UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Episode 1
KWELI…Aaaaaaaaa chomoa🔥
” Shemeji tabia gani hii si unaona mimi nakaa wewe umeweka mkono.
” Umeniumiza Shemeji badala unipe Pole mimi sikujua unakaa.
” Utavunjika mkono na utani wako usio kuwa na macho.
” Shemeji nyanyuka sasa.
” Komaa wewe si ulitaka niukalie mkono wako.
( mala nasikia hodi…nilinyanyuka fasta alikuwa mume wangu anaingia)
” Karibu mume wangu.
” Asante.
” Alafu mume wangu hapa kwako unapiga hodi.
” Chumbani ndio siwezi kupiga hodi ila hapa napiga naweza kuingia kumbe upo na mama mkwe sio kitu kizuri.
” Sawa nimekuelewa mume wangu.
( Mdogo wake akamwamkia kaka yake)
” Shikamoo kaka.
” Kelele sitaki izo salamu.
” Mume wangu si anakupa heshima yako.
” Heshima pesa Shikamoo kelele.
( Akaingia ndani mimi nimetoa mimacho mambo ya ndugu aya Nikaingia na mimi ndani namwambia mume wangu)
” Mume wangu unaonaje umtafutie kazi mdogo wako na yeye afanye apate pesa.
” Mke wangu usije kuniambia tena ilo swala uyu apaswi kufanya kazi muache akae hapa akiona kero atarudi kijijini mimi nawajua ndugu unaweza kumsaidia akaja kukuzingua wewe ujasikia fadhira bora umfadhili mbuzi akikuuzi unamnywa mchuzi.
” Nasikia ila sio kwa ndugu unajua mume wangu uyu akitoka kimaisha anaweza kusaidia wengine.
” Mimi sitaki sasa kumsaidia tuishie hapo.
” Sawa.
( Niliogopa kimoyoni uyu ni mume wa aina gani…sasa toka nimwambie ivyo akabadilisha life Style yake akawa ni mtu wa ukari tu kila kitu kwake ni ukari… ilipita siku tatu yupo ivyo nikamuuliza)
” Mume wangu mbona umebadilika umekuwa mkari mkari kwanini?
” Sitaki mazoea naona mazoea yakizidi unaniongelesha mpaka upumbavu.
” Nisamehe.
” Nishakusamehe.
( Tulilala asubuhi akaondoka aina kuniaga…nilitoa nguo nje kufua Shemeji ndio akaniambia)
” Shem wewe fua nguo laini laini izo jinzi niachie mimi nifue Shemeji sitaki ukomae mikono hii.
( Shemeji akiongea lazima akuguse anapenda utani wa mwilini…ameigusa mikono yangu akaiachia…akaanza kufua na alifua zote mpaka nguo zangu…nilimpenda Shemeji yangu ananisaidia ila kaka yake ampendi mdogo wake…sikutaka kujua yaliyo nyuma ya pazia…mimi kimya siku zilienda kidogo mdogo wake akamwambia kaka yake)
” Kaka Samahani naomba Kesho nitoke nikatafute kazi.
” Wewe unataka kazi?
” Ndio.
” Kesho toa vyombo vyote ivi nje safisha hii nyumba alafu virudishie vyote ndani niambie nikupe shilingi ngapi?
” Kaka simaanishi unavyofikilia.
” Wewe unajua mimi nafikilia nini?
” Naisi unawaza kwa sababu nakaa bure nina hamu ya kazi mimi nachotaka nipate pesa nijikimu mahitaji yangu nisikutegeme kwa kila jambo kaka unataka mpaka pesa ya wembe niombe kwako kaka.
” Ndio maana nimekwambia toa vitu ndani safisha nyumba alafu viingize tena nitakulipa wewe si unataka pesa?
” Sawa nitafanya ivyo je Kesho kutwa nitafanya nini?
” Maliza ya Kesho kwanza.
( Mimi kimya mambo ya ndugu ayo….Kesho yake kweli Shemeji alifanya alivyoambiwa na kaka yake bila iyana akamaliza jioni kaka yake akampa elf kumi akamwambia)
” Kesho umsugue Shemeji yako miguu na ujifunze kupaka rangi kwenye kucha.
” Nayo ni kazi.
” Wewe mjinga uoni mabango mtaani wanabandika kucha na kusugua miguu.
” Naona.
” Kesho utafanya wewe hapa nyumbani.
” Sawa.
( Mimi kimya mambo ya ndugu ayo…asubuhi kufika mume wangu kaondoka akanipa pesa ya kwenda kununua rangi nije kupakwa na mdogo wake…nikaona aya ndio mwanzo wa kukandikwa mirangi kwenye kucha…nilienda kununua nikarudi nikamwita Shemeji anikwangue miguu sasa si ajui kukwangua miguu akaanza kunitekenya kwenye unyayo)
” Shemeji sio ivyo Unanitekenya niachie.
( Asikii anapitisha kidole taratibu katikati ya unyayo wangu nasisimka mwili mzima)
” Shemeji niachie nitapiga kelele Unanitekenya uko.
( Shemeji asikii ndio kwanza kaninyanyua mguu vizuri ananichezea unyayo jamani jamani mpaka hamu ya kutombwa naisikia kabisa)
” Shemeji acha bana….
Episode 2
Ivyo Unanitekenya.
” Vumilia ndio nasugua.
” Shemeji acha kwanza nikwambie kitu.
” Niambie.
” Ivi Shemeji wewe si unaweza kukaa na siri.
” Ndio naweza.
” Basi naomba unipeleke kwa wenye kazi yao hii ila kaka yako akirudi jioni useme wewe ndio umefanya.
” Sasa ukitoka na yeye karudi itakuwaje hapa.
” Sio nikitoka tunaondoka wote yeye anarudi usiku ajawai kurudi mchana nyumbani.
” Sawa Shemeji.
( Niliona Bora niende kwa wenye ujuzi wao maana uyu ajui kusugua miguu izo rangi si atanikandika kandika hao tunaenda kwa wenye kazi zao sasa nikamwambia Shemeji)
” Shemeji kaka yako kabadilika sana siku izi yani mpaka simu yake anaficha sio kama zamani.
” Hahahaha.
” Shemeji mimi nakwambia unipe ushauri wewe Unacheka unazani nakutania.
” Amna nacheka Shemeji kwa sababu unatakiwa kujua ivi….Mwanamke akiwa anaficha simu yake mumewe asiione,
jua hapo hakuna ndoa.
ILA
Mwanamume akiwa anaficha simu yake,
jua analinda ndoa yake.
” Mmmm sasa huo ni uonevu.
” Kweli tena Shemeji ukiishi kwenye ayo maneno autasema tena ayo maneno kuwa kaka anaficha simu.
( Natamani kumwambia nina wiki na unyumba anipi ila naisi nitakuwa nakosea tukafika sehemu tunayoenda vijana wakanipokea bahati nzuri akukuwa na wateja wengi basi waligawana miguu kunisugua Shemeji yupo pembeni anacheka mwenyewe namuuliza)
” Shemeji kinakuchekesha nini?
” Nacheka tu itafikia atua nyinyi wanawake mtapigishwa na mswaki na mtalipa pesa kazi yako wewe itakuwa kukenua meno tu.
” Kwanini unasema ivyo Shemeji.
” Sasa kusugua miguu wewe uwezi mimi naona wanawake wa kijijini wapo na jiwe nje ya choo akitoka kuoga anasugua mguu wake.
” Sasa uko kijijini hapa mjini wewe si unaona wanawake wa uku maji wanabeba mkononi awaweki kichwani wengi wao.
” Kweli mimi nikitaka kuoa naenda kuoa kijijini.
( Wale vijana wakamwambia)
” Ukishaoa kijijini ukimleta mjini atakuwa mteja wetu tu.
” Thubutu mke wangu mumshike shike ivyo sio mimi.
” Ndugu kumbe wivu ndio unakusumbua.
” Sana.
( Nilikuwa natamani kucheka Shemeji anavyojibu jibu…basi nilipakwa rangi vizuri..tukarudi nyumbani…na bahati nzuri mume wangu ajarudi…nilipika chakula nikaweka mezani usiku mume wangu akarudi akaona nimependeza akaniambia)
” Uyu mdogo wangu ndio kafanya ivi?
” Ndio.
” Kweli anataka kazi amefanya vizuri.
” Sawa ndio umlipe.
( Nilishangaa tena nikashangaa mala mbili pale mume wangu alipomwita mdogo wake akamwambia)
” Wewe unajua kwenye kazi kuna ova time?
” Sijui kwa sababu sijawai kufanya kazi kwenye kampuni yoyote ile kaka.
” Sasa basi ulijue ilo sasa wewe ova time yako twende ukanilishe chakula.
.
( Nilistuka kimya kimya nasema na moyo wangu mume wangu amtaki mdogo wake hapa nyumbani au mbona anampitisha njia sio Shemeji akasema)
” Kaka mimi siwezi kukulisha wakati wewe nguvu unazo za kula kama ungekuwa mgonjwa ilibidi nifanye ivyo bila kuniambia.
” Wewe sipendi kujibiwa wewe ulikuwa unataka kazi Nimesema twende ukanilishe chakula natangulia mezani njoo.
( Mume wangu akaenda kukaa mezani Nawaza Shemeji ataenda au atasimamia msimamo wake mimi nimekaa kimya mambo ya ndugu aya mume wangu akaita kwa ukari)
” Oya njoo unilishe nataka nikulipe nikalale mimi.
Episode 3
“Kaka Samahani naomba nauli nirudi tu home.
” Yani unaomba nauli kirahisi rahisi wewe si ulisema unataka kazi nakupa kazi unakataa.
” Siwezi kufanya kazi iyo kaka mimi wa kiume.
” Unamaanisha?
” Namaanisha kazi iyo ni ya Shemeji kama ungekuwa unaumwa Shemeji ayupo ningekulisha.
” Unachagua kazi sasa mjini.
( Shemeji alikaa kimya ila amesimama kiume…mume wangu akaniita mimi nikaenda kumlisha uku Shemeji amejiinamia anawaza nini sijui…kwa ukari wa mume wangu nashindwa kumwambia unachofanya sio kizuri….nimemaliza kumlisha nikamnawisha akaenda kulala mimi nikamfata Shemeji nikamwambia)
” Usijiinamie Sana kichwa kitauma nenda kalale Shemeji.
” Shem vaa kiatu changu kaka yako wa damu anakufanyia aya ðŸ˜ðŸ˜
” Usiwaze sana alafu usilie sasa Shemeji wewe si umesema wa kiume mwanaume apaswi kulia kitu kidogo.
” Inauma sana inauma sana Shemeji ila Poa.
( Akanyanyuka akaenda kulala chumbani kwake…mimi naenda kufungua mlango wa chumbani nilale…nashangaa mume wangu ameufunga mlango namgongea ananiambia)
” Kaa tu hapo hapo sebuleni wewe si hamu ya kukaa sebuleni bado unayo yani mimi niingie chumbani wewe ubaki sebuleni.
” Mume wangu naomba niingie ndani.
” Uwaga sirudi nikisema ni vitendo tu lala sebuleni.
( Dah kwa mala ya kwanza Nalala sebuleni mimi siwezi kwenda kulala chumbani kwa Shemeji…sasa choo kimoja kipo nje namaanisha chumbani kwa Shemeji akuna choo basi Shemeji saa nane usiku akatoka kwenda kukojoa akaniona nimelala sebuleni kwakuwa mkojo umembana akuniamsha alinipita kwanza…mimi usingizi sipati nimemuona Shemeji ametuna mbele kumbe Shemeji kajaaliwa akarudi akaniamsha)
” Shemeji vipi mbona upo hapa.
( Nikamwelezea akaniambia)
” Basi wewe nenda kalale chumbani kwangu mimi nilale hapa kwenye sofa au chini.
” Hapana Shemeji wewe nenda kalale Muda umebaki kidogo inafika asubuhi.
” Sawa ila naomba nikupe shuka basi.
” Hapana Shemeji wewe nenda kalale.
( Shemeji akaenda kulala…mimi nikalala chini maana kwenye sofa naogopa kudondoka asubuhi…mume wangu kaamka kaoga akanipa pesa ya matumizi na nyengine nimpe Shemeji kama mshahara wake wa Jana…alipoondoka nilienda kumwamsha Shemeji nikampa pesa uku mgongo unaniuma nimelala chini pale nikamwambia Shemeji)
” Ivi unaijua dawa ya mgongo maana unaniuma nimelala chini.
” Huo auna dawa ila dawa yake ni kunyoshwa tu.
” Samahani Shemeji naomba uninyoshe basi.
” Poa ingia ndani.
( Nikaingia chumbani kwa Shemeji nikasimama akaniambia)
” Panda kitandani lala kifudi fudi nikunyoshe.
” Sawa.
( Nililala kitandani nipo na dera ila ndani kufuli ipo Shemeji akaanza kuninyosha kweli nilikuwa nanyoka nasikia raha sijui kilanga gani kimenikuta nashangaa namwambia Shemeji)
” Ninyoshe na mapaja.
( Shemeji alipogusa mapaja sasa ananyoosha mwili wangu ukaanza kusisimka natamani alipandishe dela aniguse na viganja vyake yeye yupo bize tu nikajikuta nasema)
” Shemeji unaweza kukaa na siri.
.
” Shem mala ya pili Leo Jana si uliniuliza na nikakujibu naweza.
” Ya Leo naona aibu kusema ila si unaweza kukaa na siri.
” Naweza Shemeji vipi umeshanyoka sasa unataka tuonge.
” Hapana nataka viganja vyako viguse mapaja yangu.
” Yana nini?
” Yanawasha Shemeji naomba unikune.
” Sawa kunjua dera.
( Jamani sielewi nasukumwa na nini najikuta nalikudua dera mimi mwenyewe Shemeji akakuna kweli kwa ncha ya vidole vyake…mwili wangu ukawa kama umepigwa short najikuta napeleka mkono wangu mbeleni kwake uku nasema)
” Naomba hii…
Episode 4
Kidogo.
” Hapana Shemeji tutakuwa tumevuka mipaka ya ushemeji na sio vizuri mimi na kaka ni ndugu damu moja.
” Shemeji nione huruma sio kwamba tunafanya starehe unanisaidia kama ivi unavyonisaidia kuninyosha.
” Shemeji siwezi acha nikunyoshe tu.
( Natamani nimshike kwa nguvu nina hamu kweli sio mchezo mikono yake inazidi kunisisimua mala nasikia simu yangu inaita sebuleni nikanyanyuka kwenda kuifata Shemeji kasimamisha namuona ila ndio muoga nafika sebuleni napokea simu ya mume wangu)
” Haloo.
.
” Nimeondoka uyo sikumwachia kazi hapo nyumbani sasa mwambie atengeneze banda la mbwa.
” Vifaa vipo wapi?
” Kuna mtu ataleta hapo vifaa sasa ivi.
” Sawa.
( Narudi chumbani kumwambia namkuta anavaa yupo na boxsa tu akaniambia)
” Shem uwe unapiga hodi ona sasa umeniona.
” Na mimi nione basi tuwe tumeonana.
( Nilikudua dera juu zaidi nikarishikia tumboni Shemeji akacheka uku akanisifia)
.
” Kaka anafaidi Shemeji umejaaliwa.
” Nimejaaliwa nini?
” Umbo lako zuri.
( Nasikia raha ananisifia ila ndio anaendelea kuvaa namwambia)
” Shemeji tuunganishe vikojoleo basi kidogo.
” Subili nivae tuunganishe tukiwa na nguo.
” Sasa si utoto huo Shemeji kwanini tusitoe tuunganishe kweli kweli.
” Shemeji usiruhusu shetani tutakuja kujilaumu mbele ya safari.
” Amna Shemeji atojua kaka yako unajua mpaka mwanamke akikwambia ujue amekwama kweli naomba unisaidie.
” Vumilia Shemeji usiku utafika utampa tu kaka ndio mwenye uharali wa kufanya ivyo.
( Yani kabla sijamwambia kazi yake mleta vitu kafika anagonga kengere ndio nikamwambia)
” Shemeji ukiacha aya kaka yako ameniambia ujenge banda la mbwa Leo.
” Sawa vifaa vipo wapi.
” Ndio uyo anayegonga naisi ameleta.
” Sawa.
( Nikamtekenya kwenye mbavu Shemeji aliruka uyo uku anacheka…nikageuka naenda kumfungulia aliyeleta vifaa Shemeji akanipiga kofi la matako alinisisimua zaidi alafu akanitania)
” Uvae chachandu Shemeji.
( Nikajua uyu mzuka wake ni chachandu ndio maana akushawishika kirahisi nitavaa nitampa….nikaenda kufungua mlango kweli vifaa vilikuja Shemeji akaingia kazini kujenga banda la mbwa…mimi uyo sasa naenda sokoni kununua shanga yani ndio chachandu…kwakweli nilikuwa sina kiunoni nikafika sokoni nikanunua mahitaji pamoja na iyo chachandu….nikarudi nyumbani nikapika chakula vizuri kama nampikia mume wangu nikampelekea Shemeji akala akaendelea na kazi yake mpaka saa tisa akawa amemaliza akaniambia)
” Shemeji nimejigonga na nyundo kwenye mkono yani mkono unauma acha nikaoge nije nitulie sasa.
” Poa.
( Mimi nafanya mahesabu saizi saa tisa kaka yake anarudi saa moja usiku aya masaa yanatosha kabisa kuliwa na mwili kuwa mwepesi yani nina hamu mpaka kiuno kinaniuma jamani…Shemeji katoka kuoga kaingia chumbani kwake nikamfata nikasimama mbele yake nikamwambia)
” Mkono gani unauma?
” Huu hapa wa kushoto nilishikilia msumari alafu nyundo ikakosea badala igonge msumari ikagonga mkono.
” Pole sana utapona Shemeji naomba niushike mkono.
( Akanipa nikaugusisha mbeleni kwangu namwambia)
” Chezea uku utapona haraka uku unajua ni dawa Shemeji nicheze tu usiogope.
( Safari hii kawa mjanja naona kakibenjua kidole chake cha kati anasema)
” Iki ndio kinauma sana.
” Basi kiingize ndani ngoja niweke kabisa mkono ndani ya sketi.
” Sawa.
( Nikasema kimoyoni kama hawa alimshawishi adam na akakubari mimi nawezaje kushindwa uyu kashakubari…nikauweka mkono kweli ndani umenigusa kabisa nimesikia msisimko natanua miguu namwambia)
” Aya kiweke kipone uko kuna moto kitanyooka moja kwa moja.
” Sawa.
( Anakikunja kweli anaweka Shemeji ananifurahisha alafu mwenyewe anasema)
” Shemeji iwe siri kweli nakosea hapa ujue.
” Tukosee mazima naomba na mimi niishike hii.
Episode 5
Shemeji.
” Unajua Shemeji toka nije sijawai kufanya mchezo mbaya utanipandisha.
” Nitakushusha Shemeji naomba usinibanie na wewe zungusha tu ndani kidole chako.
” Shemeji Shemeji Shemeji.
( Naona kama kazidiwa na utamu anashindwa kutoa neno…na anakizungusha kweli kwa ndani…nataka kupeleka mkono kwenye suruali…kengere inalia tukaachana fasta Nikatoka nje kufungua mlango namuona aliyeleta vifaa kaja)
” Samahani nilikuwa namuomba fundi mala moja.
” Sawa.
( Amenikera mimi nilijua mume wangu karudi…nikamwita Shemeji kweli alitoka akakutana na aliyeleta vifaa)
” Naomba twende tukamfate mbwa hapo juu kaka yako kaniambia nikupitie utamkuta yeye uko.
” Sawa acha nimuage Shemeji.
” Sawa.
( Alikuja kwangu kuniaga na mimi sikutaka kubaki gali yake ni kubwa kenta mbele Tulikaa mimi na Shemeji tukaenda alipo mume wangu alipomuona kakaa na mimi akaanza kumfokea)
” Wewe kwanini usikae nyuma unakaa mbele na mke wangu.
” Samahani kaka.
” Usije kurudia tena.
” Sawa kaka.
” Aya ingia kwenye banda lile ukachukue mkeo umpandishe humu.
” Mke wangu tena.
” Wewe utaki kuwa mwanaume.
” Kaka kwani mimi sio mwanaume.
” Wewe mjinga kweli mwanaume uwe na mwanamke aya wewe mwanaume wa nani?
” Tuache ayo kaka mimi kuingia kwenye banda siwezi mbwa ajanizoea ataweza kuning’ata.
” Unamuogopa mkeo wewe mwanaume wa wapi?
( Mimi roho inaniuma yani Shemeji mkewe ndio mbwa kweli mume wangu amejaliwa dharau…bahati nzuri anayeuza mbwa akasema)
” Ni kweli uyu akiingia mule atang’atwa acha nikamchukue nimpakie nikamshushe alafu atakayekuwa anampa chakula ndio atakayekuwa wa kwanza kumzoea atosumbua tena.
” Sawa.
( Mwenye mbwa akaenda kwenye banda alimchukua mbwa ni mkubwa wa kike alitubwekea pale mimi nikakimbilia kwenye gali…basi mume wangu akamlazimisha mdogo wake akae nyuma ya gali na mbwa)
” Aya kaa nyuma hapo.
” Kaka uyu ni mbwa ajanizoea ataning’ata.
” Tembea kwa miguu.
( Nilishuka nikampa pesa ya bodaboda kimya kimya….kweli Tuliondoka mbele nilikaa na deleva na mwenye mbwa yule mwenye mbwa akaniuliza)
.
” Uyu jamaa ni mfanyakazi wenu?
” Hapana ni mdogo wake.
” Ndio anamfanyia ukatili ivi yani ningekuwa mimi nishaondoka sio kaka uyu wa kuishi nae.
” Mambo ya ndugu ayo mimi siwezi kuingilia.
” Sawa ila mwanzo nilijua anamtania kumwambia akachukue mbwa bandani tena anasema mkewe kumbe alikuwa anamaanisha.
” Mimi siwezi kusema chochote jamani niache.
” Mwambie mumeo aliyempa yeye ndio kamnyima mdogo wake.
( Nikakaa kimya sitaki kusema sana…tulifika akashusha uyo mbwa…dk 10 mbele alikuja Shemeji akaelekezwa jinsi ya kumpikia chakula mbwa na kumpa…alafu wakaondoka…mume wangu akasema)
” Kazi iyo sasa nishakupa si ulikuwa unataka kazi wewe.
” Sawa.
( Akaenda kuoga…uku Shemeji ananiambia)
” Mimi nachanga changa tu nikipata nauli naondoka.
” Usiondoke nitakuwa nakupa mmmm.
” Mmmm ndio nini?
” Shemeji acha izo nitakuwa nakupa utamu.
” Utamu kwenye mateso naisi makubwa yanakuja.
” Akuna mateso yoyote kutakuwa na amani tu si unasikia Bora ugali dagaa kwenye amani kuliko wali nyama vitani.
” Shemeji hapa nipo vitani na sijui kosa langu kwa kaka nikiondoka naisi nitajua Kosa langu maana nitapata Muda wa kutafakari.
( Kabla sijamjibu nasikia mume wangu anatoka bafuni nilikaa kimya…mume wangu alikuja kusema maneno ya dharau sana pale)
” Wewe Muda ule umekaa na mke wangu mbele ya gali ulikuwa unajiona nani?
” Uyu ni Shemeji kwani kuna ubaya kukaa nae mbele ya gali mbona wakati wa kurudi alikaa mwenye mbwa mbele pale.
” Uyu awezi kukaa na mwanaume asiyetimia wale waliokaa mbele wametimia.
” Kaka mimi sijatimia.
” Wewe ungetimia si ungekuwa na mwanamke kijijini kule nimefatilia istoliya yako naona kabisa mama yetu atakuwa amekudondoshea kitovu wewe.
” Kaka Unamaanisha mimi sisimamishi.
” Ausimamishi ndio nenda kalale uko tuache wenye wake tule raha ya dunia.
( Shemeji anapenda kulia dk 0 tu kainama analia…mala mume wangu anapokea simu kutoka kwa boss wake)
” Ndugu Samahani unatakiwa uende arusha Leo hii saizi kuna dharula kidogo hapa nakuja kukupitia twende.
” Sawa mkuu.
( Alikata simu akaniambia pale pale)
” Naondoka arusha boss ananipitia sasa chukua pesa hii ya chakula cha mbwa na hii ya matumizi yako sijajua nitarudi lini tutawasiliana.
” Sawa.
” Hili liache lilie likichoka litanyamaza.
( Sikumjibu akaingia chumbani akavaa nguo fasta akaondoka akapitiwa na boss wake…tukabaki wawili tu mimi na Shemeji nikafunga mlango nikamsogelea namwambia)
” Shemeji usilie.
” Naachaje kulia wakati natukanwa.
” Shemeji niangalie basi.
( Aliniangalia nikamwambia)
” Twende nikakupe utamu achana na kaka yako.
” Shemeji au unajua kweli mimi sisimamishi unanitega?
” Amna mbona mimi nimekuona siku ile unaenda kukojoa umesimama vizuri.
” Shemeji kaka ananiuzi.
” Twende ukamkomoe ukanile vizuri.
” Shemeji autaweza kusema kweli.
” Siwezi Shemeji nakupenda sitaki kwenda nje nataka kukupa wewe.
” Twende Shemeji kaka si ananitukana mimi twende ukaone kuwa kaka ananitukana tu ila mimi nipo Sawa.
” Twende.
( Tuliingia chumbani Leo amekasirika alitoa suruali kitu kimesimama kweli kweli sikujivunga nikatoa nguo zote akaniambia)
” Umevaa ugonjwa wangu nazipenda shanga kweli.
” Shemeji acha niiname uweke kwanza nitoe muwasho alafu mengine yafate.
” Sawa.
( Nilishika kitanda niliinama Shemeji kumbe anajua akapitisha mpalazo kwanza juu juu naona kichwa kimegusa mlango mdogo nikamwambia)
” Uko usigusishe Shemeji.
” Uku nakutania tu ila lengo langu mlango mkuu.
” Sawa.
( Shemeji akatema mate kwenye mlango mdogo uku anachezesha kichwa juu anasema ananitania mala nasikia anachomeka kweli nilipiga kelele)
” Aaaaaaaaa chomoa.
INAENDELEA

