TANGA RAHA
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 21
“Nahitaji unifanyie mpango kwa yule msichana niliye kuambia”
“Anaitwa nani?”
“Anaitwa RAHMA anasoma kidato cha nne”
Nikajikuta nimekaa kimya nikimtazama mkuu wa shule huku nikijiuliza kama akili zake zina-fanya kazi sawa sawa au ndio uzee unamchanganya
Nikakaa kimya huku nikimtazama mkuu wa shule machoni kwani sikujua ni nini nimuambie
“Eddy ukihitaji hata pesa mimi nitakupatia ili tu nimpate Rahma”
“Ila mkuu mbona msichana mwenyewe simuoni hapa shule”
“Amesafiri ila akirudi tu nataka niweke mambo sawa”
“Usijali mkuu wangu”
Nikajikuta nikinyanyuka kwenye kiti nilicho kaa na kumuaga mkuu wa shule na kumuahidi nitalifanyia kazi na nikarudi ofisini kwa waalimu wengine na kuwakuta kila mmoja akiendelea na shuhuli yake kutokana sikuja kikazi nikabaki nikiwa ninajisomea baadhi ya vitabu vinanavyohusiana na masomo yangu ninayo yafundisha.Simu yangu ikaingia ujumbe mfupi wa meseji na nikakuta ni namba ya Rahma
“BABY UWAHI KURUDI NIPO NYUMBANI KWAKO NA HALDA”
Mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio baada ya kuona saa ya kwenye simu yangu inaonye-sha zimabaki dakika kumi kutimu saa sita kamili kabla haujafika muda tulio ahidiana na mchungaji juu ya kwenda kufanya mamombi ambayo kwa wakati huu kwangu sikuyaona na umuhimu wa aina yoyote kwani mchungaji mwenyewe anaushirikiano na Olvia Hitler.Nikanyanyuka kwa haraka na kabla sijaufikia mlango wa kutokea ofisini simu yangu ikaita na kuikuta ni namba ya mchungaji,nikabaki nikiitazama pasipo kuipokea na kumfanya madam Recho kuzungumza
“Jamani si mzime misimu yenu inatupigia kelele”
Niakageuka na kumtazama madam Recho na sikuseme kitu cha aina yoyote zaidi ya kuminya kitufe cha kupokelea simu na kuiweka sikioni na kuisikia sauti ya mchungaji
“Mpendwa tumefika nyumbani kwako tupo hapa getini tunaomba utufungulie mlango kwa maana tunapiga honi nahisi uisikii kutokana na mziki ulio ufungulia kwa sauti ya juu”
“Ahh…Sawa mchungaji nakuja”
Nikakata simu na kubaki nikiwa nimetizama chini huku nikishush pumzi na sikujua nifanye nini kuhusiana na swala la kwenda nyumbani kwa kwangu kwani hali ya hewa imesha haribika.
“Eddy unapakwenda?”
Mkuu wa shule aliniuliza na nikamjibu kwa kutingisha kwichwa nikiashiria kuwa sina pa kwenda
“Basi twende sehemu moja kama huto jali”
“Sawa mkuu”
Tukatoka ofisini na kuingia kwenye gari ya mkuu wa shule na sikujua ni wapi tunakwenda na ndani ya gari sikuzungumza kutu cha aina yoyote hadi tukafika kwenye moja ya mtaa ambao sikuujua jina lake na sote tukashuka kweye gari na mkuu wa shule akaminya kengele ya getini kwenye nyumba nzuri na baada ya muda geti likafunguliwa na akatoka msichana mdogo anaye onekana ni mfanyakazi wa ndani na baada ya kumuona mkuu wa shule akaanza kumchangam-kia huku wakitaniaana kwa baadhi ya maneno kisha akatukaribisha ndani na moja kwa moja tukapitiliza hadi sebleni na tukakaa kwenye sofa na msichana wa kazi akasimama na kuiwasha tv iliyopo ukutani na kuaanza kuadilisha badilisha chaneli zilizopo kweye king’amuzi wanacho kitumia
“Babu siku hizi mambo yako sio mabaya naona dada akakupendezesa ana”
“Kawaida babu yangu”
“Mmmm kweli ni kawaida kwani hiyo inye uliyo ifungashia utaweza kusema kuwa wewe ndio mwenye nyumba”
“Babu jamani hujaacha vituko vyako?”
“Ndio ukweli na siku hizi unanga’aa sana”
“Asante”
“Haya huyu mwenzako yupo wapi?”
“Dada amekwenda hospitalini mara moja ila muda si mrefu atarejea”
“Ahaa amakwenda hospitali gani?”
“Buriani”
“Eddy hapa ni nyumbani kwa madam Rukia”
“Ahaaa asante”
Mfanyakazi wa ndani akaondoka na kwenda jikoni na kutuacha tukia tunatazama Tv baada ya muda kidogo mkuu wa shule akanyanyuka na kuniambia anakwenda mara moja jikoni kuzun-gumza na mfanya kazi wa ndani.Nikabaki nikitazama Tv galfa nikasikia simu yangu ikiita na ni-kaitoamfokoni na kuikuta ni namba ya mchungaji,Sikutaka kuipokea nikaiweka simu pembeni huku nikitafakari ni kitu gani nifanye.Simu ikaita kwa mara tatu mfululizo na sikuipokea na kwabahati nzuri ikaanza kutoa ishara ya kuishiwa na chaji na taratibu nikanyanyuka na kuele-kea jikoni kumuuliza mfanyakazi wa ndani kama anaweza kunipatia chaji ya pini nyembam-ba,Kila ninavyo karibia kufika jikoni nikazidi kuisikia miguno ya watu kulalamika ikanilazimu kunyata taratibu na kwakupitia kajiuwazi ka dirisha nikamuona mkuu wa shule akinyonya ma-ziwa ya mfanyakazi wa ndani anayeonekana kulegewa na kunogewa na penzi la mkuu wa shule.Taratibu nikaanza kuhisi mabadiliko kwenye suruali yangu kwani koki yangu taratibu imeenza kuleta fujo.
Mkuu wa shule akaimalizia khanga ya mfanyakazi wa ndani katika kuivua na kuitupa china na kumfanya mfanya kazi wa ndani kuzidi kutoa miguno kiasi kwamba nikazidi kupata shinda kwenye suruali yangu,akili yangu moja ikanituma niingie na mimi nijumuike ila akili yangu moja ikasita kulifanya ninalo lifikiria na kubaki nikiendelea kuwatazama kwa jinsi wanavyo fanya yao na kujikuta nikilisogelea dirisha la jikoni vizuri ili nioene kila kitu.Mkuu wa shule mkono wake mmoja akauiniza kwenye ikulu ya mfanyakazi wa ndani iliyo zungukwa na ukuta wa chupi nyembamba na kuanza kuichezea ikulu ya mfanya kazi huyo na kumfanya taratibu kuanza kwenda chini huku akitoa vilio vya raha hadi wote wakajikuta wamelala sakafuni kisha mkuu wa shule akaipanua miguu ya mfanyakazi wa ndani kisha akamvua chupi yake na kuendelea kuichezea ikulu ya mfanyakazi wa ndani kiasi kwamba mfanyakazia akanyanyuka kama mbogo mwenye hasira na kuyashika mashavu ya mkuu wa shule na kuikutanisha midomo yao na kuanza kunyonyana kisha kwa nguvu akamlaza mkuu wa shule chini na kuvifungua vifungo vya shati kisha akaanza kumnyonya kifua kizima cha mkuu wa shule na kujikuta nikibadilisha mapozi ya miguu yangu kwani koki yangu nzima imesimama kiasi kwamba nikahisi ushirikiano wake na boxer unaanza kuwa mgumu
Mfanyakazi wa ndani akaifungua zipu ya suruali ya mkuu wa shule hapo nikajikuta nikistaajabu kwani mkuu wa shule mashine yake imelala na kushindwa kuelewa wakati wote aliokuwa akifanya mautundu kumbe mtu mzima haendi mtungi.Mfanyakazi wa ndani akaanza kuinyonya koki ya mkuu wa shule zaid ya dakika kumi ila haikusimama kabisa kiasi kwamba nikaanza kumuona mfanyakazi wa ndani akiaanza kuchoka
“Babu bwana wewe kila siku ni hivi hivi unanipandisha nye*e ila kufanya hatufanyi”
“Babu uzee mwaya”
“Ila wewe si umeniambia kuwa hadi ustuliwe na mwanaume mwenzako ndio ina simama”
“Sasa nitamwambia nani?”
“Kwani yule uliye kuja naye si unaweza kumwambia?”
“Mmm hapo napo kuna mtihani?”
“Sio mtihani kwani wewe kila ukija unanipandisha maruhani alafu kuyashusha unashindwa na leo sinto taka kupiga punyeto nataka unipe haki yangu”
Nikamshuhudia mkuu wa shule akishusha pumzi nyingi huku akionekana kuwa katika wakati mgumu kiasi kwamba hakujua afanye nini.
“Babu nenda bwana mimi leo hapa hutoke hadi unipe haki yangu”
“Sasa unadhani Eddy atakubali kuniingiza mashine yangu kwenye nanilio yangu ili yangu isi-mame?”
“Hilo utalijua mwenyewe ila mimi nataka sasa hivi umesha nipandisha majini ya kidigo sasa na-taka uyashushe”
Mkuu wa shule machozi yakaanza kumlenga lenga na kumuona akinyanyuka kiunyonge na kuivaa suruali yake na kwaharaka nikarudi sebleni na kukaa kwenye makochi na kujiweka vizuri na kujifanya sijui ni kitu gani kinacho endelea.
“Eddy”
Nikageuka baada ya kuisikia sauti ya mkuu wa shule ikiniiita na kumkuata akiwa anajifunga vi-zuri vifungo vya shati lake na kabla hajazungumza chochote tukastukia mlango ukifunguliwa na akaingia Madam Zena huku mguu wake mmoja ukiwa umefungwa bandeji kwenye sehemu ya chini.Akaonekana kushangaa kuniona nyumbani kwake,Akamsalimia mkuu wa shule na mimi akanipa salamu huku sura yake akiwa ameikunja kidoo na akakaa kwenye sofa jengine na kuiweka pochi yake kwenye meza ya kioo na kumuita mfanya kazi wake wa ndani na baada ya dakika kadhaa mfanyakazi wake akaja huku akiwa amevalia khanga yake
“Mbona wageni hujawatengea vinywaji?”
“Ndio nilikuwa ninamalizia kuitengeneza juisi”
“Sasa hiyo juisi si nilikuambia kuwa uitengeneze tangu asubuhi?”
“Nilikuwa nafanya usafi dada”
“Haya kalete hiyo juisi”
Mfanya kazi wa ndani akaondoka na kutuacha tukiwa kimya huku macho yangu nikitazama mechi ya marudio ya kombe la dunia
“Zena unaendeleaje?”
“Naendelea vizuri tu baba”
“Vipi maumivu maumivu?”
“Kidogo yamepungua ila ikifika mida ya saa kumi na mbili jioni huwa mguu unavuta sana”
“Pole nimeona leo nije na Eddy ili kuweza kuzitatua tofauti zilizopo kati yenu”
Mfanyakazi akarudi akiwa amebeba glasi tatu zilizo jaa juisi na kuziweka juu ya meza kisha akatukaribisha
“Alafu wewe Amina si nimekuambia hiyo tabia ya kushinda na khana moja mimi siihitaji?”
“Samahani dada”
“Hembu nenda kavae nguo zako….unamuonyesha nani hayo makalio yako”
Amina akaondoka kiaibu aibu na kumfanya mkuu wa shule kumtazama Amina kwa jicho la kui-ba huku akisindikiza kwa muno mzito ulio mfanya madam Zena kuachia kicheko kiliho nifanya na mimi nicheke
“Mkuu muda wako umesha kwisha”
“Ahaaa wapi bado ninadai”
“Na uzee huo ukimpata mtoto kama huyo si atakuua kabla ya siku zako”
“Wapi binti kama huyo nampiga goli za kizee lazima adate na mimi”
Madam Zena akaanza kucheka kwa kicheko kikubwa na kwajinsi wanavyo taniana unaweza kusema sio mtu na bosi wake
“Zena hata wewe ninakuweza tena sana”
“Hahaaa haa usinichekeshe mkuu mimi utaniwezea wapi wakati hata vijana kama hao kina Eddy wananishindwa”
“Eti Eddy unamshindwa Zena?”
“Sijui”
“Haaa hujui nini sasa?”
“Haujui maana yake ni jiu tosha kwamba mimi haniwezi”
“Haaa Eddy unaniaibisha”
“Nakuaibisha na nini?”
“Si Zena anasema kuwa humuwezi”
“Ila mkuu si unaona Zena ni mgonjwa”
“Mgonjwa wapi kwani wewe unaufanya mguu au nanilio yangu”
Sote tukajikuta tukicheka kwa furaha huku mimi kicheko changu kikiambatana na swala la mkuu wa shule kushindwa kumpa haki inayo stahili Amina
“Hayo ndio mambo ninayo yahitaji nataka Eddy na Zena muwe munacheka kama hivyo ila si kuwekeana vinyongo havina msaada wowote kwenye maisha yenu”
“Mimi mbona Eddy nilisha msamehe”
“Kweli”
“Ndio huwa mimi sina moyo wa kumuwekea mtu kisasi”
“Eddy je umemsamehe ZENA?”
“Mimi sina tatizo naye nipo powa kabisa”
“Haya sas nawaomba munyanyuke mupeane mikono”
Tukasimama na kupeana mikono na madam Zena kisha tukakumbatiana na kila mmoja akarudi kukaa kwenye sofa lake na tukaendelea na mazungumzo ya kawaida na tukamuaga Madam Zena kisha sisi tukarudi shule na sikuwa na haja ya kukaa sana shule nikaga na kuondoka zangu sikuweza kujua kama nitaweza kumkuta mchungaji na watu wake au laa kwani simu yangu tayari imesha zima chaji.Nikakodi bodaboda hadi nyumbani kwangu na sikuona gari la mchungaji likiwa nje kwangu zaidi ya kuusikia mziki ukitoka nyumbani kwangu.Nikashuka kwenye bodaboda na kumlipa pesa yake kufungua geti na kuingia ndani na kukuta gari ya Halda ikiwa imesimama pembeni ya mlango wa kuingilia sebleni
Nikafungua mlango namtu wa kwanza kuniona ni Rahma na kwaharaka akanikimbilia na kuni-kumbatia kwa furaha na tukaanza kunyonyana midomo yetu na kumfanya Halda kuanza kukunja sura yake kila nilipo mtazama.Tukaachiana na Rahma na akaonekana kunishangaa
“Baby mbona umekondo tofauti namwanzoni nilipo kuacha?”
“Wee acha tu kuna vimbanga kwenye hii nyumba hadi ninakonda”
“Halda alinisimulia nikamuambia kuna maji nitarudi nayo yatakayo weza kuzuia vitu vya ajabu ajabu….Alafu kuna wageni wako hapa walikuja siwaelewi elewi nikawatukana kama nini?”
“Wakoje?”
“Wamesema ni watumishi wa bwana mimi nikaona wananizingua nikawajibu mbovu”
“Ahhha wakasemehe?”
“Wakasema mkono wa bwana uwe juu yangu na nikakupigia simu ila hukuwa hewani”
“Simu yangu imekata chaji?”
“Shem mambo vipi?”
“Safi mzima”
“Mimi mzima……Jamani ngoja niondoke kuna mtu ninakwenda kumcheki?”
“Ok basi baadaye”
Halda akaondoka na kutuacha mimi na Rahma ambaye nikakuta tayari wameniandalia chakula na taratibu tukaanza kula huku kila mmoja akionekakana kuwa na hamu na mwenzake.Rahma akanyanyuka kwenye kiti alicho kaa na kunikalia kwenye mapaja yangu na tatibu akaanza kunipapasa kila kona ya mwili wagu.Na mimi nikaanza mautundu ya kuzichea chuchu zake huku midomo yangu ikiinyonya shingo yake hadi akaleea.Nikamnyanyua Rahma hadi chumbani kwangu na kuanza kumvua nguo moja baada ya nyingine na yeye akafanya kama nilivyo mfanyia na sote tuajikuta tupo kama tulivyo zaliwa na kazi ikaanza ya kupeana raha kiasi kwamba kila mmoja akawa na kibarua cha kufuruahisha mwenzake
Rahma akazidi kuongeza kasi ya mashambulizi ila kutokana nimesha mzoe hakunitisha sana zaidi ya mimi kuzibana sehemu zake ambazo siku zote nikimbana huwa niamshinda kwenye mechi zake.Galfa mwili wa Rahma ukaanza kukakamaa huku macho yake yakibadilia na kiini cheusi kikapotea na kukabaikia kweupe tu huku mapuvu yakiaanza kumtoka mdononi kitendo kilicho anza kunichanganya kwani tangu nimjue Rahma sikuwahi kumuaona akiwa katika hali kama hii
Hali ya Rahma ikazidi kuwa mbaya kitandani na kunifanya nizidi kupagawa hata sikujua nifanye kitu gani kitakachoweza kumrudisha Rahma katika hali yake ya kawaida.Nikasimaa na kuiokota suruali yangu chini na kuivaa kisha nikuitoa simu yangu mfukoni na kukuta haina chaji ikanilazimu kuitafuta simu ya Rahma na ndani ya chumba changu haikuwepo ikanilazimu kwenda sebleni na kuikuta juu ya meza ya chakula nikaichukua na kukuta meseji moja na kwabahati mbaya nikaifungua
‘WEWE RAHMA UPO WAPI TUNAKUSUBIRIA NYUMBANI KWENYE KIKAO HUYU MUME WAKO AMESHA KUJA’
Sehemu Ya 22
Nikajikuta nikiirudia rudia meseji yake kuisoma kiasi kwamba nikajikuta nikikaa juu ya meza vizuri na kwa haraka namba iliyo tuma meseji ninaifamu ni ya mama yake ambayo alinipa siku moja shuleni.Nikabaki nikiwa nimetulia zaidi ya dakika tano huku nikijikuta rohoni mwangu nikijiwa na wivu mkali ulio andamana na hasira kali,Nikastuka simu yake iikita na kuona ni namba ya baba yake ikiingia na kubaki nikiwa nimeitazama kiasi kwamba nikajikuta nikianza kutetemeka kwa woga,Hadi simu inaka nikajikuta nikiwa kimya nisijue ninafanya nini
Wazo la kumpigia Halda likanijia kichwani na nikaanza kuifungua simu ya Rahma sehemu alipo hifadhi majina ya watu mbalimbali na kujikuta zaidi ya dakika kumi nikilitafuta jina la Hilda ila sikulipata kwani sikujua ameliandika vipi ndani ya simu yake.Nikasikia honi ikipiga getini na kwaharaka nikajua atakuwa ni Hilda ambeye ameondoka nyumbani kwetu muda si mrefu na kwa haraka nikanyanyuka na kutoka nje na hatua ya kwanza nikachungulia dirishani kutazama ni nani anaye piga honi na kujikuta nikistuka na kajasho kembemba kakianza kunienda mbio,hii ni baada ya kuliona gari jeusi anina ya Land cruser likiwa limesimama nje kwangu huku likiwasha taa zote mbili
“Nani huyu?”
Nilijiuliza mwenyewe kana kwamba kuna mtu pembeni yangu ninaye zungumza naye kumbe nipo peke yangu.Nikamshuhudi Hilda akishuka ndani ya gari hilo na kuanza kupiga hatua za haraka kuja kwenye geti langu kidogo moyo ukanipata matumaini na kujikuta nikulifungua geti na Hilda kwa ishara akamruhusu dereva wa gari kuliingiza ndani na nikabaki nikiwa ni nimeduwaa hadi gari linasimama akashuka jamaa mmoja mweusi kiasi aliye valia vizuri na kujikuta nikirudi katika hali ya kawaida baada ya jamaa kunisalimi
“AHaaa salama tuu kaka karibuni”
Nilizungumza huk u nikiliegesha geti langu na endapo kutatoke ishu yoyote niweze kukimbia kuepukana na msala uliopo ndani
“Eddy huyu anaitwa Rashid ni dereva wao Rahma”
“Ahaa karibu ndugu”
“Asante vipi huyo bibie yupo ndani?”
Swali la dereva nikajifanya kama sijalisikia na kuongoza ndani huku wao wakinifwata kwa nya-ma na mimi moja kwa moja nikaingia ndani na kuukuta Rahma akiwa ametulia huku mapigo yake ya moyo yakienda taratibu kiasi kwamba nikabaki nikimtazama kwa muda.Nikasikia sauti ya Hilda ikimuita Rahma huku akionekana kuja kwenye chumba chetu ikanilazimu kunyanyuka kitandani kwa haraka na kwenye kuufungua mlango na kumkuta akiwa amesimama mlangoni kwetu
Muambie huyo Rahma kwao wanamsubiria sana na ninampigia simu hapokei”
“Kwani kwao kuna nini?”
“Mimi wala sijui ila muambie kuwa kwao wanamsubira tena huyo dereva alitumwa kuja kwangu kumchukua kwa maana nilitoka naye nyumbani kwao”
Nikabaki nikimtazama Hilda huku nikikosa kitu cha kuzungumza hadi akaanza kuhisi kitu na macho yake yakanitazama kwa muda
“Eddy mbona una wasi wasi?”
“Eheee?”
“Mbona una wasi wasi?”
“Rahma ana umwa”
“Nini?”
“Rahma naumwa na hapa nilipo sijua ni uginjwa gani?”
“Mungu wangu yupo wapi sasa?”
“Humo ndani”
Halda akausukuma mlango na kumkuta Rahma kitandani akiwa amelala na kumshuhudia akianza kumwaga machozi na taratibu sauti yake yakulia ikaanza kuongezeka
“MIMI NINAWAAMBIA NINI WAZAZI WAKE JAMANI……EDDY UMEMFANYA NINI MTOTO WA WATU”
“Usilia sasa kwa sauti”
“Eddy acha nilie bwana umefanya nini mtoto wa watu mbona mimi sielewa?”
“Sasa wewe ukilia unadhani kutakalika humu ndani”
Nilizungumza huku nikianza kumvisha nguo Rahma na jasho jingi likazidi kunitiririka mwilini mwangu kiasi kwamba nihata uvishaji wangu nikajikuta mara kwa mara nikikosea kumvisha hadi ninamaliza kumvisha ni zaidi ya dakika kumi.
“Eddy Rahma ndio huyo amekufa unadhani mimi nitafanyaje na jaki ya MUNGU wazazi wake wakisema ni nani aliye fanya hivi mimi ninakutaja”
“Sasa hivo utakuwa unaharibu”
“Sio kuharibu”
“Kweli vile ni lazima niwambie na nitawaleta hadi hapa kwako”
Nikatoka sebleni na kumkuta dereva akiwa amesimama akionekana kama kusikilizia mazun-gumzo ambayo tunazungumza mimi na Hilda
“Kaka vipi kuna kitu gani kimetokea?”
“Ndugu yangu wewe acha tu kwa maana kuna ishu imetokea……Rahma ametokwa na mapovu na mwili wake umekakamaa sasa Hilda analia lia si unajua tena maswala ya wanawake”
“Haaa huo ni ugonjwa wake ambao humtokea kila baada miezi sita”
“Kweli?”
“Ndio”
“Ngoja basi nimlete huku”
“Usimtoe ngoja nimpigie simu mama yake kwa maana ugonjwa wake huu endapo utampata se-hemu alipo hapaswi kutolewa kwenye eneo alilopo na kuna shangazi yake ni mganga wa kihindi na kwa bahati nzuri yupo kwao wamerudi naye huwa ndioyo anamtibu Rahma”
“Hembu ngoja kwanza unataka umesema kuwa hapaswai kutibiwa sehemu yoyote zaidi ya se-hemu alipo pwatwa na ugonjwa huo?”
“Ndio na mukimuhamisha tu lazima anafariki?”
“Mungu wangu…..wewe umejuaje?”
“Ndugu ni mwaka wa 15 ninafanya kazi kwa kina Rahma na usinione hivi ni kijana ila umri wangu ni mkubwa na Rahma tangu yupo mdogo ninashuhudia matibubu yake yanakuwa hivyo na huo ugonjwa ameridhi kutoka kwa mama yeke”
Nikajikuta nikijibwaga kwenye kochi huku nikihisi nguvu za mwilini mwangu zikiniishia kiasi kwamba nikabaki nikiwa sina la kuzungumza na nikamshuhudia dereva akipiga simu na kuanza kuzungumza na mama wa Rahma na akaanza kutoa maelekezo ya sehemy alipo kiasi kwamba nikabaki nikitetemeka na akakata simu na kunitazama
“Wamesemaje?”
“Wamesema kuwa wanakuja na sasa hivi….Ila si wanakujua wewe?”
“MIMI…..?”
“Ndio wewe?”
“AHhhhhhaaaa”
“Ohoo basi vyema ukawa makini?”
“Makini na nini?”
“Yule mzee hana utani na mtoto wake na huwa hapendi sana watu weusi japo mimi nimepata bahati ya kufanya kazi kwake ila hataki hata kuniona ninazungumza na mwanae”
“Mmmm sasa..?”
“Hakuna cha sasa”
Akili yangu ikazidi kuchanganyikiwa na kusimama huku mapigo ya moyo yakianza kwenda mbio na sikujua hata ni nini nifanya,Nikaingia ndani kwangu na kumkuta Hilda akiwa amekaa kitandani huku akiwa amemtazama Rahma huku akiendelea kulia na baada ya kuniona akanif-wata na kuanza kunipiga kifuani
“Eddy wewe ni katili umemuua rafiki yangu kwanini…..?”
Sikutaka kumjibu Hilda na kitu chochota na kumsukuma pembeni na kufungua kabati langu na kuanza kutafuta nguo ya kuvaa na kwa kiwewe nikajikuta nikichukua vesti na kuvaa na kabla sijatoka nje nikastukia Hilda akinishika vesti niliyo ivaa na kuanza kunivuta
“Hapa Eddy na kuambia hotoke na nimesha mpigia baba na kaseme anakuja”
“Wewe nimekuambia niachie nitakubamiza”
“Eddy nipige niue mimi badi sikuuachii kwani ukinipiga leo ndio mwanzo”
Nikasikia honi getini zikipiwa na moja kwa moja nikajau ni wazazi wa Rahma na kwa haraka nikamsukuma Hilda na akadondoka chini na nikatoka ndani kwangu kwa haraka na kuufunga mlango kwa nje na kufika sembeli sikumkuta dereva na kwakupitai getini nikamuona dereva akijitahidi kufungua geti langu na gari moja ikaanza kuingia.Kwa haraka nikaingia jikoni kwangu na kumsikia Hilda akipiga makelele akiomba mkango kufunguliwa.
Katika sehemu ya juu ya jikoni kwangu kuna sehemu ipo wazi na kwaharaka nikapanda juu meza iliyopo jikoni na mikono yangu kuiingiza ndani ya sehemu hiyo na kujivuta kwa juu na nikafanikiwa kuingia ndani sehemu ya juu kwenye nyumba yangu japo kuwa kuna giza nikajipa moyo.Nikawasikia watu wengi wakiwa wanazungumza huku wakionekana kufuoka na kujiuliza maswali mengi.Nikasikia wakifungua mlango wa ndani kwangu na Hilda akaanza kuropoka kwa kutumia Lghaya kiarabu huku mara kwa mara akilitaja jina langu la Edd
“Atakuwa ametorokea wapi?”
“Jamani nipeni nafasi ya kumuhudumia mgonjwa na acheni kelele kwani hali yake si nzuri”
Nikasikia machekeche kama ya wauza karanga za ketembeza yakipigwa na mama mmoja akaanza kupaza sauti yake huku akionekana kama mtu anaye pandisha mashetani.Nikaanza kutembea taratibu huku nikikanyaga mbao za juu hadi kwenye sehemu ya chumba changu na kwa kupitia upenyo mdogo wa sehemu ilipo pitia feni la juu nikamuona Rahma akiwa amevuliwa nguo zake huku ndani ya ya chumba changu wakiwemo wamama watatu wa kiindi huku mmoja wao akiendelea kupiga machekeche yake huku kukiwa na vnyungu viwili vikiwa vinatoa moshi mwingi na kugundua harufu ya ubani.Akaanza kumchunguza Rahma hadi kwenye ikulu yake na kumshuhudia akipiga chafya nyingi huku akitoa makelele mengi kiasi kwamba nikaanza kutetemeka
“ALIKUWA NA MWANAUME”
Mama huyo alizungumza kwa sauti nzito ambayo ni ya kiume na sikujua ni jini gani lililo mpan-da
“Huyo mwanaume ni wa aina gani?”
“HAAA NI MWAFRIKA ILA YEYE ANAWEZA KULETA MFARAKANO KATIKA FAMILIA YENU”
“Mfarakano gani mtukufu?”
“HHAHAAA YEYE ANAWEZA KUIFANYA FAMILIA YENU KUFILISIKA NA KUWA MASIKINI KABISA NA ISITOSHE RAHMA TAYARI AMAKIUMBA CHA HUYO MWNAUME TUMBONI MWAKE”
Moyo ukanipasuka na kwa haraka akili yangu ikapiga picha siku nikiwa gerezani kwani kitendo cha kumpa mwanafunzi mimba ni kifungo cha miaka 30 na mbaya zaidi mimi mwalimu sasa sijajua kama nitafungwa kwa miaka mingapi
“Mama wee kwanini huyu mtoto ameamua kunizalilisha kiasi hichi jamani ni nini jamani”
Nikajua mama anaye muhoji mganga huyo ni mama yeke Rahma na kujikuta nikizidi kumtazama kwa umakini na kila sifa aliyo kuwa nayo Rahma ameitoa kwa mama yeke
“USIPIGE KELELE NA ENDAPO MUTAKITOA HICHO KIUMBE BASI RAHMA MUTAMPOTEZA”
Mama Rahma akazidi kupaza sauti ya juu na kuuufanya mlango walio ufunga ukafunguliwa na akaingia mzee mwenye mwili mmkubwa na mama Rahma akanyanyuka na kwenda kumkumbatia mwanaume huyo na kuzungumza naye manneno ya kiarabu huku mara kwa mara mikono yake akimnyooshea Rahma aliyelele kitandani kama mtu aliye fariki huku mwili wake akiwa uchi kama alivyo zaliwa.
Gafla nikahisi kitu kiki nikuvutwa mguu kwa nyuma na nikageuza sura yangu nyuma kwa haraka kuangalia ni nini kilicho nigusa sikuona kitu cha aina yoyote na kujikuta nikitumia nguvu kujivuta mbele na kitu hicho kikaniachia na kustukia nikipoteza muhimili wa mwili wangu na kujikuta nikilala kwenye sehemu laini(signboard) ya juu kwenye chumba changu ambayo haiwezi kuhimili uzito wa mwili wangu na kujikuta nikipitiliza moja kwa moja na kuanguka chini ndani ya chumba changu na kutoa kishondo kizito
Kufumba na kufumbua sikuona mtu yoyote ndani ya chumba changu zaidi ya Rahma aliye lala kitandani akiwa hajitambui na nikasikia kelele na vishindo vya wanandugu wa Rahma sebleni kila mmoja akijaribu kuokoa maisha yake nikajua kwamba hawakutarajia kuuona uwepo wangu ndani ya chumba changu tena kwa mfumo huu wa kuanguka kutoka darini.Nikanyanyuka japo sehemu ya mbavu za kushoto ninahisi maumivu makali ila nikajikaza na kuchungulia mlangoni sikuona mtu yoyote akitokea sebleni.Kwa haraka nikaingia jikoni kwangu na kuchukua kifuko cha unga wa ngano na kujimwagia unga wote mwilini mwangu na nikausambaza vizuri usoni mwangu.Nikachungulia sebleni nikaona vivuli vya watu wawili wakiwa wanakaribia kuingia ndani huku wakinyata wakitaka kuchungulia ni nini kilicho tokea
“Let’s go”(twendee)
Nilijisemea kwa sauti ya chini na kuchomoka kwa kasi jikoni huku nikitoa mlio wa pikipiki aina ya XL Baja na kuwafanya watu waliokuwa wakinyata mlangoni kukurupuka na kuanza kukim-bia kurudi walipo tokea huku baba Rahma nikimpiga kikumbo getini na kumbwaga chini na kuwafanya wamama walio simama nje baada ya kuniona wakatawanyika kwa woga na kila mmoja akashika njia yake na kusababisha nao pia kuapiga kelele.Breki ya kwanza nikasimama ndani ya maji kwenye fukwe almaarufu kwa jina la JET na sikujali watu wamenichukuliaje.Japo kuwa siwezi kuogelea vizuri ila ikanibidi nipate ujuzi wa kupiga mbizi na kwenda mbali kidogo na ufukwe ulipo na nikakaa ndani ya maji huku nikiwa nimekiacha kichwa nje kwa ajili ya kuvuta punzi zaidi ya masaa manne hadi giza likatanda angani ndipo nikatoka ndani ya maji
Sikuwa na hamu ya kwenda nyumbini kwangu kwa maana nikahisi ni lazima watakuwa wananitafuta kwa udi na uvumba.Nikapiga mwendo hadi nyumbani kwa madam Zena huku nguo zangu zikiwa zimelowa.Nikagonga mlango kwa bahati nzuri akafungua madam Zena akiwa amevalia suruali na tisheti kubwa na akaonekana kunishangaa baada ya kuniona
“Ehhee Sir Eddy vipi mbona umelowaa?”
“Shosti wee acha tuu hembu twende tukayazungumzie ndani la sivyo yaliyo nikuta huko yasije yakanikuta na hapa”
“Ehee Eddy leo umeniita shosti……Haaahaaa kweli huko ulipo toka umevurugwa”
“Tena sijavurugwa kidogo…Nimevurugwa sana”
“Haya yaliyo kukuta ni yapi Shost yangu?”
Sikuwa na sababu ya kumficha madam Zena kwa maana endapo nikimficha ipo siku mambo ya-naweza yakaniharibikia na akashindwa kunisaidia kabisa.Hadi na maliza kumsimulia Madam Zena akawa anacheka hadi machozi yanamtoka na kujikuta amekaa chini akiendelea kucheka
“E…..Eddy hapo kama ninakuona vile na hayo maunga yako”
“Wee nilikodi pikipiki ya Baja…yaani niliondoka na gia tatu badala ya moja au mbili na kwajinsi nilivyokuwa ninatisha hapakuwa na mganga wala hapakuwa na baba wa mtoto wote changu na mimi kiulaini nikasepe”
“Hii kali ya mwaka Eddy”
“Wee acha tuu najuta kuja Tanga?”
“Kwa nini?”
“Haya majanga unadhani ni madogo”
“Tatizo lako Eddy wewe hujatulia hadi wanafunzi wako”
“Bora na mimi kuliko huyo mkuu wako”
“Tena yule mzee ndio usiseme pale mulipo ondoka nimetoka kumsema sana huyu mfanyakazi wangu kwa maana nimeanza kuhisi kitu kati yake na yule babu….Kwa mfano ikatokea bahati mbaya akampa mimba huyu binti hembu sema mwenye huyo mtoto atakaye zaliwa atamuitaje yule mzee”
“ZOMBI”
Sote tukajikuta tukicheka kiasi kwamba tukasahau kama tulikuwa maadui.Madam Zena akanyanuka na kuingia jikoni na baada ya muda akarudi akiwa ameshika mapoti mawili na kuyaweka mezani akataka kurudi ndani nikamzuia
“Si unakwenda kuchukua sahaani?”
“Ndio”
“Ngoja nikusaidie wewe pumzika”
“Utajua ni wapi zilipo?”
“Nitajua ninakuonea huruma na huo mguu wako…..Sema nilete ngapi?”
“Leta ya kwako tuu na fungua hapo kwenye friji utaona jagi linajuisi njoo nalo kama huto jali njoo na glasi mbili”
“Powa”
Nikaingia jikoni na kubeba vitu vyote niliyo angizwa na kurudi navyo sebleni na kuviweka juu ya meza
“Eddy hembu ngoja nikufanyie mpango ubadilieshe hizo nguo zako kwa maana umesha nitote-shea sofa zangu na mimaji yako”
“Tena hapo umesema lamaana kwa maana ninakaa kama nimejikojolea bwana”
Madam Zena akanyanyuka na kuingia kwenye chumba kimoja na kurudi akiwa ameshika taulo jeupe na kunirushia na nikalidaka
“Njoo nikuonyeshe bafu”
Akanionyesha bafu lililopo ndani ya nyumba yake
“Ngou zako utaziweka kwenye kindoo humo bafuni zitafuliwa kesho”
“Powa”
Nikaingia bafuni na kuoga huku matendo niliyo yafanya yakijirudia rudia akilini mwangu na kujikuta nikicheka mwenye
“Kuna vitu vingine mtu unaweza kusema ni vyakijinga kumbe vinasaidia saa nyingine”
Nikaendelea kusijisemea mwenye akilini na nikamaliza kuoga na kujifunga taulo na kurudi seb-leni na kukuta madam Zena akiwa tayari amenipakulia chakula huku yeye akitazama filamu za kizungu na kujishushia kwa juisi yake.Nikaliweka taulo vizuri na kukaa kwenye sehemu niliyo kuwa nimekaa hapo awali
“Huyu Amina yupo kweli?”
“Yupo amelala ndani kwake anadai leo amechoka”
“Ahaa karibu tule”
“Wewe kula mimi hapa nilipo sina hata hamu ya kula nimeshiba tumbo ndii”
Nikaanza kula taratibu huku nikimtazama Madam Zena ambaye kila nilipo matazama akawa anacheka
“Eddy sio siri kila nikikutazama mimi nabaki kucheka sana”
“Wakati wa kula sipendi kuzungumza utanifanya nipaliwe bure”
“Hahaaa haya endelea kula”
Madam Zena akaendelea kucheka na mimi nikaendelea kula chakula hadi nikashiba vizuri na nikavitoa vyombo vyote na kuiacha glasi yangu ya juisi mezani.
“Sasa hapa nimeshiba”
“Kweli”
“Kweli hapa hata wakija hao waarabu ninauwezo wa kupambana nao”
“Nyoo toka zako kwanini hukupambana nao kipindi walivyokuwa kwako?”
“Ahaa walikuja wengi kiasi kwamba nikajikata ninatumia mbinu mbadala au plan B”
“Kweli hiyo Plan B…….Alafu Eddy wewe unajua hupendezi kuwa mwalimu?”
“Kwa nini?”
“Basi tuu ungakuwa daktari kidogo kungekuwa na nafuu”
“Hahaa ndio hivyo tena”
“Ngoja nikachukue tenge la kujifunika kwa maana ninahisi kuna vimmbu vinaning’ata ng’ata”
Madam Zena akaondoka na kunicha nikianza kutafuta chaneli nzuri zilizopo kwenye king’amuzi cheke.Nikafanikiwa kupata chaneli ya moja ya kizungu yenye miziki mizuri ya taratibu na nikajinyoosha vizuri kwenye sofa kama nipo kwangu vile na kichwa changu nikakilaza kwenye mguu wa sofa.Madam Zena akakaa kwenye sofa nililo kaa mimi sehemu niliyo ielekezea miguu yangu huku akiwa amejifunga tenge
“Eddy”
“Mmmm”
Madam Zena akakaa kimya ikanilazimu kukinyanyua kichwa changu na kumtazama na kumkuta akiwa ananitizama pasipo kuzungumza kitu cha aina yoyote,Nikauona mkono mmoja wa madam Zena akiupitisha taratibu kwenye miguu yangu na kunifanya nisisimke mwili mzima.Akazidi kuupeleka mkono wake hadi kwenye mapaja yangu na kuandelea kuvichezea chezea vinyweleo vyangu vingi vya mwilini wangu na tarati akaufikisha mkono wake kwenye koki yangu ambayo tayari imeshasimama kama namba moja na kwakutumia kiganja chake chake kilaini akaanza kuichua taratibu na kunifanya ninyanyuke na kumvuta kwangu na akanilalia kifuani kwangu.Tukaanza kunyonyana lipsi zetu huku ndimi zetu zikiwa na kazi ya kucheza mpira usio na refalii huku na yeye akiwa anaendelea na shughuli ya kichua koki yangu
Nikalifungua tenge lake na akabaki akiwa hana kitu na taratibu mikono yangu nikaishusha hadi kwenye kiuno chake na kukutana na shanga nyingi nyembamba zipatazo sita na nikaanza kuzi-chezea kwa mmfumo wa kama mtu anaye piga gitaa,Nikaachana na shanga na kumpa fursa ma-dama Zena kujishusha kidogo hadi sehemu ulipo koki yangu na kuidumbukiza mdomoni na taratibu akaanza kuinyonya kwa ufundi na kuhisi mwili mzima ukiwa unasisimka hii pia iliongezewa na ufundi stadi wake wa kunyonya kokwa zangu ndogo kiasi na mara kwa mara aliziingiza mdomoni mwake na kuzimung’unya kama mtu anaye mung’unya ubuyu ulio kolea utamu wa sukari na nikashindwa kuzizuia hisia zangu na kujikuta nikiaanza kutoa milio ya kiume na yenye besi jepesi
Nikamlaza madam Zena kwenye sofa na vidole vyangu viwili vya mkono wa kulia vikazama ndani ya ikulu yake na kuaanza kuvichezesha kwa kasi na kumfanya madam Zena kuanza kupiga makelele na nikazidisha kasi ya mkono wangu hadi nikashuhudia ikulu yake ikitawaliwa na maji meupe kisha nikaizamisha koki yangu kwenye ikulu yake na kazi ya mapambo ikaanza.Nikaanza kuyakumbuka maneno ya madam Zena ya kuniita mimi mwanaume suruali yakaanza kujirudia rudia kichwani mwangu na kujikuta nikizidisha utaala wa kumuweka mikao mingi ya kumkomoa japo na yeye anajitahidi katika kujibu mashambulizi yakukaa mikao yake ila ikafikia kipindi nikaanza kumuonea huruma.Hii nikutona na kuchoka kweke huku pumzi zikiwa zimemuishia na alipojaribu kuomba nafasi ya kupumzika nikamnyima kabisa na hadi ninamaliza mzunguko wa kwanza Madam Zena akajilaza kifuani kwangu huku akishindwa hata kuongea kutokana na kuhema na usingizi mzito ukampitia ila kwangu sikuweza kuupata hata kidogo ni kutokana na shuhuli niliyo ifanya.
Saa ya ukutani inaonyesha ni saa saba usiku nikamnyanyua Madam Zena na moja kwa moja ni-kaingia naye kwenye chumba alicho ingia kipindi anapo kwenda kuchukua tenge.Nikakuta ki-tanda kikubwa cha sita kwa sita kilicho na godoro lililo jazia ukubwa.Nikamlaza kitandani na mimi nikalala pembeni yake kisha nikamvuta kidogo na kichwa chake akakilaza kifuani mwangu na kuanza kuzichezea nywele nyingi za madam Zena.
“HIVI HAWA WAARABU WAKINIKAMATA SIKU ITAKUWAJE………? SIJUI WATANIPELEKA JELA AU WATANIPIGA SHAPA(RISASI) NIFE?………Mmmm ITANIBIDI NITAFUTE SEHEMU YA KUTO-KOMEA……..HATA NIKITOKOMEA NITAENDA WAPI………JE MIMBA YA RAHMA ITAKUWAJE?”
Sehemu Ya 23
Maswali mfululizo yakazidi kukiumiza kichwa changu na kusababisha usingizi kunikimbia kabisa,sikuwa na kitu kingine cha kupoteza mawazo zaidi ya kuaanza kuupapasa mwili wa Madam Zena na tararibu akaanza kutoa miguno iliyo changanyikana na usingizi mzito.Nikamlaza chali kisha miguu yake nikaichanua na kuanza kiichezea ikulu yake hadi nikaridhika na mechi ikaanza taratibu na kumfanya madam Zena kurudi mchezoni na kuachana na usingizi.Ila wakati huu tulienda kama wazee wenye umri mkubwa kiasi kwani kila mmoja aliweza kuusoma mchezo taratibu huku kiuno cha madam Zena kikiwa na kazi ya kukatika na mimi sikukilaza kiuno changu ambacho kwenye idara hii kinakatika bila wasiwaisi na kusababisha mechi nzima kutawaliwa kwa raha za tabasamu kwa upande wangu na wamadam Zena.
Tukamaliza mechi kila mmoja akajilaza upande wake huku tukiwa tumechoka kidogo kwa upande wangu usingizi ukaanza kunichuku taratibu na mwisho wa siku nikajikuta nikilala fofofo.Nikahisi kutu kikiwa kinanipapasa kwenye mapaja yangu na taratibu nikafumbua macho yangu na kujikuta nikistuka baada ya kumkuta Amina mfayakazi wa ndani wa Madam Zena akiwa mtupu kama alivyo zaliwa
“WEEE NINI UNAFANYA…?”
“Shiiii dada hayupo”
“Kwahiyo?”
“Na mimi kidogo nataka”
“Wewe koma na ukomae wewe msichana kwahiyo umeniona kuwa mimi ni Malaya sana hado unakuja na jisauti lako baya eti namimi nataka”
Nilizungumza kwa hasira huku nikijifunika shuka vizuri kutokana sina kitu chochote nilicho vaa ndani
“Jamani shemeji mbona jana dada ulimpa kwenye makochi pale na niliwashuhudia kila kitu mulicho kifanya au unadhani ni mwanamke wa jinsi gani anayeweza kushuhudia mechi kama ile ya jana usiku na akashindwa kuzizuia hisia zeke”
“Nisikilize wewe binti…..Hunijui sikujui ninacho kuomba toka ndani ya chumba kabla sijaku-fanya kitu kibaya ambacho sijapanga kukufanyia”
“Shem tambua hata mimi ninastahili haki yangu”
“Wewe umepagawa eheee….Kama haki si akupe mzee wako wa jana mchana unadhani sikuwaona kwa kitu mulichokuwa munafanya…..Alafu nyinyi wanawake wengine mbona hamujieshimu kila mukimuona mwanaume basi munataka”
Asha hakunielewa kabisa na akaanza kunisogelea kwa haraka na kuanza kulivuta shuka langu na ikawa ni kazi ya vuta nikuvute hapa ndipo nikayakumbuka maneno ya Asha ya jana mchana aliyo yasema kwamba anamapepo ya kidigo baada ya mkuu wa shule kushindwa kumpa Asha haki yake inayo stahili.
Tukasikia mngurumo wa gari ya Madam Zena ikisimama nje na kumfanya Asha kushuka kitan-dani na kuchungulia dirishani kisha akanitazama kwa macho makali kiasi na akaachia msunyo mkali
“Na bado tutaonana”
Asha akatoka ndani ya chumba huku akiniacha kijasho kikiwa kinanimwagika kiasi kwamba ni-kabaki nikiwa ninaheme kama nimetoka kukimbia mbio ndefu kwa maana nimetumia nguvu nyingi sana kumzui Asha kufanya kitu ambacho alichokuwa akihitaji kukifanya.Mlango ukafun-guliwa na Madam Zena akaingia huku akiwa ameshika mfuko mweusi
“Niambie babaa”
“Safi vipi?”
“Poa….mbona jasho jingi linakumwagika vipi tena?”
“Nilikuwa ninapiga piga pushapu kidogo nimevinyoosha nyoosha viungo”
“Basi nenda ukaoge”
“Nitakwenda ngoja nipumzike kwanza”
“Hapa nimetoka sokoni na nimekulatea supu ya pweza kwa maana mmmmm nimekukubali mziki wako wa jana usiku kama umetumwaa”
“Kawaida”
Nikanyanyuka na kujifunga taulo na kwenda bafuni kuoga na wakati ninatoka nikamkuta Asha akiwa amesima karibu ya mlango wa kuingilia bafuni na akanitazama kwa macho makali kisha kama kawaida akaachia msunyo mkali hadi nikaanza kutetemeka kwa kwa woga sikujua ana matatizo gani na kwa haraka nikahisi kuna kitu kinaweza kikawa ndani yake kwani ni tofauti nanilivyo muona juzi mchana nilivyo kuja na mkuu wa shule.Nikaingia chumbani na kumkuta madam Zena akiandaa supu ya pweza akiiweka ndani ya kibakuli
“Hivi nguo zangu zimekauka?”
“Hata kufuliwa bado leo utashinda kwa kujifunga tenge”
“Mmmm”
“Mbona unaguna?”
“ Ahaa hapana ila kukaa kwa kujifunga tenge ni shunghuli…Ninakumbuka siku nilipokuwa nimetahiriwa tenge ndio lilikuwa vazi langu kuu”
“Haaa utafanyanye itakulazimu uvumilie kwa leo”
Nikakaa kitandani kisha Madam Zena akanikabidhi kibakuli chenye supu ya pweza na kabla si-jaanza kuinywa nikastuka baada ya kuona supu rangi yake ikiwa imebadilika na rangi yake ku-wa damu ya binadamu kuku vijinyama nyama vya pweza vikigeuka na kuwa macho ya watu na kujikuta nikikiachia kibakuli cha supu na kumwagika kitandani
“EDDY…..”
“Mmmmmm…!!”
“Mbona umemwga supu”
“Eheee”
“Mbona umemwaga supu tena kitandani?”
Kabla sijamjibu Madma Zena gafla ukutani nikamuona Olvia Hitler akiwa amesimama pamoja na Amina mfanyazi wa Madma Zena wote wakiwa wamevalia mavazi meupe.Nakujikuta mwili mzima ukianza kunitetemeka na upande wa kushoto wa chumba nikwamuona mchungaji akiwa ameshika chungu kinachotoa moshi mwingi.Na taratibu Amina mfanyakazi wa madam Zena akashika panga alilo kabidhiwa na Olvia Hitler na taratibu akaanza kupiga hatua za taratibu na kisimama nyuma ya Madam Zena na kulinyanyua panga lake juu na kabla hajalishusha mwilini mwa Madama Zena nakiajikuta nikimrukia Madam Zena na sote tukaanguka chini ya kitanda na kumfanya madam Zena kutoa ukelele mmoja wa maumivu makali na akakaa kimya na watu wote nilio waona ndani ya chumba sikuweza kuwaona tena na kujikuta nikianza kuchangajikiwa baada ya kumuona madama Zena akitokwa na damu za puani na mdomoni
Nikamnyanyua Madam Zena na kumuweka kitandani huku nikihema kisha nikachukua kanga iliyoning’inizwa nyuma ya mlango kisha nikaanza kumfuta Madam Zena damu zinazo mto-ka,Nikikiweka kiganja changu kwenye kifua chake na kukuta mapigo yake ya moyo yakienda kama kawaida na kujikuta nikipata matumaini na wasi wasi ukanipungua kwa kiasi kikub-wa.Nikakaa pembeni ya Madam Zena na ndani ya dakika 45 madam Zena akapiga chafya kisha akaanza kufumbua macho na tabasamu likaanza kutawala usoni mwangu baada ya madam Zena kufumbua macho yake na kukaa kitako kitandani
“Unajisikiaje mpenzi?”
“Kidogo afadhali”
“Samahani sana kwa kitendo kilicho tokea”
“Kwani Eddy wewe una tatizo gani?”
“Ahaaa ukiwa sawa nitakuambia tatizo langu ila kwa sasa ninakuomba utulie”
“Nitatulia vipi wakati unaonekana kama mtu mwenye mapepo?”
“Sio hivyo ila ukiwa salama nitakuambia”
Nikaanza kujihisi tofauti kwenye viganja vya vidole vyangu vya mkono wa kushoto hii ni baada ya kuto kuiona pete niliyo vishwa na Yudia.Nikasimama huku nikiwa wasiwasi huku nikijitaza-ma kwenye vidole vyangu na nisione kitu cha aina yoyote,
“Unatafuta nini?”
“Kuna pete nilikuwa nayo kidoleni siiioni?”
“Ni pete ya nini?”
“Hiyo pete inanisaidia sana kwenye mambo yangu”
“Ahaa nilikuvua pete hiyo asubuhi wakati ulipo kuwa umelala…..Nilitokea kuipenda sana pete yako”
“Ohooo ipo wapi?”
“Niliweka ndani ya droo ya dreasing table”
Madam Zena akanyanyuka na kufungua droo ya dreasing table akaanza kuitafuta taratibu jambo lililo anza kunipa wasiwasi kwani kipindi nilipo kuwa nayo sikuweza kupata tatizo la aina yoyote ila baada ya kuvuliwa na Madam Zena vitu vya ajabu ajabu vinaanza kujitoke-za.Nikanyanyuka kitandani na kwenda alipo madamZena na tukasaidiana kuitafuta
“Kwani wewe uliiweka wapi?”
“Niliiweka humu ndani tuu kwenye hii droo”
“Aaahh sasa atakuwa ameichukua nani?”
“Saijajua…..kwani ina umuhimu sana”
“Tena umuhimu wake ni zaidi ya sana”
Tukaendelea kuitafuta pasipo kuiona kiasi kwamba nikaanza kuchanganyikiwa japo madam Zena analichukulia ni jambo la kawaida sana katika pete hiyo.
“Baby tutaitauta baadaye?”
“Zena Zena umenitafutia matatizo?”
“Matatizo gani mpenzi wangu?”
“Ile pete inanilinda mimi na watu wabaya na hapa tulipo kuwa humu ndani kwako kuna watu walinitokea ndio maana ukaona nimekukukumba?”
“Eddy mbona unanitisha?”
“Sio ninakutisha huo ndio ukweli wenyewe”
“Mmmmm sasa inakuwaje?”
“Mimi mwenyewe sijui hata itakuwaje”
Tukabaki kimyahuku kila mmoja akibaki akimtazama mwenzake.Madam Zena akanipa tenge nikajifunga kwani kwa wakati wote nilikuwa kama nilivyo zaliwa kisha tukatoka chumbani huku yeye akiwa ametangulia mbele,Nikakutana na Amina akiwa amebeba sahani za dongo alizotoka kuziosha.Macho yangu yakatua kwenye vidole vyake na kuiona pete yangu.
“Wee weee hembu mara moja”
Nikamsimamisha na kumfanya madam Zena kunishangaa na nilicho kifanya ni kumvua Amini pete iliyopo kidpleni mwake
“Haya wewe Amina umeingia saa ngapi ndani kwangu na kuchukua pete ya shemeji yako?”
Amina akabaki kimya akikosa kitu cha kuzungumza na tukio la yeye kutaka kumkata Madam Zena kwa panga ikanijia kichwani kwangu na kujikuta nikimtazama Amini kwa mach makali
“Si ninakuuliza wewe……huo mtindo wa kuchukua vitu vya watu imeanza lini?”
“Niliingia chumbani kufanya usafi?”
“Usafi wakati shemeji yako yupo umeshaa anza tabia mbaya ehee?”
“Nisamehe dada Zena sinto rudia tena”
“Amina utarudi kwenu ohooo maswla ya ajabu ajabu mimi sipendi……wewe unajua kabisa kuwa leo nina mgeni chambani kwangu na wewe asubihi asubuhi unaingia na kuchukua vitu vya watu wewe unajua ina kazi gani hiyo pete?”
“Lakini dada katika swala la kuwa na mgeni mimi sikulijua kwa maana jana alivyo kuja mimi si-kumuona”
“Hembu nenda kaendelee na kazi zako majini yangu yasije yakanipanda ninaimani unanijua vi-zuri sana”
Amina akaondoka na kutuacha sisi tukikaa sebleni na nikaichunguza pete yangu na sikuona mabadiliko ya aina yoyote na kujikuta nikijiuliza maswali yasiyo na majibu
“Hvi imekuwaje na Amina amekuwepo kwenye mkumbo wa kina Olvia……? Na kama pete ili-wekwa kwenye droo huyu Amina ameionaje………… ? Kuna kitu hapa kinach endelea itanibidi nikijue”
Nilijisemea huku Madam Zena akiwa anabadilisha badilisha chanel za kwenye Tv na baada ya muda tukapata kifungua kinywa na kabla hatujamaliza kunywa simu ya madam Zena ikaaita
“Mama anaumwa?”
“Mumepeleke hospitali”
“Kwahiyo yupo Teule eheee?”
“Haya ninakuja kumuona”
Madam Zena akakata simu na kunyanyuka na kuekekea chumbani kwake na mimi ikanibidi nimwfwate kwa nyuma na kumkuta akianza kuvua nguo moja baada ya nyingine huku akitafuta nguo ya kuvaa kwenye kabati lake
“Eddy mama yangu anaumwa sana”
“Yupo wapi?”
“Muheza hapa inanilazimu kwenda Muheza kumuona”
“Na mimi ninaweza kwenda?”
“Hapana ngoja tu mimi niende nitarudi kesho kama hali yake ikiwa mbaya nitakujulisha”
“Mimi sijaja na simu yangu huku kwako?”
“Ipo wapi?”
“Ipo nyumbani kwangu?”
“Basi nitawasiliana na Amina na nitamueleza kila kitakacho tokea”
“Sawa…..ila roho yangu inasita kabisa kukaa humu ndani kwako”
“Unamuogopa nani?”
“Simuogopi mtu ila kukaa humu kwako mimi sina imani nako kabisa na kama unavyo jua kwamba huko uraiani nina soo”
“Tungeenda wote ila nguo zako ndio kwanza zinafuliwa”
“Ahaaa sasa daaaa haya mwayasafari njema”
Madam Zena akamaliza kuvaa nguo zake kisha tukatoka chumbani na Madam Zena akamuaga Amina
“Unaondoka na gari lako?”
“Hapana sijalifanyai servise nitaoanda Costa…..Amina na shemeji yako umueshimu nisije nikarudi hapa nikakuta hali ya tofauti na nilivy kuacha utajuta”
“Dada siwezi kufanya chochote kibaya?”
“Na iwe hivyo kwa maana unanijua vizuri”
“Sawa dada safari njema”
“Ila si kila kitu kipo kwenye friji?”
“Ndio ila ni soseji ndio zimebaki chache”
“Kwenye droo yangu ile ya upande wa kushoto kuna kwenye kitanda kuna elfu hamsini utanu-nua vile ambavyo utaona vimepungua ila kesho au kesho kutwa ndio ninaweza kurudi ila nina-kuomba uwe makini sana”
“SAWA”
Madam Zena akanibusu mdomoni kisha akaondoka zake na sisi tukarudi ndani na kujikuta furaha yangu ikiisha kabisa kwa maana Amini aliiapia kabisa kuwa nitaona.Nikapitiliza hadi ndani pasipo kumuongelesha Amina kitu chochote kisha nikafunga mlango kwa funguo na kujitupa kitandani nikianza kuutafuta usingizi ila sikuupata kabisa.Nikasikia mlango ukigongwa huku amina akaniomba nifungue kwani tayari chakula cha mchana kipo tayari.
“Ninakuja”
Nikajinyanyua kitandani na kujifunga tenge langu vizuri na kwenda sebleni na kukukita chakula juu ya meza.
“Amina nguo zangu zipo wapi?”
“Zimesha kauka nataka nizipige pasi”
“Basi ninaomba unifanyie mpango huo”
“Sawa”
Nikala haraka haraka na kuingia bafuni na kuoga kisha nikatoka na kuzikuta nguo zangu zipo tayari nikazivaa kidogo nikapata amani kwani hata lolote litakalo tokea ninawza kuondoka zan-gu
“Shem unaondoka?”
“Ndio nataka kwenda kwangu mara moja”
“Sawa ila shem ninakitu ninaomba kukuuliza?”
“Niulize”
“Wewe na dada mapenzi mumeanza lini?”
“Kwa nini?”
“Nataka kujua tu mapenzi yenu mumeanza lini?”
“Mmmm hilo swali ni gumu na nijepesi ila yameanza siku nyingi tuu”
“Kweli?”
“Mbona unamaswali mengi?”
“Kwa maana dada anamume wake ambaye yeye ni mwanajeshi na siku si nyingi anaweza akarudi ikawa ni balaa kwako na jinsi shemeji yangu yule alivyo na roho mbaya inaweza ikawa ni hatari kwako”
Maneno ya Amina yakapita moyoni mwangu na kujihisi kama nimekatwa na kisu kikali na maumivu yake yameendana na mshangao mkubwa kwa maana sikutarajia kama madam Zena anaweza kuwa na mwanaume kwani kwa jinsi alivyo nifanyia vutu vyote ni sawa na mtu asiye na mwanaume kwani kila kitu amekifanya kwa kujiamini.
“Poa ninashukuru kwa taarifa yako”
“Ila usije ukamwambi dada kwa maana ninaweza kupoteza kibarua changu na kwetu mimi ndio ninaye tegemewa”
“Sawa sinto mwambia…..Ila na wewe asubuhi ilikuwaje hadi ukawa unanilazimisha kufanya mapenzi?”
“Nilivyo ivaa hiyo pete yako sikuwa ninajielewa nikawa ninahisi kuwa na hamu ya kufanya ma-penzi na wewe ila nakuoma unisamehe kwa hilo pia”
“Sawa”
Nikaondoka na moja kwa moja nikaenda hadi nyumbani kwangu na nikasimama kwa mbali ki-dogo kuangalia kamwa kuna ishu yoyote inayo endelea nyumbani kwangu ila sikuweza kumuona mtu wa aina yoyo akiwa nyumbani kwangu.Nikapiga hatu za umakini hadi getini kwangu na kukuta geti langu limerudishiwa,nikachunguliwa kwa ndani na sikumuona mtu wa aina yotote.Nikasukuma geti taratibu na kuingia ndani huku nikizidi kuwa makini kwani endepo kutakuwa na mtu wa aina yoyote asiweze kuniona,nikaingia sebleni na kukuta kukiwa kama nikivyo kuacha nikapitiliza hadi ndani kwangu na kuikuta hali ni ile ile ya jana,Nifungua kabati langu na kuanza kuchukua nguo moja baada ya nyingine na kuziingiza kwenye begi langu kubwa la mgongoni.Nikaanza kuitafuta simu yangu na kuikuta ipo chini ya uvungu wa kitanda kwa umbali kidogo na ikanilazimu kuinama na kuanza kuunyosha mkono wangu ili kuutona na nikafanikiwa na kabla sijanyanyuka nikahisi kutu kigumu kikinigusa kichwani kwangu
“Simama hivyo hivyo la sivyo niakuchangua kichwa chako”
Nikasikia sauti nzinto ikizungumza nyuma yangu na kujikuta nikianza kutetemeka na kujutia ni kwanini nimekuja nyumbani kwangu
“Simama”
Nikasimama na kuwasikia watu wawili watatu wakiwa wanajadiliana kitu cha kunifanya
“Ila bosi amesema tumpeleke akiwa hai kwa maana anataka kumuua kwa mkono wake yeye mwenyewe”
“Huyu bila kumpiga hatuto weza kumpekeka kwewe unamuonaje mtu mwenyewe?”
Nikageuza shingo yangu nyuma na kwakutumia pembe ya jicho langu la kulia nikawaona watu watatu wakiwa wamevalia vinyago vilivyo yaacha macho yao kuwa wazi ila sehemu nyingine za uso zao zikiwa zimezibwa na mmoja akiwa ameshika bastola.Nikageuka gafla kabla sijachukua maamuzi ya kumpiga aliye shika bastola yake nistukia kitako cha bastola kikitua kichwani kwangu na kunifanya niangukie kitandani na kupoteza fahamu
Nikastuka nikiwa nimening’inizwa kichwa chini miguu yangu ikiwa juu na imefungwa na kamba ngumu ambayo sio rahisi kwa mimi kuweza kuanguka kirahisi,Mikono yangu ikiwa imefungwakwa nyuma na kamba pia na sikuweza kuona ni sehemu gani ambayo mimi nipo kwani nip ndani ya chumba chenye sakafu iliyo chakaa huku kwa juu kukiwa na kijikidirisha kimoja kidogo kinacho ingiza mwanga hafifu wa jua na kadri muda unavyo zidi kukatika ndivyo jinsi giza lilivyo tawala ndani ya chumba hichi hadi mwisho wa siku sikuona kitu cha aina yoyote kutokana na giza nene
Baada ya masaa mawili mbeleni kikahisi mngurumo wa gari ukisimama nje ya kibanda na baada ya muda gari lilazima,Nikastukia taa ya mshumaa kiawaka ndani ya chumba kisha mlango ukafunguliwa na akaingia jaa mmoja mweusi sana kiasi kwamba nikaanza kuogopa kwani mwili wake ulivyo tanuka ninaweza kuwafananisha na wale wanao cheza michezo ya myereka nchini Marekani.Wakafwatia wazee watatu wa kiarau wakiwa wamevalia kanzu nyeupe na mmoja nikamfahamu kwa haraka kwani ndio baba yeke Rahma ambaye jana nilimpiga kikumbo getini
Sehemu Ya 24
Wakaanza kunong’onezana vitu ambavyo sikuweza kuisikia kisha kwa ishara akamuamrisha jamaa mweusi na nistukia ngumi nzito ikitua tumboni mwangu na kuifanya kamba kuzunguruka na mimi mwenyewe nikazunguka ngumi mvululizo kutuka kwa jijamaa hili ambalo linaonekeana kuwa na haruma hata kidogo zikazidi kutua mwalini mwangu na unaweza ukasema ni Mayke Tysona anavyochuka mazoezi ya kulipiga ‘Panch beg’ la mazoezi.Mwili wangu wote ukazidi kutawaliwa na maumivu makali huku nikitoa makelele ya kuomba msaada
“Wewe huwezi kumtia mimba mwanangu…..sitaki azae na watu weusi”
Baba Rahma alizungumza na kumfanya jamaa kuzidi kunipiga ngumi zilizo zidi kuulainisha mwili wangu na maumivu yakazidi kunitawala na damu za puani zikaanza kunimwagika
“NAOMBA UNISAMEHE MZEE WANGU”
Nilizungumza huku machozi yakinimwagika na kumfanya baba Rahma kumuamrisha jamaa kuacha kunipiga kisha akamuomba anivue shati langu na jamaa akalivuta na likachanika vi-pande vipande.Baba Rahma akatoa kisu cha kukunja kwenye kanzu yake na kukiminya sehemu kikafyatuka kisha akanisogelea na kukogoa kuhozi kubwa na kunitemea usoni,Akaniguza na kumuachia mgongo na akaanza kinichana chana kwa kutumia kisu chake na kujikuta nikipiga kelele za kumba msaada ila sauti yangu haikupata msaada wa mtu wa aina yoyote.Akanigeuza na kauendelea kunichana chana na kisu chake kwenye kifua changu na nikaizidi kulia huku maumivu makali yakendelea kuutesa mwiki wangu.
Kazee kamja ka kiarabu kakamzuia baba Rahma kuendelea kunichana kwani mwili wagu mzima ulilowana damu zilizo uchafua uso wangu hii ni kutokana na kiwa kichwa chini miguu juu.Mzee aliye mzuia baba Rahama akaishika bakora yake na kuanza kunichara mikwaju mingi isiyo naidadi kiasi kwamba nikajikuta nikilia hadi nikaanza kucheka kwa uchungu.Mzee anaye nichapa akazungumza maneno ya kufoka kwa kiarabu kisha akaitupa fimbo yake chini na kunishika masikia yangu na kuaza kuyavuta huku akinitingisha tingisha kichwa changu
Akaniamchia na wakazungumza na kutoka ndani ya chumba na kuniacha nikiwa ninalia kwa uchungu kiasi kwamba nikamuomba Mungu aweze kunichukua kwa wakati huu niweze kupumzika mahali pema peponi,Taa ikazimwa na nikaendelea kuvuja damu na nikalisikia gari likiwashwa na kuondoka.Ndani ya robo saa nikahisi kufuli la mlango likifunguliwa nikajua wanarudi tena ila nikaona mtu akiingia akiwa amevalia nguo nyeusi kutokana na damu zilizo tanda usoni na giza kali sikuweza kuona ni nani
“Ohhh Eddy mpenzi wangu”
Nikajua ni Rahma baada ya kuisikia sauti yake kisha akanikumatia huku akiwa analia kwa uchungu,
“N….ifungue”
Nilizungumza kwa shida na kumfanya Rahama kuanza kutafuta swichi ya kuwashia ndani ya chumba ila hakuiona,
“Ra…hma unatafuta nini?”
“Semehe waliyo ifunga hii kamba”
Rahma kwa bahati nzuri akaiona sehemu niliyo fungwa na kutokana na ugumu na kukazwa kwa kamba hii ikamlazimu kutoka nje na nikastukia taa ikiwashwa na akaingia huku akiwa ameshika jiwe lenye ncha kali ila baada ya kuniona jinsi nilivyo akabaki akiwa ananishangaa kiasi kwamba akazidi kulia
“Rah…ma”
Rahma akastuka na kuanza kupiga hatua za haraka hadi sehemu yenye nondo iliyo kitwa kutani na ndipo kulipo fungwa kamba iliyo kwenda kwa juu na kupita kwenye chuma kingine na kunining’iniza.Rahma akaanza kuipiga piga kamba kwa kutumia nguvu zake hadi kamba ikaanza kukatika taratibu
“Jika…ze….Ba…by”
“Sawa mume wangu”
Rahma akajitahidi kukata hadi kamba ikakatika yote na kunifanya nianguke kama mzogo na ni-zidi kapata maumivu mengi.Rahma akanifwata na kunikumbatia huku akiwa analia kisha akanza kunifungua kamba za mikononi nilizo fugwa kwa nyuma.Rahma akaninyanyua na kutokana na kipigo kikali nikajikuta ninakosa hata nguvu za kuniwezesha kutembea.Rahma akauchukua mkono wangu mmoja na kuupitisha begani mwangu na kuninyanyua na taratibu tukaanza kutembea taratibu kutoka nje na kuuona msitu mkubwa na kwa mbali tukaziona taa za gari zilija eneo la chumba kilichopo.
“Mungu wangu ni gari ya baba…..Eddy jikaze tuondoke”
Rahma akanihimiza na nikajikaza japo mwili wangu umepoteza nguvu na tukaanza kutokomea msituni na mwendo wa dakika kama tano nikakuta gari ambayo Rahma mara nyingi huwa hui-tumia.Akaniingiza kwenye siti ya mbele kisha na yeye akaingia upande wa dereva na akaiwasha gari na kuotoa kichakani alipo ificha na kwa kasi ya ajabu akaingia barabara ya vumbi iliyopo ndani ya msituu huu na kuendelea kuliendesha gari na sikujua tunaelekea wapi.Galfa nimamuona Rahma akitoa msunyo mkali kiasi kwamba kwa shida nikakinyanyua kichwa changu na kuangalia nyuma na kuona gari ikijakwa kasi huku ikiwa imewasha taa zake zenye mwanga mkali na kuyafanya mapigo yangu ya moyo kuanza kunienda kasi
Gari tuliyomo ikaanza kutoa mlio ulio ashiria mafuta ya gari kuisha na kadri tunavyozidi kwenda ndivyo gari lilivyozidi kupungua mwendo na kuliruhusu gari la nyuma yetu kutufikia kwa ukarubu zaidi na mwish wa siku gari ikasimama kabisa na kumuona Rahma akitetemeka mwili mzima na asijue nini anafanya.Gari ya baba Rahma ikasimama kwa nyuma yetu na kumuona baba Rahma akishuka huku mkononi mwake akiwa na bastola,Wakafwatia wazee wawili wa kiarabu pamoja na lile jijamaa jeusi.Nikashika kitasa cha mlano na kukifungua na kudondoka chini kisha kwa tabu nikasimama huku nikiwa nimelishaka gari kwa msaada wa kuto kudondoka
“Eddy nini unafanya?”
“Nipo tayari kufa Rahma siwezi kuishi tena…..Niache nife mbele yako”
Nilizungumza kwa uchungu huku nikiwa nimejishika tumboni kwenye maumivu malali na kumfanya Rahma kushuka kwenye gari kwa haraka na kusimama pembeni yangu huku akilia na kumuomba baba baba yake asifanye kitu anachotaka kukifanya.Baba Rahma akaikoki bastola yake na kunielekezea mimi huku akiwa amesimama umbali kidogo na sehemu tuliyo simama sisis akimsikiliza mwanaye kitu anacho kizungumza
“Baba kumbuka kwamba mimi ni mwanao na ninauhuru wa kuchangua na kufanya kila ninachi kihitaji na siwezi kumuacha mwanaume ninaye mpenda katika maisha yangu”
“Nyamaza wewe mshenzi…mwanaharamu siwezi kukuruhusu kuwa na watu kama hao”
“Mzee wangu fanya unacho kifanya nipo tayari kwa lolote utakalo liamua”
Maneno yangu niliyazungumza kwa uchungu huku nikiwa ninatokwa na machozi na nikapiga hatua mbili mbela na kustukia mlio wa bastola na kujikuta nikiwa nimeanguka chini huku tara-tibu nikimshuhudia Rahma akianguka huku akiwa amejishika tumboni akitoa kilio cha maumivu makali hii ni baada ya Rahma kunivuta mimi pembeni na yeye kupigwa na risasi ambayo baba yake aliifyatua kwa lengo la kunipiga mimi ili kuniua
Sote tukabaki tukimshangaa Rahma anaye anguka chini taratibu,nikajikongoja taratibu huku nikitambaa taratibu nikijaribu kuunyoosha mkono wangu mmoja ili kumshika Rahma na kabla sijamfikia nikastukia miguu yangu ikishikwa na lile jitu jeusi na kuanza kuniburuza kwenye majani na kuwaacha wazazi wa Rahma wakimbeba mtoto wao na kumuingiza kwenye gari huku damu zikimvuja.Jamaa likazidi kunivuta na kunitokomeza msituni na mbaya zaidi kila anavyo niburuza ndivyo jinsi ninavyozidi kupata michubuko huku miba mikali aina ya mbigili ikiingia mwilini mwangu na kuzidi kuniogezea maumivu makali.Jamaa akaanza kunipiga mateke ya tumboni kiasi kwamba nikahisi ndio mwisho wa maisha yangu
Jamaa akatoa kamba aina ya manila na kunifunga kwenye miguu na mikononi kisha akarudi se-hemu walipo wazazi wa Rahma na nikaanza kujaribu kujifungua kamba kwa kutumia meno ila kutokana na kwa jinsi alivyo ikaza nikajikuta nikishindwa kujifungua,Nikamuona jamaa akirudi huku mkononi mwake akiwa ameshika chepe na sururu na nikazidi kuogoa na sijujua analengo gani.Jamaa akaviweka vitu vyake pembeni na kuanza kuchangu majani kwa kutumi mguu wake wa kulia ulio valia buti kubwa.Nikapata jibu la jamaa kuja na vifaa vyake baada ya kuanza kuchimba shimo kwa kutumia sururu huku chepe akilitumia kwa kutolea ichanga.
“Ohhh Mungu wangu ninakuomba uniongoeze wewe ndio kila kitu kwagu na kuomba huyu ja-maa abadilieshe mawazo asinizike nikiwa hai mimi”
Nilizungumza kwa uchungu huku machozi yakinimwagika nikajaribu kujifungua kamba ila nikashindwa na kujikuta nikiwa nimetulia huku nikilia na kujutia ni kwanini nimekuwa na mahusianao na Rahma.
“Kaka….Kaka….Kaka”
Niliita na jamaa akaniangalia kwa macho makali ambayo kwa muonekano wake anavuta bangi kiasi kwamba macho yake ni mekundu kiasi,
“Ndugu yang…u tambua kuwa m…imi na wewe ni wa..tanzania…Pia sisi ni wanaume haya mambo leo hii yana..nipa..ta mimi ila kesho yanaw…eza ya katokea kwako kwa m….fumo mwengine nakuoma ndugu yangu nifu..ngue niweze kuondoka”
Jamaa akanitazama kwa jicho kali kisha akashika chepe lake na kuendelea kutoa mchanga kwani tayari ufefu wa shimo analo lichimba umefikia usawa wa kiono chake,Jamaa akavua shati lake kabisa na kubaki kifua wazi na kuendelea kuchimba shimo huku akifanya haraka.
“Mungu atak….upa swa…wabu zake pale utaka….po nisaidia mimi ni sawa na ndugu yako…kwani sisi ni wa Afrika na hao waarabu japo wana pesa ila sio wa Afrika…Kaka….KAKA…!!”
Nilizungumza kwa shida sana ila jamaa akawa kama hanielewi kiasi kwamba akazidi kuchimba shimo na akiwa anaendelea nikasikia mngurumo wa gari ukipita maeneo ya barabara ilipo na nikaanza kupiga kelele na kumfanya jamaa kutoka kwenye shimo haraka na kunishika kichwa changu kwa mkono wake mmoja kisha mkono mwengine akiwa na kazi ya kunisokomeza shati lake alilo livua kiasi kwamba likaingia karibia nusu ya shati na kujikuta sauti ikiwa haitoki kabi-sa
Jamaa akarudi kwenye shimo na kuendelea kuchimba na safari hii akatumia nuvu nyingi sana hadi nikamuona akizidi kwenda chini kiasi kwamba akawa anaonekana kichwa na kwa jinsi alivyo mrefu nikajua kabisa shimo ni refu kiasi kwamba hata nikifukiwa humo sio rahisi kwa mtu kuja kuiona maiti yangu kiurahisi.Jamaa akatoka ndani ya shimo na kupiga hatua za kuja eneo nililopo kisha akaninyanyua na kuniweka begani kwake na kabla hatujalifikia shimo tuka-muona mzee yule wa kiarabu aliye nicharaza bakora nyingi akija akiwa peke yake hadi sehemu yulipo simama
“Pumbavu sana hiyo kijana weka ndai shimo zika potelee humo changani….Peleka Rahma Hos-pital acha baba yeke kule na jomba yake mimi rudi kuja angalia kazi jinsi inavyokwenda”
Mzee alizungumza kwa sauti ya ukali huku Kiswahili chake kikiwa ni kibovu kiasi kwamba nikajikuta nikisali sala yangu ya mwisho huku nikitubu zambi zangu zote nilizo zofanya duniani kwani huu ndio mwisho wangu wa maisha na sina ujanja zaidi ya kusali
“Pesa yangu ipo tayari?”
Hapa ndipo nikaishikia sauti ya jamaa na kushangaa ni sauti ya upole na ninzuri tofauti na ni-navyo muona.
“Ndio ipo ndani kula ya gari hembu ngoja kwanza mimi chungulia ndani hii shimo ona kama refu ridhisha”
Mzee akalisogelea shimo na kulitazama huku akiwa amekitanguliza kichwa chake kama mtu anaye hofia kudumbukia ndani ya shimo hilo.
“Wewe pumbavu sana shimo dogo hili chimba refu sana hata mbwa polisi nusa shindwa pata harufu yoyote”
“Mzee nani mpumbavu?”
“Wewe pumbavu sana lipa pesa chimba shimo dogo hata zika panya harufu toka nje”
“Eti ehee”
Nikastukia jamaa akitingishika na kusikia kilio kikali cha mzee wa kiindi kilicho ambatana na kishindo kizito cha kisha jamaa akanishusha na kuniweka chini na kwa haraka akaokota chepe lake na sikumuona mzee kwenye usawa wa ardhi na nikaisikia sauti yake ya kulia ikitokea kwenye shimo.Jamaa akachota mashepe wawili yaliyo jaa mchanga na kujatumbukiza ndani ya shimo na mzee akaendelea kupiga kelel huku akitoa matusi yaliyo changanyikana na lugha ya kiarabu,Jamaa akaweka chepe lake chini na kunyanyua sururu na kuitupa ndani ya shimo na kumsikia mzee akitoa ukelele mkali na nikajua kabisa sururu hiyo itakuwa imempata vizu-ri.Jamaa akaanza kuzunguka huku na kule kama mtu aliye changanyikiwa na akazunguka nyuma ya mti na ndani ya muda mchache akarudi akiwa amebebe jiwe kubwa na linalo onekana zito sana kwani japo jamaa ana misuli mikubwa ila akaonekana kupata shida sana katika kulinyanyua jiwe hili na akafika sehemu ya lilipo shimo kisha akazungumza maneno ya kilugha Kitukuyu kisha akalitupia ndani ya shimo na kuusikia mlio mmoja wa mzee na ukimya ukatawala
Jamaa akachukua chepe na kuanza kufukia kwa haraka shimo na ndani ya kama dakika kumi akawa amemaliza kulifuka shimo kisha akachukua matawi ya mti na kuyaweka juu ya sehemu ya shimo kisha akapiha ishara ya msalaba na kunisogelea sehemu nilipo na kunifungua kamba alizokuwa amenifunga kisha akanita shati ambalo alikuwa amenikandamiza nalo mdomoni
“A….saante”
“Powa na hii iwe siri yako na ole wako nisikie kitu chochote kitakacho husiana na hili tukio nita-kuua na nitatoka tena Kenya na kurudi Tanzania kwa ajili yako”
“Siwezi kuzungumza kwa mtu”
“KIMBI”
Nikajaribu kukimbia na kujikuta nikianguka kama mzingo na kujikuta nikianza kutembea kwa kutumia msaada wa miti iliyopo ndani ya huu msitu ambao unatisha sana.Nikajikaza na kuongeza mwendo hadi ikafikia hatua viungo vyote vya mwili vikakataa kwenda sehemu yoyote na nikajikuta nikikaa chini na kujiegemeza kwenye mti mkubwa na kutokana na uchovu mwingi na kajiupepo kalichopo kwenye eneo la huu msitu nikajikuta nikilala na usingizi mzito ukanipitia
Nikasushwa na kitu kikubwa chenye ubaridi mkali kikinizunguka kweye mwili wangu huku ki-kiwa na ngozi inayo laini.Nikayafumbua macho na kukuta ni joka kubwa likiwa limeziningira mara mbili kwenye mwili wangu na sikukiona kichwa chake kipo kwa wa-pi.Nikajikaza mwili wangu na kuyafumba macho yangu huku nikijaaribu kuzibana pumzi zangu mara kwa mara.
Mwanga wa jua ukatawala anga na sehemu yote ya msitu nikaioa kw azuri huku nikitumi kona za macho yanga kuliangalia joka lililo nizingira,Sikuyaruhusu mapigo yangu ya moyo ku-nienda mbio kwani ndio ugekuwa ndio mwisho wa maisha yangu kwani ninaamini joka hili linanisikilizia na kitu kingine kilicho nichanganya zaidi sikujua mwili wake upo kwa wapi.Nikaanza kuhisi ute ute ukiniangukia kichwani na kwajinsi ulivyo na harufu kali nikatambua kabisi kichwa chake kitakuwa kipo juu ya kichwa changu.Nikazidi kujikausha na masaa yakazidi kunikatika ila joka likaendelea kunijikausha huku likiwa linaendelea kunidondoshea ute.
Nikazisikia kelele za umbwa wakilia na wakijawa wapo sehemu ya karibu na eneo hili na gafla nikasikia mlio wa bunduki na damu nyingi zikinimwagikia huku joka likiniachia na na kuanza kugara gara chini,Nikawaona watu wapatao sita huku wawili wakiwa na bunduki aina za magobore na wengine wakiwa na mishale na mikuki.Wakaanza kulishambulia jo-ka wa mishake hadi likatulia kimya.Jamaa wakaanza kushangilia huku wakipiga vigele-gele na nikagundua ni wamang’ati wanao ishi huku Tanga.Cha kumshukuru Mungu ni joka hili kuwa linaonekana limeshiba sana kwani sehemu ya tumboni kwake imefuka na kama sio hivyo ningekuwa kitoweo cheke.
“Wewe vipi?”
Jamaa mmoja aliniuliza huku akinishangaa,Sikuweza kumjibu kwani hata uwezo wa ku-zungumza uliniishia.Jamaa wawili wakaninyanyua na ninibeba na kuondoka msituni huku nikiwaacha jama wengine wakiwa msituni wakilipasua joka.Tukafika kwenye moja ya kijiji chenye nyumba nyingi za udongo na zilizo ezekwa na nyasi huku kikiwa na maboma mengi yaliyo kusanya idadi kubwa ya ngombe.Wanakijiji walio valia nguo ambazo sio nzuri sana wakaanza kunishangaa na nikaingizwa kwenye moja ya kijikibanda na kumkuta bibi mmoja mzee kiasi na wakanilaza kwenye kijimkeka kilicho shonwa kwa aina yake
“Bibi huyu jamaa tumemuokota huko porini tulipokuwa tunaliwinda lile jijoka lililo kuwa lime-luka ndama jana usiku”
“Mumefanikiwa kuitumia ile dawa niliyo wapa?”
“Ndio bibi tumefanikiwa kuitumia kama ulivyo tuelekeza na tumwefanikiwa kuliua joka hilo na tulilikuta likiwa limejiviringisha kwenye mwili wa huyu jamaa”
Bibi akanitazama kwa umakini kuanzia juu hadi chini na macho yake yakasimama kwa muda kwenye mkono wangu wa kushoto kisha akaushika na kuunyanyua na kuiangalia pete niloyo ivaa kisha nikamuona akikitingisha kichwa chake na sikujua ana maana gani.
“Kanichoteeni maji kisimani nije kumpaka dawa huyu kijana”
Jamaa wakaoondoka na nikabaki na bibi na kumuona akifungua fungua vikopo vyak vingi am-bavyo vimejaa dawa za kienyeji za kila aina na akabandika maji yaliyomo kwenye chunga cheusi tii kwenye jiko lake ambalo limetengenezwa na udongo na kwa utaalamu mkubwa na japo ninajisikia vibaya ila sikusita kulishangaa na linatumia kuni.Bibi akaanza kunivua suruali yangu na nikabakiwa na boksa,Jamaa wakarudi wakiwa wamebebe ndoo mbili kubwa zilizo jaa maji mengi na kuziweka pembeni na bibi akawaruhusu waondoke na kutuacha peke yetu.Akaanza kunifuta damu zilizo ganda mwilini mwangu kwa kutumi spoji ambalo analichovya mara kwa mara kwenye maji aliyo yachangaya kati ya maji ya moto aliyokuwa akiyachemsha na maji yaliyo toka kisimani na kusababisha uvuguvugu wa maji hayo.
Akamaliza kuniosha kila sehemu ya mwili na akanifuta na kitambaa licho kauka kisha akachu-kua mafuta ambayo harufu yake inaendana na kondoo na kunipaka kila sehemu yenye kidonda na akachanganya dawa zake za unga kisha akaanza kuninyuzizia mwili mzima na kujikuya mwili wangu ukiwa unachemka kwa maumivu makali na kujikuata nikipata shida ila nikajikata katika kumwaga machozi.Akachukua maji ya moto aliyo yachota kwa kutumia kikombe cha plastiki kilicho chakaa kiasi na kuweka vijiko kadha ya dawa zenye asili ya unga zinazo fanana kama majani ya chai kisha akaanza kuninywesha kilazima
Sikuwa na jinsi zaidi ya kunywa japo ninaungua tumboni ila nikajikaza kiume kwani huduma nyenyewe ninayo fanyiwa ni ya msaada
“Ndio jikaze mwanaume huwa halii…Hiyo dawa inakwenda tumboni kusafisha uchafu wote na-kuachia misuli iliyo na maumivu”
Tumbo likaanza kunikoroga kiasi kwamba nikaanza kuhisi kichefu chefu na kila nilivyo jikaza ili kukipotezea kisije nikajikuta kikiongezeka hadi mwishowa wa siku nikajikuta nikitapika hadi nikaanza kutapika vidonge vidogo vidogo vya damu iliyo ganda
“Mama weee ninakufaa”
“Hufi ndio unasafisha uchafu hivyo endelea kutapika”
Bibi alizungumza huku akinipiga piga mgongoni na nikazidi kutapika hadi ikafikia kipindi nika-kosa cha kutapika zaidi ya kutema tema mate chini.Bibi akachukua kikopo kidogo kilicho fungwa na kifuniko na kuanza kukitingisha sana kisha akakisogeza karibu na pua yangu na kukifungua na vumi jingi likatoka ndani ya kikopo na kuingia puani mwangu na kujikutani nikianza kupiga chafya kwa kiasi kwamba makamasi yaliyo changanyikana na damu damu yakaanza kunimwagika hadi ikafika kipindi zikakatika.Bibi akaniletea chakula cha miogo ya kuchemsha na kuanza kunilisha taratibu na kuokana na njaa kali ikanilazimu kumuomba bibi aniongoze chakula
“Utakula jioni kwani inabidi usishibe sana ili dawa uliyo kunywa ifanye kazi vizuri mwilini”
“Kweli bibi”
“Ndio na utapona tuu jipe moyo”
Nikaendelea kuishi ndani ya kibanda cha bibi kwa skiku mbili mfululizo pasipo kutoka nje huku akiwa aninipaka dawa zake za asili hadi baadhi ya vidonda vikaanza kukauka kauBibi akanipa ruhusa ya kitoka nje kukitazama kijiji na akamuomba kijana mmoja kunitembeza sehemu mbali mbali za kijiji.Wanakijiji wengi kila sehemu ninayo pita wakaanza kunong’onezana huku wakimuuliza maswali jamaa niliye naye kwa kutumia kilugha na jamaa akawa anawajibu vizuri
“Wanasemaje?”
“Wananiuliza kuwa wewe ni nani na ninawajibu kuwa wewe ni ndugu yetu”
“Si waliniona ile siku nimebebwa nakumbuka kama tulipia njia hii”
“Ndio ila achana nao kwani hichi kijiji watu wake tunawajua sisi wenyewe”
“Wana nini?”
“Wapo watu wema na wabaya na si kila anaye kuchekea usidhani anakupenda na kijiji hi-chi kina wachawi kama nini”
“Mmmmm
“Ndio na wamekuwa wakiyaangusa magari yanayo pita barabara kubwa?”
“Kwa nini wanafanya hivyo?”
“Ni roho mbaya tuu kwani unadhani mchawi akiamua lake anakuwa na roho nzuri…Tena ile nyumba pele ya yule mzee aliye kaa pale nje…Unaweza ukasema pale hawezi kutembea ila yeye ndio gwiji la wachawi na ndio anaye fuga majoka yanayo maliza ndama na mbuzi wa watu hapa kijijini”
“Eheee sasa kama munamjua si mukamuue na yeye?”
“Mmmm asikuambie mtuu ukiwa na lengo au wazo tu la kutaka kumuua huyo mzee ukienda kwake anapote mbele yako”
“Mmmm ulisema kuwa kuna barabara?”
“Ndio hiyo barabara inakwenda Tanga na Dar,Arusha”
“Kwahiyo siku nikitaka kuondoka ninaweza kupata usafiri vizuri”
“Ndio unapata…..Mmmm kuna nini tena?”
Jamaa aliniuliza swali ambalo nikashindwa kulijiu hii ni baada ya kuwaaona watu wakikikimbi-lia sehemu moja watoto,wamama na wanaume.Ikamlazimu kumuliza kijana mmoja anaye onekana yupo kasi akikimbilia sehemu ambayo watu wengine wanakwnda
“Kuna gari mbili zimegongana na moja ni ya unga na mafuta ya kula watu wanawahi viroba vya unga na vindoo”
“Kaka twende”
“Ni mbali na hapa kwani bado sipo sawa ninajihisi maumivu”
“Nahisi ni hapo juu”
Tukaanza kutembea kwa mwendo wa haraka na tulishingwa kukimbia kutokana na bado mau-mivu kadhaa yametawala kwenye sehemu za mwili wangu japo nimevaa shati kubwa kiasi ila kitu kingine nikaofia kukimbia kwani jasho likinitoka ni lazia dawa niliyo pakwa itatatoka na jasho litapelekea pia shati kunasa kwenye vidonda.Tukapishana na watu wakiwa wamebeba vindoo na viroba vya unga huku kila mmoja akijitahidi kubeba kwa uwezo ambao anauweza yeye mwenyewe kitu kilicho nishangaza hadi watoto wadogo nao wanajitahidi kubeba wanacho kiweza
“Naona leo neema imeingia kijijini”
“Wee acha tuu tuwahi na mimi nipate hata kijindoo na kiroba cha unga”
“Wahi mimi ninakuja taratibu taratibu”
“Hapo umenena ndugu”
Jamaa akachomoka kwa kasi na kutokana na watu ninao pishna nao ni wengi wanao toka na kuelekea eneo la ajali haikuwa ngumu kwangu kupotea.Nikafika sehemu ya ajali na kukuta gari aina ya ‘Scan’i lenye tela la nyuma likiwa limeanguka kichwa chini miguu juu ambalo ndilo linashambuliwa na wanakijiji katika kutoa vindoo na viroba vya unga na huku mbele kukiwa na basi dogo la abiria aina ya ‘Rosa’ likiwa halitamaniki kwa kubonyea na likiwa limemelala mtaroni kiubavu na damu nyingi za abiria zikiwa zimetapakaa kwenye eneo lilipo,IkanibIdi na mimi kwenda kusaidiana na watu wanao wachomoa abiria waliomo kwenye gari hili.Nikajitahidi kumchomoa dada mmoja kupitia dirishani aliye funikwa kichwa kwa baibui lake na nikafanikiwa na kumburuza mbali kidogo na dari lao lilipo
Nikamfungua baibui lake kichwani na kujikuta nikistuka baada ya kumkuta ni madam Zena am-baye aliniaga kuwa anakwenda kwa mama yake.Ukimya wake ukazidi kunipa wasiwasi kwani sikujua kama amefariki au amepoteza fahamu kwani hata hakuwa anahe-ma.Nikaanza kmminya kifuani kwake kama kuyastua mapigo yake ya moyo,Nikiwa ni-naendela kumminya nikashuhudia jamaa wawili wakigombania kidoo cha mafuta huku mmoja wao akiwa na kipisi cha bangi mdomoni.Wakaanza kupigana na ikamlazimu mwenye kipande cha bangi mdomoni kukitema pembeni huku kikiendelea kuwaka na ki-kaangukia kwenye mafuta ya pretroli yanayotoka kwenye tanki lililo pasuka la gari aina ya Scani ambayo yamesambakaa barabarani na ndani ya dakika mlipuko mkubwa ukatokea na kusababisha idadi kubwa ya watu wanao gombania viroba vya unga na vindoo vya mafuta kurushwa mbali na wengine kupoteza maisha
Moshi mwangi na harufu kali ya moshi wa mafuta aina ya Petrol ikatawala katika eneo zima la eneo rulilopo huku vilio vikianza kutwala kwa wale walio wapoteza ndugu zao kwenye ajali ya moto.Ikanilazimu kumsogeza madam Zena pembeni zaidi ili kuepuka kuunguo kwa moto unaosambaa kwenye hili eneo kwa kupitia upepo mkali.Gari za Polisi mbili zikafika katika eneo la tukio na sikujua ni nani aliye wataarifu na baada ya muda gari za zima moto na gai ya wagonjwa ikafika katika sehemu ya tukio na kuanza kupakiza baadhi ya wagojwa mahututi ikiwemo madam Zena na wakawahishwa katika hospitali ya mkoa wa Tanga iitwayo Bombo. Msongamano wa magari mengi yaliyo simama kutokana na ajali ikazidi kuongezeka na kusababisha msongamano mkubwa wa magari mengi yanayotoka mkoani na yanayokwenda mkoani.Maiti za wanakijiji walio ungua katika mlipuko zikaanza kukusanywa eneo moja na nikajikuta nikitafuta sehemu nikisimama kutokana na kushindwa kuiangalia miili ya watu wengine kwa maana imeharibika kiasi kwamba inatisha.Hadi inafika saa tatu usiku magari yakaanza kuruhusiwa kuendelea na safari baada ya magari yaliyo pata ajali kusogezwa barabarani.
Nikarudi kijijini na kukuta nyumba nyingi zikiwa zimetawaliwa na vilio kiasi kwamba hata raha ya viroba vya unga na vindoo vya mafuta ya kupikia ikawa imetoweka miongoni mwa wanakijiji wengi,Kutokana sikuwa mwenyeji kwenye kijiji hichi mojo kwa moja nikafikizia kwa bibi aliye nihudumia kipindi nikiwa nimeokotwa porini,akanipatia chakula nikala na kwenda kuoga kasha nikarudi ndani na kumkuta akichanganya changanya dawa zake kama kawaida
“Unajisikiaje sasa mjukuu wangu?”
“Kdogo afadhali bibi yangu”
“Mshukuru Mungu kwa yale yote yaliyo tokea na ameweza kukuokoa hadi ukafikia kuwa na hali kama hiyo”
“Ni kweli bibi na vipi mbona hauendi kwenye misiba?”
“Mbona hiyo sio misiba mjukuu wangu”
“Sio misiba kivipi bibi?”
“Mjukuu wangu kwenye ulimwengu huu kuna mambo mengi sana ambayo wanadamu huwa tunayapitia na kuyafanya,Yakiwemo mazuri na mabaya”
“Ni kweli bibi ila sijakuelewa ni kwanini umesema kuwa sio misiba?”
“Watu hao hawajafa kilicho tokea kwenye hiyo ajali ni kiini macho tu ila watu wanao sadikika kufa kwenye hiyo ajali wote wapo hai”
Sehemu Ya 25
Nikajihisi kama mwili ukiwa umesizi kidogo huku nikifikiria cha kumuuliza bibi kwa maana ninacho kisikia hapa ni kama vile nipo ndotoni vile na ikanilazimu kuamini ninacho ambiwa hapa ni kweli na wala sio ndoto
“Kwa nini bibi?”
“Kwa malezo zaidi nitakufwata usiku nikakuonyesha hao watu sehemu walipo”
“Usiku kivipi?”
Bibi akanyanyuka na kuingia ndani kwake na kuniacha na alama ya kuuliza huku mapigo ya moyo yakiaanza kunienda mbio hata hamu ya kulala ikaanza kunitoweka.Nikatoka nje kwa kunyata na nikafanikiwa na kukuta bado wenye misiba wakiendelea kupiga makalee ya kuomboleza vifo vya ndugu na jamaa zao.Nikaanza kutembea kuelekea barabarani na kukuta na watu wengine wakiendelea kusafisha safisha barabara huku gari aina ya Rosa iliyo pata ajali ilinyanyuliwa na gari maalumu lenye winchi na kuwekwa barabarani
“Kaka hili gai lenu munalipeleka wapi?”
Nilimuuliza mmoja wa wafanyakazi walio kuwa wakijishuhulisha na jinsi ya kuinyanyua gari hii ya abiria
“Tanga mjini”
“Samahani kaka sijui ninaweza kupata japo kanafasi ka kujishikiza na hadi huku munapo elekea?”
“Kwani wewe unakwenda wapi?”
“Mimi ninakwenda Tanga mjini?”
“Sasa huku ilikuwaje ukaja?”
“Niliacha na basi niliingia porini kuchimba dawa kurudi ninakuta basi nililo lipanda likiwa halipo”
“Powa ngoja nizungumze na suka”
Sikuwa na ujanja ilinibidi kudaganya kwa maana pasipo kufanya hivyo ingekula kwangu na jamaa niliye zungumza naye akazungumza na dereva wake kasha akaniita na sote tukaingia kwenye gari lao kubwa na safari ikaanza huku ililivuta gari la abaria lililo pata ajali.Japo bibi amenisadia ila kusema kweli alivyo niambia atakuja usiku kunichukua nikapoteza amani kabisa ya kukaa nyumbani kwake.Ndani ya lisaa na nusu tukafika Tanga mjini na mimi wakanishusha maeneo ya Reilway na nikawashukuru na jamaa wakaelekea barabara ya sita anapoishi mmiliki wa gari hiyo.Nikakodi bodaboda japo mfukoni sina hata senti moja ikanipeleka hadi nyumbani kwangu.Sikuwa na woga kutokana ninahisi kuwa baba Rahma anaamini kwa wakati huu nitakuwa ni maiti.Nikalikuta geti la nyumbani kwangu likiwa limerudishiwa na moja kwa moja nikaingia ndani kwangu huku nyumba yangu nikiwa nimeichungaza vya kutosha
Nikaaza kutafuta kikadi changu cha benki na kwa bahati nzuri nikiwa ninakagua kwenye mifuko yangu ya suruali nikakuta noti mbili za elfu tano tano kwenye suruali yangu ya jinzi,nikatoka nje na kumlipa boda boda na kufunga geti langu na kurudi ndani na moja kwa moja nikajitupa kitandani na kutokana na uchovu mwingi usingizi mwingi ukanipitia.
Nikaanza kuhisi hali ngumu kila nilipojaibu kuvuta pumzi nikajikuta nikishindwa kiasi kwamba nikaanza kutumia nguvu nyingi katika kupambana na kitu kilicho nikaba kooni ambacho sikioni na kadri muda ulivyo zidi kwenda nikajikuta ninazidi kukabwa,Gafla bibi akasimama pembani ya kitanda changu huku akiwa amevalia kaniaki nyeusi huku mkononi mwake akiwa ameshika unyonya wa simba pamoja na kijikibuyu kidogo
“Eddy mbona ulinikimbia pasipo kuniaga?”
Nikashindwa kumjibu na kila nilipo mtazama sauti yangu haikuweza kunitoka kaisa nikabaki nikiwa nimemtazama
“Basi nimekuja kuitimiza ahadi yangu ya kuja kukuchukua”
Mwili mzima ukaanza kumwagikwa na jasho na katika siku amazo nimepatikana hii kwangu leo nimepatikana tena kwa asilimia kubwa na sikuona dhamani yoyote ya pete niliyo ivaa kunisadia,Akaunyosha mkono wake mmoja na kujikuta nikinyanyuka kitandani na pasipo kupenda.Akaniamrisha kuzunguka kwa kutumia kidole chake kimoja cha mkono wa kulia na kujikuta nikizunguka zaidi ya mara saba kisha akanishika mkono na tukapiga hatua hadi kwenye kona ya chumba changu na kujistukia tukipita bila wasiwasi na tulipo tokea si nje kwangu bali kuliwa makaburini na nikakuta kuna chungu kikubwa kilicho zungukwa na watu walio uchi wakiwemo wakubwa na wazee,wanawake na wanaume.Bibi akanipaka unga kwenye uso wangu na kuniambia kuwa watu hao itakuwa ni ngumu wao kuniona
Tukapita kati kati yao huku nikijitahidi kuchungulia kwenye chungu kikubwa walicho kizungukana sikuona ni kitu gani wanacho kichemsha,Tukasimama pembeni kwenye kaburi lililopo kwenye eneo ilo kisha tukaanza kushuhudia wale watu walio fariki kwenye ajali wakipita mmoja baada ya mwengine huku wakiwa wamepanga mstari mmoja kama wanajeshi walio tekwa huku mikono yao wakiwa wameinyoosha juu na moja kwa moja wakaenda mpaka kwenye moja ya kaburi lililo wazi na wakaanza kusukumwa na Yule mzee ambaya jamaa aliniambia kuwa ni mchawi kikongwe na karibia watu thelathini na saba wakadumbukia ndani ya shimo moja kisha wale wachawi wali zunguka chungu wakasimama na kuanza kucheza ngoma iliyo tibua vumbi jingi kiasi kwama hata sikuweza kuwaona vizuri
“Bibi pale wanafanyaje?”
“Mjukuu wangu pale wanasherekea kuwa wamewapata vibarua wapya”
“Vibarua vipya kivipi?”
“Ni wafanyakazi wapya wa kuwalimia kwenye mashamba yao na kuwafanyia kazi nyingine za utapeli kama kukopera”
“Kukopera ndio nini?”
“Kukopera ni ile hali kwamba mtu anakuja na kiasi kidogo cha pesa ila anapo kupa pesa yake na ukazichanganya na pesa zako kwa mfano dukani basi kuna misukule yao huwa wanaituma na kuja kuzichukua pesa karibia zote ikiwemo na ile pesa ambayo wamekupatia na huwa wakati wanazichukua huwaoni”
Nikabaki kimya nikiwa ninashangaa jinsi wanavyo tolewa mmoja mmoja kwenye shimo na kunyweshwa kitu kilicho kuwa kikichemshwa kwenye chungu a kila aliaye nywesha alionekana kupata shida sana japo sauti zao zilitoka mara moja tuu
“Ndio wananyweshwa nini pale?”
“Ile ni dawa inayo wakata kauli”
“Inayo wakata kauli kivipi?”
“Inayo wafanya washindwe kuzungumza kabisa na hata wakikutana na watu wana wajua hawawezi kuzungumza kitu cha aina yoyote”
“Bibi mimi nilisikia kwamba wanakatwaga ulimi?”
“Ndio walikuwa wakikatwa ulimi ila mambo yanabadilika kwani kwenye ulimwengu wa kawaida kuna mfumo wa kidigital basi hata katika ulimwengu wa wachawi kuna udigital kama wenu”
Nikatamani kucheka ila nikajikuta nikiwa nimeuziba mdomo wangu kwa kutumia kijanja changu,Shuhuli ikaendelea na bibi akaniomba kunirudisha nyumbani kwangu na kutokana kumekaribia kupambazaku.Tukafika nyumbani kwangu na bibi akatoa kichupa kidogo kwenye kiuno chake na kunikabidhi
“Humo ndani kuna mafuta ambayo ukijipaka usoni mara tatu hata ukitembea mtu hawezi kukuona”
“Nikijipaka kwa mtindo gani?”
“Jipake vidoti vitatu kwenye paji la uso kidoti kimoja kwenye kila shavu utajipaka mara moja moja”
“Sawa bibi nimekuelewa”
Kama tulivyo toka mara ya kwanza ndivyo bibi alivyo toka kwenye chumba changu na kutokana na uchovu mwingi nikajitupa kitandani na kulala.Mida ya saa tano asubuhi nikaamka huku mwili ukiwa umechoka sana kiasi kwamba nikabaki nikiwa ninajifikiria jinsi ya kuamka kitandani,nikakitazama kichupa alicho nip bibi jana usiku na kujikuta nikiachia tabasamu kubwa sana huku nikijifariji moyoni mwangu
“Kitanisaidia kumrudisha Rahma kwenye himaya yangu”
Nikanyanyuka kwa furaha huku nikicheka cheka na nikaingia afuni kwangu nikaoga na kurudi tena kitandani kwangu na kujifuta maji vizuri na kuvaa pensi kisha nikaingia jikoni kwangu na kukuta ile hali ya maunga niliyo jimwagia siku nikiwatoroka wazazi wa Rahma ikiwa vile vile.Nikaanza kufanya usafi na ndani ya dakika kumi na tano mazingia ya ndani kwangu yakawa yamekaa safi.Nikajipikia uji na kunywa ili kuuweka mwili wangu vizuri kisha nikarudi chumbani na kuchukua kichupa changu chenye dawa na nikajipaka kama alivyo niambia bibi na nikatoka nyumbani kwangu na kuanza kutembea barabarani kwa majaribia
Kusema kweli hapa ndipo nikaanza kuamini kuwa uchawi upo na unafanya kazi kwani kila nilipokuwa ninapapita ikawa ni ngumu sana kwa watu kuniona na hata baadhi ya watu ninao wajua nilipo pita karibu yao hawakuweza kustuka wala kuniona.Nikapata wazo na nikalifanyia kazi mara moja na sikutaka kulilazia damu.Moja kwa moja nikachapusha miguu yangu hadi kwenye jumba la kina Rahma na kukuta geti lao liliwa wazi na kuna gari moja imesimama katikati ya geti ikijiandaa kutoka,Dereva wa gari hii sikumjua kwani ni kijana mdogo wa kiarabu na anazungumza na mwanamke mwengine ambaye analifwata gari lilipo akitokea ndani
Nikapishana nao na kuzidi kushangaa kwani hawakuweza kuniona,Nikafiaka mlangoni na kutizama huku na kule na sikuona mtu na kwa tahadhari kubwa nikashika kitasa cha mlango na kuufungua kisha nikaingia sebleni na kukakuta kazee kale kaliko kuja sehemu niliyo tekwa kakiwa kameshika tama huku mkononi akiwa na picha kubwa iliyo tengenezwa kwenye jifremu kubwaa na ikionyesha sura ya yule mzee mwenzake aliye zikwa akiwa hai,Nikasimama karibu yake na hakuweza kuniona na kila nilipo mpitishia kiganja mbele yake wala hakuweza kustuka.Mlango ukafunguliwa na akaingia baba Rahma akiwa ameongozana na daktari wa kiarabu na wakasalimiana na babu aliye shika piacha
”Mumefika wapi juu ya mdogo wangu aliye potea?”
“Bado tunaendelea kumtafuta ila tutampata”
“Bada usiniambie kwamba utampata nakupa siku yaleo nataka kumuona mdogo wagu”
“Lakini baba unavyo niambia mimi hivyo ni kana kwamba mimi ndio niliye mpoteza”
“Haswaaaa wewe ndio umempoteza mdogo wangu ingekuwa sio hilo jiroho lako baya wala haya matatizo yasinge fikia huku kwa maana mimi nilisema muacheni mtoto wa watu nyinyi mukaniona mimi mjinga umeona sasa hayo yote yamehamia kwa mwanao hapo alipo lala hajielewi wala kujitambua”
“Lakini baba hayo yote yametokea wapi?”
“Sitaki ujinga nasema namtaka mdogo wangu hapa leo la sivyo nitakuachia laana na wewe ukawehuke kama weu wezako”
Mzee alizungumza kwa uchungu huku machozi yakimwagika kiasi kwamba nikabaki nikiwa ninamuonea huruma na laity angejua kuwa mdogo wake amezikwa kikatili kiasi kile nahisi angejaza machozi sehemu nzima aliyo kaa.Baba Rahma akaanza kupandisha ngazi za gorofani huku akiwa yupo na daktari na mimi nikaanza kuwafwata kwa nyuma na sote tukafika kwenye moja ya chumba na baba Rahma akaufungua mlango na akaanza kuingia ndani na ikanibidi nimpige kikumbo daktari na nikawa wa pili kuingia
“Vipi dokta mbona unayumba?”
“Ahaa nimejikwaa hapa”
“Pole sana”
Nikamkuta Rahma akiwa amelala kwenye kitanda kikubwa cha sita kwa sita huku pembeni kukiwa na mashine za kupumulia pamoja na mtungi mkubwa wa gesi,Macho yake bado hayakuwa na nguvu ya kufumbuka na wala hakuweza kujitingisha na yupo sawa na mfu aliye hai kwani kuhema kwake kwa mbali kuliidhihirisha kuwa hali yake sio mzuri kabisaa.Daktari akaanza kumtazama tazama na kumpima pima kisha akamgeukia baba Rahma
“Hali yake kusema kweli bado ni mbaya”
“Sasa tutafanya nini dokta?”
“Kama nilivyo kushauri ni vyema ukampelea katika hospitali kubwa ili akapatiwe matibabu zaidi ya haya tunato mpa hapa nyumbani”
“Sawa dokta hilo nimekuelewa ila woga wangu unakuja hapa endapo madaktari watataka kujua kuwa ni nini kilicho mpa je itakuwaje?”
“Hilo ni swala la kuwahonga wao wasihitaji udhibitisho kutoka polisi wewe unapesa hembu tumi hizo pesa zako katika kuyaokoa maisha ya mwanao na usipo angali utampoteza kiurahisi”
“Sawa nimekuelewa ila…….Mmmmm”
“Mbona unaguna?”
“Nina mtihani kama ulivyo kuwa ukimsikia baba pale akifoka foka akimuhitaji mdogo wake”
“Kwani huyo mdogo wake ni mtoto?”
“Ni mtoto wapi wakati ni mtu mzima kabisa na mimi ninamuita baba kabisa anakaribia miaka 60”
“Duu sasa atapoteaje…..?”
Kabla hakazungumza chochote akaingia shangazi wa Rahma ambaye anajifanya ni mganaga na wote tukamgeukia kisha mimi nikapiga hatua za haraka hadi nyuma ya mlango na kujibanza,
“Vipi mbona unahema juu juu kuna nini?”
“Ngojeni kwanza”
Akaanza kunusa nusa ndani ya chumba huku akizunguka zunguka na akaipiga hatua hadi sehemu niliyo simama na akaiangalia sehemu niliyopo kwa muda huku macho yake akiwa ameyatoa kiasi kwamba nikahisi ananiona ila nikaendelea kujikausha kimya na nikawa nipo tayari kwa lolote na kama ataniletea shida ya aina yoyote nitamtandika ngumi kali itakayo mpotezea hata uwezo wa kunusa nusa.Nikajianda kuivuta ngumi na kabla sijaiachia akawageukia baba Rahma na daktari
“Kaka kuna askari wamekuja na wapo sebleni na huyo baba usipo angalia ataanza kuzungumza hata mambo yasiyo husiana na atakacho ulizwa”
“Wee wapo wangapi?”
“Wapo wanne wewe nenda kazungumze nao”
“Ohhh Mungu wangu”
Baba Rahma akaanza kubabaika kiasi kwama nikaanza kumuona akitetemeka akatoka huku akiwafwatiwa na shangazi wa Rahma na wakamuacha daktari akiwa anamtazama tazama Rahma,Simu ya daktari ikaanza kuita na kumfanya afungue mlango na kutoka ndani ya chumba na kwenda kuzungumza na simu nje.Kwa haraka nikapiga hatua hadi kitandani mwa Rahma na kumshika kifuani na kuyasikilizia mapigo yake ya moyo jinsi yanavyo na nikaanza kumuita
“Rahma……Rahma……Rahma”
Nilimuita huku mdomo wangu ukiwa upo karibu sana na sikio lake ila hakuweza kunisikia,Nikaelekea hadi mlangoni na kufungu mlango na kumuona daktari akishuka kwenye ngazi na nikachungulia kwa chini walipo kaa askari na wazazi wa Rahma na kuwaona wapo kimya huku wakisubiria swali la askari mmoja kujibiwa,Nikarudi ndani na nikahisi Rahma hanisikii kutokana na dawa niliyo jipaka,nikaingia kwenye bafu lililopo ndani ya hichi chumba na kunawa uso kisha nikarudi kitandani kwake na kuanza kumuita karibu na lilipo sikio lake na nikarudia mara kadhaa na kumuona akiiunyanyua mkono wake mmoja wa kushoto huku akiyafumbua fumbua macho yake na nikazisikia sauti za watu wakija karibia na mlango na kunifanya nikimbilie bafuni na nikajifuta maji usoni na kukitoa kichupa cha dawa na kujipaka usoni na kusubiri kwa muda
Nikamuona Hilda akiingia bafuni na kwa haraka akaanza kuzishusha nguo zake na kujisaidia haja ndogo na akageuka sehemu niliyo mimi na akaupitisha mkono wake katikati ya miguu yangu na kuchana kipande kaidogo cha toilet paper na kujifuta sehemu zake za siri kisha akajiweka sawa na kutoka na nikaamini hajaniona.Nikapiga hatua hadi chumbani na kumkuta Rahma akifumbua fumba mdomo wake huku akiliita jina langu na kumfanya Hilda na msichana mwengine niluye muona wakibaki wakishangaa huku sura zao zikiwa zimejaa tabasamu.Hilda akanyanyuka kwa haraka akaungua mlango na kusikia sauti akimuita baba Rahma na baada ya muda wakaingia wazazi wa Rahma wakiwa na polisi na Rahma alipo muona baba yake akaanza kuatokwa na machozi
Watu wote ndani ya chumba hawakuweza kuniona kiasi kwamba nikazidi kujiamini uendelea kukaa ndani ya hichi chumba
“Baba”
Rahma aliita kwa sauti ya upole na yaunyenyekevu
“Naam wamwanangu”
“Yupo wapi Eddy wangu?”
Swali la Rahma likawafanya watu wote kutazamana na kukaa kimya pasipo kujibu kitu cha aina yoyote
“Huyo Eddy ni nani?”
Askari mmoja aliiuliza huku akionekana ni mkubwa kwa cheo hii ni kutokana na mavazi yake aliyo yavaa kutawaliwa na vyeo vingi vya kijeshi na kuwafanya ndugu wa Rahma pamoja na wazazi wake kutazamana tazama pasipo kuwa jibu.Gafla nikastukia shangazi wa Rahma akinishika mkono huku akinikonyeza akiashiria nijikaushe kama nilivyo na akatoa simu yake mfukoni na kuandika baadhi ya maneno na kuiweka mbele yangu na nikayasoma
{NIMEKUONA MIMI PEKE YANGU JIKAUSHE HILI SWALA LIPITE NDIO TUTAJUA MIMI NA WEWE}
Mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbioa kiasi kwamba nikahisi nimeingia tena mikononi mwa familia hii makatili
“Wee mama hembu hiyo simu yako”
Askari mmoja akaichukua simu ya shangazi wa Rahma na kuusoma ujumbe kwa sauti ya kichini chini.
“Huyo uliye muona ni nina?”
Watu wote wakamgeukia shangazi wa Rahama na akaniachia mkono kwa haraka na kutingisha kichwa akimaanisha kuwa hukuna kitu
“ILA BABA KWANINI UMUUE EDDY WANGU?”
Swali la Rahma likawafanya watu wote kumtazama na nikaanza kuziona sura za askari zikianza kubadilika na kuweka mikunjo askari wawili wakaziweka bunduki zao sawa kuzielekeza kwa baba Rahma huku mkuu wao akipiga hatua hadi kitandani na kumuuliza Rahma swali
“Unasema kuwa Eddy ameuliwa na baba yako?”
‘NDIO”
Chumba kizima kikatawaliwa kwa ukimya kiasi kwamba kila mmoja macho yake yakamgeukia baba Rahma
“Huyo Eddy kwako alikuwa ni nani?”
“Ni mpenzi wangu ninaye mpenda sana”
Nikanyata taratibu huku shangazi Rahma akiwa anaendelea kuwaomba askari waweze kuzun-gumza juu ya swala alilo lizungumza.Nikashuka kwenye ngazi za gorofa lao na nikatoka nje na moa kwa moja nikeelekea nje na safari ya nyumbani kwangu ikaanza.Moyoni mwangu nikaanza kuhisi hizto na wa ushindi mkubwa kwani swala la kuingia nyumbani kwa kina Rahma pasipo wazazi wake kufahamu na nimtu mmoja ndio amelitamvua hilo kidogo likanipa faraja ya kuweza kumtorosha,nikanawa sura yangu na nikarudi katikahali yangu ya kawaida
Siku nzima nikajifungia ndani na sikutoka nje huku nikiwa ninapanga mipango ya kumtorosha Rahma katika hali ya kawadi,Picha nyingi nilizo zichora kwenye karatasi nyeupe zikiwa kama ramani ya nyumba ya baa Rahma zinakanitosha zaidi kujua kuwa ninaanzia wapi katika kufanikisha swala la kumtorosha Rahma hadi nikajikuta ninapitiwa na usingizi katika kocho nililo kalia.Asubuhi na mapema nikaelekea nyumba ya pili kwa mzee mmoja ambaye na mstaafu wa jeshi na kipindi cha nyuma aliniomba niweze kumfundisha mwanaye wa kiume masomo ya kumbo yake ya PCM na kwa bahati mbaya sikuweza kupata muda huo kutokana na matatizo
Nikagonga geti lake nalikafunguliwa na mlinzi na akaniruhusu kuingia ndani na kwabahati nzuri nikakutana na mzee Ngoda akifanya mazoezi kwenye moja ya bustani yake na nikamfwata hadi sehemu alipo na kumsalimia
“Vipi Eddy kuna siku nilisikia sikia kelele huko kwako ila kutokana nilikuwa ninawageni muhi-mu sana nikashindwa kutoka”
“Mzee wee acha tuu kuna mambo mengi yalinikumba hivi vijiwiki kadhaa vya nyuma nikajikuta hata ninashindwa kutimiza ile ahadi ya kumfundisha mwano”
“Mambo gani kwa maana nilipo kuja kuchungulia sikukuta mmtu zaidi ya ukimya mwingi?”
Nikaanza kumsimulia mzee Ngoda kuanzia mwanzo hadi mwishio kuhusiana na mkasa wa Rahma hadi ninamaliza akabaki akisikitika huku akishusha pumzi nyingi mara kwa mara
“Duuu sasa wewe unataka nikusaidie nini juu ya hilo swal lako?”
“Mimi ninataka unisaidie juu ya mipango na mbinu za kijeshi ili niweze kwenda kumtorosha yule binti”
“Hjui hilo ni kosa la jinai na kama ukikamatwa hapo unachukuliwa kuwa kama gaidi na kifungo chake nina imani unakijua”
“Ndio ninakutambua mzee wangu ila naomba tuu unisaidie”
“Wee koma wenyewe wanasema uzee mwisho msata kila mtu mjini ni baby”
Nikajikuta nikangua kicheko kwani sikutegemea kama mzee ataweza kuniropokea maneno ya namna hii ukilinganisha na umri wake.
“Eddy mimi kama mimi kwenye hilo sinto weza kukusaidia labda kuna jengine useme nitakusaidia kwa maana nitakuwa nimevunja sheria na kanuni za jamuhuri ya muungano wa Tanzania pamoja na sheria za jeshi.”
Mzee Ngoda akanikatalia kata kata na sikuwa na kingine cha kuzungumza zaidi ya kuondoka zangu na kurudi nyumbani kwangu.Nikajipikia kifungua kinywa na baada ya kumaliza kupata chai nikaelekea kwenye maduka ya wachaga yaliyopo barabara za namba na kazi yangu ikawa ni kutafuta ni nguo gani ninaweza kuzinunua na kuzivaa na zikabadilisha muonekano wangu kabisa.Hadi mwisho wa mizunguko yangu nikajikuta nikinunua overol jeusi pamoja na kofia kubwa na kurudi nyumani kwangu mida ya saa kumi na moja jioni.Nikapanda kitandani na kulala huku saa yangu ya mkononi niiitega muito wa kunistua saa nne usiku.
Kama nilivyo itega saa yangu ndivyo ilivyo niamsha nikanyanyuka kitandani na kuingia bafuni na kunawa uso ili kutoa uchovu kisha nikarudi ndani na kuvaa overoli langu na pamoja na ko-fia,Nikatafuta mabuti yangu ya mvua kisha nikavaa,nikazichukua karatasi nilizo chora ramani ya nyumba ya kina Rahma na kuanza kuipitia moja baada ya nyingine.Nikachukua beki langu dogo na lenye vijimikanda vyembaba na kulivaa mgongoni huku likiwa ni vifaa kama koleo,bisibisi na nyundo
Kabla sijafungua geti langu nikasikia likigongwa taratibu na kunifanya nistuke,likarudiwa ku-gongwa na taratibu nikapiga hatua za taratibu huku nikiwa na tahadhari kubwa na nikacjungulia nikaona gari aina ya ‘geap’ lililo kibanda wazi na ni kama magari ya jeshi likiwa limesimama nje ya geti langu.Mapigo ya moyo yakaanza kunienda mbio ila nikapata ujasiri wa kufungua geti na kumkuta mzee ngoda akiwa amevalia nguo za jeshi huku mkononi mwake akiwa ameshika begi la wastani
“Eddy ndio umevaa nini hivyo?”
“Ehee ndio mavazi ninayokwenda kumuokoa mpenzi wangu”
“Kijana hembu acha uzembe tuingie ndani”
Tukarudi ndani na geti tukalifunga kisha tukaingia sebleni na akalifungua begi lake na akatoa nguo za jeshi na kunirushia
“Kamata hizo uangalie kama zinaweza kukutosha”
Nikaanza kuzitazama moja baada ya nyingine na nikalivua overoli langu na kuva nguo alizo nipa mzee ngoda na kwabahati nzuri zikawa zinanitosha vizuri kuanzi suruali hadi shati la juu.Pia akanikabidhi viata vya jeshi japo vinanibada kidogo ila vimekaa vizuri mguuni mwan-gu,akanikabidhi begi nilibebe na nikaona kamba pamoja vifaa vingine ambavyo sikujua matumizi yeke ni nini
“Unaweza kutumia bunduki ya aina yoyote au ulisha zoea manati za uwindaji wa ndege huko kwenu Morogoro?”
“Ahaaaa sijawahi mzee wangu”
“Eddy hilo jina lako la mzee silipendi”
“Hhaaaa haya baba”
“Hapo kidogo sawa na mtu unapokuwa umevaa hizo nguo niite kamanda”
“Ndio kamanda”
“Ahaa hapa kuna hiizi bastola tatu nimekuja nazo moja inatumia risasi baridi na hizi mbili zina-tumia risasi moto….Hii ya risasi baridi itakulazimu ukae nayo wewe na hizi nyingine nitakaa na-zo mimi sawa”
“Sawa kamanda..je nikitaka kufyayua risasi ninafaje?”
“Unashika hapa na unaparudisha nyuma na unakuwa risasi umeipandisha kwenye chemba na ukiminya hapa unairuhusu kuchomoka kuelekea kule ulipo iagiza kwenda”
“Sawa nimekuelewa kamanda”
“Vaa kofia yako na ninaomba hizo karatasi unazosema umechora ramani ya hiyo nyumba”
Nikamkabidhi karatasi zote na akaanza kuzipitia moja baada ya nyingine hadi akazimaliza zote
“Kumbe wewe ni mtaalamu mzuri wa kuchora ramani?”
“Ehee kidogo kidogo ninajaribu”
“Ina bidi nikupeleke kambini wakakuajiri kwa kazi hii kwa maana wa taalamu kama nyinyi ni wachache sana”
“Ukiachilia kuchora ramani hata kuchora watu au vitu Mungu amenibariki sana kwenye hilo”
“Ahaa wewe utalifaa jeshi ngoja kwanza twende nikakuone ufanisi wako wa leo”
Tukatoka nje na kuingia ndani ya gari na nikawa na kazi ya kumuelekeza ni wapi tunapaswa kufika na ndani ya dakika kadhaa tukawa tumefika nje ya jumba kuwa la kina Rahma.Mzee Ngoda akashuka na kuniacha mimi ndani ya gari na akaanza kulichunguza vizuri na akaingia ndani ya gari tukaondoka na gari tukaenda kuisimamisha kwa mbali kidogo na tukarudi hadi ilipo nyumba ya kina Rahma kisha akiitoa bastola yeke na kuifunga kiwambo cha kuzuia sauti kisha akaniomba nikae nyuma yeke nimfwate kila anapo pita.Cha kushangaza sikujua hata uogoa nimeutoa wapi kwani nikajikuta mwili mzima ukinitetemeka kiasi kwamba hata kutembea kwenyewe nikawa ninayumba nyumba.Tukafika kwenye ukuta mrefu kidogo na nikamshangaa mzee Ngoda akijirusha juu na kuishika sehemu ya juu japo ni mfupi ila mwenzangu ameweza kufanya hivyo
Kazi ikaanza kuwa kwangu kila nilipo karibu kujirusha kupafikia nikawa ninashindwa na kui-shia kuburuzika ukurani
“Sikia wewe ukitaka kuruka hakikisha mguu wako wa kulia unakanyaga ukuta na kujirusha juu sawa”
“Sawa”
Nilijibu kama nimeelewa vile wakati sikujua hata nifanye nini,Nikajaribu kujirusha mara kadhaa hadi nikafanikiwa ila mikono yangu ikijaa michubuko mingi.Mzee Ngoda akawa wa kwanza kuingia ndani na mimi nikafwatia na sehemu tuliyo shuka ina maua mengi na taratibu tukajificha kwenye maua
“Mkango wa kuingilia upo wapi?”
“Kwa mbele”
“Kuwa makini na kuna walinzi wangapi?”
“Mmmm wala sifahamu”
Tukaanza kwenda kwa mwendo wa tahadhari huku mimi mara kwa mara nikitazama nyuma na tukafanikiwa kuingia hadi sebleni na kuwakuta watoto wadogo wakitazama filamu za kumi kwenye Tv kubwa humu sebleni.Tukapiga hatua za kimya kimya hadi sehemu waliyo kaa na walipo tuona mmoja akajaribu kupiga kelele ila Mzee Ngoda akamzaba kofi zito hadi mtoto wa watu akazimia na wengine walio ona hivyo hakuna aliye dhubutu kufungua kinywa chake
“Baba yenu yupo wapi?”
Mzee ngoda aliuliza kwa sauti ya ukali ila ni ya chini sana ambayo watu tuliopo kwenye eneo hili ndio tunaweza kuisikia.Mtoto mmoja wa kike akanyoosha mkono gorofani akimaanisha kwamba yupo chumbani kwake na hapo ndipo nikaamini kuwa pesa ina fanya kazi kwa maana askari walisikia juu ya mauaji yangu na kwa kawaida mtu akiwa amefanya kosa kama hili ni lazima kwanza ashikiliwe kwa muda kadhaa japo kuna kitu cha dhamana ila baba Rahma hakupaswa kupewa dhamana ya aina yoyote
“Hakikisha ngedere yoyote apanui domo lake”
Mzee ngoda alizungumza huku akianza kupanda ngazi akielekea juu gorofani na mimi nikawa nimewanyooshea watoto bastola yangu yenye risasi baridi ambazo hazina uwezo wa kumuua inadamu.Baada ya dakika kama tano nikaona baba Rahma akiwa na mke wake pamoja na ndugu wengine wakiwa wanashuka kwenye ngazi huku mikono yao wakiwa wameinyoosha juu kama mateka.Akawaamuru kupanga mstari mmoja huku wakiwa wamepiga magoti pamoja na mikono yao ikiwa juu.Macho ya baba Rahma pamoja na shangazi Rahma yakawa na kazi ya kunitazama kwa mshangao huku kila mmoja akiwa haamini kama ni mimi ndie nimesimama mbele yao tena nikiwa nimevalia nguo za jeshi
“Nenda kamtoa Rahma ndani kwake na umlete hapa”
Nikafanya kama mzee ngoda alivyo niagiza na kwa tahadhari kubwa na mimi nikazipandisha ngazi hadi chumbani kwa Rahma na kumkuta akiwa amelala pamoja na Hilda.Nikaigeuza kwa nyuma kofia yangu ya jeshi niliyo ivaa na nikamshika shavuni Rahma na akaanza kupepesa macho akihisi kama mdudu ndio anamtambalia
“Rahma”
Nikaita na akafumbua macho yake na kunitazama kwa muda na akastuka kidogo kuniona ila kabla hajazungumza kitu nikamziba mdomo
“Ni mimi Eddy nimekuja kukuchukua mpenzi wangu wa maisha”
“Kweli Eddy”
INAENDELEA

