TANGA RAHA
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 6
“Samahani kaka yangu sijui ninaweza kuipata nambaya yako ya simu?”
“Powa”
Nikamtajia namba yangu ya simu kisha akanibip na akaondoka kwa furaha akijumuika na wahudumu wengine waliokuwa wakishuhudia yule msichana aliye taka kuzama kayika swimming pool.Nikamuona Rahma akija kwa hatua za haraka eneo nililokaa huku akionekana kuwa na wasiwasi
“Baby upo salama?”
“Ndio mbona umekuja haraka haraka kiasi hicho?”
“Wee acha tu kuna rafiki yangu yupo hapa amenipigia simu na kuniambia umezama kwenye swimming pool yaani amenifanya mpaka hapa mapigo yangu ya moyo hayapo sawa”
“Amekudanganya kuna wasichana wawili walikuwa wakiogelea hapa mmoja akaomba msaada wa kuokolewa ndio maana na mimi nikamuokoa.Ila sikuzama”
“Pole sana mpenzi yaani bado nusu presha ipande”
“Imekuwaje huyo rafiki yako anijue wakati hujawahi kuniambia kwamba kuna rafiki yako anayatambua mahusiano kati yangu na wewe?”
“Hapana Sir sikutaka kukuambia kwani nilijua utakasirika ila ni rafiki yangu mmoja yu ndio nimemuamia kuwa wewe ni mpenzi wangu ila yeye amekuja huku na bwana yake”
“Rahma kuwa makini bwana isije ikafikia hatua ukasababisha nikafugwa si unajiju wewe bado ni mwanafunzi”
“Nimekuelewa Sir ila nakuomba unisamehe kwani sipendi ukasirike mpenzi wangu”
“Powa ila sitaki hii siri ivuje pale shule kwani itanigharimu sana”
Tukachagua eneo jengine la kwenda kukaa na kuanza kuzungumza mambo mengi juu ya maisha yetu huku tukisimuliana maisha ya nyuma.Nikaanza kumsimulia Rahma historia ya maisha yangu
“Kusema ukweli mimi nimezaliwa katika familia ya kimasikini mkoani Morogoro na wazazi wangu walifariki na kuniacha nikiwa na umri wa miaka kumi huku mdogo wangu anaye fwatia ni wa kike ambaye kipindi wazazi walipo fariki walimuacha akiwa na miaka saba.Kitu ambacho wazazi wetu walituacha nacho ni shamba la heka kumi pamoja na ka-jumba kamoja ka matofali ya kuchoma.Kutokana na uroho wa mali wa ndugu upande wa baba wakatupokonya shamba la mpunga tulilo achiwa mimi na mdogo wangu na wakali-uza
Hawakuishia hapo wakatufukuza katika nyumba ambayo tulikuwa tunaishi na mdogo wangu na kutokana ni kijijini na ilikuwa ni miaka ya nyuma hatukujua ni wapi kwa kwenda kushtaki.Usiku ambao sinto usahau ni usiku wa tarehe 24 mwezi wa 12 ambapo tulikuwa tunatoka na mdogo wangu katika mkesha wa krismasi,Kutokana hatukuwa na makizi maalumu ya kuishi sisi kila sehemu kwetu ilikuwa ni kambi.Tukiwa tunajiandaa kulala nje ya duka moja lililokuwa kijiji cha pili kutoka katika kijiji chetu ambacho ndugu wa upande wababa walitufukuza na walituambia tusionekane kabisa katika kijiji hicho la sivyo watatufanyia kitu mbaya.Sungusungu wapatao wanne walituzingira na walinishika mimi na kunifunga kamba katika miguu na mikono kisha mdogo wangu wakambaka na kumuingilia kinyume na maumbile huku wakipokezana kwa zamu na kusababisha kifo cha mdogo wangu mbele ya macho yangu.”
Sikuweza kuimalizia story ya maisha yangu na nikajikuta ninalia kama motto mdogo mbela ya Rahma huku naye kwa kunionea huruma machozi yakaanza kumdondoka taratibu huku akijaribu kuninyamazisha kwa kunibembeleza.Rahma akatumia kama dakika kumi na tano kunibembeleza hadi nikanyamaza
“Eddy pole sana mpenzi wangu”
“Nimepowaa ila katika maisha hiyo ni hali ya kawaida na huwakumba wanadamu wengi”
Kutokana muda ulishakwenda sana tukaondoka na kuingia katika gari na safari ya kurudi Tanga mjini ikaanza
“Baby hivi unaweza kuendesha gari?”
“Hapana siwezi kuendesha.Alafu Rahma uwe unaniita Sir Eddy kwani siku unaweza ukajisahau shule na kuniita Baby mbele ya watu ikawa ni balaa jengine”
“Sawa usijali kwahilo na siku tukipata muda nitakufundisha gari sawa mpenzi wangu”
“Nitashukuru”
“Alafu Sir kuna kitu nitakuambia pale kitakapo kamilika”
“Huwezi kuniambia wakati huu?”
“Hapana nataka nikufanyie surprise”
Tukafika Tanga mjini na akanipeleka katika bustani moja inaitwa Forozani ambayo ina mjumuiko wa watu mbali mbali wanopata chakula na vinywaji huku wengine wakipiga story zao,Tukashuka kwenye gari huku nikiwa nimevalia kofia ya Rahma iliyo niziba uso ili hata kama kuna mtu anaye nifahamu isiwe ni rahisi kunitambua vizuri.Rahma akaagizia chakula kikaletwa na muhudumu tukaanza kula.Tulipomaliza tukaingia tena kwenye gari na safari ya kwenda kwangu mtaa wa Chuda ikaanza,haikuchukua muda kufika kwangu.Rahma akalisimamisha gari sehemu ambayo alilisimamisha asubuhii nikashuka kabla hajafika simu yeke ikaita na akaonekana kustushwa na simu hiyo.Akaipokea na kuanza kuiogea nayo kwa upole huku akitumia lugha yao ya kiarabu.
Rahma akiwa anaendelea kuzungumza na simu kwa mbali nikamuona Mama Fe-ty(Fatuma) akija katika eneo la ninapoishi hokum akiwa ameongozana na mwanamke mwengine ambaye sikuweza kumtambua mara moja kwani bado wapo mbali kidogo na nilipo simama mimi
Rahma akamaliza kuzungumza na simu akashush kiio cha gari katika upande nilio simama mimi
“Baby wala siingii ndani hapa baba amenifokea kama nini kwa jinsi nilivyo chelewa”
“Sawa tutaonana kesho shule?”
“Powa.Nakupenda Sir Eddy”
“Hata mimi ninakupenda pia”
Rahma akawasha gari na kuondoka.Nikabaki nimesimama huku nikiwaona Mama Fety na mwenzake wakija nilipo simama
“Mambo Eddy?”
“Powa vipi?”
“Safi mida ya mchana nilikuja sikukuta ulikwenda wapi?”
“Kuna sehemu nilikwenda kufwatilia mambo yangu ndio ninarudhi hivi”
“Ahaa vipi chai ulikunywa”
“Ohhh yaani mwanao alipokuwa anaileta yaani nilikuwa ndio naondoka ikanibidi niiweke ndani na sasa hivi kama unavyo niona ndio ninarudi”
Nikamuona rafiki wa Mama Fety akimminya Mama Fety kiunoni kama anapeana ishara ila si-kujua ni ishara ya nini
“Karibuni ndani”
Tukaingia chumbani kwangu nikawakaribisha na kuwawashia video waangalie wanachopenda kuangali.
“Baby huyu ni rafiki yangu anaitwa Saumu…..Saumu huyu kama nilivyo kuadisia anaitwa Eddy ndio mahabuba wangu”
Utambulisho alio ufanya Mama Fety haukunifurahisha hata kidogo japo ninajitahidi kuweka sura ya furaha usoni kwangu
“Nashukuru kukufahamu Eddy”
“Na mimi pia nasg=hukuru kukufahamu”
Nikachukua Laptop yangu na kuanza kupangilia mada nitakazo fundisha shuleni siki itakayo fwata.Wakaendelea kutazama Video baada ya muda Mama Fety akanyanyuka kutoka katika sofa alilo kaa hadi kwenye sofa nililo kaa mimi.
“Baby”
“Mmmmm”
“Mbona upo kimya jamani hata huzungumzi na sisi?”
“Kuna kazi hapa nina ifanya si unajua kesho ni Jumatatu inanibidi kupangilia kila kitu cha ku-fundisha mapema ili kesho nisipate tabu”
“Utamaliza saa ngapi?”
“Kwani munataka kuondoka?”
“Hapana ila nilitaka kujua ni saa ngapi utamaliza kwani mimi na rafiki yangu tunataka tukupe-leke ukashangae shangae mji”
“Kwa hili best itakuwa ngumu”
“Kwa nini jamani?”
“Hap nilipo nimechoka kiasi kwamba nikimaliza tu hii kazi nalala ili kesho nisichelewe kazini”
“Jamani Baby si tunakwenda mara moja mida ya saa tano tano tunarudi”
“Yaani kweli kwa hapo nisamehe baby hembu tufanye siku nyingie”
“Mama Fatuma kweli shemeji Eddy anaonekana amechoka muache apuumzike kwani si yupo kila siku”
“Shemeji umeona eheeee”
“Haya bwana mumeamua kunishambulia watu wawili basi sina jinsi inabindi nikubaliane na nyini”
Nikashukuru Mola kwa shemeji Saumu kunitetea.Mama Fety akarudi alipokuwa amekaa awali na kuendelea kutazama video,baada ya dakika kumi wakaaga na kuondoka mimi nikashukuru Mungu.Nikamaliza kufanya kazi zangu nikaingia bafuni nikaoga na kupanda kitandani na kuaanza kuulazimisha usingizi huku kumbukumbu za maisha yangu ya nyuma zikianza kunijia akilini.Machozi yakaanza kunimwagika nilipokumbuka jinsi baba na mama walipokufa siku moja wakiwa shambani wakilima.Inasadikika kuwa radi ya kimiujiza iliwapiga na kuwaua na chakushangaza jua lilikuwa ni kali katika siku hiyo na hapakuwa na dalili yoyote ya mvua kushusha.Sura ya mdogo wangu ikaanza kunijia nikakumbuka kipindi mdogo nilipokuwa nina cheza naye hadi siku anafariki kwa kubakwa mbele ya macho yangu
Nikakumbuka jinsi nesi mmoja laiyejitolea katika kunisaidia akanipeleka katika kituo vha kulelea watoto yatima kilichopo Iringa ambapo nilipata fursa ya kuendelea na elimu yangu ya msingi na kufanikiwa kufaulu vizuri na kuendelea na eleimu yangu ya sekondari hada kidato cha sina na kufanikiwa kuingia chuo na kusomea ualimu.Na hapo ndipo nikaajiriwa Tanga Mjini na katika maisha yangu yote nilitokea kuwaogopa wasichana hadi Rahma aliponitoa uoga wangu siku mbili za nyuma.Kwa msongamano wa mawazo nikapitiwa na usingizi na kulala.
Nikastushwa nn sauti ya mlio wa saa yangu ya ukutani ikiniashiria ni asubuhu,Nikajiandaa na kwenda zangu shule kuwajibika.Nikafika shule moja kwa moja nikaongoza hadi ofisini na ku-wakuta baadh ya wanafunzi waalimu wakiendele na na maandalizi ya masomo yao tukasali-miana nao na kukaa katika sehemu yangu.Kendelea ya wanafunzi kukusanyika ikawadia kama kawaida yangu nikaenda kwenye mkusanyiko huo wa wanafunzi ambao mara nyingi waalimu tunautumia katika kutoa matangazo.Wanafunzi wakiwa wanaendelea kuwepo mstaarini nikaliona gari alilo kuja nalo Rahma jana nyumbani kwangu.Akashuka mwana mama wa kiarabu huku wakiongozana na Rahma anayeonekana mnyonge kama mtu aliyetoka kupigwa muda mchache ulio pita.Wakapokelewa na mwalimu wa zamu na kuelekezwa katika ofisi za waalimu.Furaha yangu yote ikapotea nikajikuta nina shauku ya kutaka kujua ni kwanini Rahma ameletwa shule tena akiwa katka hali ya unyonge.
Wanafunzi walipo tawanyika nikaelekea ofisini na kuwakuta Rahma na Mama aliyemleta huku wakiwa wanazungumza na mwalimu wa zamu
“Malimu hii toto kuwa jinga sana……yeye chelewa chelewa rudi nyumbani chelewa amka yeye leo fanya tia yeye makofi awai amka ndio lete mimi hapa shule”
Mama aliye mleta Rahma alizungumza kwa Kiswahili kibovu ila niliweza kumuelewa,Rama akawa ananitazama kwa macho ya kuuiba iba huku akiwa amenunu
“Sawa mama tumekuelewa ila mwanao si jeuri na tabia yake ni njema labda hiyo tabia ya ku-chelewa awe ameianza siku za hivi karibuni”
“Sawa malimu ila jana yeye danganya mimi na baba yake kwamab kwenda kwa nyanya yake ila nyanya yake dai yeye akukaa hata saa moja akaondoka hata jui alikuwa wapi na yeye rudi nyumbani saa tatu usiku”
“Rahma jana ulikuwa wapi?”
Mwalimu wa zamu alimuuliza Rahma na kunifanya nianze kuogopa kwani sikujua Rahma atajibu kitu gani kwani kili nilipomtazama usoni nikahisi ataitoa siri
“Sir jana mimi nilikwenda kwa bibi ila nikawahi kuondoka wakati ninarudi nikakuta kuna ajali ile barabara ya Mwahako basi pale nilitumia kama masaa mawili tukisubiri wagari yaliyopata ajali yatolewe barabarani…….Baada ya hapo nikaendelea na safari yangu….Nikiwa njiani gari ikapata pancha sikuwa na jinsi zaidi ya kumpigia fundi ninayemjua atoke huku mjini hadi sehemu mimi nilipo kufika kwanza akawa hana vifaa ikamlazimu arudi tena mjini ndio aje na kifaa cha kugungulia tairi za gari nililo kuwa nalo.Mpaka tunamaliza ni saa mbili usiku”
Uongo wa Rahma ukafanania na ukweli nikajikuta nikishusha pumzi kidogo nguvu zikaanza kunirejea.
“Jana nimemuelewesha baba akanielewa sasa sijui kwanini mama yeye amekuwa mbishi….”
“Malimu hii toto anza tabia ya vivu leo hadi amsha na makofi si kazi ndogo”
“Sawa mama hilo tutalifanyia kazi”
“Mimi malimu taka huyu kula bakora tano za nguvu kesho yeye menyewe atakumbuka wahi shule”
“Sawa”
“Taka ona mbele yangu wewe chapa hii toto zembe”
Mwalimu wa zamu akanyanyuka na kufungua kaati ambalo tunahifadhia fimbo akatoa fimbo moja ya mti wa mpera ambayo imekaukavizuri na kukaa katika kiti chake.
“Rahma chukua hii fimbo nenda pale kwa Sir Eddy akakuchape mimi mkono wangu unani-uma.Sir Eddy hembu nichapie huyo mualifu kwa niaba yangu”
Mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio kwani tangu nianze kazi yangu ya uwakimu sikuwahi kumchapa mwanafunzi wa aina yoyote na mbaya zaidi mwanafunzi ninaye anza kumchapa ndio kiburudisho cha roho yangu.Rahma akanipa fimbo huku akinikonyeza
“Wewe kijana taka chapa Rahma fimo za nguvu usimlezee kabisa”
Mama Rahma alizungumza na kuzidi kuigopesha.Nikimtazama Rahma usoni ananiambia nim-chape kidogo kidogo kwa sauti ya chini sana ambayo haikuwa rahisi kwa wengine kutusikia huku sura yake ikiwa imejaa huzuni,nikimuangalia mama Rahma ninamuona jinsi alivyo na shauku ya kuona mwanae ninamchapa
Sehemu Ya 7
“Wee weka mkono vizuri ukikwepesha ninafuta ninaanza upya”
Nilizungumza kwa kujikaza huku Rahma akionekana kuwa muoga wa kuchapwa.Akanyoosha mkono wake,Nikashusha fimbo ya kwanza kwa nguvu kwenye kiganja chake na ku fanya Rahma kutoa kelele ya maumivu na kuanza kulia
“Weka weka vizuri mkono wako”
Rahma akauweka huku akinitazama kwa jicho la hasira,Nikashusha fimbo ya pili ikiwa na jazo wa nguvu kama fimbo ya kwanaza.Rahma akavivikicha viganja vyake kisha akaweka tena huku akionekana kununa na sura yake kubadilika na kujawa na hasira.Fimbo ya tatu ikatua katika kiganjani Rahma hakuosogeza kiganja chake,Fimbo ya nne na ya tano zote zikamwingia katika kiganja chake huku zikiwa na ujazo sawa.Akaushusha mkono wake akaniangalia kwa sekude kadhaa huku akinipandasha na kunishusha pasipo waalimu wala mama yake kuona kwani aliwapa mgongo kisha akaondoka sehemu yangu na kurudi alipokuwa amesimama mwanzoni
“Nenda zako darasani”
Mwalimu wa zamu alimrihusu Rahma akaondoka na kuniacha nikiwa ninajiuliza sijui nitatu-mia mbinu gani kumtuliza Rahma kwani tayari nimesha jichafulia C.V.Mama Rahma akasima-ma na kuja nilipokuwa nimekaa na kunifanaya nistuke kidogo
“Malimu wewe onekana upo serious na kazi yako.Omba wewe fwatii nyendo zote za huyu binti na ngoja patie wewe namba yangu ya simu.Chochote mbaya anafanya julisha mimi ”
“Sawa”
Mama Rahma akanipa namba yake ya simu kisha akatuaga na kuondoka zake laity kama ange-jua ameniachia msala wala asingenipa hata hiyo nambay yake ya simu.Nikabeba vitabu vyangu na kuelekea darasani kwa kina Rahma ambapo kipondi cha somo langi la Biology ndia cha kwanza.Nikamkuta Rahma ameegemeza kichwa kwenye meza huku rafiki yake akimbembeleza.Wanafunzi wote wakasimama kunisalimia ila Rahma hakusimama zaidi ya kubaki kama nilivyo mkuta.Nikafundisha nilichopamga kukifundisha katika siku hiyo kisha nikatoka darasani huku nikumuavha Rahma akiwa katika hali yake
Kabla sijafika mbali kutoka darasa la kina Rahma mwanafunzi ambaye alikuwa anambembele-za Rahma aliniita na kuja hadi nilipo simama
“Sir kuna mzigo wako nimepewa na Rahma nikupatie”
Akanipa kikaratasi pasipo mtu yoyote kuona.Nikaondoka na kwenda ofisini nikaweka vitabu vyangu kisha nikaelekea chooni ili niweze kukisoma kikaratasi hivyo kwa shauku.Nikafunga malango wa chooni nikakitoa kikaratasi nilicho pewa na kuanza kukisoma
{EDDY…..EDDY……EDD
Nimekuita jina lako kama lilivyo ili ujue nimekasirishwa na use**e ulionifanya.Wewe si mtu wa kuninyanyulia mkono wako na kunipiga mimi kisa umemuona mama yangu na ukajaa siifa hadi hilo bichwa lako likakaribia kupasuka.Tambua nimekuokoa katika mengi nilikuwa sishindwi kuwaeleza wazazi wangu kuwa wewe ndio unaye nit***a na ndio hapo ungejua kuwa baba yangu ni mtu wa aina gani.Umeona haitoshi ukanichapa mafimbo yako hadi hapa kiganja kilipo kimevimba.SASA
WEWE SI UMEIANZISHA VITA BASI UMEIPATA NITAKUFANYIA KITU KIBAYA AMBACHO HUTOKUJA KUNISAHAU KATIKA MAISHA YAKO WEWE JANA SI ULINAIMBIA MDOGO WAKO ALIBAKWA NA KUFA MBELE YAKO SASA NA MIMI NITAHAKIKISHA NINATUMIA KIASI CHOCHOTE CHA PESA ILI NA WEWE UBAKWE MBELE YA MACHO YANGU NA WANAUME WEZAKO NA MIMI HIYO NDIO ITAKUWA MALIPO YANGU
BY:ONE ARMY LADY(msichna wa jeshi moja)}
Hadi ninamaliza kusoma kikaratasi nikajikuta mwili mzima ukimwagikwa na jasho huku mi-kono ikinitetemeka kama nimepigwa na shoti ya umeme.Sikujua hata nifanyenye niaanza kumlamu mwalimu wa zamu ni kwanini hakumalizana na Rahma yeye mwenye.Nikarudi ofisini kila story iliyokuwa ikipigwa ndani ya ofisi hiyo na waalimu wengine wala sikuzielewa kabisa na nikajikuta msongamano wa mawazo ukinipelekesha puta
“Sir Eddy una tatizo gani?”
Madam Zena aliniuliza na kuwafanya waalimu wote kuniangalia wakisubiria jibu langu
“Ahhaa kichwa kina nisumbua kidogo nahisi ni homa”
“Fanya ukapime kwani mbu wa Tanga hawana masihara kabisa katika kunyonya damu”
“Sawa”
“Madam nimekuelewa”
“Eddy au timu yako jana imefungwa ndio umekosa raha”
Mwalimu mwengine alinitania na kuwafanya wengine wacheke
“Wee Sir Sm hembu muache mwenzako si unaona anaumwa….Mwaya Eddy ukizidiwa sema nikupeleke kwako”
Kauli ya mwalimu Zena ikawafanya waalimu wengine kugua na kuanza kucheka na wakaendelea kutaniana.Nikapata wazo la kwenda darasani kwa kina Rahma kwani muda wa mapumziko bado haujafikia.Nikamuomba mwalimu niliye mkuta akifundisha aniitie Rahma.Jibu alili nipa likazidi kunichanganya
“Rahma aliniomba ruhusa kama dakika 20 zilizopita kwa jinsi anavyo onekana anaumwa sana”
“Asante mwalimu”
Nikarudi ofisini huku mawazo yakizidi kuniandama sikujua hata nifanyanye.Nikakusanya viti vyangu ambavyo ni muhimu nikaviweka kwenye begi langu na kuomba ruhusa kwa mwalimu mku.Madam Zena akaniomba anisindikize kwa kutumia gari yake ndogo.Sikuwa na kipingamizi zaidi ya kumkubalia.Nikamuelekeza hadi tukafika kwangu tukaingia ndani nikamkaribisha kinywaji Madam Zena taratibu akaanza kunywa
“Ehee Eddy kwako ni kuzuri mtu akiingia anaweza akasema umeanza kazi miaka mingi kumbe hata mwezi mwenyewe huna”
“Asante…”
“Unaishi na nani?”
“Peke yangu”
“Duu hongera sana ndugu yangu”
Simu yangu ikaingia meseji na namba iliyoleta meseji hito imeandikwa PRIVETE.Taratibu ni-kaanza kuisoma meseji hiyo
{NIPO NJE NAKUFWATILIA KILA HATUA NA HUYO MALAYA ZENA ULIYE NAYE NDANI KWA-KO NITAMUUA UKISHUHUDIA}
Nikatamani ardhi ipasuke nidumbukie.Nikazidi kuchanganyikiwa pale Madam Zena aliponiaga anataka kuondoka ili akawahi kipindi chake cha kufundisha baada ya mapumziko ya saa nne asubuhi
“Madam ninakuomba usiondoka please”
“Kwa nini Eddy wakati nimesha kuleta hadi nyumbani?”
“Na penda tu leo unipe kampan yako ya kukaa hapa kwangu nakuomba”
Madam Zena akajifikiria kwa sekunde kadhaa kisha akatoa simu yake na kupiga kwa mtu ila si-kujua ni nani
“Sir Barongo”
“Nakuomba unishikie vipindi vyangu kaka yangu kama huto jali kidogo nimepata dharura”
“Nashukuru kaka yangu haya Mungu akipenda kesho”
Madam Zena akakata simu kisha akairudisha kwenye begi lake na kuniangalia huku aikitabasa-mu
“Sasaa hapa ninaweza kukaa kwa amani….Ehee mgonjwa una CD gani nzuri nzuri za movie”
“Kwa CD tu hapa utakesha”
Madam Zena akachukua makasha ya CD yaliyopo chini ya meza ya kioo na kuanza kuangalia kasha moja hadi jengine hadi akakuta kasha lililoandikwa PIRATE ON BLACK SEE akaitoa CD yake na kuiweka ndani ya deki kisha akarudi kwenye sofa na kukaa.Madam Zena akaanza kuguna baada ya CD hiyo kuanza kwani imeshamiri mambo ya kikubwa yanayo onyeshwa live bila chenga
“Sir Eddy hivi hizi CD unazitolea wapi?”
“Kwa nini?”
“Huwa ninazitafuta ila sizipati”
“Kuna maeneo ya pale forozi karibu na benki ya NMB kuna jamaa best yangu anaziuza”
“Bei gani?”
“Elfu tatu”
“Basi kuna vijana walinipitishia wakaniuzia kwa elfu ishirini”
“Dooo wamekutapeli hao”
“Tena wamenitapeli sana kwani CD lenyewe lina scratch kama nini”
“Basi nitakutafutia”
Madam Zena akaendelea kutazama CD huku akionekana kunogewa kwa jinsi watekaji wa meli katika CD hiyo wakipeana mambo matamu,Nikatazama Wallet yangu na kukuta nina pesa ya kutosha.
“Zena ngoja nikanunue chakula cha mchana”
“Haupiki?”
“Sijisikii kupika”
“Lakini mimi si nipo ninaweza kupika”
“Utapika siku nyingine ila nakuomba kama mtu yoyote akigonga usimfungulie hadi usikie sauti yangu”
“Sawa ila ni kwanini?”
“Watu wa mtaa huu ni wasumbufu sana na wamesha anza kunizoea vibaya”
“Sawa au unaogopa vimanzi vyako vitakuja?”
“Sina manzi wala nini wewe fanya kama nilivyo kuambia……………Nikuletee kinywaji gani?”
“Kwanza unakwenda kununua nini….”
“Alafu sikukuuliza nikuchukulie chakula gani?”
“Mimi niletee chipsi yai na kuku nusu nikipata na castel mbili baridi utakuwa umeifanya siku yangu ikawa powaaa”
“Powa nitafanya hivyo ila na wewe fanya kama nilivyo kuagiza usije ukafungua mlango”
“Sawa Eddy nimekuelewa”
Nikatoka chumbani kwangu na Madam Zena akaufunga mlango wangu kwa ndani lengo langu ni yeye kuweza kuwa katika hali ya usalama kwani kuna watu wameanza kunipa vitisho kwa njia ya meseji.Nikamsalimia bibi kizee mwenye umri kwa makadirio yangu unao fika miaka 70 hivi.Aliyekaa nje ya nyumba ya jirani na ninapo ishi
“Marahaba mjukuu wangu.Hujambo baba”
“Sijambo haya mimi ninapita”
“Sawa…..ila kijana nakuomba mara moja”
Nikamsogelea sehemu aliyokaa na akanionyesha sehemu ya kukaa huku macho yangu yakili-chunguza eneo la hapo kwani mtu aliye nitumia meseji alidai yupo maeneo haya huku akijua nipo na nani ndani kwangu
“Kijana unaitwa nani?”
“Ninaitwa Eddy”
“Ahaaa Eddy mjukuu wangu inavyoonekana wewe ni mgeni hapa Tanga?”
‘Ndio”
“Wewe ni mwenyejii wa mkoa gani?”
“Morogoro ila nimeishi sana Iringa”
“Ahaaa…….Eddy wewe ni sawa sawa na mwanangu au mjukuu wangu unapoenenda kinyume inanipasa nikurekebishe”
Nikaanza kujifikiria ni makosa gani niliyo yafanya hadi huyu bibi anasema anataka kunirekebi-sha
“Ndio bibi”
“Eddy mwanangu wewe unatabia moja ambayo unaifanya na inanishangaza sana na kunikera”
“Tabia gani bibi yangu?”
“Eddy wewe unatabia ya kufungulia mredio wako kwa sauti ya juu na wala huangalii kama kuna nyumba za majirani.Mjukuu wangu mimi hapa ninaugojwa wa moyo sasa nikisikia ile midundo ya jiredio lako basi unaniweka katika hali mbaya kama nini”
“Sawa bibi nime kuelewa sinto fanya hivyo tena”
‘Itakuwa vizuri sana kama ukinielewa……Na kingine mjukuu wangu kuna wasichana jana usiku niliwaona wanaingia upande wa nyumba yako”
“Ndio alikuwa ni Mama Fatuma na rafiki yake kidogo jina limenitoka wanaishi mtaa wa hapo mbele”
“Swadataa huyo Mama Fatuma mimi ninamjua kwa jina lake alisi anaitwa Asha……Mjukuu wangu yule mwanamke hapa mtaani kwetu hana hata rafiki na isitoshe ni mwizi sasa wewe wakaribishe karibishe ndani kwako watakuibia wakurudise nyuma kimaeneleo”
“Kumbe ni waizi…..!!?
“Mjukuu wangu wala usiseme kidogo kigogo wale ni mijiwezi hapa mtaani watu wanashindwa kukuambia tu labda kutokana hawajakuzoea……..Na mtindo wao wale ni kuwawekea waname dawa inaitwa Limbwata hiyo huweka kwenye chakula ukila tuu unajikuta unampenda hadi anakukomba kila kitu ukija kustuka umebaki mtupu hata chupi za ndani utakuwa huna”
Hapo ndipo nikaanza kupata picha na kujiuliza ni kwanini jana Mama Fety(Fatuma) alimuagiza mwanae aniletee chakula pasipo yeye kuja na kwanini alipokuja usiku walikuja wawili wakawa wanapeana ishara za macho na mbaya zaidi alionekana mnyonge nilipokuwa nimemuambia sijanywa chai aliyoletwa asubuhi na akaanza kunilazimisha aende kunionyesha mjii
“Mjukuu wangu hayo maneno ninayo kuambia uyaweke akilini tena sana kwani wale mabinti si watu wazuri.Na wanakijana waoo mdogo hivi wa kiume mweusi mweusi sijui anaitwa nani..?”
“Jumaa”
“Eheee huyo huyo huyo huwa wanamtuma kwenda kutazama mazingira ya chumba cha mtu wakikuona unavitu vya thamani basi ndio ukaribu unaanza na mwisho wake ni kukupuna kila kitu ulicho nacho”
Nikashusha pumzi nyingi huku nikimtazama bibi na kila kitu anacho kizungumza ni kweli kimetokea kwani siku tu niliyonunua vitu vya ndani kwangu mtoto Jumaa aliniomba aje kuangalia mpira na sikujua ni nani aliye muambia kwangu nimenunua DSTV.
Sehemu Ya 8
“Mjuukuu wangu hao wanawake si wazuri kabisa yaani watakutia matatizoni wakati wewe kijana bado mbichi unatafuta maisha……Ngoja kuna dawa nikuletee uwe unajipaka mikononi hata mtu mwenye nia mbaya na wewe hata weza kukudhuru kirahisi”
“Sawa bibi”
Bibi akanyanyuka kivivu vivu na kuingia ndani mimi nakabaki ninajiuliza maswali,Gafla maswali yote yakakata baadya ya kumuona mtu aliyevalia baibui ninja akimalizikia kuingia katika upandea wa nyumba yangu na nikajua moja kwa moja anaelekea chumbani kwangu kwani katika upande huo wa nyumba ninaishi peke yangu.Nikanyanyuka haraka na kuanza kupiga hatua za kueleka nyumbani kwangu huku nikijiuliza ni nani anaye kwenda ndani kwangu.Kitendo cha kufika usawa wa chumba changu naye mtu huyo akaingia ndani kwangu na mlango ukafungwa.Kwa haraka nikapiga hatua hadi mlangoni kwangu nikausukuma mlango nikakukta umefungwa kwa ndani.
“Zena…..Zena”
Nikaita mara mbili ila sikuitikiwa zaidi ya kuisikia sauti ya TV yangu.Nikagonga mara mara tatu mfululizo na mlango ukafunguliwa na Madam Zena huku akiwa anatabasamu ila macho yake yana uwekundu kiasi.
“Eddy vipi mbona high high kuna tatizo?”
Nikachungulia na kumuona Madam Rechol akivua baibui lake na kukaa juu ya sofa langu,Kidogo mapigo ya moyo yakatulia
“Ehhe mgojwa mboa unazunguka zunguka na jua si utajiongezea homa?”
Madam Recho alizungumza huku akinyanyuka kwenye sofa na kuja kusimama kwenye mlango
“Hapana nilikuwa nimekwenda kununua chakula”
“Sasa chakula chenyewe mbona hujaja nacho?”
“Ndio nataka niende hivi”
“Eddy saa zote hizo”
“Nisubirini ninakuja”
Nikaondoka na kuwaacha wakirudi ndani nikafika kwa bibi na kumkuta nje akishangaa shan-gaa
“Mjukuu wangu nilidhani umenitoroka”
“Hapana bibi kuna rafiki yangu nilikwenda kumkaribisha”
“Sawa,sasa mwanangu haya mafuta ni ya mti wa mzaituni yametoka huko uarabuni ila haya mafuta nimeyachanganya na dawa nyingine za asili.Utakuwa unapaka kwenye viganja vyako kila asubuhi ukiwa unataka kutoka kwenda kwenye mishuhuliko yako”
“Asante bibi yangu”
Nikachukua kichupa kidogo na kukiweka mfukoni kisha nikatoa elfu kumi na kumpa kama asante japo mara ya kwanza alisita sita ila akaipokea
“Ukiwa na shida yoyote mjukuu wangu inayohusiana na tiba asilia usisite kuniambia”
“Sawa bibi yangu”
Nikaondoka na kwenda kwenye baa ambayo nilinunulia chakula juzi usiku.Nikatoa idadi ya saani ninazo zitaka kwa mpishi wa jikoni.Akaanza shughuli ya kunitengenezea chaku-la,Haikuchukua muda sana mpaka chakula kukamilika.Akanifungia kwenye mfuko mmoja mkuwa nikamlipa pesa yake na nikanunua bia za kopo kumi na mbili na soda mbili take away na kurudi nyumbani.
Nikiwa njiani ninarudi kwangu nikaona jamaa wawili wakinifwatilia kwa nyuma na kila nilipo-geuka wakasimama na kujifanya wanafanya mambo yao.Nikaendelea huku nikianza kujiandaa kwa chochote watakachotaka kukifanya.Nikaongeza mwendo nao wakaongeza mwendo,sikuwa na wasiwasi sana kutokana nimefika karibu na nyumbani kwangu na eneo nililopo lina watu wengi wakiendelea na shughuli zao.Nikamkuta bibi nje kwake kwa kuwazuga nikaenda kukaa naye na jamaa wakapita huku wakinitazama kwa jicho la kuiba iba
“Wezi wengine walee vijana wawili walio ongozana waangalie miguu yao ilivyo mibaya”
Bibi alizungumza huku akiachia msunyo mkali na ikanibidi nicheke kwani jinsi sura yake alivyo iweka ikanipa nafasi ya kuyaona mapengo yake mdomoni kwake
“Huu mtaa una wezi ehee?”
“Ehhee ila hapa kwangu hawaibi”
“Kwa nini bibi?”
“Ninawatoa vibusha wao wenyewe wananijua mimi ni nani”
Nikacheka na kumpa bibi soda moja kisha nikamuaga na kwenda nyumbani kwangu,nikagonga Zena akanifungulia mlango,Cha kushangaza nikamkuta Recho amejifunga taulo huku Zena akiwa amejifunga khanga moja
“Ehee wageni naona mumebadilisha mavazi?”
“Eddy huku ndani kwako kuna joto kama nini ndio maana Rechol akavaa taulo lako”
“Na wewe hiyo khanga umeipata wapi?”
“Niliikuta hapo chini ya sofa kwa upande wa chini imeanguka au ni ya wifi?”
“Hakuana wifi wal nini….Movie haijaisha bado?”
“Bado hapa naona ikitupandisha midadi”
“Mmmmmm……… Jamani chakula nimekiweka kwenye mfuko mmoja na kama mtu utahitaji kula pekeyako nikutolee sahani kwenye kabati?”
“Tutakula humu humu kwani hakuna ubaya wowote tukila pamoja”
“Mmmm jamani kuwanunulia niwanunulie hata kuwatengea niwatengee?.Zena hembu nyanyuka utenge chakula”
“Yes Sir”
Sote tukajikuta tukicheka na Zena akanyanyuka na kuchukua jagi na bakulia akachota maji kwenye ndoo iliyop ndani kwangu kisha na kuanza kutunawisha mmoja baadaya ya mwengine
“Rechol kwangu umepajuaje?”
“Zena alinipigia simu akanielekeza ndio nikafika”
“Ahaa kuna jipya gani shule?”
“Hakuna chochote zaidi ya kuchoshana mishaara hawaitoi na sisi tutaendelea kutegea vipindi hivi hivi tuone kama mitoto yao haita feli”
“Ila Zena tunatakiwa kuwa na uvumilivu”
“Eddy wewe unasema hivyo kutokana kazi umeianza juzi juzi sisi wenye miaka zaidi ya mitatu kazini hapa tunajionea maruwe ruwe tu”
Tukaanza kula taratibu na nikajikuta nikianza kujiuliza kuwa khanga aliyo ivaa Madam Zena ameingiaje ndani kwangu.Na ninani aliye ileta ndani kwangu nikakumbuka ilikuwa ni ghanga ya Saumu rafiki wa Mama Fety,Jana usiku walipokuja alikuwa ameishika mkononi huku akiwa ameikunja
“Eddy mbona upo kimya?”
“Kuna vitu nilikuwa nina vifikiria”
Simu yangu ikaita na namba inayopiga ni ngeni nikaiacha ikaita hadi ikakata,Ikapigwa tena ai-kanibidi niipokee ila nikakaa kimya.Nikasikia sati ya msichana akiwa analia
“Sir Eddy nakuomba unisamehee ile ilikuwa ni hasira tu yaani umeamua kuniumiza kwa kute-mea na madam Zena”
Nikajua moja kwa moja ni Rahma ilizungumza huku nikimsikia akilia kwenye simu
“Wewe ni nani mwenzangu?”
“Sir Eddy yaani hata sauti yangu umeisahau Mimi ni Rahma”
“Yupi?”
“Jamani Sir Eddy mbona unamakusudi Mimi Rahma mpenzi wako”
“Samahani dada utakuwa umekosea namba”
“Eddy jamani si wewe tafadhali mpenzi wangu siwezi kuishi bila wewe nimejaribu kukutoa ka-tika moyo wangu ila nikajua mimi ndio mwenye makosa ila tafadhali Eddy mpenzi wangu na-kuomba unisamehe ehee”
“Tafadhali dada nakuomba tuheshimiane nakuambia utakuwa umekosea namba na huyo mtu unaye mpigia mimi wala simjui labda atakuwa anaishi nyumba ya jirani”
Nikakata simu kwa hasira na kuizima nikawafanya Madam Rechol na Zena kuanza kucheka hadi wakaacha kula chakula
“Mamaaa weee kumbe Sir Eddy unazungumzaga pumba kiasi hicho?”
Madam Zena alizugumza huku akiendelea kucheka na kunifanya na mimi niungane nao kwenye kucheka.
“Yaani Eddy mtu akikuangalia usoni hivi atasema wewe bonge la mstaarabu kumbe pumba ka-ma wewe hakuna…..Unamwambia mtoto wa watu eti mtu huyo anakuwa anaishi nyumba ya pili wakati humjui”
“Sir Eddy au umetia mbimba unakimbia majukumu?”
“Mimba wapi nyinyi wanawake munazingua”
“Ehhee jamani Eddy leo umenifurahisha…..Redio yako ni ina USB system?”
“Ndio..”
Madam Rechol akasimama na na kufungua pochi yake na kutoa FLASH kisha na kuichomeka kwenye redio akachukua rimoti na kuanza kuchagua mziki na kusikiliza na kuweka mziki un-aoitwa ‘ALAJI’ na kuanza kucheza huku akiongeza sauti na kuanza kucheza huku akiyatingisha makalio yake huku ametuelekezea sisi
“Eddy umemuona mtoto huyo huko kwenu haya mambo yapo?”
“Yapo wapi nayajulia huku”
Mlango wa ndani kwangu ukagongwa nikajikuta nikipandwa na hasira nikijua lazima atakuwa ni Rahma nikanyanyuka na kwenda kuufungua.Nikamkuta ni bibi wa nyumba ya jirani amesimama kwa sura ya hasira huku mdomoni akiwa ameweka ugoro.
“Eddy mbona nataka tuuane wana wa mwanaume mwenzio?”
“Kwa nini bibi?”
“Si nimekuambia huo mredio wako unanipandisha mapresha”
“Haaa samahani bibi……..Wee Recho punguza sauti ya redio”
Suti ikapunguzwa na ikawa ya kawaida bibi akaniaga na kuondoka,Nikiafunga mlango na kujitupa kwenye sofa
“Eddy na wewe hivi vijibibi umevitolea wapi vinawanyima watu raha zao?”
“Hembu mwacheni bibi wa watu mwenyewe anadai ana ugonjwa wa moyo”
“Si afe kwani anasubiri nini……”
“Zena acha dharau je wewe si ufe kwani unasubiri nini?”
Recho akaongeza sauti ya redio hadi mwisho na kuipunguza haraka haraka na kunitazama uso-ni.Sikujua na jinsi kwani tayari pombe za mchana zimewachanganya.Recho akaendelea kucheza taarabu nayoimba ‘JAMANI NINA MWAGA RADHI’ huku wengine wakiitikia ‘MWAGAAAA’
Zena akawa anafungua taulo na kulifunaga.Mlango ukagongwa tane nikajua bibi amerudi te-na,nikasimama na kwenda kufungua mlango.Moyo ukanistuka baada ya kumkuta ni Mama Fety amesimama huku akihitaji kuingia ndani kwangu
Tukatazamana na Mama Fety kwa sekunde kadhaa huku kila mmoja akiwa kimya ikanibidi niuvunje ukimya
“Vipi mbona unakuja bila taarifa?”
“Eddy akuomba unipishe niingie ndani?”
Mama Fatuma alizungumza huku akinisukuma akitaka kupita ndani kwangu kilazima ila hakunishinda nguvu nikamzuia na akabakia amesimama huku sura akiwa ameikunja
“Eddy nataka niingie huko ndani nikamkomeshe huyo Malaya wako”
“Kwani huku ndani ni kwako wewe vipi?”
“Eddy kama unataka nikujazie watu sema sishindwi mimi nakusemesha kiustaraabu unajifanya kuweka kibesi”
Mama Fety akausukuma mkono wangu uliokuwa umemzuai mlangoni na kuingia ndani kwa hasira.
“Mwangalie lilivyo mshuka”
Mwalimu Zena alizungumza huku akimtazama Mama Fety na kumfanya aanze kuangua kicheko huku akikaa kwenye sofa
“Shosti zangu jamani nisameheni kwa kuwatukana jamani”
“Mimi nilivyo isikia sauti yako wala sikujisumbua kunyanyuka kwani tumesha kuzoea”
Madam Recho alizungumza na kunifanya nishangae hapo ndipo nikagundua wanajuana ila sikujua wamejuana juana vipi
“Eddy huyu Asha umejuana naye vipi?”
“Heee Zena hadi kujuana na Eddy unataka kujua hembu acha ushapkuna”
“Sio ushapkuna kwa maana Eddy wa watu hapa Tanga hana hata mwezi bibi wewe umesha anza kumuwekea wivu”
Wakaachia kicheko kikali huku kikisindikizwa na maneno ya kimbea ‘KANITANGAZE USIPO NI-TANGAZA NITAKUTANGAZA MIMI’ huku wakigongeana mikono na kunifanya nikae kimya
“Eddy usitushangae huyu Asha sisi tumemjua kutokana na mwanaye anasoma kidato cha pili basi huyo mtoto wake mcharuko kama mama yake haipiti mwezi bila shost huyu kutinga shule kusikiliza kesi ya mwanaye”
“Eddy wala mwanagu si mcharuko wanamsingizia tu ndio maana siku nyingine huwa ninawa-chambaga waalimu”
“Unatuchamba au tunakuchamba na safari hii mwanao akileta tu mapepe mapepe tunamtimua”
“Mtimueni kwani shule ni moja nitampeleka ulaya akasome”
“Teeee ulaya kwenyewe unapasikia ndio embuse mwanao apeleke kiuno chake huku kufanya nini”
“Si kusoma”
“Kama anashindwa kusoma Bongo unazani ulaya ataweza”
Nikakaa kimya huku nikiendelea kusikiliza maneno yao ya mipasho huku kila mmoja akijitahidi kuzumzidi mwenzake
“Kwanza shosti nyinyi haya imekuaje ndani kwa bwana wa mtu mumekaa na vijikanga vyenu?”
“Shost joto kali na hizi pombe tunazo kunywa ndio kabisa zinaongeza joto la mwili”
“Na nyinyi hampitwi na kitu munataka kuonja Eddy huyu mimi ni baby wangu wala musijipendekeze pendekeze”
“Mmmmm Asha acha wivu mtoto wa kike”
“Wivu ni lazima kila abiria anachunga mzigo wake mjini hapa”
“Heheeee kwahiyo uzee mwisho wake kilapura mjini kila mtu ni Baby”
“Ndio maana yake hiyo”
Nikaanza kufikiria jinsi ya kuwatoa ndani ya chumba changu kwani fujo za maneno ya umbea umbea na vicheko vya ajabu ajabu vilitawala.Nikakumbuka bibi alinipa kichupa cha mafuta ya mzaituni,nikakigusa mfukoni na kukikuta kipo nikanyanyuka taratibu na kuuingia katika chooo kilichopo ndani ya chumba changu.Nikachukua vijimafuta kidogo na kujipaka kwenye viganja vyote kisha nikairudisha mfukoni na ktoka chooni na nikiwakuta wote watatu wakiwa wanacheza mziki.Nikapitiliza hadi kwenye redio na kuizima
“Ahaa DJ nini tena”
Mama Fety alizungumza huku akiwa na bia ya kopo kwenye mkono wake
“Oya sikilizeni chumba changu sio disko mutatoka sasa hivi”
“Jamani Eddy mbona unakuwa na maswala ya ajabu jamani hembu wasa huo mziki”
“Nimesema hivi SITAKI CHUMBA CHANGU KIWE DISKO mutatoka humu ndani”
“Eddy na wewe mpenzi wangu hembu achia tuburuduke maisha yenyewe mafupi”
“Tena wewe koma maisha mafupi ni huko huko kwako ila si hapa ndani kwangu”
Nilizungumza kwa hasira na kumfanya Madam Rechol kukaa zake kwenye sofa ila Mama Fety na Madam Zena wakabaki wakinitazam kwa macho yaliyo jaa ulevi.
“Eddy bwana achia mziki basi tuzikoshe nafsi zetu”
Madam Zena alizungumza huku huku akinishika kiuno na kumpa nafasi Mama Fety kwenda kuwasha redio.Sikuwa na jinsi zaidi ya kutulia kimya.Ktokana na kelele zao ikanilazimu kutoka nje,nikaufunga mlango kwa nje na kwenda katika moja ya baa ya karibu na nyumbani kwan-gu,nikaagizia chupa kubwa ya maji na kuanza kunywa taratibu huku nikifikiria jinsi ya kurudi na kukabiliana na ugeni wangu nilio uacha.Nikakumbuka kuwa nimezima simu kutokana na usumbufu wa Rahma.Nikaiwasha na kuanza kuitafuta namba ya Rahma nikaipata na kuipiga ila nikakuta haipatikani nikarudia kama mara mbili zaidi majibu yakawa ni yake yaleya kuto kupatikana.Nikaitafuta ile namba aliyonipigia nayo mara ya mwisho,Nikaipata nikaipiga ikaita kamuda mchache kisha ikapokelewa na sauti nzuri ya msichana ambaye si Rahma
“Ninaweza kuongea na Rahma?”
“Rahma anaumwa shemeji hapa yupo nyumbani kwangu amelala kitandani analia tu”
“Kwa nini analia?”
“Alikupigia simu alafu ukamtukana na kumzimia simu”
“Ok mpe simu nizungumze naye”
“Yaani hawezi labda uje umuone”
“Wewe unaishi wapi?”
“Sahare”
“Mmmmm kwa guu inawezekana kuja”
“Kwani wewe upo wapi?”
“Chuda”
“Chuda ni mbali na huku labda uchukue boda boda ya piki piki kisha umuambie akulete Sahare ukifika naye kwenye kitua cha daladala nipigie nije kukuchukua”
“Sawa”
Nikakata simu huku nikifikiria nirudi nyumbani nikawafungulie kina mama Fety ila nikaona watanisumbua.Nikalipa hela ya chupa ya maji kisha nikamuita boda boda na kupanda nikampa maelekezo niliyo powa na safari ikaanza huku njia nzima nikiwaza ni ugonjwa gani umempata Rahma.Kama dakika kumi tukawa tumefika kwenye sehemu ya aladala zinapo simama nikatoa simu na kumpigia shemeji akaniomba nimsubiri kama dakika mbili,Sikuona haja ya kumchele-wesha boda boda wa watu nikamlipa pesa yake na kuondoka zake
Simu yangu ikaiita na ninamba ya shemeji ndio anaye piga nikaipokea huku nikitazama tazama kila upande katika sehemu niliyo kuwepo
“Umeiona hii gari ndogo nyeupe aina ya SPASHIO?”
Sehemu Ya 9
“Ndio nimeiona”
“Basi njoo mimi utanikuta humu ndani ya hii gari”
Nikapiga hatuahadi gari lilipo na kumkuta msichana wa kiarabu ila yeye anaonekana kama ku-changanyia damu kwani rangi yake ipo tofauti na Rahma.Nikafungua mlango na kuingia ndani
“Shem Eddy mwaya samahani kwa kukusumbua”
“Hakuna tatizo Rahma anaendeleaje?”
“Bado nimemuacha amelala.”
“Kwako ni mbali na hapa?”
“Hapana wala si mbali kivile ila nimeamua kuja kukuchukua na gari”
Tukafika katika nyumba nzuri yenye geti kubwa ambalo linajifungua lenyewe,akasimamisha gari sehemu yenye turubai kwa juu kisha tukashuka na akanikaribisha ndani.Mara ya kwanza nilianza kupata wasiwasi kutokana na ukimya mkubwa wa nyumba hiyo kwani hakuna watu zaidi yake.Akafungua moja ya chumba tukaingia na kumkuta Rahma akiwa amejilaza kiandani
“Rahma amka mwaya mumeo amekuja”
Rahma akajigeuza kitandani na kukaa taratibu akaanza kujifuta macho ambayo yanaonekana kuwa mekundu na kweli ametoka kulia muda si mrefu.Nikakaa karibu yake na kumuegemeza kifuani kwangu
“Unalia nini mke wangu?”
“Eddy kwanini jamani umeamua kutembea na madam Zena?”
“Rahma nakuapia kwa MUNGU sijatembea naye na siwezi kutembea na mwanamke ambaye simjui na hana faida katika maisha yangu”
“Ila shemeji samahani kwa kuwaingilia katika mazungumzo yenu.Hivi tatizo ni nini hadi mka-gombana ila samahani kwa kukuuliza hivyo?”
“Shemeji yaani tatizo la kukorofishana na Rahma ni tatizo moja la kitoto ambalo hata wewe ni-kikuadisia utacheka”
Nikamuelezea kila kitu kilivyo kuwa kuanzia alipoletwa na mama yake shule hadi barua aliyo nitumia ya vitisho pamoja na meseji aliyo ituma kwangu
“Jamani Rahma na wewe sasa ulidhani Eddy ataacha kukuchapa eti kisa wewe ni mpenzi wako?”
“Kaniumiza sasa kanichapa kwa nguvu kama nini”
“Ametimiza wajibu wake kama mwalimu na mbaya zaidi asinge kuchapa unadhani mama na huyo mwalimu wangewadhaniaje tena na yule mama yako anavyo hisi hisi vibaya ungemsababishia kijana wa watu matatizo”
“Tena unasikia shem.Mama yake kafanya kunipa hadi namba yake ya simu ili akileta fujo nimjulishe”
“Duuu amemkabidhi fisi bucha jamani mimi nipo jikoni ngoja niandae andae mapocho pocho ya usiku”
Shemeji akatoka nikabaki na Rahma ambaye taratibu akaanza uchokozi wa kunipapasa papasa kwenye suruali yangu huku akiiminya minya koki yangu
“Rahma hapa ni kwa watu hembu jieshimu basi”
“Hapa ni kwangu na hii nyumba ni yangu wewe kuwa huru”
“Ni yako kivipi?”
“Hii nyumba nimeinunua pasipo baba wala mama kufahamu,nikaamua kumuweka shosti yangu huyu aishi kwa muda na nilikuwa na wazo la kutaka kukuhamishia huku”
“Mmmmm ngoja hilo swala la kuhamia huku tutalizungumza”
Rahma akaifungua zipu ya suruali yangu na kuuingiza mkono kwenye koki yangu na kuanza kuiminya minya.
“Rahma ngoja kwa…”
“Eddy sitaki ningoje nini au umetoka kufanya mapenzi na huyo Zena si ndio?”
“Hapana sijafanya naye na wala sinto thubutu kufanya naye”
“Sasa kama hujafanya naye ngoja niiangalie koni yangu kama imetumika au haijatumika”
Sikuwa na ujanja zaidi ya kumuacha Rahma kufanya anachotaka kufanya,akanifungua mkanda kisha akaitoa koki yangu na kuanza kuichunguza kwa umakini huku akiwa ameisogelea
“Una bahati kweli ungekuwa umefanya naye ungenitambua”
“Wewe umejuaje kama nimefanya au sijafanya?”
“Nikuambie ili hata ukifanya ujitoe hizo alama”
“No sitaki kufanya hivo ila nataka nijue wewe unatizama kitu gani?”
Rahma hakunijibu zaidi ya kuidumbukiza koki yangu mdomoni mwake na kuanza kuimung’unya kama pipi na kunifanya nianze kusikia raha.Ulimi wa Rahma ukawa na kazi ya kzunguka kwenye kichwa cha koki yangu na kunifanya niaze kutoa miguno ya raha ambayo nikahisi lazima itakuwa inasikika nje.Nikamfungua Rahma sidiria yake na kuanza kuziminya chuchu zake taraibu hadi naye akaanza kutoa miguno ya raha japo mdomoni mwake anaendelea kuinyonya koki yangu.Niakalivua shati langu huku Rahma akinimalizia kunivua suruali yangu.Nikamfunua shuka alilo jifunika maeneo ya kiuno hadi kwenye miguu na kumkuta akiwa na bikini tu.Niakavifungua vijimikanda vya nikini yake na rataribu kidole changu kikashuka kwenye ikulu yake na kuanza kukifikicha kisimi chake.
Nikalala chali kisha Rahma akaja juu yangu huku kichwa chake akiwa amekipeleka kwenye koki yangu na kuendelea kuinyonya huku na mimi nikinbdelea kuinyonya ikulu yake taratibu.Tulipo ridhika na kunyonyana kwetu nikamgeuza Rahma na akaikalia koki yangu na kumfanya ashushe pumzi nyingi.Kama kawaida yake akaanza mchezo taratibu huku kila kadri muda unavyokwenda ndivyo kasi ilivyozidi kuongezeka.Sikuwa nyuma na mimi nikajumuika naye katika kukichezesha kiuno changu kwa kasi na kuifanya mechi kuwa ni kali kupita maelezo
Tukabailisha mkao nikashuka kitandani na kumcuta Rahma na kumuegemeza kitandani huku kifua chake akiwa amekilaza kwenye kitanda na mguu wake mmoja akiwa ameuweka kwenye kitanda huku akiwa ameukunja na mguu wake mwengine akiwa chini.Na mimi nikakaa kama alivyo kaa yeye huku nikiwa juu yake na kuifaynya koki yangu kuingia ikulu pasipo kuwa na pingamizi na sughuli ikaendelea na nikawa na kazi ya kuyanyonya masikio yake
Rahma akazidi kutoa vilio huku akiita jina langu na kunisifia kwa jinsi ninavyomfanya na mimi nikawa na kazi ya kumsifia kwa jinsi anavyo tawala mchezo ambao yeye ndio kucha yangu.Ila nikaanza kusikia vilio vingine vya chini chini mlangoni na ikanilazimu nigeuke.Nikamuona She-meji kwa uwazi mdogo alioufungua kwenye mlango huku akiwa ameyefumba macho yake na mkono mmoja akiwa ameuingiza ndani ya suruali yake huku akiwa anaichezea chezea ikulu yake na nikabaki nikimshangaa
Hata kasi ya kumshuhulikia Rahma ikaanza kupungua kwa kumshangaa shemeji.Kuna mlio kama wa glasi ya bati ikianguka ulisikika kutokea jikoni na kumfanya shemeji kustuka na macho yetu yakajikuta yakitazamana,Akastustuka kwa haraka akauchomoa mkono wake kwenye suruali yake na kukimbilia jikoni.Nikaanza kujawa na mawazo na kujiuliza ni kitu gani cha ajabu shemeji alicho kiona kwangu hadi akawa anajichua yeye mwenyewe,
“Baby umechoka…?”
“Hapana”
Swali la Rahma likanirudisha katika hali ya kawaida na kuendelea kumshuhulikia huku nikijaribu kuufanya ubunifu wangu wote ili aridhike kwa haraka japo kwaye mimi ni mwanafunzi.Mechi ikazidi kunoga huku Rahma akibadili aina za vilio huku kiuno chake kikiwa na kazi moja ya kuzunguka unaweza kusema hakina mfupa.Hadi tunafikia mwisho wa mchezo nikajilaza kitandani na Rahma akanilalia kifuani kwangu huku akihema kama ametoka kukimbia mbio ndefu
“Eddy”
“Mmmmm”
“Unanipenda?”
“Ndio baby”
“Kweli?”
“Ndio kwanini unaniuliza hivyo?”
“Nahisi naibiwa”
“Hauibiwi upo peke yako”
“Mmmm hata kama ila kuna watu nahisi wana kunyemelea”
“Wasi wasi wako”
“Eddy nisikudanganye mimi nina wivu na nipo tayari kuputeza pesa yangu ili kumkomesha yule atakaye kuia”
“Kivipi……?”
“Ki hivyo hivyo hiyo ni siri yangu ya moyo sasa ajitokeze changudoa akuibe weee atanitambua mimi ni nani?”
“Haitatokea”
“Kwani Eddy unadhani mimi nina shida………itatokea tu na wala tusilaumiane”
Tukaendelea kuzungumza na Rahma mambo mengi hata nikajikuta nikisahau kuwa kuna watu niliwafungia mlango kwa nje isitoshe na simu yangu imezima chaji.Rahma akaninyanyua kiyandani na tukaingia bafuni.Tukaanza kuoga huku kila mmoja akimuogesha mwen-zake.Nikajikuta uzalengo ukinishinda kwani michezo ya uchokozi ya Rahma ikanifanya nimshike mguu wake mmoja na kuchuchumaa na kuuweka begani mwangu nikaanza kumnyonya ikulu yake huku ulimi wangu ukiwa umezama ndani ya ikulu huku lipsi zangu zikiendelea kunyonya ikulu kwa nje.Rahma akaingiza vidole vyake masikioni mwangu na kuanza kunitekenye ikanibidi kusimama na kuvuta karibu kisha nikamdumbukiza ulimi masikioni na kuanza kumnyonya taratibu na kuzidi kumpandisha Rahma midadi
Rahma akajitoa mikononi mwangu na kuiingiza koki yangu mdomoni mwake na kuanza kuinyonya kwa mtindo wake,alipo ridhika akasimama na kunirukia na nikamdaka vizuri hku miguu yake akiwa ameipitisha kwenye kiuno changu na kuikutanisha kwa nyuma na kuikunja X,huku mkono wake mmoja akiishaka shingo yangu na mkono mwengine akiishika koki yangu kwa kwa kichi na kuichomeka kwenye ikulu.Kazi yangu haikuwa ngumu zaidi ya kuyashika makalio yake na kumpa wepesi wa kuikalia koki yangu.Shuguli ikaanza kwa kasi ya ajabu huku kila mmoja akiwa na usongo wa kumpindua mwenzake katika mechi.Kwa raha Rahma akaniachia shingo kisha akashika bomba la mvua kwa juu na kazi ikaendelea
Kelele zetu zikazidi kutawala katika bafu huku matusi ya kila aina yakiwa yanatutoka mido-moni mwetu.Nikamshusha Rahma na akashika ukuta huku mguu mmoja akiwa ameunyoosha juu na kuuweka kwenye ukuta mwengine wa bafu huku kifua chake akiwa amekilaza kwenye ukuta wa bafu huku mikono yake nikiwa nimeishika kwa nyuma na shuguli ikaendelea.Kwa mikao aanyo nionyesha Rama nikajikuta nikiapia kuto kumuacha kwani anajua jinsi ya kuumiliki mchezo hata kama mchezaji una uwez gani ila kuna baadhi ya mbinu zake akizitumia lazima usuburi kwa muda na wewe ndio uunze kuucheza mchezo wako
Nikaanza kupiga kelele za kufikia kileleni Rahma akajichomoa kwenye koki yangu kwa haraka kisha akanza kuichua kwa kasi huku aikiwa amepiga amechuchumaa.Risasi zangu zikatua kifuani kwa Rahma na kumfanya atabasamu kisha akaanza kuzisambaza kwenye kifua chake huku akisimama taratibu
“Sir una sha**a za moto hadi najisikia raha”
“Mbona leo umetaka zikumwagikie kifuani?’
“Nilikuwa nahitaji kupata joto lake…….ila kusema kweli Sir kila siku zinavyo zidi kwenda najikuta ninakupenda”
“Kweli?”
“Ndio yaani wivu unazidi kuutawala moyo wangu na hapa nasubiri weekend moja nikupeleke kwenye mbuga moja inaitwa Saadani nataka tukaenjoy”
“Utawaambiaje wazazi wako?”
“Wazazi hawana neone na na kesho mama anaondoka anakwenda Dubai kwa hiyo nitamsindikiza nikiwa na baba”
“Kurudi?”
“Tutarudi kesho kuta kutokana anaondoka na ndege ya usiku”
“Anapandia KIA au Dar”
“Anapandia uwanja wa Dar……..Najua nitakuwa huru kidogo kutokana baba yeye hana tabu.Ila mama ndio kishawishi cha baba kunifokea mimi”
Tukamaliza kuoga na tukatoka bafuni huku nikiwa nimembeba Rahma mgongoni kisha ni-kamuweka kitandani.Saa ya ukutani inaonyesha ni saa moja kasoro Rahma akavaa nguo zake huku na mimi akinivalisha za kwangu.Akafungua pochi yake na kutoa cheni ya dhahabu na kunivalisha shingoni
“Asantr sana mpenzi wangu”
“Usijali dady……Hiyo cheni nimekununulia dola 5000$”
“Eheee si pesa nyingi sana hiyo mpenzi wangu?”
“Eddy pesa kwangu haina dhamani.Wewe ndio mwenye dhamani sana katika maisha yangu wewe ndio mwangaza wa maisha yangu”
Tukatoka chumbani na kukuta shemeji ametuandalia chakula tukakaa mezani na sote kwa pamoja tukaanza kula huku tukipiga story nyingi.Ila nikagundua kitu kutoka kwa shemeji kwani kila Rahma anapo nilisha chakula yeye sura yake hubadilika kuweka mikunjo Fulani kama mtu anaye kasirika na asiyependa kuona Rahman anafanya hivyo.
“Halda inabidi unipeleke nyumbani”
“Na shem Eddy”
“Jamani mimi nitatumia boda boda wala nisiwasumbue”
“Hapana Eddy nataka ukapaone kwetu japo kwa mbali kisha Halda atakupeleka kwako”
“Sawa alafu unajua Rahma una roho mbaya?”
“Kwa nini mume wangu”
“Hujanitambulisha kwa shemeji hapa mpaka sasa hivi ndio ninalisikia jina lake”
“Ohhh sory sory mume wangu….kweli hapo nimefanya makosa.Huyu ni dada yangu anaitwa Halda…….na Halda huyu ni Eddy japo nilisha kuambia ni nani yako”
“Nashukuru kumfahamu shemeji yangu”
Tukamaliza kula na sote tukaingia katika gari na safari ya kwenda ikaanza,Tukapitia kwenye moja ya benk Rahma akaniomba tushuke kwenye gari.Tukaingia kwenye chumba chenye mashine za ATM.Rahma akaingiza kadi yake ya beki na kutoa kiasi milioni mbili huku akiwa anarudia rudia kuingiza kadi yake kwenye mashine hiyo hadi milioni mbili kukamilika hii ni kutokana na mashine hizo kuto kuwa na uwezo wa kutoa pesa kiasi kikubwa kwa mara moja.Akanikaidhi milioni moja na laki nane
“Eddy nahitaji nikirudi Tanga nikukute umehema kule uswahilini?”
“Kwa nini mpenzi wangu”
“Mimi nahitaji tu uhame na utakapo hamia sitaki mwalimu mwenzako yoyote apafahamu kwa-ko”
“Sasa mke wangu wewe unajua fika mimi Tangasi mwenyeji haya huko kwa kuamia mimi nita-pajuaje?’
“Hiyo kazi nitampa Hilda na hadi kesho saa sits nyumba iakuwa imepatikana.Ningekuhamishia pale anapo ishi Hilda ila ngoja nitafute nyumba itakayo kufaa pale hamuwezi kuishi nyinyi peke yenu”
“Inaonekana hutuamini”
“Nakuamini ila mmmm fisi awezi kukaa na kondoo zizi moja na hizo pesa nilizo kupa utamlipa dalali.Sitaki Hilda ajue kuwa pesa nimetoa mimi”
“Kwa nini?”
“Sipendi tuu aju”
Tukarudi ndani ya gari na safari ya kwenda kwa kina Rahma ikaanza, Haikuchukua muda kufika kwao kwenye jumba kubwa la kifahari na lililo jengwa kwa muundo wa kipekee.Rahma akaninipiga busu la mdomoni
“Halda kuwa makini na shemeji yako muangalie asiwakodolee macho wasichana barabarani?”
“Hapa kwangu hato weza nitamtoa macho”
“Wee weee usinitolee macho mume wangu unadhani utaiona vipi mmmmm…..yangu?”
“Baby usisahau kama nilivyo kuambia?”
“Ok mamyto”
Rahma akshuka kwenye gari na sisi tukaondoka,Ukimya ukatawala ndani ya gari huku mimi nikiwa nimekaa siti ya nyuma.Gafla Halda akasimamisha gari
“Shem njoo ukae huku mbele”
Nikashuka kwenye gari na kuhamia siti ya mbele na safari ikaendelea ila kwa mwendo wa tara-tibu huku shemeji akiwa kama mtu anayehitaji kuzungumza kitu ila anashindwa.Shemeji Halda akasimamisha gari mbele ya Hoteli iliyopo barabara ya nane kisha akashuka na kuniomba ni-mubirie kwa madai anakwenda kumtazama rafiki yake.Muda ukaanza kukatika bila ya Halda kutokea.Ikanilazimu nishuke kwenye gari na kuingia kwenye Hotel na kumkua muhudumu wa kike ikabidi nimuulize
“Mimi ni rafiki yake nimekuja naye kwenye hiyo gari naona hatoki ni lisaa sasa”
Kabla muhudumu wa mapokez kunijibu Halda akashuka kwenye ngazi za hotel hiyo zinazo elekea ghorofani.Akaniita kwa kutumia ishara.Nikamfwata na tukaanza kupanda ngazi kuelekea gorofani
“Tunakwenda wapi…..?”
“Shemeji njoo nikuonyeshe kitu”
“Kitu gani?’
“Nataka nikakutambulishe kwa mumu mwenzio”
Sikuwa na wasiwasi sana japo kwa mbali msongamano wa mawazo ukaanza kunitawala ila nikajipa moyo kuwa yupo na mpenzi wake kutokana amekaa lisaa zima akiwa ndani.
Sehemu Ya 10
Tukaingia ndani ya chumba kilichokuwa na namba 115 ila cha kunishangaza sikumkuta mtu wa aina yoyote ikanilazimu nimuulize
“Huyo shemeji yangu yupo wapi?”
“Shem kwani una tatizo gani wewe subiri utamuona”
“Mmmm haya mwaya”
Nikakaa kwenye sofa lililopo ndani ya chumba hicho na Halda akaingia bafuni baada ya muda akatoka akiwa amevaa chupi na sidiri na kunifanya nistuke
“Shemeji mbona hivyo tana”
“Najiandaa kwa ajili ya shemeji yako akija anikite katika hali nzuri”
“Mmmm lakini si kukaa hivyo mbele yangu tambua kuwa wewe ni shemeji yangu”
“Jamani shemeji kwani tatizo lipo wapi kwani zikikupanda si nitakushusha mimi mwenyewe”
Nikakaa kimya na kujikuta nikianza kumtathimi kuanzia chini miguuni hadi kichwani kwake jambo lililo pelekea koki yangu kusimama.Halda akajilaza kitandani kifudi fudi huku miguu yake akiichezesha chezesha kwa nyuma na kulifanya kalio lake dogo kiasi kuanza kutetemeka tetemeka.Nikasimama na kuanza kupiga hatua kuelekea katika mlango wa kutokea
“Shem unakwenda wapi?”
“Kwenye gari huyo shemeji yangu akija utakuja kunistua kwenye gari”
Halda akasimama haraka kitandani na kuja kusimama katika mlango na kuziba njia ili nisiufungue mlango
“Halda nakuomba nitoke humu ndani”
“Eddy sitaki nafanya kila kitu ili kukuashiria kuwa na mimi nahitaji kitu ulichompa Rahma”
“Lakini shemeji Rahma si ndugu yako?”
“Hata kama cha ndugu kizuri tunakula pamoja”
“Una maaana gani?”
Halda akanirukia na kunikumbatia huku akiwa ananing’inia katika shindgo yangu huku akinilazimisha nimnyonye denda
“Shem unaiumiza shingo yangu”
Halda hakunielewa hadi akafanikiwa kuzinyonyz lipsi zanu yapo mwanzoni nimekuwa mbishi ila kila muda unavyo zidi kwenda nikajikuta nikilainika taratibu nikaipitisha mikono yangu kwenye kiuno chake na kukishika vizuri kiasi kwamba muhimili wake wa kuning’inia kwenye shingo yangu ukapatikana kwenye mikono yangu.Nikambeba na kumuweka kitandani huku na mimi nikivua nguo moja aada ya nyingine hadi nikibakiwa na boxer
“Halda tutafanya siku nyingine sijisikii vizuri”
Nlizungumza huku nikishuka kitandani kwani raho yangu ilinisuta kwa kitu ninacho mafanyi Rahma kwani sio haki kabisa.Halda akanivuta boxer yangu ila kwa nguvu nilizo nazo nikaweza kuitoa mikono yake
“Eddy sikubali uondoke uniache na nye** zangu”
Halda alizungumza kwa hasira hadi akabadilika rangi ya mwili wake na kuwa mwekundu kiasi na kuendelea kuning’ang’ania mkono wangu
“Halda nakuomba niache siwezi kumsaliti Rahma kumbuka nyinyi ni ndugu na Rahma hana kosa lolote nililo mfanyi hadi mimi nichukue uamuzi wa kumsaliti”
Nilizungumza kwa ukali ila Halda hakunielewa kabisa na kitu alicho zidi unikasirisha ni kuanza kulazimisha kuishika koki yangu.Nikampiga kibao kimoja cha nguvu kilicho muangusha Halda chini na akatulia tuli huku akiwa amejikunja.Nikavaa nguo zangu haraka haraka kabla sijatoka nikaona nimtazame Halda kwani wakati wote nikiwa ninavaa nguo zangu hakujitingisha wala kustuka.Mapigo ya moyo yakaanza kunidunda baada ya kumkuta Halda akivuja damu za puani
“Mungu wangu nimeua”
Nilijikuta nikianza kuropoka huku nikirudia mara kwa mara kumtazama Halda,Nikapata wazo la kuondoka ndani ya chumba na nikaanza kupiga hatua kuufwata mlango kitendo cha kufika mlangoni na kuufungua nikakutana na muhudumu akiwa amabeba sinia la lenye chakula huku mkononi akiwa na mzinga wa whyne
“Nliagizwa na dada mmoja wa hichi chumba nilete chakula”
“Sawa”
Nikampokea vitu alivyo vibeba na sikuhitaji aweze kuingia ndani kuhofia kumuona Halda
“Ila bado hajanilipa pesa”
“Unamdai kiasi gani?”
“Kwa ujumla vyote ni elfu hamsini na sita”
Ikanilzimu kumpa muhudumu vitu vyake anishikie ili niweze kutoa pesa kwenye wallet.Nikatoa noti sita za shilingi elfu kumi kumi na kumpa muhudumu
“Chenchi utakaa nayo”
Nikavichukua vitu vyangu na kuufunga mlango kwa funguo na kuviweka mezani,nikamtzama Halda kwa muda kisha nikapata wazo la kumyanyu na kumuweka kitandani.Nikamfuta damu za puani kwake kwa kutumia kitambaa cahngu na nikamfunika kwa shuka vizuri ila hata nikiondoka nimuache katika mazingira mzuri
Nikaingia bafuni na kuchota maji kwenye kopo na kurudi alipokuwa ameanguka Halda na ku-pamwagia maji nikachukua taulo na kuanza kupafuta,nikiwa ninaendelea kupafuta nikasikia mlango ukigongwa na sauti ya kiume nikaisikia nje ya mlango
“Mtaja mwenye chumba namba 115 fungua mlango sisi ni jeshi la polisi tunataka kukagua chumba chako”
Mapigo ya moyo yakazidi kunienda mbiona kujikuta nikianza kuweweseka huku taulo nikiwa nimelishika mkononi.Nikaingia bafuni haraka na kuliosha taulo ili lisionyeshe damu na mbaya zaidi taulo ni la rangi nyeupe.Nilipo ridhika kuwa limetakata nikaliweka kwenye ndoo iliyoupo ndani ya bafu hilo na kurudi chumbanni.Askari alaiye zungumza kwa mara ya kwanza akayarudia maneno yake yale yale huku akiniomba kuwa wanahitaji kwenda katika chumba kingne na tusiwapotezee muda.Nikavua nguo zangu haraka haraka na kubakiwa na boxer ili hata wakiingia wajue nilikuwa nimelala,Nikamuweka vizuri Halda na kichwa chake nikakigeuzia ukutani ili isiwe rahisi kwa askari kugundua kitu chochota
Nikashuka kitandani na kwenda kuufungua mlango na kukutana na askari wawili wakiwa wamevaa nguo za kiraia huku mmoja wao akiwa na redio ya upepo.Nikasalimiana nao na kuwapisha waingie ndani na kuanza kukagua na mmoja wao akaingia bafuni
“Hyo ni nani yako?”
“Mke wangu”
“Ahaa hembu muamshe tuzungumze naye”
Moyo ukazidi kunipasuka ila nikajikaza ili wasinistukie kwa chochote na nikaanza kufikiria ni kitu gani nitakifanya hada Halda kunyanyuka.Nikapiga hatua za kuelekea kitandani kabla sijafi-ka kitandani redio ya upepo ya askari aliye ishika ikaanza kuzungumza
“Afande Basesa unanipa? OVER”
“Ndio ninakupata mkuu OVER”
“Mupo chumba namba ngapi? OVER”
“Chumba namba 115 OVER”
“Nakuja nisubirini hapo OVER”
Simu ikakata na kunifanya nicganganyikiwe zaidi kwani askari ndio kwanza wanaongezeka katika chumba changu
“Eheee afande Kabelwa leo RGP yupo kwenye mzunguko”
“Mungu wangu hatujavaa uniform sijui tutamuelezaje huyu mzee”
“Mmmm hapa mwenyewe nimesha changanyikiwa”
“Mtu asilale na mkewe anakuja kutembea tembea huku”
Polisi walizungumza mabi yao na nikawa na kazi ya kumuomba Mungu asiwakumbeshe wazo la kumuamsha Halda.Baada ya muda wakaingia askari wawili huku mmoja akionekana kuwa na vyeo vingi katika nguo alizo zivaa huku mwengine akiwa na nguo za kawaida.Wakampigia saluti na wakasimama kama moja
“Sare zipo wapi?”
Lilikuwa swali la kwanza kwa mkuu wao na wote wakabaki kimya huku wakiwa wameendelea kusimama kama namba moja
“Mbona nyinyi vijana mulio ajiriwa miaka ya hivi karibuni munakuwa munavunja vunja sheria za jeshi.Tena kama wewe umeziachia kabisa ndevu zako”
“Mkuu nilipatwa na matatizo kwahiti nilikwenda kijijini na nimerudi jana na leo ndio nimeingia kazini”
“Huna sababu ya kujitetea kwani huo una uzungumza wewe ni ujinga.Kama hujanyoa ndevu zako ni kwanini usiendelee kukaa nyumbani.Sasa kesho nyinyi nyote nawahitaji ofisini kwan-gu.Hivi hata huyo raia hapo anaweza kuwaamini kuwa nyinyi ni askari kwa mionekano yenu ya ajabu ajabu?”
“Hapana mkuu”
“John niandikie majina yao na namba zao za kuajiriwa na ole wenu kesho musiripoti ofisini kwangumutanitambua”
Mkuu wao akatoka na kumuacha askari aliye ingia naye akiwauliza wezake majina yao mmoja baada ya mwengine
“Kaka yaani mzee leo kachachamaa tunameanzia kituoni huku kuna jamaa kibao hawajavaa sare”
“Eheee basi hayo ni majanga tulizani tupo peke yetu”
“Hapana na hapa mimi mwenyewe sijui tunaelekea wapi?”
Wakaniaga na kutoka chumbani kwangu na wala hawakujishughulisha Halda,Nikaenda kuufunga mlango na kurudi na kukaa kitandani huku mapigo ya moyo kidogo yakiwa yemenitlia ila kitu kikubwa ninacho kiwazia ni Halda aliye lala kitandani,nikamgauza na kumlaza chali nikamuwekea kiganja changu kwenye kifua chake nikagundua mapigo yake ya moyo yanadunda kwa uataratibu kidogo matumaini yakanijia nikaanza kujiuliza kama nikimpelea hospitalini Rahma ataniuliza amepatwa na nini na nimazingira gani yamepelekea hadi akazimia.Sikupata jibu la maswali yangu ninayo jiuliza na kujikuta nikibaki nikiwa ninajikuna kichwa,Nikavaa nguo zangu nakutoka ndani ya chuma na kuanza kwenda nyumbani kwangu kwa kutumia miguu.
Nikiwa njiani nyuma yangu nikaanza kusikia kelele za mwizi zikija kwa nyuma yangu,nikageuka ila sikuona huyo mwizi akija njia niliyo kuwepo mimi zaidi ya kuona watu wengi wakija kwa kasi huku wengine wakianza kunirushia mawe,Kwa kasi ya ajabu nikaanza kukimbia huku nikitazama taama nyuma ila watu wakawa wananifwata nyuma huku wengine wakiwa na magongo na marungu.Nikazidisha kasi kitu kilicho nisaidia zaidi ni mimi kuwa mwepesi wa kukimbia kutoka na kipindi nipo shule nilikuwa mwanariadha bora wa mkoa wa Iringa katika mashindano ya UMISENTA yanayo fanywa na wanafunzi wa shule za sekondari
Nikafanikiwa kuwaacha kwa umbali mrefu na kuingia katiaka kichochoro kimoja na kuwafanya watu hao wapiti kwa kasi ya ajabu huku watu wawili kati ya hao ni wale vibaka nilio kuwa ni-meongozana nao wakati wa mchana nilipokuwa nimetoka kununua chakuka hotelini.Nilipo ona hali imekuwa shwari nikatoka na kubadilisha kabisa njia japo sio mwenyeji wa Tanga ila ikanilazimu kupita njia ambazo nikajikuta nimetokea mtaani kwetu.Nikaikuta gari ya Madam Zena ipo pale pale alipo isimamisha wakati wa asubuhi.Nikakumbuka kuwa niliwafungia mlango kwa nje kabla sijaingia kwenye usawa wa nyumba yangu nikasikia sauti ya bibi ikiniita
Nikamfwata hadi kwenye kibaraza cheke na nikamsalimia na akaniomba nikaae pembeni yake
“Mjukuu wangu Eddy unatoka wapi saa hizi?”
“Bibi hapa ninapo kuambia ninatoka sahare ila hapo katikati chupuchupu nipoteze maisha yan-gu”
“Kwanini?”
“Bibi kuna watu walikuwa wakinikimbiza na kuhisi mimi ni mwizi”
“Loo salalee wana hao hawana aibu hata wewe mtu mwenye heshima zako wanakupakazia wewe mwizi”
“Ndio bii yaani ningekuwa si kuwa na kasi ya kukimbia basi mungesikia nimekufa”
“Hao nimesha wajua ni wale wenye mabichwa yao walio pita mchana ulikuwa umeongozana nao”
“Eheee bibi wale jamaa pia wale nimewaona”
“Wale watototo wana haramu wameshindwa na dunia.Na nikawaida yao wale kumsingizai mtu mgeni kuwa ni mwizi na hao wote walio kuwa wakikumiza ni wahuni wa maskani ya pale bon-dini”
“Ahh ndio nilipo kuwa nimepita na kukuta watu wengi ila sikujishughulisha nao kutokana mimi wmenyewe hapa nilipo nimesha changanyikiwa”
“Umechanganyikiwa na mimi mjukuu wangu?”
“Bibi kuna binti nilikuwa naye hotelini ila akawa ananilazimisha nifanye naye mapenzi”
“Ni yule wa kiarabu anaye kuja kuja na gari?”
“Hapana sasa huyo niliyekuwa naye alikuwa ni rafiki yake ila kwa wanavyo ishi ni kama ndugu wa tumbo moja.Sasa katika kuminyana minyana mimi nikiwa ninikataa nisifanye naye chochote nikajikuta nikimzaba kofi na kufanya azirai hapa nimefanya kumkimbia”
“Hembu naomba mkono wako ulio mpigia”
Nikampa bibi mkono wangu wa kushoto na akaanza kuuminya minnya kuanzia kwenye ki-ganya hadi kwenye maeneo ya kisuku suku kisha akaniachia
“Mjukuu wangu wewe una mfupa mmoja”
“Mfupa mmoja kvipi bibi?”
“Yaani kuanzia hapo kwenye kiganja hadi hapo kwenye bega unamfupa mmojaa na si miwili kama binadamu wengine”
“Sasa bibi kama nina mfupa mmoja si mkono usinge kunjika?”
“Unakunjika kwani huo mmfupa una viungio vya kawaida kama watu wengine.Na watu wa aina yako hukwa wananguvu nyingi sana za mikono na huwa wakimpiga mtu wanaweza hata wakamuua”
Nikakaa kimya huku akili yangu ikianza kukumbuka tukio moja kipindi nikiwa kidato cha pili katika maswala ya mpira wa miguu kuna kaka wa kidato cha nne nilimchezea rafu kwa bahati mbaya ila mwenzangu akaanza kunirushia ngumi ambazo zilinipata vizuri na kunipandihsa ha-sira kiasi kwamba ikanilazimu na mimi nimjibu mashambulizi ila kwa numi moja niliyo mpiga kwa mkono wa kushoto nikashangaa mwenzangu akianguka na kuzimia na kuanzia hapo wanafunzi wengi wakaanza kuniogopa
“Sasa bibi mimi nitafanyaje wakati mtoto wa watu bado yupo hotelini”?”
“Ngoja kuna dawa nitakupatia kamuwekee puani atazinduka huku akipiga chafya”
Bibi akanyanyuka na kuingia ndani kwake akarudi na kikopo kidogo cha mafuta ya ‘baby care’ na kunipz mkononi
“Ukifika utakitingisha kidogo na utakifungulia karibu na pua zake na vumbi vumbi la dawa lita-muingia puani mwake na atazinduka”
“Asante bibi ngoja mimi nimuwahi”
“Kabla hujaondoka hembu nenda kawafungulie hao mabinti kwani muda Fulani walikuita sana ila hukutoke kiasi kwamba wakaanza kufungulia mziki kwa sauti ya juu na kutufanya tusikae kwa amani sisi tui karibu na wewe”
“Sawa bibi”
Nikapiga hatua za kuelekea kwangu nikaufungua mlango na kuakua Mama Fety,Zena na Recho wakiwa wamelala kihasara hasara huku wakiwa watupu kama walivyo zaliwa na nitedio ndio inafanya kazi ya kuzungumza.Nikaanza kumuamsha mmoja baada ya mwengine
“Wewe mwanaume ulikuwa wapi?”
Mama Fety aliniuliza huku akiwa anapiga miyayo ya usingizi
“Wee acha tuu kila mmtu ajiandae aende kwake”
“Eddy unatabia mbaya umetukimbia na ukatufungia kwa nje”
“Jamani si muda wa kuulizana maswali kila mtu avae aende kwake”
“Ngoja mimi nikaoge”
“Zena wewe oga tu ila bili ya maji ikija hapa utanisaidia kulipa”
Akaingia bafuni na wengine wakiendelea kuvaa nguo zao huku mama Fety akijafanya kuvaa taratibu ili kuwatega wezake.
“Mama Fety hembu vaa haraka haraka jamani mimi nataka nitoke nitawafungia tena ohoo”
“Jamani Baby saa hizi unataka uende wapi wakati mimi ninataka unikamue”
“Hembu usiniletee ujinga vaa nguo zako na ukakamuliwe na mume wako ila si mimi”
“Ehhe jamani baby hayo yote yametokea wapi?”
“Wewe mwanamke iwe mwanzo na mwisho kukanyanga hapa kwangu”
“Hilo nalo nenooo…”
Madam Recho akadakia huku akicheka na kumfanya mama Fety amtazame kwa jicho kali la hasira
“Na wewe Recho ukome kuingilia maongezi yangu mimi na Eddy hayakuhusu?”
“Bibi weee nitakomaje wakati ndio hivyo bwana hakutaki”
“Recho Recho nitakuvuruga Malaya mkubwa wee”
“Weee weee jaribu kama ni mwanamke kweli kunigusa……Hembu jiangalie juu mpaka chini una hadhi ya kutembea na Eddy wewe mwanamke mwenyewe darasa la saba”
“Nyoo wewe ndio unajiona una hadhi elimu sio mapenzi shughuli ni kitandani”
“HEheeheee Kaogee”
Mama Fetry akamrukia Madam Fety na kumlaza kwenye kochi na wakaanza kuminyana na kumfanya madam Zena kutoka bafuni uchi huku akiwa ana mapovu kwenye baadhi ya sehemu za mwili wake”
“Jamani shost zangu mbona munakuwa kama watoto wadogo kupigana pigana.Hilo swala si tu-shalizungumza kuwa Eddy akija atachagua nani amtakaye.Na wewe Eddy mwanaume mzima wezako wanapigana wewe umesimama unawaangalia”
“Tena koma wewe manamke usen*** wenu kaufanyieni kwenu musitake niwazabe amkofi hapa”
“Msen*** mwenyewe wewe na wazazi wako walio kuzaa”
“Zena unasemaje wewe”
“Kama ulivyo nisikia”
Nikamsogelea Madam Zena kwa hasira na kumkaba koo na kuwafanya Mama Fety na Recho kuacha kupigana kuja kuingilia ugomvi huku wakianza kunipiga makofi ya mgongoni baada ya kumsikia mwenzao akiomba msaada anakufa
Nikamuachia Madam Zena na kuwageukia Mama Fety na Madam Recho na kuwafanya warudi nyuma kwani sura yangu imetawaliwa na asira kiasi kwamba kila mmoja akaniona ni mtu watofauti
“Changanyeni mbaliga zenu na mtoke ndani kwangu kabla sijafanya kitu kitakacho wapotezea maisha”
Kwa jinsi sauti yangu ilivyo badilika na kuwa ya kutisha masikioni mwao kila mmoja akaanza kuvaa kilicho chake na kutoka ndani ya chumba changu na nikaufunga mlango,baada ya dakika kadhaa mlango ukagongwa nikapiga hatua za taratibu kwenda kuufungua na kukuta na madam Zena
“Samahani Eddy niimesahau funguo za gari langu hapo juu ya meza”
Nikazichukua funguo zake kisha nikampatia na kaondoka zake,nikabadilisha nguo na kuvaa nyinine na kisha safari ya kuelekea kwenye hoteli ikaanza huku nikipita ile njia ya vichpochoro hadi nikafika Hotelini,Nikapiga hatua mpaka ninafika usawa wa chumba nikamuona muhudumu akigonga mlango ikanibidi kuongeza hatua za kwenda sehemu alipo
“Samahani dada nikusaidie nini?”
Nilizungumza huku nikishika kitasa cha mlango na kumfany muhudumu kusogea kando kidogo na kunipisha mimi nisimame usawa wa mlangoni
“Nyinyi si ndio mulio kuja na ile gari aina ya Spacio?”
“Ndio”
“Basi nilikuwa ninawomba mukaisogeze pale mlangoni kwani sio sehemu za parking za magari”
“Sawa dada nimekuelewa….Je maegesho ya magari yapo wapi?”
“Upande wa kushoto wa hoteli kuna geti amapo humo ndani ndio maegesho yapo”
“Asante:
Nikamuacha aondoke usawa wa mlango na mimi nikafungua mlango na kukaa ndani nikastuka kuto kumkuata shem Halda kitandani,Nikapiga hatua hadi bafuni na kumkuta akiwa amesimama kwenye huku ameegemea ukutani huku akiwa analia
“Halda nakuomba twende nyumbani”
Halda hakuzungumza kitu zaidi ya kukaa kimy huku akinitazama kwa macho ya hasira kiasi kwamba mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio
“Halda nakuomba twende nyumbani kwani usiku umesha ingia”
“Niache wewe ndenda zako”
“Hapana tumakuja pamoja kwanini unahitaji kubaki peke yako”
“Eddy niche peke yangu hunijui sikujui kwahiyo usiwe mtu wa kunisumbu hembu nenda kwako au nimwambie Rahma kuwa unanisumbua?”
“Hapana shemeji utakuwa hujatenda haki kwani hembu basi jaribu kulifikiria swala la mimi ku-fanya mapenzi na wewe endepo Rahma siku atafahamu wewe unahisi itakuwaje?”
“Wewe ni mtoto hadi mwambie kuwa umefanya mapenzi na mimi?”
“Hapana ilAa….”
“Eddy hakuna cha ila.Nakuomba utoke ndani ya chumba changu nitalala mwenyewe sawa”
Halda alizungumza kwa hasira na kunifanya nianze kupiga harua za kuelekea mlangoni taratibu kabla sijaufikia nikaisikia sauti yake kwa nyuma
“Eddy ndio unaondoka?”
“Halda ni bora niondoke kuliko kumsaliti mpenzi wangu”
“Eddy nakuomba usimwambie Rahma kuwa nilikufanyia hivi”
“Snto mwambia endapo wewe huto endelea kunisumbua”
“Sawa Eddy mimi sinto kusumbua ila nakuomba unifikirie japo kwa siku moja na mimi niweze kupata kile unacho mpa Rahma”
INAENDELEA


1 Comment
Aky Hadithi Zenu Cnasisimua Mwili