PENZI NI HAKI YANGU
ONYO: Wakubwa tu, kuanzia Miaka 18, ndio wasome hii Hadithi
Sehemu Ya 1
kijana Yasri akiwa ndani ya gari la shule akimpungia mkono rafiki yake kipenzi Jerry na kumwambia msalimie bibiye Rahma, nini kiliendelea tunatoka kwenye nafsi ya kwanza na kuja nafsi ya tatu, “wee Yasri embu acha ushamba,’’ mmoja kati ya wanafunzi akamshika Yasri na kumwambia hivyo akimtaka atulie kwani kila muda alikuwa ni mtu wa kutoatoa kichwa chake kupitia dirishani “embu niache huko wee bwege nini’’ Yasri akamsukumiza Yule mwanafunzi kwa sauti ya ukali akazungumza hivyo, ndipo mwanamama ambaye alikuwa kama ndio msimamizi wa watoto hao akamtaka Yasri atulie nae akatii na kutulia kimyaa.
Wakati Yule mwanafunzi aliyesukumizwa akimtazama Yasri kwa jicho kali kuonyesha jinsi gani kachukizwa kwa yeye kusukumizwa. Gari ikaingia maeneo ya shule na kupaki wanafunzi wakashuka mbiombio kuwai darasani, Yasri akiwa hana hili wala lile akashtukia akipigwa ngumi ya mdomo akapiga yowe la uchungu na kumvamia Yule aliyempiga wote wakajikuta wakienda chini ikawa piga nikupige huyu juu mwingine chini “wewee ndio piga huyoo mshamba tu, Azizi simama upigane’’,, ndioo pigaa,’’ zote zilikuwa kelele za baadhi ya wanafunzi wakishangilia kitendo cha wenzao kupigana. Kelele zile zikawafanya baadhi ya walimu waje haraka na kuwaamulia kila mmoja alikuwa na jelaha Yasri damu zikimtoka mdomoni yote sababu ya kupigwa ile ngumi ya mdomo.
Wakati Azizi damu zikimtoka puani huku kwenye paji lake la uso kukiwa na nundu, wakachukuliwa na kwenda kupatiwa huduma za kitabibu, “hivi wewe mtoto mbona umekuwa mtukutu sana, yani tokea uletwe ndani ya shule hii kazi kupigana tu,’’ Hedmaster aliongea kwa hasira na kumtazama Azizi ndio mwanafunzi mtukutu, “nawewe Yasri unaweza kuniambia kitu gani kilisababisha mpaka ikapelekea ukapigana na huyu chizi kichaa’’ “mwalimu mimi sio kichaa,’’ Azizi akadakia kwa kusema yeye si kichaa “shatapu kama wewe sio kichaa kumbe ni nana hivi unafikilia mtu naakili zake kabisa anaweza kufanya upuuzi kama huu. Kwanza wakati nazungumza sitaki ufunguwe domo lako kuongea chochote kenge blue wee,’’ Hakika headmaster aliongea kwa ukali na kuwapa onyo kutorudia tena vitendo vya ugomvi. Wakaruhusiwa kwenda darasani kila mmoja akiwa na ngeu yake,
Ndani ya darasa kulikuwa na minong’ono ya chini kwa chini kuhusu kupigwa kwa mbabe wa shule hiyo mpaka kutolewa nundu, “Fatma umemuona Yule kijana?’’ “ndiyo nimemuona si Yule Yasri au’’,,, “ehee ndio yeye basi leo hii ndio kawa mwamba wa hii shule nzima baada kumpiga Azizi,’’ binafsi ile kauli ikamshangaza sana bibiye Fatma kwa kusikia kumbe Yasri kapigana basi hakutaka kuongea sana akaondoka zake na kumuacha rafiki yake akimwita “Fatma ndio nini sasa yani kukwambia tu Azizi kapigwa ndio umechukia kwenda zako huko,’’ licha ya kuongea hivyo mwenzake hakumjali akaenda moja kwa moja mpaka kwa Yasri na kumkuta akipiga story na marafiki zake “Yasri nakuomba mara moja unifate,’’ Yasri hakujiuliza sana akaongozana nae “hivi wewe ushakuwa chizi sio?’’ bibiye akauliza hivyo baada kuingia kwenye moja kati ya madarasa kwa wakati huo ilikuwa ni mapumziko, “unamaanisha nini kuniuliza hivyo?’’ Yasri nae akauliza swali, “sikia nikwambie kitu wewe umekuja hapa shuleni kusoma au kuwa mwana masumbwi?’’ bibiye alionekana yupo siriuas kwa kumkazia macho Yasri
“kwahiyo ulitaka mimi nipigw sio kasha nikae kama zezeta yeye mwenyewe kanianza kwa kunipiga ngumi ya mdomo namie nikamrudishia,kwanza sipendi ujinga’’ baada Yasri kuongea hivyo akaondoka zake na kumuacha bibiye akimsindikiza kwa macho, tokea siku hiyo Yasri na Azizi wakawa marafiki wakubwa pale shuleni yani hakuna aliyeweza kuamini kuwaona wakipendana na kusaidiana hili na lile hasa katika swala zima la masomo ikatokea kwamba kama mwaka huu Yasri hakushika number moja katika matokeo ya mitihani basi atashika number mbili number moja
Itashikwa na Azizi na mwaka unaofatia Yasri number moja swahiba wake number mbili yani walipokezana utasema
Ronaldo na Mess jinsi wanavyo pokezana tunzo ya mwanasoka bora wa dunia, “Yasri kaka”
Azizi alianza kuita siku hiyo ilikuwa ni wikiendi walikuwa wameenda Msasani beach,
“naamu niambie ndugu,”
Akaitikia na kusema hivyo,
“unajuwa nini ndugu binafsi najisikia vibaya sana kukueleza hili jambo,”
Kauli ile ikamfanya Yasri amtazame Azizi kiumakini na kuuliza
“ni jambo gani hilo wewe niambie tu haina shida”
Yasri akajiweka sawa kutaka kusikia hiko kitu “kusema kweli nasikitika sana kukwambia mimi na wewe tunatengana hatutoweza kuwa karibu tena yani inauma sana sema sina jinsi wakati wazazi ndio wameshaamua,”
Azizi akatamka hivyo kwa masikitiko makubwa
“mbona kama sikuelewi ukizungumzacho unataka kusema tunatengana kivipi na wazazi wamefanya nini?”
Yasri akauliza kwa shahuku ya kutaka kufahamu zaidi maana mwenzake anamuweka njia panda,
“nafahamu fika huwezi kunielewa kwa hili sema haina jinsi kwa kifupi ni hivi Baba yangu amepata uwamisho wa kikazi so tunahamia jijini Arusha,”
“What?”
Yasri akauliza kwa mshangao yani kama vile hakusikia au kama kasikia basi haamini kile akisikiacho,
“Azizi unataka kusema ndio unaniacha peke yangu kwanini lakini?”
“Yasri tambuwa kitu kimoja sisi bado vijana wadogo sana ndio kwanza tuna miaka kumi na saba
Unakumbuka kipindi kile tokea tupo shule ya msingi jinsi tulivyokuwa tukishindana kimasomo mpaka leo hii tupo
kidato cha tano ni mengi tumepitia.
Yasri wewe kwangu ni zaidi ya ndugu hakika nitakumiss sana, hata hivyo
Simu zipo mitandao ya kijamii ipo itazidi kutuweka karibu zaidi,”
Azizi akaongea hivyo na kumshika begani
Rafiki yake kipenzi.
Ndani ya shule ya St.Mars, iliyopo maeneo ya Mbagala siku hiyo kulikuwa na
Sherehe iliyoandaliwa spesho kwaajili ya kumuaga mwanafunzi mmoja kati ya wanafunzi makini si mwingine ni
Azizi kuanzia walimu na wanafunzi wote waliingiwa na simanzi kwa kuondoka
kwa mwanafunzi huyo.
Japokuwa safari sio kifo
aliyeumia zaidi ni Yasri akatamani hata kwenda nae,
Katika umri wa miaka kumi na saba kwa vijana hao hawakuwai kujihusisha na maswala ya kimapenzi si
Azizi wala Yasri mwenye kuhitaji mwanamke au demu.
Siku zote wanasema mwanamke wao ni elimu tu walikuwa ni mfano wa kuigwa shuleni pale hasa kwa vijana ambao
Waliweka mbele mapenzi kuliko masomo na kujikuta wakifeli vibaya huku
Baadhi ya mabinti wakipata mimba
aidha kutoka kimapenzi na walimu wao au wanafunzi wenzao.
“kwanza kabisa hatuna jinsi kukubaliana na matokeo
Azizi ni kijana wetu ni mpambanaji wetu aliyekuwa shupavu lakini
ndio hivyo anaondoka na kutuachia
pengo. Labda niseme kitu kimoja
Yasri ndio tegemeo letu kubwa lililobaki
katika team hii. Azizi kijana wetu tunakutakia safari njema”,,,,, yalikuwa ni maneno kutoka kwa headmaster kama unakumbuka miaka mitano nyuma alikuwa akimwita Azizi ni
Chizi kichaa asiekuwa na maana lakini kupitia kwa Yasri kijana
Azizi akaweza kubadilika na kuwa mtu wa maana pale shuleni
“Azizi kipenzi changu mbona unaondoka pasipo kutaka kutimiza ahadi yetu,”
Alikuwa ni binti mrembo mrefu wawastani mwenye umbo number nane akimuuliza Azizi kwa sauti ya kunong’oneza kwa wakati huo walikuwa wamekumbatina wakucheza mziki na wimbo uliosikika vyema ni
Always forever kutoka kwa bibiye
Shania Twain,
“Smaiya tambua ya kwamba umbali wa jijini
Dar es salaam na Arusha ni sawa na pua na mdomo tu, iweje useme nakukimbia
je kwa mfano ningeenda America?”
Azizi akamjibu hivyo na kumuuliza swali,
“sawa baby lakini nina wasiwasi kwa kuibiwa penzi langu.
Azizi kumbuka ahadi tuliyoiweka tokea tukiwa watoto kwamba tutakuja kufunga ndoa pindi tutakapokuwa watu wazima.
Ukanisistizia tuweke mkazo kwenye masomo
hilo nimeweza kulifanya
mpaka sasa nakulindia boma lako
nawe nilindie mchi wangu,”
Smaiya aliongea huku mchozi ukimtoka na kumlalia kifuani kipenzi chake
Azizi,
“kwa pembeni kidogo kulikuwa na binti mwingine akicheza peke yake
yeye hakuwa na kampani yeyote ile
lakini kila akicheza macho yake alikuwa kayaelekeza upande ambao
kulikuwa na wapendanao wengine
wakicheza kwa madoido makubwa si wengine ni kijana Yasri akiwa na bibiye Fatma kama unakumbuka
Yasri tokea akiwa mdogo huyu binti alitokea kumpenda sasa sijui kama tayari kamtamkia au vipi,
Uchezaji wao ulimuumiza sana roho yule binti wa pembeni akaonekana kama machozi yakimdondoka,
“Nasra vipi mbona unalia tena?”
Lilikuwa swali kutoka kwa binti mwingine baada kufika hapo akamuuliza hivyo.
“hapana silii wala nini nacheza kwa furaha tu”
Nasra akakataa huku akijifuta machozi
“lakini Nasra shogaangu utaumia roho mpaka lini wakati mtu unaempenda ana mtu wake,
Achana na kumuwazia embu watazame wanavyo kumbatiana kwa upendo,
Yale maneno yakazidi kumchoma moyo
bibiye Nasra na kuamua kuondoka eneo la ukumbi ule
Akatoka mbiombio hadi sehemu moja hivi akiwa analia, kweli mapenzi ni kitu kingine
Unaempenda hakupendi, wakati
Anaekupenda humpendi ni tatizo kubwa sana hili,
wakati Nasra akiwa kajiinamia chini akilia akahisi kuna mtu kamsimamia mbele yake
Akajuwa ni yule shogaake
akainua kichwa chake kumtazama
kijana Yasri akiwa ndani ya gari la shule akimpungia mkono rafiki yake kipenzi Jerry na kumwambia msalimie bibiye Rahma, nini kiliendelea tunatoka kwenye nafsi ya kwanza na kuja nafsi ya tatu, “wee Yasri embu acha ushamba,’’ mmoja kati ya wanafunzi akamshika Yasri na kumwambia hivyo akimtaka atulie kwani kila muda alikuwa ni mtu wa kutoatoa kichwa chake kupitia dirishani “embu niache huko wee bwege nini’’ Yasri akamsukumiza Yule mwanafunzi kwa sauti ya ukali akazungumza hivyo, ndipo mwanamama ambaye alikuwa kama ndio msimamizi wa watoto hao akamtaka Yasri atulie nae akatii na kutulia kimyaa.
Nasra hakuweza kuamini macho yake kwa Yule amuonae mbele yake kamsimamia huku akimpatia mkono na kumwambia nyanyuka bibiye tukacheze unahuzunika kitu gani. Hakuwa mwingine ni kijana Yasri “umejuwaje kama mimi nipo hapa?’’ Nasra akauliza swali huku akimpatia mkono basi Yasri akafanya kama kumvuta hivi bibiye akaja moja kwa moja na kujaa kifuani, “ni Stella ndio alikuja kuniambia kuwa unalia, nikaona sio vyema kukuacha mtoto mzuri kama wewe uteseke wakati mimi nipo, kauli ya Yasri ikamfanya bibiye atabasamu huku akiwa kamlalia kifuani na kupata lile joto asilia chuchu mchongoko kama ncha ya embe sindano zilikuwa zikimchoma choma na kumtekenya mwanaume mapigo yake ya moyo yakaanza kwenda kasi damu ikamchemka akafanya kumtoa bibiye maungoni mwake maana alihisi kama ataendelea kukumbatiana nae anaweza kuja kuivunja nadhiri yake yakwamba hatoweza kukutana kimwili na mwanamke yeyote mpaka atakapokuja kuowa, hakika aliiogopa zinaa, kwa kiasi kikubwa japokuwa alitambuwa itakuwa ni vigumu sana kwa yeye kuepuka vishawishi hivi mara nyingi alikuwa akiomba duwa Mwenyezi Mungu amuepushie mbali na machafu hayo. Akasahau kitendo cha kumshika mkono mwanamke na kukumbatiana nae ni haramu pia tena nyama kwa nyama mwanamke ambaye si halali kwako, “Yasri inaonyesha ni jinsi gani hunipendi yani kukumbatiana nawe imekuwa shida mpaka unanisukuma hivyo. Sasa kwanini umenifata huk?’’ Nasra akauliza swali mtoto wakike mchozi ukimtoka basi mwanaume akatumia viganja vyake vya mkono kumfuta kasha akamshika mkono na kuongozana nae kurudi ukumbini Sherehe iliweza kuendelea mpaka ilipotimia saa kumi na mbili jioni kila kitu kiliweza kuisha kijana Azizi akaagana na na watu wote,
Yapata wiki mbili tokea Azizi apate uwamisho na kuelekea Arusha ndani ya shule hiyo akabaki kijana mmoja mtanashati mwenye kujielewa kila Nyanja si mwingine ni Yasri wasichana wengi walihitaji kutoka nae kimapenzi kama ujuavyo watoto wakishaanza kupevuka kwa kuifika barehe yao mhemko unakuwa mkubwa sana, Yasri akazidi kuwapuuzia na kujifanya hafahamu chochote kuhusu swala zima la mapenzi kumbe ndani ya moyo wake kuna siri nzito hata yeye anateseka analia na kuumia juu ya msichana mmoja hivi mara ngapi kamtamkia huyo bibiye kwa anampenda akaishia kutukanwa na kunyaliwa tu, bibiye mwenyewe hakuwa mwingine ni Fatma. “sikia nikwambie kitu Yasri wewe ni kama ndugu yangu rafiki yangu kiukweli siwezi kujihusisha kimapenzi na mtu kama wewe, mbona wasichana kibao tu wanakuhitaji wakubari hao mimi sio saizi yako,’’ Ni kauli aliyoitowa bibiye Fatma siku moja alipokuwa amekaa na Yasri wakijisomea, “Fatma tafadhali usitamke maneno hayo tambuwa kila mtu ana mtu wake moyo wangu umekuchaguwa wewe, nipende please’’ Yasri alitamka maneno hayo na kumpigia magoti, “mmh embu usinishike kama kila mtu ana mtuye basi mimi mtu wangu ni Jastin Beiber hivi ninavyoongea yupo Marekani anasubiria nimalize masomo tu nikafunge nae ndoa,’’ Kijana akabaki kusikitika tu na kujiuliza haya mapenzi ni kitu gani, mbona yanaumiza na kuliza Yasri akaanza kukonda kimawazo na kujikuta akishuka kwa kasi kwenye masomo yake kila muda alikuwa akimuwaza na kumfikilia bibiye Fatma “Yasri nini tatizo kijana wangu mbona unatuangusha wakati tunakutegemea wewe katika mashindano ya kila mwenzi na shule zinginezo tushazoea ushindi kila muda leo hii tumebwagwa miezi mitatu mfurulizo nini shida, Headmaster alimwita Yasri ofisini na kumuuliza hivyo, “nimependa wakati mimi sipendwi’’ Yasri bila kujiuliza mara mbili akaongea hivyo japokuwa ni ukweli lakini huwezi kuongelea mapenzi shuleni tena mbele ya mwalimu mkuu,ikabidi mwalimu mkuu acheke “hahahaha Yasri unataka kuniambia mapenzi ndio yanakuchanganya sio, Yasri mbona umri wako ni mdogo hivyo, haya niambie ni nani huyo anaekuchanganya mpaka akakufanya ushuke kimasomo?’’ Mwalimu mkuu akauliza swali akiomba atajiwe huyo binti “ni Fatma bint Swalehe,’’ mwalimu mkuu akashtuka baada kutajwa jina lile,
Headmaster akashangazwa sana na kauli ya Yasri kumtaja bibiye Fatma’’ “unataka kusema ni Fatma huyu anaesoma kule madarasa ya juu au?’’ mwalimu mkuu akauliza swali yani akiwa kama haamini hivi. Yasri hakujibu kitu akanyamaza kimya
“sawa nimekupata sasa fanya kitu kimoja wewe nenda nyumbani mimi nitakusaidia cha umuhimu fanya kitu kimoja uirudishe hadhi ya shule yetu,’’
Yasri hakuwa na chakuongea zaidi ya kutoka zake ofisini kwa mwalimu mkuu na kuelekea zake darasani shule nzima walibaki kujiuliza kuhusu mabadiliko ya Yasri wapo waliosema sababu ni kuondoka kwa pacha wake ambaye ni Azizi ndio maana kawa hivyo, wengine wakafika mbali kwa kusema atakuwa karogwa maana shule Fulani walimu wao ni wachawi. Hakuna aliyeweza kufikilia kama mwenzao mapenzi ndio yanamtatiza yanamtesa kwa kiasi kikubwa. Ziliweza kupita kama wiki mbili pasipo Yasri kuonekana shuleni walimu na wanafunzi wakaingiwa na hofu kubwa kwenye mioyo yao na kubaki kujiuliza nini kimemfika mwenzao mbona haonekani shuleni kila mmoja kwa wakati wake alienda kuulizia kwa mwalimu mkuu nae hakuweza kuwapa jibu sahihi zaidi ya kusema hata yeye hana taarifa zozote kuhusmtuikabidi.
Ikabidi wanafunzi wajikusanye na kufunga safari mpaka nyumbani kwa kina Yasri wakapokelewa na wazazi wake ajabu hata huko wakapewa majibu Yasri mpka sasa hajulikani alipo.
Kila mmoja akabaki mdomo wazi na kujiuliza kama hata wazazi wake hawafahamu mtoto wao kaelekea wapi inakuwaje hapa. Ni maswali yaliyokosa majibu
“sasa mama kama Yasri hamfahamu sehemu alipo je mmemtafuta kila sehemu hakuonekana, yani nazungumzi kwa ndugu jamaa na marafiki au katika mahospitali vituo vya polisi?’’
bibiye Nasra akauliza yani yeye peke yake ndio alionekana ni mzungumzaji wakati wanafunzi wenzake wapo kimya,
“ndiyo binti yangu hizo sehemu zote tumeweza kwenda mpaka tukampigia simu mwalimu wenu mkuu kumueleza kuhusu hili swala hapa tulipo tumechanganyikiwa hatujui mwanetu kama yupo hai au ameuwawa na kama kauwawa amewakosea nini walimwengu,’’ Mama yake Yasri aliongea kwa uchungu huku machozi yakimtoka ni kweli kijana Yasri alikuwa kapotea kwenye mazingira ya utata, kama tunakumbuka mara ya mwisho aliitwa na mwalimu Eliudi ambaye ndio mwalimu mkuu wakazungumza mawili matatu mwishoe Yasri alitoka baada ya hapo sijui nini kilitokea, taarifa za kupotea kwa kijana Yasri zilianza kusambaa kwa kasi hasa kwenye mitandao ya kijamii taarifa hizi ziliweza kumfikia moja kwa moja kijana Hafidhi j Ikram aliyekuwa ndani ya gereza la Segerea siku ambayo bibiye Smaiya alienda kumuangalia kipenzi chake ndio akamfikishia taarifa hizo huku akimwambia
“baby nina rafiki yangu kipenzi anaitwa Nasra ameniomba uweze kumsaidia hili swala la kupotea kwa mpenzi wake,’’ hapa tunamzungumzia Smaiya yule mdogo wake bibiye Yusra ambaye kwasasa ni marehemu, si Smaiya anaesoma shule moja na kijana Yasri, “sasa baby unataka nitowe msaada gani wakati unatambuwa fika mimi sipo ulaiyani nipo ndani ya gereza nitamsaidia vipi?’’ Hafidhi akaulizaa, na kuinuka kwenye kiti akarudi kwenye chumba chake akimuacha bibiye kajiinamia ni kweli kipenzi chake yupo jela.
“hapana nimesema msimuuwe naomba mumtese kwa mateso makali sana mpaka ajute kumtamani mpenzi wa mwanangu mimi sijali kama hapa shuleni yeye alikuwa nani,’’
Alisikika akiongea hivyo mwalimu Eliudi kumbe masikini ya Mungu ile siku Yasri kumtaja bibiye Fatma ndio mwenye kumchanganya kimapenzi ikawa kama kajiingiza kwenye mdomo wa mamba bila kufahamu kesho yake tu kijana akatekwa na kupelekwa sehemu isiojulikana kijana wawatu akapigwa na kubanwa na praizi kwenye masikio yake kama haitoshi wakamng’oa na jino moja kwa kutumia hiyo praizi Yasri alilia kilio cha uchungu na kutamani hata kufa, kwa mateso yale akabaki kuweweseka tu na kujiapia moyoni mwake atakufa kwaajili ya penzi la bibiye Fatma, mateso yalikuwa usiku na mchana hata chakula hakuweza kupewa na hata akipewa kina mwagwa bibiye Fatma nae akawa ni mtu wa kulia kutwa kucha akimtaja Yasri kumbe kumkatalia kote kule na kumkatisha tamaa ndani ya moyo wake anampenda kwa kiasi kikubwa
(HAPA NDIPO TUNAPATA KAUSEMI HIVI UMUHIMU WA MTU UNAONEKANA WAKATI AMBAO HAYUPO WENGI WAWATU WANAWADHARAU WAKE ZAO WAUME ZAO NA KUSAHAU MBACHAO KWA MSALA UPITAO SUBIRI APOTEE KWENYE UPEO WA MACHO YAKO NDIO UTAJUWA UMUHIMU WAKE)
Baba yake Fatma hata yeye akakuna kichwa kuhusu kupotea kwa kijana Yasri basi akaitoa simu yake na kubofya number kadhaa kisha akaiweka simu sikioni sekunde si nyingi akasikika akisema “sawa haina shida kwa usalama wa maisha ya binti yangu naomba mumuachie huyo kijana kwani kuna mpango nimemuandalia iwapo ataendelea kumtamani tena binti yangu nitamfunga maisha,’’ Akakata simu kumbe hata yeye ni muhusika katika utekaji nyala kwa kijana Yasri, “mume wangu ni wiki ya tatu sasa mtoto wetu hajulikani alipo,’’ Mama yake Yasri aliongea huku akilia yani muda mwingine akashindwa hata kula kwa kumuwaza mwanae kipenzi siku zote uchungu wa mwana aujuae mzazi, wakati wakiongea simu ya Baba yake Yasri ikaita basi akaiangalia aone mpigaji ni nani akaona number ngeni akaipokea “halloo mzee kijana wako ameonekana huku maeneo ya dampo,’’ sauti ikaweza kusikika upande wa pili ikisema hivyo “dampo ya wapi?’’ akauliza huku akitoka nnje mkewe nae akimkimbilia “sawa nakuja sasa hivi’’ baada kutajiwa akasema hivyo na kuingia ndani ya Bajaji yake mkewe nae akapanda safari ya kwenda huko walipoambiwa mtoto wao kaonekana, umati wawatu ulikuwa umejazana katika maeneo ya dampo lililopo maeneo y Temeke kwa Azizi Ally kila mtu akabaki kusikitika baada kuuwona mwili wa kijana mdogo mwenye umri wa miaka kama kumi na saba au minane akiwa kalala chini hajitambui mwili wake ukiwa na majeraha kila sehemu, kibaya zaidi wamemtupa akiwa uchi wa mnyama. Kina mama wenye roho nyepesi wakashindwa kujizuia na kudondosha machozi kabla wazazi wake hawajafika polisi wakaingia na kufanya uchunguzi wa hapa na pale, “jamani mwanangu’’,,,,sauti ya kilio ikasikika kutoka kwa mwanamama huku akija mbio alikuwa ni mama yake Yasri yani ile kufika tu na kumuona mwane jinsi alivyo lala pale kwenye takataka kwa wakati huo alikuwa kafunikwa na shuka “mwananguu, niacheni jamani mwanangu’’,,,, mama Yasri alilia na kujitahidi kujitoa mikononi mwa Askari ambao walimzuia asiweze kuusogelea mwili wa mwanae, pasipo kupoteza muda Yasri akabebwa na kupakizwa kwenye gari akawahishwa hospitali kwani mapigo yake ya moyo yalikuwa yakipiga kwa mbali. “sijui sisi binadamu tuna roho gani yani kijana mdogo kama yule mtu anadiriki kumfanyia ukatili wa namna ile jamani,’’ mmoja kati ya mabinti waliokuwepo eneo la tukio akaongea kwa masikitiko, taarifa za kupatikana kwa kijana Yasri akiwa katupwa kwenye shimo la takataka zilikuwa ni taarifa za kusikitisha sana kwa kila mtu mwenye kumfahamu kija huyo, kila kukicha wanafunzi walipishana katika hospitali ya Temeke kwenda kumuangalia Yasri mabinti wakatoka ndani ya wodi aliolazwa Yasri wakiwa wanalia hali yake inatisha,
Sehemu Ya 2
“ohoo shit! Huyu kijana kwani ana kosa gani mpaka wameamua kumtendea kitendo cha kinyama kama hiki pole sana mdogo wangu binafsi siku zote tutakuwa nyuma yako tukikuombea duwa kwa Allah uweze kupona na kuendelea vyema na masomo yako’’ Hafidhi j Ikram aliongea maneno hayo mkononi akiwa kashikilia gaazeti la Majira, ambaro kulikuwa na habari zinazohusu tukio zima la kijana Yasri, wakati akiendelea kusoma na kupitia kurasa zingine. Mlango wa selo ukafunguliwa akaingia askari jela na kumpa ishara ya kwamba kuna mgeni amekuja kumtembelea. Basi akaongozana nae mgeni mwenyewe sura yake ilikuwa ngeni machoni kwa Hafidhi lakini hakutaka kujiuliza sana mbele ya binti yule mrembo “shikamoo ewe kaka yangu’’ binti akaamkia baada kukaa kwenye kiti, “marhabaa ewe Dada yangu vipi umzima na kwema huko utokako?’’ Hafidhi akaitikia salamu na kumuuliza swali ajabu binti mchozi ukaanza kumdondoka, na kumfanya mwanaume ashangae na kuuliza “ni kitu gani kinacho kuliza bibiye? Umepigwa au?’’ binti mwenyewe hakuwa mwingine ni Fatma ndio kwanza akaangua kilio mpaka askari jela akahitaji kumtoa nnje ya chumba sema Hafidhi akamuomba asifanye hivyo. Akatumia muda wa kama dakika tano ndipo bibiye akanyamaza kwa sauti yenye kuambatana na kwikwi akaanza kusimulia “wanataka kuniulia mpenzi wangu’’ akasema hivyo “kina nani na kwanini wanataka kumuuwa mpenzi wako? Huyo mpenzi wako anaitwa nani?’’ “wanataka kututenganisha tusiweze kuwa pamoja kimapenzi anaitwa Yasri Yasini ndio mpenzi wangu,’’ Fatma akaongea hivyo na kumfanya Hafidhi akae vizuri baada kusikia katajwa Yasri “ehee niweke wazi kwa kila kitu bibiye ni nani yupo nyuma ya huu mpango,’’ “ni baba yangu ndio chanzo cha matatizo yote haya yeye ndio ambaye anataka kumuuwa mpenzi wangu,’’ “khaa kwanini sasa anataka kumuuwa baba yako anaitwa nani?’’ Hafidhi akauliza kwa mshangao yote ni kutaka kufahamu hilo swala kwa undani zaidi, “kwa sababu kuna mchumba tayari kaniandalia kwahiyo haitaji kuniona nikijihusisha kimapenzi na mwanaume mwingine yeyote yule,’’ “ok baba yako anaitwa nani?’’ hafidhi akauliza tena swali akitaka kumfahamu huyo mzee jina lake, “baba yangu anaitwa mzee Hosamu Mbonde yeye ni meja General,’’ “ahaa kumbe huyo ndio baba yako sio sasa nikuulize kitu unahitaji nini kutoka kwangu?’’ “nahitaji msaada wako kaka yangu please nisaidie mpenzi wangu atakuja kufa eti!’’ Fatma akaongea hivyo, “ok binti nimeweza kukuelewa nini unamaanisha kwahiyo wewe nenda nyumbani mimi nitajuwa cha kufanya,’’ baada Hafidhi kuongea hivyo, bibiye Fatma na kuondoka “ni miaka mitatu sasa imetimia tokea niwe ndani ya mjengo huu lakini kila kukicha matatizo yana ongezeka huko. Ulaiyani
“Nina miaka mitano niliobakiza mpaka sasa na sitaki kurudia kile ambacho nimekitenda miaka mitatu iliyopita.
Nahitaji nimalize kifungo changu nitoke na kuishi vizuri na familia yangu, ohoo shit,”
Hafidhi aliongea yote hayo pia akakumbuka vyema ni jinsi gani alivyokuwa akifanya mauwaji ya kinyama
Kwa watu wenye makosa mbalimbali hapa nchini
Ijapokuwa ilikuwa ni kosa kubwa sana kwa yeye kufanya hivyo ataenda kujibu nini hapo kesho kwa Mungu baba,
Kila kukicha alikuwa akitubu madhambi yake ndio maana hakupenda kurudi tena
kuwa muuwaji,
“tafadhali msiniuwee please nawaomba msinibakee”,,,,,,,,zote zilikuwa kelele kutoka kwa kijana Yasri baada kurudiwa na fahamu zake
Akagutuka kutoka kwenye usingizi mzito na kujikuta yupo kitandani huku akiwa na maumivu kila mahali akatazama huku na kule ndipo akatambuwa yakwamba yupo hospitali.
Akawaza na kufikilia hapo hospitali kafikaje wakati alikuwa kule kwa watesaji
Wakati akiwa kwenye dimbwi zito la mawazo ndipo mlango ukafunguliwa
Akaingia mama yake na watu wengineo,
“pole sana mwanangu vipi unajisikiaje kwa sasa?”
“Mama najihisi maumivu kila maeneo ya mwili wangu, mama sina muda mrefu wa kuishi nitakufa mimi,”
Yasri akaongea huku akilia na kumkumbatia mama yake basi kila siku iyendayo kwa Mungu kijana akaanza kupona kidogo kidogo hatimae akaruhusiwa kutoka hospitali
Polisi wakajalibu kumuhoji aweze kuwataja wahusika waliomteka hakuwa na jibu la kuwapa zaidi ya kusema kila kitu
anamuachia Mwenyezi Mungu ndio muweza wa kila kitu,
Yasri akafunga safari mpaka Kilwa kivinje kwa Bibi yake mzaa mama na kuhitaji kuishi huko kwa maisha yake yote
Akaliogopa jiji la Dar es salaam,
“pole sana mjukuu wangu
“Asante sana bibi sema mjukuu wako maumivu niliyokuwa nayo ndani ya moyo wangu hayasemeki
Binadamu wameweza kuikatisha ndoto ya maisha yangu kisa
Mapenzi, sitamani tena kupenda simuhitaji mwanamke yeyote katika maisha yangu,”
Yasri aliongea mchozi ukimtoka.
Kijana akaacha shule na kuwa mkulima katika kijiji cha Kilwa kivinje
hakipo mbali na Kilwa kiwawa.
Zinduna ni mmoja kati ya mabinti warembo kabisa kuwahi kutokea katika kijiji cha Kilwa kivinje,
Vijana wengi wa kijiji hicho walipigana vikumbo nyumbani kwa
Mzee Ntonde ambaye ndio baba mzazi wa bibiye Zinduna wakitaka kumtolea barua ya posa,
Lakini siku zote mzee Ntonde hakuhitaji kujichukulia maamuzi yeye kama mzazi
ikawa kila Mwanaume akija anamwita na
binti yake “Zinduna mwanangu huyu
Kijana amekuja akihitaji kukuowa je
upo tayari?”
Akamuuliza na kusubilia jibu kutoka kwa mwanae,
“Ewe baba yangu siku zote sipendi kukuangusha katika jambo ambalo umelipanga juu yangu,
Binafsi siko tayari kuolewa kwa sasa,”
Zinduna akakataa na kuondoka zake
“bila shaka umeweza kumsikia wewe mwenyewe kwahiyo unaweza kwenda kutafuta binti mwingine,”
Mzee Ntonde alimwambia yule kijana na kumrudishia barua yake,
Siku hiyo bibiye Zinduna alikuwa akitoka zake kisimani yeye na shoga zake kina
Tabia wakipiga stori za hapa na pale
“mmh wee acha tu nyumbani kwa Binti Kiwambaza kuna mkaka amekuja
Mzuri balaa”
Alikuwa bibiye Tabia akiwaambia wenzie
“wewe nawe kila mwanaume akitokea mjini kwako mzuri sijui ana pesa na misifa mingine kibao utampatia
Binafsi mimi sijaona bado
Zinduna akaongea hivyo, wakati wanaongea binti mwingine akawapa ishara wenzake wapishe njia kwani wamesimama njiani
na kuna mtu anataka kupita
Wakasogea pembeni lakini kwa bahati mbaya
bibiye Zinduna akapigana kipushi na yule mtu basi Zinduna akayumba ndoo ya maji ikadondoka
Nae kabla ya kudondoka yule kijana akamdaka
ikawa uso kwa uso wakiangaliana mapigo ya moyo yakaanza kwenda kasi kwa bibiye
Zinduna kwa mara ya kwanza akahisi kama vile anatazamana na malaika.
“vipi bibiye upo sawa”
Alikuwa Yasri akimuuliza Zinduna kwa wakati huo wenzake washaondoka na kumuacha aone sasa
Yasri akamuuliza swali bibiye huku akimtazama usoni
“aha,,,ahaa niko sawa’’
Zinduna kwa sauti ya kubabaika akaitikia, Yasri hakuongea kingine zaidi ya kuliokota panga lake na kuingia zake vichakani
“mmh huyu mkaka mbona hendsome hivi embu muangalie tembea yake tazama kifua chake mgongo wake kila kitu chake kimejaa huba ndani yake,’’
Zinduna akaongea peke yake na kumsindikiza kwa macho mwanaume yule.
“huyu binti vipi mbona kama chizi Fulani hivi yani namuuliza kama yuko sawa ananitolea mimacho utasema mjusi kabanwa na mlango. Au ndio wachawi wenyewe nini alioniambia bibi nikae nao mbali?’’ yote yalikuwa mawazo ya kijana Yasri akijiuliza kuhusu bibiye Zinduna.
Akazidi kuchanja mbuga na kuingia porini zaidi kwenda kukata miti kwaajili ya kujenga nyumba yake. “ndio nakupenda siwezi kuishi bila wewe niamini kwakile nikwambiacho wewe ndio mwanaume wangu wa kwanza, ha!ha!ha!’’
ilikuwa ni usiku wa manane bibiye Zinduna akiwa amelala akaanza kuongea maneno ya kimapenzi huku akichekacheka
Umesema unaitwa nani vile?
ohoo Yasri ni jina zuri sana,” Zinduna akazidi kuongea akiwa pale kitandani na kumshtua mdogo wake ambaye analala nae
Akainuka kitandani na kuwasha kibatari
“wee Dada Zinduna unaongea na nani
usiku wote huu?”
Kwa sauti ya chini sana akamuuliza sema hakuweza kujibiwa ndipo akatambuwa kumbe Dada yake anaota
akajiuliza kuota gani huku
mtu anaongea kama vile yupo macho.
Akazima kibatari na kulala
kesho yake asubuhi na mapema kijana Yasri akadamka na kuchukuwa jembe na panga lake safari ya kwenda kuwajibika
Shambani hiyo kama ujuavyo
Kijijini nguvu na akili pekee ni kilimo
akiwa anaelekea shambani akasikia akiitwa
“wee kaka”,,,,,,,wee kaka!!!
Sauti hii ikamfanya Yasri asimame na kugeuka akaweza kumuona binti mmoja akija mbiombio,
“mambo vipi zaa asubuhi?”
Yule binti huku akihema akasalimia
“safi tu niambie mrembo naona mbiombio hadi kijasho kinakutoka,
Yasri akaitikia na kumwambia hivyo,
“mmh kijasho wapi unajuwa wakati unapita pale nikafahamu unaelekea kulee Msambweni
Nikaona itakuwa vyema zaidi niweze kuongozana nawe
maana kule bondeni kunakuwaga na wahuni
wakiona tu mtoto wakike kakatiza peke yake wanambaka,”
Yule binti akaongea hivyo kwa sauti ya masikitiko kidogo,
“sawa bibiye twenzetu”
Yasri akaongozana na yule binti huku wakipiga story za hapa na pale pamoja na kufahamiana majina yao,
“mimi naitwa
Amina ukipenda niite Sijapata,”
Yule binti akajitambulisha hivyo
“hahahaha tehetehe”
Yasri akacheka kidogo mpaka yule binti akamuuliza
“sasa unacheka nini?”
“hapana bibiye nafurahi tu maana kuna kitu nimeweza kukikumbuka.”
Yasri akazuga kwa kusema hivyo kumbe kilichomchekesha ni jina la Sijapata
“sasa ndio jina gani hili kwa
Amina sawa ni jina zuri je hili Sijapata limetokea wapi na linaleta maana gani,
Akajiuliza maswali akilini mwake,
“sasa Yasri mi naelekea njia hii kwa mbele kidogo ndipo lilipo shamba letu,”
Amina akasema hivyo
“sawa bibiye Sijapata ha!ha!ha!
Yasri kitendo cha kutaja Sijapata tu akacheka,
“mi nilijuwa tu utakuwa unalicheka jina langu
mi mwenyewe hata silipendi sijui kwanini nimekutajia,”
Sijapata akaongea hivyo na kuondoka zake
“sasa Sijapata wakati wa kuondoka nikupitie au?”
“ndio nipitie”
Kila mmoja akashika njia yake,
kwenda kuwajibika jina la Yasri halikuwa ngeni ndani ya kijiji hiko yani kukaa kwake kwa muda wa miezi sita tu
Jina lake liliweza kutajwa midomoni mwa watu wengi kwanza
Alikuwa msakataji kambumbu hodari sana team ya
Kilwa kivinje walikuwa wamepata mshambuliaji wa hatari kwanza kila number Yasri anacheza
iwe kiungo mkabaji
Au kiungo mchezeshaji ukimuweka beki
au kipa katika ushambuliaji ndio usiseme
kufunga goal tatu katika mechi moja kwake ni kitu kidogo.
Ana chenga za mauzi
Usiombe ukutane nae uwanjani
Katika sifa zote hizo kijana Yasri akawa na tatizo moja hakupenda kuwa kalibu na wanawake zaidi ya kupeana nao
salamu, ni kitu ambacho kiliwatesa wanawake wengi wa pale kijijini kama ilivyokuwa shule aliyokuwa akisoma jijini
Dar es salaam.
“mimi nahisi atakuwa na kasoro ya kimaumbile”
Binti Zinduna alitamka kauli hiyo kuwaambia shoga zake,
“kwanini umehisi hivyo?”
Tabia akauliza swali
“haiwezekani sisi na uzuri wetu wote atukatakae tena ukiangalia sisi ni bado vigoli.
Ndio maana nasema atakuwa ana kasoro ya kimaumbile usikute jongoo wake
hasimami atabaki kuwa mwanaume jina tu,”
Zinduna aliongea kwa hasira akasahau ya
Kwamba kila binadamu na mtazamo
wake kama Wanaume kutokea pale kijijini wengine mjini kuja nyumbani kwao
kumtolea posa akazikataa akijiona keki
kumbe mbele ya wengine anaonekana mavi.
Akarudi nyumbani kwao akilia
“baba Zinduna!!!
“naamu mke wangu”
“embu njoo huku chumbani kwa Zinduna”
Sekunde si nyingi mzee Ntonde akaingia chumbani kwa mwanae alipoitwa na mkewe.
Na kumkuta binti yake kajikunyata akilia,
“ehee vipi tena nini kimetokea,
Akauliza kwa shahuku na kumshika begani bintie
“Yasri baba nimemkosea nini mimi?”
Zinduna kwa sauti ya kilio akaanza kuongea
“ahaa Yasri kakufanyaje tena?”
“Baba eti na uzuri wangu wote Yasri hanitaki wala kunihitaji kimapenzi
Yasri anautesa moyo wangu”
Yale maneno ya Zinduna yaliwashangaza sana wazazi wake mtu na mkewe wakachukuwana na kutoka nnje,
“sasa leo nimeweza kuamini kitu kimoja
Ukisema cha nini wenzako wajiuliza watakipata lini.
Huyu mtoto mpumbavu ehee si unakumbuka zaidi ya Wanaume sijui tisa
walikuja hapa kwa nyakati tofauti wait aka kutoa posa kwaajili ya huyu kenge.
Akakataa leo anatuletea kesi za kipuuzi sijui Yasri anamtesa, kwahiyo anataka sisi tukamtongozee huyo
Mbwa koko mwenzake shezi zake!”
Mzee Ntonde povu lilimtoka kwa kubwata na kutukana na kuona jinsi gani binti yake anamvunjia heshima.
(JIJINI DAR ES SALAAM)
Kwa wazazi wake Yasri yapata majira ya saa nne usiku baada kupata chakula cha usiku
Waliweza kuongea kwa simu na
mtoto wao kipenzi
ilipotimia saa tano kamili umeme ukazimika nyumba nzima wakati wakijiuliza umeme umekatika au
Luku imeisha ghafla bin vuu mlango ukavunjwa na kujikuta wakivamiwa
Wakatekwa na kupelekwa katika msitu mzito,
Baba yake Yasri akaleta purukushani aweze kujitoa mikononi mwa viumbe hao
Akashindwa kwani wanaume walikuwa wamekamilika kila idara
Kwa macho yake akashuhudia mkewe
kipenzi akibakwa kwa zamu tena kibaya zaidi aliingiliwa njia zote mbili
Mpaka akapoteza fahamu
“nyie kina nani na mnataka nini kutoka kwetu muacheni mke wangu!!!
Baba yake Yasri akapaza sauti na kuongea hivyo kwani japokuwa mkewe alikuwa kapoteza fahamu
Viumbe wale wakazidi kumbaka wakisema eti mtamu bila kujali kama hana fahamu zake
akichoka huyu anakuja yule wakati yule aliyechoka akirudia roundi nyingine
Baada viumbe wale kutosheka mmoja kati yao akaitoa bastola yake na kumtwanga risasi ya kichwa baba yake Yasri
Yani kilikuwa ni kitendo cha ghafla mno.
Mzee wawatu akadondoka chini na kuwa kimyaa, “sasa vijana mchukuweni
huyo malaya na mzoga wake
mkawatupie nyumbani kwao wakati sisi tukiendelea kumsaka mtoto wao,”
Ndani ya Kilwa kivinje siku hiyo kulitembelewa na ugeni kutoka mjini alikuwa bibiye Fatma inawezekana katoroka nyumbani kwao ndio kisa na mkasa cha
wazazi wake Yasri kutendewa vile.
Kila mwanakijiji akabaki kumtumbulia macho binti mrembo kama yule mwenye kunukia
Manukato ya gharama kubwa.
Mtoto anang’aa utasema nyota ya jaha,
“samahani Dada yangu sijui ni binti kutokea ukoo upi?”
Alikuja kijana mmoja mpaka pale aliposimama bibiye Fatma baada kushuka kwenye Basi na mabegi yake akiwa hajui aanzie wapi kumtafuta mwenyeji wake.
Sauti ya kijana huyo ikamgutusha na kumuangalia kisha akatabasamu
“Asante sana kaka yangu
kusema kweli mimi ndani ya kijiji hiki ni mgeni nilikuwa namuulizia Yasri,”
Fatma akajieleza,
“Yasri yupi maana ndani ya kijiji hiki kuna Yasri kama wanne?”
kijana yule akauliza,
“Picha yake ni hii hapa”
Bibiye akaitowa simu yake na kumuonyeshea yule kijana,
“ahaa kumbe huyu ni Suarez ni kijana maarufu sana ndani ya kijiji hiki kwa kutandaza soka,”
Kijana yule baada kuiona ile picha akaanza kumsifia Yasri na kusema naweza kukupeleka basi akabeba begi na
kuongozana mpaka kwa kina Yasri
“hodi hodi bibi Kiukuta,”
Kijana yule akapaza sauti kuita baada kufika nyumbani kwa bibi yake Yasri
“karibu mjukuu wangu”
Sauti ikasikika ikitokea ndani sekunde si nyingi bibi Kiwambaza akatoka ndani na kukutana na ugeni
“shikamoo bibi” wote kwa pamoja wakasalimia “marhabaa karibuni make’’ bibi akaitikia huku akilikunjuwa jamvi kwaajili ya vijana wale wakae “hapana bibi mimi sio mkaaji nimetimiza wajibu wangu tu wa kuwapokea wageni na kuwafikisha sehemu husika,’’ aliongea hivyo kijana yule na kuondoka zake lakini kabla ya kufika mbali akaitwa na bibiye Fatma “wee kaka,’’ nae akafanya kurudi baada kugunduwa kitu kimoja kuwa hakumtambulisha yule binti anamuhitaji nani, “samahani sana bibiye. Bibi huyu binti alikuwa anamuhitaji Yasri sasa sijaweza kufahamu ni nani yake,’’ “nashkuru sana kaka yangu kwa kuweza kunifikisha embu pokea hii,’’ bibiye Fatma akaongea hivyo huku akimkabidhi yule kijana noti ya shilling elfu kumi, “hapana dada yangu sihitaji malipo kwa swala hili kwani mira na desturi zetu hazituruhusu kumchaji mgeni pesa yeyote ile karibu sana Kilwa kivinje, “pokea bwana sio nafanya hivi kama malipo nakupatia kama shukrani kwa wema wako’’ Fatma akaongea hivyo na kumshikisha ile pesa yule kijana wakati huo bibi Kiwambaza akiita kuku kwa style ya kipekee yani kwa kugonganisha midomo sauti ya bababababa!!! Ndio iliyoweza kusikika kutokea midomoni mwake kikosi cha kuku wakatokea vichakani wakija mbiombio pasipo kufahamu mmoja kati yao atakuwa asusa ya mgeni kwa siku hiyo.
“wee Mwangalile embu njoo unikamatie huyu jogoo umchinje’’ akapaza sauti kumwita yule kijana “bibi Kiukuta bwana mi nataka kuwahi barabarani kupokea wageni wengine, kwani Yasri yuko wapi?’’ Mwangalile akaongea huku akielekea kule alipoitwa “wee embu shika adabu yako mimi sio Kiukuta naitwa Kiwambaza huyo Yasri kaelekea huko kukaguwa mitego yake,’’ Fatma akabaki kutabasamu tu, jogoo akakamatwa na kuchinjwa akaandaliwa “mmh usifanye hivyo mjukuu wangu wewe nenda ukakae tu mimi nitakuandalia kila kitu’’ binti Kiwambaza akamwambia bibiye Fatma baada kumuona nae akitaka kumsaidia kupika
“hapana bibi wacha nijifunze mapishi ya tokea kale, Fatma akachukuwa sahani na kisu na kuanza kuzimenya embe mbichi ni kiungo kikubwa pande za vijijini. Mama yake Yasri aliweza kurudiwa na fahamu zake na kujisikia maumivu kila sehemu ya mwili wake, mkono wake wa kushoto akahisi kama kashika kitu akajiangalia na kushtuka baada kujiona kashika bastola akashikwa na kitete kwa kuitupa pembeni kitendo cha ile bastola kutuwa chini si ikafyatuka kishindo kizito kiliweza kusikika na kufanya majilani washtuke na kuhisi nyumba ya jilani kumevamiwa na majambazi. Simu ikapigwa polisi nao bila kuchelewa wakafika na kuizunguka nyumba nzima iliwachukuwa dakika tano tu kuvamia ndani ya nyumba hiyo. Na kumkuta Mama yake Yasri akilia huku kamkumbatia mumewe wakamtowa na kugunduwa kuwa yule aliyekumbatiwa ni marehemu,
Katikati ya pori kijana Yasri alikuwa yupo katika pilikapilika za kumchinja Nyati baada kumkuta amenasa kwenye mtego wake sema hakuwa na uwezo wa kufanya hivyo kwani Nyati alikuwa ni mkubwa mwenye nguvu kama ingekuwa si kubanwa na mtego Yasri angejuta kuzaliwa baada kuona kashindwa kumchinja akaamuwa kurudi zake kijijini sema wakati anakaribia nyumbani kwa bibi yake moyo wake ukafanya pahaa na kuhisi kitu kibaya kimeweza kutokea kwa watu wake wa karibu iwe ndugu au rafiki kichwa kilianza kumgonga kwa mwendo wa kunesanesa akajongea hgafla akasimama kama sanamu na kutoa macho pima hakuweza kuamini kwakile akionacho mbele ya upeo wa macho yake alikuwa bibiye Fatma kila mmoja akabaki kumtazama mwenzake,
Katikati ya pori kijana Yasri alikuwa yupo katika pilikapilika za kumchinja Nyati baada kumkuta amenasa kwenye mtego wake sema hakuwa na uwezo wa kufanya hivyo kwani Nyati alikuwa ni mkubwa mwenye nguvu kama ingekuwa si kubanwa na mtego Yasri angejuta kuzaliwa baada kuona kashindwa kumchinja akaamuwa kurudi zake kijijini sema wakati anakaribia nyumbani kwa bibi yake moyo wake ukafanya pahaa na kuhisi kitu kibaya kimeweza kutokea kwa watu wake wa karibu iwe ndugu au rafiki kichwa kilianza kumgonga kwa mwendo wa kunesanesa akajongea hgafla akasimama kama sanamu na kutoa macho pima hakuweza kuamini kwakile akionacho mbele ya upeo wa macho yake alikuwa bibiye Fatma kila mmoja akabaki kumtazama mwenzake,
SI Yasri wala bibiye Fatma aliyeweza kuamini kumuona mwenzake wakakimbiliana na kukumbatiana kwa furaha
“Fatma niwewe kweli?’’
Yasri akauliza
“ndio ni mimi kwani umeona mdoli au?’’ nae akaitikia kwa kuuliza swali, Yasri akapiga magoti chini na kuongea maneno haya
“Nilipigika kichizi nikaja kukosa usingizi, nikapigika kishenzi sababu yako mpenzi kwangu ikabaki kuwa njonzi. Sijui kwanini ulinikataa, hakika Penzi ni haki Yangu,”
Fatma nae akapiga magoti na kumjibu “yote ilikuwa sababu ya masomo shuleni upige kitabu niliona aibu kukupa lako jibu sasa nina kujibu mpenzi nimekubari kuwa wako kipenzi’’,,, hakika ilikuwa kama nyimbo Fulani hivi kutoka kule india wakakumbatiana kwa nguvu na kukutanisha midomo yao denda likachukuwa nafasi yake wakaingia ndani, “ohooo,,,,assssss,,,,,ahaaaa,,,,,uhuuuuu,,,usiiiiiingize,,,,kwanzaaaa,,,,nipulizeeee,,,,unaniumizaaa,,,,zote zilikuwa kelele za bibiye Fatma akiwa kitanda cha kamba kwenye kubanjuka, ilikuwa ni mara yake ya kwanza kufanya mapenzi hata Yasri nae ilikuwa ni hivyohivyo sema siku zote mwanaume bikra yake haina maumivu, Mwanaume alikuwa kaikamatia chuchu ya kushoto akiinyonya kiustadi huku mkono wa kulia akiipigapiga chuchu ya kulia bibiye akatatalika utasema anapigwa short Yasri ni winga tereza akaweza kufanikiwa kuchana nyavu na kupiga goal moja matata bibiye akalia kwa uchungu na kumkumbatia Yasri kwa nguvu, usiku ukapita kesho yake asubuhi Yasri akakumbuka kumbe ile jana kule kwenye mitego yake alinasa Nyati akakurupuka na kutoka mbio akimuacha bibiye Fatma akiwa kajilaza kitandani safari yake mpaka Porini kufika kule akakuta mtego mtupu hakuna cha Nyati wala chapati “dahaa bila shaka huyu Nyati kaja kwa baraka zake Mungu yani nimempata kipenzi changu nimekosa nyama. Yasri akaongea kama kujipa moyo na kuweka mtego wake sawa kisha akaondoka zake. Lakini zile hisia za jana zikawza kumrudia tena pindi alipoweza kukalibia nyumbani kwa bibi yake,
“hivi kuna kitu gani kimeweza kutokea mbona kichwa changu kipo hivi nini tatizo? Yasri akajiuliza maswali pasipo kupata majibu, alipofika nyumbani kwao akamkuta bibiye Fatma akitwanga mpunga akatabasamu na kuchukuwa mchi mwingine na kusema “tutwange wawili,” “mmh mi ya wawili siwezi bwana hii yenyewe najifunza tu’’ basi Yasri akaweka ule mchi pembeni na kumshika bibiye kiuno akifanya kama kumsaidia kutwanga simu ya Fatma ikasikika ikiita basi kwa mwendo wa kuchechemea akaelekea chumbani ghafla ikasikika sauti ya kilio kutoka kwa Fatma, Yasri akaacha kutwanga na kwenda ndani mbio “nini tena kimetokea Mpenzi?’’
“baba amefariki’’ Fatma akajibu na kumfanya Yasri achukuwe simu huku akiuliza
“kwani alikuwa anaumwa au kapata ajali?’’
sema akashtuka zaidi baada kugunduwa yakwamba aliyekufa ni baba yake si baba yake Fatma mwanaume akanyong’onyea na kukaa chini machozi yalimtoka na kupiga kelele
“hapanaa mama yangu sio muuwaji haiwezekani ni njama tu sijui nimewakosea nini walimwengu ?’’ Yasri alilia aisee hakutaka kupoteza muda siku hiyohiyo akapanda Buss yeye na bibi yake kuelekea msibani huku bibiye Fatma akibaki kijijini maana aliondoka kwa kutoroka,
“hii sasa imekuwa tou much yani imepitiliza kiwango inawezekana vipi kijana wao apotee kwenye mazingira ya utata kisha apatikane akiwa ametupwa kwenye dampo leo hii Mke amuuwe mumewe kweli bila shaka kuna mchezo mchafu umechezwa,’’
Hafidhi akaongea kwa hasira na kupiga ngumi ukutani mpaka askari jela aliyemletea gaazeti akashtuka, Nahitaji kwenda msibani’’
Askari jela hakuongea chochote zaidi ya kwenda kutowa taarifa kwa mkuu wa gereza kwamba Hafidhi anataka kwenda kwenye msiba wa mzee Yasini,
mkuu wa gereza kijasho chembamba kupitia shingoni kikamvuja na kusema “haina jinsi wacha aende tu sema kwa makubaliano maalumu kama tukisema tumzuie chochote kinaweza kutokea juu yetu,’’
akaandika barua na kumpa yule Askari na kumtaka aifikishe sehemu husika, Ndani ya hospitali ya Temeke mama yake Yasri alikuwa amelala kwenye kitanda kwenye chumba cha wagonjwa mahututi yani ICU akiwa hana fahamu kabisa mapigo yake ya moyo yalikuwa yakipiga kwa mbali sana,
“yuko wapi mama yangu?’’
Yasri akauliza baada kufika nyumbani kwao na kukuta watu wamejazana ndugu kwa upande wa baba yake wakilia kwa uchungu
“Yasri wanini huyo mama yako usimtaje kabisa ni muuwaji’’ “hapana sio muuwaji, usithubutu tena kusema hivyo nitakuuwa’’,,,
Yasri akamkunja yule binti aliyesema mama yake ni muuwaji, ilibidi baba yake mkubwa aje kumshika Yasri na kwenda nae pembeni maana alifahamu Yasri ana hasira za karibu anaweza kutenda kile ambacho amekusudia “Niachee nasema inawezekana vipi mama yangu atumie bastola wakati hata kukamata kisu amchinje kuku hawezi hiyo bastola kaitolea wapi nasema haiwezekani’’,,,,
Yasri akaongea kwa hasira huku akijikunyata kifuani kwa baba yake mkubwa siku ya mazishi ikawadia mwili ukapelekwa msikitini kuswaliwa kisha kwenda kuzikwa. Kwenye mazishi hayo bwana mkubwa Hafidhi nae aliweza kufika akiwa kwenye vazi la suti nadhifu usoni katinga miwani ya jua aliweza kumsoma kila mtu mwishoe macho yake yakaganda kwa kijana Yasri akamtathmini kwa muda kisha akasema
“ondowa shaka kijana ipo siku itafika machozi yako yatafutika,”
Baada mwanaume kuongea vile akapiga hatua kadhaa kumsogelea baba yake
Fatma aliyekuwa kasimama pembeni akiongea na vijana fulani,
“poleni sana kwa msiba”
Akawapa pole pasipo kutowa salamu kila mmoja akageuka kumtazama na kuitikia.
“Asante kwani kila nafsi itaonja umauti.
Mbele yake nyuma yetu,
ndivyo walivyoongea, mwili wa marehemu baada kufukiwa Shekhe akaongea mawili matatu kwa kuwakumbusha binadamu kutojisahau kwani kifo pekee kinatosha kuwa mawaiza. Kwa wenye akili,
Wazikaji wakarudi nyumbani waweze kupata chochote kitu,
Yasri baada kutoka mazikoni akataka kufahamu mama yake yupo wapi.
Kwani tokea afike hakuna aliyeweza kumwambia mama yake
alipo, “Mama mdogo kwani mama yuko wapi?”
Alimfata mama yake mdogo na kumuuliza swali,
”Yasri huu sio muda wa kutaka kufahamu mama yako alipo yani inauma sana tena sana kwa Dada yangu kuambiwa heti ni jambazi ndio kamuuwa mumewe”,,,,,,,
Aliongea hivyo huku akilia Yasri akamkumbatia mama yake mdogo na kusema
“usijali ewe mama yangu ipo siku ukweli utajulikana tu”,,,,,,,
Bibiye Smaiya alikuwa zake bafuni akioga
Akasikia kengere ya getini ikilia
Zaidi ya mara tatu akajiuliza kwani huyu
Mawazo kaelekea wapi wakati akijiuliza akasikia kengere ya sebuleni ikilia
akapaza sauti kumwita house girl
“Roida”,,,,,
Sema ikawa kimyaa hakuweza kuitikiwa akaita tena kimyaa,
Ikabidi ajimwagie maji haraka haraka akatoka kwenda kufunguwa mlango
Aisee hakuweza kuamini macho yake kwa kile akionacho mbele yake
Ni Hafidhi j Ikram akamrukia kwa pupa na kumkumbatia denda likaanzia hapo sebuleni mpaka chumbani.
,,,bebi kumbe na wewe umezidiwa hivi jamani,,,aliongea bibiye Smaiya baada ya kuona mkomboti wa Hafidhi umeloweshwa kwa ute mtamu, “halafu sitaki uchokozi wako,ntakung’ata
mimi,”
Hafidhi aliongea kimahaba huku akimtishia kumng’ata kweli na meno kwenye Chuchu yake ya kushoto
aaah,”
alilalamika bibiye ni kama alimwambia Hafidhi aongeze kasi basi aliutoa ulimi wake wa kichokozi uliokuwa na mate kidogo kisha akawa anazisugua Chuchu kifuani hapo kwa zamu,na kuna muda aliingiza mdomoni kabisa na kuzinyonya naye akawa mjanja,yaani kwa jinsi walivyokaa Smaiya alivyojitanua makalio yake,ungeweza kusema tayari ameshaingizwa mkomboti Basi taratibu akawa kama anapampu, hapo Hafidhi hakuvua nguo bado,akawa anamsugua kitumbua chake kama anapampu tena kwa kukatika kabisa.Naye mtoto akaanza kujibu mapigo, kweli alikuwa na nyege jamani alianza kuzungusha kiuno taratibu huku akikandamiza chini Hafidhi akawa anakandamizia kwa juu taratibu mtoto wa watu alianza kushindwa kunyonya vyema Chuchu, ute uliongezeka na mtoto akawa laini kabisa amelegea
Basi kwa mbwembwe aliivuta ile chupi mpaka akaikata kisha akairusha pembeni,bibiye hakusubiri kuingizwa mkomboti. Na Smaiya anavyopenda kujiingiza mwenyewe aliuzamisha mkono ndani ya boksa hata hakuivua, dudu lilikuwa limevimba hilo. Miaka takribani mitatu na nusu mwanaume hakupata hiki kitu. Basi naye alisimamisha kweli…
Kwa kutumia mkono wake laini,alilishika kisha akaongeza kujipanua na kujichomeka taratibu,yaani utamu wa kitumbua kilicholowa ni raha sana kuingiza dudu ndio maana huwa tunashauliwa tuhakikishe wapenzi wetu hasa wa kike kuwa wamelowa vya kutosha sio unakurupuka unamvamia kama kichaka huyo ni binadamu na anatakiwa kupata raha. Hatua ya kwanza ya kupata raha ni kuchezewa vya kutosha kabla ya tendo.Unaweza kusema mwanamke umemwekea madawa kumbe utundu tu wa kitandani.
Kilianza kichwa kigusa mashavu ya kitumbua cha Smaiya na Mkomboti wa jamaa ulivyo mkubwa.
Taratibu alizama liliteleza mpaka raha naye mtoto akawa anaugulia kwa utamu tena kwa sauti ndogo sana ya mahaba mpaka mkomboto wote ukazama
“aa
aaaaaaaashuuuuuuuuu,” Alisikika hivyo bibiye ambapo ni kama alifungwa mota kiunoni.
Taratibu alianza kuzungusha kiuno akifanya kama anamsugua kweli mwanamke ukijua kukitumia kiuno vizuri,nakuapia lazima upendwe kwasababu ni wanawake wachache sana wenye uwezo huo,wengi ni magogo, wavivu kitandani kama maroboti baada ya mitambo kufa,lakini Smaiya alijaaliwa suala hilo,mtoto alizungusha kiuno na kumfanya Hafidhi apagawe kabisa na raha hiyo
“aaaaaaaaaaaah,,,mmmmmmmmmh,
,,,mmmmh,,,oooosssssssssss,,,,
alilalamika huku naye akiunguruma kwa utamu,wakati huo mdomo wa Smaiya uko kwenye Chuchu ukizinyonya kwa zamu mwanaume alishusha mikono yake na kumshikashika makalio Smaiya akiyaminyaminya kimahaba,aliona ampokee kwanza na zoezi hilo maana alimwona kama ameanza kuchoka, alimkamata kisawasawa kiunoni mwake kisha akamvutia kwa upande wake,hapo bibiye alieleza kwanini urafiki wa mamba na kenge uliisha.Hafidhi alianza kupampu kwa kasi huku akimwingiza ulimi masikioni bibiye aliyesisimka hasa. Yani makalio ya Smaiya yalikuwa yakitikisika hasa,ndani kama palikuwa na waimba kwaya mabubu. Ni makofi tu yalisikika,yaani ule mlio wa makalio ya bibiye yalipokuwa yakigonga kwenye mapaja
“mamaaaaaaaaaaa,,aaaaaaaaaaa
aaaaaah,,,Hafidhiiiiiiiiiiiiii,,,aaaaaaaaaaa,,
,nakupendaaa,,,,mpenziiiiiiii wanguuuuuuuuu,,,aaaaaaaaaaa
aaaaaah,,,mmmmmmh,,,unaniumizaaaaa jamanibebiiii,,,,,aaasss
sssssssssssssssss,aaaaaaa,, hapo hapoooooo,Alilalamika Smaiya huku Hafidhi akiendeleza ile kasi aliyoanza nayo,,,mtoto alichanganyikiwa balaa,,,mamaaaaaaa nakojoaaaa mamaaaa Hafidhiii nakojoaaa mpenziiiiiiiiiii wanguuuuuu jamaniiiiii,,,,,,aaaaaah,,,,”
Basi ulikuwa mwendo wa bandika banduwa mpaka Smaiya akachoka hoi na kuhisi kitumbuwa chake leo kitatolewa maana Hafidhi ni hatari kupumzika kwake dakika tano tu anaomba waendelee. Kesho yake yapata majira ya saa moja kamili asubuhi mkuu wa Gereza akiwa katika kuwaangalia wafungwa ambao ndio wametolewa asubuhi ile kwaajili ya kufanya kazi za hapa na pale. Ghafla akakumbuka kitu na kutoka mbio kuelekea ndani sehemu ya magereza, bila shaka hakumuona Hafidhi, akakumbuka vyema makubaliano yao kuwa atatoka na kwenda kwenye mazishi kisha ataelekea kwa kipenzi chake kusuuza mchi wake, alafu atarudi. “sijui ndio atakuwa kanipiga changa la macho asije kukiotesha kibarua changu nyasi mkuu wa Gereza akaongea hivyo huku kijasho kikimtoka lakini alipofika selo ambayo Hafidhi ndio chumba chake akasimama na kukaza macho kuangalia ndani ya chumba hiko,
Mkuu wa Gereza akavuta pumzi kwa ndani na kuzishusha kwa nguvu “opsiiii Asante Mungu baba kiumbe wako nimeweza kuepukana na hili janga. Kwa jina la baba na la roho na mtakatifu amen,”
Akafanya na ishara ya msalaba
Baada kuongea hivyo akageuka na kurudi alipotoka baada kumuona
Hafidhi amerudi sema kwa wakati huo alikuwa bado kalala,
yapata saa mbili Hafidhi nae akatoka nnje ni mfungwa pekee mwenye kuogopeka hakuna mfungwa hata mmoja
aliye thubutu kujisogeza karibu yake
Wapo baadhi yao walijalibu kutaka kumuuwa au kumjeruhi kwa kumchoma kisu kimbembe kilicho wakuta
wengine ni marehemu.
Kila mmoja akampisha bwana mkubwa apite,
nae akajongea mpaka sehemu ya kufanyia mazoezi
Kuna vyuma sijui basing peg na vinginevyo kwaajili ya mazoezi.
Wafungwa ambao walikuwa wakifanya mazoezi asubuhi ile wote wakaacha na kukaa pembeni
“Ha!ha!ha!ha! Mtaniogopa mpaka lini
wakati mimi sio mtu mbaya kama mnavyo
fikilia, pindi nyoka akiamuwa kucheza na mtoto basi unakuwa ni mchezo wa furaha na amani.
Tatizo linakuja pindi yule mtoto akimjeruhi nyoka nae nyoka ataona ehee
Kumbe huyu anataka kuniuwa kifuatacho hapo nyoka atamgonga mtoto
Akijuwa anaakili kumbe walaa.
Sasa basi mimi ni rafiki wa kila mtu sina tatizo nanyi!”
Hafidhi akaongea huku akitabasamu maneno yake
Yaliwafanya wafungwa wote waelewe na kujiunga nae kwenye mazoezi.
“Yasri mwanangu sina jinsi ya kuikwepa kesi hii nitanyongwa mimi”
Mama yake Yasri baada kurudiwa na fahamu zake aliweza kupata wasaa wa kuongea na mwanae,
Kipenzi huku mkono wake mmoja ukiwa umefungwa pingu
“hapana mama usiseme hivyo hakuna chochote kibaya kitakachoweza kukutokea.
Usilie,”
Yasri akaongea na kumfuta machozi mama yake wakati yeye mwenyewe analia,
Riport ya Daktari ikaja kwa kusema
hivi mbele ya maofisa wa polisi
“kwamba kabla ya bibiye kufanya mauwaji alibakwa na watu takribani wanne
Tena kwa njia zote mbili, binafsi imeonekana tayari ana virusi vya Ukimwi
“Daktari what!
Unasema?”
Mama yake Yasri akauliza kwa mshangao pale pale presha ikapanda na kuwa juu
zaidi ilibidi
Madaktari na manesi wafanye juu chini,
Lakini ikashindikana malaika mtoa
Roho tayari amefika likawa pigo lingine kwa kijana Yasri kwa kuondokewa na wazazi wake wote wawili tena kwa muda mfupi tu,
Kijana alilia zaidi ya kulia,
“Mamaa!!!
Unaondokaje kwa njia hii ewe mama yangu hamka basi, Daktari mama yangu hajafa huyu usiseme hivyo ni mzima kabisa”,,,,,,
Yasri akadata aisee na kumkunja Daktari huku akimtikisatikisa, ilibidi
polisi wamshike na kumtowa ndani ya chumba kile,
“niacheni”,,,,,,niacheni nasema!!!
Yasri akazidi kukukuruka aweze kujitowa mikononi mwa maafande wale
Sema na wao hawakutaka kumuachia
sio kama ni mtuhumiwa lahasha anavunja utulivu ndani ya hospitali
Mwili wa mama yake ukapelekwa kuhifadhiwa monchwari
Nao ulikuwa ni msiba mzito kwa pande zote mbili
Yasri akiwa kwenye machungu mazito akahapa kuwasaka wabaya wake
Kwa kusema
“nafahamu sababu ya yote haya ni mimi
Wazazi naomba mnisamehe huko mlipo,
Nitalipa kwaajili yenu,”
Akapiga goti huku akilia kwa uchungu usiombe ikutokee aisee inauma sana
“pole sana rafiki yangu kipenzi”
Sauti hii ya kupewa pole ikamfanya
Yasri ainuwe kichwa chake na kumtazama huyo anaempa pole hakuwa mwingine ni
Azizi nae mchozi ukimtoka
Marafiki wawili wakakumbatiana vilio vikazidi baina yao.
Kila mmoja akambembeleza mwenzie
“usilie sana ewe ndugu yangu
Kwani unamfanya marehemu asiweze kupumzika kwa amani. Anaumia huko alipo kila aisikiapo sauti yako,”
Yasri kwa sauti ya kilio akaongea hivyo kumwambia Azizi
“nawe nyamaza basi usilie kwani kila ukilia najihisi vibaya”
Azizi nae akatamka hivyo,
Kesho yake mwili wa marehemu ukazikwa pembeni ya kaburi la mumewe kipenzi
“Yasri nini tatizo kwani mpaka yanatokea yote haya? Ni kina nani walikuteka na kwasababu gani mpaka wakuteke?”
Yote yalikuwa maswali kutoka kwa Azizi akimuuliza
Yasri, “sijui hata nikueleze kitu gani uweze kuniamini ewe ndugu yangu
Binafsi sifahamu chochote kuhusu kutekwa kwangu, sijui nini sababu
ila nakumbuka kauli moja tu ya mtekaji akinitaka niachane na mke
wake”,,,,,,, Yasri kwa sauti ya masikitiko akajieleza, “Yasri unataka kusema unatembea na mke wa mtu?”
“hapana sijawai hata kufanya hiko kitu nawala sifikilii kufanya hivyo,
Naona ni chuki tu kutoka kwa walimwengu
sina cha kufanya Mungu atanilipia kwa hili,”
Yasri akajifuta machozi
“usijali rafiki yangu binafsi nitakuwa bega kwa bega nawe kumbuka wewe kwangu ni zaidi ya ndugu.
Ukiumia wewe sawa na kuumia mimi.
Nakuomba ewe ndugu yangu tuachane na kila kitu turudi darasani tupigane na kitabu ili tuweze kuikamilisha ndoto yetu.
Kwani mapambano bila elimu ni kitu bure,”
Azizi akaongea hivyo
Pasipo kufahamu mwenzake shule kaacha yapata miezi saba sasa,
“samahani sana ndugu yangu binafsi siwezi tena kukamilisha mipango tuliyoipanga
Yasri mimi sina tena thamani”,,,,
Kwa sauti ya kukata tama Yasri akaongea na kuanza kumuhadithia rafiki yake kipenzi kisa na mkasa yote yalitokea pindi alipoenda kujieleza kwa mwalimu mkuu ni jinsi gani anampenda bibiye Fatma kesho yake nikiwa sina hili wala lile nikashtukia nikitekwa na kupelekwa sehemu isiojulikana. Nikapigwa mimi na kupewa mateso makali nikang’olewa jino moja la mbele, embu angalia nimebaki pengo tu,’’ Yasri akafumbuwa mdomo wake kumuonyesha Azizi ni jinsi gani kaumia,
“Dahaa inauma sana hii kaka lakini hatuna jinsi kusahau kila kitu tumuachie Allah ndio muweza wakila kitu, Yasri nafahamu fika kwayote yaliyotokea huwezi kurudi tena shule ile tafadhali nakuomba mara nyingi zaidi tafuta shule uendelee na masomo,’’
“Azizi unafahamu fika ni jinsi gani nakuthamini sijawai kukupinga kwa chochote lakini kwahili sipo tayari kaka kuanzia sasa maisha yangu yote yatakuwa ni kijijini mpaka siku ya kufa kwangu’’
“hapana Yasri usiongee hivyo yani unataka kusema mali zote hizi utamuachia nani embu kumbuka baba yako kaacha kampuni ya kufyatuwa matofari wafanyakazi wote wanakuangalia wewe tambuwa wewe ndio mtoto wa pekee hakuna mwingine wa kusimamia swala hili embu simama ndugu achana na utoto,’’
Azizi akaongea kimsisitizo zaidi kwa kumwambia rafiki yake. Siku hiyo walishinda pamoja na kupanga mambo mengi sana. Hatimae wiki mbili zikaweza kutimia katika kikao cha ndugu wa pande zote mbili wakakutana na kuangalia ni jinsi gani wataweza kusaidiana kumuangalia kijana Yasri pamoja na kuziendeleza kampuni za mzee Yasini,
baada vuta nikuvute katika kikao hicho muafaka ukafikiwa baba yake mkubwa ndio atakuwa muangalizi wakila kitu mpaka pale kijana Yasri atakapokuwa mtu mzima kila kitu kitakabidhiwa mikononi mwake. Maisha mapya ya kijana Yasri yakaanzia hapo kwa yeye kutafutiwa shule nyingine huku bibiye Fatma nae akirudi nyumbani kwao na kudanganya alikuwa kwa rafiki yake Smaiya,
“hivi lile pengo au mwanya?’’
Binti mmoja akawauliza wenzake wakati wa mapumziko katika shule mpya anayosoma Yasri,
“liwe pengo au mwanya wewe unautakia nini?’’
Binti mwingine akadakia na kuuliza, “huyu nae wawapi kwani nimekuuliza wewe au shobo tu”,,,,, “hata kama hujaniuliza mimi ndio nakwambia hivyo eti shobo wakati wewe ndio una shobo kwa kupenda kufatilia ya watu jiangalie utakuja kupakatwa,’’
“ahaa jamani si mnamuona Rose ananitukana ehee,’’
“wee vipi nimekutukana saa ngapi yani kukwambia utapakatwa ndio tusi embu sepa zako,’’
Sijui ndio Rose baada kuongea hivyo akanyanyuka na kuondoka zake akimuacha mwenzake povu likimtoka kwa kupayuka “utapakatwa wewe muangalie kwanza miguu kama banio la ugali ndio maana’’,,,,,mmh Rehema basi inatosha yani unaongea mpaka mishipa ya shingo inataka kukutoka,’’ binti mwingine akadakia kwa kumtaka huyo Rehema basi yaishe maana dahaa, Yasri tokea ajiunge shule hiyo iliyopo maeneo ya Mwenge hakupenda kujenga urafiki na mwanafunzi yeyote yule muda mwingi aliutumia kuwa peke yake yani akiingia darasani mpaka anatoka alikuwa ni mkimya mpaka baadhi ya wanafunzi wakahisi ni bubu nini lakini walikuja kufahamu si bubu baada siku moja kusimama mbele ya darasa na kuelezea swali ambalo aliuliza mwalimu wa physics wengi wakavutiwa nae kwajinsi alivyokuwa na upeo wa kuelezea kwa kulichambuwa swali siku hiyo ndio bibiye Rehema akaweza kuliona hilo pengo na kuwauliza wenzake.
“Yasri umenikimbia shuleni pia ukanikimbia na nyumbani kwenu Yasri mwenzako nateseka nahangaika kama vile mbwa koko yote kwaajili yako. Tafadhali naomba unielewe nikubalie ombi langu,’’
Yalikuwa maneno kutoka kwa bibiye Nasra akielezea hisia zake kwa Yasri siku ambayo waliweza kukutana pamoja maeneo ya Coco beach kwenye happy birthday ya bibiye Smaiya ni kauli ambayo ilimshangaza kidogo Yasri na kumtazama bibiye kwa umakini kisha akatabasamu na kumwambia maneno haya.
“nafahamu ni jinsi gani unavyojisikia juu yangu ila fahamu kitu kimoja mimi tayari nina mtu na siwezi kuwa na mtu mwingine zaidi yake,’’
“hapana Yasri usiongee hivyo naomba nipatie hata nafasi ya akiba tu niweze kujifuta machozi yanidondokayo kila siku”,,,,yani kupenda ni kitu kibaya sana
Binti mrembo kama Nasra analilia penzi mpaka kufikia hatua ya kuomba nafasi ya Akiba wakabaki kutazamana kabla ya kushtushwa na sauti ya bibiye Smaiya ikiwauliza
“mbona mmekaa nnje wakati mambo ndio yanataka kuanza huko ndani? Twendeni basi
wote kwa pamoja wakainuka na kuingia ndani ya ukumbi huo uliopo maeneo ya Coco beach.
Smaiya kwao mambo safi wakati baba yake ni balozi wa nchini Finland
mama yake ni mfanyabiashara maarufu hapa nchini
Mtoto wao atake nini akose, ndivyo ilivyokuwa kwa Nasra na Fatma
wote ni watoto wa wenye nazo
Ndani ya ukumbi watu walijazana waume kwa wake
“oyaa umemuona yule bwege?”
Kijana mmoja shalobaro Alimuuliza mwenzie na kumnyooshea kidole
Yasri “ahaa kumbe yule wakuja nimemuona
“sasa nahitaji leo nimpoteze duniani
Kama vipi washtuwe washkaji”,,,,
Sehemu Ya 3
Binti mrembo kama Nasra analilia penzi mpaka kufikia hatua ya kuomba nafasi ya Akiba wakabaki kutazamana kabla ya kushtushwa na sauti ya bibiye Smaiya ikiwauliza
“mbona mmekaa nnje wakati mambo ndio yanataka kuanza huko ndani? Twendeni basi
wote kwa pamoja wakainuka na kuingia ndani ya ukumbi huo uliopo maeneo ya Coco beach.
Smaiya kwao mambo safi wakati baba yake ni balozi wa nchini Finland
mama yake ni mfanyabiashara maarufu hapa nchini
Mtoto wao atake nini akose, ndivyo ilivyokuwa kwa Nasra na Fatma
wote ni watoto wa wenye nazo
Ndani ya ukumbi watu walijazana waume kwa wake
“oyaa umemuona yule bwege?”
Kijana mmoja shalobaro Alimuuliza mwenzie na kumnyooshea kidole
Yasri “ahaa kumbe yule wakuja nimemuona
“sasa nahitaji leo nimpoteze duniani
Kama vipi washtuwe washkaji”,,,,
Unataka kusema niwapigie simu washkaji au?”
“ndio maana yake”
yule jamaa sharo akaitikia na kuelekea zake chooni huku mkononi akiwa kakamatia chupa ya konyagi,
Haikumchukuwa muda mrefu kutoka
akapishana na Yasri nae
anaelekea chooni,
wakati Yasri akifungua mlango wa choo akashtuka baada kumuona kijana mwenye asili ya kipemba akipepesuka na kuvuja damu
kichwani akawahi kumshika
kutaka kumsaidia
Akapiga kelele kuita msaada sema sauti yake ikamezwa na sauti nzito ya mziki
“wee niach-eee kim-biaa” kwa sauti ya kukatakata kijana yule akajalibu kumwambia Yasri akimbie kwani kifo chake ni mtego kawekewa
Yasri nae hakutaka kuzubaa akatoka haraka na kumuacha kijana yule akiwa hajiwezi kwa lolote,
“oyaa washkaji mchongo tayari nimesababisha sema yule bwege kaingia king mwenyewe hivi niongeavyo yupo mule ndani. Bila shaka anataka kutowa msaada”
Kwa sauti ya chini wakaongea
huku ishara ya vitendo ikitawala zaidi
kumbe mwenzao alikuwa ameshatoka na yupo pembeni yao
akijiuliza maswali chungu mzima pasipo kupata jibu,
Ukafikia muda wa kukata keki
basi ikakatwa huku watu wakipiga makofi na kumuimbia happy birthday tou you”,
Ajabu bibiye Smaiya akawaacha
watu wote vinywa wazi baada kusema
“katika siku yangu hii muhimu ya kuzaliwa kwangu, napenda kumtambulisha kwenu
Kipenzi changu barafu wa moyo wangu
atakayekuwa baba wawatoto wangu,
Si mwingine ni Yasri Yasini
Tafadhali mpenzi wangu njoo mbele nikulishe keki watu wakuone,
Bibiye Nasra presha ikapanda hasira zikamshika na kutamani hata kwenda kumvamia Smaiya. Kwa upande wa bibiye
Fatma nae hakuweza kuamini akaona ni kama ni mchezo wa maigizo hivi
Maana anavyofahamu yeye
Smaiya ni mpenzi wa Azizi rafiki kipenzi wa
Yasri inakuwaje aseme ni mpenzi wake,
Yasri akaenda hadi kwa Smaiya na kulishwa keki kisha akaomba Mic aweze kuongea kitu
“sina jinsi kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuweza kunijaalia kuiona tena siku ya leo ni siku ambayo ni siku muhimu kwa Shemeji yangu Smaiya
Ambaye hupenda kuniita kama mumewe au kipenzi chake yote sababu ya
Undugu uliopo baina yangu mimi na
Azizi sema yeye yupo mbali kimasomo imekuwa kama mimi ndio nakaimu nafasi yake
Sijui ndio hainaga ushemeji ha!ha!ha!
Yasri akacheka kila mmoja akacheka
Naomba niwaambie kitu kimoja
ni kudra ya Mwenyezi Mungu pekee ndio iliyonifanya mimi nijichanye na watoto wa matajiri kama nyinyi vinginevyo sikustahili kabisa
Mwenzenu naandamwa kutaka kuuwawa sijui kisa nini embu angalia nimeingia chooni na kumkuta mtu kajeruhiwa kwa kupigwa na chupa kichwani nikataka kumpatia msaada akaniambia nikimbie kwani nimewekewa mtego nionekane Mimi ndio nimetenda jambo lile
Kwanini lakini mnanitendea hivi,”
Yasri akaongea kwa uchungu huku baadhi ya watu wakiingia chooni kwenda kuangalia kama ni kweli
dakika si nyingi wakatoka wakiwa na huyo kijana akiwa bado mzima
Akamshukuru Yasri kwa kumwambia kuwa makini na watu,”
Akawahishwa hospitali sherehe ikaendelea
wakati wale vijana waliotenda lile tukio washakimbia muda tu,
“pole sana kipenzi changu usijisikie vibaya kuwa pamoja nasi tambuwa kitu kimoja binadamu wote tupo
sawa si tajili wala masikini”,,,,,
Aliongea bibiye Fatima akiwa kakumbatiana na Yasri wakicheza nyimbo ya
Selina Dion ohoo my love,
“lakini mpenzi katika matatizo yako mi nahisi kuna mtu mmoja tu mwenye kuweza
Kufatilia kila kitu na kuwaondowa hawa maharamia wote wasiweze kutusumbuwa tena kwenye penzi letu,”
Bibiye Fatma akaongea
“ni mtu gani huyo? Na yupo wapi niweze kwenda kuongea nae anipatie
Msaada”,,,,
Yasri akauliza kwa shahuku ya kutaka kufahamu
“anaitwa Hafidhi j Ikram”
Yasri akashtuka na kumuachia Fatma akarudi nyuma kwa uwoga yani kutajiwa tu jina la Hafidhi akaonekana kama kuchanganyikiwa fulani
“Baby vipi tena mbona hivyo?”
Fatma akauliza na kumsogelea na kumkumbatia tena.
“Hapana mpenzi umenikumbusha kiumbe ambaye alikuwa anauwa vibaya sana.
Nahisi nikienda kuongea nae na kumuelezea kuhusu matatizo yangu si anaweza kutoroka gerezani na kuja kufanya mauwaji?”
Yasri akauliza swali
“ndio maana yake kama vipi kesho Asubuhi nikusindikize ukaongee nae kule Segerea”,,,,
“hapana siko tayari kufanya hivyo hili
Jambo sio la kwenda kumueleza Hafidhi kiumbe asiekuwa na dogo”
Yasri akakataa na kumshika mkono bibiye akatoka nae nnje ya ukumbi
Wakaingia ndani ya gari na kuondoka
Nasra akabaki kuumia roho tu na kupanga kufanya kitu kwaajili ya kumpata Yasri yani kwake alimuona ndio kila kitu yupo tayari kuacha
Chochote kile ili mradi abaki na Yasri.
Safari yao ikawapeleka mpaka maeneo ya Manyanya na kupaki gari kwenye moja kati ya mitaa hiyo,
wakashuka na kuingia guest bila shaka wanataka kujikumbusha bikra zao kama zipo au vipi, wakaweza kupata chumba
“mi sitaki bwana utaniumiza kama siku ile ahaa usinishike huko nitaumia”,,,,,,
Fatma kwa sauti ya kudeka akaongea hivyo,
Kwanza mwanaume akatabasamu na kumuuliza
“sasa kama hutaki huku guest tumekuja kufanya nini?”
“si tumekuja kulala tu kwanza kila mmoja alale na nguo zake”,,,,
Fatma akajibu huku akipanda kitandani, kuonyesha anaogopa kufanya mapenzi
Yasri nae akapanda na kuanza kumpapasa bibiye mwilini
Assssss,,,,,,,ohooo,,,,hapoooo,,,,,,ossssss,,,,,bibiye akaanza kutatalika baada kidole kile cha kati kuingia ndani ya kipochi manyoya chake
Uuuuuwiii,,,,,,taamu,,,,osh!!!!!!!
Fatma akanugunika huku akikatikia kile kidole na kusema kitamu mikono yake ikashika mkanda wa suruwali ya Yasri na kuufungua taratiibu kuonyesha anahitaji
Rungu, mtoto wakike sijui mambo haya kajifunzia wapi yani baada kulitowa rungu akapiga magoti kwa kutumia mikono yake miwili akalishikia rungu ambalo lilikuwa limesimama si kidogo utasema kaona
Nyoka au mwizi linataka kushusha kichapo,
Bibiye kwa kutumia ncha ya ulimi wake wenye joto akaanza kulilamba lile rungu kwa ustadi wa hali ya juu akalibugia nusu kipisi na kulinyonya,
Yasri akasisimka balaa mpaka kujikuta akichuchumalia kwa utamu, wa kunyonywa rungu lake,”
“oghoooo,,,,,,,mmmmmh,,,,,ossssss,,,”
Wakati kipute kikiendelea tukija nyumbani kwa kina Yasri kulikuwa na ugeni.
“hodi hodi wenyewe”
Yapata saa saba usiku hiyo
walikuwa vijana kama wanne, hivi wakiwa katika mavazi ya kijasusi yani ile mikoti myeusi. Baba yake mkubwa Yasri akawasha taa na kufunguwa mlango na kuzikuta number chafu zimesimama mlangoni sema hakuwa na hofu yeyote zaidi ya kuwauliza
“niwasaidie nini vijana?’’
kila mmoja akamtazama kwa zamu akingojea jibu lao ghafla mzee akashtukia akikabwa na kuvutiwa kwa nnje huku mmoja kati ya wale vijana akichomoa kisu,
mzee akajitahidi kukuruka na kufanikiwa kujitoa mikononi mwa yule jamaa aliyemkaba roba kasha akawahi mlangoni na kuufunga kwa nnje kasha akasema
“bila shaka mlikuwa hamfahamu mimi ni nani ehee sasa subirini niwaonyeshe kazi mimi ndio mwalimu wa Hafidhi j ikram nyie kenge nitawafinya kudadeki,’’ akaongea hivyo kwa kujiamini huku akikaa style ya drunken tai chi,
vijana wakatazamana na kutimua mbio bila shaka kusikia jina la Hafidhi iliwaogopesha sana “shenzi zenu mbona mnakimbia rudini hapa niwang’ate mlijuwa mimi mtu wa mchezo mchezo ehee pumbavu zenu baada kuongea hivyo akafunguwa mlango na kuingia zake ndani
“dahaa sasa washkaji tujiandae kwenda kujichagulia makaburi mapema tu kama kuingia basi tumevamia choo cha kike, hivi unafikilia kama yule ndio Master wa Hafidhi itakuwaje siku akiambiwa tumehusika na kifo cha familia ya master wake
“unajuwa nini Sheby huu sio muda wa sisi kuingiwa na hofu kwa kiasi hiko cha umuhimu tupeleke riport kwa mkuu alafu yeye atajuwa nini cha kufanya,’’
Wale vijana wakaambizana na kutawanyika kila mmoja akielekea nyumbani kwake, kesho yake asubuhi kijana Yasri aliweza kurudi nyumbani kwao na kupewa taarifa na baba yake mkubwa kuwa usiku wa jana kuna vibaka walikuja kuvamia nyumbani kwao ,
Yasri akasikitika na kujisemea bila shaka ni wabaya wake na wamekuja kumsaka yeye, Baada kunywa chai akafunga safari mpaka Segerea na kuomba aweze kuonana na bwana mkubwa
Basi akaambiwa asubiri chumba cha wageni
Dakika si nyingi Hafidhi akaingia na kukaa mbele yake,
Wakabaki kutazamana kwa muda
“Yasri mdogo wangu nini shida”
nini tatizo nieleze kila kitu nipo hapa kukusikiliza mdogo wangu,”
Hafidhi akiwa ni mwenye tabasamu mwanana akamwambia kijana Yasri
nae pasipo kuongea chochote akabaki kumtazama Hafidhi usoni
akiwa kama haamini hivi kuwa yule aliyoko mbele yake ndio Hafidhi j ikram muuwaji wa kutisha,
“Yasri unawaza nini kijana nieleze basi
Je unawafahamu kwa majina hao watu?”
“hapana siwafahamu”
Yasri akatikisa kichwa kukataa, “je unawafahamu kwa sura
au sehemu wanapoishi?”
Hafidhi akauliza swali lingine,
“hapana kaka sifahamu chochote kile kuhusu watu hao sijui nimewakosea nini”
Yasri akaanza kudondosha mchozi
“ok nimeweza kukupata sasa fanya kitu kimoja wee nenda nyumbani kisha uanze harakati za kuwafahamu wabaya wako
Uniletee habari zao hapa nitafyeka wote,”
Hafidhi akamshika begani kijana asiendelee kulia
Kisha akaondoka zake na kumuacha Yasri akitabasamu na kuona ehee kama hili swali
Hafidhi akiingilia kati basi hao wajinga watajuta kuzaliwa.
“Mamaa!!!
“abee mwanangu” “mimi nimechoka na ujinga ambao mjukuu wako ameutenda
yani anakubari vipi binadamu wamfunge”,,,,
Alikuwa Ibnuwasi akilalamika kwa kitendo cha Hafidhi kukubari kukaa jela
“Ibnuwasi mwanangu embu achana na mawazo mgando hayo kila
siku unazungumzia kuhusu Hafidhi yale ni maamuzi yake mwenyewe
Na istoshe hakuna kibaya chochote kilichoweza kumfikia wee muache
Tu,”
Bibi yake akasema maneno hayo kumwambia Ibnuwasi,
“sawa mama”
Yapata saa saba mchana katika uwanja wa ndege tunawaona wanadada kama watatu wakishuka kwenye ndege
wakiwa na watoto wenye umri wakama miaka saba au nane hao wanadada si wengine ni bibiye Vivian, Mona, na Mariam
“opsiii ni muda mrefu sana nilikuwa mbali na nchi yangu hatimae leo hii
Nimerudi kwanza nimelimisi rungu la mume wangu kipenzi leo nataka anisuguwe mpaka nijambe”,,,,Vivian akaongea huku akicheka
“si unaona nilikwambia mimi huyu akifika bongo anakuwa chizi
sijui hii ardhi imemfanya nini,”
Mariam akamwambia bibiye Mona yeye akazidi kucheka tu,
Bibiye Mona alifahamu vyema kama Hafidhi yupo jela sema hakutaka kuwaambia chochote kina Vivian, wasije kuchanyikiwa bure. Pia akajiuliza swala hili haliwezi kuwa siri tena madamu washafika nchini
Watafahamu tu,
“mama umesema baba yupo wapi?”
Ikram akauliza swali
“baba yako yupo kwenye nchi hii leo hii utamuona,”
Vivian akamjibu mwanae “samahani kaka yangu nikuulize kitu”
Vivian akamwambia dereva tax
“bila samahani ewe Dada yangu niulize tu,”
Dereva tax akaitikia
“nakumbuka kama miaka minne iliyopita nyuma kulikuwa na kesi za mauwaji
Kila kukicha watu wanauwawa
Mpaka ikafikia hatuwa ya watu kukimbia makazi yao na kwenda kuishi mbali na nchi hii. Hivi mpaka sasa hali ikoje?”
Vivian akauliza hivyo akitaka kufahamu
Hafidhi atakuwa wapi kwasasa,
“mmh kusema kweli Dada yangu kipindi hiko nchi ilikuwa balaa lakini hali iliweza kutulia baada yule muuwaji kujisalimisha mwenyewe kwenye mikono ya
Sheria hivi nikwambiavyo
Ni miaka minne imepita bado yupo Segerea ananyea debe,”
“what?”
Unataka kusema yule Hafidhi j Ikram yupo gerezani au?”
Mariam akauliza kwa mshangao hakika si Vivian wala yeye Mariam aliyeweza kuamini kama Hafidhi amekubali kufungwa jela
tena yapata miaka minne sasa
“tafadhali dereva tunaomba utupeleke huko
Segerea please geuza gari”,,,,,
Vivian akaongea kwa hasira na kuonekana akihema kwa kasi,
“sasa Dada yangu hiyo itakuwa ni
Ruti nyingine na istoshe muda wa kuwaona wafungwa umeisha huu,”
Dereva akajitetea kwa kusema hivyo,
“bwanaee wewe tupeleke iwe muda umeisha au bado tutajuwa sisi kwani wewe shida yako nini?”
Mariam akauliza hivyo
Basi dereva hakuwa na jinsi zaidi ya kugeuza gari na kuelekea Segerea
“imekuwaje miaka yote minne tushindwe kupata taarifa zake
Hata kwenye mitandao ya kijamii,”
Tumeshindwa kuona chochote bila shaka kuna kitu hapa.
Yani hata Ankor kashindwa kutueleza lolote kuhusu Hafidhi? Bibiye Vivian akatingwa na mawazo mengi sana kichwani kwake mpaka gari inafika pande za Tabata bima binafsi akili haikumpa kabisa kuamini kama kipenzi chake yupo jela. Sio yeye hata bibiye Mariam alikuwa akiwaza yake, “Mona bila shaka utakuwa unafahamu kila kitu kuhusu Hafidhi’’ Mariam akaongea huku akimtazama bibiye Mona, “unamaanisha nini kusema hivyo?’’ Mona akauliza swali “sio namaanisha nini wewe si ndio Under cover agent uliekabidhiwa kazi ya kumkamata Hafidhi?’’ nae akauliza swali “ndiyo nilikabidhiwa kama mlivyo kabidhiwa nyie kiukweli sihusiki kwa lolote lile tena wala sijui kama Hafidhi alikamatwa,’’ Mona akajitetea “sawa tuachane na hayo kama ni kweli atakuwa kashikwa naapia Wallah tena kitanuka muda si mrefu,’’ Mariam aliongea kwa hasira pasipo kutambuwa kesi yake ya kumuuwa muheshimiwa Rais iliisha vipi. Yeye akili yake ipo kwa mumewe kipenzi hatimae gari ikaingia maeneo ya gerezani “haya jamani tumefika’’ aliongea dereva tax na kushuka, wote kwa pamoja wakashuka “sasa kaka yangu kama hautojali unaweza kutusubiri, embu shika hii pesa kwanza’’ Vivian akaongea huku akimkabidhi yule dereva kiasi cha pesa, “usijali dada yangu mimi nitawangojea hata kama itakuwa mpaka kesho, haina shida kabisa aliongea dereva huku akipokea kibunda cha pesa kusema kweli zilikuwa pesa nyingi sana mpaka bibiye Mona akashangaa na kuuliza “vipi mbona unamlipa kiasi kikubwa hivyo?’’ “usijali shost! Haya ni makaratasi tu’’,,,,kaka si wacha si tukamuone mume wetu,’’ Vivian akasema na kumshika mkono mwanae Ikram wakapiga hatua kadhaa kufika getini mlinzi akawazuia “nyie mabinti mnataka kwenda wapi muda huu?’’ “tumekuja kumuangalia mfungwa wetu,’’ Mariam akajibu kibabe yani moyoni mwake alikuwa na hasira akatamani hata amchape makofi yule Askari jela “muda wa kuona wafungwa umeisha nyie nendeni mrudi tena kesho,’’ hakuna aliyekuwa tayari kufanya hivyo “sikia kaka yangu sisi tumetoka mbali sana mpaka kufika hapa na istoshe kesho hatutokuwa na muda wakuja tena gerezani kwahiyo tanahitaji kumuona leo hihii,’’ Vivian kwa sauti ya huruma akaongea hivyo “sikieni niwaambie kitu dada zangu ndio naweza kuwaruhusu mkamuone huyo mtu wenu tatizo linakuja hivi kibaruwa changu si kitakuwa mashakani’’ “hapana akiwezi kuwa mashakani wakati wanaongea ghafla wakasikia kelele kutoka kwa yule dereva wakageuka kuangalia masikini alikuwa kawekwa mtu kati na baadhi ya askari jela na kupigwa virungu Vivian akatoka mbio kitendo cha kufika tu nae hakutaka kuuliza akazunguka na kuachia mateke ya double kick kwa askari wale kila mmoja akayumba na kudondoka chini, “muacheni mnampiga kwa kosa gani hasa kawafanyia’’ Askari jela wakaona wee usitutanie katika maeneo yetu unatupa maumivu kisha ndio unauliza sio wakajipanga kwaajili ya kujibu mapigo, kama kawaida yao bibiye Mariam nae akaingilia kati wakati Mona akiwashika watoto na kwenda nao upande mwingine kwani si vizuri kwa watoto wadogo kushuhudia vitu kama hivyo. Mkono ukaanza kutembea kwa askari wale kutupwa huku na kule wakazidi kuongezeka lakini kuwadhibiti mabinti hao ilikuwa ni kazi bure “Afande Manyota itabidi ukamfungulie Hafidhi aweze kutupatia msaada maana mambo yashakuwa magumu haya’’ mmoja kati ya askari alimwambia mwenzake Manyota pasipo kuchelewa akaelekea ndani ya magereza dakika si nyingi akarudi akiwa kaongozana na Hafidhi sema bwana mkubwa akashtuka baada kuwaona wake zake akapigwa na butwaa akaganda kama sanamu, “bwana mkubwa mabinti wenyewe ni wale pale,’’ ilikuwa kauli ya afande akimwambia Hafidhi kauli hii ikawafanya kina Vivian wageuke na kumtazama ni nani huyo kaitwa bwana mkubwa, Hakika hawakuweza kuamini macho yao baada kumuona kipenzi chao akiwa kwenye mavazi ya kifungwa wakatoka mbio kwa pamoja “whaoo baby my sweart huyoo,’’ Mariam akawa wakwanza kufika na kumkumbatia mabusu yasiokuwa na idadi wakapeana “embu pisha zamu yangu’’ Vivian akamtowa mwenzake na kumkumbatia yeye hakutaka busu akapiga denda kabisa, Maaskari wakabaki vinywa wazi na kujiuliza maswali, wakati majibu wanayo, kumbe hawa mabinti ni wake wa muheshimiwa . Kwa upande wa kijana wetu Yasri ambaye ndio nyota wa stori yetu pendwa iitwayo
(PENZI NI HAKI YANGU)
Binafsi aliweza kufarijika sana na kumueleza bibiye Fatma kila kitu alichoweza kuzungumza na Hafidhi kule gerezani. “unataka kusema kakubali kila kitu sio?’’ “ndio maana yake yani hapa nina shahuku ya kutaka kuwafahamu wabaya wangu kasha niandae list nimpelekee mzee wa kazi, ‘’ “kama ni hivyo basi itakuwa vizuri sana maana wamezidi kutuonea sisi wanyonge, yani baby ungekuwa na miguvu kama Hafidhi sijui ingekuwaje yani yule kaka nampenda bure kabisa’’,,,, bibiye akaongea huku akimshika kidevuni Yasri ambaye kanuna ghafla. ‘sasa baby mbona hivyo tena?’’ “achana na mimi yani umetokea kumpenda Hafidhi tena unajinadi mbele yangu,’’ Yasri akaongea domo kalikunja utasema kang’atwa na Kasamende. “sio hivyo baby mi nampenda Hafidhi kama kaka yangu tu si vinginevyo,’’ Fatma akaongea na kumkumbatia kipenzi chake. “acheni upuuzi nyie wapumbavu nini yani mnataka kusema kile kizee ndio Master wa Hafidhi nanyi kusikia hivyo mkaogopa wenyewe . Nyie fanyeni kazi hakuna kumuhofia mtu yeyote yule, na istoshe huyo Hafidhi ni bwege tu. Kawaonea mabwege wenzie,’’ Alikuwa ni bosi wa kikundi cha wauwaji wa kutumainiwa hapa nchini yani kusababisha mauwaji kwao ni kitu kidogo. Hapo alikuwa akiwaambia vijana wake kinachotakiwa ni kazi ikamilike si vinginevyo Hafidhi kitu gani au mdudu gani,’’ Vijana wakamsikiliza tu alipoondoka wote wakacheka kwa dharau “hahahaha huyu bwege anacheza nini hamjui vizuri huyo Hafidhi anajuwa hapa ni nyumbani kwao Congo’’ alisema mmoja wa vijana kabla ya mwenzake kudakia na kusema “sasa wana tuchaguwe wenyewe kusuka au kunyowa kila mmoja anafahamu fika huyu jamaa hashindwi kutoka jela na kuanza kutusaka kasha atupeleke kwa Mungu baba’’ “hapo umeongea kitu cha maana sana nakumbuka siku ya msiba wa yule baba niliweza kumuona Hafidhi,’’ “Yazidu unasemaa??? Wote kwa pamoja wakauliza kama vile hawakuweza kumsikia. “ndio hivyo nawaambia washkaji zangu jamaa alikuwepo kwenye mazishi yale nikataka kumpiga picha sema nafsi ikasita kufanya hivyo,’’ baada Yazidu kuwaeleza vile wakabaki kutafakali kwa kina, “whao mpini wangu huo naona umeweza kukuwa kwa kiasi chake muda si mrefu nitamkabidhi majukumu,’’ Hafidhi aliongea huku akimshika kichwa Ikram, namuona pia jembe langu Yusra vipi mamaa hujambo?’’ “sijambo shikamoo Ankor’’ Yusra akaamkia na kuita Ankor, “wewe huyu sio Ankor ni baba yako’’ Mariam akamuelewesha mwanae, “sasa mama unakumbuka siku ile nilikuuliza, kabla Yusra hajaongea zaidi akazibwa mdomo na mama yake na kumtaka anyamaze, “sasa haya ndio maswala ya kuchakachuwana, ehee Mwanangu niambie mama akasemaje?’’ Hafidhi akataka kufahamu kile ambacho Yusra anataka kusema “basi sikwambii mama kashanikataza siongei ng’oo ‘’ Basi kikao kisichokuwa rasmi kikawekwa wakamuuliza mume wao kisa na mkasa cha yeye kukubari kukaa gerezani. Pia wakamueleza azma yao ya kutaka kumkomboa Hafidhi akapinga vikari na kusema msifanye hivyo kwani miaka mine iliyobakia sio mingi,
“lakini baby yule Ankor wako kule mjini hata hatumuelewi’’ Vivian akabadirisha mada, “kivipi mpaka mmeshindwa kumuelewa?’’ “yani wee acha tu tukea tufike kule nchini Denmark tukapokelewa na binti Fulani hivi akajitambulisha ni dada yako binamu anaitwa Asma, sasa tokea tuingie ndani ya nyumba ile Mjomba si mtu wa kushinda nyumbani kutwa kucha ni mtu wa safari tu mara leo niko German kesho yupo Italy hivi tunavyoongea yupo nchini Iraq,’’ Mariam akatowa maelezo “lakini huduma zote si alikuwa akiwapatia au?’’ Hafidhi akauliza swali “ndio kila akirudi safari anakuja na mazagazaga kibao tu, anatuachia pesa mpaka kadi ya benk katupatia siku zote anasema sitaki kuona wakwe zangu na wajukuu zangu wakifa njaa hakika anaupendo wa dhati kabisa’’ wakati wakiendelea kuongea akaingia askari jela na kuwaomba waweze kutoka kwani muda umeyoyoma sana mfungwa anahitajika kurudi selo wakapinga sema Hafidhi akawaambia hawana budi kutii amri kwani mwenzao yupo kazini basi wakaagana na kuondoka wakiahidi kurudi kesho yake. Baada kina Vivian kuondoka ghafla kikatokea kiumbe cha ajabu yani shetani si shetani wala jinni si jinni mwili mzima unawake moto, mwanaume akashtuka na kurudi nyuma kwa uwoga’’,,,,,,
Mwanaume akarudi nyuma kwa hofu, kile kiumbe kikaanza kumfata. Kabla ya kumfikia hatua kama mbili tatu hivi
Kiumbe kikaanza kubadirika na kuwa binadamu
“tafadhali Ankor usibadilike bwana”
Kile kiumbe kikaongea hivyo baada kumuona
Hafidhi akituna na kutaka kuwa Ninja short,
Lakini alikuwa kashachelewa
Upepo ukaanza kuvuma ndani ya chumba kile
Na kumfanya yule kiumbe akiwa katika umbile kamili la kibinadamu, ayumbe na kutupwa kule akaenda kujibamiza ukutani,
“please Ankor usifanye hivyo”,,,,,,,,
Akaongea kwa sauti ya ukali. Kidogo ikamsaidia kumfanya Hafidhi apunguze speed ya upepo
Na kurudi katika hali yake. Siku zote mwanaume ajalibiwi kabisa ukibipu yeye anapiga
“ohoo kumbe ni Ankor? Sasa mbona umenijia kwa style hiyo?”
Hafidhi akauliza baada kumtambuwa yule mtu aliyoko mbele yake ni Ankor wake upande wa Majini yani ni mume wa shangazi yake
Dada yake Ibnuwasi.
“nilitaka kukujalibu tu Ankor wangu nione je upo vilevile au umekuwa mdebwedo
Lakini unaonekana ni hatali tupu”,,,,,,,Ankor wake akaongea huku akimsogelea
Wakakumbatiana “sema Ankor nimekuja kwa nia moja tu”
“nia gani tena?”
Hafidhi akauliza akitaka kufahamu
“kuhusu wake zako kwanza wamevunja sheria na kanuni zetu tulizoweza kujiwekea kuhusu kutokuondoka sehemu pasipo kuaga
Lakini wake zako wamenitoroka kule nchini
Denmark,”
Ankor akatoa maelezo na kumfanya
Hafidhi aulize
“sasa kama wametoroka mnatakaje?
Kwanza naomba mtambuwe wale si jamii yetu, siku zote walikuwa wakiishi nawe pasipo kutambuwa ni Jinni, unajifanya kusafiri kumbe upo humohumo ndani ya nyumba
Ankor bwana embu tuachane na kesi ya
Wakwe zako”,,,,,,,Hafidhi akasema kwa msisitizo
“Siwezi kuachana nao nimetumwa na mkuu
Adhabu pekee ni kifo tu kwa mabinti
Wale”,,,,,,,,
“what?,,,,,,,,unasemaa?”
Embu ongea tena huyo mkuu wenu kasemaje?”
Hafidhi akauliza maswali mfurulizo akiwa kama vile hajasikia kauli ya
Ankor wake.
“sasa Ankor amri ndio hiyo imetoka kwa mkuu wetu na akitowa amri hakuna kupindisha”
“Sikia nikwambie kitu Ankor huyo mkuu yeye kama nani”,,,,,,
katika dunia hii sasa? Sasa nakutuma nenda kamwambie hivi
Hafidhi yupo tayari kupambana na yeyote yule iwapo tu kama familia yangu ikiguswa japo unywele
Sitojali yeyote yule nitamfyeka kuanzia yeye na familia yake. Mkuu kitu gani bwana yeye si kiumbe kilichoumbwa kama Mimi tu”,,,,,,,,Hafidhi akang’aka kwa hasira,
Ndani ya ukumbi wa John’s corn uliopo maeneo ya Kawe ukwamani siku hiyo kulikuwa na
Sherehe ya Happy birthday ya
Binti mrembo na matata itwaye
Nasra kabla ya kukata keki akashika kipaza sauti na kutangaza,
“kwanza kabisa sina jinsi nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijaalia kuifikia siku hii ya leo.
Pili nawashukuru Wazazi wangu wote wawili
Kwa kunilea kuanzia pale nilipozaliwa mpaka leo hii nimekuwa mtu mzima. Pia shukrani za pekee ziende kwa kipenzi changu Yasri
Please nakuomba uje mbele tukate keki kwa pamoja”,,,,,
Nasra akaongea hivyo
Hata Yasri alipokuja mbele akamkana kwa kumwambia
“mimi na wewe hatuna mahusiano yeyote ya kimapenzi, zaidi ya kuwa marafiki
Sikupendi sikutaki wala sifikilii kuwa nawe”,
Yasri akatamka maneno hayo mbele ya umati wa watu na kumfanya bibiye Nasra aanguwe kilio
Na kumuomba
Asimfanyie hivyo katika siku yake muhimu kama ile.
Yasri hakutaka kupoteza muda akaingia ndani ya gari na kuondoka zake
Japokuwa rafiki yake akamsihi asifanye hivyo,
Kwenye kona moja ya ukumbi
Kulikuwa na binti kabambanishwa ukutani
Akipewa kitu roho inapenda basi
Wakiwa wamejibana kwenye kona hiyo yenye
Giza zoezi la kunyonyana denda likaanza kwa dakika kadhaa ambapo jamaa aliyembambanisha bibiye kwa kutumia mikono yake alilipandisha gauni la Binti mpaka juu kidogo ya kiuno kisha akamshusha nguo yake ya ndani mpaka magotini ambapo binti wa watu akabaki wazi Kitumbua chake kilichotoa harufu ya ute kwa mbali
Alichokifanya, alisitisha zoezi la kunyonyana denda na kuhamia kwenye sikio la kushoto ambapo aliuingiza ulimi wake wenye joto uliokuwa kama unamtekenya ndani ya ngome ya sikio aliunzungusha ulimi wake ndani ya sikio ambapo muda mwingine aliukandamiza,,
“aaaah,,,,mmmmh,,,ooooooooh,,,
aaaiiissssssss”,alilalamika bibiye huku akifumba macho yake na kuacha mdomo wazi.
Wakati anamnyonya masikio na ulimi wake alikichukua kidole chake cha kati ambacho ni kirefu kuliko vyote kisha akakiteremsha mpaka chini na kumwingiza bibiye kwenye kitumbua chake kilichokuwa kimeshaanza kutengeza ute,“mmmmmmh,,,aaaaah”,,alipiga kelele kwa nguvu za kimahaba kiasi kwamba Jamaa ilimbidi amzibe mdomo na kiganja cha mkono wake,alikiingiza kidole mpaka ndani ya kitumbua na kufanya kama anatafuta kitu hivi.
Bibiye alihisi msisimko wa ajabu sana kutokana na kunyonywa masikio na kusuguliwa na kidole kidude chake chenye utamu alihisi kama anapaa. “Mmmmh,,,aaaaaah,,,aaaaa
h,,alizidi kulalamika ambapo alipohakikisha kitumbua kimeshakuwa tayari kwa majambozi,aliuchomoa mtalimbo wake uliokuwa mnene na mrefu akaunyanyua mguu mmoja na kuushikilia vizuri kwa kuubana kwenye ukuta kisha akaushikilia mtalimbo wake na kumwingiza taratibu Bibiye aliyekuwa kama anakipandisha kiuno chake juu,,,iiiisshiiiiiiiiiiiii,,,,,aaaaaaah,,,taratibu mpenziiiiiiii,,,,,aaaah,,,,aliugulia kwa sauti tamu mpaka mtalimbo ulipozama wote,,,taratiiiibuuuuu mpenziiiii,,,aliendelea kusisitiza bibiye aliyezidiwa kimahaba,,
Basi hakuwa na namna zaidi ya kufuata maelekezo aliyopewa ambapo mtalimbo wake ulikuwa unaingia taratibu na kutoka huku ndimi zao zikiendelea kugombana ndani ya vinywa vyao. Dakika kadhaa bibiye alianza kutangaza kumwaga uji ambapo alimkumbatia Jamaa kama ugomvi,aaaaaa,,,aaah,,,mmmmh,,
,aaaaah,,,,oooooh,,,alilalamika wakati akimwaga uji wake. Na kutulia kimya kwenye kifua kwa aliyekuwa bado anapampu hazikupita dakika nyingi naye akamwaga ambapo hakumwagia ndani alichomoa mtalimbo na kumwaga uji wake ardhini.
“ohoo! Thank you baby kwa utamu ulionipa’’
alitamka hivyo bibiye yule huku akivaa chupi yake, basi wakashikana mikono na kuongozana kurudi ukumbini. Baada ya Yasri kumkana bibiye Nasra mbele ya hadhara akiwa maeneo ya Magomeni mikumi akirejea nyumbani kwao akawa akijirahumu kwanini kamfanyia vile rafiki yake kipenzi bora angezuga tu mpaka sherehe iishe kasha wakiwa faragha angemtamkia kauli hiyo. Sema ndio hivyo maji yashamwagika hayazoleki tena na haina jinsi bibiye kukubali matokeo, Yasri akafika nyumbani kwao na kupaki gari ambayo ni ya baba yake mkubwa kisha akaingia ndani ile anaingia tu akashtukia akipigwa na kitu kizito kwa nyuma ya kisogo mwanaume akayumba na kupoteza fahamu. Akaja kuzinduka kesho yake na kujikuta yupo kitandani pembeni yake kuna Binti asie mfahamu kibaya zaidi wakiwa uchi wa mnyama Mwanaume akashtuka na kuanza kumtikisa yule binti
“wee binti embu hamka umefikaje kitandani kwangu?’’
Yasri akauliza ajabu yule binti alikuwa tayari ameshakufa kivumbi jasho kwa kijana wetu akiwa anatafakari afanye nini mlango ukapigwa teke polisi wakavamia na kumkamata.
Hakika ilikuwa ni bonge la kesi kijana akazidi kujitetea kuwa yeye hafahamu chochote kuhusu binti yule,
sema akaonyeshwa video akiwa ndani ya chumba kile akiongea na marehemu akataka kumuingilia kinyume na maumbile binti akakataa ndipo akaanza kumpiga mpaka kupelekea kifo chake.
Yasri baada kuiona video ile ndipo akachoka hoi kweli anaonekana ni yeye kabisa inakuwaje hii.
pasipo KUFAHAMU
wabaya wake washafanya yao.
Kwa kumtengeneza mtu wa bandia.
Akiwa ndani ya mahabusu hakuna ndugu yake hata mmoja aliyekuja kumtazama,
hata bibiye Fatma hakuweza kutokea akashinda kutwa kucha akilia mpaka ilipofika siku ya kesi yake kusikilizwa akaumia zaidi kuona baba yake mkubwa akitowa ushahidi wa uwongo juu yake huku Zaujia ambaye ni dada yake upande wa bamkubwa na mdogo akimkandamiza zaidi kwakusema yule binti aliyekufa ni rafiki yake kipenzi.
Hatimae siku ya hukumu kijana akahukumiwa kunyongwa
(KAMA UNAKUMBUKA VIZURI KIJANA YASRI ALIINGIZWA KWENYE CHUMBA AMBACHO NDANI YAKE KULIKUWA NA GIZA TOTORO GHAFLA MACHO YAKAMTOKA PIMA BAADA TAA KUWASHWA NA KUONA KITANZI KIKIWA MBELE YAKE,)
Mwanaume hakuweza kuamini aisee kama siku ya kifo chake imeweza kuwadia kifo cha fedheha
Yasri akapiga goti chini na kuomba Dua yuko tayari kukipokea kifo chake, akashituka baada kusikia mlango wa chumba hicho ukifunguliwa akageuza shingo yake kuangalia akashituka zaidi na kutamani Ardhi iweze kupasuka adumbukie ndani yake. Kuliko kukutana na kifo kibaya kama hili yani unakufa huku ukijiona kibaya zaidi unajinyea. Kilikuwa ni kikosi cha Askari jela wakiwa wameongozana na sijui mchungaji au shekhe,
“usiogope kijana nimekuja kukuombea kabla ya kifo chako Mungu baba aweze kukusamehe madhambi yako’’ aliongea yule Shekhe lakini kabla ya kuanza kumuombea ghafla ndani ya chumba taa zikazima kukawa giza totoro vilio vya
Maaskari na yule shekhe ndivyo vilivyoweza kusikika yani walilia kwa maumivu mwishoe wakawa kimya huku Yasri akibaki kajikunyata pale chini asijuwe kitu gani kinaendelea ghafla na yeye akapigwa na kitu kizito kichwani akapoteza fahamu, ving’ora vya ndani ya Jela vikalia kuashiria kuna jambo baya limeweza kutokea kila mfungwa akabaki kujiuliza kunani tena. Askari jela wakakusanyika na kukimbilia sehemu ambayo kunasemekana kuna tatizo kufika huko hawakuweza kuamini aisee baada kukuta miili ya maaskari wenzao wakiwa wamegawanywa viungo huku yule Shekhe amening’inizwa kwenye kitanzi wakati kijana Yasri nae kauwawa kwa kupasuliwa kichwa. “aisee hii sasa imekuwa balaa embu kamtizameni Hafidhi huwenda ni yeye katenda haya’
Mkuu wa Gereza akaongea kwa jazba huku akijifuta jasho.
Askari jela wakatoka mbiombio kwenda kumtazama ajabu wakamkuta akiwa anapiga stori na baadhi ya wafungwa wakachoka hoi wasitambuwe ni nani katenda unyama kama ule kwa kuwauwa watu wale, taarifa zikatolewa gereza la Segerea kumevamiwa nakiumbe kisichojulikana kimetokea wapi na kuuwa watu wapatao sita. Yani askari wanne Shekhe na Mfungwa alietakiwa kunyongwa. Vyombo vya habari vikatangaza kuhusu hiyo ishu na kuacha maswali mazito kwenye vichwa vya watu,
Ndipo kikaombwa kikosi cha 3Sisters kuingilia hili swala ziliweza kupita siku kama tatu watu wakizidi kukuna vichwa.
Katikati ya msitu mnene uliofungamana na miti minene na mirefu msitu ambao umetawaliwa na wanyama wakali kama vile Simba, Chui, na wengineo tunamuona mzee wanyapu hapa namzungumzia Hafidhi j Ikram akiwa na kijana Yasri, dahaa sijui inakuwaje hapa maana inasemekana Yasri kauwawa.
Na tumeweza kuushuhudia mwili wake sasa huyu ni Yasri gani?
Na yule Hafidhi aliopo kule Gerezani ni nani? Ni maswali mazito sana
“wewe nani?’’ kwa sauti yenye kutawaliwa na hofu Yasri akauliza Hafidhi akujibu kitu zaidi ya kutabasamu na kumshika Yasri begani kijana akaogopa na kutamani kukimbia sema hakuweza hata kuinuka
“Yasri huna haja ya kuniogopa mimi ni muokozi wako nimekutoa kwenye mikono ya maharamia nikakuleta hapa. Sehemu salama ingawa unasemekana ushakufa tayari sasa basi jifunze yale mazuri kupitia kwangu kisha ulipe kisasi. Siku zote nitakuwa nyuma yako,’’
Hafidhi akaongea hivyo na kumpatia kiganja cha mkono kijana nae akashikana nae japokuwa bado alikuwa akitetemeka “sasa huku tulipo ni wapi?’’
“huku ni Kilwa tutaishi huku tukijipanga kwakila kitu. Baada kukamilisha mipango yetu tutalivamia jiji la Dar es salaam tuweze kufanya kile ambacho kipo ndani ya mioyo yetu,’’
Siku zote jambo usilolijuwa ni sawa na usiku wa giza wakati serikali ikiangaika usiku na mchana kumsaka muuwaji kumbe mwenzao anawachora tu na kuwaangalia 3Sisters kikosi kinachoongozwa na mabinti watatu hapa namzungumzia Vivian akiwa kama ndio kiongozi mkuu pia kuna bibiye Mariam huku akiongezeka bibiye Mona Risa ukipenda muite Mona huyu yupo spesho kwaajili ya kuziba pengo la Yusra aliyefariki miaka minne iliyopita,
“sasa naona shukhuri ndio imeanza hivyo, maana tumepewa kazi ya kukisaka kivuli,’’ akaongea huku akitabasamu bibiye Vivian kuwaambia wenzake,
“kweli shukhuri si yakitoto maana tunakimbizana na upepo nakumbuka kipindi kile wakati tunakabidhiwa kesi ya Hafidhi tuliingia kazini kwa kumdharau kuwa ni kijitu kidogo. Pasipo kufahamu tunacheza na moto wa petrol,’’ Mariam nae akachangia
“sasa mimi nilikuwa na ombi moja tu’’ Mona akasema kuwa ana ombi
“ombi gani tena shost!
“hivi mnaonaje kama tukaiomba serikali ikatupatia Hafidhi tuweze kufanya nae hii kazi maana siku zote jambazi anamsaka jambazi mwenzie na kumpata kwa haraka zaidi maana anafahamu mbinu za mwenzie,
“ha!ha!ha!’’ kauli ya Mona ikawafanya wenzake wacheke sana tu mpaka mwenyewe akajistukia na kuuliza
“sasa mnacheka nini mshaniona mi chizi ehee?’’
“hamna bwana unajuwa tunacheka nini kwanza wazo lako sidhani kama itawezekana kwanza ni moja kati ya udhaifu kwa Undercover agent kama sisi kuhitaji msaada kwa mtu mwingine wakati unafahamu fika tumefunzwa kitu gani kule kambini’’,,,,
“Basi samahani mkuu kwa kauli yangu yenye kufikilika’’
Mona akaomba samahani, kikao chao kilichochukuwa takribani masaa mawili kiliweza kupatiwa muafaka na kutawanyika kila mmoja akiwa kakabidhiwa jukumu lake, Ndani ya kijiji cha Kilwa kiwawa kulikuwa na habari juu ya kuonekana kwa kijana wawili watanashati yani uzuri wao ukawafanya Wanawake wapigane vikumbo kwenye
kichaka kimoja wapo kulionekana majani yakichezacheza kwa kutikisika bila shaka kuna kiumbe ndani yake akiyatikisa majani hayo. Kumbe alikuwa ni Hafidhi akiwa amemlaza dada wakikubwa kwenye majani kisha akaanza kumwingiza vidole kwenye kitumbua chake. Alikipandisha kidole juu ambapo alikifikia kidude mautamu na kukichezea vizuri “aaaaah,,ooooh,,uuuiissssshhhhhhhhh,,,aaah,,alilalamika dada huyo huku akizungusha kiuno chake. Hafidhi alipoona tayari kuna unyevu wa kutosha alichomoa kidole na kumzamisha mtalimbo wake uliokuwa mnene mrefu wenye kichwa kipana zaidi.
Kwa utamu aliousikia dada huyo alipanua miguu huku akiinyanyua juu na kuishikilia na mikono yake. Kichwa cha mtalimbo wa mzee wa nyapu kiliingia taratibu huku. Akikikuna vizuri kidude mautamu cha dada huyo kilichosimama kwa hamu “uuuuwiiiiiiii,,,aaaah,,aaaa’’ alisikika dada huyo huku akijilegeza haswa Hafidhi aliuzamisha mtalimbo wake wote mpaka ndani na kuanza kupampu juu chini chini juu kwa jinsi alivyokuwa anapampu ilionyesha ni muda mrefu hajapata kitumbua basi akawa akikirudisha kiuno chini anakandamiza kabisa kama mtu anayeshindilia kitu kitendo kilichokuwa kinamfanya dada huyo kuongeza milio ya kimahaba kwani mashine ilikuwa inagusa penyewe kwenye kona ya utamu. Japo ni muda mrefu hajapata kitumbua lakini alijizuia mpaka dada huyo alipomwaga ndipo naye akajivuta ambapo hakuchelewa akamwaga pia “aaaah,,,oooooh,,aah’’ alitoa miguno hiyo huku akimalizia kumwaga uji wake,
“Asante’’ Binti akatoa shukrani kwa kusuguliwa vyema, Hafidhi hakuongea kitu akabaki kumtazama tu huku akitabasamu kisha akavaa nguo zake na kujiandaa kuondoka kwenye vichaka vile. “samahani mpenzi wangu hivi unaitwa nani?’’
Binti akamshika mkono Hafidhi na kumuuliza, kumbe kusuguliwa kote jina la mshikaji hakutajiwa, mwanaume akaendelea kumtazama bibiye akaona si vyema kutoongea nae lolote akakaa chini na kumwambia
“mbona mimi nimeweza kulifahamu jina lako wewe umeshindwaje?’’
“ahaa wewe si ulimsikia Prisca akiniita kule kisimani ndio ukaliweka kichwani,’’
“basi usitake kulia bibiye mimi naitwa Kingo Ntonele’’ Mwanaume kwa akili za haraka sana akajipa jina jipya eti Kingo,
“ohoo jina lako zuri, sasa baby lini tena utanifanya kama hivi?’’
Mtoto wakike akaulizia kusuguliwa tena
“wewe tu muda wowote ukijisikia kinawasha njoo kulee kwenye mbuyu utanikuta’’,,,,
“mmh! Baby mbona kule kunatisha bwana unaonaje tuwe tunakutana pale shuleni?’’
“sawa hamna shida wewe tu maana mtoto unakitumbua kitamu utasema sijui nini chokleti si chokleti’’,,,, Hafidhi akaanza mbwembwe za kumchombeza bibiye huku akimshika hapa na pale akamtekenya kwenye nyonga “asssssss,,,,,,babiiiiiiii,,,,,bwanaaaaaahaaa,’’ yani kutekenywa tu mtoto wakike hoi
INAENDELEA

