WAPANGAJI WENZANGU
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 16
Alisalimia tajiri huyo huku wakizunguka nyumb, mana akina Swalehe wao wamekabidhiwa huo mjengo na ukiisha wao ndio watalipwa, ila mafundi wengine walisha lipwa na hawa akina swai… Hivyo malipo waliyo walipa wale wengine, watalipwa na huyu boss..
Boss huyo alilizunguka jengo lake na kufurahi kwa ubora wa jengo lake…
“ndio maana nikawapa kazi nyie… Najua ni mafundi wa uhakika…”
“ni kweli boss”
“najua mmezimisi familia zenu…”
Aliongea boss huyo huku akiwa kashika kiuno…
“aahhh sana bosa, karibu miezi mitano kasoro…”
“ahahahahahah.. Sasa sitaki tupige hesabu… Kwa kazi nzuri mlio ifanya… Nyie twendeni benki moja kwa moja, na nitawapeleka mimi mpaka mjini Arusha”
“Ahsante sana boss”
Basi Swalehe na fundi wake walipanda kwenye gari moja kwa moja mpaka benki,… Walishangaa wanakabidhiwa kibegi kidogo sana ambacho kimejaa pesa….
“sasa nadhani niwape lift mpaka mjini”
Aliongea boss huyo kwakua naye anakwenda Arusha hivyo haikua mbaya kuondoka nao,..
Mida ya jioni kama saa 12 hivi ndio walikua wanaingia mjini Arusha,.. Boss huyo aliwaacha mason (mafundi ujenzi) hao sehemu ilioitwa friends corner, mpaka hapo hawajui wamepewa kiasi gani cha pesa…
“sasa skia swai…. Twende nyumbani kwangu tukajipigie hesabu zetu”
Aliongea fundi jafe, huku Swalehe akikubali,. Mana ni fundi wake na hatakiwi kumbishia… Wakati huo inakwenda saa moja usiku..
Walifika nyumbani kwa fundi, mke wa fundi aliwaandalia chai kama kupasha tumbo,. Kisha wakamwaga pesa mezani…
“swai? Hapa hata tukikuta milioni nne, sio mbaya… Mana kula kulala ilikua ni kwake… Hivyo ni safi sana”
“eti eeee…”
Basi walikua wakianza kupiga hesabu, kama unavyojua pesa za benki zilivyo nyooka…
“heeee, milioni saba,…”
Aliongea fundi kama mshangao, kana kwamba tajiri huyo aliifurahia kazi yao hivyo aliwalipa pesa nzuri kuliko walivyo dhani wao…..
“sasa swai, mimi staki kujiweka kwenye swala la kwasababu mimi ni fundi, najua wote tulisimama kama mafundi… Na kuanzia leo wewe sio Saidi fundi… Na hapa tunakwenda sawa kwa sawa… Sina tabia ya kumzulumu mtu….”
“nitashukuru sana broo,.. Yaani nakwenda kuoa broo”
Aliongea Swalehe kitu ambacho kilizidi kumfurahisha fundi jafe, kuskia Swalehe anataka koa na hataki kuchelewa kabisa kwenye swala kama hili
“katika point zote ulizo ongea… Mdogo wangu hapo umeongea point moja nzuri sana”
“ni kweli kaka… Kwasababu kwa jinsi ninavyokwenda hivi.. Nahisi kupata mafanikio, hivyo nahitaji kupata mafanikio nikiwa na mwenzangu”
“kula tano dogo langu.. Nisikucheleweshe… Kula milioni tatu na nusu, na mimi zangu milioni tatu na nusu…. Hii ni faida ya kuka miezi mitano kwa wambulu”
“heheheheh.. Sasa broo.. Mimi sihitaji kuchelewa, kama unavyojua usiku huu”
“ni kweli kabisa… Na hali hii..”
“ni kweli… Hebu kama una dereva bodaboda muite hapa aje anichukue”
Aliongea Swalehe ili toyo ije kumchukua hapo kwa fundi wake… Wakati huo kabeba begi lake la nguo ambapo ndani yake kuna pesa milioni tatu na nusu alizo kwenda kuzifanyia kazi mjini Babati…..
Sasa tukija huku kwa akina Zahra na farida,.. Ugomvi kila siku hauishi mana Zahra anataka kumaliza gesi ya watu, na farida anakataa kwasababu yeye anaishi hapo kisheria,… Na swai hakutoa taarifa kama leo ndio anakuja,… Zahra akiwa anakorogea uji wa ugali hapo hapo ndani kwa Swalehe, na ugali ukiiva anakwenda kula kwao… Farida na dada yake njaa inawarudia pale pale mana walikua wakitegemea chakula cha swai, sasa kimeisha, na wao ndio wamemaliza….. Ila dada yake farida ana malipo kwa swai juu ya kumaliza chakula chake,… Zahra alimaliza kupika kisha akatoka na chakula chake… Yani kupika kwa swai kula kwao…. Na akishamaliza kupika anatoka kisha farida anaingia ili alale zake, na hapo ni saa mbili kasoro usiku….
Swai ndio anaingia kwenye geti akiwa kachoka kweli,… Sasa ile anaingia ndio anakumbuka kua kumbe kuna mtu aliokua akiishi humo ndani kwake,… Na mbaya zaidi kachelewa kutoa taarifa… Swai aligonga mlango mana anajua kuna mtu,.. Farida ndie aliekuwa ndani,. Alikuja kufungua mlango na anajua ni Zahra ndio anakuja kulala… Hivyo kafungua kisha karudi kulala bila kijua nani kagonga….. Basi swai kasukuma mlango na kuingia,… Heee farida kuangalia ni mwanaume ndio anaingia,.. Mmhh alishuka kitandani haraka na alikua kavalia upande wa kanga,…
“Shikamoo”
Farida alisalimia kwa uoga japo hamjui ni nani lakini kwakua swai alikua akiweka begi chini huku akiangalia mazingira ya chumba chake… Ndipo farida akajua huyo ndio Swalehe mwenye hicho chumba
“poa habari yako”
“safi tu”
Wakati huo farida kapiga magoti kabisa, mana ni makosa makubwa ambayo yamefanyika humo ndani, na mengine yamefanywa na Zahra….. Swalehe kuangalia kwenye kitanda, kaona vyupi vyupi….
“Samahani dada, sikueweza kutoa taarifa mapema…. Nadhani wewe ndio nilie ambiwa unalala hapa”
“ndio kaka”
“ok mimi ndio Swalehe.. Ila samahani kwa kuto toa taarifa… Nimerudi sasa”
Farida alianza kulia kisiri siri mana hajui kuanzia hapo atalala wapi, ni bora ya Zahra, yeye shemeji yake alisha ondoka lakini akaendelea kubaki kulala kwa swai.. Sasa farida kazi ni kwake..
“sawa kaka…. Wacha nikabadili nguo ili nije nichukue kila kilicho changu”
“sawa….”
Aliongea farida kisha akachukua gauni lake na kutoka,… Lakini Swalehe akamwambia…
“unaweza ukabadili tu hapa hapa.. Mana mimi nakwenda kuoga… Ili nikirudi kuoga, nikute tayari umesha toa kila kitu”
Aliongea Swalehe lakini sio kwa hasira, japo kaona kuna matumizi ya vitu humo ndani lakini hakutaka kumgombeza mtu… Swalehe alitoka na kwenda bafuni, wakati huo na farida nae alikimbilia kwa dada yake mbio mbio….
“dada?….. Dada?”
“nini wewe farida”
“mwenye nyumba karudi”
“ati nini”
“ndio… Sasa hivi kaenda kuoga na kasema akirudi akute nimeshatoa vitu vyangu”
Aliongea farida huku analia mno…
“mungu wangu.. Kwanini hajatoa taarifa,.. Sasa utalala wapi farida jamani jamani jamani”
“dada… Unawaza kulala… Na vyakula vya watu tulivyo tumia”
“ni kweli farida, lakini…. Ooohhh yes, nimepata wazo”
Semeni au mama abu amepata wazo ambalo huenda likawasaidia,..
“wazo gani dada”
“hebu kaa hapa”
Farida alikaa kwenye kitanda akiwa na kale kale kaupande ka kanga… Sasa Semeni akaanza kumshika mdogo wake paja huku akisema
“farida mdogo wangu…. Samahani kwa nitakalo kwambia…. Wewe ni msichana mzuri, mungu kakupendelea uzuri, umbo na hata heshima pia unayo.. Ni mwanamke mwenye sifa zote… Kiukweli hakuna mwanaume ambaye tashindwa kukutamani wewe… Farida, kwanini usijishaue mbele yake.. Jaribu kujipendekeza,.. Yule ni mtoto wa kiume na hajao bado.. Jikwatue kwatue na ukilala nae mara moja tu.. Umeshapata tiketi ya kulala kwenye kile chumba”
Aliongea Semeni kama vile anamkuadia mdogo wake
“haaaaaaaa dada, hivi ni wewe unaniambia hivyo?… Hapana dada.. Mimi sikulelewa hivyo,.. Kiukweli siwezi”
“farida… Sasa hebu jiulize, tutaishi vipi kwenye hii nyumba… Wacha shemeji yako arudi tumuombe nauli urudi kijijini, mana hakuna jinsi”
“dada, kama nauli ipo, nipo tayari kurudi lakini sio kufanya hio tabia dada, siwezi. Siwezi kabisa dada”
“sawa… Ila Samahani farida, haikua kwa ubaya… Na haya ndio maisha ya mjini,… Usione wasichana wenzako huko kila mtu yupo kwao… Wengine wanaishi kwa wapenzi wao tu”
“dada siwezi… Wacha nikachukue nguo zangu… Nitajibana hapa hapa kwenye kochi”
Aliongea farida na wakati huo alikua analia…
“farida mdogo wangu… Ujue swai hana mke ujue”
“hana mke na Zahra je… Zaru kila siku anamuota tu usiku”
“wala hata sio mpenzi wake.. Walikua wakigombana kila siku humu ndani, mpaka zaru akawa anaanika chupi zake mlangoni kwa swai… We jaribu bahati yako”
“sitaki dada…. Dada, naswali swala zote tano, nawezaje kwenda kumbinukia mwanaume… Dada, sitaki, Sitaki.. Kama ni kufungwa kwa kula vyakula vya watu sawa”
“alafu, hajaona tofauti kweli”
“kaona…. Tena kakasirika sana dada… Mi naogopa hata kurudi”
Sasa huku bafuni, Swalehe ile anatoka tu kakutana na Zahra..
“heeeee swai… Umekuja saa ngapi”
Aliuliza zaru huku swai akiwa na taulo tu…
“muda sio mrefu”
Zahra alimrukia swai na kuanza kumnyonya denda hapo hapo nje ya bafu, sema hakukua na mtu aliekua nje,..
“swai.. Leo lazima nilale kwako”
“na vile nina hamu… We njoo tu”
Aliongea swai mana kama unakumbuka zaru alikoswa koswa kuliwa na swai, kukawa na vikwazo vya hapa na pale…
“ila… Naomba umfukuze yule mwanamke… Hivi kwanza umeona uchafu alio ufanya ndani kwako… Katumia unga, mchele, mafuta na gesi yako katumia…. Na vyote vimeisha, tena alitaka kuvaa na tisheti zako zile mpya”
“unasemaje zaru”
“sasa mimi ndio nakuambia… Afu ni mchafu mpaka basi… We angali michupi yake kaiweka kwenye kitanda pale imechanikaa hajui hata kufua nguo zake… Afu anajamba huyo, kwanza kwsho nataka nikifanyie usafi kile chumba…. Mtoe mtoe.. Hafai, kakuharibia chumba”
Aliongea Zahra huku Swalehe akizidi kukasirika mno
“sasa nisipo mtoa nitalala wapi… Lazima atoke”
“sawa… Swai… Niahidi ni lini utanioa, nahitaji kua na mume, tuyatafute maisha wote,… Swai.. Nitatulia, machepele yangu yote nimeacha… Sasa wewe ni mume wangu…. Niambie, utanioa lini”
Hakika kwa sasa hakuna mwanamke ambaye hataki kuolewa, kila mwanamke kwa sasa anatamani kuolewa naye aishi katika nyumba yake yeye na mume wake, lakini hawawapati wanaume wa kuwaoa na sababu nyingi hupelekea kuto olewa kwa tabia zao,… Mwanaume hua ni mchaguzi sana katika kuoa,… Wewe fikiria mwanaume ni mlevi lakini haikuwahi kutokea kaenda kuoa baa, lazima na yeye atafute mke mwenye kukidhi vigezo ambavyo mlevi huyo anavitaka… Hivyo wanawake mnatakiwa kujionyesha na kuishi katika hali kuolewa…. Usiseme huolewi, acha tabia ulionayo jiweke kiheshima wanaume tukuone kuwa unafaa kuwa mke bora, na sio bora mke
Zahra ni mwanamke alietamani sana kuolewa, mana kachoka kuishi na dada yake, lakini Wahenga walisema ya kwamba USILOLIJUA NI SAWA NA USIKU WA GIZA ikiwa na maana kwamba, wakati Zahra anasumbuliwa na Swalehe ambaye alikua na nia njema kwake,.. Lakini Zahra alimtolea nje Swalehe kwakua alikua na mpenzi wake aitwaye ayub aliohisi kua ni tajiri, kumbe alidanganywa na kutumika kimapenzi, hivyo kwa uongo alio ufanya ayub, Zahra hakutamani kuwa nae tena.. Hivyo kuanzia siku hio akaona yule mwenye nia ya kumuoa ana Afadhali hivyo akaanza kumsumbua Swalehe
“sawa… Swai… Niahidi ni lini utanioa, nahitaji kua na mume, tuyatafute maisha wote,… Swai.. Nitatulia, machepele yangu yote nimeacha… Sasa wewe ni mume wangu…. Niambie, utanioa lini”
Aliongea Zahra huku akiwa kamshika swai kiuno, kana kwamba hata swai kapunguza hasira zidi ya Zahra…
“Usijali, nitakwambia”
Alijibu Swalehe huku Zahra akisema kua
“sawa, nitasubiri tu… Lakini ujue mama ananijua… Please swai, nataka kua mkeo”
Aliongea Zahra na ni mzuri, lakini kwa farida haoni ndani… Sema rangi tu ndio tofauti, lakini hamkuti kwa sura, sio kwa umbo, na hata heshima pia hamkuti,…
“Usijali zaru… Wacha nikapumzike kwanza”
“sawa lakini si umesema leo utalala na mimi”
“ndio lakini nitaangalia uchovu, coz kama nimechoka nitalala tu na wewe bila kufanya chochote”
“sawa… Mimi hata kuja kulala nitakuja, ukitaka kunila we nile tu, ukijiskia kulala utalala tu”
Aliongea Zahra huku wakiondoka hapo bafuni, swai kaingia chumbani kwake, na zaru kaingia chumbani kwao
Sasa huku kwa akina Semeni na mdogo wake farida….
“dada, hivi nikiwa kama mwanamke na heshima zangu, nawezaje kuzungusha kwa mwanaume… Dada.. Mimi siwezi”
Aliongea farida baada ya dada yake kumlazimisha kwenye kujibebisha kwa swai,.. Mana anajua swai ni mtoto wa kiume na hana mke, hivyo lazima adondoshe udenda wa nguvu
“farida mdogo wangu, nakupenda sana na sipendi kukuona ukiwa unafanya hivyo, lakini sasa umekuja mjini kutafuta maisha, kwa bahati mbaya dada yako hali yangu sio nzuri kimaisha,… Sipendi ufanye hivyo.. We jaribu tu”
“dada siwezi, na sitaki kifanya hivyo.. Kama shemeji atanitamani potelea mbali, lakini nitalala hapa hapa kwenye makochi”
“farida?? Ina maana mume wangu akutamani si ndio”
“dada… Sina maana kua nimkubalie”
“sasa skia.. Ukileta mchezo, nitakopa pesa mahali popote… Urudi kijijini.. Najua baba abu ananitesa sana lakini bado nampenda, ni mume wangu tayari”
Aliongea Semeni huku farida akiwa kimya…
“na kama unataka kujaribu… Naskia huyo kijana ugonjwa wake ni kuona nguo za ndani… Skia sasa.. Vaa chupi nyeupe.. Afu vaa huu mtandio mweusi”
Aliongea Semeni lakini farida alikaa kimya tu…
Sasa huku kwa Swalehe, akiwa zake anapaka mafuta baada ya kutoka kuoga,… Alipomaliza ali washa kompyuta yake kisha akaanza kucheza magemu, na hapo anamsubiri huyo msichana aje achukue nguo zake,… Mana hawezi kulala afu akaja kugongewa mlango itakua ni usumbufu, hivyo ni vyema kumsubiri….
Haikupita muda kweli mlango uligongwa,… Swai akanyanyuka na kwenda kufungua,… Alikua ni farida, na kakubali alichokisema dada yake.. Farida alikua kavalia mtandio mweusi na ndani alikua na chupi nyekundu, lakini mkononi kashikilia chupi nyupe,..
“Samahani kaka kwa kukuchelewesha”
Aliongea farida huku akiingia na kukaa katika kitanda
“Usijali, nami nilikua Nakusubiri”
Aliongea Swalehe huku akiendelea kucheza gemu lake,.. Sasa farida hajui hata jinsi ya kumteka mwanaume, yaani hajui aanzie wapi.. Lakini ghafla akaanza kuivua ile nguo nyekundu, kamaliza kuivua kisha akaitupia kitandani.. Swalehe kaona mchupi umetupiwa kitandani… Akajikaza tu kisabuni ili farida asijue hisia zake ziko wapi.. Wakati keshajuzwa na dada yake… Sasa baada ya kuvua ile nyekundu, akavaa ile nyeupe, sasa kama unavyojua manjonjo ya kuvaa chupi yalivyo.. Lazima kuna sauti utazisikia zile za Ta ta ta ta ta… Kama vile anaitengenezea hivi kiunoni mwake.. Basi zile sauti tu Swalehe alianza kuhamasika kimapenzi, mbaya zaidi Swalehe toka alale na mama Mwajuma, hakuwahi kulala na mwanamke yeyote yule… Kwani hata kule Babati alikua hataki kabisa kwenda disko,… Hivyo ana zaidi ya miezi mitano hamjui mwanamke… Baada ya kuvaa akamsogelea Swalehe pale alipo,…
“Samahani kaka.. Naomba hizo chupi zangu hapo”
Aliongea farida, mana hizo nguo zipo kwenye tendegu la kitanda na ni jirani na alipo Swalehe, mana naye kakaa kitandani…
“eeehh”
Swalehe aliguna kidogo huku akimwangalia
“samahani lakini… Ni kwa sababu upo karibu nazo”
“aahh chukua tu mwenyewe”
Aliongea Swalehe kisha akaamka pale ili ampishe achukue nguo zake.. Farida alihisi kufeli, mana alitaka Swalehe ashike zile nguo kwa mikono yake, ili apagawe zaidi.. Lakini swai kalikwepa hilo jambo.. Hivyi farida akazichukua mwenyewe na kuanza kuzipanga kama vile ndio anapangilia mizigo yake aondoke…
Wakati huo Swalehe anaendelea kucheza zake gemu,..
“kaka?”
Aliita farida kisha akapiga magoti chini, na wakati huo kashika nguo moja mara aikunjue mara aikunje, yaani ilimradi kumtia nyeg** Swalehe,
“unapiga magoti ya nini sasa”
“naomba utusamehe mimi nandada yangu… Mimi ndio niliomaliza vyakula vyako… Na ni shida tu… Tunaomba utusamehe…na pia ge”
Aliongea farida na kutaka kuongeza kuwa na pia gesi sio wao waliotumia ila ni Zahra, lakini alipotaka kuongea, Swalehe alimkatiza
“basi basi… Najua ni wewe mana wewe ndio uliokua unaishi humu”
Aliongea Swalehe kana kwamba mpaka sasa swai hajui kua hata Zahra alilala humu kwa muda sana..
“Ahsante sana kaka”
“sawa, we amka tu ujiandae”
Basi swai aliendelea na mambo yake, sasa farida haoni njia ya kufanya,.. Akachukua mabegi yake na kuanza kupanga nguo zake, wakati huo anainama inama mbele ya swai,.. Na swai mwenyewe alikua akiangalia kwa jicho la wizi…
“mmmhhhhh huyu mtoto kavaa mtandio na chupi tu… Mungu wangu”
Sehemu Ya 17
Aliongea Swalehe katika moyo wake, huku akiibia kumuangalia, ni bonge la Toto sio mchezo,… Sasa swai alicheza gemu mpaka akapitiwa na usingizi, mana kachoka na hata kucheza hilo gemu alikua akijilazimisha tu ili farida akusanye vitu vyake… Sasa kacheza mpaka akajiangausha kwenye kitanda na usingizi kumpitia… Wakati huo farida bado anajifanya kukunja nguo zake tena alikua akikunja taaratibu… Sasa farida anaona tu kompyuta inafanya kazi wenyewe na mtu kajilaza… Alipokwenda kumuangalia, duuuu kitaambo sana keshalala… Sasa farida hajui kuzima kompyuta.. Akaenda yu kuchomoa waya kule ukutani vikazimika vyote… Nguo alizokua anakunja kaziacha na kuziweka huko, naye akajibwaga kitandani mana usingizi ulimzidi.. Hivyo hata Swalehe akiamka usiku hawezi kumtoa…. Lakini farida yeye alikua akilala kwa machale, kwani kila wakati alikua akishtuka na kumkuta Swalehe akiwa kalala vile vile miguu chini… Farida alimueka Swalehe vizuri kisha akamfunika na shuka… Sasa mbaya au nzuri zaidi farida akajisogeza jirani na Swalehe, tena kwa matumizi ya shuka moja….
Usiku saa nane dada mtu halali, yupo na mume wake ndani lakini mawazo yake yapo kwa mdogo wake, anampenda sana mdogo wake na hatamani afanye hayo mambo,… Semeni alikua macho nyakati za usiku na anajua tu ni lazima mdogo wake saa hizi anaichezea mashine ya mwanaume huyo, kumbe walaa watu wamelala zao,… Tena Semeni alikua akilia kwa kisiri siri, wakati huo baba abu kalala zake fofofo kwa ulevi, Semeni alitoka nje kwenda kujisaidia, boma lilikua limetulia mno,
“farida mdogo wangu,… Utanisamehe sana… Sipendi uwe na tabia hio… Ni shida tu”
Aliongea Semeni huku akirudi zake ndani baada ya kujisaidia….
Saa kumi na mo kamkili,.. Alamu ya Swalehe inalia.. Hio ni alamu aliokua akiitumia kule babati kwa ajili ya kujiandaa na kazi… Sasa hakuitoa mpaka ikaja kumharibia usingizi akiwa kwake,…. Alikurupuka na kuizima kwa hasira,… Sasa baada ya kuizima alijihisi kulala na mtu.. Tena mbaya zaidi kashikwa kiuno,.. Akakurupuka na kwenda kuwasha taa,
Laaaaaa haulaaaaaa… Farida kajiachia tena ule mtandio umetoka, sasa swai anamuona farida… Sasa hapo farida haijulikani kama alikua macho au kalala kweli, mana hio staili aliolala… Ilikua ni hatari, yaani kalalia gumbo kisha mguu mmoja kaukunja flani hivi, sasa na hio chupi na hilo umbo, Swalehe alishika tu nanii yake mana ilikua inauma kwa kusimama.. Swalehe aliangalia waya wa kompyuta umetolewa na sio kawaida yake.. Alijua kua alipitiwa na usingizi,.. Akiangalia nguo za farida anaona kaacha kupanga nguo… Alipanda pale kitandani na kutaka kumuamsha… Lakini akaona sio vizuri kumwamsha mtu..
“ina maana huyu dada hana pakulala?…. Ila huenda ni makosa yangu kuja bila taarifa, mana kama ningelitoa taarifa mapema, angepata pa kulala”
Swalehe alijiongelea katika moyo wake kana kwamba labda msichana huyo kakosa pakulala kwasababu hakupewa taarifa mapema kua Swalehe anakuja, hivyo akakosa pakulala… Sasa swai alimuacha alale, lakini kumbe farida yeye hakua kalala wala nini,… Swai akajilaza tena bila shuka,… Farida alifungua macho na kuona Swalehe kajikunyata pembezoni mwa kitanda….
Farida akauchukua ule mtandio wake taaratibu kisha akautupia mvunguni, wakati huo swai hajui kama farida hajalala,… Mara farida kakurupuka vile vile akiwa na chupi,…
“kaka, nipelekea msalani”
Aliongea farida, sasa swai kuamka anamkuta farida yupo na nguo ya ndani pekee….
“mungu wangu.. Hebu vaa nguo bwana.. Kwanza umelalaje kwangu”
Aliongea Swalehe huku akitaka kumfunika farida..
“hapana.. Mi naskia joto, afu mtandio wangu siuoni”
Aliongea farida huku akiruka ruka kwa kubanwa na mkojo… Sasa hio kuruka ruka sasa ndio hatari zaidi.. Hebu vuta picha mwanamke yeyote unayemjua ana umbo zuri afu awe kavaa chupi tu,.. Afu aruke ruke,.. Vuta picha kule nyuma kutakuaje kwa mtikisiko….
“vaa nguo kwanza”
Swalehe alijikuta hasira zinapungua..
“joto mi siwezi.. Twende nipelekea mi naogopa”
Aliongea farida huku Swalehe akiamka kumpeleka lakini sasa farida mbele swai nyuma, na wakati huo bukta ya Swalehe imetuna kwa mbele, kana kwamba uume umemsimama kwa hamu… Sasa makusudi ya farida utayapenda, anatembea kidogo afu anajifanya kama kuna kitu kaona mbele, sasa anarudi nyuma ili tu amguse swai na tako lake, na vile ana chupi tu.. Mbona atabakwa… Sasa ikawa ndio mchezo kwake, anakwenda mbele afu anarudi nyuma, na kila akirudi tako lake linagusa kwenye zakhari ya Swalehe,… Walifika chooni farida kaingia na kukojoa kisha akatoka.. Swalehe nae alihisi haja ndogo.. Akaingia na kukojoa.. Heee saa ngapi farida hajaingia kukuru kukuru mpaka ndani…
“kaka nimeona kama mtu huko nje”
“we dada vipi aisee…”
“samahani, naogopa”
Sasa mkojo wa Swalehe ukakata,… Afu sasa na ule mshangao wa huyo dada kuingia chooni akajikuta hata dudu hajalirudisha kwenye bukta… Saa ngapi farida hajaona… Mpaka farida akaona aibu na kukaa nyuma ya mgongo wa Swalehe huku akiwa kashika kiuno,..
“kaka, mimi stoki… We malizia tutoke wote”
Aliongea farida, lakini swai alikasirika mno, hata mkojo ulikata kabisa yani..
“toka uko”
Aliongea Swalehe tena kwa hasira, huku farida akiwa mbele… Na hapo hata kwenye kifua hakua na kitu, ila kajiwekea mikono ili swai asione chuchu zake… Sasa kwenye kutoka farida alikimbilia ndani, hakutaka kutembea nae… Swai akarudi chooni kumalizia mkojo wake…
Sasa huku ndani, farida kajilaza tako juu,…
“ni mwanaume mzuri,.. Licha ya kutaka kulala kwake kwa shida zangu… Pia nimetokea kumpenda ghafla tu… Hakika asubuhi hii, sifanyi makosa.. Kama ataniona malaya potelea mbali, ila sitaki kuipoteza nafasi ya mwisho”
Aliongea farida huku akiwa kajilaza na wakati huo inakwenda saa kumi na moja na nusu za alfajiri….. Ghafla Swalehe kaingia, duuuuu kakuta farida kajilaza mtindo mbaya,.. Swai anaogopa mana ndio kamkuta tu humo ndani… Sasa swai usingizi tena hana, sasa akawa anaunganisha waya zake tena acheze gemu.. Farida akajua hapa akiwasha tu hio kompyuta, nafasi tena hakuna…. Farida kaamka na kwenda kuchomoa zile waya pale ukutani,
“una nini wewe”
Aliongea swai, sasa swai hakuwahi kuona chuchu za farida, sasa farida akaziachia makusudi… Vitu vumesimama kama mwiba… Sasa Swalehe kabaki kuvishangaa vile vichuchu,… Farida akaamka pale chini kisha akamshika swai kiuno,.. Kumbe farida alianza kulia kisha akamuegemea swai mgongoni… Sasa swai anashangaa maji maji kutiririka kwenye mgongo wake,.. Saa ngapi hajaamka ili ajue nini kinatiririka mgongoni kwake… Ile anageuka tu,.. Swalehe kakutana na mdomo mlainiii,.. Farida hakuchelewa, kamuawahi kumnyonya denda,.. Swai kashikwa na butwaa,… Farida ni mshamba wa mapenzi hajui hata kunyonya denda, Swalehe alishangaa mkono wake unapelekwa kwenye chupi, yaani avue chupi…. Wakati huo Swalehe tayari keshalegea naye anakula denda huku akiwekewa mguu kwenye uume wake kwa utamu wa denda,… Sasa kumbe farida pumzi yake ni ndogo,… Ile anatoa tu mdomo wake, kakajikuta kanazidiwa na pumzi… Sasa akawa anahema na mdomo… Swalehe akambeba mpaka kitandani na kumbwaga…. Hata yeye ni mwanaume bwana,… Mitego yote hio kairuka lakini kaja kuingia kwenye mtego mdogo tu…
Kiukweli mwanamke akiamua kulala na wewe, hata ufanye nini, ni lazima ulale nae.. Atafanya lolote lile mpaka ukubali hali yake…
Swalehe aliokua mgumu kwa mitego ya mtoto wa watu ambaye ni farida.. Lakini kaja kulainika na sasa wamepelekana kitandani…
Swalehe alianza kusolola mwili wa farida,… Mtoto alinyonywa kila kona ya mwili wake,… Chupi aliovaa haifai tena kwa matumizi ya kuvaa… Mana ilikua imeloa chapa chapa,… Swai akaivuta na kutupa pembeni,.. Farida na ukubwa wake wote ana kitu kidogo mpaka raha,… Basi swai alipoivua chupi ya farida, nae akavua bukta yake, na kuanza kuingiza zakhari yake
“uuuuuuuuu”
Zilikua ni sauti za mlio baada ya swai kuingiza kichwa tu… Lakini kila swai akiingiza dudu, farida alikua akiruka mpaka inachomoa… Uzuri zaidi ni hio sehemu iliokuwa imebana mpaka raha..
“we dada una nini”
Aliuliza swai, baada ya kuona kuna tabu fulani hivi
“kaka… Mi nimefanya mara moja tu.. Na ni kwa sabahu ya uhai wa mama angu”
Aliongea farida kua kama sio kutetea uhai wa mama yake, mpaka lei angelikua na bikra yake…
“mama yako alifanyaje”
“ni stori ndefu sana… Nitakwambia”
Aliongea farida, huku swai akamsogeza vizuri kisha akamueka sawa..
“uuuuuhhhhh”
Alilia tena farida, Kiukweli siri yake ilikua ni ndogo sana…
“vumilia jamani”
“vinauma”
Alijibu farida huku swai akijaribu kwa mara nyingine tena…
“mamaaaaaa…. Basi basi”
Alilia farida lakini tayari dudu lipo katikati… Farida alianza kudondosha machozi, lakini swai hakujali hilo,.. Alikua anamtengeneza vyema…. Mana ukiwa na huruma na nyani, utavuna mabua…
Sehemu Ya 18
Saa mbili asubuhi, farida ndio wa Kwanza kuamka…. Alimfunika swai ili alale vizuri, mana kachoka kwa shughuli ya muda mchache uliopita, farida alijichungulia na kujua kweli leo kashughulikiwa vilivyo… Hata yeye alitabasam kwa furaha… Basi akiwa kama mwanamke ndani ya nyumba aliamka na kibandika maji ya kuoga,.. Kwa bahati tu gesi ilikuepo kidogo… Sasa hajui atampikia nini… Farida aliona pesa mezani, hakuona haya kuchukua elfu tano kisha akatoka nje akiwa kavalia vizuri tu.. Alikwenda kununua chapati na supu ya litosha, mana hapo ndani hapakua na kitu cha kupika… Kaanda kila kitu mezani na maji kapeleka bafuni yaani kama mke,… Sasa hawa watu bado hawajuani kwa majina..
“we kaka…”
Farida aliita lakini akajishtukia anamuitaje kaka wakati keshalala nae, tena kabutuliwa kweli… Sasa naogopa amuite mpenzi au?… Alikosa jibu mana hata jina lake halijui,… Sasa akawa anamtingisha tu
Mara swai kaamka…
“Samahani… Maji ya kuoga tayari”
Aliongea farida huku swai akiamka kwa kuchoka sana…. Sasa farida alizidi kujiongeza, baada ya kuona Swalehe yupo uchi kabisa, aliandaa taulo akisimama tu anamvalisha taulo ili aende bafuni,… Kweli ikawa hivyo swai haamini kama vile ana mke, kumbe ni kimdada cha watu tu kimejiongeza…
“mambo”
Swalehe alimsalimia farida huku farida nae akiitikia kwa aibu
“poa….. Pole kwa kazi ya asubuhi”
“Ahsante, pole nawewe”
“Ahsante… Maji tayari nimepeleka bafuni”
“sawa”
Alikubali Swalehe huku akiwa anatoka, lakini ghafla akazuiwa na farida…
“Samahani, unajua sikujui jina lako.. Nashindwa jinsi ya kukuita… Na siwezi kukuita kaka tena kwasababu tayari umeshalala na mimi”
Aliongea farida kisha huku akiona ona aibu fulani hivi
“naitwa Swalehe”
“mmhhh Ahsante kwa kujua jina lako.. Nami naitwa farida”
“Nashukuru sana pia”
Basi swai alikwenda zake bafuni kuoga maji moto,… Pale pale farida akakimbilia kwa dada yake….
Wakati huo Semeni alikua na mawazo sana…
“Shikamoo dada”
Farida alimsalimia dada yake…
“ooohh farida mdogo wangu… Marahaba… Hebu niambie nini kimekukuta huko”
“dada… Nimefanikiwa kulala nae”
“umheshim sasa”
“dada, licha ya kuniambia nilale nae… Pia nimempenda”
“mmmhhh haya mwaya… Vp kaenda kazini”
“hapana.. Ndio kaenda kuoga”
“mmmhh kachelewa eee”
“ndio”
“sasa we nenda akitoka akukute…”
Dada yake alifurahi japo hakupenda kumlazimisha akalale na swai…
Swalehe alitoka bafuni,… Alikutana na msosi mzito wa hali ya juu… Tena supu safi kabisa.. Michapati ya mayai… Farida alikua ni mshamba mshamba hivi, lakini ushamba wake ulimpendeza Swalehe….
“kaoge na wewe uje tule”
“hapana.. Kula tu”
“we kaoge uje tule”
Basi farida nae akachukua maji kisha akabandika yapate moto kisha baada ya muda akaenda kuoga…
Sasa swai kuangalia mezani, anaona kama pesa zake zimeguswa,… Japo sio zile nyingi.. Mana zile nyingi kazificha mbali kweli, ila hizo ni zile za karibu.. Wengi tunaita pesa za mfuko wa shati.. Sasa swai aliziweka pale mezani kama elfu hamsini hivi.. Lakini alikuta zimegusa na pembeni yake kuna chenchi… Akajiuliza lakini alikuja kupata jibu baada ya kukumbuka huo msosi hapo mezani,.
“ooohhh kumbe kachukua hapa”
Alijisemea swai huku akimpigia simu fundi wake,…
“eeh hallo fundi”
“aahh swai habari yako”
“aah safi tu fundi, shkamoo”
“Marahaba vipi hali bwana”
“freshi tu.. Vipi fundi, upo kazini nini mana leo nimeamka na uchovu kweli yani”
“aaahh kazini tutakwenda kesho.. Kuna kijumba tukakipige rangi pale mjini.. Ila leo tupumzike tu…”
Aliongea fundi huyo huku swai akiona Afadhali ata kasema leo mapumziko
“sawa, mana hata mimi nimeamka muda sio mrefu”
“mimi bado kabisa, tena wewe ndio umenikurupusha usingizini”
“aahh basi pole fundi… Endelea kupumzika”
“basi poa.. Tutaonana kesho”
“sawa fundi”
Basi simu ilikatika na hapo hapo farida akaingia,.. Kwa wakati huo wapangaji wengi wamekwenda makazini, na hata Zahra pia kaenda dukani kwao… Yaani hapo ni wapangaji wachache sana tena haswa haswa wake za watu ndio wapo nyumbani…
Farida alianza kuvaa nguo zake mbele ya Swalehe, tena bila uoga wowote ule,…. Baada ya hapo walikaa mezani na kula,.. Farida hakutaka kujivunga mana akijivunga na dada yake kule anapiga miyayo tu, mana shemeji yake katoka hakuacha kitu… Aibu ya farida aliipenda sana swai,. Kwa mitego ya farida, swai kasahau kua kitanda chake kinatakiwa kilaliwe na mke wake tu, sasa kajikuta kafanya mapenzi na mtu ambaye sio mke wake… Walimaliza kula ikiwa ni saa tatu za asubuhi… Swai alivaa zake kisha akafungua Mtungi wa gesi…
“sasa,… Kipi kimeisha hapa nikakilete”
Aliuliza Swalehe mana farida ndie aliekua anaishi humu hivyo anajua kipi hakuna kipi kipo
Farida haamini kwa kuulizwa kama mke wa mtu,… Alibaki kutabasamu nfani kwa ndani… Na hapo Swalehe anampa nafasi kwakua hana pakuishi,.. Lakini sio kua anamchukulia kama mke…
“unga.. Mchele, mafuta ya kula.. Hata chumvi na sukari… Kama vitu vyote vya kula vimeisha… Ila Nisamehe mimi”
Aliongea farida tena kapiga magoti chini mana wao ndio walivitumia hivyo vitu…
“wala huna haja ya kuomba msamaha… Tena ni vyema mlivitumia kwasababu vingeharibika”
“Ahsante sana kwa ukarimu wako”
Alishukuru farida huku swai akisema
“sasa, mimi nitakwenda kuleta gesi.. Mchele, na unga… Hivyo vingine utakwenda mwenyewe sokoni, si sawa”
Aliongea Swalehe huku farida akishusha machozi, yaani haamini kama leo anakua kama mke wa mtu, japo swai yeye hana wazo lolote kwa farida,..
“sawa, nitakwenda”
Baada ya masaa kadhaa, Swalehe alirudi akiwa na gesi mchele na unga. Akaunganisha kila kitu kisha akampa farida elfu hamsini…
“kachukue kila unachoona hakuna hapa ndani mana wewe ndio unajua,.. Ukitoka ufunge mi naenda kwa masela zangu…”
Farida haamini, yaani ni kama ndoto kwake,..
“sawa mume….. Samahani kaka”
Farida alijikuta ameita mume, yaani kafurahi mpaka kahisi ni mume wake, japo kweli anampenda mpaka basi..
Swai alitoka zake… Alipofika nje, alikutana na baba mwenye nyumba
“aahh mzee shkamoo”
“Marahaba kijana… Vipi umerudi lini”
“jana usiku mzee”
“mbona hujasema sasa tuje kukukabidhi chumba chako”
“aahhh Kiukweli mnisamehe kwa hilo, kwasababu nilirudi usiku afu nilikua nimechoka sana mzee”
“pole sana kijana.. Lakini vipi ulikuta vitu vyako salama”
“ndio.. Hakuna kilicho haribika kiukweli”
“basi vizuri sana… Mana nilikua nakuja hivi kusalimia wapangaji wangu”
“hakuna shida mzee karibu sana”
“haya Ahsante sana”
Swalehe aliondoka zake kisha mzee huyo akaingia kwenye boma yake kusalimia wapangaji wake….
Farida alikwenda kwa dada yake ili waende wote sokoni, basi ikawa hivyo yeye na dada yake wakaenda sokoni
BAADA YA MASAA KUMI NA MBILI KUPITA
ikiwa ni saa mbili hivi swai ndio alikua anarudi zake misele toka asubuhi,… Sasa ile anataka kuingia kwenye geti mara Zahra katokea kwa nyuma nae anatoka zake dukani
“swai…swai mpenzi wangu”
Aliita Zahra kisha swai akasimama.. Na hapo ni nje ya geti,..
“niambie”
“safi.. Hivi jana ilikuaje, mana nimejikuta nimeshikwa na usingizi mpaka sijaja kwako… Hebu niambie yule mwehu umemtoa”
“mwehu?? Mwehu gani”
“si yule msichana aliokua akilala kwako”
Aliongea Zahra kua mwehu ni farida
“Kiukweli sijamtoa”
“haaaaaaa.. Kwahio ulilala nae”
“ndio”
“swai… Kwanini unanitesa hivyo.. Yaani unalala na mtu mshamba vile, hajui hata kuoga… Kwanini lakini unanitesa?? Niambie kama hunipendi”
Aliongea Zahra huku akilia sana na hapo anatoka dukani kununua vitu vya kupika…
“Zahra… Kiukweli labda uniache tu kwa sasa… Yule msichana wa watu ana kosa gani… Msichana wa watu hana pakulala…. Mwache”
“nimeshajua hunipendi swai… Niambie tu usije ukanichezea”
Sasa huku ndani kwa swai… Maskini farida alikua anapika chakula, hajazoea jiko la gesi lakini akiwa kama mwanamke alijitahidi ilimradi chakula kiive,.. Ukumbuke hakua akilitumia hilo jiko, hivyo alikua akiona kwa Zahra, mana ndio alikua analitumia… Sasa akiwa anasonga ugali, mara mlango ulisukumwa, kitu cha Kwanza kuona,… Kaona mabakuli ya chakula… Mara kaingia mama Mwajuma
“heeeeee… Unapika”
Aliongea mama Mwajuma, sasa farida anashangaa mbona mama Mwajuma analeta chakula humu.. Mana hajui kama mama Mwajuma ana Taurati ya kumletea Swalehe chakula…
“Shikamoo”
“sina shida na shkamoo yako…. Mschiuuuuuuu…. Ina maana kupewa hifadhi tu ndio pamekua kwako sio?? Mbona nyie wasichana ni wamalaya sana nyie… Sasa kwa taarifa yako, mimi ndio namlisha huyu kijana kila akirudi… Na chakula chake hiki hapa.. Sasa naomba ubebe safuria yako ukampikie huko kwa dada yako na sio hapa kwake… Utoke usintumbulie macho mimi”
“lakini mama”
“weeeee weeeee weeee weee, ukome na mdomo wako huo… Sina mtoto malaya mimi… Yaani kupewa hifadhi tu, umeganda…. Mwenyewe karudi beba virago vyako na uende…. Nasema zima hilo jiko”
Aliongea mama Mwajuma kisha akaenda pale jikoni na kuzima jiko…
“haya beba msufuria wako uende… Kwanza kijana wangu halagi ugali”
Aliongea mama Mwajuma,.. Sasa farida anaogopa kumbishia mana anahisi ni ndugu yake Swalehe, sasa anaogopa asije kubishana na wakwe bure… Huezi amini farida aliona ule ugali utaharibika hivyo alibeba ile safuria ili awahi kwenda kuibandika kwa dada yake… Na wakati huo alikua analia…. Sasa ile anatoka tu, kakutana na Swalehe hapo nje ya mlango akiwa ndio anatoka….
“we farida… Unakwenda wapi sasa”
“ndugu yako kanifukuza”
“ndugu yangu??… Ndugu yangu nani”
“yupo huko ndani… Sijui ni mama yako mdogo sjui ni shangazi yako…”
Sasa farida aliposema hivyo, Swalehe akajua huyo ni mama Mwajuma ndio kaanza visa…
“rudisha hio safuria ndani”
Aliongea Swalehe kisha farida akarudi tena kwa kutangulia… Kisha swai anafuata nyuma..
“wewe, unarudi kufanya nini tena huku”
Aliongea mama Mwajuma, bila kujua na swai yupo nyuma yake… Swai leo kaamua liwalo na liwe kwa jimama hilo…
Farida alibandika safuria jikoni kisha akawasha jiko…
“we mtoto hivi wewe ni kiburi sana ee”
Mama Mwajuma alikwenda tena kuzima jiko… Swalehe akaingia na kuliwasha tena,… Safari hii kawasha Swalehe….
Sehemu Ya 19
Kuna wakati mwanaume unapofikwa na jambo ni lazima ufanye maamuzi ya kiume,… Kiukweli Swalehe alimpenda sana Zahra lakini kwa nyodo zake akahisi Swalehe sio mtu sahihi kua kama mume wake, Swalehe hakukata tamaa alisota na kusota juu ya Zahra, mpaka ikafikia wakati anapewa ushauri na baadhi ya kaka zake ambao ni mafundi wake, hivyo kuanzia siku hio akaacha kumfuatilia Zahra…..
Zahra baada ya kufanyiwa uhuni ndipo akajua kuna umuhimu wa kumpenda mwanaume aliekupenda na haijalishi ana kazi gani… Kwasababu mpaka mwanaume kukutaamkia anataka kukuoa, tayari keshajijua anaweza kukuachia pesa ya kula kila siku,…
Zahra alipigana sana juu ya kumrudia Swalehe mpaka akafanikiwa kumpata, lakini Swalehe hakua na upendo kama ule wa zamani hivyo hata kumkubalia kwake ni kama kishingo upande tu,…. Na ilifikia hatua mpaka akataka kulala nae, sema kuna vikwazo vilijitokeza mpaka akaamua kumuacha, lakini ilibaki kiduchu tu Zahra aliwe na Swalehe,.. Na Swalehe akamuahidi Zahra kuwa akirudi watafanya mapenzi,.. Lakini sasa Swalehe aliporudi kakutana na mtoto wa kitanda aitwaye Farida, hivyo hamu na Zahra ikawa haipo tena….
Leo usiku walikutana getini, Zahra akiwa anatoka dukani kununua mahitaji madogo madogo, na Swalehe alikua akitoka katika mishe mishe zake… Zahra aliweza kumzuia Swalehe asiingie ndani kwanza, wafanye mazungumzo yao hapo hapo nje
“swai… Kwanini unanitesa hivyo.. Yaani unalala na mtu mshamba vile, hajui hata kuoga… Kwanini lakini unanitesa?? Niambie kama hunipendi”
Aliongea Zahra huku akilia sana na hapo anatoka dukani kununua vitu vya kupika…
“Zahra… Kiukweli labda uniache tu kwa sasa… Yule msichana wa watu ana kosa gani… Msichana wa watu hana pakulala…. Mwache”
“nimeshajua hunipendi swai… Niambie tu usije ukanichezea”
Aliongea Zahra mana hamuelewi swai, kwanini alilala na yule mwanamke,
“lakini zaru, hata wewe mwanzo hukua ukinipenda…. Hata mimi naweza kusema tuwe kaka na dada tu”
Aliongea Swalehe tena kwa kujikaza sana,.. Na wakati huo Zahra kabaki mdomo wazi….
“ivi swai una akili wewe… Yaani mimi na wewe leo tuwe kaka na dada”
“kwani ajabu… Mana mwanzo hata urafiki na mimi ulikua hutaki… Lakini mimi sitaki kulipiza baya kwa baya.. Mimi nataka tuwe kaka na dada tu”
Aliongea Swalehe, tena kwa kujiamini haswa,… Sasa hatujui Swalehe anajivunia nini kwa hilo mana ana mpango wa kuoa… Na alio mlenga ni Zahra…
“swai,… Yaani umeuchungulia uchi wangu afu unaniambia mambo ya kaka na dada… Niambie huo ukaka na dada unakujaje baina yetu”
Aliongea Zahra tena akiwa anatetemeka mno,.. Mana waliingiziana mambo lakini hawakufanikiwa hata kukatika viuno vyao, kukawa na vikwazo, sasa Zahra analia kwakua Swalehe alisha mchumgulia uchi wake afu sasa hivi analeta mambo ya kaka na dada….
“Zahra, mi nadhani utaelewa tu huko mbele,.. Tafadhali sana, tafuta mwanaume mwingine… Sihitaji kuoa kwa sasa”
Aliongea Swalehe huku Zahra akimuangalia swai kwa jicho la hasira
“najua kisa ni huyo malaya wako mchafu kuoga… Sasa tutaona sasa mimi na yeye ama zangu ama zake”
Aliongea Zahra kisha akaingia ndani kwa hasira, tena huku akitetemeka sana…. Mana hakuamini kama Swalehe angelimjibu hivyo kua kuanzia leo tuwe kaka na dada, yaani ndugu kabisaaa…
Baada ya Zahra kuingia kwao kwa hasira,.. Swalehe nae akawa anaingia kwake,.. Lakini ile anafika tu mlangoni akakutana na farida kabeba safuria ya ugali tena ikiwa ina moto…
“we farida… Unakwenda wapi sasa”
“ndugu yako kanifukuza”
“ndugu yangu??… Ndugu yangu nani”
“yupo huko ndani… Sijui ni mama yako mdogo sjui ni shangazi yako…”
Sasa farida aliposema hivyo, Swalehe akajua huyo ni mama Mwajuma ndio kaanza visa…
“rudisha hio safuria ndani”
“wewe, unarudi kufanya nini tena huku”
Aliongea mama Mwajuma, bila kujua na swai yupo nyuma yake
“we mtoto hivi wewe ni kiburi sana ee”
Mama Mwajuma alikwenda tena kuzima jiko… Swalehe akaingia na kuliwasha tena,… Safari hii kawasha Swalehe..
HAPO NDIPO TULIPO ISHIA JANA
Sasa Swalehe baada ya kuliwasha jiko hilo, mama Mwajuma akapunguza mikwara…. Mana kazima yeye lakini kawasha Swalehe, na ndio maana pale juu nikasema mwanaume ni lazima muda mwingine uwe na maamuzi ya kiume, Swalehe aliona mbali sana hivyo aliamua kama kuna ubaya wacha uwe ubaya tu….
“swai, kwani vipi tena baba”
Aliongea mama Mwajuma tena kwa kitumia pua… Mpaka farida alishangaa sana, kwanini mama mtu mzima anamlegezea mtoto sauti kiasi hicho…
“aahhh Samahani mama mwaju,.. Kwa sasa atakua akinipikia huyu msichana…”
Aliongea Swalehe huku akimshika farida begani….
“kwanini sasa swai… Mimi ndio mwenye haki ya kukupikia.. Kumhuka huyu ulimpa hifadhi tu”
Aliongea mama Mwajuma kwa sauti ile ile, na hata macho yake hayakua makali juu ya Swalehe….
“ni kweli, lakini nikiwa kama binadamu… Huyu msichana hana pa kulala mpaka sasa,… Na dada yake anaendelea kumtafutia kazi”
Aliongea Swalehe,… Sasa mama Mwajuma akajua kuwa kuishi kwa msichana huyu, hapo kwa swai, kutaleta matamanishi ya kimwili, bila kujua farida kaamkia hapo hapo tena kaliwa vizuri sana na Swalehe….
“sasa swai, mimi nina mdogo wangu wa kike… Naomba nimuombee akaishi nae, ni hapo jirani tuu”
Aliongea mama Mwajuma, mana aliona kwa uzuri wa farida, yaani haingii hata tone, japo mkubwa dawa lakini sio kitandani jamani.. Mtoto ni mtoto na utamu wa mtu mzima na mtoto, ni tofauti kabisa… Ni kama nanasi na papai… We mwenyewe unajua kitamu ni kipi, lakini vyote vina kazi zake mwilini, ila utamu ni tofauti kabisa…
“yupo wapi huyo mdogo wako”
“hapo nyumba ya pili tu”
“tutajua kesho tunafanyaje, lakini kwa leo wacha apate hifadhi hapa”
“sawa,.. Kwahio nirudi na chakula changu”
“Samahani lakini… Huenda nimekupata hasara ya mchele… Kiukweli ungerudi nacho tu”
Aliongea Swalehe huku mama Mwajuma akibeba mabakuli yake ya vyakula,….
“mwanangu kesho utapata pa kulala sawa mama”
“sawa”
Aliongea mama mwajuma kisha huyoo akaondoka zake…. Swalehe akajitupia kitandani wakati huo kachoka….
“maji tayari, wacha nikupelekee bafuni”
Duuuuuu Swalehe haamini kuambiwa maji tayari,… Wakati yeye alikua akiwaza ataanzaje kuoga maji baridi, sasa kayakuta yamesha pashwa.. Wakati huo hata ugali umeshaiva,.. Basi farida alipeleka maji bafuni.. Alipokuja alianza kumvua Swalehe shati… Eeehh mpaka Swalehe anajihisi kua na mke, wakati walaaa.. Farida kweli alikua na mbinu za kijijini, mbali na ushamba wake lakini aliweza kumteka Swalehe…. Sasa Baada ya kumvua shati, Swalehe alishangaa kasukumwa kitandani,.. Mara kavuliwa mkanda na suruali ikatolewa… Akabaki na boxer peke yake…
“mbona haraka hivi”
Aliongea Swalehe huku farida akiangusha jicho la mahaba, bila kumjibu kitu….
Farida aliishika ile boxer na kutaka kuivua, lakini swai alikataa…
“Unakwendaje na kuoga na boxer?… Hebu vua nitaifua kesho”
Aliongea farida,.. Sasa ile Swalehe anataka kujibu tu.. Saa mingi sana boxer ipo chini, sasa zakhari imebaki wazi.. Farida akaishika shika kisha akamfunga taulo,…
“twende bafuni”
Farida aliongea hayo huku akimvuta waende bafuni… Wakati huo Swalehe kaduaaa, yaani haamini vitu anavyo fanya farida,..
“kuoga wote au”
“kwani kuna ubaya”
“hapana farida … Mi najiskia aibu kuoga wote”
“mbona leo alfajiri hujaskia aibu kunipanua mapaja yangu”
“ahh tuyaache ayo… Hii kuoga niache niende mwenyewe”
Aliongea Swalehe, na farida ni msikivu…
“sawa basi… Wacha nikuandalie kachumbari, au hupendi”
“napenda sana… Kiwe na Pilipili kwa mbali”
Aliongea Swalehe huku akitoka kwenda bafuni,… Ikiwa ni mida ya saa tatu za usiku…
Kesho yake asubuhi, Swalehe anakuja kuamka, kakutana na maji ya kuoga.. Aliporudi kakutana na chai ya nguvu,..
“swai??… Jana usiku ulifanya kazi ngumu sana… Pata supu kwanza kabla ya vyote”
Aliongea farida akimaanisha kwamba jana usiku Swalehe alikata viuno sana,… Hivyo aanze kugonga supu kwanza… Basi Swalehe alipata chai nzito ya mtoto wa kitanga.. Msambaa mwenzie,.. Baada ya Swalehe kumaliza chai alitoka kwenda kazini,… Kama kawaida kamuachia pesa ya mezani shilingi elfu tatu,
Baada ya masaa kadhaa farida kampelekea dada yake elfu moja, ili ampikie mtoto, mana shemeji yake hakuacha kitu…
“farida…. Ahsante sana… Yaani hapa nilikua nawaza nalujaje hapo ndani kwako hata nipate kikombe cha uji”
Aliongea Semeni huku akilia kabisa, mana mume anamnyanyasa sana, yaani hata pesa ya matumizi haachiwi hata kidogo,..
“dada, Usijali, kidogo tutakula wote…”
“haya niambie,… Na leo kakukandamiza”
“heee, sasa hivi ni kama dozi dada… Naliwa mpaka naskia raha yani”
“wacha weee.. Mama mwenye nyumba…”
“mmmhhh dada, bado… Afu kuna yule mama kasema eti niende kuishi kwa mdogo wake”
“mama gani tena”
“yule chumba kile…”
“mama Mwajuma”
“ndio”
“kwanini.. Na siku wakati namuomba, kwanini asikusaidie”
“mimi sijui dada”
“hakuna kwenda… Akalale mwenyewe…. Wewe tayari umeshapata mume, mdogo wangu tulia.. Wanaume wa sasa ni wababaishaji tu.. Wewe ni mtoto wa kitanga, hata kama hujui sana mpe yele ya kishamba shamba…sema jimwanaume langu ni lilevi tu… Lakini ningempa mapenzi mpaka adate mwenyewe”
Aliongea Semeni huku farida akicheka
“sasa kwanini hajadata”
“mmmmhhh mlevi?? Mlevi na mapenzi wapi na wapi? Bora mnywaji kuliko mlevi”
Basi walimaliza kuongea mtu na dada yake, sasa kaja ndani kwake kakusanya nguo chafu kisha akawa anazifua
“enheeeeeee… Nilikua Nakusubiri sana kwa ham we malaya”
Alikua ni Zahra, tena wakati huo kafunga Kibwebwe kiunoni…
“heeeeee zaru, haya cha kuniita malaya mimi kwa kosa gani”
“muone vile.. Eti kwa kosa gani.. Kwani hulijui kosa lako wewe”
Aliongea zaru tena wakati huo ana hasira mno
“lakini mimi sijui kosa langu… Na kama ni gesi, sikumwambia kua wewe ndio ulitumia..”
Aliongea farida akidhani labda Zahra kaja kwa kesi ya gesi kuisha…
“we msenge nini wewe… Mimi naongelea mambo ya gesi hapa…”
“Zahra… Tafadhali sana, mimi sihitaji ugomvi na wewe..”
“ila unahitaji ugomvi na nani”
“sitaki kabisa”
“kwanini kupewa hifadhi tu unachukua waume za watu”
Aliongea Zahra, sasa kule ndani… Leo mama Mwajuma hajaenda kazini, saa ngapi hajasikia kuwa kwanini farida anachukua waume za watu…
“we zaru? Kuna kitu nimesikia ukikiongea, kama kimenigusa hivi”
Aliongea mama Mwajuma huku akisogea,.. Kama unavyojua wapambe tena… Baadhi ya wapangaji nao wakaanza kitoka..
“heheheeeee haaaalooooo….”
Kuna mpangaji kacheka cheko la kishangingi…
“mama Mwajuma…. Huyu mdogo wake Semeni ni nyoka… Anauma na kupuliza huyu”
Aliongea Zahra, huku mama Mwajuma nae akisema
“we zaru… Kwani kaiba mume wa nani”
Mama Mwajuma Alimuuliza Zahra kuwa kwani kaiba mume wa nani…
“kamchukua mume wangu… Sijui kampa nyuma.. Mshenzi huyu natamani kumpiga mimi huyu”
Aliongea Zahra huku akitishia kumpiga,.. Sasa zaru hajaolewa na wapangaji wanashangaa kuskia zaru kaibiwa mume.. Mume gani huyo asiojulikana….
“we zaru uliolewa lini wewe… Na huyo mume ni nani… Au wataka kumpakazia mwenzio tu”
Aliongea mama Mwajuma bila kujua Danga lake ndio huyo huyo mume anae gombewa…
“we mama wewe…. Ina maana unavyonikuta na Swalehe kule ndani, unaona ni mgomba yule… Yaani na utu uzima huo hujavuta tu picha kua nina mahusiano na Swalehe… Na huyo Swalehe ndio analala na huyu malaya hapa…”
Aliongea Zahra, sasa mama Mwajuma leo ndio anajua kumbe huyu Zahra ana mahusiano na Swalehe,… Sasa mama Mwajuma kamgeukia Zahra…
“haya wewe huo uhusiano na yule kijana umeanza lini na umalaya wako.. Hivi zaru utakuwa malaya mpaka lini.. We juzi si ulikua na mwanaume wewe… Sasa kwa taarifa yako wewe ni mtoto sana kwangu… Sasa ama zako ama zangu”
Mama Mwajuma anachimba mkwara kwa Zahra,… Sasa wapangaji nao wanashangaa kwanini mama Mwajuma kaingilia ugomvi wa watoto
Sasa farida anashangaa kua huyu mama na Swalehe wakoje,.. Japo jana walibishana pia lakini bado hajajua… Sasa farida akavunja ukimya na kumuuliza mama huyo..
“Samahani mama angu… Kwani wewe na Swalehe ni mtu na mtoto wake, au ni mtu na shangazi yake”
Aliuliza farida mana yeye hajuagi kuwa huku mjini mambo ni watoto kwa watu wazima….
Farida yeye ni mtoto wa kijijini, hakuwahi kusikia kuwa mjini kuna wamama watu wazima ambao wanapenda wavulana wadogo, tena anampenda mvulana ambaye ni mtoto wake hata wa tatu,..
“we nawe unauliza swali gani hilo… Swalehe ni kama kijana wangu”
Aliongea mama Mwajuma, huku akiondoka
“kumbe wewe unampenda swai, heheheeeeeeee haaaaloooo… Nilikua sijui kumbe unamegwa na kitoto kidogo vile”
Zahra aliongea hayo huku akiweka vidole juu tena kwa kuruka ruka,.. Farida roho ilimuuma sana japo haamini kama kweli mtu mzima kama huyo ana mahusiano na mtoto mdogo kiasi kile,… Yaani kadiriki kumvulia mtoto chupi na kumpanulia mapaja,…
Sasa mama akarudi mbio kija kupigana na Zahra,.. Mama Mwajuma alikua na mwili wa unene kiasi, hivyo Zahra akamkimbia na pia ni mtu mzima, na kama unavyojua ngumi za kike, kama hawajuvuana nguo ni bahati… Mana zao ni kuvuana nguo ili anapozuia asivuliwe ndipo hapo anapokula kichapo… Sasa Zahra akamuepuka mama mwajuma na kukimbia ndani
“mbona unakimbia, wewe si msichana mwenye nguvu… Toka sasa nje”
Aliongea mama Mwajuma wakati huo farida anaendelea kufua nguo za Swalehe pamoja na zake,….
“halafu na wewe… Utakiona hiki chumba kigumu”
Aliongea mama Mwajuma huku akimnyooshea farida kidole,…
“hehehehehehe wewe mama mwaju, haya kumchukia mdogo wangu huko kisa nini”
Aliongea Semeni ambaye ni dada yake farida,…
“huyu mdogo wako malaya… Kafuata kazi mjini au kaja kutafuta wanaume”
Aliongea hivyo mama huyo huku mama abu akiongea kuwa
“sasa mama mwaju.. Huyo mwanaume alie nae ni wako?”
“hata kama sio wangu, lakini sio kwa kutembea na wanaume wa humu ndani na kujifanye ni mumewe”
Aliongea mama mwajuma kisha akaondoka, lakini wapangaji wote wameshajua kuwa mama Mwajuma ana mahusiano na Swalehe,.. Farida alianza kulia pale pale chini,..
“farida, pole… Ina maana umempenda Swalehe kiasi hicho”
Dada yake farida alimuuliza mdogo wake, mana kwa mara ya Kwanza kumsikia kuwa anampenda Swalehe kutoka moyoni, alihisi ni janja ya wanawake kama wanavyosema,.. Sasa Semeni leo ndio anashangaa kumbe farida anampenda Swalehe Kiukweli ukweli na sio uongo, yaani hatanii…
“dada niache,… Ina maana kumbe huyu mama mtu mzima anatembea na mtoto kiasi kile”
Aliongea farida huku akilia, mara Zahra katoka
“we malaya, unamlilia nani? Kama ni swai wangu utaishia kuchezewa tu”
Aliongea Zahra, mara Semeni kaamka nae,… Semeni sio mama mtu mzima ni msichana tu na mtoto wake wa kwanza ana miaka miwili,.. Hivyo bado ni mbichi mbichi, sema shida tu ndio zinamzehesha… Sasa ikawa ni ngumi baina ya mama abu na Zahra,… Kazi iliopo ni ya wapangaji kuwatetea wasiendelee kupigana,.. Na yote hayo sababu ni Swalehe,.. Mtoto wa watu hana kazi ya maana lakini anagombaniwa kama mayai ya mbuni,.. Basi ugomvi uliisha na kila mmoja katulia kwake,.. Kama kawaida farida humpatia dada yake unga ili aweze kupata chakula mana mumewe haachagi pesa ya kula, kwani ni yeye na pombe tu,..
Jioni Swalehe alirudi nyumbani, lakini alimkuta farida anapika huku akilia,.. Yaani haamini kama mama mtu mzima kama yule anampenda Swalehe mtoto mdogo sana kwake,..
“alaaa, we una nini… Kuna msiba”
Aliuliza Swalehe, farida alimkumbatia Swalehe huku akiendelea kulia..
“swai, nakupenda sana… Nakupenda, lakini nimeumia sana pale nilipojua kuwa mama mwajuma una mahusiano naye…. Ina maana umetembea na yule mwanamke?? Nijibu swai, ni kweli umetembea nae?”
“ndio”
“swaaaaaiiiii…. Si kama mama yako yyle jamani, ina maana umerudi ulipotoka swai kwanini lakini”
“we nani kakupa hizi taarifa”
“kila mtu anajua”
“basi pole… Ila nimeachana nae”
“umeachana nae gani wakati anatishia watu”
Aliongea farida, na hapo Swalehe ndio anajua ivi kumbe farida anampenda, mana alijua anamtumia tu kwakua hana pa kuishi…
“ebu pika chakula kwanza tutaongea”
“mi nataka tuhame hapa… Sitaki kuumia kila siku”
Farida alitoa wazo la kuhama hapo mana hatoweza kugombana na majirani zake kisa mwanaume,….
“sasa huyo mama ndio anakutishia au”
“sio mama Mwajuma tu.. Hata Zahra ananisumbua sana”
“basi we pika kwanza…”
Swalehe aliona ni jambo la kawaida na uzuri wa Swalehe ni muwazi, kama jambo ni la kweli anakubali mana hata akificha ni kazi bure… Sasa wakati farida anachota unga,.. Swalehe aliona mbona unga wa juzi tu umepungua kiasi hicho.. “
“huo unga si wa juzi tu kama sio jana”
Aliuliza Swalehe, hapo farida akaanza kuogopa… Mana kweli unga hauna hata siku mbili, lakini umefika katikati… Uzuri ni kwamba wote wamekutana wasema kweli,.. Farida alipoulizwa hivyo,.. Pale pale alimuangukia Swalehe na kusema ukweli wote kuhusu yeye na dada yake…. Swalehe alimuelewa kisha akaenda zake kuoga…
“Unakwenda wapi na panga”
Aliongea farida baada ya swai kutoka na panga usiku kama saa tatu hivi..
“nipo hapa nje”
“na hilo panga”
“tulia”
Farida aliogopa sana kwa kitendo cha Swalehe kutoka na panga usiku…
Sehemu Ya 20
Saa nne na nusu Swalehe anarudi huko alipo kwenda,… Lakini shati alilovaa lilikua na damu damu.. Farida alizidi kuogopa kabisa, yaani siku hio hakutamani kabisa kulala na Swalehe…
“swai, umefanya nini lakini”
“tulia wewe…. Ulizani dawa ya maumivu ni parasetam peke yake”
Aliongea Swalehe, lakini farida hakiyaelewa maneno hayo,.. Swai alichukua maji ya baridi na kwenda kuoga kwa mara nyingine tena,.. Aliofanikiwa kuona damu kwenye nguo ni farida…
Wakati huo huo Swalehe akiwa bafuni, ghafla geti kubwa likasukumwa,…
“mama abu… Mama abu”
Aliingia mtu na kuita kwa nguvu akimaanisha Semeni ndie alieitwa
“abeee”
“mume wako atakufa…”
Aliongea mtu huyo huku mama abu akianza kuchanganyikiwa kwa kuskia mume wake atakufa,..
“Uuuuuuuuuwiiiiiiii mume wangu kafanya nini tena”
Alipiga kelele mama abu huku mjumbe akisema
“chukua majirani zako twende tukambebe tumuwahishe hospitali”
Aliongea mjumbe huyo… Baadhi ya majirani wakatoka, lakini swai alikua bafuni anaoga… Alipotoka bafuni akakutana na hizo taarifa toka kwa farida, swai nae hakukaa mana ni jirani yake… Mkuku mkuku mpaka hospitali…. Mr jomo alipigika, kwani pia kakatwa kwenye mikono na miguu kidogo tu, kapigwa mno hata kujitambua hajitambui….
“kuna nini tena jamani”
Aliuliza Swalehe baada ya kufika eneo katika wodi ya majeruhi,…
“shem, sijui ni nini jamani Uuuuuuuuuwiiiiiiii”
aliongea semen huku akilia sana,..
“we mama hatutaki kelele”
Aliongea dokta baada ya mama abu akupiga kelele
“Samahani dokta, mgonjwa kapatwa na nini labda”
Swalehe alimuuliza dokta
“mgonjwa kavamiwa na majambazi.. Na hatuwezi kumtibu mpaka mlete PF3 ndipo atibiwe”
Aliongea dokta, hapo hapo Swalehe akakimbia kituo cha polisi na kupewa PF3, ili mgonjwa apate matibabu… Pesa za matibabu zilikua ni za Swalehe mana mama abu hana kitu, mume mwenyewe ndio huyo kavamiwa na huenda pesa hana…
BAADA YA WIKI MOJA KUPITA
Swalehe akiwa na mgonjwa karibu, mana yeye ndio mwenye dhamana ya kukaa nae,… Lakini kwa wakati huo mgonjwa keshapona imebaki ruksa tu warudi nyumbani
“vipi hali kaka”
Swalehe alimjulia hali baba abu au mr jomo,
“safi tu ndugu yangu…”
“hali yako unaendelea”
“aisee safi jirani… Kiukweli nakushukuru sana jirani,.. Umeniokoa kwelikweli”
“Usijali jirani… Sisi ni binadamu, lazima tusaidiane”
“sijui nitakulipa nini… Mungu atakulipa tu jirani”
“Usijali… Haya vipi, kwani ilikuaje usiku ule”
“weeee jirani.. Kwani hata nakumbuka.. Nilishangaa tu mapanga ya kichwa, mara mtama.. Nilikua nimelewa sana nilikuja kuzinduka nipo hospitalini”
“walikuwa majambazi wangapi”
“mmhhhhh wengi sanaaaa… Yaani kila mmoja alikua anapiga upande wake”
“duuuu pole sana ndugu yangu”
“ahsante sana, ila pole sana hata wewe.. Mana umenihudumia mpaka sasa nina nafuu”
Aliongea mr jomo, wakati huo kakaa kitandani…
“ila jirani… Hio ni laana ya familia yako… Mimi siwezi kuamini kua ulikua huachi matumizi ya familia yako,.. Mtoto wako abu mdogo kiasi kile lakini unashindwaje kumpa huduma”
Aliongea Swalehe ila ana maana yake mpaka kusema hivyo
“ni kweli jirani… Nakili kwa hilo,.. Ila siwezi kufanya huu ujinga… Kweli hii ni laana ya familia hii”
“jirani??…. Acha pombe… Acha kulewa,… Jali familia yako”
Swalehe Aliongea kisha huyoo akaondoka zake….
WIKI MOJA BAADAYE
Swalehe akiwa zake ndani mida ya saa mbili za usiku,…
“siku hizi naona unga unakaa kaa”
Aliuliza Swalehe huku farida akijibu
“ni kweli mume wangu.. Sasa hivi shemeji anaacha hela”
Alijibu farida tena kwa kumuita mume, ingali bado hawaja oana, kana kwamba tayari Swalehe ana mpango wa kumuoa farida,… Kana kwamba mpaka anakubali kuitwa mume basi ndo ipo….
“waacha weee, kwahio sasa hivi kama kawaida”
“ndio.. Toka apigwe na majambazi mpaka leo… Sasa hihi anarudi saa kumi na mbili jioni, tena anakuja na mkate kila siku”
Aliongea farida lakini Swalehe alikaukia kucheka ile mbaya, Mapaka farida akaanza kushangaa Swalehe anacheka nini
“we swai jamani sasa unacheka nini”
“unakumbuka kuna siku nilikwambia sio lazima dawa ya maumivu iwe parasetam,.. Unakumbuka ile siku”
“ndio nakumbuka ila sikukuelewa kabisa ulikua na maana gani”
Farida alikaa vizuri ili asikilize maana ya ile sentensi ambayo Swalehe Aliongea siku ile
Huku kwa Semeni au mama abu,.. Huezi amini baba abu yupo safi anacheza na mtoto na mama anapika,… Mama abu anajiskia raha sana na kujihisi kama mdio kaolewa jana, kumbe kala msoto mpaka basi,.
Yaani sasa hivi ndoa yake imekua tamu mpaka raha yani….. Kwani kila akiangalia unga ni mwingi, mchele, yaani kila kitu kama mahitaji ya nyumbani,.. Sasa ilikua ni ndoa na sio ndoano
Sasa huku kwa Swalehe akiwa na mpenzi wake farida,…. Wakati huo Swalehe anacheka kwa kusikia baba abu sasa hivi anarudi mapema tena na kitoweo kikiwa mkononi….
“kwani siku ile ulimaanisha nini kusema sjui dawa ya parasetam”
Aliendelea kuuliza farida kisha Swalehe akakaa vizuri na kusema kuwa
“sikia farida, kwanza Utanisamehe sana kwa hilo…. Ukweli ni kwamba, mimi ndie nilie mcharanga mapanga baba abu”
Aliongea Swalehe, huku farida akishtuka na mapigo ya moyo kumwenda bio
“whaaaaaaaaaaat???”
Farida hakutegemea kwamba Swalehe ndie aliweza kumpiga mapanga shemeji yake,.. Na sio yeye tu bali ni kila mmoja aliejua tukio hilo hakuweza kuhisi ya kwamba msababishaji ni Swalehe,.. Sasa baada ya wiki kama mbili hivi kupita, Swalehe aliamua kusema ukweli na ni baada ya jomo kupona…
“whaaaaaaaaaaat???”
Alishangaa farida huku akishika moyo wake,
“sasa unashangaa nini”
“ina maana swai mpenzi wangu kumbe wewe ni jambazi”
Aliongea farida huku Swalehe akicheka sana, kana kwamba sio kweli kwa yale anayo yafikiri farida..
“skia nikwambie farida… Lile neno nililokwambia kuhusu parasetam, nilimaanisha kwamba…. Sio lazima mlevi uzungumze nae.. Bali muongeleshe kwa vitendo”
Aliongea Swalehe lakini farida bado alibaki njia panda…
“bado sijakuelewa sentensi yako ina maana gani”
“skia farida… Kwa kawaida, mlevi hua haambiwi akasikia… Kitendo cha wewe kuniambia kua unapeleka unga kwa dada yako ingali mwanaume wake yupo na bado ni kijana mwenye nguvu tena mwenye kazi inayo muingizia pesa.. Kiukweli roho iliniuma, na haikuniuma kwakua umetumia chakula changu, hapana… Bali imeniuma kwanini aitese familia yake??”
Aliongea Swalehe huku farida akiuliza
“kwahio, baada ya hapo ukahisi kuongea nae”
“ndio.. Na siku ile ilikua hivi”
SIKU ILE SWALEHE KATOKA NA PANGA
alipotoka na panga alipitia dukani na kununua mayai mawili, na kwakua anaijua kona ya jomo ambayo huitumia wakati wa kurudi nyumbani,.. Alikaa mahali na kumwona jomo akija staili ya ulevi,.. Kana kwamba alilewa sana,… Alichokifanya Swalehe ni kuanza kumziba mdomo kisha akatoa pesa zake zote kama elfu 50 hivi,.. Na kuanza kumshambulia mr jomo,.. Swalehe alikuwa peke yake, sema alikuwa akipiga sehemu tofauti tofauti na kumfanya jomo ajue wako watu zaidi ya mmoja lakini alikua mmoja… Na Swalehe hakutaka kumuacha bila kumkata… Ila Swalehe alikua anachagua sehemu za kukata kwelikweli,.. Ilimradi tu asikate mshipa wowote katika mwili wa baba abu,.. Alimpiga kipigo kikali, kisha akamvua suruali na kumpasulia yale mayai.. Kana kwamba akija kuzinduka anajua kaingiliwa na wenzake… Hicho ni kijuto moja wapo na ni lazima aache ulevi,… Pesa ya jomo haikuliwa na Swalehe, bali ile pesa ndio iliomtibu jomo kule hospitalini…
MWISHO WA SIKU ILE USIKU
“haaaaaaaa… Swaaaaiiiii… Ina maana kumbe kweli ulimkata kata shemeji”
Aliongea farida baada ya kuambiwa ukweli juu ya kuvamiwa kwa mr jomo
“ni kweli ni mimi… Ila nilifanya hivyo kwa kusudi moja tu”
“kusudi gani kama sio kumuua baba wa watu”
“sikiliza… Mlevi, hua hawekwi kikao.. Wala hasemeshwi…na wala haambiwi acha pombe akaacha.. Ila mtafutie kitu kitakacho mfanya ajute katika maisha yake, na ajue kitu hicho kama sio kulewa asingelifanyiwa.. Hivyo atauchukia ulevi mpaka kufa kwake”
Swalehe Aliongea mpaka farida akacheka…
“ina maana kumbe ulikua una maana hio”
“ndio”
“sasa angekufa je”
“najua asingekufa kwasababu hata sehemu nilizokua nakata ni sehemu ambazo sio njia za mishipa… Na kitu ambacho atakuja kujuta ni yale mayai nilio yapasua… Na toka atoke hospitali hajanigusia, kana kwamba kalimezea na kujua kweli aliingiliwa,.. Na siri hii usimwambie dada yako, mana atamwambia na mwisho wa siku tabia itarudi pale pale…”
Swalehe alimaliza kuongea kisha akapanda zake kitandani
“Kwahio unasema mlevi haambiwi acha pombe akaacha”
“ndio… Mjeruhi mahali ambapo anaweza kujutia ulevi wake… Sasa ona sasa mr jomo ni baba mzuri wa familia”
“Duuuuuuu… Yaani kama sio kinifafanulia,.. Hakiyamungu ningeondoka hapa”
“mmmhhh ona ulivyo mwongo”
“kweli vile”
Basi ilikua ni usiku mzuri sana kwao, na sasa Swalehe na farida wapo katika mbio za kufunga ndoa…
Kesho yake nyakati za asubuhi, farida akiwa anaosha vyombo,… Swalehe alishatoka kwenda kijiweni mana kazi zake ni za ujenzi hivyo mpaka wapate saiti ya kazi..
“kaona sasa… Kanajifanya kanajua wanaumeeeeeee”
Aliongea Zahra, lakini papo hapo dada yake alitoka…
“we Zahra, kwanini una uchokozi lakini.. Huyo si mchumba wa mtu haya chokochoko ya nini”
Aliongea fatuma au mama saidi
“dada, Swalehe ni mpenzi wangu.. Na hata utamu wake naujua… Hili lisambaa sjui lilitoka wapi”
Aliongea Zahra huku fatuma akishangaa
“wewe zaru.. Haya huyo swai lini akawa mpenzi wako… Mana mi ninachojua wewe na swai mna ugomvi mpaka mkaanikiana nguo za ndani mlangoni, sasa huo uhusiano ni upi”
“dada… Swalehe keshanifanya sana hapa ndani kwake”
Aliongea Zahra, mara mama mwaju nae katoka tena, yaani mama hana hata haya huyu… Wakati huo farida yeye hana stori nao,. Wacha waongee wao ndoa afunge yeye…
“we Zahra, nimekuskia toka nikiwa ndani… Oohh sjui unajua utamu wake.. Hivi wewe na kishepu chako hicho unaweza kuwa na Swalehe wewe”
Fatuma alishangaa mbona mama Mwajuma kaingilia hilo balaa… Mana siku ile mama saidi yeye hakuwepo kwahio wapangaji wasiojua kuwa mama mwajuma na Swalehe wana mahusiano ni huyu mama saidi peke yake…
“mama Mwajuma, mbona sikuelewi”
“hunielewi nini… Swalehe toka amekuja hapa, anakula juu yangu, kuvaa juu yangu… Kila kitu juu yangu.. Leo mnashoboka tu hapa”
“lakini mama Mwajuma… Sawa ulikua ukimpa chakula nilikua naona, mana alikua bado ni bachela… Lakini mbona kuna jambo umeingilia hapo, sjui kashepu sjui nini, naona havihusiani na mada hapa”
Aliongea mama said au dada yake Zahra,
“sikiliza dada… Huyu mama huyu, umuone tu na utu uzima wake wa bure tu… Huyu ana mahusiano na Swalehe”
“ati nini?? Yaani yule mtoto ndio katembea na huyu mzee”
“weeeeee mzee mama ako”
Zikaamka ngumi,.. Wacha wapigane mama said na mama mwajuma… Farida yeye kimyaa mana anayajua yote hayo hivyo hana hofu nao…
Ilipofika jioni, farida alizidi kumkazania Swalehe wahame hapo kwenye hilo boma mana anaumia moyo wake pale wanapozidi kumtaja Swalehe kama mpenzi wao, japo kwa sasa haendelei nao… Kweli Swalehe alifanya michakato lakini hakutaka kuondoka hapo mpaka ahakikishe wapangaji wote wamejua kuwa kaoa
Taarifa zilifika kwa dada mtu… Semeni hakuamini kama mdogo wake ataolewa, mana alikuja mjini kibabe babe tu, na kakutana na bahati ya kuolewa… Kuolewa ni bahati sana na ndio mana kwa sasa ndoa ni adimu sana mitaani… Huezi kuta wapenzi wa miaka 23 kwa 25 wakioana ni kwa bahati sanaaaaa….
Baada ya dada kujua, taarifa nyumbani,… Kama unavyojua ndoa za kisambaa.. Sjui upeleke hiki mara kile, yaani muoaji anaweza kukata tamaa, lakini swai alijipanga…..
Tanga Tanzania ndoa ilifungwa tena ya haraka sana, mana katika sheria ya dini inasema MWENYE KUOA /KUOLEWA BASI NA AOE / AOLEWE HARAKA SANA…
Sasa huku mjini, Zahra anajua fika Swalehe wamekwenda tanga kufunga ndoa na farida…
“dada, hivi mimi sina bahati ya kuolewa… Nina ubaya gani… Hebu niangalie, yaani napokonywa mwanaume na mtu mshamba mshamba hajui hata kuoga”
Aliongea Zahra lakini dada yake hakutaka kumsapoti kwa hilo kwani Zahra halujijua kosa lake lilipo…
“kweli mdogo wangu wewe ni mzuri, una shepu nzuri… Pia unavaa vizuri… Ila kosa lako moja, hujiheshim”
Aliongea fatuma huku akiondoka…
“dada… Una maana gani”
“skia Zahra, wasichana wa siku hizi.. Wengi mtazikosa ndoa.. Kwasababu mna tabia za kimjini… Kitu cha kwanza kabisa.. Mwanaume hua hapendi mwanamke Mjanja, wewe mdogo wangu umekaa kijanja janja sana, mwanaume mwenye malengo hawezi kukuoa kwasababu anahisi ataoa balaa ndani ya nyumba,..”
Fatuma Aliongea hayo yote baada ya mdogo wake kupokonywa mwanaume,…
“dada, ina maana na kuvaa kwangu vizuri bado sito olewa”
“sikiliza Zahra, wanaume hawaangalii mavazi pale wanapotaka kuoa… Wanaangalia tabia… Afadhali mwanzo ulikuwa ukivaa vizuri, lakini ukaja kuiga mavazi ya mjini… Afu sasa kingine, mwanaume hapendi mwanamke muongeaji sana… Kingine mwanaume hapendi mwanamke mjuaji sana”
“mmhhh dada”
“ndio hivyo… Sasa hivi unatakiwa ubadirike”
Baada ya siku mbili Swalehe walirudi kutoka tanga,.. Sasa farida na Swalehe ni mume na mke,… Zahra aliumia moyo lakini haikuwa na jinsi labda haikuwa bahati yake, japo aliikataa mwenyewe kipindi cha mwanzoni…. Huezi amini Zahra alimtafuta ayub yule yule aliowahi kumdanganya na kujifanya tajiri kumbe aliazima vitu vya watu… Namba alishazifutaga lakini kichwani kwake bado zipo japp ni muda mrefu sasa umesha pita
“hallo ayub mambo”
“poa.. Nani mwenzangu”
“ina maana ulifuta namba yangu ayub”
“sikukumbuki tafadhali, na sasa nipo bize kidogo ofisini… Labda unikumbushe mana nina kikao na wafanya biashara wenzangu”
Aliongea ayub huku akionekana kweli ni boss
“ni mimi Zahra”
“oooohhhh Zahra mpenda pesa.. Habari yako mama”
“salama tu… Ila tafadhali sana usiniite mpenda pesa”
“nakuita hivyo… Kwakua nina uhakika bila kujifanya mwenye pesa, nisingelipata penzi lako… Na umenila pesa nyingi sana kisa uzuri wako Zahra”
Aliongea ayub lakini kama vile alikuwa na dharau fulani hivi…
“ok tuachane na hayo… Naomba tukutane mjini leo jioni… Nitalipia dina na hata chumba pia ukitaka nitalipia”
Zahra aliamua kurudiana na ayub
“hahahahahahahaha, Zahra… Kwa sasa umechelewa.. Tayari nina mke,. Nimeshaoa… Na pia kwa sasa siishi Arusha bali nipo BABATI nimejenga mji wangu huku”
“Babati??”
“ndio.. Na pia nina mke na mtoto mmoja”
Aliongea ayub huku Zahra akianza kulia tena,… Yaani kakosa kote kote
Zahra alikata simu kwa hasira,…
Sasa huku kwa ayubu,… Kweli ayub kwa sasa ni tajiri, na ndio yule yule tajiri aliojenga jumba la kifahari kule mjini Babati, na mafundi alikuwepo Swalehe kama mmoja wapo kati ya mafundi 20…
“kuna malaya mmoja nilitembea nae muda mrefu nikiwa mbeba mzigo”
Aliongea ayubu kama vile kumhadithia rafiki yake…
“kwani ulikuaga unabeba mizigo”
“heeee… Ndio, kabla sijaenda mgodini, nilikua nabeba mizigo kule NMC”
“alaaaaaa”
“ndio… Na mungu nae hakunitupa mgodini… Ndio kama hivi hali imekuwa njema”
“kwahio kakuambiaje huyo mwanamke”
“naona ana nia ya kurudiana, ila nina mke… Ila kazuri”
“ahhhh mzuri bila tabia ni mbaya”
“umeona eee”
Sasa huku arusha,… Swalehe na farida walikuwa wakihama katika chumba kipyaaa, mana wakiendelea kuishi hapo farida atateseka sana kwa maneno ya mama mwajuma na Zahra,… Hivyo baada ya ndoa yao waliamua kuhama na kuwaachia boma lao,.. Sasa wakatengeneze maisha yao mazuri wakiwa ndani ya ndoa…
“Nashukuru sana mume wangu kwa kukubali kuhama pale… Nilikuwa nahisi huto nielewa… Ahsante sana… Naapa kukupenda mpaka kufa kwangu, sintosikiliza ya mtu kuhusu wewe… Nakupenda sana mume wangu, utakacho kula nami nitakula.. Utakapo lala, nami nitalala…. Tumuombe mungu nasi tubarikiwe maisha mazuri…”
Aliongea farida wakati huo kajilaza katika kifua cha Swalehe, tena huku akichezea gaden love za mume wake
“nami pia nakupenda sana mke wangu.. Ninacho kusihi, tafadhali sana usisikilize ya mtu… Na usidanganywe na mtu… Mana kwa kawaida ndoa huharibiwa na mwanamke,… Na mwanamke huyo sio wewe, bali ni mwanamke ambaye ataanza kukupandikiza umbea, chuki, na dharau juu ya mume wako… Nakupa ujumbe wangu, lakini jieshim, jichunge na ndoa yako.. Na uchunge maneno ya mashoga zako,.. Baya toa, zuri hifadhi… Hapa ni mjini kila mtu hutumia akili yake,… Wengine hutumia akili zao kupotosha ndoa za wenzao kwakua zao zilishaoza… Hivyo kua makini na jiji”
Aliongea Swalehe kama kumsihi mke wake,….
“mume wangu…. Masikio yangu, hayasikii neno lolote baya kuhusu ndoa… Mimi ni wako wa milele,..na Kama sikupendi ni kheri nisingelikubali unioe.. Lakini nakupenda nakuheshim na nakujali na ndio maana nimekubali kuolewa nawe… Mume wangu…Kama umetafuta kitoweo Umepata rudi nyumbani tule… Umekosa pia rudi nyumbani tule cha jana… Kama hakuna pia rudi nyumbani tulale”
Yalikua ni maneno mataam yaliomtoka msichana huyo,. Swalehe alijikuta akitabasamu kwa mbaaali
Tukijua huku upande mwingine, Hutaamini macho yako
Wakati huo huku ndani…. Farida alikua akimpa maneno rafiki yake..
INAENDELEA


1 Comment
I was suggested this web site by my cousin. I am not sure whether this post is written by him as no one else know such detailed about my difficulty. You are incredible! Thanks!