WATOTO WA BOSI
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Episode 1
Naitw Allin baada ya kumaliza kidato cha nne nyumban hali ilikuw ngum . Sikuw na msaada wowote baada ya baba yang kwend kujiendelez kimasomo baad ya kupandishw cheo kazin kwao. Nilibaki nyumbani na mama wa kambo ambaye walioana na baba baada tu ya mama yangu kufariki gafla tu nikiwa darasa la pili. Maish yalienda kiubishi ubishi hivyo hivyo huku ndugu zangu wengn wakiwa wanasoma shule nzur za pesa japokuwa kicwani hawakuw na kitu chochot. Siku moj bhana watoto wake mama walirud toka likiz mkubw yupo kidato cha sita huyu sio mtoto wa baba alimkut naye tu anaitw Mary ila huyu mwingin mdog alikuw kidato cha kwanz ni mtoto wa bab anaitw Happy.
Mama aliniit nikawapokee mizig yao niliamk usingzn na kutoka nje kuwapokea. Karibuni jamani dada Mary nilikumisi. Dada Mary aliingia ndani bila ya kunijib kitu chochote sikujal. Nilibeba mizig yao na kuingiz ndani niliingia jikon kuaanda chakul kwa ajil ya wagen. Niliweka chakul mezan walikuj kula Vipi wanang Habari za huk shul mama alimuuliza Mary. Salama tu mama ila karbun namaliz nahitaji chuo kizur cha hapa hapa dar mama nimechok kukaa mikoani kil siku. Usijal binti yangu ww tu kuleni harak twenden out tukainjoy pia na ww mama alinigeukia utapika leo chakula cha usiku kwa ajil ya ndugu zako sawa. Nilimuitikia mama kishing upande maan na mm nilitaman kutok lakin nafas sikupat. Mama mimi nataka kula tamb na nyam usik Happy aliropok. Sawa huyu kijakaz atakupikia walimaliz kula walitok mezan na kwenda kujiandaa ili waondok.
Nilitoa vyombo na kwend kuviosha jikon mama aliniletea not ya elf kumi. Shika hii pesa utanunua tambi hamna hum ndan nyama ipo kweny frij na upik vzur ss tunatok tutarud baadae. Sawa mama nilimjib huk nikiendelea kuosh vyomb. Roho ilinium san kuon nanyanyaswa wakt na mm nina haki kama watoto wengn. Nilichoka sana na kaz za mchana nilienda kujipumzisha. Nilikuj kushtuka saa mbil za usiku halaf sijapik wala kununua hiz tambi nilihs kuchanganyikiw niliinuk kitandani harak na kutoka seblen niliwash taa nyumba nzim kisha nikatoka nje harak kwenda kununua tambi. Nilifik dukan nilinunua na kurud nyumban nilishtuka nilivyokut gar la mama. Moyon nilijua nimekwisha hapa sijui nitajitetea vipi kuhusu hili. Niliingia ndan na kumkuta mama amekaa sebleni. Enhe ulikuw wap na chakula kiko wap mdogo wako anataka kula ili alale. Mama nisamehe bad sijapik nilipitiw na usingizi ndio nimeamk Sasa hiv . Hivi kwann wewe ni muhun San nilijua tu huwez kusom ngono ndio imejaa kichwan mwako yaan umeenda gest ndio unarud Sasa hivi Mama gesti ipi hiyo mm sijaenda gest Kelele mbwa ww huon hata aibu na namwambia baba yako malaya wa. Mama aliongea kwa saut hadi kina Mary walikuj sebleni . Mama vipi mbon kelele jaman usiku wote huu huyu kijakaz kafanya nn Tena dada Mary aliongea kwa dharau. Ametoka gesti Sasa hiv hapa nampigia simi baba yake aone ujing wa bint yak.
Kipindi mama anaongea hivy baba alikuw ameshapokea simu maan muda wot yupo online. Enhe ametoka gesti tangu lini Allin umeanza tabia mbay baba aliuliza. Nilishindwa kujib nilikabwa na hasira nilijikut nikilia tu. Sina radhi na ww Tena wewe sio bint yangu naomba urudi kwa huyo mbwa mwingn uliyekuwep nae hum gesti . Baba aliongea maneno mazito alikat simu kwa hasra. Haya baba yako amesem utoke mwanahizay ww. Mama aliniambia huku akicheka Mama nitaenda wapi usiku huu jaman. Kelele mbwa mama alinisogelea na kuanza kunipiga kama mbwa alinivuta hadi nje ya get. Alimwambia mlinz asinifungulie get kwan sihitajiki ten.
Episode 2
Niliondoka nyumbani na kwenda kwa rafk angu ambaye alifanya juu chini nisikose kazi …aliwasiliana huku na kule na hatimaye nikapata kazi za ndani katika jumba Moja Kali la kifahari, humo nilikutana na bi Afsa mtu mzima aliekuwa akifanya kazi pale na mm nilikua mfanyakazi mwenzake, bi Afsa alikuwa mcheshi mno alinipokea kwa shangwe na furaha nikajiskia nimepata mama mpya…nilikua mgeni lkn uchamgamfu wa bi Afsa ulinifanya niwe mwenye furaha na kujiamini bila wasiwasi wowote ,nilikaribishwa chakula na sote tukaemda mezani kula …Nilimaliza kula nilisafisha meza na kwenda kunawa mikon. Sikujiona mgeni tena maana Bi Afsa mama yang mpya alikuwa mcheshi sana. Sasa bint yangu Sasa hiv usiku utakuw unalala chumb cha huku chin kule juu ni kwa wenyew . Nilimuitikia bi Afsa aliend akanionyesh chumb chang cha kulala niliingia bafuni kuoga nilitok nikawaza sina nguo za kuvaa nilitok na taulo hadi sebleni ambapo nilmkut bi Afsa amekaa anaangalia tv. Kulikoni tena watoka na taul vipi. Mama sijaja na nguo hapa unavyoniona nilikuwa na dela tu. Sawa ngoja nikupe nguo ya kulalia kesho utaenda kununua nguo. Duuh Asante sana mama nilishukuru hat kabla ya kupew nguo. Nilivaa gaun nililopew nikaja sebleni kukaa kuangalia tv. Mara honi ya gari ilisikik nje ya geti . Mhh mbona sina taarifa za ujio wa bosi leo kafanya sapraizi Nini? Bi Afsa aliongea . Mimi moyon Niko na hamu ya kumuona huyo bosi mwenye jumba kubw kama lile. Mlinzi alifungua geti na gari aina ya Land cruiser iliingia ndan mm nilikuw mda wote nachungulia dirishan . Unachungulia dirishan nn hebu twende tukapokee mizigo . Bi Afsa ni mtu aliyezoea utani nilimsom ndani ya hayo masaa machache tuliyokuw wote. Sawa mama siwez kukuach ubebe peke yako. Tulitoka nje kuchukua mizigo alishuka kijana jaman kama sifa acha nimpe tu ni mzur nilibak nimeduwaa tu nikimuangalia. Shikamoo bibi nimefanya sapraizi leo kuja bila taarif nilitak nikufumanie mke Wang Kama una mchepuko. Kijana huyo aliongea Kama utani. Mchepuko tena mume na uzee si kutafuta kufa karib kijana wang za safar. Salama bibi nimechoka sana nahitaji kupumzika . Sawa hamna shida tutaongea kesho kijana. Yule kijana aliondoka na kuingia ndani alituacha mimi na bi Afsa. Ww vipi kushangaa huko usitake kuniambia umeshadata hapa . Hapana mama nidate wap mizigo ipo wapi nibebe nilimuuliz bi Afsa ipo kweny buti. Nilifungua buti na kutoa mizig niliingiz ndan na kuiwek sebleni. Bi Afsa alivyohakikisha nimetoa mizigo yote alifung buti ya gar na kuingia ndani. Enhe peleka mizigo hii ya mtoto wa bosi umewek sebleni tena hap. Chumba chake mi sikijui kipo wap? Pandisha ngaz utakiona kipo mwish kweny korido. Sawa mama nilinyanyua mizigo na kupeleka chumban kwa mtoto wa bosi. Nilibisha hodi lakini sikujibiwa kwa kuwa ulikuw wazi nilifungua na kuingiz mabegi ndan. Mtoto wa bosi alijua yupo peke yake ndan alitok bafun huku akiwa amejifunga taulo tu alishtuka alivyoniona. Enhe we binti vipi kuingia ndani bila ya ruhusa? Mtoto wa bosi aliniuliza Samahani nimeagizwa nikuletee mabegi yak nimekut mlang upo waz nimekuit hujaitik niliongea huku natetemeka. Kwahy ndio ukaamua kuingia bila hod nikikuit mwiz nakosea. Hapana naomba nisamehe sitarudia tena tafadhali. Nilipiga magot had chini. Sawa usirudie nisije nikakuona Tena humu ndani nitakupa adhabu. Sawa Asante mtoto wa bosi nilisimama haraka na kutoka nje. Ww mtoto wa bosi aliniita Abeeh niliitikia na kurud tena. Umeniitaj mm mtoto wa bosi jina lang naitwa Alvin na sio mtoto wa bosi unawez ukaend. Sawa kaka Alvin nilitoka hap breki chumbani kwang nilivut pumzi moja ndef. Nilipand kitandani na kulala akili yang ilikuw ikimuwaz Alvin. Mungu wangu mbona Kama nahs kumpend Alvin mhh hapana pepo shindw simpendi hata kidog nimekuj kufanya kaz hap. Nilijiongelea had nilipopitiw na usingizi.
Episode 3
Niliamka asubuh na mapema niliamka kufanya usafi nilifanya usafi nyumba nzim had bi Afsa anakuj kuamka saa mbili nilikuw nishamaliz kila kitu . Nilienda jikon kuandaa chai na kuweka mezan. Naona mwanang unajitahid na kaz honger Asante mama vipi kuna kaz nyingine iliyobaki nilimuuliz bi Afsa. Ndio sauti ya kiume ilijibu Mimi na bi Afsa tuligeuka na kumuangalia. Yaah kuna kaz ya kwend kunisafishia chumba chang kama sijakosea utakuw mfanyakazi mpya nn. Ndio Alvin jana sikukutambulish huyu anaitw Allin tutakuw nae hapa. Sawa ila bibi mfundishe tabia nzur huyu binti awe anabisha hodi akitaka kuingia kwenye chumba cha mwanaume. Bi Afsa aligeuka na kuniangalia hivi ni kweli anayosema Alvin. Hapana mama huyu ni muongo nilibisha hodi lakini sikujibiwa ndio nikaamua kuingia lakin nilimuomb msamaha hataki hata kunisameh. Adhabu yako ukafanye usaf ndani kwang. Alvin alienda kwenye meza ya chakula na kuanza kula. Unashangaa nini hebu nenda kafanye usafi chumbani kwa mtoto wa bosi halaf uje unywe chai . Sawa mama niliitikia na kwend chumbani kwa Alvin. Nilikusanya nguo maana zilikuw zipo hovyo nilitandika kitanda . Mara ghafla mlango ulifunguliwa aliingia Alvin. Bado tu hujamaliza mbona mi na mashaka na ww hivi sio mwiz kwel. Mimi sio mwiz nilikuj kufanya usafi chumban kwak ila kama hutatak sitaingia chumbani. Nilitok chumbani kwa Alvin nikaelekea jikoni kunyw chai. Nilikaa jikoni na kuanza kula bi Afsa alikuj jikon na kunikut nakula. Fanya harak kumbuk huna nguo nimemuomb Alvin uongozane nae yy anaelekea airport kumpokea mdogo wak kwahy mtapitia kununua nguo. Sawa mama ila hiz pesa zinatoka wapi had mnaniangaikia hivy. Niliongea jana na bos kuhusu ww kwahy nimepew kias cha fedha za kununua nguo utakatwa kwenye mshahara wako pia naomba uwe na heshima utajutia kuw humu ndan. Sawa bi Afsa nimekuelewa. Nilimaliza kunyw chai nilivaa dela lang maan nililifua jana usiku. Nilitok nje na kumkuta Alvin ananisubir. Kijana wang hakikisha ananunua nguo za kuvaa . Sawa bb ila mi sijapend kuongozan na huyu anaenda kunitia aibu tu huko. Alvin alinigeukia na kuniambia haya twende . Tuliondok had kariakoo kwenye maduk ya nguo. Chagua nguo nzur tunapitia airport kumchukua mdogo wangu atakushangaa sana ukivaa nguo za ajabu. Sikumjib kitu chochote tuliingia dukan na kununua nguo nilibadilish tukaondoka zet had uwanja wa ndege. Tulifik airport tulikaa kumsubir mdogo wak Alvin. Kwan mdogo wak anatokea wap? Nilimuuliz Alvin aliyekuw anachezea simu yake. Hivi ww binti mbona una kiherehere sana unauliz ili iweje kwa mfano kumbuk umefuatana na mm kwa ajili ya kununua nguo na sio mamb mengin kwahy kaa kimy. Sawa nimekuelewa nilimjib na kukaa kimy maan sio kwa kushushuliw huko. Baada ya muda alikuj kijan alifanana sana na Alvin sehem tuliyokaa alitusalimia na kumkumbatia Alvin kwa furaha moyon nikasem bila shak huyu ndio mgeni tulio kuwa tunamsubir. Vip bro habar za hapa kijan huy aliuliza Salama karibu nyumbani Dallan sio kwa kukumis huko. Asant na huyu ni nani ? Dallan aliniuliz. Huyu ni mfanyakazi wet mpya nilimpelek town kununua nguo nikaona si vibay tukaj wote kukupokea. Sawa kaka twenden . Tulibeba mizigo tuliingiz kweny gar na kuondoka.
Episode 4
Tulifika nyumbani tuliingiz mizigo ndani. Dallan alifurahi kumuona Bi Afsa walikumbatiana kwa furaha. Naona umekuw kijan mkubw sas Dallan vip mama mzim?. Ni mzim bibi anakusalim kasema atakuj mamb yake yakiw sawa. Sawa karb nyumbani nimeshawaandalia chakula . Asant bb napenda chakul chako Dallan na Alvin walienda kula chakula . Allin bi Afsa aliniita nilimuitikia na kuelekea jikon alipo. Bint yangu nend kafanye usaf chumbani kwa mgen. Sawa mama kipo wap sas hicho chumb. Ni kule kilipo chumb cha Alvin kinaangalian kafanye harak kabl hajamaliz kula nahs atahitaji kupumzika. Sawa mama niliitikia na kuelekea kwenye chumba cha Dallan. Niliingia na kukut vitu vyot vikiw vimefunikw ili kuzuia vumb nilitoa mashuka yote na kuanza kudek. Mara ghafla mlango ulifunguliwa aliingia Dallan. Oho MUNGU wangu umenishtua sana sijui nilijua nan Dallan aliongea. Ni mm usiogop nafanya usafi tu . Asante kwa kunifanyia usaf unaitwa nani bint? Dallan aliniuliz Naitwa Allin nilimjib huku nikiendelea kufut vumb madirish. Anh saw lete haya mashuk nikusaidie kutandik Allin. Dallan alichukua mashuka na kuanz kutandik. Hapana Dallan usifanye hivy nitafanya mm. Nilimpokony yale mashuka mikonon mwake. Kwanini unanipokony wakat nakusaidia . Hapana ww ni mtoto wa bosi na mm ni mfanyakazi tu hapa bi Afsa atakasirik endapo akikukut unafanya hivi. Hatafaham labda ww umwambie kuwa nimetandika ngoj kwanz Dallan alisogea mlangon na kuufunga mlang. Nilijikut nikishangaa enh vipi Tena kaka Dallan unafunga mlango. Nimefung ili nikusaidie kufanya usafi ili bibi asikuone sawa . Hahaha nilijikut nikicheka maan Dallan akili zak kam za mtoto pia ni mchesh kuliko mzee wa kunichamba kila muda. Unacheka nn ww ni binaadam bhan lazim usaidiwe hat kam ni mfanyakazi. Sawa niliitikia tuliendelea kufanya usafi wote kwa pamoj . Ghafla mlango uligongwa wot wawil tulishtuka. Dallan umesahau simu yako fungua mlango Alvin aliongea MUNGU wangu Alvin nilistuka niliwaza hap asije kutuhis vibay. Usiwaz kaka yangu nj muelew hawez kuhis vibay Dallan alienda kufungua mlango. Siku nyingine usisahau sim nilidhan umeacha hiyo tabia Alvin aliongea huku akiingia ndan. Alvin alishtuka alivyoniona ndan kwa Dallan. Ooh samahani kumbe nimewavurugia mamb yen Alvin aliongea kwa unyonge na kutoka njee .
Episode 5
Alvin nilimuit huku nikimfuata kwa nyuma. Alisimama na kugeuka aliniangalia uson. Unasemaje ww unataka kunidanganya nn wakat mlijifungia mlang na Dallan. Hatujafany kitu kibaya chochot na Dallan tulikuw tunafanya usaf tu. Hahaha Alvin alicheka kwa kujilazimish nani mtoto unayemuon hapa honger zen si muoane tu . Kaka inatosha jaman mbona umekasirk gafla tu baada ya kuniona na Allin tulikuw tunafanya usaf nilifung mlang ili bibi asij akamgombeza narudia hatujafany kitu. Dallan aliongea kwa msisitizo. Siwez kukasirik kwa ujing Kama huu au unazan nawez kukupenda Allin sahau hilo. Alvin aliondoka na kutuacha mm na Dallan tukiw tumesimama. Usijal kaka yangu ni mtu wa hasir pia naomba unisameh nimekusababishia matatizo . Dallan aliingia chumbani kwake na kujifungia mlango. Nilishuk ngaz na kuelekea jikon nilimkut Bi Afsa akiandaa chakula cha usiku. Nilikaa chin kimy nikimuwaz Alvin jins alivyokasirika na maneno aliyonitamkia. Vip bint mbona Kama haupo sawa umepoa bi Afsa aliniuliza. Anh mama Niko sawa tu nimesafisha chumb cha kaka Dallan kilikuw na vumb hatar mafua yamenipat kwahy kichw kinanium. Duuh pole nend kanywe dawa kish upumzike saw. Sawa mama niliinuk na kwenda chumbani kulala. Nilikuw na mawazo hatar juu ya mambo yaliyotokea MUNGU Wang nimekorofish ndugu naogopa kufukuzwa kaz nitaenda kuish wapi mm. Muda wa kula ulifik niliamk kuandaa chakul mezan . Watu wote walikuj mezan kasor Alvin peke yake. Enhe kijana Wang mkubw yupo wap mbona simuoni hap? Bi Afsa aliuliza Yupo chumbani kwake nulimuit aje kula kasema anaumw hajisikii kula Enhe makubwa haya mmemfanya nn Alvin sio kawaida yak kukataa kul. Bibi Mimi sielew mtu akigom kula kashib hebu ss tule akijihis njaa atakuj kula Dallan aliongea. Kama amesema anaumw itakuw kwel kashindw kuja hat kula ngoj nimpelekee chakul nilidakia. Unamwangaikia mtu mzima anayejielew huo ni upuuz bhana muach akihis njaa atakuj kul kashib huyo Dallan aliongea kwa hasir. Sikutaka kusikiliz maneno ya Dallan Nilinyanyuk mezan nilichukua chakul na kumpeleka Alvin Niligonga mlango Alvin alikuj kifungua alishangaa kuniona mlangon . Unataka nini ww binti Alvin aliniuliz Nimekuletea chakula kumbuka usipokul utapat vidonda vya tumbo. Unaonyesh kunijal Kama ww ni mke Wang au mama yangu kulikon toka na chakula chak. Lakini kaka Alvin sio vizuri shika chakula ule. Alvin aliniangalia kwa hasir alinivutia chumbani kwake na kufunga mlango.
INAENDELEA

