ππππππ ππππππππβ¦.πππππππππππ πππππ π ππ ππππ!
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu ya 01
Balehe yangu,kwanini inaniendesha namna hii?Mwili wangu ulikuwa unavutana na akili yangu,wakati huo mapenzi nilikuwa nayasikia tu watu wakisimulia!Sikuwa nimeanza kujihusisha na sex!Ila nilikuwa na vibinti tunacheza cheza na kushikana darasani,ila hatukuwa tukifanya lile tendo kabisa!
Nilikuwa kitandani naiwaza balehe yangu,muda huo natakiwa kujiandaa kwenda shule,nilikuwa kidato cha pili tu!Muda wote naangalia jinsi bakora ilivyosimama!Nikatupa macho chini nikaangalia mashuka yangu niliyoyachafua na ndoto pevu za mapenzi!
Ni wakati huu nilikuwa napitia kipindi kigumu zaidi kwenye maisha yangu,ujana ulikuja na moto balaa,sauti yangu ilibadilika nikaanza kuunguruma kama Simba dume,nywele zikaota sehemu za siri na sehemu zote zilipotakiwa kuwako,hadi ndevu nikaanza kuzihesabu zile zinakuja!
Ndoto za usiku zilinisumbua sana,nilikuwa naota mara nyingi nafanya mapenzi na watu niliozoeana nao na hata ambao sijazoeana nao kabisa!Mfano ni usiku wa siku ile,nimetoka kusex na mwalimu wa Jiografia ndotoni!Mwalimu mrembo ana shepu hatari,wanamuita madame Mageni!
βHizi ndoto zingine hizi,ziwe na heshima basi,sasa hadi madame nimemkula duh!β,nilijisema nikaamka kitandani!Nimechukua taulo langu nikaingia bafuni kuoga,nimetoka muda huo ndiyo nakumbuka ndani mafuta yangu ya kujipaka yameniishia!Nikatoka kwenda chumba cha baba na mama,nakuta mlango umefungwa kumaanisha wazee hawapo wameshaenda kwenye mishe zao za kututafutia shibe ya tumbo!
βDuh!β,niliwaza nitajipaka nini?Maana muda ule maduka yote hayajafunguliwa mtaani kwetu,mara nikamkumbuka Dada Selina!Nikatoka muda huo nginjangija hadi mlangoni kwake!Nimefika nikagonga sana mlango mwisho akaitikia!
βNani jamani?β
βDada ni mimi!β
βUnataka nini?β
βMafuta dada,mama amefunga kwake na mimi nimeishiwa!β
βPita!β
Nilizama ndani kwa sista,huwa siingii mle mara kwa mara sana,namheshimu mno dada Selina,basi nikasukuma mlango ukakubali nikazama ndani!Nimefika ndani namkuta Da Selina amejilaza kitandani huku kajifunga tu kanga nyepesi!Mi kuona vile akili ikaruka,muda huo chini naiona chupi ya da Selina!Sijui hata niliwaza nini mimi!Msumari ukasimama dede,nikaona nitaumbuka siyo muda!Haraka nikachukua mafuta nikachota ya kunitosha ile naondoka tu mara nikaitwa!
βWe Kevoo!β
βNa..naaam!β,niliitikia lakini sikugeuka kumtazama,maana huku mbele kumeinuka!
βTumesalimiana mi na wewe leo?β
βHamna dada!β
βUmekuwa eeh!Au kwa vile umeanza kupata kibesi sasa unaanza kuona tunaringana eeh!β
βHapana,shikamoo dada!β
βShikamoo gani umeangalia huko,ebhu geuka huku!β,aliongea Da Selina lakini sikugeuka kabisa!
βKevoo hunisikii,nasema geuka huku!β
Taratibu huku natetemeka nikageuka kumtazama Da Selina,ni mkubwa kidogo maana kanizidi miaka kama sita kabisa!
βWewe nini icho?β,dada alishtuka,mi naye nikaona kishanuka,nikaona uamzi mzuri ni kutoka zangu mle ndani haraka sana!Moja kwa moja hadi chumbani kwangu,muda huo nasikia da Selina anaiita!
βWe Kevooo!Kevoo rudi hapa!β
Sikuweza kabisa kurudi kumtazama dada,mara niko chumbani kwangu nasikia mlango wa da Selina unafunguliwa,mi nikajua dada amekasirika anakuja kwangu,nikaufunga mlango wangu kwa ndani!Kweli Dada akaja mlangoni akaanza kugonga!
βKevoo!We Kevoo ebhu fungua bwana!β
βDada nisamehe bwana!β
βWewe ebhu fungua mlango,nani amekuambia mi nimekasirika?β
βDada mi nakujua!β
βFungua basi tuongee mdogo wangu!β
βHamna mi nimechelewa shule!β
βMsyuuuuu!Ebhu kuwa mtu mzima,fungua basi Kevoo!β
Dada aligonga sana mlango lakini sikufungua kabisa,alishawahi kunipiga na mwiko wa kichwa nusu nizimie,kisa tu nimeangusha Iphone yake chini na hata haikupasuka popote!Tangu hapo namuogopa sana Da Selina,na hata simu yake siigusi kabisa!
βIla wewe sijui utakuwa lini msyuuu!β
Aliongea hapo mi sifungui mlango kabisa,ndiyo kwanza najiandaa fasta maana nimechelewa shule,alipoondoka tu nikatoka mbio mbio nusu nianguke hadi nje,nikaanza safari ya kuelekea shule huku nikiwa najilaumu njia nzima!
βMimi naye,sasa kwanini nimefanya vile?Yule ni dada yangu lakini!Dah aya mambo yanaenda mbali sasa inabidi niwe makini mno!
Nilifika shule siku hiyo hata sikuwa sawa,kuna kabinti huwa kanakuja kwenye dawati langu tunakaa mida ya karibu kutoka shule,hapo utasema tunajisomea kumbe kazi yetu ni kushikana shikana tu!Mi namshika mapaja,na yeye kuna muda anapitisha mkono hadi ananishika ndani ya boksa kabisa!Sofia alikuwa mshenzi sana yule binti!
βIpo siku nitakupa!β
βMmmh!Kwani we umewahi kufanya?β
βEeeh kwani we bado?β
βNdiyo mi bado!β
βHahahahahaha!Ntakufundisha sawa Kelvin!β
βSawa!Kwani we umefundishwa na nani?β
βMwalimu ila sikuambii ni mwalimu nani!β
βSi useme tu!β
βSikia leo tukitoka shule usiondoke hadi unione,kuna sehemu tutapitia mi na wewe!β
βMmh!Sehemu gani Sofia?β
βWe naye utakuja kukosa vitu viozuri kwa kujifanya mwanasheria,acha maswali nioneeee!β
JE SOFIA ANATAKA KUMPELEKA WAPI KIJANA WETU KEVOO?
Sehemu ya 02
Sofia alikuwa binti tu mdogo,lakini alikuwa ameshanitangulia kwenye ulimwengu wa mapenzi!Tayari alikuwa ameshakutana na magari kadhaa yaliyotembea kwenye barabara yake!Sasa mimi ni nani nisimsubiri Sofia?Kama alivyosema,muda wa kutoka ulipofika nikamuangalia Sofia yuko wapi?
βKijana unamtafuta Sofia!β,alikuwa ni Sofia nyuma yangu!Basi nikaachia tabasamu pana,binti akanishika mkono tukaanza kuondoka zetu nyumbani!
βHivi Sofia kwahiyo kweli ushafanyaga mapenzi!?β
βNdiyo huniamini eeh?Naonekana kama mtu ambaye hajafanya eeh?β
βHamna mi nimeuliza tu!β
βMi nishafanyaga mara nyingi tu!β
βMmh!Aya!β
Tulitembea huku tunaendelea kupiga story zetu za mapenzi,ila ghafla Sofia akasimama huku kashika tumbo lake!
βVipi tena!?β
βMambo yashaharibika tayari!β
βUnamaanisha nini?β
βNimeingia period!β
βEeh Sofia umevunja ungo!?β
βIla una maswali ya ajabu,yaani mi nasikitika hapa hatutaenda nilipotaka twende we unauliza maswali ya kitoto tu!β
βKwani ulitaka twende wapi?β
βKesho bwana,mi naenda home!β
βSofia!Sofiaaaaaaa!β
Sofia aliongea kisha akaniacha nimesimama,tena wala hakutembea sana,akapanda boda kuwahi nyumbani maana hali haikuwa nzuri!Mi nikabaki najiuliza sasa hapo,kwani Sofia alitaka twende wapi?Nilijiuliza lile swali nikakosa majibu!Basi nikanyoosdha zangu hadi nyumbani,hapo sasa ndiyo nikaanza kukumbuka kilichotokea asubuhi!Mi akili yangu ilinituma kuwa dada Selina amekasirika!
βSijui itakuwaje huko leo duh!?β,nilijiuliza huku najilaumu sana kwa kilichotokea,nikajikuta nailaumu balehe yangu kwa kuja na kasi kiasi kile!
Nimefika mlangoni kwanza nikasimama,kuingia ndani ikawa kipengele,nimewaza sana,muda huo ndani nasikia muziki mkubwa,nikajua tu yule ni dada Selina,ndiyo huwa ana tabia ya kugeuza nyumba yetu night club!
Nimegonga mlango mara kadhaa lakini hawakunisikia,basi mi nikafungua mlango nikaingia ndani na begi langu mgongoni!Nikamkuta Dada yupo na mashoga zake wamenunua pombe wanakunywa!Nilishtuka sana,nikajua tu wanafanya vile sababu wanajua wazazi wetu wanarudi usiku sana,sikupenda ile hali lakini ningefanya nini na ndiyo wakubwa kuliko mimi!
βShikamoo da Selina!Shikamoo daβ¦.!β
βWe naye umeshakuwa bwana,mambo ya shikamoo yaishie kwa Selina huko!β,aliongea rafiki yake Selina huyo anaitwa Mam!
βKweli bwana,halafu umekuwa Kevoo!β
βNa amekuwa handsome hatari,uanze tu kutesa wadada na hiyo sura!β
βNa atawatesa kweli kweli!β
βEeeh!Nyieee niachieni mdogo wangu,Kevoo ebhu nenda mwaya!β,dada Selina aliingilia kati,basi nikaingia zangu chumbani,nikavua sare za shule nikaoga,muda huo njaa imeshika kasi,nimeingia jikoni nakuta patupu hakuna kitu!
βMdogo wangu una njaa!?β,sauti ya dada ilinisemesha nyuma yangu!Dada Selina akasogea na kunishika bega!
βNdiyo dada!β
βShika hii hela kanunue chipsi kuku pale kwa Abuu,sisi tumeshakula!β,alisema kisha ananipa elfu kumi!
βAhsante dada!β,nilipokea ile hela kisha nikataka kuondoka akaniita!
βKevoo!β
βNa..naam!β
βUsijali kuhusu asubuhi sawa eeh!β
βNdi..ndiyo dada!β
βAya nenda ukanunue chipsi sasa!β
Niliondoka nikaenda zangu kununua chipsi,nikawa najiuliza mbona Da Selina hajanifokeafokea kama kawida yake,maana namjua jinsi alivyo mkali!Basi nikajipa moyo labda anataka tu nimfichie siri kuwa alikuwa analewa na mashoga zake nyumbani wanalewa na kufungulia muziki kama wako disco!
Nimenunua zangu chipsi kuku,soda zipo nyumbani kwenye friji nyingi tu,nimebeba chips zangu nikaenda zangu nyumbani,bado walikuwa wanalewa na mimi sikuweza kuyamudu mazingira yao,nikachukua soda nikaenda zangu chumbani kwangu!Nimekula nikapumzika kidogo,nimekuja kushtuka mama ananiita!Kumbe wazazi walisharudi na sijui,nikaamka nikamsalimia mama na baba,muda huo sebule imesafishwa inangβaa,huwezi amini kama pale kulikuwa na disco mchana!
βUjue mdogo wangu umekuwa sasa!β,alisema dada Selina muda huo tupo sebuleni wawili tu!
βKwanini dada?β
βNakupenda ujue kwanini?β
βSijui!β
βWe siyo mbeya yani,hii ndiyo raha ya kuwa na kaka!β
βWe nipambe tu nije nikuunguze kwa wazee!β
βNajua huwezi!β
βShauri yako,halafu nimekumbuka sijakupa chenji yako!β
βUsijali nitaifuata mwenyewe chumbani mwako!β
βSi nikuletee tu dada!β
βNimesema ntaifuata Kevoo huelewi Kiswahili au?β
JE SELINA ANA MPANGO GANI NA KEVOO?β
Sehemu ya 03
Kauli ya dada ilikuwa nzito lakini sikuweza kuishtukia,mara nyingi tu dada Selina anaingia chumbani kwangu kunifokeafokea,kwahiyo kuhusu kuja chumbani kwangu mi sikuona shida!Kumbe wakati najiona mtoto,yeye alikuwa ananiona mtu mzima mwenzake,patamu hapo!
βNgoja tu niifuate saivi nikuletee!β
βWe naye acha mapepe,nimesema ntaifuata!β
βSawa dada!β
Sikutaka kubishana na dada Selina,nilienda zangu chumbani,ikabidi niache mlango wazi maana alisema anafuata chenji zake,akaninyima uhuru wa kulala na boksa yangu!
Kumekucha asubuhi sijamuona dada Selina akiingia chumbani kwangu,basi nikajiandaa nikaenda zangu shule!Nikajua tu dada atakuwa alilala,maana ana tabia ya kuangalia movie hadi analala hapo hapo sebuleni,ni tabia ambayo wazee walishamsemaga sana lakini kichwa ngumu dada hasikiii!
Shuleni siku ile nilikuwa na upweke mwingi sana,kipenzi changu Sofia hakuja kabisa shule,nikawa mpweke sana,maana nilimiss kushikana mapaja na kupapasana!
βLeo unamshika nani Kelvin!?β,lilikuwa swali la Dainess,nilishtuka nikajifanya sielewi anamaanisha nini!
βUnaongea nini Dainess!?β
βHivi unadhani mi sijui mnachofanyaga mikaa hapa na Sofia,najua huwa mnashikanashikana!Tena mnaweka vitabu mnajifanya mnajisomea kumbe hamna lolote!β
βDainess!β,niliongea nikiwa na maana apunguze sauti!
βNini Kelvin,aya sema kama nachoongea siyo kweli!?Sema basi!β,aliongea Dayness alipoona simjibu akaketi pembeni yangu kisha akawa anainua sketi yake juu!
βDayness ni nini lakini?β
βNataka nikuonyeshe na mimi nina mapaja tena makubwa mazuri kuliko ya Sofia wako!β
βDayness kwani unataka nini?β
βKwani Sofia unampaga nini?β
βMi sijawahi mpa kitu eti!β
βMmmh!Kelvin mbona mwenzako anasema tofauti!β
βNani Sofia!?β
βNdiyo sa kumbe nani?β
βAnasemaje?β
βMnafanyaga mapenzi tena mara nyingi!β
βLahaulaaa!Mimi!?Mimi nikafanya mapenzi?β
βEeh!Sa mbona unashangaa sana!β
βMi sijawahi kuβ¦.!β
βKelvin unasema kweli?β
βNdiyo!β
βKweli hujawahi!?β
βNdiyo sa mbona unashangaa ivyo!?β
βUwiiiii!Ujue hadi nimesisimka,ebhu ngoja!β,alisema Dayness,kishaa kachukua daftari langu na kalamu,akaniandikia namba za simu!
βZa nini hizi?β
βNitafute jumamosi au jumapili,sana jumapili kuna sehemu nataka twende!β
βMmh!β
βWapi huko?β
βWew nitafute kesho au kesho kutwa!β
βSawa!β
Dayness aliondoka na kuniacha naitazama ile namba ya simu bila kuelewa ina maana gani,muda wa kutoka shule umefika nikarudi zangu nyumbani!Siku hiyo nikamkuta dada anapika,nikamsalimia lakini dada Selina akawa ameanza tabia za kukataa salamu zangu!
βWe naye uwage unasema mambo tu!β
βIli unipige uniue sasa eti!β
βHahahahaha!Hivi Kevoo mi saivi nakupiga nakuwezea wapi?Nilikuwa nakuonea wakati hujakua hujaota mav*!β,dada aliongea ile kauli nikashtuka,sikutarajia kama dada anaweza kuongea neno kama lile mbele yangu!
βSasa unashangaa nini?We ushakuwa mkubwa bwana saivi,unaweza hata kunitia mimba kabisa!β
βWe da Selina najua unachokitafuta!β
βNambie natafuta nini?Ukipatia nakuachia chenji ya jana iwe yako!β
βKwani ipo sasa!β
βWewe Kevoo nataka pesa yangu!β
βSasa mi wifi yako ameniomba huko ningefanya nini?β
βKevoo una demu?β,da Selina alishtuka akaacha kupika kabisa akanigeukia,alibadilika sura hata hakuwa hakitabasamu tena!
βUnaona sasa unaona eeh,mi nilisema kabisa,unanitafutia sababu unidunde!β
βKevoo nambie ukweli,una demu?β
βNamtolea wapi huyo demu na wewe dada,mi bado mdogo bwana!β
βEfhuuuuuuuhhh!Naomba sana Kevoo,usiwe na demu please!β.dada aliongea kwa hisia mi nikawa simuelewi!
βKevoo ukitaka nikupende sana,usiwe na demu sawa mdogo wangu!β
βSawa dada!β
βGood boy,aya ngoja nikupikie babaa ule sawa!β
Nilitoka zangu nikaenda chumbani,nikachukua chenji ya dada nikampelekea,nimefika namkabidhi eti ananishangaa!
βNini Kevoo!?β
βSi chenji yako!β
βHalafu wewe una kichwa kigumu sana,si nimekuambia nitaifuata mwenyewe!β
βDada jamani sasa mi kosa langu nini?β
βNimesema niβ¦taβ¦iβ¦fuβ¦aβ¦ta!β
βEeh basi sawa!β
Niliondoka na ile pesa nikaona kabisa dada hataki chenji yake,kitakachofuata nitaipangusa akute manyoya tu kudadeki zake!Niko zangu chumbani,chakula kimeiva nikafuatwa!
βKevoo we Kevoo!β
βNaam dada!β
βEbhu njoo ule huku!β
Nikakurupouka maana njaa ilikuwa kali kinoma,nimefika mezani nakuta sahani nzuri za mama Kevoo,zile sahani za sikukuu nadhani mnazijua zile,ndiyo nimepakuliwa na juisi nimewekewa hapo kwemye glasi zile ananyweaga baba Kevoo zile!
βDada kwani baba yupo?β,ilibidi niulize!
βIla Kevoo,sasa kilichokufanya uulize ni nini?β
βHii sahani si analiaga baba na hii glasi!β
βEbhu kula huko na wewe,sasa hujui akitoka baba we ndo baba msaidizi humu ndani!β
βMfano tukivunja hii sahani dada mama atatuua!β
βKevoo unajua umekuwa sasa,inabidi uanze kujiona mkubwa,acha kujiona mtoto bwana unaniboa,we hapo saivi mwanamke akizubaa unamtwisha mimba kabisa!
βDada mimba!?Mimi nimpe mwanamke mimba!?β
βHahahahahaha!Tena ndiyo nakuonya shauri yako,kama una videmu vyako huko ujue ukiweka tu mimba,shauri yako nakuambia mdogo wangu!β
NINI KITAENDELEA?
KIJANA ANAPAKULIWA KWENYE SAHANI ZA MSHUAβ¦β¦..
SELINA ANATAKA NINI KWA MDOGO WAKE?
Sehemu ya 04
Nilikuwa chumbani kwangu nawaza kuhuu maneno ya dada,nimewaza sana nikajiuliza sana,nikaogopa sana eti kuwa naweza kumpa mwanamke mimba!Yaani mi nilikuwa najiona mtoto hatari!
Niliamua kutoka nitembee tembee,nikapiga pamba zangu nikatoka namkuta dada sebuleni!Dada akanitazama kisha akaniambia!
βUnaenda kwa mademu zako Kevoo eeh!β
βHamna dada bwana mi sina mademu!β
βShauri yako ukimpa mimba mwanafunzi mwenzako unafungwa miaka therathini jela,si unajua eeh!β
βMmh!β
βGuna tu,hivi saivi una miaka mingapi?β
βKumi na nane!β
βTherathini ukijumlisha kumi na nane inakuwa ngapi?β
βArobaini na nane dada!β
βEeeh!Sasa huo ndiyo umri utatoka nao jela mdogo wangu,unakuta dada yako nimeshazeeka nimeolewa nina watoto kibao!β
βBwana dada tusitishane mi sina demu hata ivyo!β
βAya nenda mwaya!β
Nilienda zangu mitaani nikazunguka kwa washkaji zangu,tukachukuana tukaenda zetu Sinza,tunazunguka tu madukani,tunaingia tunaulizia bei za vitu tunaondoka zetu,ili mradi tu tunawasumbua wauzaji basi!
Kwenye pitapita zetu tukaona kuna mgahawa bwana,hapo tuna kama elfu ishirini hivi,tukaingia hapo na wenzangu tuko wanne,tumeagiza juisi kwa akili zetu tunajua juisi pale ikizidi sana ni elfu mbili tu glasi,maana mtaani kwetu jusi ml500 ni jero tu imezidi sana buku,tena hapo buku inabidi utupe sababu ina nini yani hadi iuzwe buku!
Tumekunywa zetu juisi kwa raha zetu,wenzangu wawili walikuwa na kasi hatari,wakaongeza zingine,kwahiyo jumla tukawa tumetumia glasi sita!Kwa akili zetu hapo tunajua ni sita mara elfu mbili,tunabaki na elfu nane yani fresh!Tumejimaliza hapo bili inakuja mezani ya glasi sita,kwanza ilibidi nimpe mwenzangu aliyevaa miwani maana nilihisi naona maluweluewe!
βElfu sitini!?β,aliropoka,muda huo mimi nimeishiwa pozi nimetulia uchangamfu wote kwisha!
βElfu sitini kwani tumemaliza ndoo!?β,aliuliza Hussein!
βOya Kevoo sema kitu basi!β
βTumejichanganya wajomba,mwenye mjomba apige simu wazee hapa hatuchomoki!β,niliongea kisha nikaegemea meza!Hussein akasimama na kupiga ngumi mezani!
βHaiwezekani!Haiwezekanbi elfu sitini ya nini?Huu ni wizi huu kabisa ni wiziiiiii!β
βNengenekeni mkimaliza mnipe hela!β,alisema mhudumu,basi Hussein akataka kumvaa yule dada tukamzuia!
βUnasemaje wewe Malaya,unadhani wote washamba hapa eeh! β
βHussein acha basi!Oya mteme!β
βNyie ndiyo washamba,mnakujaje mnaagiza vitu bila kuuliza bei,menyu hamjaiona hapo mezani hapo au!?β,dada alifoka muda huo likaja libaunsa limejazia misuli hatari!
βKuna nini hapa!?β
βWamekunywa juisi halafu hawataki kulipa!β
βMadogo madogo mnaleta dharau eeh,aya kaa chini kaa chini!β,wa kwanza kwenda chini nilikuwa mimi kabisa,yaani mi sipendagi ugomvi kabisa,Hussein alileta ubishi akapigwa kibao akaona nyota zinashuka,akajikuta ameshuka chini mwenyewe!
βMnaleta ubabe eeh!Mnaleta ubabe au siyo!β
βHamna blaza!β
βAya piga goti chini,piga goti!β,aliongea hapo ujue chini kuna kokoto siyo sakafu wala kigae yani!
Hussein mbishi wetu ndiyo alikuwa wa kwanza kupiga goti chini tukafuata wengine,tukaanza kuita mvua ilihali wingu ni la blue kabisa!
βMna shingapi?β
βElfu ishirini kaka!β
βNyie ni wapumbavu,elfu ishini ndiyo mnajikusanya kuja kula starehe!β
βHamna tusamehe bro!β
βPiga goti ivyo ivyo na iteni mvua hadi ije shenzi kabisa!β
Sijui hata ilikuwaje jamaa akazubaa kidogo,kumbe wenzangu walikuwa wameshakonyezana wakimbie,mimi nikawa sijaona,yaani kama umeme nilishangaa wenzangu wameinuka na kukimbia kwa kasi!Baunsa anashtuka anakuta mimi naye nataka kusimama,aiseeh nilipigwa kibao cha mgongo nikaanguka kwenye zile kokoto nikahisi kama nafariki vile!
βWenzako wamekimbia sasa wewe utanitambua!β,niliinuliwa nisijue napelkwa wapi,mara yule mlinzi akaitwa!
βWe kaka ebhu subiri!β,ilikuwa sauti ya kike!
βVipi?β
βHuyu si Kevoo huyu!We Kevoo!β,kuinua shingo namuona Mamu shoga yake na da Selina,aiseeh nilishukuru MUNGU sana!
βDada Mamu nisaidie nisaidie dada yangu!β
βWewe ebhu mshushe huyu mdogo wangu!β,nikaachiwa hapo nimeshalia hadi kamasi zinatoka tu!
βAmefanyaje?Kevoo umefanyaje!?β
βAmekunya na wenzake juisi anadaiwa elfu sitini!β
βKevoo kwanini mmefanya ivyo sasa!β
βDada sisi tulijua juisi ni elfu mbili,tulikuwa na elfu ishirini tu!β
βAya hiyo elfu ishini iko wapi!?β
βKakimbia nayo mwenzangu!β
βKevoo jamani sasa mimi nakusaidiaje!?β
βNisaidie tu dadaaaaa!β
JE KIJANA ATATOKAJE HAPO?
Sehemu ya 05
Niliogopa sana,ikutaka kabisa zile habari zifike nyumbani kwa wazee wala kwa dada Selina,basi Dada Mam alipoona sitaki niwashirikishe wa nyumbani,akafungua pochi yake na kutoa elfu sitini akalipa lile deni nikamshukuru sana!
βDogo siku nyingine uwe na adabu na sehemu kama hizi!β,aliongea yule baunsa,nilimkata jicho balaa,muda huo nina hasira nikikumbuka alivyonipiga!Dada Mam akanishika mkono na kunitoa pale haraka!
βPole Kevoo!β
βAhsante Dada Mam!β
Tulianza kutembea kutembea barabrani huku tukiwa kimya,dada Mam alikuwa mtu kweli,maana huyo dada Selina amechagua marafiki zake wote wazuri,warefu wana mishepu hatari!Sema kiboko yao ni dada Shamila,huyu ndiyo kiboko yao,kwanza kumuona ni mara chache sana,ni mzuri akijaga nyumbani yani natamani tu kumuangalia alivyo mzuri!
βWenzako wamekuachia msala!β
βWashenzi tutakutana kitaa!β
βHahahahaha!Sasa utawafanyaje?β
βNitajua cha kufanya!β
βHahahahaa!Ila umenikumbusha mbali sana,misala yetu inafanana,sema mimi wangu ni tofauti kidogo!β
βWako ukoje?β
βNilikuwa na wenzangu wote,hadi dada yako tulikuwa naye,tumeenda zetu kula starehe,sasa wanaume wawili wakajipendekeza kutuhudumia,tumekunywa tumekula,mwisho tukapanga kutoroka,kwenye harakati wenzangu wakafanikiwa nikakamatwa mimi!β
βDuh!β
βBado unataka niseme nini kilitokea!?β
βNdiyo,walikupiga?β
βHapana!β
βWalikufanyaje sasa?β
βWeeee!Waliondoka na mimi nakuambia hadi kwao wale wakaka,mmh basi bwana ndiyo ivyo!β
βIkawaje sasa?β
βHalafu Kevoo acha utoto bwana!β
βWalikubaka!?β
βHamna walinipa wali maharage nikala!β
βHahahahaha!Dada Mam muongo!β
βSasa we unaulizaje kama mtoto,unachowaza ndiyo icho icho walikifanya!β
βWalikubaka wawili wote!β
βEbhu kuwa serious,ujue Kevoo mi nimekulipia hela yangu ya kodi!β,aliposema ivyo kwanza nikaishiwa pozi,nikakaa kimya kwanza!
βWe nyamaza tu,hapa cha kunisaidia twende nyumbani kabisa,nataka akuone halafu mi nitamwambia mdogo wangu nimemlipia ada ya shule!
βDuh!Dada Mam una mbinu!β
βWe twende huko!β
Dada Mam alinishika mkono tukaongozana,muda huo watu wanatushangaa sana njiani,mi hadi nikamuuliza Dada Mam!
βMbona hao watu wanatushangaa sana!β
βWatakuwa wanajua we ni bwanaangu!β
βMmh!Sasa hawaoni mi mdogo jamani!β
βEbhu kwendaaaaa!Mdogo kwani haipiti!β
Mam aliongea hiyo kauli hadi nikaishiwa maneno,nikataka kuutoa mkono wangu ,lakini akanishikilia,sikupenda vile watu walikuwa wananitazama!Hadi tunafika kwake dada Mam haniachii,tukaingia ndani!Chumba kimoja kizuri chenye choo ndani!Nikaketio kwenye sofa!Muda huo mara dada Mam akawasha feni!
βAiseeh kuna joto hatari,au we hulisikii mdogo wanguβ
βLipo lipo lakini!β
βSiyo lipolipo yaa ni lipo kabisa uwiiiiii!β,sangapi da Mamu hasianze kusaula nguo mbele yangu,ya juu ikatoka akabaki na blazia,mara anashusha ya chini,muda huo nikaropoka!
βDadaaaaaaaaaa!β
βEeeh!Nini tena jamani si ulisema we mtoto eti Kevoo!β,aliongea akaendelea kuvua,akavua na kubaki na chupi tu,kisha akavuta kanga yake na kujifunga!Mi muda huo nimekunja miguu maana askari wangu likuwa amekasirika balaa!
βHahahahahaha!Oooh mi mdogo sasa kinachotolesha macho kitu gani?Ndiyo ujue watu walikuwa wanashangaa halali,mwanaume akishabalehe tu ni hatari kwa afya ya mwanamke yoyote!β,aliongea Da Mam kisha akafungua friji akatoa juisi na kumimina kwenye glasi akanipa,mi muda huo mnara unasoma tu haushuki yani!Mam yeye akachukua Savanna akafungua na kuketi sofa jingine mapaja yako nje,yaani ni mateso kwangu!
βHivi Selina hajakubaka kweli,maana anavyokusifiaga!β
βDada yangu kabisa ananibakaje sasa?β
βAnakusifiaga mno,ooh mara mdogo wangu handsome sijui nini,ipo siku atakubaka nakuambia!β
βHawezi bwana dada yangu bwana,halafu tuache hizo story mi namheshimu dada yangu!β
βAya Selina huwezi mimi je?β
βDa Mam!β
βKwahiyo kweli hujawahi kusex?Maana Selina huwa anahisi ivyo!β
βDada bwana mi nataka niondoke bwana muda ushaenda!β
βHuyu naye,ebhu tulia huko,je kama anataka nikupe!?β
βUnipe!?Unipe nini?β
MAMU ANATAKA KUMPA NINI KEVOO?