JAMANI ANKO
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya Kwanza
Nilitamani muda wa vipindi darasani umalizike ili iweze kutimiza ahadi niliyokuwa naisubiri kwa siku nyingi.
Mwalimu alikuwa akifundisha lakini ni kama nilikuwa sielewi wala sisikii alichokuwa anaelezea.
Mawazo yangu yote yalikuwa kwa Madam Jesca. Siku hiyo nilijisemea kuwa iwe isiwe lazima nimweleze ukweli na ikibidi siku hiyo hiyo yatimie ninayoyawaza kila kukicha.
Madam Jesca alikuwa ni mwalimu aliyekuwa akitufundisha kwa muda tu baada ya kuwa amemaliza kidato cha sita. Wakati huo sisi tulikuwa kidato cha nne.
Somo alilokuwa akitufundisha ni Kiswahili.
Hatimaye mwalimu akatoka na baada ya nusu saa nikaondoka kuelekea nyumbani kwa madam Jesca.
Niliingia baada ya kuwa nimegonga hodi.
“We Joshua mbona muda wa vipindi hivi we umekuja huku..” aliniuliza huku macho yake yakionyesha mshangao wa waziwazi.
Kanga yake aliyovaa ilikuwa imelowana na hivyo kusababisha niuone mstari wa chupi.
Na kama hiyo haitoshi madam Jesca alikuwa ana kitu kingine cha ziada. Awali nilidhani nimekifananisha lakini alipotembea nikahisi ni chenyewe.
Aidha alikuwa amevaa cheni ama la alikuwa ana shanga kadhaa kiunoni.
“Mwalimu nimekuja unifundishe aina za NOMINO”
“Joshua ni lini sasa utaacha vituko, aina za Nomino nyumbani kwangu eeh!!” alinikaripia lakini sikurudi nyuma niliamua kuwa iwe siku hiyo. Siku ya maamuzi yangu!!
“Madam, kwa hiyo unataka nifeli ama….” Nilimuuliza kwa uchungu. Nikauona uso wake ukipunguza makali ya hasira.
“Hebu ni kitu gani huelewi sasa hapa kwenye Nomino,…..” aliniuliza.
Nikatikisa kichwa na kuingiza mtego wangu. Madam mwenyewe hakuwa mkubwa ni basi tu ye alikuwa amenitangulia kieleimu na sasa ni mwalimu wangu.
“Madamu…nitafundishwa nikiwa nimesimama hivi kweli..” nilihoji huku nikitoa tabasamu hafifu sana.
Madam akatembea na kuingia ndani huku akinionyesha ishara ya kumfuata. Nikafanya kama alivyoniambia, nikiwa nyuma yake nikauona utamu halisi wa Madam ambao huwa unajificha katika mavazi yake ya kiualimu.
Alikuwa amegawanyika vizuri, kiuno kilijitenga kivyake na makalio yake yalikuwa katika mlingano sahihi hivyo hata kutikisika yalitikisika katika namna ya kuvutia.
Upesi nikaingiza mkono katika suruali yangu ya shule nikaishusha injini iliyoanza kunyanyuka juu nikaibana vyema katika mkanda ili isije kuniaibisha mbeleni.
Ubaya na uzuri wa chumba cha Madam Jesca ni kwamba kilikuwa kimoja tu, hivyo hakupata fursa ya kubadili nguo aliketi kitandani na kuniruhusu mimi nikae katika kiti.
“Iwe mara ya kwanza na ya mwisho kuingia katika nyumba hii. Shida zote tunamalizia shuleni sawa???” alijaribu kunikoromea. Na hapo nikauona utamu mwingine.
Jesca alikuwa na mwanya!! Mama weee!! Nilikuwa wapi siku zote bila kuuona huu mwanya.
“Nimekuelewa mwalimu!” nilijibu kwa nidhamu.
“Haya ni wapi hukuelewa…’
“Madam usiseme tu sikuelewa yaani siku hiyo sikuwa darasani kabisa…”
“Sasa utoro wako nd’o uje kunisumbua mimi ebo!!!” aling’aka.
“Sio utoro madam….. nilikumbwa na majanga sana…..”
“Yapi uongo tu!!!” alizidi kuwaka….katika namna ya kunisuta…
Na hapo ndipo nilipopataka zaidi.
“Madam nilipata misiba mfululizo we acha tu, kwanza mdogo wangu, sijakaa sawa kuna rafiki yangu wa tangu utoto naye akagongwa gari…mama ameugua muda mrefu pia madam,,, yaani aargh!! Mwaka huu ni wangu madam mi nitafeli tu na sijui nitakuwa mgeni wa nani, hesabu nimekosa topiki mbili, Chemistry nd’o sijagusa praktiko hata moja…..” na hapo nikasita kisha nikaanza kulia, nililia kiume machozi bila kelele.
Madam akajiingiza mkenge, akanishika na kuanza kunibembeleza. Huu si ndio utamu niliokuwa nautaka sasa….
Alinibembeleza mwisho nami nikajilaza kifuani mwaka.
Wacha wee!! Madam alikuwa na embe dodo kifuani ambazo zilikuwa na joto fulani linalokulazimisha kuendelea kuzilalia hata kama hutaki kulala. Mikono yangu ikazunguka katika kiuno cha madam na kukutana na ile cheni, nikaifyokonoa na kuizamisha katika kiuno chake.
Nikazisikia pumzi zake zikipishana kwa kasi, nikajua nimegusa penyewe.
“Usijali Joshu aaaaah!! Usijali utafaulu sawa eeeh!! Usijali Jo….ooooooH!!! aaaaaaH!!!” he!! Madame alikuwa anazungumza ama analalamika.
Nikatambua kuwa mambo tayari, nikamsukuma ghafla akatua kitandani kwake. Macho yake yalijaribu kunitazama lakini yalionyesha kusinzia kwa huba!!
Kanga ilikuwa imekaa hovyo tu, paja laini likinidxhihaki na kichupi cheupe nacho kikinichungulia na kuniambia karibu!!!
Sikutaka kuwa na papara, nikamrukia na kukutanisha ndimi zetu, akazipokea.
Ebwa ee!! Joto likaongezeka na suruali ikazidio kunibana….
Ni kama alijua vile kuwa jogoo anataka joto, nikaisikia mikono yake ikitafuta mkanda wangu huku ndimi zikiendelea kushambuliana kwa kasi. Akaupta mkanda, akaufungua nami nikajipandisha juu kidogo ili aweze kuitoa suruali vyema.
Akaishusha kidogo kwa mikono kisha akaisindikiza kwa miguu.
Mara mapaja yakagusana….doh!! nikajihisi nipo ulaya na wazungu wanataka kutoka katika jogoo wangu.
Aibu gani hii wazungu kutoka katika nchi kabla ya uhuru!!! Nikajibana huku na kule huku nikijaribu kukwepesha hisia zangu nisije kuaibika.
Ghafla mkono wa Jesca ukaikamata ikulu vyema, mikono laini kabisa ikaanza kupanda juu na kushuka chini kwa sababu maalumu kabisa.
Lakini kama nilidhani kuwa ile mikono ndo laini kupita kila kitu nilikuwa nimekosea.
Ni kama tulikuwa tunacheza kuwahiana, mimi nilikuwa nimemnyonya masikio, mara akanirukia na kujikunja huku akihema, akaimeza ikulu nzimanziama mama weee!! Nikajikuta napiga kelele kwa mshtuko. Jesca akanishambulia kwqa kasi sana hadi nikakiri kuwa nisipokuwa makini wazungu watatoka kabla sijapewa uhuru. Nikambandua kutoka pale kisha ikawa zamu yangu kutazama chumvi ya uvinza ina kiwango ama imeharibika tayari.
Nikazamisha ulimi na kuanza kufanya upelelezi. Nilipopiga kelele nilidhani nimejiaibisha lakini madam alikuwa zaidi. Sijui kilikuwa kichaga kile. Neno kuu alilorudia mara kwa mara ni ‘yerewiiii na jingine mbombo ngafu…’ kama sikosei ni hayo. Nadhani mchaga yule. Chumvi yake ilikuwa ina ubora, madam alikuwa msafi kupindukia.
Hakuwa akitoa harufu kabisa!!
Maana akina Mwajuma wa mtaani kwetu almanusura nitapike nilipozama siku ile!!
Huyu alikuwa smart haswa!!
Kama ni utamu ndipo huu.
Masikioni utamu, mdomoni utamu, hadi huku kwenye chumvi napo utamu.
Ulikuwa utamu mtupu!!!
Madam kuona mashambulizi yamezidi na yeye akajaribu kupambana…safari hii kidogo aniue huyu dada.
Ebwana!! Umewahi kupulizwa korodani wewe!! Zipulizwe halafu zimezwe kitaalamu…….
Unaweza kuzirai!!! Na usiombe upate mtaalamu wa kuzipuliza na kunyonya unaweza kujifia kitandani ukapatia watu kesi zisizowahusu.
Madam akaninyonya, sijui na mimi nilizungumza kinyakyusa?? Sikumbuki kwa kweli…..
Baada ya hapo hapakuwa na jingine ulikuwa wakati wa kuwarudisha wazungu ulaya ili nibaki huru!!
Kibaba na mama!!! Staili ya kuwarudisha wazungu wa kwanza wenye kiherehere!!!
Nikajikunja na kuushika mguu wake nikaunyanyua juu..nikaingia golini. Haya nafungaje sasa…..
Huyu nakuna kushoto sana ambapo wasichana wengi wamezoea kwa sababu mashine nyingi za wanaume huwa zimeegemea kushoto…..nikishamkuna kushoto alipozoea nahamia kulia ambapo najua hajawahi kukunwa vizuri.
Kweli nikaanzia kushoto, nikakwangua kama mara ishirini, nilipohamia kulia. Madame akapiga kelele za utamu kwa nguvu. Nikatamani kumziba mdomo lakini nikajua huo ni utamu umempagawisha!!! Na mimi lazima niwatoe wazungu ndo nitajua hayo mengine.
Nikamkunja zaidi huku nikizidi kukuna kulia……..nikawakontrol wazungu wasitoke ili aendelee kufaidi.
“Baby iam coming…..iam coming baby…..” nikamsikia akilalamika kimombo, haya huwa nayasoma gazetini huko nikajua kuwa amekaribia mshindo.
“Jamani ankoo!!” nikamsikia akizidi kulalamika
Nikazidi kupampu kwa juhudi ili asinisahau tena maishani mwake.
Ile wazungu wanataka kuja na yeye akajipandisha juu zaidi. Akanisukuma kwa nguvu.
He!! Mara nikajikuta hewani, nikataka kurudi chini ikawa ngumu.
Mara macho yakafumbuka, nilikuwa nimeanguka na kiti changu darasani, wanafunzi walikuwa wanapiga kelele.
Wengine wakinizomea, wengine wakinisikitikia,,,,,, ile kujitazama suruali yangu ilikuwa imevimba haswa na wasichana walikuwa wakinitazama.
“Joshua yaani unaota mchana kweupe hivi mdogo wangu?? Tena unakoroma kama kondoo looh!!” lilikuwa swali kutoka kwa madam Jesca. Ebwana eeeh!! Ilikuwa aibu, kichwa kikaanza kuuma nikatambua kuwa nilijibamiza vibaya nilipoanguka. Na mawalimu niliyemuota nd’o kilikuwa kipindi chake sasa!! KISWAHILI
Looh!! Yaani utamu wote ule kumbe nilikuwa naota Joshua mimi aaargh!!!
Japokuwa ilikuwa ndoto lakini ule ulikuwa UTAMU MTUPU…..
Sema ilikuwa noma sana maana nilitaniwa sana hadi shule nzima ikajua kuwa niliota nafanya mapenzi nikashtuka nishajimwagia tayari!!!
Siku hio sikua na raha hata kidogo kutokana na kile ambacho kimetokea darasani…. Kwani hata tulipoitwa pared kwa kengele mimi sikua na raha, tena nilikua natazama chini kwa aibu, na kila mwanafunzi alinitolea macho mimi.. Kiukweli siku hio ilikua kama balaa kwangu,….
Muda wa kurudi majumbani ulifika na kuruusiwa kwenda majumbani mwetu… Moja kwa moja sikutaka kupitia kijiweni kama ilivyo kawaida yangu, bali nilinyoosha mpaka nyumbani ili nikawahi kuzifua nguo zangu ambazo niliweza kujichafulia kwa ndoto ile ya kutoka kimapenzi na madam jesca,
“mbona leo mapema hiv kuna nini huko kijiweni”
Huyo alikua ni mama yangu akiniuliza kuhusiana na kurudi kwangu nyumbani mapema, mana amezoea narudi nyumbani saa mbili hadi saa tatu kutokana na kazi ambazo nakwenda kufanya baada ya kutoka shuleni,
Hali yetu ya kimaisha ilikua si nzuri kabisa, na ndio mana wakati wote shuleni nilikua nawaza mengi sana na kushindwa kufanya vizuri katika masomo yangu,
“aah mama, leo nimewahi ili niweze kufua nguo zangu, mana si unajua leo ni alhamis”
Nilijitetea kwa kusema leo ni alhamis, japo nguo hazikua chafu, ila mimi ndio nilikua najua uchafu huo umetokana na nini….
“sawa,… Lakini mwanangu, leo vitumbua havijauzika kabisa, yani hata pesa ya unga ndani hakuna… Fanya fanya uende kijiweni upate hata elfu mbili tu ya unga… Mana mdogo wako nae akirudi shule atalalama njaa”
Maneno ya mama yaliniumiza sana moyoni mwangu na kujikuta nikiachana na swala la kwenda kufua,
“mbona unarudi tena”
“mama wacha niende kijiweni tu”
“basi ngoja nikufulie ili zikauke kesho usikose shule”
“hapana mama nitazifua nikirudi”
Nilikataa mana nguo zangu zilikua zikitoa harufu fulani hiv ambayo sikutaka mama ajue harufu hio,
Niliweka nguo hizo chumbani kwangu tena nilizificha sana ili hata mama akitaka kuzifua asizione zilipo, Baada ya kufanya hivyo, nilitoka na kuelekea kijiweni kuangalia rizki ya jioni hio,… Ikiwa ni mida ya saa 11 kasoro hivi jioni
“aaaaahhh wakusomaaaa nambie dogo”
Walikua ni mabraza zangu wa hapo kijiweni ambao ndio wananilinda sana na vikazi kazi vidogo vidogo vya kukikimu na maisha
“poa broo shkamooni”
Katika kijiwe hicho mimi peke yangu ndio nilikua mdogo mana kila mmoja wao ana mke na familia, hivyo mimi ndio nilikua mdogo sana….
“sasa broo, naomba gari nikacheki mbili tatu apo kati”
Ukiskia naomba gari usidhanie ni gari kama gari, bali namaanisha mkokoteni… Basi nilichukua mkokoteni huo ambao ni kama naukodisha kwa shilingi elfu moja ya kitanzania, afu kama nitafanikiwa ndio nimlipe ila nikikosa basi… Nilielekea maeneo ya stendi ambapo kunakua na shamra shamra nyingi sana za pilika pilika za maisha,… Mungu nae si asumani kweli nilipata kamzigo ka kupeleka sehemu flani hivi…. Na kupata angalao kapesa ka kujikimu kwa siku hio,
Hio ndio ilikua kazi yangu kila nirudipo shuleni, yaani toka niingie kidato cha tatu mapaka sasa nipo kidato cha nne, kazi yangu ni hio……
Siku miezi ilikatika na shule nilikua naendelea vizuri japo ni kwa shida kwani hata masomo hayakua yakipanda kabisa kwasababu ya kuwaza leo nitapita njia gani ili niweze kupata chochote cha kupeleka mdomoni,
“joshua?, joshua?, we joshua wewe”
Aliniita mara kadhaa na hatmae kunishtua katika wimbi kubwa la mawazo,
“ndio, madam”
Nilionekana kusinzia mana hakuna hata somo niliokua nalipenda….
Aliniita alikua ni madam leila mwalimu wetu wa chemistry,
“ivi zoezi langu umefanya kweli, au umekuja kulala tu”
“oooohhh sorry madam, ngoja niliandike”
Madam leila alionekana kunionea huruma kwa vile jinsi nilivyo, ila hakuongea sana zaidi ya kunisikitikia, Aliondoka nami nikijifanya kufungua begi langu ili niweze kuandika, lakini niliona kama najiinjoi tu kufanya hivyo, kwahio niliacha kuandika zoezi la madam leila… Ilikua ni mida ya saa 7 hivi tunatoka kwa ajili ya kupata lanchi, mimi sikua nimechangia pesa za chakula, hivyo hata kwenda kantini ilikua ni ngumu kwangu mana hakukua na shea yangu,…
Nilizunguka nyuma ya shule na kutulia.. Tena nilikua nimetulia kwa huruma sana
Ghafla madam jesca aliniona kwa mbali sana, na aliweza kunifuata mpaka pale nilipo, ukumbuke kua ile skendo ya kuota nikiwa na madam Jesca ilishaishaga hata shuleni walishaisahau, mana ni miezi kadhaa imepita toka kutokea kwa tukio lile lilionidhalilisha takribani wiki mbili nzima, mpaka wakanipa jina la chandoto, mpaka leo wananiita chandoto, mana walijua siku ile nilikua naota,
“joshu, mbona uko hapa peke yako, bp wewe huendi kula”
Kiukweli madam Jesca nampenda sana tena nampenda kupita kiasi ila je? Nitampataje, hivyo sina budi kumueshim tu,
“madam. Si unajua mimi hua silipagi mchango wa chakula, tenaa sio mara ya kwanza bali yapata mwezi wa tatu huu sijawahi kulipa chakula kabisa”
“lakini joshua, wewe si una wazazi”
Madam niliona kama ananichosha sana na hata kumjibu kwa hasira siwezi mana kajaa katika moyo wangu, hivyo ni lazima nimjibu kwa usatarabu kidogo,
“madam Jesca, hali ya nyumbani si nzuri kwani hata pesa ya…. “
“basi… Nimekuelewa”
Madam Jesca kama alijua kua kuna kitu ningeongea kinachohusu maisha, hivyo aliniwahi kunistopisha kuongea,
“nashkuru kwa kunielewa madam”
“ila nakuomba unapokua shuleni, punguza mawazo yako,… Na sasa mkiingia tu naenda kuandika zoezi langu la kiswahili hivyo tuliza akili… Utafeli joshua”
“sawa madam, nimekuelewa”
“ok, nenda kantini utapewa chakula, hata kama hujalipia”
Niliona daahh afadhali kwa kuambiwa hivyo mana nilikua nina ubao kinoma, hivyo nilikurupuka na kukimbilia kantini huku nikimuacha madam Jesca akinisindikiza na macho tu,…
Baada ya kumaliza kula wanafunzi tukawa mapumziko katika miti, shule ilitanda wanafunzi kila kona…. Shule hio ilikua ni karibu na barabarani,…. Sasa nilipopiga jicho kule rodi niliweka kumuona mmoja kati ya wale mabraza zangu wa kijiweni, akiwa anasukuma mkokoteni uliojaa magunia ya mahindi,… Nilichepuka kidogo na kwenda kumsalimia mana hata nikirudi shule lazima ningefika kijiweni,
“aaahhh broo vp leo inaonekana kuna noti leo”
“aaaaaaaahhh dogo?… ebana dogo leo kuna hali ya neema sana leo…”
“wacha bwana”
“skia we ukitoka school, kachukue ile mago moja tusombe haya mahindi”
“aahhhh bro mi sijali hata sasa hivi naweza fanya hivyo”
“aaaahhhh joshuu jali shule mdogo wangu”
“kaka, najali shule sana ila maisha ndio yananiangusha kaka”
“ok we fanya utakavyoweza ila leo hela ipooo”
“ngoja basi niwai kijiweni”
“fanya chapu”
Ilibidi siku hio niwe mtoro wa shule yani niliyoka shule kabla ya masaa kufika,… Nilikwenda kijiweni nikaweka begi langu la shule, na kuchukua mago moja (mkokoteni) Kishanikaungana na wanakijiwe wenzangu katika moja ya kazi waliokua wakiifanya, nilifanya kazi mpaka ilipofika saa 11 jioni, nilikua nimechoka sana kupita kiasi,… Na siku ya leo kweli kulikua na neema ya kazi… Yani leo nyumbani watakula ubwabwa kwa furaha tu, mana nyumbani sikumbuki ni lini mara ya mwisho kula ubwabwa,
Sasa tukiwa hapo kijiweni tumemaliza kazi ya kusomba mahindi kutoka godauni flani kwenda lingine, mana hayakua mengi kiasi cha kuita gari, zilikua ni hunia chache tu…. Sasa nikaona kuliko kupoteza muda hapa kijiweni bora nikaangaze macho stendi nikiwa na mago yangu….
Kiukweli joshua mimi nilikua ni mtu wa tabu sana katika maisha yangu, na sidha kama nitafanikiwa kimaisha, na sikua nikijiskia uchungu kila nionapo matajiri mana nilihisi umaskini kwangu ndio nilioumbiwa nao hivyo siwezi kuukwepa,.. Nilifika stendi pale nikatega mago yangu ili kuwatega wale wanaorudi safati na kuhitaji usafiri wa kubeba mizigo yao, nilikua katika mawazo mengi sana kuhusiana na maisha yangu, nilikua nimelala juu ya mago (mkokoteni) Ghafla niliamshwa na kibao kilichotua kwenye mguu wangu
“wewe unalala lala nini amka uchukue kazi ile”
Alikua ni mmoja kati ya makondakta wa mabasi
“ikuapi kazi broo”
“muwahi yule mama pale”
Niligeuza mago yangu na kuelekea kwa yule mama alieonekana kua na mzigo mkubwa sana wa kubeba, mana alikua ana nazi maembe na vitu vingi sana ambavyo ametoka navyo safari…
“kaka niitie Kirikuu (gari aina ya Bajaj ila ya tairi nne)”
Alimuambia konda mmoja ambae alikuepo maeneo hayo..
Mara yule alienishtua mimi ndio akaongea nae
“dada, usijali dogo uyu apa atakufkishaia mzigo wako”
“lakini mimi nilitaka Kirikuu ili niende nayo”
Nikaingilia kati kibiashara zaidi
“samahani mama nitaifikisha hata kwa maelekezo tu”
“mmmhhh nyie vijana wa arusha nyie mnaaminika nyie?”
Yule konda alidakia juu kwa juu
“dada, kweli arusha kuna wezi lakini sio wote, na ndio mana akajiajiri kupitia mkokoteni wake huuu”
“kwanza bado mdogo huyu”
“lakini sister kikubwa si mzigo ufike? Mpe rizki apate kula huyu”
Aahhhhhh yule konda alinipihia debe sana mpaka mwenyewe nikafrai kimoyo moyo…
“dogo patania bei apo mi napita ivi”
“thenx sana bro”
“usijali…. Ila uaminifu wako ndio nguzo yako ya maisha sawa dogo”
“poa broo”
Aliondoka yule konda na kuniacha nikiwa na yule mama
“enhee utanipelekea kwa shing ngapi”
“ni wapi mama angu”
Nilikua naongea nae huku nikivipakia kwenye mkokoteni wangu, vilikua ni vizito lakini nilikua najitutumua mpaka vipande ili hata ile kauli ya kuasema huyu bado mtoto ife
“sio mbali sana… Niii pale mtaa wa jamhuri pale”
Nilistuka kuskia anaishi mtaa wa jamhuri… Jamhuri ni mtaa wa kitajiri ile mbaya yaani kama ni dar utasema ni mbezi mbezi kule au Ostabei… Yaani ile mitaa ya kishua,… Basi nilipakia ile mizigo yote
“mama kama ni pale utanipa elfu kumi na tano tu”
“sawa… Ngoja nitangulie na toyo utanikuta pale kwenye kona sawa”
“sawa mama”
Nilijijutia kwa kitaja pesa ndogo mada kumbe mtu mwenyewe hana tabu wala nini,… Daahhh nilitamani nimuite ili nianze upya kuongea bei, lakini nikaona labda huenda ni rizki yangu niliopangiwa na mwenyezi mungu,…. Ilikua inaendea mida ya saa 12 hivi… Ila kamwanga bado kapo, Kweli mama yule nilimkuta mahari aliponambia kua nitamkuta akinisubiria,
“nyumba yangu ni ile pale”
Alinielekeza kwa kidole huku kama akitabasam flani hivi, na mama huyu alikua sii haba mahabuba mungu alimjaalia upande wa huba… Kaibika mpaka kaumuka, ila kwa mimi nilikua kama sioni maumbile mazuri kutokana na hali yangu ya kimaisha, mana najua mademu wakali hupata watu wenye fedha zao,… Jumba la huyu mama lilikua ni bonge la jumba sio mchezo, yaani ni jumba haswa, basi mtoto wa kiume nikaanza kujitutumua kwa kushusha mizigo… Kuna yale magunia ya nazi nilikua siyawezi vizuri
“jamani angali usiumie ankoo”
“haina shida mama”
Nilijikaza mpaka nikaliingiza ndani, doh!! Mpaka mwili ulikua ukiuma kwa mzigo mzito nilioubeba, Baada ya kumaliza kazi yangu nilitoka nje haraka haraka, mana hio nyumba hata nikisimama najihisi sio hadhi yangu hata kidogo,
“mbona umetoka haraka hivyo Anko”
“aaahhhh nilikua nina haraka kidogo”
Nilidanganya kua nina haraka lakini wala sikua na haraka, sema nimeogopa kukanyaga tailizi ya watu kila mara
“pole”
“asante”
“Afu anko, we unapatikana wapi wewe mana nina mdogo wangu nae anakuja keshokutwa na ana mizigo pia”
“aaahhh kijiwe chetu kipo pale jirani tu na stendi”
“oohhhhh ila una simu, ili iwe rahisi kukupata siku hio”
“hapana sina mama”
“ooopss…. Ok sio tabu, unandai kiasi gani”
Nilitamani kuongeza kiwango tofauti na tulivyoelewana lakini nikaona sio vizuri kuongea Biashara mara mbili,
“ni elfu kumi na tano tu mama”
“mmmhhh ooooookeeeeeeeee…..chukua hii hapa”
“lakini mama mi nilikuambia ni elfu 15 tu”
“usijali we chukua hio, mana umeumia na mizigo… Afu ivi umechukua matunda ya kupeleka nyumbani”
“aaaahhh usijali mama nitanunua tu”
“hapana bwana kwanini usichukue matunda na nazi umpelekee mama”
“usijali nitachukua siku nyingine”
“basi njoo kesho mchana kama saa nane hivi”
“sawa mama”
Hatukukawia kuagana, lakini ghafla yule mama akanishika chuchu moja ya kifua changu huku akisema
“ooohhhh sorry, nilijua ni kauchafu kameganda”
“haina shida mama”
Siku hio kwangu ilikua nzuri sana kwani hata hela ya kijiweni sikuhangaika nayo, nilirudisha mago au kwama la watu, kisha nikaingia mahari kwenye kamwanga kisha nikaanza kuzihesabu,
Yule mama alinipa shilingi elfu 50 keshi, Kiukweli toka kukua kwangu sijawahi kuzishika kwa mara moja kama hivi,… Nilichokifanya ni kuingia dukani na kununua kilo 10 za mchele na kilo 10 za unga,… Afu nikapitia buchani na kichukua kilo moja ya nyama, mana tupp watu watatu tu nyumbani…… Siku hio mama yangu alikua na hofu sana juu ya vitu nilivyokuja navyo,
“joshua mwanangu, umetoa wapi pesa ya kununua vitu vyote hivi”
“mama, leo nimefanya kazi sana”
“muongo joshua, mbona kila siku hufanyi hivi”
“leo kulikua na kazi nyingi sana mama angu”
“mwanangu angalia lakini usije ukaiba baba sawa eee?”
“siwezi kufanya hivyo mama.. Siwezi”
Basi siku hio kama bahati, hata mdogo wangu wa kike aliporudi shule alikuja na tatizo la kipesa shuleni kwao, basi na hilo nalo nikalimaliza…. Siku hio tulikula ubwabwa kwa nyama, yani ilikua kama sikukuu kwetu…..
Kesho yake sikua nimeenda shule bali nilikua naisubiria ile saa 8 ya kule kwa yule mama,
“Joshua leo shule huendi”
“mama jana nilifanya kazi ngumu sana yani mgongo unaniuma huuoo”
“mmhhh sawa ila kesho usiache kwenda”
“sawa mama”
Daahhh nilimdanganya mama yangu huku nikiwa na shauku ya kufika kwa yule mama kule,
Saa nane haikua mbali, ilifika nami kwa mama sikuchelewa yani juu ya alama nipo nje ya geti mpaka yule mama alicheka sana kwa kuniona jinsi nilivyojali muda,
“karibu anko”
Mama alinikaribisha kwa tabasamu na wakati huo nilivaa kishamba sana,… Alinikaribisha mpaka ndani… Mama alifungua friji na kutoa juice moja nzitoooo khaaaaa sijawahi kuinywa juice hio, Mama alinipa huku akiniangalia kama mtu mwenye jambo flani na mimi,…
“iv unaitwa nani anko”
“naitwa joshua mama”
“ooohhh joahua…. Joshuuuu”
“ahahahahaahha”
Nilijichekesha baada ya mama huyo kuliita jina langu kwa mbwembwe….
“mama, jana nilikuta kuna watoto hap vp mbona leo siwaoni”
“ooohh wamekwenda shule mpaka saa 11 ndio wanarudi”
“oookeee, haya mama mimi naondoka”
“sasa unaenda wapi joshua, afu mi nataka nikuite anko tu si sawa”
“lakini mama”
“sitaki hizo lakini zako… Hebu kaa kwanza”
Nilikaa tena mana niliamka kwa kutaka kuaga ili niondoke,
“sawa”
“mbona umekaa mbali hivyo, au mi nang’ataga eee”
“hapana sina maana hio”
Ghafla mama alianza kunisogelea huku akiwa kang’ata lipsi zake, nilijisogeza ili kumkwepa mana nilijua alikua anataka nini
“nini sasa anko, mbona kama sio mtoto wa kiume”
“lakini mama, mimi bado ni mwanafunzi”
“mwanafunzi?? Mwanafunzi wa kidato cha ngapi”
“cha nne”
“khaaa sasa mbona unafanya kazi za mikokoteni”
“ni maisha tu mama angu, wala sikupenda”
Mama alishusha pumzi kubwa na kuangalia chini kama mtu anaetafakari kitu
“sasa sikia, mimi sitaki ufanye hio kazi tena, na kama ni shule mimi nitakugharamikia sawa”
“sawa”
“ok, tunaweza kutoka kidogo”
“sawa”
Aliingia chumbani kwake na kuvaa bizuri kisha akatoka,… Aisee hapo uwani kwake kumejaa magari hayo duuuu…. Alichukua gari moja na kutoka nalo nikiwa nae dereva ni yeye mwenyewe, tulikua tukielekea mjini kati ila sikujua tunaelekea wapi,… Nilishanga kuona tunasimama kwenye bonge moja la dox (duka la nguo) Mi mwenyewe nilikua naogopa kuingia humo ndani, mana duka lenyewe nilikua naliskia tu likitangazwa kwenye redio, sasa leo ndio tumeingia….
Kiukweli mama alinipiga shopping ya ukweli,… Baada ya kupiga shopping ya nguo alinipeleka saluni, nikaenda kupiga bonge la mshevu, afu nikafanyiwa sclubing ya uso, yaani nilipendeza mpaka nimejisahau kua huenda nikawa sio joshua ninaejijua…. Mana nilikua nimependeza hemsamu kasingiziwa,.. Tulipotoka hapo nikaingia kwenye duka la vitu vya shule, nikavuta begi moja kaliii, afu sijasahau yunigom kama pea tatu hivi na viatu vya kutosha, tai za shule… Kila kitu cha shule kwangu kilikua ni kipya,….. Heeeeee nilishangaa tunaingia mpaka kwenye duka la simu, mungu wangu mama alininunulia simu moja kali aina ya Samsung Galaxy S6 simu ilikua kubwa… Yani mimi hata nokia tochi tu yenyewe sijawahi kuitumia je? Huu mtachi nitauweza kweli?… Ila sikuikataa ile simu tena nilionesha kuipenda japo sijui alitoa kiasi gani mana hizo pesa zilikua ni nyingi mno…
Tuliingia kwenye gari kisha mama akaniuliza
“vp anko, kuna tulichosahau kweli”
“hapana mama nadhani kila kitu kipo sawa”
Nilijikuta naanza kumueshimu huyu mama kama mama yangu mzazi,…
mara simu yake ikaita.. Ila sikuskia walichokua wakiongea, hivyo ilimfanya awe na haraka ghafla ghafla tu,
Alitoka kule mbele kisha akaja huku kwenye siti za nyuma,
“anko…. Naomba upende shule sawa”
“sawa mama”
“afu anko ushaanza kunieshimu ee”
“ndio, tena nakuheshimu kuliko unavyofikiria”
“mimi sitaki iwe hivyo”
“kwanini mama”
“kwasababuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu”
Alinisogelea na kunikiss mdomoni kisha hakuridhika, akaninyonya na ulimi wangu, hivyo tukawa tunanyonyana ndimi zetu, alijikuta ananogewa na kusahau kama tupo ndani ya gari….
“oooohhh sorry anko, unajua sitaki kukuchanganya akili yako… Ila nitakusubiri mpaka umalize shule na nitakusomesha mwenyewe kwa gharama zangu”
“asante mamy”
“naomba usome sana sawa anko… Afu kila juma pili njoo nyumbani kwangu.. Nikupe posho ya kujikimu na familia yako sawa”
“sawa”
“alafu kingine cha muhimu kwangu… Naomba usiwe na uhusiano wa kimapenzi na mschana yeyote yule, ukifanya hivyo tutagombana”
“hapana siwezi kufanya hivyo mamy”
“ok ngoja nikuitie tax mana nimepigiwa simu kuna mahali nahitaji kuwahi”
Mama aliita tax ikanichukua mpaka nyumbani, wakati huo nimeushikilia mfuko wangu wa suruali uliojaa hela nyingi kweli kweli,….
Dereva tax alinishusha nyumbani huku mama yangu akiangalia ni nani anashushwa hapo nje mana hata nguo zangu za zamani niliziacha kule dukani, nilikua nimevaa kisharobaro hata mama angu hakunijua..
Nilishuka na kuingiza vitu ndani, kwani dereva yeye alishalipwa pesa ya kunileta huku hivyo aliondoka zake…
Mama alikua anashangaa tu ninavyoingiza vitu ndani,
“shkamoo mama”
“marahaba ujambo”
“sjambo”
Mama alikua haniamini amini kama naweza kua hivyo nilivyo…..
Baada ya kuingiza nguo zote ndani mama nae aliingia na kuanza kuhoji
“mi najua ushaanza kua jambazi… Haya niambie leo umevunja duka gani”
“mama, ondoa mawazo Potofu juu ya mtoto wako”
“joshua mwanangu, asubuhi umetoka tofauti afu sasa hivi umekuja tofauti… Na nilianza kukutilia shaka toka jana…. Mmmhhh.. Mwanangu, kumbuka 40 zikifika utafungwa wewe”
“mama hii ni kazi mama wala siiibi”
“na ngoja kesho niende huko kijiweni kwenu, lazima nijue unafanya kazi gani na mumeenda kuibia wapi”
“sawa kawaulize………. Haya leo tule nini mama”
“nani ale hela ya kuiba”
“duuuuuuu mamaaaaa….. Kwahio basi umasikini tuliumbiwa nao, kana kwamba hata njia ya pesa nikiiona nisiipite si ndio”
“sina maana hio mwanangu, ila ni ghafla sana…. Au ushajiunga na hao mafremason wenu”
“aaahhhh sasa unakwenda mbali mama… Ebu ngoja nilete nyama upike pilau leo”
Kwanza niliingia chumbani kwangu na kutoa lile bulungutu la hela na kuanza kuzihesabu,
Zilikua zapata laki tatu na ushehe… Kwangu zilikua ni pesa nyingi sana kua nazo,……….
Basi mama nilimueka kikao mida flani pilau likiendelea kuiva hivi,… Mama alikubali na kesho ndio nakwenda shule nikiwa smati, mana yunifom ni mpya, tai mpya kiatu kipyaa, begi jipyaa kalamu yenyewe ni ile ya bei gali sio hizi za mia mbili mbili, madaftari ya zamani yote nimechoma moto, sasa hivi ni makaunta tena makubwa kweli yani watanikoma na hivyo siwazi tena maisha… Nilikua nakiona kidato cha tano hiki hapa….
Kesho yake asubuhi ndio nilikua naingia shule, tena niliwahi number ili siku hio niwe sina kosa lolote,… Ile asubuhi subuhi wanafunzi hawakunijua mana nilikua kimyaaa, niliingia zangu darasani na kutulia mpaka ilipofika saa 2 muda wa pared baada ya usafi,… Huezi amini pared nzima nilikua naonekana mimi tu, mpaka sir John alikua anashangaa, na kuniita
“samahani kijana hebu njoo mbele”
Huezi amini hata sir John hakunijua kua mimi ndio joshua,
“afu… Khaaaaaa wewe si joshua wewe au nakufananisha”
“ndio mimi mwalimu”
“khaaaaaa…… Umevunja kibubu nini… Aahhh hata ungevunja usingefikia hapa”
Hata wanafunzi leo walinishangaaa, yule joshua wa zamani aliekua bogazi wa kuota ota hivyo ndio huyu….. Daaaahh
Mara madam leila kafika huku akiwa nae hakunijua, ila sir John ndio alimwambia
“leila… Unamjua huyu”
“kama namfananisha hivi”
“unamfananisha na nani”
“kama chandoto vile.. Lakini wamefanana ee”
Sir John alikaukia kucheka mwanzo mwisho baada ya madam leila kunifanisha…. Nilishangaa kutomuona madam Jesca, japo alikuepo kwa muda tu hapa shuleni, sasa sijui keshaondoka?
Basi tuliruusiwa kuingia darasani, na hatmae zoezi la kwanza lilikua ni la madam Jesca, nilifrai sana kumuona madam Jesca, alipomaliza kuandika aligeuka nyuma na kutuuliza
“iv joshua na leo hajaja shule”
Aliuliza na wanafunzi wakakaukia kucheka mana joshua wa sasa sio yule wa zamani, hivyo….
“aaaaahhhh pumbavu sana wewe… Jinga kweli, leo imependeza mpaka nimekusahau”
Aliongea hivyo nami niksmwambia tu asante,…
Basi kila siku ilikua ndio mapigo yangu, nilivutia sana kwa wanafunzi wa kike, wengi wao waliokua wakinidharau, leo walikua wakijigonga kwangu, lakini mimi sikua na habari ila shida yangu ni madam Jesca peke yake, aliesababisha kueibika siku ileeeeee,…..
Siku zilizidi kwenda na madam Jesca nilikua namteka taaratibu bila ya yeye kujua, mana nampenda sana kutokana na uzuri na umbo lake, jinsi lilivyogawanyika….
Siku moja nikiwa narudi zangu shule, niliskia naitwa kwa nyuma
“joshua, we joshua”
Alikua ni madam Jesca ndio alikua akiniita huku akicheka cheka hivi
“yes madam”
“yani siku hizi umekua jeuri ee”
“kwanini madam”
“yani mwalimu wako nabeba begi umeniangalia tu”
“oooohhhh sorry madam, hata hivyo nilikua mbele”
“kwanini usingekuja kulichukua staff”
“aahhh sikujua kama ungelipita njia hii”
“yaani siku hizi hata kuongea umekua mjanjaaa”
Basi nilimseidia mkoba wake ambao kaekea daftari zake, nikaona hii njia sio ya kuiacha kabisa,
Nilifika hadi nyumbani kwake ambapo alifungua mlango na kuingia ndani, nilihisi labda ni ndoto tena,
“karibu uketi”
Madam Jesca alipangisha selfcontena, yaani kajuma ka rumu kadhaa,.. Na sio rumu moja kama nilivyoota siku zile,
Madam aliuchukua ule mkoba wake na kutaka kuupeleka chumbani kwake, lakini nilikataa nao na kudai kua nimpelekee,
“jamani joshua, utaingiaje chumbani kwa mwalimu wako”
“kwani unafuga nini uko chumbani kwako”
“iiiiiiii baba mi sifugi kitu, twende ukaone kama kuna kitu”
Hio ndio ilikua tiketi yangu ya kuingia chumbani kwake, niliingia chumbani hapo na kujikuta jicho langu likatua kwenye kaukamba kalichopo hapo ndani ambacho kalikua kamejaa chupi za madam Jesca ambazo kila akioga huziweka hapo, jicho lilitua hapo na kunifanya nianze kutembewa na damu kwa spidi,… Madam Jesca alikaa kitandani kwake nami nikakaa,
“haya lete umeshaufikisha”
Nilimuangalia kwa jicho la huba mpaka akaangalia chini kwa aibu
“madam”
“mmmhhh”
“zile chupi ni zako zote”
“heeeee we joshua wewe tabia gani hio ya kuangalia nguo zangu”
“samaani kama nimekuudhi madam”
“usijali, coz najua mwanaume kamili huwaje”
Madam Jesca alitoa khanjifu yake (leso) na kuanza kujifuta jasho maeneo ya shingo
Nikampokonya ile khanjifu kisha nikaanza kumfuta mimi, madam alikua anaangalia chini kwa aibu ya kutokuniangalia, afu uzuri unazidi kuimarishwa na shingo yake, ilioweka pingili tatu kuashiria afya ndani ya mwili wake, nilikua namfuta jasho mpaka nikawa napitiliza
“joshuuu huko nako wapi tena”
“samahani madam”
Nilikua nataka nifute jasho lililotiririka katika mstari wa kifuani kwake, sasa akagoma mi nifanye hivyo,
“iv madam? Unajua siku ile nilifanyaje pale darasani”
“ile siku ulianguka afu sjui ulikua unaota”
“yes, siku ile, ile ndoto ilikua inakuhusu wewe”
“weeeeeee… Inanihusu kivipi”
“nilikua na wewe kitanda kimoja…… Ulikua ni mtamu sana madam.”
Maneno hayo yalimfanya madam aangalie chini kwa aibu, na kushindwa kunitazama usoni,
“kwaio kumbe mimi ndio nilikusabishia uanguke”
“ndio”
“pole…. Eti joshu, poleee”
Yaani hio pole ungeisikia huko ilipotoka, heee yani kama ni wewe ungezimia,…
“nikuulize kitu madam”
“uliza tu usijali”
“ivi unapenda sana mi niote si ndio”
“aah aah No spendi uote joshuuu, tena kama ningelikua na uwezo ningee ningee ningeee au basi”
“ah ah… Madam please malizia sentensi yako please”
“bwana joshua, hio sentensi haina maana yeyote ile”
“naomba tu uimalizie please”
“mmmhhhhh… Ok Nilitaka kusema kua… Ningelikua na uwezo ningeifa;ya ile ndoto yako kua kweli”
Nilicheke kihuba huba afu nikamswalika
“kwani sasa hivi huezi”
Madam aliangalia chini huku aking’ata kucha ya kidole chake,
“lakini joshua?”
“lakini nini Jesca, please naomba ufanye ivyo please Jesca”
Madam Jesca aliyanyanyua macho yake juu na kuniangalia kwa mapenzi mazito, nami pia nikamwakalia vivyo hivyo,… Alitabasamu kisha akanipa ile leso, kumaanisha kua niendelee kumfuta jasho mpaka zile sehemu alizokataa, Ghafla alizungusha mkono nyuma ya mgongo wake na kufungua zipu ya kiblauzia chake, kisha akabakia na kile kilichozuia matiti peke yake…. Jamaa au mshkaji wangu alianza kusumbua ndani ya suruali yangu,..
“joshuuuuu”
“eeeeennnhhh”
Nilikua naitikia Utafikiri sina meno vile
“naomba nikunong’oneze please”
“sawa”
Tulinyanyuka wote huku mimi nikimpelekea skio na kumuuliza
“iv madam na hii ni ndoto au”
“kwenda ukoo, ndoto itoke wapi uko”
Basi Jesca au maadam Jesca anivuta skio na kuniambia kua…
“si ulitaka kazi ya kufuta jasho wewe au?”
Alininong’oneza hivyo nami nikamjibu kua
“ndio nataka”
“sasa skia, mpenzi wangu…. Nina jasho jasho Huku ndani ya chupi, ila staki uifute na leso please joshu wangu. Eee?..”
Wakati huo huku kwa mama sudi, alijaribu tena kupiga namba ya joshua lakini haipatikani bado,…
“ina maana bado hajarudi shule tuuu”
Aliongea mama sudi, huku mama segeda akitokea…
“heeee unaongea mwenyewe mama sudi”
“hapana.. Nimejaribu kumpigia huyu kijana lakini haipatikani simu yake”
“lakini si mwanafunzi na unajua sheria za shuleni”
“najua ila anatoka saa tisa, sasa ni saa 12 kasoro”
“labda imeisha chaji… Sasa hebu nikamshuhulikie yule kijana aliekatwa mkono,.. Mi naona tutaonana”
“sawa acha mimi niende, ila mtoto ananichizisha huyu”
Aliongea mama sudi na laiti angelijua kuwa huyo kijana alioko hapo hospitali ndio joshua,…
Sasa wakati huo, JESSICA nae yupo getini anakuja kujichunguza kama kasogezwa kizazi au laaa… Na hajui kama joshua nae kaja hapo… Mbaya zaidi mama sudi anaye mlea joshua, yupo humo humo dispensari…
Basi kwakua kuna mgonjwa kaja hivyo mama segeda akaona wacha aende kwa huyo mgonjwa mana asha bado ni nesi tu, hawezi chochote
“sawa tutaonana, mama sudi acha nimfunge huyu kijana bendeji”
“sawaaaa…”
Aliitikia sawa lakini mama segeda alipo fungua mlango, mama sudi kama kamuona joshua,… Ila hana uhakika
“hebu ngoja mama segeda”
“kuna nini mama sudi”
Uvumilivu ulimshinda ikabidi afungue mlango amuangalie mtu alio mfananisha..
“joshuaaaaaaaaa…umepatwa nanini baba angu
Mama Joshua Aliongea mpaka machozi yanamtoka, kweli ni dhahiri kuwa hataki mtoto wake afanye hivyo… Ila shida ni mbaya sana..
“samahani mama Joshua… Naomba tuongee kwenye gari tafadhali”
Kosa alilofanya mama Joshua ni kukubali kuongelea kwenye gari,… Mama sudi aliwahi kwenye gari kisha akafungua ndroo moja ya kwenye gari kama vile kuna kitu cheusi anatoa
Sasa huku ndani kwa Joshua, anawaza mama sudi atamfanya nini mama yake… Mana wakati anatoka,… Mama sudi alimwambia joshua kuwa…
“mama yako keshajua mahusiano yetu… Sasa nakwenda kuongea nae huko nje, ila asipo nielewa nitakacho fanya usishangae”
“utafanya nini”
“subiri hapo hapo, mana kukukosa wewe siwezi”
“lakini”
Mama sudi alitoka kuongea na mama joshua…. Sasa wamepelekana kwenye gari, ila mama joshua anasita kuingia kwenye gari…
“ingia usiogope, nataka nifunge kioo tafadhali”
Mama Joshua aliingia kisha akakaa kwenye siti huku akiogopa, mkwara wote kwisha
“uuuuuuwiiiiii”
Kiukweli hakuna kitu kibaya kama kupenda, mana ukimpenda mtu hutojali mahali alipo kua patakukost kiasi gani, Mama sudi alimpenda sana huyu mtoto wa watu, yaani kampenda utafikiri ni lika lake kumbe ni sawa na mtoto wake,…
Sasa wakati mama sudi anaongea na mama kipenga huku nje,.. Kumbe huku ndani ilikua hivi
“joshua, nakupenda.. Yaani sijui kwanini nimetokea kupenda mtoto mdogo kama wewe”
“lakini si una watoto kama mimi”
“nina watoto ndio, ila hawafikii umri wako, mtoto wangu wa kwanza ana miaka 18… Nawewe una miaka 22, Kiukweli nakupenda mno”
“sawa lakini si unanipenda kama mtoto wako”
“wala hata sio hivyo,.. Kwanza njoo nikupakate”
Aliongea mama sudi au JANETH, huku joshua akikataa kwakua hapo ni nyumbani
“hapana mama,… Mama atatuona sio vizuri”
“nakumisi kiukwei na siwezi vumilia mpaka hapo baadaye”
“tulia basi, kwani akituona kuna nini, unaogopa?”
“hivi uko sahihi mama? Yaani ni mwanamke gani atapenda mtoto wake afanyiwe kama unavyofanya, wewe ni myu mzima mama, haya mambo kwanini yasiwe kwa siri.. Sawa nitakubali utakavyo lakini sio hapa nyumbani”
Sehemu Ya Pili
Joshua Aliongea kwa msisitizo ili mwanamke huyo amuelewe,…
“ok nimekuelewa joshua… Naomba nikubusu kisha nikushushe kwenye mapaja yangu, kuanzia sasa nitakua nakuheshim kauli yako yeyote”
Aliongea mwanamke huyo huku joshua akiwa katulia tu,.. Mama sudi akapeleka mdomo mdomoni mwa joshua na kumnyonya denda moja matata, joshua alikua katulia kana kwamba kakubali… Sasa ile anamaliza tu, na anataka kumshusha, ndio mama joshua akatokea,.. Yaani ilikua kiduchu tu, akutwe wanakulana mate… Mama joshua alipo ingia, ndio mama sudi akajibalaguza kumshusha joshua kwenye mapaja yake, ndio mama joshua akamuita mama sudi nje waongee kwa ile hali ya kumpakata mtoto wake katika mapaja yake… Kama angeona lile denda sijui ingelikuaje…
Sasa hayo ndio yaliojiri kabla ya kufumaniwa, sasa tuendelee tulipo ishia
“ingia usiogope, nataka nifunge kioo tafadhali”
Mama Joshua aliingia kisha akakaa kwenye siti huku akiogopa, mkwara wote kwisha
“uuuuuuwiiiiii”
Ilisikika sauti ya mama joshua akipiga kelele kama vile kuna kitu kaonyeshwa
“apo vipi?”
Aliongea mama sudi huku akitabasamu
“inamana unataka nikubali kumuuza mwanangu
Tukija huku kwa akina mama sudi na mama joshua wakiwa ndio wanakunja pale mnarani kushika rafurodi kama miata 500 hivi…
“nataka nimnunulie mpenzi wangu chipsi kuku”
Aliongea mama sudi,.. Mama joshua hapendi kusikia hivyo,.. Bora angelikua lika lake…. Ilimuuma lakini akanyamaza tu
“Samahani kaka, nitengenezee chips kuku kausha vizuri kabisa”
“sawa dada”
Basi mama sudi akawa kasimama mbele ya shoo ya chipsi, akisubiri chipsi za mpenzi wake… Mara ghafla Jessica nae huyo… Kashushwa na bajaji sasa kabaki kuuliza tu… Saa ngapi hajafika mpaka pale kwenye chipsi..
“samahani kaka”
Alianza Jessica ila jamaa akajibu
“naomba utasubiri kidogo nimtoe huyu dada”
Jamaa alijua Jessica anataka chipsi
“hapana mimi sihitaji chochote naomba nikuulize tu”
“ok.. Unaweza kuuliza bila shaka”
“hivi kaka unamfahamu joshua?”
Kabla jamaa hajajibu… Mama sudi kadakia
“joshua?? We unamjuaje joshua wewe”
Mama sudi hua hataki kuskia joshua ana kimwanamke chochote kile,… Hataki kusikia jambo hilo, sasa leo kujitokeza mwanamke anamuulizia joshua, tena msichana mdogo kabisa lika la joshua tena mzuri haswa….. Mama sudi alichanganyikiwa kuskia joshua anauliziwa, japo hajui ni joshua gani lakini kapayuka akijua ni joshua wake.. Na ni kweli ni joshua wake…
“ok.. Unaweza kuuliza bila shaka”
“hivi kaka unamfahamu joshua?”
Kabla jamaa hajajibu… Mama sudi kadakia
“joshua?? We unamjuaje joshua wewe”
Mama sudi aliuliza ila Jessica hakua na wasiwasi hata kidogo kwasababu yeye ni mwalimu tu
“kwanini wewe ni mama yake?.. Basi anaendeleaje”
Jessica aliongea hivyo huku mama sudi akawa mpole kidogo na kumuuliza
“wewe ni nani yake unamuulizia”
“mimi ni mwalimu wake… Jana aliumia”
Mama sudi kusikia hivyo akajua kweli huenda ni mwalimu wake… Ila akimwangalia, ni mdogo sana anawezaje kuwa mwalimu
“unasema wewe ni nani yake”
“mwalimu wake”
“wewe una umri gani”
“nina miaka 25”
“ulianza shule ukiwa na miaka mingapi”
“kwanini unaniuliza hivyo mama… Naomba nikamuone mwanafunzi wangu.. Samahani lakini”
“nyie sio wapenzi nyie ukaniharibia mwanangu”
Mama sudi alinifanya kama ni mama yake joshua ili amtege, mana visichana kwa kuropoka havijambo… Sasa Jessica kweli alitaka kuropoka kua anampenda…
“ni kwe”
Kabla hajamaliza kusema ni kweli… Ghafla akakatishwa na jamaa wa chipsi
“dada chipsi zipo tayari”
“ok ni shingapi”
“elfu nane”
“ok shika….. Twende we mwalimu”
Kama bahati vile yani Jessica huyooo akaingia kwenye gari..
“ina maana kwa akina joshua ni matajiri hivi”
Jessica alijisemea kwenye moyo wake
“mama Joshua… Huyo binti ni mwalimu wa joshua.. Alikua anaulizia kwa joshua”
“ooohhhh bahari yako binti”
“salama shikamoo mama”
“Marahaba, ujambo”
“sijambo… Nimekuja kumjulia hali mwanafunzi wangu”
“ooohhh karibu mimi ndio mama yake”
Upande wa pili
****
“joshua joshua please, naomba nipige hata uniue hapa hapa.. Ili hata nikifa nijue umenisamehe”
“sina haja ya kuumiza mikono yangu kwa kupiga mwanamke asio na heshima”
Aliongea joshua kisha akapiga hatua… Jessica alishika mguu wa joshua akiwa palepale kapiga magoti..
“naomba radhi, nisamehe joshua.. Nitafanya chochote utakacho”
Aliongea Jessica huku akiwa kashikilia mguu wa joshua, kana kwamba joshua hawezi tena kutoa mguu… Sasa joshua akaona atajaza watu bila sababu…
“haya amka kwanza”
“Niambie kama umenisamehe”
“ndio.. Amka”
Basi Jessica aliamka na kumkumbatia joshua
“nakupenda joshua, nakupenda sana, wewe ni mwanaume wangu wa kwanza, sitakuacha Kwakweli, na sitakukosea tena”
“ok poa… Sasa nadhani tutawasiliana”
“hapana, kwanza nina swali naomba nikuulize”
“umeanza ujinga wako tena”
“samahani basi, yaishe”
“twende sasa”
Basi wakaanza kuongozana haooo
Tukija huku maeneo ya stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani… Ghafla anaonekana kijana Kipenga na Alionekana nadhifu na mwenye maisha safi kwa namna alivyo valia mkanda nje
Unajua siku zote thamani ya mtu huonekana pale uwepo wake unapo kuwepo, lakini akitoweka ndani ya mazingira hayo ndipo utakapo jua umuhimu wake, siku zote ukiona mtu hana umuhimu… Kabla hujamuondosha, anaza kufikiri yale ayafanyayo, je akiondoka utakupunguzia nini?
SASA HAPA TUNARUDI NYUMA KABISA WIKI MBILI ZILIZOPITA ILI TUJUE KIPENGA ALIFANYAJE MPAKA KUTOKA LUMANDE NA ILIKUAJE MPAKA SASA ANA KAZI, NA TUJUE PIA KWA UPANDE WA MAMA YAKE…
TUANZIE KESHO YAKE BAADA YA KIPENGA KUKAMATWA PALE STENDI
Huku nyumbani kwa mama Kipenga baada ya kuamka asubuhi, alimkuta kidundo sebuleni akiendelea kujisomea, ilikua kama nyakati za saa nne hivi,.. Yaani kalala utadhani ni tajiri fulani hivi
“shikamoo mama”
Kidundo alimsalimia mama yake na mama yake aliitika
“Marahaba ujambo”
“sijambo mama”
“hivi kaka yako jana karudi saa ngapi”
Mama aliuliza akidhani labda Kipenga jana alirudi, kumbe ndio kwanza jana usiku Kipenga alikamatwa na askari waliokuwa doria usiku wa jana maeneo ya stendi kuu…
“hajarudi mama”
“ati nini”
Mama Kipenga alishtuka kuskia hajarudi mana kuna wakati jana Kipenga alisema anaondoka, na mama Kipenga akamwambia aondoke kabisa… Sasa kashtuka sana kuskia kaondoka
“hajarudi”
“ni lini ameanza kiburi cha kulala nje”
Mama kipe alijibalaguza kusema hivyo ila anajua Kipenga akiwa hayupo humu ndani, kutakua na uzito wa kupata riziki…
“lakini alisema atarudi”
Aliongea kidundo huku mama akijifariji kurudi kwa Kipenga
“sawa”
Tukija huku maeneo ya stendi, yule jamaa aliosababisha kipenga kukamatwa alikua anafungua duka lake.. Lakini aliona box pale nje ya mlango wake.. Box ambalo lilitandikwa mfano wa mtu anataka kulala.. Ndio akakumbuka jana kuna alikamatwa hapo… Aliendelea kufungua mlango kisha akatulia katika kiti chake,… Ilikua ni booking office za mabasi yaendayo mikoani, hivyo alikua akiangalia vitabu vya tiketi zilizokatwa leo, mana kuna watu huja kufungua alfajiri kwa ajili ya kufanya kazi ya kukatisha tiketi… Sasa alikua akitazama chati ya leo… Huyu jamaa ni mmiliki wa mabasi yaendayo mikoani, lakini kila akiwa anasoma chati hio, akili yake ilikua ilikua ikiingiliwa na yale maneno ya jana ya kipenga
“kaka, utanipoteza bure, nimefukuzwa nyumbani, sina pakuishi, hapa nilipo nina njaa.. Tena waniitia polisi kaka, kuwa na huruma basi,.. Basi naondoka kwenye biashara yako”
Aliyakumbuka maneno hayo, akajifikiria huku akisema
“mbona sikuibiwa chochote na nimemsabishia mtu kuteseka ndani”
Alijisemea huku akifunga kitabu cha tiketi na kusema kuwa
“hapana, wacha nikamtoe, kwani sijatenda haki, hajaniibia chochote kile”
Jamaa alitoka akawasha gari yake kuelekea kituoni,
“habari zenu afande”
“aaahhh mr Zube”
“ndio mimi bwana”
“karibu sana bwana jiskie huru”
Aliongea kamanda wa polisi mmoja wapo huku mr zube akikaa kitako huku akiulizwa
“enheee, tuambie, wamekamata gari namba ngapo na ni mkoa gani”
Aliongea afande huyo mana zube, magari yake yakishikiliwa huko barabarani, anakuja tu huku kwa wakubwa anaongea nao,.. Gari linaachiwa… Sasa afande alijua zube kaja kwa ajili ya gari
“hapana leo sikuletwa na matatizo yetu yale… Bali kuna kijana alikamatwa jana maeneo ya stendi.. Hebu namuombeni huyu kijana”
“ooihhh wapo vijana kama sita hivi walikamatwa stendi sasa sijui wewe unamzungumzia nani, au anaitwa nani”
“aaaahh Kwakweli simfahamu jina lake ila mimi ndie niliwaita polisi wamkamate, kitu ambacho hakikua sahihi, hivyo nataka nimtoe”
“sasa tutamjuaje? Hebu ngoja niwaite askari wa jana waliokua doria”
“hapana.. Ila kijana huyo kwa sura namjua”
“basi njoo hapa”
Zube na afande waliingia sero na kweli zube kamuona Kipenga..
“ni huyu hapa”
“ooihh haya toka,.. Upo huru sasa”
Kipenga haamini kuskia neno yupo huru kwa sasa mana alijua keshapotea katika ulimwengu huu kwasababu siku zote ukiingia jela, kutoka kwake ni pesa, sasa anajua familia yake yeye ndio jembe, hivyo hakuna msaada juu yake…
Zube alitoka na Kipenga mpaka kwenye gari yake
“habari yako kijana”
“salama mzee shikamoo”
“Marahaba… Vp unanikumbuka”
“ndio, lakini mimi sijaiba na sijawahi kuiba”
“na ndio mana nimekuja kukutoa… Kwanza kabisa nisamehe kwa kukusababishia matatizo kama haya”
“hakuna shida mzee wangu, kwanza nashukuru sana kutoka huku ndani”
Aliongea Kipenga na hapo akili yake ni kurudi tu nyumbani mana usiku mmoja tu, kapata balaa kama hilo, je? Akikaa hio wiki itakuaje.. Aliona hio wiki mbali acha arudi nyumbani tu…
“ok.. Unaitwa nani kijana”
“naitwa Kipenga”
“jana ulisema umefukuzwa kwenu na ulikua na njaaa… Kwanza umekula”
“hapana, toka jana sijala”
“ok.. Twende ukale Kwanza… Enheee nijibu swali langu”
“Kiukweli mzee ni stori ndefu sana mimi na mama yangu.. Ananitukana sana, kiasi kwamba nimeshindwa kuendelea kuvumilia nikaona wacha nikae nje ya nyumba hio angalau wiki tu.. Sasa ndio kwanza usiku wa kwanza… Ndio nakamatwa”
“ooohhh pole sana… Na utanisamehe kwakweli bwana kipenga”
“hakuna shaka”
“unafanya kazi gani”
“sina kazi mzee… Na matusi yote toka kwa mama yangu, ni kwasababu sina kipato kizuri”
Aliongea Kipenga lakini wakati huo wapo hostelini wameshafika
“ok basi kula chakula hapa ushibe.. Ukimaliza utakuja kwenye gari”
“sawa mzee asante sana”
Baada ya Kipenga kumaliza kula alikwenda katika gari, na kumkuta mr zube katulia tu..
“ooohh ushamaliza?”
“ndio mzee nishamaliza”
“sasa…. Nitakupa kazi, ila nataka urudi nyumbani kwa mama uishi nae”
“sawa mzee nitashukuru sana na mama yangu atafurahi pia”
“nitakuweka kwenye gari moja uwe mkusanya pesa… Wewe ndio utapokea pesa za abiria wote wa kwenye hilo basi”
“sawa mzee, nitafanya kazi kwa umakini na kwa uaminifu mkubwa”
“sawa, kwa sasa rudi nyumbani… Kesho alfajiri saa kumi na moja njoo pale stendi tulipokutana jana”
“sawa mzee, nitafika mapema sana”
“sawa.. Chukua hii elfu 20, itakusadia leo nyumbani”
“asante sana mzee, nashukuru sana.”
Basi hivyo ndivyo Kipenga alivyopata kazi ya kutembea na mabasi na sasa atakua na kazi nzuri sana tena kitengo cha pesa
Lakini Kipenga yeye, bado imani yake ni ili mama ajue uwepo wake, hivyo alipotoka kwa yule mzee, aliingia mtaani na asifike kwao… Masaa yalisonga na hatimaye usiku ukaingia
“wewe, kaka yako hajaja tu”
Mama alianza kuuliza kwa kidundo na wakati huo ni saa tatu usiku, Kipenga bado haonekani…
“hajaja”
“mungu wangu mwanangu…”
Aliongea mama huyo huku akijutia maneno yake machafu,…
Kesho yake nyakati za mchana… Mama Kipenga alikua ndani kwa mama joshua
“haya nini wewe”
Mama joshua alimuuliza mama Kipenga,
“mama Joshua,… Nimemkosea sana mtoto wangu, ni siku ya pili sasa haonekani nyumbani”
Aliongea mama Kipenga
“kwani umemfanya nini”
“kwanza kabisa naomba unisamehe mama joshua,.. Nilikua nakuonea wivu sana maisha yako yalivyo badilika… Nilikushauri mtoto wako aachane na huyo mwanamke ili tuwe sawa kwenye maisha… Hivyo nikajikuta namshawishi kipenga apite njia za joshua ampate huyo mwanamke,… Lakini Kipenga hakufanikiwa, hivyo nikajikuta namtukana matusi mazito sana… Sasa imefikia hatua kipenga kaondoka nyumbani.. Mama joshua, kweli kipenga ndip tegemezi langu, alikua analeta pesa kidogo lakini ilitutosha… Sasa hakuna hata mia ndani.. Hata unga sina mama joshua… Nateseka sana”
Leo mama kipenga kafunguka waziwazi mbele ya mama joshua,
“mmhhhh Kiukweli pole sana, ila mimi nilikua najua una chuki na maendeleo ya watu, na nilipo ona hivyo ndio nikakubali tu joshua aendelee na mtu wake… Ila najua wewe ni mwanamke mwenzangu,.. Kiukweli umemkosea sana mtoto wako.. Kumbuka riziki anatoa mungu na sio mtoto wako… Fanya juu chini mwanao arudi, laa sivyo utadhalilika mama kipenga… “
Aliongea mama Joshua huku mama kipenga akisema kuwa
“sio nita… Ndio tayari hivi nadhalilika.. Hata unga sina.. Kwakweli leo ndio naona umuhimu wa kipenga”
“ok… Wala usijali… Chukua hicho kindoo kidogo, chota unga hapo saizi yako… Chukua hii elfu kumi itakusukuma mpaka mwanao atakapo rudi”
Aliongea mama Joshua huku mama Kipenga asiamini macho yake, ndipo akajua kweli roho mbaya haina faida duniani… Alipewa unga kilo kumi kwenye kindoo,…
“mama joshua? Nijaze kindoo”
“jaza wala usijali”
“Kiukweli mpaka najihisi mwenye dhambi juu yako mama joshua… Sikutegemea kumbe utakuja kuwa msaada kwangu, ama kweli ya leo sio ya kesho… Kweli kabisa kuna LEO NA KESHO… asante sana mama joshua”
Mama Kipenga alishukuru mara dufu na kutoa chuki zake juu ya familia hio,…
BAADA YA WIKI MOJA KUPITA
Joshua yeye alishapona mkono wake na shule aliendelea kama kawaida yake, na alikutana na mama sudi lakini hawakuwahi kufanya mapenzi bado kabisa…
“mama joshua”
“abeeeee… Ooohh mama kipe karibu”
“asante shoga angu habari yako”
“salama tu, vipi joshua anaendeleaje”
“mmmhh hajambo, na keshaenda shule”
“weeee kumbe kapona kabisa”
“ndio… Sasa yuko vizuri”
“hivi ile flemu uliosema unatafuta ulisha pata”
“nilipata moja hivi lakini hakuna mzunguko wa watu.. Natafuta kwenye mzunguko wa watu”
“Ooohhhh Nikajua ulipata”
Basi walipiga stori pale, hatimae akaingiza na shida zake… Anataka unga tena… Mama joshua hakumnyima kama kawaida akampa….
“kwahio taarifa za kipenga hujazipata kabisa”
“mama joshua, unanikumbusha mwanangu… Hata sijui anaishije.. Namuomba mungu amlete mwanangu tule shida zetu, nateseka sana ma joshua.. Alipo kuwepo Kipenga sijawahi kumuomba mtu unga… Ona leo, yaani wewe ndio unatulea hapa mjini…”
“sasa na kidundo kuhusu masomo yake”
“ndio ameanza shule jana, Anasema anaenda shule na hafukuzwi… Nikakubali tu acha aende”
“ada kalipiwa na nani”
“hakuna aliolipa… Ila hafukuzwi shule”
“heeeeee bahati yenyewe hio”
“mmmhhh haya acha nikapike akirudi apate kula”
“sawa mama Kipenga”
“sawa asante mama joshua, unatuokoa sana”
“usijali nami nafanya hivi mana kuna kesho nitakua sina nawewe unacho, natumai sitakufa njaa”
“mmmhhh mimi nifanikiwe? Sidhani”
“wala usijali mungu yukaribu nasi”
BAADA YA WIKI NYINGINE KUPITA
(Ni wiki mbili toka Kipenga kutoka kwao)
Tukija huku maeneo ya stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani… anaonekana kijana Kipenga na Alionekana nadhifu na mwenye maisha safi kwa namna alivyo valia mkanda nje
Siku zote maisha ni kupanda na kushuka, ukikosa leo, kesho utapata tu kua karibu na mungu wako tu… Hatimaye Kipenga amepata kazi nzuri na anaingiza kipato kikubwa tu
“kipenga wapi sasa”
“naenda kuonana na boss”
“lete tutoe pesa zetu zakula basi”
“si umeshakula milo yote wewe sasa hela gani tena.. Unacheza na kazi wewe”
Heeeee joshua kawa mshika hela sijui kwa kazi gani,…
“ndio boss”
“habari yako kipenga”
“salama kabisa, shkamoo”
“Marahaba… Leo gari imechelewa kidogo, kulitokea nini njiani”
Aliuliza mr zube huku Kipenga akijibu bila wasiwasi kabisa,
“tulipata pancha maeneo ya magugu pale, hivyo wakati wa kufunga spea ikabidi abiria wakapate chakula”
“ohoooo, basi sawa vp hesabu ya leo”
“hii hapa boss”
“ooooohhh moja mbiliiii, tatu… Eeehh ok, sawa kabisa, kazi nzuri.. Chukua hii pata maji”
“asante sana boss, nashukuru sana”
“sawa.. Hakikisha gari inakwenda kaoshi kisha ita mkaguzi, akague ili iwe tayari kwa safari ya kesho”
“sawa boss nitafanya hivyo”
Aliongea Kipenga kisha akatoka nje ya ofisi yao… Lakini kuangalia mbele, hakuamini macho yake kwa mtu alie muona mbele yake
ENDELEA……….
Siku zote hakuna furaha kama kuwa karibu na ndugu zako, hua ni furaha sana, lakini itakua furaha kama maelewano nao yapo, ila kama huna maelewano na ndugu zako, basi siku zote utaona marafiki ni bora kuliko ndugu, ila ndugu atabaki kuwa ndugu na rafiki ni rafiki tu, japo wapo ndugu wabaya kuliko rafiki,… Yupo mtu anatamani rafiki yake awe ndugu yake wa damu kutokana na upendo walio nao…
Waki moja tu baada ya Kipenga kupata kazi, alimtafuta mdogo wake kwa kumvizia njia za shuleni na kukutana nae, na akaanza kulipa ada kwa mdogo wake huyo, shule ikaendelea kunoga kwa kidundo, mpaka mama yake hajui kidundo analipiwa ada na nani.. Lakini Kipenga ndio kafanya yote hayo…
Leo Kipenga akiwa anatoka ofisini kwa boss wake, kukabidhi kiasi cha pesa,.. Alipokua mlangoni alimwona mdogo wake akiwa anatoka tuisheni… Alifurahi kumwona ndugu yake, na kumkimbilia…
“shkamoo kaka”
“Marahaba vipi hali”
“safi tu”
“saa 12 hii giza linaingia hujarudi nyumbani”
“nilipotoka shule niliunganisha tuisheni moja kwa moja”
“ooihhh vipi masomo yako lakini”
“ah ah, sasa hivi nina imani ya kuiona sekondari bila wasiwasi”
“ukweli au unanifariji tu apa”
“kweli kaka”
“basi vizuri… Mi nadhani sasa urudi nyumbani, kuna kazi nakwenda kufanya mara moja… Shika hii buku ya nauli… Na hii elfu tano, kampe mama, ila kama kawaida, mwambie umeokota”
Aliongea Kipenga kana kwamba anampaga hela akampe mama yake ila aseme ameokota…
“sawa… Lakini kaka? Kwanini usirudi nyumbani… Uliniahidi wiki moja tu, lakini sasa ni wiki ya pili… Na mama keshajifunza, hawezi tena kukutukana kaka”
Aliongea kidundo huku Kipenga akijibu
“ni kweli, najua hawezi nitukana, ila nikizoea kwenye macho yake, atarudia tena”
“sasa kaka, nyumba ipo.. Kwanini ulale kwenye magari… Naomba rudi nyumbani kaka, mama kuacha kisirani chake, na anakuhitaji sana.. Utamuua mama etu”
Aliongea kidundo tena kwa uchungu sana
“basi wacha nifikiri zaidi”
“kaka?? Rudi nyumbani, kwa sasa tumekua ombaomba… Yaani kama sio familia ya akina joshua, tungelikufa njaa”
“lakini yote hayo kayataka mama”
“keshajifunza, nansasa anakuhitaji hata kama huna kazi”
“weeeeeeee anasema tu hivyo.. Kama naleta elfu tano elfu tatu… Ananiona kama mavi, leo sina kazi anione halua.. Weeee labda sio mama angu ninaemjua”
“basi rudi…”
“usijali, ukija kwa wakati mwingine.. Tutaongea vizuri”
“sawa, mi nakwenda ila fikiria kuishi na familia yako karibu kaka”
Aliongea kidundo huku Kipenga akiwaza sana, aliona ni kweli anastahili kurudi nyumbani, kwani boma lile aliachiwa yeye
Tukija huku kwa akina joshua akiwa nyumbani kwao baada ya kutoka shule,.. Akiwa na mama yake hapo sebuleni…
“hivi yule binti alikuja siku ile hapa, ni mwalimu wako kweli au ndio kama vile”
Aliuliza mama joshua, huku joshua akitabasam tu huku akijibu
“Yule ni mwalimu kweli, ila ananipenda nami nampenda pia na natamani sana awe mkweo lakini nahofia mama sudi”
Aliongea joshua, mama yake akashangaa
“hivi utakua vizuri kimasomo we joshua?.. Mama sudi, bado kuna huyo binti.. Hivi unasoma kweli wewe”
“mamaaaa, kwanini nisisome”
“sasa mbona unamiliki wanawake wengi hivyo”
“hamna mama, huyu ni mwalimu tu, japo ananipenda”
“yaani mitoto ya kiume bwana aijui mpoje”
Aliongea mama jishua kisha akaingia ndani
“winiiii”
Joshua alimwita mdogo wake baada ya mama yake kuondoka
“abee kaka”
“lete midaftari yako hapa nikague, usikute unazingua tu shule wewe”
Aliongea hivyo joshua, mana kama yeye hatafanikiwa kwenda mbele basi ahakikishe mdogo wake anakwenda mbele zaidi kimasomo
Tukija huku kwa mama sudi, akiwa nyumbani kwake, alimkumbuka joshua japo siku ya jana alikua naye, na hawakuwahi kufanya tendo… Mama huyo alishika simu yake na kumpigia joshua wake… Simu iliita ikapokelewa
“Hallo Kipenzi joshua, mambo”
“poa mamy shkamoo”
“mjinga wewe, msalimie mama joshua sio mimi”
“lakini unastahili”
“ninachohitaji kwako, Kiukweli sistahili kuhehimiwa nawewe”
“sasa nikusalimieje”
“Niambie mambo vipi mrembo”
“duuuuuu wewe uyo”
“kwahio mimi sio mrembo…”
“ni mrembo tena haswaa zaidi ya msichana, ila tatizo namba”
“hata wewe namba unazo,… Sikia leo ni ijumaa, kama una Homework Fanya leo na kesho Jumamosi… Jumapili nataka twende Dar es Salaam”
“Dar es Salaam?? Weweeeee si twende kesho”
“acha haraka,.. Tunakwenda kuinjoi tu, wala siendi kikazi”
“lakini tukienda tunarudi lini, mana Jumatatu shule na ndio mana nakwambia twende kesho”
“tutakwenda na ndege”
“eeeeeeehhh… Ndege kabisa”
“joshua nawewe, ina maana hujui au”
“najua ila sijawahi”
“ndio hivyo basi.. Kwahio jiandae… Ila”
Aliongea mama sudi akaishia ila
“ila nini tena”
Wakati joshua anauliza hivyo, mama yake yupo hapo sebuleni,
“Jumapili usije ukaniacha kule Dar”
“aaahhh mamy siwezi kukuacha.. Na nakuacha mimi niende wapi”
“sio kiivyo… Nataka penzi la kwanza ukanigongee Dar”
Mama sudi aliongea, afu kama vile mama joshua kasikia kwa mbaliii… Ilimuuma mpaka akaondoka pale sebuleni, anajua tu siku hio ya Jumapili joshua atakua kwenye kibarua kizito…
“mmmmhhh sawa, kwa hilo usijali”
“sawa nashukuru kwa kukubali”
“sawa usiku mwema”
“nawe pia”
Yaani mama sudi, saa zingine anaona aibu kumuomba joshua gemu, ila moyo unamfosi kwasababu anakapenda sana tena sana… Na anakumbuka siku moja mama sudi aliambiwa na mama segeda kuwa
“je? Ukikuta hasimamishi?”
Mama sudi akajibu… Atamsomesha tu
Sasa mama joshua kaenda jikoni karudi hapo sebuleni kashika nazi, karanga..
“ukiwa unaendelea kumkagua mdogo wako.. Tupia tupia kuchangamsha mdomo”
Aisew ukipata mama kama huyu, safi sana.. Keshajua mtoto wake atakua na kazi nzito sana.. Kukumbatia jimama kubwa ambalo sio lika lake
“mama, sasa hivi vitu vyanini?”
“we kula vitu kama hivyo ninakupa afya.. Kula vitu vya asili mwanangu”
Basi joshua alianza kutupia karanga huku akila na nazi.. Afu kwa pembeni kuna muhogo mbichi ulio kauka kidogo,.. Joshua yeye bado hajajua kapewa hivyo vitu kwasababu gani, ila akajua labda ni upendo wa mama yake…
Ila mama joshua alikumbuka kipindi akiwa na mume wake, yaani baba yake joshua.. Mzee Joakim alikua akimtaka mkewe amuwekee karanga, mihogo na nazi pia akipata dafu itakua poa… Lakini siku moja mkewe akamuuliza..
“mbona hivi vitu unavipenda sana, na ukila hua hutaki kula chakula nachopika”
Aliongea mke wa mzew Joakim
“mke wangu, hivi vitu unaniongezea hamu na uwezo wa kula mzigo”
Aliongea mzee huyo lakini mama joshua alikua bado hajaelewa….
“una maana gani.. Mana kama inakuongezea hamu ya kula.. Mbona hulagi sasa”
“sio kula chakula…. Ni kula mzigo mama joshua nawewe huelewi… Namaanisha nipate ngumu ya kukukwea wewe”
“waaaaaaaah mi nikajua unaongea cha maana kumbe ni huo uhuni wako”
“ahahahahahahahaha… We ulizani unavyougulia ulijua natumia umeme au”
“kwenda uko”
Basi mama jishua alikumbuka enzi za mume wake, na leo anampa mtoto wake kwasababu kasikia ana mpango wa kulala na mama sudi…. Mama joshua ana roho ngumu kinoma, yaani yeye ndio anafanya maandalizi ya mtoto wake na joshua nae, anajua thamani ya hivyo vitu, ila hakufikiria mbali kuwa anapewa kwasababu ya kwenda kulala na mama sudi
Tukija huku kwa mama Kipenga, kidundo akiwa ndio anafika nyumbani kwao,
“afu hii tabia ya kurudi usiku sitaki kusikia, mshenzi wewe”
“samahani mama.. Si natoka tuisheni”
“tuisheni najua unatoka saa 12 kamili jioni, sasa hii saa moja na nusu inakujaje”
“basi samahani… Nilipita kule nakookota hela”
Aliongea kidundo huku mama akitoa macho
“enheee, na leo umeokota tena.. Umeokota shingapi leo”
“leo nimeokota ndogo.. Elfu tano”
“aahh kubwa mwanangu.. Itakua mungu anatupa riziki kwa njia hio… Tumshukuru mungu mwanangu”
Aliongea mama Kipenga huku akiwa anambusu mtoto wake, na wakati huo machozi yao hutoka kwa wakati mmoja.. Kidundo yeye analia kwa kumuona mama yake anateseka sana… Na mama analia kwakua kafanya makosa mengi sana kwa watoto wake, hivyo anahisi ni malipo yake
“kaka yako namkumbuka sana.. Ni wiki mbili tu, lakini nahisi ni miezi kumi toka ameondoka”
“usijali mama, kaka atarudi tu”
“sidhani kama atarudi, ila hata asiporudi, simlaumu, mana makosa ni yangu… Kiukweli sitarudia tena kwako… Sitaki nawewe unikimbie mwanangu, usije ukaniacha kama kaka yako”
Aliongea mama Kipenga huku akikumbatiana na mtoto wake
“hapana mama, sitakukimbia”
Tukija huku kwa Kipenga akiwa kajinyoosha kwenye siti za gari huku kwenye siti za mwisho kabisa,.. Na alikua yeye na shuka lake,… Pembezoni mwa sehemu za kuwekea mabegi ya abiria… Lilionekana begi moja, kana kwamba maisha ya Kipenga ni hapa kwenye hili basi,… Na tajiri hajui kama Kipenga analala huku kwenye gari…
Usiku huo huku kwa Jessica, alikua akikosa usingizi kabisa kwasababu, mahusiano yake na jishua yamerudi upya, hivyo anajiskia mwenye furaha sana,.. Jessica ni mkubwa kwa joshua.. Amemzidi kama miaka mitatu, ila uzuri wa Jessica, anajua thamani ya mume, lazima amheshim hata kama ni mdogo ila Jessica hajui kama yeye na joshua wana utofauti wa miaka, kila mmoja anajua wapo sawa… Jessica alishika simu na kumtumia meseji mpenzi wake huyo
“joshua wangu, nashindwa kulala, nakuwaza tu,… Naomba kesho uje nyumbani tushinde wote”
Aliandika Jessica, huku joshua akijibu
“hapana, kesho nuna Homework za kufanya, labda wiki ijayo”
Alijibu joshua lakini Jessica alishtuka
“wiki ijayo kivipi mpenzi… Kama kesho una homework, sawa.. Ila Jumapili si utakua huna homework?”
“Jumapili sitakuepo, nitakwenda Dar es Salaam na binamu yangu”
“binamu yako?? Binamu yako nani… Na je? Shule jumatatu hutakuja?”
“binamu yangu yule wa siku ile aliotaka kukupeleka polisi”
“uuuuuuwiiiiii, kumbe ni binamu yako yule? Ndio mana akakuita baby… Basi niliku natafakari atakua nani yako yule? Kumbe ni binamu yako?”
“ndio”
“sasa shule je”
“tunakwenda kwa ndege”
“mmmmhhhh saivi unainjoi kweli, sawa, ila Jumatatu utachelewa kurudi nyumbani ili ukitoka shule twende kwangu.. Nimemisi eti”
“unataka uje unipige vibao tena??.. Sitakuja kama unataka penzi, basi tusubiri kuoana”
Joshua aliongea hivyo, mpaka Jessica akashtuka, mana asilimia kubwa wanaosema kusubiri kuoana ni wanawake, sasa huyu mwanaume anasubirije kuoana
“joshuaaaaaaa… Kwanini unanifanyia hivyo… Saivi hata ufanyeje, sitakugusa.. Ila nawe una mb** kubwa sana, kwanini nisiumie joshuuu”
“tutapanga vizuri basi wiki ijayo acha Kulia lia”
“sawa mpenzi, nakupenda sana…”
“nakupenda pia”
“nisalimie mama mkwe hapo”
“sawa salamu zimefika”
Siku zote Masaa hayagandi… Ilikua ni saa tatu usiku, na sasa ni saa 12 asubuhi, tukiwa katika nyumba ya akina Kipenga.. Mama Kipenga alipatwa na ndoto iliokua ikimtaka ajiulize kuhusu pesa anazoletewa na kidundo…
“wewe mwanamke, ke, ke, ke, ke… Unafurahi kuletewa pesa za kuokota na mwanao mdogo je? Unajua anakozipata, pata, pata, pata, pata, pata…. Umempoteza mqanao mkubwa kwa ujinga wako, wako, wako, wako, wako,…. Na sasa unampoteza mwanao mdogo ten kwa ujinga wako, wako, wako, wako, wako…. Je? Unajua anachofanyiwa mtoto wako, wako, wako, wako, wako”
“Uuuuuuwiiiiii hapanaaaaa.. Mwanangu”
Mama Kipenga alishtuka usingizini baada ya ndoto hio, alitoka mbio akiwa na chupi peke yake, na anaelekea chumbani kwa mtoto wake wa kiume, yaani hakujali jinsi alivyo mtupu, na mwili wake wote, nguo aliovaa ni chupi peke yake, na ni nyakati za saa 12 asubuhi,… Alipofika aliona mlango umefungwa, aligonga
“kidundo fungua mwanangu”
“kidundoooo…”
“kidundo funguaaaaa…”
“nataka nikuulize pesa unatoa wapi mwanangu fungua”
Mama Kipenga alianza kuwa na wasiwasi, kwani sio kawaida ya mtoto wake kukaa kimya kiasi hicho.. Kama anagongaga mlango wa nje na anasikiaga, sembuse huo wa hapo chumbani kwake…
“kidundo?? Kidundo mwanangu?”
Lakini akiwa anagonga mlango wa chumbani kwa mtoto wake kidundo,… Ghafla mlango mkubwa unafunguliwa bila hodi na mtu kaingia ndani….
INAENDELEA

