PENZI NI HAKI YANGU
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 7
“khaa unataka kusema yule demu alikuwa na ukimwi
Sasa waliombaka je?”
“walivaa Condom kabisa”
“ha!ha!ha!ha! Basi majamaa nyoko yani
Wanatembea na zana mifukoni. Watakuwa wabakaji wa mwendo kasi,”
Kilikuwa ni kikundi cha vijana fulani wakiongelea swala la kuuliwa yule
Dada ghafla wakashtuka baada kuona vipeperushi
Vikianguka kutokea juu, kila mmoja akaokota cha kwake na kukisoma kiliandikwa hivi
(JE MSIBANI UTAENDA KUZIKA AU TUKUZIKE WEWE? UKIMWITA MALAYA JE MAMA YAKO NI MALAYA? HUWEZI KUMFAHAMU MCHAWI KAMA WEWE MWENYEWE SI MCHAWI
NISHATOROKA JELA
BY HAFIDHI J IKRAM)
Kila mmoja akaanza kutetemeka na kujikuta wakitoka mbio huku wakipiga kelele
Ndani ya dakika kumi na tano tokea Hafidhi aombe kwenda chooni na kurudi. Babu akaanza kushangaa baada kuona Umati wawatu ukimiminika kwa wingi pale msibani mpaka akajiuliza kunani.
Tena kila aliyefika akaja kumuomba msamaha
Babu “Mzee Chaurembo naomba tusamehane
ni Shetani tu alinipitia”
Sasa ugomvi ukaja kwenye Daftari la kuchangia msiba kila mmoja alitaka kuchangia na kuandika jina lake baadhi ya watu wakaona kama muujiza huu
Wakati taratibu za mazishi zikiendelea
pesa zilipatikana nyingi si mchezo ikasemekana Marehemu atazikwa kesho saa nne Asubuhi
Watu wakazidi kuongezeka yani wengine wakawa wanaulizia wapi kuna msiba kuonyesha hawajatokea Manzese, sehemu ikawa haitoshi kutokana na wingi wa watu, usiku ukafika watu wakalala matanga
Kesho yake Asubuhi wapo walioenda kuufata mwili wa marehemu na wengine wakaenda makaburini kuchimba kaburi,
Wakati mwili wa Marehemu ukiswaliwa ghafla watu wote wakashtuka baada kusikika sauti za mapanga yakikwangua ukuta
Walikuwa ni wale vijana wauwaji,
washafika msibani “nyie mabwege msiokuwa na akili yani mmekuja kumswalia huyu Malaya
Kabla hajaendelea kuongea akajikuta
Akichanwa mdomo na jambia Ninja Short kachenji pale pale
Huku watu wakishikwa na kitete akasema
“kama tayari marehemu kaswaliwa bebeni Jeneza mkazike,
Na nyie kuku muandaliwe kaburi la pamoja”
Aliongea kwa hasira. Ndipo watu wakaweza kufahamu kumbe vile vipeperushi ni ukweli mtupu kama wangezubaa wangezikwa wao.
Vijana wakaanza kutimua mbio kila mmoja na njia yake huku yule aliyechanwa mdomo
Akiwa kalala chini. Jeneza likabebwa
Wanaume hao kwenda kuzika hakika Babu alifurahi kwa kukenua meno mapengo
“hahahahaha” Ndivyo alivyocheka
Mara nyingi Ninja Short kukuacha hai ni
Nadra sana hasa ukiwa ni mtu mbaya lazima akuuwe.
Mama wa kijana yule alikuwepo hapo msibani
Akaenda mbio kumpigia magoti Ninja Short akimuomba asimuuwe mwanae kwani
ndio mtoto pekee aliyebakia
Hafidhi hakuongea kitu akachumpa kwa kuruka juu kisha akapotea.
Sauti pekee zilizoweza kusikika ni za wale vijana waliokimbia wakakutwa wameuwawa kinyama,
Taarifa za Hafidhi j Ikram kutoroka Gerezani
zilimshtua kila mtu Wakazi wa Manzese wakatoa
ushuhuda wao.
Watu wakafunga safari
Mpaka gereza la Segerea na kutaka
Kudhibitisha kauli ya Mkuu wa gereza kusema
Wananchi hao ni mabwege hawana akili
Hafidhi j Ikram hajawai kutoroka nawala hana mawazo hayo siku zote yupo Gerezani
Waandishi wa habari wakafika na kujionea
Kila mtu akabaki kinywa wazi na kujiuliza
“sasa yule mwingine ni nani?
Kila mmoja akabaki katika hali ya sinto fahamu hasa Yasri na bibiye Asia nao wakajiuliza maswali na kukosa majibu,
“hivi Hafidhi ni nani? Anatumia mbinu zipi kutoka ndani ya Jela? Yani anashinda kutwa kucha akiwa ulaiyani wakati kule Gerezani yupo inakuwaje iwe hivi,” Yasri akaitoa simu yake na kuhitaji kumpigia simu lakini majibu yakaja simu ya mteja unaempia hapatikani kwa sasa jalibu tena baadae.
“ohoo shit! Atakuwa karudi tena gerezani”
Yasri akajisemea binafsi alitamani kwenda huko gerezani lakini akahofia usalama wake asije akatiliwa mashaka na kukamatwa bule.
Akiwa amekaa kitandani huku akiibofya simu yake
Ndipo akaikumbuka Account yake ya Facebook
Ambayo aliwai kufunguliwa na rafiki yake kipenzi
Azizi akaona wacha ajalibu kuingia
Akaandika Email pamoja na
Password akaingia Bahati nzuri account yake ikaja.
Akatabasamu na kujilaza pale kitandani
“huyu jamaa anajiita Hafidhi j Ikram ni mmoja kati ya watunzi bora wa Stori”,,,,
Yasri akaanza kusifia baada kulike page inayokwenda kwa jina la Story za Hafidhi, “hawa mabwege nyoko zao cheki wamenijazia mitagi kibao kwenye Walii yangu sijui Walii zao haziwatoshi, mijinga kabisa!”
Yasri alikuwa akiongea peke yake huku akijalibu kufuta hizo Tag na kuzizuia kabisa
Ghafla akashtuka baada kuona kitu ambacho hakuwai kufikilia kabisa akaisogeza simu karibu na uso, akiwa haamini ilikuwa ni picha ya bibiye
Fatma akiwa ndani ya gauni la harusi
Juu kidogo kukiwa na Status inayosema
(JE NIMEPENDEZA HAKIKA NINA FURAHA KUBWA SANA, TAREHE 12/6/2016 NITAFUNGA NDOA NA KIPENZI CHANGU AZIZI ALLY)
Akarudia tena kusoma tena na tena
Akafungua photo za bibiye kuziangalia zaidi machozi yakaanza kumtoka baada kushuhudia
Rafiki yake kipenzi ambaye ni kama ndugu
Akiwa kapiga picha akinyonyana ndimi na bibiye
huku baadhi ya picha akishindwa kuzitazama
Akaiweka simu pembeni na kujifuta machozi
mpaka hapo Mwanaume akawa kavulugwa si kidogo akainuka na kukaa kitako. Macho yakiwa yamemuiva na kuwa mekundu utasema pilipili iliyoiva. Tukija maeneo ya
Banana kwenye mitaa fulani hivi kwa Mara ya kwanza tunawaona wapendanao ambao ndio wanaomtoa machozi kijana Yasri
Alikuwa ni bibiye Fatma na Azizi
wakitembea kwa mwendo wa kujidai wakaingia kwenye nyumba moja kubwa iliyozungushiwa
Fansi kwa mbele kukiwa na geti kubwa
“baby unajuwa mwenzako kila nikikaa na kufikilia nashindwa kabisa kumsahau Yasri, sijui kanipa nini
Hakika bado nampenda nitaendelea kumpenda mpaka siku ya mwisho wa maisha yangu,”
Fatma akazungumzia hisia zake mbele ya mpenzi wake mpya.
“sio wewe tu baby hata mie namkumbuka
Sana ndugu yangu maana alikuwa ni zaidi ya Rafiki
siku ambayo nilipata taarifa kuwa amebaka na kuuwa nilishtuka sana
Nikahitaji kufunga safari kuja kuisimamia kesi yake
Baba akanizuia na ukizingatia kilikuwa ni kibindi cha baridi. Barafu limetanda katika jiji la
Michigan kule nchini Marekani, usafiri ukawa shida kupatikana. Sikuacha kumuombea Dua,
Mwenyezi Mungu aweze kumnusuru ndugu yangu, laiti ningekuwa bado nipo Arusha Yasri asingenyongwa,”
Azizi nae akaongea vile anavyojisikia ndani ya moyo wake, “hata Mimi nisingekubali
Sema baba alinipeleka Canada habari za Tanzania sikuweza kuzipata japokuwa nilijalibu kutafuta mawasiliano nae sikuyapata kabisa
siku baba ananipigia simu na kuniambia Yasri ananyongwa nilishtuka na kupoteza fahamu niliporejewa na fahamu nikafunga safari kurudi nchini nikakuta mazishi yake tu.
Yote nikiwa msababishaji ni mimi,”
Fatma akaanza kulia ikabidi Azizi atumie uwanamume kumbembeleza kipenzi chake,
Wakakutanisha ndimi zao na kuingia sayari nyingine kabisa.
“Assssssss,,,,,,ohoooo” bibiye akaanza kulalamika huku akizinyonya chuchu za Azizi mikono ya Azizi ilikuwa ikipandisha gauni la bibiye na kulitoa lote kisha kumbakiza na nguo yake ya ndani iliyokuwa na rangi Pink ni rangi ambazo wanawake wengi wana zihusudu. Haikuishia hapo mikono hiyo ilianza kuyashikashika makalio laini kwa mtindo wa kuyaminyaminya hali iliyomwongezea muwashawasha Fatma aliyeanza kuhema kwa kasi.
Ulimi wa bibiye ulishuka mpaka kwenye ikulu ya Mwanaume na kukutana na pipi ndefu ya kijiti iliyovimba kwa hasira. Akaichukua na kuishika kwa mikono yote miwili kisha akawa anaiangalia kama daktari aliyeko katika uchunguzi maalumu kitendo cha kushikwa mtalimbo na mikono laini ya kilimpa raha sana Azizi ambaye alijikaza kutolia kimahaba zaidi ya kufumba macho na kufumbua.
Taratibu akaiingiza mdomoni na kuanza kuilamba kama pipi kijiti iliwavyo na mtoto mwenye hamu nayo,zaidi ulimi wake ulikuwa ukizunguka kwenye kichwa cha mtalimbo muda mwingine alijaribu kukilamba kile kitobo cha mkojo mbele ya mtalimbo “aaaah,,,aaaaaah,,,
uuuh,” Hapo uvumilivu ukamshinda akajikuta anatoa miguno ya kimahaba baada ya kichwa cha mtalimbo wake kushughulikiwa vizuri.
Azizi hakutaka kuzidiwa kete na bibiye ambaye alianza kuonyesha mautundu ya kusisimua,alimgeuza na kumlaza chali kisha akampanua mapaja na kuyashikilia karibu na maeneo ya makalio. Akautoa ulimi wake mbele huku akikifuata kitumbua cha Bibiye kilichozungukwa na bustani iliyopaliliwa vizuri. Akaingiza ulimi wake uliopita na kuigusa ile sehemu yenye raha kisha akaanza kuisugua kwa kuingiza ulimi wake na kutoa “uuuh,,,,aaaaaah,,,aaa
aah,,,,,,nasikia rahaaaaaaa,,,aaaah,,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
shiiiiiiiiiiiiiiooooo babiiiiiiiiii
iiiiiiiiiii,,,mamaaaaaaaaaaaaa,
Ni kilio cha mahaba alichokitoa Fatma huku akiwa kaitanua miguu yake vyema basi ilimwongezea hamasa Azizi aliyekuwa akimnyonya kitumbua huku akizishika chuchu zake kwa kuziminyaminya na vidole vyake kama mtu anayeshika njegere na vidole.
Alipohakikisha tayari kitumbua kiko sawa kwa kupitishwa mtalimbo alimjia kwa juu kisha akamzamisha mtalimbo wote uliozama kwa kuteleza mpaka ndani, kabla hajaanza kupampu aliushika mguu mmoja na kuunyanyua juu kisha akaanza kumsugua ndani nje,kweli kuna raha yake mwanamke ukishamwandaa binti,alikuwa akilia utadhani anatolewa bikra, “aaah,
,mpenziiiiii,,,,uuuuh,,,,,unan
ikunaaaaaaa,,,,aaaaah,,,,mmmmh
,,,,oooooh,,,,,aaaah,,,nakufaa
aaaaaaa,,,,,aaaaaah,,,,,,kadri alivyokuwa akilalamika ndivyo Mwanaume alizidi kupampu kwa kasi,,,,kiukweli Fatma richa ya kujaaliwa kitumbua kizuri na kitamu yeye mwenyewe aliweza kujitunza kutoingiliwa na wanaume mara kwa mara kwani kilimbana vizuri Mwanaume pekee aliyekuwa akiingia ni
Yasri tu basi. Mtalimbo wake,, ukawa unasugua nnje ndani ndani nnje,Dakika kumi na tano mbele tayari bibiye alishajichafua kwa kujimwagia huku akimsubiri Azizi nae amwage. Baada ya dakika Ishillini kupita ndipo Azizi akaanza kutangaza kufunga goli “aaaaa
h,,,aaaaaaa,,,ooooooh”, Alimwaga na kujitupa pembeni kama mzigo.
Baada mtanange kuisha bibiye Fatma akaelekea bafuni kuoga dakika si nyingi akarudi na kukaa kwenye sturi mbele ya dressing table
Huku akijifuta maji kisha akaichukuwa simu yake akawasha data na kuingia Facebook
Aweze kuangalia kapata Like na comment ngapi katika picha ile aliyokuwa kavaa Shera
Ghafla akashtuka nusura adondoke sema akajishikiza kwenye kisturi
“baby!”
Akaanza kuita na kumtikisa Azizi ambaye alikuwa kapitiwa na usingizi.
“wee Azizi embu amka bwana uwone
Baby” Akazidi kumtikisa
“nione nini bwana nitaona baadae niache nilale kwanza,”
Azizi aliongea huku akiwa kafumba macho
“Yasri yupo hai”
“what?”
Azizi akakurupuka kitandani akasimama na kuuliza kwa mshangao, Fatma hakujibu kitu akampatia ile simu na kumwambia angalia hiyo Like
Azizi akafikicha macho akiwa haamini kabisa
Akaitazama ile Account kweli ipo online akaingia inbox na kuuliza wewe ni nani?
Sekunde si nyingi jibu likaja kuonyesha Yasri simu yake ipo mkononi
(Sina budi niwatakie baraka njema katika ndoa yenu
Fatma nilifanya yote kwaajili yako
Ukanionyesha jinsi gani unanipenda. Kumbe ulinipaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
Mwambie Azizi nimerudi by
Penzi ni haki Yangu)
Ujumbe ukaisha hivyo Azizi akazidi kutetemeka huku bibiye akiwa analia. Na kutembea tembea kwenye kile chumba kukaa anataka kutoka anataka akabaki njia panda.
“baby embu kwanza tulia huu sio muda wa kuanza kuchanganyikiwa Tambuwa kwamba mtu akishakufa hawezi kurudi tena duniani iwe kwanjia yeyote ile,
Mi nahisi huyu ni mmoja kati ya marafiki zake,
Au ndugu zake wanahitaji kutibua ndoa yetu,”
Azizi akajitahidi kumuweka sawa
“hapana huyu ni Yasri tu bila shaka hakufa kama wengi wanavyofahamu,”
Fatma akapinga vikali kuambiwa eti ile
Account inachezewa na mtu mwingine
“sasa baby kitu gani kinakufanya ukaamini kama huyu ni Yasri?”
“Penzi ni haki Yangu”
Fatma akatamka hivyo na kumfanya Azizi ashangae nae akauliza
“unamaanisha nini kusema hivyo?”
“Penzi ni haki Yangu ndio kauli aliyokuwa akipendelea sana kuitamka Yasri kipindi Ambacho ananitongoza nikafahamu kwamba
siku niliyomkubalia Ataacha kutamka hivyo.
Lakini hakuacha Mara nyingi tukiagana iwe usiku au mchana utasikia
Good night Penzi ni haki Yangu, nilishangazwa sana kwa neno hilo ndipo siku moja nikamuuliza
Anamaanisha nini kusema hivyo
Akanijibu yakwamba
(Mapenzi ni upofu. Penzi ni kikohozi ukitaka kulificha hauwezi binafsi ameshakuwa chizi
Japokuwa kawekewa kizuizi kuniacha Mimi hawezi
Hata akifa leo
Penzi langu ni haki yake katekwa kapigwa na kudhalilika kisa Mimi tu kwanini asiseme
Penzi ni haki Yangu ni kauli ambayo hakuna aijuae zaidi yake,”
Fatma baada kumaliza kusimulia akavaa nguo zake na kumtaka Azizi amrudishe nyumbani
Kwao. Vijasho viliwavuja kwa hofu Yale maneno ya bibiye yakamfanya Azizi atambuwe moja kwa moja
Rafiki yake kipenzi yupo hai.
Swali la kujiuliza atakuwa wapi? Wakati sisi tunafahamu kapanga chumba Manzese sema tuache umbea
Je nini kitaendelea?”
Ndani ya gari bibiye Fatma alikuwa akilia na kumtaja Yasri, binafsi aliweza kuamini moja kwa moja mpenzi wake wa zamani bado yupo hai.
Wala hakufa kama serikali ilivyotangaza
“Baby basi nyamaza unalia nini?”
Azizi akajalibu kumbembeleza mpenzi wake
“Azizi,”
“Naamu kipenzi changu”
“je unanipenda?”
“kupita maelezo,kwanini umeuliza hivyo? Je huamini kama nakupenda kweli?”
Nae Azizi akauliza swali maana swali la mpenzi wake hakuweza kuelewa anamaanisha nini,
“je upo tayari kunisikiliza kwakile ambacho nitakueleza?”
“ndio nipo tayari kwani nisipo kusikiliza wewe nitamsikiliza nani? Wewe ndio uwa langu la waridi nakupenda sana baby,”
Azizi akaongea kwa msisitizo na kumbusu shavuni
“Azizi naomba ufahamu kitu kimoja kiukweli Mimi sipo tayari kufunga ndoa nawe!”
“what?”
Azizi akashtuka baada kuisikia kauli Ile na kufunga break ya gari ghafla
“Fatma kwanini unaongea hivyo, embu fikilia nimefanya kila kitu kwaajili yako nimeachana na Smaiya niweze kukufuta machozi wewe na istoshe imebaki wiki moja tu tuweze kufunga ndoa leo hii unatamka maneno hayo.
Nafahamu ni shetani tu anataka tuendelee kuzini
Ashindwe kwa uwezo wa Allah (s.w.t)
Azizi akaongea kwa pupa binafsi hakupenda swala lolote baya litokee likapelekea ndoa yake kukwama alikuwa yupo radhi kufanya chochote kile ilimradi aweze kufunga ndoa na bibiye Fatma binti
Mrembo hapana mfano wake.
Ukizingatia kawaalika ndugu jamaa na marafiki kutokea nchi mbalimbali kama vile United start
Washington DC
Ufaransa katika jiji la Paris
Venezuela, na kwingineko bila kusahau wasanii kama vile Ally Kiba, na Diamond
P-square na wengineo, kama ikitokea Fatma akakataa kuolewa nae itakuwa bonge la aibu juu yake ataifichia wapi sura yake.
„Bila shaka atakuwa huyu kidudu mtu Yasri, sasa kama kafufuka kuja kunialibia nitamuuwa kwa Mara ya pili haiwezekani anialibie, nafahamu wewe ni rafiki yangu kipenzi. Lakini kwa swala hili sitokuacha hai,”
Azizi akajiwazia hivyo akiwa anapaki gari nyumbani kwakina Fatma akamshuhudia bibiye akishuka pasipo kumuaga kama ilivyo kawaida yao huagana kwa mabusu siku hiyo Fatma akapitiliza moja kwa moja chumbani kwake.
Akakaa kitandani na kuipukua simu yake kwa kuingia Facebook na kumtafuta Yasri lakini akagundua tayari kapigwa block. Akatoka chumbani kwake huku akiita
“Chiku!!! Chiku,” lakini hakuweza kuitikiwa akaelekea hadi uwani hakuna mtu akarudi ndani akaingia chumbani kwa Chiku hayupo
“huyu mwehu sijui atakuwa kaelekea wapi?
Akajiuliza na kutoka nnje akaangaza macho yake huku na kule asiweze kumuona mtu.
“Sinde nae sijui atakuwa kaelekea wapi maana nimekuta mlango wa getini upo wazi, huu ndio ubaya wa kuajili Walinzi vilaza,”
Fatma akawa akiongea peke yake na kuelekea kwenye kibanda cha mlinzi ambacho kilikuwa ndio chumba chake kwa kubadilishia nguo muda mwingine analala humo, maana kuna kila kitu ndani.
Lakini kabla hajafika akasikia sauti ya kike akinung’unika kimahaba.
“Assssss,,,,ahaaaaaa,,,mi staki bwana,ujuwe nimeinjika Maharage yataungua bwana,”
Alisikika binti akiongea Fatma kwa mwendo wa kunyata akazunguka mpaka nyuma ya ukuta wa chumba kile
Akachungulia dirishani na kuona kukuru kakara baina ya
Sinde ambaye ni mlinzi na Chiku ndio house girl.
Sinde alimshika mkono bibiye, kisha akamvuta kwa upande wake, Chiku akawa anagoma akidai ataunguza mboga.“Sasa kama hitaki humu ndani ulifata nini?”
“kuchaji simu”
Fatma akatamani kucheka kwa lile jibu la Chiku akajiziba mdomo. Sasa ikawa vuta nikuvute, ikaenda mpaka kwenye dakika mbili wakizungushana ambapo Chiku hakupiga kelele wala kuongea chochote zaidi ya kusema niachie nitakupa usiku Akaanza kuhema kanakwamba amechoka, mtarimbo wa Sinde ulianza kupungua kasi lakini alipofanikiwa kumbananisha juu ya meza Mtarimbo ukaanza kusimama upya tena, tayari Mwanaume alikuwa katikati ya mapaja manene na laini ya Chiku kwa walipofikia,bibiye alikuwa hana ujanja wa kumkwepa
“subiri basi nikaongeze maji kwenye mboga,”
Aliongea Chiku huku akiwa anahema juu juu
“wacha nipige kimoko cha faster utaenda tu,”
Sinde akajibu.
“ngoja basi nikwambie kitu halafu tunafanya”,
“niambie tu”
“mwenzako niko na Blid”
“hata mimi pia”
“kha!, wewe si Mwanaume Blid itoke wapi?”
Chiku akauliza kwa mshangao, Sinde akaona Maongezi yanakuwa mengi,alichokifanya, aliingiza mkono wake mpaka nje ya kitumbua kilichofichwa na chupi nyepesi, akakipitisha kidole kwa pembeni ya chupi na kukiingiza kwenye kitumbua,alipoona kukavu,alikilamba na kukiachia mate mengi kisha akakirudisha tena, mkono mwingine ukawa umeshafungua vifungo vya gauni kwa juu na kutoa titi moja nje, mdomo haukuchelewa,ukaliwahi na kulinyonya hasa pale kwenye Chuchu yake
Hakuna cha blid wala porio,“aaaaaaaaaah,,,,aaaaaaaaah,,sssssssssssssssssssh,,,alianza kulalamika Chiku kwa utamu wa dole na kunyonywa Chuchu zake zilizoanza kutuna
Sinde hakuchelewa,alipoona tayari kitumbua kimepata unyevu wa kutosha,alimshusha ile taiti kisha akamvuta na kumweka juu ya meza,Chiku alishapandwa na nyege hivyo hakuona aibu kujiachia bila kujali Maharage kule. Alipanua mapaja yake na kukiacha kitumbua wazi kilicholowa kwa hamu
Basi Sinde akaushika Mtalimbo wake na mkono mmoja kisha akalielekezea hapo kwenye kitumbua kilicholowa kisha akawa analiingiza taratibu,“mmmmmmmh,,,,ssssssssss,,,aaaaaaaaah,,,,aaaaaaaaah,,,mtalimbo wote nene ukazama kwenye kitumbua cha Chiku aliyenza kujizungusha kiuno chake kuukatikia mtalimbo. Kwavile hapakuwa salama,walijitahidi kutopiga kelele za utamu kwa sauti kubwa Sinde akauzamisha mtalimbo wake na kulitoa kwa nguvu,alimsugua huku akikishikashika kiarage chake, hapo Mtoto wa watu akaja haraka,,,“uuuuuuuu,,aaaaaaaaaaah,,,,mmmmmmmmmh,,aaaaaaaaaaa,,,kwa sauti ndogo alilalamika Chiku na kumwaga bao lake,,hapo Sinde naye alimsogelea na kumkumbatia kwa nguvu huku akimsugua na kumwingiza Mtalimbo wote,,,,aaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,”
Fatma aliondoka kabla hawajaanza kudinyana. Baada kuona kama akiendelea kukaa atachafua hali ya hewa akaingia ndani na kuelekea jikoni akafunua sufuria iliyoko jikoni na kuona kweli
Maharage maji yamekauka akawai kuchukuwa jagi na kuongeza maji,
Wakati analirudisha jagi sehemu yake akaiona simu ya Chiku ikiwa chini ya ungo
Akatabasamu na kuichukuwa.
Tukija kwa kijana Yasri siku hiyo alikuwa amekaa tu chumbani kwake hakutaka kutoka kabisa. Alishinda akilia mpaka macho yakamvimba na kuwa mekundu
Akiwa kajiinamia akasikia mtu akibisha hodi mlangoni kwake.
Akainuka na kujifuta machozi
“wee nani?”
Kwa sauti yenye kukoroma akauliza,
“dogo fungua mlango unauliza maswali ya nini mwamba?”
Alikuwa ni Hafidhi j Ikram basi
Mlango ukafunguliwa
“vipi kitu gani kinakuliza tena? Umekumbuka nini ndugu yangu?”
Hafidhi alipoingia tu chumbani akagundua kitu,
“hapana kaka silii wala nini,”
“sasa hulii mbona macho yamekuvimba hivyo utasema mwanamke aliyefiwa na mumewe siku ya ndoa,tafadhali niambie nini tatizo?”
Hafidhi akazidi kudadisi ndipo Yasri akabidi
Amsimulie kila kitu.
“ohoo kumbe ni hivyo tu Mwamba kama wewe unalia
sikia nikwambie kitu huu ni muda wa kuanza kazi.
Anza kumfatilia mmoja baada mwingine fanya uchunguzi wakina kisha chinja wote
Lazima ufanye jambo uweze kujisafisha kaka.
Siku ikitokea ukakamatwa ukweli wote uwe wazi
Nitakusimamia mwanzo mwisho
Usilie, futa chozi piga moyo konde vikwazo uvishinde.
Simama Askari wangu,”
Hafidhi aliongea kiukakamavu utasema General mwenye kuongoza vikosi kuelekea vitani.
Yasri akasimama na kupiga saruti akakakamaa utasema Askari jeshi kombati.
Baada bibiye Fatma kuichukuwa simu ya Chiku akaingia nayo chumbani kwake na kuwasha data aliweza kutambua siku zote
Chiku kwenye Facebook hajawai kulog out
Muda wote ipo on akaingia na kuanza kusarch jina la Yasri japokuwa walikuja Yasri wengi lakini yeye alikuwa akimtafuta mtu mmoja tu baada kuliona jina lake akatuma ombi la Urafiki akasubilia
kama ata Accept au vipi.
“Sinde!”
Chiku aliita huku akitoka ndani mbio,
“nini tena, au maharage yameungua nini?”
Sinde akauliza akiwa kasimama getini
“sio hivyo embu njoo hapa nikwambie”
Chiku akaongea kwa sauti ya chini huku akitumia ishara ya mkono kumwita.
Basi Sinde akasogea kumsikiliza
“ehee niambie mrembo”
“kumbe bosi karudi”
Chiku akaongea kwa sauti ya kama anamnong’oneza
“wee unasema kweli au unantania?”
Sinde akauliza kwa mshangao,
“sasa nikutanie ili iweje hivi nikwambiavyo yupo chumbani kwake,”
“na Maharage?”
“Maharage nimekuta kaongeza maji”
“duhuu msala huo wacha nikatulie pale getini nisubiri kufukuzwa kazi masikini ya Mungu si nitarudi kijijini kwetu Matombo, nikiwa sina hata sentano”
Sinde akaongea na kumuacha Chiku akitabasamu
Maana hakufahamu Bosi anaezungumziwa sio Mzee
Hosam Mbonde bali ni binti yake
Fatma,
“Sinde!”
Chiku akaita na kumfanya Sinde ageuke kumtazama
“nini tena?”
“simu yangu nimeisahau chumbani kwako naomba ukaniletee”
“nenda kaichukuwe mwenyewe funguo hiyo hapo”
Sinde aliongea akiwa kakunja sura binafsi alitambua kama Mzee karudi na kukuta yeye hayupo pale Getini ndio ulikuwa ni mwisho wa kazi,
Akajiuliza atajitetea vipi kwani sio Mara ya kwanza kufanya hivyo siku moja ali jitetea alienda chooni
Akaambiwa kama akienda chooni funga Geti.
Siku nyingine tena akajisahau, akaomba msamaha
Na kusamehewa sasa leo Nyege mshindo zimemponza.
“sijaiona bwana”
Ni sauti ya Chiku ndio ikamshtua kutoka kwenye Dimbwi zito la mawazo akisema
Simu hakuiona
“sasa wewe una uwakika uliingia nayo kweli?”
Chiku hakujibu kitu akarudi ndani mbio huku akisema amekumbuka.
Ndani ya hospitali ya Aghakan bibiye Mona Lisa alikuwa amekaa kitako juu ya kitanda ambacho alikuwa amelazwa pembeni yake
Akiwepo Mariam na baadhi ya maofisa wa jeshi la polisi.
“vipi Dada upo sawa?”
Mariam akauliza swali na kumshika begani
Mona akamtizama mwenzake kwa muda pasipo kufungua mdomo wake kujibu kitu.
“niambie basi, mbona hivyo nakuuliza upo sawa?”
“ndio nipo sawa tu kwani tatizo nini?”
Mona akajibu na kuuliza swali,
“basi ni jambo la kumshukuru Mungu ewe ndugu yangu,”
Yasri baada kujazwa upepo na Hafidhi akahitaji kuanza kazi ya kuwafatilia wabaya wake
Vizuri zaidi akapewa na usafiri wa pikipiki nyeusi aliyokuwa akiitumia Hafidhi basi akatoka ndani kwake na kupanda pikipiki na kuondoka.
Safari yake ikampeleka mpaka Temeke
Sehemu ambayo ndipo alipo zaliwa na kulelewa hapo akasimama kwa mbali kidogo akiangalia maeneo ya nyumbani kwao. Nyumba yao haikuwepo maeneo yale zaidi ya kuona nyumba kubwa ya
Gorofa tatu, ikaonyesha kiwanja na nyumba vishauzwa tayari. Au baba yake mkubwa ndio kaamua kuivunja Ile nyumba ndogo na kujenga Gorofa.
Wakati akiwa kwenye kutathmini lile eneo ghafla kuna mtu akaja na kupanda nyuma ya pikipiki,
Yasri akageuka kumtazama yule mtu
Moyo wake ukafanya pahaa na kuanza kudunda alikuwa ni bibiye Smaiya.
“samahani kaka yangu unaweza kuniwahisha katika Hospitali ya Temeke”
Smaiya akaongea pasipo kumuangalia Yasri usoni
“sasa mbona unanikodolea mimacho tu, au kuna mtu ulikuwa unamsubilia?”
Smaiya akaongea safari hii nae akimtazama Yasri usoni alikuwa makini kumtazama na kuonekana kushitushwa na kitu fulani
“twende basi kaka yangu au hii sio Bodaboda nini?”
Akazidi kuongea na kuuliza maswali ndipo Yasri akajishtukia na kuwasha pikipiki
safari ya kwenda Temeke hospitali ikaanza
“hivi kwanini nyie wengine mnajali sana usalama wenu kuliko wa Abilia wenu?”
Smaiya alikuwa ni binti muongeaji sana hata Yasri anamkumbuka vyema kuanzia Shule ya msingi mpaka wakaingia Secondary,
“unamaanisha nini kuuliza hivyo?”
“mmh!”
Bibiye akaguna kidogo na kumjibu
“si umevaa erement wakati ya abilia hakuna,
Alafu wee kaka kama nakufananisha hivi?”
“unanifananisha na nani tena Sister?”
“au basi tuachane na hayo”
Smaiya akaikatisha mada mpaka wanafika Temeke mwisho hakuna mtu ambaye aliongea kitu,
“mbona huyu kaka kama Yasri? Sura yake, mpaka sauti ni vilevile labda macho yangu yana
Makengeza masikio yangu yamesikia ndivyo sivyo,”
“sister tayari tushafika hospitali “
Sauti ya Yasri ndio ikamshtua kutoka kwenye Dimbwi zito la mawazo. Akaitoa mikono yake kiunoni kwa Yasri maana alikuwa kamkumbatia,
“samahani ndio shilling ngapi vile?”
Smaiya akauliza huku akifungua pochi
Ghafla kuna Dereva pikipiki akapita karibu yao na kuikwapua ile pochi na kumfanya
Smaiya ashikwe na taharuki hata kupiga kelele za mwizi akashindwa. Yasri akaigeuza pikipiki yake kwa style ya Ajabu yani akaibidua tairi la nyuma
Na kuiweka sawa akapiga kitu moto
hiyo kasi aliyotoka nayo kumfatilia Yule mwizi ni hatari tupu, Smaiya akabaki kukodoa macho
Akakumbuka kupiga kelele
“jamani mwizi! Mwizi jamani nimeibiwa,”
“vipi Sister yuko wapi huyo mwizi?”
Watu wakajazana na kuuliza
“kakimbia na pikipiki”
“dahaa sasa kama kakimbia na pikipiki itakuwa ngumu kumpata labda uwe umeisoma private number, uwende kuriport kituo cha polisi tu,”
Tukija kwa yule mwizi baada kukwapua ule mkoba akazidi kuchochea moto wa pikipiki yake
Ghafla akashtukia akipigwa teke la kifua na kurushwa hewani.
Yasri alifanya kitu ambacho ni wacheza movie pekee ndio wanafanya kama kina Jack Chan
Au Vann Diseal
Katika movie zao. Yani wakati anakuja kwa kasi akampita Yule kibaka na kukaa kwa mbele kisha akachumpa na kuachia teke
Akavilingika na kurudi kwenye pikipiki yake ilikuwa ni moja Kati ya Start ya ajabu sana.
Kibaka akadondoka chini kama mzigo puhuu.
Mkono umevunjika Yasri akafunga break ya pikipiki yake akashuka na kuuwokota ule mkoba
Hakutaka kuukagua akapanda pikipiki na kuondoka akiacha umati wawatu ukiulizana maswali juu ya tukio hilo.
Tukija upande mwingine tunamuona Hafidhi akiwa maeneo ya Kisukuru akasimama nnje ya nyumba moja yenye geti kubwa. Akaangaza macho kwa kuwaangalia walinzi ambao walikuwa wamesimama nnje ya geti. Kisha akapiga hatua kuwafata kitendo cha kuwakalibia tu akadunda na
Kuachia mateke kwa walinzi wale, sauti ya kishindo ikasikika baada Mlinzi mmoja kujibamiza kwenye geti. Watu waliokuwa ndani
Wakashtuka na kuanza kuulizana kunani huko nnje?”
Kabla ya kujiuliza zaidi na kutaka kutoka nnje kuangalia
Mlango wa getini ukapigwa teke huku
Ninja Short akiingia ndani ya nyumba hiyo,
“walinzi,embu mzuieni huyo Kenge,”
Ilisikika sauti ya Mzee mmoja ikitokea juu.
Basi walinzi wapatao kumi wakiwa na Silaha zao wakamzunguka Ninja Short na kumuweka
mtu Kati, sauti ya
Vyuma ikaanza kusikika vikigongana na kukwaluzana. Ninja Short alitumia silaha zake mbili moja kwa kujikinga nyingine akicheza na miili ya walinzi hao.
Akazunguka na kuachia mateke huku
Mundu akifyeka kichwa cha mmoja
“Halloo kituo cha Buguruni hapo please jamani, khaaa!” Sauti ya kilio kutoka kwa yule Mzee ikasikika huku akidondoka kutoka juu baada
Mundu kumpitia kwenye kiganja chake cha
Mkono aliokuwa kashikilia simu akiongea na maafande.
Akaporomoka kutoka Gorofa ya pili na kutua chini kama Nazi iliyoanguka yenyewe kitu
Puhuu. Damu zikimtoka
Ninja Short akadunda na kwenda juu utasema kakanyaga Spring kumbe walaa ni uwezo
tu akaingia ndani nyumba huku akinyata silaha mkononi
Akatokezea Sebuleni na kukuta hakuna mtu, akachenji mwendo na kutembea haraka haraka
Akaingia kila chumba ndani ya
Dakika tano akatoka nnje akiwa na
Briefcase. Yani Mkoba wakati wa kuondoka hakupitia Getini akazunguka nyuma ya nyumba akachumpa na kuruka ukuta,”
Polisi walifika baada kupita dakika tatu Ninja Short keshasepa kitambo.
“Sister mzigo wako huu hapa”
Alikuwa ni Yasri akiongea huku akimpatia bibiye
Smaiya ule Mkoba basi akaupokea huku mikono ikimtetemeka na kuufungua kwaajili ya kuukagua kama upo sawa. Ghafla kitu cha moto
kikapenya begani kwa Yasri akayumba na kuondoka chini akapiga yowe la maumivu,
Amini usiamini Smaiya kitendo cha kufungua Mkoba wake akaibuka na Bastola na kumtandika nayo
Yasri akamsogelea kwania ya kummalizia
“Shenzi zako unajifanya kumkimbiza kumbe
wote nyie ni walewale sasa nakuuwa Ili iwe fundisho kwa vibaka wote watakao jalibu kucheza nami,”
“please usiniuwe,
Smaiya tafadhali usiniuwe,”
Yasri akajikuta akilitaja jina la Smaiya huku akisota kurudi nyuma maana alifahamu vyema
Akizubaa atakufa kizembe.
“Umelifahamu vipi jina langu?
Wewe ni nani?
Sehemu Ya 8
wote nyie ni walewale sasa nakuuwa Ili iwe fundisho kwa vibaka wote watakao jalibu kucheza nami,”
“please usiniuwe,
Smaiya tafadhali usiniuwe,”
Yasri akajikuta akilitaja jina la Smaiya huku akisota kurudi nyuma maana alifahamu vyema
Akizubaa atakufa kizembe.
“Umelifahamu vipi jina langu?
Wewe ni nani?
Nijibu faster kabla sijakumwaga ubongo!”
Smaiya aliongea kwa sauti ya ukali huku mwili mzima ukimtetemeka na kuvuja jasho zote zilikuwa ni hasira.
“ni-mesoma kitambulisho chako”
Yasri akajibu kwa kubabaika yani alikuwa mdogo mfano wa kidonge cha pilitoni.
Kabla Smaiya hajaongea zaidi upepo ukaanza kuvuma na kumfanya Yasri atabasamu. Ni kweli alikuwa na haki ya kutabasamu baada kumuona
Hafidhi amekuja kumpa msaada,
Smaiya akamuelekezea Bastola Ninja Shoti
yani Wananchi waliona kama vile season ya kikorea inachezwa walikaa mbali na eneo la tukio wakiangalia na kuulizana maswali. Ninja
Shoti kwa kasi ya umeme akamsogelea bibiye na kuichukuwa Ile Bastola kilikuwa ni kitendo cha kufumba na kufumba Smaiya kujikuta
Bastola kaelekezewa yeye.
“binti huna muda tena wa kuishi sali sala zako za mwisho,”
Hafidhi aliongea kiutani maana alifahamu hawezi kumuuwa huyo binti
“Yasri”
“naamu mkuu”
Yasri akaitikia na kujizoa pale chini kitendo cha Hafidhi kumwita yule kijana ni Yasri liliweza kupita moja kwa moja kwenye ngome ya masikio ya bibiye Smaiya
Ndipo akajipa uwakika vile alivyofikilia ni kweli. Pia akatambua ndani ya Mkoba wake hakuna kitambulisho wala kitu chochote chenye kumtambulisha kuhusu jina lake
“Yasri ni wewe?”
Smaiya nae akauliza huku akishusha mikono.
Hafidhi akashangaa na kumsogelea bibiye kwa ukalibu zaidi,
“wewe binti unamfahamu vipi Yasri”
Kabla ya kujibiwa sauti ya ving’ora vya magari ya polisi vikasikika wakiwa kalibu kuingia hapo
“sasa kama unamfahamu itabidi unyamaze kimya kama ikitokea siku ukafungua domo lako kuongea lolote kuhusu Yasri kichwa chako kitakuwa halali yangu.
Yasri chukuwa pikipiki twenzetu,”
Hafidhi aliongea huku kamkazia macho bibiye Smaiya basi akaiwai pikipiki
Sema alikuwa na maumivu makali bega la kulia
akajikaza kushikilia pikipiki huku akiuma meno
Hafidhi aliweza kulifahamu hilo.
“wacha niendeshe”
Yasri akapanda kwa nyuma wakaondoka kwa kasi na kupishana na magari ya polisi
sema hawakuweza kushtukiwa kama ni wao kwani Hafidhi alikuwa kashachenji
Mavazi na kuwa kwenye hali ya kawaida,
Smaiya hakuweza kuamini aisee kama yule Dereva Bodaboda aliyemtandika Risasi ndio Yasri kama alivyofikilia pia anamkumbuka vyema
Hafidhi j Ikram, mwishoe akatabasamu baada kugundua Yasri hakufa kama Watu walivyo tangaziwa ni mchezo tu umechezeka
Pia akatabasamu zaidi kwa kujisemea
“Azizi na Fatma mnalo hilo”
“Vipi Dada yangu kunanini kimetokea hapa”
Ni sauti ya Askari mmoja
Akimuuliza bibiye Smaiya
“afadhali kaka umefika japokuwa umechelewa kuna kibaka alitaka kuniibia baada kunitishia kwa kisu
Nikajitetea kwa kuitoa silaha yangu nikaifyatua hewani ndipo akaogopa na kukimbia,”
Smaiya akaongopa
“Lakini Dada Smaiya unatembeaje na kitu cha moto katika mitaa ya uswahilini kama hii?”
“sasa ulitaka nitembee nayo uzunguni kama wapi?” Embu nipishege nikamtizame Bibi”
Smaiya akaingia ndani ya Hospitali huku nnje polisi wakikusanya maelezo kwa Wananchi
“Yasri kaka unaniangusha Mwamba unataitiwa vipi mtu mmoja tena Mwanamke kibinti kama kile?”
Hafidhi akauliza huku akimtoa Risasi kwa kisu cha moto, Yasri alikuwa kabana kijiti mdomoni mwake asiweze kupiga kelele
Akagugumia baada Risasi kuanza kuvutwa akalia kwa maumivu hatimae ikatolewa akapakwa dawa
Kulala kitandani kiukweli alikuwa kachoka hoi
Hafidhi akatoka nnje kumwaga uchafu huku Ile
Risasi akiisafisha na kuiacha chumbani.
Wakati anatoka macho yake yakatuka kwa Mwanamama mmoja hivi wakikubwa akiwa anasugua miguu wenyewe wanaita Sugua gaga.
Mwanaume akaganda kwa sekunde kadhaa
Akiangalia jinsi makalio ya Mwanamama huyo yakitingishika utasema ugomvi
“Mambo”
“powa tu niambie handsome “
“sina msemo sema umenicha hoi si mchezo,”
“kukuacha hoi kivipi tena?”
“kuhusu hilo zigo nyuma hivi sio mchina huo?”
“mmh! Vijana wasikuizi mna mambo nyie yani msione kitu mshadindisha. Huyu sio mchina Mimi ni
Mdigo original, kama unabisha njoo chumba kile pale cha kati ukauchunguze,”
Mwanamama akaongea kwa kujiamini yani ongea yake tu kitu kinatingishika Ile kauli ikamfanya Hafidhi suruwali yake ianze kututumuka kwa mbele
Akageuka na kuelekea kwenye ndoo ambayo wanatupia takataka akaziweka chini
Zile pamba zenye Damu na kuzitia moto
Akarudi ndani.
“sasa Mwamba mi natoka kidogo nitarudi jioni”
Akamuaga Yasri aliyekuwa usingizini
Akatoka kufika mlangoni
Akatizama kulia na kushoto faster akajitoma chumbani kwa Mama wa kikubwa yalaa
Alichokikuta kilimfanya agande kama sanamu.
Baada kumkuta mama wa kikubwa kajibinua makalio yake
Makubwa, mapaja yaliyonona
“sogea basi unichunguze”
Aliongea kwa sauti ya mahaba mama huyo. Bila shaka alifahamu Hafidhi atakuja tu labda asiwe mwanaume rijali ndio angekataa.
Hafidhi akasogea na kuyashika makalio hayo huku akiyapiga vikofi basi alijisikia raha kuona yanavyo tingishika,
“Aii jamani mbona nahuyu anataka kuchunguza,”
Aliongea mama wa kikubwa huku akifungua kifungo cha suruwali ya Hafidhi taratiibu akaishusha zipu,
“Whao! Mtalimbo wote wako huu mbona mkubwa hivi?”
Alionekana kushitushwa na ukubwa wa Mtalimbo akaukamatia kwa mikono miwili na kuanza kuunyonya ulimi wake ulikuwa ukicheza na Ile sehemu yenye kutoa Risasi nyeupe
“Akhaaaasssss,okhooaaaaaaaaaaaa”
Hafidhi akaanza kugugumia huku akichuchumalia vidole vya miguu japokuwa alikuwa bado kavaa viatu.
Siku zote ukubwa dawa wakubwa wana yajuwa mengi ndivyo ilivyokuwa
Hafidhi akasukumizwa na kulala kitandani chali
Huku Mwanamama akija kwa juu ilikuwa haina haja ya kuushika mtalimbo kwani ulikuwa umesimama imara mfano wa Ndizi Bukoba
“ssssssssssssss,,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa”,,,,, Mama huyo akaanza kugugumia huku akishuka chini taratiibu, ghafla akainuka na kuushika mtalimbo kwa mkono
Alipoupata, alianza kulishikashika kichwa chake ambapo ulaini wa mikono yake ulimfanya Hafidhi kuchezesha miguu kwa utamu, alilivutia kwenye kitumbua chake ambapo akalielekeza hapo liingie.
Kisha taratibu kwa ufundi wa kiuno chake akaanza kukizungusha akiukatikia mtalimbo ulioingia nusu.Alijitahidi kuzungusha kiuno ambapo Hafidhi alizidi kupandwa na mizuka kitendo kilichomfanya kuwa kama chizi Fulani,alikipeleka kiuno chake mbele na kulisukuma dudu lake lililozama lote kwenye kitumbua cha Mama wa kikubwa kilicholowa,“aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,ssssssssssssssssssssss,,,,,tamuuuuuu,,,alilalamika kwa utamu ambapo alizidi kukatika miuno kama Ile kwenye. Baikoko
Basi Hafidhi alikaza mkono wake ulioubana mguu ukutani ambapo aliamua kumsugua kiutu mama huyo uzima, kama alivyo ye mwenyewe aliunyanyua juu kidogo ili kitumbua chake kipanuke zaidi, mdomo wake ulikuwa kwenye dodo la kulia ukiinyonya.
Aliongeza kasi ya kumsugua ambapo ni kama alifungwa mota kiunoni kwa jinsi alivyokuwa akienda mwendo wa hasira,aliponekana kama anamkomoa. Mama huyo “ssssssssssssssssssssssss,,,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah,,,ssssssssssss,,aaaaaaaaaaaaaaa,,ooooooooooooh,,,,uuuuuuuuuuuwwwwwiiiiiiiiiiiiiiiii,,,,,aaaaaaa,,,alilalamika kwa sauti kubwa mama wa watu baada ya mtalimbo kumsugua kwa kasi ambayo hakutarajia kabisa,alizidi kumkumbatia kwa kumbana namikono yake mgongoni ila haikupunguza kasi ya Hafidhi alizidi kumsugua kwa kasi
“ossssss,,,taratibu,,,babaaa,,,utaniuwa,,,,asssss,,,,Mama wa kikubwa
alimwaga huku akipiga kelele nyingi za utamu
“aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah”,,,, Hafidhi ilifika awamu yake ambapo alisisimka mwili wake na kujikuta akimwaga kabisa bao lake ndani ya kitumbua mnato cha mama huyo.
“ohoo Asante baby,yani unasugua utasema unataka kukichomoa kinembe, mi nitaogopa kukupa tena. Aliongea kwa mapozi mama huyo wa kikubwa huku kichwa chake kakiegemeza kifuani mwa Hafidhi.
Mwanaume akatabasamu tu.
Yapata majira ya saa mbili usiku
Mzee J Ikram alikuwa amekaa Sebuleni wakiangalia taarifa ya habari kutoka kituo cha television ITV
“Watu kumi na mbili wamekutwa wameuwawa huku wawili kati ya wakijeruhiwa vibaya
Tukio hilo limetokea huko Kisukuru inasadikika yakwamba watu hao akiwemo Baba mwenye nyumba hiyo. Bwana George Zengo na walinzi wake wa kutumainiwa Wakichinjwa wote baada kuvamiwa na muuaji asiefahamika wapi katokea.
Mashuhuda wa tukio hilo wanasema muuaji alikuwa kavaa mavazi ya Kininja, polisi bado wapo kwenye upelelezi wa kina.
“huyu atakuwa ni Baba Yusra tu hakuna mwingine,”
Mariam akajikuta akiongea hivyo na kuwafanya watu wote waliopo pale Sebuleni wageuze sura zao kumuangalia yeye.
Nae baada kugundua anaangaliwa yeye akajikausha kimyaa
“Yes! Sasa kazi imeanza hakika mtaenda kuzimu mmoja mmoja sasa Mjomba Omary zamu yako inafatia,”
Alikuwa ni bibiye Asia akiongea kwa furaha na kuandika jina la mtu ambaye anahitajika kuuwawa
Akaandika maelekezo na kuisend Ile sms ikamfikia moja kwa moja Hafidhi jibu likaja ok nishampata.
Bibiye Asia baada kumtumia jina muuaji wa kutisha bwana mkubwa
Hafidhi j Ikram akapiga magoti na kumuinamia mwanae aliyekuwa akicheza cheza pale kitandani
“Mwinyi Mwanangu nisamehe mimi
Mama yako kwahiki ambacho kinaenda kutokea kwa Baba yako. Nafikilia ipo siku utakuja kuniuliza kuhusu wapi alipo baba yako.
Sitokuwa na jibu la kukupa ewe Mwanangu
naomba nikwambie kitu Baba yako
Ni zaidi ya mnyama zaidi ya shetani
Baba yako kanitendea mambo mengi ya kinyama ameniachia kidonda kisichotaka kusikia dawa kidonda ambacho kipo ndani ya moyo
Wangu, Mwinyi nisamehe sana
Sikuwa na chaguo lingine,”
Asia aliongea huku machozi yakimtoka akatamani ampigie simu Hafidhi na kumwambia asitishe kile ambacho alimuomba akifanye
Sema akasita kufanya hivyo.
Tukija kwa Hafidhi baada kutumiwa jina la Omary hakupata tabu kufahamu wapi alipo kwa wakati ule, alichofanya ni kumuaga Yasri ambaye alikuwa bado akiugulia maumivu ya kupigwa risasi. Akatoka nnje na kuchukuwa pikipiki akaianza safari ya kumfatilia Omary laiti kama Omy angetambua kuwa Izlair yupo njiani anakuja kuichukuwa roho yake basi angekimbia kilomita ndefu sana. Lakini yeye alikuwa yupo na mmoja kati ya Machangudoa aliyeweza kumpata siku hiyo, wakati huo kijana Omy alikuwa kamkunja bibiye huku Mtalimbo wake ulikuwa umesimama kweli kiasi kwamba ile mishipa iliyojitokeza ikaanza kumuuma. Alimgeuza geuza pale kitandani utasema mshikaki binti ambaye kitumbua chake kilikuwa kimelowa kweli tayari mtalimbo wake alishauacha wazi hivyo aliushika na kuuingiza kwenye kitumbua taratibu mtalimbo uliteleza na kuzama wote mpaka mwisho “aaaaaah,,,oooh,,,aliendelea kulalamika binti kuashiria kuna kitu kimeingia penyewe
Kabla Omy hajaanza kupampu alivutwa shingo kisha midomo yao ikakutana ambapo walianza kunyonyana ndimi zao basi taratibu akaanza kupampu miguno ya kimahaba kwa pande zote mbili ikaanza kutawala chumbani humo. Zilipopita dakika kumi mwanaume alijibana na kumwaga uji wake ambapo hakuchomoa mashine yake aliendelea kupampu na kuunganisha mzunguko wa pili.
“mbona unaunganisha nyingine bwana?’’
binti akauliza swali huku akifanya kuibana miguu yake ili mtalimbo uchomoke kwenye kitumbua chake. Lakini Omy akamkamatia kiuno na kumsokomeza binti alizidi kutoa miguno ya kimahaba kiasi kwamba ukiwa nje ya nyumba hiyo unaweza kuhisi anapigwa kipigo cha mbwa mwizi “mamaaaaa,,,nakufaaaaaa,,,aaaaaah.,,ooooh,,,uuu,,,tamuuuuu,,aaaissssssss’’ alilalamika wakati alikuwa hataki kupigwa cha pili. Omy sauti yake ikiwa ya chini ya kuunguruma alikuwa anapampu kwa kasi na kukandamiza mtalimbo wake wakati kiuno kikishuka chini,tendo hilo lilimpa raha sana bibiye aliyedai anakufa alikuwa mwepesi sana, kila alipogeuzwa Alikaa na kujibu mashambulizi ipasavyo kitendo kilichomfanya Omy kuzidisha kasi ya kupampu haswa “aaaaahghh,,,ooooh,,aaaaaah,,aaaaah,,alilalamika Omy na kukakamaa mwili wake,kumbe ndio safari yake ilikuwa inamalizikia hapo akamwaga uji wake uliokuwa mwingi huku akiendelea kuunguruma kutokana na utamu aliousikia. Baada ya kumwaga,wote walilala chali ambapo binti hakuifunga miguu yake aliiacha wazi kwa kuipanua kama mtu anaye kipungisha kitumbua upepo Omy naye mtalimbo wake ulikuwa umesinzia. Bora hata kala raha za dunia kwa mara ya mwisho.
muuaji wa kutisha bwana mkubwa Hafidhi j Ikram safari yake ikampeleka mpaka maeneo ya Kimara Baruti na kupaki pikipiki yake mbele ya nyumba moja kubwa akashuka na kupiga hatua kadhaa kulisogelea Geti akagonga hodi sekunde si nyingi mlango ukafunguliwa akaonekana kijana mmoja hivi aliyevalia sale za kampuni ya ulinzi Security Kinght. “mambo vipi kaka?’’ Hafidhi akasalimia “poa tu nikusaidie nini ndugu? Mlinzi akaitikia na kuuliza swali “natafuta kazi,’’ “mmh! Unatafuta kazi, sasa ni nani amekwambia hapa kuna kazi. Kiukweli hapa hakuna kazi labda ukajaribu sehemu nyingine ndugu’’
Mlinzi akaongea kwa sauti ya ukali kidogo kama ujuavyo watanzania wengi tuna roho za kwanini yani ubinafsi sasa Hafidhi aliposema anatafuta kazi ikawa kama ugomvi kwa mlinzi yule akifahamu kibarua chake kitaota nyasi.
“sasa Brother mbona umekuwa mkali hivyo tatizo nini?’’
Hafidhi akauliza swali. “nishasema hapa hakuna kazi kwenda zako huko’’ Binafsi mlinzi hakufahamu kama anaongea na kiumbe hatari sana muda wowote anaweza kuondoka na uhai wake au kumtia ukilema,
Hafidhi akafanya kama kuondoka hivi wakati anapiga hatua mbili tatu akasikia yule mlinzi akiitwa. Akasimama na kuangalia kule Getini na kumuona Omy akiongea kitu na mlinzi, japokuwa eneo hilo kulionekana hakuna watu lakini Omy alikuwa akimnong’oneza sikioni. Mlinzi akatikisa kichwa na kupokea kiasi cha pesa kisha akaondoka haraka, bila shaka kuna kitu kaagizwa, ikawa ndio nafasi pekee kwa Muuaji kukamilisha azma yake, akarudi kwa speed na kumkuta Omy akiingia ndani akampigia mrunzi ile kugeuka tu kitu chenye ncha kali kikakita mdomoni mwake. Omy akashindwa kutoa hata sauti kitu kilikuwa kishakata koromeo na kumuacha akitapatapa pale chini. Hafidhi akacheka kicheko cha Dharau na kupotea kama vumbi, “Bosii’’,,, ilikuwa ni sauti ya mlinzi akipiga kelele na kutupa mfuko ambao ndani yake kulikuwa na chips, akamkimbilia na kumshika kelele zake zikamfanya yule Changudoa atoke ndani mbiombio na kichupi tu “baby nini kimekukuta tena?’’ wakazidi kumtikisa huku wakilia lakini Omy alikuwa tayari kaiaga dunia.
Hafidhi baada kuikamilisha kazi yake vyema akamtumia ujumbe bibiye Asia usikose kwenye mazishi ya mzazi mwenzio. Asia alikuwa yupo nnje akipiga story na baadhi ya majirani wa nyumba hiyo ujumbe ulipoingia kwenye simu yake ambayo alimpa mtoto mmoja acheze Game akaichukuwa na kuusoma kisha akatabasamu na kuufuta akaingia ndani machozi yakimtoka sio kama alilia kisa kifo cha Omy hapana alilia kwa sababu ya kumuonea huruma mwanae hana tena baba, Tukija kwa bibiye Fatma alikuwa bado kashikilia msimamo wake uleule kuwa ndoa hakuna kwani Yasri wake bado yupo hai,
“Fatma mwanangu hivi unaakili kweli wewe? Embu fikilia huyo mwehu ameshakufa muda mrefu sana na istoshe hata kaburi lake halipo kwenye uso wa ulimwengu huu. Please usitake kunitia aibu mimi baba yako. Nishaalika watu kibao na kuwaambia kuwa naozesha binti yangu, leo hii uniambie utaki kuolewa inawezekana vipi?’’
“Baba binafsi mimi siko tayari kuolewa na Azizi,’’
“sasa kama hauko tayali kwanini ulikubali wakati alipokuja kutoa posa?’’
“Nilikubari kwa sababu ya kuhitaji kupata faraja anifute machozi kwa kuondokewa na wangu kipenzi.
Sasa kumbe Yasri wangu yupo hai
Na ndio mwanaume pekee mwenye kustahiri kuwa nami,”
Fatma aliongea kwa kujiamini mbele ya wazazi wake,
“hivi una uwakika gani kama Yasri yupo hai?”
“uwakika ninao nyie subilini ipo siku mtamuona akija hapa kunitolea barua ya posa,”
Fatma baada kutoa jibu akainuka na kuondoka akiwaacha wazazi wake wakiwa wameshika tama.
Tukija kwa Azizi alikuwa amekaa mbele ya kikundi cha vijana wakiume wapatao
Ishillini akiongea nao
“sasa vijana naomba nikwambie kitu kimoja
Huyu bwege anataka kuikatisha ndoto ya maisha yangu, nisiweze kufunga ndoa na binti mrembo
Sasa basi lazima atafutwe popote alipo iwe duniani au Kuzimu namuhitaji akiwa mzima au amekufa,”
Huwezi kuamini kama hayo maneno yanatoka kinywani mwa Azizi rafiki kipenzi wa Yasri
Urafiki wao tokea utotoni
Leo hii kusikia tu Yasri yupo hai anataka kumuua
Kisa tu Mapenzi.
Vijana wakatawanyika kwani kila mmoja alikuwa kaiona picha ya Yasri,
Mwanahamisi kiukweli hakuwa na raha kabisa akapoteza ule uchangamfu aliokuwa nao
Yote sababu ya Yasri kumtamkia
Hawezi kuwa na uhusiano na Binadamu asiekuwa na utu. Mwanahamisi alilia na kupiga magoti akiomba msamaha huku akiahidi
Kubadirika kitabia na kuwa Mwanamke mwema
Lakini Yasri hakutaka kumsikia kabisa.
“tafadhali nakuomba toka chumbani kwangu”
“hapana Yasri usinifanyie hivyo please nisamehe,”
“sina muda wa kuhitaji kuwa nawe tena nakuomba utoke haraka sana vinginevyo
Nitakufanya kitu mbaya tokaa!”
Yasri akapiga kelele akimtaka Mwanahamisi atoke.
Huku nnje ndugu zake Mwanahamisi walikuwa wapo Mlangoni wengine dirishani wakisikiliza jinsi mwenzao anavyolia kuomba Msamaha
“Dahaa yani siwezi kuamini aisee yani Dada yangu alikuwa ni Mwamba kila sehemu aendayo, leo hii
Amekuwa bwege kisa
Mapenzi ujinga huu”
Alikuwa ni kaka yake Mwanahamisi yani akashikwa na hasira na kutamani hata kuvamia chumbani humo na kumchapa makofi huyo
Mwanaume. Wakati wakiwa wanaendelea kusikiliza Mara Hafidhi j Ikram nae ndio anaingia
Wakajifanya kuzuga.
Hafidhi akabisha hodi huku akiwaangalia.
“Yasri kaka embu fungua mlango Mwamba kwani kunani tena humo ndani?”
Ndipo mlango ukafunguliwa akaingia na kumkuta binti mrembo akiwa kapiga magoti
“vipi tena kaka mbona mtoto mzuri kama huyu kapiga magoti?”
Hafidhi akauliza kwa mshangao.
Yasri hakuwa na budi kumsimulia na kusema huyo ndio sababu ya yule Mama kuuwawa.
“ok! Nimekupata kijana lakini hiyo sio sababu ya kutotaka kumsamehe mwenzako
Kumbuka sisi Wanadamu kila sekunde iendayo katika maisha yetu tunatenda Dhambi
iwe kubwa au ndugo. Lakini tukipiga goti kutubia basi Mwenyezi Mungu anatusamehe
na kutufutia makosa yetu yote, sasa basi namuombea msamaha huyu
Binti please msamehe,”
Hafidhi akafanya kama kupiga magoti na kumshtua Yasri
“Hapana kaka usifanye hivyo”
Yasri akawahi kumshika mabega na kumkumbatia mpaka hapo msamaha wa bibiye alikuwa umekubaliwa
“Sasa brother mimi hapa nilipo nina njaa kishenzi kama vipi mwambie shemu afanye mambo,”
Hafidhi aliongea kiutani
“wala usijali shemu wacha nikakuandalie chakula
Usije ukaumwa vidonda vya tumbo bure sababu ya njaa”
Mwanahamisi akaongea na kutoka chumbani sasa Sijui ndio anaenda kupika au kupakuwa
Dakika si nyingi akarudi akiwa na Mahotpot yenye chakula
“whaoo Mara hii tayari,”
Hafidhi akauliza na kujiweka sawa.
“Ebwana ehee chakula kitamu sijawai kuona mfano wake, Yasri itabidi huyu binti umuoe
Kabisa, mimi nitasimamia kila kitu kuhusu ndoa yenu,”
Hafidhi alikuwa ndio muongeaji wakati wenzie wapo kimyaa wakimsikiliza tu,
“tena ningependa ndoa yenu ikafungiwe huko
angani”
“mmh! Shemeji tukafungie angani tumekuwa Kunguru au Njiwa tumeota mbawa au?”
“sio hivyo nilikuwa namaanisha hivi mtaingia ndani ya ndege huku Shekhe akitia ubani,”
“Tehe!tehe!tehe!”
Yasri akaanza kucheka tu,
“sasa unacheka nini?”
“hapana brother nafurahi tu”
“haya endelea kufurahi wacha mimi niwaache nimuwahi Shemeji yako,”
“Ahaa Shemeji Mara hii ushashiba wakati ulisema njaa inakuuma sana ajabu umekula kidogo tu!”
“usijali Shemeji kingine nitakuja kula baadae
Niwekee kiporo,”
Hafidhi aliongea huku akinawa kisha akatoka mlangoni akakutana na yule Mama wakikubwa
“Hendsome mambo?”
“powa tu niambie Mama kubwa”
“fresh tu mwenzake nimeumiss ule mziki wa juzi,”
“mmh! Unautaka tena na tena”
“ndio maana yake kijana una mapigo ya
Disco Dancer twende basi ukanipe”
“ok! Jiandae usiku kwani sasa hivi naelekea Hospitali kumcheki mgonjwa”
Hafidhi akaongea na kuaga, huku akimuacha Mama wakikubwa akiyabinua makalio yake kwa kuyatikisa.
Hafidhi j Ikram kuna mambo alitaka kuyaweka sawa kwanza hakupenda tena kuwa karibu na
Bibiye Mariam akakumbuka siku Ile usiku aliyoenda kufanya nae mapenzi lilikuwa kosa kubwa sana
Mpaka sasa ameanza kufatiliwa
Pili akahitaji kubadirisha muonekano wa kimavazi kutoka kuwa Ninja Short mpaka katika
Style mpya ambayo ataibuni yeye mwenyewe.
Tukija kwa bibiye Smaiya nae alikuwa katika dimbwi zito la mawazo alikuwa akiwaza na kuwazua tokea siku ile alipoweza kumtia machoni kijana ambaye yeye alimfananisha na Yasri kumbe ndio Yasri mwenyewe inamaana yule aliyekutwa amekufa hakuwa ni yeye pia akakumbuka siku ambayo alienda gerezani na kupata nafasi ya kuzungumza na Yasri. Akamuahidi kumsaidia lakini kumbe alikuwa tayari ameshachelewa siku ya hukumu ikafika ndipo likatokea tukio la kustaajabisha. Bila shaka Hafidhi j Ikram itakuwa kamsaidia kutoroka wakafanya kumtegesha mtu mwingine ionekane Yasri nae amekufa. Sasa basi wacha nikutafute Yasri popote ulipo moyo wangu unakuhitaji. Smaiya nae akataka kufuta machungu yake kwa kujikabidhi mikononi mwa Yasri baada kusalitiwa na Azizi ambaye anataka kufunga ndoa na bibiye Fatma.
“Vipi kijana mbona mwenzako simuelewi kabisa?’’
lilikuwa ni swali kutoka kwa Mzee Hossam Mbonde baba yake Fatma akimuuliza Azizi, “kiukweli mzee wangu hata mimi sielewi kabisa sijui amekuwaje yani anamzungumzia mtu ambaye ameshakufa kitambo kisa tu kuikuta Account yake ya Facebook ipo online,’’
“sasa kijana wewe usijali kabisa ndoa ipo palepale’’ “ndio mzee wangu nakuaminia wewe ni General bwana tutashindwaje kumdhibiti mtoto mdogo kama huyu,’’ Mtu na mkwewe wakazungumza mambo mengi tu, na kupanga mambo ya sherehe siku hiyo bibiye Fatma aliporudi nyumbani tu amri ikatolewa kwa baba yake kuwa akae ndani akiwa kama bibi harusi mtarajiwa Fatma akapinga kilichofatia ni kufungiwa ndani mlinzi akachimbwa biti
“Sinde hakikisha huyu kunguni hatoki nnje ya nyumba hii,’’ “sawa mkuu’’
“sio sawa mkuu sasa akitoka tu basi tambua kichwa chako ni halali yangu,’’
mzee Hossam Mbonde aliongea kwa msisitizo na kuingia ndani ya gari sijui anaelekea wapi kazini au.
Kwa wakati huo Nyota wetu wa mchezo alikuwa yupo chumbani kwake kaikamatia ile Bastola ya bibiye Smaiya akaitazama na kuikagua huku na kule kisha akaisunda kiunoni akajiandaa kutoka kwani jeraha lake lilikuwa kidogo maumivu hakuna akatoka nnje
“oyaa wee bwege’’ alikuwa ni kaka yake Mwanahamisi bila shaka alikuwa akimsubilia Yasri kwa hamu akitoka nnje tu amvae.
“unaniita mimi au?’’
Yasri akauliza,
“ndio nakuita wewe si ndio bwege mwenyewe,’’
jamaa akaongea kwa kujiamini huku akimsogelea ile kumfikia tu akamkunja “wewe mtoto wa Malaya yani unamfanya Sister angu analia kisa bwege kama wewe. Sasa leo nitakufanya kitu mbaya wajinga wote wataelewa nini namaanish— ghafla kabla hajaongea zaidi akashtukia akipigwa ngumi kama nne za double double zilizotua mdomoni akasindikizwa na teke na kutupwa mbali kidogo Yasri hakuhitaji dharau hakumngojea ainuke akamfata kwa speed na kumnyanyua kwa kumkwida
“sikia nikwambie wewe nyau mweusi sio kila mtu umuonae mkimya unaweza kumfanyia ujinga wako sasa nakuonya kaa mbali nami vinginevyo nitapasua kichwa chako.”
Akamuachia huwezi kuamini jamaa alikuwa kadebweda utasema bamia la juzi akatulia pale chini kimyaa damu zikimtoka puani na mdomoni wakati yote yanafanyika bibiye alikuwa akishuhudia kupitia dirishani na kutabasamu “kweli nimepata kidume cha shoka’’
akajisemea hivyo na kujifanya kutoka nnje aende kufahamu hali ya kaka yake.
Taarifa za kifo cha kijana Omary ukipenda muite Omy kama kifupi cha jina lake ziliwashtua ndugu jamaa na marafiki maana juzijuzi tu wametoka kumzika mpwa wake nae alivamiwa na muuaji wa kutisha kuanzia yeye na walinzi wake wote walichinjwa kila mmoja akabaki kujiuliza ni nani yupo nyuma ya huu mpango wa kutaka kuiteketeza familia hiyo huku wakibaki katika hali ya sintofahamu nani anafatia.
Kila mtu akashikwa na hofu na kuiomba serikali iingilie hili swala kwani wakifanya mzaho wanaweza kuisha wote kama kuku wenye mdondo. Jeshi la polisi nchini ndipo wanafikia makubaliano ya kumleta mwamba wa kaskazini yeye ni Mtanzania lakini makazi yake yapo nchini Brazil yote sababu ya kupewa heshima kwa kazi nzuri aliyoweza kuifanya kwa kumuokoa Mfalme baada kuvamiwa na maharamia waliotaka kuiteka nchi hiyo, akapambana nao na kuwaangamiza maharamia wote akaitwa nchini kwake kuja kupambana na Ninja Mask japokuwa alikutana na kisiki cha mpingo lakini kazi iliisha sasa basi ameitwa kuja kumtafuta huyo kidudu mtu ambaye anafanya mauwaji kila kukicha Mwamba mwenyewe ni Mr.Chanduka au ukipenda muite Chandu hakuja peke yake kaja na Ikram ukipenda muite Ninja Suit hakika walikuwa full mziki ndani ya uwanja wa ndege wakapokelewa na bibiye Mariam “karibuni sana nyumbani’’
Mariam alianza kuongea wakiwa ndani ya gari wakati huo ndio walikuwa wanatoka uwanja ndege
“Asante sana bibiye hivi mnatunyima nini ndani ya nchi hii?’’
Chanduka akauliza huku akitabasamu
“mmh huku ni joto tu sijui nyie huko Brazil watunyima nini?’’
“kule tunawanyima maujuzi ya soka yani kama tungesema tuwapatie hata kidogo leo hii Taifa Starz wangeweza walau kupata kombe la mataifa barani afrika’’ basi wakacheka na kuendelea na story zingine muda wote Ikram alikuwa kimya kuna mambo mengi alikuwa akifikilia kichwani kwake akajiuliza isije ikawa wamekuja kupambana na Hafidhi j Ikram kwani anamfahamu vyema katika siku ya hukumu japokuwa hakuwa na uwakika ni yuleyule au huyu ni mwingine.
“Ikram naona upo kimya Ankor unafikilia nini? Au haukupenda kurudi Tanzania?’’
Chanduka akamshtua Ikram kutoka kwenye dimbwi zito la mawazo, “hapana Ankor kwanza nimefurahi sana baada kuiona nchi yangu kwa mara nyingine,’’
Ikram akajibu japokuwa akajilazimisha kutabasamu
“khaa kumbe huyu anaitwa Ikram?’’
Mariam akauliza kwa mshangao
“ndio anaitwa Ikram kwani vipi Sister?’’ “ni wajina wa mtoto wa marehemu Undercover Vivian, ni mtoto aliyezaa na Hafidhi j Ikram’
“What?’’
Chanduka akashangaa,
“vipi mbona kama umeshangaa?’’ “unataka kusema Vivian amezaa na adui yake?’’
Chanduka pasipo kujibu swali nae akauliza,
“sio Vivian hata mimi nimezaa nae binti mmoja anaitwa Yusra. Binafsi Hafidhi hakuwa adui yetu kama wengi walivyokuwa wakifikilia Hafidhi alikuwa akitetea wanyonge alipambana usiku na mchana juu ya wanyonyaji wenye kuwatesa masikini. Ndio maana mpaka leo wananchi wanalia wakitaka shujaa wao aachiwe huru,’’
“lakini bibiye inawezekana vipi muuaji akawa mtu mwema mbele ya jamii?’’
“kwani wewe hujawai kuuwa?’’
“ndio nimewai lakini nilifanya yote hayo katika kujitetea na kuitetea nchi yangu’’ “ahaa kumbe uliuwa kisa kujitetea basi na yeye kafanya hivyohivyo’’
“ok! Tuachane na hayo bibiye naona tushafika makao makuu,’’
Chanduka akaona bora akatishe mada maana alifahamu kama bibiye kazaa na Hafidhi na ikitokea akawa ndio adui yao bila shaka bibiye atakuwa upande wa basha wake, Chanduka hakufahamu kama Mariam ni mke wa ndoa yani kaolewa kabisa na Hafidhi yeye alijuwa ni mtu na mpenzi wake,
Yasri safari yake ikampeleka mpaka nyumbani kwakina Fatma sijui kafata nini bwege huyu. Akaipaki pikipiki na kushuka akaingiza mkono kiunoni na kuichomoa Bastola bila shaka ndio iliyomtia kiburi akaangalia huku na kule kwa tahadhali kubwa akapiga hatua kulisogelea geti kabla ya kufanya chochote akatoa kitambaa cheusi na kujifunga usoni yani aliacha macho tu akaokota kijiwe na kugongea Geti kisha akasikilizia akaweza kuzisikia hatua za mtu akija usawa wa Geti akafahamu bila shaka atakuwa ni mlinzi kumbuka nyumba hiyo ni ya mkuu wa majeshi Meja General bwana mkubwa Hossam Mbonde yani huyo mlinzi tu kapitia mbinu za kijeshi.
Lakini hakukuwa na walinzi wengine zaidi ya huyo Sinde kitendo cha kufungua Geti tu akarudishwa ndani baada kupigwa teke la kifua,
“tulia hapohapo chini usitake kufanya ujanja wa aina yeyote ile nitakumwaga ubongo,’’
Yasri alitoa amri ya vitisho huku akimuelekezea ile Bastola kichwani mwa Sinde. Kumbe wakati huo House girl alikuwa yupo kwenye kibanda cha mlinzi waliitana kwaajili ya kusuguana kama kawaida yao ndipo akashuhudia Sinde akirushwa hewani na kutua chini akaingia mtu mkononi kashika Bastola. Kijasho kilimtoka akaichukuwa simu ya Sinde aweze kumpigia Bosi wao tatizo pattern hakuweza kuitoa akadata aisee akifikilia simu yake kaiacha chumbani kwake na hawezi kutoka humo kibandani pasipo kuonekana na yule Jambazi. Alitamani hata Fatma angekuwepo sebuleni.
House girl akawa anashika vitu
Mara hiki Mara kile ghafla sauti Kali ya king’ora ikasikika na kumfanya Yasri ageuke kutazama. Likawa kosa kubwa Sinde akafanya kubiduka na kuipiga teke Bastola
Yasri akajikuta mikono mitupu huku Sinde
Akiwa kakunja ngumi, Yasri akajikuta akipewa
Makonde ya maana yaliyotua mwilini mwake
Akafanya kupanchi huku akirudi nyuma
Na kudank kwenye ukuta kwa kuachia teke
Ambalo lilitua usoni mwa Sinde nae akayumba
Wakati huo huku nnje majirani walikuwa wamejazana. Kwani Ile sauti ya king’ora ilimshtua kila mtu. Sinde akajikuta katika wakati mgumu
Aisee kwani mwenzake hakupitia Jeshi ila ni hatari tupu,
Chiku nae akakurupuka mbio na kukimbilia ndani
Kabla hajaufikia Mlango wa nyumba kubwa
akashtuka na kujikuta akisimama ghafla huku
Haja ndogo ikimtoka
Baada kusikika mlio wa Risasi iliyokita kwenye mlango
“Simama hapo hapo Malaya mkubwa wee wewe ndio uliyebonyeza king’ora sio,
Kazi nzuri sana sasa hapa siondoki nawangojea hao
Kenge wanaokuja,”
Yasri aliongea kwa kujiamini huku akiwa kaishikilia vyema
Bastola na kumsogelea bibiye, aliyekuwa akitetemeka huku Sande akiwa kalala chini baada kushikwa shingo yake na kuzungushwa hakuwa na uhai tena.
Sauti ya bunduki ile ndogo ikamshtua bibiye Fatma aliyekuwa ndani akilia sema akapotezea.
Majirani wakakimbizana kila mmoja akitaka kuokoa uhai wake.
“Chiku je unaweza kunitajia
Msaliti Malaya bwege wa mabwege Fatma yuko wapi?”
Yasri akauliza swali bila shaka huyo house girl
Anamfahamu ndio maana kalitaja jina lake.
Chiku nae akashangazwa kuitwa jina lake na kutaka kumfahamu huyo Jambazi ni nani huku midomo
ikimcheza akauliza
“wewe nani?”
Yasri hakumjibu kitu zaidi ya kukitoa kile kitambaa kitendo ambacho kilimfanya Chiku ashikwe na mshtuko zaidi akanyong’onyea na kudondoka chini
Alikuwa kapoteza fahamu,
Yasri hakuwa na hofu yeyote Ile ndio kwanza akaingia ndani ya nyumba na kwa uwangalizi mkubwa akapitiliza pale Sebuleni na kuangaza macho huku na kule
Akapandisha ngazi kuelekea juu maana nyumba hiyo anaifahamu vyema tokea akiwa mdogo alikuwa akija kucheza na bibiye Fatma.
Akajongea na kutokezea kwenye chumba kimoja wapo akasimama na kutega sikio,
“Siwezi kuishi bila Yasri wangu kwanini mlinidanganya amekufa wakati sivyo.
Sipo tayari kuolewa na Azizi Bora kufa tu,”
Ilikuwa ni sauti ya bibiye Fatma akiongea kwa huzuni huku akilia ni sauti ambayo ilipenya vyema masikioni mwa Yasri na kujiuliza
“inamaana Azizi anamlazimisha
Bibiye kufunga nae ndoa,”
Wakati akiendelea kumsikilizia bibiye akashtukia
Sauti ya kishindo kikubwa ikisikika huku akikoswa kupigwa na Risasi, akachumpa kwa kubiringika na kuruka upande wa chumba ambacho mlango ulikuwa upo wazi huku nyuma akikoswakoswa na vyuma vya moto.
Walikuwa ni vijana wa Mzee Hossam kitendo cha kufika na kumkuta Mlinzi kauwawa huku
House girl akiwa ajitambui ndipo wakaingia ndani kwa mwendo wa kunyata na kumuona Yasri kaegemea mlango.
Mmoja kati yao akaachia Risasi nia yake ampige ya kichwa sema kwa kudra ya Mwenyezi Mungu
Risasi ikaenda pembeni.
Yasri akaishikilia Bastola yake vyema huku kijasho kikimtoka akachungulia dirishani
Mungu wangu hakuweza kuamini
Baada kuona magari ya polisi kama Matano yakija kwa kasi, kibaya zaidi kuna karandinga ya kijeshi.
Fatma nae akashtuka baada kuzidi kusikia milio ya Risasi akahitaji kutoka nnje
Tatizo kafungiwa kwa nnje.
“oyaa Beto tusepe zetu wakuda wanakuja pande hizi!”
“wakuda ndio wadudu gani? Hapa azma yetu ni moja tu kumuangamiza huyu Kenge aliyevamia kambi ya kiumeni,”
Aliongea mmoja wao huku akipiga hatua kusogea mbele ghafla akayumba na kudondoka chini huku Damu nyingi zikimtoka kichwani
Yani kitendo cha kujitokeza tu Mwanaume akaibuka kwenye kile chumba na kuachia Risasi kwa fujo
Moja ikatua kichwani kwa aliyejitokeza na kuutawanya ubongo
milio ya Risasi ikazidi kulindima na kuwafanya majirani waliopo karibu na makazi hayo kuogopa.
Wakajifungia kwenye majumba yao wengine wakaingia kwenye makabati au Uvungu wa kitanda.
Kibaya polisi walifika na kuizunguka nyumba nzima
Huku kikosi cha Jeshi wakipaki gari yao mbali kidogo na hapo wakiwaachia kazi polisi.
“Asia”
“Abee kaka”
“mtoto kajinyea huku yani mavi yananuka hayo Sijui kanakula nini haka katoto?”
“sasa si umnawishe Ankor wako huyo”
“Pampasi ziko wapi?”
“angalia hapo chini ya mto”
Alikuwa ni Hafidhi akicheza na Mtoto mara nyingi hupenda kufanya hivyo iwapo anakuwa hana kazi ya kufanya wakati huo Asia alikuwa yupo nnje akipiga umbea na Wapangaji wenzie.
Hafidhi akamnawisha mtoto na kumvisha nepi
Akatoka nae nnje
“kaka simu yako inaita”
“embu nenda kanichukulie ipo kitandani hapo,
Asia akaingia ndani na kutoka na simu huku akisema
“huyu ni Yasri alafu tokea juzi sijamuona,”
Hafidhi akaipokea simu.
“halloo niambie dogo,”
“sina cha kusema Brother nahitaji msaada wako”
“msaada gani tena chief?”
“nilitoka nikaja kuvamia huku Temeke lakini nimetaitiwa, ghafla simu ikakatwa
Hafidhi akaishia kusema halloo
Halloo, embu mshike mtoto nakuja sasa hivi,”
Asia akampokea mtoto.
Hafidhi akaondoka mbio bila shaka alifahamu Yasri kuvamia nyumbani kwa Mkuu wa Majeshi nchini si mchezo wa kitoto
Bila msaada wake kijana unaweza kunaswa
Au kuuwawa kabisa. Sio kama
Yasri alikata simu hapana alijikuta akishikwa kwa nyuma na kuvutiwa kwenye chumba sasa alikuwa akitazamana uso kwa uso yeye na
Bibiye Fatma,
“mpenzi ni wewe”
Bibiye aliona kama ni ndoto hakuweza kuamini kabisa akauliza kwa sauti ya chini
Sana, na wakati huo Yasri akipanga kumfanya bibiye ndio ngao ya yeye kutokea humo
Hakuchelewa kufanya maamuzi akamdaka na kumkaba roba na kumuwekea Bastola kichwani
“tulia usitake kuneng’eneka yani ukileta fyoko nitakumwaga ubongo,”
Yasri aliongea kwa sauti ya kibabe yenye kuunguruma kama Simba.
Baadhi ya polisi walikuwa washaingia ndani huku wale Vijana waliokuwa wakitupiana Risasi na Yasri wakiwa wamebana kwa chini
Wakashtuka baada Kuona mtoto wa mkuu wao katekwa.
“wekeni silaha zenu chini vinginevyo nitamtwanga Risasi huyu binti!”
Yasri akatoa Amri akiwa tayari usoni kajifunga kitambaa. Fatma nae akajifanya kutetemeka yote ilikuwa katika mipango ya kutaka mpenzi wake wa zamani aweze kutoka salama eneo hilo.
„Wekeni hizo silaha chini ataniuwa huyu”
Akaongea machozi yakimtoka
“sawa tumekuelewa bwana mkubwa tunaweka tafadhali tunakuomba usimfanye kitu chochote kibaya huyo binti”
Wakaweka Bastola zao chini na kumpisha njia Yasri akatoka nae mpaka nnje Ile kutoka tu
Sijui Yasri akajikuta akiyumba na kumuachia bibiye alikuwa ni Sniper wa ukweli aliyeandaliwa
Kwa kazi moja tu yani huyo jambazi akitoka tu
Mtwange Risasi. Ndivyo ilivyokuwa kwa
Yasri kupigwa Risasi ya bega Sijui sehemu yenye jeraha au vipi
“hapanaa msimuuwe Mpenzi wangu”
Fatma akapaza sauti huku akimkimbilia Yasri
Akamuinamia pale chini amkumbatie Risasi nyingine iliachiwa immalizie Yasri sema ikatua mgongoni mwa bibiye
Sniper alishtuka baada kuona kamtwanga mtoto wa Bosi
“Yasri!”
Fatma akamkumbatia mpenzi wake huku polisi wakisogea kwa kumzunguka kabla hawajamfikia ikatumwa salamu ya kutisha baada kurushiwa kichwa cha yule Sniper
Hafidhi alikuwa ameshafika akaanza na Sniper huku akitua kutokea angani kwa speed ya kimbunga kufumba na kufumbua
si Yasri wala bibiye Fatma wote hawapo bwana mkubwa kaondoka nao na kuwaacha polisi wakihaha huku na kule kuwatafuta,
Wanajeshi nao wakaingia ndani baada kuambiwa muuaji kapotea na bibiye
Mzee Hossam akadata si kidogo na kuamrisha binti yake atafutwe popote alipo apatikane haraka sana.
Azizi nae akapata taarifa wee usintanie
Mwanaume akapandisha mori
Akaomba kuongoza Jeshi aweze kumtafuta mkewe mtarajiwa
Akifikilia zimebaki siku tatu itimie siku ya kufunga ndoa leo hii bi harusi apotee kizembe
Lawama zote akatupiwa Baba yake kwa kutoijali nyumba kubwa yani
Ulinzi kaweka nyumba ndogo tu.
“Sasa kidogo tunaweza kupumua
Baada Mzee wa kazi kufika bila shaka kila kitu kitakuwa sawa,”
Alikuwa ni Mkuu wa kitengo cha Maagent
Bwana Fost Wambo akiwa mbele ya meza kubwa akizungumza na Chanduka
kilikuwa ni kikao nyeti cha Maagent tu tena kilifanyika usiku tu, ndani ya usiku
huo Ikram alikuwa yupo maeneo ya Kawe
Beach akiomba juu ya kipawa chake kwani bila hicho yeye si
Lolote si chochote japokuwa anafahamu
Style zote za mapigano kuanzia
Taikondo, Merantau
Karate na zinginezo akahitaji kitu cha ziada
Aweze kupambana vyema.
Maombi yake yaliweza kusikilizwa baada kuonekana kitu kama umeta hivi kikisogea maeneo hayo.
“ha!ha!ha!ha! Hatimae kijana umerudi tena
Unahitaji nguvu zako, siku zote tutakuwa pamoja nawe kijana,”
Alikuwa ni Ninja Suit kasimama
Mbele ya Ikram yeye hakuongea chochote akabaki kimya tu akimtazama
Mwalimu wake yani kitambo sana dahaa
“nyoosha mikono kijana”
Ikram akafanya hivyo. Sekunde si nyingi mwili wake ukaanza kuvablet huku ukiwaka moto akapotea
Ndani ya Makaburi ya Keko
Kulikuwa na kaburi moja likifuka moshi
Mzito ni moshi uliokuwa ukifuka na kufanya
Wachawi walioingia maeneo hayo kwaajili ya kufanya mambo yao wakimbiane kwa uwoga
Moshi ukafuka kwa muda kidogo kuna kiumbe kikatoka ndani yake.
Kupotea kwa bibiye Fatma kulimchanganya sana kijana Azizi sio siri alidata si kidogo hasa ukizingatia siku ya ndoa yake imekalibia.
Alizunguka huku na kule kumtafuta lakini hakufanikiwa hata kuuona unyayo wake.
“Azizi mwanangu kiukweli sisi
Wazazi wako hatuna kitu cha kufanya kuhusu kupotea kwa mwenzako ukizingatia
Tunazidi kusogeza siku mbele tukiwa na maana kwamba Fatma atapatikana kama si leo basi kesho.
Lakini matumaini yetu yanakatishwa tamaa na
Baba mkwe wako,”
“Mama kwanini unasema hivyo wakati kila kukicha tunashilikiana kumtafuta”
“Azizi hivi unafahamu kama yule ni mtoto wa mkuu wa Majeshi?”
“ndio nafahamu hilo swala tokea nikiwa mtoto ndio maana nikachaguwa kumuoa Binti yake”
“sasa kama unafahamu inakuwaje mkuu kama yeye awe kimya juu ya swala la mwanae
Bila shaka nae kahusika katika jambo hili ni
Jambazi gani mwenye kiburi cha kumteka mtoto wa kiongozi wa Majeshi huu ni mchezo tu!”
“Mama usifikilie hivyo bwana usimuone yuko
Kimya wakati nae yupo kwenye mipango yake au ulitaka atangaze vita ndio uwamini
Anamtafuta mwanae?”
Azizi alipingana na kauli ya Mama yake kisha akainuka na kutoka nnje.
“Hivi kama Yasri ndio kacheza mchezo huu amepata wapi nguvu za kujiamini mpaka akavamia
Sehemu kama ile tena ameua Wanajeshi wawili.
Kama kweli atakuwa ni Yasri asiombe siku akiingia kwenye kumi na nane
Zangu nitamgawanya kiungo kimoja baada kingine
Pumbavu!”
Azizi aliongea kwa hasira na kupiga ngumi kwenye kiganja cha mkono wake wa kushoto
Akatema mate chini. Akaitoa simu yake na kubofya bofya akaiweka sikioni
“Halloo, bila shaka wewe ndio Mr. Chanduka?”
“Ndio mimi kijana nikusaidie nini?”
“kiukweli kaka nilikuwa na shida ya kuonana nawe je itawezekana?”
“ndio tunaweza kuonana”
“ok! Nipatie maelekezo jinsi ya kufika hapo ulipo”
“napatikana maeneo ya njia panda ya kuelekea
Kawe kama unatokea
Mikocheni (
kabla ya kufika daraja la JKT kuna kituo kinaitwa njia panda basi shukia hapo ulizia ofisi ya
C.M.N bila shaka utaletwa moja kwa moja na vijana ambao wapo kwaajili ya kazi hiyo,”
“sawa kaka nafikili kesho
Asubuhi na mapema nitafika hapo,”
“Karibu sana kijana”
Baada kuongea akaingia ndani lakini hakukawia kutoka akapanda Pikipiki yake ya kisasa kabisa
Na kuondoka kwa speed. Kumbe tarehe ya ndoa yake ilishapita takribani wiki tatu sasa tokea kupotea kwa bibiye Fatma maana kabla ya kupotea zilibaki siku tatu tu. Aweze kufunga ndoa na binti mrembo aliyekuwa akimtia uchizi kijana
Yasri sijui wako wapi maana
Bibiye alipigwa risasi ya mgongo huku Yasri akipigwa ya bega.
**********
Tukija kwa Chanduka baada kupigiwa simu na
Azizi nae alikuwa akitafakali kuhusu kijana huyo na kujiuliza number yake ya simu atakuwa kaitolea wapi. Nani kampatia hii number?”
Wakati akiwa na mawazo mlango wa ofisini kwake ukafunguliwa na binti mrembo aliyevalia kisketi kilichopanda juu ya magoti huku kwa nyuma kukiwa na mpasuo fulani wenye kukuelekeza njia ya
Ikweta,
“Samahani mkuu kwa kukuingilia bila taarifa”
Binti alianza kuongea kwa sauti yake tamu.
“bila samahani ehee ulikuwa na shida gani?”
“kuna mgeni alikuwa akihitaji kuonana nawe”
“ok! Mwambie aingie tu”
Binti akageuka kwa mwendo wa madaha na kutoka nnje huku nyuma Chanduka akajilamba midomo
kwajinsi mtoto anavyomtega.
Mlango ukafunguliwa mgeni mwenyewe hakuwa mwingine ni Hafidhi j Ikram kiukweli
Chanduka hamfahamu kabisa,
“karibu sana kijana ukae”
Basi wakapeana mikono Hafidhi akakaa kwenye kiti
“Bila shaka aliyembele yangu ni
Chanduka?”
“ndio Mimi au ushawai kusikia kuna Chanduka mwingine zaidi yangu?”
“hapana sijawai kusikia kama nilivyo Mimi”
“ha!ha!ha!ha! Kwani unaitwa nani mpaka jina lako asiitwe mtu mwingine yeyote?”
“naitwa Chaukucha ushawai kusikia jina hilo?”
“Aisee hilo jina ni tou much sijawai kulisikia ndio kwanza nalisikia kutoka kwako”
Basi walicheka na kugongeana mikono ilikuwa ni Mara ya kwanza kwa miamba hii kukutana japo katika kumbukumbu walishawai kukutana
so sijui ni Hafidhi huyu au mwingine
Stori zikaendelea, tukija nnje ya ofisi hiyo
tunamuona Bibiye Mariam akishuka kwenye gari na kupiga hatua kupandisha ngazi ya jengo hilo.
“Mambo vipi?”
Mariam akasalimia baada kufika mapokezi
“Safi tu shost vipi mbona leo umechelewa? Shemeji nini alikuwa amekukamatia?”
“ahaa wapi embu wacha niwahi vipi kwani
Mona Lisa na Chanduka washafika?”
“mbona kitambo tu”
“wacha kwanza nikamuone Chandu maana jana nilimpa flashback yangu”
“lakini sasa hivi yupo na mgeni”
Licha ya bibiye kuambiwa kuna mgeni akaelekea ofisini kwa Chanduka kabla hajaingia akazunguka sehemu ya Dirishani na kuchungulia nia yake
Aweze kumfahamu huyo mgeni ni nani
Maana Chanduka ana siku chache sana tokea afike nchini leo hii apate ugeni.
Kitu kingine ni umbea wa Mabinti ndio uliomsukuma
Mariam afanye hivyo.
Akapekenyua panzia kwa funguo na kuchungulia
Hakuweza kumuona mtu huyo kwa haraka maana alikuwa kampa mgongo.
Sema alishtuka baada yule mtu kugeuka na kuangalia juu, hakuweza kuamini
Aisee ni Mumewe mapigo ya moyo yakaanza kwenda kasi na kukaa chini akaingiza mkono kwenye Mkoba wake na kuitoa simu
“Halloo”
“Wewe mpaka mida hii ujafika ofisini unafanya nini tambua kazi haziendi hivyo Sister”
Ilisikika sauti ya Chanduka akiongea kumbe
Mariam kampigia simu Chanduka
“nishafika mkuu ila naomba unisikilize kiumakini sana kuwa makini na huyo
Mtu uliyokuwa nae”
“unamaanisha nini kusema hivyo”
“Nishakwambia kuwa makini hapo ulipo upo katika hatari kubwa sana,”
“what?”
Chanduka alisikika akiuliza kwa mshangao,
Simu ikakatwa basi
Chanduka kijasho chembamba kilimtoka asiweze kufahamu huyu mgeni ni nani akaangalia dirishani na kumuona Bibiye akiwa kakaa chini.
“vipi mkuu mbona kama unaonekana na wasiwasi fulani baada kuongea na simu?”
Hafidhi akauliza
“hamna kitu kijana unajuwa tena ni mambo ya kifamilia tu”
Chanduka alijibu huku akivuta ndroo ya Meza akaishika Bastola yake na kuitoa kwa haraka sana akamyooshea Hafidhi
“wewe ni nani?”
Akauliza kwa jaziba sema akajibiwa kwa kupigwa teke mikononi mwake Bastola ikamponyoka na kudondoka chini
Hafidhi alichumpa na kuidaka ile Bastola kufumba na kufumbua Chanduka kawekwa chini ya ulinzi”
Mariam aliweza kushuhudia yote hayo
Akiwa dirishani akashindwa kufanya chochote
“sikia nikwambie kitu Mr.Chandu mimi sijaja hapa kwa ubaya. Nimekuja kwa wema tu
Labda nikwambie kitu mwambie
Mzee Hossam Mbonde mwanae yupo mikononi mwangu na sitoweza kumuachia mpaka atubu dhambi zake.
Ameisambaratisha familia ya watu kisa binti yake
Sasa kila mwenye kuingilia hili swala ataenda kuzimu nimetoroka jela kwa kazi moja tu,”
Hafidhi akafyatua Risasi nyingi kwa kupiga juu
kitendo ambacho kiliwashtua maofisa
wote wa kitengo hiko akatoka nnje
Lakini kabla hajapiga hatua mbili tatu akashikwa mkono na kuvutwa kwenye kona. Nae akafanya kujitoa kwa kumzungusha yule mtu aliyekuwa akimvuta, kwa kumsukumiza
Ghafla akawahi kumdaka baada kumuona ni Mkewe maana kule kumzungusha ndio alikuwa anamtupa kutoka juu ya
Gorofa mpaka chini
“opsii baby umekuja kufanya nini hapa?”
Mariam akauliza huku akihema.
“nimekuja kumpa jambajamba Mr.Chandu
bila shaka salamu yangu kaipata,”
“kwanza umetokaje kule Jela?”
“baby huu sio muda wa maswali na majibu sema nitakuja kuongea nawe leo usiku jiandae baby”
“mi staki mpaka uniambie umetumia
Mbinu gani kutoroka kule jela
Maana unatoka na kurudi faster”
“unataka nikujibu sio?”
“ndio maana yake nijibu sasa hivi,”
“sawa baby embu kwanza fumba macho yako
Kisha nikujibu,”
Mariam akafumba jicho moja
“fumba yote bwana”
Hafidhi akamuomba tena walikuwa wakizungumza kwa sauti ya chini sana huku hatua za vishindo za
Maundercover Agent wa kitengo hiko zikisikika huku na kule basi bibiye akafumba macho
Mwanaume akaupeleka mdomo wake na kumyonya denda
“op!!!,,,,,ahaaaaa”
Bibiye akagugumia na kuchuchumalia
Alikuwa bado kafumba macho akisikilizia utamu sekunde kadhaa mbele akaona kimya kufumbua macho Hafidhi hayupo akachungulia
huku na kule haoni mtu
“ohoo shit!”
Nae akatoka mbio Bastola mkononi na kuingia ofisini kwa Chanduka alimkuta bwana mkubwa akiwa kajiinamia bila shaka alikuwa akiwaza.
Ni kweli Chanduka alikuwa akifikilia juu ya ujio wa
Hafidhi pale haukuwa ujio wa Shari kama angekuwa kaja kwa ubaya kingenuka pindi alipoingia tu.
Akakumbuka kuna kipindi yeye aliwahi kufanyiwa vitendo vya kinyama ikafikia hatua akalipa kisasi kwa kumuua Baba mkwe wake
Imekuwaje leo yeye awe anapambana na wenye kutaka kulipa kisasi
“Wacha moto uwakee!!!
Chanduka akapaza sauti kuongea hivyo na kukutanisha macho na bibiye Mariam.
Je nini kitaendelea?”
Sehemu Ya 9
Kauli ya Chanduka kusema wacha moto uwake ilimshangaza sana bibiye Mariam.
Huku Chanduka nae akishangazwa na kumuona bibiye kaingia ofisini kwake. Japokuwa sio jambo la kushangaza lakini Chandu alishangaa
“vipi tayari amekamatwa?”
“ah, ahaa, hapana”
Mariam akajibu kwa sauti ya kubabaika kidogo milio ya
Risasi ikasikika kwa nnje kila mmoja akakimbilia dirishani na kuchungulia nnje.
Waliweza kumuona bibiye
Mona Lisa akiwa anafyatua risasi kwa fujo kumlenga
Hafidhi aliyekuwa akichumpa kuzikwepa akakibetua kiti
Cha plastic na kukipiga teke kilienda kutua mikononi mwa bibiye Mona Bastola ikatupwa kule mwanaume alikuwa yupo moto si mchezo.
Chanduka na Mariam wakashuka kwa kutumia kamba maana waliona
Lift au ngazi ni michosho sasa ikawa mtu tatu kwa mmoja
Kiukweli Chanduka na bibiye Mariam hawakuwa Sirius katika kupambana yani walikuwa wakipiga kwa kuvizia,
Hafidhi alikuwa bado kujivika mavazi yake ya kazi nae akafanya kama kuwatania tu.
Ulitembezwa mkono kwa style za pekee ndani ya Dakika kumi kila mmoja hoi
Mwanaume akapotea na kumuacha Chanduka akicheka mbavu hana
“Ha!ha!ha!ha!ha!”
Kila mmoja alishangwaza na kicheko cha mkuu wao.
“sasa mkuu unacheka nini?”
Mona akauliza huku akijifuta damu zilizokuwa zikimtoka mdomoni kwani yeye na maofisa wengine ndio walikuwa Sirius katika mapambano na kuishia kuambulia
Maumivu ya maana.
“Nacheka kwasababu nimeyavulia nguo maji ya moto aisee sijakumbuka kuya pooza.
Basi nao wakacheka baada kuelewa nini anamaanisha mkuu wao. Polisi waliweza kufika eneo hilo na kuhitaji kutoa msaada na kukuta kila kitu kimekwisha.
Waandishi wa habari wakiongozwa na Jackson
King’soka waliweza kumuhoji mawili matatu bwana mkubwa Chanduka nae akaonyesha ushilikiano kwa kusema
“kipindi cha miaka minne iliyopita nyuma leo hii inaanza kujirudia tena
Tena safari hii ikiwa na kasi ya kimbunga
Mafisadi wanyanyasaji matapeli vibaka
Wote jiandae moto utawaka
Wacha moto uwake, ha!ha!ha!ha!
Baada kuongea hivyo Chanduka akacheka ndio
Style yake mpya hiyo anapenda kucheka hata sehemu ambayo haistahiri kufanya hivyo
Maneno yake yalikuwa kama mafumbo hakuna hata mmoja aliyeweza kuelewa.
Nini anamaanisha ikabidi Muandishi King’soka amuulize
“unamaanisha nini kuongea hivyo kamanda?”
“unataka kufahamu sasa ni hivi mwenye macho na aone. Mwenye masikio na asikie
Hatimae Hafidhi j Ikram leo hii katoroka Jela,
Ha!ha!ha!ha!”
Chanduka alimaliza kuongea kwa kicheko si
Waandishi wa habari wala Polisi waliofika hapo hakuna aliyeweza kuamini ilibidi waeleke
Gereza la Segerea huko ndipo wakapata majibu kamili Mwanaume katoweka kwa kuvunja geti.
Taarifa ya habari saa mbili usiku ikatangaza juu ya tukio hilo la kushtusha.
Wananchi walifurahi huku
Baadhi ya matajili wakishikwa na matumbo ya kuhara.
“Sasa huyu jamaa katoroka mbona majanga
Aisee mwaka huu kama kufa tutakufa wengi wacha usiku wa leo nitubu dhambi zangu mapema kesho nianze kuingia msikitini.
Maana huwezi juwa sekunde dakika au saa atakayo
kujia huyu kibaraka wa mtoa roho!”
Aliongea mmoja kati ya vijana wa Mzee Hossam Mbonde mkuu wa Majeshi wakati huo
walikuwa katika kikao kizito kwenye moja kati ya nyumba za Mzee huyo.
“Kijana embu acha uwoga siku zote jiamini
yani umeenda Depo ukaenda kupigana vita
huko Rwanda leo hii umuhofie kidudu mtu kama huyu. Siku akiingia kwenye anga
Zangu ndipo atakapokuja kusimulia
Sijawa Mkuu wa Majeshi kimchezo mchezo!”
“Ndio mkuu tunakuaminia
Baba”
Basi vijana wake wakamsifia mkuu wao pasipo kutambua anatukana Mamba kabla ya kuvuka Mto.
Simu yake ikawa inaita kila mmoja akanyamaza kimya
Hossam Mbonde akaipokea hiyo simu
“halloo”
“Halloo mzee”
“ehee niambie kijana naongea na nani?”
“sina haja ya kukutajia Mimi ni nani labda nikwambie kwa kifupi tu uhai wa Binti yako
Fatma upo mikononi mwangu kuzihirisha hilo
embu isikie sauti yake kwa Mara ya mwisho,”
ilisikika sauti ya kibabe ikiongea hivyo
Mara akasikika bibiye Fatma akiongea kwa kilio
“halloo baba mwanao nakufa hukuu
Please nisaidie!”
Mzee Hossam alidata na kusimama wima kijasho kilimtoka
“Bila shaka umeweza kuisikia vyema sauti ya mwanao”
“hivi kijana unafahamu unaongea na nani?
Nina uwezo wa kukufikia mara moja hapo ulipo,”
“sikia Mzee tusianze kutishana sijui nani wakati wewe ni nyani tu sasa
Tunahitaji kiasi cha pesa yani shilling
million stini tu ili tuweze kumuachia huru Binti yako vinginevyo utaletewa kichwa tu!”
Simu ikakatwa pasipo kuelekezwa hizo pesa
zipelekwe wapi.
“halloo,halloo”
Mzee akazidi kuongea akaingalia simu kumbe ishakatwa akapiga haipatikani, akatoka nnje ya mjengo huo uliopo maeneo ya
Sinza huku nyuma akifatwa na vijana wake.
“haraka sana kimbiza gari tuelekee
Mlimani City!”
Alitoa amri hiyo safari ya kuelekea
Mlimani City ikaanza. Alipofika tu maeneo hayo akashuka na kuingia ndani ya mjengo
alienda moja kwa moja mpaka sehemu ambayo mitandao ya Simu ikitoa huduma kwa
Wateja wake kulikuwa na
Vodacom. Tigo. Airtel. Harotel
Zantel akaitafuta moja ya kampuni hizo na kuingia ndani. Japokuwa kulikuwa na foleni na kama ujuavyo sio kila mtu mwenye kuweza kumfahamu mkuu wa
Majeshi ni watu wachache sana wenye kumfahamu
wengi wanalisikia tu jina lake.
Basi alipoingia humo na kwakuwa alikuwa kavaa kilaiya akapanga foleni kama wateja wengine.
Akiwa kwenye foleni
Kuna mzee wa makamo aliingia kwanza alishtuka na kupiga,
Kumfata alipomfikia akamshika begani
Hossam Mbonde akageuka kumtazama aliyemgusa
“Kha! Mkuu ni wewe?”
Yule mtu akajikuta akiongea hivyo
Hossam akafanya ishara ya kuweka kidole chake cha kati mdomoni akimtaka anyamaze
Basi wakaongozana hadi ndani ya chumba kimoja hivi kumbe yule jamaa alikuwa ni Mkurugezi wa kitengo hiko.
**************
Kiumbe kile kilichoibuka kutokea
Maburini
kilikuwa ni kiumbe cha kutisha si mchezo
kilisafiri kwa speed tena umbali mrefu kidogo
Hatimae kikatokea
Maeneo ya Gongo la Mboto kikatua juu ya nyumba moja mfano wa ndege aina ya Njiwa.
Kikaangaza macho huku na kule macho yake tu yalikuwa yanawaka moto hiyo
Miale yake ikikumulika tu
Mwili mzima utaanza kumomonyoka sijui
Amekuja duniani kufanya nini
kisha akaingia ndani ya kibanda ambacho kilikuwa na Njiwa wengi sana.
Kesho yake
Asubuhi ndani ya mtaa huo kwenye nyumba ambayo
Jana yake usiku tuliweza kushuhudia kile kiumbe cha ajabu kikitua ndio
kulikuwa na vilio
kuonyesha maeneo hayo kuna
Msiba
“hiiiiiiiiiii Masudi kaka yangu mbona umetuacha ghafla hivi, ulisema leo
Utaniletea wifi yangu nimuone kaka embu fumbua macho bwana hamkaa!”
Ilisikika sauti ya binti akilia kwa uchungu huku akiutikisa mwili wa kijana uliokuwa umelala kitandani
Majirani walikuwa na kazi ya kuwatuliza wafiwa
huyu alimbembeleza huyu na yule akambembeleza huyu,
Mwili wa marehemu ukachukuliwa kupelekwa hospitali kwaajili ya vipimo.
“Dahaa kweli kifo hakina huruma yani mshikaji jana usiku alikuwa mzima kabisa.
Tukaenda nae Mbegala kule Dar Live kuitazama Jahazi Modern Taarab
Akapata jimama la Kitanga
tukarudi tukiwa fresh leo hii kavuta ghafla,”
“ndio hivyo kaka tumezaliwa na tutakufa. Mwenzake akamjibu.
********
Hivi huyu Mwanaume mbona kanidanganya si alisema usiku wa juzi atakuja nijiandae sasa mbona hakutokea,”
Bibiye Mariam alikuwa akijiuliza kuhusu Mumewe kutokutokea wakati aliahidi nae akajianda kusuguliwa akaishia kujichezea tu kiukweli bibiye ana ugwadu si kidogo sema hakuwahi kufikilia kuchepuka hata siku moja.
**************
Tukija kwa bwana Ophio ambaye ndio mkuu wa Gereza la Segerea siku hiyo alikuwa na mengi ya kuongea Akaitisha kikao Cha baadhi ya Wakuu wenzake katika Serikali bila kusahau Waandishi wa Habari.
Akasema kitendo cha Hafidhi kutoroka kimechangiwa na baadhi ya Watu waliokuwa wakija kumuona.
Leo hii nitawataja hao watu pamoja na kuonyesha Video ambazo Camera zetu tulizozitegesha kwenye chumba ambacho ni kama makutanio baina ya Mfungwa na mtu wake zimeweza kunasa kila kitu,”
Wakati kikao hicho kikiendelea ghafla ndani ya ukumbi huo kikaingia kiumbe wa ajabu mfano wa Mjusi Kenge huyu alikuwa ni mkubwa utaseme
Gari aina ya
Tax alikuwa akifuka moshi na kuunguruma kwa sauti Kali na nzito mpaka jengo hilo
Likatikisika huku
Nnje Barabara ilianza kuachia nyufa
Moshi mzito na mweusi ulianza kutokea ndani ya Jengo hilo mara moto ulianza kuwaka watu walikimbizana huku na kule waliofanikiwa kutoka basi ndio ilikuwa salama yao.
Waliobakia ndani walipoteza maisha akiwemo Mkuu wa Gereza bwana Ophio
hakuweza kutoka
Kikosi cha uokoaji wakiongozana na Askari polisi waliweza kufuka na kufanya jitihada za kuuzima moto huo.
Muandishi wa habari kijana King’soka kiukweli alikuwa ni miongoni kati ya watu waliofanikiwa kutoka kwenye tukio hilo la kutisha. Alikuwa kaegemea gari yake
Huku akihema kwa kasi
“Vipi bwana mkubwa nini kilichotokea?”
alikuwa ni Muandishi mwenzake ambaye alifika baada kusikia kuna Nyumba yenye
Gorofa takribani saba inateketea kwa moto.
Kabla ya kujibiwa sauti ya kishindo kizito ikasikika nyuma yake
Akageuka Mungu wangu hakuweza kuamini kwakile
Akionacho mbele ya upeo wa macho yake Kiumbe wa ajabu alikuwa kaibuka ndani ya mjengo huo
Akapaa angani
na kupotea.
Watu walianza kujazana katika eneo hilo polisi nao wakazidi kumiminika na kufanya kazi ya ziada kuwatawanya watu wasiweze kusogelea maeneo hayo. Lakini wananchi walikuwa wabishi kusikia ndio kwanza wakasogea
Ni tukio ambaro liliweza kurushwa moja kwa moja kwenye vituo vya Television nchi nzima wakashuhudia wenye ndugu ambao walikuwa wakifanya kazi maeneo hayo wakafunga safari
Kuelekea huko wakitaka kufahamu
Je ndugu zao ni wazima au laa.
Chanduka nae akafika akiwa kaongozana na bibiye Mona
“habari yako kijana,”
“Safi tu shikamoo”
“marhabaa je unaweza kuniambia kitu gani kimesababisha yote haya?”
“Kiukweli sijui hata nikuelezee vipi kaka yangu maana naona kama vile ndoto au natizama movie za Hollywood kwajinsi nilichoweza kukishuhudia leo hii tena katika nchi kama hii. Kwakweli mwisho wa dunia umewadia
Mungu anatuma viumbe vyake kuja kutukumbusha.
Kiukweli kaka Mimi ni fundi viatu katika eneo hili Niko hapa takribani miaka mitano sasa.
Wakati nikiwa nimekaa pale napiga Kiwi kiatu cha mteja wangu
Ghafla nikaona kuna kitu kikitua chini kwa kishindo kisha kikaingia ndani. Kwanza nilifikicha macho nisiweze kuamini macho yangu au Bange niliyovuta leo haikutolewa mbegu nikashindwa kumwambia mtu yeyote nisije kuonekana chizi. Nikahitaji kuakikisha je kile nilichokiona ni kweli au hisia zangu zinanipeleka sivyo.
Nikanyata mpaka ndani ndipo nikapata uwakika baada kukiona kile kiumbe cha kutisha mfano wake sijawai kuona katika movie yeyote ile Zombie si Vampire wala si Jinni akaanza kufutuka na kuwa Zinga la mnyama mwili mzima ukiwaka moto. Huyoo nyuma yako!!!
Jamaa akasimulia na kupiga kelele kitendo bila kuchelewa Chanduka akachumpa kwa kulala chini kitu kama kijinga cha moto kikampitia kwa kasi na kwenda kutua kwa fundi viatu
Akatawanywa viungo vyote ni kweli kiumbe kilikuwa kimerudi
Sijui anamfahamu vipi Chanduka.
Maana alipofika tu akamtupia kombora kama sio fundi viatu Sijui hali ingekuwaje kwa Chandu, bibiye Mona akaitoa Bastola yake na kuachia risasi kukipiga kile kiumbe mfano wa Mjusi Kenge lakini risasi zilidunda.
“Monaa, kimbia!”
Chanduka akapaza sauti kumwambia Mona akimbie kwani kiumbe kilikuwa kikimjia kwa kasi lakini Mona ndio kwanza akazidi kuwasha moto kuja kutahamaki kiumbe kishamfikia kalibu yake akapuliziwa moto
Huwezi kuamini Undercover agent
Bibiye Mona alikuwa akiteketea kwa moto alipiga kelele kuomba msaada lakini
Msaada utoke wapi kiumbe kinatema moto kila sehemu.
Chanduka nae akashindwa kusogea akabaki kushuhudia kwa macho tu jinsi bibiye akitapatapa na kudondoka chini kiumbe kikapotea.
Na kuacha pigo zito kwa jeshi la polisi na baadhi ya wananchi waliopoteza ndugu zao katika tukio hilo.
************
Tukija kwa bwana mkubwa Hafidhi j Ikram tunamuona akiwa na Yasri na bibiye Fatma wamekaa sebuleni wakipanga hili na lile
“unajuwa shemu ile juzi umenifurahisha sana”
“nimekufurahisha kwa lipi?”
“si ulivyokuwa ukiongea na Baba yako ukaigiza sauti ya kulia utasema umetekwa kweli vile hakika wee noma siku nitafanya mipango nikupeleke Korea ukacheze movie nakina Lee Min Hoo yule mkali wa City Hunter”
“Ha!ha!ha! Shemu bwana embu acha kunichekesha kwanza kikorea chenyewe sikijui nitacheza vipi kingine wale wenzetu kwenye Movie zao hawahitaji ngozi nyeusi wanacheza wao kama wao”
“kuhusu hilo wala usijali Jumong ni mshkaji wangu nitachonga nae tu”
“mmh! Lakini kaka kwanini usimpeleke Bongo movie?”
Yasri akaguna na kuuliza swali,
“Bongo movie washamba tu uliona wapi Jambazi anavamia sehemu kufika mlangoni akavuwa viatu?”
“sijawahi kuona aisee wapi hiyo kaka?”
“si bongo movie hao”
“hahahahaha”
Basi wakacheka
“Lakini shemu mbona hukumwambia Baba hizo pesa azipeleke wapi?”
“Mungu wangu nilisahau Aisee hata hivyo hatuna shida na visenti vyake embu Yasri washa Television tuangalie Dunia inasemaje huko nnje,”
Tv ikawasha hakuna aliyeweza kuamini baada kukutana na habari ya kushtusha
Kila mmoja akakodolea macho kuangalia kwenye kioo cha Television
“kaka nini hii?”
Yasri akauliza lakini hakujibiwa akageuza macho yake kumuangalia Hafidhi hayupo.
“baby shemeji yako kaenda kuuza sura”
Ikabidi Fatma nae ageuke kutazama akaishia kutabasamu.
***********
Tukija kwa bwana Hossam baada kutoka kule Mlimani city akapatiwa majibu kuwa line hiyo imesajiliwa tarehe 4 October mwaka huu mtumiaji wa number hiyo ni Fatma Hossam alipiga simu akiwa visiwani Zanzibar,”
hayo ndio maelezo aliyokuwa kayapata akaumiza kichwa kwa kujiuliza inamaana mtekaji kasajili line kwa kutumia Kitambulisho cha binti yangu. Akaita vijana wa kuaminika kutoka kitengo maarumu cha Jeshi ni Vijana ambao wapo spesho kwaajili ya kazi zilizo
Shindikana wakapewa mchongo mzima na kuambiwa Zanzibar ni kisiwa kidogo sana kama kweli Binti yake atakuwa kafichwa huko atapatikana tu.
Fanyeni uchunguzi wakina muweze kufahamu kila kitu.
Wakati akitoa maelezo kwa Vijana wake simu ikaanza kuita kuangalia mpigaji number ngeni akaipokea, ghafla akashtuka na kukata simu
“Vijana basi haina haja yakwenda huko Zanzibar embu nifateni kwa siri sana,”
Akachukuwa koti kubwa jeusi akavaa kisha akavuta Droo na kutoa Bunduki zake ndogo na kuzisunda kwenye koti
“haya twendeni”
Safari ikaanza lakini walipotoka nnje tu
Vijana wakaelekea njia nyingine na kumuacha mkuu wao akiwa kaongozana na mlinzi mmoja tu.
Safari yake ikampeleka mpaka Bunju akashuka kwenye geri akamuomba kijana wake amsubirie akapiga hatua kadhaa kuifata moja kati ya nyumba iliyopo maeneo hayo, akashika kitasa cha mlango pasipo kubisha hodi akaingia ndani. Kilichoendelea humo anakijuwa mwenyewe sijui alienda kuonana na nani.
Ndani ya msitu mmoja hivi kulikuwa na kimuhemuhe cha viumbe waajabu wakipigana miti ilidondoka hovyo moto uliwaka majani yalitimka yalikuwa ni mapambano baina yakile kiumbe na
Ninja suit sijui Ninja suit katokea wapi? Na hiki kiumbe alikutana nae vipi?
Kiumbe kilizidi kutema moto huku akitumia mkia wake Mrefu wenye ncha kali mfano wa Jambia.
Ninja suit alikuwa akikwepa kwa kuruka huku na kule pamoja na kumdonyoa za chembe Mara apite uvunguni Mara juu ya kiumbe ilimradi amsumbuwe
Kiumbe kikaunguruma kwa hasira na kujibadirisha umbo kutoka katika Mjusi Kenge mpaka Mnyama aina ya Dragon
Akajivilingisha kwa kukusanya zinga la Gogo na kumtupia Ninja suit akazunguka na kudank juu ya lile Gogo na kuachia mateke ya kifua
Kiumbe kikayumba na kupotea. Ninja suit akapiga Bomu la Kininja ili aweze kumfata lakini alikuwa amechelewa kiumbe kishasepa.
“ohoo Shit! Bahati yako umekimbia lakini ipo siku nitakuangamiza bwege wee!”
Ninja suit au Ikram nae akapotea ile anapotea tu Ninja short nae akaibuka eneo hilo alikuta msitu umeharibika vibaya utasema kulikuwa majalibio ya Bomu la nyuklia akaangalia na kuona matone ya damu akasogea na kuishika ile damu.
Huyu mwingine aliyekuwa akipambana na hiki kiumbe ni nani?
Akajiuliza na kuvuta kumbukumbu zake nyuma hakuweza kumpata.
“Jamani, msitu wetu unateketea kwa moto kule,”
Wanakijiji wa Matombo mkoani Morogoro wakapaza sauti kuitana basi walikusanyika na kuelekea huko msituni
“Aliyechoma moto ni yule kulee!”
Mmoja kati ya Wanakijiji si akamuona Hafidhi akiwa anatoka katikati ya Msitu akapiga kelele kuwaambia wenzake wasianze kumkimbiza nini.
Hafidhi alikuwa kajivuwa ule Uninja wake na kuwa mtu wakawaida tu.
Basi alikimbilia kijijini na kuingia kwenye kichaka
Akajificha kimyaa kikundi cha Wanakijiji wakapita vuuu,
Baada kuona wamepita akainuka lakini kabla ya kufanya hivyo akasikia hatua za mtu akija maeneo hayo akainama na kujificha tena.
Akachungulia mapigo yake ya moyo yakaanza kudunda kwa kasi.
Mwanaume akabaki kukodolea macho hakuweza kuamini kwakile akionacho
Kulikuwa na binti kavalia Kanga kwa mtindo wa kujifunga rubega alikuwa kachuchuma kwenye kichaka akijisaidia
Sijui haja kubwa au ndogo.
Mtoto akaachia ushuzi puhuu, hahahahaha
Akacheka akifahamu hapo kichakani yupo peke yake
basi akajiingiza kidole kwenye kitumbua chake kinono na kuanza kukikatikia
“aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,,,,hiiiiiiiiiiiiiiooooouhhh
Binti akafumba macho na kusikilizia utamu wa kidole chake huku akitoa mighuno.
Hakuweza kufahamu kama pembeni yake
kuna Simba mwenye njaa na vitumbua yeye anakichezea kwa kidole,
Hafidhi uzarendo ukamshinda na kuamua kumshtua yule Binti
“Dada unafanya nini hapo?”
Binti alishtuka si kidoge sema akashindwa kupiga kelele na kubaki kubabaika tu.
“Samahani binti kwa kukushtua mpaka nimekukatisha kwenye starehe yako sasa unaonaje nikikusaidia!”
Hafidhi aliongea kwa sauti ya upole na kumshika binti mabegani
“Aku mi sitaki bwana nitafanyaje hiki kitu na mtu ambaye simfahamu. Na istoshe wewe s- ndio ulie-choma msitu?
Ulikuwa unakimbizwa!”
Binti aliongea kwa sauti ya kitetemeshi yenye kutawaliwa na uwoga,
“hapana sio mimi”
“kwanza wewe nani na unatokea kijiji gani?”
“Naitwa Erick natokea kijiji cha Msavu”
“ohoo kumbe ni mwenyeji wa mkoa wa Morogoro ehee?”
“ndio maana yake”
Baada mwanaume kutoa jibu binti akajiachia na kumuachia nafasi Hafidhi afanye yake.
walikutanisha midomo yao na kuanza kunyonyana ndimi kwa hisia.
Hafidhi aliuchukua mkono wa Binti na kumshikisha mtalimbo wake kumuonyesha jinsi ulivyo simama kama chuma cha Pua
Binti
baada ya kuushika Mtalimbo alipigwa na butwaa
“Mbona kubwa hivi?”
Akauliza huku akiendelea kuupapasa
Mwanaume akafanya kumvuta sura yake na kuendelea kumnyonya denda
mkono wa kulia tayari ulishaingia katikati ya mapaja na kuanza kumsugua kiarage
chake kirefu kama Mwanamke wa Kisukuma kitu kilidinda na kusimama utasema kidole cha
Mwisho usiombe ukutane na Mwanamke wa dizaini hii unaweza kuhonga hata nyumba ya urithi.
“aaah,,aaaasssss,,,aaaah,,aaaaaah,,mm
mmh,”
Alilalamika Binti wa watu huku asiamini kama ni kweli amemruhusu Mwanaume huyo kumtawala kiasi hiko
Basi binti
Alilazwa chali binti
ambaye alikuwa amelegea kwa kiasi chake
Akamfungua ile kanga Binti akabaki uchi kabisa na kufanya dodo zake kuonekana wazi.
Alizivamia na kuanza kuzinyonya na ulimi wake.
“aaah,,,,aaaaauwiiiiiii,,,,,aaaissssss,,,,mmmmh”
Alilalamika bibiye Hafidhi akaushika Mtalimbo wake na
Kuwingiza ndani ya kitumbua ukazama mpaka ndani kwenye kitumbua cha Binti huyo aliyeonekana mwoga kupita wakati alikuwa akijchuwa so sijui uwoga wake sababu ya kuona kitu kikubwa kama mguu wa mtoto au vipi. Akaanza kupampu taratiibu.
“aaaaah,,,aaaaaah,,,oooohaaasssss,,,aaahmmmm,,mmmh!”
Alilalamika Binti akiwa kafumba macho huku akikatika kwa mwendo wa usiingize yote.Binti ambaye kitumbua chake kililibana haswa Hafidhi alipojaribu kuuzamisha Mtalimbo wake uwingie wote
“aaah,ooooohmmmm
aaaaaah,,,aaaaaaaaaaaaaaaa
,,,mmmmh,uwiiiiiiuuu!”
Binti akapiga ukelele ilibidi Hafidhi amzibe mdomo na kuendelea kumpampu kwa speed
*********
Tukija jijini Dar es salaam tunamuona kijana Yasri akiwa anaingia Super market
Hakukawia sana kutoka akaweka mfuko wake sawa kwenye usafiri wake aliokuja nao wa Pikipiki na kuiwasha
“oyaa mbona yule jamaa kama namfanisha?”
“jamaa yupi?”
“yule aliyevaa jacket jeusi mwenye pikipiki,”
“ebwana ndio mwenyewe”
Jamaa aliyeambiwa baada kumuangalia huyo mtu akajikuta akitamka ndio mwenyewe, akaitoa simu yake na kumpigia sijui nani sema alisikika akiongea
“Ehee bila shaka ndio yeye mkuu powa nitafanya hivyo”
Akakata simu wakaendelea kumtazama Yasri maana ndio mlengwa wao.
Yasri nae hakuwa na hili wala lile akawasha
Pikipiki yake na kuondoka huku nyuma akawa akifatiliwa na vijana wawili.
Yasri akaingia maeneo ya Tazara akakunja kuifata Barabara ya
Train kufika sehemu moja hivi akapotea mbele ya upeo wa macho ya wale jamaa
“Ebwana huyu bwege kaingilia wapi tena?”
Vijana wale walianza kuulizana na kupaki gari yao pembeni wakashuka maana njia aliyopitia Yasri
Gari haiwezi kupita wakatembea mpaka kwenye kichochoro Fulani hawakuweza kuamini macho yao baada kuiona Pikipiki ya Yasri ikiwa imepaki mbele ya nyumba moja chakavu
Wakaongozana kuifata ghafla kishindo kizito kilisikika nyuma yao kugeuka wanakutana uso kwa uso na Yasri si wakataka kujitetea
Mwanaume ilimchukuwa dakika mbili kuvunja shingo za vijana wale.
Kumbe mapema tu alishtukia mchezo kama anafatiliwa mi nilitaka kushangaa wanted kama yeye atatembeaje macho juu.
Baada hapo akapiga sachi kwenye mifuko ya jamaa na kuchukuwa kila kitu chao
kuanzia simu sijui wallet alifanya yote hayo bila wasiwasi tena mchana kweupe
Akapanda pikipiki yake na kupotea.
“Mbona Mussa apokei simu imekuwaje tena?”
“usikute dogo kaanza dharau maana Mimi mwenyewe juzi nilimpigia simu iliita wee lakini hakupokea,”
“sasa kama anataka kufanya ujinga kama huo sio kwenye ishu kama hizi,”
Alikuwa ni Azizi akiwa ndani ya gari akijitahidi kumpigia simu huyo Mussa
Lakini simu haikupokelewa akapiga ngumi usukani wa Gari
“ohoo shit!”
“Mkuu embu angalia kushoto kwako sio Gari ya Mussa ile?”
Kijana ambaye alikuwa sambamba na Azizi akamuuliza, Azizi akaangalia na kusema ndio yenyewe akazungusha usukukani na kwenda kupaki nyuma ya hiyo gari wakashuka na kuisogelea
lakini wakaona umati wa watu ukielekea maeneo ya
Relini huku wakisema kuna vijana wawili
Wamekutwa wameuwawa, ikabidi nae atake kwenda kushuhudia
“Kiboma embu twende tukaangalie isijekuwa ni wao”
Wakatembea kwa hatua za haraka si
Azizi wala Kiboma aliyeweza kuamini
Aisee Mussa na mwanzake walikuwa wamelala chini pumzi hawana.
Hawakutaka ushahidi wakaondoka
“Hivi huyu Yasri anajiamini nini mpaka kufikia hatua ya kuuwa vijana wangu? Ameutolea wapi
Ujasiri wa namna hii nani kamfundisha
mapambano?
Aliwezaje kuteketeza Wanajeshi watatu kule kwa Baba mkwe bila shaka kuna mtu
nyuma yake anaemsaidia kutenda yote haya je ni nani?”
Azizi alijiuliza maswali mengi sana kichwani kwake na kupiga kelele kifo cha vijana wake kilimuuma si kidogo,
“lakini mkuu si umesikia kuwa yule Muuaji wa kutisha Hafidhi j Ikram ametoroka Gerezani.
Mimi nina wasiwasi huyu mtu atakuwa nyuma ya Yasri”
“Kiboma acha kuongea upumbavu je una uhakika na ukisemacho?”
Azizi akang’aka na kuuliza swali
“sina uhakika bosi wangu sema nimehisia tu”
“Basi usipende kuhisia vitu vya kipumbavu hivi unafikilia Hafidhi akiwa nyuma ya huyu
Bwege nani ataweza kumdhibiti si tutakufa wote, nakumbuka jana nilienda kumuona
Mr.Chanduka ofisini kwake nikakuta taarifa kuwa ofisi imefungwa kwa
Muda kupisha matengenezo kutokana na mifumo kuharibika baada Hafidhi kuvamia maeneo yale.
Kiukweli huyu mtu anatisha asikwambie mtu
Sijui nguvu hizi kazitolea wapi maana dahaa
Hakunaga kama yeye,,”
Azizi aliongea kumzungumzia Mwamba pasipo kufahamu Uwezo wa Hafidhi ni kutokana na kuchanganya Style nyingi zaidi kutoka kwa
Walimu watano waliobobea katika nyanja nzima ya mapigano pia yeye nusu Binadamu nusu Jinni so akichanganya uwezo aliokuwa nao nani wa kumshika.
Hili swala hakuna anaefahamu mpaka sasa Hafidhi ni binadamu wa aina gani
Laiti wangefahamu kama ni Jinni leo hii wangeletwa wataalamu wenye uwezo wa kupambana na Majinni. Lakini ndio hivyo tena wacha moto uwake,
Bwana Hossam alikuwa ni mtu wa kuzurula tu mara aingie mji huu atokee mji mwingine kumbe alienda kuonana na mmoja kati ya Wapelelezi wake wa siri akapewa taarifa kuwa bibiye Fatma kahifadhiwa maeneo ya Kibamba, akaonyeshewa na picha alipotoka hapo akapigiwa simu kuwa anahitajika Jeshini kuna tukio la kutisha limetokea maeneo ya mipakani. Akiwa kama mkuu wa Majeshi lazima akatoe
Maelekezo kwa wasaidizi wake, akakuna kichwa akaita vijana wake wa kazi na kuwapa maelezo Sasa waelekee Kibamba sio Zanzibar tena
Baada kutoa maelekezo akaingia ndani ya gari na kuelekea Kambini.
***********
Kifo cha bibiye Mona kilivuta hisia za watu wengi sana alikuwa ni
Undercover wa tatu kupoteza maisha tena wote wakiwa kitengo kimoja ni Mabinti wadogo waliokuwa na matarajio makubwa hapo mbeleni
Lakini ndoto zao zimezimika ghafla kama Mshumaa uliokwisha.
Mwili wake ulikuwa bado umehifadhiwa katika hospital ya
Mwananyamala ukisubilia kupelekwa kwenye nyumba yake ya milele.
Haukufaa kuagwa kama zilivyo imani za dini ya Kikristo mwili lazima uwage
Sasa mwili wa Marehemu ulikuwa umeharibika vibaya sana kwa kuungua na moto.
“haiwezekani nasema haiwezekani mnikimbie kwa njia hii
Mamaaweee,hiiiiiii, Mungu kwanini umewachukuwa wenzangu na kuniacha peke yangu? Hiiiiiihaaa
Niacheni nasema mniacheee!!!
Hapo msibani bibiye Mariam alikuwa hashikiki kwa kilio na kufikia hatua ya kukufuru Mungu kwa kutaka kujiua
Ikabidi kina mama wafanye jitihada za kumbembeleza ikashindikana kumtuliza, Mariam akashika kisu na kutaka kujichoma
Nacho kila mtu akabaki kutoa
Macho asiweze kuamini kile ambacho bibiye anataka kujitendea.
Mariam akainua kisu juu na kutaka kujichoma nacho kwenye moyo lakini kabla hakijatua mwilini mwake Chanduka akawai kumdaka mkono
na kumtaka asifanye hivyo.
“niachie nasema, niachee!”
Mariam alipiga kelele na kuzunguka ghafla Chanduka akajikuta akikatwa begani na kusukumizwa akarudi nyuma huku damu zikimtoka.
Bibiye ni kweli alikuwa kadhamilia kujiua akainua tena kisu juu ajikite nacho kwa Mara nyingine kikadakwa huku aliyekidaka akimuwasha kofi la shavuni bibiye
Mariam akayumba na kudondoka chini huku kisu kikibaki mkononi mwa Bwana mkubwa
Hafidhi.
“ni upumbavu waaina gani unataka kuufanya Agent kama wewe ushawahi kuiona Movie moja inaitwa
Predator watu wangapi waliingia msituni kwenda kupambana na maharamia. Pasipo kufahamu ndani ya msitu ule kuna kiumbe cha ajabu
Akaanza kuuliwa mmoja mmoja akabaki mtu mmoja tu huku yule mateka wakike akikimbia kwenda kutafuta msaada
Anord Schwarzenegger mbona hakujiua? Mwanaume alisimama imara akapambana kwa uwezo wake wote na kufanikiwa kukiteketeza kiumbe kile cha
ajabu. Sasa inakuwaje wewe ukate tamaa mapema hivyo? Wakati pembeni yako yupo
Mr.Chandu pia nipo Mimi usifanye hivyo baby ukijiua watoto watabaki na nani?”
Hafidhi aliongea kwa hisia na kutolea mfano movie ya Predator, kumbe alipoonekana hapo tu vikosi vya Maagent wakajipanga kumzibithi
“kwanza poleni sana wafiwa Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake Lihimidiwe
Ameen,”
Hafidhi alitoa pole na kupiga hatua kulifata Daftari la michango ya rambirambi akalifunua na kuandika jina lake na kiasi cha pesa
Akajisachi mfukoni na kuchomoa kibunda cha pesa hakuhesabu akakiweka chote
Akaingia ndani kwenda kuwapa pole wafiwa vikosi wakajiweka tayari tayari akitoka tu wamnase
“siku zote huwezi kumtega Mamba baharini wakati unafahamu sio sehemu yake ya kuishi
Hafidhi kaingia kama gia tu lakini ameshaondoka zamani,”
Mariam alitoa maelekezo kwa Chanduka na wenzake wakavamia ndani na kupewa majibu kapitia
Mlango huo wakamtafuta kila kona mtu hayupo hakika huyu mtu anajiamini yani katokea mbele ya Umati wa Maofisa wa Jeshi la polisi akiwa hana wasiwasi wowote ule
Kisha akaondoka bila kuguswa kweli huyu jamaa ni hatali tupu.
Basi Chanduka akatibiwa jeraha lake
Mariam akaomba msamaha kwa mkuu wake kutokana na kitendo cha aibu alichokionesha
Pale msibani. Mwili wa marehemu ukaenda kuzikwa kwenye makaburi
Ya Ruveti yaliyopo
Mbezi beach sehemu ambayo ndugu wa marehemu ndipo wanaishi kalibu na eneo hilo,
Vijana walioagizwa kuelekea
sehemu ambayo inasemekana binti yake alionekana.
Vijana walifika mpaka maeneo ya
Kibamba wakajigawa kila mmoja akaingia
kona yake na kuanza kumtafuta huku na kule.
Msako ulikuwa nyumba hadi chumba mpaka Binti apatikane
“Mama, mama”
“hivi wewe mtoto si nimekwambia uwende Madrasa sasa umerudi kufanya nini?”
“kuna watu wawili nimekutana nao pale uchochoroni
Wanamtafuta yule Dada wa chumba kile,”
“Mungu wangu wapoje hao watu?”
“ni Wanaume wana miili mikubwa kama John Cena”
Yalikuwa mazungumzo baina ya Mama na mwanae
Kosa walilofanya vijana wale ni kuonyesha picha ya bibiye Fatma kwa kila mtu katika onyesha onyesha yao wakakutana na huyo
Mtoto wakamuuliza pamoja na kumuonyeshea picha. Dogo akajibu hamfamu,
Baada kuachana nao akakimbia mbio nyumbani kwao na kutoa taarifa kumbe
Fatma nae hakuwa mbali alikuwa yupo chooni akaweza kusikia kila kitu. Akafahamu bila shaka atakuwa ni Baba yake ndio kaagiza vijana atafutwe kila kona, akatoka chooni na kuingia chumbani kwake hakukawia kutoka
“Faudhia,”
“abee Mama Chichi”
“embu njoo umsikie Chichi huku,”
Basi Faudhia ambaye ndio bibiye Fatma sijui kabadirisha jina au vipi akaja mbio wakati alishasikia kila kitu.
“ehee Chichi unasemaje Mdogo wangu?”
Fatma aliuliza huku akimshika begani yule mtoto aliyekuja kutoa taarifa.
“Da Faudhia kimbia kwanza kuna watu wanakutafuta wewe sijui Askari wale?”
Chichi aliongea na kujiuliza bibiye akaitoa simu yake na kumpigia sijui Yasri au Hafidhi binafsi anafahamu mwenyewe alisikika akisema
“Ndio nasikia wapo mtaani hapa wakitembea na picha yangu.
Sawa nakusubiria uwahi basi,”
Baada kuongea na simu akashitukia geti
watu kama sita wakiingia mpaka uwani na kusimama mbele yake,
“hatimae wee nyau leo tumeweza kukunasa, yani sisi tunashindwa kula wala kulala kwaajili ya kukutafuta wewe. Kumbe mwenzetu unakula bata kwa raha zako ehee sasa kuanzia mida hii
Utajuta kuzaliwa. Oyii vijana mbebeni bibiye huyo!”
Aliongea kwa hasira kiongozi wa msafala na kitendo bila kuchelewa bibiye akashikwa
“Niachienii, nasema niacheni msinishike sitaki kwenda niachieniiii”,,,,,
Bibiye alipiga kelele huku akiomba. aachiwe
Wakambeba ile wanageuka ili waondoke nae kwenye kizingiti cha Mlango kuna number chafu imekaa alikuwa ni Hafidhi j Ikram akiwa ananoa kisu chake kidogo tu.
“wee Malaya embu pisha hapo mlangoni sisi tupite na mtu wetu!”
“tatizo sio kupita tatizo linakuja hivi nyinyi ni
Wezi na siku zote dawa ya mwizi ni kuchomwa moto. Sema mimi naweza kusamehe maisha yenu iwapo mtamuachia huyo binti,”
Hafidhi aliongea kwa sauti ya upole tu,
“Wewe ustake kututisha hivi unafahamu sisi ni nani muulize huyu binti akupe
Majibu”
Aliongea kwa kujiamini huyo kiongozi wao”
“sawa mnaweza kupita je mshatubu
Dhambi zenu?”
Hafidhi aliuliza na kufunga kitambaa usoni hakutaka kuongea sana akainuka na kukiachia teke kwa kasi ya ajabu na kupita kwenye
Shingo ya jamaa mmoja wapo akajishika shingoni huku damu nyingi ikimtoka kumbe kiatu chake kuna kitu kama msumari.
“Embu mpigeni huyoo!”
Aliongea kiongozi wao kivumbi jasho kitimka uwani hapo
Hafidhi alichumpa nakwenda kuwatandika mateke
vijana wawili wakarushwa hewani na kudondoka chini puhuu mwingine alikuwa akitaka kuchomoa
Bastola ile kaishika atake kuitoa akadakwa mkono na kupigwa kifuti cha utosi.
“Mamuweee nakufaa mama mkono wangu ni kelele na vishindo ndizo zilizoweza kusikika.
Watu walianza kujazana maeneo hayo wakitaka kufahamu kunani. Dakika si nyingi Vijana wakatoka mbio Wananchi nao wakawaungia kwa kuita
kuita kelele za wezi
“Jamani wezii,,,”
“kamata wezi haoo. Ikawa ni kuwakimbiza tu
Wananchi bila kufahamu kama hao si wezi bali ni Wanajeshi waliokamilika mpaka kuitwa Makomando sema walikutana na chuma cha pua tu
Ndio maana wakaamua kukimbia.
Katika kuwakimbiza wakafika sehemu
Makomando wakasimama na kufumba macho waliongea maneno yao ya kishujaa. Kufumba na kufumbua silaha zikaanza kurushwa
Wanaume walikuwa wakizikwepa
Kwa style ya kivita zaidi kisha wakashikana na kudunda wakatua karibu ya Wananchi kilichowatokea wakazi wa Kibamba hawatosahau mpaka kufa kwao. Walitembezewa kichapo
watu walipasuka midomo na pua
huku wengine wakivunjwa miguu, Yasri nae alikuwa akipita maeneo hayo na kukuta watu wakichapwa kwa mikanda na kupigwa Mabuti ya maana
Sema hakutaka kujiingiza kwenye kesi isiomuhusu wakati yeye ndio sababu ya hao
Wajeda kufika maeneo hayo nakwambia kikosi cha
Wanajeshi waliongezeka baada kupigiwa simu
Wakatokea kwenye kambi ya
Gongo la Mboto, baada kuongezeka wakaelekea mpaka nyumba ambayo walikimbia baada kufinywa kufika humo hakuna cha
Fatma wala Hafidhi wenzao washakimbia zamani wakajitahidi kuwatafuta lakini wapi. Walichofanya ni kukishikilia chumba kwa muda tu
wakifahamu Bila shaka ipo siku watakuja
kufata vitu vyao vya ndani au
kulala.
Ulinzi ukawekwa vya kutosha.
**************
Yapata majira ya saa tatu usiku katika kichochoro kimoja wapo tunamuona mtu mmoja akiwa anatembea huku akiyumba huku na kule binafsi alikuwa ni mlevi. Mtu huyo ambaye sura yake haikuweza kuonekana kwa urahisi kutokana na aina ya kofia ya Pama aliovaa.
aliishusha kwa chini,
alizidi kukatiza mitaa na kuingia kwenye vichochoro pasipo kuhofia lolote.
Alionekana ni mwenyeji wa maeneo hayo na nikawaida yake kufanya kitu kama hiko.
Akiwa anazidi kusonga mbele akapita kwenye kichochoro kimoja
Mara ghafla akasikia sauti za Mwanamke akilalamika. Mwanaume yule damu ikamsisimka na kusimama akajongea kwenye Dirisha aweze kupiga chabo
“Azizi mi sitaki,,,,sitakiiiassssssss,,,,Smaiya alikuwa akilalamika kwa kuonyesha hilo jambo kalazimishwa kulifanya tu. Sema hakuwa na jinsi aonyeshe ushilikiano lasivyo anaweza kufa
Azizi alikuwa akimbaka Smaiya kama tunakumbuka aliwahi kuwa mpenzi wake tokea kipindi wakiwa wadogo. Azizi alifanya yote hayo kupooza machungu. Kwa kuvurugika ndoa yake. Kwa hasira
aliivua chupi ya Binti kwa fujo na kuitupa chini, tayari mdomo wake ukiwa kwenye Chuchu ulifika na kuanza kuzinyonya
“aah,,,aaaaaaaaaaaaah,,,aaaasss
sssssssssss!”
Alilalamika Binti ambaye wakati ananyonywa Chuchu alijipanua mapaja yake na kumpa nafasi Azizi ya kuingia zaidi katikati hapo ya mapaja yake
Azizi nae alishuka mpaka kwenye kipochi manyoya kwa utamu wa
Malavidavi na kuanza kukinyonya kiarage mpwito kilichokuwa kinachezacheza kama kipo kwenye tetemeko kabla hajaingiza ulimi na kuanza kucheza na kiarage
,kwanza alianza kwa kukipigapiga na ulimi wake ambapo wakati anaushusha chini ndio alikuwa akikipigapiga,,
“aaaah,,,,aaaissssssssss,,,,ooo,aaaaahmmmmmh”,alizidi kutoa miguno ya kimahaba aliyekuwa amemkumbatia huwezi kuamini kama ukiambiwa kashikiwa Bastola mpaka anaonesha ushilikiano wote huo Smaiya akakishika kichwa cha Azizi na kufanya kukikandamiza kwenye mapaja alizidi kulalamika wakati ulimi ukiwa unamsugua vyema kitumbua chake kilichokuwa kimelowa hasa.
“aaaah,,oooh,, babaaaa,,,,,aaah,,,alimwita mwenyewe kwani alijihisi yuko dunia nyingine.
Huku nnje hali ilianza kuwa mbaya kwa chapombe yule kwani alikuwa akijishika sehemu zake Nyeti na kuanza kujichukuwa huku akiendelea kula kwa macho.
Ghafla mlio wa risasi ukasikika ukitokea chumbani muleh
Na kufanya Mlevi yule aanguke chini kwa kishindo akajizoazoa na kuhitaji kukimbia
Lakini kishindo chake kiliweza kumshitua
Azizi aliyekuwa tayari kaumwaga ubongo wa Smaiya.
Chapombe alizidi kukimbia huku nyuma akifatwa na Azizi mwenyewe akiwa na vijana wake kama
Wawili kuna sehemu moja Chapombe alikaa katika target
Bastola ikaandaliwa lakini kabla hajafyatua risasi jamaa akakunja kona
Kitendo cha yule chapombe kukunja kona ndiyo ilikuwa kunusurika kwake.
Azizi hakutaka kukata tamaa akazidi kumfatilia,
Ikawa ni mtafutano katika vichochoro baada yule
Chapombe kupotea katika mazingira ya kutatanisha
na kumuacha Azizi asiweze kufahamu mbaya wake kaingilia wapi. Akaangaza macho huku na kule
mwishoe akarudi nyuma na kuondoka.
Kesho yake Asubuhi taarifa ya habari ikatangazwa juu ya mauwaji yaliyofanyika huko
Tandika baada binti mwenye umri wa miaka Ishillini kupigwa risasi ya kichwa.
Chanduka aliweza kufika eneo la tukio akiwa kaongozana na Mariam baada kufanya uchunguzi wa awali wakaondoka,
Wakati huohuo Mzee Hossam
Mbonde alikuwa amekaa ofisini kwake akiwa kajiinamia bila shaka akiwaza hili na lile. Hasa kuhusu swala la kupotea kwa mwanae.
Kilichomchanganya zaidi ni kuambiwa kuwa mwanae yupo mikononi mwa
Hafidhi j Ikram, hakujua afanye nini juu ya kumkomboa binti yake kwenye mikono ya Muuaji hatari kama huyo. Ndipo akaamua kufanya maamuzi magumu ni kuiteka familia yake kwa gharama yeyote ile, aliweza kufahamu kumteka
Undercover agent si kazi ndogo hata kama atatumia Wanajeshi wa kutumainiwa akaona njia pekee ni kujenga ukaribu na binti huyo
Kisha amleweshe na kumteka. Bila kuchelewa akaanza harakati za hapa na pale.
“Hivi kaka vipi kuhusu ile plan ya Asia?”
Sehemu Ya 10
“Dahaa umeniuliza swali la maana sana Mdogo wangu kiukweli kazi bado haijaisha maana kanitajia Vifaranga. Kuku wenyewe bado, kitu kingine hata wewe itabidi uanze na watu wako,
Hafidhi alitoa maelezo baada kuulizwa swali na Yasri,
“Basi powa wacha mimi niende kwa Asia nikachukuwe List kisha tuangalie nini cha kufanya,”
“poa fanya hivyo Mwamba ila jiangalie huko uwendako maana wewe ni Wanted zaidi ya Gaidi!”
“usijali Kaka nitajichunga tu”
Wakaagana huku Hafidhi akibaki na Shemeji yake wakipiga stori,
Yasri akiwa ndani ya Daladala aliweza kusikia taarifa za Mwanamke aliyepigwa risasi ya kichwa baada kubakwa, kila mtu aliongea lake juu ya mkasa huo.
Pasipo kufahamu kuna siri nzito nyuma ya panzia
************
Kiumbe cha ajabu kilichoibuka kule Makaburini alikuwa bado akirandaranda juu ya anga katika jiji la
Dar es Salaam ni kiumbe ambaye mpaka sasa jina lake na sehemu atokayo haijafahamika
Kiumbe huyo alikuwa akija kwa kasi ya ajabu pindi tu macho yake yalipoweza kuiona
Gari ndogo aina ya Range Rover yenye rangi nyeusi
“Mzee naona kama kuna kiumbe anatufata kwa nyuma”
Aliongea Dereva wa ile gari kumwambia Chanduka huku bibiye Mariam akiingiza mkono kiunoni mwake na kuichomoa Bastola
“ongeza speed!”
Chanduka akaamrisha speed ya gari iongezwe baada kukiona kiumbe kile kupitia kioo cha Sait Mira mwendo ukaongezeka huku kiumbe nae akizidisha
Kasi ya kuosegelea gari ile kufumba na kufumbua Range Rover ikapiga mueleka na kubimbilika
baada tairi ya mbele kupasuka
Ilibiringika kama mara tatu na kutulia kimyaa huku wananchi wakijishika vichwa
Vibaka nao wakaitumia nafasi hiyo kuchangamkia tenda kujifanya wanasaidia kumbe
wanaiba kama vile simu pesa
Na vinginevyo wakasogea ghafla wakaanza kuwaka moto kumbe kile kiumbe alikuwa yupo juu akitega mingo yeyote atakayetoka kwenye Gari au kusogea eneo lile anamtemea moto. Vibaka na wale vimbelembele walikoma
hakika ulikuwa ni moto mkali sana sekunde tu
watu washakuwa wafu weusi utasema mkaa
Polisi waliojaribu kusogea nao kiliwakuta kama kilichowakuta Vibaka hao, moto uliwaka
wakati kiumbe akiwa bize kuwasha moto Chanduka akajivuta na kutoka ndani ya gari huku
Bibiye Mariam alikuwa kabanwa na kiti
Ukiangalia mafuta yalianza kudondoka. Chanduka akajikaza na kuikamatia Bastola yake vyema akamimina Risasi nyingi kwa yule kiumbe, mwenzake ndio kwanza akazidi kufanya maafa kwa kupuliza moto,
Shukhuri ilikuwa pevu baina yao Upepo ulianza kuvuma kwa kasi katika eneo lile na kufanya vitu vipeperushwe huku na kule
Moto ukazimika ghafla kikaibuka kiumbe kingine akiwa na Pikipiki bila shaka kiumbe huyu alikuwa ni wakike kutokana na Kifua chake kuonekana kumetuna vichuguu fulani hivi
Akachumpa na ile Pikipiki na kwenda kutua kwenye mwili wa kiumbe yule alizunguka kama panga boi
Kitendo cha kutua chini alishamgawanya viungo kile kiumbe kisha akapotea.
Yakabaki mabaki ya mwili wa kiumbe kile yani kichwa sijui mikono na viwiliwili vingine kweli kuna Mbabe na wababe usichokiweza wewe na kukupa shida kwa mwenzako ni kitu kidogo tu.
Ndivyo ilivyokuwa kwa kiumbe kile kufa kizembe japokuwa Chanduka alikuwa hamuwezi mpaka akashindwa kumsaidia Bibiye Mona
Asiuwawe na kile kiumbe. Taarifa zilitangazwa juu ya kuangamizwa kwa kiumbe cha ajabu
Aliyeifanya kazi hiyo ni Mr. Chandu heshima za pekee ziende kwake, mwanaume akavimba bichwa
************
Tukija nchini Kenya katika maeneo ya Bandari majira ya saa saba usiku kulikuwa na uvamizi umefanyika baada kikosi kilichotumwa sijui kutokea Nchi gani walikuwa watu wapatao kumi hivi katika mavazi ya Kininja wakaanza kuuwa mlinzi mmoja mmoja na kutega mabomu kisha
wakaacha ujumbe na kitambaa cha bendera ya Tanzania, wakasepa
wakati wao wanaondoka kuna kiumbe kilikuja na kuuchukuwa ujumbe na ile Bendera akaweka nyingine Mabomu yote akayategua.
Kesho yake asubuhi taarifa zilitangazwa juu ya Nchi ya Uganda kuivamia Bandari ya Kenya na kutaka kuilipua kwa Bahati nzuri Mungu alikuwa upande wao mabomu yameshindwa kufanya kazi
Sasa tutajibu mashamburizi si wametuanza
“sasa ndio mmefanya nini nyie ngedere?
Badala ya kuichonganisha Tanzania na Kenya juu ya kuigombea ile Bandari ajabu mmeacha kila kitu chetu. Huu ni upuuzi mkubwa Nduli embu kamata hawa kachinje kiwe chakula cha
Mbwa!”
Alikuwa na Kanari wa Jeshi bwana Folbano yeye ndio aliyepanga mpango mzima kuhakikisha kuwa nchi mbili hizi zinaingia kwenye Vita hata kama
Waligawana vitu hivyo kuwa Tanzania wabaki na mrima Kilimanjaro huku Kenya wakibaki na Bandari. Pasipo kufahamu nchi ya Tanzania kuna
Ninja Short na Ninja Suit wanaipenda nchi yao na kuilinda kwa gharama yeyote ile
Sasa haijulikani aliyebadirisha ni yupi maana kilikuwa ni kitendo cha haraka mno.
Sasa Uganda mtajibeba kama Tanzania iliwatwanga kipindi hicho sasa jalibuni kwa Wakenya
“Kaka ile List hii hapa”
“ok vyema sana kijana sasa itabidi tuanze na huyu mtu”
“huyu si Diwani wa manispaa ya Temeke?”
“Udiwani wake ataenda kuufanyia kuzimu subiri nimpeleke”
Hafidhi aliongea na kupotea Chumbani mule akimuacha Yasri akiweka arama ya X kwenye jina la Diwani yule akawasha TV akitegemea muda si mrefu habari zitatangazwa juu ya Mauwaji hayo.
Hafidhi j Ikram baada kutoka pale
akaibukia Kinondoni na kupiga hatua
wakati huo Tunamuona Ikram nae akitoka kwenye Duka moja na kupigana kipushi na Mzee wa makamu.
“Samahani mzee wang,,, kibao
Ikram kabla hajamalizia kuitamka samahani akapigwa kibao na yule mzee
“Shenzi zako mtoto wa Malaya unatembea macho juu juu kama vile mama yako alivyokuwa akijiuza”
Mzee alimtukana kijana wawatu matusi mazito
wakati yeye ndiyo mwenye kosa
“Unaliona hili koti?”
Kabla ya kujibiwa mbele yao akaibuka Ninja Short akiwa kwenye mavazi ya kazi.
Mzee alianza kutetemeka na kupiga kelele
“walinzii mzuieni huyoo”
Haikuchukuwa sekunde hata mbili Walinzi wote chali. Mzee akabaki kuweweseka
huku akirudi nyuma
Ikram alitaka kuchenji mavazi ili amsaidie sema akikumbuka Dharau za yule mzee na kule kumtukania mama yake akashiti.
Akabaki kushuhudia mzee yule akivunjwa shingo
Ninja Short akamtazama Ikram kisha akamwambia
“Ninja Suit tutaonana siku nyingine ndugu”
Inamaana alishamfahamu ni kitendo kilichomshtua sana Ikram na kubaki kujiuliza huyu
kiumbe kanifahamu vipi?
Ving’ora vya magari ya polisi ndivyo vikamgutusha na kuondoka haraka sana maeneo yale.
Kilikuwa ni kifo cha ghalfa kwa diwani huyo ukizingatia siku hiyo alikuwa na kikao na watu wakata yake Wananchi wakapamba sehemu ya mkutano mwishoe wanapokea taarifa kuwa
Diwani wao kauwawa na mtu asiyejulikana
hakukuwa na ushahidi wowote basi siku ikaisha kama hivyo
Kesho yake sijui ilikuwa ni zamu ya nani?
ndani ya viwanja vya Mbagala kuu tunamuona Hafidhi akiwa maeneo hayo,
aliingia mitaa kadhaa na kutokezea msikitini akaenda kukaa mbali kidogo na msikiti huku macho yake yakiwa makini kuangalia mwenye kuingia na kutoka. Ulikuwa ni muda wa swalat Dhuhuri
akakaa mpaka watu wakatoka msikitini
Akanyanyuka na kumfata mzee mmoja wakipemba
kitendo bila kuchelewa akakipitisha kisu chake kidogo kwenye shingo ya yule
Mzee akapotea.
Vifo vilizidi kuongezeka kwa kasi na kufanya watu waanze kuishi kwa mashaka kama miaka sita nyuma iliyopita. Safari hii viliibuka kwa kasi watu walifahamu uwepo wa Chanduka nchini kila kitu kitakuwa sawa kumbe sivyo
Ndio kwanza watu wanachinjwa mbele yake,
Ikram alichukizwa na kitendo cha watu kuwawa kinyama hata kama ni wenye makosa
Nae akajitosa kumsaka muuwaji.
Katika mitaa ya Temeke tunamuona Yasri akiwa na Pikipiki akaipaki sehemu na kuvua Element na kupiga hatua kuelekea Dukani akanunua Vocha sasa wakati anaikwangua kuna kibaka akaja na kuikwapua simu, hakupiga kelele za Mwizi kama kawaida yake kimbiza mwizi kimya kimya
Katika kumkimbiza
Kufika sehemu yule Kibaka akasimama na kuanza kucheka
“Hahahahahaha”
Yasri alichukulia kitendo cha yule jamaa kumcheka ni kama dharau fulani hivi. Mwanaume akadunda na kwenda kumtandika teke la kifua, yule kibaka akapepesuka na kuanguka chini. Lakini wakati huohuo kuna kiumbe alikuja kwa kasi ya ajabu na kumvamia Yasri ikawa piga nikupige.
Hakika kiumbe kile alikuwa ni mkali katika
Mapigo ya Shifting alikuwa akipiga huku akizunguka na kufanya vazi lake aina ya Johoo ile minguo wanaovaa Mawakili au Hakimu. Ipepee na kumfunika Yasri usoni kitendo ambacho kilimfanya ashindwe kupambana vizuri akajikuta akianza kuchanwa na kitu chenye ncha kali,
Damu zilianza kumtoka kile kiumbe alikuwa kavaa kinyago kuificha sura yake. Asiweze kujulikana kuwa yeye ni nani,
Yasri akiwa kainama chini huku kashikilia sehemu yenye jeraha kuzuia damu isitokea
Akakitwa na kisu cha mgongo kikazama huku kikizungusha ndani ya mwili wake na kuchomolewa kisha kile kiumbe akaivua ile Mask huwezi kuamini aisee alikuwa ni Azizi sijui kajifunzia wapi mapigo kama hayo. Mpaka kaweza kumdhibiti Yasri
“Azizi ni wewe?”
Yasri akauliza huku damu zikimtoka mdomoni. Ni muda mrefu umepita tokea miaka ile ya nyuma marafiki hawa wakubwa tokea utotoni
Urafiki wao ulikuwa zaidi ya ndugu. Wakaja kutengana baada Baba yake Azizi kupata uhamisho wa kikazi leo hii wanakutana katika Uadui mkubwa kisa Mwanamke mmoja anataka kumuua
Mwenzie.
“ndiyo mama Nigger bila shaka utakuwa ukijiuliza
Nimefahamu vipi kuwa upo hai. Sasa basi tusipoteze muda naomba unitajie Mke wangu Fatma yuko wapi?”
“Hahahahaha, Azizi embu acha ujinga wako hivi umesahau kuwa Fatma ni Shemeji yako?
Wewe si ulimchukuwa Smaiya inamaana umesahau sio?”
“Shatapu, usirudie tena kuzungumza upuuzi kama huo Smaiya alikuwa ni kama chombo cha starehe tu. Sikuwa na marengo naye namtaka Fatma vinginevyo nitakuchinja sasa hivi!”
“umechelewa Rafiki sasa naomba utangulie kuzimu nenda ukaandae Ghetto letu ipo siku tutaungana tena pamoja,”
Aliongea hivyo Yasri huku akizunguka kwa kasi
Azizi nae akafanya hivyo lakini kama alivyoambiwa umechelewa basi ndivyo ilivyokuwa baada kichwa kuacha kiwiliwili na kudondoka chini. Ni moja kati ya Stance hatari sana aliyoitumia Yasri kumuangamiza Rafiki mnafiki.
Akajifuta damu na kujiandaa kuondoka ghafla Ninja suit akaibuka mbele yake, kabla hajauliza
Wee nani akapigwa mateke ya haraka haraka na kutupwa kule.
Ninja Suit akachomoa Silaha zake na kumsogelea Yasri aliyekuwa kalala pale chini akajiandaa kumchinja, kabla kitu hakijatua
Kwenye shingo ya Yasri upepo ukaanza kuvuma na kumfanya Ninja Suit asitishe kwanza zoezi lake.
Huku Yasri akifahamu Master wake anakuja
Pikipiki nyeusi ikaibuka maeneo hayo huku dereva akiwa Mwanadada matata aliyemsaidia Chanduka kule kwa kukiangamiza kile kiumbe cha ajabu
Akaipaki pikipiki yake na kushuka akapiga hatua kumfata Ninja Suit, nae akamfata kitendo cha kukalibiana tu ukaanza mkono. Cha ajabu
Ninja suit alikuwa cha mtoto juu ya kiumbe hicho kila akipiga kiumbe kinapachi na kuzipangusa utasema hataki kuchafuliwa
Kisu kikapenya kwenye bega lake la kushoto na kuchanwa mgongoni. Ninja Suit akayumba huku Damu nyingi zikimtoka na kudondoka chini,
Kiumbe kikaruka juu na kuja kutua kwenye miguu ya Ninja Suit kitu kikasikika kikilia kwaaaaa
Mifupa ya miguu yote miwili ilivunjwa. Ninja Suit alikuwa anatia huruma asikwambie mtu Aiseee kila chenye mwanzo hakikosi mwisho. Kila mbabe ana mbabe wake
Alichokifanya Ninja Suit ni kupiga Bomu akapotea. Kile kiumbe kilivimba kwa hasira na kumgeukia Yasri aliyekuwa kaegemea ukuta
Akaanza kumfata alipomfikia akamshika shingoni na kumnyanyua juu akamninginiza utasema kifaranga cha kuku
Hakika kiumbe kilikuwa na nguvu si mchezo,
Yasri akabaki kuning’inia tu huku akichezesha miguu kuonyesha kuwa anakata roho
Ghafla mlio wa risasi ukasikika pahaa
Chanduka na Mariam pamoja na kitengo kizima cha FBI walikuwa washafika baada kupigiwa simu
na baadhi ya majirani walioweza kushuhudia mtiti huo wakafahamu hili swala ni zito sio la kuita polisi ndio maana FBI walikuwa wa kwanza kufika wakifatiwa na polisi
Chanduka ndio aliyefyatua risasi kwa kupiga juu kiumbe kikageuka na kumbwaga Yasri chini
Kisha akadunda na kwenda kutua mbele ya Chanduka akazunguka na kuachia mateke, Chandu nae akaruka kwa kurudi nyuma yani kama kumkwepa hivi. FBI wakahitaji kumshika
Kiumbe alikuwa akipiga na kunyonga kwa kutumia kisu chake kidogo alikuwa anatoboa popote pale kwenye miili ya Askari hao
Mariam akachumpa mfano wa kama anataka kuogelea kwenye Swimming pool. Akatua mbele ya kiumbe huyo.
Kivumbi na jasho vumbi lilitimka maeneo hayo huku Wananchi wakikaa mbali na eneo hilo
Yasri akaona kama akiendelea kuzubaa basi atakufa
Akajitahidi kusota ili aweze kujiokoa lakini hakuwa na uwezo huo akaanza kuita Master,,,,master
******************
“Shemeji mi sitaki bwana”
“utaki nini si umeniruhusu mwenyewe nikutanie”
“sasa ndiyo uniite kichwa cha panzi”
“ha!ha!ha!ha! Kumbe ulitaka nikuite fidodido”
“shemeji shemeji”
Yalikuwa ni matani ya hapa na pale baina ya Hafidhi na bibiye Fatma huku wakiwa wanacheza karata
“Ahaa mbona seti halijatoka?”
“lishatoka muda tu wewe si ulitoa Dume la shupa Mimi nikatoa seti”
“ahaa Shemeji uwongo huo umeogopa nitakuowa huyoo”
Basi furaha iliyoje baina ya watu hao
“Yasri”
“Yasri kafanyaje tena wakati kasema anaenda Temeke?”
“namsikia kama ananiita hivi”
“Mmh! Wewe nae ushaanza mambo yako hiyo sauti ya mdogo wako imekukaa mpaka kuna muda unahisi anakwita embu changa karata hizo tucheze usiondoke bwana!”
Fatma aliongea kwa sauti ya kudeka na kumlalia shemeji yake mapajani,
Hafidhi akawa akizichezea nywele za bibiye Fatma
***************
Ni kweli Yasri alikuwa akimwita Master wake huku akiwa kalala pale chini akaanza kuongea
“Baba, Mama pamoja na kaka Hafidhi naomba mnisamehe nipo chini ya miguu yenu. Kiukweli nimekutana na ugumu kwa kiasi kikubwa katika kukamilisha kile ambacho nilijiapia
My Vengeance kisasi changu kimenishinda. Leo hii nakufa kifo cha fedheha nikiwa bado hata sijapiga hatua moja mbele katika kukamirisha kisasi hiki
Nisameheni,,,,
Chanduka akadunda na kwenda kumtandika mateke yule kiumbe aliyekuwa kamkaba Mariam akaishia kudunda kwenye mwili wa kiumbe kile
Mariam alikuwa akitokwa na damu puani na mdomoni akafurukuta aweze kujitoa lakini wapi.
Kitu kilitaiti si mchezo,
Miili ya FBI ilikuwa imelaliana hovyo wakiwa hawana tena uhai akabaki Chanduka na Mariam aliyekuwa kakabwa, nae pumzi ilikuwa inakaribia kuacha mwili
Ving’ora vya magari ya polisi vilisikika
kwa fujo, Mariam akatupwa kule kisha kiumbe kikakwea pikipiki yake na kupotea, hakika ilikuwa balaa juu ya balaa,
Ambulance nazo zilifika kwaajili ya kutoa msaada kwa majeruhi. Yasri akabebwa na kupakizwa kwenye gari Safari ya kuwahishwa hospitali ikaanza. Chanduka akabaki pale pale kijasho kikimtoka asiweze kuamini kwakile kilichotokea akajisemea hakuwahi kukutana na kazi nzito na ngumu kama hii, akaingia ndani ya Gari na kuondoka
**************
Ninja Suit baada kupotea maeneo yale akaibuka chumbani kwake akiwa hoi bin taabani
Akapiga kelele kumwita mama yake aliyekuwa amekaa nnje na baadhi ya Majirani kelele za mwanae zilimshtua akainuka na kwenda ndani mbio pindi alipoingia tu nae akasikika akilia
“Jamani jamani mwanangu nani nini kimekutokeaaa hiiiiiii,”
Majirani nao wakataka kufahamu kunani tena wakaongozana kuingia ndani na kumkuta Ikram akiwa kaachama mdomo na kuacha macho wazi kuonyesha kuwa roho ishaacha mwili
Inna lillahi Wainna ilahi Rajiuni kiutani utani Ikram alikuwa ameiaga dunia
R.I.P kwa Ninja Suit utakumbukwa kwa mazuri uliyoyatenda katika nchi hii hasa kwenye Mtanange wa Siku ya Hukumu,
Wingu zito lilitanda kwa wakazi wa maeneo ya Tabata bima jijini Dar as Salaam mioyo ikaingiwa na simanzi bibiye Husna akapoteza fahamu kutokana na kupata mshituko juu ya kifo cha mwanae kauli ya mwisho ilikuwa ni sauti tu ya Ikram akiita Mamaa.
Aliyechanganyikiwa zaidi alikuwa ni
Chanduka hakuweza kuamini Aisee akabaki kujiuliza maswali yasiokuwa na majibu nani kasababisha kifo cha Ankor wake? Akamfikilia Hafidhi na kuona ndio muhusika mkuu kwani hakuna kiumbe chenye
Uwezo wa kupambana na Ninja Suit zaidi ya Hafidhi akajiapia kufa au kupona lazima amteketeze
Hafidhi kwa namna yeyote ile.
Alimkumbuka Ikram kwa mambo mengi tu
Sema ndiyo hivyo Kila nafsi itaonja umauti kila mmoja kwa njia yake au kwa kufanana.
“Shemeji embu njoo uwone huku!”
“nije kuona nini?”
“kuna Msiba”
Hafidhi akatoka mbiombio Bafuni akiwa na mapovu mwilini akaisogelea television utasema aoni vile
Ghafla akaipiga ngumu na kusema
Shit! Akapotea akimuacha
Fatma kakodoa macho tu tv ishavunjwa
Fatma akawahi kwenda kuzima kwenye socket maana tv ilikuwa ikitoa cheche.
“yani kuona taarifa za msiba tu ndiyo avunje tv. Sijui nitaangalia wapi season ya Udaan ahaa,”
Fatma aliongea kwa masikitiko hakuweza kufahamu kuwa ile habari imemshtua kwa kiasi kikubwa Bwana mkubwa mpaka kufikia hatua ya kuipiga
Ngumi tv.
Akaichukuwa simu yake na kubofyabofya kisha akaiweka sikioni,
“Haloo Yasri kipenzi changu uko wapi?”
“samahani Dada yangu mimi sio Yasri, ni Doctor Hawazi mwenye simu hii yupo hoi taabani”
“what?”
“ndiyo hivyo binti hapa tulikuwa katika hatihati za kuwatafuta sema ikatuwia vigumu kutokana na simu yake kuwa na Pattern line nayo ina password”
“nakuja sasa hivi Doctor kwani yupo hospitali gani?”
“Aghakan”
Fatma akakata simu na kujiandaa kwaajili ya safari kwenye akili yake alifahamu bila shaka mpenzi wake
Kapata ajali ya Pikipiki.
***********
Bwana mkubwa baada kuiona taarifa ile na kupotea akaibukia kwenye Msiba akatembea na kupita kwenye mkusanyiko wa watu huku akiangaza macho yake kwakila mtu mwishoe akamuona Chanduka basi akamfata
“Assalamu Alaykumu!”
Chanduka kwanza hakuitikia ile salamu alimuangalia kwa kumkazia macho.
“pole sana Mr je unaweza kuniambia nini kilichosababisha kifo cha Ikram?”
Hafidhi baada kuona salamu yake haitikiwi akauliza swali.
Hata hivyo Chanduka hakujibu kwani aliona kama vile jamaa kaja kumdhihaki wakati kila kitu anakifahamu.
Hafidhi akaona kumbe jamaa ataki kuongea chochote akaangaza macho kisha akamgeukia Chanduka
“Mke wangu yuko wapi?”
“Sikia nikwambie kitu bwana Mdogo usitake kunifanya mimi fala kwa kuniuliza maswali yako ya kijingakijinga, wewe si ndiyo umemuua
Ninja Suit? Unauliza kitu gani tena. Mara hii mkeo unataka kufahamu kuhusu mkeo
Nae yupo katika hatua za mwisho kuiaga dunia,”
Chanduka alianza kuongea kwa sauti na kumkunja Hafidhi, watu wote waliopo msibani
Wakageuza macho yao kuwaangalia wao. Huku waandishi wa habari wakipiga picha
“Mr unaongea nini wewe? Mbona sikuelewi Mimi ndiyo nimemuua Ikram kivipi kwa uwadui gani hasa. Nijibu mke wangu yuko wapi?”
Hafidhi nae akamkunja Mr. Chandu wakawa wamekunjana na kuangaliana
“Acheni kuzozana kwenye msiba wa mwanangu hiiiii”
Bibiye Husna alikuja mbio na kupaza sauti huku akilia baada kuongea hivyo. Mama wa watu akaanza kuyumba wote wakaachiana na kuwahi kwenda kumshika mama yake Ikram
“Hafidhi”
“Naam mama”
“mwenzako kabla hajafa kaniachia ujumbe huu, kaomba usimame imara katika kipindi hiki kigumu Chanduka baba”
“Ndiyo Dada nipo hapa”
“Ankor wako Ikram alikuwa na ombi moja tu kwako amesema kuwa huko aendako awezi kuwa na furaha ya aina yeyote ile, mpaka siku ambayo akisikia wewe na Hafidhi mmeungana na kuwa kitu kimoja tafadhali
Fanya kitu juu ya Ankor wako”
Chanduka hakujibu kitu ndio kwanza machozi yalikuwa yakimtoka
Hafidhi akaufungua ule ujumbe na kuanza kuusoma
(HAKIKA YA MAISHA NI SAFARI NDEFU SANA, KUNA KUZALIWA NA KUFA VITU HIVI VIWILI HAVIEPUKIKI KWA KIUMBE CHOCHOTE KILE
NDIVYO ILIVYOKUWA KWANGU BROTHER NIMEANDIKA UJUMBE HUU NIKIWA MZIMA WA HAFYA KABISA NIKITAKA KUFAHAMU KWANINI UNAUWA? EMBU KUMBUKA WEWE UNA
MAKOSA MANGAPI UMEMKOSEA MUUMBA WAKO MBONA HUJAFA MPAKA LEO?
TAMBUA KITU KIMOJA WA KUHUKUMU SIO SISI BALI NI MWENYEZI MUNGU HATA MIMI SIKATAI KUWA SIJAWAHI KUFANYA MAUWAJI NILIFANYA SANA NILIKESHA USIKU NA KUTUBU ZAMBI ZANGU.
KAKA ACHA KUUWA KAMATA WENYE MAKOSA PELEKA KWENYE VYOMBO VYA SHERIA
HUKO WATAPATA HUKUMU STAHIKI
KAMA IKITOKEA SIKU NIKIF………
Barua ilikuwa imetapakaa damu haikuweza kufika mwisho kuonyesha kuwa muandikaji alikuwa katika hali mbaya sana akashindwa kumalizia kuandika
Hafidhi akapotea pale pale na kuacha watu wameduwaa tu.
Maana si kwa kupotea kule utasema Jinni.
Ziliweza kupita siku tatu tokea Ikram au Ninja Suit afariki na kuzikwa kwa heshima zote.
Siku hiyo Hafidhi alikuwa yupo pembeni ya kitanda cha bibiye Mariam akiongea nae
“pole sana mpenzi”
“asante sana hivi baby mbona hukuja kutusaidia?”
“kiukweli sikuwa na taarifa zozote juu ya jambo hilo”
“Mariam kikosi kishafika kuja kumchukuwa yule kijana!”
“Kijana gani?”
“Anaitwa Yasri ni kijana ambaye alihukumiwa kunyongwa sasa haijulikani alifanya ujanja gani akaweza kutoroka Gerezani tena ilikuwa ni siku yake ya hukumu”
Chanduka akatoa maelezo kwa Hafidhi wakati mwenzie anafahamu mwanzo mwisho na huyo Yasri ni kijana wake sema hakutaka kujionesha tu,
“Iseee inamaana alitoroka sio?”
“ndiyo hivyo”
Chanduka akatoka nnje ya wodi na kuwapa Amri vijana wamfate.
Yasri alikuwa amekaa kitandani huku mkono wake mmoja ukiwa umefungwa pingu.
Hakuwa amepona ni siku tatu tu tokea afikishwe katika hospitali hiyo akiwa hajitambui.
Machozi yalianza kumtoka alikumbuka jana yake alipotembelewa na bwana Hossam
Akamchukuwa binti yake huku akimuahidi kumpoteza katika uso wa dunia hii kama
Askari magereza wameshindwa kufanya hivyo Mimi nitakuuwa.
Akakumbuka kidudu mtu nae tayari ameenda kuzimu yani Azizi aliyekuwa kimberembere kutaka kumuoa bibiye Fatma
Pia akabaki akajiuliza kuhusu Master wake mpaka sasa atakuwa wapi?
Inamaana hajapata taarifa yoyote. Kuhusu yeye. Wakati akiwa kajiinamia akiwaza hili na lile. Ndipo mlango ukafunguliwa akainua kichwa chake kutazama ni Askari Akashtuka si kidogo kitendo bila kuchelewa akafunguliwa ile pingu pamoja na kutakiwa kubadirisha
Mavazi.
Kisha akachukuliwa na kutoka nae.
Hafidhi aliona kila kitu sema akashindwa kufanya chochote mpaka Yasri anapakizwa ndani ya gari
Akamuona na Chanduka akipanda Pikipiki kuifatilia gari kwa nyuma.
“baby naomba maji”
Sauti ya mkewe akiomba maji ndio ikamfanya ageuke sababu alikuwa akiangalia dirishani. Basi akainuka na kwenda Kuchukuwa maji
Na kumpatia.
Wakati safari ya kumpeleka Yasri ikizidi kusonga mbele wakiwa maeneo barabara ya Samora Avenue
Chanduka alishtuka baada kuona yule kiumbe akiwa amesimama juu ya gari. Akapiga kelele kumtaka dereva wa gari aweze kusimama. Nae aliweza kuisikia amri hiyo akafunga break
Kumbe lilikuwa kosa kubwa kiumbe kikadunda na kuchumpa akaingia ndani ya Gari kilichoendelea humo ni chinjachinja Askari wote akamtupa Yasri nnje ya Gari. Sijui kamkosea nini kijana wa watu.
Chanduka alikuwa kajiweka tayari tayari akaanza kufyatua risasi. Kiumbe ndio kwanza alikuwa akizikwepa na kumfata Chanduka, akazidi kupiga risasi kuja kutahamaki
Bastola haina kitu. Na kiumbe kashafika karibu yake.
Hakuwa na jinsi ni kupambana tu.
Alirusha makonde ya maana yaliyompata yule kiumbe Usoni kikarudi nyuma na kujiweka sawa akawa anakuja kwa kasi
Na kukita kifuani mwa Chanduka akarushwa juu na kwenda kujibamiza kwenye Gari. Dahaa hakika kiumbe ni hatari tupu
Chanduka baada kubamizwa kwenye gari akasimama na kukunja ngumi
Akimtaka yule kiumbe amfate
Wakati huo huo upepo mkali mfano wa kimbunga ukaanza kuvuma Ninja Short akatokea
Sio siri Yasri aliyekuwa kalala chini alifurahi baada kumuona Master wake amekuja ujio wa Ninja Short ukamfanya yule kiumbe apotee,
Ninja Short akamsogelea Yasri akamshika na kupotea nae
Chanduka akabaki mwenyewe na miili ya Askari wale.
“Yasri Mdogo wangu kiukweli hii kazi imekushinda. Tulia kijana kila kitu niachie Mimi,”
Hafidhi aliongea baada kumfikisha Yasri katika nyumba wanaokaa
“Sawa kaka lakini nipiganie kuhusu penzi langu”
“Penzi gani ndugu?”
“Nampenda Fatma”
“kuhusu hilo usijali wewe tulia kila kitu kitakuwa sawa”
Hafidhi baada kuongea na kumtaka atulie
Akaelekea Temeke Akiwa maeneo hayo akapiga hatua mpaka kwenye duka moja hivi.
“Mambo vipi brother?”
“fresh tu ndugu”
“nipatie maji ya baridi”
“haya madogo au?”
“hayo hapo ya liter moja kaka”
Hafidhi alipofika dukani akahitaji kununua maji basi akapatiwa na kulipia
“naitazama dunia kwa matumaini yenye kukatisha tamaa. Nchi yangu Tanzania ina ninyanyapaa, laiti ningekuwa ndege ningepaa, kuliko kubaki hivi nashangaa. Kila kukicha watu wanakufa na njaa,”
Alikuwa muuza bidhaa pale dukani
Akiimba kwa madoido, na kumfanya Hafidhi atabasamu
“kaza kaka ipo siku utatoka tu, maana kipindi hiki ukitoa singo moja tu tayari wewe Star unapata mjengo kama ule na gari”
“ahaa wapi? Yani singo moja tu upate mjengo huo kama si Uchawi kumbe kitu gani”
“hahahahahaha usiseme hivyo ndugu tambua sasa hivi kila kitu kimebadirika
kipindi kile wakati Wasanii kama Sir Nature sijui
Voice Wonder kina Afande Sale zama zao kulikuwa hakuna pesa msanii analipwa elfu hamsini au laki mbili kwa show moja
Unadhani atajenga au kununua gari kwa pesa ipi?
Tukija sasa hivi msanii analipwa kuanzia Milioni tano hadi Hamsini kwa Show moja
Kwanini asijenge asivute ndinga. Japokuwa kuna wasanii wengine wanataka kupitia Maisha ya mkato kwa kuuza madawa ya
Kulevya ili wapate utajili wa haraka, hawataki kuridhika kwa kudogo wakipatacho.
Wakati Hafidhi na yule Mangi wakiendelea kupiga stori na kusimuliana habari za hapa na pale, kuna gari ilikuja kupaki mbele ya Duka hilo. Wakashuka vijana wakiume kama watatu huku wengine wawili wakibaki kwenye Gari.
“oyaa Mangi nipatie Esiemu pakti moja na kibiriti”
“Sasa unachukuwaje pakti zima la esiemu wakati wengine tunatumia Embasi bwana!”
“wewe embu acha uboya kila mmoja na pochi lake si ufunguwe lako ununuwe”
“nitanunua vipi wakati mtonyo wangu sijapatiwa”
“kama hujapatiwa tuliza mshono”
Walikuwa ni wale vijana wakizozana dukani pale pasipo kutambua pembeni yao kuna mtu alikuwa akiwachora tu.
“sasa itabidi kila mmoja awe makini katika jambo hili, kwanza tukifika pale tunagonga Geti yule mkuda akifungua tu hakuna cha kuuliza ni kumtwanga”
“Sasa Martin hiyo Memory card tunaweza kuipata kwa style hii kweli?”
“ndiyo maana yake Bosi kasema kitu kimehifadhiwa ukutani nyuma ya Picha kubwa. So sijui itakuwa picha ya nini cha umuhimu ni kuvamia tu”
Waliongea kwa sauti ya chini sana baada kurudi ndani ya gari. Mazungumzo yao yaliweza kumfikia Bwana mkubwa aliyekuwa kakaa kwenye kiti pale Dukani. Kiukweli hata yeye hakuweza kufahamu hiyo
Memory card wanaitakia nini vijana wale,
Akahitaji kufahamu mwanzo mwisho. Baada kuona ile gari imeondoka akaitupia macho mpaka ikapotea mbele ya upeo wake, kisha akaaga na kuondoka.
Alitembea hatua kadhaa tu mbele akaweza kuliona lile gari limepaki nyuma ya mtaa fulani
akaangalia kiumakini zaidi na kugundua ndani ya gari ile amebaki mtu mmoja tu.
Alichokifanya ni kuisogelea kwa kunyata akazunguka upande wa Dereva na kugonga kioo
Kitendo cha yule mtu kushusha kioo akashtukia akishikwa shingo na kuvunjwa.
Hafidhi akamshusha yule jamaa na kupotea nae.
“Oyaa Chibo washa mchuma huo”
Baada kupita kama dakika kumi hivi tokea Hafidhi apotee na mwili wa yule kijana.
Wenzake walikuja mbimbio na kuingia ndani ya gari ajabu kijana aliyevunjwa shingo
Bado yupo hai, tena amekaa pale pale sehemu ya Dereva basi gari ikawashwa na kuondoka maeneo hayo kwa speed
“Hivi Chibo mwamba leo umevuta mjani wawapi?”
“wa makalio yako”
“ohoo Dogo unanitusi sio kudadeki zako nitakutwanga kama siku ile M***senge”
“umtwange nani wee bwege tu”
“powa mi bwege subiri tufike nikuonyeshe ubwege wangu leo nitakugeuza demu wangu shoga mkubwa wee”
“hivi Chibo na Suma kila siku mmekuwa watu wa kugombana tu kubabeki zenu mtakuwa lini nyinyi embu acheni utoto”
“sio hivyo Stopa huyo bwege kazidi dharau leo nitamuonyesha”
“umuonyeshe nani mamaye zako tushuke basi hata hapa unionyeshe!”
Chibo aliongea kwa hasira na kufunga break
Akaipaki gari pembeni akawa wa kwanza kushuka.
Suma naye akashuka huku akitabasamu na kusema
“yani wee dogo unataka kupimishana nguvu nam,,,,, kabla hajamalizia kuongea Chibo alikuja kwa kasi na kuanza kumrushia makonde
Hakika zilikuwa ngumi nzito nzito zilizomfanya Suma ashindwe kuhimili Shamburio lake
na kujikuta zikimpata usoni kichwani kifuani
yani kila sehemu ya Mwili wake ndani ya dakika tatu
Suma hatamaniki yupo hoi kalala chini
Damu zilikuwa zikimtoka.
“Chibo basi inatosha muachee,”
Wenzake waliokuwa wamesimama pembeni kuangalia jinsi wenzao wakifundishana adabu wakawahi kumshika Chibo na kumtaka aache.
Wakaingia ndani ya gari kila mmoja akiwa kimya huku Suma akijifuta damu alikuwa hajaamini kama kapigwa kama mtoto tena na
Chibo kijana wa juzi tu. Baada ya mwendo mrefu kidogo gari iliweza kufika Masaki na kusimama mbele ya Geti kubwa honi ikapigwa
Na geti kufunguliwa gari ikaingia ndani.
Wakashuka na kutembea kupandisha ngazi
Wakaingia kwenye chumba kilichoandikwa neno
Affect pale mlangoni,
“karibuni sana vijana. Bila shaka mmeweza kufanikisha kila kitu?”
Walikalibishwa na mzee mmoja wa makamu hivi huku akiwatupia swali kama wameweza kuja na mzigo.
Sheby akaingiza mkono wake kwenye koti na kutoa kidude kidogo hivi cheusi na kumkabidhi yule mzee
“vizuri sana vijana
Nadhani huyu chizi baada kunusurika kifo kule gerezani atahitaji kutafuta ushahidi sasa
Basi wacha tuiteketeze”
Aliongea mzee yule na kusogea sehemu ambayo kulikuwa na kigae kikiwaka moto
Akanyoosha mkono wake lakini kabla hajaingiza ile Momery kwenye moto
Chibo akainuka na kwenda kuikwapua huku akimtandika zinga la teke yule
Mzee, akadondoka chini huku kina
Sheby wakiingiza mikono kwenye viuno na kuchomoa Bastola zao kilikuwa ni kitendo cha haraka kwa Chibo kuchumpa dirishani na kutokomea upande wa pili
Akiwaacha wenzake wasiamini kwakile kilichotokea
Wakatoka nnje na kuanza kumtafuta hawakuweza kuona hata arama ya unyayo wake
Chibo alikuwa kashapotea
“Kudadeki huyu mwanaharamu amekuwaje leo kudadeki zake. Embu tumuwahini nyumbani kwake”
Aliongea Sheby kila mmoja akakwea pikipiki
Na kutoka kwenye mjengo huo kwa
Kasi. Yule mzee nae akaingia ndani ya gari.
***************
Tukija upande wa Chanduka siku hiyo alikuwa amekaa ndani ya ofisi yake
Akiwaza hili na lile hakika kichwa kilimuuma kutokana na msongo wa mawazo.
Mpaka akahisi kinataka kupasuka kikubwa alikuwa akimfikilia yule kiumbe cha ajabu.
Na kujiuliza mbona anamfatafata kwani ni nani yule?
Pia akajiuliza mbona alipokuja Hafidhi kile kiumbe kilipotea inamaana anamuogopa Hafidhi au wanajuana? Na kwanini Hafidhi amchukuwe Yasri kampeleka wapi hivi hafahamu kama yule ni
Mtuhumiwa?
Chanduka alijiuliza maswali pasipo kupata majibu mwishoe akainuka na kutoka nnje ya ofisi
Akiwa anatoka
Akashtuka baada kumuona Hafidhi akiingia kwenye ofisi ya bibiye Mariam ambaye,
Akaitoa bastola yake na kuanza kunyata utasema yupo msituni. Akazunguka kwa kuambaa na ukuta kuna sehemu akaigusa kulikuwa na nyavu pakafunuka akachumpa na kupanda juu kishaa akaanza kutambaa,
Akiwa yupo juu anasota akafika sehemu kuna matundu fulani madogo hivi akachungulia kwa chini hapo aliweza kumuona
Hafidhi j Ikram akiwasha Computer na kuchomeka kitu kama Flashback,
Akakaza macho kuangalia kile ambacho kitaonekana kwenye computer.
“kiukweli kile kiwanja nakitaka kwa udi na uvumba sema bwana Yasini amekuwa ni mbishi hataki kuniuzia”
“kuhusu hilo usijali cha umuhimu ongea una Kiasi gani cha pesa sisi tuanze kazi!”
“kuna Milioni mia tatu”
“Dahaa kwa milioni mia tatu kwa kiwanja kile chenye nyumba kubwa namna ile ni ndogo mzee mwenzangu. Ndio maana Yasini akakataa”
“ok basi nitatoa milioni mia tano”
“Duhuu zote hizo”
“ndiyo hivyo kama ni kweli nitaweza kuipata sehemu ile nitaongeza zaidi ya hapo”
Yalikuwa ni mazungumzo yaliyokuwa yakiongelewa kwenye Video iliyokutwa kwenye Memory ile
Watu wakaagana huku wakibaki watu watatu
“Sasa sikia nikwambie kitu ndani ya usiku huu lazima Yasini afe kisha tutengeneze mazingira
Ionekane mkewe ndiyo muhusika wa kifo cha Mumewe.
Baada hapo mkewe nae afe. Wakishakufa hawa nyumbu kitabaki kitoto hiki tutakitengenezea kesi ambayo Nina hakika hukumu yake ni kifo.
Baada hapo kila kitu kitakuwa mikononi mwangu tutauza kiulaiini,”
“Vizuri sana bwana mkubwa so Yasri yuko wapi kwa sasa?”
“Yasri kaenda Kilwa Kivinje nahisi baada kupata taarifa za kifo cha mzee wake atakuja”
Basi mipango ikawekwa
Lilionekana tukio moja baada ya lingine mpaka Hafidhi akajiuliza wamejirecord ili iweje? Au kuna mtu alikuwa Akirecord kwa siri bila wao wenyewe kufahamu lolote?
Alijiuliza maswali huku akiendelea kufatilia mchezo mwanzo mwisho. Akachukuwa karatasi na peni na kuandika maelezo fulani
Baada ile video kuisha akaicopy na kuondoka zake.
Chanduka akashuka kutoka kule juu akaingia ndani ya ofisi akashtuka baada kukuta ujumbe umeandikwa
MR CHANDU NAONA HUKO JUU ULIKUWA HUWONI VIZURI SASA NILICHOFANYA NIMEKUCOPIA
JIPATIE WASAA MZURI WA KUPITIA TUKIO ZIMA.
“ha!ha!ha!ha! Yani kweli huyu jamaa ni hatari mimi na ujanja wangu wote ule mwenyewe nimenyata nikifahamu hajaniona kumbee hola
Embu acha niangalie vizuri.
Aliongea Chanduka huku akicheka na kukaa kwenye kiti cha kuzunguka.
Moshi mweusi ulikuwa ukifuka kwa wingi huku mile ya moto ikionekanika katika maeneo hayo. Kulikuwa na viumbe wa ajabu wamekusanyika. Kuonyesha kuwa kuna kikao nyeti.
“Mama”
“niambie Ibnuwas”
“Ule muda wa Hafidhi kuja kuishi kuzimu umeshafika na huu ndiyo wakati wake”
“Usijari mwanangu tushaandaa mtego atakuja tu”
**********************
Kina Sheby waliweza kufika kwenye mitaa ambayo anaishi Chibo wakapaki gari na kuanza kukatiza vichochoro kadhaa kabla ya kuifikia nyumba ya Chibo ajabu wakapokelewa na sauti ya vilio kutoka kwa mkewe Chibo, na baadhi ya ndugu zake.
Sema hawakujali chochote kwa wakati huo shida yao ilikuwa ni Chibo.
Wakaingia ndani na kushtuka zaidi baada kumuona Chibo akiwa kalala kwenye mapaja ya mkewe huku macho yamemtoka.
Mkewe alikuwa akimtikisa aweze kuamka
“haaaaa—Chiboo–mume wangu please fumbuaa machooohaaahiiiiichiboo wanguu jamaniiii!”
Alilia Mwanamke yule huku majirani wakijitahidi kumbembeleza
“Chibooooooooo, memory iko wapi Chiboo?”
Sheby nae akaenda kumkunja Chibo na kumuuliza swali huku akipiga kelele kumwita
Hakufahamu kama anaiuliza maiti
Suma akamshika Sheby na kupiga kelele
“muacheee mshikaji keshadanji
Huyoo Chibo nani kakutendea hivi Mshikaji wanguuhiiiii,”
Vilio vilitanda ndani ya nyumba hiyo na kuwavuta majirani zaidi.
Kweli kijana alikuwa amekufa kifo cha ghafla mno. Hata yule mzee alipofika na kukuta hali hiyo hakuweza kuamini akaomba maiti isachiwe kwani
Memory ni kitu muhimu kuliko kitu chochote kile.
“bila shaka kutakuwa na mtu kaingilia hii ishu kwa kumuagiza Chibo ampelekee ndiyo akamtendea unyama huu kuficha siri”
Aliongea Sheby kuwaambia wenzake”
******
Yasri akiwa ndani ya chumba kajipumzisha akaanza kuhisi upepo usiokuwa wa kawaida ukivuma kwa kasi ya ajabu. Ghalfa kile kiumbe kikamtokea
Na kusimama pembeni yake.
Yasri alianza kutetemeka maana alifahamu uwezo wa kupambana na kiumbe hiko hana na istoshe yeye ni mgonjwa. Kiumbe kile kikapiga hatua za kimiss
Kukisogelea kitanda huku akichomoa
Silaha yake zinga la bisu.
“Wewe ni nani na unataka nini kutoka kwangu?”
Yasri alijikakamua kuongea huku hofu ikizidi kumtanda kutokana na lile swali kiumbe kile kikasimama na kuishika
Mask yake na kuivua hakika alikuwa ni binti mrembo kupita kiasi mwenye asiri ya kipemba. Yasri akakaza macho kumuangalia huku akijaribu kuvuta
Kumbukumbu zake aweze kumkumbuka binti huyo
“Nasra ni wewe?”
Yasri akauliza kwa mshangao
“ni vyema umeweza kunikumbuka lakini Mimi si yule Nasra uliyekuwa ukimtoa machozi na kumfanya alale na njaa mwishoe akashikwa na ugonjwa wa ajabu uliompelekea kulala kitandani miaka mitatu. Mpaka akapoteza maisha, alilia usiku na mchana Akiimba wimbo wa Penzi ni haki yangu, ukashindwa kumpa hiyo haki.
Sasa basi Mimi ni Nasra kutoka kuzimu nimekuja kuichukuwa hiyo haki ya Penzi langu. Yasri ulinitesa sana ulinikana mbele ya Wazazi wangu ndugu jamaa na marafiki, hukutaka kunisikiliza kwa chochote kile ukanivua nguo kwenye siku yangu ya kuzaliwa.
Yasri embu fikilia maumivu
uliyokuwa ukiyapata wewe juu ya
kukataliwa na Fatma yalikuwa yanauma kwa kiasi gani? Mbona Fatma alirudisha moyo nyuma akakubari ombi lako?
Yasri nimekuja kudai Penzi ni haki yangu,”
Aliongea Nasra kwa sauti ya ukali chumba kizima kilikuwa kinatetemeka unaweza kusema, ukuta utaanguka muda si mrefu, hali kadharika na mabati yatafunuka. Yasri alishindwa aongee nini kama huyo aliyoko mbele yake ni mzimu
Itakuwaje hapo
“Tafadhali Nasra nisamehe kiukweli nilikuwa na moyo mmoja tu sikuwa na jinsi kumpenda Fatm….
“Shatapu,,,,,pahaaa
Nasra akapiga kelele akimtaka Yasri anyamaze kama haitoshi akampiga kibao cha shavuni kilichomfanya Yasri aone kizunguzungu
Damu zilianza kumtoka mdomoni. Chezea kupigwa na mzimu.
Nasra akanyoosha mkono juu Akakishika kisu mkononi kwake akaanza kucheka kwa sauti ya dharau huku akiimba nyimbo ya Penzi ni haki yangu ni nyimbo ambayo anaifahamu Yasri tu.
Wakati hayo yakiendelea ndani ya chumba hiko upande mwingine tunamuona Chanduka akiwa anashuka ndani ya gari
Akaangalia kushoto na kulia kisha akaingiza mkono wake kiunoni akaitoa Bastola kwa tahadhari kubwa akaanza kupandisha ngazi za nyumba moja hivii.
Kufika sehemu akasimama na kujiandaa kubisha hodi ghafla akafutuka na kupiga mlango Teke huku akifyatua Risasi nyingi zisizo na idadi. Kumbe alikuwa amevamia chumba ambacho Yasri alikuwa kalazwa
Mzimu ukapepesuka na kurudi nyuma kabla ya kudondoka kupitia dirishani.
“kijana jitahidi kuinuka tuondoke haraka eneo hili”
Chanduka aliongea huku akimshika Yasri na kuanza kumkokota kutoka nae nnje. Sijui kapajuwaje na ujio wa Nasra hapo kaambiwa na nani? Maana alivyo
Vamia mule ndani hakuuliza akafyatua risasi.
Wakatoka nnje na kushuka ngazi kabla ya kufika chini
Yasri akajikuta akishikwa mguu na kuvutwa akajitahidi kujitoa lakini wapi kiumbe alikuwa na mkono utasema Terminator
Chanduka akapiga risasi kwenye ule mkono ndiyo ukamuachia Yasri
Wakatembea kwa haraka na kuingia ndani ya Gari na kuondoka wakimuacha Nasra akiwa bado kalala pale chini huku mwili wake ukifuka moshi utasema kamwagiwa tindi Kali
Watu walianza kujazana kusogelea eneo hilo ghafla ule mwili ukapotea na kufanya wambea waanze kukimbiana upya kwani ile milio ya risasi tu
Walikimbia hovyo.
Chanduka aliendeesha gari kwa speed ya ajabu mpaka watu walioweza kuliona gari hilo walibaki kujiuliza ni majambazi au?
Polisi wa usalama barabarani walishindwa kulifatilia kutokana na kumfahamu mmiliki wa hilo gari
*****
Hafidhi j Ikram alikuwa yupo hospitali amekaa pembeni ya kitanda cha mkewe bibiye Mariam wakiongea mawili matatu
“hivi baby kwanini usijiunge katika jeshi la polisi ili uweze kulisaidia taifa lako?”
“mimi mwenyewe ndiyo nafikilia kufanya mchakato kama huo. Lakini kuna kitu kinanitatiza”
“kitu gani hicho?”
“hivi kitengo gani kitaweza kunikubari mtu kama mimi?
“chochote kile kutokana na uwanaume wako hakuna kitengo ambacho kinaweza kukukataa jiamini baby”
Basi waliongea mambo mengi sana Hafidhi akaaga na kuondoka.
Gari ikiwa katika mwendo wa kasi ikikatiza maeneo ya Mbezi juu Ghafla ikapiga mzinga baada tairi zote mbili za nyuma kupasuka sio kama zilipasuka.
Bali kiumbe kilishawafikia na kuchana zile tairi
Gari ilianza kwenda msobemsobe na kupinduka
Chanduka aliwahi kumsukumiza Yasri nnje huku yeye akibaki na gari
Ikabiringika kama mara mbili na kutulia kimyaa moshi mwingi ulikuwa ukifuka.
Upepo nao ulianza kuvuma Nasra huyo hapo akashuka kwenye pikipiki yake mfano wa Ghost Ride. Na kuanza kupiga hatua kuifata hiyo gari
Alipoifikia akawasha kibiriti cha gesi
Akainama kuchungulia ndani hakuna mtu
“ohoo shit!”
Akasimama na kuangaza macho yake huku na kule akaweza kuwaona wakiwa wanakimbia kwa mwendo wa kuchechemea.
Kiukweli tokea nimfahamu Chanduka sijawahi kumuona akikimbia vita lakini leo hii anamkimbia mtoto wakike. Pia tusisahau Ninja Suit kafanywa chapati kwa binti huyu, hakika ni wakuogopwa kupita ukoma. Chanduka mwenyewe alikuwa kaumia.
Yasri nae ndiyo mgonjwa basi walikokotana hivyo hivyo.
Nasra akapiga hatua za taratiibu kuifata pikipiki yake na kupaa nayo angani akatua mbele yao.
***********
“psiiiii psiiii”
Hafidhi baada kutoka hospitali alikuwa akikatiza maeneo ya Bamaga ndipo macho yake yalipoweza kutua kwa mrembo mmoja wa haja. Yani huyo mrembo tembea yake tu ilikuwa shida kila hatua aliyokuwa akiipiga Makalio yake makubwa yaliyobebwa na miguu minene mapaja yaliyonona kwa. Madereva daladala na Bodaboda bila kusahau Wamachinga na wengineo wakabaki kupiga miruzi tu na kushangilia.
Mrembo alikuwa amekaa pale Stendi akibofya bofya simu yake sio kama alikuwa akisubiria Daladala hapana alikuwa na lake jambo.
Kelele zile za wanaume wakwale ndizo zilizomfanya Hafidhi atupie macho kwa binti yule na kujisemea
“whaoo mtoto anastahili sifa”
Nae akapiga hatua na kumsogelea
Kabla hajaongea nae chochote simu yake ikaanza kuita akataka kuipotezea sema akaitoa mfukoni kuangalia mpigaji ni Chanduka badala ya kuipokea akakata na kutaka kuzima simu.
“Assalamu Alaykum…”
Mwanaume akasalimia kiarabu huku binti akimuangalia Hafidhi pasipo kuitikia kamuuliza
“mbona hupokei simu?”
“dahaa huyu jamaa anazingua tu achana nae”
“ok! Waaleykum ssalamu”
Binti akaitikia kuanzia hapo ikawa ni mazungumzo tu simu ikazidi kuita kila akiangalia mpigaji ni
Chanduka mwishoe akaipokea
“nini shida kaka mbona unanisumbua nipo kwenye starehe zangu”
Hafidhi alianza kubwabwaja pasipo kumpa nafasi Chanduka kuongea
“Yasri anaku……..
Simu ikakatwa mkataji ni yeye Hafidhi akairudisha simu mfukoni, sijui kwanini jamaa kawa mjinga kisa demu hataki kumsikiliza mwenzake
Wakati Hafidhi anairudisha ile simu mfukoni akajiuliza kitu hiki
“mbona kama jamaa ametaja jina la Yasri anaku…..nini maana?”
Akachekecha akili pasipo kupata majibu pale pale akanyoosha mkono wake mbele na kufanya kama anachora kitu kwenye ubao ni kitu kilichomshangaza sana yule Mrembo
“mmh sasa ndiyo unafanya nini hapo?”
Ghafla picha kubwa ikatokea mfano wa video kubwa ikimuonyesha Yasri kakabwa roba kwa kuning’inizwa juu na kiumbe cha ajabu huku
Chanduka akiwa pembeni akiibamiza simu kwa hasira
“tafadhali achaaa,”
Hafidhi alipiga kelele zilizo washtua watu wote waliokuwa maeneo yale
Akamshika mkono yule mrembo na kupotea nae
Watu wasianze kukimbizana nini huku wakipiga kelele za Jiniiiii jamani Majiniiii
Ni kweli Yasri alikuwa kaning’inizwa juu juu haja ndogo ikaanza kumtoka
“Yasri karibu kuzimu karibu sanaaa”
Aliongea kiumbe yule ambaye ni Nasra,
Chanduka akajitutumua kwani alikuwa hawezi kusimama masikini ya Mungu kumbe alishavunjwa miguu yote miwili kama alivyofanyiwa Ninja Suit naye katendewa hivyo hivyo.
Akajitahidi kumpigia simu Hafidhi ikiwezekana aje kutoa msaada sasa kitendo cha jamaa kukata simu na kutomsikiliza kilimuuzi kishenzi na kumkatisha tamaa akaibamiza simu yenyewe kwa kuitupa kwenye mti. Kwa mwendo wa kusota
Akawa akimsogelea yule kiumbe
Upepo ukaanza kuvuma kwa kasi kitendo kilichomfanya Nasra amuachie Yasri na kupotea
Ninja Short akaibuka akiwa kaongozana na yule
Binti
“Zamda naomba uwangalie jinsi ya kuwapatia msaada hawa watu mimi namuwahi huyu
Mwanaharamu”
Hafidhi aliongea kumwambia yule Binti kisha akapotea akimuacha
Zamda akilia na kuuliza
“sasa huku uliponileta ni wapi na hawa watu ni kina nani jamaniii?”
“Usiulize maswali binti piga simu waambie Mbezi juu huku kama unaenda Barabara ya Segerea”
Chanduka aliongea na kuwa
Kimya kuonyesha kapoteaza fahamu
“sasa niwapigie simu kina nani? Nijibu basi wee kaka”
Zamda aliongea lakini hakujibiwa kitu, akahitaji kukimbia kwani alihofia kubambikiwa kesi ya mauwaji akainuka na kuanza kukimbia kufika mbele kidogo akasita na kurudi eneo lile
Akaitoa simu yake na kubofya number za Emergency akaongea haraka haraka na kukata simu.
Msaada uliweza kufika Chanduka na Yasri wakachukuliwa na kuwahishwa hospitali.
Zamda nae akihitajika kwaajili ya mahojiano akafishwa kituo cha polisi Centre.
Kwenye msitu kulikuwa na kitu kikitembea kwa kasi ya kimbunga kitu hicho kilikuwa kikiwaka na kumetameta mfano wa umeta kilikata
Mawimbi na mabonde mirima na majangwa
Misitu na Makorongo. Kila sehemu aliyokatiza kama kulikuwa na viumbe basi aliacha vilio kwa viumbe hao. Kwani speed ya mwendo wake ilikuwa ni hatari tupu.
Kufika sehemu kulikuwa na jumba kubwa ambalo limezungushiwa moto kila sehemu unaweza kusema nyumba hiyo inateketea na moto kumbe walaa. Huo moto ni kama Uzio tu nyumba ipo safi kabisa
Kiumbe kile kikasimama na kuizunguka ile nyumba kisha akazama kwa kupitia sijui mlangoni au
Getini. Baada kuingia ndani ya nyumba hiyo iliyokuwa na viumbe vya ajabu wenye kutisha vibaya mno kile kikajiweka sawa kwa kujijenga kumbe alikuwa ni Nasra
Akapiga hatua za kimiss huku akihema
“vipi mbona umerudi ghafla hivyo?”
“anakujaa”
“nani anakuja?”
“Hafidhi j Ikram muda si mrefu atakuwa hapa hakika tumekwisha Maana hii taarifa ishafika kwa Baba yake Ibnuwasi”
Nasra aliongea huku akizidi kuhema na kufanya ufuke moshi.
“ohoo jamanii jiandaeni vitaa vitaaa”
Alipaza sauti yule Jinni aliyekuwa akiongea na Nasra vikosi vilianza kujipanga kwa kuandaa dhana,
Ghafla ule moto ulizimika vupu upepo ulikuwa ukivuma kwa kasi.
Kishindo kizito kilisikika kikilia sehemu ile ya getini Viumbe ambao walikuwa ni kama walinzi walionekana wakirushwa juu na kutupwa mbali na pale. Ninja Short alikuwa ameshafika
Akaingia kwa kasi akawa akikoswa koswa na silaha alizokuwa akitupiwa na vile viumbe akachumpa na kuachia misumari
“Nasra kimbiaa”
“siwezi kufanya hivyo nitakimbiaje wakati nyie mnabaki katika mapambano”
“binti acha ubishi huyu kiumbe ni hatari kuliko unavyofikilia kimbiaa,”
Baadhi ya Majinni walimtaka Nasra akimbie kwani maji yamezidi unga.
Japokuwa Nasra aliambiwa akimbie lakini hakutaka kusikia ndiyo kwanza akatoa silaha zake na kumfata Ninja Short. Aliyekuwa bize katika kupambana na viumbe wengine, kivumbi kilitimka
Jasho liliwatoka Ninja Short siku zote
Silaha zake aina ya mundu zimetengenezwa na madini fulani sijui almasi au nini? Akawa akidunda huku na kule na kutembeza nyembe kwenye miili ya viumbe hao. Akikugusa tu mwili wote una mong’onyoka na kuanza kuwaka moto kisha unapotea.
Akazidi kuwateketeza Viumbe hao
“Acheniiii”
Nasra akapiga kelele huku akija kwa kasi
Akiwataka viumbe wale waache kupambana na Hafidhi kwani yeye mwenyewe ataweza kummudu.
Viumbe wakakaa pembeni
Ninja Short akavua mask yake na kutupa Silaha zake chini.
“Naona binti umeoteshwa mapembe mpaka unajiamini kutaka kupambana nami!”
Hafidhi akaongea akiwa kasimama
“Nyamaza usitake kujiona wewe ni bora zaidi ya wengine. Kiukweli sikutaka kukuulia kule duniani, ndiyo maana nikawa nakukimbia nikijua ipo siku utanifata. Sasa leo ndiyo mwisho wako!”
“ok! Binti usiongee sana ukaja kukaukiwa sauti bule
Njoo uichukuwe roho yangu”
Hafidhi aliongea na kuweka mikono yake nyuma yani alifanya hivyo utasema kafungwa kamba.
Zote ni dharau tu mwanaume anajikubari kupita kiasi
Nasra akaja kwa kasi na kuanza kutembeza Visu,
Hafidhi akawa akikwepa tu kwa kumzunguka. Mara akae nyuma ya Nasra Mara kushoto
Mikono alikuwa kaiweka vilevile
Alipokuja kuiachia Nasra akajikuta akikabwa shingoni na kunyanyuliwa juu
Kitu kama umeme ukaanza kusambaa kwenye mwili wa Ninja Short umeme ambao ulimfanya Nasra atetemeke
Akamtupa mbali na pale kisha akapiga kelele
Akimtaka Nasra akimbie
Lakini Nasra hakutaka kusikia cha muadhini wala mkimu swala akaokota silaha zake na kumfata tena
“Binti kimbiaaaa”
Hafidhi akazidi kupiga kelele kwa mbaali kulikuwa na kitu misili ya kimbunga kikija maeneo
Hayo kimbunga ambacho kilikuwa kama Seruji yenye moto
Mkali sana.
Hafidhi alipomuona Nasra akija kwa kasi nae akachumpa kwa kulala chini kitendo cha Nasra kumpitia kwa juu akacheza na shingo ya bibiye.
Ikawa kichwa kule kiwiliwili chini
Vikamong’onyoka na kupotea
Ninja Short akavua Mavazi yake na kutanua mikono yake kimbunga kile kikafika na kuikumba ile sehemu
Sauti ya vilio kwa baadhi ya viumbe zilisika.
Hakuna hata kiumbe kimoja kilichoweza kubakia
Sehemu hiyo ilikuwa nyeupe unaweza kusema hakujawahi kukaliwa na viumbe wa aina yeyote ile.
***
Sekunde dakika masaa siku
Hatimae wiki mbili ziliweza kupita pasipo Yasri kurudiwa na fahamu zake. Chanduka alikuwa kazinduka na kujikuta yupo kitandani
“Niko wapi hapa?”
Lilikuwa swali la kwanza kutoka kwa Chanduka baada kuzinduka
“upo hospitali kamanda ulifikishwa hapa wiki mbili zilizopita baada kupata ajali mbaya ya gari,”
Alitoa maelezo Doctor James
Ndipo Chanduka akaanza kuvuta kumbukumbu zake nyuma akakumbuka kila kitu na kuishia kusema
“ohoo Shit!”
Akaendelea kuwaza na kufikilia
“Yasri yuko wapi?”
“unamuulizia Yasri yupi?”
“kwani katika ajali mlinikuta peke yangu? Hakukuwa na majeruhi mwingine?”
“ahaa unamzungumzia yule kijana mdogo?”
“ehee ndiyo huyo huyo”
“yeye mpaka sasa hajaweza kurejewa na fahamu zake yupo katika chumba maalumu cha uchunguzi”
“Aisee ina maana amekufa au? Embu nipishe nikamtazame”
Kiufupi Chanduka alikuwa kama ni mtu aliyedata yani aliuliza maswali huku akitaka kutelemka kutoka kitandani
“hapana Muheshimiwa usifanye hivyo”
“niach…..uwiiiii mamaa miguu yangu”
Chanduka akapiga kelele baada kujihisi kama vile hana miguu.
Sio kama miguu yake ilikuwa imekatwa bali ilikuwepo sema ikapigwa ganzi ili wataalamu wa mifupa waweze kuangalia ni namna gani wataweza kuiunganisha Mifupa hiyo
Bwana Henzi bingwa wa mifupo kutoka nchini Belgium aliweza kuwasili nchini Tanzania siku tatu tu tokea Chanduka afikishwe hapo
Aghakani akiwa hajitambui
Katika kuichunguza miguu hiyo ikabainika uwezekano wa kuiunga na Chanduka kutembea tena ni mkubwa. Japokuwa itachukuwa muda mrefu kidogo. Sasa kitendo cha kutaka kwenda kumtazama Yasri akahisi miguu hana
akapiga kelele na kutulia kitandani kimyaa,
Bibiye Mariam aliweza kupona na kuruhusiwa kutoka hospitali yeye akawa na kazi ya kuja kumuangalia
Chanduka huku akimletea chakula Mwezi mmoja baada Yasri nae akarejewa na fahamu ilikuwa ni furaha kubwa kwa Fatma kwani kila siku alikuwa akikesha akimuomba Mungu
Kipenzi chake aweze kufumbua macho.
Mzee Hossam hakuwa na jinsi ya kumzuia tena binti yake iwapo Kijana ambaye alitakiwa kumuozesha binti yake Ameshakufa atafanyaje
Siku zilizidi kusonga mbele miaka mitatu baadae
Yasri akapona kabisa hata
Chanduka alikuwa akitembelea magongo siku hiyo aliyoweza kuruhusiwa kutoka hospitali ndiyo siku aliyoita mkutano na
Waandishi wa habari akalipua Bomu
Kuhusu kesi ya kijana Yasri kila mmoja alibaki kinywa wazi asiweze kuamini baada ile Video ilipoanza kusambazwa na kuonyeshaa kwenye vituo vya Runinga nchini.
Swali likabaki kwa Yasri je aliwezaje kujiokoa katika tundu la sindano? Maana alikuwa ameshavishwa kitanzi. Nae hakuwa na jinsi kusimulia kila kitu na kumwagia sifa kedekede
Hafidhi j Ikram. Wananchi wakashangilia na kuhitaji shujaa wao mwenye kutetea haki za wanyonge nae ajitokeze aongee japo mawili matatu.
Lakini hakutokea
Kwa upande wa bibiye Asia aliweza kuzirudisha mali za wazazi wake akamshukuru sana
Hafidhi na Yasri
kwa msaada mkubwa waliompa mpaka kufanikisha yote hayo akajitolea nusu ya utajili wake kwenye vituo vya kulelea Yatima na watu wasiojiweza.
Watuhumiwa wote walikamatwa na kupatiwa hukumu stahiki
“Baby”
“Abeee”
“ni miaka saba sasa imeweza kutimia pasipo kumuona Master wangu sijui yuko wapi?
Huko alipo anafanya nini?”
“ndiyo baby hata Mimi najiuliza atakuwa wapi hivi baby kama mtoto wakwanza angekuwa wa kiume
Ungemwita jina gani?”
“Hafidhi j Ikram”
“toka zako hivi hujui kama majina yana rithi hadi tabia?”
“ndiyo hivyo, baby sema umenizalia wa kike
Safari nyingine nitajituma nipate wa kiume”
“ujitume Mara ngapi wakati kitu tayari”
“what? Baby una mimba nyingine?”
“ndiyoo”
“ohoo Asante Mungu bila shaka huyu atakuwa ni Hafidhi j Ikram”
Ilikuwa ni siku ya furaha kubwa sana baina ya Yasri na Fatma baada kufunga ndoa miaka miwili iliyopita wakabahatika kupata mtoto wa kike waliyempa jina la Smaiya na siku hiyo walitoka kidogo na kuelekea
Coco Beach kupunga upepo
Smaiya akawa akicheza kwa mbele yao
ndipo Fatma aliposema tayari
Kabeba mimba nyingine. Yasri alifurahi si mchezo
********
Upande mwingine tunamuona Bibiye Mariam akiwa amekaa kitandani ndani ya chumba chake
Huku mkononi kaishikilia picha kubwa ya
Mumewe akiiangalia ghafla kuna kikaratasi kikadondoka kutoka nyuma ya ile flemu
Akaishika ile karatasi na kuikunjua
(Uzuri wako ulinifanya Mimi nidate
Uzuri wako ulinifanya wengine nisiwafate
Baby kwanza samahani sana tena sana kwa kukuacha na majonzi makubwa nafahamu ni jinsi gani. Unanipenda sema hunishindi Mimi.
Niliandika barua hii kabla sijaianza safari nzito. Safari ambayo haina marejeo
Ni safari ya kifo. Sio kama nimejiuwa hapana nilihitajika kujitoa sadaka ili wengine wapone.
Kwaheri ya kutoonana ukipata mume kubari akuowe tu kwani Mimi sitoweza kuishi nawe tena
Labda inawezekana siku ukaja sehemu ambayo Mimi naenda.
Mlinde Yasri walinde wanangu waambiye Baba yao nipo mbaali
Ni kesi ya MTAA WA TATU mpaka ikafikia katika
PENZI NI HAKI YANGU mpiganie Yasri aipate hiyo haki ya penzi
Usilie usiumie jihurumie
Wako kipenzi Hafidhi j Ikram
11 September 2011)
Barua iliisha hivyo kama tunakumbuka siku ya Jumatatu tarehe 15 September 2011
Ndiyo siku ambayo Chanduka na Yasri
Walikimbizwa na kile kiumbe ina maana Barua iliandikwa kabla ya siku ya tukio Mariam hakuweza kuamini akaisoma tena na tena huku akilia
Akatoka nayo mpaka
Sebuleni na kumkabidhi Ikram familia nzima ilikuwa hapo
Ikram akauliza
“nini hii mamaa?”
“chukuwa tu uisome kwa sauti”
Mariam aliongea huku akichukuwa imont na kuzima TV
Ikram akaanza kuisoma kila alipokuwa akisoma miili yao ikaanza kusisimka
“hapanaaa nitamtafuta
Baba yangu popote alipo hata kama itakuwa kuzimu nitaenda na kumleta hapa”
Ikram aliongea kwa sauti ya kishujaa kauli ambayo iliungwa mkono na
Kina Yusra wakaunganisha mikono na kusema wapo tayari kumtafuta Baba yao
Kumbuka Hafidhi j Ikram ana watoto
wanne wawili mapacha wakike na wakiume kazaa na bibiye Beatrice mmoja kazaa na Vivian ambaye ndiyo Ikram wakati
Yusra mama yake ni Mariam wote ni watoto wa nnje ya ndoa.
Barua iliweza kumfikia Yasri kiukweli aliumia sana akatamani Chanduka angekuwepo aweze kutoa msaada wa kwenda kumtafuta Hafidhi huko kuzimu kwani Chanduka sehemu hizo anazifahamu vyema. Lakini Chanduka hakuwepo alikuwa
Amesharejea nchini Brazil huku akiacha maagizo kwa
Serikali kuwa wasimwite tena kwani anahitaji kupumzika na team nzima ya familia yake si mnakumbuka Chanduka alitia Mimba wanawake wa kijiji kizima mpaka
Malkia wao kisha akakimbia sasa watoto wake wapatao hamsini ni vijana wakubwa tu.
“hakika nipo tayari kujitoa muhanga nitakutafuta
Mwalimu lazima nilipe
Penzi ni haki Yangu………….
***MWISHO***

