PENZI PENZINI
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 1
Alice ni msichana mrembo wa sura na umbo, ana
rangi ya choculate, mrefu wa wastani na ana macho ya kusinzia, shavuni ana vitundu vidogo viwili ambayo huonekana anapocheka(dimpoz) na mdomoni katikati ya meno yake ya mbele kulikuwa na nafasi(mwanya) .Vitu hivi vyote vilimfanya aonekane mzuri na wa kipekee zaidi. Mbali na uzuri wote huo alikuwa na mwendo wa kimiss ambao ulihakisi uzuri wa umbo lake ambalo kwa wakati huo alikuwa ni mwembamba sana.
Udhaifu wake mkubwa ulikuwa ni kucheka cheka ovyo hali iliyomfanya kutamaniwa sana na wavulani kwani kitendo cha kucheka kiliruhusu mwanya na dimpoz kuonekana mda mwingi vitu ambavyo vilimfanya aonekane kuwa ni mzuri sana.Kwa kulijua hilo mda mwingi alikuwa ni mtu wa kutabasamu na kufurahi jambo lilomfanya aingie kwenye orodha ya wanawake wazuri huku dunini.
Vigezo hivi vya Alice havitofautiani sana na Gaston ambayo ni handsome boy aliyejaliwa uwezo mkubwa darasanii na huwa ni kivituo cha wasichana wengi .Pamoja na mambo mengne pia Gaston ni maarufu kwa kipaji chake cha kucheza mpira wa kikapu(basketball).Gaston pamoja na uhandsome aliojaliwa pia ni mstaarabu, mpole na mtanashati vigezo vinavyomfanya kuwavutia wadada wengi. Pamoja na kuwa na vigezo vingi bado hakuwa mtu wa mademu na alikuwa na msimamoo sana na kuamini kuwa siku zote anapaswa kuwa na msichana mmoja.
Vigezo hivi vya pande zote mbili yaani Gaston na Alice sio ndio vilivyowakutanisha bali masomoo ya elimu ya juu Katika chuo cha Ushirika Moshi na Ushemeji waliokuwa nao.Alice anamwita Gaston shemeji kwa sababu ni boyfriend wa rafiki yake anayeitwa Jesca ambaye kwa sasa yupo Dodoma. Alice kimakazi alikuwa anaishi Dodoma na kwa sasa amejiunga na chuo kikuu kishiriki cha Ushirika na Biashara (MUCCoBS). Gaston ndo mwenyeji wake kwani yeye alikuwa mwaka wa pili na ndo mtu pekee anaye mjua hapo chuoni kwani ndo kwanza alikuwa ameripoti.
Siku ya kwanza tu walipoonana kila mmoja alivutiwa na mwenzake na kutamani kama wasingekuwa mashemeji.Kila mmoja alihisi kuwa mwenzake ana vigezo vya ziada vinavyomfanya awe kivutio kwake.Alice amepewa na rafiki yake Jesca jukumu la kumlinda na kumchunga Gaston na wakati huo huo Gaton amepewa kazi ya kumkaribisha Alice chuoni na kumuonesha mazingira na kumsaidia kimasomo kwa sababu yeye alikuwa ni mwaka wa pili.
Ni wiki mbili sasa zimepita tangia Alice aripoti chuoni na kila siku alikuwa akitamani sana kupata mda waongee na shemeji yake Gastoni.Siku moja jioni wakati wanafunzi wengine wakijiandaa kwenda vipindi vya dini Alice alijikuta tu amempigia simu Gaston na kuomba waonane.Kwa bahati nzuri Gaston na yeye alikuwa bado yupo eneo hilo.Wakatafuta mahali hapo hapo chuoni wakakaa na mazungumzo yao yalikuwa hivi.
Alice; Hivi viti vya sumenti tulivyokalia ndo vinaitwaje tena?
Gaston; Ahaaaaaaaa kwani nini umeuliza, kwani wewe umeambiwa vinaitwaje?
Alice; Nilitajiwa jina gumu kweli nishalisahau.
Gaston; Vimbweta?
Alice; Yes exactly (ndio, umepatia)
Gaston; Kwa nini umeamua tukae hapa ili hali kigiza kimeshaingia na sehemu hii hamna taa?
Alice; Hapana sehemu hii nimepapenda tu siunajua room (hostel) sa hivi kila mtu yupo alafu kwa wewe mtoto wa kiume sio vizuri kuingia chumba cha watoto wa kike tupu usiku huu.
Gaston; Ni kweli, lakini mimi nilikwambia uje gheto kwangu.
Alice; No, leo sijisikii kutoka nitakuja siku ingine, ebu nambie ulitaka kuniambia nini?
Gaston; Kwa mazingira haya siwezi kukuambia kitu, ila kwa kuwa huwezi kutoka nitakwambia hiyo siku ingine ukiweza kutoka nje ya chuo.
Alice; Sawa haina shida, tutatoka wikiendi uniambie.
Hayo ni baadhi ya mazungumzo mafupi baina ya Alice na Gaston mtu na shemeji yake wakiwa juu ya kimbweta cha chuo.kwa wale wasiojua kimbweta ni viti vilivyotengenezwa kwa sumenti kwa ajili ya kujisomea na vinapatikana nje ya madarasa mara nyingi huwa vipo vyuoni na vina majina mbalimbali kulingana na chuo husika.
Wakati wakiendelea na stori za hapa na pale kwenye sehemu hiyo yenye kigiza na mbu wasumbufu mara kuna watu wawili walikuja tena wa jinsia mbili tofauti hapa namaanisha wa kike na wa kiume. Gaston akamwambia shemeji yake ebu tujifiche tuone sinema maana kila siku nasimuliwaga eti kuna wanachuo waliochizika wanakuja huku kufanya mapenzi. Wale watu wawili wa kike na kiume wakaenda kwenye Vimbweta vilivyojificha zaidi na kutulia hapo. Walikuwa wanaongea kwa sauti ya chini sana hali ambayo iliwafanya Alice na Gaston wasogee zaidi kujua nini kinaendelea.
Kwa mbali walisikia wale watu wakibishana kuhusu bei,
Wa kike; Tatizo lenu nyie wanafunzi wa secondary mnataka vitu vizuri wakati hamna hela. Mtu huwezi kulipia hata hela ya guest bado mnanisumbua hamuoni kuwa mnazalilisha kazi yangu?
Wa kiume;Hapana dada, mambo kusaidiana siunajua tena mambo ya uboyzini
Wa kike; Haya nitakufanyia buku tano, bao moja
Wa kiume; nifanyie bao mbili basi maana nmezidiwa sana
Wa kike; Haya poa lete hiyo hela usije ukafa kwa ugwadu.
Waswahili husema ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni, kwenye vimbweta sehemu ambayo wenzao hutumia kujisomea mchana wao waliamua kugeuza guest, kweli mapenzi ni upofu. Mara yule wa kiume akaanza kuvaa soksi(kondom) tayari kwa mapambano. Alice kuona vile uzalendo ulimshinda akaanza kuuliza.
Alice;Ina maana yule dada mrembo vile anajiuza? Kabla hajajibiwa akaongeza swali lingine hivi ni mwanachuo kweli?
Gaston; Alimjibu kwa kumuuliza swali, sasa kama sio mwanachuo amewezaje kuingia eneo la chuo?
Alice; hapana bwana anaweza kuwa sio mwanachuo kwani pale getini si mtu yeyote anaweza kuingia?
Gaston; Yote yanawezaekana ila yule kijana inaonesha ni mwanafunzi wa secondari
Alice; Sasa kwa nini tusiripoti hili tukio?
Gaston safari hii hakumjibu kitu kwani alikuwa bize akiangalia watu wakivunja amri ngumu ya sita tena juu ya kimbweta sehemu ambayo mchana wanachuo huwa wanafanyia discussion. Basi Alice alijiunga na shemeji yake na kuendelea kuangalia wenzao wakibadilishana staili. Alice naye akaihisi mzuka imempanda akamsogelea zaidi shemeji yake na…
Walimuona yule dada akipanda juu ya kimbweta na kupiga magoti huku yule mwanaume akisimama tayari kwa kumwingilia kwa staili ya kinyume nyume.Yule dada alijibinua akamuachia kijana makalio kwa nyuma kisha akanza kumkatikia mauno.Kweli mapenzi ni upofu maana kijana alikuwa kama anachochea moto kwenye jiko la kuni huku mkono wake mmoja ukiwa kwenye kichogo na mwingine kwenye kiuno cha mrembo huyo.Utamu utamu huo wa mechi ulimfanya Alice msogelee zaidi Gaston na kutamani amkumbatie na wao wafanye ka mchezo hako.
Wale wadau hawakuishi hapo waliendelea kufanya yao na yule dada alijigeuza na kuangalia mbele.Akapanua mapaja na jamaa akafanya yake.Jamaa alikuwa amesimama na dada amekaa kwenye vimweta na hawakuvua nguo zote la hasha bali jamaa alifungua zipu tu na yule dada alishusha kidogo tu kufuli lake na kufanya upenyo mdogo ulioruhusu nyoka kuingia pangoni.
Mmmmmmmh iiiiishiiiiiiiiiiiiiiii yeaaaaah hapooo hapoooooooooo ni baadhi za sauti zilizosikika sauti zilizomfanya Gaston kuuma meno na kubetua mdomo wake juu kama mbuzi beberu aliyenusa nyeti ya mbuzi jike na kupata mzuka wa ajabu.Alitamani kumrukia Alice lakini ndo hivyo ushemeji ulikuwa kikwazo.Wote wawilii waliendelea kufaidi mautamu mpaka pale walipoona wenzao wamemaliza na kuvaaa nguo zilizokuwa zimechojolewa nusu nusu kama nyimbo ya Joh Makini.
Basi mechi ya wenzao iliisha wakavaa nguo na kuondoka zao. Gaston kuona hivyo ilibidi na yeye aage kwani mda ulikuwa umeenda sana na yeye alikuwa hoi bini taabani huku sehemu zake za mbele zikiwa tayari zimesimama na kuinua suruali.Alice aliligundua hilo na alitamani kucheka lakini alivunga na kukausha tu. Basi kila mtu akaondoka zake, Alice aliingia Sokoine hostel na Gaston akaondoka zake na kwenda gheto kwake sehemu moja wenyewe waliita madukani mahali ambapo alikuwa amepangisha chumba. Sio mbali kutoka chuoni na hii ni kutokana na uhaba wa vyumba ndani ya chuo, hivyo wanafunzi wote wa kiume isipo kuwa wale wenye matatizo maalumu walikuwa wakikaaa nje ya chuo.
Gaston alifika gheto kwake huku moyoni akimwazia Alice, alijisemea moyoni “ingawa ni shemeji yangu lakini kiukweli amemzidi rafiki yake” akimaanisha Jesca ambaye ndio mpenzi wake ambaye kwa sasa yupo Dodoma akisimamia kampuni ya baba yake inayojiusisha na mambo ya utafiti wa kilimo. Akaendelea kuwaza na kuwazua akajisema “ingawa Alice nasikia ana rafiki yake (boyfriend) huku Moshi lakini kwa mazingira anayoyatengeneza sijui kama nitaweza kuvumilia.”
Gaston alikaa kwenye meza yake ya kujisomea tayari kwa kupiga msuli huku akiendelea kutafakari juu ya uzuri na urembo wa Alice. Akiwa kwenye mawazo hayo mara simu yake ikaita.Alipopokea tu alikaribisha kwa sauti nzuri ya mlegezo ambayo pia haikuwa ngeni masikiono mwake. Sauti hiyo kwa kujiamini ilisema “helow mpenzi za masiku?. Najua umenisahau lakini kiukweli mimi bado upo moyoni mwangu, nakupenda sana nilikuwa nje ya nchi sasa nimerudi na nina mpango wa kuja moshi nikuone kama utaniruhusu.” Gastoni alishaitambua ile sauti kuwa ni ya Beatrice msichana wake wa kwanza ambaye waliachana kwa njia ya kupoteza mawasiliano.
Hakuwa na jinsi zaidi ya kumwambia karibu moshi the old is gold, kauli ambayo Beatrice alihisi tayari Gaston atakuwa na mchumba mwingine. Beatrice alikata simu na kujisemea lazima ni mtafute na nitatumia gharama zangu zote kuhakisha na mpata, mimi ndio Beatrice bwana siwezi kuendelea kuteseka wakati kila mvulnaa ninayekuwa naye hanifurahishi kama Gaston.
Simu ile ya Beatrice ilifanya Gaston ashindwe kuendelea kusoma akajikuta na yeye akipanda kitandani huku akiitafakari ile simu. Aliingia kwenye dimbwi zito la mawazo juu ya maisha yake ya mahusiano akiwaza jinsi alivyoteseka siku alipogundua kuwa mpenzi wake Beatrice aliyempenda sana anamsaliti. Alikumbuka tukio ambalo hawezi kulisahau katika maisha yake na hiyo ni miaka mitatu iliyopita kabla hajajuana na Jesca mpenzi wake wa sasa.
Gaston kabla ya Jesca alikuwa na mpenzi wake aliyeitwa Beatrice msichana wa kwanza kuwa nae na msichana aliyempenda sana ambaye kwa sasa yupo masomoni nchini Uganda. Gaston alijisemea ingawa niliweza kurudiana na Beatrice kipindi kile aliponisaliti nikamsamehe tukaanza upya lakini safari hii itakuwa ngumu kwani nampenda sana Jesca. Kwa hiyo ni kwamba Gaston alishawahi kusalitiwa na Beatrice mpenzi wake wa kwanza kabla ya kusamehana na kurudiana lakini baadaye walipotezana na Gastona akatafuta mshichana mwingine yaani Jesca.
Wakati Gaston akiendelea kumuwaza Beatrice simu yake iliita tena kuangalia ilikuwa ni Jesca akaamua kuipokea. Alishtushwa na jinsi mpenzi wake alivyokuwa akihema huku akishindwa kuongea, akauliza maswali kama mawili yote hayakujibiwa akaamua kukata ili ampigie tena, ile kujaribu kumpigia anakutana na ile sauti “sahani huna salio la kutosha kupiga simu hii” Wakati akiendendelea kufikiria nini cha kufanya mara anasikia makelele nje ya dirisha, kusikiliza kwa makini ni kelele kama za pumanizi.
Kelele zilezilimshutua Gaston ikabidi atoke nje, alipouliza ni nini alijibiwa kuwa eti kuna mwanafunzi wa chuo amefumaniwa na mume wa mtu. Ikabidi na yeye aunge msafara kutoka sehemu anayokaa(madukani) mpaka sehemu yenye pumanizi wanapaita njia panda. Hakutaka kupitwa na gazeti hilo hivyo alitaka kujua ni naniii. Hakuamini macho yake alipokuta watu wamezingira chumba cha msichana wanayesoma nae ambaye siku zote alikuwa akimmezea mate.
Alijiuliza maswali mengi sana bila majibu, akajisemeha sasa huyu nae ni mjinga kweli kwa nini akubali kulimenya tunda karibu na maeneo anayokaa. Ata kama ni room yake na anakaa mwenyewe kwani achukue mwanaume wa mtu? Akajiuliza tena na nani amemchomeshea hiyo ramani. Vurumati lilikuwa kubwa mke wa huyo mwanaume anayesemekana yupo ndani ya chumba cha msichana huyo alikuwa amekuja na kikosi cha maana ambacho kilikuwa tayari kwa lolote. Gaston ilibidi aingilie kati kumnusuru huyo dada maana watu walizidi kujaa wakimsubiri atoke huko chumbani walipojifungia na huyo mwanaume. Alimwandikia meseji kuwa endapo akitoka watu watachukua picha hivyo atoke kwa akili ikiwezekana afunike kichwa chake.
Basi binti alitoka kwa kujiamini, akijua kuwa lazima watu wataingia ndani na kumtoa huyo mwanaume na yeye kupata nafasi ya kuondoka. Kwa kuwa yule mwanamke aliyekwenda kumfumania mumewe hakuwa na uhakika na hiyo ramani aliyopewa kwani mumewe alimwaga kuwa anaenda Mwanza kikazi ilibidi aingie ndani kuhakikisha,basi hapo yule binti alimkonyesha Gaston kuwa watoroke.
Gaston kwa ujanja ujanja walifanikiwa kuondoka hapo kwa kupitia nyuma ya uwa wa nyumaba hiyo wakiacha mume wa mtu akipewa kipigo. Walipita njia za vichochoroni na kufanikiwa kufika kwa Gaston, waliingia ndani wakajifungia. Wakiwa chumbani baada ya kimya kirefu yule binti aliamua kuvunja ukimya. “Gaston najua kwa sasa nipo sehemu salama, ila nisamehe sana kwa tukio lililotokea najua siku zote ulikuwa ukinifuatilia bila mafanikio lakini kiukweli huyu mume wa mtu ndo alikuwa akikuzibia riziki.”
“Sio kwamba nampenda kihivyo bali napenda huduma zake, hivi unafikiri mimi ningeishije hapo chuoni ili hali sina boom?” Aliendelea kusema binti huyo kwa jina Mwajabu. “Amekuwa akinisaidia sana, ameninulia hii simu na ile lap top ninayotumia. Mimi naona lawama zote hizi serikali wanahusika inakuwaje sisi watoto wa masikini tunanyimwa mikopo ili hali hatujiwezi?” Alijitetea Mwajabu na kujaribu kuitupia lawama serikali. Kwa maneno hayo ya uchungu binti wa watu alikuwa akimwaga machozi katika kiti alichokalia. Gaston ingawa hakufurahishwa na lile tukio lakini alimwonea huruma sana akamfuata akamfuata machozi akamwambia “usijali panda kitandani ulale wacha mimi niangalie movie zangu”.
Gaston aliwaza sana akajisemea “ingawa watoto wakike wanadanganyika na pesa za waume za watu lakini, kiukweli kama mtu hauna mkopo na wazazi hawajiwezi kwa mazingira ya chuoni ni shida sana”. Aliwasha lap top yake na kuanza kuangalia movie, lakini kwa kuwa alikuwa amechoka sana siku hiyo akajikuta anasinzia na kupitiwa na usingizi kila baada ya dakika kazaa. Kitendo kile kilimnyima amani yule binti aliyefumaniwa akajikuta anamwamsha na kumwomba apande kitandani alale. Ingawa Gaston alikataa lakini bintihuyo alimbembeleza sana mpaka akakubali. Wakapanda kitandani wakalala.
Cha ajabu shuka la kujifunika lilikuwa moja na si mnajua tena hali ya hewa ya Moshi ni baridii. Gaston alimwambia binti “wewe jifunikke tu hilo maana mengine nimeyafua na hayajakauka”. Binti akamwambia “ngoja tuchangie ili usiogope na kuanzia sasa nitaachana na wanaume wa watu na kama utakuwa tayari kuwa na mimi tusaidiane kimaisha ntashukuru” Binti alikuwa akiyasema maneno yale kwa maana sana kwani Gaston kiuchumi alikuwa yupo vizuri japo sio mambosafi sana. Gaston hakujibu kitu ingawa kiukweli alishawahi kumtaka kimapenzi binti huyo bila mafanikio. Binti alipitiwa na usingizi lakini Gaston aliendelea kuwa macho huku akiendelea kutafakari kama ataweza kulala nae mpaka asubuhi bila kufanya kitu.
Wakati akiendelea kuwaza yule binti alikuwa akimpandishia miguu yaani madokta wanasemaga malalavi. Kitendo kile kilimfanya Gaston aamke na kwenda kukaa kwenye sofa lake la seti moja.Baada ya mda binti alishtuka kutoka usingizini akamwona Gaston amejikunyata huku baridi ikimpiga, alimwonea huruma sana akajisemea moyoni mwake “ huu sio uungwana, kwa nini ateseke na baridi hili hali na mimi nipo”. “Najua ananipenda na yupo tayari kwa lolote ingawa lile tukio limemshtua sana”.
Akawaza mara mbili tatu akasema sio mbaya nikimuonjesha asali, kama niliweza kumpa mume wa mtu sembuse yeye na uhandsome wake huo. Akashuka ghafla kutoka kitandani akalitupa lile blaketi na kuanza kuchojoa nguo zake, nia ni kumwonesha Gastoni jinsi alivyo mzuri no matter what. Akalichukua lile blaketi akajifunika akamfuata Gaston alivyofika alilizungusha blanketi juu ya mwili wa HB huyo kisha wote wakawa ndani ya blaketi.. Gaston alishtuka sana akaanza kuhema kwa nguvu na hii ni baada ya kuugusa mwili wa binti huyo. Mapigo ya moyo yaliongezeka alipozidi kukumbatiwa. Mara binti akajitoa kwa ghafla na kubaki kama alivyozaliwa , alimpa mkono Gaston ishara kuwa waamie kitandani. Gaston hakusita alikubali, wakaamia kitandani.
Uchu wa huba ulimpanda ghafla Gaston na kujikuta amemfakamia kama paka aliyeona panya.Alianza kumnyonya ndimi kwa nguvu huku mikono yake ikiperuzi na kudadisi kwenye mwili huo wa Mwajabu.Unyororo wa mwili wa Mwajabu ulimfanya Gaston awe na papara ya kupitisha mikono kunako ikulu na kujaribu kupima ujazo wa kiwango cha mafuta kwenye ikulu hiyo.Alitumia vidole vyake kupima kima cha maji kwenye kisima cha Mwajbu na alikaribishwa na uteu ute ambao ulikuwa umeshuka sehemu hizo za binti huyo.
Kuvutika vutika kwa ute ute huo ulimfanya atoe mkono kwa nguvu na kuamia sehemu za juu za ikulu….Asssssssssssssssssssshhhhhhhhhhh sssssssssssssssss ilikuwa ni sauti yabinti huyo aiyetoka kwenye fumanizi mda si mrefu.Wakajitoa fahamu na kusahau yote yaliyotokea wakaanza kuparamiana huku wakibiringitana biringitana hapo kitandani.Mwajabu aliamua kumtesa Gaston kwa kubana miguu ili mtarimbo usiingie kwenye kinu.Gaston akawa anajitahidi maana alihisi anaweza kufunga bao la kwanza kwenye mapaja mazuri ya binti huyo.
Wakiwa wameanza kuzidiwa na mawimbi ya bahari ya mapenzi ghafla simu ya Gaston iliita na kwa kuwa ilikuwa karibu yake aliiangalia na kuona kuwa aliyekuwa akipiga alikuwa ni Beatrice msichana wake wa kwanza ambaye waliachana kwa kupoteza mawasilianao kabla ya kumpata Jesca. Hakutaka kuipokea ile simu badala yake alitumia nafasi hiyo kuvaa soksi(kondom) tayari kwa kumshughulikia Mwajabu ambaye alikuwa amejilaza kitandani akiwa mweupeee peee kama alivyozaliwa.Ile simu ikaita kwa mara ya pili.
Mwajabu naye hakutaka Gastoni apokee simu na ilivyoiita mara ya pili aliiichukua na kuizima kabisa. Gaston ikabidi amuulize nani anapiga, Mwajabu akajibu ni Beatrice na ngoja niizime utaongea nae tukimaliza maaana kwa usiku huu tu lazima atakuwa ni mpenzi wako alisema Mwajabu.Gaston hakufanya makosa akaupanda mchuma na kuanza shughuli ya kutwanga na kupepeta. “Kweli kwenye mapenzi hakunaga makombo” aliwaza Gastoni mara baada ya kufurahishwa na joto alilolikuta kwenye chungu cha Mwajabu.
Kwa mawazo yake alijua kuwa kwa kuwa Mwajabu alitoka kufumaniwa basi sehemu hizo zitakuwa na unyevynyevu wa mvua iliyonyeshewa na kufanya kuwe na ubaridi ambao ungefanya nyoka wake hashindwe kukaa na kufurahia ikulu hiyo.Hapa naweza kusema masomo aliyosoma Gastoni akiwa sekondari yalimwezesha kuwaza ujinga kwani alisoma EGM hivyo alitumia jeografia yake vizuri kulinganisha tukio la fumanizi na viungo vya ndani vya Mwajabu.
Aliendelea kutwanga kwa spidi kubwa mara baada ya kuona kuwa kinu hicho kilikuwa kinabana vizuri mtwangio wake kinyume kabisa na matarajio yake.Mwajabu naye hakutaka kutumia vibaya nafasi hiyo alijishughulisha vya kutosha.Binti huyo alikuwa akimkatikia mauono kama feni mbovu ilyopelekwa kwa fundi. Aliona hiyo ndo nafasi yake ya pekee ya kumfurahisha shujaa huyo ambaye alimwokoa kutoka kwenye fumanisi ambalo kwa namna moja au nyingine lingemtia kwenye aibu kubwa saana maishani mwake.Walienda raundi mbili na baada ya hapo kila mtu alikuwa hoi bin taaabani.
Sehemu Ya 2
Mwajabu mara baada ya kuona amemmaliza Gaston alichukua ile simu ya Gastoni na kuiwasha na alikaribishwa na meseji nyingi za lawama kutoka kwa wasichana wawili yaani Beatrice na Jesca. Na baaada ya kuzisoma alimrushia Gastoni simu yake na kumwambia “Chukua simu yako nisije nikafaa kwa presha bure”.Kabla Gaston hajajibu kitu, Mwajabu aliongeza kwa kusema siku hizi hakuna mtakatifu, wote ni wale wale matajiri na masikini, wasichana na wavulana na watoto kwa wazee.Hapa alimaanisha kila mtu siku hizi ni msaliti tu.
Baada ya Gastoni kuziona zile meseji aliaamua kuwapigia simu na alianza na wa muhimu zaidi yaani Jesca.Simu iliita mara ya kwanza na haikupokelewa na alipopiga tena ilipokelewa. “Baby mbona unaninyanyasa na penzi lako,simu unazima na sms hujibu” alisema Jesca mara baada ya kupokea simu.Gastoni hakuwa na majibu ya kumrizisha Jesca zaidi tu ya kuomba msamaha na kujitetea kuwa sazile kuna tukio la fumanizi lilitokea mtaa wa pili.
Gastoni ikabidi amuulize mbona ulinipigia simu ukawa unahema sana na huongei? Jesca kwa sauti ya upole, mlegezo na kudeka alijibu “ndoto babee wangu”, yaani leo naota ndoto mbaya sana juu yako. Gastoni akamuuliza “kwani umeota nini babeee?”“Nimeota unanisaliti na nimekufumania mimi mwenyewe” alisema Jesca. “Na baada ya hapo ikawaje?” aliuliza Gastoni. “Wewe acha tu ulikimbia ukiwa mtupu na watu wakawa wanakuitia mwizi”. “Acha masihara yako mpenzi, mimi nakupenda sana na kamwe siwezi kukusaliti” alidanganya Gastoni.
Maongezi yale yalimuumiza na kumshtua Mwajabu ambaye alikuwa amejilaza kitandani akiwa uchi wa mnyama.Alijionea huruma yeye na alimwonea huruma Jesca. Kimoyo moyo akawaa anajisemea “kweli hii ni zaidi ya PENZI PENZINI”.Wakati Mwajabu akiendelea kutafakari na kusikiliza jinsi Jesca alivyokuwa akilalamika na kuonesha kuwa hana imani na penzi la Gaston na yeye aliamua kuwasha simu yake ili kujua nini kiliendelea baada ya yeye kukimbia kwenye fumanizi.
Alivyowasha tu alikutana na meseji nyingi sana za rafiki yake Zuwena. Na kwa kuwa zilikuwa za kufurahisha na kusikitisha aliamua kumpigiakabisa. “Helow shostiti, meseji zako zinanivunja mbavu, ebu nambie nini kiliendelea baada ya mimi kuondoka na kumwacha baba Juma pale chumbani kwangu.Zuwena kwa huzuni alijibu “wewe acha tu best yule mke wake ni mkorofi sana kwani aliingia na kumkurupusha kama mwizi”. Kwa hiyo baada ya kumkurupusha nini kilitokea aliuliza Mwajabu.
“Yaani wewe acha tu alitoka uchi wa mnyama watu wakamkimbiza huku mkia wake ukigongagonga mguu wake utafikiri mguuu wa tatu”.Mwajabu ilimbidi acheke kwa sababu kwa kweli yule mbaba alijaliwa kuwa na maumbile marefu sana ambayo siku zote ulimwitaji Mwajabu kutumia akili ya ziada pindi akiwa nae kitandani la sivyo aliambulia maumivu tu. Yeye siku zote alikuwa akijipimia saizi inayomtosha na alikuwa akitumia ile staili ya jipakulie mwenyewe.
Basi Zuena aliendelea kumsimulia rafiki yake Mwajabu ambaye vyumba vyao vimeongozana jinsi mambo yalivyokuwa. “Yaani shosti umemtia kwenye majanga makubwa sana yule baba wa watu” aliongeza Zuena. Majanga gani kwani mimi nilimlazimisha au alitaka mwenyewe kuharibu ndoa yake. Basi ndo hivyo besti mbaba wa watu akaingia kwenye banda la nguruwe na bila kuogopa harufu ya kinyesi cha wanayama hao na bila kuajali kuwa yeye ni ostadhi alikaaa humo kwa zaidi ya robo saa.
Mkewe alitukana sana mpaka watu wakaamua kumwondoa maana alimchamba sana. Watu wenye busara zao walimwondoa mama huyo eneo la tukio na baadaye baba wa watu alitolewa kwenye banda la nguruwe na kusitiriwa.Mwajabu alicheka sana na kumuuliza kwa hiyo ile meseji uliyoniandikia kuwa ya kwangu ni ya dhahabu ulikuwa na maana gani. Zuwena ilibidi achake na kusema “yaani hapo nilikuwa namaanisha yule mama alikuwa anamuuliza mumewe kuwa amekosa nini kwake au wewe uchi wako ni wa dhahabu?”
Hapo ilibidi Mwajabu akate simu na kuendelea kucheka kwa nguvu.Kicheko kilichosababisha Jesca ambaye alikuwa bado anaongea na Gastoni kuuliza “mbona nasikia sauti ya kike hapo pembeni au upo umelala na mwanamke baby wangu?”.Kauli iliyomfanya Gastoni ashuke na kuteremka kitandani na kusogea mbali zaidi.Gastoni aliendelea kummdanganya mpenzi wake huyo kwenye simu mpaka kikaeleweka. Alimwambia kuwa ni sauti ya kwenye Tv japo haikuwa ya Tv.
Gastoni alivyokata simu na kuagana na Jesca alimwangalia Mwajabu kwa jicho baya akimaanisha kuwa hakufurahishwa na kicheko chake ambacho kilitaka kusababisha majanga.Mwajabu nae akaendelea kujitoa ufahamu akamwonesha tabasamu la nguvu na kumkonyeza kitu ambacho kilimshangaza Gastoni na kijisemea she must be crazy(anaweza kuwa chizi) au ni likahaba lililokubuhu.
Mwajabu kuona Gaston anaendelea kuganda kama mtu aliyepigwa na shoti ya umeme akaamua kufanya makusudi akajifunua lile shuka alililojifunika akamfuata Gastoni na kumpa mikono ishara kuwa amkumbatie. “Wote hatuna makucha basi tusiombe upele” alisema Mwajabu.Gaston akamsukuma na kupanda kitandani. Mwajabu alikuwa na roho ya ajabu sana yeye aliendelea kucheka tu na kumwambia “ujue Gastoni lazima tukubali kilichotokea na kitakachotokea kwani hata Norman Peale alishawahi kusema “Its not what happens to you that matters, its what you think about what has hapened to you.” Kwa tafsiri isiyo rasmi alimaanisha kuwa kitu chochote ambacho kiliwahi kukutokea maishani sio tatizo, bali kama utaendelea kukifikiria ndio tatizo.
Alivyomtaja tu mwandishi huyo maarufu wa vitabu vya positive thinking, Gaston alitabasamu kwani na yeye alikuwa ni mmoja wa watu waliopenda kusoma vitabu vya mwandishi huyo na kwa kuthibitisha hilo alimjibu Mwajabu kwa kumwambia “We become what we think and what we think come to us” Kwa tafsiri isiyo rasmi yaani tunakuwa tunavyofikiri na tunavyovifikiria utujia maishani.Basi walikumbatiana na Mwajabu akamwambia Gastoni “The bird of the same feather flying together” akiwa na maana ndege wafananao huruka pamoja hivyo basi anaomba wafungue ukurasa mpya wa mapenzi baina yao.
Gaston alikuwa kimya huku huku akiendelea kufurahia kumbatio la Mwajabu, kumbatio lillompa joto la huba. Baada ya kimya kirefu huku kila mmoja akitafakari na kupeleka hisia zake za mapenzi mbali, Mwajabu alimuuliza tena kwa kutumia kimombo “if likes attract likes, can we build a home?” akiwa na maana kuwa kama vizuri huvutia vizuri vyenzao je wanaweza kuwa mke na mme. Gaston alijibu kwa kifupi tu “time will tell”(mda utatuambia).
Wote wakapanda kitandani na Gaston akaanza kujieleza. Ujue Mwajabu wewe ni msichana wa ajabu sana kwa sababu nilitegemea usiku huu uwe na hofu na huzuni kutokana na tukio la fumanizi lililotokea lakini nakuona una furaha tu na unataka tuyaache yote na tufungue ukurasa mpya.Hivi unafikiri jamii mimi itanielewaje? Mwajabu akadakia na ndio maana nilikwambia “its not what hapened to you that matter, its what you think about what has hapened to you.”
Mwajabu alionekana kujiamini sana na wala hakushtushwa na meseji za Beatrice na Jesca na alitangaza msimamo wake mbele ya Gaston kitu ambacho huwa ni kigumu kwa watoto wa kike.Kwa maelezo hayo Gastoni alihisi kuwa Mwajabu atakuwa alichanganyikiwa na lile tukio la fumanizi. Akamwambia “naomba tulale tutaongea kesho na tutafikia muafaka kesho maana suala la mimi kuwa na wewe kama wapenzi ni jambo zito hata hichi tulichofanya ni shetani tu alitupitia”.
Please Gastoni usiseme maneno hayo unaniumiza moyo wangu. Mwajabu alilamika sana na kusema “huwezi amini Gastoni mimi sio malaya nina mwanaume mmoja tu niliyemwacha huko Rufiji Pwani lakini ni ugumu wa maisha tu ndo unasababisha yote haya”.Nazani kama wewe ni mzoefu na wanawake ilikupasa kuligundua hilo pale tu ulipofanya mapenzi na mimi. Najua umegundua kitu na ingekuwa ni kahaba kama unavyofikiria wewe basi hata ikulu ya mzinga wangu usingekuwa na utamu huo ulioukuta alijisifia Mwajabu.
Kauli hiyo ilimgusa Gaston na kumwona kuwa alikuwa na ukweli ndani yake.Mwajabu baada ya kuona Gaston amekaaa kimya ilimbidi amuuulize habari zaa Jesca na Beatrice.Gaston hakumficha kitu alimwambia ukweli kuwa Jesca ni mpenzi wake kwa sasa na yupo Dodoma na anampenda sana.Lakini hakusita pia kumweleza habari za Beatrice na kumwambia kuwa huyo alikuwa ni mpenzi wake wa zamani.
Gastoni anamsimulia Mwajabu jinsi tukio la usaliti aliliofanyiwa na Beatrice binti ambaye alipoteza mawasiliano naye miaka mitatu iliyopita. Anakumbuka ilikuwa ni wiki moja kabla hajaanza mitihani yake ya kumaliza elimu yake ya sekondari siku ambayo alionana na Beatrice akapewa kadi ya best wishes na hela kibao na hiyo ni baada ya kulimenya tunda( kufanya mapenzi) wakaagana na yeye kurudi shuleni, siku mbili baadae anapokea simu kutoka kwa binamu yake na Beatrice mtu ambaye alimpa kazi ya kumchunga na kumfuatilia mpenzi wake.
Habari hazikuwa nzuri kwani zilieleza kuwa eti Beatrice alianza tabia mbaya na siku hiyo hakulala nyumbani alidai amekwenda kwenye harusi lakini binamu yake akamwambia yeyeanahisi amekwenda kwa mwanaume. Gaston aliamua kupotezea zile habari kwa kuwa alikuwa kwenye kipindi kigumu cha mitihani. Aliumia sana lakini akasema atajua ukweli pindi atakapomaliza mitihani kwani walikuwa wapo majirani. Tangia siku hiyo aliaamua kuzima simu yake na kuendelea na mitihani.
Siku aliyomaliza pepa aliwasha simu na kila alipompigia Beatrice hakupokea simu, alipofika nyumbani alienda kwao akamkuta wakaongea na alipomuuliza kuhusu kutopokea simu alijibiwa kwa mkato kuwa “mbona wewe ulinizimia wiki nzima sijakuuliza au mimi ndo nina moyo wa chuma”. Swali lile lilimfanya Gaston aendelee kuwa mpole akaomba appointment ya kuonana na mpenzi wake huyo na akaambiwa jumapili.
Jumapili ilipofika mida waliyopanga Beatrice hakuonekana, simu hakupokea na wala meseji hakujibu. Gaston iliumia sana kwani tayari alishachukua room tayari kwa kile alichokiita kureflesh mind baada ya kumaliza shule. Ilipofika saa moja jioni alikata tamaa akaamua kurudi zake nyumbani huku akifikiria atalipaje deni la hela aliyokopa kwa ajili ya siku hiyo. Hatua chache kabla hajafika nyumbani kwao kwa mbele alimuuona mtu kama Beatrice akiwa ameongozana na kijana ambaye alikuwa ni mrefu sana kama Hashim Thabeet akaamua kujificha ili athibitishe kuwa ni yeye au la.
Hakuaamini macho yake alikuwa ni mpenzi wake Beatrice tena akitembea kwa kujiamini kama mtu na mpenziwe. Gaston kwa ujasiri aliamua kuwafuatilia ajue walikuwa wakielekea wapi. Mdogo mdogo kama wimbo wa Dimond ndo mwendo uliokuwa ukitumika, wakaenda na kuenda, kata kulia kata kushoto mara wakatokea sehemu ile ambayo Gaston alipanga wakutane ingawa yeye hakumwambia ni hapo. Sehemu hiyo ilikuwa ni nzuri sana kwani kwa mbele ilikuwa ni restaurant ambapo watu walipata maakuli na kwa nyuma kulikuwa kuna vyumba vya kulala wageni.
Vijana wengi walipapenda hapo hasa kama demu alikuwa bado ajatiki vizurii hii ina maana kwamba watu wataanza kunywa au kula wakikubaliana wanahamia kwa nyuma kuchimba madini (kufanya mapenzi). Basi Beatrice alisimama kwa nje na yule jamaaa mrefu aliingia peke yake na alipitiliza moja kwa moja mpaka kwa nyuma ya restaurant, Gaston hakuelewa nini kinaendelea lakini alihisi jamaa aliamua kulipia room moja kwa moja. Gaston akapiga moyo konde na kuamua kumfuata Beatrice kabla hajamfikia jamaa naye alikuwa akitoka kuja kumchukua..
Gaston anaeleza kuwa alimwona yule kijana akienda kule sehemu ambayo yeye alikuwa amechukua chumba na Kumwacha Beatrice nje. Basi bila kujua chochote kinachoendelea alimfuata Beatrice na kuanza kumwoji maswali. “Hapa ni wapi? Upo na nani? Na kwa nini unataka kunisaliti”. Wewe vipi una maswali mengi kwani wewe ni polisi? alijibu Beatrice. Kitendo hicho au jibu hilo lilimfanya Gaston kukasirika na kuanza kumshushia kipondo kama anapiga mbwa mwizi.
Alimpiga sana na baadaye alituma meseji kwa ndugu zake wote kuwaambia kuwa Beatrice amefumaniwa na mwanaume mwingine. Kwa kuwa Gaston alikuwa akifahamika kwa kina Beatrice hivyo ujumbe huo ulikuwa ni mzito sana na ulichukuliwa kwa umakini wa hali ya juu.Gastoni aliendelea kumweleza Mwajabu kuwa baada ya hapo aliumia sana na alikuwa akipoteza dira siku hadi siku. Baadaye marafiki zake walimshauri kurudiana na Beatrice jambo ambali lilimfurahisha japo yeye ndo alisalitiwa.
Baaadaye walirudiana kabla ya Beatrice kuamia Dar es Salaam ndipo hapo walipopoteza mawasiliano.Kwa hiyo tangia miaka miwili iliyopita yeye aliamua kutafuta msichana mwingine yaani Jesca.Mwajabu aliumizwa sana na simulizi hiyo akasema kweli mapenzi yamekuwa ni usaliti kwani kila siku watu wanaumizwa na kuumiza. “Ni kweli kabisa Mwajabu na hapa tayari nishamsaliti Jesca wangu na bado Beatrice ananisumbua anataka aje Moshi sijui hata nifanyaje?” alisema Gaston.Hakuna cha kupoteza zichange karata zako vizuri maana hapa ni PENZI PENZINI alisema Mwajabu.
“Una maanisha nini, PENZI PENZINI?” aliuliza Gaston kwa mshangao.Mwajabu akamwambia “fimbo ya mbali haiui nyoka cha msingi sasa tafakari ombi langu la mimi kuwa wako”.Nataka niachane na mpenzi wangu wa Rufiji kwani hatuendani maana tayari nishamzidi kielimu na hanihudumii kwa lolote lile na sipendi kuendelea kumsaliti na wewe sipendi uendelee kumsaliti Jesca aliendelea kufafanua binti huyo mwenye mapozi ya ki
Gaston alimsikiliza lakini hakumwelewa kabisa. Gaston akamwambia “ni alfajiri sasa na hatujalala kwa hiyo naomba tulale kwa kuwa asubuhi tuna kipindi cha saa mbili”. Ni kweli lakini mimi leo sitoki hapa mpaka usiku mwingine unikute hapa maana sijajua kuwa hizi habari za kufumaniwa watu wamezipata au la. Nataka ukienda chuo unipe ripoti ili nijue nafanyaje alifafanua Mwajabu.Basi walijufunika shuka na kulala.
Kweli chui na kondooo hawawezi kulala zizi moja na siku zote ukichanganya na kuunga hasi na chanya lazima umeme utawaka.Dakika tanao tu baada ya kujifunika walishaanza kupapasana na kujikuta wakirudia kale ka mchezo huku kila mmoja akijisaulisha kuwa ana mpezi wake. Usaliti ni jambo ambalo wote wawili walikuwa wakilifanya. Baada ya Gaston kurizika na penzi la Mwajabu aliamua kujiachia na kupitiwa na usingizi. Mwajabu naye kuona hivyo akajua kabisa hakukuwa na yeyote baina yao ambaye ataweza kuwahi kipindi cha saa mbili asubuhi hivyo waliendelea kupiga usingizi.****
Alice Baada ya kuachana na Gaston pale Vimbwetani yeye alielekea hostel kwao.Aliendelea kuwaza lile tukio la watu wawili kuvunja amri ya sita kwenye vimbweta. “Haaa ngoja niachane na wale wapuuzi” alijisemea Alice na kuamishia mawazo kwa Gaston. Da hila boy friend wa rafiki yangu Jesca ana mvuto sana alijesemea Alice na kuendelea kuona kuwa rafiki yake amepata jembe, kijana mtanashati, mkarimu, mcheshi na mwenye uwezo mzuri darasani. Tazama yale maswali ya Bussines mathematic sisi wote darasani tuliyashindwa yeye ameyafanya kwa dakika mbili tu.Sema sasa hawaendani sana na Jesca maana rafiki yangu yule amekaa kilokole lokole sana aliendelea kuwaza Alice.But any way ngoja nimpigie Dulla wangu alijisemea Alice na kunyanyua simu.
Dullah ni kifupi cha jina Abdalah ambaye ndiye boy friend wake. Dullah ni kijana mdogo mwenye mafanikio makubwa hapa mjini na hii inatokana na utajiri wa familia yao. Baba yao anamiliki malori yanayokwenda nchi ya jirani, pamoja na mambo mengine walikuwa na mali nyingi sana mjini Moshi na Arusha, mali ambazo zinatosha kuwaita matajiri. Wanamiliki maduka ya spea za magari na pia wana sheli. Ukiachilia mbali mali za familia pia na wao watoto walipewa mgao ambao uliwawezesha kuishi maisha ya kifahari na kuonekana kuwa kweli walikuwa ni watoto wa matajiri. Dullah kwa sasa ni mwanafunzi wa form six katika shule ya sekondari ya wavulana inayoitwa Umbwe ambayo ipo Kibosho mkoani Kilimanjaro.
Alice na Dullah walijuana miaka mingi sana iliyopita kabla ya kukutana wakiwa ni watu wazima ambao wamekwisha balehe. Mwanzoni walikuwa wakisoma wote katika shule moja ya English medium huko Arusha. Baadae Dullah aliamishwa na hapo ndipo walipopotezana. Lakini miaka ilivyosonga walikuja kukutana tena stend. Siku hiyo Alice alikuwa akienda kwao Dodoma na kipindi hicho alikuwa form two na ikumbukwe waliachana tangia wakiwa primary.Basi tangia siku hiyo mawasiliano yao yalianza upya na baadae walikubaliana kuwa wapenzi.Simu iliita mda mrefu bila kupokelewa, akawa anarudia rudia kila baada ya dakika kazaa mara simu ikapokelewa lakini sio na Dullah ilisikia sauti ya kike.
Wakati Alice anapiga simu Dullah hakuwa na simu wakati huo kwani alikuwa amenyang’anywa mchana wa siku hiyo, kwani ilikuwa ni marufuku shuleni hapo kumiliki simu na ukikamatwa adhabu yake ilikuwa ni kwenda nyumbani kumleta mzazi na unapigwa faini ya laki mbili lakini kwa umaarufu wa Dullah yeye akufukuzwa bali simu ilichukuliwa tu na madam mmoja wenyewe walimwita madam Lil ambaye ndie mwalimu wa darasa lao. Kwa hiyo Alice alivyopiga simu ilipokelewa na madam Lil. Alice alishtushwa sana na sauti ya kike lakini baadae Dullah alimtafuta kwa kutumia simu ingine.
Dullah alimweleza tukio la yeye kupokonywa simu lakini licha kumwelewesha kuwa alinyang’anywa simu bado Alice alikuwa mkali sana na mwenye maswali mengi sana.
Alice; kwanini kama ilitokea hivyo usinitafute kwa simu ingine?
Dullah; Hapana wangu simu sikupata kwani rafiki yangu hayupo alienda kwao Arusha ana matatizo ya kifamilia.
Alice; Kwani wewe una rafiki mmoja yaaani ushindwe kunitumia hata sms, kweli siku hizi hunipendi.
Dullah; ok nisamehe yaishe mpenziii
Alice; Sikusamehii mpaka upige magoti
Dullah; basi nakupiga mabusu mpaka ulie
Alice; Ahhhhhaaaaaaaaa, ebu piga nione
Dullah; Mmmmmmwaaaaaaaahhhhhhhhhhhhh mwaaaaaaaaaaaaaaahhh
Alice; Sitaki masihara yako hilo sio busu umenifyonya
Dullah; ok yaishe, how iz ur dei ( umeshindaje leo)
Alice; poa tu sijui wewe mume wangu?
Wakati wakiendelea kuchombezana mara kuna mtu alimshika mabegani Dullah na kumwambia “kamanda tunakuomba mara moja kuna tatizo limetokea” Dullah ikabidi akatishe mazungumzo na Alice na kuamua kusikiliza ni tatizo gani kwani yeye alikuwa ni kiongozi wa ulinzi shuleni hapo.
Kijana aliye mwambia kuna tatizo pia alikuwa ni kiongozi wa chakula, hivyo aliendelea kwa kusema “Kiongozi wa ulinzi ebu tuambie tuchukue hatua gani kuhusu hawa form 4 kwa maana wamewadanganya wasichana wa shule ya hapa jirani kuwa wana majibu ya mtihani na wamewaambia hawawezi kuwapa mpaka watoe penzi” alifafanua kiongozi huyo.
Kumbe miezi hiyo ilikuwa ni ile ya mitihani ya kidato cha nne na inasemekana kuwa kuna baadhi ya wavulana wa shule hii walikuwa na majibu ya mtihani huo kwani eti walikuwa ni watoto wa vigogo. Kwa hiyo tatizo hapa haikuwa posibo(majibu) bali ni vitendo vya uharamia vilivyokuwa vikiendelea ndani ya chumba kimoja. Wasichana wawili waliamua kujitoa muhanga ili waweze kupata majibu ya mtihani huo na hatimaye kufaulu. Waswahili wanasema shida haina adabu kwani wasichana hao warembo walikubali kutoa penzi kwa wanafunzi hao wa kiume bila kuwa na uhakika kuwa majibu hayo yalikuwa ni ya ukweli au la( enzi zetu sisi tuliyaita matango pori)
Huwezi amini wasichana hawa wadogo kiumri na kifkra walikuwa wakigawa penzi mbele wavulana wanaozidi sita yaani kwa lugha isiyo rasmi walipigwa mtungo. Jambo hili ndo lilimfanya waziri wa chakula kuleta taarifa kwa waziri wa ulinzi ambaye ni Dullah. Dullah kwa haraka baaada ya kupewa taarifa alienda moja kwa moja kwenye chumba ambacho uharamia ulikuwa ukiendelea. Akagonga lakini wahusika hawakutaka kufungua kwa hasira waliupiga mlango kwa nguvu na kuingia ndani (Walivunja mlango).
Bila kutegemea wahusika walikurupuka kutoka ndani kwa kasi ya ajabu na kuwapamia viongozi hawa kisha wakatokomea pasipojulikana. Viongozi wakaingia ndani na kuwakuta wale wasichana wakiwa watupu kama walivyozaliwa. Dullal kwa huruma aliwaaambia poleni sana ebu vaeni nguo muondoke hapa msije mkafia humu.
Msichana yule aliyekuwa juu ya deka akasema “asante sana kaka maana sisi walituambia wapo 4 lakini cha ajabu hawaishi na kila baada ya dakika kadhaa nilikuwa nahisi kuingiliwa na mwanaume mwingine sasa sijui walitaka tufanye na darsa zima” alilalamika msichana huyo. Dullah kabla hajaongea kitu alivua koti lake na kumtupia yule binti aliyekuwa deka ya chini ili ajifunike sehenu zake za siri lakini cha ajabu yule dada alimwambia “we kaka vipi unataka nijifunike wakati jogoo wa rafiki yako amesimama na anataka kuwika. Mimi naona nimpe(penzi) rafiki yako na wewe kama unataka upewe na huyo huko juu mkirizika muwatafute hao wadogo zenu waliokimbia watupe majibu tuondoke.”Alisema binti huyo bila aibu yoyote.
Dullah alishtushwa sana na kauli hiyo ja kijasiri ya dada huyo ambaye alijaliwa umbo zuri la kibantu lililonona kupita maelezo, kiukweli simuliwa tu omba wewe mtoto wa kiume usikutane nae tena akiwa mtupu kama alivyo hapo. Dullah alichanganyikiwa asijue cha kufanya wakati anatafakari simu yake iliita tena na hii ilikuwa ni mara ya kumi. Ni Alice ndo alichoka kusubiri akawa anapia piga kila dakika. Dullah akatoka nje ili apokee na kumwambia kuwa awe na subra kuna tatizo limetokea. Kitendo kile cha Dullah kutoka nje kilimpa ujasiri yule dada aliyekataa kujifunika kumvuta yule kaka aliyeingia mule ndani na Dullah.
Kweli dunia ina mambo na ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni na ukitaka kujua uchu wa paka mwoneshee nyama. Dullah kurudi anakuta tayari mambo yameshaaribika, akajisemeha kwa mshangao “mungu wangu, wewe si ulikuja kunipa taarifa tuwaokoe hawa wasichana” Alishindwa kuelewa afanye nini au na yeye ajiunge na yule binti mwingine aliyekuwa kwa juu ya deka. Wakati anajifikiria mara mbili mbili, yule binti wa juu alijifunua na kumwambia “karibu kaka hamna jinsi hapa ni PENZI PENZINI..”
Yule binti akaongeza “ingawa sikupenda iwe hivi lakini naamini kama tutawafurahisha mtatusaidia kuyapata hayo majibu ya mtihani kutoka kwa wadogo zenu. Dullah alizidi kuchanganyikiwa asijue cha kufanya na wakati huo miguno ya raha na karaha ilikuwa ikiendelea kwenye kitanda cha chini. Mara yule binti wa juu akateremka kwa nguvu kutoka dekani na kumvamia Dullah na kuanza kumpiga mabusu yaani huwezi amini ilikuwa ni kama watu waliodata na wasiojua wanachofanya.
Kwa kuwa Dullah na yeye ni rijali na alikuwa na ugwadu wa siku nyingi uzalendo ulimshinda maji yalizidi unga kajikuta akijibu mapigo kwa kumyanyua na kumweka juu ya meza ambayo ilikuwa ikitumika kwa kujisomea. Alipompandisha juu ya meza vitabu na vitu vingine vilidondoka chini na hapo ndipo alifanikiwa kuziona kondomu nyingi tena zilikuwa ni zile za msaada zinazowekwagwa vyuoni na mashuleni..Kitendo cha kuziona zile kinga kilimfurahisha sana akajipa moyo kuwa ngoja apige kimoja asije akamwona boya bure.Akamuweka mkao vizuri na yule binti kwa kutambua kitu kilichokuwa kinafuata alijipanua vizuri tayari kwa kuliwa kwa staili hiyo ya juu ya meza.
Dullah Alitumia mikono yake vizuri kuukagua mwili wa yule binti ambaye alikuwa hoi bin taabani akisubiri tiba ya mkali huyo. Huwezi amini Dullah alichojoa viwalo vyake na kuanza kumshughulikia binti wa watu.Hapa nitatia neno kidogo “kumbe hata watakatifu wanaweza kufanya dhambi wakitengenezewa mazingira”. Alimpanua vizuri mapaja yake huku yeye akiwa amesimama kisha kumwiingiza nyoka shimoni.Iiiiiisssssssssssss uyyyuuuuuuuuuuuuuuu mmmmmmmmmmmmmmmh ,, oooooooooooooooooo yeeessssssssssssss yalikuwa ni baadhi ya maneno ya binti huyo.
Ugwadu wa mda mrefu aliokuwa nao Dullah ulimfanya aongeze spidi huku akisikilizia utamu utamu wa binti huyo.Alichochea kuni kwenye jiko la mkaaa huku wazungu weupe wale wa kwanza wenye kiherehere wakikimbilia kutoka.Dullah alifanikiwa kufunga bao la kwanza kwa mda mchache sana lakini kwa utamu wa nta nta ya asali aliyokutana nayo ilimfanya aunganishe raundi ya pili na kujikuta akivunja kanuni za mchezo huo.
Binti yule mwenye makeke na miguno ya huba alimbana zaidi kijana huyo kwa kuzungusha miguuu yake kwenye kiuno cha Dullah huku matiti yake makubwa kama matikiti maji yakijibana na kujibinya kwenye kifua cha Dullah.Uuuuuuuuuuuuuuuuuuh,,hapoooooooo,,hapoooooooooooooooooooooo……..mmmmmmmmmmhhhhhh ni sauti ambazo zilisikika pia kwenye ile deka ya chini ambapo waziri wa chakula alikuwa akimshughulikia binti mwingine.
Utamu utamu, raha raha na manjonjo ya huba ziliwafanya wasisikie mlio wa mlango ambao Dullah aliusahau kuufunga aliporudi kutoka nje ambapo alikwenda kuongea na mpenzi wake Alice. Kuna mwanafunzi mmoja aliingia kwa ghafla kitendo kilichowafanya wale waliokuwa kwenye kitanda cha chini kushtuka, lakini kwa kile alichokiita ustaarabu mwanafunzi yule aliyeingia aliaamua kufunga mlango kwa ndani. Kila mtu alpatwa na hofu asijue jamaa atachukua uamuzi gani.
Cha ajabu akumsemesha mtu aliingiza mkono wake kwenye wallet yake na kutoa kondomu kitu ambacho kimshangaza kila mtu, kwa nini atembee na kondomu wakati shuleni hapo walikuwa wanasoma wanaume tu na kumpata msichana wa kufanya nae mapenzi ilikuwa ni swala gumu sana. Alipomaliza kuivaa tu alizima taa kitu ambacho kilimtia hofu kila mtu. Dullah kuona vile aliamua kumlinda yule binti aliyekuwa naye yeye asiingiliwe tena.
Jamaa kuona pingamizi aliamua kumvamia yule wa chini, hapo napo mambo yalikuwa magumu, yule binti wa kitanda cha chini alianza kupiga kelele kuwa amechoka kwani haiwezekani akafanya na kila mtu ili hali hakuna uhakika wa kupata kilchowaleta hapo. “Basiiiiiiii basiiiiiiiiiiiiiiii nimechokaaaaaaaa sitakiiiiiiiiiiiiiii teeenaaaaaa” alilalamika binti huyo. Purukushani zikaanza huku jamaa akiwatishia kuripoti tukio hilo, akaongeza kusema “yaani nyie ni wajinga kweli, muwape hawa viongozi mimi mninyime na laiti mngejua nilivyoingia hapo kitendo cha kwanza ilikuwa ni kuwapiga picha na kama hamtaki ntazisambaza kwenye mitandao ya kujamii”.
Tishio lile lilionekana kumwingia yule binti wa deka ya chini, akajikuta akiingia uwanjani tayari kwa mapambano na mtu mwingine. Kitendo kile kilimuumiza sana Dullah akajuta kwa nini na yeye aliingia kwenye tamaa. Akamuuliza yule binti aliyefanya nae mapenzi, “nataka niwatoe alafu hayo majibu tutawatumia kwenye simu kama kweli watakuwa nayo, ebu nambie mliingiaje hapa”. Yule binti akamjibu, “ tulivalishwa makoti marefu mpaka chini ili tusionekane” Dullah akawasha taa na kuangalia hayo makoti asiyaone, akaauliza “hayo makoti ya kwapi sasa tuwapeleke kwenu maana mda umeenda saana”.
Yule binti aliyelazimishwa kwenda raundi ya mwisho na mwanaume mwingine akamwambia “watakuwa wametoka nayo nyie mlivyoingia”. Dullah akawaza cha kufanya bila mafanikio, akawaambia chukueni hayo mashuka mjifunge kimasai then tunatoka wote mimi ni kiongozi wa ulinzi hakuna atakaye wazingua. Wazo hilo lilionekana kuwa na mashiko kidogo. Walitoka mpaka nje na kwa kupitia gheti la nyuma walifanikiwa kutoka, lakini hatua mbili mbele wanakutana na mwalimu wa nidhamu.
Huyu alikuwa na kiherehere sana maana hata mida ya usiku yeye alikuwepo mazingira ya shuleni. Kukimbia wakashindwa wakabaki wameduwaaa. Mwalimu kwa haraka haraka akauliza “ haya nyie wavuta bangi mnaenda wapi usiku huu” Dullah ikabidi ajitoe muhanga kwa kusema “hamna shida mwalimu mimi ni kiongozi wa ulinzi tunajaribu kuangalia hawa walinzi wetu kama wanafanya kazi yao vizuri”.
“Ni vizuri lakini mbona siwaelewi vizuri hao watu uliokuwa nao ebu fungueni mashuka ni wafahamu” alitia shaka mwalimu huyo.Dullah kwa kutumia cheo chake akamwambia “mwalimu tena kwa ukali, mbona hatuaminaiani tena siku hizi? Ebu naomba tuache tutimize majukumu yetu hiki ni kikosi changu ninachofanya nacho kazi usiku”. Kutokana na umaarufu Dullah aliokuwa nao na kuaminiwa kuwa ni kiongozi mzuri mwalimu aliamua kuwaacha na kuendelea na shughuli zake za kuwafuatilia wanafunzi.*****
Alice alichukizwa sana na kitendo cha Dullah kutokupokea simu hili hali siku nzima alikuwa hapatikani, na alipoambiwa awe na subira kuna tatizo limetokea alizidi kuchukia na kuvimba nusu kupasuka. Hapa ngoja nitiie neno kidogo “hivi kwa nini dada zetu wanakosaga subira pindi wanapotaka kuongea na wenzi wao?…. sijui lakini tutawauliza wana saikolojia”. Wakati akijiuliza ni tatizo gani lilotokea mara simu yake ikaita, kuiangalia alikuwa ni rafiki yake kipenzi Jesca ingawa yeye alimsevu Alba kwa wale wanao mjua Jesca Alba mtajua nini alimaanisha.
Walisalimiana na kupiga stori za hapa na pale huku kila mmoja akimuuliza mwenzake kuhusu boyfriend wake. Alice hakusita kulalalamika kwa rafiki yake kuwa Dullah amebadilika na suala la mawasiliano juu yao yamekuwa ni tatizo. Jesca alimfariji na kumwambia awe mvumilivu kwani huenda kuna vitu vinavyomfanya afanye hivyo. Jesca akamwambia aendelee kumfuatilia Gaston kwani wanaume hawatabiriki anaweza kuwa na msichana mwingine hapo chuoni. Basi Jesca alikata simu kwa kumwambia take care my love.
Alice alifikiria jukumu alilopewa na rafiki yake eti kumfuatilia Gaston, akakuta anajichekea moyoni alafu akajisemea “kweli wanawake tuna kazi hivi utawezaje kumchunga mwanaume kama Gaston jinsi alivyo handsome kama sio kujitafutia magonjwa ya moyo”. Mara akakumbuka lile tukio lilotokea wakiwa kwenye vimbweta wakiangalia mechi ya wenzao live, hisia zake zikaenda mbali zaidi akakumbuka jinsi alivyokuwa karibu na Gaston. Mara akajisemea shetani shindwa usinifanye niwaze ujinga yule ni shemeji yangu eti…Akajitupa kitandani akachukua blangeti lake akajifunika akalala.*****
Dullah mara baada ya kurudi kutoka kule walikokwenda kuwasindikiza wale mabinti ambao walikuwa wakizulumiwa kimapenzi aliamua kuwatafuta madogo wa form four ambao ndo chanzo cha yeye kuingia kwenye majanga.Alifanikiwa kuwapata baadhi ambao walisemekana kuwa ndio wakichangisha hela wenzao kwa ajili ya kuwapatia majibu ya mtihani..
Ilibidi atumie umaarufu wake na uongozi kwa kuwalazimisha wampe hiyo pepa awatumie wale wadada. “sasa broh tataizo sio kukupa majibu ila ni kwamba mpaka sasa tushatumiwa zaidi ya pepa tatu na zote zina maswali tofauti tofauti” alisema mmoja wa wanafunzi hao.Dullah kuona hivyo alisema “basi kila pepa chagua maswali unayohisi yanaweza kutoka tuchanganye tupate pepa moja”. Basi kazi ikaanza ya kutunga mtihani na kutengeneza pepa moja kati ya matatu yaliyokuwepo. Na baada ya hapo Dullah usiku huo huo aliondoka na kumpelekea mmoja wa mabinti wale ambao aliwasindikiza.
Alimpata Pendo mmoja wa binti ambaye yeye alifanikiwa kufanya nae mapenzi. Baadaye alirudi na kuingia chumba alichokuwa akilala wenyewe waliita chember na kuaamua kujipumzisha.Alitafakari sana kilichotokea lakini aliamaua kupotezea na kuchukua simu na kumtafuta mpenzi wake Alice. Alice alipokea simu kwa unyonge kama mtu aliyekata tamaa na maisha.
Ni dhairi kuwa alichoshwa na ukimya wa Dullah wa kutopokea simu wala kujibu sms.Dullah ilibidi atumie uwongo wa kila namna kumwelewesha Alice kilichotokea japo hakumwambia kuwa kulikuwa kuna mabinti ambao walidanganywa na wanafunzi wa form four bali yeye alimwambia kuwa kulikuwa kuna wizi mkubwa umetokea hivyo yeye kama waziri wa ulinzi aliitajika kutatua suala hilo kwani mwizi alipatikana na alikuwa amejeruhiwa vibaya sana.
Hapa Alice ilimbidi awe mpole kwani alishazidiwa ujanja. Waliongea mengi na kubwa Dullah alimweleza Alice kuwa amepata chumba mjini kwenye moja ya mitaa maarufu mjini Moshi. Alice hakuweza kumpinga moja kwa moja kwenye simu zaidi ya kumwitikia na kumwambia “babee si tutaonana wikiendi tuweke mambo yote sawa”.Basi wakakubalina hivyo kisha kila mmoja akapanda kitandani na kulala.****
Gaston alikurupuka kutoka usingizini saa mbili kasoro asubuhi jambo lilomanisha kuwa tayari aikuwa amechelewa kipindi ambacho kilikuwa kinaanza saa mbili kamili.Kwani kutoka hapo gheto lake lilipo mpaka afike chuoni ilikuwa ni mwendo wa robo saa ukilinganisha yeye alikuwa bado hajajiandaa. Aliingia bafuni haraka haraka akijimwagia maji kisha akavaa na kujaribu kumuuamsha Mwajabu ambaye alikuwa bado anakoromaa kwa dozi nzito aliyopewa usiku huo.Alimuaga na kumwambia yeye anaondoka zake.
Mwajabu kajigeuza vizuri na kumwambia “kama nilivyokwambia, mimi utanikuta humu humu ndani, wewe nenda huko chuoni alafu ukija uje na ripoti kamili kama watu wanajua kilichotokea au la”.Hapo alikuwa ana maanisha habari za lile fumanizi zito lilotokea usiku wa jana yake.
Gaston ikabidi amfungie Mmwajabu kwa ndani na alimuachia ufunguo mmoja ili kama kuna dharura ikitokea basi aweze kufungua na kutoka.Pamoja na kumuachia ufunguo Mwajabu yeye alimuhadi kuwa hatotoka eneo hilo mpaka ajue nini kinaendelea.Gaston wakati ananyanyua mguu tu na kutoa mguu kuelekea barabaarani ili aweze kupanda hice na kukimbizana na mda meseji iliingia kwenye simu yake ikimueleza kuwa mwalimu kaingia na ametoa quiz yenye Marks 5.Hapo akachanganyikiwa kabisa maana alijua jinsi mwalimu huyo alivyokuwa na msimamo na hata ukichelewa dakika mbili huwezi kuingia darasani.
Alitembea kwa kasi huku akiomba hice itokee lakini hakuna iliyotokea nyingi zilikuwa zikipanda kwenda juu KCMC.Alitembea kwa kasi mpaka akafika kwenye geti la kuingia chuoni na kuelekea moja kwa moja Lecture room 8 sehemu ambayo kipindi kilikuwa kinaendelea. Alivyofika akakuta wanafunzi wenzake wakiwa wamejazana nje na hiyo ilimaanisha kuwa walizuiwa kungia ndani na mwalimu na wenyewe walimuita mkuda.Gaston alishuhudia mwalimi huyo akikusanya karatasi zake na kuondoka. Ilibidi kumuomba awasaidie kwa sababu marks tano zilikuwa ni nyingi sana ukilinganisha na jinsi mwalimu huyo alivyokuwa anatunga mtihani mgumu.
Wakiwa kwenye harakati za kumbembeleza mwalimu huyo ili awasikilize awasaidie kuna sms iliingia kwenye simu ya Gaston.Sms ilieleza kuwa aende haraka darasani maana mwalimu mwingine alishaingia.Hapa ni kwamba vipindi vilikuwa vimefuatana hivyo wakati wale wanafunzi waliokuwa nje wakimbembeleza mwalimu aliyekuwa akitoka wale wanafunzi waliokuwa ndani wao waliamia darasa lingine na tayari mwalimu mwingine alishaingia.Gaston akaona kuliko kukosa vyote bora akimbilie huko darasani tu na kuwaacha wenzake wakiendelea kumbembeleza mkuda.
Gaston alipoingia tu wanafunzi wote walichelka jambo ambalolilimshangza yeye na mwalimu aliyekuwa akiwafundisha.Ikabidi mwalimua awaulize wanacheka nini.Hapo kila mwanafunzi alikaa kimya.Ikabidi mwalimi amsimamishe Gaston na kumuuliza “kwa nini wanafunzi walikuwa wakicheka”.Gaston na yeye hakuwa na jibu la kumpa kwani na yeye alikuwa dilema hasijue wenzake walikuwa wakicheka nini?Hapo mwalimu akakasirika akachukua laptop yake na kuondoka zake.Jambo hilo lliwashangaza wanafunzi wote kwa sababu haikuwa kawaida ya mwalimu huyo kukasirishwa na jambo dogo kama hilo.
Ikabidi kiongozi wa darasa amfuate ofisini na kumuomba msamaha.Mwalimu alikasirika kwa sababu aliwauliza kwa upendo kilichokuwa kikiwachekesha wakashndwa kumjibu kwa maana hiyo walikuwa wakimcheka yeye.Kumbe wanafunzi hao walishapata habari za Mwajabu kufumaniwa kutoka kwa wanafunzi wa darasa lingine.Na vyanzo hiyo vilisema eti mtu aliyemuokoa Mwajabu na kumpa hifadhi ni Gaston na kwa mantiki hiyo ni kwamba Gaston alilala na Mwajabu na ndio maana amechelewa darasani.Zuweana rafiki yake na Mwajabu alimfuta Gaston na kumuambia kuwa anashida naye yaani wazungumze kidogo. Gaston kwa sababu alikuwa bado yupo njia panda na wanafunzi wengine waikuwa wakiendelea kumcheka na wapo waliomfuata na kumpa pole ilibidi amwambie Zuwena “ wewe endelea tu kuongea mimi na kusikiliza”
Zuwena kwa ustaarabu akamawambia anamuomba amasindikize Cafuteria wakanywe chai alafu wataongea huko.Gaston akaondoka na Zuwena na kuingia cafeteria ya chuo na kupata chai ya nguvu.Zuwena akamueleza kuwa wanafunzi walikuwa wakicheka kutokana na taarifa kuwa Mwajabu alifumaniwa na Gaston ando amemuooka na kumpa hifadhi. “Kwa hiyo wanafunzi walikuwa wakicheka nini kwani kumsaidia mwenzangu ni vibaya?” Aliuliza Gaston kwa mshangao.Ndo hivyo Gaston watu wanajua wewe umelala na Mwajabu maana sio kawaida yako kuchelewa darasani.Gastoon alimuangali kwa jicho kali na kumuuliza “wewe si ni rafiki yao kwani amekuambiwa yupo wapi?”. “Simu yake haipataikani hivyo hata mimi siju alienda wapi mara baada ya kutokea lile fumanizi”. Alijibu Zuwena.
Gaston hakuwa na amani sana maana alishahisi kuwa huenda Mwajabu amaemwambia rafiki yake kuwa yupo kwake. Ikabidi amtumie meseji Mwajabu na kumuuliza kama alimwambia mtu kuwa yupo kwake.Mwajabu alikataa katu katu kwa njia ya meseji.Basi Gastoni akamwambia Zuweka asiwaze sana hayo ya Mwajabu kwani yeye alimuokoa tu na baada ya hapo alimpeleka kwa rafiki yake wa mwaka wa kwanza.Baada ya hapo walirudii darasani na kuendelea na ratiba za vipindi kama kawaida.Na baadaye vipindi viliisha akawa anarudi zake gheeto huku akiwaza itakuwaje kama atamkuta Mwajabu bado yupo ndani.
Wakati anajirudisha mdogo mdogo simu yake iliita na alipoangalia ilikuwa ni shemeji yake Alice.Akaamua kuipokea na baada ya salamu Alice alimuuliza yupo wapi?Gaston akajibu kwa kujiamini kuwa ndo ametoka chuo anaelekea gheto.Alice akamwambia basi amsubiri waende wote akapafahamu na pia kuna maswali ya darasani anataka asaidiwe.,
Hapo Gaston akapandwa na kigugumizi akakosa jibu la kumpa akajikuta na yeye akimuuliza “kwani wewe upo wapi?”.Alice akamwambia kuwa yeye yupo hostel.Ikabidi Gaston atoe udhuru kuwa kuna mahali anaenda hivyo amtumie tu hilo swali kwa njia ya sms atajaribu kumsaidia. Bado Alice alimwambia kuwa ni hesabu hivyo hatoweza kumtumia kwa njia ya sms.Gastoon akamwambiabasi nitakuelekeza kesho asubuhi.Alice akazidi kukomaa kuwa Professa amewaambia linatakiwa likusanywe kesho hiyo hiyo.
Gaston akachoka zaidi akamwambia “ebu njoo hpa Nyerere Hall nikuelekeze mara moja”.Gaston ambaye alishakuwaamefika kwenye geti la chuo ilibidi arudi na kumsubiri shemeji yake huyo.Gaston ingawa alikuwa amechoka kimwili na kiakili lakini alishindwa kumkatalia kwa sababu yeye ndo masaada mkubwa kwa shemeji yake huyo na pia kumsaidia ilikuwa ni kujiongezea credit kwa mpenzi wake Jesca ambaye ndo aliwaaunganisha.
Gaston alikaa kama dakika kumi lakini Alice hakutokea kitu ambacho kilimkera Gaston na akawa anamuwaza binti huyo na kujisemea “tatizo watoto wa kike hawajuiwagi haraka alafu huyu nishamzoesha vibya mana kila swali sasa anataka nimfanyie”.Gaston akamuandika sms kuwa afanye haraka au kama hawezi wafanye kesho maana alichoka kumsubiri.Dakika mbili baadaye Alice alifika huku akiwa anahema kama mtu aliyekimbia. “Shemeji samahani kwa kuchelewa alijitetea Alice”.Yaani leo na haraka sana ndo maana alisema Gstonon. Tukae wapi aliuliza Gaston? “Mmmmmh kwa nini tusiende pale kwa siku ile” alipenndekeza Alice.
Wakajikuta wanaenda kukaa kwenye Kimbweta ambao walikaa siku ile na kujikuta wakishuhudia mechi ya wenzao waliochizika ingawa hawakujulikan kama ni wanachuo au la.
Sehemu Ya 3
Hapo Alice akashindwa kuvumilia akajikuta akimuuliza swali “hapa sehemu si ndo tulishuhudia watu wakicakachuna laivu bila kificho”. “Yaani wewe kwa kukumbuka mambo ya vituko haujambo” alisema Gasrton mara baada ya kukumbushwa tukio hilo.Walikaa hapo na Gaston akaanza kusolve hayo maswali aliyoletewa.Baadaye aliongezeka rafiki yake na Alice kwa jina Stella na kumlazimu Gaston arudie kusolve yale maswali kuanzia mwanzo.Ilimbidi kufanya hivyo ili wote waweze kuelewa.Uzuri Gaston alikuwa amejaliwa sana kipaji ha kumuuelekeza mtu kwa njia rahisi ambayo itamfanya aelewe.Hapo Stella akajikuta ameelewa sana hivyo ikabidi ampe sifa zake “kaka upo vizuri sana yaani natamani kila siku wewe ndo uwe unatufundisha” alisema Stella. Usijai mkiwa free muwe mnanitafuta nawatemea madini alisema Gaston.Wakamaliza wakaagana na kila mtu akaendelea na ratiba zake.
Gastona alikuwa amechoka sana na mda ulikuwa umeenda sana akafika gheto kwake akakuta bado mlangoo umefungwa akahisi huenda bado Mwajabu alikuwa ndani.Akafungua na kuingia ndani na alikaribishwa na harufu nzuri ya chakula alichopika Mwajabu.Ilimbidi ashangae kuwa binti huyo atakuwa amepika saa ngapi na amepata wapi hiyo nyama inaonukia hivyo.Mwajabu alipomuona Gaston ameingia akajiinua kizembe zembe toka pale kitandani alipokuwa anaangalia movie ya kikorea na kwenda kumkumbatia Gaston.Nasema kizembe zembe kwa maana alikuwa amejifunga tu khanga moja na kuacha sehemu kubwa ya maungio yake ya mwili yakiwa wazi yakipunga upepo.
Alijiachia utazani yupo kwake vile.Wakati amemkumbatia kwa nguvu kwa bahati mbaya ile khanga aliyokuwa amejifunga ikadondoka na kufanya abaki na kufuli tu alilokuwa amevaa.Sehemu za juu za mwili wake zilikuwa tupu.Mshawasha wa matiti yaliyochongoka na kusimama kama ncha ya mkuki yalimfanya Gaston amgande kama luba.Akajaribu kupepesa macho yake nyuma ya mgongo wa Mwajabu na akajikuta kivutiwa sana na mfreji ulioanzia mgongoni mpka kwenye makalio yaliyokuwa yamejibinu vizuri huku yakibanwabanwa na kufuli zuri lilowekea nakshi nakshi za maua na vikopakopa kuashiria malovee.
Wanasemaga macho hayana pazia Gaston akaendelea kukagua mwili wa marembo huyo ambao leo aliufaidi tofauti na jana ambapo alikuwa akikagua kwa viungo vyake maana taa ilikuwa imezimwa. Gaston alibaki amesimama akikagua yaliyomo kwenye mwili wa Mwajabu na akishangaa uumbaji wa Mungu. Mwajabu naye kwa kujitoa ufahamu badala ya kujifunga khanga yeye alienda kufunga mlango.
Hapo Gaston na yeye akageuka ili kukagua uzuri wa makalio ya binti huyo ambayo yalijazia na kutingishika kama mawimbi ya bahari “mmmmmmmh ana kijungu mchongoko” alijisemea Gaston huku mtarimbo wake ukianza kunyanyuanyanyua suruali.Gaston alizidi kuchanganyikiwa akajikuta mate yanamtoka kwa uchu wa kutaka kuupanda mlima huo wa Kitonga.Alilambalamba lips za chini za midomo yake kama mtu aliyesikia harufu nzuri ya chakula..
Gaston akalinganisha yale makalio ya Mwajabu na ile filamu ya komedi ya Inye gwedegwede.Baada ya Mwajabu kufunga mlango aligeuka na kumkumbatia Gaston, kumbatio zito la huba huku akijaribu kujichezesha chezesha mwili wake.Mwajabu akamuuliza Gaston “yaani pamoja na kukuonesha vitu vyangu hujasema neno lolote” Gaston akajibu kwa kifupi kuwa “yaliyomo yamo” neno ambalo lilimfurahisha sana Mwajabu.Gaston alihisi kama Mwajabu amechanganyikiwa au ana jini mahaba maana alikuwa akifanya vitu vingi sana kummaliza Gaston.Baada ya kumbatio hilo la mda mrefu Mwajabu alimuachia na kuchukua khanga yake na kujifunga kisha kurudi kitandani na kuendelea kungalia moviee.
Gaston akajifunga taulo lake akaingia bafuni na kuoga.Aliamua kufanya hivyo kwa sababu alikuwa amechoka sana.Akiwa bafuni bado alikuwa akimfikiria binti huyo asimpatie majibu ya kutosha.Ina maana huyu binti ndo kashaamia au? Aliwaza nini hatima yake je amfukuze usiku huo au amuache na kumfaidi tena usiku kucha? Pia alijuliza kwa nini bint huyo ametokea kujiamini na kujiachia ghafla tu.Akakumbuka jinsi binti huyo alivyokuwa akimsumbua na kumringia pindi alipokuwa akimtokea.Hapo Gaston akawa anaingia na hofu na kujisemea usikute Mwajabu ni muathirika na anataka kummaliza.Akatoka bafuni huku akiwa bado yupo njia panda hasijue nini cha kufanya.Alivyotoka tu bafuni akakuta tayari ameshapakuliwa msosi ambao harufu yake tu ulitosha kabisa kumtia uchu mtu yeyote.
Alikuta amewekewa rosti ya nyama bakuli nzima, viazi vya kurosti kachumbari na maanjumati mengine.Kwa kuwa Gaston alikuwa na njaa sana kwani alikuwa hajala tangia wanywe chai na Zuwena kule chuoni akajikuta anauliza hivi vyote ni vyangu.“Yeaha baby kula jiachie mkeo nimekutengenezea vitu vizuri” alijitpa Mwajabu. Gastonn kwa kuwa alikuwa na njaa sana alifakamia ule msosi huku moyoni mwake akijisemea kwa jinsi chakula kilivyokuwa kitamu sio bure unaweza kukuta umewekewa limbwata.Wakati anaendelea kusikilizi utamu wa chakula hicho na jinsi gani kilipikwa Mwajabu alizima laptop yake akajongea mezani ili na yeye apate maakuli.
Akachukua mfuko wa matunda na kutengeneza sahani ya matunda.Gaston alizidi kushangaa maana yeye hakuacha matunda hapo ndani. Mwajabu akapakua msosi saizi yake na kuanza kula.Aliendelea kula huku akimlisha Gaston ambaye alikuwa kwenye ngwe ya mwisho ya kumalizia chakula alichopakuliwa.Walikula wakamaliza kisha wakahamia kwenye matunda lakini Gaston alishangaa matunda ambayo alikuwa akiyapenda sana yaani matikiti maji yalikuwa yamewekwa pembeni .Gaston uzalendo ukamshinda ikabidi aulize “mbona hayo matunda mengine umeyaweka pembeni?”.Mwajabu akachekasana na kumwambia “hayo ni kwa ajili ya kazi maalumu.”
Mwajabu akasema “tena ngoja nikutengenezee dawa ambayo itakayokufanya usiku huu unipende ghafla na kufurahia uwepo wangu”.Jana usiku niligundua uwezo wako wa kuhimili mikikimiki kwenye mapenzi ni mdogo sana akiendelea kusisitiza Mwajabu. Mwajabu akachukua yale matikiti maji akayatengenezea juisi kisha akawasha jiko na kuibandika hiyo juisi huku akiendelea kukamulia machngwa.Baadaye aliipua akaacha ipoe kisha akasaga maparachichi kwa blenda na kuchanganya.Akaweka kwenye friji huku akijitapa kuwa “hii sasaa ndo viagra asili lazima uweze kunisugua vizuri usiku huu wa leo”.
Baada ya mda kidogo kupita Mwajabu allifungua friji na kutoa ile juisi na kumuwekea Gaston kwenye glass.Gaston aliingia na wasiwasi kidogo na kuhisi labda ni sumu ikabdi aulize sasa hii ni ya kazi gani?Mwajabu katabasamu kisha akamuangali kwa jicho la mahaba na kupiga pafu moja ile juisi na kumpa Gaston. Gaston akanywa huku akisema huyu kweli ni kiboko. “aca uwoga babee hii ni viagra ya asili ambayo haiana madhara” aliendelea kusikiliza Mwajabu.
Gaston akazidi kupagawa na kujiuliza ujuzi huo mtoto huyo amejifunzi wapi wakati yeye ni mtoto wa kike. Kwa sababu swalahilo linahusishwa na kuongeza nguvu za kiume hivyo wanaume ndo wanatakiwa kuangaika na kujua mambo hayo.Kwa kuwa Gaston alikuwa ni mpenzi mkubwa wa matunda aina ya tikiti maji na aliona jinsi juisi hiyo ilivyotengenezwa basi akawa na yeye amejifunza kitu.Akaomba sukari ili aongeze kwenye juisi na kupata ladha.Hapo Mwajabu akufanya makosa alimwekea glukosi. “Wewe mwanamke kuwa makini usije ukatengeneza sumu na kuleta majanga usiku huu” alionya Gaston.”Hamna cha sumu wala nini hapa ni mautamu tu na maufundi yangu”alilisitiza Mwajabu.
Baada ya hapo Gaston alifungua laptop yake ili aweze kufanya assignment.Mwajabu alimzuia na kumwambia kuwa asome alama a nyakati kwa sababu wakati mwingine unaeza kufanya jambo ambalo si wakati wake hivyo ukashindwa kulifanya kwa ufanisi wa hali ya juu.
Gastona akamwambia hajamuelewa hivyo anaomba ufafanuzi zaidi wa kauli yake hiyo. “Huwezi kula sa hivi hata kabla hujapumzika ukaanza kusoma huko ni kutimiza tu ratiba” alifafanua Mwajabu akimaanisha kuwamda huo Gaston alitakiwa apumzike.
Gastona akajitetea na kwa kusema “nimekuwa nikifanya hivi tangia nikiwa sekondari kwa hiyo nishazoea huenda nisipofanya hivi nitafeli”. “Mazoea hujenga tabia, ila amini usiamini zipo njia za kisayansi ambazo ukizitumia katika kusoma huwezi kuteseka kwa namna yoyote ile” Alisema Mwajabu. “Najua wewe sikuwezi ulisomea general kila kitu unajua” alisema Gaston huku akifunga laptop yake ili apumzike maana yale maneno yalimgusa sana ukizingatia ufaulu wa Mwajabu unakuwaga mzuri ingawa ni mtoro na huwa hasomi sana.
Gaston aliamua kujibwaga kitandani maana hata hivyo alihisi akili yake kuchoka sana na hiyo ni kutokana na ratiba ngumu aliyokuwa nayo tangia asubuhi.Akawa anamsimulia Mwajabu vitu vyote vilivyojiri huko chuoni hasa habari za mwalimu kususa kufundisha mara baada ya yeye kuingia darasani na wanafunzi kucheka. Akamwambia kuwa tayari watu wote wanajua habari za yeye kufumaniwa na wanajua kama yupo kwake. Gaston akamwambia ni bora tu asubuhi arudi kwake na maisha yaendelee kama kawaida. Gaston akasisitiza kuwa hakuna haja ya binti huyo kuwaogopa watu kwa sababu mambo hayo yalishatokea hivyo kuendelea kijificha ni kuwapa ushindi wanadamu na wambea.
Basi Mwajabu alimuelewa Gaston akamwambia kesho asubuhi atarudi kwake na mchana ataenda chuoni kama kawaida.Gastona alifurahi kusikia hivyo maana ingawa kuwa alikuwa akifaidi mapenzi lakini alikuwa akiishi kwa wasiwasi mana alihisi habari zinaweza kuvuja na kumfikia mpenzi wake Jesca ambaye yeye alikuwa na wapambe kila kona aliowaweka ili wamfuatilie Gaston. Waliongea mengi sana na baadaye kila mmoja alikaa kimya ishara kuwa alikuwa amechoka na anataka kulala.Lakini sasa utalalaje bila kula chakula spesheli cha usiku. Tatizo ikawa ni nani atamuanza mwenzake.Mwajabu akaona haina haja ya kujivunga ngoja yeye afungue dimba na alianza kumchokoza Gaston kwa kumpandishia miguu.
Baadaye alichukua mikono ya Gsaton akawa anamuelekeza sehemu za kupapasapapasa na mbaya zaidi aliipeleka mikono hiyo mkapa sehemu za ikulu ambazo zilikuwa zinalinda na kufuli laini lile lilomchengua Gaston mida ile khanga ilipoanguka.Nia yake ilikuwa ni kupandishwa stimu na kufikishwa kileleni kwa njia ya kizungu.Jamani naweza kusema Mwajabu ni miongoni mwa wanawake wachache wasio na aibulinapokuja swala la kungonoka na pia alijua sehemu zake zenye shamrashamra ya huba.
Tofauti na wanawake wengine ambao wanasubiri Mwanaume ndo azitafute sehemu zenye mshawasha wa huba yeye alikuwa akimwelekeza na alipoguswa alifurahi na kutoa milio ya huba kama iiiiiiisssssssssssss,, mmmmmmh,, yeaahhhhhhhhh,, hapo hapo Gaston wanguuu.Gaston naye hakuwa mbulula alifanya alivyoelekezwa kwa kuzisugua sugua sehemu za juu za ikulu ya Mwajabu.Akasugua sugua kipipi washa cha binti huyo jambo lilolompa raha za ajabu binti huyo.
Mwajabu aliendelea kumuelekeza Gaston kitu cha kufanya mpaka pale alipofanikiwa kugusa zile sehemu zinazosemekana kuwa na stimu za ajabu katika mwili wa mwanamke.Sehemu hiyo sio nyingine bali ni ile ambayo ipo inchi chache kutoka mlango wa kuingia mtungini maarufu kama kipele G. Sehemu hiyo huwa ni laini sana kama sponji na kama mwanamke akiguswa na kusuguliwa sehemu hiyo basi lazima apande na kushuka kwenye kilele cha mlima Kilimanaro kwa raha na utamu wa huba.
Mwajabu kweli ni fundi maana alijua wazi kuwa sehemu hiyo huwa ni ngumu kufikiwa na mtarimbo hivyo alimwelekeza Gaston kutumia kidole chake cha kati ili aweze kumpa raha.Gaston alifanya zoezi hilo kwa amani kabisa maana muhusika alikuwa akipendelea mchezo huo.Tofauti na wanawake wengine ambao huwa hawapendi kuingizwa vidole sehemu hizo nyeti kwa kuzani kuwa wanazalilishwa.Mwajabu alijua kila kiungoo chake chenye stimu na hii ni kutokana na tabia yake ya udadisi na kutaka kujifunza mambo mengi kuhusu mapenzi.
Mwajabu aliendelea kupiga kelele za raha jambo lilomshangaza Gaston maana hakuwahi kuona mwanamke akifurahia mchezo huo na kufika kileleni kwa urahisi zaidi.Kelele za raha za Mwajabu zilimpandisha stimu Gaston na akaona hiyo ni nafasi nzuri ya yeye kufunga hata goli moja. Akamgeuza kama samaki kisha akamuweka ile doggie staili huku na yeye akipiga magoti na kumwingilia binti huyo ambaye alikuwa amejibinua.Muonekano mzuri wa makalio ya binti huyo ulimfanya Gaston kufurahia na kwenda mwendo wa polepole kama anasukuma mlevi vile huku Mwajabu akaiendelea kutoa miguno ya huba kuashiria kuwa alikuwa akifuraishwa na msuguo huo.Gaston aliongeza mwendo huku mikono yake ikiwa kichwani kuashria kuwa utamu ulikuwa mpaka kisogoni.
Gaston alianza kufanya kwa haraka haraka huku akaiamini kuwa bao la kwanza huwa na kiherehere hivyo lingetoka haraka. Lakini siku hiyo ilikuwa ni tofauti kabisa na siku ingine kwa sababu hata hilo la kwanza ilikuwa ni shughuli kulipata.Hiyo ndo ikawa furaha ya Mwajabu akajua kuwa ile juisi aliyoitengeneza ilikuwa imefanya kazi yake kama ilivyokusudiwa.Zoezi liliendelea mpaka Mwajabu akahisi kuwa tairi za gari zinaweza kuchomoka kutokana na mwendo kasi wa dereva.Mwajabu akaamua kupunguza mwendo kazi huo kwa kupunguza mbinuo ambao alikuwa ameutengeneza kutokana na staili ya U ambayo alikuwa amekaa.
Akajiachia kwa nguvu na kulalalia tumbo na kumlazimisha Gaston kupunguza spidi kwa sababu ya makalio makubwa aliyojaliwa bintii huyo.Gastona akajikuta anaaipata raha zaidi kwa sababu miguu yake ilikuwa ikisisimuliwa na mapaja hayo ya Mwajabu.Gatoni akaongeza spidi tena na akawa kama vile mshambuliaji anayegombania mpira na mabeki mahiri.Mshambulijai huyo alikazana maana mashabiki wake walishakata tamaa kutokana na umahiri wa mabeki wa Mwajabu.Mashabiki wa Gastoon walikata tamaa kwa sbabau timu ya Mwajabu ilishapata ushindi wa mapema naweza kusema ni ushindi wa mezani kwa sababu waliupata hata kabla mechi haijaanza.
Mwajabu mara baada ya kuona spidi imekuwa kubwa sana akahisi mabeki wake watashindwa kuzuia mipira hivyo ni bora afanye faulu kwa kumwangusha mshambulijai wa Gaston aliyeanza kuwachambua mabeki.Lilikuwa ni eneo la hatari hivyo alimkata mshambulijai na kusababisha penali.Mwajabu alikuwa anajiamini sana kuwa kipa wake anaweza kudaka na kumzuia Gaston hashindwe kufunga.Kwa hiyo akatumia nafasi hiyo kuushika mtarimbo na kuuchomoa na kitendo hicho kilimfanya Gaston amwagie nje manaa kumbe alisahau hata kuvaa kinga.
“Asante babee asantee babee alisema Gaston mara baada ya kufunga goli la penati aliyoipata mara baada yabeki wa Mwajabu kucheza rafu.Mwajabu hakuweza kujibu kitu kwa wakati huo kwa jinsi alivyokuwa amechoka kwa raha za mda mrefu alizopewa.Aljihisi yupo dunia ingine kabisa.Akavuta pumzi kwa nguvu na kujiachia pale kitandani kama gogo.
Gaston akaamua kujifuta mwenyewe kisha akafungua friji yake na na kumalizia ile juisi ya kijanja. “Kweli wewe ni kiboko” alijikuta akiisifia glass ya juisi mara baada ya kuinywa kwa nguvu.Alishangaa kuona kuwa mtarimbo wake bado umesimama ili hali tayari alishafunga bao.Akajua ni kwa sababu bao hilo lolikuwa halijawafurahisha mashabiki wake kwa sababu mpinzani wake tayari alishakuwa mbele kwa mabao matatu. Akaona ipo haja ya kuwafurahisha mashabiki zake kwa kufunga bao la pili.
Hapo akasogea kitandani ambapo Mwajabu alikuwa amelala na kuacha sehemu zake nyeti zikipunga upepo.Gastona akatumianafasi hiyo ya mpinzani wake kuchoka kuanzisha mpira.Akamgeuza na kumuweka ile staili maarufu ya kifo cha mende.Akampanua mapaja na …..
kuzamisha mtwangio wake kwenye kinu cha binti huyo.Ooooooooops ooooooh yeaaaaaaaah ilikuwa ni sauti ya Mwajabu mara baada ya kuusikilizia mtwangio ukiwa umezamiswa wote kwwnye kinu.
Mkono mmoja wa Gston ukawa unachezea chezea shanga za binti huyo huku akipeleka mdomo wake na kumpa denda la hatari.Mwajabu baada ya kunyonya mate na kukutana na utamu wa jusi alitoa kwa nguvu mdomo wake. Gaston hakutana kujiuliza kwanini bali Mwajabu ametoa bali yeye alirudi nyuma kidogo na kuipandisha miguu ya binti huyo kwenye mabega yake.Hapo sasa maini firigisi na utumbo wa ikulu vilikuja juu juuu na kusababisha Gaston kuongeza mashambulisi ili kufunga goli lapili.Mmmmmmmmh ooooosssssssssss kwiiiiichiiiiiii kwiichiiiiiiiiii ilikuwa ni milio yao na pia milio ya kitanda kilichokuwa kinalalamika kutokana na mchezo huo wenye uzito wa watu wawili.
Wakati Gaston akiwa kwenye harakati ya kufunga goli la pili Mwajabu alimsukuma kwa nguvu kisha akajitoa na kumfinya Gaston.Mfinyo uliosababisha maumivu na kufanya lile bao la pili lirudi ndani.Gaston akabaki ameduwaa kama mtu aliyechanganyikiwa.Huyu mtoto kweli aliyajua mapenzi maana alijitanua miguuu utazani labda ni mtu wa mazoezi.Mguu mmoja alipeleka ukutani na mwingine upande wa pili huku akitumia mikono yake kuishika sehemu ya viwiko vya miguu jambo lililomfanya kuingia mazima mzima. Kama hiyoo haitoshi utamu ulipozidi alipandisha miguu yake kwenye mabega ya Gaston.
Hapo Gaston ikabidi ajisogeze mpaka mwisho wa kitanda akashusha miguu chini akasimama kabisa huku miguu ya Mwajabu ikiwa bado ipo juu ya mabega yake. Yaani spidi ya Gaston kuingiza na kutoa ilikuwa nikubwa sana mpka mwajabu akaanza kupiga mayowe…Mmmmmmmmh,, issssssssssssss,, basiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,, toshaaaaaaaaaaaaaaaa toshaaaaaaaaaaaaa,, babeeeeeeeeeeeeeee,, utaniuuuuuuuuuaaaaa,, uyyuyuyuyuyuyuy yuyuyuyuyuyuuuuuuuuu.Mwajabu aliomba pooo maana alikuwa akivurugwa kama vile walikuwa na ugomvi.Alichoka kuweka miguu juu ya mabega akaishusha chini na wakaangukia sakafuni na Gaston akutaka kupumzika bali yeye aliendeleza mechi.
Kwa jinsi walivyokuwa wameng’ang’aniana ni dhairi ilikuwa ni wakati wa wote kufunga bao.Mda mfupi baadaye kila mtu alikuwa juuu ya kilele cha mlima akifurahia ubaridi baridi wa kufika kileleni.Ingawa hawakutamaka maneno ya shukurani lakini kimoyo moyo kila mtu alisema asante asante kwa penzi tamu walilopeana.Waliamua kulala baada ya kuhakikisha kila mtu amejifurahisha nafsi yake.Kwa wakati huo hakuna hata mmoja aliyejua kuwa penzi hilo lilikuwa ni penzi la wizi au penzi la usaliti kwa sababu wote wawili kila mmoja alikuwa na mpenzi wake.
Wakati Gaston akianza kupata usingizi simu yake iliita na alipoangalia ilikuwa ni simu ya mpenzi wake Jesca. Akaamua kuipokea kwa mbwembwe “helow mpenzi wangu yaani ndo nilikuwa na nyanyua simu nikupigie” alisema Gaston. “Jamani basi fikra zetu zimegongana alisema Jesca kwa sauti ya mahaba”.Nimekumiss sana mpenz wangu aliendelea kuchombeza Jesca.Basi waliongea mengi sana yanayohusu mapenzi yao huku wakipeana aahadi kedekede huku wakihadiana kuendelea kutunziana penzi lao.Yaani Jesca angekuwa anajua kilichotokea dakika chache basi hasingeomba kutunziwa penzi lake.Maongezi hayo yahusuyo mahaba yallikuwa yakimkera sana Mwajabu ambaye alikuwa amejilaza pembeni akiwafuatilia kwa umakini.
Mwajabu akawaza yaani huyu mwanaume kwa mapenzi yote niliyompa bado hana mpango na mimi ngoja nitamuonesha kuwa mimi ni nani.Ni lazima niwatibulie tu kwa maana huyu kwa sasa ni wangu na nipo tayari kwa lolote aliendelea kuwaza Mwajabu. Nataka niwafute wanaume wote niliokuwa nao na kubaki na Gaston maana na yeye anajua sana mapenzi na ananifaa kabisa alijisemea Mwajabu. Hata amini kitakachotokea kuhusu yeye na Jesca wake aliendelea kuwaza Mwajabu na kukoaa kwa nguvu mara baada ya kuona Gaston hataki kukata simu.Kikohozi kile kiimshitua Jesca na kuuliza upo na nani?Gaston alikosa jibu la swali hilo na kudai kuwa yeye ndo alikohoa.
“Ina maana mimi sijui sauti yako?” aliuliza Jesca kwa sauti ya ghazabu. Kabla hajajibu kitu Mwajabu alikooa kwa nguvu na safari hii aliomba maji akijifanya kama mtu aliyekabwa na kitu kooni. Gaston ikabidi akate simu na kuanza kumlaumu Mwajabu. “Hivi wewe mwanamke una akili gani aliuliza Gastoni kwa hasira” “Sasa kama nimepaliwa nisiombe maji alisema au ndo unataka nifie hapa alisema Mwajabu huku akiyanyuka na kwenda kunywa maji.”. “Kuna rafiki yangu nimelala naye babee ilibidi Gaston atume meseji kwa Jesca ili kupunguza ukali wa tukio”. Badalaya Jesca kujibu sms yeye alipiga kabisa kumwambia Gaston nipe huyo uliyelela naye niongee naye.. “Acha wivu babee mtu mweneywe ni mgonjwa na amelala hizo ni kwikwi za usingizini tu alijaribu kudanganya Gaston huku akimwekea ishara Mwajabu kuwa hasije akaharibu tena.
Mwajabu alitamani kucheka kwa jinsi Gaston alivyokuwa amechanganyikiwa.Inaelekea huyu Mwanaume hana la kusema mbele ya huyu Jesca wake aliwaza Mwajabu. Gaston aliendelea kumdanganya na kumbembeleza mpenzi wake Jesca mpaka akafanikiwa kumtuliza maa alishahisi vibaya kwa asilimia zaidi ya mia moja mara baada ya kusikia sauti ya kike.Ikumbukwe haikuwa mara ya kwanza kwa Jesca kusikia sauti hiyo kwani hata ile siku ya fumanizi la Mwajabu alisikia sauti kama ya mwanamke.
Baada ya mazungumzo kuisha na Jesca kukata simu Gaston alianza kumind Mwajbu. “Kwa nini unafanya vitu vya makusudi au kukuaribisha kwangu na kukupa hifadhi imekuwa nongwa”? alihojii Gaston kwa ukali. Mwajabu kuona Gaston amepandwa na hasira akajitetea na kusema yeye hakujua alikuwa akiongea na nani. Mwajabu ni mwanamke mjanja sana maana alijua kujishusha na kuomba msamaha hasa pale alipoona maji yamezidi unga.Aliomba msamaha huku akimsihii Gaston hasiwe na hasira kiasi hicho.Gaston alimwambia kitu kimoja tu anaomba asubuhi ifike ili binti huyoo arudi kwake kwa sababu yeye huwa hapendi kutawaliwa hasa na watoto wa kike.
Hapo Mwajabu ilibidi akae tu kimya kwa sababu ilionekana Gaston ameshavurugwa vya kutosha.Wakati Gaston akilala mara simu yake iiliita tena na alipoangalia akakuta ni namba ya Alice ndo ilikuwa inapiga. Huyu naye usiku huu anataka nini au ndo Jesca ameshashitaki kwake? Alijiuliza Gaston na kuacha simu iite mpaka ijikate yenyewe. Simu ile ikapigwa tena na yeye bado hakutaka kuipokea. Baadaye iliingia sms inayosema “mimi Stela rafiki yake na Alice nilikuwa nakutakia usiku mwema namba yangu ni 0714 …..akawa ameindika pale. Gaston akajibu kwa kifupi noted.
Akaiizima ile simu kisha akajifunika shuka na kuanza kuutafuta usingizi ambao siku hiyo ulikataa kabisa kuja.Akawa anawaza sana juu ya maishayake ya kimapenzi.Akajaribu kufananisha penzi la Jesca na Mwajabu ambaye alikuwa amelala pembeni yake. “Kwa upande wa kitandani huyu Mwajabu kwa kweli yupo vizuri lakini ana mapepe sana bora nibaki tu na Jesca wangu mtulivu na hasiyependa shari aliwaza Gaston”.
Bora tu nibaki na Jesca wangu ingawa kitandanii sio fundi sana ila tutafundishana kidogo kidogo kuliko huyu mwanamke anayeoekana kabisa amekubuhu. Aliwaza vitu vingi sana juu ya Jesca akakumbuka jinsi bintihuyo alivyokuwa akijitoa kwa mambo engi juu yake ikiwa ni pamoja na kutorooka kwao kwa ajili yake.Akakumbuka jinsi Jesca alivyokuwa akimwibia hela baba yake na kumkabidhi yeye.Akakumbuka pia jinsi Jesca alivyokuwa na uwezo wa kumfariji kipindi kile alipokuwa mpweke mara baada ya Beatrice msichana wake wa kwanza kwenda mbali na upeo wa macho yake.Akagundua pamoja na usaliti alioufanya lakini Jesca ni msichana wa kuheshimiwa sana kwake na hata iweje bado hayupo tayari kuachaana naye.
Baadaye Gaston alipitiwa na usingizi na alikuja kushituliwa na mtu wa maziwa asubuhi saa moja.Akatoka na jagi lake akachukua maziwa akayaweka kwenye friji kisha na yeye akarudi na kuendeea kuuchapa usingizi. Aliamua kulala sana siku hiyo kwa sababu siku hiyo vipindi vyake vilikuwa vikianza jioni.
Baadaye Mwajabu aliamka akaoga na kupika chai.Alikaangiza mayai yaliyomfanya Gaston ashiituke kutoka usingizini. “Amka babee wangu unywe chai nzurii ya huba niliyokuandalia” Gaston alimuangalia Mwajanbu ambaye alishatenga chai mezani huku akiwa ndani ya khanga moja ambayo alitoka nayo bafuni akajikuta sehemu zake za siri sikianza kumsisimka ghafla. “Huyu naye anamautamu yake jamani aliwaza Gaston huku mtarimbo wake ukizidi kusimama na kuumuka utazani umewekewa hamira.” Sijui nipige kimoja cha mwisho aliendelea kuwaza huku akijinyoosha na kujibiringisha biringisah pale kitandani.
Mwajabu akamfuata na kumpa mkono ishara kuwa amke. Akamwambia babee uzuri wa chai mnywe wawili.Mikono laini ya Mwajabu aliyotumia kumshika Gaston ilizidi kummaliza Gaston akajikuta akimvuta Mwajabu kawa nguvu na kumkumbatia. Mwajabu akaanza kuhema kwa nguvu mara baada ya matiti yake kugusana na kifua cha Gaston.Joto la huba likaanza kumpanda. “Sijui ni mnyime maana yeye si anampenda sana Jesca” aliwaza Mwajabu na kujitoakwa nguvu.Gason hakukubali hilo litokee alimfuata na kuanza kumwambia “daaah mtoto umeumbika kila nikikuona nguzo yangu ya umeme inaongezeka urefu”.
Maana Gastona alikuwa amedata juu yake.Kabla hajajibu kitu tayari mikono yake ilishaanza kuperuzi nakudadisi kwenye chuchu zake.Akajikuta na yeye mizuka imempanda. “Acha nimpe tu ili nizidi kumpagawisha amsahau huyo Jesca wake kabisa” alijisemea Mwajabu.Akajibinua kidoga maana walikuwa wamesimama na Gaston akiwa nyuma yake.Bado akaona Gastona anapata abu kuingiza yote hivyo akainama zaidi ile staili ya chuma tembele.Gaston akabaki nyuma na kuanza kuchochoe pedo za baiskeli.Mwajabu alipoona anachoka harakaakajisogeza mbele kidogo akaweka mguu wake mmoja kwenye tendegu la kitanda hivyo kufanya mtarimbo wa Gaston kupiga angle maalumu ambazo huwa na utamu utamu wa vanila.
Mmmmmmmh babeeee,, iiiiiiiiiiiiiiiiiisssssssssssss, ooooooooooooooooh yeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeh Mwajabu alishindwa kuvumilia mara baada ya Gaston kuonga kuta za ikulu na kutirisha mvua mvua ya barafu ya utamu wa raha ya huba.Gastonaliongeza spidi mpka na yeye akafikia mshindo mkuu.Ilibaki kidogo tu waanguke chini lakini waliweza kukimbilia kitandani.Wakapumzika kidogo kisha akaanza Gaston kwenda kuoga kisha na Mwajabu akafuata.
Sehemu Ya 4
Wakakaa mezani tayari kwa kupata chai ya nguvu.Mwajabu akachukua asali akamuwekea kwenye maziwa. “Wewe maziwa na asali vinaendana kweli aliuliza Gaston kwa mshangao”.Acha uwoga babee alijibu Mwajabu.Akaongeza kuwa asali ni dawa kwani inasaidia kurekebisha homoni za mambo ya uzazi, inarudisha kumbu kumbu, inasaidia mfumo wa upumuaji na kutibu vidonda vilivyopo tumboni. Pia asali ni nzuri sana kwani zinarekebisha tezi dume hivyo kukoongezea uwezo wa kupambana na mikimki hasa ukikutana na mwanamke anayejua mapenzi kama mimi alijisifia Mwajabu.Gaston ikabidi aendelee kuwa mpole maaa na kwenye nyanja hizi alishazidiwa ujanja.Baadaye Mwajabu alimpikia chakula cha mchana kisha akaga na kuondoka zake.
Gaston alishukuru sana kitendo cha Mwajabu kuondoka maana alihisi ameutua mzigo mzito ambao alibebeshwa bila ya yeye kupenda. Aliwasha lap top yake na kuendelea kufanya assignment ambazo zilikuwa zikimsubiri.Wakati akiendelea alisikia mtu akaigonga mlango wake. “Mmmmmh siju atakuwa ni nani?” alijiuliza Gaston kabla ya kufungua mlango.Akafungua kuioga woga na alikutana na sura nzuri ya shemeji yake Alice. Alice akanyosha mikono huku ameipanua ishara kuwa amkumbatie na kusema supriseeeeeeeeeeeeeee.
Basi walipeana salamu hiyo ya kizungu na alimkaribisha aingie ndani na hakuwa peke yake bali na rafiki yake Stella ambaye alionekana kudata na Gaston kuanzia siku ile alipowasovia yale maswali ya business mathematics na accounting.Stela ikabidi atie neno mara baada ya kuona yeye amesalimiwa salamu ya kiswahili badala ya kizungu maana yeye alipewa tu mkono. “Inaelekea kaka Gaston una ubaguzi sana, mbona mimi hujanisalimia kama ulivyomsalimia Alice. Gaston akabaki anacheka tu asijue ajibu nini. Waliingia ndani huku wakikaribishwa na harufu nzuri ya chakula ambacho alikuwa amepika Mwajabu.
Swali la kwanza Gaston alilouliza ni je, wamepajuaje kwake hili hali walikuwa hawajawahi kufika ?. Alice akacheka na kumwambia nimeulizia ulizia mpaka nimefika.Gaston alifungua friji akawatolea vinywaji wakaendelea kuburudika. “Una gheto zuri sana alisema Stelaa mara baada ya kupewa kinywaji”. Alice alivyopewa kinywaji alipokea lakini alisema “kwa jinsi anavyosikia njaa ni bora angepakuliwa tu huo msosi unaonukia akajilia”. Alice na Gaston walikuwa wamezoeana sana hivyo angeweza kusema chochote mda wowote. Aliwapakulia chakula wakaendelea kula huku yeye akiendelea kula karanga zilizokaangwa na Mwajabu.
Hakuishia hapo alichemsha na maziwa kaendelea akurudisha nguvu zilizopotea usiku.Kama alivyaambiwa asali ni dawa basi alimiminia huko wenye maziwa badala ya sukari. “Inaelekea Gastona una jua kupika sana kwa jinsi chakula kilvyokuwa kitamu hadi raha” alisema Stella. Kabla Gaston hajajibu kitu aidakia Alice na kusema “sitaki kuamini kuwa hiki chakula umepiga wewe”. “Ni kweli shem nimepiaka mwenyewe si mnaniona nipo mwenyewe” alijibaraguza Gaston. Basi kama ni hivyo wewe ni kiboka na atakaye kuja kuolewa na wewe atakuja kufaidi sana alijibu Alice. Waliendelea kupiga stori mbili tatu huku wakiangalia movie nzuri ya lovestories mpaka mda wa kwenda chuo ukafika.
Stella na Alice walitamani wasiondoke kwa jinsi hiyo movie waliyowekewa ilivyokuwa tamu. Ilibidi Stelaa aulize ataipataje hiyo movie.Gastona akamjibu kwa kuwa na yeye bado hajainagalia akimaliaza atampelekea au kama ana flash basi ampe amnyonyee.Leo sijabeba flash ila usijali nitakuja kuichukua siku ingine alijibu Stella. “Tena kabla sijaondoka sehemu una kesi ya kujibu alisema Alice. Kesi gani tena jamani alihoji Gaston. Kuhusu Jesca sijui kwa nini siku hizi unamnyanyasa sana rafiki yangu kila siku yeye ni kulalamika tu, kama jana sijui ulimfanyanyaje aliuliza Alice. “Yaani sijui niseme nini ila rafiki yako amezidi wivu sana kwa sababu ata akimsikia mtu akiongea kwenye TV tayari anachanganyikiwa.
Wewe mwenyewe unajua maisha haya ya chuo kuna kipindi mtu unakuwa bize hata unashindwa kumatafuta. “Ila kweli hata mimi Dullah analalamikaga sana kuwa eti nimebadilika sana”.Hapo Stella yeye alikuwa kimya tu akiwasikiliza maana yeye ni miongoni mwa wasichana wadogo waliowahi kuumizwa na mapenzi na anayeamini mapenzi ni uwogo, usaliti na nikitu ambacho kinaweza kukupa raha na karaha mda wowote.
Jesca alimsihi sana Gaston ajitahidi asimuumize Jesca na ajitahidi kwenda naye hivyo hivyo pia akumbuke walipotoka.Gaston aliingia bafuni akaoga kisha wakaondoka na kuelekea chuoni.Gastona aliamua kuwahi darasani ili kuepushayale majanga aliyokutana nayo. Akawa anasubiri mwalimu aingie lakini siku hiyo mwalimu alichelewa kidogo.Baaadaye mwalimu aliingia huku akiwa ameongozana na Mwajabu.Jambo hilo la Mwajabu kuingia darasani lilimfanya kila mtu atabasamu mara baada ya uiona sura hiyo hadimu yenye skendo za kufumaniwa.Watu walotamani kucheka ila walijizuia wakikumbuka tukio la jana yake lilomfanya mwalimu asusie kufundisha. Mwajabu mara baada ya kuweka vitabu vya mwalimu aliangaza sehemu ya kukaa na kuona kuwa Gaston alikuwa amekaa mwenyewe binti huyo bila aibu alienda kukaa pembeni ya Gaston. Jamboo hilo pia liliwafurahisaha sana wanafunzi.
Gaston kimoyomoyo akawa anasema “huyu naye anataka kunichafulia jina”.Kipindi kiliendelea na baaada ya mwalimu kuondoka kuna mwanafunzi mmoja bingwa wa utani alikwenda kuwapiga picha ya kushtukiza na kuitupia kwenye group lao la whatasapp na hapo hapo coment za utani zikaanza kumiminika. Wengine walisema hiyo ni best couple, wengine walipiga madongo na kusema love is accident popote hutokea.Gaston mara baada ya kuziona hizo koment alimwambia Mwajabu hasikomenti kitu hajifanye kama hajaona kitu.Kwa kuwakomesha waliondoka wakiwa wameongozana kama bwana na bibi harusi huku Mwajabu akimwekea mkono begani.***
Dulah siku zote alijitahidi kuweka mikakati ya kumzibiti Alice ili asipokonywe na mtu mwingine. Alishatenga fungu kuhakikisha kuwa anakodi chumba ilikila wikiendi awe na Alice. Kabla ya wikiendi Dulah alishuka mjini akalipa kodi ya miezi sita. Wikiendi ilipofika alichukua gari la kaka yake akaweka mafuta na kumfuata Alice chuoni kwao. Ikumbukwe Dulah alikuwa ni mtu wa matambo sana na siku zote alipenda watu wafahamu kuwa yeye ni nani. Hakusita sehemu yeyote alipoenda kutumia jina la baba yake.Siku hiyo alimchukua rafiki yake Omary kwa ajili ya kampani.
Waliondoka na Alice na kabla ya kwenda huko alipopata chumba waliingia sehemu moja maarufu kama city garden na kutuliza koo kidogo. Wakiwa sehemu hiyo alikuja kijana mmoja ambaye alikuwa pembeni yao na kumsalimia Alice. Na Baada ya salamu ya mda mrefu walibadilishana mawasilianao kitu ambacho kilimkera Dulah. “Hapa hakuna kusema eti ni jirani yangu wa kule Dodoma kwani angekuwa ni jarani yako asingekosa namba zako” alilalamika Dulah. Rafiki yake aliyekuwa naye yaani Omary alijaribu kumsihi Dulaha aache hasira na wivu kwani hao ni mambo madogo sana. Basi waliamua kupanda gari na kuelekea huko mahali ambapo chumba kilikuwepo.
Ni sehemu nzuri sana na tulivu paliitwa Shanti town, Ingawa chumba hicho kilikuwa hakijawekwa kitu chochote lakini Alice alikifurahia sana kwani kilikuwa ni cha kisasa na chenye kila kitu. Kilikuwa ni self container na ndani kilikuwa na tiles na rangi nzuri ya kuvutia. Maliwatoni kulifungwa heater za kuchemshia maji. Ilimbidi Alice aulize kuhusu kodi maana alihisi kodi itakuwa ni ghali sana. “Ni elfu 80 tu mpenzi na ukijumlisha umeme na maji inafika laki” alieleza Dulah. Mmmmmhhhh aliguna Alice.
Hata hivyo unikopeshe kama laki tano niongezee na hizi laki nne nilizobaki nazo mkononi tununue vitu vya ndani kwani mimi nilikuwa na milioni moja tu alifafanua Dulah.Alice alishindwa kukataa moja kwa moja kwani ndo kwanza alikuwa amepata boom. Basi baada ya hapo walitoka na kwenda kuchukua kitanda na godoro. Kitanda kilishakamilika kwa fundi na ilikuwa ni kubeba tu na walipitia kwenye duka la wahindi na kununua godoro na kupeleka.
Wakarudi tena mjini wakachukua jiko la gesi na na vitu vidogo vidog vya ndani. Siku hiyo hiyo tayari chumba kilishaanza kuonekana kuwa palikuwa panaishi watu. Kweli hela haishindwi kitu kwani kwa mda mchache huo Alice na Dulah walikuwa tayari wameshaamia. Alice hakuwa na hamu ya kurudi chuoni japo kesho yake jumamaosi walikuwa na assignment ya group discussion.
Omary kwa mbwembwe aliamua kwenda kununua vitu vya kula kama nyama, mchele na viungo vingine vya nuhimu. Shemeji huyo naye hakuwa vibaya kifedha kwani alichukua pia vinywaji vya kutosha. Akasema leo nataka tulivumbue ili gheto hivyo shemeji naomba upike tule. Alice hakuwa na ujanja zaidi ya kupika. Shemeji umechemka kitu kimoja alisema Alice. Kitu gani aliuliza Omary? Ungekuja na viazi mbatata ili niwapikie chipsi na rosti ya nyama na sio wali nyama.
Hapo Dulah ambaye alikuwa bize na laptop ya mpenzi wake alimuunga mkono kwa kusema exactly chipsi rosti ndio mpango mzima. Basi Omary kwa makeke alisema Shem endelea kutengeneza rosti ngoja mimi niwashe gari nikachukue hivyo viazi. Baada ya Omary kuondoka Alice alimwambia Dulah inaelekea huyu rafiki yako ni mpambanaji sana na pia sio haba kwa upande awa hela. Dulah akacheka na kumwambia yeah huyo jamaa ni jebe sana na ikija swala la kampani huwa nampenda sana.
Basi waliendelea kupiga stori za hapa na pale mpaka hapo Omary aliporudi. Na alivyorudi hakukaa bure aliendelea kumenya viazi kitu ambacho kiliendelea kumshangaza Alice. Shemeji inaelekea mke wako atakuja kupata raha sana. Hamna mimi napenda sana na hata hapa ukitaka nikusaidie nyakusaidia. Alice aliona aibu na kumwambia hapana shem mimi na mudu yote hayo. Dulah wakati wote huo alikuwa anajifanya asikiii kitu.
Chakula kiliiva na kwa furaha walimwita rafiki yao mwingine hivyo kampani ikaongezeka na vinywaji navyo vikaongezeka. Walikula na kunywa kikawa ni kisherehe kidogo cha kufungua gheto la wapendanao Dulah na Alice. Usiku ulipoingia watu wote waliondoka na kumwacha Alice na Dulah. Kwa kuwa Dulah alimwamini sana Omary hivyo alimwachia gari akaondoka nalo.
Usiku huo ulikuwa usiku wa raha sana kwa Alice na Dulah kwani moja ya ndoto zao ilikuwa ni pamoja na kupanga chumba na kuishi kama mke na mume. Ingawa wote walikuwa bado wanasoma lakini waliaamini kabisa wikiendi ilitosha kabisa kwa wao kufurahia maisha. Hivyo walikubaliana kuwa watakuwa wakikutana ijumaa jioni na kuachana jumapili jion.
Basi kama kawaida furaha haikamiliki bila kula cha usiku, chakula ambacho kilikuwa kinasubiriwa kwa hamu na jamu. Wacha kile chakula walichokula wakiwa na Omary bali ni chakula special kwa ajili ya watu walili tu yaani mwanamke na mwanaume.. Alice aliingia bafuni na kuoga lakini alimwita Dulah na kumwambia “babee njoo nifungulie maji ya moto”. Dulah alijua tu sio kwamba alishindwa kufungua maji ya moto bali alikuwa akitaka waoge wote.
Dulaha na yeye alichojoa nguo zake na kuingia bafuni na kuanza kuogeshana. Tayari kila sehemu nyeti za wapendanao hao zilishavimba na kuongezeka ukubwa. Walisuguana migongo huku wakifurahia maji ya moto.Dulaha alifurahiswa sana na mgongo wa Alice akajikuta anadata na kutamani wale chakula cha usiku huko hukoo bafuni.Akaanza kumsugua sugua kimahaba mgongoni huku akibinyabinya uti wa mgongo wa kutumia dodoki laini alilokuwa akilitumia.Aliendeleza kumbinya binya huku akishuka mapka sehemu za mbavuu na kumfanya Alice apate msisimko wa ajabu.Alihisi kutekenywa tekenywa huku hisia zake zikianza kuamia ulimwengu mwingine.
Dulah akaanza kumkanda kanda kwa kutumia maji ya moto huku akifanya distanace kuwa ndogo sana.Akiwa hivyo hivyo alisimamisha huduma na akampa denda binti huyo huku akiwa amesiama nyuma yake.Alimkumbatia kwa nyuma na Aalice aligeuza shingo tu na kuanza kupata mate ya huba.Mtarimbo wa Dullah ukawa unapiga iga makalio ya Aliece kuashiria ulitaka haki yake.Alice akaona hasije akaokosea njia bure akaita njia ya uwani . Haikuwa tabu sana kwa Dulah kukaa nyuma ya Alice na kisha kumbinua kigogo na kupitisha mkia wake tayari kwa raundi ya kwanza. Sa sijui hii staili inaitwaje maana hata bomba la mvua lilikuwa bado linatoa maji na wao walishaamia ulimwengu mwingine.
Utamu utamu wa mazingira mazuri ya bafuni uliwafanya wajisahau na kujikuta wakilimenya tunda huko huko mpaka wakamaliza raundi ya kwanza ambayo haikuchukua mda mrefu kutokana na uchu na hamu ya mapenzi aliyokuwa nayoo kila mmoja.Baada ya kumaliza waliendelea kuoga kisha wakaamia kitandani, huko sasa ndo ilikuwa uwaja wa mapambano. Kila mtua alitaka kuonesha utundu wake. Wakiwa kwenye dimbwi kubwa la mahaba mara Dullah akaanza kutamaka maneno ya ajabu na kutaka kufanya usiku huo kuingia doa.
Yaani alipokuwa anakaribia kufunga goli alianza kusema “Katika katika baby majibu yale ya mtihani nitakupa”.Hayo ni maneno yaliyomchanganya Alice hasijue ni majibu gani ya mtihani ambayo Dulah alikuwa akiyazungumzia.Dulah alikuwa akizungumza maneno hayo kutokana na kumbukumbu nzuri ya penzi la mwisho ambalo alipewa na mmoja wa mabinti ambao walidanganywa kuwa kama watatoa penzi watapewa majibu ya mtihani.Siunakumbuka siku ile Dullah kama waziri wa ulinzi shuleni kwao aliitwa akawaokoe mabinti waliodanganywa na wanafunzi wa form 4.
Katika harakati za kuwaokoa yule binti wa deka ya juu akajifunua na kumfanya Dulaha uzalendo umshinde na kujikuta akimsaliti Alice.Kwa kumbukumbu hizo ndizo zilizomfanya Dullaha atamke maneno hayo akimsihi Alice aongeze spidi ya kukatika mauno ili amape majibu.Dulah inaelekea siku ile alipagiwishwa sana na yule binti ambaye naye hakuwa haba maana alijazaia na kufungashia mzigo wa maana. Basi Dullaha akaendelea kumkaanga na kumgeuza geuza mpenzi wake huyo kwa kila aina ya stail ambayo aliamini ingempa raha ya huba.Alimuweka ile stali ya kiubavu ubavu huku uso wake ukimwangalia binti huyo ambaye alinyanyua shingo ili apate mautamu ya mpenzi wake huyo. Baadaye Alice alipanda juu akawa na yeye anaonesha maufundi yake ya kusugua kisigino na kuzungusha nyonga.Waliendelea kufurahishana mpaka wakawa hoi been taabani.
Baada ya kupumzika Aice hakusita kumuuliza mpenzi wake huyo kuhusu maneno aliyoyasikia. Dullah alijitetea kwa kumwambia kuwa yeye alikuwa kwenye mizuka kutokana na penzi tamu alilopewa siku hiyo.Basi walilala huku wakiwa wamekumbatiana wakitamani wikiendi isihishe ili waendeleaa kuwa pamoja. Basi wikiend iliisha na kila mtu akarudi kambini kwao Dullaha alirudi shuleni kwao na Alice alirudi chuoni.
Mawasiliano baina yao yaliendelea kama kawaida lakini wikiendi ilivyofika Alice alikuwa kwenye wakati mgumu sana kwa sababu jumamosi hiyo ndo ilikuwa welcome freshers sherehe ya kuwakaribisha wanafunzi wapya shuleni. Alice alishindwa kuelewa atamwambia nini Dullah ili wikiendi wasionane.Sherehe hiyo ilikuwa ni maarufu sana hapo chuoni kwa sababu siku hiyo kulikuwa na wasanii mbalimbali wakija kutoa burudani.Siku hiyo pia wanafunz hujiachia kwa kucheza disco na kupata nafasi ya kujuaana na kuonesha vipaji vyao.
Lakini kwa kuwa sherehe hiyo ilikuwa ikifanyika jioni Alice aliamua Ijumaa kushuka mjini ili aweze kuonana na mpenzi wake Dullah na nia ni kuomba ruhusa ili na yeye aweze kushiriki tukio hilo na wenzake. Walionana siku hiyo kama kawaida wakakaa mjii nakuponda raha kidogo.Dullah alimtoa out Alice usiku huo na kumpeleka sehemu ambayo aliifurahia sana.Alice alifurahi sana maana Dullah aliendelea kuonesha kuwa anampenda sana na kumfanyia vitu vitakavyo mpa furaha.Alice akawa anakumbuka mambo makubwa na mazurii ambayo mpenzi wake huyo alishawahi kumfanyia, akakumbukajinsi ambavyo alikuwa akitoroka shule alipokuwa sekondari na kukutana na mwanaume huyo.
Ikumbukwe mapenzi yao yalianza kushamiri walipokuwa form three na kipindi hicho chote amakuwa akidumu na mwanaume huyo.Anakumbuka pia jinsi walivyokuwa wakikaa guest kwa mda wa wiki nzima na pia alikuwa akiondoka kwao kabla ya wiki moja shule kufunguliwa anakuja kukaa na mwanaume huyo na kula raha. Anakumbuka pia jinsi alivyokuwa akipelekwa kwenye hotel za hadhi ya hali ya juu.
Alice alikuwa akiwaza hayo na kutafakari safari yao ya mapenzi huku akisindikizwa na mziki laini uliokuwa ukipigwa na laivu bendi ambayo ilikuwa ikitumbuiza siku hiyo katika eneo hilo waliokuwepo.Kila mtu alikuwa kimya akiangalia ufundi ambao ulikuwa ukitumika kupiga bendi na kuimba nyimbo mbali mbali zenye kuliwaza. Watu walikuwa wakichagua nyimbo meza mpaka meza na kuzidi kunogesha mtoko huo. Alice alitamani kuwaita rafiki zake waje eneo hilo hili washuhudie dunia inavyokwenda..
Usiku uliingia wakaingia kwenye gari na kuelekea sehemu ambayo ni makzi yao kwa sasa.Kma kawaida walicheza kale kamchezo ka wapendanao ili kukamilisha furaha yao waliyoipata siku hiyo.Kabla ya hapo walishauriana kuhusu kuavaa kondomu. “Babee naomba leo uvae kinga nahisi nishaaingia siku hatari za kupata mimba” alipendekeza Alice. Dulla aliulza kwani leo ni siku ya ngapi tangia umalize mzunguko? “Ya tanao babee alijibu Alice na kuongeza lakini ni bora wachukue tahadhari”.
Katika vitu ambavyo Dullah alikuwa havipendi ni kuvaa kondomu.Hivyo alimwambia Alice hasijali atamwagia nje. Alice aliguna maana alijua swala la mwanaume kumwagia nje ni vigumu sana hasa pale anapokutana na utamu uliopitiliza au kama mwanamke atakuwa juu ya mwanaume au staili yoyote itakayomzuia mwanaume kukontrol mchezo.
Basi Dulah akaupanda mchuma na kwa kuwa siku hiyo alikuwa na furaha sana aliamua kucheza michezo ya kizungu ambayo huwa inapigwa marufuku kwa madai kuwa inasababisha kansa ya koo. Yeye hakujali hayo madhara alichkifanya ni kupekenyua pekenyua sehemu za ikulu na kuzama chumvini na kuanza kutafuta madini hayo yenye ladha ya jabu kwa mnyonyaji na mnyonywaji.Alizilambalamba sehemu hizo za ikulu ya Alice kisha kupitisha ulimi na kuanz akufanya kama vile afanyavyo mtoto wa paka punde tu akiwekewa maziwa ua mchuzi kwenye sahani.
Huduma hyo ilimfanya Alice apanue miguu kama mwanamke yupo labour.Si hivyo tu Alice alikuwa akitoa milio mingi kama ile ya watoto wa panya wakiwa wananyonya yaaani Chwiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,, chwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii chwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,, mmmmmmmmmmmmmmmmmhh,, iiiiiisssssssssss ufuuuuuuuuuuuuuuu,, taaaaaaaaaaaaaamuuuuuuuu,, taaaaaaaaaaaaaamuuuuuuuuuuuuuuuu babeeeeeeee.Alitoa milio mingi sana na hiyo ilikuwa ni mara yake ya kwanza kufayiwa huduma hiyo tangu azaliwe.Hakujua kwa nini Dulah aliamua kumfanyia huduma hyo siku hiyo wakati walishakuwa wote takribani miaka 4 sasa. Hapo Alice akona ipo haja ya kulipa fadhila kwa yeye kumpa huduma inayofanana na hiyo aliyofanyiwa.
Aliamua kujaribu mambo hayo ya kizungu hili hali na yeye hakuwahi kufanya tangia azaliwe, huduma hiyo si ingine bali ni ya kulamba koni.Wakaamua kuiga mikanda ya xxx ambayo walikuwa wakipenda kuingalia mara kwa mara.Wakakaa ile staili ambayo iliwawezesha wote wawili kupeana raha kwa kunyonyana kwa mda mmoja. Hapo walipishana mmoja akapanda juu ya mwenzake na wakapishana vichwa. Kichwa cha Alice kikawa kwenye mapaja ya Dullah na hivyo hivyo kichwa cha Dulah kikawa kwenye mapaja ya Alice hapo ilikuwa ni kama wanacheza filamu ya utamu huku chumba kikitawaliwa na mlio wa raha ya mapenzi.Dulah alikuwa akitoa mlio wa base na Alice alikuwa akitoa mlio wa sauti ya kwanza.
Utamu utamu na raha za michezo hiyo iliwezesha kila mtu kupanda na kushuka kileleni. Baadaya hapo walipumzika kidogo kuvuta pumzi ili waweze kwenda awamu ya pili.Dulah kama kawaida alitumia nafasi hiyo kuwasha laptop na kuweka ile mikanda yake ya utamu utamu.Wakawa wanaangalia wote lengo likiwa ni kupandisha midadi kisha na wao wacheze mechi yao.Safari hii waliamia kwenye sofa ili wafaidi vizuri.Kweli vitu vya kuga ni hatari maana hiyo staili waliyokuwa wamekaa hapi ilikuwa ni hatari sana. Alice alikuwa amemkalia Dullah huku mashine ya Dulah ikiwa ndani ya mtungi wake.Dulah alikuwa akifurahiswa jinsi binti huyo alivyokuwaa akizungusha kiuno na kumsuguasugua kirungu chake.Mkao huo uliongeza mshawasha wa kuzidi kupeana mavitu ya raha na huba.Alice aliweka mikono yake kwa nyuma akashika mapaja ya Dulaha kisha akaongeza spidi i oooooooooooooooh yeeeeeeeehhhh yeeeeeeeeeeeeeeeeeeeh ni baadhi ya miguno ya kiume iliymktoka Dulah.
Hapo ni dhairi mambo yaligona ukilinganisha na pombe kidogo walizokunywa basi ikawa ni burudani ndani ya burudani.Hawakuishiahapo bado Dulah alimbinua zaidi Alice na kumfanya mikono yake kushikilia meza iliyokuwa mbele yake.Hapo Dulah alisimama kabisa huku mikono yake ikishika kiuno cha Alice.Yaani Alice alikuwa bize utafikiri wale wadada wa kitanga wakicheza baikoko, kwa jinsi alivyokuwa akijituma mtoto wa watu.Baadaye alichoka na kuamua kuwekamguu mmoja juu ya meza, yaani Alice hakujali hata kama ilikuwa ni meza ya kioo yeye alibadili tu staili kadri awezavyo.Dulah akaendelea kutoa dozi kupitia nyuma ya goli.
Mashambulizi hayo hayakutosha kuwashinda mabeki wa Alice zaidi ya Dulaha kutokwa na jasho zito kutokana na zoezi hilo la kutafuta mpira mda mrefu bila mafanikio. Pasi za Alice zilikuwa za uhakika sana kama za timu ya barcelona jambo lilomfanya Dulah achoke kusafu mpira hivyo alimnayanua Alice na kumwaga kitandani mahali alipaamini kuwa atafunga goli kwa urahisi zaidi. Hapo ikawani fursa nzuri ya yeye kupumzika na kumuacha Alice apande juu.Alice siku hiyo alikuwa a pumzi sana kwani aliendeea kutoa huduma akiwa juu ya Dulah ajipimia na kujisugua kila kona ambayo alihisi ilikuwa na muwasho washo wa huba.
Aliendelea hivyo mpka wote wakamaliza.Hapo ikawa ngoma drooo hakuna mshindi wala mshindwa.Kwa jinsi walivyochoka hawakuweza hata kuingia bafuni kuoga zaidi ya kila mtu kulala kwa staili ambayo aliijua mwenyewe.Mwingine alikatisha kitanda na mwingine alijikunja kama vile alikuwa akisikia baridi. Kila mtu akapitiwa na usingizi mpaka asubuhi.Asubuhi waliendlea kulala usingizi ule wa kiboss mpaka saa 5 asubuhi.Alice akaamka akandaa chai ya nguvu.Alikaanga mayai na karanga kisha akapaka mayai kwenye karanga kisha akapka asali kwenye silezi za mkate tayari kwa kufungua kinywa.
Alitoka nje akaaenda dukani kununua maziwa na kutengeneza chai ya kusukumia hivyo vikorombwezo..Baadaye rafiki yake na Dulah bwana OMARY alikuja wakaenda mjini kuchukua flat screen na king’amuzi na kuzidi kulifanya gheto liwe na mvuto sana.Alice alikumbuka kuwa siku hiyo ndo ilikuwa siku ya welcome freshers hivyo alimuomba Dulah ruhusa lakini Dulah alikataa akamwambia haina maana cha msingi wabaki wote waendelee kufurahia wikiendi.Roho ilimuuama sana kulikosa tukio hilo na hasingeweza kulazimisha kuondoka na kumkera mpenzi wake huyo wenye hasira na wivu uliopitiliza.Dulah alimtoa tena mpenzi wake huyo na kumpeleka sehemu ingine tofauti na ya jana.Waliendelea kufurahia wikiendi wote huku Alice akipigiwa simu nyingi sana na marafiki zake kitendo ambacho kilikuwa kinamkerasana Dulah.Alice kuepusha hayo aliamua kuizima simu yake.
Wikiendi ilisha kila mtu akarusi shuleni kwao.Marafiki zake na Alice walimlaumu sana binti huyo kwa kulikosa tukio la jumamosi.Pia walimponda sana kusikia eti boyfriend wake ndo alimzuia. Walimuuliza kwani Dulah amemeoa mpaka akuchunge na kumpangia ratiba na masharti yasiyokuwa na maana. Aliwasikliza tu na kujisemea moyoni hawa hawajui tu jinsi Dullah alivokuwa mkorofi. Kama siku hiyo tu akipanda chuoni waligombana kutokana na nguo alizovaa kuonesha sehemu kubwa ya mgongo. Yaaani Dulaha alikuwa akimpangia binti huyu mpaka mavazi ya kuvaa na yale ambayo yalikaa kimtego mtego na kuwavutia sana wanaume aliyakataa kabisa.
Alice wakati mwingine hakufurahishwa na tabiaa hiyo ya mapenzi wake kumnyima nyima uhuru lakini aliamua kuvumilia kwa sababu alikuwa akimpenda sana mwanume huyo ambaye alikuwa na wivu uliopitiliza.Alice alimpenda sana Dulah na aliamua kumvumilia kwa sababu pia alikuwa akitimiziwa mahitaji yake yote ya muhimu.Yaani Alice aliishi kama malkia na alikuwa na uwezo wa kuja mjini na kufanya shoping yoyote anayoitaka na Dulah akalipia bila kinyongo chochote.Pamoja na mambo mengine yote mazuri Dulah alikuwa akijulikana mpaka kwenye famili yao, hapa namaanisha ndugu jamaa na marafiki wa Alice waliokuwa wakiishi Moshi naArusha.
Na sio hiyo tu Dulah alionesha roho nzuri na alikuwa akiwasaidi mpaka na wadogo zake Alice. Dada zake na mama zake wakubwa na Alicee walimpenda sana kijana huyo wakiaamini kuwa alikuwa chaguo sahihi kwa ndugu yao japo dini ndo ilikuwa ni kikwazo kikubwa sana.Alice alijulikana sana mjini kupitia wanaume huyo na alikuwa akiheshimika sana. Wakati wa likizo Dulla alikuwa akifanya juu chini mpaka kumfuata huko kwao Dodoma ili mradi tu wawe wote.Ilikuwa ni swala gumu sana kwa Dulaha kukaa mbali na Alice kwa zaidi ya wiki mbili. Kwa hiyo Dulah alikuwa akitumia gharama yeyote kuhakisha hawi mbali sana na Alice.
Maisha yaliendelea na marafiki wa karibu wa Alice ambao kila siku walikuwa wakimjaza maneno binti huyo walipelekwa mahali ambapo alikuwa akiishi Alice na Dulah.Kutona na sehemu nzuri na uzuri wa chumba hicho rafiki zake Alice walikuwa wakitamani maisha ya raha kama hayo na pengine walikuwa wakimuonea wivu sana na kumuona ni mwenye bahati ya kupendwa na kijana aliyetokea kwenye famili ya kitajiri.Wapo baadhi ya marafiki ambao walikuwa hawajatulia walidiriki kumtaka Dulah kimapenzi.Dullah akatumia nafasi hiyo kujenga ukaribu nao ilimradi tu awe anapata taarifa za Alice.Kwa hiyo kila Alice alichokuwa akikifanya chuoni yeye alikuwa akikjua.
Alice alitambua kuwa analindwa sana na kufuatiliwa kwa ukaribi hivyo alipunguza idadi kubwa ya marafiki hasa wa kiume na mtu pekee aliyekuwa na mazoea naye ni shemeji yake Gaston.Ilibidi amzoe sana Gaston kwa sababu ndiye aliyekuwa akimsaidia mambo mengi sana ya darasani. Alice hakutaka kabisa rafiki zake wamzoee Gaston sababu rafiki zake pia walikuwa wakimtakahasa Stella. Kwa hiyo Alice hakupenda kuona rafiki yake Jesca ambaye yupo mbai anasalitiwa na yeye akiwa ni sababu ya usaliti huo wakati alipewa jukumu la kumlinda.Ingawa hata yeye alikuwa akivutiwa sana na Gaston lakini mda mwingi alijitahidi kuzuia hisia zake maana aliamini akiziruhusu mda wowote zinaweza kuleta maafa.
Siku zilizidi kuyoyoma na baada ya mwezi tangia siku ile wafanye mapenzi bila kutumia kinga, Alice akaanza kuhisi huenda mambo yameshaharibika kwa sababu hakuweza kuona siku zake.Akaamua kupuuzia akiaamini huenda zimechelewa maana ilikuwa ni kawaida yake wakati mwingine kuchelewa hata wiki moja. Hivyo kutokana na sayansi yake ndogo aliyoisoma akiwa sekondari aliamini yeye ni baadhi ya wanawake ambao walikuwa wakienda mzunguko mrefu wa hedhi.Kuacha ule wa kawaida wa simu 28 yeye aliamini kuwa mzunguko wake ni wa siku 35.
Lakini baada ya miezi miwili ilimbidi amshirikishe Dullah swala hilo na uamuzi uliofikiwa ni kwamba wasubiri wikiendi ifike waende hospitali kupima ujauzito.Kweli wikiendi ilifika wakenda kupima na wakakuta ni kweli Alice alikuwa na mimba. Hapo sasa ikabidi wafanye vikao kujadili swala hilo. Kwa upende wa Alice hakuwa tayari kupata mtoto wakati huo na aliaamini kuwa ilikuwa bado ni mapema sana kwa yeye kuitwa mama.Sio kwake tu hata kwa upnde wa Dullah ilikuwa hivyo hivyo kwa sababu yeye ndo kwanza alikuwa bado yupo form six. Swala la Alice kushika mimba halikuwa la mara ya kwanza bali hiyo lilikuwa la mara ya pili.
Kwa hiyo mara ya kwanza walishafanya machezo huo wa kutoa na sasa walitaka kurudia tena. Wakamtafuta yule daktari wa mara ya kwanza kwa sababu walikuwa na namba zake za simu lakini kwa bahati mbaya alikuwa nje ya nchikikazi.Akawasaidia namba za daktari mwingine amabye angeweza kuwasaidia jambo hilo haramu kinyume na sheriaza nchi na amri za mungu.Walimpata dakatari huyo na aliwaambia atawasaidia ila kama tu watakuwa tayari kulipa kiwango anachotaka kwa sbabu shughuli hiyo kwanza ni dhmbi na pia ni kinyume na sheria.
Aliwaambia ili kuponesha sehemu hizo kwa haraka ni lazima waandae hela ya vidonge ambavyo atavitumia.Hawakuwa na jinsi libidi watoe helahiyo ambayo waliambiwa.Alice aliingia kwenye chumba maalumu kwa ajili ya shughuli hiyo..Daktari huyo kwa mbwembwe alimuonesha vifaa ambavyo alitakiwa kuvitumia na kumwambia “si unaona hivi ni vipya kabisa na vinatakiwa vitumike kwa mtu mmoja kwa sababu ya afya na tatizo huko mtaani wanatumia zaidi ya mtu mmoja ambayo ni hatari kwa afaya”.Dokta huyo aliendelea kusisitiza kuwa thamani ya mikasi hiyo ni sawa na bei wanaoambiwaga ya kutoa mimba huko mtaani.
Daktari huyo kabla ya kufanya zoezi hilo alimpa somo kidogo Alice kuhusu njia za kuzuia mimba. Alimwambia kuwa yeye sasa hivi ni binti mkubwa mwanachuo kwa hiyo ni aibu sana kushindwa kuzuia mimba. Alice alijitetea eti njia za kuzuia mimba zina madhara lakini Dokta alisisiiza kuwa madhara yake ni mdogo ukilinganisha na madhara ya kutoa mimba mara kwa mara.
Dakatari alimueleza madhara ya kisaikolojia na kiafya ya utoaji wa Mimba.Maneno yale yalimuumiza sana Alice lakini akawa anajisemea “huyu naye si afanye kazi yake mbona nishamlipa ghali”. Daktarri alivaa gloves na kuanza kazi yake. “Panua vizuri miguu tusije tukagusa kizazi” alisema daktari huyo.Alice alishangaa kuona daktari huyo akimpapasa papasa sehemu hizo mpaka akawa anapata stimu za ajabu ajabu za ufanya mapenzi. “Samahani dokta naomba uifanye kazi yako kwa uadilifu maana huko unapogusa gusa ni kutakana ubaya” alisema Alice. Usinifundshe kazi wewe binti hivi unafikiri nisipozilainisha sehemu hizo si utapata maumivu makali? aliuliza Dokta.
Alice ikabidi awe tu mpole na kumuacha daktrai afanye anavyotaka. Baadaye daktari aliingiza vile vifaa nakukamilisha zoezi hilo haramu. Safari hii Alice alisikia maumivu sana tofauti na mara ya kwanza.Daktari akamwandikia dawa na kumuelekeza sehemu ambayo ataweza kuzipata.Yaani Alice hakuweza hata kutembea hivyo ikabidi apumzike kidogo na baadaye alimpigia Dullah na kumwambia asogeze gari karibu.Dullah na yeye aliingiwa na hofu kwa sababu zoezi hilo lilichukua mda mrefu tofauti na alivyzoea.Akaanza kuhisi au daktari pengine ameingiwa na tamaa akajikuta akianza kula kwanza tunda lake. “mbona umechukua mda mrefu sana?” hilo likikuwa swali la kwanza aliloulizwa Alice mara baaada ya kuingia kwenye gari. Alice hakujibu swali hilo zaidi ya kumwambia aendeshe gari harakaharaka kwani anajisikia vibaya. Dullah ilibidi afuate tu maelekezo aliyopewa. “Wait , wait, naomba unichukulie dawa kwenye hilo duka hapo mbele alisema Alice mara baada ya Dullah kuenesha gari kwa kasi. Dullah akashuka akanunua hizo dawa na safari ya kuelekea gheto ikaanza. Kwenye gari kimya kilitawala na kila mtu alikuwa bubu. Raha imegeuka karaha. Walifika gheto kwao wakaingia ndani na Alice alikunywa zile dawa na kujilaza.Dullah hakuwa na jinsi zaidi ya kuendelea kukaa hapo kwenye sofa kama msafiri aliyekuwa akisubiri gari.
Baadaye mda ulienda na Dullah akawa anataka kwenda mjini kufuatilia mipango ya pesa kwa sababu hakuwa na hela kabisa.Aliamua kutoka na kwenda kununua chipsi kuku sodan na kuweka hapo mezani na yeye akatoka akaingia kwenye gari na kueleka mjini. “Wakati mwingine lazima uwe na roho ngumu sana maana watoto wakike kwa kudeka hawajambo” alijisemea Dullah wakati anaingia kwenye gari. Maadamu simu ipo kukiwa na shida atanipigia alizidi kuwaza Dullah kabla ya kujirizisha kuwa alichokuwa anataka kukifanya ni sahihi.Dullaha ilimbidi avae ujasiri huo kwa sababu hakuwa na hela kabisa na pesa zote za akiba ziliisha kwenye zoezi hilo la utoji mimba.
Alice aliendelea kujilaza pale na baadaye aliamka.Harufu ya zile chipsi zilimshawishi binti huyu kusikia njaa na hapo ndipo alipogundua kuwa alikuwa hajala tangia asubuhi. Alianza kufungua soda kisha kuchuku simu na kumigia Dullaha na kumuuliza yupo wapi? Dullaha alimwambia kuna gari la kampuni liliharibika na kaka yake hayupo hivyo imembidi aende ili wakanunue spea kwa sababu wakiwaachia mafundi wenyewe wanachakachua na kuiibia kampuni. Alice hakujibiu kitu zaidi ya kukata simu na kuanza kukata takeaway iliyotumika kufungia zile chipsi. “Daah chipsi za namna hii sijala siku nyingi sijui hata amezinunulia wapi” alijisemea Alice.
Akazifakamia zile chipsi huku akikumbuka jinsi yule dakatari alivykuwa akimchezea sehemu zake za siri kabla ya zoezi lile la kutoa mimba. “Yaani pale nisingemuonya angeweza hata kuniingilia mpuuzi yule asiyejua maadili ya kazi yake” alijisemea Alice. “ Inaeleleka atakuwa ndo tabia yake ya kuwala watu kwa kuwapandisha nyege” aliendelea kujisemea Alice. Hapa inaelekea ule mpapaso wa dakatari ulimsisimua sana Alice sema ndo hivyo haikuwa sehemu sahihi na mtu sahihi wa kufanya naye kale kamchezo. Alice baada ya kula aliendelea kutafakari maishayake ikiwa ni pamoja na raha na karaha za mapenzi alizowahi kuzipitia.
Hapo akakumbuka tukio la yeye kutaka kujinyonga kisa penzi la Dullah.Anakumbuka kipindi hicho ndo alikuwa form five ambapo penzi lao ndo alilikuwa limekoleakupita maelezo.Siku hiyo walitoroka shule yeye na marafiki zake wakaenda mahali kula bata na marafiki zao wa kiume. Sasa walikuwa pair pair ingawa hawakuwa wapenzi lakini kwa mtu hasiyejua angeweza kuzani labda walikuwa ni wapenzi. Wakaenda sehemu moja ambapo pia kuna sehemu ya kuogelea.Huko wakawa wanajiachia kupia maelezo kwa kuwa siku hiyo ilikuwa ni birthday ya mmoja wa rafiki yao.Na kwa kuwa alijiweza kifedha aliandaa kitafrija cha kizungu. Yaani watu sita tu wale, wanywe wacheze na kila kitu ambacho kingewapa furaha.
Kwa bahati mbaya sehemu waliyoenda kulikuwa kuna mtu anayemjua na alipomuona tu alifikisha umbea kwa Dullah.Dullaha akaenda hewani na Alice alipopokea simu swali la kwanza aliloulizwa ni yuppo wapi? Alice kwa kijiamini alimjibu kuwa yupo shulleni. Basi Dullah alikata simu na kuamua kwenda sehemu hiyo waliokuwepo kina Alice na marafiki zake wakila bata. Ingawa na yeye Dullah alikuwa shuleni lakini na yeye alitoroka ilimradi afike tu eneo hilo kwa gharama yoyote.Na kweli alifanikiwa kufika na akakuta watu ndo wamekumbatiana wakicheza miziki ya taratibu. Kila mtu alishangaa ujio wa mtu huyo na hawakujua kwa nini mtu huyo aliruhusiwa kuingia sehemu hiyo wakati wenyew waliikodisha kwa matumizi binafsi.
Lakini ukweli ulikuwa ni kwamba hiyo hotel hiyo ilikuwa ni ya baba yake Dullah.Alice siku hiyo ilibidi apagawe maana sehemu yenyewe ilikuwa ni pembeni ya swiming pool na Dullah alimwangalia tu na kuondoka zake kabla ya baadaye kutuma sms ya kuachana naye.Tukio hilo ni miongoni mwa maatukio yanayomkumbusha Alice juu ya misukosuko aliyopitia mpaka akataka kujiua maana Dullaha alikuwa hamuelewi kabisa.Lakini baadaye Dullah alimsamehe na wakarudiana.Alikula chipsi akamaliza na kurudi zake kitandani na kujilaza. Dullaha aliporudii alikuta Alice ameshakula zile chipsi na amejilaza hapo kitandani huku akichezeea chezea simu yake.
Dullah alaifurahi kuomuona mpenzi wake akiwa ameshakula maana ilikuwa ni ishara nzuri kuwa anaendelea vizuri. “Vipi dear unaendeleaje? Ndo lilikuwa swali la kwanza la Dullah “Naendelea vizuri dearest usijli” alijibu Alice.“Kwani ilikukwaje maana hujanambia kilichotokea zaidi ya kukaa kimya au dakari alianza mambo yake ya kupima maji maana nasikia anatamaasanaa yule hasa akiona vitu vizuri” alihoji Dullah. “Hamna shida, hofu yako tu mpenzi” Alice alijaribu kumtetea dakatari. “Sema
INAENDELEA

