MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Chapter 11
Mask man Akiwaa anataka kutoka ghaflaa Anahisi kamaa kuna mtuu katika kilee chumbaa anachukuaa kisuu chakee huku akisogeaa mahali ambapo alikuwa Jay anazidii kusogeaa na kupakalibiaa zaidi Jay moyoo juu juu akiwazaa afanyee nn ghaflaa Mask Man Anasikia kamaa kunaa mtu anakujaa karibuu na mlango Mask Man anaamuaa kufunguaa dirishaa na kurukaa hiyoo inakuwaa bahatii ya Jay tuu.
“Huuuuh Asante sanaa Allah maanaa hapaa ningepoteza maishaaa kbsaaa”Jay Anasema na kutuliaa mulee ndani kwa mda wa dakikaa kama 10 anaposikiaa utulivu Jay anaamuaa kuondokaa na kurudii kule kwake kwa uchovu wa kazi allikuwa nao anafikaa na kubadili nguo na kulala huku simu yake anaifichaa mahali ambap mtu awezi kuionaa akiwaa na hofu kwambaa mask man atakujaa kwake Ikn ni hofu yakee tuu..
Upandee wa Mask Man Anaonekaa kuzichomaa zile karatasii zotee na anaaamuaa kuondoka mahali pale.
Ni Asubuhi na mapemaa Jordan Akiwa
Anaamkaa anapokea simu kutoka kwa Jay Jay
anampaa Story nzimaa ya kwakė na Mask Man
“Lkn usijali kilaa kitu nilichopigaa pichaa.
nmekutumiaaa kwahiyo naomba usome kwa
makini sanaa ntakapo maliza kazi ntakujaa
Arushaa ili kuwekaa mambo Final kbs Jay
Alisemaa Jordan alishukuruu sanaa maana ilee
kazi haikuwaa nyepesi kiasi hicho pia Jay
alimwambiaa kuhusu Maauwaji na kuhusu Jina
la Rashid Kephain kwahiyo sasa ni mdaa wa Jordan kufatiliaaa kuhusu ilo jinaaa. Jordan alimaliziaaa kujiandaa na kwendaa kazni anapofikaa kazini leo anamkutaa Saraah akiwaa ameshafikaa wanasalimianaa Ikn Jordan hataki inshu nzingine maana hazimuhusuu kbsaa. “Kamaa kunaa Document za kusaini naombaa unipatiè maana leo sitakuwaa Ofisini siku nzima “Boss Jordan Alimwambiia Saraah “Sawaa nimekuelewaa naletaa” Sarah Alijibuu.
Saraah alipambanaa na kuletaa Documents zotee ambazo zilihitaji sahihi ya boss lakini mdaa anampaa na kumpatiw maelekezo boss khs document izoo nguo ya saraah iliyokuwa na vichain vya mapambo vilishikaa kifungo cha Jordan, baada ya maelekezo hayo kuishaa Saraah alipokuwaa akiinukaa alivutaa chini na zile chain ambazo ziling’ang’aniaa katika kifungo. cha Jordan Jordan Alijikutaa akimuangaliaa sanaa Saraah Na Saraa alimuangaliaa sana Jordan huku akiangaikaa kutoaa zilee chain Jordan Uvumilivuu alionaa haupo tenaa maana mtoto mzur ndo uyoo yupo karbuu yakee Jordan aliamuaa kumshikaa Saraaha usoo wakee na kumpigaa something hot yaan deep dendaa Saraah alibaki ametumbuaa machoo maana hakutegemea kbsaa, Mda hayo yanaendeleaa Narshaa Na Doctor Abdulh walikuwaa. wanaingiaa ofisinii humo kwa Jordan kwan Narshaa alikujaa kwa ajirii yaa Jordan na Fake Abdulh alikujaa kwa ajili ya Saraah wawili hawaa wanabaki midomo wazii kwaa ilee hali ya kimahaba waliyokutanaa nayoo. Narshaa anaonekana kukasirikaa sana, “We Saraah “Narshaa alisemaa kwa hasiraa sana
Hap ndipo Sarah aliposhitukaa na kuanzaa kung’ang’ana na chain ya nguo yake Ikn mdaa huo Jordan hanaa habarii hataa machoo yakee yapo kodooo kwaa Saraah, Saraah anaamuaaa kukataa kifungoo cha Jordani. Jordan anashtuka baana ya kugundua lilee. ‘Saraaah Jmn yaan unakat kifungo changu kisaa Narsha hahah” Jordan anasemaa hivo uku
akimuangaliaa Narsha
Doctor Abdulh haamini kbsaa maana anaaonaa kama mali ananyang’anywa kabisaa. “Ivi kweli Jordan unafanya yote hya ukifahamu mm sikupendi au nikuniiumizaa tuu”Narshaa Alisemaa
Mda huo Saraah anaogopaa maanaa kwa lile kiss akili yakee ilihama kbsa. Jordan anachekaa sanaa na kusema “Kwa hiyoo wewe na Abdulh fake mmeamuaa kujaa hapaa ili kutuaminishaa kuwaa mnahisiaa na sisi ety
Doctor Abdulh hana hamu kbsaa anaanza kutukana ovyo Ikn hayoo yotee hayamshitui ataa Jordan, Jordan anaamuaa kusimama na anamsogeleaa Saraah na kumvutaa kifuani mwakee Saraah mbel ya Jordam huwa hana ujanjaa wwt kwa hiyoo Saraah alikuwaa ametuliaa kam maji mtungini. Jordan aliwaangaliaa wote na kusema “Hivi mnahis mm nimzembee kamaa nyiee Narshaa Saraah ni mtu wangu ww ulishidwa kutumiaa kasri vizurii kwahiy pole yako na kwa upande wa Mr Fake Saraah angaikaa nae ukiwaa unajuaa unapoint za kweli sawaa lkn sio kwa kelel zako.”” Jordan aliwachanaa makavuu Narsha na doctor Abdulh hatimaye waliokoswa pouse na kuondokaa Ikn mambo yote hayo yalifikaa kwa madam Lindaa. “Ivi Jordan Anaakilii Kweli??, Saraah Ni Mtu Aliyekujaa tuu hatakama ni wa utotoni Ikn bado
siwez kumpatiaa Jordan maan bado na kisasi kwa baba yake. Kumbukaa tu baba Saraah na Madm Linda ni marafiki Ikn. kumbe madam Linda anakisasi cha chini chini kwa mtu huyo je itakuwaje Abdulh atamkosaa Saraah Au veep.
Tunarudi upande wa Jordan wakiwaa na Saraah ofisini Jordan anaonekana kusearch lile jinaa katika mitandao ya kijamii Ikn haileti taarifa za kutoshaaa “Daah sijui ntafanyaje Aisee, lkn mbn kam hili jinaa na lifahmu kbs Jordan alisemaa kwa sautil ya chini ambayo Saraah aliisikiaaa. Jinaa ganii hilo nikutaftiee”Saraah alisema huku akimsogeleaa Jordan na Laptop yake mkononii. ‘Naomba jina Saraah Alisema.
Lkn Jordan alikuwa na mashakaa sanaa Ikn alipotezeaa tuu.
Jina ni Rashid Kephain” Jordan Alisemaa. Sarah kw uharakaa sanaa alimgeukiaa Jordan na kumuangaliaa sanaa kwa suraa ya ukall kidogo.
Je Saraaah Anafahamu nn kuhus ilo jinaa na vp atamwambiaa au la ??Hahah Mimi Sifahamuu
Chapter 12
“Jina gani hilo nikutafutiee ?”Saraaah Alisemaa huku akimsogeleaa Jordan Na Laptop yake Mkononi.
“Naombaa Jinaa” Saraah Alisema.
Lkn Jordan Alikuwaa na hasira Lkn Alipotezea tuu.
“Jinaa Ni Rashid Kephain” Jordan Alisemaa.
Saraah kwa haraka sanaa alimgeukiaa Jordan na kumuangaliaa sanaa kwa suraa ya ukali kdg.
Jordan Alilitambuaa hilo jambo.
“Je unamfahamu uyo mtu”Jordan Alisemaa.
Swali hilo lilimtiaa kicheko Saraah na kusemaa
“Naitwaa Saraah Rashid Kephain” Ayaa sitaki usumbufu na uachee kujitafutisha majina ya watu”
Jordan aliogopaa sanaaa Ikn upnde wa Saraah lilikuwa jamb la kawaida kbsa maan alifahm ni matani ya Jordan tu.
Jordan alichukua simu yake na kwendaa njee na kumpigiaa Jay.
“”Yes Hellow”” Jay Alisemaa.
“”Jay Rashid Kephain ni babaake na Saraah”
Jordan Alisemaa.
“” What ?? Nini ??”Jay Alisemaa
Jordan Aliamuaa kumweleza kilaa kitu Jay. wawili hawa mpk waaliishiwaa pouse kbsaa.
“”Nahisi hiyoo ndio sababu Ya madam Linda kumchukiaa Saraaah”kili kuwa ni kitu ambacho hawakutegemeaa kbsa.
Baada ya masaaa mawili Mr.Poul anaonekanaa kwendaa ofisini kuonana na Mr Jordan.
“Boss Jordan za kwakoo jmn mdaa umeendaa sanaa tumebakiza siku chache tupate wageni wetu sasa Mr poul Alisemaa.
Jordan Alitabasamu sanaa na kumuomeshaa kukubali kwake kwa kutikisaa kichwaa “Usijali
kbsa nakumbukaa pia Ikn watu wote wanatakiwaa kujiandaa vizuri na tuandaee saree ya kuvaa kbsaa I neee All Of Us To Be Smart
“Jordan alisemaa kwa furahaa kbsaa na kumsisitizaa kwambaa saree zitavaliwaa kulinganaa na vitengoo vyotee yaan kamaa ww kamaa upo kitengo cha ukurungezi utavaa yako.
Mr Poul alitabasamu kwa ukubwa zaidi maan alielewaa tuu kwambaa Jordan anahitaji sare mojaa na Saraah.
Jordan Akasemaa kwamba “Watu wa humu
ofisini watavaaa sare ambayo nitaichagua mm “ulizingatie kabsaa watu hao ni Sarah Mr poul na yeye Jordan.
Siku ziliendaa na siku ilifikaa wageni walikuwaa wengii sanaa kamaa kawaida usiye mpendaa au
kumtaakaa kafikaa asee hahhaa duuh
Kamati ya mapokezi inafanyaa kazi yakee watu
wanapokelewaa vizurii.
Madam Linda na Narshaa wanafikaa mahali palee lkn usiyemtakaa awe koswaa jamboo lake.
Madam Lindaa :Mdaa ndoo huu natakaa plan hii itimie bilaa kukosewaa.
Narshaa: Hahah ucjl kbsa wachaa wajionee.
Mpango wao ni kwambaa Hapo walipo wapo na
madawa ya kulevyaa ambayo yanatakiwaa kuchanganywa kweny wine ya saraah ili Saraah alewe aharibu Tukio iloo ukizingatia Saraah hajawah kbsaa.
Ayaaa mdaa unaendaa Wagawa wine wanapogawaa wine ya Saraah ipo pale pale na Saraah anapokeaa winee ile ilee
Vp itakuwejee atakunywaa na baada ya kunywa atalewaa vp itakuwaje hahaah m sifahamu
Chapter 13
Mda unaenda Wine zinaanza kugawiwaa na Wine Ya Saraah Ipo pale Pale Saraah Anakamataa Wine Yake Mkononi Anapotakaa Kuweka Glass Mdomoni Tu Ghaflaa Anaitwaal Hapo hapo na Jordan Jukwaani iki Atambulishwee.
“Napendaa Kumkaribishaa Msaidizi wangu Miss Saraah Kwaajili ya Maelezo Mafupi””Watu wanapigaa makofii sanaa Na Mwanadada Mrembo Sanaa Apedwaye na wote, anasogeaa mbele polepolee huko watu wakimpigiaa makofil maana wengi walikuwaa walimkubari Saraaah.. Anapofikaa mbele za Watu Jordan Kwa makusudii kabisaa.
“Kablaa Ya Miss Saraah Kujitambulisha naomba kucheza nae wimbo mmojaa ujulikanao kwajinaa la “Perfect by Ed Shereen” Watu wengi walipiga makofil sanaaaa na kufurahiaa asa wafanyakazii na wagenii pia walio anza kusemezana chini chini kwambaa “Jordan Anasubiriaa nn Anatakiwaa Aoe Hapo Maan Akichelewa Saraaah hatakuwa wake”Ili kuwaa furahaa sanaa watuu kuonaa vileee Ikn kwal upandee wa madam Linda na Narshaa hawakuwezaa kbsa hataa kutoa tabasamuu Narsha Aliumia sanaa kwanzaa kumkosaa Jordan Na Pili Plan Yake Ya Kumuaibisha Saraah Kufeli..
Upande wa Mbele Wimbo unawekwaa, Jordan Anamshikaa Saraah Kiunoni na Kusogezaa karibu Zaidii daaaah rahaa sana kwa mara ya kwanzaa Saraaah anachezaa slowly akiwaa na Jordan Anachoamuaa Anaweka mkono wake wa kuliaa kifuani vizuri na Wa Kushotoo Chini Ya Anawekaa Maeneo ya Tumboni Piaa.Jordan Anaamuaa kushikaa kiuno chakee vizurii kwa mikono yake miwili, Wanaangaliaa wotee wawili hawaa kwa furahaa sanaa na tabasamu kubwaa saraaah anawazaa moyoni akisemaa “Daah Navutiwaa na ww sanaa Jordan naimani wewe ndiye Abdulh wangu wa zmn”” Mda Huo Huo Jordan anajiwaziaa piaa moyoni anasemaa “Saraah Ni Mda Wa Mm Na ww kuendeleza Mahusiano yetu Wewe ndie Mtamu wangu tokaa utotoni sikuachi na ninakupendaa sanaa “.Hahhah Ilikuwa Rahaa sanaaa mdaa ulienda huku wawili hawaa wakichezaa na Wimbo ulipokuwaa unakaribia kuisha Jordan Alimuangalia Saraah machoni na Saraah piaa Alimuangaliaa machoni na Walisogezaa lips zao karbu sanaaa na Jordan Alianzaa Kunyonyaa lips za juu za Saraah huku Saraah Akinyonyaa lips za Jordan za chini walifanyaa hivo uku wakibadilishaa kwa mdaa mpk palee wimbo ulipo ishaa watu walianguaa makofii mengii ya furahaa na wotee kusimama kushangiliaaa tukio Illee Saraah Alitabasamu sanaa na Jordan piaaa alitabasamuu sanaa. Lkn upande wa madam Lindaa Na Narshaa wanakoswaa hataaa cha kufanyaa maake Walipigwaa Tukio Zitoo Na sio Zitoo Tuu Tukio Kubwa Sanaa Wanasimama na kuondokaa zao..
Saraah Anakaribishwaa kukaa upandee wa mezaa kuu Akiwaa na Joradan piaaa. Wageni wanachukuaa nafasii yaoo na kuongeaa mamboo mengii waliyovutiwaa nayoo hasaa wakisemaa wamevutiwaa na tukio la Joradan alilolifanyaa “Jordan naomba mfanyee mpangoo wa kuonaa katikaa mwaka huu na mtualike piaaa na kamaa mtachelewaa kuonaa basi mm ntatafutaa Mwanaumee wa akumuoaa Saraah Manager Mkuu Wa Bord Ya Utalii Alisemaa.
Watu walifurahii sanaaa na piaaa Jordan na Saraah waliongezaa sifaa nzurii sanaa. Mdaa ulienda watuu walikunywaaa na kula sana Nakufurahia sana siku hiyooo habarii huwaa hazikawiii Sherehe iyoo ilirushwaa mtandaonii na kila mtu aliishiaa kuonaa tukio la Saraah na Jordan.
Jordan Anamchukuaa Saraah kutakaa kumpelekaa nyumbn maana watuu walikuwaa wameshaaga na wanaondokaa hapo hapo anaonaa simu ya Jay Nakwambiaa Jay Anapokea huku akiwaa na furahaaaa sana baada ya kuonaa tukio lileee “Jordan tukimalizana na hizi ishu naombaa umuoe Saraaah Maake Kwako Ni Mtamu Toka Utotini Usimuache “yotee ayoo yalisemwaa na Jay Huku Saraah Akisikiaa piaa na Aliishiaa kutabasamuu tuuu Wawili hawaa walichukua Garii lao na kuondokaa kwendaaa Nyumbniiii Vp Usiku wao utaendaa vp maana wanaonekanaa leoo wanaendaa kuvunjaa chagaa maake kilaa mtuu ameshamuoneshaa Mwenziee kuwa Anapenda hahaha Tukuta Sehemu ya Kumi Na Nne….
Chapter 14 & 15
Wawili hawa walichukua Garii Lao na Kwenda Nyumbani Wanapofikaa Nyumbn wanaonekana wakipiga leo story sanaa ambazo ni za kawaida tuu.
Saraah Anasema “Jordan Ngojaa nikaogee na ww kaogee piaa sawaaa ntakuonaa keshoo” Jordan anakubali na kuonekana anawahi kabisaa kuoga Saraah Anashangazwaa na kitendoo cha Jordan “Amekuwaa Msikivuu sanaa kwanguu “Saraa Alisemaa huku akitabasamu na kwendaa kuogaaa Anapomaliza kuogaa akiwaa kajifungaa Towel huku akikaushaa kichwaa chakee ghflaa anageukaa nyumaa anamuonaa Jordan kumbee Jordan aliwahi kuogaa ili ajee kwa Saraah. Saraah Anapotaka kusemaa kitu anajikutaa amechelewaa maana Jordan Anamsogeleaa na kumpigaa bongee la denda Saraah nae anakuwaa mpolee kabsa wawili hawa wanasogezanaa kimahabaa kabsaa kitandanil huku Jordan Akifunguaa Night Dress Ya Saraah Na Saraah Akifunguaa Nguo ya Jordan, Yakufanyikaaa yanafanyikaaaa na Usiku wao unakuwaa mtamu sanaaa.
Ni Asubuhi Nyinginee Kabsaa Ambayo Juaal Linaonekanaa Kuchomozaa kwa ukubwaa sanaa na uku liking’aaa sanaaa, Kitandani Saraah Anaonekanaa kumlaliaa kifuaa Handsomee wetu Jordan. Ivi Jordan Kweli Tu Tu Tulifanya Bilaa Kingaa yyte “Saraah Alisemaa kwa uogaa sanaaa. Upandee wa Jordan yeye Ilikuwaa nikitu ambacho alikuwa ameshakipangaa kbsaa baada ya kugunduaa Saraah kamaa anauogaa aliamuaa kumkumbatiaa kwa nguvuu na kumwambiaa uku akitabasamu “Usiogopee banaa Mamy I’m your Man And Your Husband Too so Usiogopee najuaa umeshafahamu mm ni nan so usijali kbsaa sawaa Baada ya ishu zotee hapaa Must Tufunge ndoaa halali na Twende Ukweni Pisa Marekani kwahiyoo ondoaa Shaka Nakupendaa sanaa Mke wanguu”Baad ya kumwanbiaa ayoo Saraah Jordan alimkiss Saraah na hapo ndipo Saraah alipopata ujasiriii mkubwaa kabsaa wakuwaa na Jordan Maan Alielewaa Jordani ni Mtu wa ainaa ganii na Anampendaa kiasi ganii.. Siku hiyoo ililishaal wakiwaa nyumbni maana ilikuwaa ni kama siku ya mapumzikoo kwaoo.
Upande wa Madam Lindaa, Narsha Na Dr Abdulh wanaonekana wakiwaa wamekaa kabsaa bilaa hamuu İyoo siku asee.Narshaa kwaa hasiraa Anasemaa “Ivi Jordan Kwelii hanipendii au ni vp maana simuelewii kbsaaa Watatu hawaa wanashauriaa kwendaa kesho katikaa ofise ya Jordan ili kuyamalizaa. Baaada ya hayoo Narshaa anaonekana kupokea simu ya kibiashaa ambayo inahus madawaa ya kulevyaa tuu na biashaa haramu zaidii ambapo anaambiwaa mzigoo upo tyr kwahiy ajiandaee kupokeaa, Narshaa Anafurahiaaa na kuwekaa tarehee ya uwo mzigo kununulikaa wiki mojaa baadaye.
Mda unakwendaa sanaa.
Upande wa Jay Anaonekaanaa kuwaa na furaha
sanaa “Hatimayee nmemalizaa kazi yanguu maaana Jordan Tyr anafahm ukwelii kbsaa wa kuhs yeye na mamaake na plaa kafahamu pia ni kwann Saraa hatakwi na Madam Lindaa kwahiyo kesho naweza rudii Arushaa tenaa lakin ngoj nifatiliee kifoo cha mtu aliyeuwawaa na madam. Lindaa kwanzaa then ndo nirudee Arusha Ilikumaliza Game “Jay anasemaa huku akitabasamuu sanaa na kataa ticket yakee ya ndege kupitiaa simu yake.Jay ni mdaa wakee anamuaaa kuanzaa kufatiliia taarifaa zilee na anagunduaa kwamba kesili hiyoo inafatiliwaaa bado maake mauajii hayoo yalikuwa ni hatr sanaa na yauonevuu piaa. “Duuh kumbee Madm Lindaa Sio Mtu Mzurii kabsaa Yote hayaa yeye anafanyaa ili kuwekaa maishaa yakee poaa na kilaa kituu chakee poaa tu lkn hajali kbsaa. maisha ya wengineee Jay Alisemaa huku akijipangaa na safari yakee ya keshoo yakee… Upande wa Saraah na Jordan Wanaoneka wenyee tabasamu sanaa maana iyoo ndiyoo ilikuwaa furahaa yao waliosubiriiaa kwa mdaa mrefuu sanaaa kwelii Baada ya dhiki ni Farajaa. Saraaah na Jordan wapo kitandani wakichezaa michezoo mbalii mbalii ya kimahabaa sanaaa huku wakifurahiiaa sanaa maaana furahaa yaoo Imerudil tenaa…vichekoo haviishii kitndan Ikn Saraah ghaflaa tu anainuka na kuachaa kuchezaa mchezo ule Jordan anagundua jambo lile na kumsogelea Saraah.
“Vipi kunatatizoo kipenzii “Jordan Alisemaa. Saraah alimjibuu kwa kumbatoo zitoo la nguvuu na kusemaa “Nakupenda Daimaa naombaa unilindee na uwe na mm siku zotee” Jordan Alitabsamu na kumjibuu akisema “Usijalii Mamaangu Naahidi ilo”Wawili hawaa walizimaa taa yaoo na kulalla maake walikuwaa wamechokaa piaaa. Upande wa Narshaa wanaonekaa kujipangaa
yeye na madam Lindaa piaa na Dr Abdulh kwa maana kesho yakee wanataka pakachimbikee ukoo kazini kwa Jordan.. Usiku unaendaa na ni masaa ya Asubhi piaa. Jordan na Saraah wanafikaa Ofisin huku watuu wengii wakifurahi sanaa kuwaonaaa kwasasa Jordan na Saraah hawaogopi kbsaa kuoneshaa penzii lao kwa watuu kwa hiyo wanaingiaa ofisini huku wameshikanaa mikono yao na tabasamu kubwa usonii.
Wanafikaa ofisini na kazii zinaendeleaal unapofikaa saa midaa ya saa nne Mr Poul anaonekana kujaa Ofisin na wanaanzaa kupigaa story wote kwa pamojaa hasaa kuhusu tukio la sherehe ilee. Baada ya kamaa nusuu saa Narshaa, Madam Lindaa na Dr Abdulh wanaingiaa Ofisinii. Sarah anapowaonaa anaonekanaa kuwa na uogaa Jordan anagundua kilee kituu anaamuaa kusemaa huku akijiamini “Karibuni sanaa ketinii au hamjaja kibiasharaa ??” Jordan anasemaa kwa kujiamini sanaa maana anatakaa kumfundishaa kujiamini piaa Saraaah.
“Hapanaa naomba kujua kwanin unampendaa Saraah ukijua kbsaa mm ndo mtuu wako Narshaa Alisemaa huku akigombaa sanaa pia Madam Lindaa na Doctor Abdulh Walikaziaa kbsaa kiasi kwambaa Jordan Hakutaka kubishana nao kbsa.. lakini siku zotee kisichokuwaa liziki sio chako tuu Ghaflaa Saraah Anaonekanaa kusimama kwa uharakaa kbsaa Na kilaa mtuu anashituka maaana sio kawaidaa ya Saraah kushtukaa vilee piaal anakunjaa usoo wakee kama hanaa Hali nzurii kbsaa vp kuna nn upandee wa Saraah Ikn Jordan Ndo mtu pekee ambaee haogipii kabisaa anaonekana kakaa kbsaa vp kuna nn??…….
Inaendelea…


1 Comment
Thanks for sharing. I read many of your blog posts, cool, your blog is very good.