MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Chapter 6
Wakiwa Ofisini Saraah Na Jordan, Saraah
Anaamuaa kutoka kwenda kuchukua kahawaa. Akiwa anavuka barabara Gari lililo kuwa speed aina ya cruzer linampitia na kumgongaa Jordan Anashuhudiaa tukio zima kwa mbali. Hali ya Saraah inaonekana kuwaa mbaya sana maana anavuja damu nyingi sana upande wa kichwa chake. Jordan anakimbia na kumuinuaa saraah huku akiwa ameshika kichwa cha Saraah kwa machozi mengi akilia na kutetemeka. Jordan: Saraah Mamaangu Amkaa kipenz Amkaaa Saraa Wangu, Jamn msaadaa.
Kwa bahati nzur wafanyaa kazi wanatokaa njee na kupiga simu kwaajir ya kuita Ambulnce. Ambulnce inafika na kumchukua Saraah na
kumuwaishaa hospitalin. “Kwa nmn Saraah hali aliyonayo ni ngumu sanaaa kuponaa “Watu wengi walisemaa huku Saraah akisindikizwa kwa macho juu ya machela katika chumba cha Operation kuu
Jordan anaonekana kuliaa sanaa huku akibembelezwa na wafanyakazi wengine.
Tunarudii Upande wa Narshaa. “Boss kazi yako tyr” Mask Man Alisema.
“Hahhahahah hmn mtu atakae pinga Amri yangu Narshaa alisemaa kwa sautii kubwaa ya kejeli sana, huku akihesabu pesaa kias cha million 5 na kumkabidhil Mask Man na kuondokaa.
Upande wa Jay anaonekanaa kuendeleaa kumfatiliaa sanaa Madam Linda kwa kumkazia jicho kali wakiwa wamekaa wote sebleni. Lakini kwa ghaflaa simu yaa Jay inaltaa na anaepigaa sio mwingne ni Jordan. “Jay haiwezekani akiliaaa. Jordan Alisemaa huku
Kwa Mshituko mkubwaa Jay alisimama. “Nini haiwezek na mbnaa unaliaa shidaa nn Jorda kunaa nn ?”Jay alijibu.
Naa baada ya Madam Lindaa kusikiaa ivo anaamuaa kusogelea Jay kwa harakaa ili asikilize shidaa nn.
“Saraah kapataa Ajarii na halii yake ni mbayaa sanaa sidhani kama anawezaa ishii.” Jordan alisema huku akiliaa kwa machungu sanaa “Mungu wangu Nini?? Tunakujaa sasaa hivii naaendaa kukataa Tiketi nakujaa nakuja najaa” Alisema Jay huku akiwaaa anatokwa na machozii mengi sanaaa. Jay anaamua kukataa tiketi na na ya Madam Lindaa Lakini huwezi Amini Madam Lindaa anakataaa kwend uko kwaa ajirii ya Saraah.. “Haa haa hapnaa si si sitaendaa” Madam Lindaal
Alisema kwa uoga sana “What ?? Ivi saraah sini kama mwanao kbsaa na bado Jordan ni mwanao plaa kwann tusiendee ?? Nakupaa dakika mbili pangaa nguo zako tuondoke kwa hili sitakusikiliza Jay Aliongeaa akiwaa na hasira huki machozi yakee hayaachi kudondoka juu ya Saraah. Jay na Madam Linda wanapandaa ndegee kwa haraka huo huo mchan ili wa wahi kufikaa Arushaa. Baada ya masaa machache wanafika Jordan akiwa hospitalini anaagizaa mtu
kwendaa kuwapokea kinaa Jay Na Lindaa. Wanapofika Hospitali huo mdaa na huo huo mda masaa yaa saa kumi na ndip madaktari wanatokaa njee katikaa chumb cha upasuaji. “Daktari anaendeleajee Saraaah dactarii niambie basi Jordan anaonekanaa akiongea uku akiwa na huzuni sanaa. Kwa jicho la hurumaa na suraa ya hurumaa ya
dactari ili bidi awasogele kinaa Jordan Jay na
Madm Lindaa akaanza kwa kusema “Mmh mgojwa hanaa hali nzurii tumepambanaa sanaa lakini anaonekanaa ku Undergo Comaa Yaan Damu imeingiaa katikaa ubongo wakee kwahiyo hatawezaa kufanyaa chochote zaid ya kupataa chakulaa kwa njiaa ya mlijaa ilaa hawezi kuongeaa walaaa kusogeaa hapa nahis mnaelewaa kwahiy naombaa mkapuumzikee mmuachee mgojwaa atulieee na kupumzikaa plaaa. Dactari alisemaa huku akiwaa anaondokaa.
Jordan alitamani sanaa Ikn hakuwezaa kwendaal kwa Saraah ucku ulifikaa na hawaa watatu waliamuaa kurudii nyumbn kwa ajiri ya mambo mengine. Walifikiaa katikaa nyumbaa ya Jordan na Saraah na walipataa chakulaa na kwenda kulala lakini Jordan hakupataa usingiziii maan alikuw ameshaazoeaa uwepo wa Saraah jambo hilo lilimfanyaa aend kulala kweny chumbaa cha Saraah na ukweli baada ya kulala mulee alipitiwa na usingizi mzuri wenyee amani sanaa moyoni mwakee.
Hatimaye pana pambazukaa na wakwanza kuamkaa anakuwa Jay anapokaguaa vyumba anakutaa Jordan kalala kweny chumb cha Saraaah “Daah unaweza hisi wanadet kumbe hpn daah mapenz upofuu Jordan ndo wakuwaa hivi naombaa sana kwa Allah Saraaah awahi kuponaa Jay alisemaa.
Mda unakwenda na wote hawa wanamalizaa kuijiandaa na kwnd hospitalini wanapofikaa hospitalini Jordan anawahi kuingiaa katikaa chumba cha Saraah alipokuwaa amelazwaa. “Saraah ni lini utaamka mamaangu na mengi ya kukuambiaa hataaa kuwaa mm ni ndiye Abdulh wako wa utotoni daaah Saraaah nisamehee kwa kukuachaa uende mwenyew labda tungekuwaa wotee usingeumiaaa hivil mamaangu Naombaa nikwambiee tu kituu kwambaa Nakupendaal Saraah Amkaa bas nikuone tenaaa nmemiss utani wako, uogaa wako na jeuri yako piaaa ilaa hainaa namna ntakuwaa pamoja na ww mpk pale utakapo amkaa Jordan Anasemaa huku akifutaa machozii yakee
Saraah akiwaa katikaa kitanda kilee watu wengii wanavunjika moyoo kwa maana hmn anayejuaa kamaa Saraaah ataponaa au laa
Masaa yanaendaa watuu wengii wanakujaa kumsalimiiaaa Saraaah ingawapo yeye ni kama mtuu mfuu kwa wakati huo wengil wanaondoka na kuliaa na kuuzunikaaa, lakini ghaflaa garii flan linaingia na anashukaa mdada ambayee kwa mavazii yakee ni kama ya mtuu ambay anaendaa kweny party au sherehee ya kifahali, Watuu wengil wanashangazwaaa sanaa maana wapo hospitalini na sio sehem ya mavazli hayoo suraa yakee inaonekanaa kuvaliaa miwanii kubwa sana huyu mtu sio mwingne baril ni Narsha anapofikaa anapitilizaa kwendaa
mapokezii na hatimayee anapewaa namb ya
chumba alipokuwaa Saraaah.
Anapofikaa katika kolidoo hiloo anakutanaa na
Jay. Jay kwa hasiraa alisema “Ivil ni wewe Narsha unafanya nn hapaaa eeeh”
Narshaa kwa jicho la dharau anamungalia Jordan na kufyonzaa na kusema: Naona umenimiss ayaa semaa shidaa yako… Jay Ivi nikwelii kbsaa huogopi kbsa na unakuja hapaaa uklijuaa wewe ndio muhusika wa ajarli
hiyoo. Narsha “Hahahahah Ivii kwan sina hadh ya kujakumuonaa kabsa hahaha kuja ntakuja bilaa kizuizii.”
Mdaa huo huo Jordan anatoka kumuonaa
Saraah bilaa ataa aibu Narsha anamkimbiliaa Jordan na kumkumbatiaa kwa hasira Narshaa anasukumwaa na kushushiwaa kofii kali la usoni
na Jordan Jordan “Ivi hivoo drama zako ni za mpk lini wewe ndiye chanzo lakn kwasasa unajionesha kamaa mtu mwemaa kweli ? Na ninakuhakikishiaa kamaa Saraah Atakumbwa na chcht bas tutakulaa sahani moja”. Jordan hataki Story nyingi anaondoka.
Narsha anabakii akiwa ameduwaa. “Hivii kweli Jordan kwasasa kapoteza upendo wake kwangu kiasi ichoo kisa Saraah hahha siamni” Narshaa alisemaa.
Narshaa anaonekana kuondokaa na kwendaa katika sehem iliyo jifichaa ndani ya hospitali ilee anapofikaa anampigiaa mtuu flani ili afikee palee, kinachoo shanganzaa anayefikaa palee sio mwingnee ni Madam Lindaa !!
Heee je Madam Lindaa Yupo Nyumaa Ya Hill Swala Au Vipi Na Kama yupo Nyumaa Ya Ili Swalaa Ni Kwasababu gani ??Na kama hayupo nyumaa ya swala hilo mbona anaendaa kuongea na Narsha sehm iliyojifichaa Ivo Mmh Tukutane Katikaa Sehemu ya Saba Ili Kufahamu Ukweli
Chapter 7
Baadaa ya Narshaa kukutanaa na kofii la Jordan, Jordan Anaondokaa na kumuachaa akiwaa amebana paleee Narshaaa anaamuaa kwendaa upande wa juu sehem iliyojifichaa na kumpigiaa simu mtu flani ili afikee na kinachoshangaaza anayefikaa ni Madam Lindaa.
“Ivii Jordan anaujasirii gani wa kukupigaa kofi wewe kisaa mpuuzi wakee Saraah “Madam Lindaa Alisemaa huku akiwa na sura iliyo ya hasiraa.
“Hahahahh sijui anawazaa nn Ikn asijali
ntalipizaa dharau hii maraa kumii yakee Na piaa Jordan Asahau kbsa kama mm ntaachaa kumpendaa ntampenda na kumuachanishaa na Saraaaah Lindaa Usijall check Game lilivyo hahhaha Mimi Ndo Narshaa The Only Living Killer” Narshaa alisemaa huku akitoaa tabasamuu na kicheko cha dharauu sanaa.
Wawili hawaa wanaondokaa. Mdaa unakwendaa sanaa, Jordan anaonekana akiwaa amesharudii kazini kwake. Akiwa Kazini Mwakee Akili yakee yote inaonekana kumuwaza Saraaah kbsaa.
“Daaah nmekumiss sanaa Saraah. Lakini Muda si pundee Jordan Anapokea Simu na Mtu anayempigiaa ni namba iliyoseviwa Doctor. “Habari Doctor vp kunaa taarifaa zzt Saraah tupo salama kweli”. Jordan Anasema.
“Ondoaa Shaka kbsaaa mambo yanaendaa sawaa lkn hap kuna Daktari kafika kwa ghaflaa na anashughulika na hili tatizo kama uko karibu basi naomba uwahi kufikaa” Doctor yule alisema.
Kwa haraka sana Jordan alipandaa gari lake na kuondokaa alipofikaa Ofisin Mule Hospitalini aliendaa kuonana na yule dactarii ambaye aliaambiwa.
“Karbu sanaa Mimi ni doctor Abdulh nipo
hapaaa kukusaidiaa kumtibu mgojwa wako
kwahiyo ondoaa shaka Daktari yulee alisema. Jordan alionekanaa kushtuka kutokana na lile jina Ikn anaonekana kupotezea na kuendeleaa kuzungumzaa na yule Daktari Mambo Mengi kuhus hali ya Saraah na nmna gani atasaidiwaa ili apone kbsaa. Daktari yule alimalizaa kwa kusema kwahiy Saraah anaitajiwa operation ambayo inaweza kumsaidia kbsaa ili tusijee kumpotezaa. Form za makubaliano ya Operation yakafanyikaa kbsaa na kuishaa hatimayee operation ilipangiwaaa mdaa wa kufanyikaa.
Mda ulifikaa na operation III anzaa ambayo ilikuwaa ngumu sanaaa na ilifanyikaa kwaa masaa 6 Baada yaa Operation kukamilikaa madaktarii walijipongezaa sana.
“Usijali Jordan Ataponaa kabisa Tumuachee apumzikee kwa huu mda yule Daktari Abdulh alisemaa.
Jordan alioneshaa kutikisa kichwaa kwa isharaa
ya kukubalianaa na kilichosemwa. Gizaa liliingiaa lakini Jordan aliamuaa kulala pembeni ya Saraah katika kitandaa chakee. Upandee wa Narshaa Anaonekana kupokea simu ya mtu ambaye anamwambiaa “Operation imekamilika boss kwahiyo usijali mambo yanaendaa sawaa kbsa kama yalivyopagwaa” Taarifaa hiyo inamalizwa kusemwaa na simu inakataaa.
Upande wa Jay Anaonekana akiwaa na tumaini kubwaa la Saraah kupona baada ya operation ilee. Jay akiwaa amekaa akitazamaa njee alishangaa kuonaa gari la Madam Lindaa likiwaa linatokaa njee ya geti. “Mmmh anaenda wapi ucku huu au kumsalimiaa Saraah hospitalini”. Lkn Jay Anaonekanaa kuwaa na mashaka sana na Madm Linda ndipo anapoamuaa kumpigiaa Jordan na kumuelezaa kilaa kituu.
“Mmmh naombaa umfatiliee sanaa na ujuee anaendaa wapili “Jordan alisema huku jicho lotee likiwa kwa Saraaah. Jay anaamuaa kuwashaa garii lake na kumfutaa nyuma anapofikaa sehem alipofika madam Lindaa Jay anashaangaa sanaa tenaa sanaa kuonaa kuwaa Lindaa na Narshaa wakiwaa wote nikitu kimojaa. Jay anawazaa kumpigiia simu Jordan Ikn anaonekana kubalisha mawazo yake. Ucku unapita na ni Asubhi nyingine kbsa. Jordan akiwa amelala katika ubavu wa Saraah,
Saraah anaonekaa kuwaa ni mtu wakwanzaa kbsaa kuamkaa Anapoaamka na kumkutaa Jordan pembeni yakee anapigaa kelele sana kwa mshitukoo mkubwaa ambao unapelekea manurse walio kuwaa karbu wamuitee Dactarii. Jordan kwa maraa nyingn anamuonaa Saraah tena akiwa amefumbuaa macho.
Wawili hawa wanakumbatiana kwaa Furahii Sanaaa, Jordan anaamuaa kumtaarifuu Jay Na wafanyaa kazii wa kulee Ofisini Ikn kwa makusudii kbsaa hampitaarifa madam Linda na Narsha piaa.
Daktarii huyu anaonekana kufurahii kuonaa Saraah akiwa mzimaa kbsa
Wakiwaa katika mazumgumzoo yao Daktari anaombwaa kujitambulisha na Saraah kwa maan alisifiwaa sanaa na Jordan juu ya tiba
yake.
“Hahah sawaaa Saraaah najitambulishaa ata usijali.” Alisemaa Daktari Yule..
“Kwa majinaa mm naitwaa Abdulh Ramadhan”
Daktari alisemaa. Baada kutaja lilee jinaaa huwez Amini Saraa alipata nguvu ya kusimama kabisa maana rafiki ake aliitwaa Abdulh Ramadhan piaa Jordan plaa Alipataa nguvuu ya harakaa ya kusimama maake hili jinaa nilakwake na hapo limefikajee?? Hawaja kaa Sawa mlango unafunguliwa anaingiaa Nasraa na Madam Lindaa Wakiwa na Mauaa Wakubwa Ya Pole.. Na Dakikaa kama mojaa Anaingiaa Jay ambaye na yeye anashaangaaa kumkutaa Narshaa Na Madam Lindaa maana hawakupewaa taarifaal wamejuwajee sasaa,
Haahaha Vipi Itakuwajee Saraah Atafanyaa nn Maan mpk sasa hivii Hamjui Rafiki yakee wa utotoni ni nani na dactari kajitambulishaa kwa jina la yule mtoto, pia Jordan anashaangaa kwann jinaa lake litumikee hapo badoo
anashngaa watu ambao hakuwapa taarifaa ya Saraah ndo wamekuwaaa wa kwanzaa kufika па nan kawapaaa mwaliko huoo. Patamu sanaa
Chapter 8
Jordan kwa maraa nyingn anamuonaa Saraah tena akiwa amefumbuaa macho.
Wawili hawa wanakumbatiana kwaa Furahii Sanaaa, Jordan anaamuaa kumtaarifuu Jay Na wafanyaa kazii wa kulee Ofisini Ikn kwa makusudil kbsaa hampitaarifa madam Lindaaa na Narshaa plaa.
Daktaril huyu anaonekana kufurahil kuona Saraah akiwa mzimaa kbsa.
Wakiwaa katika mazungumzoo yao Daktari anaombwaa kujitambulisha na Saraah kwa maan alisifiwaa sanaa na Jordan juu ya tiba yake.
“Hahah sawaaa Saraaah najitambulishaa ata
usijali.” Alisemaa Daktari Yule. “Kwa majinaa mm naitwaa Abdulh Ramadhan”Daktari alisemaa.
Baada kutaja lilee jinaa huwez Amini Saraa alipata nguvu ya kusimama kbsaa maana rafiki ake aliitwaa Abdulh Ramadhan piaa Jordan piaa Alipataa nguvuu ya harakaa ya kusimama
maake hili jina nilakwake na hapo limefikajee??
Hawajaa kaa Sawaa mlango unafunguliwa anaingiaa Nasraa na Madam Lindaa Wakiwa na Mauaa Wakubwa Ya Pole. Na Dakika kama mojaa Anaingiaa Jay ambaye na yeye anashaangaaa kumkutaa Narshaa Na Madam Lindaa maana hawakupewaa taarifaa wamejuwajee sasaa..
Jordan anaishiwaa nguvuu kabisaa na kuanzaa kufikiriaa kipi afanyee maan kashaanzaa kupata wasiwasi kuwa Narsha na Madam Lindaa wapo nyuma ya hili na piaa anaona hapaa kunaa Abdulh feki kbsaa. Jordan anajisemeaa moyoni kwambaa liwalo naliwe.
Jordan anachooamuaa nikumgeuzaa Saraah na kumpiga bonge la kiss Saraah anashidwaa ataa afanyee nn hatimaye anaishiaa kukubali tuu lilee busu.
Upande wa Madam Linda, Narsha na Dr Abdulh wanaonekana kuumiaa sanaa maaan tyr Narsha anampeendaa sana Jordan ingawa nikwaforcee tu na tamaaa zakeee.
Upande wa Jay yeye anafurahii sanaa kuonaa vilee maana Anapendaa sanaa izoo inshu. Jordan anaamuaa kumbebaa Saraah na kuondoka naee yote hayo Saraah anafany Ikn akili yake haipo haipo hapo kabisa. Jordan anamchukua mpaka kweny garii lakeee na kuondokaa naee..
Kwa aibu sanaa Narshaa na madam Lindaal wanaondoka katika kile chumbaa anabakiaa Dr Abdulh na Jay. Kumbuka Jay anafahamu kilaa kitu sasa na yeye anashangaa kabsa khus uyu Abdul mpyaa Ikn Jay anamuaa kuondokaa bila kusemaa chcht..
Giza linaingiaa Usiku Madam Linda pamoja Narsha wanaonekanaa
kuongeaa na mtu kweny huku wakimsisitizaa kufanyaa kazi kama alivyoambiwaaa.
“Nasemaa hivii kamaa kazii hautaa ifanyaa kamaa upasavyo bas hautaa fanikiwaa”. Madam Lindaa Alisemaa huku akikaziaa sanaa, Narsha
yey alikuwaa busy na kutumiaa madawaa yakee akijichomaaa sindano na kunusaaa huku akicheka sanaaa.
Upande wa Saraah Na Jordan wakiwaa wamekaa kitandanii, Jordan Anamuangaliaa sanaaa Saraah lakini Saraah hanaa ataa uwoo mdaaa.
Saraaah Alimgeukiaa Jordan “Ivii unahis kufanyaa vile Ntakupendaa wewe, nilifanya vile ilikufichaa Aibu Yako tu pale Hospitalini kwahiyo usihis nakupendaa sawaa Jordan naombaa niondokee kwasasa Saraaah Alisemaa.
Jordan anaonekana kutokuamini kabsaa maan
yeye ndo Abdul mwenyew Ikn nan atakae amini hasa Saraah awezi kumuamini. “Ivii ni kweli Saraah upo serious kbs huniamin
??” Jordan Alisema “Jordan siwez semaa zaidi naombaa niondokee” Saraah alisemaa.
Jordan alijisikiaa vibaya sanaa na kumruhusu aondokee Ikn mdaa tu Saraah anafikaa mlangoni Jordan Alisimama na kumfataa bila kuongeaa alifikaa akambebaa na kumtupiaa kitandani Jordan hakutakaa kusikiaa chcht
maana Saraah alikuwaa analalamikaa sanaa kwahiyo Jordan akaamua kumtupaaa kitandan na kumkumbatiaa kwa nguvu.
“Saraah Anza kuamini sasa na kuendeleaa kuwa mm ndiye Abdulh wa utotoni kwahiy faham kbsa ya kwamba ntakuwa forever na ww yule Dr Abdulh ni trick tu za Narsha nakupnda sanaa Saraah” Jordan alisenaa.
Saraaah alichekaa ndani ya kumbato la Jordan “sitaki kusikia chcht naomba tulale kama umechaguaa tulale hivi”.
Usiku uliendaaa na hatimaye palikuchaa Saraah na Jordan wakiwaa kweny lile pouse lao.
Saraah anakuwaa wa kwanzaa kuamkaa akiwaa na maumivu sana ya kichwa kwasababu ya ile surgery allyofanyiwaa
“Polee sanaa naelewaa unaumwaa naomba nikupeleke hospitalini Jordan alisem huku akimbebaa Saraah na kurudi hospitalini tena.
Anapomfikishaa hospitalini anapokelewa na Dr Abdulh ndiye anaye mpelekaa katikaa wodii yake. Jordan anakubalianaa na hali maana tyr alishamuwekaa wazi ni yeye Saraah tu kuamini.
Matibabuu ya Saraah yanafanyikaa chini ya Dr Abdulh baada ya hayo yote kufanyika, Dr Abdulh anaamuaa kumfataa SARAAH na kumuuambiaaaa kamaa anampenda na yeye
ndiye mtu wa utotoni mwake “Basi Saraah naombaa jibu la upendo wako kwangu”Dr Abdulh Alisemaa Saraah anaishiaa kumwangaliaa usoni tu vp
atajibuu nn??
Vipi Saraah, atallby, kwell, anampendaa na kumuachaa Jordan ambaye ndiye mtu wake wa kweli au atasemaa hapn na ataendaa kumkubali Jordan
Hahh tukutane sehemu ya tisaa tuonee kipi kitatokeaaa……
Chapter 9
Baadaa ya Saraah kupewaa matibabu yale yaliyokuwa chini na usimamizi wa Dr Abdulh, Dr Abdulh Anaamuaa Kumfata Saraah Katika kile Chumbaa Alichokuwa akipata matibabu.
“Saraaah mm nakupendaa sanaa mm ndiye rafiki wa utotoni mwako Saraah nakuombaa sanaa ukubali upendo wangu maana nakupendaa sanaa Saraah “Dr Abdulh Alisemaa huku akisubirii jibu kutokaa kwa Saraah..
Saraah Mahali alipokuwa amekaa Kwa mbali kidogo Jordan anaoneka akiwa amesimama njee ya gari huku anaongeaa na simu Saraah alimuonaa na kitikisaa kichwaa.
“Saraah Saraah ivi mm naongea wewe uko busy na kuangaliaa mambo yako Dr Abdulh Alisemaa huku akiwaa na hasira saanaa
Saraah kwa jicho la hurumaa alimuangalia Dr. Abdulh Na kumwambiaa ivil yawezekana Abdulh wa zamn na wasasa wakatofautina tabiaa, ilaa hapana sijasemaa kitu naombaa nipumzikee sipo sawaa kabisa mwili wangu unaumaa sanaa.
Dr Abdulh anaishiwaa neno na kutokaa ndani. yaa chumbaa kilee anapofikaa njee anakutanaa na Jordan Kaka mtanashart sanaa ambay alikuwa akimsubirii njee.
“Mr Fake vp mrembo wangu anaendeleaje” Jordan alisemaa huku akitoa tabasamu la kejell kwaa Dr Abdulh.
‘Yupo salama Ikn amepumzikaa ivi unahis utaweza kumchukuaa Saraah mikononi mwangu m ndiye Abdulh anaenipendaa tokaa utotoni na sio wewe “Dr Abdulh alimjibu huku akiwa na tabasamuu kubwaa kbsa.
Wawili hawaa waliishiaa kuchekana kwaa dharauu sanaa na wote kuondokaaa sehemu ilee.
Matibabu ya ABDULH yaliendeleaa kamaa kawaaidaa Ikn mdaa mwingi yalifanyikaa akiwaa na Dr Abdulh,kwa mdaa uwo wote bado waliokuwaa pamojaa bado Saraah hakuweza kumkubaliaaa.
Ni Baada Ya Mwezi Mmojaa.
Saraah anaoneknaa akiwa anatokaa hospitali na Afyaa yake njemaaa kbsa.
“Ni muda sasaa wa kurudi kazini tenaa “Saraah Alisema huku akiwaa nafurahaaa sanaaa.
Mda huo huo, Nasraa Pamoja na Madam Lindaaa wapo wamekaa katikaa Bar kubwaa apo Sarvaana Arushaa.
Narshaa anasemaa Taarifaa zimefikaa Saraah ametokaa Hospitalin leo, kwasasa sijui Jordan Anampango gani tenaa na Saraa”.
Madam Lindaa anaamuaa kutabasamuu sanaa. “Huu ndio mdaa wako sahihi sasaa Narsha chamgamkiaaa fulsaa Madam Lindaa Alijibuu.
Saraah anaonekanaa kurudii pale nyumbn alipokuwa anaishi na Jordan Anapofunguaa mlango tu anakutanaa na Jordan ambay ameevaal vizurii kamaa kuna mahali anakwendaa.
‘Ooh sawa karibu ndani mm naondokaa nawah kazin tutakutanaa badaee” Jordan Alisemaa.
Sarah bilaa kujibu lolote kwanza aliwazaa moyoni akisema Hii sio kawaida kbsaa ya Jordan kuna nn mmmh ilaa hayaanihusu” Saraah alimkubaliaa Jordan kwaa kusemaa ‘sawaa ntaanzaa kazi keshoo”.
Jordan alitokaa njee na kuwashaa garii lake huku akitabasamuu tuu na kutingishaa kichwaaa.
Saraah akiwa mulee ndani anapokea simu ya wazazi wake waliopo kule marekani. “Mom Daddy nmewamiss sanaa natamn kuwaa na nyinyi mdaa huu. Saraah alisemaa huku akiwa na tabasamu kubwaa sanaa.
“Nasi piaa tumekumiss natamn uwaahi kurud nyumbani Wazazi Wa Saraah walijibuu. Mazumgumzoo hayoo yaliendelea kbsa na walimuombaa Saraah kujijali kwa afyaa aliyonayoo.
Upande wa Airport Jordan anaonekana kumuagaa Jay ambaye kwa maongezi yake anaonekaa kbsa kuwaa anamsaidiaaa Jordan “Yote haya Yanafanyikaa lkn bado kunasirii nzito ambayo haijulikani hapaa nawazaa ni kwann madam Lindaaa afiche ukweli juu yako Jordan na ni kwann mpk sasa hamtaki Saraaah anamkubali sanaa Narsha ni kwann ??” Jay anamwambia Jordan huku akiwa Airport kurudi Jijini Dar alipotokea. Jordan alijibu kwa tabasamu na kusemaa “Ni
ajabu kweli ilaa usijalii yote hayaa yatakuwaa wazii kamaa tukipamban kujuaa ukweli unarudi dar kwaa ajili ya kufuatilia kwahiy pambanaa huku ntaakaa na Saraah kwa akili najuaal ataumiaa mwanzoni namnaa ntakavyokuwaa kwake ila yote na fanyaa ili tuu kumsaidiaa yeye.” ‘Hahaha Pambana kaka piaa mtamu wako tokaa. utotoni usije muachaa “Jay Alisemaa huku akimuagaa Jordan.
Safari ya Jay ilikuwaa inaanzaa baadaa ya masaaa machache Na Jordan Anarudi Ofisine kwake.
Sasa Story Yenyew inaanziaa hapaa maan kilaa kitu kitaendaa kufahamikaaa na ukweli wote utakuwaa wazil kwaa maana Jordan katiaaa. Niaa Tayr ya Kumpataa Saraa huku akisaidiwaa. na Jay usisahau Na upande wa Narshaa, Madam Lindaa na Dr Abdulh wanaonekanaa wote kupambnaa piaaa maaana hakunaa wa kushidwaa.
Upande wa Saraah nae ni muda wake wa kufahamu nani ni Abdulh wake wa zamn au atakubalii kuwa potezaa wotee kuwapataa wotee au kupataa mmojaa katii yaoo ambay atakuwaa wa kwelii.
Hahaha Game ndo linaanzaaa ivoo tukutanee
katikaa sehemu ya kumii ili kufahamu zaidiii Itakuwajeee weweeeeh karibu kweny sehemu ya kumi…
Chapter 10
“Hahahaha Pambanaa Kaka pia huyo ndo mtamu wako tokaa utotoni. “Jay alisemaa huku akimuagaa Jordan. Safari ya Jay ilianzaa baadaa ya masaa
machache
Asubuhi Nyingine Kupambazukaaa Jordan akiwa ofisinee anapoingiaa mtandaonli anakutana na habari ambayo kwake haikuwaa
ngeni
JESHI LA POLISI LINATANGAZA VITA KALI JUU YA WAAUZA MADAWA WA KULEVYA NA VIKUNDI MBALI MBALI VYA UVUNJAJI
SHERIA. Habari yasemaa ivyo
“Narshaa hataki kbsaa kuachnaa na hayaa mambo na sijui ni kwann ilaa kilaa mtu akipandacho ukipataa Jordan Alisemaa kwa
nguvu
Lkn ghaflaa alisikiaa mtu akipigaa makofii huku akiingiaa ofisini kwake hakuwaa mwingnee alikuwaani The Queen Narshaa.
“Woow your most welcome” Jordan Alisemaa.
huku akitoa tabasamu lakee la kejeli. “Nice Thanks Too My Handsome Alijibuu Narsha huku akitabasamu sanaa.
“Nipo hapa kibiashara “Narshaa Alisemaaa huku akimwangaliaa Jordan, “Nakusikilizaa Madam Jordam Alijibu huku
akitikisaa kichwa
“Nahitaji tushirikiane katikaa uuuzaji madawa ya kulevyaä maan madam Lindaa ni
mmoja wetu pia kwahiy karb sana tupigee pesaa Narshaa Alisemaa huku akiwaa anasubiria majibu kutokaa kwaa Jordan. Jordan anaonekana kushtuka kiasi baadaa ya kusikia madan Lindaa Yaan Mamaake Mlezi
Anashirikiana nao pia. “Madam Lindaa ameingiaa humu kwasababu ya
ushauril wakoo lkn mm sitaingiaa kwasababu ya
ushaun wa mtu yyot sipo tayar kufanyaa biasharaa za ajabu kiasi hichoo Jordan Alisemaa kwa ukalii sanaa na akiwaa anasisitizaa na kumaanishaa piaa “Hahahahh sawaa hulazimishwii Jordan
“Narshaa Alijibuu huku akisimama na kugeukaa
laondoke
“Farnyaa yote kumbukaa tu maishaa yako yapo hatarini maana polise wanakutafutaa na kukuandamaaa Madam. The Killer Jordan Alisemaaa huku akimuoneshaa njaa Narshaa kwa isharaa ya mikono akimtakaa aondokee
zake. Narshaa hapo ndipo aliposhstukaas maaana hakuonaa ilee taarifaaa Ikn anaonekanaa
akijipaa moyoo wa kutokuogopaa maana anadhaminiwa na watu wa kubwaa kutokaa nje na ndanii ya nchi, Narsha Aliishiaa nakwendaa
zakee na Gari lake uko njee.
Jordan piaa anarudii kukaa kwenye kitii baada ya kuhakikishaa Narshaa anaondokaaaa
Mdaaa haukupitaa mwing hataaa Jordan Analetewaa baruaa na mfanyakazi wakee wa karibu wa kiume. Mr Poul iyo baruaa inahusu nn?” Jordan
Aliulizaa “Usijali Boss Jordan hiyoo ni baruaa inayohusuu kazi baada ya wiki mbili kutakuwaa na wageni
wakubwaa kutokaa nchi mbali mbali watakao
kujaa kutalii nchini mwetu Ikn wataapokelewaa kwanza hapaa then wataendelea na safarn zad Mr Poul Alisema.
Jordan Alifurahi sanaa maana campany yao Inapataa wageni ndani ya miezi mitano ya kwanzaa “Basi sawaa maandalizi yote naombaa
yafanyikee kama kunachangamoto tapatikana
basi niambie sawaa Alisema Jordan, “Sawaa boss mm piaa nmefurahi sanaa lkn kuna.
kitu ambacho Director Lindaa inaonekanaa kukifichaa sanaa je na ww unakifahamu Mr
Poul Alisemaa. Jordan Alishtukaaa na akasemaa kwa uharakaa “Hapanaa ilaa kamaa unafahamu kitu naombaa
uniambiee
“Usijali ntakwambiaa ilaa ni mpaka ntakapo kuwaa na uhakikaa nacho lakini kuna mambo tu Lindaa hayafanyi Vizuri kabsaa. “Mr Poul Alisema
Mr Poul Alitokaa Ofisin na kwendaa zakee Dakikaa hazikuendaa sanaa Jordan Alipokea
simu kutokaa kwa Jay
“Hey Jordan kazi yangu inaanzaa mdaa sio
mrefu ww plaaa kuwa mwangalifu maana maadui macho yao yapo kwako “Jay Alisemaa Jordan Alimjibu kwa kumhakikishiaa kwambaa
yeye atapamina na kujilinda pia waliongeaa. machachee na simu ilikatwaaa
Saraaah anaonekanaa kuingiaa Ofisini akiwaa amepigaaa pambaa zakee kalii plus uzurli wakee
na tabiaa yake njemaa watu wengi walimpenda. buree
Anapofikaa ofisini anakutanaa na Jordan Ikn
Jordan anaishiaa kumsalimiaa tu bila kuumuulizaa chcht jambo hilo linamshangaza tenaa Saraah lakn anapotezeas plaah.
Mdaa unaendaa Saraah akiwa ofisini na Jordan
anapokeaaa simu ambayo inanambaa ngenil bilan kujalii anawekaa loud speaker maana
alikuwa na kazi anafanyaaa “Hellow, Karibu Naongeaa na Nan “Saraah
Alisemas “Hellow Too My Love Doctor Abdulh Apaa Za Kwako Mammy “De Abdulh
Saraa baada kusikiaa vilee alikataa simu kwa uharakaa sanaa maan alikuwaa na Jordan Jordan alimkataa jicho moja yaaan Answer Eye
huku akitabasamu kwa dharau
Mbo umekataa simu au unaniogopaa ayaa mm na tokaa njee ongeaa na simu yako Jordan Alisema huku Akitokaa Njee “Mmh haa hasa hapanaa rude tuu sio ya
muhimu “Saraah Alisemaa akiwaa na wogaa
sana maana anafanhamu kbsaa Jordan
anampendaa lakn alikuwa ameshachelewa. maan Jordan alikuwaa ameshashuka ghorofani
juu had sehem ya chini.. Saraah anashidwaa afany kipi inabid ampigie Daktari Abdulh,Simu haikail mdaa inapokelewas.
Ivil Abdulh wa zamn na wa sasa wanaweza
tofautinaa kitabia (thii ni kwa maraa ya pili anamuulizaa ivoo tenaaa*)Saaraah Aliserna
Abdul alisema “Mmmh kwan kunaubayas wwt. tuachanee na hayoo Saraah amekumiss sanaa
kipenzi changu” Saraah kwa hasiraa alimfyonzaa Abdulh kweny
simu na kumwambiaa “Ukionaa nipo kimyaa mbele yako usijipe kichwaa sawa Mm sikupendii
maan sikuamini”Sarah baada ya kusemaa hayo alikataa simuu
Saraah alijilaumu sana kuweka loudspeaker maan anajuaa kbsa Jordan Akupendaa
Mdaa unaendaa na ni masaaa ya usiku.
Saraah Na Jordan wakiwaa wanapataa chakulaa
mezani Saraah anaonekana kuwaa na kitu
anachotaka kumwambiaa Jordan. “Jordan naomba tuongee kitu Saraah Alisemaa. “Mda wa kula sio wa kuongeaa na nikimalizaa hapaa ni mdaa wa kulala na mdaa wa kulala sio mdaa wa kuongeaa Jordan Alimjibu Saraah huku akilaa harakaa na kusimamaa na
kuelekeaa chumbni mwakee.
“Duah Mbn Jordan Kawa ivii daaaah sijui kunaa nn au ni hasira tuu za kupokeaa ilee
simu Saraah Alisemaa Kwa sauti ya chini un Jordan Alimsikiaa vizuri tu na akajisemeaa moyoni mwake “Hakuna kitu kama ichoo ilaa sitalo tu kuwa karb na ww mpk pale utakapo
fahamu Abdulh wa Kweli Ni yupi usichukiee
Mdoll wangu Saraaah akijisikiaa vibayaa maan hakupataa atajibu sahihi ham yak ya kulaa lishaa na alikwendaa kulalaa.
Midaa ya saa 6. Usiku Jay anaonekaa kuingiaa katikaa nyumbaa ya Madam Lindaa huku akiwaa amevaa mask na kuhakikishaa hataoneka na
mlinzi wa palee na hataa wafany kazi wa palee
Jay anaingia nakufikia chumbaa chaa Cameraa ambapo anafika na kuzima Cctv Cameraa Zotee
Ananyatiaa huku akielekeaa chumbani mwa madam Lindaa Anapofikaa anafungua mlango kwa kutumia kifaa maalumu na Anafanikiwa na kuingiaa ndani Anapofikaa anawashaa torch
yake ndogo nakuanzaa kukaguaa anapokagusa
kweny makabati anakutanaas na mafile mengi ya miakaa ya zmn sana zikiwemo hati mbali mbali na nyarakaa piaa.
“Mmh mbn hapaa kuna mamboo mengi hivii ilaa hayanthus ngoj nitafut kilichoniletas “Jay Alijisemea Moyoni
Akiangalkaa huku na kulee droo mojaa ambyo
ipo chini kbsa alipofunguaa alikutanaa na
documents nyingi sanaa ambazo ni kama
makubaliano ambayoo inaonekana kama madam Lindaa hakulidhikaa nayo maana alikuwa ameeandikas maneno ya kashfuu sana anamuaa kuzipigaa pichaa lkn jinaa ambalo lilikuwa limeandikwa pale Rashid Kephain na
Mrs Rashid Kephain. Mmmh Jay Anashidwa
kuelewaa kbsa hao watu nikinanani anapozidi
kupekuwa pekua anakutanaa na Taarifaa za
Mtoto Abdulh Ramadhani ambazo zimefatana na karatasii za makubaliano ya kifedhaa “Hizi fedha na uhakikaa ndo ambazo zilitumikaa Kipindi kilee Kumpataa Abdulh “Jay Alisema Lakini anapozidii kupekuwa anakutanaa na
karatasii zinazohusuu mauuaji yaa Mkuu wa
kituo cha kadogoo wa miaka ilee.
“Maauaji ?? Ivi inaamaanisha madam Lindaa Alifanya mauuaji na ni kwann afanyee Ivyoo Jay Alisemaa huku akikutanaa na karatasi nyingnee Inayoelezeaa tukio zimaa ilibidii apigee pichaa
karatasi zotee ili akasomee vizuri nyumbni
kwake anapomaliziaaa kurudishaa kilaa kitu
sawaa ghaflaa anasikiaa mlango unafunguliwaa
na mtu mwinginee aliyekuwa na mask pla
anaoneknaa kuingiaa palee na kuchukuaa document zotee ambazo zikuwaa kwenye drow
ya chini Mara siku ya yule Mask Man inalita tenaa na anapokes
“Ndio boss nmemalizaa naelekeaa kuzichoma ucji hapanaa mfanyaa kazi wako ata mmojaa
aliyeniona yule mask Man Alisema na
kusimama ili aondokee lkn alihis kama mahali apo kuna mtu, Jay alikuwa amejifichaa chini ya meza na uwo uwoo mdaa yulee mask Man Anashikaa kisuu huku akisogeaa mahali palee
Je mask Man Atamuonaa au Jay Atajifichajee maana Mask Man anakujaa na kisuu chakee mkononii Hahahah Jee Itakuwaje……..
INAENDELEA

