WIFE MATERIAL 21
Nilichukua simu nikatishia kumpigia mkuu ili aogope,nikamueleza kuwa namwambia mkuu wako wa shule ili ufukuzwe shule umekosa nidhamu.lakin alinitolea pakti ndogo kweny mfuko wake wa sketi ilikua ni pakti ya sumu ya panya🙆♀
Nikasema wew Eliza inamaana ndo umejipanga kiasi hichi?nilitamani labda nipige kelele wanafunzi wote huko nje wanisikie,ila nikasema lazima niende nae taratibu Kwanza kabisa nimlagai nifanikiwe kuinasa iyo pakti,najua baada ya hapo nitaweza kuupata ufunguo wa kutoka humu ndani,maana naweza fanya maamuzi magumu alafu yaka mkosti yy namm nikaisiwa kuuwa nikaishia jela.
Nikamwambia Eliza acha basi subiri Kwanza weka iyo sumu chini,mbona haya mambo ya kuridhishana huwa hayataki fujo kama unazozifanya?alinyamaza kimya akujibu kitu nikawa nna mtiming niweze kumrukia kumpokonya ile pakti.
Nilisogea hatua moja mbele nikatulia kwanza,nikasogea hatua nyingine tena nikafanikiwa kumdaka tukaanza kushindana nguvu sasa nataka kuichukua ile sumu,nilimuwasha kofi moja la uso Kwanza ili akili imkae sawa.
Nikamuahidi kumtangaza mbele ya shule nzima maana maongezi yetu niliyaweka record ili yawe ushahidi,tulisumbuana sana nilimpa tena kofi lingine lakinin aliendelea kukomaa nikasema ukisikia mtoto wa kiume unafanyiwa ubakaji ndo huku.
Mwanamke ananguvu yule sijawahi ona,tulipelekeshana akaangukia kitandani namim nikiwa nipo juu yake muda huo sumu kahifadhi kifuani nyie msisikie.wanawake mnaushawishi mkubwa sana.
Nikajikaza akiwa chini mie juu niliingiza mkono eneo alilohifadhi sumu huko ndipo mambo yote yalipoharibika,nilichokishika huko,🥴wala sitaki kusimulia,ila aliniweza tu kiufupi,sisi wanaume tumeumbiwa matamanio isitoshe sikushiriki tendo hilo ni muda sana ni mwaka na zaidi,kwaio shetani alifanikiwankwa kiasi Fulani.
Nikamwambia Eliza usirudie tena,muda huo sauti nimeibadilisha sio tena ile ya ukali,niliitoa ile sumu nikaitupa huko chini nikiwa bado juu yake,damu ilinichemka sana,nisijue nafanyaje shetani alishaniongoza kwa muda huo jaman niliingia ushawishi mbaya sana ambao siku zote niliulaani maishani mwangu kutoka na mwanafunzi.
Lengo lake lilifanikiwa isipokua,kutokana na mbwembwe zote zile yule binti alikua yupo sild hakuwahi kufanya ilo tendo kabisa ila alijikaza sana japo machozi ya maumivu yalikua yanamtoka ila alijitahid kutulia hadi pale nilipovunja kikombe damu nyingi sana zilitoka.
Sikutegemea nilitoka nikaenda kukaa pembeni nikaanza kuwaza,nilijiona ni mkosaji sana,nikamwambia Eliza samahani naomba huu mchezo usijirudie tena,naomba kwanzia sasa uache tution,hadi utapomaliza masomo tutaendeleza mahusiano naipenda kazi yangu isije kuwa sababu ya kufukuzwa kaz au kufungwa kabisa.eliza alinijibu siwezi kukuacha huku ananyanyuka alivaa nguo zake akaondoka.
Nilitoka nje sikuwakuta wanafunzi wangu wengine nilikua naona aibu sana.nikajiona sio kitu tena nimejishusha thamani sana,ila nilijua hawajasikia chochote sababu redio ilikua sauti ya juu sana.
Nilizuga zuga pale jioni wakawa wamekuja wanafunzi wengine wale wa usiku nikawapiga kipindi wakaondoka.
Kesho yake asubuhi na mapema nilienda kazin mbaya zaidi nna kipindi form four!nilitamani nisiingie kwenye kipindi,wanafunzi wangu watanichukuliaje?kwanini waliondoka na sikuwa nimewapa ruhusa,nitamuangaliaje Eliza?
Nikaingia darasani nikapiga jicho hadi sehemu aliyokaa Eliza niliona kainamia dawati,nikamuuliza wew Eliza mbona umelala?akasema sir naumwa sana tumbo,nikamwambia toka nenda kwa mwalimu wako wa darasa kaombe ruhusa uondoke.
Aliinuka akabeba beg lake akaondoka nilifundisha pale,nilipomaliza nilimuitwa mwanafunzinwangu mmoja wa tution anaitwa imrani nikamwambia nifate nje.lengo langu nimchunguze.
Nikamuuliza Imran mbona Jana mmeondoka kabla sijawaruhusu?akasema sir tulishindwa kukuaga sababu ulisema umechoka sana kwaio tulipomaliza tu ile kazi tukaona bora tuondoke na madaftari tulikusanya tukayaacha pale pale ukija usahishe,nikamwambia sawa nenda darasan Waite wenzio wote wa tution.
Walikuja nje wote nikawaambia muda mwingine msiondoke kama sijawaruhusu hiyo sio nidhamu wakasema sawa sir.hapo moyo ukatulia.
Nilirudi nyumbani lengo langu nivunje tution itanialibia sifa Sana,nionekane natembea na wanafunzi,nikawatangazia mwezi huu ukiisha msilipe tena ada sababu nitakua bize sana sitaweza kuwafundisha wakasema sawa ticha ila tumekuzoea mno,nikasema msijal kweny cha kuwaelekeza nitawaelekeza tu shuleni.
Siku iyo tution Eliza akuja.jioni hiyo nilipigiwa simu na namba nisiyo ifahamu nikaambiwa kuwa sechelela amefariki😭
WIFE MATERIAL 22
MAISHA HALISI YA FREDY.
Mida ya jioni nikiwa nafundisha wananfunzi wangu,ambapo Eliza hakutokea sababu alisema ni mgonjwa anasumbuliwa na tumbo,simu iliita namba ngeni nilipokea nilipoweka sikioni nilisikia sauti ikisema wewe ni fredy?nikasema ndio ni mimi.ok nasikitika kukuambia kuwa sechelela amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.
Nguvu ziliniisha,nilijikuta naketi chini machozi yalinitoka kama mtoto wa kike,wanafunzi wangu wakaniuliza vipi sir nikawaambia naomba tu muende wadogo zangu nimepata msiba.😭walinipa pole na wakaondoka,niliingia ndani nikachukua kiasi cha pesa nikaenda kwenye gari nikapiga tena ile namba ilionitafuta mwanzo,nikamuuliza kwani wewe ni nani?je unaweza kuniambia ni wapi ulipo mwili wa seche?
Akasema mie ndo baba B mpenzi wa seche,nikamwambia sawa naomba uwapigie simu wazazi wa seche uwape taarifa za tatizo lililotokea,akasema mie Sina mawasiliano yoyote na wazazi wake.
Sikutaka kufanya majibishano sana nilichokifanya nilimuambia anielekeze ni wapi ulipo mwili.
Akasema mwili upo hospital sehemuya kuhifadhia maiti.
Niliwasha gari Hadi hospital kubwa moja kwa moja Hadi mochwali,nilijitambulisha kwa mlinzi wa chumba cha marehemu,akaniambia kuna mwili wa jina Hilo uliletwa asubuhi ya leo njoo uuangalie.tuliingia alinifungulia nikaangalia ni kweli seche amelala yoo😭😭.
Nilitoka pale nikiwa nimechanganyikiwa huku nalia,nikachukua simu nikampigia mama yake,nikamuuliza mama mala ya mwisho kuongea na mama B ni lini?akasema kwa kweli ni wiki iliyopita aliniambia anaumwa ila sio sana,toka hapo nikipiga simu kujua hali yake wala hapokei mwisho simu ikazimwa kabisa kwahiyo sielewi chochote kinachoendelea huko.
Nilisikitika nikamuonea huruma sana,nikamuuliza B anaendeleaje?akasema B hajambo Jana nilimpeleka hospital kupima tena Wala Hana maambukizi,nikasema afadhari nafurahi kusikia hivyo.
Hapo naogopa kumwambia mama ake kilichomkuta mwanae,nikavaa roho ya kiume nikamwambia mama naisi seche slivokuambia anaumwa alizidiwa zaidi,iyo hali imepelekea kifo,seche hatunae tena😭.
Mama ake alipiga kelele kisha akasema ndicho alichokitaka mwanangu seche,Kisha simu ikakatwa.niliumia sana nikifikilia B bado ni mdogo sana anakosa mapenzi ya mama ake.
Nilienda hadi kwa yule mlinzi tena,nikamuuliza gharama za kuhifadhi mwili zimelipiwa?akasema hapana walioleta mwili wamesema ndugu zake watakuja kulipia.nilisikitika sana.nikasema ama kweli.nikamuuliza huyu seche amefariki hospital au nyumbani?
Akasema huyu inavoonekana amefariki nyumbani,maana mwili umeletwa asubuhi na wanasema alifariki toka jana.nikamshukuru nikatoka pale,nikampigia simu mama nikamueleza,akasema najua pole sana mwanangu.
Nikamwambia mama acha nifanye taratibu za kumsafirisha,akasema sawa mwanangu kama utahitaji msaada basi tuje,nikamwambia Haina haja nitaleta mwenyewe tuu.
Kweli nikaanza kupanga mikakati ya kusafirisha,asubuhi na mapema nilienda kazini nikaelezea nikapewa ruhusa,nikaenda mochwari,nikatafuta gari ya kubeba maiti,nikiwa hospital mida ya saa nne nilikua na walimu wenzangu ambao waliniunga mkono walikua wanne.
Kilitokea kikundi cha watu kama sita hivi ni wanawake tupu nikasikia wanaongea na mlinzi ila mlinzi akaninyooshea kidole ikiwa ni ishara ya kuwaambia wale watu wanifate Mimi.
Walipiga hatua hadi pale nilipo,wakaniambia samahan kaka wewe ni ndugu wa seche?nikawaambia ndio,.mmoja Kati yao akasema pole sana.seche tulikua tunakaa nae nyumba moja.nikawauliza kitu gani kilichopelekea umauti wake?
Nikaanza kuambiwa kuwa alikua anaumwa sana ila mwanaume aliekua akiishi nae alikua anamtoa usiku aende akajiuze hali ya kua anaumwa ili aweze kuleta ndani pesa ya matumizi,alijitahidi kwenda lakini mwisho wa siku alishindwa sababu alizidiwa sana mwili ulizoofu,akawa anapigwa hali ya kuwa hawezi hata kutoka kitandani,hakuwahi kupelekwa hospital,na majirani tulipotaka kuingilia kati tuliambiaa hayatuusu tuyaache kama yalivyo.
Ila siku zote seche alisema kama nitakua nimekufa naomba mniombee msamaha kwa fredi najuta sana.ila Hadi sasa hatujui uyo Fred ni nani.
Nilifuta machozi Kisha nikasema Mimi ndiyo fred😭wakasema kwani shida ni nini?nikawaambia siwezi kuelezea kwa sasa,wakanipa pole sana,niliwauliza uyo mme wake yupo wapi?wakasema yule ni teja,mlevi,mvuta,bangi,anakula unga.na alimfanya seche kama kitega uchumi,anampeleka kujiuza ili apate pesa.seche tukimwambia aondoke atuelewi ni kama alilogwa.
Niliumia sana kwa kweli,seche hakustahili aliyokutana nayo,mala muda huo huo mama seche alinipigia simu huku analia akiniuliza nini cha kufanya na nini kinahitajika ili anitumie pesa yeye na ndugu zake wanakuja.
Nikamwambia msiwe na wasiwasi nakuja na marehemu,aandaeni tu mazingira huko,kuhusu gharama msijali nitashuhulikia.niliwaomba wale majirani zake ili waweze kunisaidia kuosha mwili sababu ni wanawake wenzao kutokana na shida yake ya ugonjwa aliokua nao seche ila hawakukataa.
Alioshwa vizuri muda huo nimenunua gauni zuri,tukamvalisha,tukamuweka kwenye jeneza tukaanza safari ya kuelekea Mbeya.mimi na wenzangu wanne na majirani zake tulioenda nao ni wawili.
Njia nzima nililia kama mtoto,nilishindwa kujizuia tukiwa njiani nilijikuta nafunua jeneza na kuona sura yake,nikamwambia seche,seche,seche,kama unanisikia naomba uamke basi,seche amka mie nimeshakusamehe kabisa nimekusamehe seche amka.
Kutokana na yote uliowahi kunitendea ila haukustahili kifo,nakupenda seche.wenzangu walinizuia na kufunika jeneza wakasema usichanganyikiwe kiasi hizo ebu tuendelee na safari.
Safari niliiona ndefu sana hatimae Costa ile iliingia mjini mbeya…mdogo mdogo tukafanikiwa kuingiza gari hadi nje kwakina seche,ambapo tulikuta watu wengi Sana wamejaa,niliona ni kama ndoto,tulishuka kwenye gari wenzangu wamenishika mikono yote miwili napiga jicho pembeni namuona B amekaa chini anachezea mchanga malaika haelewi chochote.
Mama ake alitoka ndani huku analia kwa nguvu alipofika karibu na gari alianguka chini na akanyamaza kimya kuweza kusema kitu macho yalifumba na akanyooka mwili.
WIFE MATERIAL 23
Ilibidi watu wambebe mama seche na kumuweka pembeni,waliingia watu wwngine kwenye Costa na kutoa jeneza,kulipeleka ndani ilikua ni vilio mwanzo mwisho ndugu jamaa,majirani wote sura zilikua zimetawala huzuni,nilimbeba b tukaenda kukaa sehemu ilioandaliwa kwaajili ya wanaume kwenye maturubai.
Baba seche anatia huruma kwani hajiwezi amepalalaiz upande mzima,amekaa tu kwenye kiti cha kusukuma na mataili…
Hali ya mama seche haikua nzuri ilibidi abebwe na kupelekwa hospital.tulifanya taratibu zote kesho yake mapema tuu kaburi liliandaliwa tukaenda kanisani na mwili,ukafanyiwa ibada tukaruhusiwa kutoa Salam za mwisho kwa marehemu,nilipita kumuaga nilimkiss seche huku nalia simini nnachokiona.muda wote huo B alikua anafanya kama mchezo anakimbia huku analizunguka jeneza la mama yake huku anacheka mwenyewe,baadae j
Kuna ndugu yao mmoja akambeba B wakat anaenda kumuaga seche B Alifanikiwa kumuona mama ake amelala pale.
B alituliza na kutuumiza zaidi Kwan alivomuona mama ake akaanza kulia huku anaita mama mama mama ni kama anamuamsha ajui kama amefariki sababu hajui hata maana ya kifo.tulilia sana.
Na baada ya hapo mchungaji aliamuru twende makaburini,muda huo mama seche hayupo toka alipoenda hospital,tulienda makaburini mwili ulishushwa chini ya kaburi na kuanza kufukia haraka haraka zoez lilipokua linaendea mwishoni tuliona gari ndogo imekuja alishuka mama seche huku kashikwa mikono,huku analia mwanangu jaman hata kukuaga sijafanikiwa,alifika pale akalala kwenye kaburi huku anapandisha mchanga juu.tuliweka mataji mchungaji akaomba kwa mala ya mwisho wasifu waarehemu ulisomwa na tukaondoka eneo Lile.
Lengo langu nikae siku tatu msibani ndipo tuanze safari ya kuelekea mkoa tunaoishi.ile siku tuliporidi kukawa na kikao cha ndugu,waliitana ndugu wote,mie nilijitenga tu pembeni sikutaka kushiriki mazungumzo ya familia.
Baadae alinifata kaka wa seche akasema fred unahitajika,nilienda kadi pale nikapewa kiti niketi.mama ake akasema Fred tumekuita hapa Kwanza kabisa kusema Asante kwa msaada wako.kutokana na mengi sana kutokea hapo Kati ila hukuweza kuweka kinyongo.
Nikawaambia seche ni sehemu ya familia yangu nilimsaidia kila alipohitaji msaada wangu hata kipindi alipoondoka kwangu,kwahiyo msijali kuhusu yote yaliotokea kwakua ilipangwa sisi ni binadamu hatuwezi kupangua,wakasema ila ni kweli.
Mama yake akasema sasa mwanangu kwa yote uliotenda ni mengi kukulipa itakua ngumu,ila toka umetengana na seche ni muda sasa umepita je umeshapata mwenza wako?nikamwambia hapana mama nimepumzika Kwanza sipo kwenye mahusiano yoyote.
Mama ake akasema sawa,sisi kama familia tumekaa tumejadili tumeona tukupe ndugu yetu mmoja anaheshima nidham na mpole,ili umuoe iyo ni kama shukrani kwa yote uliotufanyia,pamoja na ile Mali ulioitoa kwa seche na hukumuoa basi tufidie kwa ndugu yake,ili hata mtoto B mumchukue kuishi nae awe kama mtoto wenu wa kumzaa.
Nilitingisha kichwa kuashiria (HAPANA)nilifikiria heka heka alizonipa seche mie tena huyo nikaoe ule ukoo hapana,nilijisemea kimoyo moyo,Kisha nikasema hata hivyo maasdili ya dini yangu pamoja na kabila langu hayaniruhusu Mimi kurisiana et niwe nimetembea na watu wawili wa familia moja mh!!!itakua ngumu.
Nilikataa nikawaambia iyo kitu aiwezekani sitaweza mnisamehe kwa hilo.baba take aliongea kwa shida sana,akasema kijana Asante kwa kila kitu,tunaheshimu maamuzi yako.namimi nikasema ndugu wote mliopo hapa kuhusu B nitahusika kwenye malezi yake kwa chochote msisite kunipa taarifa hata hivyo ntakua namtumia pesa kwaajili yamatumizi yake kila mwisho wa mwezi.
Basi nilitoka pale nikaaga nikawaambia keshokutwa naondoka mbeya usiku wa kesho nitaenda kulala nyumbani kwa mama maana sijapata nafasi ya kukaa nae kabisa.
Walinitakia safari njema mama yake akasema Fred usiache kumuangalia B naomba ujitahidi sana hata kwa simu tu kujua anaendeleaje,alisisitiza sana yan alikua akizungumza hivo mala kwa mala.
Basi tulitawanyika usiku huo tulilala pale msibani ila usiku sana mishale ya saa nane niliamshwa na rafiki yangu,mwalimu mwenzangu tulioenda nae,akasema Fred amka ma mkwe wako anaumwa kazidiwa,nilikurupuka nikauliza nini shida?akasema ni presha.
Tulitoka usiku ule hadi hospital tulipofika pale tuliingia chumba cha daktar alimpima na kusema kuwa presha ipo juu sana,alilalamika kichwa kinamuuma sana.alinishika mkono na kuniambia Fred muangalie B kwa macho yako yote,Kisha akanyamaza,nilitoka na kumuacha ndani.
Baada ya nusu saa niliingia tena ndani nikakuta wanazungusha mapazia rangi ya kijani.nikamuuliza nesi kulikoni?akasema toka nje tunataka kumbadilisha nguo.
Kengele ya hatari iligonga kichwani kwangu sikutaka kuwabishia nilikaa nje nikingoja kauli yao, doctor alitoka akasema namuomba ndugu mmoja wa Maria,maria ndo mama seche.
Aliinuka pale mwanae wa kiume na kwenda chumba cha doctor,baada ya muda kidogo alitoka huku analia,.OMG Na mama seche nae hatunae tena😭
WIFE MATERIAL 24
Mtoto wake wakiume alitoka huku analia,nilipigwa na butwaa mwili wote uliingia ganzi….nilijisemea kimoyo moyo na mama seche nae kafa OMG???hapana hili aliwezi kutokea.
Kijana yule aliishiwa nguvu aliketi chini akanyoosha miguu huku anaipiga piga,nilimsogele nikamuuliza kuna kipi kimetokea?akasema mama angu,mama angu mimi sipo nae tena hapa duniani.kwanza mdogo angu seche pili mama,na baba yangu sijui akiipokea hii taarifa atakua kwenye wakati gani.
Niliumia Sana nikamwambia broo jikaze kiume,haupaswi kuwa mnyonge kiasi hichi hebu tufanye Kwanza taratibu zingine maana kilichomuua mama ni mshtuko wa kifo cha seche.
Basi aliinuka pale kweli alivaa ujasiri kwa kiasi kama mwanaume,ila alishindwa hata kuendesha gari lake,ni kama alichanganyikiwa.nilishika usukani wa gari lake na kuanza kuendesha Mimi. tulirudi nyumbani ambapo bado watu walikua wapo kwenye matanga ya sechelela.
Tukaanza sasa kutangaza msiba kuwa Maria amefariki,jamani ilikua ni huzuni iliyopitiliza kwani msiba wa seche bado mbichi kabisa.na mama seche ndiyo aliyebeba jukumu la malezi ya B toka mama yake yupo hai,huyu mtoto atalelewa mazingira gani?iliniumiza sana kichwa.
B nilimchukulia kama mtoto wangu wa kumzaa kutokana na marehemu mama yake alivyoniaminisha.nimelea mimba hadi mtoto nikijua ni wangu.
Hata siku nilipojua kua mtoto sio wangu bado sikuweza kumchukia,nilifikilia kauli ya mama seche ya mwisho hospital kuwa nimlee B.sikutaka kupika wosia,nikasema B ni wangu kwanzia sasa.
Tulinza msiba upya,ndugu zangu akiwemo mama walikuja msibani na walishiriki kwa kila kitu,muda wa mazishi ulipofika ambayo ni kesho yake,tulizika mama seche ni kama kalala tena uso wake ulikua na tabasamu licha ya kuwa amefariki.
Baada ya kumaliza kuzika kama ilivyo kawaida waliita tena kikao cha ndugu (familia)ambapo pia hawakuniacha pembeni,waliniita na kushiriki nao kile kikao.
Baba yao alitia huzuni sana.kaka yake seche tuliekuwa nae hospital anaitwa Calvin,alimwambia baba yake kauli aliyoitoa mama yake kabla ya kifo kwamba mimi Fred ndio nihusike na malezi ya B japo familia nzima inajua kuwa sio mtoto wangu.
Baba yake alinigeukia na kuniuliza Fredy utakua upo tayari kwa malezi ya mtoto B?nikamwambia baba mie sina cha kupinga nipo tayari kivyovyote ilimradi tu B akuwe salama.
Akaongeza tena,umesema hujaoa hata tukisema tukupe huyu mtoto bado utapata tabu kwenye malezi yake… Calvin alisimama Kisha akasema,Fred tutaendelea kuwasiliana,ila kwa sasa naomba uyu mtoto nimlee Mimi kwakua tayari nimeoa,na isitoshe huyu B baba yake mzazi yupo mkoa ambao wewe unaishi hiyo inaweza kuja kuwa tatizo kwako niamini.
Hivyo basi nitamlea Mimi kama mjomba wake,vitu vidogo vidogo nikikwama nitakushirikisha ili tujue tunatatua vipi huyu mtoto akuwe vizuri.
Sikua na cha kupinga niliafiki hoja,nikasema sawa nashukuru,mie kesho nitaondoka hapa mbeya na kurudi mkoa ninaofanyia kazi.
Wote walinipa baraka zao,niliwaacha waendelee na kikao maana kuna mambo mengine kama familia inabidi wayaongee pasipo Mimi kuwepo.niliwafata rafiki zangu ambao tuliambatana kuja kumzika seche.
Mmoja kati ya walimu wenzangu aliitwa fransis aliniambia Fred hivi unamjua Eliza?nikmuuliza Eliza gani?akasema yule binti mchangamfu sana wa form four B.nikamwambia aaa ndio namjua,japo nilishtuka sana nilipoulizwa hivo.
Nikamuuliza vipi kafanyaje?akasema ametoka kunipigia hapa sijui namba yangu katoa wapi,ila ameomba kuongea na wewe anasema huwa unawafundisha tution hivyo kuna kitu anataka kukuuliza.nilizuga pale sikutaka kuongea nae,nikasema sasa huyu mtoto hajui kama nipo msibani?mbona wenzake wote awajanitafuta yeye ndo special sana?
Francis akasema siunajua wanafunzi huwa wasumbufu sana,haswa pale wanapotaka kujua Jambo fulan kuhusu masomo?nikasema nikweli ila sitaongea nae hadi nitakaporudi huko kazini,saivi tujipange tu kuhusu Safari kesho tuondoke,tushakaa na hii Costa ya watu kwa muda na pesa inazidi kuongezeka.
Niliwaita wale majirani wa seche nikawaambia wajiandae kesho tutaondoka,walikubali na nikawachukua kuwapeleka nyumbani kwa mama yangu maana toka tumefika hatukuenda.
Mama aliwapokea kwa ukarimu,tukakaribishwa chakula tulikula,tukarudi kulala msibani na kesho tukaanza Safari nilimuachia B kiasi cha pesa kimsaidie matumizi madogo madogo.
Tukiwa njiani,simu yangu iliita namba ngeni nilipopokea hata akuongea Kisha akakata,kabla sijampigia iliingia meseji Mimi Eliza sir Fred naomba tuchart hii simu ya mama nimeiba.
WIFE MATERIAL 25
Niliguna Kisha nikasema kwa nguvu huyu mtoto anabalaa…wenzangu wakaniuliza kulikoni Fred unaongea peke ako?nikawaambia hakuna kitu maana niliona aibu sana kuongea mbele yao…sikumjibu meseji wala kumpigia simu,tulitembea njia nzima hadi tulifanikiwa kufika salama kabisa japo uchovu ni mwingi mno…kila mtu alishika njia na kwenda kwake.
Nilifika nikafungua geti nikaingia ndani nilipitiliza bafuni nikaoga ili kutoa uchovu muda huo njaa inauma kuangalia saa ni usiku tayari,nilitoka na kwenda nje kutafuta chakula.nilikula huko na kurudi ndani kupumzika,ila kila nikitaka kulala mawazo ya seche yananiijia kichwani,kila nikitaka kulala mawazo ya seche,nilipofanikiwa kupata tu usingizi ndoto zote nilimuota tu seche na mama yake,yani kiufupi usiku ule ulikua ni mbaya sana kwangu.
Niliamka asubuhi na mapema,nikaenda shule kuripot ambapo nilikutana na walimu wenzangu nao walikuja,na walimu wengine nao walinipa pole sana.tukaanza ratiba rasmi ya kufundisha wanafunzi wangu.
Nilifundisha huku nikiangalia sura ya Eliza alikua akitabasam tuu.nilijaribu kumpotezea.nilitoka darasani na kuelekea ofisini,alinifata Eliza na kuniambia sir shika hili daftari langu kuna baadhi ya mazoezi nilifanya ulipokua msibani naomba ukanisahihishie kwako nikija jioni tution utanirejeshea,nikamwambia sawa,akasema sawa baadae,nikamwambia Eliza naomba uongeze nidham.hakunijibu kitu aligeuka na kuondoka zake.
Nilitoka pale nikaenda zangu kwangu nikiwa nimekaa kwenye Banda la kufundishia wanafunzi wangu nikasema acha nipitie haya mazoez ya Eliza aliyosema nisahihishe.kufunua tu karatasi ya Kwanza nakutana na maneno yaliyosomeka,;
“POLE KWA MSIBA SWEETHEART❤”
Mh!!!niliguna Kisha nikafunua kurasa nyingine,nikakutana na maneno,
NAKUPENDA SANA FRED WEWE NI ZAIDI YA MWALIMU KWANGU NAKUOMBA USINIACHE KWANI WEWE NDIYE MWANAUME WANGU WA KWANZA.
Niliendelea kufunua zaidi kurasa za mbele ameandika maneno mengi sana.nilitabasamu tu nakusema huyu mtoto utoto unamsumbua sana.
Nilijiapiza kuwa sitafanya tena mistake ya kuwa nae kwani nilimuonea huruma ni mtoto mdogo na bado ana ndoto za kufikia mbali hivyo nisimchanganye mtoto wa watu.nikiwa nipo kwenye dimbwi la mawazo nilishtushwa na sauti iliosema shikamoo sir!!!niliinua uso na kukuta Eliza na mwenzake mmoja nikawaitikia nikawaambia ingieni mkae.
Waliingia wakakaa walinipa pole na kuniuliza kama tulizika salama,tukiwa kwenye mazungumzo wanafunzi wengine nao wakawa wamefika tukaanza kipindi.
Niliwafundisha kwa pamoja Hadi muda wa kuondoka ulipofika nikamwambia Eliza chukua daftari lako uondoke nalo.akasema nitachukua tu ticha baki nalo kwanza.nilitingisha tu kichwa.
Walikuja wanafunzi wa usiku nao nikawafundisha wakaondoka,ilienda hivyo kama wiki mbili ndipo siku iyo ilikua jumapili nikiwa nimejilaza tu kwenye sofa hapo sebleni,nilisikia hodi ikigongwa,sikujua ni nani nikasema karibu,aliingia Eliza nilishtuka nikasema huyu binti asinipe kesi,nikamwambia unasemaje we binti? Tena Kwa ukali.
Akasema jmn Fred Mimi nakupenda sana mwenzio,naumia sana nnapokuona unanipotezea,nikamwambia mie sipo tayari kuwa na wewe Eliza naomba usome nakuonea huruma,mapenzi na shule huwa hayachanganywi,hata Mimi nilipokua nasoma sikua kwenye mahusiano,kwaio ndo Mana hadi leo unaniona nipo hapa sikuchanganya mambo.
Akasema kwaio ndo unataka kuniacha na umeniona mwili wangu kiundani?nilijaribu kumlaghai ili awe muelewa maana shetani ndo kashamsimamia,nikamwambia Eliza kama kweli unanipenda na unataka Mimi niwe na wewe,nnasharti moja kwako.
Akaniuliza ni sharti gani ilo?nikamwambia naomba usome Kwanza kwakua upo mwaka wa mwisho soma,ukimaliza ntakuoa tena sio kukuoa ukiwa umefeli nahitaji matokeo mazuri kutoka kwako ili hata baadae utajiendeleza nahitaji mwanamke mwenye maalifa sihitaji mwanamke mbishi.
Akasema sawa nihidi kwa moyo wako wote kuwa utanioa,nikamwambia I promise you.ila mazoea na wewe sitaki.akasema sawa haina shida aligeuka Kisha akaondoka.
Nilishusha pumzi Kisha nikasema afadhari nimeutua huu mzigo wa dhambi.mie huyu Fred nijiingize kwenye mahusiano,nitakua mpumbavu na yote haya niliyoyapitia labda sio mimi.saivi nitakua Playboy tuu Wala siwez muhifadhi mwanamke moyoni.
Niliinuka na kuendelea na shuhuli zangu.kesho yake Kama kawaida niliingia kazini,nilifundisha mwezi mzima mfululizo ada zilipoisha za tution niliwaambia basi mpumzike sasa.
Niliendelea kumuhudumia B Kama kawaida niliendelea kuwasiliana nao huko kila nnapopata nafasi,ila kiukweli sikuwahi kuwa na hisia na Eliza wanawake sikuwapa tena kipaumbele kwenye maisha yangu nilichowaza ni kazi na vipi niweze kuongeza kipato.siku moja usiku nikiwa nimelala usingizini niliweza kuhisi kama watu wanaongea nilishtuka na kukuta tayari nmeshavamiwa na watu wanne.
Niliogopa sana nilipotaka kujua ni kina nani,mmoja alisema Mimi ni baba b utanionesha ni wapi alipo mtoto wangu huku wananipiga na ubapa wa panga,huku wakiwa wanaendelea kunipiga na kunipa mateso walikua wakivunja vunja vitu vyangu vya thamani.
Inaendelea…..