CHUCHU KONZI
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 1
Bwana Kombola alikuwa na mke lakini bado hakujaaliwa kupata watoto,hakukuwa na mtu mwenye tatizo kati yao ila wakati wao wa kabarikiwa ulikuwa haujafika,walishatumikia ndoa yao kwa muda wa miaka mitatu pamoja.Yapo waliyopishana lakini walivumiliana kwani kila mmoja aliridhia suala la kuwa na mwenzake.
Bwana Kombola alikuwa ni mhangaikaji sana katika suala la kutafuta pesa,alipambana na maisha mpaka akawa na Nyumba yake nzuri,Gari pia alimiliki Kampuni kubwa inayohusika na masuala na kutengeneza Mbolea na kusambaza mikoa mbalimbali,yeye ndio alikuwa mmiliki mkuu huku Abasi akiwa mmiliki msaidizi
Mwanzoni waliishi wawili tu ndani ya nyumba,yeye na mkewe,lakini suala la kushinda nyumbani,kupika na kupakuwa mwisho kupakuliwa lilimkera sana mkewe aliyejulikana akwa jina la Amadea.Kombola alimfungulia duka kubwa la vipodozi kama alivyohitaji mwenyewe mkewe,hapo kukawa na usawa,baba akiondoka asubuhi kazini naye mama baadaye anafuata kwenda kwenye shughuli zake
Kukawa na pengo nyumbani,mtu wa kuwasaidia kazi kwani Amadea alianza kulalamika kuwa kazi zinamchosha,atoke dukani aje nyumbani acute kazi,kufua nguo za mumewe,bado kufanya usafi nyumba nzima,hivyo ikabidi atafutwe binti wa kazi ambaye atawasaidia kazi za hapo ndani.
Judith hakutaka kuchukua mfanyakazi ili mradi tu,hivyo aliwasiliana na rafiki yake ambaye naye alikuwa ameshapata mfanyakazi,huyo rafiki yake ndiye aliyemmwambia kuwa asipate wasiwasi,atamletea wafanyakazi watano yeye achague,tena waliokwenda shule na kukalishwa darasani kufundishwa namna ya kutumikia nyumba kubwa kama ya Kombola.
Kweli siku hiyo rafiki yake aliwaleta wasichana watano waliovalia kimjini hasa,yaani sio washamba,watoto walijua kuongea kimombo,kujieleza.Kiukweli wote walimvutia Judith aliyekuwa na kazi ya kuchagua yupi ni yupi.Hatimaye bahati ilimwangukia dada mmoja aliyekuwa anaitwa baby,wale wengine walirudi wakiendelea kutafuta kibarua sehemu nyingine
Sasa huyo baby aliyechaguliwa kuwa mfanyakazi wa humo ndani,jamani kama ni lawama basi Judith alizitafuta hasa.Kwanza mtoto uongeaji wake tu kama anasinzia,kudeka sio kudeka,rangi yake ya weupe uliofifia ilimfanya kuonekana mzuri sana.
Umbo lake nane,yaani shepu ya kokakola,mtoto hakuwa mnene wala mwembamba,saizi ya kati ila alijaaliwa matako makubwa wastani,tena matako yake yalikuwa alaini,akitembea aliacha lawama nyuma kwa waliokuwa wakimtazama.Hapo kati sasa maeneo ya hipsi na kiuno jinsi palivyo,hata kama hukuwa na wazo ukimwona utajua kuwa una nyege.Kwa mbali alikuwa na mwanya uliompendeza hasa,hata kama alinyimwa dimpozi lakini haikupunguza chochote.Huo mguu wa shampeni,ambao kwa mbali tu ulionekana haujazoea kazi ngumu,amini nakuambia ungemuona laivu ungetamani kuoa kumbe ni mfanyakazi tu wa ndani
Sifa kubwa ya mtoto huyu aliyepewa jina la kudeka ‘Baby’ alikuwa na Chuchu nzuri ambapo hata yeye mwenyewe alijijua,mbali na sifa zote alizobarikiwa,hii ndio ilikuwa kiboko,ujuaji wake wa kuwa ana Chuchu nzuri ulimfanya kuzitengenezea mazingira mazuri sana,na aliamini hiyo ndo silaha yake kwa mwanaume yeyote.
Baby alianza kazi rasmi ambapo ilishapita wiki nzima akitumikia ndani ya nyumba hiyo,kukweli kama ndio mgeni unamtembelea bwana kombola usingeweza kujua kuwa Baby ni mfanyakazi kwa jinsi alivyojiweka.Mtoto alikuwa mzuri sana,kwa muda huo wa wiki moja,hakuwahi kukutana na Kombol akutokana na shughuli kumbana.Ila siku aliyokutana naye ilikuwa ni balaa tamu kweli.
Unajua wanawake wakiwa wameachwa huru nyumbani huwa wanajichukulia maamuzi yao wenyewe kwa kujua kuwa waume zao watachukua muda kidogo kurudi safari.Sasa siku hiyo Judithi alikwenda kwa rafiki yake kwasababu kulikuwa na sherehe ya kichenpati.Akiwepo mumewe hajawahi hata siku moja kuthubutu kumwomba ruhusa tu ya kwenda huko.
Majira ya saa moja kamili,Kombola aliwasili nyumbani akiwa amechoka hasa,hakuwa na taarifa ya juu ya ujio wa mfanyakazi mpya,huko aliko mtandao ulikuwa unasumbua,sehemu Fulani ilikuwa kijijini sana walienda kupeleka mbolea.Mwanaume alimkuta Baby akiwa amejilaza sebuleni,hayo mavazi aliyovaa sasa,daah,ilibidi dudu la Kombola lisimame japo alikuwa amechoka
Mtoto alivaa khanga Fulani ambayo ndani yake alikuwa na chupi tu,basi yale makalio yake yalionekana yakitingishika pale alipojitingisha hata kama ni kidogo,mtoto alilala kifudifudi ambapo,
INAENDELEA

