa ngono ni kama amechanganyikiwa. “Vip baby,mbona hivyo” Mzungu aliongea Kwa tabu mno ni kama mtu aliyenyang’anywa tonge mdomoni. “Subiri kwanza tufike hotelini, nitakuelezea.Kwanini nilikufata”. Hapo ndo nikaona Mzungu anakuwa mpole kisha akatoa simu yangu kwenye pochi na kunikabidhi. Ni kweli mume wangu alishanipigia zaidi ya mara kumi kile kipindi cha majibu pia kunitumia sms lakini sasa ishakuwa ni taarifa zisizo na umuhimu kwasababu nilishazijua ikabidi niweke simu kwenye pochi ila sms ikaingie kuifungua ni mume wangu. “Uko wapi,Wewe rudi nyumbani haraka maana Jack kasharuhusiwa, Mimi nikatafute pesa haraka iwe Kwa kukopa au kuiba,Vinahitajika vidonge kwaajili ya kumfanya Jack aweze kupumua vizuri Kwa siku chache tu na vidonge vyenyewe ni laki nne hivyo unapaswa kuwahi nyumbani mimi nitoke” Sms Ile ilinihuzunisha sana nikajikuta natokwa na machozi. Mzungu akaniuliza “Uko sawa Rosemary”.Nikamjibu “Niko sawa”. Basi tulifika hotelini na kuingia ndani moja Kwa moja kwenye chumba cha Mzungu ,Tulipofika tu Mzungu alitaka aanze mambo yake lakini akasita kwani hakuniona kwenye hali ya furaha. “Rosemary,mbona unalia kwani tatizo ni nini?”. Sikumjibu kitu bali nilimtolea simu yangu ambayo ilikuwa na sms ya mume wangu ile ya majibu kutoka kuwa Jack ana moyo mkubwa na inahitajika operations India au South Africa pia na Ile sms iliyoingia saa hizi ya kuwa inahitajika laki nne ya vidonge.Nami nikaongezea “Hiyo ndiyo sababu iliyonileta kwako Ana Maria naomba unisaidie mwanangu asife” Basi Mzungu akanifuta machozi kisha kusema “Usijali nitakusaidia,Na Mwanao hatotibiwa South Africa au India bali atatibiwa kwenye hospitali kubwa zilizopo Marekani,Ila Tafadhari naomba na mimi unikubalie niwe mpenzi wako na ikiwezekana tufunge ndoa”
. Kauli ya Mzungu ilinichanganya sana kwani ni kauli ambayo imeshikilia maisha ya mwanangu,Ni kauli ambayo sipaswi kusitasita kwenye kutoa maamuzi.Ni kauli ambayo nikisema ndio nimekubali maana yake ndio nimekubali mwanangu atibiwe na nikisema sijakubali maana yake nimekataa mwanangu kutibiwa hivyo sikuwa na maamuzi mengine zaidi ya kusema “ndio nimekubali,Lakini wewe si mchumba wa Kaka yangu?”. Ilibidi nimuulize swali ambalo huwenda likanitoa kifungoni Ila mzungu alilijibu kimkato sana “Hayo mambo ya Frank achana nayo mi nakupenda wewe tu, Huwa siwapendi boys mimi ila inapobidi inabidi niwe na boys kidogo” “Inapobidi kivipi?”Ilibidi nimuulize “Inapobidi maana yake pale inapolazimu kuwa na mwanaume nakuwa naye tu,Kwa mfano tangu nimekuja Tanzania nimekuwa nikimtafuta mwanaume mzuri wa kiafrika ili anipe mimba ,na nipate mwanamke mzuri wa kiafrika nifunge naye ndoa” I Jibue la mzungu lilinitetemesha kidogo inamaana alimtumia Frank ili apate mimba na sasa anataka kufunga ndoa na mimi basi nikamuuliza swali lingine. “Kwanini iwe afrika na sio ulaya”. “Wanaume wa Africa ni rahisi kuwadhulumu mtoto tofauti na wazungu nami ndoto yangu nikuwa na watoto wawili mmoja wa kumzaa mwenyewe na mmoja wa mwanamke nitakayefunga naye ndoa, na bahati nzuri mwanamke nitakayefunga naye ndoa ndo wewe na tayari unamtoto, Hivyo Jack namuona kama mwanangu kabisa”. Mzungu aliongea hayo huku akizidi kunikaribia kabisa na mdomo wake mimi nilikuwa natetemeka kabisa yahaani huyu mzungu utafikiri ni dume fulani basi alimaliza kauli yake kwakunipiga mate kabisa.Nami nikaona acha tu aendelee kujiburudisha tu kwenye mwili wangu huku nikimuwazia mume wangu kuwa kumbe alikuwa anatumika tu mbele ya mzungu na lengo la mzungu ni kujipatia mimba tu kutoka kwake. Basi Mzungu alimaliza kuninyonya mate na lengo lake sasa ikawa ni kuyafyatua maziwa yangu yaliyopo kwenye sidiria ayanyonye hapo nikamzuia “Ana Maria,unajua mwanangu anaumwa sana na vinahitajika vidonge ili viweze kumsaidia apumue vizuri,Tafadhari naomba pesa kidogo ili nikamsaidie mtoto”. Basi Mzungu akaamka kwa haraka mno kisha kuvaa nguo zake vizuri huku akijilaumu “Mimi ni mzazi wa namna gani naendekeza mapenzi na kumsahau mwanangu” Kwa kweli nilimshangaa sana huyu mzungu yahaani tayari ashajimilikisha mpaka Jack. Basi nami nikarudishia nguo zangu vizuri kisha tukatoka nje ,Mzungu alionyesha kuchanganyikiwa sana kuliko hata mimi. “Ebu nipe simu yako” Mzungu aliniomba simu yangu kisha akampigia mume wangu kuuliza ni dawa gani zinahitajika.Wakati anaongea na simu mume wangu alikuwa na shobo nyingi sana kwa Mzungu yahaani huyu bila hata kukumbwa na tatizo lolote Mzungu akiamua kuondoka naye ulaya anaweza kuondoka naye saa yeyote kutokana na shobo zake lakini Mzungu alikuwa akimkwepa na kutaka atajiwe dawa tu,Basi alitajiwa dawa na kukata simu hakutaka mazoea sana na mume wangu. Wakati huo mimi nilikuwa nimeonyesha wivu kidogo,Ila ni wivu wa kumuonea wivu Mzungu “Kwanini mume wangu amshobokee kiasi kile?” Ila Mzungu akanielewa vibaya na kuhisi kuwa namuonea wivu asiongee na watu hivyo akaamua kunipoza. “Baby una wivu kweli,mi nishakwambia nakupenda wewe?”. “Huyo ni mwanaume na wewe umesema unahitaji mimba,Mimi kama mwanamke siwezi kukupa mimba itakuwaje unafikiri lazima nikuonee wivu”Nilizuga kidogo lakini Mzungu alinijibu jibu lililonishtua kidogo. “Huyu kaka yako nilifanya naye mapenzi bila kinga katika siku zangu za kushika ujauzito,Hivyo nasubiri baada ya siku chache zinazokuja nitaingia kwenye siku zangu, Nisipoziona siku zangu tu nitajua tayari nimeshika mimba hivyo tutamtoroka huyu mjinga asijue chochote” Mzungu alinyamaza kidogo kisha kutoa kiasi kama cha shilingi milioni moja. “Chukua hii pesa kisha fatilia passport na visa ya kwenda USA ndani ya siku hizi mbili uwe umekamilisha kila kitu, Hakikisha humwambii kaka yako ili siku nikikupigia simu tu unakuja wewe na mtoto tu usije na libegi la nguo, ulaya kuna nguo nyingi nzuri utanunua huko huko sawa”
Mzungu hakufika mbali.Aliishia kwenye duka la madawa kubwa lililo karibu na hoteli anayoishi akaninunulia dawa za mtoto kisha akanisisitizia nisije nikamwambia Frank mpango wetu wa kutoroka pia hakutaka tena kuja nyumbani ili kuonana tena na Frank maana walishamalizana kikubwa ni mimi tu kufanya mpango wa viza na hati ya kusafiria (Passport) kwa Siri.Mzungu aliniambia kama nitamwambia lolote Frank na Frank akaanza kumgasi kuhusu mimba aliyokuwa nayo au anayotegemea kuwa nayo atatoroka peke yake hivyo nitakosa msaada.Basi kila mtu akatawanyika baada ya kununua madawa ya mtoto,Mzungu alirudi hotelini nami nikarudi kwetu. Nilipofika tu mume wangu akanipokea Kwa furaha. “Yuko wapi Mzungu” Hiyo ndo kauli yake ya kwanza isiyokuwa na salamu wala kuonyesha hali ya kutaka kujua dawa za mtoto zimenunuliwa au laa,Nilimuangalia tu Kwa jicho baya na kumjibu. “Kasema haji huku”. “Si unaona mke wangu,Mi nilikwambia mzungu Yule anahela cha msingi nikumng’ang’ania tu”. Sikumjibu kitu kwani niliona tu nikama vile hajitambui tu maana hajui malengo ya Mzungu huyu,Hivyo nikamchukua Mwanangu na kumnywesha dawa zile za kusaidia kupumua kisha nikaingia jikoni nikamtengenezea mtoto uji safi nikamnywesha uji mwanangu na kumbembeleza alale.Muda huo wote mume wangu alikuwa ananifata nyumanyuma huku akiniongelesha maongezi kuhusu mzungu huku akimsifia sana Mzungu mimi nikawa sina la kusema kwani angemjua huyo Mzungu kiundani wala hata asingemzungumzia. Basi mtoto alilala na mume wangu akaniita kabisa sebuleni ili tuongee sasa Kwa kina kuhusu Mzungu. “Mke wangu,nimekuita hapa ili uniruhusu sasa nimuoe Mzungu,Kama unavyoona Mzungu katusaidia sana hospitalini,Madawa hivyo ni jukumu letu kulipa fadhila,Mimi nitamuoa Mzungu hii itamfanya mzungu atusaidie operation” Aliongea Kwa kujaribu kunishawishi sana juu ya uzuri wa mzungu na umuhimu wa Mzungu katika maisha yetu,Mimi nikawa namuona kama taira vile kwani hana analolijua kuhusu Mzungu na kama akijua chochote atamchukia Mzungu milele nikamjibu kwa mkato tu “Ruksa kumuoa Mzungu mimi nitabaki kama dada yako mradi mwanangu apone”. Hapo alifurahi sana na kunikumbatia kisha kuniambia “Naomba nikamfate sasa hivi Mzungu ili nimshawishi kuhusu operation ya mtoto”.Nikamjibu tu kiraisi “Ruksa” Hapo nikamuona anafuraha isivyokawaida akaenda kubadilisha shati,viatu viko wapi huyo akaondoka mi nikabaki namsikitikia tu moyoni nikaenda zangu kulala. Baada ya masaa matatu alirejea akanigongea nikamfungulia na kumpokea Kwa kumkejeli kidogo. “Vip, Baba mzungu ushaenda na kurudi mara hii?” alafu nikaendelea na Kejele “Mbagala hadi posta kwenda na kurudi ,jumlisha muda wa kulala na Mzungu umetumia masaa matatu ulienda na fast jet au na hiko kimkweche chako” “Mama Jack ebu kuwa seriasi kidogo ujue Mzungu tumemkosa” “Kivip”Nikajifanya kushtuka kidogo. “Nimeenda mpaka hotelini alipofikia nimeambiwa kashaondoka, nimempigia simu hapatikani Kwakweli tumekwisha mke wangu, Jack wetu tutampoteza”Machozi yalimtoka mpaka nikamuonea huruma ikabidi nimkumbatie kwa kumbembeleza. “Pole ,mume wangu ila jikaze kwa mitihani ya dunia”Kisha na mimi machozi yakanitoka kidogo kwani mume wangu nampenda sana na sikutaka aumie zaidi, Nilitamani kumwambia siri yangu na mzungu ila nikasita kidogo kuwa atavumilia kweli huyu? mzungu asijue kuwa anajua maana Mzungu akijua kuwa mume wangu anajua mpango wetu wa kutoroka hatosaidia tena na nikimuacha hivihivi bila kumfahamisha sababu ya kutoroka atanichukia milele na pengine anaweza jiua kwasababu yangu nami sitaki hilo litokee. Hivyo upande wa kumueleza ukweli kuhusu Mzungu na mpango wetu wa kutoroka ndo niliona unauzito zaidi kwasababu unaokoa mambo mengi zaidi kuliko upande wa kumficha Ila kasoro yake ni moja tu inabidi ajitahidi ili Mzungu asijue kuwa yeye anajua mpango wetu wa kutoroka. Kasoro hiyo niliiona ndogo tu ikabidi nianze kumuandaa kisaikolojia kabla ya kumwambia kuhusu mpango wa Mzungu. “Mume wangu”Nilimuita kisha nikaacha kumkumbatia nikamshika usoni Kwa mikono miwili huku nikimuangalia. “Eehee”Aliitikia. “Hivi unanipenda kweli?”. “Swali,gani unaniuliza ndio nakupenda”. “Je ,Jack unampenda?”. “Ni mwanangu lazima nimpende”. “Je ikitokea mimi na Jack tunapaswa kuondoka na kukuacha wewe peke yako ili Jack apone au tubaki wote hapahapa alafu Jack afe utachagua nini”
“Mmh Swali gani hilo unauliza bwana hilo haliwezi kutokea”. “Je likitokea?Tufanye mfano limetokea utachagua jibu lipi?”. “Mmh nitawaruhusu muende”. “Basi kama utaturuhusu tuende kwenye mfano wako,Basi turuhusu tuende basi kikwelikweli” Kauli yangu hii ilimshtua mume wangu ikabidi aniangalie vizuri na kuniuliza. “Kivipi,mbona sikuelewi mke wangu”. “Utanielewa tu mume wangu,Hivi unakumbuka Ile siku ya kwanza ulivyonipa habari za Mzungu ulisemaje ili kunishawishi umuhimu wa Mzungu kwetu”. “Mmh,Sikumbuki vizuri”. “Ulisema kuwa hii ndo nafasi yetu ya kutoka kimaisha,Je kama ulimpa umuhimu vile Mzungu wakati wa umasikini tu,Je wakati huu ambapo Mzungu anahitajika ili Jack apone Mzungu anaumuhimu kiasi gani kwetu” Alijibu “Sana” Lakini akawa bado haelewihelewi kwanini najaribu kuichota akili yake. “Mume wangu,Ebu simama kwenye nafasi yangu hii na mimi nisimame kwenye nafasi yako ,Je Mimi nikiwa kama mumeo nikakwambia nimepata Mzungu wa kike ambaye atatusaidia matibabu ya Jack Ila sharti ni Mimi ni muoe tu,Je wewe ukiwa kama mama utatoa maamuzi gani? Ya kunuruhusu nimuoe mzungu ili Jack atibiwe au nikatae ombi la mzungu alafu tumuangalie mwanetu akifa kwa kukosa msaada” Alifikiri kidogo kisha akanijibu. “Nitakuruhusu umuoe Mzungu ili mtoto atibiwe” “Kama ndo hivyo basi,Naomba uniruhusu nimuoe Mzungu ili Jack atibiwe” Alishtuka kidogo kisha akauliza Kwa mshangao. “Eehe! Kivipi mbona sikuelewi?”. “Ni hivi mume wangu,Huyu mzungu ni msagaji hivy….” Kabla sijamaliza Kauli yangu alidakia Kwa hasira. “Hivyo unataka kumuoa mwanamke mwenzako hii ni laana ya aina gani tena unaniletea kwenye nyumba yangu ,We mwanamke mbona unataka kunitia aibu, yahaani watu waseme mkewe ameenda kusagwa ili wamtibie mtoto” Palepale nami nikapandwa na hasira maana nilijaribu kumueleza kwa upole yeye kajifanya kuja juu. “Kwahiyo watu wakisema ndo nini? We unataka watu wasiseme alafu Jack afe,Watu walivyo watasema tu huwezi kuwazuia watu wasiseme hata mtoto akitufia mikononi mwetu watu watasema tu,Huna namna ya kuwazuia watu wasiseme”. Nilisema kwa hasira huku machozi yakinitoka nikatoka kuelekea chumbani huku yeye nikimuacha amekaa kwenye kiti huku akitafakari. Baada ya muda Fulani mume wangu aliingia chumbani nilipomuona tu nilifumba macho kujifanya nimelala lakini machozi yakaniumbua kwani yalikuwa yanatiririka tu mashavuni. Mume wangu alinifata mpaka nilipo kisha akanikumbatia na kunibusu mashavuni. “Pole mke wangu, Hukustahili kupata mume mzembe kama mimi, Mume niliyeshindwa kabisa kuipigania familia yangu”. Maneno hayo ya mume wangu huwa yananihuzunisha sana kila nikiyasikia na mara nyingi maneno haya huyatoa kila tunapopitia misukosuko ila Leo ndo yalinihuzunisha zaidi kwani ukichanganya na ugonjwa wa Jack na tumetoka kugombana muda si mrefu basi nikajikuta nalia kwa sauti kama mtu aliyefiwa. Basi ilibidi tukumbatiane huku tukibembelezana maana wote tulikuwa tunalia. “Mimi kama mume nimeiangusha sana familia yangu”. “Usiseme hivyo,Mume wangu kwani riziki anatoa Mungu” “Hivyo nahitaji kufanya Jambo la mwisho walau kuisaidia familia yangu”. Alivuta pumzi kisha kuendelea “Mke wangu Rosemary mi nimekuruhusu uolewe au sijui umuoe huyo Mzungu nyi wenyewe mtajua wenyewe ilimradi Jack wangu abaki kuwa Salama” Kauli Ile aliitoa kwa uchungu mzito hali iliyomsababisha machozi yamtoke nami nikashindwa kujizuia kulia nilivyoona machozi yake yanatiririka kwa uchungu sana. Basi tulikumbatiana nami nikamueleza plan zote za Mzungu mpaka mpango wa Mzungu kutaka kubeba ujauzito kimyakimya na pengine muda huu tunaoongea Mzungu atakuwa kashapata ujauzito. Basi tulilala ila kesho yake asubuhi tuliamshwa na simu kutoka kwa mzungu. “Hallow, Rosemary”. “Hallow Anamaria”. “Nimebadilisha mpango,Mjulishe kaka yako kuwa anapaswa akusindikize marekani”. “Kwanini ,Ana mbona ghafla hivi”. “Maelezo ni mengi ila muda ni mchache kwenye simu ni kwamba safari inabidi tusafiri siku chache zijazo nami nimepima ujauzito sina, Hivyo siwezi kuendelea kusubiri mpaka kipindi cha ujauzito tena hapahapa Tanzania,Cha msingi mwambie Kaka yako akusindikize Marekani,Tutamtorokea hukohuko Marekani baada ya mtoto kupona”
***Share Kwa wingi ili tusonge mbele**
“Ana Maria,Kwa kweli hilo siwezi,Yule ni kaka yangu siwezi kumtelekeza ughaibuni ,Kama unataka kufanya mambo yako bora umalizie hapahapa Tanzania”.Niliongea kwa uchungu kwasababu toka awali nilikuwa na uchungu sana kuhusu maamuzi magumu niliyochukua na bado huyu mzungu anazidi kuniongezea machungu. “We unachohofia nini?Kuwa atabaki Marekani au?”. Mzungu aliuliza “Ndio”. “Siwezi kufanya hivyo mi nitakachofanya nikumuachia pesa ya kutosha aweze kurudi Tanzania na sio tumtoroke tu bila kumuachia chochote” Mzungu akakata simu. Uzuri niliweka loud speaker hivyo mume wangu alisikia mazungumzo yote ya mzungu akanikumbatia ili kunitia moyo. “Usijali kuhusu mimi wewe muangalie mwanao tu mi nitakuwa salama iwe Tanzania au Marekani” Binafsi nilikuwa simuelewi Mzungu mara zote nilikuwa napata hisia kuwa huyu mzungu anaweza kutuingiza kwenye matatizo makubwa zaidi ya haya hivyo nikamwambia mume wangu. “Binafsi simuamini huyu mzungu huwenda akatubadilikia huko Marekani”. “Usiogope mke wangu,Sisi sehemu yetu ya kuhakikisha mwanetu anapona tushamaliza,Hayo mambo mengine tumuachie Mungu”. “Basi naomba uwe makini huko ulaya maana roho yangu inasita kweli wewe kuongozana na sisi”. Mume wangu alinikumbatia kisha kuniambia. “Usiwe na hofu,tulale tu huku hayo mengine tukimuachia Mungu yatajiseti yenyewe”. Basi tulilala huku tukisubiri kesho tukafanye mipango ya harakaharaka ya viza na hati ya kusafiria (Passport)
————————————————————–
Hayawi hayawi mwishowe yamekuwa Safari ya Marekani ikaiva,Tukakutana na Mzungu Airport ya mwalimu Nyerere iliyopo Kipawa Dar es Salaam. Mzungu alipotuona akatukaribisha Airport kwa kutukumbatia kabisa akatukabidhi tiketi zetu za ndege na mipango ya safari ikaanza. Ilikuwa ni majira ya saa nne usiku ndege ikapaa na hiyo ndo mara yangu ya kwanza kupanda ndege. Katika Safari hiyo mimi na mume wangu tulikaa siti za karibu karibu na mzungu alikaa mbele yetu kidogo, Ila kitu kilichonishangaza Kwa Mzungu kabla hata hatujapanda ndege kunawakati alitoa diary yake na kuandika vitu fulani akiwa kajitenga mbali kabisa na alionekana ni mwenye mawazo kidogo sio yule mzungu wa kuchekacheka muda wote mpaka pale tulipotangaziwa ili tukaguliwe mizigo na kupanda ndege bado yeye alionekana yuko bize mpaka mimi ndo nikamshtua kuwa muda wa safari tayari hivyo alikurupuka fasta na kufunga diary yake haraka na kuficha, Hili lilinipa wasiwasi hivyo kwenye ndege muda wote nikawa namuangalia yeye huku nikimtafakari huyu Mzungu kwenye kile kidiary alikuwa anaandika kitu gani ambacho kilikuwa kikimuumiza kichwa. Basi ndege iliambaa na anga na tukafika sehemu fulani ilibidi tushuke mi nikajua tushafika kumbe tulikuwa tunabadilisha ndege na safari hii Mzungu alikaa kwenye siti ya pembeni na mimi ile Kwa upande mwingine. Mimi nikawa bado namtafakari huyu Mzungu anawaza nini kichwani mwake mbona kile kidiary alikificha ghafla kipi hataki tujue wakati namtazama muda wote mara na yeye akaanza kuniangalia kama kawaida yake akawa ananiangalia kwa macho yake ya mahaba hapo ikabidi nimpotezee na kujifanya nimepitiwa na usingizi ghafla. Safari ya masaa na masaa ndani ya ndege na uchovu tele huku mimi na mume wangu roho zetu tukiwa tumezikabidhi Kwa muumba wa mbingu na ardhi maana hichi tunachokifanya hatuna uhakika kama tunapatia au kukosea iliishia kwenye jiji la Los Angeles nchini Marekani ambapo tulishuka tukapokea mizigo yetu mzungu akaita usafiri tukapanda tukaelekea hoteli moja ipo karibu kabisa na hospital inayofanya operation za moyo Cedar-Sinai mount hospital.Hotel tuliyofikia sisi ilikuwa inaitwa Holiday Inn hotel unaweza ukashangaa kidogo maana ili jina unaweza hisi sio geni kwako hata mimi pia nilishangaa kwani eneo hilo lina hoteli nyingi zenye majina maarufu hapa Tanzania kama Sheraton, Ramada na nyingine kibao hilo halikunishangaza sana ila kilichonishangaza Mzungu mara baada ya kumlipa dereva taksi alitoa diary yake na kuandika kitu.Tulifika kwenye hoteli tukachukua chumba kimoja na kuweka vitu vyetu pia napo Mzungu alitoa diary yake nakuandika. Hili swala la Mzungu kuandika andika kila mara kwenye diary yake lilinipa wasiwasi kidogo na nikawa natamani nimuibie ile diary ili nijue anachokiandika maana huyu mzungu tangu nimemjua sikuwahi kumuamini hata kidogo kwani macho yake ya wiziwizi na muda wote hujichekesha ovyo ovyo
Sehemu Ya 4
Baada ya kuweka vitu pale hotelini hatukupoteza muda moja kwa moja tulielekea hospitalini ambapo tulipokelewa vizuri sana na tukawapatia madaktari wa pale majibu ya vipimo vya moyo vilivyofanyika muhimbili basi moja kwa moja mwanetu alipelekwa kwenye vipimo vingine ili madaktari wajiridhishe kwanza na vipimo vyetu. Baadaye Nesi alitufata tukiwa tumekaa kwenye benchi mimi,Mume wangu na Mzungu kutuambia kuwa tunaruhusiwa kuondoka wote au abaki mtu mmoja kwaajili ya uangalizi. Kauli hiyo ya Nesi ilitoa mwanya kwetu tuweze kuondoka ila baada ya kauli hiyo Mzungu alifungua mkoba wake na kutoa kidiary chake kisha kutuambia. “Samahanini nisubirini kidogo” Kwa kuwa nilikuwa nahofu mara mbili huku ugenini,hofu ya kwanza ni mtoto na hofu ya pili ni huyu mzungu je ni mwema kweli au shetani.Hivyo nami nikamuaga mume wangu kuwa naenda chooni maramoja. Nikaanza kumfatilia Mzungu anaelekea wapi na kile kidiary chake. Mzungu alitoka na kile kidiary chake kwenye lile jengo linalohusika na maswala ya moyo na kuelekea kwenye Jengo lingine. Jengo lilikuwa limeandikwa kwa maandishi makubwa “Reconstrutive Urogy department” Sikuelewa maana yake kwasababu lilikuwa ni neno gumu la kingereza kwangu Licha ya baadaye nilikuja kugundua hiyo department inahusihana na mambo ya viungo vya ngono ninaposema viungo vya ngono si maanishi mfumo wa uzazi bali hii department inajihusisha mambo ya kuvibadilisha viungo vya ngono kwasababu wakati namfatilia Mzungu kwa nyuma nilijaribu kusoma kila mlango ambapo ndo ilikuwa sub department ili niweze kuelewa hiyo department inahusu nini ndipo nikaona vitu kama “Transgender health and Surgery” yahaani hiki kidepartment kinahusika na wale jamaa madume jike lakini mzungu alikipita hiko kidepartment,Vipo videpartment vingivingi Ila Mzungu akaingia kwenye department moja imeandikwa “Penile implant surgery” yahaani inahusu mambo ya uume tu kukuza na vitu vingine hapa Mzungu aliingia ndani nami nikapata hofu anaenda kufanya nini huyu. Basi ikanibidi nami niingie ndani nimuone huyu Mzungu anaelekea wapi akaingia Kwa daktari mmoja na kuanza kuongea naye huku akiwa amekitoa kidiary chake. Baada ya maongezi yao yaliyodumu kama dakika tano hivi Mzungu akatoa peni yake na kuandika vitu fulani alafu akachukua simu yake kupiga mahesabu. Mimi muda huo nilikuwa Kwa nje namchungulia tu ,uzuri wenyewe mlango ni wa kioo hivyo ni rahisi kuona yanayoendelea ndani. Baada ya kumaliza kuandikaandika Mzungu alitoka nami nikawa siwezi kukimbia ili asinione hivyo ilibidi nijifiche palepale karibu na mlango. Basi alitoka huku akipiga kichwa chake na mkono wake huku akijisemea “Woow,So expensive I didn’t expect it,But it will pay me back”. (Woow ni gharama mno sikutegemea lakini itanilipa) Mzungu alitoka nami nikamfata nyumanyuma na kunasehemu aliamua kusimama ili kupiga simu mimi nikampita nikarudi kwenye wodi yetu. Mzungu alirudi tulipokuwa tumekaa nasi tukamsikiliza maana yeye ndo muamuzi wa kila kitu pale. “Frank ,utabaki na mtoto sawa, Acha sisi twende tukanunue baadhi ya mahitaji ya mtoto tutarejea kesho” Mzungu akazama kwenye pochi yake nakutoa takriban Dola elfu tatu na kumkabidhi mume wangu. “Hii itakusaidia Kwa mahitaji yako binafsi kama chakula na kadhalika, Chakula cha mtoto hospitali yenyewe itashughulikia”. Mume wangu alikipokea kile kiasi na kushukuru kisha Mimi na Mzungu tukaondoka njiani nikamuuliza Mzungu “Hukuona kuwa mimi ndo nastahili zaidi kubaki pale hospitali Kwa kuwa ni mama”. Mzungu akatabasamu huku akiniangalia kwa jicho la huba na kusema maneno utafikiri kabanwa pumzi “Nikuwa natamani tu ,Leo tuogeshane tena mpenzi wangu”
Mzungu aliendelea kujichekesha huku mimi nikimuwazia mengi huyu mzungu ana nia gani? Kwanini aende kwenye kitengo cha mambo ya ngono hasahasa Ile department ya kukuza uume? Yeye ni mwanaume? hapana. Sasa kule kaenda kutafuta nini? Na kwanini baada ya kutoka akune kichwa kwa kudai kuwa ni gharama sana ila itamlipa.Kichwa changu kilijikuta kimetawaliwa na maswali mengi yasiyo na majibu wakati tunaelekea hotelini. Hotelini na hospitali sio mbali hivyo tulitembea Kwa mguu tu na haikupita dakika tano tukawa tushafika hotelini. Moyoni nilijua tukio linaloenda kutokea dakika chache zijazo ila sikuwa na jinsi wala ujanja wowote wa kuzuia hilo tukio lisitokee. Tuliingia chumbani ambapo kabla sijakaa vizuri Mzungu alinipa mate hapohapo na kuniangushia kwenye kitanda,Ambapo yeye akaja kwa juu kunyonya lita za kutosha za mate yangu. Kwakweli si kuwa na namna ya kumzuia mzungu bali nikumruhusu aendelee tu na kile anachokifanya ila roho iliniuma sana nikajikuta nadondosha machozi. Mzungu aliyashtukia Yale machozi akaniuliza. “Baby uko sawa kweli” Nikamjibu. “Niko sawa”
Mzungu aliacha kuendelea na zoezi lake kisha kupiga simu mapokezi watuletee chipsi kuku mbili na wine. Baada ya muhudumu kuleta vyakula. Nilifikiria kuwa tunaanza kula chakula kwanza ila chaajabu nilimuona Mzungu akivua nguo zake zote kisha akanifata na kunibusu usoni na kuanza kunivua nguo zangu,hapo ikabidi nimuulize “Ana Maria nilifikiri tunakula kwanza” akajichekesha huku akiniangalia Kwa macho ya huba akatoa ile sauti yake ya kama amekabwa na maji kooni. “Tunaoga kwanza baby we ulifikiria tunaanza kufanyaje” Aliniambia hayo huku akinisogelea na kuanza kuidondosha nguo yangu moja badala ya nyingine macho yake yalikuwa bado yananiangalia usoni yahaani ananitamani balaa. “Baby we ni mzuri sana” Alinisifia huku akiwa kashadondosha nguo zangu zote chini kisha akanivuta na kunikumbatia tukaelekea bafuni huku tumekumbatiana Kwa kweli sikupenda nifanye haya yote ila sikuwa na jinsi bali ni kumridhisha tu Mzungu na sikutaka kuonyesha upinzani wa aina yeyote kwake kwasababu nilitamani kujua huyu mzungu ana mpango gani na sisi. Nilijua wazi kuwa kama nitaonyesha hali ya kupinga basi ninaweza nikaharibu mambo yakawa mabaya zaidi yalivyo. Basi tulifika bafuni huku tukiwa tumekumbatiana vilevile huku Mzungu akizidi kuniangalia kimahaba. “Baby Leo tuoge kwenye jakuza” Mzungu aliniambia mara baada ya kufika bafuni alafu akafungulia maji ya uvuguvugu yakajaa kwenye jakuza kisha akachukua sabuni ya maji akamiminia kwenye jakuza.Jakuza lote likawa na maji ya mapovu kisha tukaingia ili kuoga.Jakuza lilivyo Kwa watu wasiojua ni kama beseni fulani hivi refu ambalo limetengenezwa na zege ,Urefu wake mtu anaweza akaingia na akalala hivyo Mzungu alikuwa wa kwanza kuingia kwenye jakuza nami nikamfata.Ila nilipoingia tu Mzungu alikuja kwa juu yangu huku akiniangalia kimahaba na kuniambia. “Baby tuogeshane”. Taratibu nikamuona ananipapasa Kwa malengo ya kunisugua kwenye maungo yangu ya mwili nami pia sikutaka kumuangusha nilianza kumpapasa taratibu huku nikitumia mapovu ya kwenye jakuza. Mpapaso ulikuwa ni mkali mno ndani ya jakuza Mzungu alinishikashika kila sehemu hatarishi ya kuleta nyege huku nami nikijitahidi kujibu mapigo kwa kumshikashika naye kila sehemu hatarishi ya kumletea nyege mwisho wa siku nikajikuta siwezi hata kunyanyua mkono nimezidiwa mno na nyege basi Mzungu akanipiga mate hapo nikajisahau kabisa kama nipo ulimwengu huu kwa maraha. Mzungu alinitoa kwenye Jakuza huku nikiwa sijiwezi kwa nyege yahaani natamani hata kuanguka maana kutembea siwezi mpaka kwenye bomba la mvua ambapo alinimwagia maji ya kunitoa sabuni kisha naye akajimwagia maji ya kujitoa sabuni kisha tukarudi chumbani ambapo Mzungu hakunipa nafasi ya kukaa hata kula chakula kwani alijua nishazidiwa na nyege basi akanitupia kitandani alafu yeye akaja kwa juu alichokifanya moja Kwa moja nikutanua miguu yangu na kupitisha ulimi wake katikati hapo akanivuruga kabisa nikajikuta naanza kutoa vilio vya mahaba
Kiukweli alinivuruga sana alipogusa eneo hilo kwa ulimi hasa ukizingatia toka nizaliwe sijawahi kabisa kuguswa eneo hili kwa ulimi basi nikajikuta nakishikilia kichwa cha mzungu kisitoke eneo lile maana nilijikuta nimepagawa kwelikweli. Haikupita hata dakika tano nikajikuta nishafua dafu na hapo ndo akili yangu ya ubinadamu ikaanza kunijia nikakumbuka kuwa hapa tuko ulaya na huyu Mzungu anachokiwaza kichwani mwake sikijui hivyo yapaswa kuwa makini,Ila sikutaka kumuonyesha hali ya utofauti huyu Mzungu nami niliamua kumpa burudani aliyonipa huku nikiongezea mbwembwe kidogo kwa kumnywesha mvinyo wa wine uliyoletwa na muhudumu. Mambo yalikuwa ni bambam na Mzungu naye akawa ameridhika na huduma niliyompatia. Baada ya hapo tulikula huku mimi nikijaribu kumuonyesha mahaba zaidi Mzungu Kwa kumnywesha wine. Nilihakikisha kalewa chakali huku mimi nikiwa mkavu sijaonja hata glass moja ya wine. “Baby mbona hunywi?” Sauti ya ulevi ya Mzungu akiniuliza kwanini sinywi pombe nami nikamjibu. “Nakunywa ,Sana kwani huoni,Alafu” Kabla sijamaliza nikamuangalia Mzungu ,kumbe alikuwa kashapitiwa na usingizi basi nikamlaza kitandani alafu kazi ikawa ni moja tu kukitafuta kile kidiary chake kwenye mkoba wake. Zoezi la kutafuta diary ya mzungu halikuwa gumu kwani mara moja niliipata kwenye mkoba wake na kuanza kupekua ndani ya Ile diary yake. Diary ya Mzungu ilinishangaza kidogo kwasababu alikuwa akirekodi kila aina ya gharama anayoitumia yahaani Mzungu anaishi Kwa mahesabu makali kwani ndani ya hiyo diary nilishangaa kuona amerekodi nusu dollar gharama ya usafiri kutoka chakechake kwenda chakechake uwanja ndege hii ilinishangaza kuhusu huyu Mzungu maana yeye ana pesa nyingi Ila chaajabu anarekodi mpaka shilingi elfu moja ya kitanzania. Hivyo nikajikuta nipo very interested kuhusu kile kidiary chake na kuanza kuacha kumfikiria mabaya hata nikikutana na matumizi yetu aliyoyarekodi ,ndani ya hicho kidiary kunasehemu aliandika future expenses (Yahaani gharama zijazo) basi nikaanza kupekuwa katika zile gharama zijazo pia katika zile gharama zijazo nikakuta kunazingine kazipigia tiki yahaani kashazifanya. Ila kunagharama ambazo zilianza kunishangaza kuhusu huyu Mzungu ni gharama ambazo alizitabiria miezi miwili kabla ya safari yake kuja Zanzibar (Sex with four Blackman ,tall and handsome) hii aliipigia tiki alafu akajumuisha Kwa pamoja akaandika Fail to get suitable (Yahaani amefeli kumpata anayefaa) Basi nikazidi kusonga mbele nikakuta nikaangalia tarehe za alipoandika fail to get suitable na tarehe aliyokutana na mume wangu zimepishana tarehe mbili hivyo nikapata picha kidogo nikarudi kule kwenye matumizi ya kawaida nikakuta “Unexpected black handsome not in my plan” kaorodhesha gharama kidogo nikarudi huku kwenye future baada ya wale blackman nikakuta (Sex with Bigboot and beautiful lesbian in Zanzibar) yahaani (Kufanya ngono na msagaji mzuri na mwenye makalio makubwa Zanzibar) Ila kwa mbele kaandika Fail to get suitable (Amefeli kumpata anayefaa). Nilipozidi kusoma nikakuta “Unexpected beautiful lady with Bigboot but not lesbian” (Mwanamke mzuri mwenye makalio makubwa ila sio msagaji) Kwa mbele nikakuta sasa ameanza kuorodhesha gharama zangu hadi zile za muhimbili ,mpaka Ile milioni moja na gharama zingine kibao ikiwemo operations ya moyo. Hii ikanipa wasiwasi kuhusu huyu Mzungu nikazidi kupekuwa nikakuta “micro camera installment cost” Yahaani gharama za kufunga kamera ndogo hii ikanipa mshtuko inamaana hizo kamera zimefungwa wapi maana ameshapiga tiki katika hizo gharama nikajikuta nairudisha Ile diary harakaharaka Kwa kuhofia naonekana na kulala huku nikijifunika shuka gubigubi. Kwa kweli siku hiyo sikufanikiwa kulala vizuri kwani kichwani nilijawa na mawazo tele kuhusu huyu Mzungu ana mipango gani na sisi maana kwa mujibu wa diary yake inaonyesha alitoka ulaya kuja Afrika Kwa mpango maalum kabisa.Kututafuta watu kama mimi na mume wangu hivyo mambo yote yanayoendelea sio kwamba Mzungu anatusaidia bali anatekeleza mipango yake. Niliwaza sana siku hiyo na nikajikuta nakosa usingizi ikabidi niigugudue ile chupa ya wine ndipo nikapitiwa na usingizi
Asubuhi nilipofumbua macho tu nikakutana na uso wa Mzungu huku akitabasamu na kunishikashika nywele zangu. “Baby umenifurahisha sana Jana” Mzungu alisema hayo huku akinibusubusu.Mimi nikabaki namuangalia tu namshangaa. “Leo nataka unisindikize sehemu amka ujiandae twende” “Hatuendi hospitali?” Ilibidi nimuulize maana nilitarajia baada tu ya kuamka safari ingekuwa ya kwenda hospitali. “Tutaenda baadaye,Huku ni tofauti na kwenu huku muda wowote unaruhusiwa kwenda kumuona mgonjwa Ila wakiwa wanahitaji kumuhudumia mgonjwa ndo watakwambia ukae Kwa nje” Jibu lile la Mzungu lilinitosheleza ,basi tukajiandaa na kutoka
Tukatoka tukachukua usafiri wa taksi kuelekea huko anapotaka kunipeleka ,Sikujua ni wapi ila nilijitahidi kuangalia mazingira ya nje ili kusoma mazingira ya mji maana nilijua mbele ya huyu mzungu muda wowote mambo yataharibika. “Rosemary angalia,Umeiona Studio ya Hollywood” Mzungu alijifanya mchangamfu kunionyesha sehemu mbalimbali za jiji la Los Angeles. Basi hatimaye mwendo wa masaa mawili kupita tukiwa ndani ya taksi tulifika kwenye duka moja kubwa ilibidi nilisome hilo duka limeandikwaje. lilikuwa limeandikwa Amor Lingerie Sex shop bila shaka hili ni duka linalouza bidhaa za ngono namaanisha linajihusisha kuuza midoli ya ngono (Sex toys) nikajikuta najisemea kimoyoni. “Mama yangu balaa gani hili”. Tulishuka mimi na Mzungu kwenye taksi huku mimi nikisoma baadhi ya maandishi mengine ambayo yapo kama tangazo la kuvutia wateja kuingia ndani ili kununua bidhaa maandishi yalikuwa yameandikwa (Good dream begin with organism) Yahaani ndoto njema huanza na kufika kileleni. Duka lilikuwa kubwa kwa kweli na wateja wengi walikuwa ni wanawake na wanaume wenye asili ya ushoga. “Rosemary nataka tukioana tufurahie maisha na hapa ndipo kuna bidhaa bora kabisa duniani za kufurahia maisha”. Mzungu aliyasema hayo wakati tukiingia dukani huku mimi nikibaki na mshangao tu maana siamini kinachoendelea pale dukani. Wateja wengi niliwashuhudia wakichukua bidhaa moja tu na kuondoka ,Ila hali ilikuwa tofauti kidogo Kwa upande wetu kwani Anamaria alikuwa anachukua kila aina ya sample iliyopo hapo dukani hali hii ilinitisha kidogo ikabidi niulize. “Mbona unachukua bidhaa zote sasa mi nilitegemea utachukua tu mdoli mmoja wa kiume na kuondoka?”. “Kila moja ina raha yake,Kwa mfano hii inaitwa Complete le wand Pleasure set ,Hiki kiboksi unapata seti nzima ndani yake kuna kuwa na kimpira ambacho kama uume ukikingiza kingine kinabaki kusisimua juu ya uke ,pia kuna vibration ya umeme ambayo itakusisimua juu ya uke, Lazima ufurahie baby”. Mzungu aliongea huku akitabasamu na kuichukua bidhaa kuipaki kwenye mfuko. Bado tukawa tunaendelea kuchukua bidhaa ,Ajabu nikamuona Mzungu anachukua toy za kike na kupakia kwenye mfuko ikabidi nimuulize. “Hizo toy za kike za kazi gani tena Anamaria?” Nikamuona anajing’atang’ata hana la kusema alafu akasema. “Hizi ni zawadi kwaajili ya binamu yangu”. Nikamuangalia machoni alikuwa anajichekeshachekesha tu ni wazi huyu Mzungu ni muongo. Wakati tunaendelea kuchukua zile dildo (Midori ya ngono) ,Mara ghafla simu yake ikaita namba ilikuwa imeseviwa Manager akaipokea na kusogea pembeni ili nisisikie mazungumzo yake.Nami nikajiongeza kumfata alipo ilinisikie mazungumzo yake. “Yeah ,She is very cute,black beuty with Brazilian boot if you come to Amor shop you will see her”(Ndio ni mzuri,weusi wa kuvutia na anamatako ya kibrazili kama utakuja Amor shop utamuona) .Mzungu alisita kidogo kisha akaendelea “I was in Zanzibar I couldn’t find suitable one ,black handsome man with long and fat dick atleast I have someone black handsome man with long dick but thin dick but don’t worry I will convince him to do surgery”( Nilikuwa Zanzibar lakini sikufanikiwa kumpata anayefaa mwanaume mweusi mzuri mwenye uume mrefu na mnene lakini bora ninaye mwanaume mmoja mweusi mzuri mwenye uume mrefu lakini ni mwembamba Ila usijali nitamshawishi afanye operation). Hapo moyo ulilia paaha nusu nizimie yale maongezi ya Mzungu.Kwani maongezi yote alikuwa anatuzungumzia sisi mimi na mume wangu. Na huyu mume wangu ndo wamemkusudia kumfanyia upasuaji wa uume kabisa ili kumuongezea ukubwa wa sehemu zake nyeti, Yote hayo Mzungu anafanya Kwa kazi gani basi nilijikuta naenda chini kwa presha nakuzimia papopapo
Sehemu Ya 5
Nilijikuta nimeanguka chini na kuzimia palepale tena Kwa kishindo kizito hali iliyomshtua Anamaria akaja haraka pale nilipo na kucheki kama napumua akagundua napumua . Akanilaza chini na kuunyanyua mguu wangu mmoja kisha kuukunja na kuusukumia usawa wa kwenye moyo. Nilikuja kuuliza baadaye nilipozinduka nikaambiwa hiyo ni huduma ya kwanza Kwa mtu aliyezimia. Kitendo cha kuzimia maana yake damu imeshindwa kusafiri vizuri kwenye ubongo hivyo yeye alichokifanya kwanza nikuangalia kama napumua vizuri akagundua napumua vizuri ndipo akaupinda mguu wangu kuelekeza kwenye moyo ili moyo usafirishe damu maeneo ya kichwa ,Ana Maria anasema kama ningekuwa sipumui vizuri basi angenifanyia CPR wakati huo amepiga emergency call kwaajili ya msaada Kwa wasiojua CPR ni kitendo cha kuushtua moyo ili uweze kusukuma damu kitendo hiki unaweza kikifanya Kwa kumuwekea mgonjwa viganja vyako viwili na kujaribu kupump. Basi niliamka nikamkuta Mzungu akiwa na hofu kubwa juu yangu. “Rosemary ,uko sawa kweli” Nikamjibu “Niko sawa”. “Sasa kwanini umezimia ghafla kuna kitu umekiona kikakushtua au?” “Hamna basi tu nimejishangaa nimeanguka” Ilibidi nizuge ili asigundue kuwa nimesiki baadhi ya mipango yake lakini Mzungu ni kana kwamba alijua mimi tayari najua kidogo kuhusu mipango yake. Basi tulirudi hotelini na Mzungu alinitaka nipumzike kidogo nayeye nimuache atangulie hospitali. Nilimsisitizia sana twende pamoja hospitali lakini yeye aliniambia. “Rosemary umetoka kuzimia muda si mrefu baki hotelini kwanza kama lisaa limoja hivi ndo uje hospitali” Mzungu alisema hayo kisha kutoka na kuelekea hospitali huku mi akinibakiza na mawazo.Niliwaza sana kama robo saa hivi ndipo nikagundua kumbe mimi kubaki hotelini kwa lisaa limoja ni janja ya Mzungu ili apate nafasi nzuri ya kumshawishi mume wangu kuhusu kufanya operation ya uume Basi ikabidi nitoke haraka ili kwenda kunusuru hayo maafa yanayoenda kutokea yasitokee . Ila cha ajabu nilipofika kwenye chumba cha binti yangu pale hospitalini kabla hata sijafungua mlango nikasikia sauti ya mume wangu akimwambia Mzungu. “Unajua nakupenda,Sana Anamaria”. Sikuamini masikio yangu ikabidi nichungulie kupitia kitundu cha mlango. “Nakupenda pia Frank,ndo maana nimeamua kumsaidia dada yako mpaka dakika hii.Matatizo yote yakiisha naomba tufunge ndoa”. Dah Kwa kweli sijaamini kwamba yale maneno yanatoka Kwa mzungu ilibidi niingie ghafla ili nivuruge maongezi yao. “Eehee ,Rosemary umefika mapema mno”Mzungu aliongea kwa kujichekesha mimi nikawa sicheki safari hii.Nikamchukua mume wangu na kumvuta nje tukamuacha mzungu yuko peke yake kwenye chumba. “We unajua,Huyu Mzungu sio mtu mzuri?”.Nilimwambia mume wangu Kwa sura ya hasira kidogo. “Mimi sasa naanza kutokukuamini, Kwasababu ulisema tulipokuwa Tanzania kuwa huyu Mzungu anakutaka wewe hivyo atasafiri na wewe tu kinyume chake tumesafiri wote,Bado ukasema mipango ya mzungu nikunitelekeza mimi hapa Marekani kinyume chake mzungu anataka tufunge ndoa”. Dah kwakweli nilimshangaa mume wangu ikabidi nimpige kibao kimoja ili akili yake ikae sawa kidogo. “Hivi ,Frank unaakili kweli we mwanaume,Siku Ile simu ya Mzungu imepigwa mbele yako kuwa Mzungu kahairisha sisi kukutoroka Tanzania na badala yake tutakutorokea Marekani alafu unasema mimi nimekudanganya”. Machozi yalikuwa yakinitoka kwasababu nilijua huyu mwanaume kwa kuelekea kutokuniamini kunaweza kutuletea matatizo makubwa. “Bado siaminiamini hayo usemayo maana kama Mzungu sio mtu mzuri kwanini atusaidie kumtibia mwanetu?” Bado aliendelea kusisitiza upuuzi wake, Mimi nikabaki namshangaa tu nikamwambia kwa upole. “Mume wangu naomba uniamini, Huyu Mzungu sio mtu mzuri naomba mwanetu akishafanyiwa operation tutoroke tuutafute ubalozi wa Tanzania ulipo utusaidie kurudi nyumbani kinyume cha hapo mambo mazito yatatukuta”. Frank akacheka tu, kisha akasema. “Rosemary mke wangu mi nakuona unaona wivu tu,Hii nafasi mi siwezi kuiachia, huku ni kutoka kimaisha huku .Huyu Mzungu ana miliki makampuni mi nikimuoa nakuwa shareholders.Sasa wewe sababu ya wivu wako unataka unirudishe Tanzania nikaendeshe taksi” Nilijaribu kumshawishi mume wangu kuwa tutafute nafasi ya kutoroka lakini akawa anielewi hivyo ikabidi turejee kwenye chumba cha mtoto bila muafaka. “Rosemary,hukupaswa kuwepo hapa wewe ni mgonjwa” Mzungu alisema huku akinishikashika nywele zangu. “Nimejikaza ili nije kumsaidia kaka akapumzike leo” Yahaani bora hata nisingetumia neno nimejikaza kwani kupitia kauli yangu hiyohiyo Mzungu alipata point. “Hutakiwi kujikaza, unatakiwa kupumzika,kuhusu nani atampumzisha kaka yako mimi nipo Leo nitawasaidia kukaa na mgonjwa” Kauli hii ya Mzungu iliniogopesha sana ikabidi nijibu harakaharaka. “Hapana haiwezekani”. “Haiwezekani kwanini mi sifai kukaa na mtoto?”. Mzungu aliuliza mara Frank akadakia. “Rosemary ,ebu acha ubishi Anamaria kasema atakusaidia kukaa na mtoto wewe unapaswa kupumzika ,Licha ya hivyo nimeambiwa wewe ni mgonjwa hivyo unapaswa kupata usingizi mzuri na kupumzika”. Hoja nikawa sina Kwakweli na wakati huo mzungu akanisogelea huku akinishikashika shavuni na kusema. “Usiwe ,na hofu Rosemary Jack atakuwa salama”. Sikuwa na hoja nyingine maana ilionekana kama kung’ang’ania kubaki pale hospitali nikutokumuamini Mzungu. Mzungu alizama kwenye pochi na kutupa Dola mia kila mmoja kwaajili ya matumizi ya chakula cha usiku. Ila kabla ya kuondoka alikuja nesi akiwa na karatasi ya kusainisha “Are you Rosemary,mother of the child” (Wewe ni Rosemary mama wa mtoto) “Yes”(ndio). “Sign here” (Sign hapa). Nesi alinionyesha karatasi ya kusign ili mwanangu afanyiwe operation nikashangaa Ila ilibidi nisign hivyohivyo nikamuuliza operation ni lini Ila Ana Maria akawahi “Tomorrow” Najilaumu sana nilikuwa mjinga sikuikagua karatasi vizuri na Nesi akaondoka. Mzungu akasema “Rosemary nenda kapumzike ili kesho asubuhi saa tatu uwahi hospitali Jack atakuwa ndo anafanyiwa operation”. Hapo nikamuona mume wangu anajipendekeza Kwa Mzungu mbele yangu Kwa kumkumbatia mzungu. “Tunasukuru sana Kwa msaada wako bila wewe tusingefikia hapa”. Mzungu aliitikia kwa ufupi tu “Thanks” Nami nikapaswa nimshukuru Mzungu lakini nikawa nasitasita maana hadi sasa hivi huyu Mzungu mipango yake haieleweki,Nilisita Sana mpaka Frank akanipa ishara kuwa natakiwa kumshukuru Mzungu ndipo nikamshukuru Kwa kumpa mkono lakini Mzungu akanivuta na kunikumbatia huku mimi nikiachia mikono kuonyesha sijakubali kumbatio lake la kinafiki. kishainong’oneza Kwa sauti ya chini kabisa. “See you in lesbian Paradise the day after tomorrow” (Tuonane katika Pepo ya wasagaji siku baada ya kesho (Kesho kutwa)).
. Maneno ya Mzungu yalinipa wasiwasi mkubwa kuhusu huyu Mzungu nini alichokusudia kufanya baada ya operation. Nilitaka kugoma kuondoka pale hospitalini lakini mume wangu akanizuia na kunivuta kwa nguvu ili kunitoa kwenye chumba wakati huo Mzungu aliniangalia huku akitabasamu na kunipa ishara yake ya busu. Tulifika nje bado tukawa tunaendelea kugombana mimi na mume wangu mpaka askari mmoja akatuambia tuache kupiga kelele hilo ni eneo la hospital na hapo ndo rasmi sasa mimi na mume wangu tukaondoka pale hospitalini Ila bado njia nzima tuliendelea kugombana “We Rosemary ebu acha utoto bwana unajua tuko nchi ya watu hapa” Mume wangu alifoka mara baada ya kutoka hospitali alivyoniona bado naendelea kuleta ubishi.Basi ikabidi niwe mpole maana haijalishi natumia nguvu kiasi gani kuleta ubishi na Frank naye alikuwa anatumia nguvu hizohizo kuzuia ubishi wangu nikamuuliza ili kumchota akili yake nione inafikiria nini? “Hivi we mwanaume huyu mzungu unamuamini sana? “. “Mzungu hana shida huyu,Jana tu alinipa Dola elfu tatu na chakula ni dola 50,Hivyo sinahofu naye hata chembe ,Angekuwa ni mbaya asinge mtibia mwanetu”. “Frank ebu jitambue basi kidogo, Mzungu anania mbaya nahisi anataka tucheze picha za ngono”. Hapo Frank akacheka kweli kweli alafu akajoki “Kama anataka tucheze picha za ngono sio mbaya hata mimi natamani tucheze picha za ngono nasikia unakuwa tajiri kwa muda mfupi” Hii kauli ya Frank ilinikera kweli na nikakosa maneno mengine ya kumwambia tena ilibidi nikae kimya tu maana kiazi kama hiki sijui utakishawishi vipi. Tukafika hotelini tukaagiza msosi ambapo tuliletewa chumbani tukala kisha mimi nikatoka kuelekea bafuni kwenda kuoga lakini Frank akanifata nyumanyuma nikaufunga mlango wa bafuni kwa haraka. “We Rosemary ,Fungua bwana tuoge wote” Mimi sikumjali huyu mjinga kwasababu niliamini wazi pale tulipo kuna kamera Mzungu anatucheki movement zetu zote licha ya kuwa yeye yuko hospitali sisi tuko hotelini na nilijua kabisa kumueleza Frank Kwa harakaharaka kuwa Mzungu katega kamera hawezi kunielewa basi aliendelea kusisitiza mlangoni nifungue nami nikawa simjali naendelea na shuguli zangu. Baada ya kumaliza nikatoka. “We mwanamke toka umekuja ulaya umebadilika sana” Alisema Frank Kwa hasira alafu huyo akaingia bafuni kwenda kuoga. Mimi nikachukua suruali yangu ya kubana nikaivaa.Frank baada ya kumaliza kuoga na kujifuta na taulo kila kitu tena akiwa uchi wa unyama akajitupa kitandani mi nikamwambia. “Frank ebu acha ujinga kavae nguo kwanza” Frank akashanga “Eehee,makubwa sikuelewi unajua we mwanamke”. “Kipi usichokielewa kama ulikuwa hujui hiki chumba chote Mzungu kafunga kamera hivyo pamoja yupo hospitali anaona kila kitu kinachoendelea hapa hospitali”. Frank akacheka kidogo. “Yahaani siamini kama umenibadilikia hivi ulaya Kwa kisingizio cha Mzungu” “Yahaani bado tu uniamini,Endelea tu kutoniamini Ila mambo yakiharibika ndo utakumbuka huo ujinga wako uliokuwa ukiuwaza eti utafunga ndoa na Mzungu naye atakupa umiliki wa hisa zake kwenye kampuni yake, Na laiti ungejua Mzungu anania gani na wewe sasa hivi ungeshakuwa ubalozi wa Tanzania unaomba msaada wa kurudi nyumbani”. Frank akajichekesha kidogo kisha kusema. “Rosemary naona wewe umechanganyikiwa si bure” “Mimi sijachanganyikiwa bali wewe ndo umechanganyikiwa na hivi navyokwambia Mzungu anampango wa kukufanyia operation ya uume” Frank akashangaa. “Uume “. “Ndio unachoshangaa ni nini sasa hapo we si umejifanya uko tayari kuigiza picha za ngono sasa unavyojiona hiko kidude chako kitavutia kikipigwa kamera”. Hapa Frank akakasirika akataka kunipiga nikakwepa nikamwambia “Tena naomba uniache ukithubutu kunipiga hata Kofi moja zitalia ngumu hutasahau mpaka kwenu”. Frank akacheka. “We mwanamke unachekesha kweli” Basi mi nikanyanyuka na kuanza kupekuwa begi langu,Lengo langu kubwa kuhakikisha hati yangu ya kusafiria (Passport) ipo salama ili kuanzia kesho mara tu mtoto atakapokaa sawa nimbebe na kutoroka naye ili jitu zima lisilojitambua acha libaki hapahapa Marekani . Basi nilitafuta Passport kwenye begi langu pasinamafanikio mpaka nikachoka ikanibidi nianze kupekua begi la mume wangu huwenda labda Passport tumeziweka humu maana tuliweka kwenye begi moja lakini hola. “Unatafuta nini we kwenye begi langu?” Frank aliniuliza. “Passport”. “Passport”. “Ndio”. “Nimempa Mzungu ,Kasema anataka kututafutia vibali vya kufanyia kazi hapa Marekani
Aise nilikasirika sana Frank kuniambia maneno kama yale nilitamani nimrukie lakini nikashindwa nikajikuta nimeishiwa nguvu huku machozi ya kinitoka. “Hivi Frank unaakili kweli?” Nilimuuliza huku nikiwa seriasi sana mpaka Frank akaogopa . “Kwanini?Unasema hivyo”. “Hapa tumekuja kufanya kazi au kumtibia mtoto?”. “Kumtibia mtoto,Ila kama inatokea nafasi ya kazi si tunafanya tu”. “We unahisi hapa kuna nafasi gani ya kazi inayokufaa mtu mjinga kama wewe”. “We ,mwanamke acha kunitukana”. “Lazima nikutukane ili akili yako ikukae sawa maana umekuwa mtu wa kudanganyika sijapata kuona”. “Kivipi, mbona mi naona sawa tu”. “Ana Maria ni raia wa nchi gani”. “Mmmh,Aaah, Sweden”. Alijikuta anababaika kutoa jibu. “Sasa hapa tuko wapi?”. “Marekani”. “Kwa hiyo unatafutiwa kibali cha kufanya kazi Marekani alafu Anamaria anarudi kwao Sweden”. Akabaki anajiumauma tu alafu akatoa mwenyewe jibu dhaifu kabisa “Unawezekana yeye ni mkazi wa huku” “Tungefikia hotelini?” Nilimuuliza kwasababu niliona anatetea upuuzi mpaka sasa kashazitaifisha passport kwa Mzungu alafu hana wasiwasi wowote. Basi akaendelea kutetea upuuzi wake “Labda yeye sio mkazi wa loss Angles ndo maana tumefikia hotelini”. Nikabaki namuangalia tu simmalizi maana ujinga kichwani ndo umemjaa. Basi nikamtupia suruali yake. “Haya vaa hiyo tulale “. Alitaka kuleta ubishi ubishi lakini akaniona namuangalia kwa jicho baya akabidi avae kisha ndo tukalala. Basi tukalala mpaka asubuhi mzungu wa nne,Saa Kumi na mbili asubuhi nilishtuka nakumshtua Frank. “Ni muda wa kwenda hospitali huu”. “Muda bado,kwani saa tatu tayari” Kauli yake ilinishangaza kabisa kwani kama mzazi siku ya Leo inabidi uwe na wasiwasi mkubwa kuhusu mtoto kwani Leo ndo anaingia kwenye operation ya moyo na lolote linaweza kutokea hivyo kama mzazi unapaswa kufika mapema walau kumkumbatia mwanao kimwishomwisho kabla hajaingia kwenye harakati za kupambania maisha yake. Mi nilivyomuona amekuwa mzito kuamka kutokana nakupigwa na ubaridi wa Aice mi nikaona acha nijiandae haraka niwahi hospitali. Wakati nimeshuka tu pale hotelini kwa chini hospitali unaiona Ile nikamuona Ana Maria akiwa nawatu kadhaa wamembeba mtoto na wameshikilia dripu yake ya dawa mkononi wanaingia kwenye gari. Nilipata mshtuko mkubwa na nikaanza kuikimbilia gari isiondoke lakini nilikuwa mbali sana sikuweza kuifikia Ile gari hata wao hawakuweza kuniona. Nikajikuta napiga kelele kuita Kwa nguvu “Ana Maria,Ana Maria” Machozi yakaanza kunitoka “Oooh Jack wangu mie”. Pamoja na kumuona Anamaria akiwa na watu kadhaa wamembeba mtoto na dripu yake huku nikihisi kuwa yule mtoto huwenda atakuwa Jack lakini bado ilibidi nikahakikishe kwenye chumba cha Jack kama yupo au laa. Basi nilienda na presha kubwa sana huku nikiomba Mungu ajaalie kile nilichokiona kiwe ndoto au kama kikiwa cha kweli basi yule asiwe Jack. Basi nilienda mchakamchaka mpaka kwenye chumba cha mtoto Ile kufungua tu hamna mtoto. Basi nilijikuta naanguka chini kwa kilio “ooh ,Jack wangu,Maskini mwanangu”. Nesi mmoja akanifata na kuniambia kwa kingereza “Dada haturuhusu mtu kupiga kelele hapa,kama una tatizo lolote unaweza ukaniambia nikusaidie”. “Samahani dada,Huyu mtoto aliyeko hapa kaenda wapi”. “Huyo alifanyiwa operation jana saa nne usiku”. “Eehee” Nikajikuta nimeshtuka. “Ilibidi alale hapa lakini mlezi wake kalazimisha kuondoka na mgonjwa wake”. Hapo nikapata presha mara mbili yahaani mlezi wake ni nani?Zaidi ya Ana Maria . Basi nikawa natoka huku kichwa nikiwa nimeinamisha chini machozi yakinitoka. Muhudumu mapokezi akaniita “Madam are you Rosemary”. ( Madam wewe ni Rosemary). “Yes “. (Ndio) “We have something for you” (Tuna kitu kwaajili yako). Muhudumu wa mapokezi akatoa kifurushi kidogo na kunikabidhi. “From whom?” (Kutoka kwa Nani) Niliuliza Kwa taharuki kwani nitegemee kitu kutoka kwanani tena zaidi ya Kwa Anamaria,ndio nikutoka Kwa Anamaria.Basi muhudumu akajibu “From Anamaria”( Kutoka kwa Anamaria) Basi moyo ulinilipuka paah
Moyo ulinipasuka nakuanza kuifungua Ile bahasha harakaharaka kujua huyu mpuuzi kaweka nini humu . Nikashangaa kukuta simu kubwa ya smartphone ikiwa imeandikwa kwa juu “See you in lesbian Paradise Rosemary”. (Tuonane kwenye Pepo ya wasagaji Rosemary) Basi sikufanya hajizi niliiwasha Ile simu haraka sana nikakuta tayari kuna line ndani yake nikawa nimeishikilia huku natetemeka nikiamini muda wowote huyu mpuuzi atanipigia simu. Ilibidi nirudi zangu hotelini nikamkuta Frank bado kalala anapigwa na kiyoyozi. “Frank,Frank amka “. Nilimuamsha Kwa kumtikisha kwa nguvu naye akaamka kama mtu aliyelewa. “Nini we mwanamke ,muda bado bwana”. “Mambo yashaharibika”. Ikabidi sasa aamke vizuri na kuniuliza. “Kivipi?”. “Mzungu kamuiba mtoto” Akashtuka. “Unasemaje”. “Ndo hivyo baba, Mzungu kamuiba mtoto alafu katuachia simu hii hapa sijui anampango wa kufanya nini”. “Eehee” nikamuona kashtuka isivyokawaida. “Sasa ,tutafanya nini?”. “Ndo hivyo ,itabidi tusubiri tu maana katuachia simu inamaana atapiga kutupa maelekezo”.
Basi Frank alichanganyikiwa kusikia vile huku naye machozi yakimtoka kama mimi tukaungana kwenye kilio cha msiba hapo mara ghafla simu iliita iliyotunyamazisha. “Hallow”. “Hallow we mshenzi Anamaria mwanangu umempeleka wapi?”. “Tulia baby mwanetu yupo salama, Hata mimi ni mama wa huyu mtoto hivyo nina haki pia ya kumuhamisha hospitali moja kwenda nyingine kwaajili ya matibabu zaidi”. “Huyo sio mwanao ebu niambie umemficha wapi Jack wangu yupo salama”. “Usijali baby ,Jack yupo salama Ila ili umpate Jack inapaswa umshawishi Frank akafanyiwe upasuaji WA uume” Mzungu alimeza mate kisha kuendelea. “Najua huyo ni mume wako na wala sio Kaka yako hivyo nyinyi kama wazazi mnapaswa kushauriana katika hili mfanye huo upasuaji au msahau kuhusu Jack,hilo la kwanza” Uzuri nikwamba niliweka loud speaker ili wote tusikie.Mzungu akameza mate kisha kuendelea. “Mumeo akifanikiwa kufanya upasuaji wa uume wake mtakuwa mmejishindia nafasi ya kumuona Jack kupitia video call”. “We mshenzi nikukumata nakuuwa” Nilisema Kwa hasira,Anamaria akacheka. “Aahaa,Mnapaswa mfate maelekezo vizuri ili mpate kurejea kwenu Salama,Baada ya upasuaji mtapaswa mcheze picha za ngono ili kufidia gharama zangu zote za kuwasafirisha kutoka Tanzania mpaka Marekani na kama mkibisha Jack atalipa hizi gharama zote”. “We mshenzi lolote likimkuta Jack nitakuuwa” Anamaria alikata simu tukabaki tunaangaliana Mimi na mume wangu yahaani hatuamini kinachotokea katika maisha yetu. Mara sms ikaingia kwenye ile simu “Titiii” Mlio wa meseji nikaufungua fasta nimeseji inatoka Kwa Anamaria. “Frank anapaswa kuwahi hospitali kabla ya saa tatu kwaajili ya operation yake”. Tulisoma sms wote Kwa pamoja nakubaki tunatazamana.Frank akaniambia huku machozi yakimtoka “Mke wangu naomba nisamehee toka mwanzo sikukuuamini na nimejikuta nikiiangusha sana familia yetu”. Basi tukajikuta tunakumbatiana huku tunalia. “Ni muda wa mimi kama baba kuhakikisha Jack anakuwa salama, Usijali mke wangu nipo tayari kufanyiwa hiyo operation wanaotaka wao pia nipo tayari kufanya lolote ilimradi Jack na wewe mbaki kuwa salama”. Kauli hii ya mume wangu ilinipa moyo kuona kama kweli nina mume ilibidi nimkumbatie mume wangu ili twende wote tulikabiri hilo tatizo. Basi ilibidi tujiandae kwaajili ya kwenda huko hospitali kwaajili ya operation ya uume. Wakati tunatoka Anamaria akapiga tena simu “Rosemary nadhani unakijua vizuri kitengo ambacho kinahusika na mambo hayo kwasababu siku Ile ulinisindikiza hadi Kwa daktari,Sasa cha msingi Leo msindikize mumeo kwa daktari yule yule niliyemuona mimi siku ile kila kitu kishalipiwa cha msingi mumtajie jina langu tu” Alisema hayo kisha akakata simu. Mimi nikamuongoza mume wangu mpaka kwenye kitengo cha uume ambapo tulimtajia yule daktari jina la Anamaria yule daktari akacheka. “Silcon dick”(Uume wa silcon). Basi mume wangu akachukuliwa na daktari kwenda chumba maalumu kwaajili yakumfanyia hiyo operation ambapo Kwa mujibu wa daktari watachukua madini ya silicon na kuyapandikiza kwenye uume wa Frank
Basi aliingizwa kwenye chumba cha upasuaji ambacho kipo kama kwa chini hivi alafu kimefunikwa na vioo ambapo kwa juu wanakaa watu kushuhudia upasuaji jinsi unavyooendelea.Nami nilikaa kwa juu nikashangaa watu wanakuja na makamera makubwa kurekodi tukio la upasuaji kwakweli huku ni kudhalilishana ila nilishindwa kuwakemea hawa watu au kuwazuia hawa watu kwasababu sikujua wanatoka wapi. Basi kwa mara ya kwanza nilishuhudia upasuaji wa kutisha katika maisha yangu kwani mume wangu alichanwa karibia na uume kisha wakaanza kuchoma madini ya silicon kupitia sindano kwenye eneo walilolipasua kisha nikawaona nikama wanaisukumiza ile silcon kupitia mikono kwakweli zoezi lile liliisha salama Ila wakati natoka nikashangaa nimewekewa kamera kwaajili ya mahojiano kabla sijafanya mahojiano yeyote simu yangu iliita kuangalia alikuwa ni Ana Maria. “Hallow baby Rosemary”. Nilikasirika sana kusikia sauti ya huyu mpuuzi ikabidi nimwambie kwa hasira. “Mlete mwanangu zoezi lenu lishakwisha”. “Hapana ,halijakwisha kwani mimi nawadai pesa nyingi sana na hapo mmejiongezea Deni tena kwa kufanya upasuaji wa uume” Nikakasirika na kumjibu. “Huu upasuaji ni juu yenu”. “Hapana ni juu yako na mumeo kwani mumeo angekuwa na saizi ya kupendeza kwenye kamera tusingefanya huo upasuaji ,Sasa inapaswa sasa uanze kulipa madeni yangu Rosemary,Deni la kwanza kulipa ni hilo la upasuaji unapaswa kuwaambia watangazaji kuwa “Toka uolewe na mume wako hukuwahi kufurahia saizi ya mumeo hivyo mmekubaliana mtoke Tanzania kuja Marekani kufanya upasuaji katika hilo,na sasa unafuraha”” Maneno ya Anamaria yaliniumiza sana eti niseme mimi ndiye mwanamke nisiyeridhika namna hiyo mpaka nimshawishi mume wangu aje kufanya upasuaji.Nikamuuliza Anamaria kwa uchungu. “Anamaria ,Kwanini unanifanyia mimi hivyo” Anamaria akacheka. “Aahaa,Hupaswi kulalamika wala kulia unapaswa uwe na furaha na uelezee furaha uliyonayo baada ya mumeo kufanya upasuaji,Ukifanikiwa chini ya kiwango cha furaha basi mwanao hutamuona tena,Tutamlea na akikuwa atacheza filamu za ngono ili kufidia madeni wanayodaiwa wazazi wake”. Baada ya kuongea ujinga wake akakata simu ,Alafu akaja mdada mmoja wakizungu kuja kuniuliza maswali kuwa najisikiaje baada ya mume wangu kufanyiwa upasuaji. “Hey , Rosemary how do you feel after penis enlargement surgery to your husband”(Rosemary unanisikiaje baada ya upasuaji wa kuongeza uume Kwa mume wako). Aise yule mdada aliyejifanya muandishi wa habari hatonisahau kwani nilishindwa kuzizuia hasira zangu kinyume na matakwa ya Anamaria.Nilimrukia yule dada na kumpiga vichwa,Makofi na mabao mpaka Askari wakaja sikusita kumpiga mateke akiwa chini. Askari walivamia eneo la tukio na kunizuia maana kwa hasira niliyokuwa nayo nilisahau kabisa kama hapo nipo nchi ya watu. Pamoja na kukamatwa na askari bado nilikuwa mbishi mbele ya askari ilibidi wanitulize na virungu vyao vya shoti ya umeme ndo nikawa mpole. Askari walitaka kunipeleka kituoni lakini ajabu ni kuwa yule mdada niliyempiga aliwaambia polisi waniache “Leave her”(Mwacheni). Basi polisi wakaondoka tukabaki mimi na yule dada. “Naitwa Isabella nawe ni Rosemary Je nimepatia” Yule mdada alijitambulisha kwa Kiswahili jambo ambalo lilinishangaza na kuanza kuhisi huyu na Anamaria Lao ni moja. Wakati bado namshangaa yule dada Kiswahili amekijulia wapi mara ghafla simu ikaita tena. Alikuwa ni Anamaria mwanamke asiye na haya na safari hii simu alipiga whatsaap kabisa ,Kumbe hii simu iliconnectiwa na whatsaap tena video call. Nikaipokea Ile simu nikamwona Anamaria amelala kitanda kimoja na Jack,Japo Jack alikuwa yupo kwenye madripu. “Rosemary,Rafiki yangu mbona unataka kuyafanya mambo yawe magumu kwa upande wako,Rahisisha mambo acha ubishi usio wa lazima au hutaki kumuona mwanao wewe”. Nilichafukwa na roho nikataka nifoke lakini akawa ashakata simu nikamgeukia yule dada wakuitwa Isabella. “Pole , Rosemary Kwa matatizo yako Ila mimi nipo tayari kuwasaidia wewe,mumeo na Jack ili muweze kurudi Tanzania,Ila chamsingi ukubali kwanza hiki anachotaka Anamaria kisha mimi nitakutafutieni njia ya kuondoka ili msipate matatizo zaidi”
“Hapana siwezi kufanya hivyo” Nilimjibu Isabella ambaye alikuwa akinishawishi kuhusu kurekodi video “Rosemary,Ebu fikiria mara mbili katika hilo ,Mumeo katoka kufanyiwa operations sasa na hivi navyokwambia mumeo hayupo tena hospitali” Taarifa hiyo ya Isabella ilinishtua Sana. “Unasemaje Isabella?” “Ndo hivyo kama navyokwambia mumeo Kwa sasa ni mali ya kampuni ya ngono inayoitwa xyrporn nasasa watakuwa wapo kwenye harakati ya kumtibia apone mapema aanze kazi”. Isabella alivuta mate kisha kuendelea “Wewe pia ni mali ya hiyo kampuni na kwasasa wanayopicha yako moja ya wewe kusagana na Anamaria”. Nilijikuta nashangaa zaidi kumbe siku Ile nilivyokuwa na Anamaria tayari walisharekodi movie yao ya ngono. Yule Mzungu akaendelea kusema Maneno ya kunistaajabisha. “Kampuni ya xyrporn ni kampuni changa ya ngono inayomilikiwa na Anamaria”. Hii ikanishtua. “Eehee”. “Hivyo anachokifanya Anamaria nikuinyanyua kampuni yake kiuchumi Kwa kutumia wafanyakazi wa bei rahisi kutoka Africa”. Ikabidi niulize. “Je nikienda kumshtaki kwenye vyombo vya dola au nikishtaki ubalozini”. Isabella akacheka “Unaujua ubalozi wa Tanzania ulipo hapa Marekani”. Nilitikisa kichwa ishara kuwa siujui ulipo. “Ubalozi wa Tanzania upo Washington Dc kutoka hapa ni mwendo wa masaa 39 mpaka 40 kwa gari,Ni safari ndefu isivyokawaida na ukifika huko mpaka upate msaada wa kupata mtoto wako Anamaria kashakutoroka huyu dada ni Mafia wa hatari yeye ni mmarekani lakini watu wote kama nyie anawaleta kwenye kampuni yake hujifanya ni msweden,mdenmark au mnorway lakini hana lolote nimuamerika na mcheza picha za uchi mstaafu we search kwenye Internet honey maquino hilo ndo jina lake la kisanii”. Ilibidi nibaki mdomo wazi. “Wewe na mume wako kashawatengenezea story ambayo ataitumia kuhamasisha watu wafanye upasuaji wa uume na story yenyewe ni kuwa wewe ulichoka kuishi na mwanaume mwenye kidude kidogo hivyo rasmi ukajiingiza kwenye usagaji ,baadaye mkashauriana na mumeo aje kuongeza saizi na sasa unafuraha baada ya mumeo kuongeza saizi”. Maneno ya Isabella yaliniingia sio kidogo bali ni sana ikabidi nimuulize swali. “Kwa hiyo utanisaidiaje baada ya kwisha kurekodi hii?”. “Nitakutajia mahali alipo mwanao, Nawe utakuja na askari kuja kumkamata Anamaria”. “Kwanini, Usiniambie walipo ili niwapelekee askari sasa hivi?” Nilimuuliza Isabella baada ya kuridhika na baadhi ya maelezo yake. “Kwasasa siwezi kupajua mpaka nirekodi video alafu niwapelekee walipo”. “Nitakuamini vipi sasa kama wewe ni mkweli?”. “Usijali,nitaiwekea simu ya track kwa simu yako”. “Ukibadilisha simu Je?”. “Usijali polisi wa huku wakishanitrack mara moja tu hata nikibadilisha simu watanikamata,baada ya kurekodi hii video utaenda moja kwa moja kituo cha polisi ambacho kipo hapo nje ,mtaanza kunifatilia wakati tunapeleka hii video Kwa Anamaria”. “Kwanini unafanya hivi?We si mtu wa Anamaria”. “Anamaria namchukia toka zamani yeye ndo kasababisha mpaka Leo nakuwa kama muandishi wa habari hivyo nataka aishie ndani”. Maelezo ya Isabella yalikuwa mazuri nami nikakubali kurekodi Ile video kisha nikaenda kurepoti polisi nikiwa na simu yangu kama track . Polisi waliitumia hiyo simu nami nikabaki kituoni nasubiri. Baada ya masaa sita polisi waliniita kwenye hospital ya good Samaritan ambapo walimlaza mwanangu nikaenda kumuona pia nikakutana na balozi wa Tanzania ambapo aliniambia kuwa walishindwa kumsaidia mume wangu kwani walimkuta katika hali mbaya. Yale madini ya silcon hayakukaa vizuri hivyo amepoteza maisha na Anamaria amekamatwa anatuhumiwa na kufanya biashara haramu ya binaadamu. Kwa kweli nilihuzunika sana kuhusu kifo cha Frank ikabidi tuzikie kulekule Marekani. Na serikali ya Marekani ikanipa fidia ya kiasi cha Dola milioni moja sawa na bilioni mbili za kitanzania. Nilikaa Marekani mpaka Afya ya mtoto ilipotengemaa ndo nikarudi Tanzania , Kwakweli kila nikirikumbuka hili tukio siwezi kulisahau kutokana na mambo manne kwanza kifo cha mume wangu pili uzima wa mwanangu tatu utajili nilionao sasa nne jinsi tulivyohenya Marekani.
MWISHO

