WAPANGAJI WENZANGU
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 11
Aliongea mama mwenye nyumba huku wapangaji wakicheka sana,.. Lakini mama Mwajuma alikuwa akifurahi kwa ndani ndani, mana anajua udhaifu wa Swalehe ni kuona nguo za ndani, yaani anaweza kumpenda mwanamke papo hapo kwa kuona kinguo chake tu,.. Sasa mama mwaju alikuwa anahofia kuachwa na Swalehe kwa sababu ya Zahra…
Basi kesi iliisha na kila mtu alifanya mambo yake,.. Wakati huo Swalehe yupo ndani mida ya saa kumi hivi, tena alikuwa akichati zake… Mara ghafla mlango umesukumwa na kuingia mtu… Alikuwa ni Zahra ndie alie ingia hapo ndani….
“swai…. Ivi wewe ni mwanaume wa aina gani, upendwe vipi jamani swai… Nakupenda swai, nimekukubalia lile ombi lako la kunioa”
Aliongea Zahra, lakini swai alikuwa bize na simu,… Zahra aliinyakuwa ile simu huku akisema
“ina maana hii unaisikiliza sana kuliko mimi”
Aliendelea kuongea baada ya kuona kimya kimetanda katika kinywa cha swai,…
“kwani wakati mimi nakufuata nilikuwa na fujo za aina hiii… Mara ya kwanza Uliniokotesha chupi yako pale bafuni..”
Aliongea swai, kisha Zahra akadakia
“lakini kwani uliiokota swai.. Si niliiokota mwenyewe siku ile… Basi Nisamehe”
Aliongea Zahra kisha swai akaendelea
“ziku zilizofuatia… Ukaniuliza kazi yangu, nikakujibu vyema kabisa… Je wewe uliniambiaje…. Eti kazi yangu hata rangi ya kucha zako siwezi kununua,… Ukaniangalia juu mpaka chini.. Sio wewe”
Swalehe alikuwa akimkumbushia miezi ya nyuma, vitimbi alivyo mfanyia swai…
“lakini ni kawaida mwanaume kupewa changamoto swai… Please, moyo wangu unaishi kwako”
“sikia Zahra…. Mimi sikutaki tena, yaani sasa hivi nakuona kama takataka vile… Sikutaki.. Narudia tena,… Si ku ta ki, umeielewa?”
Aliongea Swalehe tena kwa msisitizo wa hali ya juu,
“kosa langu”
“unalijua mwenyewe, na sitaki mazoea na wewe… Sitaki…”
“sawa…. Eti sasa hivi chupi hazikusumbui eee…”
Zahra aliongea ujinga, mana kumbe anaanika michupi yake akidhani swai atasisimka na kwenda kumtongoza,.. Sasa kumbe ujinga aliofanya, ni kweli zile chupi ni mpya, afu Swalehe na chupi mpya, wala hazimtishi… Sasa Zahra sjui kanunua sjui kakopa… Anaanika tano tano.. Kumi kumi… Utafikiri mhudumu wa gesti…
“mimi sijui”
“mbona siku ile ulitetemeka kwa kuona nguo yangu… Nashangaa nimekuekea mlangoni kabisa lakini umekazaaa… Mpaka umekwenda kushtaki”
“Zahra, naomba utoke ndani kwangu… Tusije gombana buree”
“kutoka nitatoka… Lakini jua nakupenda swai… Nakupenda kweli swai na mama yako anajua hilo”
“anajua yeye.. Kwani si ana watoto wawili wa kiume… Atakuozesha kwa kaka yangu”
Aliongea Swalehe huku Zahra akitoka kwa hasira, mana maneno ya Swalehe yalikuwa yakimkera katika moyo wake,…
Baada ya masaa mawili kupita,.. Manyunyu ya mvua alianza kunyesha, Zahra kwa kusudi zake akampigia Swalehe simu… Zahra alipewa namba ya swai na mama yake Swalehe, na swai anaijua namba ya Zahra kwa maana alishawahi kumsumbua nayo mpaka ikafika hatua kaiblock namba hio… Sasa leo katumia namba nyingine…
“hallo, nani mwenzangu”
Swai aliuliza baada ya kupokea simu hio
“Samahani, ni mimi Zahra… Swai… Naomba unitolee hizo nguo zangu.. Nakuja kuzichukua ndani kwako”
Zahra alimwambia swai kuwa aanue hizo chupi, kisha atakwenda kuzichukua ndani kwa swai..
“ivi Zahra, una akili timamu wewe… Yaani mimi niamke hapa nianze kuanua nguo zako za ndani eti kisa zisiloe…. Ebu toa uchizi bwana”
“swai, kweli mvua italoesha afu zishaanza kukauka jamani swai nisaidie jamani”
“sitaki bwana… Na sitaki unipigie simu”
Aliongea swai huku akikata simu,.. Ni dhahiri kweli Swalehe hamtaki tena Zahra,.. Na alimpenda sana kwa uvaaji wake wa heshima, lakini baada ya kumletea nyodo sasa hamtaki tena
Sasa ilipofika jioni umeme ulikata,.. Sasa Zahra kwa hasira alitoka huko kwao mpaka kwenye mlango wa swai
“wewe toa hela ya umeme… Wewe ndio unatumia umeme kuliko watu wote humu ndani,… Na hiki kidude chako hapa nje ndio kinatudanganya… Funguaaaaaaa”
Aliongea Zahra tena kwa kupiga kelele, mpaka nyumba ya pili huko wanasikia,.. Swai hakujibu kitu bali aliamka kisha akafungua mlango wake…. Sasa ile anafungua tu mlango Zahra kaingia kwa kumsukuma Swalehe…. Mbaya zaidi Zahra alikuwa mwenye kanga moja peke yake,..
“Zahra unafanya nini na giza hili”
“sikia swai.. Tayari nimeshapiga makelele na watu wamejua naingia kwako, chupi hii hapa nimeichana chana kama ushahidi, sasa ukisema fyoko… Napiga kelele unanibaka,… Swai? Leo nataka nilale hapa kwako, unifanye utakavyo mimi nipo tayari,… Kama moyo unaishi kwako, iweje mwili niuache mbali,…. Swai, leo nataka unikamue utakavyo”
Katika mahusiano ya sasa hivi, hata wanawake wamekuwa watongozaji hodari, tena ni wabaya sana kwenye mistari yao,.. Mwanamke akiamua kumtongoza mwanaume,… Aisee hata mwanaume haoni ndani,… Lakini sasa hakuna hasira wala chuki pale mwanaume akitongoza na kukataliwa,.. Ila kuna hasira na chuki pale mwanamke anapomtongoza mwanaume na kukataliwa, na ndio mana ni ngumu mwanamke kumtongoza mwanaume, mana akikataliwa anajiona kituko flani hivi, na anaweza kujenga bifu na wewe kama mnaonana mara kwa mara.. Lakini kwa sisi wanaume tukikataliwa hua tunaona ni simpo tu, cha zaidi labda tuanze kusema tu, ooohh kwanza mbaya, huna chura, sjui sura huna…. Tukisha sema hivyo tu, ujue hapo ndio basi,… Lakini kwa mwanamke, linamkaa kifuani na kujiona yeye si lolote mana katongoza afu kakataliwa… Inamuuma sana, tena sana, anaweza hata kujiua kama kweli alimpenda mtu na akakataa…
Sasa Zahra leo kaamua kujibakisha, (kujipeleka kubakwa na Swalehe) mana ameongea yote, kamuanikia mpaka chupi mpya mlangoni kwake ili swai asisimke nazo aweze kumkubalia, lakini pia akagonga mwamba, sasa leo kaamua kuja mwenyewe tena chupi ikiwa mkononi tena imechanika mithili ya mwanamke aliobakwa,.. Wakati huo Swalehe aliwasha taa za solar, mana umeme umekatika tu na wala sio luku,… Lakini Zahra kaja kudai hela…
“Kama moyo unaishi kwako, iweje mwili niuache mbali,…. Swai, leo nataka unikamue utakavyo”
Aliongea zaru baada ya kuingia kwa Swalehe bila idhini yake,… Swai kweli kaona kachupi kamerushwa kitandani akiwa na maana wanatakiwa wakafuate kale kachupi kule…
“utoe nguo yako na uondoke”
Aliongea swai lakini wakati huo mashine yake ilishakuwa ngumu,.. Mana yake tayari hisia zimesha panda,…..
“swai, hivi wewe ni mwanaume wa aina gani… Kwa jinsi nilivyo, kuna wanaume ambao wanatamani angalao wapate nafasi ya kuwa chupi niwavae, leo nakuletea mwenyewe unaniringia”
Aliongea zaru, na kweli zaru alikuwa msichana mrembo sana na mwenye umbile la kipekee,… Lakini sasa ni mcharuko sana…
“huyo mwanaume mwenye fikra hizo, ni mjinga… Ni bora niwe chupi ya kichaa ila sio wewe… Sasa skia, chukua kinguo chako kile, na uangalie pale kwenye mita yangu nadaiwa kiasi gani nikupe uende…”
Aliongea swai huku zaru akamuangaliaaaa….. Mara swai karukiwa, sasa kwa vile hakutegemea kirukiwa,.. Alijikuta kadondokea kwenye sofa, afu zaru akaja kwa juu,… Na ni kweli zaru hakua hata na chupi, hivyo kwa zile purukushani za hapo kwenye sofa,.. Ile kanga ilikuwa ikifunguka funguka..
“hivi swai unajiona we mzuri sana eee??…. Hebu ona ubo** wako ulivyo simama”
Aliongea kisha akaitoa ile kanga, laaa haulaaaa… Mipaja ya zaru ndio iliomtoa swai udenda… Kumbe swai navutiwa zaidi na michirizi ya mapajani, yaani mwanamke mnene, hua ana vimistari flani hivi humtokea, kama viramani ramani hivi,… Sasa swai kuona,… Duuuuuhhh…. Alijikuta amezubaa mpaka akanyonywa denda na zaru, kwa mara ya kwanza zaru anamkamua swai mate…. Swai kalainika kawa mdebwedo… Saa mgapi hajampikea Zahra,… Mwanamke ni mwanamke tu hata uweke ngumu vipi, akiamua umle utamla tu, taka usitake….. Swalehe alimnyenyua Zahra na kumueka vizuri kwenye sofa kisha mate yakaendelea, miguno ya hapa na pale ikaanza kwa Zahra…. Kana kwamba alipo pagusa swai, kapapenda mno
Ikiwa ni saa mbili kasoro usiku, huku kijijini kwa wazazi wake na Swalehe au Hassan,…. Wakiwa nje wanapunga upepo kwenye mbalamwezi,….
“hivi umeongea na Swalehe”
Aliongea mzee MSHUZAH, ambaye ni baba yake swai
“nikiongea nae lakini ni muda sana…. Ila mchumba wake ndio nawasiliana nae”
Aliongea mama yake Swalehe huku mzee akashangaa
“mchumba? Mchumba gani tena, mbona mimi silijui hilo”
“heeeee mume wangu… Wewe si ulikuwa unaumwa, sasa ningekwambiaje”
“kwani hospitali nimetoka leo au jana? Si Karibia wiki mbili zimepita”
“ni kweli, lakini Nisamehe kwa hilo.. Ila mwanao sasa ana mchumba na hata ile pesa tuliolipa hospitali nimetumiwa na mchumba wake”
Aliongea mama yake Swalehe huku mzee akiwa hajapendezwa na jambo hilo…
“hapana, mimi sijapenda Swalehe aoe kwa sasa”
Aliongea mzee MSHUZAH huku mama akishangaa na kusema
“baba Hassan, mbona sikuelewi”
“nimesema hivi… Muache mtoto ajijenge kwanza, wamkimbizia kuoa kwanini”
“lakini ni mkubwa yule anatakiwa kuwa na familia sasa”
“ni kweli mama Hassan, lakini mtoto ndio kapangisha juzi juzi tu.. Leo aoe je kama hajajipanga vyema”
Aliongea mzee huyo huku mama akikasirika mno
“mimi nasema ataoa tu”
“sasa tutaona kama wewe ndio baba… Mbona Hassan hujamwambia aoe, kwanini unataka Swalehe aoe yeye, au Hassan sio mwanao”
Aliongea mzee huyo na wakati huo mama kakasirika na kuamka hapo nje
“Hassan ni mtu mzima keshanishinda tabia… Sasa huyu Mziwanda wangu ndio nataka aoe”
“mimi nasema haoi… Pumbavu sana, mwache mtoto ajipange kwanza… Kwanza sikuhizi wanawake gani watakwendana na maisha ya ujenzi… Wanataka majumba ya kifahari, mapesa, magari ya kifahari… Mwanangu bado ni fundi mwache ajipange vyema”
Aliongea mzew lakini mama Hassan au mama swai hakujibu kitu, alikwenda zake kulala…..
Sasa huku kwenye boma, dada yake Zahra anamtafuta Zahra hamuoni huko ndani, akaenda kwa marafiki zake wa hapo hapo ambao anakwendaga kupiga nao stori za hapa na pale,… Pia hayupo, aliingia ndani na kupiga simu yake,.. Lakini alishangaa inaitia hapo hapo ndani kwenye kochi,
“huyu mtoto kaenda wapi saa hizi saa mbili hii”
Aliongea fatuma au mama said,…
Wacha mama Saidi atoke huko nje, mana haijawahi kitokea Zahra atoke usiku hivyo kwa Fatuma ni lazima apate wasiwasi juu ya mdogo wake, na wakati huo kuna tabia ya wasichana kubakwa bakwa… Sasa akajua lazima Zahra kaingia kwenye mtego wa kichapo cha wahuni….
Kumbe mtotp Zahra yupo ndani huku, wakati huo mtotp kaiva, kaivishwa haswa,… Na happ bado hawajaanza mapenzi mazito… Swai mwenyewe kabaki kama alivyo zaliwa,… Zahra haamini kama leo kakubaliwa, na hapo kwenye moyo wake ameapa kuto mchezea Swalehe, ataishi nae vyovyote vile maisha yatakavyo kuwa
Zahra kalegea kama mlenda,… Swai bila kuchelewa… Akashika mashine yake na kuichomeka katika buyu la Zahra…. Sasa ile anachomeka tu, mara simu ya swai ikaita…
“ayaaaa nani tena huyo”
Aliongea swai huku akichomoa na kuifuata simu aliangalia kuwa ni fundi wake…
“hallo fundi Shikamoo”
“marahaba, vipi swai upo tayari kesho tunakwenda babati kuna jengo tukaanze nalo”
Aliongea fundi kuwa kuna kazi imejitokeza huko…
“itakuwa ya muda gani”
“ni kama miezi miwili mitatu hivi”
“duuuu…. Nitakwenda… Ila ni saa ngapi”
“tutoke asubuhi sana… Mana tunatakiwa tuwahi kufika ili tuandae makazi ya muda”
“ok sawa fundi… Saa kumi na mbili asubuhi nipo hapo kwako, hakikisha nawe umesha jiandaa.. Mana sio mimi niharibu usingizi wangu, afu nikute wewe ndio badooo”
“we njooo twende bwanaaa…. Alaaaa”
“poa basi usiku mwema”
“ok poa”
Simu ilikata,… Lakini hamu ya mapenzi tena iliisha,…. Ilibidi akae zake kitandani mana hamu hana tena
“vipi swai, mbona umekaa tena… Njoo uuchomeke huo mdude wako”
Aliongea zaru huku akimfuata pale kitandani,…
“sina hamu tena zaru”
“nooo bwana… Kwani si simu ya kazi hio, au kuna nini umeambiwa kwenye simu”
“hapana… Stimu imekata”
Aliongea swai huku zaru akisema
“kumbe ni hivyo tu… Ngoja nikubusti sasa”
Aliongea Zahra huku akianza kumsolola nanii yake,… Zahra alifanya kila liwezekanalo mpaka swai akarudisha hamu zake,.. Zahra bila kuchelewa akalipandia juu kwa juu, likaingia lote…. Sasa Zahra ni mzito kukatika.. Hivyo swai akambeba na kumkalisha kwenye sofa ikiwa humo humo ndani,… Sasa swai kamueka sawa, kisha akaanza miuno…. Ghafla mlango wa Swalehe unagongwa
“ng’o, ng’o, ng’o, ng’o, ng’o, ng’o”
Mlango uligongwa kwa hasira kali mno, kana kwamba huyo mtu anataka kuingia huko ndani…
“nani huyo tena?”
Aliuliza swale kwa sauti ndogo,..
“swai tafadhali sana… Usiende kufungua… Jikamue unimwagie hata hata bao moja ndio uende kufungua mlango wako”
Sehemu Ya 12
Aliongea Zahra huku swai akitaka kuchomoa ili akafungue lakini Zahra kamshikiliza swai asichomoe…
“narudi wacha nimjue ni nani…”
“sitaki bwana swai…jikamue unimwagie kwanza nyege zako ndio uondoke, hata usiponirudia sawa tu”
Aliongea Zahra huku kana kwamba hataki tena kuachwa…
“ng’o, ng’o, ng’o, ng’o, ng’o, ng’o”
Hakuna kitu kibaya kama kukatiwa starehe, haswa haswa ya mapenzi,… Zahra aliekuwa mtu mwenye hamu nyingi zaidi kwa kufanya mapenzi na Swalehe, leo kafanikiwa lakini vikwazo vimekuwa vingi katika hilo,..
Swalehe alimpenda sana zaru nyakati za mwanzoni wakati alipo hamia katika boma hilo,.. Lakini zaru alionekana kuwa na dharau juu ya swai kutokana na hali ya kazi yake,.. Ni kwasababu zaru alikuwa na tajiri mmoja alie onekana kuwa ana pesa, lakini kumbe alikuwa ni kijana mwenye maisha kama ya Swalehe,.. Hivyo zaru alipokuja kujua kuwa wanaume wengi ni wadanganyifu ndipo akamkumbuka Swalehe ambaye alisha mtaamkia swala la kumuoa,… Lakini baada ya kurudi alikutana na kisiki cha mpingo,.. Swalehe hakumtaka tena….
Zaru hakukata tamaa na leo kafanikiwa kummiliki Swalehe katika mikono yake,… Na siku hio ilikuwa ni spesho kwa Zahra, kwani alikuwa tayari kutafunwa na Swalehe…. Lakini pale walipo anza mchezo wao ghafla mlango wa Swalehe uligongwa
“ng’o, ng’o, ng’o, ng’o, ng’o, ng’o”
“nani?”
Swalehe Aliuliza kwa sauti baada ya kuona kelele zinazidi, mana alitaka kutulia….
“mimi mama Mwajuma”
Alikuwa ni mama Mwajuma ndie aliegonga mlango wa Swalehe,.. Zahra kuskia ni mama Mwajuma, alikasirika sana,…. Mana anamjua hua anamleteaga Swalehe chakula kila siku, ila Zahra hajui kama pia mama mwajuma analiwa na Swalehe,… Swalehe alichomoa mzigo wake, mana hata kukatika hajakatika
“swai, yaani kweli unachomoa ubo* kwenye kum** yangu”
Aliongea Zahra baada ya kuona kweli Swalehe alikuwa akichomoa, yaani Swalehe ni kama alikua akijilazimisha kusex nae, mana hata ile shauku ya kutamani kwa mara nyingine hakua nayo
“sasa nitafanyeje, namueshim sana huyo mama, hakuna jinsi… Vaa tu, tutakutana nikirudi”
Aliongea Swalehe huku Zahra akishangaa,
“ina maana mpaka urudi.. Na wakati umepigiwa simu ya kazi sjui miezi mingapi”
“Usijali zaru”
“niite mpenzi,.. Sasa hivi wewe ni wangu… Swai… Sawa kafanye kazi mume wangu, lakini jua kuwa nipo kwa ajili yako na Nakusubiri wewe”
“ok, vaa nguo zako sasa”
Aliongea Swalehe huku Zahra akichukua kile kichupi chake alicho kuja nacho kikiwa kimechanika mithili ya kama kabakwa hivi…
“ila… Ukirudi, mimi ndio nitakupikia humu ndani, au kama hutaki nipike, nitakuletea mimi kama anavyoleta yeye”
Zahra aliongea hayo mana imekuwa kero kwake, na hii ni mara ya pili, mana mara ya kwanza walikutana mlangoni,…
“sawa”
Alikubali Swalehe, huku akifungua mlango na mama Mwajuma akaingia
“heeeee zaru, saaa hizi huku vipi tena”
Mama Mwajuma alimuuliza Zahra kwa kumkuta hapo ndani saa tatu kasoro… Lakini kabla Zahra hajajibu, swai aliwahi kujibu…
“aah alikuja nimfundishe jinsi ya ku download nyimbo mpya…”
Aliongea Swalehe huku mama Mwajuma akisem
“mbona hana simu”
“simu yake ni kama yakwangu, hivyo nimempa tu maelekezo aende kulifanyia kazi kwenye simu yake”
Aliongea Swalehe lakimi Zahra akadakia
“kwani swai, huyu ni mama yako, au anakusaidia kukupa tu… Mbona maswali mengi hivyo”
“skia Zahra, huyu mtu namheshimu kwakua ni mtu mzima”
“hapana bwana… Hapa kuna walakini, sio kwa maswali haya”
Aliongea Zahra huku akifungua mlango na kuondoka
“swai, una mahusiano na huyu mtoto”
Mama Mwajuma Aliongea huku akikaa kwenye kitanda,…
“ni kweli, lakini ananipenda yeye”
“na wewe”
“mimi sio sana.. Mi nataka kumtumia tu”
“swai… Staki kushea penzi na vitoto sawa… Kama hunitaki niambie,.. Huezi kuingiza mbo* yako kwenye kitakataka kama hiki… Wewe ni mali yangu swai, staki mtu akuguse”
Aliongea mama Mwajuma tena bila uoga
“lakini ukumbuke mimi nahitaji kuoa”
“swai… Kama ni mtoto mimi nitakuzalia, tafadhali sana”
“na kuoa je”
“swaaaiiiiiiii… Kwani wanao oana wanatafuta nini kama sio watoto… Sasa kama ni watoto, mimi nimekubali unipe mimba unazotaka wewe, na nitawalea… Sasa sina mume, hata watu wakijua uhusiano wetu, tuishi kwa amani swai”
“heheheheheeheh… Unajua unanichekesha kweli… Haya sasa, kwangu mimi sina tabu, je kwa wazazi wangu… Sasa tufanye kwa mfano nakupeleka pale kwa wazazi afu nakutambulisha… Sasa hebu vuta picha hapo”
“swaiiiii, najua wazazi wako ndio kikwazo,.. Kwahio ukio ndio basi tena”
“sina maana hio… Nitakuchapa kama kawaida”
Aliongea Swalehe baada ya mama Mwajuma kujua kua hawezi kutambulishwa kwa wazazi wa Swalehe kama mke…
“ila sio huyu mwehu… Sitaki kusikia kua eti katika maisha yako unamuoa huyu mwehu… Nitamuekea sumu afe”
“kwanini sasa umuekee sumu”
“mi najua tutapigana kila siku”
“khaaa, sasa mama Mwajuma, Zahra si kama mtoto wako tu”
“weeeeee… Mtoto gani napishana nae mlangoni… Nasema sitaki, kama ni mke tafuta mwingine”
Mama Mwajuma kachafukwa, na yeye hamtaki Zahra mana ni mkorofi, tena mcharuko haswau, ila kwa Swalehe anakuwa mpole, hawa ndio wale wanawake ukiwataamkia kuwaoa, watasema hata chooni mtalala, hata maji mtakunywa mtalala… Hata kwenye mkeka tutalala,… Sasa muoe uone kazi
“we nipe chakula nile Bwana achana nae”
“kweli nakuambia… Sitaki Zahra awe mke mwenzangu, tafadhali sana”
Mama huyo hakutaka kushea penzi na mwanamke mwingine…
“kula ushibe baba… Leo nataka vitu”
Aliongea mama Mwajuma, na Swalehe anajua fika kesho anasafiri kikazi, hivyo atamchapa kamwisho mwisho,….
“we nenda, nitakuja kwa kisingizio cha kuleta vyombo”
“sawa.. Ngoja nikajiandae,.. Mana mziki wako ni wa kujiandaa haswa”
Aliongea mama Mwajuma huku akiondoka
Baada ya masaa mawili, na sasa ni saa tano za usiku,… Swalehe alipiga simu kwa mama mwaju
“fungua basi nipo kwa nje”
“sukuma tu mume wangu”
Swai alitumia kupiga simu mana boma limetulia sana hivyo akigonga itawashtua wapangaji wengine na kuanza kuchungulia madirishani kuangalia nani kagonga na anakwenda chumba gani….
Swalehe mpaka ndani, alimkuta mama mwaju kajilaza vibaya,… Alipita kwa taratibu ili asije kuwashtua wale watoto waliolala chumba cha kwanza… Ile anakaa tu kitandani mama mwaju alimvuta swai mpaka katikati ya kitandani,.. Mchupi mkubwaa ndio nguo aliokua nayo mama mwaju, yaani hio tu… Swai alianza kuzifikicha zile shanga zilizo jaa katika kiuno cha mama huyo,…. Kitovu chake kiligeuka askrim ya maembe… Manyonyo yake aliolala kimtindo yaligeuka kua embe nyonyo,.. Hajakaa sawa mara shingo ikavamiwa na meno ya Swalehe… Mama kashindwa kuvumilia na kuanza kuzitoa sauti za ajabu… Swalehe aligundua tabia moja mbaya sana ambayo inamtia mama kichaaa,
“aiiiiii”
Kilikuwa ni kidole cha kati, tena alikiingiza sehemu zingine za siri… Sasa huko nako mama anajiskiaga raha japo hajawahi kufanyiwa kitendo hicho na uume… Ila swai kazua tabia kwa mama huyo kumuingizia kidole,.. Wakati kidole hicho kikiwa ndani kulele 0714, mkono mwingine akawa anachezea kisimi tena wakati huo hata chupi haijavuliwa… Kichaa kilimuanaza mama wa watu, sio kwa kuruka ruka hapo kitandani,…. Swai alihakikisha ile chupi imebakia kupakwa sabuni tu ifuliwe, mana ilisha loana….. Basi akaanza kuivua taratibu, lakini mama mwaju, alishazidiwa… Swai alishangaa tu Vipande vya chupi, kana kwamba mama mwaju kaichana ili aingiziwe mashine haraka
“ooouuuuuuuiuiiiiiiiiiiiiiiii…”
Kesho yake asubuhi sana Swalehe ndio anatoka zake, tena yeye ndio wa kwanza kufungua geti kubwa, wakati huo hakuna alio amka mana anawahi safari asije kuachwa na wenzie… Kiguu na njia mpaka kwa fundi wake
Safari ilianza kwenda Babati kikazi,
“halo mama? Shkamoo”
Swalehe kila akianzia safari huwajulisha wazazi wake kua hayupo jijini
“marahaba baba.. Habari yako mwanangu”
“salama mama.. Sijui nyie huko”
“aahh huku tunaendelea vizuri baba..”
“baba vipi hali yake”
“sasa hajambo.. Hata shamba anakwenda, wala hana shida”
“sawa mama… Sasa mama leo nimesafiri nakwenda babati”
“kuna nini huko, au ndio hizo kazi zako”
“ndio mama”
“sawa baba… Kazi njema… Angalia huko mana wewe ndio tunakutegemea baba”
“hakuna shaka mama”
“sawa baba”
Ilikuwa ni mchana wa saa nane, wakiwa ndio wanafika Babati,.. Kwa watoto wa kimbulu,…
“swai… Shika ramani hii… Hebua tuangalie wote hapa kabla hatujaanza kuita mafundi wengine, mana hii kazi nimepewa mimi niite mafundi wengine… Bosi anakuja muda sio mrefu”
“khaaaaaaaaa, hili jengo litaisha na leo kweli?”
“maksimamu ni miezi mitatu.. Lakini naona kama miezi mitano hivi”
“aaahhh fundiii.. Ina maana miezi mitano hatutorudi nyumbani”
“wewe acha kuwaza nyumbani, kwani una mke.. Au lile limama uliosema ndio linakupagawisha”
“amna.. Nimesema tu”
“skia.. Hapa tukiondoka ujue jengo limeisha.. Kiwanja ndio hiki Hapa.. Sasa tuite mafundi wangapi… Mana nimekuja kuona kwanza ukubwa wa kiwanja”
“mmmmhhh fundi…. Hapa tuwe na mafundi kama 15 hivi… Mana bila hivyo.. Itakula kwetu.. Tusipende kubania pesa”
Aliongea Swalehe, mana dili hilo la kujenga nyumba ni lakwao yeye na fundi wake, sasa wao ndio waite mafundi wemzao ili wapatanie wao kama wao…
“mi nakuelewa… Na nayaka tukitoka hapa… Wewe sio saidia fundi tena.. Hapa ndio nataka nikufundishe mwanzo mwisho”
Aliongea fundi jafe, fundi ambaye anamkubali sana Swalehe katika shughuli zake za ujenzi…. Swalehe aliishi na kaka yake miaka kumi, lakini hajawahi kusema ampe nafasi ya kipau mbele kama fundi…
Sehemu Ya 13
BAADA YA MWEZI MMOJA KUPITA
Swalehe akiwa ni mmoja wa mafundi na sio saidia fundi tena,… Na sasa nyumba ipo kwenye lenta… Wanasubiri ikauke ili waongeze tofari tatu kwa juu…. Sasa swai akiwa hapo saiti wametulia, ghafla simu yake iliita,…
“nani huyo tena”
Aliongea swai huku akitoa simu katika mfuko wake,… Na hapo ilikuwa ni mida ya jioni saa 12 na nusu kagiza kanaanza hivi, walikuja kumwagia maji ili kukauke vizuri… Sasa ji muda waliotakiwa kuondoka ndipo simu ikaita…
“heeeeeee baba mwenye nyumba… Kuna nini tena?”
Swalehe alishangaa kuona simu ya baba mwenye nyumba, na wakati hadaiwi kodi wala nini, sasa simu ya nini tena…. Afu baba mwenye nyumba mwenyewe ni mwanajeshi mstaafu….
“ha.. Ha.. Hallo mzee shikamoo”
Swalehe alisalimia lakini kwa wasiwasi sana
“marahaba kijana wangu habari za kazi”
“salama tu mzee…. Haya kuna nini mzee wangu.. Mana nimeshtuka kuona simu yako mzee”
“ni kweli kijana, kwa sasa unakabiliwa na kesi ya kumpa mwanafunzi ujauzito,.. Na sasa jeshi la polisi limeanza kazi yake juu yako”
“Haaaaaaaaaaaaaaaaaa….”
Katika hali isiyo ya kawaida, Swalehe anakutaka na dhahama ya kumpa mwanafunzi mimba, na kwa karne hii miaka 30 ni lazima na sio ombi… Na inaonekana upelelezi umeanzia mahali anapoishi Swalehe…
KABLA HATUJAANZA TULIPOISHIA
TURUDI NYUMA KIDOGO KABLA YA SWALEHE KUPIGIWA SIMU NA BABA MWENYE NYUMBA WAKE…..
Huku kwenye boma ambalo Swalehe anaishi, aliingia msichana mmoja aliokuwa kabeba mfuko aina ya begi, yaani yale mabegi ya salfeti ambayo yana picha picha, hua hayakosekanagi kwenye nyumba yale, mtu akihama kama lile fuko hana basi huyo sio mzalendo wa Tanzania
Lakini nyuma yake alikuwepo mwanadada mmoja aitwaye SEMENI au MAMA ABUU ambaye ni mpangaji wa nyumba hio hio, lakini huyo msichana sio mpangaji katika nyumba hio, ila ni mgeni wa SEMENI,. Msichana ni mzuri kupita kiasi ana sifa zote na kuitwa mwanamke… Mana shepu alionayo ni zaidi ya shepu, sura ndio usiseme… Msichana alikuwa mfupi wa wastani, mbaya zaidi aibu ilimjaa katika sura yake… Wakati huo Zahra alikuwepo anakuna nazi hapo nje, kwa maandalizi ya chakula cha jioni,…
“karibu ukae”,
Aliongea Semeni huku msichana huyo mrembo akikaa katika kochi, lakini Semeni alionekana kukasirika kwa kiasi…
“Ahsante dada”
Alijibu msichana huyo, kisha dada yake huyo ambaye ni mama abuu akamwambia
“umeona, tunaishi kwenye chumba kimoja tu… Halafu umekuja bila taarifa, hebu angalia sasa utalala wapi hapa”
Aliongea Semeni, hivyo kwa mtazamo wetu, ni kwamba huyu msichana ni mdogo wake Semeni kabisa, sasa kaja mjini bila taarifa na huku mjini mambo ni ya chumba kimoja mtu na familia yake..
“dada, kule kijijini hali sio nzuri.. Nitafutie hata kazi za ndani nitafanya”
“mimi sikatai FARIDA mdogo wangu.. Ila mpaka uje kupata hio kazi, je tutalalaje humu ndani”
“dada, hata hapa kwenye kochi nitalala tu”
“heeeeee… Yaani baba abuu akitoka akuone umejilaza hapa sebuleni… Sawa hio sio shida,.. Na sisi usiku sasa tutafanyeje?… Farida mdogo wangu, kwanini usingepiga simu kwanza”
Semeni aliongea kwa msisitizo mkubwa, maisha yao ni ya chumba kimoja, leo anakuja mjini sasa atamlaza wapi…
“dada fanya juu chini… Nimekuja mjini nami nipate kazi,.. Angalau tuwe tunatuma hata pesa ya mafuta ya taa kule nyumbani… Dada mimi nitalala popote pale hata kama ni chini”
Aliongea farida huku Semeni akiacha kulalama juu ya mdogo wake kuja mjini mapema…
“mmmhhh Kiukweli umenipa mtihani mkubwa sana farida… Yaani mpaka natamani kulia.. Maisha yenyewe na mume wangu ni ya kupigana kila siku, akirudi kalewa… Leo ulale hapa kwenye kochi kweli?… Nakwambia farida ningelikuwa na nauli sasa hivi ungerudi nyumbani”
Aliongea Semeni ambaye wakati wote alimlaumu farida kwa ukio wake usio na taarifa….
Masaa yalisonga na sasa ni saa 12 za jioni,… Mama abuu alianza kupita kwenye vyumba vya wapangaji wenzake,… Alianza kwa dada yake Zahra ambaye ni Fatuma au mama said
“habari yako mama said”
“safi tu mama abuu… Hali yako”
“namshukuru Mungu maisha yanakwenda”
“ni vizuri, karibu ndani”
“hapana mama said,.. Nilikuwa na shida”
“shida gani tena”
“bwana nimejiwa na ugeni, ambaye ni mdogo wangu… Sasa kama unavyojua nina chumba kimoja tu,.. Nilikuwa naomba ajibane na Zahra siku mbili hizi tu… Mana wewe umepangisha dabo rumu”
Aliongea Semeni tena kwa upole wa hali ya juu,..
“heeee mama abuu, unamletaje ndugu yako wakati unajua hali ya mjini ilivyo…”
“kaja tu, wala sijamuita”
“mhhh Kiukweli mimi sina nafasi.. Mana hapo sebuleni analala mtoto wangu, na kule nalala na Zahra, sasa atalala wapi”
Aliongea Fatuma au mama saidi,
“mama saidi, siku mbili tu abanane na mtoto wako tu”
“weeeee, kakitanda kadogo vile watalalaje… Alafu, kwanini usimjaribu mama Mwajuma… Yule ana wasichana wake wawili tu na amepangisha dabo rumu”
Aliongea Fatuma huku Semeni akikubali mana hapo hapawezekani tena,…
“za saa izi mama Mwajuma”
Semeni alimsalimia mama mwaju
“salama tu jirani hali yako”
“safi tu…. Samahani mama mwaju,.. Nimejiwa na mdogo wangu wa kike.. Nilikuwa naomba hata siku mbili tu alale hata hapo kwenye kochi, mana kuna kazi nimtafutie”
Aliongea Semeni tena kwa upole,.. Lakini mama mwaju kweli ana nafasi mana watoto wake wanalala kwenye kitanda cha ghorofa, (dabodeka), kule chumbani analala mwenyewe….
“mmmhhh Kiukweli mama abu, mbona mimi nalala na watoto wangu, ni mmoja tu ndio analala hapa chumba cha kwanza, na kitanda chake ni kidogo sana”
Aliongea mama Mwajuma huku mama abu roho ikizidi kumuuma mana ni ndugu yake ndie anaempigania sehemu ya kulala tu., “mama mwaju, nisaidie alale hata kwenye kochi tuu”
“hapana kwakweli, kochi zangu zianze kulaliwa? Hapana kwakweli”
Mama abu alikata tamaa kabisa kwa kila anae mwambia anakataa “sawa mama mwaju nimekuelewa”
“lakini mama abu,.. Kuna vile vyumba vitatu vile vya wale vijana… Kwanini usimhifadhi kule”
Aliongea mama mwaju huku mama abu akisema
“mama mwaju… Kama huna nafasi ni bora ukanieleza tu,.. Hebu nikuulize, hivi mtoto wako mwaju unaweza kumlaza chumba kimoja na mwanaume”
Aliongea mama abu huku mama Mwajuma akisema
“weeee, nani? Mimi nimlaze mwanangu kwenye vyumba vya wanaume”
“sasa kama huezi je mimi nitawezaje.. Yaani mdogo wangu nimpeleke kwa wale wavuta bangi… BARAKA, JAMES na KASIM, wale watoto waliokuzwa na bangi leo nikamlaze mdogo wangu pale… Bora nibanane nae humu humu tu”
Aliongea Semeni ambaye wakati huo alikuwa na hasira sana kwa kuambiwa amhifadhi kwa wanaume,..
Mama Mwajuma alikataa kwasababu analalaga na Swalehe, sasa akimkubalia huyo msichana alale humo, ni kwamba ndio mwisho wa Swalehe kuja kumla mama mwaju, mana Swalehe hataki chumba chake kiwe gesti ya mapenzi….. Basi mama abu aliendelea kuzunguka kwa wapangaji wenzake… Alifika mahari akajibiwa vibaya, sasa ukawa ni ugomvi na hapo kagiza ndio kanaanza,… MAMA HALIMA ana nafasi mana kapangisha dabo lakini hana mume, ila ana mtoto wake mdogo tu… Hivyo uwezekano upo, ssa kuambiwa ishu ya kumsaidia mdogo wake Semeni sehemu ya kulala,… Kakataa, ndipo Semeni akazidi kumbembeleza mana nafasi ipo, lakini pia kakataa, tena na kuanza kuongea shombo.. Ndipo mama abu akakasirika na kuanza kutupiana maneno ya hapa na pale… Ghafla baba mwenye nyumba kapewa taarifa za wapangaji wake kugombana….
“acheni upumbavu, shenzi kabisa… Nyumba yangu sio disko la kelele”
Mzee alikuja na mkwara na kuwatuliza wapangaji wake,… Kila mmoja alieleza sababu ya kugombana na waungwana waliosikia walitoa ushuhuda juu ya tukio hilo, hivyo mama halima alionekana kua na kosa…. Walisameheana kwa muda mchache tu, ndipo mama abu akamwomba na mzee huyo kama ana hata chumba kule kwake, amsaidie mdogo wake…
“mmmhhh, Kiukweli mimi mfanyakazi ninae, na kama sina ningemchukua… Na kwa sasa hata mfanyakazi mwenyewe analala na mgeni”
Aliongea baba mwenye nyumba, huku mpangaji mmoja ambae ni mama Suziah alitoa wazo moja
“lakini,.. Kuna huyu kijana huyu.. Nina mwezi sasa simuoni… Na kama kahama kwanini asitandike hata mkeka hapo ndani akalala… Ili chumba kikipata mtu, atatoka”
Aliongea mama huyo kwamba, hicho chumba cha Swalehe kama hakina mtu basi farida atandike hata mkeka alale….
“huyu kijana yupo… Hajahama.. Tena kalipa kodi ndefu… Yupo sema kazi zake ni za kusafiri safiri”
Aliongea baba mwenye nyumba, lakini mama Suziah aliongeza neno kuwa
“Enheeee… Kwanini farida asijihifadhi humo, mana mpaka huyo kijana arudi.. Tayari farida keshapata kazi”
Aliongea mama Suziah huku Semeni akitikisa kichwa kuashiria sio wazo baya…
“mmmhhhh hapana… Ni ngumu kifungua chumba cha mtu jamani… Yule ni mpangaji wangu tu,… Siwezi kufanya hivyo”
Aliongea baba mwenye nyumba,… Mara Semeni akapiga magoti kabisa kumuomba mzee zuberi amsaidie kwa hilo, mana walati huo kagiza kanaingia…
“baba, nisaidie… Nitalalaje na mdogo wangu chumba kimoja? Ina maana mume wangu anatoka usiku kwenda chooni anampita mdogo wangu kwenye kochi… Haya hayo ni madogo, sisi hatuna tena uhuru wa kulala kama mke na mume… Nisaidie mzee, wiki moja tu unafunga chumba cha huyo kijana”
Aliongea mama abu au Semeni,.. Mzee zuberi roho ilimuuma sana mana Semeni alikuwa akilia kabisa…
“ni kweli baba mwenye nyumba…. Sio busara msichana mkubwa kama huyu, alale chumba kimoja na shemeji yake…”
Mzee alijikuta anakubali kwa maombi ya wengi
“lakini, siwezi kutoa idhini ya kufungua chumba hiki bila idhini yake”
Aliongea baba mwenye nyumba huku wale wanawake watu wazima na wenye imani wakataka ampigie simu amwombe kijana huyo…
“sawa, mpigie basi simu, mana giza hili tujue msichana huyo atalala wapi”
Aliongea mama Suziah huku mzee huyo akitafuta namba ya kijana huyo na kumpigia simu……
“ngoja kidogo nimtishie, apate presha”
Aliongea mzee zuberi huku simu ikiita, kisha Swalehe alipokea tena kwa wasiwasi mkubwa
“ha.. Ha.. Hallo mzee shikamoo”
Swalehe alisalimia lakini kwa wasiwasi sana
“marahaba kijana wangu habari za kazi”
“salama tu mzee…. Haya kuna nini mzee wangu.. Mana nimeshtuka kuona simu yako mzee”
“ni kweli kijana, kwa sasa unakabiliwa na kesi ya kumpa mwanafunzi ujauzito,.. Na sasa jeshi la polisi limeanza kazi yake juu yako”
“Haaaaaaaaaaaaaaaaaa….”
Swalehe alishangaa sana kuambiwa kuwa kampa mwanafunzi mimba, kitu ambacho yeye hajui ni mwanafunzi gani, mana Swalehe kaanza kufanya mapenzi na mama Mwajuma, na kama ni Zahra wala hakufanya nae, mana kila akichomeka kunatokea kikwazo hivyo kama ni Zahra Kiukweli hakuna cha mimba…..
Sehemu Ya 14
“hahahhahahahahahaaahh….. Kijana kumbe muoga sana wewe…. Hakuna lolote mwanangu kuwa na amani”
Aliongea mzee zuberi huku Swalehe akishusha pumzi yake,
“aahhh Afadhali mzee, mana ninavyo ogopa wanafunzi mzee wangu.. We acha tu”
“mwanangu, endelea kuwaogopa hivyo hivyo… Mana maisha yako yote yataishia jela”
“ndio mzee wangu.. Haya vipi kwema lakini mzee”
Aliuliza Swalehe baada ya kujua mzee alimtania kidogo
“aahh huku sio Kwema saana, mana nina ombi juu moja nataka nikuombe”
“ombi gani tena mzee… Ongea tu.. Hakuna shida”
“kijana wangu… Tumejiwa na mgeni hapa.. Ni mtoto wa kike,.. Nilikuwa naomba hifadhi yako mwanangu… Mpaka ukirudi atakua keshapata sehemu ya kuishi”
Aliongea mzee huyo tena kwa busara ya hali ya juu mno, kama unavyo jua busara za wazee…
“mmmhhh mzee, lakini kwenye mkataba wetu hauko hivyo… Nawezaje kulaza mtu ambaye simjui kwenye chumba changu”
Aliongea Swalehe huku mzee akiutumia ukubwa wake
“ni kweli kijana wangu… Ninacho kifanya kipo nje ya makubaliano ya mkataba wetu.. Lakini hili ni ombi, na ninakuomba kama baba yako”
Mzee kaanza kutoa maneno ya kumtisha Swalehe ile kiutu uzima ile
“mmhhhhh mzee… Sasa nikikuta vitu vyangu havipo sawa?”
“utanishtaki mimi… Na hata nikifungua nitafungua kisheria, balozi wa mtaa atakuwepo, na mwenyekiti pia atakuwepo, pia na mashahidi.. Ili ukikuta kitu pungufu, nishtaki mimi”
Aliongea mzee huyo huku Swalehe akicheka….
“hahaha… Mzee, ujue ni kesi hio…”
“ondoa shaka mwanangu, nitapambana nayo mimi”
“lakini pia mzee, mimi sintachelewa kurudi… Nina wiki mbili tu huku”
Aliongea Swalehe, kana kwamba anajua usmati wa chumba chake, anajua vitu vyake vina gharama kubwa, hivyo yeye kama yeye tu hapendi kuishi na mtu.. Leo amwache mtu afu yeye yupo mbali..
“usijali… Wiki mbili nyingi sana… Wiki moja tu msichana kapata kazi”
“ok… Ufunguo wa hakiba si unao”
“ndio.. Hilo ondoa shaka… Huna nina funguo za hakiba”
Aliongea mzee huyo, mana kila kitasa cha mlango hua na funguo zaidi ya tatu,.. Hivyo mpangaji anaweza kupewa zote tatu… Lakini kuna mwingine anakataa zote tatu, ili ikipotea anarudi kwa baba mwenye nyumba na kumpatia nyingine, na kuna wengine wanapewa moja tu bila kujua.. Hivyo Swalehe yeye alikataa kupokea funguo zote tatu, mana kazi yake ilivyo kuna siku itapotea afu itakuwa mambo ya kuvunja vitasa….
“sawa…. Ila, anaeishi humo… Tafadhali sana.. Alale tu, yaani asiguse kitu, alale tu.. Na akiamka afunge mlango yaani yeye iwe usiku tu”
“sawa kijana wangu… Nitamwambia”
“ok sawa mzee, usiku mwema”
“nawe pia baba”
“sawa”
Basi simu ilikata.. Na wakati huo Swalehe na fundi wake anaelekea kambini kwao…
“jamani, nadhani nanyi mumesikia wenyewe…. Na wewe binti umesikia mwenyewe masharti yaliotoka… Ulale tu na usiguse kitu cha mtu”
“sawa baba, nimekuelewa.. Na nakushukuru sana baba”
Aliongea farida tena huku akipiga magoti,…
“hakuna shida binti yangu….. Sasa wacha niwaite viongozi wa mtaa, ili tulimalize hili jambo sasa hivi”
Aliongea mzee huyo huku akitoka kwenda kuita wazee wa mtaa….
Sasa huku babati, Swalehe akiwa na fundi wake wakirudi kambini kwao, taratibu wakitokea saiti…
“mzee anataka nini uyo”
Aliuliza fundi wake
“aahhh… Watu wamajichangaa wameingia studio wakasema USIJE MJINI, haya sasa yeye kaja hana pakulala… Na maisha ya mjini ni chumba kimoja….. Mzee kaniomba hifadhi”
Aliongea Swalehe huku fundi akisema
“sasa kwanini ukubali nawewe”
“Nimekubali kwakua kuna leo na kesho… Yule ni baba mwenye nyumba… Leo naweza kulipa kodi,.. Kesho siwezi… Hii hisani nilio ifanya, inaweza kunisaidia baadae”
“lakini sio kirahisi hivyo”
“kwahio ulitaka nikae siku ngapi ili niwakubalie”
“ungekaa hata wiki ndio ukubali”
“hahahahahahaha unajua fundi, wewe ukichoka hua huna point,.. Kuna jambo la kukubaliwa ndani ya wiki, mfano kutongozwa vile”
“heee ina maana mimi natongozwa”
“hapana bwanaaa… Namaanisha mwanamke ukimtongoza si lazima akuambie nitakujibu… Afu utashanga wiki mwezi unakatika bila majibu… Lakini sasa huyu hana pa kulala.. Utamfikiriaje wiki sasa na wakati shida yake ni lazima itatuliwe leo hii”
“sasa ngoja wakavuruge kule… Na vitu vyako vyenyewe ni vile vya kichina”
Aliongea fundi huku wakiongea kama utani tu, mana kwa saaa Swalehe nae ni fundi.. Na analipwa elfu 20 kila siku… Na fundi wake elfu 30 kila siku.. Yaani mpaka wamalize hilo jengo,.. Ni mtu na hela, zake sasa….
“sasa swai…. Twenzetu basi tukacheki watoto wa kimbulu”
“wapi tena”
“we vipi wewe.. Changamka, hata hujui sehemu za watoto”
“mi sijui”
“disko”
“aahhh huko we nenda tu mwenyewe”
“acha ushamba we mtoto wa kisambaa… Mapenzi yalizaliwa kwenu afu hutaki, ujinga uoo”
Aliongea fundi huku swai akikataa
“fundi, wewe nenda tu… Wanawake hawana shida.. Ila nikiwaendekeza nitashindwa kufanya la maana hapa duniani,.. Nitajikuta natoa pesa bila kujielewa… Sitaki kukumbwa na shetani la wanawake, bora nikumbwe na shetani la ulevi wa pombe, mana nikinunua bapa yangu moja ya elfu nane… Ndio imetoka hio… Lakini demu.. Umpe chips kuku, umpe hela ya kulala nae.. Ulipie chumba.. Umpe nauli.. Huo ni ujinga mimi sifanyi… Fundi we nenda tu”
“mademu wa huku hawana gharama.. Elfu ishirini tu umelala nae”
“hio elfu ishirini, mtumie mkeo mwambie kanunue kitenge.. Uone shukrani zake… Mimi staki uo ujinga”
Swalehe alisimama kwenye msimamo wake, hataki kwenda disko kutafuta mademu…
“mmmhhh sasa kama huendi nami ya nini niende.. Twende zetu kupumzika tu”
Fundi nae kagoma kwenda mana hana kampani
Sasa huku nyumbani, wakiwa ndio wameshaona chumba cha kijana hivyo farida karuhusiwa kulala humo ndani, mana viongozi wa mtaa wamesha ona vitu vilivyopo, hivyo Swalehe akikuta vipo tofauti… Ataweza kushtaki popote na akalipwa
“mmmhhh dada, kile kitanda mimi silali”
Aliongea farida, na wakati huo alikuwa anakula mana tayari ni saa mbili za usiku
“kwanini sasa”
“mmmhhh dada, kitanda cha kifalme kabisa kile”
“wewe farida acha ushamba wako uo”
“kweli dada… Mimi naogopa kulala kwenye kile kitanda”
“wewe lala tu… Ukiamka unatandika vizuri, na mashuka yake ufue”
“aahhhh mimi nitalala chini dada”
“farida?”
“abee dada”
“ushamba siutaki ujue… Wewe lala tu, si tayari umekubaliwa”
Lakini wakiwa wanaongea, ghafla kwa nje, geti lilifunguliwa kwa nguvu kisha mtu akaingia
Katika maisha ya ndoa hua ni magumu sana pale mume awapo mlevi, lakini wapo wanawake wengine husema ni Afadhali mume mlevi kuliko yule mwenye akili zake,.. Mana gubu la mwanaume mwenye akili zake ni Afadhali ya mlevi,.. Kwasababu mlevi ni wakati wa kulewa ndio hua na Gubu, sasa huyu mwenye akili zake ni kila wakati anaweza kumpa shida mkewe….
Wakati farida na dada yake Semeni wakipiga stori za hapa na pale huku wakipata chakula cha usiku, ikiwa ni saa tatu na madakika hivi,… Walisikia mlango ukisukumwa kwanguvu na kufungwa vivyo hivyo,…
“we mama abu njoo umchukue mumeo kaanguka hapa getini”
Aliongea mpangaji mmoja, kana kwamba mtu aliofunga geti kwanguvu ni mume wa Semeni, na wakati huo alikuwa kalewa chakali hafai…
“farida mdogo wangu… Beba chakula chako kalie kule unapolala… Mana shemeji yako ni mkorofi sana.. Na hapa nakuja kupigwa vibao mpaka nikome.. We nenda tu”
Aliongea Semeni kana kwamba anamfahamu vyema mume wake kuwa kila akija hua ni mgomvi sana juu yake,.. Haachagi pesa ya kula lakini akirudi anauliza chakula…
“lakini dada, mi nataka nimsalimie shemeji”
“farida, kwa sasa huto elewana nae, yaani hata wewe Anaweza kukupiga.. We nenda tu mdogo wangu”
Aliongea Semeni tena kwa msisitizo mkubwa… Kisha farida akafuata maneno ya dada yake,.. Semeni alitoka nje na kuanza kumburuza mume wake waingie ndani,.. Mana kuna siku anafika mwenyewe nyumbe, na kuna siku analetwa na walevi wenzake…. Kiukweli ilikuwa ni tabu kwa Semeni, mana yeye ndie anae teseka na mwanaume huyo, na hata wapangaji wenzake wamesha mzoea mume wa Semeni…. Alimuingiza mpaka ndani,…
“Niachie mshenzi wewe”
Aliongea jamaa huyo huku akiachiwa na kudondoka chini…
“yaani unanisukuma”
Aliongea baada ya kuachiwa, na hua ndio fisa vyake huanza…
“lakini mume wangu.. Mimi nilikuwa nimekushika, wewe ukanitoa mkono nikuachie.. Sasa umedondoka unaniambia nimekusukuma”
Aliongea Semeni baada ya mumewe kuja juu,…
“taaaaaaaaaaaaasssssssss (kibao)… We mwanamke unanijinu mimi hivyo wewe”
Aliongea jamaa huyo au baba abu, huku akimpiga mkewe kibao, yote hayo Semeni anayajua kuwa kila mumewe arudipo kazini huja akiwa mlevi chakali na kuanzisha ugomvi..
“sasa nina kosa gani mume wangu”
“mshenzi wewe… Taaaaaaaaaaaaasssssssss”
Mama abu alichezea makofi kadhaa na kuanza kulia, hata wapangaji wanajua kabisa baba abu akija, hua ni kero kwa mama abu..
“niwekee chakula mimi”
Aliongea jamaa huyo huku akitetemeka kwa njaa, na hapo hakuacha pesa, hivyo matumizi yaliopo ni yale ambayo mke kajibana bana ndio kapika… Na mama abu nia yake wale chakula wamalize kisha waoshe vyombo, afu akija anamwambia hawajapika, lakini kwa bahati mbaya amekutwa wanakula,.. Hivyo kile kiasi alichobakiza ilibidi kumpa na yeye hakula sana…
“chakula kidogo hivi unamuekea nani”
Aliongea baba abu huku mke akiwa analia mana alichezea makofi ya kutosha
“lakini baba abu, kumbuka ni wiki sasa huachi pesa ya kula.. Sisi tutaishi vipi.. Huo unga wenyewe nimekopa robo tu ili mtoto ale.. Sasa mimi nifanyeje”
“sitaki maneno… Taaaaasss”
Yalikuwa ni mateso kwa mwana dada huyo, kwani hakua na raha kabisa na ndoa yake, yaani yeye na makofi kila ifikapo usiku….
Sehemu Ya 15
Kesho yake Mr JOMO anatoka kwenda kazini, wakati huo pombe zimeisha kichwani mwake,…
“mume wangu… Leo hatuna pesa ya kula.. Tuachie”
Aliongea Semeni, huku baba abu au jomo akitoa pesa kidogo
“hii hapa”
“baba abu, elfu mbili? Hakuna unga, hakuna chochote kile… Jioni ukija unataka kula… Tunaishi vipi”
Aliongea mama abu tena kwa upole sana huku akiwa kambeba mtoto wake
“pesa nyingi zanini,.. Mnauza hoteli humu ndani”
Aliongea bwana jomo, huku akiondoka zake,.. Lakini kabla hajafika mbali farida alitokea getini, mana alikuwa akatoka kwenda kumwaga maji ya kuoshea vyombo,
“Shikamoo shemeji”
farida alimsalimia jomo, huku jomo akitabasamu na kuitikia
“marahabaa.. Farida, umekuja lini”
“jana”
“waooo, umekua kweli yani”
Aliongea jomo lakini Semeni roho ilikuwa ikimuuma mana maneno hayo yanaashiria tamaa fulani hivi..
“eheheh”
Farida alicheka tu, mana ni shemeji yake…
“haya basi mchana mwema”
Aliaga jomo na hapo hajui fatigue analala wapi,….
“haya shemeji”
Farida ni bonge la toto, yaani ni mrembo aliokosa matunzo, rangi yake ya asili, umbo ndio usiseme, yaani mungu kampendelea kupita kiasi,… Na jinsi nguo zake jinsi zilivyo choka yaani ndio zimemtoa ile mbaya
“huyu mwanamke mshenzi kweli, yaani anajua hali yetu ilivyo mbaya, analeta watu tu… Ujinga huu”
Aliongea jomo huku akiendelea na safari kana kwamba hajaupenda ujio wa shemeji yake,.. Mana hali ya maisha yao sio nzuri… Mana jomo anafanya kazi za kupiga debe stendi kuu Arusha, na analipwa vizuri tu, kwa siku hakosi elfu 20 mpaka 30…lakini pesa zake huishia kwenye mabaa na wanawake tu.. Afu nyumbani familia inaumia njaa…
“dada, mbona shemeji kaisha hivyo”
Aliuliza farida huku dada akimjibu kuwa
“farida mdogo wangu… Omba mungu katika maisha yako yote, usipate mume mlevi… Pata mwanaume yeyote hata kama ni masikini lakini asiwe mlevi, Kiukweli dada yako nateseka sana.. Humu ndani hatuna kitu, leo anaacha elfu mbili”
Aliongea Semeni huku akilia, wakati huo wapo ndani…
“dada.. Sasa unalia nini? Haya ni maisha tu”
“farida mdogo wangu, bado hujajua maisha mdogo wangu.. Ogopa kuolewa na mtu mwenye tabia za starehe”
Semeni alikuwa akimsihi mdogo wake kuwa asichague wanaume, mwanaume yeyote anafaa Ilimradi awe na upendo kwake…
BAADA YA WIKI KADHAA KUPITA
Maisha yalikuwa ni ya kawaida sana.. Familia ya jomo ilikua ikiumia kwa njaa, na ilikuwa ni mchana, masikini wote watatu walikua wakipiga miyayo ya njaa… Farida, abu mtoto wa miala miwili, na mama yao… Walikuwa wakinywa maji tu kwani hakiba aliokua nayo imekwisha, mume anachezea pesa vilabuni na kwenye kumbi za wanawake….
“dada… Tukakope hata robo ya unga kwa mangi”
Aliongea farida akimaanisha wakakope unga dukani
“farida mdogo wangu… Huyo mangi anatudai mpaka basi,… Karibia elfu kumi na tano, shemeji yako namwambia akalipe, hataki anasema eti nikalipe mimi nilio kopa”
“haaaaa… Ila dada… Ina maana shemeji alikua hivi au?”
“hapana farida… Jomo wakati nakutana nae alikuwa hana tabia hii.. Na siwezi kujua labda nilikua sijui tu”
Aliongea Semeni huku wakiwa na njaa…
“mama njaaa”
Abu alianza kulia kwa njaaa… Hata mama yake alianza kulia mana hawana kitu, hata simu yake yenyewe kaiweka bondi kwa kukopa vitu… Mama anabidi kwenda hata mashine kuomba unga….
Usiku ni hivyo hivyo… Mwanaume akija kalewa na anataka chakula,… Semeni alishindwa maisha ya mume wake, hivyo lolote liwalo na liwe
“baba abu, naomba talaka zangu… Siwezi kufa njaa na mwanangu ingali unafanya kazi kwa ajili yetu… Nipe talaka zangu niondoke.. Kwetu sijaua”
Aliongea Semeni tena huku akilia, kwa wakati huo Farida alishakwenda kulala,
“leo una kiburi ee”
Aliongea jomo huku akiwa kajilaza kwenye kochi kwa ulevi, na hapo ananuka pombe ingali familia imeshinda njaa,…
“nimechoka kushinda njaa na mwanangu”
“wewe kila siku wataka pesa umekua benki wewe”
“nimesema nipe talaka zangu… Kwetu sijaua mimi”
Aliongea Semeni tena wakati huo anamtingisha,…. Semeni alichezea vibao vingi sana ambavyo jomo kavitupia kwenye mashavu ya Semeni,…
“na kuanzia leo, siachi hata mia… Mfe na hio njaa.. Pumbavu nyie”
“na usiache.. Kwani wiki yote hii ilio isha uliacha nini”
Semeni nae aliona ukimya ukizidi ni mno, nae aliamsha mdomo japo anazidi kudanya kosa lakini ni bora kuwa na pengo kuliko jino bovu…
Kesho yake mambo ni yale yale ya kupiga miyayo, mana mama abu kaliamsha dude, yaani ndio kaharibu kabisaaaaa…. Yaani kama ni gari basi kaliharibu kabisa na halifai,..
“sasa dada.. Kama jana mmegombana sasa itakuwaje”
Aliongea farida, na wakati huo umemw wenyewe wamesha katiwa kwasababu hawakulipa bili ya umeme, mume akiambiwa ishu za nyumba yeye hataki kulipa… Kizuri zaidi ni kwamba hawadaiwi kodi ya nyumba,…
“mungu mwenyewe ndio anajua maisha yetu, kama wiki nzima imeishia haachi pesa.. Mpaka nikatumia hakiba yangu nayo imeisha, we ulizani kuna haja ya kubembelezana tena… Hapa mimi namhofia mwanangu, akiamka hapo atataka kula”
Aliongea Semeni, tena killa akiongea haachi kulia
“dada sasa unalia nini…”
“farida? Nakuomb sana… Kosea vyote lakini usikosee kuolewa mdogo wangu… Ndoa ni mateso makubwa kama hamjapendana… Kiukweli nateseka sana”
“pole sana dada…… Haya abu huyu kaamka”
Aliongea farida na wakati huo mtoto ndio kaamka,.. Mana alipo amka asubuhi alipewa uji, sasa kaamka mchana anataka kula.. Malaika asiokuwa na hatia naye anateseka njaa kwa uzembe wa baba… Jamani wanaume tujieleweni jamani… Kama humpendi mwanamke wa watu, yanini ukamuoe,.. Yaani umtese.. Wanawake wengi sana huvumilia mengi mno katika ndoa zao…
“mama njaaa…”
Alilia mtoto huyo, lakini farida kuna kitu kakumbuka katika…
“mwanangu… Lala ukiamka utakuta chakula baba angu”
Aliongea mama abu kama vile kumbembeleza ili aendelee kulala mana hapo ndani hakuna chochote kile,…
“farida,… Kule unapolala.. Hakuna hata kiunga kidogo, tumkorogee hata abu uji”
Aliongea Semeni lakini wakati hata farida kumbe alikuwa akiwaza jambo hilo hilo….
“dada.. Kule ndani kuna kila kitu.. Yaani kuna kila kitu… Lakini sasa dada, vitu vya watu tumekabidhiwa kisheria”
“mdogo wangu… Mimi nitalibeba jukumu hilo… Nipo tayari hata kumlipa kimwili huyo kijana…”
“heeee dadaaa… Si kuisaliti ndoa yako sasa jamani dada”
“nitafanyeje sasa… We kalete hata kikombe cha unga tu… Tumkorogee abu uji”
Aliongea Semeni huku farida akitekeleza jambo….
BAADA YA WIKI TATU KUPITA
kuanzia siku ile, mpaka leo bado wanatumia chakula cha Swalehe,.. Yaani kuanzia mafuta, mchele, unga, na kila kitu cha kula kilichopo humo ndani,… Na dada mtu kajitolea kulala na Swalehe pale atakapo dai chakula chake,… Mchele uliokua kilo 50 leo umebaki kilo 20, unga uliokua kilo 50 sasa umebaki kilo 10… Kidumu cha mafuta ya kula lita tano, sasa kumebaki lita moja na nusu… Mafuta ya taa ndio hakuna kabisa, wamemaliza… Kitu ambacho hawaja tumia ni jiko la gesi, mana wanaogopa kulitumia… Basi chakula cha Swalehe kiliwasukuma, na siku baba yao akiamka vizuri anaacha hela, hivyo chakula cha Swalehe kinaachwa, siku baba asipo acha hela, chakula cha swai hushambuliwa… Na hayo ndio maisha yao kwa sasa…
Kwa upande wa Zahra aliokua akinuna kwa kitendo cha farida kupewa nafasi ya kulala kwenye chumba cha swai, mana alitamani sana angalikua yeye… Na mpaka sasa ni mwezi umeisha toka farida kuja mjini, na kazi mpaka leo hajapata, japo dada yake anahangaika kutafuta kazi za ndani ili mdogo wake apate kipato na baadae ajipangishie chumba chake…
Siku ya leo baba Saidi au mume wa fatuma alikua akirejea toka safarini,.. Ilikua ni furaha kwa fatuma au mama Saidi,.. Mana mumewe alichukua miezi sita akiwa Congo kikazi… Sasa leo karudi,… Lakini sasa Zahra hajapenda kwasababu shemeji akirudi hua Zahra analala na mtoto huyo, yaani kale kakitanda kadogo kale ka mtoto, hua anajibana nae kitu ambacho hatakagi.. Mana mtoto Saidi anajikojolea, sasa na udogo wa kitanda ni lazima mikojo imjae na yeye….
“haaaaaaa shem habari yako”
BARIKI au baba Saidi alimsalimia Zahra ambaye ni shemeji yake mpendwa
“safi shem, shikamoo”
“marahaba shem… Dahh umekua kweli yani.. Sijakuacha hivi shem”
“hehehe”
“kweli, kabisa shem, yaani umekua mdada mkubwa”
“Ahsante shem,…”
Basi ilikua ni furaha kubwa kwao mana baba karudi,…
Ilipofika jioni Zahra alimvuta dada yake pembeni,…
“nini we Zahra”
Aliuliza Fatuma huku Zahra akisema kua
“dada.. Mimi siwezi kulala na saidi”
Aliongea Zahra lakini wakati huo anawaza akalale na farida kule kwa Swalehe,…
“sasa utalala wapi? Basi lala kwenye sofa”
“dadaaaa.. Yaani mimi nilale kwenye sofa”
“sasa we watakaje sasa”
“mi nataka nilale kwa Swalehe”
“Heeeee, we Zahra… Yule msichana analala kisheria pale ujue… Leo ukalae uje uniletee majanga mimi”
“sitaki,…”
“sasa hutaki vipi…”
“niombee kwa dada yake farida”
“mmmhhhh yeye mwenyewe alishawahi kuniomba kuhusu huyo huyo farida nikamnyima”
“we jaribu tuuu”
Fatuma anampenda sana mdogo wake, na hua anapenda kufanya kile akipendacho Zahra…. Dada kweli kajikaza mpaka kwa mwanamke mwenzie,
“unajua mama saidi… Haya maisha ni mzunguko.. Leo nimezunguka mimi lakini na kesho utazunguka wewe… Unakumbuka ulininyima mimi mdogo wangu kupata nafasi ya kulala hata kwa siku mbili”
Aliongea Semeni kama vile kumkumbushia jinsi alivyo mnyima na yeye
“sawa… Lakini kweli sikua na nafasi, si unaona leo mume wangu kaingia sasa nafasi hakuna”
Aliongea fatuma tena kwa unyonge mkubwa
“sikia mama saidi… Kama ni hivyo nenda kwa mwenyekiti, ili nae ajue kuwa kwenye hicho chumba wapo wawili”
Aliongea Semeni huku mama saidi akiwa mnyonge sana,
“mmmhhh mama abu, nikimfuata mwenyekiti hatokubali… Nisaidie tu kwani mume wangu hamalizagi hata wiki kasafiri tena”
“sasa mimi nifanyeje… Alale kwenye masofa.. Si una masofa wewe”
“mama abu, nipe msaada wako… Nisaidie jamani”
Mama said alilalamika sana, na hua mama abu sio mtu wa kulipiza mabaya….
“wewe ni mwanamke mwenzangu, na sitaki kulipiza baya kwa ubaya… Ila si unajua hicho ni chumba cha watu… Na mwenyewe anaweza kuja wakati wowote… Kingine ni kwamba.. Farida kalala hapo kisheria, Haruhusiwi kugusa kitu chochote kile… Na mdogo wako huyu namjua.. Mcharuko kama nini… Hivyo mwambie kabisa atafungwa mtu humo”
Aliongea Semeni huku mama said akimgeukia mdogo wake na kumwambia…
“unasikia wewe, usiguse vitu vya watu huko ndani”
Aliongea fatuma huku Zahra akikubali kwa kutikisa kichwa…
“Ahsante mama abu… Najua ni wiki hii tu, mume wangu atasafiri tena”
“sawa,.. Ila ni usiku tu.. Mana hata farida akiamka anafunga mlango wa watu na kushinda huku kwangu”
“sawa hakuna shida”
Basi mambo yalikwenda sawa, Zahra alikubaliwa kulala na farida….
Ilifika mida ya kulala, wakati huo farida keshalala zake lakini Zahra bado hajafika, mana alikuwa akiangalia kipindi fulani kwenye tv,.. Hivyo baada ya kuangalia alikwenda kugonga, na farida anafahamu kuwa kuna mtu atakua nae hapo chumbani.. Farida aliamka na kwenda kufungua mlango
“mambo”
Zahra alimsalimia farida kisha akaingia ndani
“poa karibu”
“Ahsante… Ulizani mi mgeni humu.. Mi mwenyeweji kuliko wewe”
Aliongea Zahra tena kwa dharau lakini farida yeye hakua na hasira
“sawa hakuna shida”
Alijibu farida huku akilala zake mwisho wa kitanda kabisa… Na chumba kweli kilikua hakijaguswa, tena kisafiii, mana farida alikua akifanya usafi kila siku… Swalehe alikua na nguo chafu, farida alizifua mana sabuni ipo… Basi farida alilala zake lakini Zahra alianza chokochoko
“naona umejiachiiiiiia kwenye kitanda cha mpenzi wangu”
Katika swala zima la mapenzi kuna kitu kinaitwa wivu, lakini kitu hiki kimezidi sana katika upande wa wanawake… Zahra alijihisi kua na wivu kwa mwanamke mwenzie ambaye hamjui hata huyo swai mwenyewe, lakini Zahra kahisi kua na wivu kwa kitendo cha Farida kulala katika kitanda cha swai,….
“naona umejiachiiiiiia kwenye kitanda cha mpenzi wangu”
Aliongea Zahra, lakini farida ni msichana mkimya mpole sana na pia anaipenda dini yake mana anakwendaga kuswali toka kuja kwake hapa,..
“si naongea na wewe…. Au unajiona mzuri saaaana”
Aliendelea kuongea Zahra baada ya ukimya wa farida kutawala ndani hapo,…..
“naomba nilale tafadhali dada… Nawe lala, usiku huu”
Aliongea farida tena kwa upole wa hali ya juu, kana kwamba yeye hana haja na ugomvi wake,…
“huezi kunifundisha kulala… Umekuja mjini umenikuta kwahio naomba utulie”
Aliongea Zahra kana kwamba kuna shari anaitafuta, lakini farida yeye kimyaa tena ndio kwanza kavuta shuka….. Zahra baada ya kuona hajibiwi alianza kuwasha tv, kitu ambacho farida aliamua kuongea
“we Zahra, kwanini unagusa gusa vitu vya watu.. Mimi nimeambiwa nisifanye chochote kile.. Kwanini sasa unagusa vitu vya watu”
Aliongea farida huku Zahra akigeuka na kusema
“heeeee wewe unanikataza ukiwa kama nani kwenye hiki chumba”
Aliongea Zahra huku akimfuata farida kan kwamba alikua akihitaji ugomvi, lakini Zahra hakutaka kujibizana tena zaidi ya kumruhusu tu
“nilikuambia tu dada angu.. Endelea”
Aliongea farida huku akizidi kujifunika shuka,… Zahra akasunya kisha akarudi kwenye TV na kuendelea na mambo yake,….
Siku zilizidi kwenda na saa ni mwezi sasa toka Zahra aanze kulala kwa Swalehe, na shemeji yake keshaondokaga muda mrefu kurudi Congo, lakini Zahra hakutaka kutoka kwa Swalehe,… Katika chumba hicho, unga, mchele, mafuta akina farida na dada yake ndio wamemaliza lakini walikua na hofu juu ya swala hilo, japo Semeni alisema kua yupo tayari kulala na Swalehe kama kumlipa vyakula vyake, mana hata akisema amlipe atamlipa na nini, kama hela ya kula tu hawaachiwi…
Sasa mbaya zaidi, Zahra anakuja kupikia kwa Swalehe, yaani lile jiko la gesi Zahra anakuja kupikia kwa swai,.. Dada yake farida Aliongea mpaka akatamani kusema kwa baba mwenye nyumba na mwenyekiti wake, lakini alishindwa mana ataweka uhasama kwa majirani, na yeye ni mtu wa kulia njaa kila wakati kutokana na mume wake kuto ijali familia yake,… Hivyo shida zake ndizo zinazo mueka pabaya..
Tukija huku Babati kwa Swalehe,… Akiwa na fundi wake wanaangalia jengo ambalo wamesha limaliza kulijenga na hapo kumebaki usafi tu watu wahamie..
“kametoka ee”
Aliongea fundi kama kumuuliza swai kua hio nyumba imekaa vizuri mno
“kasitoke kana nini?… Hapa boss aje tu atupe mkwanja wetu mambo yaende sawa”
Aliongea Swalehe, lakini muda huo huo tajiri anakuja na gari yake aina ya VX….
“ooohhh mafundi habari yenu bwana”
Alisalimia tajiri huyo huku wakizunguka nyumb, mana akina Swalehe wao wamekabidhiwa huo mjengo na ukiisha wao ndio watalipwa, ila mafundi wengine walisha lipwa na hawa akina swai… Hivyo malipo waliyo walipa wale wengine, watalipwa na huyu boss..
INAENDELEA

