UKINIPA SISEMI
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 16
Kwa kweli yale Maneno ambayo aliongea Mama yangu yalinichanganya sana. Mapigo ya Moyo wangu yalianza kwenda Mbio huku nikihisi moyo ukiwa umewaka moto kabsa. Mama hata siku Moja hakuwahi kuniambia kama baba yangu aliuawa na Masanja. Kila nilipokuwa namuuliza kuhusu kifo cha baba yangu maana inavyosemekana alikufa nikiwa mtoto sana alikuwa ananiambia tu aliugua ghafla na kufa. Leo Hii Kuniambia kuwa Mchungaji Masanja ambaye ni Mnyama wa kutisha kuwa amemuua baba yangu kulianza kuniogopesha huenda kuna kitu kibaya tena kinatokea. Pamoja na Kuambiwa kuwa Mchungaji Masanja ndio alimuua Baba yangu Moyo wangu haukuwa na hasira kabsa kuwaza kulipiza kisasi maana kwa nilivyosimuliwa na Sister Magreth yule Mtu alikuwa ni Hatari. Kitu ambacho kilikuwa kinanipa preussure ni Namna gani nitaweza kumwambia Klinita tuachane wakati Shuleni alisha acha Shule kwa ajili yangu Hivyo lazima tu Baba yake ameshasikia kuwa mimi nimemtorosha.
Maana wakati Tunaondoka pale Shuleni Sister Magreth aliambiwa na Klinita kuwa akawaambia Wasihangaike kumtafuta ameondoka na mimi. Kitu ambacho niliamua kwa Muda ule ni Kumueleza mama yangu mambo yote kuhusu hata ya Sister Magreth ingawa sister alinizuia. Niliona haina Maana kumficha tena Mama yangu ni Kumwambia tu ukweli ili aweze kutambua maana alikuwa anajua tayari kama Mchungaji hakuwa mtu Mzuri. Maelezo ambayo nilimpa Mama yangu kwa kweli yalimfanya kubaki akiwa amenikodolea macho hakuamini kabsa. “Kweli Kabsa Mwanangu Mimi nikiwa mtoto kuna tukio la Mauaji ya Kinyama sana yaliweza kutokea na Waliuawa Familia nzima na kwa kweli siwezi kusahau maana wale watu walikuwa majirani zangu. Huwezi Amini hadi Mzee Sultani ambaye alikuwa mzee asiyekuwa na ugomvi na mtu aliuawa. Sasa nazani Utakuwa unaamini kuwa tupo kwenye Wakati mbaya Muhimu mrudishe Klinita kwao haraka”Aliongea Mama yangu huku akionekana dhahiri aliogopa sana. “Mama Sawa nimekuelewa ila tunatakiwa kutumia akili ya kuzaliwa sana ili Klinita asiweze kutuelewa lengo letu. Maana hata huyo Sister Ameniambia Klinita asijue kitu chochote na huwezi amini mama Sister Magreth na Klinita ni mtu na Mdogo wake na Sister Hakuwahi kumwambia Klinita hata siku moja”Nilimwambia Mama yangu. Tuliongea Mambo Mengi na mama yangu huku tukipanga kabsa kuhama pale maana nilijua kama Masanja atajua tulipo basi kizaa zaa kitakachotokea kitakuwa siyo cha kawaida. Ingawa nilishafahamu kabsa kama Masanja ndio Kahusika ni kifo cha baba yangu moyoni mimi sikuwa na kisasi kabsa cha kusema nilipize kisasi. Maana niliona hata baba yangu kifo kakitaka mwenyewe kwa kumsaliti mama yangu kuanza michepuko ndicho alichoambulia. Baada ya kumaliza kila kitu kuongea na mama yangu nilitoka chumbani na kuelekea sebureni ambako klinita alikuwepo. Nilipofika Sebureni nilikuta Klinita anaongea na simu. Neno sawa baba ambalo alisema Klinita huku akiwa anatabasamu ndio lilifanya moyo wangu kulipuka paa na kubaki nikiwa nimedua. Wakati nikiwa nashangaa Klinita alikuwa anaongea na nani Klinita alishamaliza kuongea na simu na kunikimbilia kwa Furaha na kuja kunikumbatia. “Huwezi Amini Sam baba yangu hana shida kabsa. Yeye amesema amekubali wewe unioe maana aliniweka pale shuleni ili nikue na tabia yangu iwe nzuri. Tena amesema yeye hana shida kabsa tukae hapa na wewe wala hana mpango na sisi na muda ukifika nitakupeleka kwetu akufahamu na mambo ya Harusi yatafuata. Yani baba kanifurahisha sana baba yangu hana shida na alikuwa na hamu huenda kuona napata mume maana kila siku alikuwa anasema uangalia wahuni wahuni wasikuharibu mwanangu”Aliongea Klinita huku akiwa ananitingisha kwa Furaha. “Klinita angalia baba yako asiwe kuwa amechukia na huu ukawa ndio Mtego wa kunitafuta na kunifanyia mambo mabaya mimi sipendi bora urudi nyumbani kwenu kwanza” Nilimwambia Klinita kwani sikuwa na imani kabsa na Maneno ambayo aliongea. “Baba yangu siyo mbaya wewe kama wewe unavyozani. Wewe Kama utakuwa na wasiwasi sawa nitarudi kwetu ili ufanye utaratibu mzuri wa kunioa mimi sina shida na wewe kabsa”Aliniambia Klinita Maneno ambayo yalinifurahisha maana niliona sasa huo ndio utakuwa Muda sahihi wa kuhama na sisi ili kama hata mzee Masanja akigundua Sehemu ambayo tulikuwa tunakaa asitukute. Kesho yake kweli Klinita nilimsindikiza hadi kwenye Gari na kupanda kuondoka huku tayari alikuwa ameniachia Simu kwa ajili ya Mawasiliano. Baada ya Klinita Kuondoka hata Sisi hatukuwa na Muda wa kuendelea kukaa ndala Zaidi ya kuhama. Hatukuwa na vitu Vingi ndani zaidi ya kitanda cha kamba na Mkeka ambacho alikuwa analalia mama yangu pamoja na kitanda na Godoro ambalo tulileta na klinita. Ambacho nilikifanya kitanda kile niliuza na vyomba vichache tulifunga na kwenda hadi kituo cha Gari tukapanda na kuondoka ndala kumkimbia mchungaji Masanja.
Kwa kweli Sikutaka kabsa Mchungaji Masanja kujua hata sehemu ambayo ningekuwepo. Nilipanga kwenda Nzega Mjini kabsa ambako kuna changanyikeni ya watu huku ningepambana tu na maiasha. Mfukoni bado nilikuwa na laki mbili ambazo nilipewa na Klinita hizo zingetosha kutafuta chumba na kujihifadhi. Pia nilikuwa namtegemea Klinita kama Msaada mkubwa kwangu hususani Ugumu wa maisha yeyote ambao Ungenipata. Kutoka Ndala tulitumia Muda wa saa nne tu tulishafika Nzega Mjini. Huko Nzega sikupata Shida ya kutafuta chumba kwani niliangalia kiboa cha Madalali nikapiga na kumtafuta ambae nilipata chumba cha kulipa elfu ishirini kwa Mwezi. Hivyo nililipia miezi sita laki na Ishirini kisha elfu Themanini nilibaki noyo mfukoni kwa ajili ya matumizi ya hapa na pale. Nzega Mjini maisha na mama yangu yalizidi kusonga huku tayari nilikuwa najihusisha na mimi na biashara ndogo ndogo kama kuuza matunda lengo tu pesa ambayo nilibaki nayo izalishe tusije kuishiwa. Hadi nilimaliza
Muda wa Mwezi Mmoja nilikuwa sijawasiliana Kabsa na Klinita maana laini ya simu ambayo aliweka mimi sikutaka kuitumia ili kuepusha usumbufu nilisajili nyingine. Mwezi Mmoja na nusu uliisha maisha yalikuwa yanaenda tu Vizuri. Kwa kweli Nilitokea Kumkumbuka Sana Klinita pamoja na Sister Magreth. Nilitamani kwenda kwa Sister ili aweze kunimalizia ile story yangu maana nilikuwa na hamu sana ya kujua kitu gani alitaka kufanya. Pia nilitaka kwenda kumshawishi Sister kuachana na mpango wa kutaka kulipiza Kisasi ili aweze kuishi maisha ya kawaida tu mambo ambayo yalipita ache na kukabidhi Mungu. Ambacho niliamua kabla ya kwenda kwa sister ni kuwasiliana na Klinita kwanza alafu ndio nitaenda kwa sister. Siku hiyo Jioni baada ya kutoka kwenye Mahangaiko yangu Niliweka laini ambayo klinita alinipa. Nilikuta kuna sms nyingi sana za kulalamika ambazo alituma Klinita. Nilipompigia simu nilimwambia kama tulishahama hasa aliponiambia kuwa alikuja hadi ndala na kuambiwa kuwa tumehamaga. Alipotaka nimwambie sehemu ambayo tupo sikutaka kabsa zaidi nilimwambia atajua tu. Klinita kwa kweli yeye alifurahi tu kuongea na mimi kisha akaniambia kuna kitu anataka kunipa kama zawadi. Tulikubaliana kesho tuonane kwa Sister Magreth maana naenda kumsalimia. Klinita nilimwambia mimi nitaenda saa saba kule hivyo yeye akija saa saba na nusu mchana atanikuta. Lakini mimi kwa kuwa nilikuwa na mambo mengi ya kuongea na Sister niliamua saa mbili asubuh niwe pale. Kesho yake Saa mbili kweli nilishafika shuleni maana zega niliondoka saa kumi na moja asubuh. Bahati mbaya nilipoenda kwa sister sikumkuta hata nilipouliza niliambiwa kuwa amesafiri kwa muda. Nilipoona sister hayupo ilibidi nimtafute tu klinita tuonane ili niwahi kurudi kwenye mahangaiko yangu. Klinita kwa kuwa hakuwa mbali sana na mazingira ya shuleni nilimtafuta na tulionana. Mambo mengi sana klinita aliniambia kuwa baba yake anahitaji anione na yupo tayari nimuoe. “Pamoja na Hayo Sam najua fika kuwa Sehemu ambayo mpo mtakuwa Mnaishi kwenye nyumba ya kupanga na mazingira yenu yatakuwa Magumu sana. Nilishakwambia kuwa baba yangu anapesa nyingi sana hivyo tushindwe sisi tu kuzitumia. Sasa shika hii hapa ATM nimekufungulia acount bank na nimeweka pesa ambazo zitakusaidia kuanza kujenga nyumba ambayo mtaanza kuishi na mimi nikija huko nafikia. Baba kanipa pesa nyingi sana kwa ajili ya kufungua biashara yangu ambayo naipenda hivyo nimeona zingine nikupe wewe ujenge my”Aliongea Klinita maneno ambayo yalinifanya nibaki nikiwa nashangaa tu. Kwa kweli sikuamini maneno ambayo alikuwa anaongea klinita. Hata wakati nikiwa napokea ile atm hadi mikono yangu ilikuwa inatetemeka. “Usiogope Bhana nilishakwambia wewe ni kila kitu kwangu. Nimekuweka milioni kumi bank Sam naomba utazitumia kwa ujenzi wangu”Aliongea pia Klinita maneno ambayo yalifanya moyo wangu kushituka. Muda ule moyo wangu ulianza kumpenda zaidi Klinita na kuamini ni Mwanamke ambaye anamalengo mazuri. Wazo la baba yake kuonana na mimi nilimwambia anipe siku. Pia nilimwambia tu ukweli kuwa mimi sasa hivi sitaki ajue nakaa wapi maana ataanza kunisumbua aje. Nilizidi kumwambia kuwa nataka nijenge kama yeye anavyotaka nyumba ikikamilika basi atakuja kupafahamu kama surprise kwake. Siku hiyo hata aikurudi mapema nzega kama nilivyopanga zaidi tulitafuta sehemu tuliongea mambo mengi sana na klinita hadi muda wa saa Nane ndio tuliangana na mimi niliondoka kurudi nzega. Wakati nikiwa naondoka nilihakikisha kabsa Klinita hajajua napanda Magari ya kuelekea wapi maana nilichukua boda boda ambayo ilinitoa mbali kabsa na sehemu ambayo alikuwepo Klinita
Wakati nikiwa njiani Kurudi Nzega Kwa kweli nilikuwa na Furaha isiyokuwa na maelezo kabsa, bado nilikuwa siamini kama kweli Klinita alinipa Atm ambaye kwenye bank nilikuwa na Milioni kumi za kujengea Nyumba. Kwa kipindi kile Nzega haikuwa kubwa Sana Hivyo Nilijua nitapata kiwanja cha laki tano na nitajenga nyumba nzuri tu kupitia ile pesa. Kwa kweli Moyoni nilijikuta nampenda Sana Klinita kupita Maelezo. Nzega Mjini nilifika Muda wa saa Kumi hivi na Moja kwa moja Nilinyoosha Bank. Huko Nilitaka kwenda kuhakikisha ni kweli kuna zile Pesa au Klinita alikuwa ananizingua tu. Kuangalia Salio niliona huenda ikawa hazipo na nikiaona kama Zipo, amacho nilifanya nilijaza fomu kabsa ya kuchukulia Pesa na kwenda kupanga fole nihudumiwe. Nilipo nilihudumiwa na nilipewa pesa kama nilivyoandika mimi. Bado sikuamini kama pesa zitakuwepo kama zile ambazo Klinita alikuwa ameniambia Hivyo niliamua kumuuliza Muhudumu wa bank aniambie salio langu limebaki kiasi gani. Muhudumu alipoangalia aliniambia zimebaki milioni tisa na laki nane. Moyo wangu ulisisimka kwa Furaha maana nilichukua laki mbili hivyo hesabu ilikuwa sahihi kabsa kama Klinita alivyoniambia. Kwa Furaha ambayo nilikuwa nayo hata Nyumbani kwenda niliona mbali sana kwani Nilitamani Hadi kuruka nifike haraka ili nimwelezee Mama. Kutoka pale Bank hadi Nyumbani haikuwa bali na ilikuwa mwendo wa kutembea kwa Miguu tu. Ila kwa Jinsi pesa ilivyokuwa Mwanaharamu ilinipa kiburi na kukodi Tax ambayo ilinipeleka nyumbani. Hata Tax ilipofika nyumbani na mama yangu kuniona nikishuka kwa kweli alishangaa sana. “Mwanangu hii
pesa ambayo umepanda tax na kukuleta hapa ungenipa hata mimi mama yako niongeze ninunue khanga si ingekuwa vizuri. Maisha ya wewe kuletwa na Tax Mwanangu bado na sijui kama utakuja kuyafikia. Wakati baba yako akiwa mzima kidogo alikaribia kuyafikia ila tamaa zake za kutafuta mwanamke mwingine ndio zilimponza”Yalikuwa ni Maneno ambayo alikuwa anaongea mama yangu kwa huruma tax ilivyoondoka. “Mama Usiwe na wasi wasi wewe si unataka pesa ya kununua khanga tu, basi mimi nakupa pesa ya kwenda kununua vitenge tena vya bei ya juu”Nilimwambia mama yangu nakupeleka Mkono mfukoni nikatoa laki mbili na kumpa mama mia hamsini faster na Mimi nilibaki na hamsini. Mama yangu wakati nampa zile pesa hadi alikuwa anatetemeka na hakuamini. “Mwanangu hizi pesa umetolea wapi mbona unaniogopesha mwenzako”Aliongea mama yangu baada ya kupokea zile Pesa huku akiwa anageuka nyuma utafikili alikuwa ameiba au nilikuwa nampa kitu cha wizi mbele ya watu kwa siri. “Mama usiwe na wasiwasi sasa kuteseka kote kule mungu ameshajibu. Kweli leo nimeamini maneno ya watu na wazee wetu wa zamani kama kufanikiwa siyo mpaka usome tu baliMungu akiamua kukupa anakupa tu. Mama leo nilikuwa nimeenda kule kwa Sister Magreth ili animalizie story basi nilimkosa. Sasa wakati narudi nikaona siyo vizuri nimtafute rafiki yangu Klinita nimpe Taarifa angalau tusalimieane. Nilipomtafuta si alikuja, huwezi amini alinipa kadi ya bank na kuniambia kuna pesa ameniwekea natakiwa nijenge tusikae kwenye nyumba za kupanga na huwezi amini mama kaniwekea milioni kumi”Nilimwambia Mama yangu huku furaha ilikuwa inaongezeka kila nilipokuwa nataja ile pesa. Kwa kweli mama yangu hakuamini yale maneno ambayo nilikuwa nimemwambia na alibaki kusema tu asante Mungu. Nilichofanya nilimpa mama Atm ya bank ili aamini. “Huyu Kweli anakupenda Mwanangu lakini baba yake hatari. Ila kuwa Makini tu Mwanangu na mimi nimekubali lolote litokee ila wewe muoe huyu binti. Ila wakati wa ndoa mimi sitakuwepo na utasema Mama yangu aliniacha nikiwa mdogo kwa bibi yangu nababa yako amekufa”Aliongea mama yangu. Maneno ya mama yangu niliyaunga mkono na siku hiyo tuliongea mambo mengi. Siku mbili tayari tulishapata kiwanja kikubwa tu na Ujenzi ulishaanza maana pesa ilikuwepo kila kitu kilikuwa kinaenda kipesa huku mimi na mama yangu tulikuwa kama Wasimamizi Wakuu. Ujenzi uliendelea na Baada ya Miezi Miwili Nyumba nzuri ya kisasa tulishaimaliza na Bank tulibakiwa na milioni mbili maaana Klinita na yeye aliongeza tena milioni tano hivyo Jumla tulitumia kujenga kama milioni kumi na mbili na laki tano na Nyumba ilikuwa ya ukweli sana kutokana na zamani vitu havikuwa Ghali sana. Nyumba ilipomalizika tulihamia na pale nzega tulifahamika sana maana ilionekana ni watu wenye pesa zetu. Mabinti wazuri walianza kujipitisha kwangu kuona huenda wangeambulia kitu lakini mimi sikuwa na mzuka nao. Sikuwa na Mzuka kwa sababu tatu, sababu yakwanza mimi nililelewa kidini kutoka utotoni tena dini mbili yani uislamu na ukristo na Dini zote nilikuwa nazifuata na hayo mambo yalikuwa yanapigwa. Sababu ya pili nilikuwa na binti Mzuri sana ambaye pamoja na uzuri wake pia alinifanyia msaada mkubwa sana na ilikuwa haipaswi kumsaliti. Sababu ya tatu na ya mwisho nilikuwa nawaogopa wanawake maana dunia ilishaharibika. Tulipohamia nyumbani kwetu ilibidi kushauliana na mama yangu pesa ambayo tulibakisha bank tulitoa na Kufungua duka na vitu mbalimbali na kuanza kuuza. Maisha kwa kweli yalitunyokea na Mama yangu ndio alikuwa kila kitu kwangu. Miezi sita ilikatika bado Klinita alikuwa hapajui sehemu ambayo tulikuwa tumejenga lakini yeye hakuwa na shida kabsa na nilimwambia ipo siku atapafahamu tu. Pia hadi muda ule nilikuwa sijaonana kabsa na Sister Magreth. Kwa kuwa Mambo yangu yalikuwa yameenda vizuri nilipanga kwenda kumtembelea sister Magreth na kwenda kumuelezea mambo ambayo Klinita kanifanyia pia Mambo ambayo mama yangu alinieleza juu ya kifo cha baba yangu. Pia nilitaka kwenda kumshawishi kabsa Sister Magreth amsamehe Mchungaji Masanja pia aache kufanya dhambi kwenye ile shule. Nilipanga kwenda kumshauri vitu viwili ambavyo chakwanza awe sister kabsa wa ukweli aachane na visasi na atubu kwa mora wake. Hicho cha kuwa sister wa ukweli angeshindwa nilipanga kumwambia aachane na hiyo kazi na aje kwetu tuanze kuishi naye na afanye vitu vingine vya Msingi. Kesho yake kama kawaida niliamka asubuhi sana nilijiandaa kisha nilimwaga mama yangu na Safari kuelekea kwa Sister Magreth ilianza. Saa mbili kama kawaida yangu nilishafika kwa sister. Siku hiyo nilifanikiwa kumkuta sister ingawa alikuwa anajiandaa anataka kwenda shuleni. Aliponiona Sister Magreth alifurahi sana na kusitisha kabsa kwenda kazini. “Unamoyo Mgumu sana kijana mwaka sasa upo tu kimya bila hata kuniona. Au ndio umeamua kunihukumu kwa kile ambacho nilikufanyia hapa seminary. Usiwe hivyo
Sehemu Ya 17
Bwana mimi sikupenda kabsa uwe Padri maana baba yako alikuwa shekhe Mzuri tu”Aliambia sister Magreth na kuanza kucheka. “Hapana Sister Majukumu tu ya kikazi ndugu yangu maisha magumu. Pia kuna siku nilikuja sikukukuta”Nilimwambia Sister huku nikiwa nakaa kwenye sofa. Baada ya kusalimiani nilimwelezea kwa ufupi Sister Magreth maisha yangu yalivyofikia na jinsi Klinita alivyonisaidia. Pia nilimwelezea hata kifo cha baba yangu kilivyotokea na tayari mimi nimesamehe. Nilimsihi pia mambo yale mawili kama nilivyopanga maana muda ule alikuwa kama dada yangu. “Sam nashukuru sana kwa kuniambia hivyo ila hata moyo wangu ulikuwa unanishawishi kufanya hivyo ila nashindwa. Mambo ambayo alinifanyia Baba yangu yakinyama zaidi. Pia nitawezaje kuacha hii Kazi pia Nimezoea Mchezo wangu Wa UKINIPA SISEMI alafu naomba unipe na UKINIPA SISEMI. Ok nitajitaidi kufikilia juu ya hili na ndani ya wiki hii nitakupa jibu. Pia Klinita alinieleza mambo yote ambayo amekufanyia na mimi ndio nilikuwa namsisitiza akufanyie hivyo maana ndio shem wangu wa ukweli”Aliongea Sister Magreth huku akitabasamu. Maneno ya Sister Magreth kusema atafikilia kuachana na kisasi pamoja na kuendelea kufanya dhambi pale yalinipa amani sana. Baada ya story ndefu nikamwambia aendelee kunisimulia maana bado nilikuwa na hamu sana ya kujua vitu ambavyo alivipitia kwenye maisha yake. “Sam Bwana hivi vitu nikikusimulia moyo unaniuma sana na nitalipiza kisasi bure wakati unanishauri niache. Ila kwa kuwa unataka kujua yaliyomkuta dada yako ingawa alikupa hukusema ngoja nimkwambie. Unakumbuka niliishia pale ambapo silichomwa ile sindano na yule mzee na kupoteza fahamu”Aliongea Sister Magreth na kuniuliza swali. Mimi nilimjibu nakumbuka sana na siwezi kusahau na kweli kwa stori ile ilikuwa vigumu kusahau na Vigumu kuamini kama kuna binadamu walikuwa wanafanya unyama kama Huo. Baada ya Kumwambia Sister kuwa Nakumbuka ndio aliendelea kunisimulia. “Baada ya kuchomwa ile Sindanona kupoteza Fahamu nilikuja kushitu nikiwa nipo sehemu ambayo ilikuwa ngeni sana kwangu. Cha ajabu niliposhituka kitu cha kwanza kukumbuka ilikuwa kipindi ambacho nilichomwa ile Sindano. Sasa nilishindwa kuelewa imekuaje mbona baba yangu aliniambia nikichomwa ile sindano kumbukumbu zote zitapotea. Nilipochunguza vizuri kwenye kile chumba ambacho nilikuwepo niligundua ni Hospital tena chumba tu kilikuwa kinaonyesha kuwa hospitali yenye hadhi ya juu sana. Wakati nikiwa nashangaa nilikuwa nipo Wapi Mlango wa chumba ambacho nilikuwepo ulifunguliwa. Mlango ulipofunguliwa waliingia watu wawili katika wale watu wawili mmoja nilikuwa namfahamu maana alikuwa ni yule mama ambaye baba yangu aliniambia ananiuza kwake nikafanye biashara ya ngono huku nikiwa sijielewi. “Dactari Asante sana Naona Fahamu zake zimerudi maana anashangaa sana sasa hii Siku nilikuwa naisubilia kwa muda Mrefu sana Masanja hana bahati kwa unyama aliyomfanyia huyu binti amekwisha”Aliongea yule Mama lugha ambayo ilikuwa Ngeni kwangu ila kitu ambacho hata mimi kilinishangaza ile lugha nilielewa anaongea nini wakati sikujua ilikuwa lugha gani. “Mama naomba unisaidie Usinifanyie Unyama wowote maana mimi hakuna kosa baya ambalo nimemfanyia baba yangu. Baba yangu kamuua mama yangu na ndugu wengine kibao bila hatia naomba usinipeleke kwenye zile biashara na kuniuza ili nifanye ngono”Nilimwambia yule mama huku machozi yakiwa yananitoka kabsa. Wakati nikiwa nalia nilihisi kama kichwa changu kizito hivi. Ilibidi nipeleke Mikono kichwani mwangu kuangalia nini kipo ambacho kimenifanya nionekane hivi. Nilipopeleka Mkono wangu kwa kweli nilibaki nikiwa nashangaa nilipoona kichwani kwangu nilikuwa na nywele ndefu sana na zimelazwa vizuri tofauti na mwanzo. Ile hali ilinishitua kidogo na kubidi nizidi kujichunguza. Nilipozidi kujichunguza ndio nilizidi kupata vitu tofauti kwenye mwili wangu. Kwanza nilijiona kama nimekua zaidi huku ngozi yangu ilikuwa imezidi weupe na nilikuwa nimenenepa sana. Muundo wa mikono yangu na miguu tu ilinifanya kubaini kama huu kama siyo mwili wangu. Ilibidi niamke pale kitandani mwenyewe na nilipoamka nilijishangaa kujiona nikiwa mrefu zaidi huku umbo langu la mwili likiwa kubwa tofauti na Mwanzo. Ile hali kwa kweli ilizidi kunichanganya na kubidi kusogelea kioo ambacho kilikuwepo pale nijiangalie vizuri. Wakati nafanya yale mambo yule mama na Dactari walikuwa wananiangalia tu huku wakionekana kufurahishwa na lile tukio. Niliposogelea kile kioo ndio nilizidi kushangaa maana nilijikuta nikiwa na umbo zuri na kubwa huku sura yangu ikiwa nyeupe na nzuri hadi nilijiogopa. Sawa sura yangu ya zamani ilikuwepo ila ilikuwa kwa umbali sana hata mtu angeniona ilikuwa vigumu kunifahamu labda anifananishe tu.
Kwa kweli kile kitendo cha kukuta nimebadilika kwa kiasi kikubwa kwenye mwili wangu kilizidi kuniogopesha maana nilichokuwa nakumbuka kabla ya kuchomwa ile Sindano mimi sikuwa vile. Yani nilikuwa na sura nzuri sana Sam kuliko hii ambayo unaniona nayo hapa. Nilirudia tena Kujiangalia kwenye kioo ndio niliona kama naongezeka kuwa mzuri hata mimi nilijipenda kwa kweli ingawa bado nilikuwa na woga na sikujua imekuaje nikawa hivi. Muda ule nilikuwa na makalio mazuri sana ambayo yalifanya shape yangu ya mwili kuonekana huku kifuani matiti yangu yalikuwa makubwa tofauti na mwanzo huku nikiwa na ngozi mororo mwili mzima. “Magreth huna haja ya kujishangaa sana na pia naomba unisamehe kwa hayo yaliyokukuta. Mimi hupaswi kunipa sana lawama bali hii lawama mpe baba yako. Nazani unashangaa Mwili wako jinsi ulivyo ila unatakiwa tu kujua kuwa Huo ndio Mwili wako halisi sema kuna mafuta mengine ya kipodozi ambayo ulikuwa unayatumia ndio yamekufanya kuwa mrembo zaidi. Kiufupi mimi baba yako aliniuzia wewe na Baada ya kuchomwa sindano muda wa nusu saa ulizinduka lakini ulikuwa hujielewi kabsa na ulikuwa unaonekana kama Mgonjwa wa akili. Baada ya kuonekana vile ilibidi sisi tukulete huku Brazil kama lengo la kuja kukutibu maana baba yako ndio alihusika kwa vyote hadi kutafuta pasport yako ya kusafiri hadi huku Brazil. Ulipofika hapa Tulikuanziashia Dawa ya kukutibu na ambayo ukipona akili yako itabadilika na kuwa nyingine kabsa. Ulitumia Dawa ile kwa muda wa miezi miwili tayari ulipona kabisa na ukawa binti unayejitambua ila hukuwa na kumbukumbu kabsa za nyuma. Ulipopona sasa ndio nilikushawishi ukajiunga na club yangu ya RIZWAY Ambayo nyie mlikuwa wahudumu wakubwa na nilikuwa nawauza. Nimeomba msamaha kwa kuwa huu ni Mwaka wa nane Tangu uanze kufanya hiyo biashara na umefanya mapenzi na zaidi ya Wanaume mia moja na Hamsini. Najua utakuwa na Maswali Mengi ya kutaka kujua imekuaje sasa umelejewa na fahamu zako. Ili kujua unatakiwa ukubali kunisamehe kwanza ndipo nitakuelezea kila kitu na nitakupa nafasi kwangu kuwa kama mama yako na nitakusaidia kwa kiasi kikubwa kulipiza kisasi kwa baba yako”Yalikuwa ni Maneno ya yule mama Mzungu akiongea ambayo yalinifanya hadi machozi yalianza kunitoka. Sam hakuna siku ambayo niliumia kwenye maisha yangu kama kusikia kuwa nilikuwa na miaka nane naishi bila kujitambua uhalisia wangu na nilifanya mapenzi na wanaume zaidi ya mia moja hamsini. Kwa hasira ambazo zilinipata nilijikuta hadi machozi yalianianza kunitoka. Hapo moja kwa Moja niliamini kama nitakuwa nimefanya mapenzi na watu wote wale tayari mimi ni sawa na shetani kwa mungu na tayari nitakuwa na Ukimwi. Ambacho nilimwambia yule mama ni kwamba nitamsamehe vipi wakati tayari ameshaniua. “Magreth biashara hii ambayo tunafanya hadi tunalipa kodi kwenye serikali na wanalitambua hili. Pia wewe huna Magonjwa yeyote na kila Mwanaume ambayo ulikuwa unalala naye alikuwa anapimwa kwanza ndio unalala naye hivyo ndio huwa tunafanya na siyo kwako tu hata kwa wenzako wote ninao wauza niliwafanya hivyo”Alinijibu tena yule mama. Huwezi kuamini muda wote huu yule mama alikuwa anaongea kwa lugha ngeni sana kwangu ila nilikuwa namsikia na nilikuwa namjibu vizuri tu ingawa wakati namjibu mimi nilikuwa namjibu kwa kiswahili. Baada ya maelezo yale ya mama yule sikuwa na jinsi zaidi ya kukubaliana na hali halisi maana hata ningekataa ningeenda wapi brazil yenyewe nilikuwa naisikia kwa sauti na kuiona kwenye ramani. Nilimwambia kuwa nimemsamehe na aniambia kitu gani kimemfanya akanirudisha kwenye ufahamu wangu na alikuwa anataka nimfanyie kitu gani. “Unajua Mimi baba yako nilikuwa simwamini sana na hata kitendo cha kukubaka wewe wakati ni mtoto wake iliniuma sana. Ile
Siku mimi nilileta ile sumu ambayo ukichomwa huwa ina asiri ubongo taratibu na ukipewa dawa basi jeraha nalo huwa linapona taratibu na mwenyewe mtu hupona kabsa. Hivyo ile siku mimi nilileta sindano ya ambayo isingekufanya akili yako kuathirika moja kwa moja bali ungetibiwa na Madactari Bingwa ungepona. Sasa kilichonifanya mimi nikutibu na urudiwe na Fahamu ni wewe kwenda kulipiza kisasi tu na sina kingine. Kwa kuwa baba yako amenisaliti na kunidhurumu pesa nyingi basi nami nataka nimsaliti na tayari nimemsaliti umepona hivyo kalipize kisasi. Baba yako alikuwa mfanya biashara mwenzangu na tulikuwa tunatumia Mgongo wa kanisani kufanya biashara za Haramu lakini kanizurumu ndio maana nataka na mimi nimuonyeshe kama nina akili kuliko yeye. Ambacho Nataka mimi nitakusomesha na kupata kazi yeyote unayotaka ambayo unahisi itakusaidia kulipiza kisasi” “Huwezi Amini Sam yale maneno ya mama yule kwa kweli yalinipa furaha ya aina yake kwani hakuna kitu ambacho nilikuwa nahitaji kama kulipiza kisasi. Kifo cha Mama yangu huku nikiwa naona kisha baba aliyenizaa kunibaka kwa kweli kiliniumiza sana na nilikuwa namchukia baba yangu mbaya. Muda ule nilikuwa nahamu ya kumuona tena baba yangu na kumfanyia kitu ambacho kitamfanya ajute kunizaa mimi kama miminilivyojuta kuwa na baba kama yule. Nilimwambia yule Mama kuwa mimi nipo tayari na nitamwita mama na Muda wowote nipo tayari kurudi Tanzania kwenda kulipiza kisasi. Wakati nikiwa nipo pale kuna kitu cha tofauti sana nilianza kukisikia. Yani nilikuwa nasikia hamu ya kufanya Ngono mbaya kitu ambacho kilizidi kushangaa. Kilichofanya nizidi kushangaa zaidi kila muda ulipokuwa unaongezeka ndio Hamu ya Ngono ilikuwa inazidi kunikaba hadi Miguu ilikuwa inatetemeka. Ili bidi Nimuulize yule Mama kuna nini mbona nasikia Hamu ya kufanya mapenzi hivi. “Kawaida sana kusikia hiyo Hali Mwanangu maana ukiwa hapa kwenye Club ya RIZWAY kuna dawa ambazo mnatumia nyinyi machangudoa ili kuweza kufanya mapenzi kwa Muda wowote ule. Maana hapa wateja huwa wengi unaweza kufanya mapenzi hata mara tano na watu tofauti tofauti hivyo kuna dawa huwa mnameza ili kuweza kuwaletea stimu za kufanya mapenzi. Leo unasiku ya pili hujafanya Mapenzi na ulimeza zile dawa hivyo lazima ufanye mapenzi. Dactari Dan Naomba mpe Huduma huyu Mwanangu alafu tutakuja kuendelea na mambo mengine”Alinijibu yule mama wa kizungu huku akiwa anatoka nje. Yale Majibu ya mama kwa kweli yalizidi kunisikitisha na kunifanya nizidi kumchukia baba yangu. Kumbe nikiwa RIZWAY CLUB nilikuwa nafanya mapenzi hafadhari hata mnyama. Baada ya yule Mama kutoka mwenyewe nilivua Nguo ambazo nilikuwa nimevalishwa na kwenda kulala kitandani iliniweze kufanyiwa kile ambacho nilikuwa nakitaka maana hamu ilikuwa imenibana sana. Yule Dactari alivua na yeye nguo na kuja kwangu akanilalia na kazi ilianza. Yani mambo yalikuwa yanafanyika mle mle hospitalini. Nilimwambia yule Dactari kama siyo vizuri kufanyia hapa na kama ingegundulika itakuwa siyo vizuri. Majibu aliyonipa Dactari kuniambia kuwa ile ni hospitali ya yule Mama ndio yalizidi kunishangaza ingawa bado sikuona ilikuwa na Ukubwa Gani. Niliendelea kuhudumiwa Mle na nilikuwa nasikia Raha sana baada ya Muda kama wa dakika tano yule mzungu alichomoa mashine yake na kuniingizia kwenye sehemu zangu za nyuma yani Mkundu… Ile hali ilinishitua sana lakini cha ajabu nilishindwa kumwambia atoe kwani nilikuwa nasikia raha kuliko alivyoingiza sehemu husika. Hapo nilibaini kama kumbe kipindi nikiwa sina Fahamu nilikuwa naingiliwa hadi kinyume na Maumbile kitu ambacho kilinifanya hadi machozi yalianza kunitoka ingawa nilikuwa nasikia raha. Mambo haya yote aliyesababisha alikuwa ni baba yangu mzazi. Baada ya nusu saa huduma ilishakamilika na nilikuwa najisikia nipo fiti. Yule mama alirudi tena ndani na Mazungumzo yaliendelea. Yule mama aliniuliza anipe kitu gani ambacho kitanisaidia mimi kulipiza kisasi. Mimi nilimwambia kitu cha kwanza nataka niwe Sister na nikiwa sister anifanyie mpango wa kufanya kazi kwenye shule ambayo baba yangu alikuwa kama padri zamani. Nilimwambia vile Yule Mama kwani nilikuwa na hasira na ile shule ukifikilia watu wakubwa na wenye dini ndio walinifanyia unyama mkuu. Nilitaka kuanza kulipiza kisasi kwenye ile shule kwanza ndio namalizana na Mchungaji Masanja. Nilipomwambia yule mama vile yeye alitabasamu na kuniambia kazi rahisi sana wala nisiwe na wasiwasi. Baada ya Maongezi ndipo sasa tulitoka Rasmi na kuelekea kwenye Makazi ya yule mama. Ile Hospitali baada ya kutoka nje kwa kweli ilikuwa ni hospitali nzuri sana na ilikuwa kubwa na wateja walikuwa kama takataka. Kupitia ile Hospitali niliamini kama yule mama alikuwa na pesa sana
“Tulipotoka pale Hospitalini tulienda kupanda kwenye gari flani ambayo ilikuwa ya kifahari sana. Ile Gari nyuma kulikuwa na Gari nyingine ambayo kwa haraka haraka nilibaini ilikuwa Gari ya walinzi wa yule mama. “Magreth labda mimi acha nijitambulishe Jina langu naitwa Cutherbet ni Mzungu ambaye nipo hapa Brazil kwa biashara zangu. Mwanzo mimi nilikuwa najihusisha na biasha nyingi sana ikiwepo Usafirishaji na uuzaji wa madawa ya kulevya. Baada ya kuona simfanyii Mungu Vizuri ndio maana nimebaki na Biashara kongwe mbili ambayo ni Kampuni yangu RIZWAY clup pamoja na hii hospital ambayo tumetoka punde”Yalikuwa ni Maneno ambayo aliongea yule mama yaliyonifanya hadi nilitabasamu kimoyomoyo. Kilichonifanya nitabasamu ni maneno yake kusema kuwa amemuogopa mungu biashara ya madawa ya kulevya akabaki na club ambaye ilikuwa inahusisha wanawake kujiuza na wengine kuuzwa bila Ridhaa yao hapo kweli alikuwa amemuogopa Mungu au alikuwa analeta utani na Mungu. Mimi sikuwa na neno la kuongeza zaidi ya kumpongeza ingawa nilikuwa najua ili Pongezi siyo Sahihi kwake. Tukiwa njiani niliamua kumuulizia Hii lugha ambae wanaongea ni lugha gani na iweje mimi naisikia lakini siwezi kujibu na nilijifunza wapi. Yule mama Cutherbet alinijibu kuwa ile lugha ni kireno na ubongo wangu ulishaikalili hivyo vigumu kuisahau maana tayari imetunzwa kwenye kumbukumbu yangu. Safari iliendelea hadi Tulifika kwenye beach flani ambayo tulienda kuishia kwenye nyumba nyingine kubwa sana. Humo ndani tulipoingia ndio nilikutana na Fujo za wabrazil kumbe ndio ilikuwa RIZWAY club. Kitendo cha kuingia mle nilishangaa watu kibao hususani wanaume walikuwa wananiita. Mimi nilibaki nikiwa nashangaa hawa watu wamenifahamia wapi. Kitu kingine ambacho kilikuwa kinanishangaza hata zile sura za watu nilikuwa nazikumbuka na sikujua nilikuwa naziona wapi. “Magreth hao ni baadhi ya wateja wako ambao walikuwa wanakupenda sana kufanya mapenzi na wewe. Unajua wazungu ambao wapo humu wanapenda sana watu weusi na ulipokuwa hapa ulikuwa kivutio kikubwa kwao na umechangia kwa kiasi kikubwa biashara kukua na idadi ya wazungu kuongezeka hapa. Kiufupi nazani hawa watu unawakumbuka lakini utakuwa unajiuliza umewafahamu vipi na wewe wamekufahamu vipi. Unachotakiwa kuelewa hapa umeishi miaka minane na hawa watu wote ni marafiki zako hivyo wazoee. Pia hii ndio RIZWAY club ambayo ni club pendwa hapa Epinema Beach. Kiufupi tupo Brazil jimbo la Reo De Janeiro ndani ya ufukwe maarufu wa Copacabana kwenye beach ya Epinema. Kuanzia Sasa biashara ya kukuuza wewe naacha labda wewe utake kwa manufaa yako”Alinieleza Mwanamama Cutherbet hali ambayo ilinifanya nimwelewe. Maisha yaliendelea pale Brazil na yule mama alinichukulia kama Mwanao. Ingawa aliniambia kuniuza anaacha ila mimi Niliendelea kufanya mapenzi na wazungu na zile dawa za kuleta hamu ya ngono nilikuwa nazitumia kama kawaida.Kwa Siku nimepunguza sana wanaume ilikuwa siyo chini ya watano na walikuwa wananigombania sana hususani wazungu. Baada ya Mwaka Mmoja cutherbet alinitafutia Shule za kiroma na kuanza kusoma lengo nije kuwa Sister. Miaka mitano mbele tayari nilishakamilisha kila kitu maana na nilishamaliza usister. Nilipomaliza Usister Cuther alinipeleka Jeshi Miaka miwili tena ambalo lilikuwa na mateso makali ili kwenda kujifunza roho mbaya ili ninapofanya kitu nisiwe kabsa na Huruma. Baada ya Kumaliza kila kitu Ndio Sasa Alinitafutia kazi Tanzania katika shule hii hii. Sasa Sam wabaya wangu Bado wapo wote wewe utaniambiaje niwasamehe. Huyu Padri msitafu Jonas ndio muhusika ambayo alinichoma ile sindano sasa nitawezaje kuishi bila kumuua”Alinisimulia Sister Magreth hadithi ambayo iliniacha njia panda kwakweli. Sikuamini kabsa kama babu ambayo alikuwepo pale shule mzee Jonas naye alikuwa muhusika wa tukio lile. Yule mzee alikuwa na roho nzuri na Muda wote alikuwa anasisitiza amani. Hiyo Siku tuliongea mambo mengi na Magreth hatimae alikubali kuacha kulipiza kisasi. Kwa kuwa muda ulishaenda Sana niliamua hiyo Siku kulala kwa Sister huku tayari nilimtafuta Klinita ili tuweze kuonana kesho yake.
Sehemu Ya 18
Muda ule Sister Magreth tulikuwa tunaheshimiana sana Hata habari za mapenzi ilikuwa hakuna kabsa. Siku hiyo niliamua kumpigia na mama yangu simu kumueleza kuwa leo sitarudi nyumbani hadi kesho. Mama yangu alikubali lakini aliniambia alitamani kuniona nyumbani. Pia alizidi kuniambia Siku ya leo hana raha kabsa na sijui kwa nini muda wote Moyo wake unauma sana. Ile Hali ilinishitua kidogo maana sikupenda hata siku moja mama yangu kukosa raha. Ambacho nilikifanya nilimfariji mama yangu na kumwambia kuwa kesho saa tatu nitakuwa nimerudi nyumbani. “Mwanangu Sam Usiseme kesho asubuhi utakuwa umerudi nyumbani, sema kwa Maajaliwa ya mungu Nikiamka Salama nitakuwa nimerudi nyumbani. Sasa Unaposema kesho saa tatu asubuh utakuwa umerudi nyumbani alafu Mungu asikuamshe Salama au Mimi asiniamke Salama tutaonana kweli. Pia Ingependeza Sana kama kesho Muonane na Klinita kabla ya wewe kuja Huku mpange lini aje. Natamani kumuona Mkwe wangu ninamaneno matamu ya kuongea naye. Maana Mkwe wangu Mzuri kuanzia sura yake hadi roho yake na siamini kabsa kama ni mtoto wa huyo Mchungaji mwenye roho mbaya”Aliongea Mama Yangu Maneno ya Busara kweli ambayo niliyaunga Mkono. Baada ya kuongea Maneno Mazuri na mama yangu huku ikiambatana na Utani Mwingi nilimuaga mama yangu na kukata simu. Baada tu ya kukata simu nilimpigia na Klinita simu tena Kumwambia Maneno ambayo aliniambia Mama yangu Klinita kwa kweli alifurahi Sana. “Sasa Sam mimi kesho Mapema sana nitakuja huko ila Sipendi tuonane kwa Madam maana baba mwenyewe tumeongea naye ameniambia atanipa Bonge la zawadi nikuletee”Aliongea Klinita. Niliposikia kama Mzee wake na Klinita atampa Mwanae zawadi aniletee kwa kweli nilifurahi sana. Kesho yake Asubuh na Mapema niliamshwa na simu yangu ambaye ilikuwa inaita. Nilipoangalia nani ambaye alinipigia nilibaini alikuwa ni Klinita. Niliongea na klinita na kuniambia kuwa anakuja yupo njiani hivyo tukutane Geti la kutokea shuleni. Nilijiandaa Haraka na kumuaga Magreth ili niondoke. “Sam Unaondoka ila kuanzia sasa mimi sitaki uniite Sister maana sina sifa ya Usister. Kuanzia Sasa wewe niite tu Magreth Mnyama maana mpango wangu wa kulipiza kisasi upo pale pale. Kuna Ndoto mbaya sana nimeota Juu ya Mchungaji Masanja hivyo Lazima Afe”Aliongea Magreth huku hadi machozi yakiwa yanamtoka. Ile Hali iliniogopesha Kidogo ila sikutaka kumwambia kitu chochote madamu nilipanga nitaongea naye kwenye simu.nilitoka hadi Getini nilikutana na klinita. Tulipokutana Klinita aliniambia mambo mengi sana ya kumsifia baba yake kuwa uhusiano wangu na yeye ameuunga mkono sana. Mimi pia nilimweleza kwa Mara ya pili ombi la Mama yangu kutaka kwenda kumuona. Baada ya kukubaliana Klinita alinipa zawadi kutoka kwa baba yake ambayo ilikuwa kwenye boksa zuri lilipambwa. Nilipo angalia lile boksi moyoni nilitabasamu kwa kujua zawadi ambayo ilikuwepo mle babu kubwa.klinita aliponipa ile zawadi yeye aliniambia siyo vizuri aone maana siyo yetu wote bali ni yangu na yeye aliniaga na kuondoka. Alipoondoka Klinita niliamua kufungua ile zawadi maana moyo wangu ulikuwa unatamani sana kuona kile ambacho kilikuwepo kwenye lile boksi la kifahari kivile. Nilifungua boksi lile taratibu huku moyo ukiwa naFuraha mbaya. Nilipofungua lile Boksi kwa juu nilikutana na simu ya gharama sana Huawei met 8 ila kilichonifanya kushangaa nilipotoa ile simu kwa chini kulionekana kama kuna kitu kingine tena ila kilikuwa kinaonekana kama kina damu maana kitambaa cha juu cheupe kilikuwa kimeloa ingwa ilikuwa siyo sana. Hapo mapigo yangu ya moyo yalianza kwenda mbio na kuanza kutetemeka mbaya.nilitoa kile kitambaa polepole na nilichokiona baada ya kutoa kile kitambaa kilinifanya nipige yowe na machozi yakinitoka maana kilikuwa ni kichwa cha mama yangu mzazi.
Kwa kweli mshituko ambao nilipata baada ya kuona kichwa cha mama yangu ulikuwa hauna Mfano kabsa. Mwili wote ulikuwa unatetemeka na nilikuwa nahisi baridi ya ajabu sana ilikuwa imeingia kwenye mwili wangu. Yani nilishindwa kufunika lile box zaidi ya kuendelea kupiga kelele huku nikiwa nimeangalia lile boksi. Pale Sehemu hiyo ambayo nilikuwa nimefungua boksi huku nikipiga kelele uzuri hapakuwa na watu wa aina yeyote ile. Wakati nikiwa napiga kelele huku nikilia bila Utaratibu wowote Simu ile ambayo nililetewa ya gharama sana ilianza kuita. Ilibidi Kunyamaza kwanza kiume Kuangalia nani Yule ambaye alipiga simu maana kwa mawazo ya Haraka nilibaini alikuwa anataka kuongea na Mimi. Nilipoangalia ile namba ambayo ilinipigia nilikuta imesaviwa kabsa jina Mkwe. Nilipoona Hili jina ndio sasa nilijua hii kazi amefanya Masanja. “Nini Sasa Mkwe wangu unapiga makelele ambayo baadae yatakupeleka jela Mwenyewe. Kwani hiyo zawadi ambayo nimekupe ina thamani ndogo sana hadi upige mayowe hivyo. Au ndio Kusema Techno met 8 imekupandisha Furaha hadi unakuwa hivyo. Acha Kupiga kelele wewe hiyo Thamani ya Simu haiendani na thamani ya kichwa cha mama yako. Wewe Furahia simu maana mama yako hana kitu chochote kapuku huyo hata thamani yake haifikii hiyo Simu. Ila acha nikukaribishi kwenye Ulimwengu wa shida kama utakuwa Mgumu sana wakuelewa masomo yangu ambayo nafundisha kwa lugha nyepesi sana hadi vipofu ,bubu na viziwa wananielewa”Ilikuwa ni Sauti ambayo ilikuwa imesikika baada ya kupokea simu. Ile Sauti ilifanya mwili wangu kuzidi kusisimka kwa hasira na hamu ya kuonja Damu ya mtu ilianza kuongezeka. Ile Sauti mimi nilikuwa naifahamu sana maana alikuwa ni Mchungaji Masanja na Sauti yake ilikuwa rahisi kuifahamu maana si alikuwa mchungaji wa kanisa. “Naomba nieleze sababu kubwa ya kumuua mama yangu. Je ni kweli mama yangu umemuua kwa kumkata kichwa au hiki siyo kichwa chake”Nilimuuliza kwa Shida Mchungaji Masanja maana hasira ambazo zilikuwa zimenibana hata kuongea nilikuwa nashindwa. ” Mkwe wangu Sam hicho ni kichwa cha mama yako ambacho hakina thamani hapa Duniani kinapaswa kuchimbiwa. Labda nikuombe kitu kimoja ambacho kitakusaidia usifungwe Jela tulia na hicho kichwa kisha kamzike mama yako. Ila ukijifanya unanyanyua Mdomo mimi nipo karibu na wewe nakuangalia nitakufanya kuozea Jera. Naomba nisikilize kwa Makini sisi ni watu wa pesa na tunatumia pesa kubadilisha uongo kuwa kweli. Kabla Sijafanya tukio la kumuondolea kichwa mama yako malaya tayari nilishakamilisha kila kitu. Namwita mama yako malaya coz alimsaliti mume wake na kutembea na mimi. Hivyo ukijifanya kuendelea kupiga kelele na kutaja kama mimi nimemua huyo Mtu kesi itakuwa kwako maana kabla ya watu hujawaambia utakuwa umekamatwa na Polisi kwa kesi ya kukata kichwa cha mama yako kupeleka kwa Mganga wa kienyeji kuwa tajiri. Unachotakiwa kufanya ni kwenda kwenu kwenda kumzika mama yako tu basi. Kama Huamini angalia mbele yako mkono wa kulia hakuna Gari la Polisi maeneo hayo”Aliongea Tena Mchungaji Masanja kwa utaratibu wa hali ya juu kama alivyokuwa anawahubilia watu kanisani.kweli nilipogeuka Kule ambako alinielekeza niliona Gari la Askari bila shaka walisubilia nimalize kuongea na Simu wapewe maelekezo. Huku nikiwa na hasira mbaya nilipeleka Mkono wangu usoni nikafuta machozi kiume kisha Nilimwambia now siwezi kufanya kitu chochote nimemuelewa ila nilimwahidi ajiandae kwa kufa. “Mimi kufa Ndugu yangu bado sana. Kuna watu wengi wameni haidi kile kitu lakini hakuna hata Mtu mmoja ambaye amefanikiwa. Pia nakuomba kuanzia sasa kaa mbali na mwanangu Klinita maana kinachofuata nitakuwa nakuja kuchukua kiuongo kimoja kimoja cha kwako”Aliongea Mchungaji na kukata Simu.
Baada ya simu kukatika mimi mwenyewe sikulia tena zaidi ya hasira kunibana mbaya. “Mchungaji Masanja UKINIPA SISEMI , si umeshanipa kwani nimesema jiandae na wewe kukupa alafu usiseme. Ulimuua baba yangu nikaachana na wewe ila kwa mama yangu kweli Umegusa moto mwingine. Kweli kabsa sikufichi lazima nikuue kisha sehemu ya mwili wako nile Nyama ndio nitalizika. Mama Naomba unisamehe huenda ningekuwepo usingekufa, ubishi wangu ndio umekufanya ufe naomba nisamehe mama yangu. Ila Mama Klinita mzima na alishakubali kuja kukuona naomba fanya kila linalowezekana Mshawishi Mungu Urudi duniani ili uje umuone mkwe wako klinita. Hiki siyo kichwa chako kweli kabsa wewe upo nyumbani mama yangu na siyo Muda nakuja”Niliongea maneno ambayo hata mimi nilikuwa sielewi naongea nini huku nikirudisha kile kitambaa ambacho walifunika kichwa cha mama yangu kwenye boksi. Baada ya kufinika kile kichwa kwa kitambaa kama mwanza na kufunika
boksi langu vizuri nilianza safari ya kurudi kwa Magreth. Muda ule hata Mimi sikutaka kumwita Sister tena zaidi ya Magreth nanilikuwa na Mpango wa kwenda kumshawishi tukamuue Masanja siku hiyo hiyo.nilitembea njiani huku machozi yakiwa yananitoka kama mtoto mdogo kapigwa na mama yake. Nilipofika kwa Madamu nilikuta mlango kama umerudishwa hivi. Ilibidi nisukume ule Mlango lakini nilikuta umefungwa kwa ndani. Nilimwita Magreth na akamifungulia. Nilipoingia ndani nilibaki nikiwa namshangaa kuona Mzee Jonasi yupo kwa Madamu huku akiwa amevuliwa Nguo zote alafu kafungwa kamba. “Umerudi nini huku Sam kwangu unataka kuja kushuhudia vifo vya watu leo. Ushauri wako nimeufikilia sana na Hili ndio Jibu ambalo nimepata la kuacha kazi. Ila mimi sitaacha kazi ya Usister et nikae kama Taila hapana naacha kazi ya kumuabisha Mungu wangu na nakamilisha kile ambacho kilinileta Huku Tanzania. Samu huyu Ndio Mzee Jonasi ambaye nilikwambia aliwahi kunichoma ile Sindano ya sumu nazani unamjua. Yeye na Baba yangu ndio walisababisha mimi kuwa changudoa hadi kuingiliwa kinyume na Maumbile hivyo leo namwingilia na yeye kinyume na maumbile na nakuua. Ndio lazima nikuue kinyama ili hata Malaika ambao wanachukua watu wenye dhambi kama nyinyi kwenda motoni wamuogope”Aliongea Magreth huku machozi yakiwa yanamtoka. “Magreth ya nini unahangaika kutoa maelezo kwangu. Hebu fungua hii zawadi yako alafu naomba hicho kisu na hamu na damu ya mtu. Nilimwambia Magreth huku nikimpa lile Boksi. Kitu ambacho nilipanga kwa Muda ule ni kujifunza ukatili pale pale maana moyo wangu ulichafukwa. Madamu ilibidi apokee lile boksi na alikubali kunipa kisu. Alipopokea lile boksi naye alifungua kwa kasi akakutana na kichwa cha mtu. Cha ajabu madamu alipoona kile kichwa yeye wala hakushituka. Ile hali ilinishangaza kidogo na nilipomwambia aliniambia kuwa tayari alishalijua hilo na huyu mzee ndio kamwambia kuwa Masanja kaenda kumchinja mama yangu. Kitendo cha Madamu kuniambia hivyo ndio kulinipa Hasira na kuona na yule mzee ni Muhusika. “Magreth UKINIPA SISEMI, kweli kabsa mimi sitasema naomba nipe.tafadhari naomba nipe hichi kichwa tu cha huyu mzee ili nimtumie Mkwe wangu na mimi zawadi”Nilimwambia Madamu huku nikiwa natembea taratibu kuelekea kwa mzee jonasi.
Kwa kweli Muda ule nilikuwa na Hasira sana na Moyo wangu hakuwa na Huruma kabsa. Kumwaga damu ya mtu nilikuwa sioni shida utafikilia nilikuwa nimeanza kufanya yale matukio tangia zamani. Kifo cha Mama yangu kwa Muda ule kilikuwa kivuruga kabsa akili yangu. “Sam mimi nitakupa wala siwezi kukunyima ila wewe si unataka kichwa niachie kwanza huyu mtu ninywe damu yake. Nilishakwambia Sam kuwa Mimi sasa hivi siyo binadamu wa kaida na dhambi zangu hata Mungu nilishamuomba anipeleke Motoni kabsa sitaki msamaha. Ile leo ndio utasibitisha kile ambacho mimi nilikwambia. Ambacho nakuomba mimi kichwa cha huyu mzee nitakupa ila naomba nipe Muda kwanza nifanye mambo yangu ambayo yatakufanya Uamini kuwa mimi siyo binadamu tena”Aliongea Magreth . Maneno ya Magreth mimi sikutaka kuyapinga nilikubali na kwenda kukaa kwenye kitu kujifunza ukatili huenda nikapata mambo kaza wa kaza ambayo nitaweza kuja kuyafanya kwa Masanja. Magreth alienda hadi chumbani kwake na aliporudi cha ajabu alirudi akiwa uchi wa mnyama ingawa alikuwa na kibegi flani mkononi ambacho sikujua ndani kulikuwa na nini. Ile hali ya Magreth kuja uchi ilibidi kwanza kuanza kushangaa maana ile style yake ilikuwa ngeni kwangu. Wakati mimi nikiwa nashangaa mwenzangu alikuwa busy na mambo yake. Alienda hadi kwenye sofa akafungua begi yake na kutoa kitu ambacho kilikuwa kinafanana sana na sehemu za siri za mwanaume na ilikuwa ndefu sana. Yani kile kitu jinsi ambavyo kimechongoka ilikuwa haina kabsa tofauti na mbo… Ya mwanaume wa kawaida. Utofauti kile kitu kilikuwa na Mkanda flani wa kuivaa kiunoni. Magreth alivaa kiunoni na huwezi amini alipovaa tunda lake lilifunikiwa na ile kitu na alionekana ana mashine ambayo ilikuwa imesimama kabsa. Baada ya kuvaa vile alichuka kitu kama mafuta alipaka kwenye kile kitu. “Sasa Jonasi mzee wangu nimekuwa mwanaume kamili naomba nipe unyumba”Aliongea Magreth na kwenda kwa yule mzee akatoa vitambaa ambavyo alisokomeza mdomoni kwake. “Wakati nakula uroda nataka uwe unapiga kelele za mahaba ili mzuka unipande ila kama utajifanya kupiga kelele zaidi nitakuua mara moja ili nile unyumba huku ukiwa umekufa”Aliongea Tena Magreth. Kwa Tendo ambalo alitaka kufanya magreth na jinsi ambavyo alikuwa Sirious niliamini mimi hasira ambazo nilikuwa nazo zilikuwa zakitoto. “Sister Magreth naomba unisamehe mwangu naomba unisamehe na mugu atakuona. Baba yako ndio amenifanya niwe mnyama”aliongea mzee jonasi kwa shida. “Tulia wewe mbwa nilikuhaidi wewe na baba yangu kuwa mtakufa wakati bado
Sehemu Ya 19
mtakuwa na hamu ya kutaka kuendelea kuishi. Mungu ataniona kivipi wakati mimi ndio nataka kwenda motoni”aliongea Magreth kisha alimtandika teke la Mdoni mzee hadi nilihisi mzee wa watu hana memo. Alipomtandika lile teke alifungua kamba ambazo alimfunga na kumwachia zamikoni kisha alimweka vizuri na mchezo uliananza. Alipomtandika lile teke alimfungua kamba ambazo alimfunga na mchezo ulianza. Kwa kweli Magreth alikuwa mtu ambaye alikuwa hana huruma kabsa.Mtu mzee kama Jonasi kumwingilia sehemu za nyuma kwa mshine ya bandia nilibaini kuwa yeye alikuwa na hasira kuliko hata mimi ambaye siyo muda nililetetewa kichwa cha mama yangu. “Mwanangu naomba usinifanyie hivyo,ni sheteni tu ambaye alinipitia na kufikia hadi kukuchoma hiyo sindano. Baba yako Mchungaji masanja ndio alisababisha mimi kuwa hivyo. Nitakuwa mgeni wa nani kwa huu mchezo ambao unanifanyia.Tafadhali naomba muogope mungu Sister Magreth usinifanyie hivyo.Kumbuka wewe ni mtumishi mzuri wa Mungu hivyo hupaswi kufanya hivyo”Yalikuwa ni maneno ambayo alikuwa anaongea Mzee Jonasi huku akiwa analia kama mtoto. “pumbavu nilishakwambia ukiendelea kuongea upumbavu nakuua sasa hivi alafu nitafanya mapenzi na wewe ukiwa umekufa. Hivi nani amekuambia kuwa mimi nahitaji msamaha kutoka kwa Mungu.Tayari mimi maombi yangu ya kwenda motoni nilishamuomba mungu na huko motoni lazima niende huku nikiwa na furaha.Nitakuwa na furaha coz wapumbavu kama nyinyi ambae mnafanya mambo kinyume na matakwa ya Mungu nitakuwa nimewaondoa na wale ambao watakuwa wamebaki itakuwa mfano mkubwa kwa wengine. Nilikwambia Mzee Jonasi kuwa mtakufa huku bado mkiwa na hamu ya kutaka kuendelea kuishi kama mama yangu alivyoongea hivyo tulia wewe malaya mimi mwanaume nifaidi makalio yako”aliongea Magreth kwa sauti ya juu yenye hasira huku akimsindikiza Na kibao cha mdomoni mzee Jonasi.Muda ule kwa kweli mimi nilikuwa nimetulia kimya huku nikiwa nimeangalia pembeni maana moyo wa huruma ulianza kuniingia na kama ningeendelea kumuangalia yule mzee huenda ningemwambia Sister Magreth amuache kitu ambacho mimi binafsi nilikuwa sipendi kwa Muda ule. Kifo cha mama yangu kuuawa kinyama tena kwa kukatwa kichwa na kutumiwa kwenye boksi ndio kilifanya hadi muda ule mimi kuwa na roho ya kinyama namna ile. Mchezo wa mzee Jonasi kufanyiwa mambo na Sister Magreth uliendelea hadi mzee wa watu alianza kutokwa na damu sehemu za nyuma hali iliyomfanya kuzudi kulia kwa uchungu huku akiwa anamuomba Sister Magreth asifanye hivyo. Zile kelele zilimboa sister Magreth alichofanya alimsokomezea mzee jonasi vitambaa mdomoni kisha aliendelea na mchezo. magreth alitumia kama muda wa robo saa ndio alipomaliza mchezo wake na tayari kwa muda ule hadi mzee Jonasi alikuwa ameshapoteza fahamu. Baada ya kumaliza ule mchezo Magreth alirudisha vifaa vyake kwenye begi yake na kupeleka chumbani. “Haya mtu wako huyu hapa kichwa mali yako kama ulivyosema unataka kumtumia Mzee Masanya kama zawadi. Ila kumbuka wakati unafanya haya mambo badili moyo wako na kuwa wa kinyama kama simba ambaye anamtafuna hadi binadamu bila kujua kama Mungu alimuumba binadamu ili kumuongoza yeye na wanyama wengine wote. Naongea hivyo nikiwa na maana kuwa sasa hivi unapambana na mtu hatari sana Mchungaji masanja mwenye kutumia akili kubwa.ambacho nilikificha. kiufupi kabla hujafa ngoja nikusibitishie kuwa hukuwa unaishi na binadamu bali ulikuwa unaishi na mnyama hatari bila wewe kujua” Aliongea Magreth na kuanza kusogea kuelekea kwa mzee jonasi. Muda ule mimi nilikuwa namwangalia tu Magreth alikuwa anataka kufanya nini. Alitembea hadi alimfikia mzee Jonasi kicha alichomoa kisu kwa style ya ajabu na kwenda kukata kidole kimoja cha mkoni cha mzee Jonasi na damu zilipoanza kumtoka mzee josi alipeleka mdomoni na kuanza kunyonya ile damu. Kwa kweli lile tukio ambalo alifanya Magreth hadi mimi nilianza kuogopa. “Sasa umeamini kama mimi nina roho ya kinyama sasa mzee hivyo huu ni muda wako wa kufa sasa na wasalimie huko na mimi nakufa” hivi unafikili kwa nini bado sijamuua masanja. Hii ni kwa sababu mtu ambaye namwinda anatumia akili sana na amezungukwa na chale. Ingawa nina hasira huenda kuliko watu wote duniani ila nimetulia na kufanya mambo yangu kisomi maana najua napambana na mtu hatari .Hivyo wakati unamtumia kichwa mchungaji masanja cha rafiki yake Jonasi tayari uwe umejiandaa vizuri kwa mchezo mchafu kutoka kwa mchungaji masanja. Kwanza wakati unafanya haya usiwe na ndugu unaempenda tena maana atauawa siyo muda”aliongea magreth baada ya kurudi kutoka chumbani. Yale maneno ya magreth upande Mwingine yalianza kunishitua kimtindo lakini sikutaka kukata tamaa kabsa.Watu wangu kipenzi akiwepo mama yangu na baba yangu walishauawa hivyo sikuwa na haja ya kumuogopa tena mchungaji Masanja na kwa unyama ambae alinifanyia nilikuwa nipo tayari kwa mapambano. Tuliendelea kukaa pale huku tukiwa tunaongea na kupanga mipango kibao hadi Mzee Jonasi aliposhituka.
Asante sana mungu kwa Kumuamsha tena huyu kiumbe ili tumalizie kumleta huko kwa na nakuomba umpeleke moja kwa moja huyu kiumbe motoni ili nije nikutane naye huko motoni maana na mimi nakuja huko. Mzee Jonasi nataka sasa kukuua na hicho kichwa chako tumpelekee rafiki yako Masanja kumuonyesha kuwa na sisi nao tupo kwenye mpambano. Nazani ulikuwa unaishi na simba bila kujua na wewe ulikuwa unaishi kila siku kunisifia kuwa Miongoni mwa Masister bora tanzania hukujua kile ambacho nilikificha. kiufupi kama hujafa ngoja nikusibitishie kuwa hukuwa unaishi na binadamu bali ulikuwa unaishi na mnyama hatari bila wewe kujua” Aliongea Magreth na kuanza kusogea kuelekea kwa mzee jonasi. Muda ule mimi nilikuwa namwangalia tu Magreth alikuwa anataka kufanya nini. Alitembea hadi alimfikia mzee Jonasi kicha alichomoa kisu kwa style ya ajabu na kwenda kukata kidole kimoja cha mzee Jonasi na damu zilipoanza kumtoka mzee josi alipeleka mdomoni na kuanza kunyonya ile damu. Kwa kweli lile tukio ambalo alifanya Magreth hadi mimi nilianza kuogopa. “Sasa umeamini kama mimi nina roho ya kinyama sasa mzee hivyo ni muda wako wa kufa sasa na wasalimie huko na mimi nakuja”
Kwa kweli kitendo cha Sister Magreth kukata kidole cha Mzee jonas kisha kuanza kunyonya Damu ambayo ilikuwa inatoka baada ya kukata kidole hadi mimi mwenyewe mwili ulisisimka. Hadi Hapo nilibaini Hasira ambayo ninayo mimi haiwezi kufikia Hasira ambayo alikuwa Nayo sister Magreth. Wakati Sister Magreth akiwa ananyonya kidole ambacho alikuwa amekikata huku Mzee Jonasi alikuwa analia na Kupiga Kelele kama mtoto mdogo. Ingawa alisokomezwa Vitambara Mdomoni lakini kitendo cha kukatwa kidole sauti yenyewe ilitoka hata Tambara ambazo alifungwa Mdomoni hazikufua Dafu.
“Mpigie Simu sasa hivi Klinita ili ufanye Mpango wako wa Kumtumia Kichwa Mchungaji Masanja. Ukisha maliza Huo Mpango Ondoka na Mimi siyo Mudaa naacha hii Kazi maana mtu ambaye nilimfuata hapa tayari nimemalizana naye hivyo Ni Mpango wa Kumtafuta Mchungaji Masanja”Aliongea Magreth muda ule tayari alishatoa mkono wa Mzee Jonasi maana alinyonya Damu hadi yenyewe iliacha kutoka. Kama Mtu alikuwa ananyonya hadi Damu ya Binadamu Mwenzake hapo kweli nilibainisha alikuwa Mnyama wa kutupwa. Baada ya Magreth kuniambia Vile nami Sikuwa na Muda wa kupoteza
nilimpigia Simu Klinita na kumwambia kuwa Nataka tukutane na yeye nimpe zawadi ampelekee Mkwe wangu kwani zawadi ambayo aliniletea baba yake nimeifurahia sana. Kwa kuwa Klinita alikuwa hajui kile ambacho kilikuwa kinaendelea wala hakubisha zaidi yeye kufurahia wito wangu na kunijibu siyo Muda anakuja. Nilipomaliza Kumpa taarifa Klinita Magreth aliniita na kuniambia ndio ulikuwa Muda Sahihi wa kutoa kichwa cha Mzee Jonasi. Kusema ukweli ingawa nilikuwa na hamu ya kumtumia Masanja ushahidi wa kumuogopesha lakini kitendo cha kumkata yule Mzee Kichwa kiliniogopesha sana. “Klinita mimi kwa kweli mbona Kama Naona hii Adhabu ambayo tumempa huyu Mzee Imetosha haina haja ya kumuua. Mtu ambaye anatakiwa kuuawa ni masanja wala siyo Mzee Jonasi”Nilimwambia Klinita kwa upole wa hali juu ili kuweza kumshawishi kile kitendo ambacho alikuwa anataka kukifanya asitishe. “Huna akili wewe na ukiendelea kuongea ujinga kama huo Utamfuata baba yako na mama yako kaburini. Watu ambae wanamaliza binadamu wenzake bila hatia leo hii wewe unataka kuwaacha. Hivi unafikili ni Mambo mangapi ya Kinyama ambayo amefanya huyu mtu wakishirikiana na Mchungaji Masanja. Huyu Ndio Huenda anaroho Mbaya kuliko hata Shetani Mwenzake Masanja. Kama Unakumbuka nilikusimulia kuwa huyu ndio alinichoma Sindano ya Sumu ili kuharibu akili zangu baada ya kuona baba yangu anasita. Huyu Ndio chanzo cha mimi kuwa Kahaba na kufanya mambo ambayo Mungu Hapendi. Huyu Ndio amenifanya mimi Kwenda kulala na wanaume zaidi ya nane kwa siku leo Hii unaniambia nimwache hai. Mama yangu aliuawa naMuhusika Mwingine huenda alikuwa huyu leo unaniambiaa nimwache hai nasema Siweziiiiiiiiiiii”Aliongea Klinita kwa Hasira huku akinifuata na Kunikaba. “Kama Unataka Huyu Mtu nimwache Hai Basi kufa wewe badala yake ili mimi nimwache hai. Mama yako kauawa kifo cha Kinyama tena kwa kukatwa kichwa na wewe ukatumiwa lakini Bado unamoyo wa kusamehe. Nasema nikuue wewe ili niweze kumsamehe huyu Shetani”Aliongea Tena Magreth kwa sauti ya Juu zaidi huku hadi Machozi yakiwa yanamtoka kwa Hasira. Yale maneno ya Magreth na Jinsi ambavyo alikuwa anayaongea namachozi Kumtoka nilibaini kuwa alikuwa na Hasira sana na anauwezo wa kunifanya kitu kibaya Muda wowote. Ambacho nilifanya ni kukubaliana na lile Jambo ambalo alikuwa anataka kufanya Magreth na kumuomba Msamaha. Nilipomwambia Magreth kuwa simpingi tena afanye kile ambacho alikuwa anataka alitingisha kichwa kuniashilia amekubali kisha aliniambia tusogee hadi kwa mzee Jonasi. Tulisogea hadi sehemu ambayo alikuwepo Mzee Jonasi kisha Magreth alimfunga kamba vizuri miguuni na Mikoni kisha aliniambia Nimshike vizuri tayari kwa kazi ya kutaka Kumchinja Mzee Jonasi. Kwa kweli hakuna Siku ambayo nilikuwa natetemeka kama siku hiyo. Nilishawahi kuona tu kuku wakichinjwa pamoja na wanyama wengine ila hakuwa binadamu. Ndugu zangu hakuna kifo ambacho kinatisha kama cha binadamu hususani yule ambaye anakufa bila kuwa na Ugonjwa wowote. Sikuwa na Jinsi nilisogea hadi kwa Mzee Jonasi nikamshika Vizuri kwa Macho yangu Nilishuhudia Magreth akitoa kisu na Kupeleka shingoni kwa Jonasi na kuanza kukata. Nilipoona kweli Magreth kapeleka kisu kwenye Shingo ya Mzee Masanja tayari kwa kuanza kukata Shingo mwenyewe nilifumba Macho sikutaka kuangalia Kabsa kile ambacho kilikuwa kinamtokea Mzee Jonasi. “Mama nayakumbuka Maneno yako ambayo Uliongea Mbele ya Mzee Masanja kuwa nitawauwa Watu ambae walikuwa Wamekutendea Unyama huku wakiwa bado wanahamu ya Kuishi. Naanza na Huyu Mzee Jonasi si Unamuona Jinsi ambavyo anahaha inaonyesha Zahiri alikuwa bado na Hamu ya kutaka kuishi. Namchinja Mzee Jonasi Mama yangu na Nakwambia ukweli nitakunywa hadi Damu yake ili hasira ambazo ninazo ziwe zinapungua polepole”Yalikuwa ni maneno ambayo alikuwa anaongea Magreth huku yakiwa yameambatana na Kwikwi za kilioa. Alipoongea yale Maneno Magreth yalinifanya kufumbua macho nilifikili labda tayari ameshamaliza kumchinja Mzee Jonasi. Nilipofumbua Macho hadi Mwili wangu ulisisimka niliposhuhudia Kwa Macho yangu Kisu ikikata shingo ya Mzee Jonasi na Damu kuanza kuruka. Wakati Mzee Jonasi akiwa anachinjwa Huku Damu zikiruka na yeye Muda ule alikuwa anarusha Mwili na Miguu mbaya Hali iliyonifanya Nimkabe vizuri kutumia Nguvu nyingi. Muda ule kwa kweli nilikuwa namshika kwa shida Sana Mzee Jonasi maana Kwa woga niliokuwa nao hadi mwili ulikuwa unaelekea hadi uliKufa Ganzi huku Jasho lilianza kunitoka Ghafla kwa kile kitu ambacho niliona Mzee Jonasi akifanyiwa. Wakati mimi nikiwa natetemeka kwa Kushuhudia huo Unyama Mwenzangu Magreth yeye alionekana alikuwa mtu wa furaha sana na alikuwa anacheka sana Wakati Mzee Jonasi akiwa anatupa Mikono mwishoni mwishoni tayari kwa kukata Roho. Furaha ambayo alikuwa nayo Magreth ilikuwa haina Mfano maana alikuwa anacheka sana. Ilichukua muda wa Dakika sita tangu tukate shingo ya Ya Mzee Jonasi ndio alikufa. Alipokufa Mzee Jonasi Ndipo Madamu alikata kabsa Shingo ya Mzee Jonasi na kutenganisha mwili wake na kichwa kisha mimi alinikabidhi kichwa. “Sam Baada ya Kumalizia Usister nazani nilikwambia nilipelekwa Jeshi ambalo lilikuwa na watu wenye Roho mbaya huenda kuliko watu wote Duniani ili kwenda kujifunza Ubaya wa kukamilisha kile ambacho nilitakiwa kufanya bila ya kuwa na Huruma. Sasa shika hiki Kichwa weka kwenye Boksi nenda kaonane na Klinita umpe zawadi yake ampelekee mkwe wako na huu mwili niachie mimi nitajua kile ambacho nitakifanya”Aliongea Magreth huku akiwa Jasira mbaya. Yani kwa jinsi Magreth alivyokuwa Dicteta hata hakuwa anatetemeka hata kidogo. Baada ya kunikabidhi kile kichwa hapo sasa ndio niliweza kuamini kuwa Magreth muda ule moyo wake kweli hakuwa binadamu wa kawaida kulikuwa na kila namna ya kumfananisha na zombi hasa alipoenda kuchota damu ya Mzee jonasi iliyomwagika kwenye Sakafu na kuanza kuinywa. “Niliapa kila mtu ambaye nitakuwa namuua kulipiza kisasi lazima ninywe damu yake. Nazani utakuwa unanishangaa sana sam kwa hiki ambacho nakwambia ila unatakiwa uniamini mimi sasa ni zaidi ya Zombi. Wewe weka kichwa chako kwenye begi Ondoka hapa.”Aliniambia Magreth ambaye hata namna ya kuongea muda ule ilibadilika na kuonyesha kama mtu ambaye alikuwa amechanganyikiwa sana. Kwa uzuri ambao alikuwa nao Magreth ilikuwa vigumu kuamini kama huyu mama alikuwa na uwezo wa kumuingilia kinyume cha maumbile mzee kama jonasi kisha kumchinja na hadi kufikia kunywa damu yake. Mimi nilichukua kile kichwa cha Mzee jonasi nilienda kuhifadhi vizuri kwenye boksi kisha nilianza kutoka kuelekea sehemu ambayo Tulitakiwa kwenda kuonana na Klinita. Muda ule tayari nilikuwa na vichwa viwili kichwa cha mama yangu mpendwa na kichwa cha Mzee jonasi. Wakati nikiwa natoka kuna wazo lilinijia kama nitapeleka kile kichwa kwa Mchungaji masanja huenda ikabainika kuwa mimi ndio nimemuua Mzee Jonasi na
Klinita anaweza akaonyeshwa na baba yake alafu yeye akasibitishe kuwa kweli mimi ndio nilimuua.nilipokumbuka hivyo moyo wangu ulianza kusita maana kama ingegundulika kuwa mimi ndio nimemuua Jonasi na lazima ningekamatwa Hali ambayo ingenifanya Kumkosa klinita na kushindwa kurudisha Kisasi kwa Mchungaji Masanja. Muda ule kwa kweli nilitaka kuwa karibu sana na Klinita na ikiwezekana hata kumuoa maana niliona njia hiyo pia ni nzuri kulipiza kisasi kwa Masanja maana yeye alimuua mama yangu ili kuweza kunipinga nisiwe na Uhusiano na mwanae. Nilipowaza haya Maneno ilibidi nirudi tena kwa magreth kumwambia kuwa nimesitisha mpango wa kumpelekea mchungaji Masanja kichwa cha Rafiki yake mzee Jonasi. “Wewe Mbwa kama utakuwa na Moyo huo hutaweza kufanya kitu chochote juu ya Mchungaji masanja. Pia Nahisi hii kazi tukifanya na wewe unaweza kuniharibia na wote tukafa kizembe na kumwacha mchunganji masanja bure. Kwa kuwa umeshajua Siri yangu huna budu kufa maana siwezi kufanya kazi na watu waoga. Kabla sijakuua acha nikwambie kwanza kama ungetuma hicho kichwa kwa Masanja yeye asingefanya kitu chochote zaidi ya kukizika maana yeye mwenyewe amefanya kitu kama kile. Yeye angejua kama umemrudishia jibu kuwa na wewe upo tayari kwa mpambano na yeye. Naona kifo cha mama yako hakiumi ndio maana unakuwa na moyo wa Huruma na woga. Sasa Sam Naomba unisamehe nitakuua kisha kazi yaKulipiza kisasi kwa mama yako nitafanya mimi”Aliongea Sister Magreth maneno ambayo yalifanya mapigo ya moyo wangu kuanza kwenda mbio
Kwa kweli maneno ambayo aliongea Sister Magreth huku akiwa tayari amenikaba Shati ambalo lilikaba shingo yangu ndio ilifanya nizidi kuogopa zaidi. Katika Maisha yangu sikuwahi kuwaza kama ipo Siku Sister Magreth atakuja kuniambia Maneno kama yale. Dalili ambayo alikuwa anaonyesha sister Magreth ilikuwa ya hatari sana na kweli alidhamilia kuniua. “Hapana Magreth nakuomba usiniue tafadhali nitafanya kama wewe unavyotaka ila Tafadhali naomba usiniue. Nauchungu sana na Mchungaji Masanja maana ameniulia mama yangu kipenzi na yeye huenda ndio sababu hata ya mimi kuishi maisha magumu hivi maana aliwahi kumuua na baba yangu. Hivyo nitapeleka hiki kichwa kwa Mchungaji Masanja na nitakuwa bega kwa bega na wewe kufanya kitu chochote ambacho unakitaka”Nilimwambia Magreth kwa Sauti ya Utulivu na unyenyekevu wa hali ya Juu, pamoja na kumwambia yale maneno kwa uchungu wa hali ya juu lakini Sister Magreth hakutaka kuniachia zaidi aliendelea kunikaba zaidi. “Hapana Sam mimi nahisi acha maisha yako yaishie kihivi. Nimeshakupima kwa Mambo mengi sana nimegundua wewe unaiogopa sana damu ya binadamu pia unaogopa sana kuingiza maisha yako hatiani. Hivyo nimegundua wewe hutaweza kupambana na Masanja zaidi utasababisha wote tufe kipuzi bila kukikamilisha kile ambacho nilimuhaidi mama yangu na Mungu kuwa nitawauwa Mzee Jonasi na Mchungaji masanja huku wakiwa bado na hamu ya kuishi kwenye Hii Dunia. Hivyo nakuomba Sana Sam unisamehe. Visasi vyote vyakwako kuhusu baba yako na mama yako mimi nitavilipa. Kweli Kabsa Sam nitamuua Mchungaji Masanja na wewe mwenyewe utakuja kumuona huku kama kutakuwa na uhai wa watu kuonana Huko ambako nakupeleka”Aliongea Magreth huku akiwa anatoa kisu yake ambayo alikuwa ameipachika kiunoni tayari kwa kutaka kuniua kabsa. Kwa kweli Yale Maneno ya Sister Magreth kuongea vile ndio yalinifanya nizidi kuchanganyikiwa zaidi na hadi hapo nilibaini kuwa nataka kufa kweli. Nilikumbuka Unyama Mfupi ambae Sister Magreth alimfanyia Mzee Jonasi kisha kumchinja bila Huruma nilibaini kuwa Magreth alikuwa zaidi ya Gaidi wa Kutisha na nikileta Ujinga nitakufa. Kwa jinsi ambavyo alikuwa anaonekana Magreth usoni kumuomba Msamaha hadi anielewe niligundua ilikuwa vigumu kunielewa. Kwa Muda ule niliamua na mimi kufanya kitu kwa haraka ambacho kitaniokoa Maisha yangu. Wakati Magreth akiwa ajiandaa kukishika kisu chake vizuri ili afanye kile ambacho alikuwa anataka na mimi nilikuwa nakusanya nguvu taratibu. Yani Magreth alikuwa na Nguvu za ajabu sana maana alivyonikaba pale hata kutingishika ilikuwa kwa shida. “Sam Wewe sikuchinji kama Mzee jonasi wala sitakunywa damu kama nilivyokunywa ya Mzee Jonasi maana wewe nakuua kwa Amani maana ni Rafiki yangu kipenzi. Sam Huwezi kupambana na Mchungaji Msanja ndio maana nataka kukuua kwa Mkono wangu sitaki ufe kwenye mikono ya Masanja. Sawa utajisikia vibaya ila ndio hivyo nimegumdua huwezi. Nitakuua taratibu kwa kukuchoma kisu tumboni na utakufa haraka bila maumivu yeyote”Aliongea Tena Magreth huku Muda ule hadi machozi yalikuwa yanamtoka hali iliyonifanya kubaini kwenye Sister alikuwa ameazimia Asilimia mia kuniua. Alipomaliza tu kuongea vile alinyanyua kisu chake ili aninyome na Mimi ndipo nilipotumia Huo mwanya kujikakamua kwa kasi ya ajabu hadi vifungo vya shati vilikatika na kumsukuma ili anichie lakini bado Sister alinikaba vilivyo ingawa nilipomsukuma aliyumba na kushindwa kunichoma kisu. Bado sikukata tamaa niliendelea kujikakamua hadi tulianguka wote chini lakini sister alikuwa amenikaba vizuri . Kwa Nguvu za ajabu nilipeleka Mdomo wangu kwenye shingo ya Magreth naKungata kisha mikono yangu naye ilimsukuma kwa Nguvu na ndipo nilifanikiwa kumtupa Pembeni na kisu chake kilianguka pembeni. Alipoanguka pembeni magreth na mimi kwa kasa ya ajabu niliamka na kwenda kuwahi kile kisu ndio ikawa pona pona yangu. “Sam Naona Sasa umekikwepa kifo cha kisu huenda hukutaka kufa kifo cha kuchomwa na kisu unataka kifo cha kitu cha moto ili usione hata wakati unakufa. Labda Sam nikwambie kitu kimoja mimi nikisema nakuua huwa sibadili kabsa hivyo kifo wewe kwako kipo vile vile”aliongea Sister Magreth huku akiamka pale alipokuwa amelala na kuchomoa bastora kiunoni kwake na kuninyoshea.
Sehemu Ya 20
Kwa kweli yale maneno ambayo aliongea Magreth huku akiwa ameninyooshea Bastora yake yalinichosha kwa kweli. Kwa Nguvu zote nilijitaidi kutetea maisha yangu hadi kufikia kupigana na Magreth lengo asiniue lakini bado nilikuwa kwenye wakati mgumu sana wa kukikwepa kifo. “Ni Kweli Sister Magreth huenda Mungu hakupanga mimi nife kwa kisu maana maumivu yake makali sana kuliko ya Bastora. Hiki kifo ambacho naenda kufa huenda ndio Mungu alipanga kuwa nitakufa namna hii huku nikiwa na hamu ya kulipiza kisasi. Nakumbuka Maneno ambayo uliniambia kuwa kabla ya mama yako kufa aliwaambia Mzee Jonasi na Mchungaji Masanja kuwa watakufa huku wakiwa na hamu ya kuendelea kufa. Mama yako alikuwa yupo sahihi alikuwa hamanishi uwauwe na watu wengine ambao hawana hatia. Leo hii sister Magreth
naona umenigeuza na mimi Mchungaji Masanja maana unaenda kuniua huku nikiwa na hamu kali ya kuishi. Magreth kwenye hii Dunia hakuna binadamu aliyekamilika hata siku moja kila binadamu ameumbiwa makosa hivyo kukosea ni jambo la kawaida sana. Nimekushauri kwa lengo la kuyaokoa maisha yangu maana sikupenda kufa kabla sijalipa kisasi lakini umenihisi vibaya na kunihukumu kifo. Sina Jinsi Magreth na nipo tayari kwa kuniua niue tu. Ila nakuomba sana ukiniua hakikisha Masanja naye unamuua na Umwambie kabsa kabla ya kufa kuwa na sam alikutuma uje ulipize kisasi. Pia mpelekee Mdogo wako taarifa Klinita kuwa nimekufa ingawa bado nilikuwa na hamu ya kuendelea kuwa naye pia usimwambie kama wewe ndio umeniua wala usimwambie kama baba yako masanja ndio kamuua mama yangu”Niliongea Maneno mengi kwa huzuni wa hali juu hadi machozi yalianza kunitoka. Maana nilishindwa kuelewa magreth alikuwa na roho ya aina gani kuganda kuniua wakati nilishamuomba msamaha. “Unamaneno mazuri sana Sama kama Papa anaongea kwa Wakatoriki wenzake. Ila labda nikwambie kitu hayo maneno yako unayoongea masikioni mwangu nahisi kama unamtukana mama yangu maana hakuna kitu ambacho nakichukia kwenye maisha yangu kama maneno matamu yenye utulivu. Unajua sam ulivyoongea hivyo ndio hamu ya kukuua inapanda kwani unanikumbusha Maneno ya muuaji masanja alikuwa anaongea kama wewe. Sam nakuua sama Naomba unisamehee nakuua sam”Aliongea Magreth kwa Sauti ya Juu kisha nilisikia bastora ikilia hali iliyonifanya kubaki nimeduaa huku nikisikilizia risasi itaingia sehemu gani kwenye Mwili wangu. Katika maisha hakuna kitu ambacho kinaogopesha kama kifo cha kuona kama isingekuwa kujikaza ningejikojolea maana Dalili ya kujikojolea niliiona kabsa. Tungi Risasi ipige nilibaki nimedua pale kama dakika moja hivi huku nikisikilizia maumvi yataanzia wapi lakini sikuweza kuhisi kitu chochote. Ilibidi sasa nianze kujipapasa huku nikijiugeuza lakini nako nilijikuta sina jeraha lolote. Nilimwangalia Magreth nilikuta kainamisha uso wake chini huku mkono wake ukiwa bado ulikuwa umeshikilia bastora ambayo mdomoni mwa bastora moshi ulikuwa unatoka hali iliyomaanisha kitu cha moto kilitoka. Niligeuka nyuma kuangalia ndipo nilikuta risasi ikiwa imepiga ukuta hapo ndio niliamini kama bado sijapigwa. “Hii ni Mara ya Mwisho Sam kukusamehe mara nyingine ukiongea upuzi nitakuua bila taarifa maana nikikwambia nakuua unajua kujitetea sana. Hata Hivyo ili niamini kama sasa na wewe unamoyo wa kinyama na unaweza kumfanya kitu kibaya Masanja kunywa Damu ya Mzee jonasi kidogo ili Ujisajili kwenye kundi la binadamu wenye roho za kinyama”Aliongea Sister Magreth huku akinyanyua Uso wake ambae tayari ulikuwa umetaliwa na Machozi. Kwa jinsi ambavyo nilimuona Sister Magreth jinsi alivyo wala sikumuuliza hata damu iko wapi zaidi niliondoka mbio na kwenda kuchota Damu ya Mzee jonasi ambayo ilijigandia chini kwa mikono yangu na kuipeleka mdomoni na kuanza kuifakamia. Nilisokomeza yale mambonge ya damu mdomoni kwa kasi ya ajabu hadi nilimaliza yale ambayo niliyachota. Nilipomaliza kufanya vile Magreth alinipigia makofi na kuniambia nikajisafishe tayari kwa kwenda kukutana na klinita maana nilishachelewa kidogo kutokana na kubisha na Sister Magreth. Kwa kasi ya ajabu nilienda hadi bafuni huku bado nikiwa natetemeka bila kuamini kama nimepona kufa. Nilipofika bafuni nilijisafisha vizuri kisha niliondoka na vichwa vyangu viwili kimoja cha mama yangu na kingine cha Mzee Masanja.nilinyooka Moja kwa Moja hadi sehemu ambayo nilimwambia Klinita tukutane. Nilipofika ile sehemu Nilimkuta Klinita ameshafika na kulikuwa na Gari nzuri sana ilikuwa imepaki pembeni. Ile hali ilinishitua kidogo na kuhisi huenda klinita alikuwa na watu wengine. Sikutaka kuogopa sana nilisogea hadi nilimfikia Klinita. Klinita aliponiona Nakuja alinikimbilia na kuja kunikumbatia.
INAENDELEA

