MAMA ALIPOSHIKWA TAKO MBELE YANGU
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 56
ILIPOISHIA…
“Oooh Sam kwanini umenifanyia yote haya, kwanini ulimficha mwanangu siku zote hizo, kwanini umenitenga na furaha yangu kwa muda wote huo Sam”
Verity aliongea maneno mengi huku analia machozi yanamwagika kama chemchem!
Sam alikuwa ameinamisha kichwa chini nae machozi yanamtoka, Nisha alikuwa anatazama kwa hisia kwani kama mama nae aliujua uchungu wa mtoto.
“Sam kwanini umenitesa kwa siku nyingi hivyo?”
Verity alizidi kulalama tu.
“Nice mwanangu, huyu shetani alikuwa amekuweka wapi?”
Sam pale alipokuwa roho ilimuuma sana kwani kitendo cha Verity kumpa zile lawama aliona sio sawa kabisa.
Haraka sana aliamka alipokuwa amekaa akamfwata Verity ili afafanue jinsi tukio liilivyokuwa.
“Verity naomba unisikilize shemeji!”
“Siwezi kukusikiliza Shetani mkubwa kama wewe, na ninakwambia breki ya kwanza kutoka hapa naenda Polisi, lazima dunia ijue wewe ni nani”
Verity baada ya kutamka maneno hayo moja kwa moja aliondoka kwa kasi na kutoka huku amemshikilia mwanae.
Sam alibaki amekodoa macho tu hajui amkimbize amkamate ama abaki pale pale na ndio Verity alikuwa anatokomea mlangoni.
Haraka sana Verity alipanda kwenye gari yake akakaa kwenye siti ya dereva akamuweka Nice siti ya pembeni na kuliwasha gari akitaka kwenda polisi kumripoti Sam.
Baada ya kutekenya funguo gari iliwaka akaliondoa kwa kasi, baada ya mwendo kidogo ili afike Polisi gari yake ilisimamishwa njiani.
Alitaka asisimame lakini kuna gari ilikuja ikaziba njia ikambidi akamate breki na kushusha kioo kwa hasira akitaka atukane wale ewalioziba njia.
Kabla hajasema chochote kuna mtu alishuka kwenye ile gari na kumfwata akamgongea ili afungue mlango.
“WEwe ni nani?”
“Fungua mlango tuongee”
“Sifungui na naomba mtoe gari yenu nipite kabla sijawaita Polisi”
“Sisi ni polisi, angalia hiki” Verity alionyeshwa kitambulisho ikabidi awe mpole na kufungua mlango wa gari.
Yule jamaa aliingia kwenye gari na kumuamuru asogee kwenye kiti cha dereva kwa kumnyooshea bastola.
Hapo hapo Yule jamaa alikamatia usukani na kuendesha gari kuelekea alipopataka yeye!
……………………………..
“Dada unapaswa ushukuru kwa kumpata mwanao, sawa?”
“Sawa”
“Usipoonyesha kushukuru atapotea na hutomuona tena kwenye maisha yako, sawa?”
“Sawa”
“Kuanzia sasa hivi rudi na mwanao nyumbani na usifwatilie chochote, sawaa?”
“Sawa”
“Atakayekuuliza umempata wapi mwambie umeletewa na polisi na Polisi wamekwambia alionekana akirandaranda kituo cha mabasi, sawa?”
“Sawa!”
Baada ya masaa kadhaa Verity na mwanae NICE walifungwa tena vitambaa vyeusi usoni na gari kuendeshwa kutoka sehemu waliyokuwa wamepelekwa!
Baada ya mwendo mrefu walifunguliwa vile vitambaa na kuona wakiwa tayari wako katikati ya mji wa Mbeya!
Gari pia iliendeshwa na hatimaye wakawa wamefika nyumbani kabisa kisha gari ikaingizwa getini, walishuka wote na kuingia ndani huku Yule jamaa aliyekuja nao akiambatana nao tena kuingia ndani.
Walipofika ndani Yule jamaa alifungua friji na kutoa galoni ya juisi na kujimiminia huku akiwa kakaa kwenye kochi kwa kujiachia.
“Shemeji nyumba yako nzuri sana”
“Asante sana”
“Samahani nataka nikaone chumba atakachokuwa analala NICE?”
“Haaa ili iweje”
“Nataka nione kama inaendana na ile ambayo alikuwa analala kule”
“Kama ukiona haziendani?”
“Wewe nipeleke tu”
Verity alikuwa hana ubishi tena akanyanyuka na Yule jamaa hadi chumbani kwake.
“Nitakuwa nalala nae hapa”
“Ohh sawa japo sio pazuri kama kule alipokuwa analala ila kidogo afadhali”
Verity hakujibu chochote alibaki tu amemuangalia Yule jamaa.
“Sasa chukua hizi pesa zikusaidie kuboresha matumizi yake na malazi yake”
Verity alitaka asipokee lakini zikawekwa kitandani na Yule jamaa akaaga na kuondoka zake.
Huku nyuma Verity alizihesabu na kugundua kuwa zilikuwa ni dola elfu kumi sawa na milioni kama ishirini za kitanzania.
……………………………….
Tangazo lilikuwa linatolewa na IGP likionesha mabadiliko ya makamanda wa Polisi wa Mikoa na wilaya.
Baadhi yao walikuwa wamestaafu na hivyo nyadhifa zao kuzibwa na watu wengine, wapo waliokuwa wanapandishwa vyeo na wengine kuhamishwa vituo vya kazi.
Jina la Sam lilikuwa kwenye orodha baada ya kutajwa kuwa RPC wa mkoa wa Tabora. Alipolisikia jina lake moyo ulimdunda kwa kasi sana.
“Ina maana wale jamaa wana nguvu kiasi hiki?”
Katika maisha kuna wakti wa kupanda milima na kupita kwenye mabonde, kwa Rafiki huu ulikuwa wakati wa kupita kwenye mabonde!
Maisha yalikuwa matam sana kwake, mapenzi kutoka kwa mkewe yalikuwa makubwa kuliko wakati wowote, alijiona anaishi kwenye dunia anayoimiliki yeye pekee. Hakuhitaji kitu kingine zaidi yay eye na mume wake.
Mara nyingi tu walikuwa wakitoka kwenda kufurahia maisha huku wakiwa wameambatana na mtoto wao ambaye sasa alikuwa anatembea, wakati mwingine hata wifi yake “glory” alikuwa anaambatana nao huku wakiwa ni wa vicheko na matabasam kila wakati.
……………….
Sam alikuwa ametoka kuoga amejifunga taulo jeupe anajifuta maji kidogo yaliyobaki mwilini ili apake losheni alale ajipumzishe kidogo.
Kabla ya yote alishtuka taulo likivuliwa na kutupwa kitandani, alipogeuka alikutana na mdomo wa Rafiki uliokuwa unamfwata kinywani.
“Baby…” aliita Sam
“I need It…” hakuna kilichoendelea isipokuwa Sam na Rafiki walikuwa wanasema kwa vitendo, midomo yao ilikuwa imegusana wananyonyana ndimi huku wameshikana viunoni.
Taratibu mikono ikawa inatembea taratibu huku ikipanda na kushuka kwenye mgongo wa kila mmoja wao na kuzidisha miguno.
Mikono ya Sam ilihamia chini zaidi kwenye makalio ya Rafiki na kuyaminyaminya kila wakati kitendo kilichomfanya Rafiki azidi kutoa miguno.
Rafiki nae sasa alikuwa anakiminya kifua cha sam kilichokuwa kimajaa vizuri huku akiendelea kupapasa mgongoni hadi pale alipohisi kitu kigumu kinamgusa maeneo ya kitovuni akajua mshale sasa tayari uko kwenye shabaha yake.
Alitanua kidogo miguu yake na kuupitisha mshale wa sam katikati ya mapaja yake na kuuacha humo huku akiuhisi unavyojitutumua kila dakika zinavyosogea.
Mashambulizi yalikuwa makali kwani sasa sam alikuwa anacheza na kifua cha Rafiki na mkono mwingine unaelekea ikulu, alipofika nje ya ikulu alipapasa kuta zake kwanza kisha akaandaa kidole kimoja na kukipitisha taratibu kuingia ndani kisha ….Ooooshhhh … rafiki alitoa mguno wa raha.
Baada ya dakika kadhaa ikulu ya Rafiki ilikuwa inatiririsha maji maji ya moto kuonyesha kuwa imezidiwa, Sam hakulaza dam, alimsukuma mkewe taratibu huku wakiwa wamekumbatiana hadi wakafika kwenye ukingo wa kitanda.
Alipofika hapo aliinua mguu mmoja wa Rafiki na kuupandisha kwenye tendegu la Kitanda, alimfwata tena mdomoni na kumnyonya mdomo Kisha akabonyea kidogo chini na kupitisha mshale wake kwenye ikulu ya Rafiki ambapo ulipita taratibu hadi ndani.
Kilichoendelea hapo nadhani mnakijua, Rafiki alikuwa ananyonga kiuno kwa Raha za ajabu huku Sam nae akipeleka mapambano kwa kasi ya ajabu.
Baada ya dakika kadhaa alimuinamisha kama anachuma mchicha kisha yeye mwenyewe akakanyaga kwenye kitanda na kuchomeka naniliu yake hadi akagusa kitu kigumu huko ndani ambacho kilikuwa kama kinamfinya kwa ndani. “Taratibu baby” Mkewe alisema kwa sauti ya kudeka Sam akajua mtarimbo wake umefika mbali sana.
Taratibu alifanya mashambulizi yaliyomfanya Rafiki aweweseke sana na kujua kuwa yuko kwenye hatua za Mwisho hivyo akamuinua kidogo ili asije akaanguka na kumshikilia kifuani huku akiendelea kupekesha na kisha akamsindikiza vizuri hadi kileleni.
Kwa kuwa yeye alikuwa bado kufika alimlaza mkewe kitandani na kumuelekezea tumbo juu kisha nayeye akaja kwa juu yake na kuendeleza libeneke.
Baada ya dakika kama ishirini hivi walikuwa wamelala usingizi wa uchovu hadi pale Sam alipoamka na kunyimwagia tena maji kisha akaondoka kuelekea kwenye mizunguko yake.
………………………….
Verity alikuwa na furaha mno kukutana tena na mwanae aliyejua kafariki, kila wakati alikuwa nae hata kama anaenda kwenye shughuli zake binafsi.
Alikuwa na wasiwasi huenda waliomteka watamrudia tena, kwakuwa alikuwa ameshawasiliana na Baba yake na Mama yake na kuwaeleza ambapo wote walistaajabu sana hadi wakapanga kutoa shukrani kanisani na kufanya sherehe siku hiyo aliamua kumsapraizi dada yake.
Akiwa kwenye gari yake aina ya Rav4 Nyeupe alikuwa anaelekea nyumbani kwa Rafiki. Walipofika alipiga honi geti likafunguliwa na kuingia ndani kisha akapaki gari lake.
Alishuka kwenye gari na kumshika mwanae mkono kisha wakaingia kule ndani alipo dada yake yaani Rafiki.
Rafiki kwa wakati huo alikuwa chumbani lakini aliposikia kuwa kuna wageni wamefika ilibidi atoke huko sebuleni ili awakaribishe.
Mtu wa kwanza kumuona katika wale wageni ni mtoto wa kike Ambaye alikuwa na miaka takribani mitano hivi lakini muonekano wake ulimchanganya sana.
Sehemu Ya 57
Alikuwa anafanana mno na mtoto wake wa kumzaa, alijiuliza kwa haraka haraka lakini wakati anaendelea kujiuliza tayari alikuwa ameshafika sebuleni vizuri na kumuona mdogo wake Verity!
“Heee kumbe wewe?”
“Ni mimi kwani wewe ulijua nani?”
“Achana nayo karibu naona umenisapraiz”
“Ah hapa kwangu bwana sio kila siku nikija lazima nikwambie nakuja”
“Yani huyu mtoto amenishtua, nimemuangalia yani anafanana na mwanangu kama mapacha, ni nani kwani huyu?”
“Hujawahi kumuona sehemu yeyote?”
Rafiki alitulia kwa sekunde kadhaa akimtafakari Yule mtoto huku akijiuliza aliwahi kumuona wapi.
“Hebu njoo mtoto unisalimie” rafiki alimuita Yule mtoto.
“Shkamoo”
Rafiki badala ya kuitikia alishtuka zaidi kwani dimpoz alizokuwa nazo Yule mtoto ndizo alizokuwa nazo mwanae wa kumzaa.
“Unaitwa nani mtoto mzuri”
“Nice”
“Mungu wangu, Verity huyu ni NICE wako?”
“Ndio huyoo dada. Yani mungu ni Mkubwa!”
“Yalaaaaa jamani Sam anajua kufanana na watoto wake jamaniiiii!”
Kauli ile ilimshtua Verity mno kwani hata siku mooja hawajawahi kukubaliana na Rafiki kuwa kweli Yule mtoto ni wa Sam!
Wakati huohuo mtoto wa Rafiki nae alifika akiwa anatokea usingizini, walipokuwa wawili pale ndio ilikuwa kama photocopy. Wanafanana kama vile watoto wa Baba na Mama mmoja!
Taratibu furaha yote aliyokuwa nayo Rafiki ikapotea ghafla, alijikuta akiumia sana rohoni na kujenga chuki ambayo hakuwahi kuwa nayo kabla.
Kwenye akili yake alijisemea kuwa ni heri huyo mtoto asingeonekana kuliko hivi ambavyo amerudi na kukumbusha kidonda chake.
“Bora angekufa tu”
Alijisemea Rafiki moyoni.
Verity ndani ya akili yake alishaisoma akili ya dada yake na kujua kuwa amekosa uchangamfu, alijitahidi kumuongelesha lakini alikuwa anapata majibu ambayo hayakuwa yale ya kuvutia.
Hata tabasamu aliloonyeshwa lilikuwa la walakini, hapo ndipo alijua kuwa tayari hali imekuwa sio ile aliyoitegemea.
Pamoja na kuendelea kukaa hapo lakini alikuwa anavuta muda tu ili aondoke zake maana alishajua kuwa amevuruga furaha ya mtu.
Baada ya kama nusu saa hivi aliaga na kuondoka zake lakini tofauti na siku zote siku ya leo hata kusindikizwa hakukuwepo.
Huku nyuma Rafiki alikuwa kwenye maumivu makali sana, chuki ilijengeka kwenye moyo wake na roho mbaya ya kutoa roho ikawa imemuingia.
“Hivi huyu mtoto si ataninyima amani kwa siku zote huyu, hivi kweli hii siri ikivuja si jamii itakuwa inanidharau sana, yani nimeolewa na mtu aliyezaa na mdogo wangu..”
“Tena itaonekana mimi ndie niliingilia mapenzi yao kwasababu mtoto wao ni mkubwa kuliko wangu … ”
“Sikubali lazima nimuue huyu mtoto, siwezi kumuacha wala kumuua Sam ni mme wangu na ninampenda sana, wakufa ni huyu shetani aliyezaliwa kuvurugua watu furaha zao. ”
Hicho ndicho moyo wa Rafiki ulikuwa unawaza kwa wakati huo, Roho yake ilishakuwa ile ya Israel mtoa roho!
Hali ile Aliyoikuta Verity kule kwa dada yake ilimuumiza kichwa sana akaona lazima amshirikishe Sam ili wajue cha kufanya.
Alipofika tu nyumbani alimpigia Sam simu ambaye alikubali kuwa atafika hapo nyumbani ndani ya muda mfupi,
Akiwa anamsubiri aliamua aoge kabisa kwani alikuwa anahisi joto, wakati anaoga Sam nae alifika na kugonga mlango kisha akafunguliwa na Housegirl.
Alikaribishwa akakaa kisha akamchukua Nice na kumpakata huku akimpa Biskuti za Chokoleti alizomnunulia huko Supermarket.
Kwa mbali alimuona Verity anatokea Bafuni anapita amefunga taulo anaelekea chumbani, hali ya mtetemo aliyoiona ilimkumbusha enzi hizo alizokuwa anakula utamu wa Verity.
“Hakika huyu binti alikuwa mtamu sana” alijisemea kimoyomoyo kwani ukweli kuwa alikuwa hajawahi kuinjoi ngono kama aliyokuwa anaifanya na Verity!
Alirudisha moyo wake nyuma na kuzuia hisia za kijinga akimsubiria Verity atoke ili wazungumze. Hatimaye Verity alitoka akiwa amevaa suruali aina ya track na blauz nyeupe. Hakika Verity alikuwa ameumbika sana kwani pamoja na kuvaa vile lakini umbo lake lilionekana kuwa na mvuto ule ule.
Alikuja akaa pembeni Ya Sam kisha Nice akaondoka zake. Verity alimsimulia Sam kila kitu alichokiona kule kwa Rafiki na kumwambia kuwa anahisi dada yake anajua uhalisia wa ishu ya NICE lakini pia anaonekana hana amani nae!
Wakiwa wanaongea huku wamekaa karibu karibu kule nje alikuja Gwakisa na moja kwa moja akaingia ndani, alipofika mlangoni aliona watu wamekaa kwenye kochi moja akawatambua kuwa ni Sam na Verity japo walikuwa wamemgeuzia kisogo.
Roho ilimuuma zaidi alipomuona Nice ambaye alikuwa amefanana na Sam kila kitu. Akili yake ilimtuma kuwa huenda Sam amerudisha mahusiano tena na Verity.
“Leo lazima nipambane nae” Alijisemea Gwakisa huku akiwafwata pale walipokaa!
Katika wanawake waliokuwa wanatikisa pale chuoni alikuwepo Glory pia, Glory alikuwa anatikisa kwa urembo na Uwezo wake darasani.
Lakini pamoja na hayo uhusiano wake wa kindugu na Sam ambaye ametangazwa kuwa RPC ulimpa umaarufu kuliko kawaida.
Wanaume wengi walikuwa wanamtaka na hata wajadhiri chuoni pia, kwa Glory halikuwa swala la ajabu kwake, aliona ni wajibu wake kama mwanamke kutongozwa na kuambiwa anapendwa kwani aliamini kuwa kila mwanamke alikuwa anaambiwa maneno hayo hata wale wabaya wa sura na muonekano.
Ambacho yeye alikuwa hajui ni kwamba katika uhalisia ni wazi kuwa alikuwa ni mrembo haswa na wengi wa watu walikuwa wanamhusudu, wasichana wengine walikuwa wanamuonea wivu kufikia wakati wa kumchukia pasi na sababu yeyote.
Siku moja akiwa anapita kwenye ubao wa matangazo aliona jina na namba yake ya usajili kisha ikafuatiwa na tangazo kwamba anahitajika kwenye ofisi ya idara ya somo la uchumi.
Alishtuka kwani hata siku moja hajawahi kupata wito kama huo, kwa hofu aliyokuwa nayo hapo hapo aliamua kwenda moja kwa moja katika idara ya hilo somo.
Alipofika aligonga mlango akaruhusiwa kuingia mpaka ndani. Alipofika pale alikutana na wahadhiri wanne wameketi huku kila mmoja anafanya shughuli zake,
Aliwatazama wote na kisha akachagua kwenda kwa mmoja ambaye ndie alikuwa anadili na lile somo la uchumi.
“Shkamoo”
“Mambo Glory” Shkamoo yake haikuitikiwa
“Safi”
“Karibu ukae”
Glory alikaa kwenye kiti kilichokuwa mbele yake kisha akawa anasikiliza kwamba ataambiwa nini lakini ajabu ni kwamba zilikatika dakika mbili nzima na hakuweza kuongeleshwa chochote ikabidi aanze yeye.
“Samahani nimepita kwenye ubao wa matangazo nikaona jina langu kuwa nahitajika kwenye ofisi yako”
“Sawa nimekuona ngoja kwanza niweke mambo yangu sawa”
Baada ya kama dakika tano hivi Yule mhadhiri alitoa miwani yake na kumuangalia Glory kwa umakini mkubw akiasi hata Glory akashtuka.
“Hivi Glory na urembo wako wote huo ndio umeamua uchague kufeli somo langu tu”
“Kivipi Doctor?”
“Naona hapa maksi zako haziruhusu kabisa kuingia kwenye mtihani wa mmwisho kwenye kozi yangu”
“Haa imekuwaje mbona testi zangu mbili nimefanya vizuri?”
“Hizi mbili za mwisho umefeli kabisa kwahiyo nikigawanya maksi zako hazifikii inayotakiwa na mbaya zaidi huu mwaka wa mwisho kwahiyo itabidi urudie”
Kwa maelezo hayo ilibidi Glory anywee na kuinamisha kichwa chini,
“Unajua Glory kama isingekuwa hili somo ulivyofeli yani wewe ungeongoza chuo kizima kwa kufaulu na nakwambia ungefika mbali sana”
“Sasa nitafanyaje Doctor?”
“Kwakweli nashindwa kuelewa kwanini umefanya hivi”
“Dokta naomba unisaidie”
“Unadhani mimi ntakusaidiaje? Unajua haya mambo ya kusaidiana yapo lakini ni mambo ya siri sana na annayesaidiwa lazima ajitambue”
“Mimi najitambua Dokta”
“Mh sina uhakika na hilo, ila hebu andika namba yako hapa”
Glory alichukua kile kinoti book alichopewa akaandika namba zake zote tatu, ya Tigo, Vodacom na Halotel kisha akaondoka zake!
…………………………………….
Huku akiwa kanuna Gwakisa alienda kukaa karibu kabisa na pale walipokaa Verity na Sam, hakukuwa na salam wala neno lolote isipokuwa alikaa tu pembeni yao na kuminyaminya simu yake.
Sam na Verity walibaki wameshangaa na hata maongezi yao wakakatisha, kwa hali aliyokuwa nayo Gwakisa mbele yao iliwatia hofu kwani alikuwa amevimba kwa hasira.
Kwenye akili ya Sam alifikiria kuondoka zake kwani alikuwa hataki matatizo na mtu ukizingatia kuwa yeye sasa ni Mtu na cheo kikubwa na heshima zake.
“Mama Nice mimi naomba niondoke tutaongea wakati mwingine” Sam aliaga.
“No usiondoke mpaka hili swala likae sawa” Verity nae alijibu.
“Wala usijali naona umepata mgeni ngoja mimi niwaache”
“Please Sam mimi ndie nimekuita hapa hili swala linatakiwa lipate ufumbuzi kwanza”
Wakati huo wote Gwakisa alikuwa kaka tu anaendelea kuminya minya simu yake.
“Basi naomba nikajisaidie narudi”
“Sawa naomba niingie toilet kidogo”
Lengo la sam ilikuwa sio kwenda toilet isipokuwa alitaka atoe nafasi kwa Gwakisa na Mtalaka wake huenda wana mambo yao muhimu.
Huku nyuma Verity alikuwa na hasira sana mbele ya Gwakisa kwa kuingilia maongezi yake muhimu lakini hata hivyo hakutaka kuionyesha hasira yake.
“Vipi baba? Mbona hata salam hakuna?”
“Kwani si mngenianza nyie”
“Sawa mzima lakini ”
“Kama unavyoniona, kwa hiyo huyo bwana wako ndio hataki kunisalimia?”
“Bwana wa nani?”
“Si bwanako unajifanya hujui”
“Haya je wewe umemsalimia? ”
“Kwahiyo umekiri kwamba ni bwana wako si ndio, kwahiyo uliniacha ili uwe nae yeye au sio, na mmepeana UKIMWI ili mshirikiane vizuri, sasa namimi leo nataka unipe huo Ukimwi wako”
Katika hali ambayo Verity hakuitarajia Gwakisa aliamka pale alipokuwa amekaa na kumvaa Verity na kuanza kumshikashika kwa nguvu.
Verity alianza kujinasua kwa nguvu lakini hakuwa na uwezo wa kupambana na Gwakisa,
“Niachie Gwakisa”
“Sikuachii”
Gwakisa aliendelea kumpapasa Verity huku akiwa anamshika makalio na sehemu za maziwa, alikuwa anamsukumizia kwenye kochi na hatimaye akafanikiwa na kuwa amemlalia kwa juu.
Kule alipokuwepo Sam alisikia hizo purukushani lakini akawa anasita kwenda. Alichofanya ni kusogea karibu na mlango na kuchungulia kile kinachoendelea kue sebuleni.
Kilichomuuma Sam ni kwamba watoto walikuwemo humo ndani na hivyo wangeona uchafu ambao Gwakisa alikuwa anataka kuufanya pale.
Verity alianza kupiga kelele kwa nguvu baada ya kufikia hatua ya nguo yake kuwa imevuliwa na kubaki na nguo ya ndani tu, tayari Gwakisa alikuwa anakaribia kumbaka Verity kwani nae alishafungua zipu ya suruali yake na kutoa uume wake nje.
“Lazima leo niku…t..mbe na kama huyo bwana wako akija hapa nae namchapa nao”
Gwakisa alikuwa ameshabadilika roho yake na kuwa ya mnyama kabisa, mwili na mapaja ya Verity vilizidi kumvutia na uchu ukampanda mara dufu na kujiapiza kuwa hawezi kumuacha.
Maskini Verity nguo yake iliyokuwa imesalia ilikuwa chini huku amezibwa mdomo. Mtoto wake mkubwa (NICE) alikuwa anasikia yale makelele hivyo akaamua kutoka akamsaidie mama yake lakini alipokaribia pale sebuleni akakutana na Baba yake.
Sam nae hakutaka mwanae aone ule uchafu hivyo akamzuia na kumrudisha ndani kisha akaamua kwenda yeye, alishangaa sana kuona Verity anajitahidi kubana miguu yake huku Gwakisa nae akijitahidi kuipanua ili aingize uume wake….
Sehemu Ya 58
Sam alimnyanyua Gwakisa kwa kukamata shingo yake na kumgeuzia upande wake, Bila kuchelewa alimpa ngumi nzito iliyotua usawa wa pua na paji la uso.
Gwakisa alipepesuka kisha Sam akamuachia lakini alipotaka kumvaa Sam suruali yake iliyokuwa usawa wa magoti ikamzuia hivyo ikawa ni nafasi nyingine kwa Sam kumvuta na kumpiga kichwa kizito kilichomfanya arudi kinyume nyume ambapo kabla hajafika kwenye kochi ili aliangukie alikutana na kebo ya umeme iliyotua kisogoni kutoka kwa Verity na hapo hapo akazima.
……………………………………………..
Glory alitembea kichwa chini akiwaza mkosi ambao unataka kumfikia katika hatua zake za mwisho kumaliza chuo, alitembea taratibu hata mbele alikuwa hana umakini napo.
“Dada vipi mbona umemiliki njia?”
“Oh samahani Kaka yangu niko mbali kimawazo”
“Haaa Kumbe Glory, Vipi mawazo gani tena rafiki yangu”
“Ah kawaida tu Kaka Charles, mambo mengi”
“Alafu nimeona jina lako Notes board unaitwa kule economics, Kuna nini?”
“Dah yani hicho ndio kinanipa mawazo saivi”
“Twende tukae hapo kantini unielezee vizuri”
Kwakuwa Glory alikuwa anahitaji ushauri ilibidi amfuate Charles ambaye wamekuwa marafiki na mara nyingi walikuwa wakisoma pamoja.
Walisogea kando kidogo kisha wakaketi na kuagiza juisi kisha wakaanzisha mazungumzo yao, Glory alimueleza Charles kila kitu kilichotokea na mpaka alipoitwa na Yule Mhadhiri na yote aliyoambiwa.
“Kama ni yu kwakweli nashindwa hata kumhisi vibaya kwasababu mhadhiri Yule sio kama hawa wengine ambao ningeweza nikasema huenda kuna kitu”
“Unamaanisha nini CHARLE?”
“Namaanisha kuwa wangekuwa hawa wahadhiri wengine wenye kashfa za kutoka na wanafunzi ningesema huenda kuna kitu anataka kwako lakini Yule nashindwa kabisa kumpa kashfa hiyo.”
Baada ya maelezo hayo kutoka kwa Charles Glory aliinamisha kichwa kidogo akiwaza mazingira aliyokutana nayo kutoka kwa Yule Doctor na jinsi alivyomuomba namba ya simu.
“Vipi mbona una mawazo tena?”
“Lakini Charles unajua doctor kaniomba namba ya simu?”
“Haaa Kweli?”
“Ndio”
“Mh basi hakuna mwema rafiki yangu, inawezekana nae ni wale wale”
“Sitaki kuamini hivyo, sitaki kabisa na naomba Mungu anisaidie kwakweli maana mambo hayo namimi tofauti kabisa, siyawezi na siyataki”
“Unajua Glory”
“Enheee”
“Wewe ni msichana mrembo sana, hakuna mwanaume yeyote hapa chuoni hakutaki na hatamani kuwa na wewe, hata mkuu wa chuo nina uhakika lazima anakupenda anajizuia tu”
“Wewe Charles wewe, acha kumsingizia mzee wa watu, kwahiyo hata wewe umo si ndio?”
“Ni vile tu Glory wewe na mimi ni kama mbingu na ardhi, sina hadhi yako lakini endapo ningeweza hakika nisingekuwa na kingine cha kuhitaji hapa duniani, ila sikuwezi!”
“Haaaa Charles, sitaki kuamini kuwa na wewe uko hivyo”
Charles hakusubiri zaidi ya hapo ila alinyanyuka na kuchukua Begi lake kisha kwa macho yaliyokuwa yanalengwa na machozi akamuangalia Glory na kumwambia.
“Kwaheri Glory ila kaa ukijua kuwa wewe ni kama tone la maji jangwani, kila mtu analitaka apone kiu yake. Nakupenda sana ila sitaweza ushindani!”
“we Charles subiri kwanza!”
Charles huku akiwa na macho yenye machozi kwa mbali alisimama akageuka upande aliopo Glory!
“Kuna sehemu Dr Kanji anataka tuonane leo, naomba unisindikize simuamini kabisa Yule mwanaume”
“Ila naogopa Glory, endapo akiniona nawewe atanichukia sana, anaweza akanifanyia kama wewe alafu mimi ni mwanamme sio mwanamke nitajinasuaje?”
“Usijali, hatakuona ila wewe utamuona, naomba unisindikize hakuna mtu mwingine ninayemuamini isipokuwa wewe”
“Sawa utanipigia simu”
Ni kweli kwamba Glory alikuwa hamuamini mtu mwingine pale chuoni kwao kwani wengi walikuwa na kinyongo nae kwasababau walikuwa wanamuonea wivu, sio hivyo tu wengi wao pia walikuwa wamemtongoza na kukataliwa hivyo kumjengea chuki.
Kuna wakati hata alivyokuwa anafaulu sana walianza kumzushia kuwa anatembea na wahadhiri ndio maana wanampa maksi kubwa lakini uvumi huo ukafa kwani uwezo wa Glory ulionekana hata kwenye midahalo na semina mbalimbali ambapo uwezo wake wa kujenga hoja ulikuwa na tofauti kubwa kwa kulinganishwa na wenzake.
Mara baada tu ya Kuachana na Charles simu yake iliita akaitoa kwenye wallet yake na kukutana na namba ya dr Kanji ikimpigia.
“Hellow Doctor”
“Hellow Glory”
“Nakusikia Doctor”
“Nakusikia pia, nimekupigia kukujulisha kwamba nimefunga ofisi kwa ajili ya kujiandaa kuonana na wewe”
“Heee” Glory alijibu kwa mshangao!
“Mbona umeshangaa Glory?”
“Kwani kuonana na mimi mpaka ujiandae?”
“Ndio Gory, wewe ni wa tofauti”
“Sasa kama ni hivyo naomba tuahirishe Doctor, nahisi hofu moyoni mwangu”
“Usiwe na Hofu, huna haja ya kuogopa”
“Sawa doctor ila sitachelewa kwasababu Kaka yangu ananihitaji nyumbani”
“Usiwe na wasiwasi”
……………………………………………
Akili ya Rafiki ilikuwa imechafukwa vibaya, alichokuwa anawaza yeye ni namna ya kumtoa mtoto NICE kwenye macho yake nay a watu wengine.
Alijikuta akikosa amani juu ya uwepo wa Yule mtoto, aliona amekuwa kikwazo kwenye furaha yake. Kabla hajawaza sana akamkumbuka mme wake kuwa toka asubuhi hawajaonana, aliamua kuchukua simu yake na kumpigia.
Alipiga mara ya kwanza ikaita bila kupokelewa mpaka ikakatika, akaamua kujaribu tena ndipo ikapokelewa.
Jisni Sam alivyopokea simu ni kama alikuwa anahema kwa kasi kiasi cha kumuogopesha Rafiki,
“Vipi mme wangu unakimbizwa nini?”
Kabla Rafiki hajajibiwa kuna sauti aliiikia ikitokea upande wa pili alipokuwa anaongea mme wake. Sauti ile alikuwa anaifahamu na ilikuwa inafanana nay a Mdogo wake Verity.
Mapigo yake ya moyo yalikita haraka haraka huku vitu kadhaa vikipita kwenye akili yake ila akajitahidi kuficha hisia zake.
“Vipi nimesikia sauti ya Mdogo wangu hapo nipe nimsalimie”
“Sasa nitampaje wakati hujaniambia ulichonipigia”
“WEWE mpe tu kwanza”
Verity alipewa simu akaongea na dada yake ambaye alionyesha kuchangamka tu viuri mpaka walipoagana na kumkabidhi Sam aongee na mkewe.
“Kumbe umeenda Kwake si ungeniambia na mimi twende wote jamani”
“Ilikuwa ghafla tu mke wangu?”
“Ghafla kivipi tena?”
“Nilikutana nae njiani nikaamua kumpa lifti ila nakuja nyumbani saivi”
“sawa”
Rafiki alikata simu ila hasira ndani ya moyo wake ilizidi mara dufu, aliamini kuwa ujio wa Mtoto Nice ndio unazidi kuvuruga kila kitu, alijua kuwa mtoto hhuyo ndie anawaunganisha tena Sam na Verity.
Hofu yake ilizidi kuongezeka kwa jinsi ambavyo verity amezidi kupendeza lakini pia akiwa ni muathirika, itakuwaje endapo Sam akirudiana nae si watakuwa kwenye hatari.
“Huyu mtoto sina budi kumuondoa” alipigia msumari wazo lake.
Dakika zilizidi kuyoyoma na Gwakisa bado hakuamka. Hofu iliwajaa Sam na Verity wakihisi huenda wameua.
“wala hajafa” sam alisema hivyo baada ya kumpima kwa utaalamu aliokuwa nao na kugundua kuwa Gwakisa alikuwa amezimia tu.
“Nisaidie tumuingize kwenye gari langu”
“Unataka umfanyeje?”
“Wewe usiwe na hofu”
Verity na Sam walimbeba Gwakisa mpaka kwenye gari lake kisha akaondoka nae…..
Ndani ya gari Sam alishusha vioo vya gari ili kuruhusu upepo kuingia ndani kwa wingi, hili alilifanya akiamini kuwa kuruhusu upepo kumpuliza Gwakisa kwa wingi anaweza akaamka na kweli ikawa hivyo.
Walipokaribia nyumbani kwa Gwakisa akamshusha huku Gwakisa akionekana kama mtu aliyetoka usingizini kwani alikuwa anajaribu kuvuta kumbukumbu ya kitu gani kilichotokea.
Taratibu akiwa anaelekea kuingia ndani kwake huku Sam akiwa ameshaondoka tayari alikuwa anaanza kukumbuka taratibu kidogo kidogo hadi pale alipokumbuka tukio zima,
Hasira ilimrudia tena hadi akang’ata meno yake mwenyewe.
“Sam safari hii tutapambana na sitokuacha” Gwakisa alijisemea kimoyo moyo.
Kilichokuwa kinamuuma Gwakisa sana kuhusu Sam ni jinsi ambavyo amekuwa akimuingilia kwenye mambo yake. Aliakumbuka jinsi Sam alivyompa mimba Verity na kisha kubambikiwa yeye, alikumbuka pia jinsi alivyoamua kujipoza kwa Nisha na kisha Sam kuja kumpokonya tena.
Kwa akili ya Gwakisa aliamini pia kuwa Verity aliamua kumuacha kwasababu ya Sam na ndio maana baada ya kuachana Verity na Sam wanakuwa karibu sana.
Kuanzia siku hiyo Gwakisa alikuwa anajipanga jinsi gani ya kupambana na Sam ili ammalize.
…………………………
Glory alikuwa ndani ya Gari na Rafiki yake aliyeitwa Charles wanaelekea kwenye appointment na Mwalimu wake wa chuoni anayetambulika kama Doctor Kanji.
Gari ile aliazima kwa kaka yake kama ambavyo amezoea siku zote kuazima gari hiyo na kuendea chuo ama kwenye mitoko yake mingine.
Siku hiyo pia alikuwa nayo yeye na ndani ya Gari yupo Charles, makubaliano yo ilikuwa kwamba watakapofika sehemu waliyokubaliana Charles atashuka na kukaa kando akimsubiria Glory mpaka amalizane na doctor wake.
Glory alipofika tu na kuegesha gari ili washuke alimuona Kanji akija usawa wa gari lake kumaanisha kuwa alishafika hapo mda mrefu.
“Jifiche Charles, Kanji huyo anakuja”
“Yuko wapi?”
Wakati Charles anaulizia alipo Kanji tayari doctor huyo alikuwa ameshafika ikabidi Glory azime taa haraka ya ndani ili Charles asionekane. Hii yote ni ili kutengeneza mazingira ambayo Dr Kanji hatajua kuwa Glory amekuja na mwanaume mwingine.
Baada ya Glory kufungua mlango alitoka na kushikwa mkono na Dr Kanji kisha wakaelekea sehemu ambayo Kanji alishaiandaa kwamba watakaa.
Kanji alivuta kiti na kumsogezea Glory kisha akamshika mabegani na kumkalisha kwenye kiti, Glory alikuwa anajisikia kero kwa kila ambalo Dr Kanji alikuwa anamfanyia kwani hakupenda ile hali.
Baada ya kukaa vizuri kwenye kiti mhudumu alikuja na kusimama mbele ya Glory na kumuulizia ahudumiwe nini.
“Naomba maji makubwa”
“No Glory please”
“Kwanini Dr?”
“Utakunywaje maji kajika mazingira kama haya?”
“Siku nyingine nitakunywa kitu kingine lakini kwa leo naomba maji tu”
Dr Kanji alimuita Yule mhudumu na kumnongo’oneza jambo kisha akamuachia na kisha Yule muhudumu akaondoka zake.
Baada ya kama dakika tatu Yule muhudumu alirudi na chupa kubwa yenye mvinyo kisha akaweka pale mezani na kuwamiminia wote wawili.
Wakati anamaliza kumimina alikuja mhudumu mwingine wa jikoni akiwa na sinia lenye vipande vingi vya kuku wa kubanikwa kisha akaweka pale, kwenye sinia kulikuwa na kila aina ya vikorokoro ambavyo hutumika kulia chakula kwenye mahoteli makubwa.
Walinawishwa mikono na kuanza kula huku glory akiwa anakula kwa aibu aibu. Baada ya muda kidogo tu alitangaza kushiba na kunawa mikono kisha akajifuta na tishu na kusogea pembeni.
Sehemu Ya 59
Dr kanji nae aliendelea kula taratibu hadi aliposhiba nae akaacha, aliongeza mvinyo kwenye glasi yake na ile ya Glory ambaye alilalamika kuwa hataki kuongezewa zaidi ya pale lakini Dr Kanji aliendelea kumimina hadi glasi ilipojaa.
“Samahani Dr ”
“Bila samahani”
“Naomba tuongee yale mambo ili niwahi kurudi nyumbani”
“Sawa Glory”
Dr Kanji alikata funda mbili za mvinyo glasi ikawa nyeupe akamimina nyingine na kunywa kidogo kisha akawa anamtazama glory kwa macho ya upole yenye hisia kali.
Dr Kanji kwa sauti ya upole iliyojaa utulivu alianza kwa kumsimulia Glory historia ya maisha yake tangu anazaliwa hadi pale alipofikia.
Ilikuwa ni historia nzito inayovutia sana ambayo ilimfanya Glory amsikilize kwa hisia kali sana, akili ya Glory haikuwaza tena kuhusu kuondoka kwani hisia zake zilitekwa na kile alichokuwa anakisikia kutoka kwa Dr Kanji.
Katika umri wa miaka 34 aliyokuwa nayo Dr Kanji tayari alikuwa na PHD huku akimiliki kampuni yake ya uagizaji wa Bidhaa za magari kutoka Ng’ambo.
Kikubwa kilichomteka Glory ni historia nzima ya dr Kanji tangu utoto, alivyonusurika kwenye ndege iliyoua Watu wote na kubaki yeye peke yake huku zaidi ya watu mia tatu na sitini wakiteketea wote.
Alimsimulia kuwa ndani ya ndege alikuwepo mtoto mwenzie ambaye mama yake alimtaka amuoe lakini nae alikufa kwenye hiyo ndege.
Aliendelea kusimulia kuwa kutokana na hali hiyo alijikuta akikosa hamu ya kuwa na mwanamke mwingine na alijiapia kuwa hatakuwa na mwanamke yeyote maishani mwake isipokuwa tangu alipoanza kazi pale chuoni na kumuona Glory alijikuta akipingana na adhma yake ya siku zote.
“Kwanini sasa ukatae msimamo wako wa siku zote”
“Glory unafanana sana na Yule msichana, japo alikuwa bado ni mtoto lakini kila nikikuangalia natamani hata kulia, nimekuwa nikipingana na hizo hisia huu ni mwaka wa pili sasa lakini nimeshindwa.”
“Mhhh” glory alivuta pumzi!
Hapo hapo Dr Kanji alitoa waleti yake na kumuonyesha Glory picha ndogo ya msichana mrembo kisha akamwambia.
“Ndio huyo hapo enzi hizo tukiwa tunaelekea kupanda ndege”
Baada ya Glory kuangalia ile picha yeye mwenyewe alibaki mdomo wazi maana msichana anayeonekana kwenye ile picha anafanana nae kopi, alizikumbuka nayeye picha zake za utoto jinsi ambavyo akiwa mtoto alikuwa anafanana kabisa na Yule aliyeonyeshwa kwenye ile picha.
Taratibuu Glory aliinua macho yake na kumtazama Dr Kanji ambaye alikuwa analengwa na machozi kisha akaishia kuvuta pumzi ndefu na kurudisha tena macho yake kwenye ile picha.
“Glory kila ninapokuona nahisi roho ya Yule msichana imefufuka, nahisi mama yangu angekuwa hai angesema neno alilolisema wakati ule”
“Dr nadhani ni hisia tu”
“Ni kweli Glory, sikupingi kwani hata mimi nilidhani ni hisia tu ambazo hata hivyo niimejitahidi kuzipinga kwa mwaka wa pili sasa lakini nimeshindwa, Glory kila ninachokifanya na kukiwaza najawa na hisia nyingi sana kuhusu wewe!”
“Hisia gani Dr?”
“Nataka kujua kitu kimoja kutoka kwako Glory”
“Kitu gani Dr?”
“Hisia hizo ni kwamba wewe hujawahi kuwa na mwanaume yeyote maishani mwako yaani wewe ni Bikra, kama sio Bikra basi hisia zangu zimenidanganya na kila ninachokiota kuhusu wewe basi nimekosea na nitasema ninayemuota sio wewe, ila kama wewe ni Bikra, hujawahi kuwa na mwanaume basi hisia hizi ni zako, ndoto na maono ninayoyapata nasi ni ya kwako ”
“Heee Dr ndio nini tena?”
“Please Glory kama ni wewe sema leo na kama sio wewe pia sema nijue”
…………………………………..
Sherehe kubwa ilikuwa imeandaliwa Nyumbani kwa RPC Mndeme ambaye alikuwa anastaafu huku Sam nae akiwa ametoka kuapishwa kwa ajili ya kuwa RPC mpya wa mkoa wa Tabora.
Lakini Pia sherehe hii ilihusu shukrani ya kumpata mtoto NICE baada ya kupotea kwa siku nyingi. Watu walikula na kunywa sana, mziki shampein kukata keki na kulishana kulipamba kwa kiwango kikubwa sherehe hii.
Kubwa ambalo Sam lilimshtua na hakulitegemea ni uwepo wa Gwakisa pale kwenye ile shughuli wakati hakualikwa. Lakini pia Gwakisa alionekana kuwa mchangamfu mno kwa Sam kitu kilichomfanya Sam ahisi kuwa huenda kuna jambo limepangwa.
Kwakuwa Sam alisomea ushushushu jambo hilo alilielewa vizuri na wakati wote alikuwa mtu wa kuchukua tahadhari.
Glory nae kwa upande wake alikuwa amependeza mno ndani ya vazi maridadi huku pembeni yake akiwa na Rafiki yake Charles ambapo kila aliyewaona alihisi kuwa ni wapenzi na hata kaka yake Sam alimtania mara kwa mara na kumuuliza kwanini hamtambulishi shemeji yake.
Dakika zilisogea sana na hatimaye muda wa kwenda kulala ukawa umewadia ambapo Sam na wageni wake wengine walikuwa wamepanga kulala hotelini huku wakiwa wamechukua Vyumba vya kutosha.
Wakati gari ya Sam inaelekea iliko hoteli ilipita kwenye Daraja moja ambalo lilikuwa na Kiza kutokana na kutokuwepo na nyumba jirani.
Hapohapo gari aina ya coaster iliziba njia almanusra watumbukie ndani ya daraja baada ya kupiga breki kali zilizoifanya gari ipoteze muelekea.
Wanaume wawili wenye bastola wakiwa wameficha sura zao walitoka kwenye kichaka kidogo pembeni ya daraja na kuamuru watu washuke kwenye gari!
Tangu alipoapishwa na kutangazwa rasmi kuwa RPC wa mkoa wa Tabora, Sam alipewa gari mpya na walinzi binafsi. Kutokana na hali hiyo hakupanda tena gari yake kwa siku ile isipokuwa alimuachia mdogo wake Glory ambaye alikuwa ameambatana na Charles na watu wengine ambao waliomba lifti.
Kwakuwa sherehe hii ilikuwa inafanyika Dar es Salaam sehemu ambayo Glory alikuwa hajazoea kuendesha gari askari mmoja ndie alikabiidhiwa gari ile awaendeshe.
Watu waliokuwa na nia mbaya na Sam walikuwa wamemvizia njiani ili wamuue na ndio maana walipoona gari lake wakajua yuko humo wakalizuia kwa kuingiza Coaster barabarani lakini kwa bahati mbaya walioshuka kwenye ile gari Sam hakuwepo.
Baada ya kugundua kuwa kwenye ile gari hakuwepo Sam wale watu walikasirika sana na kuamua kuipasua ile gari tairi na kisha kuondoka zao.
Huku wakiwa hawaamini kuwa wamepona Glory alimpigia kaka yake simu ambaye alifika pale na maaskari kisha wakairekebisha ile gari na kuriporti tukio kwenye mamlaka zinazohusika kisha wakaondoka zao. Kwenye moyo wa Sam aliamini kile ambacho alikihisi kuhusu Gwakisa.
Ndani ya hoteli Charles na Glory walikuwa wamelala kila mtu chumba chake huku wanachat kwenye simu lakini ishu kubwa ilikuwa ni tukio lililotokea mda mfupi uliopita. Walichat masaa yakawa yanazidi kwenda mpaka ikatiimia saa nane usiku ambapo kila mtu alilala hadi kesho yake ambapo waliamka wakiwa wachovu lakini baaada ya kuoga na kupata kifungua kinywa walichangamka.
Walitembea maeneo ya jiji la Dar es salaam wakijinunulia baadhi ya vitu walivyopendezewa navyo kisha ilipofika kwenye saa kumi alasiri wakawa wapo hotelini walikofikia na kisha kujipumzisha kila mtu chumbani kwake.
Siku hii walikuwa peke yao kwani kaka yake (Sam) namoja na mkewe tayari walikuwa wameshasafiri kuelekea Tabora ambapo ndipo kilikuwa kituo kipya cha kazi cha Sam akiwa kama RPC.
Siku hii sio Charles tu lakini hata Glory alitamani kuwa karibu na mwenzake, uhuru waliokuwa nao uliwapa hamasa kubwa ya kufanya mambo makubwa.
Hatimaye Charles alikuwa chumbani kwa Glory amekaa wanatazama movie kwenye laptop, ilifika hatua wakawa wamesogeleana sana na kila mmoja kuhisi joto la mwenzake. Charles alikuwa anakifahamu kile ambacho kinaendelea na alifanya makusudi wakati mwingine kujisogeza zaidi.
Hofu ilikuwa imejaa kwenye moyo wa Glory akiwa hajiamini na zile hisia ambazo anakuwa nazo mbele ya Charles kwa muda ule, ndani ya akili yake aliamini kuwa hakuna urafiki wa kawaida kati ya mwanamke na mwanaume ambao sio ndugu, ukaribu wake na Charles umefikia hatua sasa unataka kuleta mambo mengine.
Kwa hofu ya kutokea kitu ambacho kilikuwa kinaanza kujijenga aliamka akidai anaelekea msalani, aliposimama tu Charles nae akasimama na kumshikilia kwa nyuma kisha akaanza kumpapasa.
“Charlesssss noooo!”
Pamoja na glory kusema hivyo lakini hakuondoka kwenye mikono ya Charles zaidi alikuwa anapumua kwa shida tu, Charles nae alizidisha uchokozi huku Glory akiwa sasa ameshafumba macho na kuzidiwa na kile anachofanyiwa.
Nguo zilikuwa zinadondoka moja moja na hatimaye Charles alikuwa anafanya kwa kutimiza lengo kabisa baaada ya kuona mdomo wake umepokelewa vyema na glory na sasa wanabadilishana ndimi na mate yake.
Utundu aliokuwa anafanyiwa Glory ilifika hatua akaichanua miguu yake mmoja kule na mwingine kule ili apokee mkong’oto lakini kabla Charles hajachomeka kuni jikoni kuna kitu Glory alikuwa amekumbuka kisha hapohapo akanyanyuka na kujifunga taulo kisha akaingia bafuni kujimwagia maji.
Alivyotoka alimkuta hakumkuta Charles pale chumbani akajua ameondoka zake, alivaa vizuri na kumfwata kule chumbani kwake ambapo alimkuta amelala kitandani kwa kulalia Tumbo.
“Charles am sorry”
“Usijali Glory najua mimi sio saizi yako”
“Kwanini useme hivyo Charles, labda hujui tu lakini mimi sijawahi kufanya hayo mambo tangu nizaliwe, naogopa sana, tafadhali naomba unipe muda kisha nitakuwa tayari kwa hilo, nakuahidi wewe ndie utakuwa wakwanza”
Charles hakuamini kile alichosikia kwa msichana mzuri na wa umri kama ule alio nao Glory, lakini baada ya kuambiwa yeye ndie atakuwa wa kwanza alifurahi sana kwani tangu alipomwambia anampenda hakuwahi kujibiwa lakini kwa maneno aliyopewa leo aliamini kuwa rasmi sasa Glory ni mali yake. Kwa furaha aliyokuwa nayo aliamka na kumkumbatia Glory kisha akamtazama kwa hisia machoni na kummwagia mabusu mfululizo yaliyoambatana na kumnyonya mdomo kisha wakaachiana.
………………………………………
Ndani ya mkoa wa Tabora kamanda Sam anakutana na mauaji ya vikongwe waliotuhumiwa ushirikina pamoja na changamoto ya mauaji ya Albino. Mambo haya yote Sam alipambana nayo kwa nguvu kubwa kitendo kilichomfanya aonekane ni moja kati ya makamanda wenye uwezo mkubwa sana.
Sehemu Ya 60
Hata ule ujambazi nao ulipungua sana huku amani ndani ya mkoa huu ikiimarika mara dufu, askari waliokuwa chiini yake wakiwemo na makamanda wa wilaya walimpenda sana Bosi wao ambaye bado alikuwa kijana lakini pia walimuogopa kwani aliikuwa ni mtu asiyependa uzembe.
Siku moja alipata ujumbe kwenye simu yake ulioonyesha kuwa kwenye akaunti yake kiasi kiikubwa cha fedha kimeingia hadi akashtuka kwani zilikuwa fedha nyingi mno.
Kwa hofu ya kuchunguzwa kwanini anamiliki fedha nyingi sana kiasi kile aliamua kuzihamishia kwenye akaunti ya Glory kidogo kidogo hadi Glory mwenyewe akamuhisi kaka yake kuwa huenda kuna biashara haramu anafanya.
Kwa fedha ambazo alikuwa anaingiza na kuziweka kwenye Akaunti ya Glory alimruhusu mdogo wake kufanya mradi wowote ambao angeona unafaa. Glory alikubaliana na kaka yake lakini alimsihi kuwa asuburi kidogo amalizie masomo yake huku akiendelea kutafakari ninini cha kufanya.
Siku zilizidi kwenda ambapo Sam alianza kuchoka kutumikia mabwana wawili yaani serikali pamoja na washirika wengine ambao walikuwa wanafanya biashara haram.
Kuna wakati alikuwa anaombwa kutoa ulinzi kwa washirika wake lakini badala yake aliwachoma na kuwakamatisha kwa askari wengine.
Hali iliendelea kuwa hivyo kwa muda mrefu ikabidi wale jamaa zake waghairishe kuutumia mkoa wa tabora kwenye mambo yao.
………………………………
Kutokana na vituko vya Gwakisa Verity aliamua kuhamia Dar es salaam kwani hata hivyo aliona ni sehemu ambayo itamfanya aendeleze miradi yake kwakuwa mtaji wake pia ulikuwa umekua sana.
Kitendo cha kuhama kilimfanya Gwakisa azidishe chuki kwa Sam akiamini yeye ndie amemshawishi japo ukweli haukuwa hivyo.
Kuhama kwa Verity kunamfanya Rafiki nae aanze taratibu za kuhamia Dar es Salaam kwani aliamini ni sehemu rahisi kwaa yeye kukutana na mme wake ambaye mara kwa mara alikuwa anaenda Dar es Salaam kikazi huku Mbeya kukionekena kuwa mbali zaidi.
Baada ya muda kidogo alifanikiwa kuhamia kweli Dar es Salaam akawa anakaa Mtoni Kijichi karibu kabisa na ufukweni ambapo Sam aliikuwa amenunua nyumba ya kisasa sana maeneo hayo.
Verity alikuwa amepanua sana biashara zake na kuanzisha mradi mwingine wa kuuza asali ambayo alikuwa anaichukulia mikoa ya Tabora, Shinyanga na Singida.
Safari zake za mara kwa mara kwenye mkoa wa Tabora zinamkutanisha tena na Sam ambapo mara nyingi akiwa huko anakuwa na Sam baada ya kumaliza mizunguko yake ambapo hukaa maeneo ya starehe hadi usiku wa manane na kisha kila mtu kwenda kulala kivyake.
Siku moja ambayo ilikuwa ni usiku wa saa tisa kasoro Sam akiwa ametoka club na Verity alimpeleka kwenye hoteli ambayo huwa analala anapokuwa Tabora kwenye biashara zake.
Baada ya kumuacha Verity pale hotelini aliondoka akiwa na mlinzi wake mmoja ambaye ndie alikuwa dereva wake pia mpaka alipofika nyumbani na kisha kumruhusu Yule dereva akalale na Gari lile kama kutakuwa na lolote atampigia simu.
Yule mlinzi aligeuza gari lakini kabla hajaondoka maeneo yale gari ilipigwa mkono na kuamua kuisimamisha,
Sam akiwa hajaingia ndani alisikia makelele akaamua kutoka lakini alipotoa mwili wake na kukuta dereva wake akichezea kipigo alihisi kitu cha moto kikipita kwenye upande wa kushoto wa kifuani na kingine katikati ya tumbo hapo hapo akaanguka chini.
Alipoangalia vizuri mbele akakuta mtu amemnyooshea bunduki akiwa amelala palepale chini lakini hakumtambua Yule mtu ni nani kwani uso wake ulikuwa umezibwa kwa maski.
Yule dereva alishtuka baada ya wale watu kupotea na kumuacha bosi wake akitokwa damu nyingi, hapo hapo alipiga simu polisi ambapo gari za Polisi zilikuja haraka na kumbebeba RPC sam hadi hospitali huku akiwa hana dalili ya uhai.
Kwa mbali taswira ya Sam ilikuwa inakusanya kumbukumbu za maisha yake ya nyuma lakini katika yote aliyokumbuka ni Siku Mama yake Aliposhikwa Tako mbele yake na hapo akaamua kutafuta maisha mazuri ili amuokoe mama yake kutoka kwenye kazi za kiuzalilishaji.
Ni wakati huu pia alikuwa anamuona mama yake amevaa mavazi mweupe peer na ya kung’aa anataka kumpokea lakini kwa onyo kuwa “tubu kwanza dhambi zako ndio uje huku nilipo”
Neno la mwisho ambalo madaktari walimsikia Sam akilisema ni “Mungu wangu naomba unipokee” na baada ya kusema hivyo akaaga dunia.
Asanteni sana wote mliokuwa nami kwenye simulizi hii mpaka hapa ilipofikia…. Kama unataka kujua ni kitu gani kilitokea baada ya RPC SAM kufariki ungana nami katika Season Nyingine inayofwata kwa Jina la “MY DAD’S EMPIRE”
MWISHO

