PENZI NI HAKI YANGU
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 4
“ohoooo,,,,,,’’ ehee ngoja niushike mtalimbo kwanza alizungumza maneno hayo dada huyo huku akiupeleka mkono wake mpaka kwenye mashine ya Hafidhi kwakuwa alikuwa bado hajafunga zipu ya suruwali yake. Bibiye akaanza kukishikashika kichwa ili kuongeza uimara wa mashine aliichukua na kuiingiza mdomoni mwake, alianza kuinyonya kiufundi huku akichezea na kichwa aliuzamisha ulimi kwenye kitobo cha mashine na kushuka na ule mstari mpaka kwenye viazi mautamu “aaaah,,,aaaah,,,aaaaahhhh,,ooooh,,alilalamika Hafidhi kwa sauti ya chini, mashine ilikakamaa na kusimama haswa ambapo dada huyo aliridhika na kupanua mapaja yake tayari kwa kusuguliwali
Basi taratibu Hafidhi aliishika mashine yake na kuichomeka kwenye kitumbua kisha akakipeleka kiuno chini hali iliyofanya mtalimbo wake kuingia ndani “aaaauuuuuhh,,aaaissssssss,,,,,shiiiii,,ooooooh,aaaaaaah,,,alilalamika hivyo dada huyo huku akizungusha kiuno,,, kwa mwendo wa disco dance. Wakati mzee wa nyapu akikumbushia enzi zake upande mwingine tunamuona kijana Yasri akiwa kwenye harakati za kuiokoa nafsi yake baada kukutana na Simba, sijui ilikuwaje mpaka akakutana nae, kama ujuavyo ukikutana na simba usimkimbie wewe mkazie macho bila shaka ataogopa. Sema ukimpa kisogo tu andika umeumia ndivyo ilivyokuwa kwa kijana Yasri kwanza akatizamana na yule simba dume kila mmoja akionekana akimvizia mwenzake kisha Yasri akageuka na kutimua mbio kwa speed ya ajabu. Simba nae akamuungia ikawa mkimbize mkimbize kwenye msitu huo ghafla bin vuu Yasri akacheza teknik moja ya ajabu sana akiwa katika speed ya kukimbia kwambele kulikuwa na mti aina ya mbuyu akafanya kudunda na kuachia zinga la teke kwa yule simba. Kiumbe kikayumba kwa kurudi hatua kadhaa nyuma akajitikisa kichwa kuonyesha lile teke limemuingia akaunguruma kwa hasira na kumfata Yasri aliyekuwa kasimama tu Mwanaume akaanza kuzunguka kwa style ya Tai chi upepo ukaanza kuvuma majani yakapukutika na kumfanya yule Simba ashindwe kuona vizuri akarudi nyuma na kukimbia “ha!ha!ha! yani kwa mwendo huu nikienda jijini Dar es salaam nitakinukisha Master mwenyewe akasome. Nitahakikisha mabwege wote nawapeleka kuzimu kudadeki,’’ Yasri akacheka na kuongea hivyo kuonyesha jinsi gani ana kisasi kizito ndani ya moyo wake ndio sababu iliyompelekea yeye kuzingatia mazoezi yote anayofunzwa na bwana mkubwa ndani ya miezi miwili tu anaonekana kuanza kuwa fiti. Mara nyingi akitaka kujipima basi anaingia msituni kumtafuta mnyama ambaye anahisi atafaa kwenye jalibio lake.
“Vivian unafahamu ni miezi mitatu sasa imepita tokea tukabidhiwe hii kazi binafsi mimi sioni chochote kinachoendelea juu yetu’’ Mariam ukipenda mwite mama Yusra alimueleza mama Ikram, ambaye ni Vivian. “nikweli ukiongeacho mdogo wangu maana hata mimi mwenyewe nilifikilia kuomba tuamishwe kitengo tufanye kazi nyingine tu, lakini mbona kama baba Ikram simsomi kule gerezani?’’ Vivian akauliza “umsomi kivipi?’’ Yani kapoteza ule uchangamfu kiukweli hayupo sawa amekuwa ni mnyonge sana juzi niliweza kuongea na mmoja kati ya wafungwa akaniambia jamaa kabadirika kwa kiasi kikubwa sana amekuwa ni mtu wa kulala tu,’’ “sasa kama ni hivyo bila shaka atakuwa na tatizo’’ “mi naona labda anaumwa tufanye mipango tuongee na wakwe zetu tuangalie ni namna gani tunamsaidia kikuna mbuzi chetu,’’ waliongea hivyo pasipo kutambua yule aliyoko gerezani si Hafidhi bali ni kiumbe kutoka jamii yao ya Majinni na yupo pale spesho kumfanya mzee wa nyapu aiweke nchi sawa safari hii wataisoma number bila kuiandika. Kwanza atahakikisha wanasiasa wote wanaongea ukweli kwazile ahadi zao wanazozitoa kwenye kampeni ole wao wapindishe watajuta. Pili akataka kumsaidia kijana Yasri kuwatokomeza wabaya wake wote, hakika bwana mkubwa kaja kivingine mbona balaa. “Vipi kaka mkubwa naona leo upo mwenyewe’’ ilikuwa kauli kutoka kwa Yasri akimwambia Hafidhi baada kumkuta akiwa amekaa chini ya muwembe “dahaa yani mdogo wangu wee acha tu. Si unampata yule Ziada?’’
“ndio nampata si yule binti wa kwa mzee Ndondi’’,,,,
“ehee ndio huyo huyo’’ “haya niambie kafanyaje tena?’’ Yasri akauliza huku akikaa chini, “yani yule binti ni balaa sijawai kuona kama yeye katika maisha yangu’’
Hafidhi akaongea kwa kumsifia huyo Ziada “sasa balaa lake nini si uniweke wazi’’,,, binafsi Yasri hakuelewa mwenzake anamaanisha nini kusema yule binti balaa “ahaa basi nimeghaili kukwambia vipi ushamaliza mazoezi?’’
Mwanaume akachenji sentesi “ndio nishamaliza hapa nimeweka masikio waruu nipate kusikia hiko kitu,’’
“kama umemaliza basi ni vyema ukachukuwe ndoo ukateke maji kule kisima cha Newala,
“sawa bwana wee nibanie tu yani umenionjesha asali kwa ncha ya kisu’’
Yasri akaongea hivyo huku akiinuka na kuingia zake ndani kwenye kijumba cha udongo walicho kijenga kwenye kijiji hiko, baada Yasri kuingia ndani dakika si nyingi akatoka ajabu hakumuona Hafidhi pale alipo muacha “sijui atakuwa kaelekea wapi huyu yani kuingia ndani tu yeye kaondoka,’’ Yasri hakuwa na jinsi zaidi ya kuelekea zake kisimani
Ndani ya misitu kulikuwa na kitu kikienda kwa kasi mfano wa Super Man sema huyu speed yake ilikuwa kubwa sana, wanyama na ndege na baadhi ya wadudu wakabaki kugeuza shingo zao kuangalia kitu hiko mpaka kufikia viumbe wengine kuogopa na kujificha, kitu kile kili safari mpaka jijini Dar es salaam na kutua kishindo kizito kikasikika baada kiumbe kile kutua pande za Magomeni mapipa, kiumbe mwenyewe hakuwa mwingine ni Hafidhi j Ikram kwa kutumia uwezo wake wa Kijinni ameweza kusafiri kutoka Kilwa kiwawa mpaka kufika jijini Dar es salaam ndani ya dakika tatu kama vile mpiga picha wa passport size,
“oyaa mbona kishindo vipi?’’
Jamaa mmoja akauliza “itakuwa ni baruti wamepiga madogo si unajuwa zimebaki siku chache tusheherekee mwaka mpya’’,, mwenzake akamuelewesha
“hawa madogo machoko sana yani kututia presha tu kudadeki nikimshika mmoja nitamnyoa para kwa kutumia konzi mamaye zao”,
yule jamaa akaongea kwa hasira huku akirudi kukaa sehemu yake aendelee kucheza kamari kumbe kile kishindo kilimfanya ashtuke na kutaka kukimbia,
“wee Agogo embu acha presha zako za kiboya yani kitu kidogo tu mtoto wakiume mbio utasema umeshikwa tako’’
jamaa mwingine akaongea sema Agogo akujibu kitu akajifanya kama vile hakusikia akaendelea kucheza karata, Baada mwanaume kutuwa maeneo hayo akapiga hatua za haraka haraka na kuvuka barabara kisha akaingia ndani ya Daladala iendayo Gongo la mboto, aliweza kupata siti na kutulia kimyaa kama vile sio yeye kichwani akiwa kavaa kofia aina ya pama na miwani myeusi
“hivi hii serikali inaakili kweli?’’
kama ujuavyo kwenye daladala hakukosi porojo ndivyo alivyoanzisha mmoja wa abilia. “sijakuelewa unamaanisha nini kuuliza hivyo maana unasema serikali inaakili kwani serikali mtu au watu?’’
mwingine akamuweka sawa mwenzake kwa kumuuliza, “wewe kama hujaelewa kimpango’’ yule aliye uliza swala akapayuka na kuwa mkali
“ohoo basi yaishe haya tuambie kwanini unasema serikali haina akili?’’ Hafidhi akaingilia kati na kumuuliza yule jamaa “ewalaa hayo ndio maneno ya kuuliza mdogo wangu, nilikuwa nataka kusema hivi hapa juzi kati kuna kijana katobolewa macho sijui na mtu anaejiita Scorpion sasa serikali ikajifanya kujitolea kipaumbele kwa kumpatia muhanga yule mamillion ya pesa sijui bajaji mara nyumba sijui nini”
Jamaa povu lilimtoka kwa kuongea hivyo.
“sasa ulitaka utobolewe wewe ili upewe hivyo vitu au?” Kuna mwanamama akauliza.
“sio hivyo Dada yangu nilikuwa namaanisha hivi
Katika nchi yetu hii matatizo mangapi
Yametokea, kuna vipofu au Vilema wangapi wanahitaji msaada kupitia serikali,
Omba omba wangapi wamezagaa kwenye jiji hili
Sio kama serikali haiwaoni inawaona sana tu utasikia eti
Matonya wote warudishwe makwao, swali la kujiuliza wakiwarudishe makwao ndio wamewasaidia au kwenda kuwatupa huko pasipo msaada wowote
Kama Serikali ingekuwa na moyo wa kujitolea
Basi wangejenga vituo na kuwapatia
Ajila wale wenye kuona
Sema miguu hawana.
Na wale vipofu waangaliwe pia, lakini leo hii
Vipofu wanajisikia vibaya kusikia mwenzao anapewa mamillion ya
Pesa wakati wao hata shilling kumi
Hawajawai kupewa”,,,,, hakika jamaa aliongea kwa hisia japokuwa alikuwa na mengi ya kusema sema akashukia Ilala boma.
“bila shaka jamaa kaongea ukweli kwanza huyo
Scorpion mwenyewe kaachiwa baada siku kadhaa tu hapa ndipo natambuwa ni
Mchezo wa kupangwa inawezekana
Vipi jamaa aachiwe wakati kampa mwenzake
Kilema cha maisha”,,,,,
Konda akaendeleza mada, ghafla wote wakawa kimya baada kufika maeneo ya Bungoni
Akapanda polisi,
Hafidhi akatabasamu tu baada kugundua kumbe watu waoga
“niache Buguruni Chama”
Mwanaume mmoja akaongea kumwambia Konda
basi gari ikasimama
Hafidhi nae akashuka na kuvuka barabara kuelekea usawa wa Buguruni Sheri
Sijui kafata nini anajuwa mwenyewe
Kwa mwendo uleule wa haraka mwanaume akaelekea mpaka Buguruni sheri akavuka barabara na kuelekea sehemu ambayo kulikuwa na wafanyabiashara ndogo ndogo
Wauza nyama za kuchoma chipsi juisi na vinginevyo baada kufika pale akasimama na kuonekana kama vile kuna kitu anataka kununua au abilia mwenye kungojea usafiri.
Akajongea kwenye meza moja wapo na kuchukuwa kijiti kimoja wenyewe tunaita Stick na kuanza kula vipande vya pweza. Pasipo kuulizia bei na muuzaji hakushangazwa na hilo. Akaendelea na majukumu mengine ya kuwahudumia wateja ambao walitaka wafungiwe au kupimiwa mchuzi wa pweza. Kwa mbali kidogo alionekana msichana mrembo wa maana akisogea maeneo hayo kwa mwendo wa maringo,
“oyaa brother nishakula kipande cha ngapi?’’
Hafidhi akajifanya kuuliza lakini kabla ya kujibiwa mwanaume akazunguka na kukwapua kipochi cha yule mrembo,
“jamani mwizii’’,,,,mwiziiii jamani kipochi changu’’
Binti alipiga kelele wakati mwanaume ndio anasepa kwa speed ya aina yake.
Sasa mwenye kisu mwenye shoka mwenye sime wakamuungia na kuanza kumkimbiza hakika watu walikuwa wengi balaa mwanaume akazidi kuyoyoma ghafla kuna jamaa akarusha zinga la jiwe sema Hafidhi aliweza kuliona akachumpa na kwenda kudunda kwenye mtaro huku jiwe likienda pembeni na kuvunja kioo cha mlango. Sijui kwanini Hafidhi katenda hivi inamaana kawa kibaka, watu wakazidi kuongezeka kama ujuavyo Buguruni ni sehemu yenye mkusanyiko wa watu.
Ndani ya vichochoro hivyo mwanaume alikuwa anavijuwa utasema kazaliwa maeneo hayo akawa anaingilia huku na kutokea kule katika kumkimbiza baadhi ya watu wakakata tamaa
“opsii huyu mwizi wa aina gani yani anatuzungusha tu maeneo hayahaya mamae zake nikimkamata nitazaa nae kwanza kala pweza wangu kisha hajalipia,’’
Alikuwa yule kijana muuza pweza akiongea huku anahema na kukaa chini kwa uchovu, wakati wengine wakiendelea kukomaa nae kwa kumkimbiza yani akawa anatokezea chooni na kukuta watu wakioga wengine wakinya basi anaruka ukuta na kutokezea upande mwingine na kuwafanya wanaomkimbiza wazunguke. Kulikuwa na sehemu moja hivi kuna fremu ya kuonyeshea video show na siku hiyo kulikuwa na big mechi baina ya Manchester United na Arsenal basi vijana walijazana humo asikwambie mtu Hafidhi akiwa anakuja mbio akaingia humo ndani na kwenda kujikausha kwenye benchi. Kibaya zaidi ule umati wawatu ambao ulikuwa ukimkimbiza walimuona akiingia mule
“oyoo kuku kaingia mwenyewe bandani mtoeni’’
Wananchi wenye hasira kali wakiwa wanavuja mijasho wakapaza sauti wakitaka mwizi wao atolewe.
“embu acheni ubwege huyo mwizi kaingia saa ngapi’’,,,
Mwenyewe mwenye kuonyesha video akaweka kigingi na kuuliza huyo mwizi kaingia saa ngapi wakati yeye yupo pale mlangoni mbona hajamuona.
“wee Chikaptura usitake kutuchanya kwa kutuona sisi maboya au vipofu yani kwa macho yetu mawili tumemuona akiingia humu’’
Basi ikawa vurumai kijana Chikaptura akigoma kuwapisha waingie na kufikia hatua ya kutaka kuanza kumpiga sema kikundi cha Masela wake waliokuwa ndani wakitazama mpira wakatoka
“oyaa nyie mabwege acheni kuzingua mmekuja na dhana za nini sasa?’’
Washkaji waliotoka ndani wakauliza,
“tunamtaka mwizi wetu kaingia humu ndani’’
“oyaa Chikaptura embu waache waingie kwanza mpira half time lakini huyo mwizi si mnamjuwa?’’ washikaji wakamuomba jamaa yao awapishe tu kama wanauwakika huyo mwizi kaingia mule basi kikundi cha watu wakaingia na kuanza kumkagua mtu mmoja mmoja dakika si nyingi wakatoka wakarudi tena ndani yani walimtafuta wee hawakuweza kumuona,
“huyu mwizi nyoko ehee yani kaingia humu ajabu hatumuoni wakati hakuna sehemu nyingine ya kutokea zaidi ya pale pa kuingilia,’’
Sema hawakutaka kukata tamaa wakazidi kumtafuta.
*******************
Tukija kwa yule binti ambaye ndio kaibiwa kile kipochi alikuwa akitembea kwa miguu kurudi nyumbani kwao sijui wapi sema alikuwa akitembea kwenye barabara ya treni akiwa na mawazo kibao machozi yakimtoka
“wee dada treni hiyoo’’,,,,,
Kuna mtu akapaza sauti kumwambia yule binti hakuweza kusikia chochote yani ile honi ya Treni hakuisikia kabisa lakini kabla Treni haijampitia wakati ilikuwa sentimita chache imgonge kuna kiumbe kilitokea na kumkumba yule Binti kwa kumpushi pembeni na kumvalisha kile kipochi treni ikampitia yeye
“Mungu wangu kijana wa watu kajitoa muhanga kisa yule binti’’ watu wakajishika vichwa baada kushuhudia tukio lile binti baada kutupwa pembeni akashtuka baada kukiona kipochi chake kikiwa pembeni hakuweza kuamini akakichukuwa na kukifunguwa kuangalia ndani kila kitu kipo sawa kuanzia vitambulisho vyake simu yake ya smart phone na kiasi cha pesa sijui shilling ngapi vitu ambavyo vilimfanya adate mpaka kufikia hatua ya kutaka kujitoa uhai wake.
Ajabu baada ile treni kupita mwili wa yule kijana haukuweza kuonekana, “duhuu hii ajabu mbona mwili haupo?’’
“hata mie mwenyewe nashangaa maana niliweza kumuona akija mbio na kumsukumiza huyu binti huku yeye akigongwa na treni ajabu hata tone la damu hakuna’’
Wakabaki kila mmoja akiongea lake juu ya tukio lile la kushangaza wapo waliomwambia yule binti kama itatokea siku huyu kijana akija kwako na kukutaka kimapenzi wewe mkubali tu kwani amefanya jambo la kishujaa sana.
“ha!ha!ha!ha! kumbe mijitu ya Buguruni wana umoja ehee? Sasa sijajuwa kwa mwizi au kama huyo Scorpion alivyofanya sema yule binti nimemuacha njia panda kwanini alitaka kujiua kunani mule ndani ya kipochi ni pesa nyingi au, sina jinsi nianze kumfatilia huyu binti bila shaka kuna siri nzito imejificha ndani yake,’’
Yalikuwa maneno kutoka kwa bwana mkubwa Hafidhi akiwa amekaa kwenye mgahawa maeneo ya Temeke
********************
“Dahaa sijui atakuwa kaelekea wapi, au kaenda kwa yule binti wa kimakonde? Wacha nikamcheki’’ Yasri alijiuliza maswali baada kuona muda unazidi kuyoyoma pasipo kumuona master wake, akaubana mlango ile anageuka tu akagongana kichwa na binti mmoja wakikubwa “uwiii kichwa changu yalaa’’
Binti akapiga kelele za maumivu na kudondoka chini Yasri akawahi kumdaka na kumpa pole
“pole sana bibiye’’
“sitaki pole yako sasa unafikili ndio maumivu yameondoka au?
Binti kwasauti ya kudeka akauliza hivyo basi mwanaume kuambiwa vile akaudaka mdomo wa bibiye na kuanza kumnyonya denda.
“opsiiii,,,,ahaaaaa,,,,binti akaanza kutoa miguno yani ilikuwa sio kitu rahisi watu kuweza kuwaona maana wamejenga kijumba chao mashambani huko ndanindani na kujitenga na watu ambao wapo vijijini ukitaka kwenda kijijini inabidi utembee umbali wa kilomita kama hamsini hivi
“jamani inaonekana leo una nyege?’’ kwa sauti ya kumbembeleza aliongea hivyo yule binti
“ndio nna nyege balaa’’
“usijali baby leo zitaisha’’
Aliongea hivyo binti kwa sauti ya malavidavi, taratibu aliinua macho yake yaliyolegea kama amekula kungu na kumwangalia Yasri akaubana mdomo wake wa chini na kuupandisha mkono wa kulia mpaka kwenye zipu kumbe kitambo mwanaume alishadindisha basi Binti akawa anaufuatisha ule mtuno wa Mtalimbo taratibu,ni kama shoti ya umeme ilikuwa inampitia
“mmmmh,,aaaaaaaah,,,aliguna hivyo huku akitaka kama kufumba macho
“utakojoa tu mpenzi wangu wala usijali’’ aliongea bibiye huku taratibu akifungua zipu ya suruali kweli jamaa alikuwa amedindisha hasa,ilifika mahali zipu ikawa inakwenda yenyewe kwasababu mtuno ulizidi.
Baada ya zipu kufungulwa yote, Mtalimbo wa Yasri ulionekana ukiwa umevimba kwenye boksa yake, jamaa hakuwa haba kwenye mambo ya kabarikiwa mkongojo.Mdomo wa binti ukawa umelegea kimahaba kama mtu aliyekula pilipili sasa anatafuta maji ya kupooza, kijana wa watu aliposhikwa tu Mtalimbo tena ukiwa ndani ya boksa utamu wake aliuhisi mpaka kisogoni.
Taratibu tena kwa kumbembelezea utamu, hakuushika Mtalimbo bali aliishusha boksa kidogo na kuutoa nnje.
Japo liliminyika kidogo wakati wa kutoka.Ilikuwa ni kama msanii anayepagawa akiona maiki, mtoto wa kike aliushika Vyema na kutoa ulimi wake wenye kihelehele alioujaza mate kisha akaanza kupitisha kwenye kichwa cha.
Kidume kikaanza kuguna kwa utamu, taratibu kwa mapozi yote ya mahaba, aliliingiza mdomoni ambapo jamaa alihisi kama ameingiza kwenye kitumbua, alilinyonya akiliingiza mdomoni na kulitoa,akaanza kufanya kama anapiga mswaki,,,mmmmmmmmm,,aaaaaaaaaaaaaaaah,,,aaaaaaaaaaaaaaah,,,,mmmmh,,,alilalamika kwa utamu. Basi akafanya kumpandisha bibiye juu ya kitanda cha kamba mguu mmoja akafanya kuuweka kwenye tendegu asikwambie mtu vijijini wako fiti kwenye swala zima la maravidavi utasema wale mabinti wanaocheza filamu za ngono.
Kwanza mtoto alipopandishwa tu juu ya kitanda, matako yake mazuri manene yaliyojaa yalitia nyege kweli yalivyokuwa yakinesa, kilikuwa kitendo cha haraka kwa Yasri kumtoa gaguro binti na kumbakiza na mapaja laini yaliyonona.Mtoto alivimba kitumbua mpaka mpododo ulionekana.Basi Yasri na ulimi wake wa mwendokasi aliinama kidogo na kuanza kumnyonya kiarage bibiye aliyeshika tendegu kama anataka kulinyanyua wakati amekikalia, Ile ncha ya ulimi ndio ilikuwa na kazi kubwa kwenye kitumbua ilikuwa inakikuna kile kiarage mpaka kikadinda, kuna muda aliingiza ulimi ndani kabisa na kufanya kama anakombeleza bakuli la uji
‘’aaaaaaaaaashiiiiiiiiiiiiiiiii,,,,mmmmmmmmmmh,,,,aaaaaaaaaaaaaaaah’’,,,, alilalamika binti.
Ndani ya kijumba cha udongo kulikuwa na mechi yakikubwa baina ya kijana Yasri na binti mmoja kutokea kijijini sijui jina lake nani. Basi bibiye akafanya kama anaukatikia ulimi,jamaa Mtalimbo wake ulikuwa bado uko imara, aliushika na kuelekeza kwenye kitumbua kilicholowa mate na ute wa utayari
“naomba nijichome mwenyewe mpenzi wangu’’
ilikuwa ni tabia yake huwa anajisikia raha sana pale anaposhika Mtalimbo na kujiingiza mwenyewe kwenye kitumbua, basi alilishika dudu na kuliingiza taratibu kichwa kisha jamaa naye akawa analisukuma kwa mwendo wa kobe kwani ndio mwendo ambao wanawake wote wanapenda mwanzoni,sio ukiingiza spidi mia,utakosa maksi katika mchezo taratibu na kiufundi
ndio kanuni ya mwanzo wa mchezo.
“aaaaaaaaaaaaaaah,” Alilalamika kwa sauti ndogo ambayo aliisikia Yasri kwenye sikio lake la kushoto.Taratibu alizamisha dudu lote mpaka yeye mwenye alipiga yowe la utamu,ukawa mwendo wa taratibu ndani nje,nje ndani akimsugua
“hapo hapooo uwiiiiiiii mmmmmmmmmh aaaaasssssssssss,,,kuna mahali alipagusa ikabidi binti aseme ukweli kuwa ndipo patamu hapo, basi aliongeza mwendo taratibu,dudu ndani nje.Nyayo za bibiye zikawa zinaminyaminya makalio ya Yasri na kumkandamizia kwa upande wake.Na mtoto alivyojaaliwa kitumbua mnato,mwanaume hakuchelewa, bibiye alishamsoma kuwa mpenzi wake anakaribia,alijua kabisa akiwa anakaribia hupenda kufanyiwa nini,aliingiza ulimi sikio moja na kumtekenya huku sikio lingine akiingiza ukucha wa kidole, mauno ya taratibu tena ya kumsogezea kitumbua mbele na kukandamiza ili Mtalimbo.
Wake uzame vyema,hapo kidume kilishindwa kumwaga kimya kimya,,,aaaaaaaaaaaaaaaah,,aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah,”
Alimwaga na kupumzika kwenye kifua cha binti.
“pole sana mpenzi wangu, polee baba,,,alipewa pole ambayo aliitikia bila kutoa sauti, basi alimvalisha nguo mrembo wake naye akavaa pia. Alimsifia bibiye kwa mautundu yake ambapo naye alipokea sifa kebekebe kuhusu bakora yake kuwa tamu na anajua matumizi mazuri ya alichobarikiwa. wakawa wamekaa kimahaba,mara wapigane mabusu,wanyonyane denda, washikaneshikane na kuambiana maneno matamu.
“oyaa Ngogo unataka kusema Asia umemuona akielekea wapi?’’
lilikuwa swali kutoka kwa kijana mmoja akimuuliza mwenzake,
“itakuwa kaelekea kulee kwa wale mabishoo waliojitenga na kijiji’’ “una uwakika umemuona kweli au, kudadeki nitaenda kuwacharanga mapanga wale vicheche. Sipendi mchezo na dada yangu’’,,,
Jamaa akaongea kwa hasira mkononi akiwa kashika panga na kuelekea huko ambapo aliambiwa dada yake ndio kaonekana akielekea. Wakati akitembea kwa hatua za haraka akasikia akiitwa “kaka’’,,, akageuka na kumuona yule binti ambaye alikuwa akifanya mapenzi na Yasri bila shaka ndio Asia mwenyewe,
“ehee simama hapohapo Malaya mkubwa wee. Unaweza kuniambia muda wote ulikuwa wapi?’’ akamuuliza na kumnyooshea Panga binti akashindwa kujibu na kuamua kutimua mbio huku akipiga kelele za jamani nakufaa’’,,,, kelele zake hazikuweza kusikia na yeyote maana alikimbilia mashambani si kijijini baada kukimbia kwa muda kidogo bibiye akajikwaa na kudondoka chini damu zilianza kumtoka kidoleni kitu ambacho kilimfanya kaka yake atupe Panga chini na kumuwahi,
“ohoo Mungu wangu ehee Asia unakimbia nini ewe Dada yangu?’’ jamaa akauliza na kumshika mguu Asia kisha akachana t-shirt yake na kumfunga kwenye kidole na kumbeba safari ya kurudi kijijini ikaanza, “naona usiku ushaingia sasa Kaka hajaweza kurejea sijui atakuwa wapi tokea mida ile,’’
Yasri akiwa amekaa kwenye mkeka huku mbele yake kukiwa na moto mkubwa aliokoka akajiuliza maswali kuhusu Hafidhi atakuwa wapi kwa muda ule pasipo kutambuwa mwenzake yupo jijini Dar es
Salaam,
************
Tukija pande za Kimara ndani ya baa moja hivi tunamuona Hafidhi akiwa amekaa kwenye kiti akinywa soda macho yake akiangaza huku na kule “samahani dada yangu kama hautojali je naweza kuzungumza kitu na wewe’’
Hafidhi akamshika mkono mmoja kati ya wahudumu wa baa hiyo na kuomba kuongea nae
“ni wewe tu iwapo utaweza kugharamia muda nitakao upoteza nikiongea nawe’’ binti akaongea kwa sauti ya mapozi.
“hamna shida wewe sema tu dau lako ni kiasi gani?’’ binti kusikia anaambiwa ataje dau si akajipweteka kwenye mapaja ya mwanaume kwa kumkalia,
“ni shilling elfu kumi na tano tu kwa show time ukitaka mpaka asubuhi elfu hamsini’’
yani bibiye akahisi jamaa anataka penzi ndio ubaya wa mabinti wanaofanya kazi baa ukimchombeza kidogo anafikilia ndivyo sivyo,
Hafidhi akajisachi na kuchomoa Wallet na kumkabidhi bibiye kiasi cha pesa
“ahaa kumbe unahitaji usiku kucha basi wacha nikabadirishe nguo za kazi hizi, binti akaongea na kuzisunda zile pesa bila shaka ni elfu hamsini. Baada bibiye kuondoka dakika si nyingi mwanaume akajikuta kawekwa mtu kati na mipandikizi ya mibaba. Hakuweza kufahamu kawakosea nini mpaka wamsimamie vile wakati akijiuliza akashtukia akikunjwa na kunyanyuliwa juu kwa juu na kutolewa nnje ya ile baa akatupwa chini,
“sikia nikwambie kitu wee Malaya ndani ya ukumbi huu hakuna mademu wa kiboya kama uzaniavyo sasa basi tunakuomba upotee upesi kabla hatujachukuwa maamuzi mabaya’’,,, mmoja kati ya zile mbavu nene akaongea kwa sauti yenye kitetemeshi kumwambia Hafidhi. “lakini brother mimi nilitaka kuongea nae tu si vinginevyoo,’’ pasipo kutegemea mwanaume akajikuta akinaswa kibao cha kerbu na kuambiwa kwa sauti ya ukali “poteaa’’
kisha vidume wakaingia zao ndani wakimuacha Hafidhi kajishika shavu asiweze kuamini kama yeye ndio kapigwa, akatabasamu na kuinuka na kuondoka zake hakutaka kufanya kitu sema safari yake ikampeleka mpaka Mwananyamala kwenye nyumba moja ya uswazi akaingia kwa kupitia mlango wa uwani na kwenda kukaa kwenye jiwe lililoko karibu na choo aliweza kuwaona jinsi wapangaji wa nyumba hiyo wakiingia na kutoka chooni “kudadeki zake yule Mangi yani leo kanisokomeza Mtalimbo wake kwenye naniliu mpaka nimehisi utumbo unataka kutoka’’ Ilikuwa kauli ya binti mmoja akiwa kasimama karibu na choo pasipo kufahamu kuwa pembeni yake kuna mtu.
Sijui kwanini Hafidhi yupo maeneo yale “ha!ha!ha!ha! Frank bwana embu acha kuniingiza kidole huko mi sitaki’’
“ahaa Jesca si kidole tu’’
“mwenzako naumia hata kama kidole ehee niambie yule wakuja baada kumtoa nnje hakuleta ubishi kweli,’’ “alete ubishi wapi si tungemnyonya mavi bila kutumia paipu’’ alikuwa ni yule binti wakule baa na mmoja kati ya wale mbavu nene tena niyule aliempiga Hafidhi kibao na ujio wa Mwanaume pale ni kuwafata wao, nao wakiwa hawana hili wala lile bibiye akafungua mlango na kuingia ndani Hafidhi akiwa nje anasubiri sijui nini yani zilipopita dakika tano baada ya Binti na jamaa yake kuingia ndani zilisikika kelele za malalamiko ”aaaah,,ooooh,,,,aaaaisssssss,,,aaaaah,aaaaah’’
binti alikuwa akilalamika hivyo kwa sauti kubwa. zilipita dakika kumi, bado kelele zilisikika kwa nguvu, jamaa akiwa juu ya binti alijituma haswa. Mpini wake uliosimama vizuri uliingia na kutoka kwa kasi kwenye kitumbua cha bibiye ambaye alijitahidi kutumia kiuno chake vizuri kukizungusha juu chini
“mmmh,,aaaah,,aaaiiyaaaaaa,,,,uuuh,,alisikika jamaa ambapo alimwaga uji wake ndani ya kitumbua cha binti kisha akaunganisha na mzunguko wa pili bila kupumzika
”aaaah,,ooooh,,aaaaiiiissshhhhhiiiiiiiiiiiii’’,,, binti alikunwa vizuri na mpini ambapo kelele zake zikamfanya bwana mkubwa aupige teke mlango na kuingia ndani kwanza wote wakashtuka utasema wamefumaniwa jamaa akajichomoa kutoka maungoni mwa bibiye huku jasho likimvuja
“wee nani na unataka nini ndani ya chumba hiki?’
’ jamaa akauliza kwa sauti ya kibesi na kumsogelea Hafidhi lakini akajikuta akirudishwa kitandani kwa kupigwa mateke ya uso jamaa akayumba na kudondoka kama mzigo, akajinyanyua aweze kujibu mapigo sema mbele ya kiumbe kama huyo ni kujitafutia mauti. Akarusha ngumi kama mbili mwanaume moja akakwepa huku nyingine akiipiga kichwa yani ngumi ikakutana na kichwa sauti yakama mifupa ikivunjika ikaweza kusikika jamaa akapiga kelele za maumivu
“huyu Sikitu ipo siku atakuja kusababisha watu wauwane kisa yeye’’
Mwanamama mmoja akaongea huku akibisha hodi ndani ya chumba ambacho zilisikika kelele za watu wakipigana
“Sikitu mwanangu embu funguwa mlango tuwaamulie hawo vijana’’ yule mama akapaza sauti kumwambia Sikitu watu wakajazana nnje ya chumba hiko na kufikia uwamuzi wa kuvunja mlango ndani jamaa alikuwa kakabwa roba na Hafidhi akajitahidi kujitoa kwa kutumia nguvu zake za kunyanyua vyuma vizito sema akashindwa macho yakamtoka ushuzi nao ukasikika mwishoe akawa kimya majilani wakafanikiwa kuvunja mlango
“embu mkamateni huyo’’,,,,
Sikitu aliwaambia baadhi ya watu wamshike Hafidhi kumsogelea tu ikawa kosa vijana wakaanza kupokea kichapo ndani ya chumba kulikuwa hakutoshi
“wewe Malaya jiandae kwenda kuzimu’’ Hafidhi akaongea na kumshika kichwa bibiye Sikitu, na kutaka kumnyonga
Wakati mwanaume akiwa kakishika kichwa cha Sikitu na kutaka kumnyonga kitu kama roho ya imani hivi ikamjia na kujikuta akimuachia na kumtupa pembeni kisha akapotea “vizuri mmewai kuja maana jambazi mwenyewe bado yupo chumbani’’,,,,, ilisikika sauti ya yule mama akiwaambia polisi. Kitendo bila kuchelewa polisi wale wakavamia ndani ya chumba kile wakiwa na silaha zao mikononi sema hawakuweza kumuona huyo jambazi alikuwa kashaondoka kitambo tu,
“Afande Nyandu inaonekana huyu jambazi ana mbinu za kivita amewezaje kutoka ndani ya chumba hiki pasipo wananchi kumuona?” “labda itakuwa wakati wa purukushani jamaa alikimbia pasipo wao kumuona,’’
Polisi wale wakazidi kuongea na kuuchukuwa mwili wa yule jamaa huku Sikitu akimwagiwa maji maana alikuwa kapoteza fahamu. Kesho yake Asubuhi na mapema habari zikatangazwa inasadikika mtu mmoja ambaye ni jambazi sugu anaetafutwa kwa udi na uvumba na jeshi la polisi nchini. Usiku wa jana avamia kwenye nyumba moja wapo maeneo ya Mwananyamala na kuanza kupiga watu mpaka kupelekea kifo cha kijana mmoja. Polisi waliweza kufika eneo la tukio huku mtuhumiwa kashaondoka, kikosi cha 3Sisters hawakuweza kufika wala kuitilia maanani kesi hiyo wakiita ya kitoto. Sikitu akashindwa kuzungumza lolote yani alikuwa bubu ghafla
**********
Ndani ya kijiji tunamuona pandikizi la baba akimsurubu mzee mmoja hivi masikini ya Mungu mzee wawatu ukiangalia hafya yenyewe Mgogoro
basi alipigwa makofi na mateke kisha akaburuzwa utasema mzoga, Mzee akajitahidi kumuomba samahani yule kijana lakini haikusaidia asiendelee kupigwa. “nisamehe kijana wangu tafadhali niache utaniuwa’’,,,
Ndio kwanza akapigwa ngumi ya mdomo damu nyingi zilimtoka mzee wawatu
“shenzi zako yani unanizuia mimi nisiangue Nazi kwenye shamba lako mpumbavu mkubwa wee sasa nitakuonyesha mimi ni nani. Katika kijiji hiki hakuna bwege yeyote atakaeweza kushindana nami’’,,,, aliongea kwa majigambo yule kijana na kuvua mkanda wa suruwali yani kumpiga kote akaona haitoshi wacha amtandike na mkanda. Kabla mkanda haujatua kwenye maungo ya yule mzee ukadakwa “ms**nge gani huyo kadiliki kunishika?’’
jamaa akaachia zinga la tusi na kugeuka akakutana uso kwa uso na mwanaume wa shoka ni Yasri akiwa kavimba kwa hasira
“kwanini unamfanyia hivi mzee wa watu?’’
Yasri akauliza,
“wewe kama nani unaniuliza hivyo ni demu wake au’’,,
Swali likajibiwa kwa ngumi moja ya maana iliyotua sawia kwenye pua ya jamaa akayumba na kwenda chini akajizoazoa pale chini na kurusha ngumi za harakaharaka Yasri akarudi nyuma kwa style ya kapwela na kuzikwepa zile ngumi , jamaa kutokana na mwili wake kuwa mkubwa basi alikuwa akipigana utasema nguruwe poli. Yasri hakuhitaji kupiga ngumi hata moja alikuwa akikwepa na kupachi huku akimzunguka yule jamaa yani mara yupo nyuma mara kushoto kulia na mbele mwishoe jamaa akachoka “mamaye zako mbona upigi unaniogopa’’
jamaa kadebweda kwa kuchoka basi alichokifanya Yasri ni kuuchukuwa ule mkanda na kumkabidhi yule mzee “babu shika hii naomba unichapie huyo nyau’’,,, mzee akaogopa kufanya hivyo. Lakini Yasri akamlazimisha mpaka mzee akakubali na kumsogelea yule jamaa, mzee wa watu akasukumizwa na kwenda chini hapo sasa jamaa akachokoza nyuki Yasri akazunguka na kumtandika ngumi za double double na kumshindilia mateke. Wanakijiji wakabaki kushangilia tu, dakika si nyingi jamaa akapoteza fahamu, yule Mzee akamshukuru sana kijana Yasri kwa msaada aliompa
“vizuri sana kijana umeweza kuonyesha umwamba wako kwa mwenzetu sasa basi subiri tukuonyeshe’’
ilikuwa kauli ya kushtusha kutoka kwa kijana mmoja akiwa kaongozana na wenzake kama tisa hivi huku yeye akiwa wa kumi wanakijiji wasikimbie mchezo. Hakika kikosi hiko kinatisha si mchezo,
“kijana kimbia ukizubaa watakuuwa hao’’
yule Mzee akamwambia Yasri huku yeye akikimbia kwa mwendo wa kuchechemea Yasri hakutaka kujiuliza sana nae akatimua mbio.
Alikimbia kwa kasi kufika mbele akasimama na kuanza kucheka “ha!ha!ha!’’
yani alicheka na kukaa chini huku kile kikosi kikifika mikononi wakiwa na silaha zao mwenye panga mwenye rungu,
“huyu bwege anacheka nini?’’
“hata sijui bila shaka kajichagulia kufa kwa style ya kucheka maana wakati anakuja duniani alilia,’’ mwingine akajibu
“wee bwege sasa hapa chaguwa moja tukugeuze mke wetu tukulawiti kwa zamu au tukuuwe?’’ sijui kiongozi wao au vipi akauliza swali na kujibiwa kwa kicheko, ghafla ndani ya msitu ule upepo ukaanza kuvuma majani kwenye miti yakaanza kupukutika huku Yasri akijifunga kitambaa machoni upepo ulipokuja kutulia Yasri hakuweza kuonekana mbele ya wale jamaa aliekuwepo mbele yao ni Hafidhi j Ikram,
“wee mjinga embu pisha njia mmoja si akamsaogelea akajikuta akipigwa ngumi moja tu iliyomfanya atupwe mbali na pale,
“huyu nae katokea wapi? Mbona anaingilia ishu sio yake?’’ jamaa povu lilimtoka na kujikuta akiongea kwa hasira wakamzunguka na kumuweka mwanaume mtu kati kivumbi kilitimka kwa vijana wale kutembezewa kichapo, “mzee Shomvi naomba utoke nnje mzee mwenzangu’’,,,,
chonde chonde nawaomba wanakijiji wenzangu twendeni tukamsaidie yule kijana. Bora mngeniacha mimi nife kwasababu nishakula chumvi nyingi, sio yule kijana mdogo ambaye ni nguvu ya taifa la kesho tafadhali nawaomba twendeni tutakuwa wadhaifu mpaka lini?’’
ilikuwa kauli ya yule Mzee ambaye alisaidiwa na Yasri akipita nyumba hadi nyumba kuwaomba wanakijiji wenzake wakamsaidie Yasri. Pasipo kufahamu huko polini vijana wanafinywa na kiumbe nusu Mtu nusu Jinni, kilio cha yule mzee kikasikika wanakijiji wakatoka kwenye majumba yao wakiwa na silaha zao za jadi safari ya kwenda polini ikaanza.
“tusamehe brother’’,,, jamaa mmoja akapiga goti chini na kuomba msamaha akicheki wenzake wote wapo chini wakiugulia maumivu “sikia nikwambie kitu wewe kenge blue nakupa siku chache wewe na wenzako msionekane kwenye kijiji hiki vinginevyo nitakata shingo yako’’
Hafidhi akaongea kwa sauti ya kibesi na kutishia kama anataka kumchinja na lile panga. Jamaa akabaki kutetemeka tu huku haja ndogo ikimtoka chezea kufa wewe. Baada mwanaume kuongea vile akapotea yani ile anaondoka tu na wanakijiji hao, kwanza wakashangazwa na hali walioikuta kwa kikundi kile cha wababe wakijiji “mbona wamekuwa hivi tena kitu gani kimewatokea?’’ “Magembe nini kimetokea’’ yule mzee akamfata kijana ambaye alitishiwa kuchinjwa na Hafidhi na kumuuliza’’,,,, Magembe hakuwa na jibu akabaki kulia tu “hihihihi” “sasa unalia nini si useme nini kimewakuta au yule kijana ndio kawafanyia hivi?’’ “hapana mzee wangu sio yeye’’,,,, Magembe akaongea kwa sauti ya kilio, “sasa kama sio yeye mmepambana wenyewe kwa wenyewe?’’ japokuwa yule mzee na wanakijiji wenzake walitaka kufahamu nini kimewakuta vijana wale maana haingii akilini eti mtu mmoja ndio kawafanyia vile. Magembe hakuweza kuongea lolote akawa kimyaa, basi waliovunjwa miguu au kutenguliwa kiuno wakabebwa na kupelekwa hospitali,
“Ha!ha!ha!ha!’’ ilikuwa sauti ya kicheko kutoka kwa Yasri akicheka baada kumuona Hafidhi akija kwa mwendo wa kujidai “wee bichwa unacheka kitu gani?’’ Hafidhi akamuuliza kwa kumwita bichwa “hahahaha nimekuwa bichwa tena’’,,,,, “ndio wee bichwa nazi koroma yani umeniachia msala kule kwa wale sisimizi baada kuwafinya mwenyewe umekimbia’’ “ahaa brother mi niliona kama umewatamani flani hivi nikaona nikuachie uwatafune’’ “subiri nikwambie kitu mdogo wangu siku zote unatakiwa ujifunze kupitia watu kama wale ambao nikama vifaranga vya kuku tu kabla hujakutana na kuku wenyewe hapa nazungumzia ile mijogoo. Kama utashindwa kukabiliana na vifaranga utawezaje kupambana na jogoo. Yasri nikuulize kitu?’’ Hafidhi aliongea hivyo na kumuuliza swali “ndio brother niulize tu,’’ “mpaka sasa ushaweza kuwatambuwa hao wabaya wako ni kina nani?’’ “hapana aisee sijaweza kuwafahamu kabisa,’’ “ok sasa naomba unisikilize kiumakini sana nakumbuka siku moja kule gerezani kuna binti alikuja binti mwenyewe anaitwa Fatma bila shaka unamfahamu’’ “ndio namfahamu alikuwa ni mpenzi wangu lakini baada kubambikiwa kesi ya mauwaji sikuweza kumuona kamwe sijui yuko wapi?’’ Yasri akaongea kwa masikitiko “ok na mzee Hosamu Mbonde si unamfahamu?’’ “ndio nae namfahamu ni Meja General katika jeshi, ni baba mkwe wangu pia kwa bibiye Fatma yeye ndie ambaye alikuwa akinilipia katika masomo yangu na baadhi ya mahitaji’’,, “Yasri sasa naomba nikuweke wazi huyu mzee ni mmoja kati ya wahusika wakubwa juu ya mpango huu, Fatma aliweza kuniambia kila kitu juu ya baba yake kutaka kukuuwa sasa basi jipange maana kupambana na mkuu wa majeshi si kitu kidogo ni bora upambane na Rais sio mkuu wa majeshi,’’ Baada mwanaume kuongea hivyo akaingia zake ndani na kumuacha Yasri akiwa na mawazo mazito kichwani mwake
Hakika Yasri akabaki njia panda akiwaza na kuwazua juu ya baba mkwe wake kuambiwa nae yupo nyuma ya mpango huu, “inawezekana vipi mzee niliemthamini kama baba yangu mzazi afikie hatua ya kunitendea unyama kama huu? Kitu gani nimemkosea sijawai kumtusi wala kumvunjia heshima ya aina yeyote ile, why???
Mwanaume akazidi kuumiza kichwa na kujisemea
“kama ni kweli yeye ni mmoja kati ya wahusika wa jambo hili, atakuja kujuta sitomuacha hai kuanzia yeye na familia yake. Fatma kwanini umenitenga nawe umekubali kulishwa asali kwa ncha ya kisu hakika utalipa si kidogo,
“oyaa bwana mdogo huu sio muda wakuumiza kichwa naomba chukuwa silaha zako na unifate’’ ilikuwa kauli kutoka kwa Hafidhi akimwambia Yasri basi nae hakutaka kujiuliza sana akaingia ndani na kutoka na silaha zake wakaongozana mpaka katikati ya msitu
“Sasa kijana leo tunakuja kwenye hatua nyingine hatua hii inaitwa stance strong, unatakiwa umsome adui yako kabla yeye hajakusoma wewe. Embu kasimame pale’’,,, Master akaanza kutoa maelekezo kwa kijana wake Yasri akafanya kama alivyoelekezwa mazoezi yakaanza hakika yalikuwa ni mazoezi makali yaliyowachukuwa takribani masaa sita. Yasri akachoka hoi kiu na njaa vikimshika
“Yasri mdogo wangu naomba ujikaze kwani hii kazi iliyoko mbele yako si yakitoto, huu ndio msaada pekee, baada ya hapa mimi sitokuwa Nitarudi tena gerezani nimalizie miaka yangu, japokuwa nilitamani nikusaidie kila hatua utakayo ikanyaga sema haina jinsi uifanye wewe mwenyewe embu sogea hapa’’
Hafidhi akaongea kwa masikitiko Yasri akasogea na kushikwa kichwa ghafla kitu kama tetemeko hivi likaanza kutokea maeneo yale Yasri mwili wake ukaanza kuvabreti na kujikuta akisheki baada kushikwa kichwa. Kumbe alikuwa akipatiwa nguvu za ziada nguvu za kijini, mwishoe Yasri akapoteza fahamu, hakujua kilichoendelea,
*********
“Vivian wazazi wa Hafidhi wamekupa jibu gani kuhusu hali ya mtoto wao?’’
Mariam alimuuliza Vivian pindi aliporudi tu kutoka Mbezi beach, “embu niache nipumzike’’
Vivian akaongea hivyo na kupitiliza moja kwa moja mpaka chumbani na kumuacha Mariam akiguna tu “mmh’’
akiwa chumbani bibiye Vivian alikuwa akiwaza juu yakile ambacho kaambiwa na baba mkwe wake, “kwanini anitamkie kauli ile yani sisi ndio tuliotaka kumuua mwanae sisi ndio tuliomuweka mwanae jela kisha niende kuongelea hali yake, eti akifa tutamla nyama, mbona hakuwa na maneno ya busara juu yetu, sema ni wajibu wake kuongea vile akiwa kama mzazi mwenye uchungu na mwanae, na istoshe sisi tulikuwa kwenye majukumu ya kazi hata hivyo kila kitu kimekwisha yule sasa ni mume wetu, ohoo shit! Sasa atake asitake lazima nifanye kitu juu ya kumtoa gerezani, wakati akiwa anawaza ghafla kikatokea kiumbe cha kutisha, mwili mzima ukiwaka moto Vivian akapiga kelele za kuomba msaada
“Mamaaa nakufaa”
Mariam na Mona walikuwa nnje wakakurupuka na kuingia ndani masikini ya Mungu wakamkuta Vivian akiwa kalala chini huku damu nyingi zikimvuja shingoni wakati huo kile kiumbe hakipo
“Vivian’’,,,, Dadaa nini kimekutokea kila mmoja akabaki kulia na kumtikisa mwenzao wakambeba kumuwahisha hospitali (Inna lillahi wainna ilahi rajiun) kabla ya kufikishwa hospitali Vivian akaiga dunia akiwa ndani ya gari, si Mariam wala Mona alieweza kuamini kama mwenzao kawaacha kwa njia ile. “hapana Daktari dada yangu hajafa huyu aliniomba nimuache apumzike’’,,,,
Mariam akaongea akiwa amedata si kidogo kwanza alimpoteza Yusra leo hii anampoteza kiongozi wake katika mission nzima.
Kifo cha bibiye Vivian lilikuwa pigo kubwa kwa taifa na familia yake kwa ujumla, Mariam akapoteza fahamu zaidi ya mara mbili, uchunguzi ukafanyika kuweza kubaini chanzo cha kifo chake majibu yakaja kafa kwa presha baada kupanda ghafla wakati tuliona akivuja damu baada kung’atwa nakile kiumbe cha ajabu, taarifa zikaweza kumfikia bwana mkubwa akiwa Kilwa kiwawa yeye ndio akachanganyikiwa zaidi na kujikuta akisema
“Mke wangu mimi kafa kwa ugonjwa wa presha, ok kila atakae uwawa tuite presha,’’
Akaongea kwa hasira na kupotea eneo lile bila shaka safari yakwenda mjini imeanza. Ndugu jamaa na marafiki kutoka sehemu mbalimbali walishtushwa mno na kifo chake basi wakakusanyika nyumbani kwa wazazi wa marehemu maeneo ya Namanga jijini Dar es salaam, kila sekunde iliyokuwa ikisonga mbele watu wakazidi kumiminika, Mariam akapinga swala la marehemu kuzikwa kikristo kwani wakati wa uhai wake alibadili dini na kuitwa Hamisa akaolewa ndoa ya kiislamu na kubahatika kupata mtoto wakiume anaeitwa Ikram. Ndugu wa marehemu wakashangazwa sana na kauli ile ya Mariam wakauliza mbona wao hilo swala hawalitambui kaolewa lini? Na wapi huyo mumewe yuko wapi? Ni maswali aliyoulizwa Mariam nae hakutaka kuwajibu kwa mdomo zaidi ya kuifungulia simu yake. Ikasikika sauti ya Vivian akiongea
“Enyi wazazi wangu, ndugu zangu naomba maamuzi yangu yaheshimiwe nafahamu nijinsi gani nimeweza kuwakosea kwa kutotaka kuwashirikisha juu ya swala hili. Sema nimefanya hivi kwa hiyali yangu mwenyewe nimeamua kuslimu na kuingia katika dini ya yule nimpendae ambayo ni uislamu, na nafunga nae ndoa. Ikitokea siku nikifa hamtoweza kunizika sababu mimi sipo katika imani yenu tena. Mama usilie juu yangu siku zote hakuna mkamilifu zaidi ya Mwenyezi Mungu mimi ni muislam mume wangu Hafidhi j Ikram atanizika’’,,,, kila mmoja akapigwa na butwaa huku mama yake akisema hapana hii sauti wameedit sio ya mwanae lazima amzike mwanae kama aliweza kumbeba tumboni miezi tisa akamzaa kwa uchungu inakuwaje leo hii azuiwe kumzika. Basi kulikuwa na mvutano wahapa na pale juu yakuzikwa kwa marehemu. Mwanaume baada kutua jijini Dar es salaam akaelekea moja kwa moja mpaka katika hospitali ya taifa Muhimbili akaingia monchwali pasipo mtu yeyote kumuona akatafuta sehemu ambayo mwili wa Vivian umehifadhiwa haikumchukuwa dakika nyingi kuuwona akashtuka baada kuliona jeraha kwenye shingo ya kipenzi chake akaishika ile sehemu na kuona tukio zima jinsi lilivyotokea akafanya kulala juu ya mwili wa marehemu akapotea nao.
Yasri akashtuka kutoka usingizini na kujikuta kalala kitandani akainuka na kukaa kitako
“mbona nipo hapa kitandani, wakati mara yamwisho nakumbuka nilikuwa kule polini nikifanya mazoezi na kaka mkubwa. Ohoo nishakumbuka alinishika kichwa kitu kama shoti kilianza kusambaa ni style gani ile? Yasri akabaki kujiuliza maswali na kunyanyuka akatoka nnje, akaanza kuita huku akizunguka huku na kule “master,’’
Kaka, sijui atakuwa kaelekea wapi tena maana huyu kwa kuzurula hajambo,’’
Yasri akaongea hivyo na kurudi zake ndani. Ndani ya kisiwa kimoja hivi kulikuwa na sherehe baina ya viumbe vya kutisha hapa nazungumzia Majinni vifijo na ndelemo viliweza kusikika sijui ilikuwa sherehe za nini lakini ghafla akaingia mzee wa kazi na kufanya viumbe vyote kufadhahika kwa uwoga kila mmoja akashikwa na hofu wakaanza kurudi nyuma kwa kutaka kujificha miongoni mwa viumbe wale alikuwepo Ibnuwasi “kijana umekuja kufanya nini huku kuzimu?’’
akajikuta akiuliza swali Mwanaume wala hakujibu kitu ndio kwanza akasogea akiwa kaubeba mwili wa Vivian begani mwake, akaulaza chini na kugeuza sura yake huku na kule kuwatizama Majinni wale mwishoe akamkazia macho Ibnuwasi wakatazamana kama robo saa hivi pasipo kuongea chochote. “nimekuja hapa kwaajili ya jambo moja tu, na jambo lenyewe nahitaji lifanyike muda huhu vinginevyo ndani ya kisiwa hiki nitauwa kila mtu’’,,,
Sehemu Ya 5
akajikuta akiuliza swali Mwanaume wala hakujibu kitu ndio kwanza akasogea akiwa kaubeba mwili wa Vivian begani mwake, akaulaza chini na kugeuza sura yake huku na kule kuwatizama Majinni wale mwishoe akamkazia macho Ibnuwasi wakatazamana kama robo saa hivi pasipo kuongea chochote. “nimekuja hapa kwaajili ya jambo moja tu, na jambo lenyewe nahitaji lifanyike muda huhu vinginevyo ndani ya kisiwa hiki nitauwa kila mtu’’,,
yani ile kauli yakusema atauwa kila mtu ndio akazidi kuwajengea hofu ndani yake,
“ni jambo gani hilo ewe mwanangu kipenzi?’’
Ibnuwasi akauliza
“namuhitaji huyu binti arudishiwe pumzi yake’’
“ni vigumu kufanya hivyo, kwanza aliefanya kitendo hiko si kutokea kwenye ukoo wetu’’
“Ibnuwasi embu acha uwongo wako unataka kusema kama sio nyinyi ni kina nani?’’
yani hapo mwanaume alikuwa na hasira asikwambie mtu mpaka baba yake akamwita kwa jina kuonyesha jinsi gani hataki masikhara na mtu. “ni familia ya Ankor wako kutokea maeneo ya Tanga huko handeni, mpaka hapo mwanaume akaweza kukumbuka siku ambayo aliweza kutokezewa na huyo Ankor wake akamueleza katumwa sijui na mkuu wao,
“sawa nimeweza kukumbuka kitu naomba Zingro uchukuwe huu mwili urudishe nilipoutoa,’’
Baada mwanaume kuongea hivyo akapotea na kuacha hali ya amani kidogo ikirejea
“ndugu zanguni endeleeni na sherehe tunywe na kufurahi pamoja,’’ Ibnuwasi akwaambia hivyo basi Zingro akaondoka na ule mwili, Hafidhi baada kukumbuka vile akaweza kutambuwa kama akifanya mchezo ataweza kumpoteza na mkewe mwingine sasa cha umuhimu ni kumlinda popote atakapoenda hata ikiwa chooni kunya nae ataingia tu, baada kutoka kule akaingia nyumbani kwakina Vivian na kukuta mvutano usiokuwa na kichwa wala miguu, akajiuliza atasaidia vipi ili suruhisho lipatikane njia pekee akaona arudi gerezani na kumtoa yule Hafidhi wa bandia ili aweze kukaimu nafasi yake akafanya hivyo, wakati familia ikiwa katika mvutano ikaja taarifa yakwamba mumewe kipenzi ambaye ndio baba mtoto wake atawasili hapo msibani akitokea gerezani muda si mrefu na ndio atatowa kauli ya mwisho wapi atazikwa mkewe, kwanza jina liliweza kuwaogopesha wengi.
“mke wangu ni aibu gani hii tumeifanya juu ya yule binti kumbe ni mkwe wetu,’’
Mzee J Ikram alimwambia mkewe “sasa tulikuwa hatujui sisi tulijuwa ni adui wa mwanetu itabidi tuelekee msibani na ikibidi tumchukuwe mjukuu wetu’’,,,
Mama yake Hafidhi akaongea hivyo, msibani kwenyewe kulikuwa na kizaizai Hafidhi akaweza kufika akiwa kwenye mavazi yake ya kifungwa akashuka kwenye gari Mariam ile kumuona tu mumewe akaenda mbio kumkumbatia “tafadhali mume wangu muokoe mwenzangu wanataka kumzika ndivyo sivyo,’’
na wakati huo mzee J Ikram akiwa na mkewe wanawasili, ajabu Mariam akaenda kumrukia mzee wa watu na kumkunja
“kwanini umemuuwa mwenzangu?’’ nijibu nasema kwanini lakini’’ watu wakabaki ahaa kumbe Vivian kauwawa na kusogea kalibu zaidi wapate kufahamu ukweli, akili ya Mariam ilimtuma mwenzake atakuwa kapewa sumu au kafanyiwa kitu kibaya iweje arudi alikotoka aombe kupumzika kisha afe ghafla vile,’’ “mama Yusra tafadhali nakuomba muachie huyo mzee’’ Hafidhi akaongea kwa sauti yachini sana Mariam hakupinga akamuachia na kumkumbatia tena mumewe…..
Baada mvutano wahapa na pale Hafidhi akatoa kauli moja tu kwa kusema
“jamani wazazi wangu ndugu zanguni na marafiki pia sina jinsi niwaambie kitu kimoja, mimi na marehemu tulikutana ukubwani. Tukapendana na kuamua kuowana ndoa ambayo ilikuwa ya kienyeji tu, Vivian kwa hiyali yake akaslimu sasa basi siwezi kumnyima haki yake kama mwenyewe alivyowai kutamka wakati wa uhai wake alishawai kutamka kama itatokea siku akaanza kufa yeye basi nimzike kwa heshima za dini yake mpya ambayo ni uislamu. Kama tukimzika kikristo atasononeka huko alipo, kwanza azikwe kislamu au kikristo amali zake ndizo zitakazo mpeleka peponi tukumbuke wote tunawamba ngoma kila mmoja anavutia upande wake. Kwa kusema dini yake ni sahihi hakuna ajuwae zaidi ya Mwenyezi Mungu ishi utakavyo uwe muislamu au mkristo utajuwa mwenyewe siku ukifa sio kuitana makafiri pasipo kuangalia amali zako. Nimalize kwa kusema mke wangu nitamzika mwenyewe, wazazi wangu naomba mnisamehe kwa hili,’’
Hafidhi akamaliza kuongea mpaka hapo hakuna aliyetokea kupinga, maandalizi ya mazishi yakafanyika Vivian au Hamisa akazikwa kwa heshima zote,
“Hafidhi mwanangu kwanini umeamua kutuficha wazazi wako kama tayari ulikuwa ushaoa?’’ Mama yake Hafidhi alimuuliza mwanae wakati akijiandaa kupanda kwenye karandinga kwaajili ya safari ya kurudi gerezani,
“nisamehe kwahilo ewe mama yangu, binafsi muda wake ulikuwa bado haujafika kuwaeleza kuhusu swala hili. Kumbe wakati tunasubilia muda ufike Allah nae anapanga lake Vivian kaondoka kabla sijamtambulisha kwenu,’’ Mwanaume aliongea kwa masikitiko huku mchozi ukimtoka inauma sana aisee asikwambie mtu, “Nishakusamehe mwanangu maana huyu binti mara yamwisho alikuja nyumbani na kutuambia kuwa unaumwa, mimi na baba yako tukamtolea maneno machafu tukitambua ni adui yetu kwani yeye na wenzake ndio waliokuwa wakikutafuta wewe usiku na mchana waweze kukuuwa’’
“hapana ewe mama yangu kila kitu kiliweza kuisha juu yetu tukajenga urafiki na kuamua kufunga ndoa. Mkweo mwingine ni yule pale, Mariam baby embu njoo’’,,,,
Hafidhi akamwita mkewe aliyebakia na kumtambulisha japokuwa alikuwa na mengi ya kuongea nao sema muda ulikuwa hautoshi akaingia kwenye gari na kurudi zake gerezani,
“nisamehe sana ewe baba yangu kwa kukuvunjia heshima pale msibani’’
Mariam alimuomba msamaha baba mkwe wake pindi walipopata nafasi yakukaa pamoja na kuzungumza, “usijali kuhusu hilo unajuwa lazima ufikilie kuwa mimi kwa namna moja au nyingine nimehusika au kuchangia kifo cha mwenzako. Kwasababu nilimtolea kauli chafu akaondoka akiwa kama kachanganyikiwa hivi’’
Mzee J Ikram akasema hivyo, waliweza kuzungumza mambo mengi tu huku akimuomba mkwewe aende akaishi nyumbani kwake kwani kuna nyumba kubwa tu yenye vyumba kibao ataishi hapo mpaka siku ambayo mwanae ataachiwa gerezani na kuwa huru. Mariam hakukataa akakubali kwenda kuishi kwa wakwe zake. Ziliweza kupita kama siku nne hivi tokea Vivian azikwe ndani ya gereza la Segerea kulikuwa na kikao baina ya Hafidhi na kile kivuli chake.
“sikia nikwambie kitu Ndongoro mimi wacha niende ulaiyani nikailinde familia yangu, ninachokuomba kuwa makini katika kunifichia siri hii. Jaribu kuiga tabia zangu ili watu wasiweze kukutilia shaka kuwa wewe sio mimi’’
Hafidhi aliongea hivyo kukiambia kile kivuli chake yani yupo koprait na yeye mwenyewe
“sawa mkuu nimeweza kukuelewa lakini usiku si naweza kutoka na kuingia mitaani kusaka chakula na vinywaji?’’
Ndongoro akauliza swali
“ndio unaweza kufanya hivyo sema zingatia muda wakuwa humu Lokapu’’
baada Hafidhi kuongea hivyo akapotea.
*******************
Tukija kijijini Kilwa kiwawa basi siku hiyo kulikuwa na mechi Kilwa kiwawa vs Kilwa masoko wenyewe wanajiita watoto wamjini baadhi ya wachezaji wao wanacheza ligi kuu ya Vodacom kama vile Yanga Simba na Azam basi wakajisifia wenyewe kwa kuitambia Kiwawa watoto wa mama vikosi viliweza kupangwa huku Masoko wakiingiza wachezaji wanne Saidi Mauridi ukipenda muite SMG na Juma Nyoso, na Sekiroja Chambuwa na Jonas Mkude, mpaka hapo kiwawa wakawa wanyonge “jamani ehee msiogope kuhusu majina yao au kuchezea timu kubwa kwanza wale ni binadamu kama sisi wana miguu mikono miwili tuchezeni mpira tuache uwoga tujiamini tunaweza,’’
Alikuwa ni Yasri akiwatoa hofu wenzake kama unamkumbuka vyema alikuwa mchezaji tishio akiwa na team ya Kilwa kivinje, refa akapuliza kipyenga mpira ukaanza kilwa kiwawa walikuwa wakipeleka mashambulizi yao upande wa kaskazini wakati Masoko kusini ni tofauti na watu wengi walivyozania kuwa kiwawa watafungwa goli nyingi kutokana na kuwa na wachezaji wakubwa mpaka wanaenda mapumziko matokeo bilabila
“aisee yule kijana mgongoni number sita anakaba mpka kivuli yani langoni kwao hakupitiki aisee’’,,, ilikuwa kauli ya SMG akimuongelea Yasri ambaye anacheza kama kiungo mkabaji yani anatibua mashambulizi yote ya timu pinzani na kuwalisha mipira wenzake,
“sasa tufanyaje Side?’’
Nyoso akauliza
“hakuna jinsi hapa chaumuhimu ni kuhama number itabidi mimi nicheze kumi wewe urudi tisa’’
SMG akatowa wazo lake kipindi cha pili kikawadia safari hii Kiwawa walikuwa wakicheza kwa kasi na kulishambulia lango la Masoko kama nyuki hatimae dakika ya 67 kiwawa wakaandika goli la kwanza kupitia kwa Yasri hakika ilikuwa furaha na nderemo kwa vifijo wakati mpira unaendelea Yasri akashtuka na kuona team pinzani wakifanya mabadiliko kwa kumtoa SMG nafasi yake akiingia Hafidhi j Ikram akabaki kasimama asiweze kuamini akapaza sauti kuita
“master!!!
Si akashtuka kutoka usingizini kumbe yote ilikuwa ni ndoto dahaa.
Yasri akajinyanyua kutoka pale kitandani na kutoka nnje huku akijinyoosha na kupiga miayo
“hizi ndoto za mchana kweupe majanga tu, hapa nilipo njaa inaniuma ukicheki mfukoni sina hata sentano wacha niende kijijini naweza kupata chochote kitu. Sijui Master atakuwa kaelekea wapi maana siku ya tano leo sijamuona’’,,, Yasri akaongea peke yake na kuingia tena ndani akatoka akiwa anavaa t-shirt vizuri huyo akaelekea zake kijijini kutafuta aiza pesa au msosi,
“Arnold kaka’’
“niambie mwanangu mwenyewe’’ “unamuona yule dogo?’’
“ahaa yule sharo’’
“ehee ndio yeye sasa yule dogo amecheza karate yani anapiga si mchezo’’
“toka zako yani mcheza karate awe yule pimbi tu, kwanza nyie watu wa vijijini mnachekesha kweli yani mkimuona kijana katoka mjini basi mnamuogopa kwa kuzania ni mcheza karate kwanza niwaambie kitu wengi wao wanaiga baada kutoka kuangalia movie za mapigano wakimuona Jean Claud Vann damme au Jet li basi nawao wanajifanya wababe binafsi siamini kama dogo mcheza karate’’
Jamaa akapinga vikali kuambiwa Yasri ni mcheza karate
“kama huamini hakuna atakae kulazimisha uwamini, basi yule jamaa akasimama na kupiga hatua za haraka kumkimbilia Yasri akaweza kumfikia na kumsimamisha
“Samahani sana dogo je naweza kuongea nawe?’’
“yeah bila shaka brother, Yasri akaitikia hakupinga kwa yeye kuitwa dogo kiukweli yule jamaa alikuwa ni mkubwa kwake,
“Nasikia dogo unacheza karate?’’ “hapana brother sijawahi kujihusisha na michezo hiyo,’’
Yasri akakataa
“sikia dogo usiogope wala nini mimi nipo hapa kwaajili ya kufahamu tuu maana mimi mwenyewe natafuta Master’’
Jamaa akaongea hivyo
“ok nacheza’’
Ajabu yule jamaa akamsukumiza Yasri baada kukubali kweli anacheza karate
“Nishatembea vijiji kibao nawatafuta mabwege kama nyinyi niwafundishe adabu sasa wewe ni mmoja kati ya niliowanasa wenzako wapo ICU huko’’
Jamaa aliongea kwa hasira huku akiwa kakunja ngumi Yasri alikumbuka vyema kauli ya master wake pale alipomwambia hawa ni kama vifaranga tu asiogope awafinye akajiandaa kukaa stance lakini kuna kikundi cha vijana wakaja na kuwasihi waache ugomvi wasipigane kwani ugomvi si jambo zuri
“oyaa Mifinga acha ugomvi kaka yani kukwambia dogo kacheza karate ndio unataka kumpima sio?’’ “Nyoko zenu hapa haachwi mtu, wee dogo mimi naweka kiasi cha pesa tish….elfu hamsini wewe weka chochote kile hata jiwe iwapo utaweza kusimama nami ndani ya dakika tano unachukuwa hii pesa ukishindwa nitachukuwa ulichokiweka’’,,,,,
jamaa akaongea kwa kujiamini akatoa wallet na kuchomoa wekundu wa msimbazi kama watano, na kumkabidhi mmoja kati ya washkaji,
“Mungu wangu mbona imekuwa bonge la zali’’
Yasri akajisemea kimoyomoyo na kuvua t-shirt yake na kuiweka kama dau wanaume wakaingia kati Yasri hakutaka kuzubaa akaruka juu na kuachia mateke ya double kick jamaa akajaribu kupanchi akashindwa kwani mateke yalikuwa mazito akayumba na kutupwa kule ile anainuka tu Yasri huyu hapa mbele yake akaongezewa ngumi zenye ujazo wa high voltage kila mmoja akabaki kushangaa baada kushuhudia Mifinga akipigwa kama mtoto, ndani ya dakika mbili jamaa kadebweda hawezi hata kusimama siku zote mdharau mwiba mguu uwota tende,
“nadhani kazi imeisha oyaa nipatie pesa yangu’’
Mwanaume akaongea huku akijipangusa mikono akapewa mzigo wake na kusepa njia nzima akicheka hahahaha nishapata nauli yakwenda jijini Dar es salaam yani kiulaiini nimekomba,”
********************
Yapata majira ya saa nane usiku wakati bibiye Mariam akiwa amelala kwenye chumba cha peke yake akahisi kama kuna mtu anamshikashika maungoni mwake sema akajiambia labda ni ndoto anaota tu sema akapingana na mawazo yake baada kufahamu si ndoto. Akafumbua macho na kushtuka’’,,,,
Hakika bibiye Mariam alishtuka si kidogo, “baby ni wewe?’’ ndio kauli iliyomtoka kumuuliza yule mtu kumbe alikuwa ni Mzee wa nyapu, “ndio mimi mpenzi kwani kuna Hafidhi j Ikram mwingine hapa duniani?’’ akaitikia na kuuliza swali “umeingiaje humu ndani wakati mlango nilikuwa nimefunga? Kwanza umetokaje kule Gerezani?’’ Mariam akauliza maswali mfurulizo huku kijasho kikianza kumvuja kwa mbaali. Akili haikumpa kabisa kama yule amuonae mbele ya upeo wa macho yake ni mumewe “baby ondoa hofu ni mimi kabisa, tambuwa mimi ni commando nitashindwa vipi kutoka kwenye tundu bovu kama lile?’’ Hafidhi akaongea kwa kumuelewesha. Basi bibiye akaamini na kumkumbatia ikawa kukumbatiana kutekenyana mara kutomasana na kuchezeana na kunyonyana “opsiii’’ Baada ya mwanaume kuona bibiye amepagawa na zoezi la kunyonywa chuchu zake aliamua kuunganisha matendo mawili kwa wakati mmoja aliushusha mkono wake taratibu kuelekea kwenye kitumbua lakini alipofika kwenye kitovu alishangaa kumwona Mariam akiitumia mikono yake kujivua nguo yeye mwenyewe na kukiacha kitumbua wazi. Ikawa nafasi nzuri kwa Hafidhi ambaye mkono wake ulikuwa unaelekea huko,
Alipofika kwenye kitovu alikiingiza kidole ndani yake na kuanza kumtekenya kidogo “aaaah,,,oooh,,uuuuh,,,,babiiiiiiiii,,,,aaah,,,aaaah’’,,, bado bibiye alionekana kuchanganyikiwa na kunyonywa chuchu zake mkono ulipofika kwenye kitumbua laini akakiteua kidole kile cha matusi cha kati na kukiingiza kwenye kitumbua.
Taratibu kidole kilipita kwa kuteleza kwasababu tayari kulikuwa na unyevu, moja kwa moja kidole kilikigusa kidude mautamu “whauuuuu,,,,aaaaaassssssss,,,alitoa miguno bibiye baada ya kidole kugusa kidude mautamu chake akaanza kukishika kama anachora namba nane muda mwingine sifuri, kidude mautamu kilipata joto na kusimama “aaaaah,,,,oooooh,,,,uuuwiiiiii,,ooooooh,,,mtoto wa watu alilalamika kwa sauti kubwa kutokana na mazoezi mawili kuendelea, Kunyonywa chuchu na kuchezewa kidude mautamu,
Hafidhi aliendelea kukisugua kwa kasi kidude mautamu kwa kutumia kidole chake cha kati mpaka bibiye akawa ananyanyua kiuno juu kukifuata kidole yote hayo yalikuwa makusudi ya S kumtesa binti wa watu “mmmh,,,aaaah,,ooooh,,,aaaah,,,mmh,,aisssssssss’’ zilikuwa ni kelele za juu tofauti na mwanzoni alizitoa bibiye kiuno alikipandasha juu ili kidole kiweze kuingia chote “mmh,,ooooh,,uuuuh,,aaaaaah,,,,,na,,ku,,peeeee,,eeee,,nda,aaa,,aaaaaa oooh,,,alilalamika mtoto wa watu huku akimwaga uji wake na kukirudisha kiuno chini,,macho yake yalilegea haswa ,baada ya kumwaga alitulia kimya kama mtu aliyelala,,,
Mtalimbo wa Hafidhi ulikuwa umesimama kweli kiasi kwamba ile mishipa iliyojitokeza ikaanza kumuuma alimwacha kwanza bibiye apumzike kidogo, zilipopita dakika nane hakuweza kuvumilia tena alimgeuza Mariam ambaye kitumbua chake kilikuwa kimelowa kweli tayari mtalimbo wake alishauacha wazi hivyo aliushika na kuuingiza kwenye kitumbua,,taratibu mtalimbo uliteleza na kuzama wote mpaka mwisho,,,aaaaaah,,,oooh,,,aliendelea kulalamika Mariam kuashiria kuna kitu kizito kimeingia mwilini mwake,,
Ndani ya usiku huo ulikuwa ni mwendo wa bandika bandua kwa wanandoa hao. Kila mmoja alitaka kumuonyesha mwenzake ni jinsi gani alivyokuwa na nyege mshindo takribani miaka mitano sasa. Mwishoe bibiye usingizi ukampitia akaja kushtuka yapata saa mbili asubuhi. Kwanza akapapasa pembeni ya kitanda lakini hakuweza kugusa kile ambacho alitarajia kukigusa akakurupuka na kuelekea bafuni akaangaza macho yake huku na kule kisha akatoka nnje ya chumba akiwa na vazi lake la kulalia tu “vipi tena bibiye mbona uko hivyo?’’ ni sauti ya mama mkwe wake ndio iliyomshtua na kurudi chumbani kwake haraka yani hata salamu au kujibu lile swali hakutaka, “hivi ni kweli usiku wa leo baba watoto wangu alikuja humu ndani, nikafanya nae mapenzi, hapana hii itakuwa ni ndoto tu, si kweli’’ Mariam akajiwazia moyoni mwake na kujichunguza sehemu za siri ndipo akashtuka zaidi baada kugundua ni kweli alifanya mapenzi wala si ndoto kama alivyowazia “khaa!’’ akazidi kushangaa na kujikaguwa tena na tena akaingia bafuni ndani ya dakika kumi akawa tayari katinga baibui yake iliyomkaa vyema na miwani ya jua “dada chai tayari’’ alikuwa ni house girl akimwambia bibiye Mariam “sijisikii kunywa chochote mdogo wangu wacha kwanza nielekee gerezani,’’ bibiye aliongea huku akitoka nnje kabisa ya nyumba na kuelekea sehemu ya kuegesha magari akachaguwa moja wapo na kuondoka zake. Tukija pande za tabata magengeni tunamuona Hafidhi akiingia kwenye kibanda cha mama ntilie. “opsii yani ndio kwanza saa nne asubuhi jua limekuwa kali utasema saa saba mchana bwana’’ Hafidhi aliongea huku akijipepea kwa mkono, “Mama Madega itabidi utuwekee feni’’ mmoja kati ya wateja alimwambia mama ntilie eti waekewe feni “wewe nawe ushavuta asubuhi hii sasa hiyo feni nitaweka wapi? Kwenye kibanda cha makuti kama hiki sina umeme’’ ghafla yule mama akapiga yowe zito kwa kuita, “jamani mwizii,,,,’’ chupa yangu mimi, kumbe wakati wanaongea Hafidhi kwa kitendo cha faster akaikwapua chupa ya chai iliyoko mezani na kukimbia nayo bila shaka ni moja kati ya michezo yake, na siku zote mwizi akiingia pande hizo kutoka kwake ni marehemu. Basi watu wa magengeni dukani wapiti njia wakaanza kumkimbiza huku wakimrushia vitu vizito vizito, sema mwanaume alikuwa akikwepa kwakuwa ilikuwa ni siku ya jumaapili mwanaume akaingia kanisani na kukuta ibada ikiendelea, Wananchi wenye hasira kali wakalizunguka kanisa wengine wakatanda milangoni kuhakikisha mbaya wao atoki.
Baada kuingia kanisani Hafidhi akaenda kukaa kwenye benchi na kutulia kimya kama vile sio yeye dakika si nyingi ibada ikaisha waumini wakaanza kutoka sema ukawa ni mtafaruku mkubwa kwani kila aliyetoka akatakiwa kuchunguzwa, “nini shida wanakondoo wa bwana mbona mmeshika silaha kuna tatizo gani?’’ Mchungaji akawauliza swali, “tulikuwa tukimkimbiza mwizi sasa kaingia humu’’ mmoja akaeleza “basi ni vizuri sana bila shaka huyo mtu kaingia humu kuungama zambi zake. Ninachowaomba nyie nendeni tu kijana keshaokoka’’ Mchungaji aliongea huku akitabasamu na kuiweka miwani yake sawa, “bwana Cristopher hakika tunakuheshimu sana ten asana tu kama mtumishi wa Mungu, sasa tuache tufanye maamuzi yetu wenyewe huyo mwizi atolewe nnje tumpatie hukumu yake’’ jamaa mmoja aliongea kwa jazba mkononi akiwa kashika panga, “sawa nimeweza kuwaelewa lakini tambuweni kitu kimoja wenye kuhukumu sio sisi wanadamu ni Mungu pekee binafsi siko tayari kuwaacha mkifanya hivyo kwanza kaiba nini?’’ “oyaa huyo mchungaji uchwala anazingua tu kama vipi tuingieni ndani’’,,, “Cristopher waache tu kwani hiki sio kituo cha polisi kusema labda watakiogopa kuna wengine hapa imani zao ziko tofauti’’,,,,, mmoja kati ya waumini alimwambia mchungaji Cristopher, kabla ya kuruhusu waingie au laa akajikuta akipigwa kipushi na kuyumba ilibaki kidogo adondoke sema akawai kuishikilia nguzo moja wapo. Wananchi wakavamia ndani ya kanisa. Yani ile kuingia tu wakaanza kurushwa mmoja baada ya mwingine kwa kutupwa nnje mwanaume alianza kutembeza kichapo huku wengine wakipitishwa kwenye madirisha ya vioo na kujikata vibaya mno wengine kuona vile wakatoka mbio huku wakipiga kelele jamani tunakufaa’’,,, wakati watu wakipewa kichapo mchungaji Cristopher alikuwa kwenye maombi mazito na kusema nguvu kutoka kwa Mungu ndizo zinawaadhibu kutokana na ukaidi wao. Hafidhi akatoka nnje ya kanisa Wananchi waliobakia nnje wote wakatimua mbio, mwanaume akacheka kwa dharau na kuishia zake “vipi mbona mnakimbizana kwani huyo mwizi bado hamjampata tu?’’ ilikuwa ni kauli ya mama Madega akiwauliza baadhi ya kikundi cha watu, lakini kabla ya kujibiwa akaja mtoto wakiume na kumkabidhi ile chupa ya chai pamoja na kikaratasi basi akakifungua, (mama Madega je thamani ya mtu ni sawa na thamani yahiyo chupa ya chai ulitaka mimi niuwawe kisa hiyo chupa, sasa basi mjiandae) ujumbe ulikuwa umeandikwa hivyo na kumfanya mama wa watu jasho jingi lianze kumtoka presha ikapanda na kudondoka chini. Hakika hakufahamu wajiandae na nini,
Baadhi ya mama ntilie na wateja wengineo wakafanya jitihada za kumuwahisha hospitali mama Madega hakujitambua kabisa kila aliyefanikiwa kuusoma ule ujumbe akabaki kutetemeka ni ujumbe mfupi tu lakini kwa mwenye kuelewa nini maana
Lazima adate.
Bibiye Mariam alipita maeneo hayo akielekea zake Segerea na kuona umati wawatu umejazana maeneo hayo akajiuliza kuna msiba au nini?
Akaona sio vyema kuumiza kichwa akapaki gari yake pembeni na kushuka akasogea sehemu ambayo kulikuwa na kikundi cha watu wakisimuliana
“yani bila shaka yule kijana sio
Mwizi kama tunao wauwaga siku zote, yule ni
Komando haswa yani mtu mmoja
Kapiga zaidi ya watu mia tena tukiwa na silaha wakati yeye yupo mikono mitupu. Kweli duniani kuna watu wanatisha asikwambie mtu”,,,,
Wakati yule mtu akisimulia
Mariam akajiuliza ni nani huyo mtu?
“Samahani kwani aliiba kitu gani?”
Mariam akauliza swali
“Aliingia kwenye kibanda kile akakwapua chupa ya chai na kukimbia nayo
Mama Madega ambaye ndio mwenye chupa akapaza sauti kuita mwizii. Kama ujuavyo watu wa maeneo haya tukimkamata mwizi kifuatacho kifo tu
Sema najuta hata kuacha duka langu na kumkimbiza yule mwizi kwani
Katufinya kule kanisani wee acha tu kibaya zaidi katuachia ujumbe tujiandae
Nahisi muda wowote tutavamiwa na Makomando
wenzake”,,,,, aliongea huku akitamani kulia
Mariam akaulizia hiko kikalatasi kiko wapi
Akafanikiwa kukiona kwanza akashituka baada kugundua muandiko ni wa Hafidhi j Ikram
akakichukuwa kile kikaratasi na kuondoka nacho.
Ndani ya gari akajiuliza maswali mengi
sana pasipo kupata majibu hatimae akaingia gerezani baada kufanya taratibu fulani akaruhusiwa kwenda kumuona Hafidhi.
Kila hatua aliyokuwa akiipiga akahisi mapigo yake ya moyo yakienda kasi.
Akaingia kwenye chumba ambacho anaweza kuonana na Hafidhi, hakika kichwa chake kilikuwa kizito akiwaza mambo mengi sana huku akijiuliza
Hafidhi ni kiumbe wa aina gani
Amewezaje kutoka jela
Ameingiaje mule chumbani kwake wakati milango yote ilikuwa imefungwa.
Akaishia kutabasamu baada kugundua ni
Kommando asietabilika
“Whaoo mama watoto huyo naona umeniletea chai asubuhi hii”,,,,,,, Alikuwa ni Hafidhi akiongea kwa furaha na kumkumbatia kipenzi chake.
Sasa hapa sijui ni kivuli au ndio mwenyewe. Baada kukumbatiana kama sekunde kadhaa wakaachiana na kukaa kwenye viti,
“Hafidhi binafsi nina mambo mengi sana yananitatiza kichwani kwangu
kwanza nataka kufahamu wewe ni nani?”
Mariam akauliza
“Mimi ni Jinni nang’ata nachinja natafuna nyama mbichi nakunywa damu za moto”,,,
Hafidhi akamjibu huku macho kayakaza kama Jinni vile
“baby bwana embu acha maskhara yako ujuwe mi nakuuliza vitu vya maana wewe unaleta utani”,,,,
Mariam lile jibu la Hafidhi kusema yeye ni Jinni akaona ni utani laiti angejuwa na kutilia maanani
Kile akizungumzacho Mumewe
basi angeng’amua kitu
Hafidhi akanyamaza kimya na kubaki kumuangalia tu kipenzi chake
“baby umewezaje kuja kule nyumbani?”
Mariam akazidi kuuliza maswali
Kabla ya Hafidhi kumtaka anyamaze kwa kuweka kidole chake cha kati mdomoni
“Shii baby mbona unataka kunialibia au hukupenda Mimi nije kufurahi nawe
Tambua kitu kimoja mimi ni nani.
Kwanza nina uwezo wa kutoroka muda wowote ule
Kwahiyo usitake
Kumwaga mchele penye kuku wengi”,,,,
Baada Hafidhi kuzungumza hivyo akainuka na kuondoka zake akimuacha
Mariam akimwita
“baby,,,, mume wangu please rudi basi tuongee”
Lakini mwenzake hakutaka kumsikiliza kabisa kuonyesha jinsi gani kachukia.
Mariam hakuwa na jinsi zaidi ya kutoka nnje ya gereza akaingia kwenye gari yake.
Kwa mbali kidogo tunamuona Hafidhi akiwa anamtazama bibiye kwenye gari
Akamsindikiza kwa macho kisha akatabasamu sema Hafidhi huyu alikuwa amevaa mavazi ya ulaiyani sio yule aliyetoka kuzungumza na Mariam
Kavaa mavazi ya kifungwa.
Yapata majira ya nane mchana
Buss kutoka kampuni ya Tawaqar lilisimama maeneo ya Mbagala
Zakhiem baadhi ya abiria walikuwa wanashuka miongoni mwao tunamuona kijana Yasri ambaye
Inasadikika ameshakufa kitambo.
Akiwa na begi lake akaangaza macho huku na kule,
na kupanda kwenye Daladala iendayo
Kawe, akiwa kwenye siti akazidi kuangaza macho dirishani
Akiangalia mandhari ya jiji la Dar es salaam
“binafsi sijui nitafikia kwa nani
wakati kila mtu alinitenga kwa kuniona mimi ni mbakaji muuwaji ndugu jamaa na marafiki wakafurahiya siku niliyo
Hukumiwa kunyongwa.
Kila mmoja atalipa kwa hili,”
Yote yalikuwa ni mawazo ya kijana Yasri mpaka gari inafika maeneo ya Kinondoni Mkwajuni
Akashuka na kuvuka
Barabara kwa kuifata mitaa fulani hivi
Alionekana si mgeni wa maeneo hayo kwani alikuwa akitembea kwa kujiamini kwa kuingia kichochoro hiki na kutokea kingine.
“Mambo vipi ewe Dada yangu?”
Yasri baada kutembea kwa umbali mrefu kidogo akatokezea kwenye nyumba moja chakavu na kuingia ndani ya nyumba hiyo huwezi kuamini ilikuwa ni Guest house.
Muonekano wa nnje ni tofauti na ndani unaweza kusema umekosea njia. Maana humo ndani kulikuwa kusafi kunapendeza hapo ni mapokezi tu,
Yasri akamkuta mwanadada mrembo akichart
Akamsalimia
“Powa tu handsome boy uliekosa matunzo
Niambie”,,,,
Kwa tabasamu mwanana yule mrembo akaitikia
huku akiingizia na utani kidogo,
“Ha!ha!ha! Embu acha zako eti handsome
niliekosa matunzo ni matunzo gani hasa?”
Na kuuliza
“basi tuachane na hayo vipi nikusaidie nini?”
“nahitaji chumba”
“ok vyumba vipo je unahitaji kukaa kwa muda gani?”
“nitakaa kwa siku mbili tu yani kuanzia leo
mpaka kesho kutwa naondoka my”,,,,,
“powa haina shida itabidi ulipie kiasi cha shilling elfu hamsini tu, sema hiyo ipo mbali na huduma ya chakula, labda maji unaweza kutumia bure”,,,,,
“kusema kweli Dada yangu nipunguzie kidogo hapa nilipo nina shilling elfu tharathini tu”,,,,,
“powa lete hiyo ndio maana nikasema wewe ni handsome uliokosa matunzo yani ikitokea siku ukapata jimama lenye pesa zake
Sijui itakuwaje”
“wee sister naona unaongea sana embu nipatie funguo nikajipumzishe mie”
Yasri huku akitabasamu akamuangalia yule binti
“ehee handsome unaitwa nani?”
Binti akauliza huku akiwa kashikilia peni na
Daftari.
“naitwa Nyange Selemani”
Yasri akajipa jina la uwongo wakati tunatambua anaitwa Yasri Yassin
Basi binti akaandika na kumkabidhi funguo kwani pesa tayari alikuwa kashapatiwa
“binti akanyanyuka na kuongoza njia kwenda kumuonyeshea Yasri chumba chake
“sasa Handsome chumba chako ni hiki kama ukihitaji kampani yeyote kwa usiku huu usikose kunishtua niko pale mapokezi kwani shift yangu inaisha jioni kwahiyo kuanzia mida hiyo nitakuwa huru”,,,,,, binti aliongea huku akijing’ata kucha macho kayalembua utasema anausingizi
“powa usijali nitakucheki”
Yasri akaitikia na kuingia ndani ya chumba hiko
Dakika si nyingi akatoka na kuingia mtaani
Akatafuta kibanda cha mama ntilie akaingia na kupata chakula wakati anatoka akamuona muuza visu akamwita na kununua visu viwili kimoja kilikuwa kidogo kingine kikubwa mfano wa jambia
Akarudi zake Guest
na kuutumia muda huo kufanya maangamizi
Tukio la kwanza alitaka kwenda kuvamia
Bank ya NMB iliyopo maeneo ya Ilala
kabla ya kufanya hivyo akahitaji kufanya uchunguzi kidogo vingine atatumia uwezo aliokuwa nao
kufanikisha hilo jambo
“itabidi kesho asubuhi nianze uchunguzi kisha kesho kutwa nivamie, nafahamu fika itakuwa ni kazi ngumu sana kwa mimi kuifanya hii kazi
Sema sina jinsi nifanikishe nipate pesa
Niweze kusonga mbele kwenye mapambano haya”,,,,
Yasri akiwa amekaa kitandani alikuwa akiwaza na kuwazua juu ya mipango yake.
Kutokana na uchovu wa safari ukichanganya na mawazo akajikuta akipitiwa na usingizi.
Wakati Yasri akipanga yake upande mwingine
Kulikuwa na vilio
“haaaa”,,,,,,babaa,,,,,kwanini wamekuuwa ewe baba yangu,,,,, hamka baba,,
Ilikuwa ni maeneo ya Msasani
Ndani ya nyumba moja ya kifahali kulikuwa na msiba inavyosadikika Mzee mwenye nyumba hiyo
Akiwa anatoka kazini kufika pale
njia panda ya Morocco akapigwa
Risasi ya kichwa na mtu asieweza kufahamika ni nani, kisha akakimbia na briefcase lenye kiasi cha pesa kama millioni
Kumi tu ambazo mzee alikuwa anakuja kumpatia mwanae, sijui za nini.
Taarifa ikasemekana hivyo
Je nini kitaendelea?”
Zile taarifa ziliweza kumfikia Undercover Agent bibiye Mona akafika eneo la tukio akaanza kufanya uchunguzi wa kina aweze kufahamu nini chanzo, wakati akiwa katika kufanya uchunguzi simu yake ikaita akaitoa na kuipokea ghafla akashtuka sijui mpigaji wa simu ile alimwambia kitu gani haraka akaingia ndani ya gari na kuondoka eneo la tukio. “please usife baki na mimi’’ Mona akiwa ndani ya gari machozi yakaanza kumtoka kwa kasi na kuongea maneno hayo sijui nani anamwambia asife. Safari yake ikampeleka mpaka Aghakan hospitali akashuka na kupandisha ngazi mbiombio kuelekea juu akafika mapokezi na kuulizia akapatiwa majibu pamoja na kuelekezwa sehemu ambayo huyo mgonjwa amefikishwa akaelekea mpaka wodini lakini kabla hajaingia akazuiwa na Daktari “samahani binti huu sio muda wa kuweza kumuona mgonjwa kwani anahitajika kupumzika’’ “hapana Daktar niruhusu nimuone niweze kumwambia asiniache peke yangu’’,,,,, bibiye akaongea huku akiangua kilio, “sikia nikwambie binti embu nifate kwanza ofisini’’ Daktar akaongoza njia Mona akimfata kwa nyuma wakaingia kwenye chumba kimoja hivi ambayo ndio ofisi ya Daktari “karibu sana binti unaweza kukaa kwenye kiti hapo’’ Daktari akiwa na uso wenye bashasha na tabasamu pana akamkaribisha bibiye akae kwenye kiti. “wewe ni nani yake?’’ lilikuwa ni swali la kwanza kutoka kwa Doctor “ni dada yake’’ Mona akajibu “ok sasa mdogo wako amefikishwa hapa hakiwa ajitambui kabisa amevunjika mguu na mkono kwani amepata ajali mbaya sana hivi tumejitahidi kumfanyia operesion tuweze kuondoa damu kwenye fuvu lake la kichwa ili kuepusha isigusane na ubongo’’,,, Daktari alitoa maelezo na kumfanya bibiye ajishike kichwa na kuangua kilio zaidi “sikia binti huu sio muda wakuanza kulia wakati unatambua fika ndugu yako ni mzima’’ Doctor akamsihi bibiye aache kulia “Mariam ndugu yangu tafadhali usiniache peke yangu tambuwa wewe ndio ndugu pekee uliobaki kwa upande wangu baada Yusra na Vivian kutukimbia iweje tena nawewe utake kuniacha tafadhali usifanye hivyo’’ bibiye aliongea kwa majonzi makubwa Masikini ya Mungu wee kumbe mgonjwa mwenyewe ni Mariam wakati anarudi nyumbani kwa mkwewe akitokea Segerea kufika pale Tabata relini sijui tuseme msongo wa mawazo aliokuwa nao au vipi ghafla gari yake ikagongana na gari kubwa ya mchanga. Wananchi wakishilikiana na polisi wakafanya jitihada za kumuwahisha hospitali ya Amana kutokana na kutambulika yeye ni nani Akahamishwa hospitali na kupelekwa Aghakani. Taarifa zikatangazwa juu ya Undercover Agent kupata ajali mbaya ya gari
Tukija katikati ya jiji maeneo ya post tunamuona kijana Yasri akiingia ndani ya duka moja hivi linalouza vifaa vya kuchezea watoto dakika si nyingi akatoka akiwa kashikilia Bastola yani ile ya watoto na kuvuka barabara akaingia ndani ya daladala iendayo Buguruni akiwa amekaa kwenye siti katulia kimya macho yake yakaweza kutua moja kwa moja kwenye ukurasa wa gaazeti na kuona kichwa cha habari kisemacho Undercover Agent apata ajali mbaya sana mpaka sasa maisha yake yapo mashakani kwani amelazwa katika chumba cha watu waliokuwa mahututi ICU baada kuisoma ile habari hakutaka kujiuliza wala kujishukhurisha zaidi kutaka kufahamu gari ilipofika maeneo ya Ilala boma akashuka na kuangaza macho yake huku na kule akalikazia macho jengo kubwa la benk ya NMB na kupiga hatua za haraka kulisogelea, kumbuka misheni nzima atakuja kuifanya kesho hapo yupo kwaajili ya uchunguzi tu. Akajichanganya kama mmoja wa wateja au kuna mtu kamsindikiza tu ghafla akaichomoa ile bastola yake ya bandia na kupiga juu kitu kikasikika pahaa akapaza sauti “wote lala chini’’ watu wakashikwa na kitete na kujikuta wakikimbia hovyo huku wengine wakilala chini kuna polisi kama wawili hivi wakaingia wakiwa na Bunduki SMG baada kutambua ule mlio ni wa baruti tu. Wakati mwanaume akichumpa na kuja kuwatandika mateke ya double kick wale maafande huku bunduki zao zikiwatoka na kurushwa juu Yasri akaidaka moja na kuchumpa kwenda pembeni akaachia risasi moja sasa hapo sio baruti ning’eneka akumwage ubongo. Akaangaza macho yake kule kaunta na kuinuka kwa mwendo wa kuchumpa kama nyani akazama kwenye chumba kimoja wapo, huku nnje watu walikimbizana hovyo wakati polisi kutokea kituo cha Buguruni na Msimbazi wakiwasili eneo la benk kila mmoja akakaa kwenye target yake, “hao majambazi wapo wangapi?’’ Afande mmoja alimuuliza jamaa ambaye alikuwa akitoka nnje ya benk mbiombio “ni mmoja tu lakini ni hatari,’’ jamaa akajibu na kukimbia zilipita kama dakika hamsini pasipo Yasri kutoka ndani ya benk hiyo hata polisi walipojalibu kuvamia wakakuta pesa zishakombwa jambazi hajulikani alipo kumbe mwenzao keshasepa kitambo na kuwwacha maafande wakijikuna vitambi. “hakika huyu jambazi ni wakimataifa ametumia mbinu gani kufanya yote haya kila mmoja akajiuliza lake pasipo kupata majibu, Camera za cctv zilizoko kwenye benk hiyo zikaangaliwa na kuweza kuona tukio zima ajabu mtu mwenyewe alionekana ni mwanamke wa kichina sura yakehaikuonekanika vizuri hata walipojalibu kuisafisha kwa wataalamu kitu kikawa chenga “aisee huyu kweli ni Jinias yani kazuia mpaka Cctv zisiweze kumtambua yeye ni nani’’
Katika hospitali ya Aghakani tunamuona Hafidhi akiingia kwenye wodi ambayo bibiye Mariam alikuwa amelazwa baada kuingia akakisogelea kitanda na kumshika kichwani ghafla kuna kitu kama short ikaanza kutembea mwilini mwa bibiye huku miale ya moto akisambaa ndani ya chumba hiko ndani ya dakika tano kila kitu kikazima huku Hafidhi akitoka ndani ya chumba hiko na kupotea zake. “kudadeki zao nimewaweza wewee mi noma sijui kiasi gani hiki? Maana naona pesa ni nyingi sana’’ ilikuwa ni kauli ya Yasri baada kufika kwenye chumba cha wageni alichopanga, hakika ilikuwa mibunda ya fedha akiwa kaimwaga kitandani akabaki kushangilia tu na kuanza kuzihesabu mwishoe akajisemea “nisijipe kazi ya bure watatangaza tu, akazirudisha kwenye mfuko wa kitambaa ulivyo kama kiroba yani ulijaa akausunda uvunguni mwa kitanda kisha akatoka nnje na kumkuta yule binti akisinzia pale mapokezi akanyata ile kumfikia tu akamtekenya na kumfanya mtoto wa watu ashtuke “ahaaaassss,,,,,ahaaa kumbe wewe bwana unantia nyege mwenzako’’ binti kwa sauti yenye kutokea puani akaongea hivyo, “usijali bibi nitaweza kukuhudumia mpaka hizo nyege zikuishie’’ Yasri akaongea kwa kujiamini “mmh! Unasema tu nikikupa utaweza?’’ binti akauliza kiuchokozi “nisiweze kwani unanini umekuwa trekta au?’’ kila mmoja akaanza kumchombeza mwenzake na kujikuta wakitaniana zaidi matani yakavuka mipaka baada yule binti kuipandisha sketi yake juu na kumuonyesha Yasri mapaja yake yaliyonona yani kitu wazile. Mwanaume udenda ukamtoka akashikwa na uchu utasema fisi kaona mfupa akamsogelea zaidi na kuanza kumpapasa “ohooooo,,,,assssss,,, wakajivuta mpaka kwenye chumba kimoja hivi huku wakiendelea kutomasana Ndimi zao zilianza kugombana huku kila mmoja akionyesha nia dhahiri ya kuvunja amri ya sita, hasa binti ndio alikuwa ana muwashawasha mkubwa kiasi kwamba hata kabla hajashikwa sana alianza kutoa miguno ya kimahaba, Yasri hakuzubaa, kwa kutumia kidole chake cha kati alikiingiza kwenye kitumbua na kuanza kukisugua kiarage mpwito. Bibiye akazidi kuweuka kwa raha alijilaza chali ambapo ni muda walibakizana kama walivyozaliwa, alijipanua mapaja yake manono na kukiachia wazi kitumbua chake kilichoanza kumwaga majimaji ambayo yalijitengeza tayari kwenye kitumbua mtarimbo ulipoinuka kisawasawa hakukuwa na haja ya kupoteza muda, alimuweka sawa na kutaka kumwingiza mtarimbo binti ambaye alikuwa amezidiwa kimahaba lakini hakutaka mtindo huo, kabla hata hajaingiza alimpindua na kumweka chini ambapo yeye alikuwa juu “si umesema unaweza ehee sasa nitakukatikia mpaka ukaseme kwa mama yako aliongea kimahaba huku akiwa ameilegeza midomo yake na macho nayo kama akiyafumba na kuyafumbua
Yasri akaishia kucheka tu,
Tayari mkono wake ulikuwa umeshashika mtarimbo uliosimama wima, akajipanua mapaja yake vyema kisha akajibinua kidogo kiuno chake kwa kuyapeleka makalio yake nyuma kidogo akaanza kujiingiza mtarimbo huo taratibu kwenye kitumbua chake “aaah,,,aaaaiiiissssssssss,,,,,ooooh,,,aliugulia utamu huku mtarimbo ukizama taratibu kwenye kitumbua chake kilichokuwa na joto liliilompa msisimko Yasri ambaye naye kwa upande wake wakati mtarimbo wake ukizama taratibu kwenye kitumbua alihisi raha ya ajabu,jotojoto la ndani ya kitumbua lilimfanya ajisikie tofauti
“aaaahm,,,,sssssss,,,shhhhhhhh,,,aaaaaaaaaa,,,,aaaaiissssssssss,,,ooooh,,,suguaaaaa,,,,ingizaaaaaa mpakaaaa mwiiii,,,iiii,,,shhhhhhiiiooooooooo,,,,,aaaah’’,,, alijikuta akiongea hivyo huku akilalamika kwa utamu aliouhisi, nafasi ya kukaa juu ya mwili ilimshinda,alizidiwa sana na hamu hivyo ilimbidi Yasri kuja juu na kumsugua hasa, aliipitisha mikono yake na kukikamata kiuno chembamba cha binti kisha akawa anakishusha chini wakati akiwa anamwingiza mtarimbo wote na kukipandisha wakati yeye akiwa akashusha chini, ilikuwa ni utamu zidisha utamu.
Wakati Yasri akijipongeza kwa kazi nzuri ya kuvamia benk upande mwingingine tunamuona Hafidhi akiwa maeneo ya benk polisi walikuwa wametanda kila kona yani hawakutaka kuamini kama jamaa kaondoka kweli ikasemekana kiasi cha pesa kilichoibwa ni million mia mbili hamsini. Tena zimesombwa na jambazi mmoja tu, Hafidhi akaangaza macho kisha akacheka kwa sauti ya chini na kutamka “kazi njema kijana nakuja unipe hata ya soda’’ ile kauli kuna mzee mmoja aliisikia na kugeuka kumtazama huyo anaesema vile ni nani’’ Hakumuona mtu “nimeongea mimi au masikio yangu?’’ ndivyo alivyojiuliza .
Je nini kitaendelea?’’
Hafidhi baada kuondoka eneo la tukio pale
Bank akaingia ndani ya daladala na kushukia Kinondoni Mkwajuni akavuka barabara na kuanza kukata mitaa yani akaingia kichochoro hiki na kutokezea kile.
Ni njia zilezile alizokuwa akikatiza Yasri baada kutembea umbari mrefu kidogo akatokezea kwenye ile Guest. Ajabu hii kwanza amepajuwaje na amefahamu vipi kama Yasri atakuwa maeneo hayo, binafsi baada Hafidhi kujitambua yeye ni nani
ndio anatumia zaidi nguvu zake za Kijinni kufahamu mambo mengi
Hata alipoenda pale NMB akaweza kuona tukio zima jinsi lilivyo tendeka.
Akaingia ndani ya Guest hiyo kufika mapokezi hakuna mtu akaangaza macho huku na kule
Akakaa kwenye kiti na kuitoa simu yake lakini ghafla akainuka na kuelekea upande ambao tulimuona Yasri na yule binti wa mapokezi wakielekea
“assssssss,,,,,,,inaaaaaatosha,,,,,,mpenziiiiii,,,,,,,ohoooo,,,,,,hapoooooo,,,,,,,uwiiiiiiii,,,,, Akapokelewa na sauti za bibiye akilia kimahaba mwanaume akatega sikio zaidi na kupiga chabo kwa kuchungulia kwenye kitasa cha Mlango kisha akatabasamu na kujisemea
“yani Dogo karithi hadi mambo yangu, yani kwajinsi alivyomkunja mtoto wa watu utasema anataka kumbanika”,,,, Baada kuongea hivyo akaondoka na kuingia kwenye chumba ambacho Yasri alikuwa
Ndio kapanga, yani hakuhitaji kutumia
Fungua ile kunyoosha mkono tu mlango wenyewe ukafunguka akaingia ndani ya chumba hiko
Kuonyesha kidole usawa wa uvungu akafanya kama kuita kitu lile furushi lenye pesa
Likatoka akalibeba na kutoka nalo nnje
Lakini kabla ajatoka akasimama na kuliweka chini akalifungua na kutoa baadhi ya vibunda vya pesa
“Sasa hizi million kumi zitakutosha hizi nyingine wacha nikatumie mimi”
Baada kuongea vile kile kiasi cha pesa akakiweka kitandani na kuondoka zake.
Baada Yasri kukamua vya kutosha huku akipokea sifa kedekede kutoka kwa yule binti
“Yani wee noma umenisugua mpaka nasikia
kitu kinawaka moto utasema una chuma ahaa”,,, Binti akaongea kwa sauti ya kudeka na kumfanya Yasri atabasamu akamtekenya
“ohooooasssssss,,,,,,, Sitaki bwana”
Binti akagugumia baada kutekenywa kwenye nyonga huku akisema hataki kachoka. Basi
Yasri akarudi chumbani kwake
Lakini akashtuka baada tu kuingia ndani ya chumba hiko
Akainama kutazama uvunguni hakuona kitu
akatafuta huku na kule.
Akazitazama zile pesa zilizopo kitandani na kujisemea
“ohoo shit! Nani kanitendea hivi, akili zake zikamtuma amfikilie yule bibiye ndio kamtendea unyama ule kumbe kunipa penzi ilikuwa ni njia moja wapo ya kunizuga sio.
Huku ukaandaa watu waje kunifanyia umafia
Powa tutaonana mimi na wewe nani mjanja”
Yasri alikuwa amedata zaidi asiweze kufahamu yule binti kafahamu vipi kama yeye ana
Pesa, nyingi kiasi kile. Pia hakuweza kufahamu kile kiasi cha pesa alichoachiwa ni shilling ngapi.
Sina jinsi Princess nikuondoe hapa duniani
Yani utakuwa ni mtu wakwanza kuuwawa katika mikono yangu, lakini kabla sijakuuwa lazima utaje pesa zangu ziko wapi?
Yasri akazidi kuwaza kumbe yule binti anaitwa Princess, baada kufikilia sana akaziweka zile pesa kwenye begi akaenda kuoga na kutoka zake
“oyii Handsome wangu huyo
Wapi tena mbona umebeba begi?”
Princess akauliza pasipo kufahamu mwenzake hapo alipo ana hasira wee acha tu
Yasri hakujibu kitu ikamshangaza sana bibiye na kujiuliza “inamaana kumpa penzi Mara hii ndio hanitaki tena yani hata kunijibu
Hataki kweli wanaume wengine sio wa kuwaamini”
Hafidhi baada kuzichukuwa zile pesa
Akaenda kufungua account kwenye Bank ya
CRDB utasema zakwake
Jamaa mbaya huyu,
“sasa hapa itabidi nikatafute chumba maeneo ya uswazi ili niweze kufanya mambo yangu kimya kimya. Sina jinsi nimsaidie kijana wangu katika majukumu yaliyoko mbele yake.
Pia nimekuwa baba wa ajabu sana sijawai kuutumia muda wangu uliopo kukaa na watoto wangu
Ikram masikini kabaki peke yake
Hana mama dahaa, Mwanaume alizungumza hayo wakati akiwa anatoka ndani ya Bank ya CRDB
akaelekea stendi na kusubiria usafiri.
“Shikamoo kaka yangu”,,, ilikuwa ni salamu kutoka kwa binti mmoja hivi akiwa kambeba mtoto mgongoni.
“marhabaa bibiye hujambo?”
“sijambo kaka yangu Nina shida tafadhali nisaidie”,,,,
Binti akazungumza kwa sauti ya huruma.
Lakini Hafidhi hakuwa na muda wa kumsikiliza gari ilipofika tu akapanda na kumuacha yule binti
Akimsindikiza kwa macho,
“ahaa Mudy umemuona Asia amekuwa ombaomba”
Ndani ya daladala kuna jamaa akaanzisha stori kama ujuavyo kukuta ukimya ndani ya usafiri huu ni nadra sana.
“Lakini sio vizuri binti mdogo kama yule anateseka wakati watu wa kumsaidia wapo. Embu fikilia kipindi ambacho wazazi wake wapo hai
Binti alikuwa anasoma shule ya intonation binti
Alikuwa anajichakanja na kila mtu,
Alikuwa na marafiki kibao leo hii wazazi wake wamekufa baada kupata ajali ya ndege
Wakiwa wanatoka
Cape Town huko Africa Kusini
Ndani ya mwaka mmoja tu tokea kifo cha wazazi wake binti kabakwa na binamu yake ikapelekea kupata mimba ikawa ndio chanzo cha kufukuzwa ndani ya nyumba akanyang’anywa kila kitu.
Ndugu wamegawana mali
Na kumuacha mikono mitupu inauma sana hii”,,,,
Jamaa akasimulia japo kwa ufupi maisha ya binti
Asia
“sasa Mudy kama inakuuma si umsaidie kwani unashindwa nini
Angalia binti mpaka sasa hana pa kulala
Mimba yenyewe kakaa nayo kwa tabu
kafanya kila aina ya kazi ngumu kubeba
zege mama ntilie kufagia barabara kusomba maji na kujaza kwenye mapipa
Kwa mafundi ujenzi please kaka msaidie tu,”
“Hapana Saidi sio kama sitaki kumsaidia nataka sana tatizo linakuja hivi ukicheki Nina mke na watoto wawili naishi nao kwenye chumba kimoja cha kupanga.
Pia kazi yenyewe ya ulinzi mshahara nilipwao ni laki moja na nusu kwa mwezi
hivi nitamsaidia vipi hapo?”
“Samahanini kaka zangu huyo binti anaishi wapi?
Au anapatikana maeneo gani?”
Hafidhi akaingilia kati maana yale mazungumzo yakamkumbusha mbali sana historia ya Asia haina tofauti sana na marehemu Habiba
“bila samahani ndugu huyo binti anaishi
Makonde kama sikosei nilikuona umesimama nae pale stendi akikuomba msaada
Hakika inawezekana hajatia chochote kitu tumboni kwake tokea Asubuhi,”
“Dereva geuza gari turudi Makonde”
Hafidhi akajikuta akiongea hivyo na kufanya gari zima waanguwe vicheko
“Hahahahahaha”,,,, mpaka yeye mwenyewe akacheka
“yani mwamba ulijuwa upo ndani ya Tax nini?”
Mudy akauliza kufika Makongo Hafidhi akaomba kushuka akakodi pikipiki na kumwambia
Dereva haraka sana amuwahishe Makonde
Njia nzima alikuwa akijrahumu nafsi yake kwanini alimpuuza yule binti. Kwanini hakumsikiliza shida yake.
Tukija upande wa kijana Yasri tunamuona
Akiwa anaongea na mama mmoja hivi maeneo ya Manzese
“Kiukweli kabisa chumba umepata ila zingatia kile ambacho nimekueleza
Ikifika zamu yako ya kufanya usafi hakuna kupindisha lazima ufanye kama huwezi utalipia pesa ili nikufanyie Mimi au mabinti zangu si umenielewa vizuri ehee”
“Haina shida ewe mama yangu kama niweza kufanya hivyo”
Yasri akakubaliana na yule mama kisha akafanya malipo pamoja na kupatiwa mkataba wake, alilipia kodi ya mwaka mzima kwa kiasi cha shilling laki
Nne na thamanini elfu
Maana chumba kwa mwezi mmoja ni shilling elfu Arobaini, umesema unaitwa nani vile?”
Yule mama akaulizia jina wakati akijiandaa kujaza ule mkataba
“duhuu Mara hii umesahau tena, naitwa
Kharidi Ibn Kuswai”
Yasri akajibu kwa Mara nyingine tena akadanganya jina lake kule Guest alijitambulisha anaitwa Nyange Selemani hapa tena kajiita Kharidi Ibn Kuswai
mbona majanga.
Tukija kwa mzee wa nyapu kidogo sasa hivi kapunguza kama sio kuacha kabisa.
Akafika Makonde na kushuka akamlipa dereva bodaboda na kuanza kumtafuta yule binti hakuweza kumuona ikabidi amuulizie kwa watu,
“Dahaa unamuulizia yule Binti ombaomba mgongoni kabeba mtoto
Mchanga hivi?”
Jamaa mmoja akauliza baada Hafidhi kumuulizia
“ehee ndio huyo huyo”
“Dahaa mwanangu mwenyewe huyo binti alifika hapa kuomba msaada sasa kuna muhuni
mmoja kamchukuwa akidai anaenda kumpa chakula.
Lakini nina wasiwasi anaweza kumfanyia kitu mbaya mtoto wa watu kama sio kumpiga mtungo yeye na wahuni wenzie sijui,”
Jamaa akaongea kwa masikitiko kidogo
Na kumfanya Hafidhi damu ianze kumchemka
“ameondoka nae muda gani na atakuwa kaelekea nae wapi?”
“Oyaa Tizo”
Yule jamaa akaita pasipo kumjibu Hafidhi kuna kijana mmoja akaja mbio na kumpa tano Hafidhi
“niambie Brother”
“naomba umpeleke huyu mshkaji lilipo Camp
la Pampuchi”
kijana baada kuambiwa vile akaenda kuichukuwa pikipiki yake na kuja nayo
“Lakini kutoka hapa mpaka kule itabidi unipe Elfu mbili”
“powa usijali”
Hafidhi akaitikia na kutoa noti ya shilling elfu kumi akampatia yule kijana aliyemuelekeza akimwambia kama shukrani safari ikaanza kuelekea huko,
“brother unaenda Pampuch kufanya nini?
Maana huku tuendako kuna watu hatari sana”
Dereva pikipiki akaongea hivyo na kumfanya Hafidhi atabasamu kidogo na kumjibu
“kuna kaka yangu naenda kumcheki na istoshe mimi sio mgeni wa maeneo hayo”
“ahaa kumbe ni mwenyeji ehee basi sio mbaya”
Safari ikaendelea hatimae wakaingia maeneo ya Pampuch. “Naona tushafika hilo jengo ulionalo mbele yako ndio Pampuch yenyewe
humo kuna majambazi wezi vibaka Malaya
Changudoa yani kila aina ya ushenzi unafanyika humo ndani”
Jamaa akaongea huku akigeuza pikipiki yake na kuondoka pesa alishapatiwa wakati wakiwa njiani kuja Pampuch,
Hafidhi akaangaza macho huku na kule.
“Oyaa wana nimewaletea asusa hii”
Ilikuwa ni kauli ya kijana mmoja akiwa anaingia huku kaongozana na binti ambaye kama tunakumbuka
Alimuomba Hafidhi msaada,
“ehee bwana zinga la demu” binti akaanza kushikwa shikwa mwanae kachukuliwa
“tafadhali jamani nipeni mwanangu
Msimfanye chochote kibaya”,,,, Binti akaanza kulia
Na kuhitaji apatiwe mwanae,
Lakini watu wale hawakujali ndio kwanza wakaanza kurushiana yule mtoto utasema wanacheza rede
“huyoo mdake huyo”
Mtoto alikuwa amelala lakini kule kurushwa rushwa akashtuka na kuanza kulia kwa sauti
Masikini ya Mungu katoto chenyewe ndio kwanza kina miezi sita tokea azaliwe. Mijitu isiokuwa na Roho ya huruma wanamfanya kama kifaranga cha kuku
Ghafla upepo ukaanza kuvuma ukiona hivyo kimbia siku ya kivumbi Mimi sipo,,,,,,,”
“jamani nini tena hiko?”
Kila mmoja akaanza kujiuliza maswali pasipo kupata jibu. Upepo ukavuma kama dakika tatu hivi kisha ukatulia na kuwa kimyaa majamaa yaka tazamana na kucheka kwa dharau “ha!ha!ha!ha! Kumbe sisi waoga ehee yani upepo kidogo tumeshtuka
Dadeki embu rusha mpira huo”
Yani mtoto wa binadamu mwenzao wanaita mpira
Mtoto akarushwa juu lakini kabla yule aliyerushiwa hajamdaka kuna kiumbe kilikuja kwa kasi na kumdaka yeye
Akazunguka na kumfunga yule mtoto mgongoni mbereko sijui kaitolea wapi. Alikuwa ni Ninja short baada kupotea takribani miaka
Mitano sasa amerudi tena “wee nani? Unataka nini ndani ya hii Pampuch?”
Mmoja kati yao akauliza swali lakini akajibiwa na kisu kidogo kilichorushwa na kwenda kukita kwenye mdomo wake Mwanaume akachana taya za yule jamaa. Huku kisu kile kikizunguka na kwenda kucheza na shingo za wengine wawili,
Hafidhi alikuwa kachukizwa na ule unyama wa kufanywa mpira kitoto kile ambaye ni malaika wa Mungu japokuwa alikuwa analia kusema anaumia majamaa hayakujali. Sasa wataisoma number
ndani ya mjengo huo kulikuwa na watu wengi sana wapatao mia
wakiwa kwenye vyumba tofauti tofauti
sasa Mwanaume akaanza kuchinja wale wa mwanzo yote Asia alibaki kushuhudia tu huku akitetemeka akifahamu muda si mrefu kifo chake kitafata.
Wanaume wa shoka wakajipanga na kumvamia lilikuwa ni kosa kubwa sana. Yani alikuwa anazunguka kwa kasi huku akitembeza visu
Mfano wa Danny Trejo kwenye
Desperado watu walichinjwa kisha akaichukuwa moja kati ya pikipiki na kumwambia bibiye panda twenzetu.
Asia akawa anaogopa akitizama mwanae yupo mgongoni mwa jamaa atamuachaje aende nae. Hakuwa na jinsi ni kupanda tu,
Hafidhi akaondoka eneo hilo kwa speed ya ajabu,
Wakazi wa maeneo ya Pampuch wakatoka majumbani mwao baada kusikia vilio vikitokea ndani ya mjengo huo, kila mmoja hakuweza kuamini baada kukuta miili ya watu wamelaliana
wakiwa tayari marehemu Damu zikiwatoka sehemu zao za shingo, “Nilishawai kusema Mimi ipo siku serikali itatuma mtu mfano wa
Scorpion aje kuwatoboa macho watu wakabisha, sasa mnaona huyu ni zaidi ya Scorpion ameondoka na roho za watu”,,,,
Kuna binti mmoja aliongea hivyo kuwaambia wenzake
Polisi wakafika eneo la tukio baada kupigiwa simu na kukuta hali ya kutisha mfano wa Sudan
Habari zikatangazwa kila kona huku baadhi ya watu wakitaka kufahamu mambo mengi yaliyokuwa yakitendeka ndani ya mjengo huo.
Undercover agent bibiye Mona Lisa akaweza kufika wakafanya uchunguzi chumba hadi chumba
Gorofa hadi gorofa na kugundua mambo mengi ya ajabu kwanza tukiachana na biashara ya uuzaji wa madawa ya kulevya sijui bange wanawake kuuza miili yao. Pia kulikuwa na biashara ya viungo vya binadamu kama vile ngozi
Figo ini mafuvu ya kichwa kwa wale watu wenye viubalaza. Kila mwananchi aliyeweza kuzipata taarifa hizo akashtuka na kubaki kushangaa.
Yasri aliweza kuzipata habari hizi akiwa amekaa kwenye moja kati ya baa zilizopo maeneo ya Tip top
pale Manzese akaikodolea macho TV ambayo ilikuwa ikitangaza taarifa ya habari huku akishushia funda la bia.
Binafsi Yasri hakuwai kunywa pombe lakini kutokana na maisha kumchanganya huku akiona kama dunia imemtenga akaona kuondoka mawazo hana jinsi awe mnywaji wa pombe,
akamshukuru sana Master wake kwa kumpa miujuzi mpaka kufanikiwa kuingia Bank mchana kweupe akakwapua mamillion ya Pesa kisha kuna mabwege wamejichotea kiulaini tu.
Yani katika million mia mbili hamsini wamenipatia million kumi tu, dadeki Princess utakufa kifo kibaya sana”. Yasri akazidi kuwaza huku akiendelea kugwida kinywaji chake
Chupa kibao zilikuwa zimemzunguka
Mabinti waliomo ndani ya baa hiyo hawakucheza mbali wakajalibu kujipitisha walau mmoja wao aitwe pasipo kufahamu mwenzao Kavulugwa.
Baada kugida pombe vya kutosha akainuka kutoka kwenye kiti, kwa mwendo wa kuyumba akaelekea chooni. Huku nyuma kuna vijana kama watatu wakaangaliana na kupeana ishara fulani kisha nawao wakaelekea chooni
Yasri akiwa bwii akaifungua zipu yake na kupunguza baadhi ya chupa alizogwida kuna njemba zikaingia chooni mule mmoja akaja kwa kasi na kumkaba roba huku akitoa amri
“tulia hivyo hivyo toa kila ulichokuwa nacho mfukoni vinginevyo roho yako ni halali yetu”,,,
Yasri akakumbuka kauli ya Master wake ambaye ni Hafidhi alipomwambia hawa uwaonao ni sawa na vifaranga vya kuku tu, ndiyo sehemu nzuri ya kupima uwezo wako kabla ya kukutana na mijogoo yenyewe wafinye”
Baada kukumbuka vile akafutuka kwa kasi na kujitoa mikononi mwa yule jamaa akadunda kwenye sink huku akiachia mateke ya ajabu ndani ya dakika tano washkaji wapo kimyaa wamelaliana chini
Akawasachi na kuchukuwa Wallet zao pamoja na simu zao akatoa Line na kuzitupa pale pale
kisha akatoka chooni utasema sio yeye,
Hakika anatisha, akaisogelea kaunta na kulipia akaenda kubeba. Bia zilizobaki na kusogea nazo kwenye meza ambayo kulikuwa na mabinti wamekaa
“nimewaletea zawadi hizi watoto wazuri kunyweni mpaka mtambae”
Yasri akaongea kwa sauti ya kilevi baada kuwapatia huku akiwambia zingine wakafate kule kaunta yeye akaondoka zake,
“Tafadhali kaka yangu usiniuwe nina mtoto mdogo ndio kwanza ana umri wa miezi sita Mimi ndio kila kitu kwake,”
Asia baada kufikishwa sehemu moja hivi sijui ndani ya Godauni au wapi akapiga magoti chini kumuomba Ninja short asiweze kumdhuru,
Hafidhi akaivua mask yake na kutabasamu
“Asia my sister hutakiwi kunipigia magoti embu simama mshike mwanao
Mpe nyonyo anyonye” Yani binti hakuweza kuamini aisee baada kuiona sura ya yule mtu akamkumbuka vyema mchana wa leo alimuona wapi.
“wee nani?”
Binti akauliza huku akimpokea mwanae na kumpa nyonyo lakini maziwa yalikuwa hayatoki yote sababu ya kukosa chakula kutwa kucha
Akampa nyonyo lingine hali ikawa ni ileile
Hafidhi alipomtazama vizuri yule binti
Chini ya tumbo kafunga jiwe
“hili jiwe la nini tena?” Akamuuliza
“nazuia njaa ewe kaka yangu sijala tokea jana usiku nahangaika kidogo nikipatacho nampatia mwanangu ambaye ndio ndugu pakee niliyebakia nae,”
Asia akaongea kwa shida yote sababu ya njaa mtoto nae analia,
“embu nisubiri hapa niende kufata chakula”
Hafidhi akapanda pikipiki na kuondoka ile anafika nnje ya lile Godauni akapotea
Hata dakika tano bado akarudi na kuipaki pikipiki
Akashuka akiwa na mfuko akaanza kutoa vyakula
Kulikuwa na chips mayai nyama ya kuku soseji
Na ubwabwa kwa maharage wenye mchuzi wa nyama ya Ng’ombe
Asia udenda ukamtoka akatoa na pakti la maziwa “haya maji haya hapa embu mlete mtoto nimnyweshe Maziwa”
Hafidhi akaongea huku akiifungua chupa zile zenye chuchu akamimina maziwa ndani yake
Yani mtoto kuwekewa tu ile chuchu mdomoni akaanza kunyonya kwa fujo kuonyesha jinsi gani alikuwa na njaa. Hata mama yake akakifakamia
Chakula yani alikula huku chips huku tonge la ubwabwa.
Hafidhi akabaki kusikitika tu, baada kula na kushia na maji Asia akamshukuru sana Hafidhi
“haya nyanyuka twende nikakutafutie sehemu nzuri ya kulala,” Asia hakujiuliza sana yani aliona kama vile Mungu kamshushia muokozi wa maisha yake
Ndani ya hoteli moja yenye hadhi ya juu iliyopo katikati ya jiji bibiye Asia alikuwa bafuni akioga huku akifikilia mambo mengi kichwani kwake
Wakati yeye akiwa bafuni Hafidhi alikuwa akimuogesha yule mtoto baada kumaliza akamfuta kwa tauro na kwenda kumlaza kitandani kilikuwa ni chumba kizuri spesho kwaajili ya watu matajili
Akampaka poda na kuibonyeza neti ikashuka yenyewe.
Asia nae akatoka bafuni
“sasa Sister wacha mi niende Allah akijaalia kesho asubuhi nitakuja kuwaona”
Hafidhi akajiandaa kutoka lakini kabla hajagusa kitasa cha mlango akasikia bibiye akimwita
“kaka”
Akageuka kumtazama,
“ehee kipi unataka kuniambia sister?”
“wewe ni nani? Na kwanini unanifanyia yote haya?
Unataka nini kutoka kwangu?”
Asia akajikuta akiuliza maswali matatu kwa mpigo
Hafidhi akapiga hatua kumfata mpaka Asia akaanza kuogopa na kurudi nyuma kwa uwoga.
Lakini alikuwa tayari ameshamfikia akamshika begani na kumwambia
“usiogope, Mimi ni mtu mzuri kwako naitwa Hafidhi j Ikram,” Yani kutajiwa jina tu bibiye akashtuka
Na kuuliza kwa kitete
“wew—-weeee ndioo—yule was mtaa watatu?”
“ndio Mimi mamaa nipo hapa kusikiliza matatizo yako usiogope” baada kuongea hivyo Hafidhi akatoka
Huku nyuma Asia akainuka na kuanza kushangilia huku akisema
“weweee hatimae Mungu kasikia kilio changu leo hii kaniletea huyu Mwamba asiepigika wala kushikika
Sasa niandike arama ya ushindi
Bingo”,,,,,, akapanda kitandani akiwa na furaha ya ajabu hakutaka kujiuliza kuhusu Hafidhi gerezani katokaje
Yasri akiwa ndani ya chumba chake alichopanga maeneo ya Manzese baada kuondoka
kule Guest alikuwa yupo kitandani yapata majira ya saa nane usiku bado yupo macho licha ya kunywa pombe akiona ndio suruhisho pekee la kuondoa msongo wa mawazo. Lakini ikashindikana
Ndio kwanza mawazo yakazidi kumsonga.
Akiwa ametulia kitandani kimya ni kitanda na godoro alivyonunua mchana wa siku hiyo, akahisi kama kitasa cha mlango wake kikitikiswa
Akajiuliza “nani tena huyu au ndio vibaka wa maeneo haya sasa subiri hapa wameingia choo cha kike”
Akanyanyuka taratiibu na kupiga hatua za kunyata pasipo kuwasha taa na kujificha nyuma ya mlango,
Mara mlango ukafunguliwa aliyefungua mlango akaingia nae akinyata kukisogelea kitanda
Yasri akajiandaa na kuachia teke
Lakini kabla halijampata yule mtu akajikuta mguu wake ukidakwa akatupwa kitandani,
Mwanaume akachompu na kuja kwa speed lakini kila akipiga mwenzake anazitoa tu,
Yasri ujanja ukamuishia baada kupigwa ngumi ya mdomo akahisi harufu ya damu ikimaanisha
Zinamtoka puani
Yule kiumbe akawasha taa na kumfanya Yasri atoe macho pima asiweze kuamini kile akionacho mbele ya upeo wa macho yake”,,,,,
Sehemu Ya 6
Lakini kabla halijampata yule mtu akajikuta mguu wake ukidakwa akatupwa kitandani,
Mwanaume akachompu na kuja kwa speed lakini kila akipiga mwenzake anazitoa tu,
Yasri ujanja ukamuishia baada kupigwa ngumi ya mdomo akahisi harufu ya damu ikimaanisha
Zinamtoka puani
Yule kiumbe akawasha taa na kumfanya Yasri atoe macho pima asiweze kuamini kile akionacho mbele ya upeo wa macho yake”,,,,,
Yasri hakuweza kuamini na kujikuta akiita
“Master,,,,Mwalimu” ni kweli alikuwa ni mwalimu wake muokozi wake ambaye ni Hafidhi j Ikram nae akamtazama mwanafunzi wake usoni kisha akaenda kukaa kitandani pasipo kuongea
Lolote kisha wakaanza kucheka
“ha!ha!ha!ha!ha! Tehe!tehe!tehe! Yani walicheka wee Mara wakanyamaza na kutizamana tena kisha wakaendelea kucheka
“hahahahahaha” Unaweza kusema wamekuwa vichaa kumbe ni moja kati ya style yao,
“Brother umejuwaje kama nipo maeneo haya?”
Yasri akaacha kucheka na kumuuliza swali
“kabla sijakujibu naomba ukapige mswaki kisha naomba ukaoge kwani harufu ya pombe sipendi kuisikia kabisa, Yasri kumbe unakunywa pombe nini shida nini tatizo kijana?”
Yasri akujibu kitu hakupenda kumuona Mwalimu wake akiwa kachukia ukifikilia ni kama ndugu pekee aliyebakia katika maisha yake
Baada kuona dunia imemtenga akainuka na kuchukuwa maji ambayo aliyakuta pale nnje kwani yeye hakuwa na ndoo hata moja
Akaenda kuoga pamoja na kupiga mswaki akarudi chumbani kwake hakuweza kumkuta mwalimu wake
Akatoka nnje kumtafuta hayupo akazunguka huku na kule hayupo, akarudi zake ndani
Wakati anataka kupanda kitandani akaiona barua
Akaichukuwa na kuitupia macho ilikuwa imeandikwa hivi.
(YASRI MDOGO WANGU KWANZA SAMAHANI SANA TENA SANA NAFAHAMU UMECHANGANYIKIWA BAADA KUKUTA PESA ZAKO ZIMECHUKULIWA.
BINAFSI MIMI NDIO NILIEZICHUKUWA
KWANI KILA HATUA UNAYOPIGA MIMI NIPO NYUMA YAKO, YOTE KATIKA KUHAKIKISHA NAKUSAIDIA PALE UTAKAPOKUMBANA NA UGUMU WA KAZI YAKO, NIMESHINDWA KUKAA CHUMBANI KWAKO KUTOKANA NA HARUFU YA POMBE KUENDELEA KUWEPO. TAFADHALI ACHA POMBE
UKIHITAJI PESA NIAMBIE NUMBER YANGU NI 0675082390 NIPIGIE TU
PIA NAKUOMBA KESHO ASUBUHI UJE PALE NAMANGA KUNA MTU NATAKA NIKUKUTANISHE NAE WAKO HAFIDHI J IKRAM BYE)
Barua ikaisha hivyo na kumfanya Yasri acheke si kidogo,
“hahahahaha kumbe kila nikinyanyua unyayo wangu Mwalimu nawe unakanyaga hapo hakika wewe ni nyoko sijawai kuona mtu professional kama wewe
Dahaa masikini ya Mungu kumbe nilitaka kumuuwa Mtoto wa watu bure tu. Itabidi kesho nikamuone ikibidi nije nimlete hapa tupeane raha,”
Yasri akajibwaga kitandani usingizi ukampitia
“Mama Zahra nani kachukuwa maji yangu?”
Ni asubuhi na mapema watu walikuwa ndio wanadamka, kuna mrembo akiwa kajifunga kanga moja akapaza sauti kuulizia maji yake
“mi sijui”
“sasa nani kachukuwa nyumba nzima nyoko zenu mafala tu sasa leo aliyechukuwa maji yangu
Atanitambua mimi ndio
Mwanahamisi mwenye homoni za Hamisi
mtoto wa Kidigo”,, binti akaanza kubwata kwa sauti kubwa, nyumba nzima pamoja na majirani waliweza kumsikia. Lakini hakuna hata mtu mmoja alienda kumwambia Aache matusi
Kila mmoja alimfahamu ni binti wa mama mwenye nyumba hiyo anapenda shari kuliko kula
Ukimtibua atakujazia nzi
Hata kama huna kinyesi kingine amejiunga kwenye camp la vijana wakihuni. Ni kikundi hatari sana.
Zile kelele zikamfanya Yasri atoke nnje na kumsogelea Mwanahamisi
“samahani Dada yangu mbona unapiga kelele hovyo
Kama tatizo ni maji Mimi ndio niliechukuwa wacha nikakutekee kwani bomba liko wapi katika maeneo haya?”
Yasri akaongea kwa sauti ya upole na kuchukuwa ile ndoo aliyotumia maji yake
Wakati anaongea ghafla Mwanahamisi akawa mpole huku akiwa kama mtu aliyepigwa na bumbuwazi asiweze kuamini macho yake,
Ikabidi Yasri amshike begani kwa kumtikisa
“bibiye eti bombani wapi?”
Binti akashtuka kwa sauti ya kubabaika akatamka
“huk—-uuu ahaa ku—-lee, au basi acha tu nitanda kuteka mwenyewe”,, Mpaka hapo mtoto wakike alikuwa kafa kaoza
Utamwambia nini juu ya aliyoko mbele yake
Yasri akampatia ile ndoo “Mtoto mrembo kama wewe ukicheka una mwanya una dimpo
Yani wee acha tu unaitwa nani?”
Yasri akaanza Kuchombeza na kumfanya
Mwanahamisi ajizibe sura yake akakimbilia ndani huku akitabasamu, naweza kusema kama angekuwa
Shahrkhani song lishaanza
“ajabu hii yani leo Mwanahamisi kawa mpole kwa yule mkaka,”
“ndio maana yake kila ndege na mti wake uskute mtoto wakike ndio katua pale,
“Umeona ehee maana angekuwa mtu mwingine pale angeyakoga matusi mpaka ajute kumfahamu”
Walikuwa ni baadhi ya wapangaji wa nyumba hiyo wakiulizana na kuzungumzia
kuhusu Mwanahamisi kuwa vile. Yasri baada kuona mtoto kitu nyuma wazile yani tembea yake utasema mzigo unataka kudondoka akatabasamu na kurudi chumbani kwake
Akaikumbuka ile barua akafunua shuka ya kitanda na kuitoa akaanza kuisoma upya
Akasogea mpaka ilipo suruwali yake na kutoa simu za smartphone kama tatu. Ni zile alizowachukulia washkaji usiku wa jana,
Akaichagua moja na kujisemea
“sasa itabidi nianze kuitumia hii lakini si itakuwa na pattern au password. Nitaenda kuiflash,”
Yasri akajiongelesha mwenyewe na kujiandaa kutoka.
Katika hospitali ya Aghakani kulikuwa na hali ya mshangao kuanzia kwa ndugu jamaa na marafiki hadi Madaktari kila mmoja akapigwa na bumbuwazi juu ya bibiye Mariam yani asubuhi ile
Aliamka kutoka kwenye usingizi mzito akiwa katika hali mbaya eti leo hii yupo katika eneo la bustani akifanya mazoezi.
Ajabu hii yani alikuwa akikimbia kupiga pushap
Kuruka kichura chura
Hata bibiye Mona Lisa alipofika akashangaa akanyoosha mikono juu kumshukuru Mungu kwa muujiza aliotenda. Tukumbuke
Hafidhi ndio kamfanyia yote hayo
“yani siamini kabisa kama ndio wewe au mzimu”
“huamini nini sasa tambua Mimi ni mtu wa mazoezi kila dakika nipatapo ajali kama hizi
Haraka napona wee mwenyewe si unaona,”
Mariam huku akitabasamu alimjibu Mona Lisa,
Baada kufanya mazoezi akarudi akaingia ndani ya gari na kuondoka huku nyuma akiacha hali ya sintofahamu
“imewezekana vipi mgonjwa kafikishwa hapa juzi tu akiwa hoi taabani kavunjika mguu na mkono
huku sehemu ya kichwa kukiwa na jeraha kubwa tu
Mpaka kufikia kulazwa chumba cha ICU
Leo hii anaamka akiwa mzima kweli huu ni muujiza,”
Daktari mkuu wa hospital hiyo aliongea mbele ya Watu wengine,
“vipi Dada kazi zinakwendaje?”
Wakiwa ndani ya gari Mariam akamuuliza Mona Lisa
“yani hapa nashukuru Mungu Dada yangu umeweza kupona. Yani nilijuwa nawewe unanikimbia kama kina Vivian kuhusu kazi naweza kusema
Zimezidi kuwa nzito mpaka najiuliza kwanini nimerudi tena kazini wakati nilishatangaza kustaafu,” “usiongee hivyo Dada sasa kama wewe ukiachana na hii kazi Mimi nitawezaje kuifanya peke yangu
Embu nipatie maelezo kuhusu huo ugumu wa kazi”
“Maelezo yote yapo kwenye hizi Document unaweza kuzipitia tu”
Mona akatoa baadhi ya karatasi na kumkabidhi Mariam ukimya kidogo ukatawala
“mmh!” Mariam akaguna baada kuipitia
Document moja
“vipi mbona unaguna tena?”
“nashangaa kuhusu haya matukio yani mtu kapigwa risasi akiwa anarejea nyumbani kwake.
Kubwa kabisa kuhusu tukio la Pampuch
ni kiumbe gani alitokea kabla nyie hamjafika?”
Mariam akaongea na kuuliza swali.
“Binafsi siwezi kufahamu ni kiumbe gani lakini inasemekana alikuwa kavaa Kininja mwili wake wote ulikuwa ukitembelewa na short ya Umeme
Sasa hapa napata wasiwasi na uwepo wa Hafidhi kule Gerezani usikute anatoka kwa siri anakuja kufanya mambo yake kisha anarudi,”
Mona Lisa akaongea kile ambacho nafsi yake ilichofikilia,
Akasimamisha gari na kupiga honi geti kubwa likafunguliwa na kuingiza gari ndani
“mamaa huyoo”
Alikuwa ni Yusra baada kumuona mama yake akamkimbilia na kumkumbatia kwa furaha
Ikram alionekana kasimama pembeni akiwaangalia tu,
“Ikram mwanangu vipi mbona umesimama tu hapo embu njoo mtoto mzuri ehee”
Ikabidi Mariam amwite na kujaribu kumchangamsha maana alifahamu Ikram muda mwingi anakuwa ni mtu wa majonzi juu ya kifo cha Mama yake.
Basi wakaongozana kwenda ndani na kumkuta
Mama wawili yani bibiye Beatrice akiwa amekaa sebleni akinywa chai
“Whaoo mke mwenza huyoo vipi mbona umepona ghafla hivi?”
Beatrice akauliza huku akimkagua mke mwenzie. Tukumbuke Beatrice hajaolewa bado sema alizaa na Hafidhi watoto mapacha wakike na wakiume
hapa namzungumzia Sheila na Seiph
ndio watoto mapacha ni wakubwa kiumri
Yani Ikram na Yusra wamezidiwa mwaka mmoja
“hata mimi mwenyewe nashangaa hakika ni miujiza eti.
Basi furaha ilikuwa kubwa wakajumuika kunywa chai.
Yasri baada kufika maeneo ya Namanga
Akashuka akaitoa simu yake na kupiga ile number akaambiwa asubiri hapohapo
Dakika si nyingi Hafidhi akafika akiwa na pikipiki ambayo aliikwapua kule Pampuch
Na kumwambia Yasri apande wakaenda hadi
Posta na kupaki mbele ya Hoteli moja ya kifahali
Kisha wakashuka na kuingia ndani ya mjengo huo
“bila shaka ni zile pesa zangu brother anatanua tu”
Yalikuwa ni mawazo ya Yasri akuwaza hivyo
Wakaelekea hadi mapokezi
Baada maelezo mafupi kutoka kwa Dada wa mapokezi wakaingia kwenye Rift kupandisha juu,
Wakiwa kwenye lift kuna Wazee wa suti kama sita hivi na wao wakaingia ilikuwa ni mijibaba
Mziki mnene wote wametinga miwani myeusi
Kila mmoja akamsoma mwenzake
Hafidhi na Yasri walikuwa wapo nyuma ya wale jamaa kwanza wakatizamana na kupeana Ishara
Tuwashe moto mwamba
wakati huo wale watu walikuwa wanaingiza mikono kwenye makoti yao,
Patamu hapo
Hafidhi alikuwa yupo makini sana katika kuwasoma wale watu, huku Yasri nae akijiandaa kukabiliana na chochote,
Lift ikasimama huku wale majamaa yakitoka na kugeuza sura zao kuwatazama kina Hafidhi mpaka milango ya Lift ilipofunga,
“opsii dohoo afadhali wameondoka”
Yasri akashusha pumzi nzito na kutamka hivyo
Hafidhi akatabasamu tu
“kijana embu acha uwoga” akamwambia na kumpigapiga begani
Wakashuka kwenye Lift na kupiga hatua kadhaa kukisogelea chumba number tisini na mbili
Hafidhi akatoa kadi na kuingiza sehemu ya ule mlango na kusubilia
Sekunde si nyingi Asia akaja kufungua mlango
Wakaingia ndani “whao mtoto mzuri umeshaamka tayari”,,,, ilikuwa ni kauli ya Hafidhi akimwambia yule mtoto mchanga akainama pale kitandani na kumbeba akaanza kumrusharusha huku akimgeuza ni kawaida kwa watoto wadogo kufanyiwa hivyo pindi waamkapo asubuhi.
Yasri alikuwa ametulia kimya kwenye sofa
Huku kichwani kwake akiwaza vitu fulani,
“kwanini Master kanileta ndani ya chumba hiki?
Huyu binti ni nani yake?”
Ni maswali yaliyopita ndani ya kichwa chake pasipo kupata majibu,
“sasa bibiye jiandae basi twende tukapate kifunguwa kinywa kisha mambo mengine yafatie”
Hafidhi akamwambia bibiye Asia
Basi akaingia bafuni akatoka akiwa tayari kabadirisha mavazi kiukweli alipendeza
“whaoo umependeza si mchezo”
Hafidhi akaanza kumsifia Asia akacheka tu wakati wanatoka ghafla milio ya Risasi ikasikika na kuwafanya warudi ndani ya chumba
Asia akaanza kutetemeka kwa uwoga baada kusikia milio ya Risasi
“Tulia bibiye usiogope tulia ehee. Yasri naomba umuangalie binti Mimi natoka kidogo, nitarudi muda si mrefu,”
Hafidhi akajitahidi kumtuliza Asia na kumkalisha kitandani na kumuomba Yasri amchunge bibiye kisha yeye akatoka “sasa Brother unaenda wapi?”
Yasri akauliza sema hakuweza kujibiwa kitu
Mwanaume akatoka nnje ya chumba ile anatoka tu akachenji mavazi ikawa kila hatua anayopiga anasindikizwa na upepo mzito
Akawa kama Kivuli hivi kikitembea kwa kasi. Sijui ilikuwa ni Gorofa ya ngapi kulikuwa na purukushani za hapa na pale baina ya wale wazee wa suti na
Vijana wengine kama wawili
Kila mmoja akiwa na Bastola wakitupiana Risasi unaweza kusema wapo kwenye kuekti movie ya Action shooter.
Kijana mmoja akapigwa risasi ya kichwa huku mwenzake akishuhudia macho yakamtoka na kupaza sauti kuita “Davidiiiii”
Akajisahau kama yupo kwenye mapambano akatoka mbio kumkimbilia mwenzake
Ikawa ndio nafasi nzuri
Kwa wazee wa Suti kumaliza mchezo kijana akapigwa Risasi ya mguu huku nyingine ikitua begani Kijana akadondoka chini. Akabaki kutambaa kuusogelea mwili wa mwenzake
Damu nyingi zikimvuja
“David!!! Kaka usife please inuka”
Kijana akazidi kutambaa huku akiongea hivyo,
“oyaa Saguaro nenda kamalize kazi” mmoja kati ya Wazee wa Suti alimwambia mwenzake kitendo
bila kuchelewa Saguaro akatoka sehemu ambayo alikuwa kajificha na kumfata yule kijana
Ghafla kikatokea kitu ambacho hakuna aliyetarajia
Baada Saguaro kurushwa hewani na kurudishwa alipotoka akiwa hana kichwa
Wenzake wakashtuka na kufyatua Risasi kwa fujo kuelekezea ile sehemu
Zikapita kama dakika tano kukawa kimyaa wakatizamana “Pasco embu nenda kaangalie”
Akaamrishwa mwingine basi kwa mwendo wa kunyata Pascal akaelekea huko
Ghafla akasikika akilia kwa uchungu
“Mamuwee, nakufaa kikarudishwa kichwa chake
kikadunda chini utasema mpira mpaka hapo
Wazee wa Suti kila mmoja akashikwa na kitete wakaenda wote huku wakiendelea kuvurumisha Risasi lakini upepo ukazidi kuvuma kwa kuwafata wao kitendo kilichowafanya Bastola zao ziponyokea na kutupwa mbali wakabaki mikono mitupu.
Kuja kutahamaki Mbele yao kuna kiumbe kimesimama
“Nani wewe?”
Wote kwa pamoja wakajikuta wakiuliza,
Ninja Short hakuwa na jibu akawaita kwa ishara ya kidole cha Shahada, ukaanza kutembezwa mkono wa maana kiukweli Wazee wa Suti walikuwa wako
vizuri katika Mashowart Artist
wakitumia style ya Taikondo
Ninja Short akawa akipanchi huku na kule Vijana nao wakachumpa kwa kudunda kwenye ukuta binafsi utaipenda hii
Ninja short akapotea na kuwaacha Wazee wa Suti wamechoka hoi huku wasiweze kufahamu mbaya wao kaelekea wapi. Kumbe kupotea kwake
Alishawaona kina
Mariam wakipandisha ngazi kuja juu
Milio ya Risasi ikasikika huku vijana wale wakidondoka chini
Alikuwa ni bibiye Mona Lisa akiachia
Risasi wakafika mpaka pale na kukuta miili imelaliana tu.
“Yasri” Alikuwa ni Hafidhi akimwita Yasri aweze kumfungulia mlango
Yasri akaja kufungua mlango nae akaingia ndani faster akaelekea bafuni akavua T-shirt yake
Dahaa alikuwa kachanwa na kisu
akakenua meno macho yakaanza kuwaka moto ile sehemu yenye jeraha ikajiunga na kuwa safi
Akajirudi katika hali yake.
Akatoka bafuni na kuwaambia
“Yasri mbebe mtoto twenzetuni” kitendo bila kuchelewa wakatoka.
Wakafika kwenye Lift wakasimama kila mmoja akiangalia huku na kule
“Jamani tushuke kwa ngazi haina haja ya kupanda
Lift,”
Hafidhi akaongea hivyo huku akiondoka
Yasri akiwa kambeba mtoto
Akamtazama Asia na kumwambia kwa ishara ya kichwa twenzetu, wakamkimbilia Hafidhi
yani ile wanaondoka tu Lift ikasimama milango ikafunguka akatokea bibiye
Mariam na mwenzake Mona Lisa mikononi wakiwa na Bastola hakika walionekana kuwa makini sana
Wakapiga hatua za minyato kukisogelea chumba ambacho muda si mrefu
Hafidhi na wenzake walitoka.
Mona Lisa akakitoa kikadi fulani hivi akaingiza kwenye mlango na kuvamia ndani.
Wakakuta chumba kitupu wakatafuta mpaka bafuni hakuna mtu,
“ohoo shit! Atakuwa ameshaondoka
Kudadeki zake,”
Mariam akaongea kwa hasira na kukaa kitandani,
“nawaomba mjiamini msionyeshe
Uwoga wa aina yoyote ile,” Hafidhi alimwambia Asia huku wakishuka ngazi kwa kasi
Asia alionekana kuchoki sijui sababu ya njaa au uwoga maana mpaka inatimia saa tano Asubuhi hakuweza kupata kifungua kinywa
Hafidhi aliweza kutambua hilo. Kwakuwa yeye ni Kommando akambeba bibiye na kuzidi kushuka
Ngazi.
“embu subiri kwanza”
Kufika sehemu Hafidhi akamshusha bibiye na kumtaka Yasri asimame kuangalia chini
Mungu wangu polisi walikuwa wametanda kila kona
“Bibiye tafadhali nakuomba fumba macho”
Hafidhi akaongea hivyo
Asia hakuweza kuuliza wala kukataa akafumba
Yasri akamtazama Master wake na kushikana mikono kufumba na kufumbua
Wakapotea,
“Siwezi kuamini kabisa kama Hafidhi alikuwemo ndani ya hoteli hii,”
“hata Mimi siamini embu tufanye kitu kimoja tuwahi kule Gerezani huwenda akawa ni yeye iwapo hatukumkuta kama tukimkuta
Basi atakuwa ni mtu mwingine tofauti maana
Wabongo tunapenda kuiga mambo,
yasiokuwa na faida kwetu”,,,,
Mona Lisa akaongea hivyo basi wakatoka mbiombio na kuingia kwenye Lift
Wawahi Segerea “Vipi mbona Undercover agen
Wanatoka mbio vile kunani tena?”
Muhudumu wa hoteli hiyo akauliza swali baada kuwaona kina Mariam wakipita mbio, hakuna aliyemjibu.
“Itabidi uchochee moto kwa kasi tumuwahi kabla yeye hajafika. Na tukifika pale tusitake kusubilia maelezo tuingie ndani tu,”
Mariam aliongea huku akihema
Kumbe wakati wao wanatoka na kuelekea Segerea
Hafidhi hakuwa mbali na maeneo hayo alikuwa kwenye Mgahawa akipata kifungua kinywa
“yani hata sielewielewi kwani tumetokaje mule hotelini?”
Asia akauliza swali, “si tulikuwa tunashuka ngazi kufika pale kati nikakwambia fumba macho
Pale mbele kuna Nyau maana nilifahamu wewe unaogopa nyau bila shaka unaweza kupiga kelele
Tukaruka kupitia dirishani”,,,,
Hafidhi akamuelewesha japo ni uwongo mtupu
“Mungu wangu yani mliruka ukiwa umenibeba Mimi?”
“ndio maana yake”
“pole sana kaka hujaumia kweli mguu”
“walaa sijaumia sasa tuachane na hayo Asia huyu umuonae mbele yako ni kijana wangu
Anaitwa Yasri, ndio mtu pekee utakayeweza kuwa karibu nae kwani historia ya maisha yake
Haitofautiani sana na yako.
Yasri”
“naam brother”
“huyu binti anaitwa Asia japokuwa sitaji majina ya Baba zenu ila mtatambulishana wenyewe
Huyu binti ana matatizo makubwa sana
Asia embu tusimulie,”
Basi Asia akaanza kusimulia kuanzia kuzaliwa kwake.
Maisha yalikuwa ni yenye furaha amani na upendo baba yake akiwa ni
Muhasibu katika wizara moja serikalini huku mama yake akiwa anamiliki
Vituo vya mafuta kama sita vitatu vipo jijini
Dar es salaam viwili katika jiji la Mwanza kimoja mkoani Arusha
Pia alimiliki Daladala na Mabasi makubwa yasiokuwa na idadi huku
Akiwa muweka hadhina kwenye bank
Ya NCF tawe lake lililopo pale Posta
Maisha yatake nini kwake, kila kukicha ndugu jamaa na marafiki walijazana nyumbani kwao kuhitaji misaada
Wazazi wangu hawakuwa na choyo waliweza kumsaidia kila mtu wenye kutaka ajila mama aliwapatia wenye kutaka chakula wakalishwa.
Wenye kutaka pesa japo kwa mkopo
Walipatiwa na kuambiwa wasirejeshe kwani wamepatiwa tu wala si mkopo
Kumbe siku zote shukrani ya Punda ni mateke
Kuna baadhi ya ndugu wakawaandalia kifo wazazi wangu pasipo wao wenyewe kutambua,
Wakati huo nilikuwa tayari nishavunja ungo
“Mungu wangu ulivunja ungo kisa nini hasa?”
Au ulitaka ununuliwe mpya nini”,,,
Yasri akadakia na kuuliza Mara khoo, akapigwa konzi na Hafidhi na kuambiwa
“embu tulia wewe mbona ulivunja pakacha hatuulizi”
Basi wakacheka, mpaka kitoto nacho kikakenua meno kuonyesha nae anacheka
“kitoto kizuri sana hivi umempa jina gani?”
“Anaitwa Mwinyi”
“ohoo Mwinyi yule Rais wa awamu ya pili ni mzee ambaye hataki matatizo na watu sijawai kumsikia akiongea pumba kama ilivyo hii mizee
Mibichwa yao kama
Tikiti maji haiwezekani uwaite Watanzania Marofa wakati kubwa la Marofa ni wewe hapo”
Yani ilikuwa full vicheko Asia akaendelea
Kusimua mpaka kufikia hapo kila mmoja akaingiwa na huzuni Yasri akashindwa kuzuia mchozi usimtoke
Asia alisimulia jinsi gani wazazi wake walivyouwawa kikatili baada gari kukatwa break
Huku yeye akibakwa na binamu yake
Kisha akatekwa na kupelekwa polini huko akafanyiwa kila aina ya unyama
“please siwezi kuendelea kila nikikumbuka moyo wangu unaumia”
“basi usiendelee inatosha
Sasa Yasri kijana wangu kama ulivyoweza kumsikia mwenyewe
Naomba kamata hiki kiasi cha pesa
Nenda kamtafutie chumba pamoja na kumnunulia vitu vya ndani hakikisha kila kitu kinajitosheleza mtafutie chumba kizuri
Sawa kijana”
“sawa mkuu” Yasri akaitikia na kuupokea mfuko wenye rangi ya kaki ndani yake kuna kiasi cha pesa
Wakaagana Hafidhi akapanda pikipiki na kuondoka Huku Yasri akikodi bajaji.
Ndani ya bajaji kulikuwa kimyaa kila mmoja akifikilia lake,
“kwahiyo kaka umesema Kinondoni Mkwajuni ehee?”
Dereva bajaji akauvunja ukimya kwa kuuliza
“Yeah ukifika pale Mkwajuni kunja kulia kama unaenda kule kwa Mzee Ndigo si unampata yule
Mzee muuza kahawa?”
Yasri akatoa maelekezo huku jamaa akitikisa kichwa kuashilia ndio anampata.
Wakaweza kufika Mkwajuni bajaji ikapaki nnje ya ile Guest bubu
Yasri akashuka na kuwaomba wamngojee akaingia ndani hakuchelewa akatoka akiwa kaongozana na kijana mmoja hivi wote wakapanda bajaji
Huku yule kijana akitoa maelekezo wapi wanaelekea kwa wakati huo.
“lakini brother maelewano yetu ilikuwa ni kufikishana pale sasa mbona mtu kaongezeka na
Safari nyingine imeanza ndugu,”
Dereva bajaji akaanza kulalamika
“usijali ndugu utasema tu nikuongeze kiasi gani
Si unamuona huyu shemeji yako kafukuzwa nyumbani kwao ndio nimekuja kumtafutia
Chumba,”
Yasri akaongea hivyo, lakini
Ghafla bibiye Asia akapiga kelele
“jamani mwiziiii”
Mwiziii kwakuwa bajaji ilikuwa katika mwendo mdogo kwenye ile Barabara ya vumbi yenye mashimo mashimo kuna kibaka akaja kuukwapua ule mfuko rangi ya kaki
Wenye Mihela, Yasri akaruka kutoka kwenye bajaji kama Nyau tukumbuke kacheza sana
Mchakamchaka na wanyama wakali kama vile Chui, Simba na wengineo.
Ndani ya mitaa ya Kinondoni kulikuwa na mkimbizano baina ya Kibaka na Yasri kila mmoja alionekana ana pumzi za kutosha huku akiifahamu vyema mitaa hiyo. Wakati dereva bajaji
Na yule kijana wakija kwa nyuma
Asia kabaki kwenye bajaji na mwanae
Baada kukimbia kwa muda kibaka akaingiza mkono kiunoni na kuchomoa
Kisu akasimama kwa kujiamini maana alitambua fika anakimbizwa na mtu mmoja. Na kweli kwani dereva bajaji akaishia njiani alikuwa kachoka hoi akamtaka yule kijana warudi walipotoka
Yasri akiwa na speed ileile akatokezea mbele ya yule Mwizi nae akasimama akakunja mikono ya T-shirt japokuwa ilikuwa sio mirefu
Akapiga hatua kumzogelea jamaa baada kuona Yasri anakuja, nae akamfata akafanya kunyoosha ule mkono ulioshika kisu nia yake amchome nacho.
Yasri akakwepa kwa kuzunguka na kumtandika kipepsi cha shavuni
Jamaa akapepesuka akiwa bado kashikilia kisu na ule mfuko Yasri akadunda na kuja kumtandika teke la kifua mpaka jamaa akacheuwa damu huku vitu vikimtoka mikononi mwake
Akadondoka chini chali akabaki kugugumia kwa maumivu, Yasri akaufata ule mfuko na kuokota akaufungua na kuingiza mkono
Kwenye mfuko akachomoa noti mbili za shilling elfu kumi akamuinamia yule mwizi na kumwambia
“Brother jali maisha yako, usifanye kitu usichokuwa na uwezo nacho nimeamua nikukimbize kimya kimya ili usije ukauwawa na Wananchi wenye hasira kali. Sasa basi shika hizi pesa acha wizi tafuta kazi ya kufanya,”
Baada mwanaume kuongea hivyo akamtupia usoni kile kiasi cha pesa kisha yeye akaondoka zake
Na kumuacha jamaa asiweze kuamini.
“Duhuu embu tuwahi kaka mwenzako nimeacha hadi funguo kwenye bajaji,”
Dereva bajaji aliongea huku akitetemeka
Ukicheki njia ya kurudia kaisahau anamtegemea yule kijana amuongoze
“ondoa wasiwasi ndugu Bajaji tutaikuta pale pale ulipoiacha Shemeji yako hawezi kuendeesha,”
Ilikuwa ni kauli ya Yasri akimwambia dereva bajaji baada kumkuta akimshawishi kijana wafanye haraka kurudi kule walipotoka.
Hapo kidogo presha ikatulia baada kumuona mwenyeji wake.
“kwanza huyu jamaa nani yako mbona anaonekana kama gaidi hivi?”
“huyu ni Dalali wa nyumba vyumba sijui na viwanja kwani kafanyaje mpaka umemuona kama gaidi?”
“akhaa! Huyu mtu hafai kabisa
Namwambia mwanangu nimesahau funguo kwenye bajaji tuwahi turudi
Ajabu mwenzangu ndio kwanza kaja kwa muuza mahindi na kutaka achomewe
Jipya wakati kuna mahindi kibao yashachomwa
Kama si Ugaidi kitu gani”,,,,
Dalali wa vyumba akabaki kucheka tu,
“sasa unacheka nini nitakutwanga Ohoo”
Dereva bajaji akatishia kumpiga ngumi
yule Dalali mpaka wanafika ilipokuwa bajaji
Wakamkuta Asia akimbadilishia
Pampasi mwanae baada kujisaidia nae alipowaona wanarudi akatabasamu
“mmefanikiwa kumpata kweli nyie vidume,”
“vidume wapi baada kuondoka nahuo mchuma huyu boya si kakuachia funguo kabisa”
Dalali akaongea kiutani
Basi wakapanda safari ikaendelea mpaka kufika mitaa fulani hivi wakashuka na kuingia kwenye nyumba moja wakatoka baada
Asia kutolizishwa na nyumba hiyo
Ikawa wanazunguka wee mpaka ikatimia saa kumi Arasili ndipo wakafanikiwa kupata chumba bahati nzuri
Mtaa wa pili kulikuwa na fundi Seremala wakanunua kitanda cha kisasa na godoro lake
Yasri akalipana na kila mtu kuanzia Dereva bajaji
Dalali mpaka mwenye nyumba
Akaondoka na bajaji kuelekea town kununua baadhi ya vitu wakati huo kigiza ndio kinaingia.
“Opsii kaka Hafidhi j Ikram kwanini unanitendea yote haya unatumia pesa zako nyingi kunistiri
Mimi hakika sina cha kukulipa zaidi ya kusema shukrani sana,”
Asia akiwa amekaa kitandani akaanza kuwaza huku mtoto wake akiwa kalala na kumfunikia kile kichandarua kidogo.
“Mmh!”
“Mbona unaguna tena?”
Alikuwa Mona Lisa akimuuliza Mariam
“huyu Hafidhi ni Nyoko umeona jinsi alivyokuwa akitucheka kule gerezani
sisi tunamuuliza vingine yeye anajibu mengine
Sijui yukoje mi nitamtwanga Risasi kulekule gerezani,”
Mariam akaongea kwa hasira binafsi Hafidhi wakule gerezani alimvuruga si kidogo,
“Mariam please usifikie hatua hiyo
Tambua yule ni mume wako baba wa watoto wako
Labda nikwambie kitu
Hafidhi hawezi kutoka jela na kuja kufanya matukio ya ajabu kama haya
Cha umuhimu tufanye uchunguzi tuweze kumbaini ni nani anatuchezea shele.
Wakaagana na kutakiana usiku mwema
Huku Mariam akielekea Mbezi beach kwa wakwe zake maana ndipo anapoishi.
Ndani ya usiku huo kwenye chumba cha Yasri kulisikika vilio na sononeko miguno ya kimahaba
Kulikuwa na mechi ya kikubwa baina ya Yasri na bibiye Mwanahamisi yani kuonana Asubuhi tu usiku nipe kipapatio,
Basi kama kawaida mwendo wa Disco dance bibiye akazidi kupiga yowe la utamu kwani mdomo ulikuwa kwenye shingo yake ukiendelea kumnyonya na kumsisimua “wweee,,eeeeee,,,,,,
Nibebeeeee,,,,,,aaaaah,,,nipeee,
,,eee,,,,rahaaaaaa, yani bibiye hakujielewa kabisa aliongea hivyo kimahaba utamu aliouhisi hasa pale kichwa cha mtalimbo ulipokuwa unasugua kiarage chake mpwito.
Yasri kama alijua nyege za mtoto huyo kwamba ziko kwenye Chuchu zake,Akauhamishia ulimi kabisa kwenye Chuchu za bibiye, ulimi ulipozigusa Chuchu “aaaaaa
aaassssssssssssssss
ssss,” mtoto alitoa sauti hiyo ya kichokozi ambapo alikibinua kifua chake ili Chuchu zinyonywe vyema
Kiuno cha Mwanahamisi kilikuwa kinazunguka kukatikia kichwa cha Mtalimbo ambapo Bibiye alipotaka kuuwingiza wote, Yasri akaupeleka juu kidogo, “Ingizaaaaaaa,,,,,,aa
aaaah,,,,weeeeeee,,,,,,mtaaaaaamuuu,,,, Aliotea moja Bibiye alipokipeleka kiuno chake juu na kufanikiwa kuunasa Mtalimbo vyema Ukaingia wote kwa kuteleza kwenye kitumbua chake “aaaaaa
aaaaaaaaaaaaaaaaah,,,,,nisugueeeee,,,,,mmmh,,,”
Sio mbali na maeneo ambayo kijana Yasri alikuwa kapanga zilisikika kelele za Mwanamke akilia na kuomba msaada
“jamani msaada
Nisaidieni nakufa!!! Wanataka kuniuwa jamani”
Mwanamama yule alionekana akikimbia hovyo kila aliyemfata hakuonekana kujali
Hatimae wale watu waliokuwa wakimkimbiza wakaweza kumfikia na kumshushia kipigo
Wakambaka kwa zamu tena ilikuwa hadharani
Ndani ya usiku ule nani ataona
Ni kelele ambazo Yasri aliweza kuzisikia
Lakini akashindwa kutoka baada
Mwanahamisi kumwambia huyo ni chizi kila siku akilewa tu anaaza kukela watu,”
Biringe bayoyo ikaendelea wakati huku nnje
Mama yule akifanyiwa Unyama mpaka kupelekea kifo chake
Vijana wale wakiwa na mapanga wakaishia zao”,
Mwili ukiachwa palepale
utasema mzoga wa panya ukanyeshewa na vua
huku mbwa wenye njaa wakijipatia
Mnofu wa nyama juu ya maiti ile, inasikitisha sana hii
Asubuhi na mapema
Mwanahamisi akamuandalia kipenzi chake maji ya kuoga “jamani njooni muone huku uwiii Dada yangu jamani wamemuuwa,”
Ni kelele ambazo zilimfanya Yasri atoke mbio kwenda kutazama kunani tena
Akakuta umati wawatu umejazana huku kukiwa na mwili wa Mwanamke
Umelala ukiwa hautamaniki ilionyesha alikatwakatwa mapanga baada kubakwa
Yasri akausogelea ule mwili
Huku kukiwa na mtoto mdogo mwenye umri wa miaka kama tisa hivi akilia na kuita “Mamaa
Hamka mamaa!!!
Mamaa twende nyumbani”
Yasri akaingiwa na uchungu sio ule wakwenda Reba huu ni hasira akamshika yule mtoto
Huku Mwanahamisi akija kumshika kwa kumwambia
“mpenzi embu achana nae huyo mtoto wa
Malaya afadhali amekuf,,,,,,kabla hajaongea zaidi
Akashtukia akipigwa zinga la kofi
Alikuwa ni Yasri kama haitoshi akamuongeza
Lingine na kumshika shingoni
Mwanaume akakaza Face wakati bibiye akitetemeka
“huyu ndio chizi uliosema?
Huyu ndio Malaya aliyekufa? Nakuuliza wewe nijibu faster,”
Akamsukumiza chini wakati huo polisi wanaingia
Yasri akaondoka zake
Binafsi Yasri hakuna watu asiowapenda kama polisi yani anawachukia vibaya mno.
Akawakata jicho huku akiondoka
Akaingia chumbani kwake, sekunde si nyingi akaondoka.
“Sister yule bwege ni nani yako?”
Mmoja kati ya Vijana wa kihuni alikuja kumuuliza
bibiye Mwanahamisi
“haikuhusu unataka kumfahamu ili iweje?”
Ndio jibu alilopewa
“sio hivyo Dada yetu yule bwege kakudhalilisha mbele ya Kadamnasi ya watu,”
“Achaneni nae please msiingilie mambo yangu binafsi,”
“tutamuachaje bwana wakati kakupiga”
“Nishasema achaneni nae full stop,”
Mwanahamisi akang’aka na kuondoka zake
Akiwaacha wale vijana wameshikwa na mshangao maana wanavyomfahamu
hata kama angekuwa bwana yake
Angeshamfanyizia.
Yasri baada kutoka kwake safari yake ikampeleka moja kwa moja mpaka kwa
Asia ukipenda muite Mama Mwinyi
Akabisha hodi na kufunguliwa mlango ile kuingia tu
Akashtuka na kujikuta akiganda pale
Mlangoni utasema sanamu
Kilichomshtua na kumshangaza Yasri ni kitendo cha kumuona Hafidhi akiwa ndani mule
Akicheza na mtoto pale kitandani. Akajiuliza
huyu Mwamba kafikaje huku?
Nani kamuelekeza wakati tuliachana nae kule Ubungo?”
“Kaka mbona huingii ndani umesimama tu hapo”
Sauti ya Asia ikamshtua baada kuulizwa basi akaenda kukaa kitandani
maana kulikuwa hakuna sofa wala
Viti au kisturi, muda wote Hafidhi alikuwa bize akicheza na Mwinyi
“sema baba, mmaa mzomee huyoo,”
Yasri akamuangalia Hafidhi Mara mbilimbili pasipo kummaliza,
“vipi Kaka mbona tokea unaingia humu ndani muda wote unaniangalia tu, nimekuwa mgeni machoni mwako nini?”
Hafidhi akauliza swali.
“Ha–pana broth,,,,er kuna kitu najiuliza juu yako”
Yasri kidogo akababaika kujibu,
“Nafahamu kile ambacho unajiuliza bila shaka unataka kufahamu nimepajuaje
Huku. Jibu kamili atakujibu Asia maana nikiongea mimi utaniona muongo,
Eti Mama Mwinyi nimefikaje hapa kwako?”
“si nilikupigia simu ile jana usiku nikakuomba uje”
Asia akajibu hapo kidogo Yasri akashusha pumzi na kuanza kuwasimulia kile ambacho kilitokea maeneo anayoishi yeye.
“Duhuu poleni sana unataka kusema kelele ulizisikia ukashindwa kutoka kisa Mwanamke ambaye ulikuwa umelala nae?”
“ndio kaka binafsi sikutambua kama ananidanganya mi nikajikuta natulia tu kumbe huku nnje mtu anauwawa”
“Yasri mara ngapi nilikwambia fata kile ambacho nafsi yako inakutuma usifate matamanio ya mtu,
Ujinga wako ndio umesababisha
Mama wawatu afe.
Embu twende kwenye huo msiba”
Hafidhi alionekana kuchukizwa na taarifa hizo akajisemea moyoni mwake
Lazima wafe malipo ni hapahapa duniani.
Katika jengo la
N.T.C liliopo jijini Dar es salaam siku hiyo kulikuwa na kikao kizito, ni kikao ambacho kilianza majira ya saa moja Asubuhi mpaka inatimia saa nne asubuhi muafaka wa kikao hicho ulikuwa bado
Haujapatikana
Kikubwa kilichokuwa kikijadiliwa hapo ni kuhusu kutafutwa Undercover agent ambaye atakuja kuongeza nguvu baina ya Agent responsible wale wawili.
Wapo waliosema serikali haina haja ya kuongeza mtu iwapo wale wawili wanatosha kuifanya hiyo kazi.
Wengine wakasema unaonaje Tukamtoa Hafidhi j Ikram tukae nae chini tuweze kukubaliana nae aifanye hii kazi baada kuimaliza tumuachie huru.
Yakaonekana ni mawazo ya mgando tu, swali likaja hivi kama anahitajika Undercover mwingine je ni nani.
Majibu yakaja aitwe Chanduka kwani anakumbukwa vyema kwa utendaji wa kazi kwanza yuko faster yupo makini mno. Lakini wengine wakapinga vikali na kusema Chanduka hawezi kuhimili
Mikikimikiki kama hii kutokana na umri kumtupa mkono kwani mpaka sasa ana miaka
48 Atawezaje kupambana na kijana mdogo kama Hafidhi j Ikram
kama mnakumbuka Tulimwita Chanduka katika awamu ya pili kuja kupambana na Ninja Mask
sijui Ninja Suit mara ngapi akachemka kama isingekuwa Ninja Suit leo hii tungeandika
R.I.P Chanduka, mimi naona tusimwite muacheni apumzike na familia yake,”
Alikuwa ni mmoja kati ya viongozi akipinga vikali swala la kuitwa Chanduka,
“Sawa tumeweza kukusikia bwana Janja.
lakini tunahitaji majibu kutoka kwa wahusika
Kwanza hawa Maagent kama watakubali aongezeke mtu au vipi wakikubari tutaongea na Chanduka mwenyewe katika umri aliokuwa nao
Ndio anakuwa mtu wa kazi zaidi
Labda abweteke tu. Kwa kutofanya mazoezi
Lakini nina imani Chanduka ni mwamba usiovunjika,”
Kila mmoja alikuwa na mawazo yake, wakati kikao kikiendelea upande mwingine tunawaona
2Sisters madada wawili hapa tunamzungumzia
Bibiye Mariam na Mona Lisa wakiwa ndani ya hospitali ya Mwananyamala
wakimuhoji maswali mawili matatu yule
kijana ambaye aliokolewa na Ninja Short katika mapambano ya kurushiana risasi mpaka mwenzake akapigwa risasi ya kichwa na wazee wa Suti
“Unataka kusema huyo kiumbe akitembea upepo unavuma sio?”
“ehee ndio hivyo upepo mzito unamzunguka
yeye istoshe mwili wake wote
Unawakawaka shoti yani inamzunguka”
Kijana akajibu huku akitaja muonekano wa huyo kiumbe. Mariam akavuta kumbukumbu zake nyuma na kukumbuka baadhi ya matukio ambayo
Alikutana na kiumbe huyo,
Alimkumbuka vyema Hafidhi j Ikram ndio kiumbe pekee mwenye muonekano huo,
Sasa kama yupo Jela huyu mwingine ni nani?
Akakuna kichwa kujiuliza asiweze kupata majibu.
Mona Lisa nae akawaza
kama hivyo kisha wakaaga na kuondoka zao
wakati wanatoka nnje ya hospitali
Na kuingia kwenye gari Mariam akashtuka na kumtaka mwenzake asimamishe gari.
“nini tena?”
Mona Lisa akauliza
“nimemuona Hafidhi”
“what?”
“ndio nimemuona akipaki ile pikipiki akashuka na kuingia ndani ya hospitali”. Kitendo bila kuchelewa wakashuka na kuziandaa Silaha zao wakajigawa
Mariam akienda kule mlango wa mbele huku
Mona akizunguka upande wa nyuma
wakavamia ndani ya hospitali
Lakini hawakutaka kujionesha kuhofia kuwashtua Madaktari na wagonjwa
wakati Mona Lisa akitokezea upande wa chooni akaweza kumuona Hafidhi live bila chenga
akimnyonga mmoja kati ya Madaktari
Akataka kupiga risasi juu akasita akapaza sauti
“upo chini ya ulinzi mikono juu”,,,,,
Mwenzake ndio kwanza akaondoka na kutoka nnje akapanda kwenye pikipiki yake
Taratiibu akaondoka, Mona hakutaka kumuacha
akaingia kwenye gari na kuizungusha akaindoa kwa speed zote
Mpaka watu waliokuwa maeneo hayo ya hospitali wakabaki kushangaa hata
Ambulance ile gari ya wagonjwa ikitaka kuondoka aiwi katika kasi ile akawasha king’ora cha polisi
Alivyoingia tu barabara kuu akaweza kumuona Hafidhi ndio anaishia kwenye kona
Akielekea Komakoma
Akachochea moto zaidi, simu yake ikawa inaita akaichukuwa na kuipokea
“Halloo”
Sauti upande wa pili ikauliza uko wapi? Mbona umeniacha hapa hospitali?”
“sikuwa na jinsi Mariam kiukweli nimemuona Hafidhi ni yeye kabisa”
“what! Unataka kusema ni yeye kabisa?”
Mariam akauliza kwa mshangao, lakini kabla hajajibiwa bibiye Mona Lisa akapiga kelele
Baada gari yake kukutana uso kwa uso na Daladala
Akajalibu kuikwepa. Lakini ikashindikana na kujikuta akigongana nayo,
Gari ya bibiye ikapiga mueleka na kubibimbilika zaidi ya Mara tatu ikatulia kimya juu pakiwa chini
Chini ndio juu huku moto ukiwaka
Sehemu ya kuhifadhia mafuta ikivuja,
Mona Lisa alionekana akivuja damu lakini alikuwa ni mzima akajitahidi kujivuta aweze kujitoa
Ikashindikana akicheki moto ndio unazidi kutanda muda si mrefu
Gari inaweza kulipuka akapiga kelele kuomba msaada. Ghafla alimuona kiumbe ambacho alikuwa akikimbizana nae akija kwa kasi
Yani ile kukalibia tu pale moto ukazimika ulikuwa ni upepo tu, wenye kuambatana na vumbi zito.
Akamtoa bibiye na kumuweka pembeni
Na kutaka kuondoka wakati
Anageuka akasikia katahaa bibiye Mona Lisa akiwa kaishikilia Vyema Bastola yake akamuweka chini ya ulinzi “please usijalibu kufanya jambo lolote naweza kukutwanga risasi embu geuka na uvuwe hiyo
Maski yako!”
Mona Lisa akatoa amri akiwa yupo Serious,
Ajabu mwenzake hakugeuka wala nini, ndio kwanza akaondoka akashindwa kufanya lolote
Akakaa chini na kuanza kulia,
Je nini kitaendelea?”
Kwanini Hafidhi kajionesha mbele ya Mabinti hawa
Kilichomliza bibiye Mona ni kile kitendo cha kumuona mbaya wake ndio aliyemsaidia kisha akashindwa kufanya
Chochote juu yake. Wakati huo watu wamejazana wakiulizana hili na lile, bibiye Mariam nae ndio anaingia akatoka mbio kumkimbilia
Mwenzake kabla ya kumfikia akamuona akilala chini
“Monaa!”
Akapaza sauti kumwita na kwenda kumshika akamuinua kwa kumuweka mapajani mwake huku akimwita “Monaa, please fumbua macho”
Wakati huo polisi na vikosi vya kutoa huduma ya kwanza washafika eneo hilo, ndani ya daladala
Kulikuwa na maiti ya watu sita abilia watano
Akiwemo na dereva huku majeruhi wakiwemo Tisa
Bibiye Mona Lisa nae akapatiwa msaada wa haraka kuwahishwa hospitali.
Ikawa ni zamu ya Mariam kumlilia mwenzake asife kwani atabaki na nani yani alilia
Akiwa ndani ya Gari la wagonjwa mpaka wanafika Muhimbili analia tu, Mona Lisa usoni alikuwa kawekewa mashine ya Oxygen aweze kupumulia
“binti itabidi usubilie hapa”
Daktari alimzuia Mariam asiweze kuingia hadi wodini
Mariam akaenda kukaa kwenye bench
Akiendelea kulia kulikuwa hakuna wa kumbembeleza. Wakati kajiinamia akilia akahisi kuna mtu kamshika mabegani
Akainua macho yake kumtazama akakutana na sura ngeni kabisa, ya kijana handsome,
“Tafadhali Dada yangu usilie, tambua kuumwa au kupata ajali sio mwisho wa maisha
kulia kwako unaweza kumuweka katika wakati mgumu sana mgonjwa wako. Kumlilia mgonjwa
ni sawa na Kumchuria yani kumtakia kifo, mgonjwa haliliwi muombee Dua kwa imani ya dini
yako huwenda Mwenyezi Mungu akampatia nafuu akapona kabisa,”
Kijana mwenyewe hakuwa mwingine ni
Yasri baada kuongea hivyo akaaga na kuondoka akimuacha Mariam akijifuta machozi hakika kijana aliongea maneno yenye hekima sana akabaki kumsindikiza kwa macho tu
Na kutamani kumwita sema mdomo ulikuwa mzito kufunguka.
“vipi umeweza kumnyamazisha?”
“ndio Brother yani ile katulia kimyaa ananiangalia tu utasema nimekuwa Shekhe au Padri”
“vizuri sana kijana sasa tunaweza kwenda huko kwenye msiba,”
Kumbe kitendo cha Yasri kwenda kumnyamazisha bibiye alikuwa kaagizwa na Hafidhi.
Wakapanda kwenye pikipiki na kuondoka zao.
Taarifa za Undercover mwingine kupata ajali akiwa maeneo ya Mwananyamala ziliwashtua watu wengi sana na kubaki kujiuliza maswali
Chungu nzima, wasiweze kupata majibu yake
Hapo ndipo umuhimu wa kutafutwa mwamba ukaonekana baadhi ya
Wananchi wakasema kama kweli Serikali wanaakili basi wamtoe Jela Hafidhi j Ikram kisha wampe hiyo kazi. Wengine wakasema kwanini asiletwe
Chanduka kwani bado anakumbukwa kwa kuifanya kazi yake vyema katika awamu mbili zilizopita.
Kwani yule kijana mdogo aliyekuwa akijiita Ninja suit yuko wapi?
Wananchi kila mmoja akaongea lake na kusema
Siku zote mtoto wakike kazi yake ni kumpikia mumewe, basi ndio maana wanapukutika kama kuku mwenye mdondo
Embu fikilia kipindi Hafidhi yupo ulaiyani si akawapa mimba na kuwaweka ndani
huku mwingine akifa. Binafsi kama Hafidhi angekuwa muuwaji angeshawauwa kitambo tu
Hapa atafutwe Ninja Suit ni kijana hatari sana yule,”
Yote yalikuwa ni mawazo ya Wananchi juu ya Ninja Suit.
Embu tuangalie upande mwingine Kijana Ikram ukipenda muite Ninja suit
baada kukinukisha katika Siku ya Hukumu na kufikia hatua ya kuutokomeza mzimu wa Baba yake ambaye ni Kessy au Ninja Mask, pia akampoteza Dada yake kipenzi aitwae Samira
kuanzia hapo Ikram hakutaka kujishugurisha
na jambo lolote lile kuhusu maswala ya kupambana akahitaji kusoma zaidi
Basi kwakuwa Chanduka alikuwa kamuowa bibiye Ashura ni shangazi wa Ikram
wakaenda kuishi nchini Brazil pamoja na Ikram
Taarifa za Hafidhi j Ikram kusumbua nchini
Aliweza kuzipata akajisemea watajuana wenyewe, hata Chanduka hakutaka kuingilia kwa madai
Hafidhi ni mdogo wake muache afanye kile ambacho akili yake imemtuma, japokuwa hilo
Swala Ashura hakulipenda kila siku akawa akimshawishi mumewe
Waende nchini Tanzania kwenda kumzuia Hafidhi,
Ikawa habari ni hiyo tu mpaka siku waliposikia
Hafidhi j Ikram kajisalimisha kwenye mikono ya sheria. Ndio ukawa mwisho wa Ashura kumshawishi mumewe kuja Tanzania.
Hafidhi na Yasri waliweza kufika msibani na kukuta watu ni wachache mno
Basi wakaenda kukaa kwenye mkeka, yule mtoto ambaye Asubuhi yake alikuwa akilia pembeni ya mwili wa marehemu alipomuona Yasri amefika akaenda mbio huku akilia
“hiiiiiiiiiiii,,,,Ankor mama yangu!”
Yasri akatanua mikono yake na kumkumbatia huku akimwambia
“basi usilie nyamaza Ankor mama ataamka usilie ehee”
Watu wale wachache waliopo msibani wakageuza nyuso zao kumtazama Yasri.
Kuna mzee mmoja kikongwe akainuka kwa kusaidia na mkongojo wake kiuno chenyewe kimepinda akajikongoja mpaka pale walipokaa kina Yasri
Akahitaji kukaa Hafidhi akawai kumshika maana alikuwa anataka kudondoka,
“Asante sana mjukuu wangu,”. Babu akashukuru huku akijiweka sawa pale kwenye mkeka, kisha akaanza kusema japokuwa sauti yake ilikuwa ya chini sana.
“Samahanini vijana wangu, kama nitakuwa nimewakela kwa haya nitakayo
yasema mbele yenu. Kiukweli
Majirani wamenisusia huu msiba wa binti yangu, kwa kuniita Mimi ni mchawi, sijui sababu ya uzee wangu au Macho yangu nimepigwa na kutukanwa kila nionekapo mtaani nikitembea. Leo hii nahofia hata kutoka nnje, kwa kuogopa kuuwawa na vijana wa mtaa huu sijui kama nyie ni miongoni mwao,
Tafadhalini vijana Mimi sio mchawi sijawai kujihusisha na hayo mambo kabisa
Nahaapia Wallah tena waambieni wenzenu
Wanipe walau siku mbili niweze kwenda kuchimba kaburi la Mwanangu, maana kila mtu kanisusia Mimi
Wengine wanahitaji pesa kwaajili ya kuchimba kaburi
Nami pesa sina Embu angalieni hili
Daftari la Rambirambi hakuna hata mtu mmoja
aliyejitolea sentano.
Wameniulia binti yangu bure basi waje tumzike
sijui huyu mtoto ataishi kwenye mazingira gani?
Hihihihihihi!”
Yani Babu aliongea kwa hisia kali mpaka Hafidhi mchozi ukamtoka.
“hapana Babu usilie binafsi sisi sio miongoni mwa hao vijana, sisi tumetokea
Kitunda kuna ndugu yetu tulikuja kumtembelea ndio tukaona hili Turubai tukataka kufahamu
kuna nini hapa,”
“ohops!
Alhamdulillah kama nyie si miongoni mwao”
Babu akashukuru baada kusikia kauli ya
Yasri, “sasa Babu sisi tupo tayari kujitolea kuusimamia huu msiba mwanzo mwisho tunachohitaji kutoka kwako ni
Muongozo tu ili tuweze kutekeleza,”
Yasri akazungumza wakati Hafidhi alikuwa kimya hakuongea kitu akanyanyuka na kuulizia choo kilipo
Akaonyeshewa na kuelekea huko,
“oyaa Mwamba nasikia jana usiku yule Malaya kafanyiwa kitu mbaya sio?”
“ndio maana yake watu wamepiga mtungo kisha wakamaliza kazi, sasa huo Ukimwi apeleke huko
Kuzimu”
INAENDELEA

